• ✍🏼 Simba kuanzia dakika ya kwanza walionesha wanaitaka game wakitawala kila eneo la uwanja , wanafanya pressing vizuri , mpira unatembea kwa haraka kwenye nafasi , movements za wachezaji kwenye eneo la mbele .

    1: Wakati wanaanza build up yao wanakuwa na muundo wa 2-4 ( CBs wawili nyuma then Kibabage na Duchu wanakuwa mstari mmoja na viungo wao wawili wa kati dhumuni ni kuongeza machaguo ya pasi na kutengeneza idadi nzuri ya wachezaji kwenye phase ya pili ambayo ni kiungo ) walifanikiwa .

    2: Oura na Mpanzu wanakuwa wanashambulia nafasi baina ya FBs na CBs wa Stade ndio maana ilikuwa rahisi kwa Kante na Kagoma kuona pasi za mbele hasa kupitia kwenye kiungo .

    3: Baada ya hapo ni Simba watafunga magoli mangapi ? Kwasababu nafasi zilianza kufunguka eneo la mbele , rahisi kuifikia defense ya Malien na kuna nyakati wakifika kwenye zone 14 wanapata nafasi na machaguo mengi , nafikiri hawakuwa na ufanisi + Utulivu kwenye actions zao za mwisho .

    ✍🏼 Stade Malien licha ya kuzuia wakiwa na idadi kubwa ya wachezaji eneo la chini lakini bado Simba walikuwa wanapata nafasi nyuma ya viungo wao wa ulinzi ( rahisi mpinzani kumuadhibu ) .

    ✍🏼 Kipindi cha pili , Simba walipunguza kasi yao ya uchezaji tofauti na kipindi cha kwanza .

    1: Wapo slow kwenye maamuzi yao wakiwa na mpira .

    2: Hakuna runner eneo la mbele ( wachezaji wao wa mbele wanahitaji mpira mguuni na sio kwenye nafasi )

    3: Hakuna pasi za mbele kulazimisha kuifungua defense ya Malien .

    4: Nafikiri wanatakiwa kuboresha kwenye performance yao ya kipindi cha pili , Energy yao inashuka sana .

    NOTE :

    1: Anicet Oura anafanya kila kitu kwa usahihi ( akiwa na mpira na bila mpira )

    2: Kante ubora wake wa kupasi mpira kwa usahihi na kwenye maeneo sahihi

    3: Kassali kafanya saves nyingi nzuri za kuwafanya Simba kubaki mchezoni .

    4: Mwalimu anatakiwa kuboresha Finishing yake , kila kitu anafanya kwa usahihi .

    5: De Reuck kwenye kushinda mipambano yake 👍🏽 : Duchu , Kibabage , Chama & Kagoma

    FT : Simba Sc 1-0 Stade Malien

    - Kelvin Rabson, Mchambuzi.

    Toa maoni yako
    #Sports
    #Habari
    ✍🏼 Simba kuanzia dakika ya kwanza walionesha wanaitaka game wakitawala kila eneo la uwanja , wanafanya pressing vizuri , mpira unatembea kwa haraka kwenye nafasi , movements za wachezaji kwenye eneo la mbele . 1: Wakati wanaanza build up yao wanakuwa na muundo wa 2-4 ( CBs wawili nyuma then Kibabage na Duchu wanakuwa mstari mmoja na viungo wao wawili wa kati dhumuni ni kuongeza machaguo ya pasi na kutengeneza idadi nzuri ya wachezaji kwenye phase ya pili ambayo ni kiungo ) walifanikiwa . 2: Oura na Mpanzu wanakuwa wanashambulia nafasi baina ya FBs na CBs wa Stade ndio maana ilikuwa rahisi kwa Kante na Kagoma kuona pasi za mbele hasa kupitia kwenye kiungo . 3: Baada ya hapo ni Simba watafunga magoli mangapi ? Kwasababu nafasi zilianza kufunguka eneo la mbele , rahisi kuifikia defense ya Malien na kuna nyakati wakifika kwenye zone 14 wanapata nafasi na machaguo mengi , nafikiri hawakuwa na ufanisi + Utulivu kwenye actions zao za mwisho . ✍🏼 Stade Malien licha ya kuzuia wakiwa na idadi kubwa ya wachezaji eneo la chini lakini bado Simba walikuwa wanapata nafasi nyuma ya viungo wao wa ulinzi ( rahisi mpinzani kumuadhibu ) . ✍🏼 Kipindi cha pili , Simba walipunguza kasi yao ya uchezaji tofauti na kipindi cha kwanza . 1: Wapo slow kwenye maamuzi yao wakiwa na mpira . 2: Hakuna runner eneo la mbele ( wachezaji wao wa mbele wanahitaji mpira mguuni na sio kwenye nafasi ) 3: Hakuna pasi za mbele kulazimisha kuifungua defense ya Malien . 4: Nafikiri wanatakiwa kuboresha kwenye performance yao ya kipindi cha pili , Energy yao inashuka sana . NOTE : 1: Anicet Oura anafanya kila kitu kwa usahihi ( akiwa na mpira na bila mpira ) 2: Kante ubora wake wa kupasi mpira kwa usahihi na kwenye maeneo sahihi 🔥 3: Kassali kafanya saves nyingi nzuri za kuwafanya Simba kubaki mchezoni . 4: Mwalimu anatakiwa kuboresha Finishing yake , kila kitu anafanya kwa usahihi . 5: De Reuck kwenye kushinda mipambano yake 👍🏽 : Duchu , Kibabage , Chama & Kagoma ✅ FT : Simba Sc 1-0 Stade Malien - Kelvin Rabson, Mchambuzi. Toa maoni yako #Sports #Habari
    0 Commentarios 0 Acciones 311 Views
  • Yanga wamekuwa bora kwenye nyakati 2 muhimu kimbinu;

    - Turn-Overs, kuzuia vizuri na kujibu mashambulizi, moment iliyowapa magoli mawili
    - Mipira ya kutenga, moment iliyowapa magoli mawili

    Yanga walipata mtihani kwenye moment wakiwa na mpira, kwasababu;

    1. Namna Prison walivyokuwa wanazuia, wakiwa na shape ya 4-1-4-1;

    - mbele walimsimamisha Chanongo dhidi ya Bacca na Job, LAKINI target yao kubwa ilikuwa kwenye mstari wa pili wa Yanga, viungo wawili wa kati na mabeki wa pembeni

    - Kwenye mstari huo waliweka watu wanne, Tariq na Sengati dhidi ya Mudathir na Aucho, Segeja na Ngassa dhidi ya Kibwana na Kibabage

    - Hao Walizuia mstari huo wa Yanga ku-progress build up zinazanzia nyuma baada ya Job na Bacca dhidi ya Chanongo

    - Mara nyingi Aziz na Farid kushuka usawa wa viungo kuisaidia timu kusogea juu

    2. Kwenye build up play zao walikuwa na mapungufu kadhaa;

    - Ufanisi wa pasi
    - Combinations play
    - Viungo washambuliaji walipenda kucheza maeneo nje ya blocks

    Turn-Overs za Yanga zimekuwa bora kwasababu ya;

    - Ubora wa kiuzuiaji, Presha nzuri, kuwa pamoja, recovery runs bora
    - Ubora wa kujibu shambulizi, runs , kushambulia nafasi, uharaka, ufanisi was pasi za mwisho na Umaliziaji bora

    Set Plays siri kuu ni;

    - Kushinda mipira ya juu na ya pili (Aerial duels & second balls)
    - Wapigaji wazuri

    NOTE

    1: Dube magoli yanakuja na assist pia

    2: Mzize powerful runs zake kila upande akicheza ana madhara sana

    3: Ngassa kuna kipaji mule shida wenzake wapo wachache mbele

    4: Kibwana anaendelea alipoishia dhidi ya Mashujaa mpaka leo

    5: Aziz KI playmaking inaanza kurudi

    6: Bacca ameongeza magoli tena kwenye game yake

    FT: Yanga 4-0 Prisons

    👉 Yanga wamekuwa bora kwenye nyakati 2 muhimu kimbinu; - Turn-Overs, kuzuia vizuri na kujibu mashambulizi, moment iliyowapa magoli mawili - Mipira ya kutenga, moment iliyowapa magoli mawili 👉 Yanga walipata mtihani kwenye moment wakiwa na mpira, kwasababu; 1. Namna Prison walivyokuwa wanazuia, wakiwa na shape ya 4-1-4-1; - mbele walimsimamisha Chanongo dhidi ya Bacca na Job, LAKINI target yao kubwa ilikuwa kwenye mstari wa pili wa Yanga, viungo wawili wa kati na mabeki wa pembeni - Kwenye mstari huo waliweka watu wanne, Tariq na Sengati dhidi ya Mudathir na Aucho, Segeja na Ngassa dhidi ya Kibwana na Kibabage - Hao Walizuia mstari huo wa Yanga ku-progress build up zinazanzia nyuma baada ya Job na Bacca dhidi ya Chanongo - Mara nyingi Aziz na Farid kushuka usawa wa viungo kuisaidia timu kusogea juu 2. Kwenye build up play zao walikuwa na mapungufu kadhaa; - Ufanisi wa pasi - Combinations play - Viungo washambuliaji walipenda kucheza maeneo nje ya blocks 👉 Turn-Overs za Yanga zimekuwa bora kwasababu ya; - Ubora wa kiuzuiaji, Presha nzuri, kuwa pamoja, recovery runs bora - Ubora wa kujibu shambulizi, runs , kushambulia nafasi, uharaka, ufanisi was pasi za mwisho na Umaliziaji bora 👉 Set Plays siri kuu ni; - Kushinda mipira ya juu na ya pili (Aerial duels & second balls) - Wapigaji wazuri NOTE 1: Dube magoli yanakuja na assist pia 🔥 2: Mzize powerful runs zake kila upande akicheza ana madhara sana 3: Ngassa kuna kipaji mule shida wenzake wapo wachache mbele 4: Kibwana anaendelea alipoishia dhidi ya Mashujaa mpaka leo 5: Aziz KI playmaking inaanza kurudi 6: Bacca ameongeza magoli tena kwenye game yake FT: Yanga 4-0 Prisons
    0 Commentarios 0 Acciones 1K Views

  • ... 𝗖𝗢𝗡𝗙𝗜𝗥𝗠𝗘𝗗

    Wachezaji wa Yanga SC, Clatous Chama na Kennedy Musonda wameitwa kwenye timu ya Taifa ya Zambia, 'Chipolopolo'

    Wachezaji wa klabu za Simba na Yanga walioitwa kwenye timu zao za Taifa :

    Young Africans Sports Club (14)

    ➜ Djigui Diarra
    ➜ Aboutwalib Mshery
    ➜ Stephane Aziz Ki
    ➜ Dickson Job
    ➜ Duke Deuces Abuya
    ➜ Ibrahim Bacca
    ➜ Khalid Aucho
    ➜ Bakari Mwamnyeto
    ➜ Prince Dube
    ➜ Nickson Kibabage
    ➜ Clatous Chama
    ➜ Mudathir Yahya
    ➜ Kennedy Musonda
    ➜ Clement Mzize

    Wazawa saba na wakigeni saba.

    Simba sports Club (5) :

    ➜ Moussa Canara
    ➜ Ally Salim
    ➜ Steven Mukwala
    ➜ Zimbwe Jr
    ➜ Edwin Balua

    Wazawa watatu na wakigeni wawili.
    ... 🚨 𝗖𝗢𝗡𝗙𝗜𝗥𝗠𝗘𝗗 Wachezaji wa Yanga SC, Clatous Chama na Kennedy Musonda wameitwa kwenye timu ya Taifa ya Zambia, 'Chipolopolo' 🇿🇲 Wachezaji wa klabu za Simba na Yanga walioitwa kwenye timu zao za Taifa : Young Africans Sports Club (14) ➜ Djigui Diarra 🇲🇱 ➜ Aboutwalib Mshery 🇹🇿 ➜ Stephane Aziz Ki 🇧🇫 ➜ Dickson Job 🇹🇿 ➜ Duke Deuces Abuya 🇰🇪 ➜ Ibrahim Bacca 🇹🇿 ➜ Khalid Aucho 🇺🇬 ➜ Bakari Mwamnyeto 🇹🇿 ➜ Prince Dube 🇿🇼 ➜ Nickson Kibabage 🇹🇿 ➜ Clatous Chama 🇿🇲 ➜ Mudathir Yahya 🇹🇿 ➜ Kennedy Musonda 🇿🇲 ➜ Clement Mzize 🇹🇿 ℹ️ Wazawa saba na wakigeni saba. Simba sports Club (5) : ➜ Moussa Canara 🇬🇳 ➜ Ally Salim 🇹🇿 ➜ Steven Mukwala 🇺🇬 ➜ Zimbwe Jr 🇹🇿 ➜ Edwin Balua 🇹🇿 ℹ️ Wazawa watatu na wakigeni wawili.
    Like
    Love
    7
    1 Commentarios 0 Acciones 1K Views
  • Huyu kibabage kumbe nizaidi ya lomalisa shusha comment @soccersports
    #kibabage
    #kibwana
    #job
    #mshely
    #Nkane
    #yangasc
    Huyu kibabage kumbe nizaidi ya lomalisa🤣 shusha comment 👇@soccersports #kibabage #kibwana #job #mshely #Nkane #yangasc
    Love
    Like
    3
    1 Commentarios 0 Acciones 2K Views
  • .... Mikataba mipya ndani ya Young Africans

    Djigui Diarra
    Khalid Aucho
    Bakari Mwamnyeto
    Aziz KI
    Farid Mussa
    Jonas Mkude
    Clement Mzize
    Nickson Kibabage
    Kibwana Shomari
    Aboutwalib Mshery
    .... 🚨 Mikataba mipya ndani ya Young Africans 🇹🇿 ✅ Djigui Diarra 🇲🇱 ✅ Khalid Aucho 🇺🇬 ✅ Bakari Mwamnyeto 🇹🇿 ✅ Aziz KI 🇧🇫 ✅ Farid Mussa 🇹🇿 ✅ Jonas Mkude 🇹🇿 ✅ Clement Mzize 🇹🇿 ✅ Nickson Kibabage 🇹🇿 ⌛ Kibwana Shomari 🇹🇿 ⌛ Aboutwalib Mshery 🇹🇿
    Like
    3
    0 Commentarios 0 Acciones 973 Views