• Mnataka awe shabiki wa Yanga Africa mnamlipa? Mjibuni Diwani Kwanza hili Swali ,mnamlipa?

    Maana yake yeye ili awe Shabiki wa Simba Sports au Yanga Africa itategemea tu na wakati huo nani anamlipa??

    Sahauni Kabisa Kuhusu Kuwa baba yake ni Lijendi wa Yanga Africa ,yeye ushabiki wake ni Based on Sasampa tu

    Maana yake Kama Simba Sports wangeendelea Kumpa Mkataba na Kumlipa hakuna namna Leo angejiita Shabiki wa Yanga Africa.

    Tangu Siku ya Kwanza nilisema hapa Sababu iliyotumika Kumleta Yanga ilikuwa ni Makosa .

    Kuwa Shabiki na Mwanachama wa Yanga au Simba Sababu haiwezi Kuwa eti Kwasababu unaichukia Simba au una Mgogoro na Simba and Vice Versa.This is totally wrong.

    Sababu ya Kuwa Shabiki na Mwanachama wa Yanga au Simba Sports haiwezi Kuwa Kwasababu unafanya Kazi Yanga au GSM ,Simba Sports au METL.

    Nina msemo wangu maarufu huwezi Kuwa Shabiki wa Yanga ukiwa na miaka 50. Big Nooo

    Kuwa Shabiki na Mwanachama wa Yanga ni Safari ya Kuwekeza hisia zako. Ni uwajibikaji wa Maisha yako yako yote wakati wa shida na raha.

    So inawezekana Kuna hoja Kwenye baadhi ya Maneno ya Diwani,Lakini nikishasikia anasema yeye ni Shabiki wa Yanga naacha Kumsikiliza hapo hapo .

    Kimsingi Kwa mambo yanavyoelekea Ndugu Yangu Diwani mpaka Sasa hana timu .Manake kule Simba Sports tena nao hawataki hata Kumuona.

    Note; Na najua ndugu yangu mmemnyoa hana ofisi tena Pale Saramander. Kibaya zaidi Kwenye mnuso wa Mtoto wa tajiri napo mmemtosa. Imagine Futari ya Jana Kwa tajiri pia hayumo. I knew for sure he was coming for you .I Knew it

    - Wilson Oruma, Mchambuzi.

    Toa maoni yako
    Mnataka awe shabiki wa Yanga Africa mnamlipa? Mjibuni Diwani Kwanza hili Swali ,mnamlipa? Maana yake yeye ili awe Shabiki wa Simba Sports au Yanga Africa itategemea tu na wakati huo nani anamlipa?? Sahauni Kabisa Kuhusu Kuwa baba yake ni Lijendi wa Yanga Africa ,yeye ushabiki wake ni Based on Sasampa tu Maana yake Kama Simba Sports wangeendelea Kumpa Mkataba na Kumlipa hakuna namna Leo angejiita Shabiki wa Yanga Africa. Tangu Siku ya Kwanza nilisema hapa Sababu iliyotumika Kumleta Yanga ilikuwa ni Makosa . Kuwa Shabiki na Mwanachama wa Yanga au Simba Sababu haiwezi Kuwa eti Kwasababu unaichukia Simba au una Mgogoro na Simba and Vice Versa.This is totally wrong. Sababu ya Kuwa Shabiki na Mwanachama wa Yanga au Simba Sports haiwezi Kuwa Kwasababu unafanya Kazi Yanga au GSM ,Simba Sports au METL. Nina msemo wangu maarufu huwezi Kuwa Shabiki wa Yanga ukiwa na miaka 50. Big Nooo Kuwa Shabiki na Mwanachama wa Yanga ni Safari ya Kuwekeza hisia zako. Ni uwajibikaji wa Maisha yako yako yote wakati wa shida na raha. So inawezekana Kuna hoja Kwenye baadhi ya Maneno ya Diwani,Lakini nikishasikia anasema yeye ni Shabiki wa Yanga naacha Kumsikiliza hapo hapo . Kimsingi Kwa mambo yanavyoelekea Ndugu Yangu Diwani mpaka Sasa hana timu .Manake kule Simba Sports tena nao hawataki hata Kumuona. Note; Na najua ndugu yangu mmemnyoa hana ofisi tena Pale Saramander. Kibaya zaidi Kwenye mnuso wa Mtoto wa tajiri napo mmemtosa. Imagine Futari ya Jana Kwa tajiri pia hayumo. I knew for sure he was coming for you .I Knew it 😅🙌 - Wilson Oruma, Mchambuzi. Toa maoni yako
    0 Commentaires 0 Parts 73 Vue
  • Nyota wa Soka Kaslin Soza atangaza kusilimu

    Mchezaji wa soka kutoka Brazil, Kaslin Soza, ametangaza rasmi kuwa amesilimu na kuanza maisha mapya ya imani ya Kiislamu.

    Kaslin, ambaye aliwahi kuitumikia klabu ya Wanawake ya Real Madrid Femenino nchini Hispania na kwa sasa anakipiga katika klabu ya Saudia ya Al-Nassr Women, alitoa taarifa hiyo kupitia kurasa zake za mitandao ya kijamii.

    Katika ujumbe wake, Kaslin aliandika kwa hisia na msisitizo akisema: “Nimechagua kuingia katika dini ya Uislamu kwa hiari yangu mwenyewe, nikiwa na amani moyoni na imani thabiti juu ya uamuzi huu.”

    Nyota huyo wa kandanda alieleza kuwa safari yake ya kiroho haikuwa ya ghafla, bali ni matokeo ya tafakari ya muda mrefu na kujifunza kwa kina kuhusu mafundisho ya dini hiyo.

    “Huu ni mwanzo wa ukurasa mpya katika maisha yangu, safari ya kujitambua zaidi na kumkaribia Mwenyezi Mungu,” aliongeza katika ujumbe wake.

    Hatua hiyo imeibua mjadala mpana mtandaoni, huku mashabiki wake na wadau wa soka wakitoa pongezi na salamu za heri kwa uamuzi wake. Wapo waliomsifu kwa ujasiri wa kusimama hadharani na kutangaza mabadiliko hayo ya kiimani.

    Kaslin Soza amekuwa miongoni mwa Wachezaji wa Brazil waliopata nafasi ya kucheza katika Ligi kubwa barani Ulaya kabla ya kuhamia Mashariki ya Kati, ambako soka la Wanawake linaendelea kukua kwa kasi.

    Kwa sasa, macho ya mashabiki wake yapo si tu kwenye kiwango chake Uwanjani, bali pia katika safari yake mpya ya maisha nje ya Uwanja.

    Toa maoni yako
    #Sports
    #Habari
    🇧🇷 Nyota wa Soka Kaslin Soza atangaza kusilimu Mchezaji wa soka kutoka Brazil, Kaslin Soza, ametangaza rasmi kuwa amesilimu na kuanza maisha mapya ya imani ya Kiislamu. Kaslin, ambaye aliwahi kuitumikia klabu ya Wanawake ya Real Madrid Femenino nchini Hispania na kwa sasa anakipiga katika klabu ya Saudia ya Al-Nassr Women, alitoa taarifa hiyo kupitia kurasa zake za mitandao ya kijamii. Katika ujumbe wake, Kaslin aliandika kwa hisia na msisitizo akisema: “Nimechagua kuingia katika dini ya Uislamu kwa hiari yangu mwenyewe, nikiwa na amani moyoni na imani thabiti juu ya uamuzi huu.” Nyota huyo wa kandanda alieleza kuwa safari yake ya kiroho haikuwa ya ghafla, bali ni matokeo ya tafakari ya muda mrefu na kujifunza kwa kina kuhusu mafundisho ya dini hiyo. “Huu ni mwanzo wa ukurasa mpya katika maisha yangu, safari ya kujitambua zaidi na kumkaribia Mwenyezi Mungu,” aliongeza katika ujumbe wake. Hatua hiyo imeibua mjadala mpana mtandaoni, huku mashabiki wake na wadau wa soka wakitoa pongezi na salamu za heri kwa uamuzi wake. Wapo waliomsifu kwa ujasiri wa kusimama hadharani na kutangaza mabadiliko hayo ya kiimani. Kaslin Soza amekuwa miongoni mwa Wachezaji wa Brazil waliopata nafasi ya kucheza katika Ligi kubwa barani Ulaya kabla ya kuhamia Mashariki ya Kati, ambako soka la Wanawake linaendelea kukua kwa kasi. Kwa sasa, macho ya mashabiki wake yapo si tu kwenye kiwango chake Uwanjani, bali pia katika safari yake mpya ya maisha nje ya Uwanja. Toa maoni yako #Sports #Habari
    0 Commentaires 0 Parts 203 Vue
  • Karen Bujulu afunguka kuhusu Juma Jux: “Moyo wangu ni mweupe, sina kinyongo”.

    Mrembo Karen Bujulu, ambaye aliwahi kuwa kwenye uhusiano wa kimapenzi na mkali wa RnB kutoka Tanzania, Juma Jux, amevunja ukimya na kueleza hisia zake kufuatia ndoa ya aliyekuwa Mpenzi wake huyo.

    Kupitia maelezo yake ya hivi karibuni, Karen amesisitiza kuwa hana chuki wala kinyongo chochote, licha ya watu wengi kudhani kuwa bado anaumizwa na uamuzi wa Jux kufunga ndoa.

    “Hadi leo watu wengi wanadhani moyo wangu unapitia maumivu makali mno kwa kitendo cha Ex wangu kufunga ndoa, hilo jambo halipo. Mnapaswa kujua kuwa moyo wangu ni mweupe na sina kinyongo chochote, nimeisha achilia kila kitu. Nimefungua ukurasa mpya kabisa na ninafurahia maisha haya mapya.”

    Kauli hiyo imeibua mjadala mpana mitandaoni, huku baadhi ya mashabiki wakimpongeza kwa ukomavu wa kiakili na kihisia, na wengine wakichambua kwa kina historia ya uhusiano wao.

    Ikumbukwe kuwa wakati uhusiano wao ulipovunjika, baadhi ya wanablogu waliibua madai kuwa chanzo kilikuwa ni Karen kuhusishwa kimapenzi na Ommy Dimpoz. Hata hivyo, Karen aliwahi kukanusha taarifa hizo na kueleza kuwa hazikuwa na ukweli wowote.

    Tangu wakati huo, kila mmoja ameendelea na maisha yake, huku Jux akiingia katika hatua mpya ya ndoa na Karen akisisitiza kuwa yeye pia ameanza safari mpya ya maisha.

    (Maoni Yangu)

    Kwa mtazamo wa kijamii na kisaikolojia, kauli ya Karen inaonyesha kiwango fulani cha ukomavu wa kihisia (emotional maturity). Katika uhusiano ya hadharani, mara nyingi presha ya mitandao ya kijamii huongeza maumivu au kuzalisha simulizi zisizo sahihi.

    Kukubali hali, kuachilia yaliyopita na kuendelea mbele ni ishara ya mtu aliyeamua kulinda amani yake ya ndani. Aidha, ni fundisho kwa jamii kuwa si kila uhusiano unaovunjika lazima uishe kwa chuki au visasi.

    Kwa upande mwingine, ni muhimu pia kutambua kuwa watu mashuhuri huishi chini ya lenzi ya umma, hivyo kila kauli au tukio huwa na tafsiri nyingi tofauti.

    Wewe unaonaje? Je, unaamini kweli hakuna maumivu yaliyobaki, au ni njia ya kulinda heshima yake mbele ya umma?

    Toa maoni yako
    #Udaku
    #Habari
    Karen Bujulu afunguka kuhusu Juma Jux: “Moyo wangu ni mweupe, sina kinyongo”. Mrembo Karen Bujulu, ambaye aliwahi kuwa kwenye uhusiano wa kimapenzi na mkali wa RnB kutoka Tanzania, Juma Jux, amevunja ukimya na kueleza hisia zake kufuatia ndoa ya aliyekuwa Mpenzi wake huyo. Kupitia maelezo yake ya hivi karibuni, Karen amesisitiza kuwa hana chuki wala kinyongo chochote, licha ya watu wengi kudhani kuwa bado anaumizwa na uamuzi wa Jux kufunga ndoa. “Hadi leo watu wengi wanadhani moyo wangu unapitia maumivu makali mno kwa kitendo cha Ex wangu kufunga ndoa, hilo jambo halipo. Mnapaswa kujua kuwa moyo wangu ni mweupe na sina kinyongo chochote, nimeisha achilia kila kitu. Nimefungua ukurasa mpya kabisa na ninafurahia maisha haya mapya.” Kauli hiyo imeibua mjadala mpana mitandaoni, huku baadhi ya mashabiki wakimpongeza kwa ukomavu wa kiakili na kihisia, na wengine wakichambua kwa kina historia ya uhusiano wao. Ikumbukwe kuwa wakati uhusiano wao ulipovunjika, baadhi ya wanablogu waliibua madai kuwa chanzo kilikuwa ni Karen kuhusishwa kimapenzi na Ommy Dimpoz. Hata hivyo, Karen aliwahi kukanusha taarifa hizo na kueleza kuwa hazikuwa na ukweli wowote. Tangu wakati huo, kila mmoja ameendelea na maisha yake, huku Jux akiingia katika hatua mpya ya ndoa na Karen akisisitiza kuwa yeye pia ameanza safari mpya ya maisha. (Maoni Yangu) Kwa mtazamo wa kijamii na kisaikolojia, kauli ya Karen inaonyesha kiwango fulani cha ukomavu wa kihisia (emotional maturity). Katika uhusiano ya hadharani, mara nyingi presha ya mitandao ya kijamii huongeza maumivu au kuzalisha simulizi zisizo sahihi. Kukubali hali, kuachilia yaliyopita na kuendelea mbele ni ishara ya mtu aliyeamua kulinda amani yake ya ndani. Aidha, ni fundisho kwa jamii kuwa si kila uhusiano unaovunjika lazima uishe kwa chuki au visasi. Kwa upande mwingine, ni muhimu pia kutambua kuwa watu mashuhuri huishi chini ya lenzi ya umma, hivyo kila kauli au tukio huwa na tafsiri nyingi tofauti. Wewe unaonaje? Je, unaamini kweli hakuna maumivu yaliyobaki, au ni njia ya kulinda heshima yake mbele ya umma? Toa maoni yako #Udaku #Habari
    0 Commentaires 0 Parts 202 Vue
  • Massamba Intore na Kidum watangaza mpango wa albamu ya pamoja.

    Msanii Mkongwe wa muziki wa jadi nchini Rwanda, Massamba Intore, ametangaza rasmi kuwa yuko katika maandalizi ya kutengeneza albamu ya pamoja na Msanii maarufu wa Afrika Mashariki kutoka Nchini Burundi, Kidum.

    Kwa mujibu wa maelezo yao, mpango huo hautakuwa tu mkusanyiko wa nyimbo, bali ni uthibitisho wa urafiki wao wa muda mrefu na ushirikiano wa kisanii uliokua kwa miaka kadhaa. Wawili hao wanatarajia kuunganisha uzoefu wao mkubwa katika muziki wa maonyesho ya moja kwa moja (Live), ambao umekuwa alama ya mafanikio yao jukwaani.

    Ikumbukwe kwamba Masamba na Kidum alishafanya wimbo wa pamoja uitwao "Wapi ye" zaidi ya 15 iliyopita na ulifanya vizuri kipindi hicho.

    Massamba alitoa taarifa hiyo usiku wa Ijumaa, tarehe 13 Februari 2026, alipohudhuria hafla ya uzinduzi wa albamu “Inganzo Ntahangarwa” ya Msanii Yvan Muziki.

    Akiwa jukwaani pamoja na Kidum, Massamba hakuweza kuficha hisia zake. Alisisitiza kuwa anamshukuru sana Kidum kwa mchango wake mkubwa katika safari yake ya muziki.

    Massamba alisema: “Namshukuru sana Kidum kwa mchango wake katika safari yangu ya muziki. Amenisaidia kupata ujasiri wa kupeleka kazi zangu studio na kuziwasilisha katika viwango vya kimataifa.”

    Kauli hiyo ilishangiliwa na mashabiki waliokuwa ukumbini, wakionesha matumaini makubwa juu ya albamu hiyo inayotarajiwa kuleta ladha ya kipekee kwa Wapenzi wa muziki wa zamani na wa kisasa.

    Kwa kuzingatia historia yao ndefu jukwaani, Wachambuzi wa muziki wanaamini kuwa albamu hiyo itakuwa daraja la kuunganisha mitindo tofauti ya muziki wa jadi wa Rwanda na ladha ya kimataifa inayobebwa na Kidum.

    Mpango huu unatarajiwa kuimarisha zaidi ushirikiano wa Wasanii wa kanda ya Afrika Mashariki, huku ukitoa ujumbe wa mshikamano na urafiki kupitia sanaa.

    Mashabiki sasa wanasubiri kwa hamu kutangazwa kwa tarehe rasmi ya uzinduzi wa albamu hiyo, ambayo tayari imeanza kuvutia mjadala mpana katika mitandao ya kijamii hasa Nchini Rwanda.

    Toa maoni yako
    #Habari
    Massamba Intore na Kidum watangaza mpango wa albamu ya pamoja. Msanii Mkongwe wa muziki wa jadi nchini Rwanda, Massamba Intore, ametangaza rasmi kuwa yuko katika maandalizi ya kutengeneza albamu ya pamoja na Msanii maarufu wa Afrika Mashariki kutoka Nchini Burundi, Kidum. Kwa mujibu wa maelezo yao, mpango huo hautakuwa tu mkusanyiko wa nyimbo, bali ni uthibitisho wa urafiki wao wa muda mrefu na ushirikiano wa kisanii uliokua kwa miaka kadhaa. Wawili hao wanatarajia kuunganisha uzoefu wao mkubwa katika muziki wa maonyesho ya moja kwa moja (Live), ambao umekuwa alama ya mafanikio yao jukwaani. Ikumbukwe kwamba Masamba na Kidum alishafanya wimbo wa pamoja uitwao "Wapi ye" zaidi ya 15 iliyopita na ulifanya vizuri kipindi hicho. Massamba alitoa taarifa hiyo usiku wa Ijumaa, tarehe 13 Februari 2026, alipohudhuria hafla ya uzinduzi wa albamu “Inganzo Ntahangarwa” ya Msanii Yvan Muziki. Akiwa jukwaani pamoja na Kidum, Massamba hakuweza kuficha hisia zake. Alisisitiza kuwa anamshukuru sana Kidum kwa mchango wake mkubwa katika safari yake ya muziki. Massamba alisema: “Namshukuru sana Kidum kwa mchango wake katika safari yangu ya muziki. Amenisaidia kupata ujasiri wa kupeleka kazi zangu studio na kuziwasilisha katika viwango vya kimataifa.” Kauli hiyo ilishangiliwa na mashabiki waliokuwa ukumbini, wakionesha matumaini makubwa juu ya albamu hiyo inayotarajiwa kuleta ladha ya kipekee kwa Wapenzi wa muziki wa zamani na wa kisasa. Kwa kuzingatia historia yao ndefu jukwaani, Wachambuzi wa muziki wanaamini kuwa albamu hiyo itakuwa daraja la kuunganisha mitindo tofauti ya muziki wa jadi wa Rwanda na ladha ya kimataifa inayobebwa na Kidum. Mpango huu unatarajiwa kuimarisha zaidi ushirikiano wa Wasanii wa kanda ya Afrika Mashariki, huku ukitoa ujumbe wa mshikamano na urafiki kupitia sanaa. Mashabiki sasa wanasubiri kwa hamu kutangazwa kwa tarehe rasmi ya uzinduzi wa albamu hiyo, ambayo tayari imeanza kuvutia mjadala mpana katika mitandao ya kijamii hasa Nchini Rwanda. Toa maoni yako #Habari
    0 Commentaires 0 Parts 181 Vue
  • https://www.liwadesertsafaris.com/packages/liwa-festival-desert-safari
    https://www.liwadesertsafaris.com/packages/liwa-festival-desert-safari
    WWW.LIWADESERTSAFARIS.COM
    Liwa Festival Desert Safari 2025–2026 |VIP Camel Racing & Heritage Tour
    Explore Liwa Festival 2025–2026 with VIP access to camel shows, camel races, falconry demos, artisan markets and dune adventures. Reserve your all‑season tour now!
    0 Commentaires 0 Parts 575 Vue
  • https://www.liwadesertsafaris.com/packages/evening-liwa-desert-safari
    https://www.liwadesertsafaris.com/packages/evening-liwa-desert-safari
    WWW.LIWADESERTSAFARIS.COM
    Evening Liwa Desert Safari with stargazing | Oasis Sunset Tour
    Special Evening Desert safari in Liwa and a stunning Oasis sunset view. Best for families and groups looking for adventure, relaxation desert tour
    0 Commentaires 0 Parts 641 Vue
  • https://www.liwadesertsafaris.com/packages/liwa-overnight-desert-safari
    https://www.liwadesertsafaris.com/packages/liwa-overnight-desert-safari
    WWW.LIWADESERTSAFARIS.COM
    Liwa Overnight Desert Safari – Book Oasis Camp in Rub’al Khali
    Book an Overnight Liwa Desert Safari from Abu Dhabi – Explore the luxury camp stays, Seasonal Stargazing in the Oasis, Sunrise at Tal Moreb and cultural moments
    0 Commentaires 0 Parts 531 Vue
  • https://www.liwadesertsafaris.com/packages/liwa-full-day-desert-safari
    https://www.liwadesertsafaris.com/packages/liwa-full-day-desert-safari
    WWW.LIWADESERTSAFARIS.COM
    Liwa Desert Safari from Abu Dhabi | Full-Day Desert Tour
    Explore the Liwa Desert in the Empty Quarter on a full-day safari from Abu Dhabi with dune bashing and an oasis picnic. Book now for a limited-time offer rate!
    0 Commentaires 0 Parts 506 Vue
  • https://www.liwadesertsafaris.com
    https://www.liwadesertsafaris.com
    WWW.LIWADESERTSAFARIS.COM
    Liwa Desert Safari Abu Dhabi | Book Oasis & Dune Adventure
    Experience the Liwa Desert Safari tour with sunset views, Tal Moreeb dunes, and the vast Empty Quarter. Book your Abu Dhabi desert adventure now!
    0 Commentaires 0 Parts 490 Vue
  • Arnold Schwarzenegger awasilisha mpango wa kuokoa demokrasia Marekani.

    Mwigizaji Nguli wa Hollywood na Gavana wa zamani wa Jimbo la California, Arnold Schwarzenegger, ameibuka na pendekezo la kina la kuimarisha demokrasia Nchini Marekani. Katika mahojiano yake kwenye kipindi maarufu cha Real Time with Bill Maher, Schwarzenegger alifichua mpango wa hatua tatu ambao anauona kama njia ya “kupatanisha pande zote mbili” yaani Republican na Democratic. Katika maelezo yake rasmi, Schwarzenegger alisema:

    “Tunapaswa kutangaza Siku ya Uchaguzi kuwa likizo ya kitaifa, kuhakikisha kuwa ramani za kisiasa zinatengenezwa na tume huru zisizoegemea upande wowote, na kuimarisha mifumo ya utambulisho wa wapiga kura.”

    Mpango huu, ambao una lengo la kuhamasisha ushiriki mpana wa Wananchi na kulinda uadilifu wa chaguzi, umeungwa mkono na hoja za kisera zinazoegemea misingi ya haki, usawa na uwazi.

    Schwarzenegger pia hakusita kuelezea wasiwasi wake kuhusu Pendekezo la 50 la California, akiliona kama:

    “Hila kubwa ambayo inaweza kurudisha ramani za uchaguzi mikononi mwa Wanasiasa badala ya Wataalamu huru.”

    Kwa mujibu wake, hatua hiyo ya kuruhusu Wanasiasa kushiriki katika uundwaji wa ramani ya majimbo inaweza kuathiri vibaya uwakilishi wa haki kwa Wananchi.

    Mpango huu wa Schwarzenegger una mvuto wa kipekee kwa kuwa unachanganya ushawishi wa jina kubwa na hoja nzito za kisera. Hata hivyo, utekelezaji wake unategemea mabadiliko ya kisheria, mjadala wa kina wa kitaifa, na maridhiano kati ya vyama viwili vikuu vya siasa.

    Kwa mujibu wa Wachambuzi wa siasa za Marekani, hoja za Schwarzenegger zinaibua maswali mapana kuhusu:

    - Usawa katika chaguzi,
    - Usalama wa mfumo wa upigaji kura,
    - Na mwelekeo wa demokrasia ya Marekani kwa vizazi vijavyo.

    Mpaka sasa, bado haijajulikana iwapo pendekezo hili litaungwa mkono na Wabunge, lakini bila shaka, Schwarzenegger amejipambanua tena, safari hii siyo kwenye sinema au siasa za majimbo tu, bali kwenye uwanja mpana wa mustakabali wa kidemokrasia wa taifa lake.
    Arnold Schwarzenegger awasilisha mpango wa kuokoa demokrasia Marekani. Mwigizaji Nguli wa Hollywood na Gavana wa zamani wa Jimbo la California, Arnold Schwarzenegger, ameibuka na pendekezo la kina la kuimarisha demokrasia Nchini Marekani. Katika mahojiano yake kwenye kipindi maarufu cha Real Time with Bill Maher, Schwarzenegger alifichua mpango wa hatua tatu ambao anauona kama njia ya “kupatanisha pande zote mbili” yaani Republican na Democratic. Katika maelezo yake rasmi, Schwarzenegger alisema: “Tunapaswa kutangaza Siku ya Uchaguzi kuwa likizo ya kitaifa, kuhakikisha kuwa ramani za kisiasa zinatengenezwa na tume huru zisizoegemea upande wowote, na kuimarisha mifumo ya utambulisho wa wapiga kura.” Mpango huu, ambao una lengo la kuhamasisha ushiriki mpana wa Wananchi na kulinda uadilifu wa chaguzi, umeungwa mkono na hoja za kisera zinazoegemea misingi ya haki, usawa na uwazi. Schwarzenegger pia hakusita kuelezea wasiwasi wake kuhusu Pendekezo la 50 la California, akiliona kama: “Hila kubwa ambayo inaweza kurudisha ramani za uchaguzi mikononi mwa Wanasiasa badala ya Wataalamu huru.” Kwa mujibu wake, hatua hiyo ya kuruhusu Wanasiasa kushiriki katika uundwaji wa ramani ya majimbo inaweza kuathiri vibaya uwakilishi wa haki kwa Wananchi. Mpango huu wa Schwarzenegger una mvuto wa kipekee kwa kuwa unachanganya ushawishi wa jina kubwa na hoja nzito za kisera. Hata hivyo, utekelezaji wake unategemea mabadiliko ya kisheria, mjadala wa kina wa kitaifa, na maridhiano kati ya vyama viwili vikuu vya siasa. Kwa mujibu wa Wachambuzi wa siasa za Marekani, hoja za Schwarzenegger zinaibua maswali mapana kuhusu: - Usawa katika chaguzi, - Usalama wa mfumo wa upigaji kura, - Na mwelekeo wa demokrasia ya Marekani kwa vizazi vijavyo. Mpaka sasa, bado haijajulikana iwapo pendekezo hili litaungwa mkono na Wabunge, lakini bila shaka, Schwarzenegger amejipambanua tena, safari hii siyo kwenye sinema au siasa za majimbo tu, bali kwenye uwanja mpana wa mustakabali wa kidemokrasia wa taifa lake.
    0 Commentaires 0 Parts 1KB Vue
  • Ac Millan bila Leao wana Christian Pulisic mwamba anaweka sana tangia ajiunge na Milan msimu wa 23/24 amekuwa na takwimu bora sana kila msimu anakupa magoli 10+

    Kwenye mchezo wa jana ameanza safari yake ya kutafuta goals 10+ msimu huu akiwasadia Millan kushinda 2-0 dhidi ya Lecce : Chelsea hichi chuma kwanini mlikiondoa pale darajani ? Mbona ni mtu sana au mlishindwa kumvumilia Captain America

    Au Seria A ni ligi nyepesi sana ?

    #SportsElite
    🚨🚨Ac Millan bila Leao wana Christian Pulisic mwamba anaweka sana tangia ajiunge na Milan msimu wa 23/24 amekuwa na takwimu bora sana kila msimu anakupa magoli 10+ 🙌 Kwenye mchezo wa jana ameanza safari yake ya kutafuta goals 10+ msimu huu akiwasadia Millan kushinda 2-0 dhidi ya Lecce : Chelsea hichi chuma kwanini mlikiondoa pale darajani ? Mbona ni mtu sana 😀 au mlishindwa kumvumilia Captain America 😎 Au Seria A ni ligi nyepesi sana ? #SportsElite
    0 Commentaires 0 Parts 1KB Vue
  • JUST IN: Simba wamemsajili beki wa kati wa Mamelodi,Rushine De Reuck (29) kwa mkataba wa mwaka mmoja.

    Beki huyo mwenye umri wa miaka 29 alitumia kipindi cha pili cha msimu uliopita kwa mkopo katika klabu ya Maccabi Petah Tikva ya Israel ambapo alishiriki katika michezo minne,na sasa ataanza safari mpya baada ya miaka minne na Sundowns.

    Alijiunga na Masandawana kama Beki Bora wa Msimu wa Ligi Kuu ya Soka, wakati akiwa na Maritzburg United,mwaka 2021, ambako alikuwa akifanya kazi chini ya Kocha Mkuu wa sasa wa Simba, Fadlu Davids.


    #SportsElite
    🚨🚨 JUST IN: Simba wamemsajili beki wa kati wa Mamelodi,Rushine De Reuck (29) kwa mkataba wa mwaka mmoja. Beki huyo mwenye umri wa miaka 29 alitumia kipindi cha pili cha msimu uliopita kwa mkopo katika klabu ya Maccabi Petah Tikva ya Israel 🇮🇱ambapo alishiriki katika michezo minne,na sasa ataanza safari mpya baada ya miaka minne na Sundowns. Alijiunga na Masandawana kama Beki Bora wa Msimu wa Ligi Kuu ya Soka, wakati akiwa na Maritzburg United,mwaka 2021, ambako alikuwa akifanya kazi chini ya Kocha Mkuu wa sasa wa Simba, Fadlu Davids. #SportsElite
    0 Commentaires 0 Parts 795 Vue
  • Marcus Rashford ameanza safari kuelekea Spain kukamilisha taratibu zote za uhamisho wake kujiunga na Fc Barcelona.

    Rashford

    #SportsElite
    Marcus Rashford ameanza safari kuelekea Spain kukamilisha taratibu zote za uhamisho wake kujiunga na Fc Barcelona. Rashford ✈️ #SportsElite
    0 Commentaires 0 Parts 540 Vue


  • Klabu Ya Fc Barcelona Imetuma Ofa Kwenda Kwa Manchester United Juu Ya Kumsajili Mshambuliaji Wao Na Taifa La Uingereza Marcus Rashford Mwenye Umri Wa Miaka 29.

    Barcelona Wametuma Ofa Ya Kumsajili Kwa Mkopo na Chaguo La Kumnunua Moja Kwa Moja Kama Wataridhishwa Nae.

    Tangu Mwezi June Marcus Alikuwa Anasubiria Ofa Hiyo Ya fc Barcelona Na Alikubali Kuhamia Huko Hispania.

    ILE SAFARI YA MANCHESTER UNITED INAENDA KUKATA KAMBA MUDA SIO MREFU

    #SportsElite
    Klabu Ya Fc Barcelona Imetuma Ofa Kwenda Kwa Manchester United Juu Ya Kumsajili Mshambuliaji Wao Na Taifa La Uingereza Marcus Rashford Mwenye Umri Wa Miaka 29. Barcelona Wametuma Ofa Ya Kumsajili Kwa Mkopo na Chaguo La Kumnunua Moja Kwa Moja Kama Wataridhishwa Nae. Tangu Mwezi June Marcus Alikuwa Anasubiria Ofa Hiyo Ya fc Barcelona Na Alikubali Kuhamia Huko Hispania. ILE SAFARI YA MANCHESTER UNITED INAENDA KUKATA KAMBA MUDA SIO MREFU🥶 #SportsElite
    0 Commentaires 0 Parts 581 Vue
  • 𝐓𝐎𝐅𝐀𝐋𝐈 𝐋𝐀 𝐔𝐁𝐈𝐍𝐆𝐖𝐀👊🏼 Hii ni Yetu wote WANANCHI.

    HIi ni Kampeni Kubwa itakayobeba Safari yetu ya MAFANIKIO Msimu wa 2025/26.

    Kila shabiki wa @yangasc Duniani atatakiwa kununua 𝐓𝐎𝐅𝐀𝐋𝐈 𝐋𝐀 𝐔𝐁𝐈𝐍𝐆𝐖𝐀 kwa Kulipa Ada ya Mwaka ya Uwanachama wa Klabu Yetu.

    MALENGO ni kupata MATOFALI MILIONI 1 kwa Wanayanga watakaolipia Ada zao kwa njia ya Kimtandao.

    Tukifanikisha hili, Tutakuwa tumefanikisha MAMBO MAKUBWA MAWILI Wanayanga wenzangu

    1: Tumepata HELA ya kufanya USAJILI MKUBWA utakaotupa Timu Bora zaidi ya ilivyokuwa Msimu huu.

    2: Tumepata Bajeti nzuri ya kuiwezesha @yangasc Yetu kushindana kikamilifu katika mashindano Yote [Ya ndani na Yale ya CAF].

    𝐓𝐎𝐅𝐀𝐋𝐈 𝐋𝐀 𝐔𝐁𝐈𝐍𝐆𝐖𝐀 Litauzwa Tsh 24,000

    Tuhakikishe kuanzia kesho Kila Mwanayanga awe Na 𝐓𝐎𝐅𝐀𝐋𝐈 𝐋𝐀 𝐔𝐁𝐈𝐍𝐆𝐖𝐀 ili Tuijenge kwa Pamoja YANGA BINGWA MSIMU UJAO👊🏼

    Daima Mbele Nyuma Mwiko.
    𝐓𝐎𝐅𝐀𝐋𝐈 𝐋𝐀 𝐔𝐁𝐈𝐍𝐆𝐖𝐀👊🏼 Hii ni Yetu wote WANANCHI. HIi ni Kampeni Kubwa itakayobeba Safari yetu ya MAFANIKIO Msimu wa 2025/26. Kila shabiki wa @yangasc Duniani atatakiwa kununua 𝐓𝐎𝐅𝐀𝐋𝐈 𝐋𝐀 𝐔𝐁𝐈𝐍𝐆𝐖𝐀 kwa Kulipa Ada ya Mwaka ya Uwanachama wa Klabu Yetu. MALENGO ni kupata MATOFALI MILIONI 1 kwa Wanayanga watakaolipia Ada zao kwa njia ya Kimtandao. Tukifanikisha hili, Tutakuwa tumefanikisha MAMBO MAKUBWA MAWILI Wanayanga wenzangu 1: Tumepata HELA ya kufanya USAJILI MKUBWA utakaotupa Timu Bora zaidi ya ilivyokuwa Msimu huu. 2: Tumepata Bajeti nzuri ya kuiwezesha @yangasc Yetu kushindana kikamilifu katika mashindano Yote [Ya ndani na Yale ya CAF]. 𝐓𝐎𝐅𝐀𝐋𝐈 𝐋𝐀 𝐔𝐁𝐈𝐍𝐆𝐖𝐀 Litauzwa Tsh 24,000 ✅ Tuhakikishe kuanzia kesho Kila Mwanayanga awe Na 𝐓𝐎𝐅𝐀𝐋𝐈 𝐋𝐀 𝐔𝐁𝐈𝐍𝐆𝐖𝐀 ili Tuijenge kwa Pamoja YANGA BINGWA MSIMU UJAO👊🏼 Daima Mbele Nyuma Mwiko🔰.
    Like
    1
    0 Commentaires 0 Parts 1KB Vue
  • Cassius Mailula aaga rasmi Wydad AC ⚪️

    Mshambuliaji kutoka Afrika Kusini, Cassius Mailula, ameaga rasmi klabu ya Wydad AC baada ya mkopo wake kutoka Toronto FC kumalizika.

    Mailula ameushukuru uongozi wa klabu, wachezaji wenzake, na mashabiki wa Wydad kwa sapoti waliompa katika kipindi chake kifupi lakini chenye kumbukumbu ya kipekee jijini Casablanca.

    Tunamtakia kila la heri anaporejea Toronto FC kuendelea na safari yake ya soka.

    #DimaWydad #WydadAC #CassiusMailula #SokaLaAfrika #TorontoFC #HabariZaSoka

    #SportsElite
    🔚 Cassius Mailula aaga rasmi Wydad AC 🔴⚪️ Mshambuliaji kutoka Afrika Kusini, Cassius Mailula, ameaga rasmi klabu ya Wydad AC baada ya mkopo wake kutoka Toronto FC kumalizika. Mailula ameushukuru uongozi wa klabu, wachezaji wenzake, na mashabiki wa Wydad kwa sapoti waliompa katika kipindi chake kifupi lakini chenye kumbukumbu ya kipekee jijini Casablanca. Tunamtakia kila la heri anaporejea Toronto FC kuendelea na safari yake ya soka. 🇿🇦⚽ #DimaWydad #WydadAC #CassiusMailula #SokaLaAfrika #TorontoFC #HabariZaSoka #SportsElite
    Like
    1
    0 Commentaires 0 Parts 2KB Vue
  • SAFARI YA ZANZIBAR
    SAFARI YA ZANZIBAR
    Love
    Like
    3
    0 Commentaires 0 Parts 1KB Vue
  • Privaldinho akijibu hoja pichani.

    "Biashara ya usemaji sio kama biashara ya matikitiki.

    Media ni kiungo muhimu sana kinachounganisha Idara ya Masoko na wanachama na mashibiki
    Idara ya Masoko na Wadau
    Idara ya masoko na jamii

    Usemaji ni zaidi ya tambo za mitandaoni mnazoona.

    Tumefanya activations nyingi sana ambazo msimamizi mkuu ni Ally Kamwe akishirikiana na @i_sammjr

    Ally Kamwe alianzisha match day treatment and agenda, Mfano Aziz Ki Day. Baadae wadau wakaweka fedha kwenye mechi za Bacca Day, Muda Day, Max Day na Pacome Day tulipaka bleech

    Tulipata wadau kama vile, ZIC, ZIPA PZB na CRDB. CRDB walisupport safari yetu ya kwenda Afrika Kusini Twenzetu kwa madiba ambapo Ally Kamwe aliongoza kampeni hiyo kupitia Azam TV.

    Ally Kamwe akaanzisha kampeni ya kupeleka mashabiki Rwanda na DR Congo ambazo zote ni ilikuwa media agenda, na klabu ilikusanya zaidi ya 100m.

    Tulipata dili za Visit Zanzibar ni moja ya dili kubwa sana ambapo klabu imeingiza zaidi ya milion 500. Dili hili limekuja kutokana na hamasa kubwa ya media ambayo imeongozwa na Ally Kamwe

    Supu Day ilidhaminiwa na Sportpesa na GSM klabu iliingiza zaidi ya milion 30. Kitabu, Documentary kote huku tumeingiza mamilion ya fedha.

    Tulikuwa na Public viewing hapa Jangwan tukiwa na GSM, Haier ambapo klabu iliingiza fedha kupitia hilo na yote hayo ilikuwa media agenda.

    Ukiachana na Hamasa ya media, kupitia idara ya media fedha nyingi zimeingia moja kwa moja chini ya usimamizi wa Msemaji wetu.

    Yanga SC inaingiza mamilion ya fedha kila mwezi kupitia Yanga APP ambapo hivi karibu tumekusanya zaidi ya milion 300 kupitia APP

    Yanga ndio klabu namba moja kwa views zaidi kupitia ukurasa wa Youtube barani AFRIKA ikiwa na views 221m. Huku YouTube kila mwezi Yanga inaingiza mamilion ya fedha.

    Media ya Yanga ndio imepush agenda kubwa ya usajili wa wanachama kwa klabu ambapo kwa mwaka tumekuwa na wastani Tsh 1 bilion kwenye zoezi ya usajili.

    Unaposema wasemaji unapaswa kumuondoa Ally Kamwe kwanza kisha ujadili hao wanaobakia.

    Hamasa ni hela. Tunaongelea Hamasa sio comedy. Kazi kubwa ambayo ameifanya Ally Kamwe imeiingizia Yanga mabilion ya hela. Tumeondoka kwenye Hamasa zaidi Makelele tukafanya biashara" - Privaldinho, Mkuu wa kitengo cha maudhui wa klabu ya Yanga SC.

    Privaldinho akijibu hoja pichani. "Biashara ya usemaji sio kama biashara ya matikitiki. Media ni kiungo muhimu sana kinachounganisha Idara ya Masoko na wanachama na mashibiki Idara ya Masoko na Wadau Idara ya masoko na jamii Usemaji ni zaidi ya tambo za mitandaoni mnazoona. Tumefanya activations nyingi sana ambazo msimamizi mkuu ni Ally Kamwe akishirikiana na @i_sammjr Ally Kamwe alianzisha match day treatment and agenda, Mfano Aziz Ki Day. Baadae wadau wakaweka fedha kwenye mechi za Bacca Day, Muda Day, Max Day na Pacome Day tulipaka bleech Tulipata wadau kama vile, ZIC, ZIPA PZB na CRDB. CRDB walisupport safari yetu ya kwenda Afrika Kusini Twenzetu kwa madiba ambapo Ally Kamwe aliongoza kampeni hiyo kupitia Azam TV. Ally Kamwe akaanzisha kampeni ya kupeleka mashabiki Rwanda na DR Congo ambazo zote ni ilikuwa media agenda, na klabu ilikusanya zaidi ya 100m. Tulipata dili za Visit Zanzibar ni moja ya dili kubwa sana ambapo klabu imeingiza zaidi ya milion 500. Dili hili limekuja kutokana na hamasa kubwa ya media ambayo imeongozwa na Ally Kamwe Supu Day ilidhaminiwa na Sportpesa na GSM klabu iliingiza zaidi ya milion 30. Kitabu, Documentary kote huku tumeingiza mamilion ya fedha. Tulikuwa na Public viewing hapa Jangwan tukiwa na GSM, Haier ambapo klabu iliingiza fedha kupitia hilo na yote hayo ilikuwa media agenda. Ukiachana na Hamasa ya media, kupitia idara ya media fedha nyingi zimeingia moja kwa moja chini ya usimamizi wa Msemaji wetu. Yanga SC inaingiza mamilion ya fedha kila mwezi kupitia Yanga APP ambapo hivi karibu tumekusanya zaidi ya milion 300 kupitia APP Yanga ndio klabu namba moja kwa views zaidi kupitia ukurasa wa Youtube barani AFRIKA ikiwa na views 221m. Huku YouTube kila mwezi Yanga inaingiza mamilion ya fedha. Media ya Yanga ndio imepush agenda kubwa ya usajili wa wanachama kwa klabu ambapo kwa mwaka tumekuwa na wastani Tsh 1 bilion kwenye zoezi ya usajili. Unaposema wasemaji unapaswa kumuondoa Ally Kamwe kwanza kisha ujadili hao wanaobakia. Hamasa ni hela. Tunaongelea Hamasa sio comedy. Kazi kubwa ambayo ameifanya Ally Kamwe imeiingizia Yanga mabilion ya hela. Tumeondoka kwenye Hamasa zaidi Makelele tukafanya biashara" - Privaldinho, Mkuu wa kitengo cha maudhui wa klabu ya Yanga SC.
    Like
    Love
    2
    0 Commentaires 0 Parts 2KB Vue