• Baada ya Kuitwa kwenye Kikosi cha Timu ya Taifa ya Hispania ..Ghafla taarifa kutoka vyombo vya Spain Kama Mundo ni kuwa Lamine Yamal amepata majeraha / Maumivu katika Jeraha ambalo lilikuwa limemuweka nje anaweza kuwa nje week moja mpaka mbili .

    Ikumbukwe kocha Mkuu wa Barcelona alitoa malalamiko yake kwa Kocha Mkuu wa Hispania kuwa Pamoja na Kujua Dogo alikuwa na maumivu bado alimchezesha na kumlaumu kwa kushindwa kulinda Vipaji vya wachezaji .

    Jibu la Kocha wa Hispania lilikuwa "Timu ndiyo inapaswa kulinda Afya ya mchezaji ..kwenye timu taifa hakuna mapumziko mchezaji muhimu atacheza kila mechi"

    Jana Pia Kocha Huyo alipoulizwa Kuhusu kuitwa kwa Yamal na Maneno ya Kocha wa Barcelona alijibu kuwa hakumbuki Flick alichosema .

    Pamoja na Kwamba Mchezaji inasemekana ana majeraha bado inasemekana atatakiwa kwenda Kufanya Vipimo na Madaktar wa timu ya taifa ili kujiridhisha na Jeraha lake

    #SportsElite
    Baada ya Kuitwa kwenye Kikosi cha Timu ya Taifa ya Hispania ..Ghafla taarifa kutoka vyombo vya Spain Kama Mundo ni kuwa Lamine Yamal amepata majeraha / Maumivu katika Jeraha ambalo lilikuwa limemuweka nje anaweza kuwa nje week moja mpaka mbili 😎. Ikumbukwe kocha Mkuu wa Barcelona alitoa malalamiko yake kwa Kocha Mkuu wa Hispania kuwa Pamoja na Kujua Dogo alikuwa na maumivu bado alimchezesha na kumlaumu kwa kushindwa kulinda Vipaji vya wachezaji . Jibu la Kocha wa Hispania lilikuwa "Timu ndiyo inapaswa kulinda Afya ya mchezaji ..kwenye timu taifa hakuna mapumziko mchezaji muhimu atacheza kila mechi" Jana Pia Kocha Huyo alipoulizwa Kuhusu kuitwa kwa Yamal na Maneno ya Kocha wa Barcelona alijibu kuwa hakumbuki Flick alichosema 😅😅. Pamoja na Kwamba Mchezaji inasemekana ana majeraha bado inasemekana atatakiwa kwenda Kufanya Vipimo na Madaktar wa timu ya taifa ili kujiridhisha na Jeraha lake #SportsElite
    0 Commentarii 0 Distribuiri 999 Views
  • Ofa ya klabu ya £25m ya Real Betis ilikubaliwa na Man United Kuhusu kumsajili Antony na tayari Man United ilimpa ruhusa Antony kusafiri kuelekea Spain

    Lakini saa chache baadae Real Betis imebadilishaa msimamo wake na kujiondoa kwenye mazungumzo wakidai kuwa mshahara wa Antony ni mkubwa hivyo hawataweza vinginevyo Man United wapungize Bei ya Antony au Antony apunguze Mshahara wake. .

    Source Ben Jacobs

    #SportsElite
    🚨 Ofa ya klabu ya £25m ya Real Betis ilikubaliwa na Man United Kuhusu kumsajili Antony na tayari Man United ilimpa ruhusa Antony kusafiri kuelekea Spain Lakini saa chache baadae Real Betis imebadilishaa msimamo wake na kujiondoa kwenye mazungumzo wakidai kuwa mshahara wa Antony ni mkubwa hivyo hawataweza vinginevyo Man United wapungize Bei ya Antony au Antony apunguze Mshahara wake. 🥴🇧🇷. Source Ben Jacobs #SportsElite
    0 Commentarii 0 Distribuiri 707 Views
  • BREAKING

    Baada ya kufanya biashara ya faida kwa mauzo ya mshambuliaji Gyokeres aliyetimkia Arsenal, klabu ya Sporting Lisbon imefanikiwa kunasa saini ya mbadala wake.

    Sporting Lisbon imekamilisha usajili wa mshambuliaji Luis Javier Suarez(27) kutokea Almeria ya Spain kwa dau la €22M.

    Akiwa na Almeria msimu uliopita Suarez alihusika kwenye magoli 35 akifunga 27 na kutoa pasi 8 za magoli kwenye michezo 41 ya La Liga 2.

    #SportsElite
    🚨 BREAKING Baada ya kufanya biashara ya faida kwa mauzo ya mshambuliaji Gyokeres aliyetimkia Arsenal, klabu ya Sporting Lisbon imefanikiwa kunasa saini ya mbadala wake. Sporting Lisbon imekamilisha usajili wa mshambuliaji Luis Javier Suarez(27) kutokea Almeria ya Spain kwa dau la €22M. Akiwa na Almeria msimu uliopita Suarez alihusika kwenye magoli 35 akifunga 27 na kutoa pasi 8 za magoli kwenye michezo 41 ya La Liga 2. #SportsElite
    0 Commentarii 0 Distribuiri 529 Views
  • Marcus Rashford ameanza safari kuelekea Spain kukamilisha taratibu zote za uhamisho wake kujiunga na Fc Barcelona.

    Rashford

    #SportsElite
    Marcus Rashford ameanza safari kuelekea Spain kukamilisha taratibu zote za uhamisho wake kujiunga na Fc Barcelona. Rashford ✈️ #SportsElite
    0 Commentarii 0 Distribuiri 402 Views
  • Ranki za FIFA

    1. Argentina
    2. Spain
    3. France
    4. England
    5. Brazil
    6. Portugal
    7. Netherlands
    8. Belgium
    9. Germany
    10. Croatia
    🚨 Ranki za FIFA 1. Argentina 🇦🇷 2. Spain 🇪🇸 3. France 🇫🇷 4. England 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 5. Brazil 🇧🇷 6. Portugal 🇵🇹 7. Netherlands 🇳🇱 8. Belgium 🇧🇪 9. Germany 🇩🇪 10. Croatia 🇭🇷
    0 Commentarii 0 Distribuiri 466 Views
  • Match Day | SEMI FINAL

    ⚪️ UEFA Nations League

    Ⓜ  Spain France
      Midnight
    EAT | 22:00 PM
    EAT | 22:00 PM
      IND | 12:30 AM
      UAE | 11:00 PM
    ZIM | 09:00 PM
    GMT | 19:00
      Live Link
    https://duduumendez.xyz/service/football-streaming-match


    𝗠𝗼𝗿𝗲 𝗠𝗮𝘁𝗰𝗵𝗲𝘀:
    ⚪️ World Cup Qualification CONMEBOL

    Ecuador Vs Brazil 02:00 EAT
    Paraguay Vs Uruguay 02:00 EAT
    Chile Vs Argentina 04:00 EAT
      https://duduumendez.xyz/service/football-streaming-match

    #Share

    𝐃𝐔𝐃𝐔𝐔_𝐌𝐄𝐍𝐃𝐄𝐙 V5
    ▶︎ ●────────── 0:41
    ⚡ Match Day | SEMI FINAL ✨ ⚪️🟢 UEFA Nations League Ⓜ  Spain 🇪🇸 🆚 France 🇫🇷 📅  Midnight 🇹🇿 EAT | 22:00 PM 🇰🇪 EAT | 22:00 PM 🇮🇳  IND | 12:30 AM 🇦🇪  UAE | 11:00 PM 🇿🇼 ZIM | 09:00 PM 🌎 GMT | 19:00 📺  Live Link 👉 https://duduumendez.xyz/service/football-streaming-match 🔴🔴 𝗠𝗼𝗿𝗲 𝗠𝗮𝘁𝗰𝗵𝗲𝘀: ⚪️🟢 World Cup Qualification CONMEBOL Ecuador 🇪🇨 Vs Brazil 🇧🇷 02:00 EAT Paraguay 🇵🇾 Vs Uruguay 🇺🇾 02:00 EAT Chile 🇨🇱 Vs Argentina 🇦🇷 04:00 EAT 👉  https://duduumendez.xyz/service/football-streaming-match #Share ⚽🔜 𝐃𝐔𝐃𝐔𝐔_𝐌𝐄𝐍𝐃𝐄𝐙 V5 ▶︎ ●────────── 0:41
    0 Commentarii 0 Distribuiri 1K Views
  • POUL POGBA NDIYE ALIMPAMBANIA AMAD KUREJEA MANCHESTER UNITED

    Kiungo Fundi Mwenye Asili ya Guinea Poul Labile Pogba Ndiye aliempambania Winga Amad Dialo kurejea Kwenye Kikosi Cha Manchester United.

    AMAD DIALO Alisajiliwa na Manchester United mnamo Januari 2021, alijiunga na klabu ya Uingereza ya Manchester United, akitokea Atalanta ya Nchini Italy.

    Kutokana na kiwango alichokua nacho Amad Dialo hakikua kizuri Kocha wa United kipindi hicho Ole Gunnar Solskjær aliuambia Uongozi Amad Atolewee kwa Mkopo kitu Ambacho Marcus Rashford Pamoja na Pogba Waliweka Upingamizi lakini alitolewa kwa Mkopo na Kwenda Rangers .

    Michael Carrick alipopewa Nafasi ya kukinoa Kikosi Cha United kwa muda Pogba na Marcus Rashford walimwambia asaidie Amad kurejea Kikosini na Carick kabla hajaondoka alitoa pendekezo hilo na Amad alirejea kama Kipaji na Eric Ten Hag alivyokua Kocha wa Manchester United alikua Hana mamlaka ya kumuondoa Amad licha ya kua alikua akimweka Benchi lakini Amd aliisaidia United hata akitokea Benchi.

    Aliwafunga Liverpool robo Fainali kwenda Nusu Fainali ya FA na United wakashinda Kombe hilo mbele ya Manchester City.

    Licha ya Marcus Rashford na Pogba kutokua na Maelewano na Makocha wa Manchester United wapya kwakua mara nyingi hupishana Kauli na Namna ya kuendesha timu lakini Amad Dialo aliambiwa akomae apambane na yeye ni Manchester United.

    Hata hivyo Amad Dialo tangu akiwa mdogo alikua ni Shabiki Wa Chelsea na Real Madrid

    Amezaliwa: July 11, 2002 (age 22 years), Jijini Abidjan, Nchini Côte d’Ivoire mama yake ni Mzungu wa Italian mama yake ni Mwafrica wa Ivorcost 🇨🇮 AMAD DIALO amekulia sana kwao na mama yake kwa Sababu upande wa baba yake walikua hawamtaki kwa kile kilichosemekana kua yeye sio mzungu hivyo mimba ilitokea bahati Mbaya.

    Mpaka hapo baadae baba yake alivyomchukua na kumpeleka Kwao Italy na kuanza maisha na Mwanae na ndipo alipompeleka Shule ya Mpira ya Atalanta ambayo ni Klabu anayoishabikia pia baba yake na Amad Diallo ni Mwananchi wa Italy mwenye Asili ya Spain.

    AMAD DIALO kutokana na kukulia kwa mama yake Lugha anayoifahamu ni Kifaransa pia ana Uraia wa Nchi ya mama yake kwa Sababu ya mama yake kumpambania licha ya kidogo alichokipata Amad ni kaka wa Mdogo wake wa kike ambaye alimwacha kwa mama yake.

    Moja ya Ahadi ambayo Amad Diallo aliwahi kumuahidi mama yake ni kua atarudi kama mtu mkubwa na atarudi kumsaidia na ataichezea Nchi yake mama yake na atajitumaa sana.

    Kukubali Kujiunga na Manchester United na kuikata Chelsea ni kwa Sababu mama yake Mzazi anashabikia klabu hiyo ya Manchester United tangu akiwa Binti wa miaka 15 .

    Mama yake dini yake ni Muslim hivyo na Amad Diallo alichagua Upande wa mama yake pia aliwahi kusema anacheza kwa bidi kwenye Kila mechi anayopangwa kwa sababu mama yake Mzazi anakua Africa akimtazama ndani ya Klabu yake.

    Mara nyingi alikua akionekana na Marcus Rashford kwenye mazoezi binafsi ya Gym na mara Nyingi amekua akipokea ushauri kutoka kwa Pogba ambaye aliondolewa Manchester United.

    #JeWajua
    POUL POGBA NDIYE ALIMPAMBANIA AMAD KUREJEA MANCHESTER UNITED Kiungo Fundi Mwenye Asili ya Guinea Poul Labile Pogba Ndiye aliempambania Winga Amad Dialo kurejea Kwenye Kikosi Cha Manchester United. AMAD DIALO Alisajiliwa na Manchester United mnamo Januari 2021, alijiunga na klabu ya Uingereza ya Manchester United, akitokea Atalanta ya Nchini Italy. Kutokana na kiwango alichokua nacho Amad Dialo hakikua kizuri Kocha wa United kipindi hicho Ole Gunnar Solskjær aliuambia Uongozi Amad Atolewee kwa Mkopo kitu Ambacho Marcus Rashford Pamoja na Pogba Waliweka Upingamizi lakini alitolewa kwa Mkopo na Kwenda Rangers . Michael Carrick alipopewa Nafasi ya kukinoa Kikosi Cha United kwa muda Pogba na Marcus Rashford walimwambia asaidie Amad kurejea Kikosini na Carick kabla hajaondoka alitoa pendekezo hilo na Amad alirejea kama Kipaji na Eric Ten Hag alivyokua Kocha wa Manchester United alikua Hana mamlaka ya kumuondoa Amad licha ya kua alikua akimweka Benchi lakini Amd aliisaidia United hata akitokea Benchi. Aliwafunga Liverpool robo Fainali kwenda Nusu Fainali ya FA na United wakashinda Kombe hilo mbele ya Manchester City. Licha ya Marcus Rashford na Pogba kutokua na Maelewano na Makocha wa Manchester United wapya kwakua mara nyingi hupishana Kauli na Namna ya kuendesha timu lakini Amad Dialo aliambiwa akomae apambane na yeye ni Manchester United. Hata hivyo Amad Dialo tangu akiwa mdogo alikua ni Shabiki Wa Chelsea na Real Madrid Amezaliwa: July 11, 2002 (age 22 years), Jijini Abidjan, Nchini Côte d’Ivoire mama yake ni Mzungu wa Italian mama yake ni Mwafrica wa Ivorcost 🇨🇮 AMAD DIALO amekulia sana kwao na mama yake kwa Sababu upande wa baba yake walikua hawamtaki kwa kile kilichosemekana kua yeye sio mzungu hivyo mimba ilitokea bahati Mbaya. Mpaka hapo baadae baba yake alivyomchukua na kumpeleka Kwao Italy na kuanza maisha na Mwanae na ndipo alipompeleka Shule ya Mpira ya Atalanta ambayo ni Klabu anayoishabikia pia baba yake na Amad Diallo ni Mwananchi wa Italy mwenye Asili ya Spain. AMAD DIALO kutokana na kukulia kwa mama yake Lugha anayoifahamu ni Kifaransa pia ana Uraia wa Nchi ya mama yake kwa Sababu ya mama yake kumpambania licha ya kidogo alichokipata Amad ni kaka wa Mdogo wake wa kike ambaye alimwacha kwa mama yake. Moja ya Ahadi ambayo Amad Diallo aliwahi kumuahidi mama yake ni kua atarudi kama mtu mkubwa na atarudi kumsaidia na ataichezea Nchi yake mama yake na atajitumaa sana. Kukubali Kujiunga na Manchester United na kuikata Chelsea ni kwa Sababu mama yake Mzazi anashabikia klabu hiyo ya Manchester United tangu akiwa Binti wa miaka 15 . Mama yake dini yake ni Muslim hivyo na Amad Diallo alichagua Upande wa mama yake pia aliwahi kusema anacheza kwa bidi kwenye Kila mechi anayopangwa kwa sababu mama yake Mzazi anakua Africa akimtazama ndani ya Klabu yake. Mara nyingi alikua akionekana na Marcus Rashford kwenye mazoezi binafsi ya Gym na mara Nyingi amekua akipokea ushauri kutoka kwa Pogba ambaye aliondolewa Manchester United. #JeWajua
    0 Commentarii 0 Distribuiri 2K Views
  • VIKOSI VYA GUINEA VS TANZANIA

    1. GUINEA
    Camara -Simba (Tanzania)
    Diakite -Cerce Bruggle(Belgium)
    Ibrahim Conte-UTA Arad(Romania)
    Saidou Sow -Strasbourg (France)
    Issiaga Sylla -Montpellier (France)
    Mohamed Camara-PAOK (Greece)
    Abdoulaye Toure -Le Havre(France)
    Morlaye Sylla -Arouca(Portugal)
    Seydouba Cisse-Leganese(Spain)
    Francois Kamano-Damac(Saudi Arabia)
    Serhou Guirassy -Borussia Dortmund

    2. TANZANIA
    Manula-Simba(Tanzania)
    Kapombe-Simba(Tanzania)
    Hussein-Simba(Tanzania)
    Job-Yanga(Tanzania)
    Hamad-Yanga(Tanzania)
    Yahaya-Yanga(Tanzania)
    Bitegeko-Azam(Tanzania)
    Msuva-Al Talaba(Iraq)
    Salum-Azam(Tanzania)
    Mzize-Yanga(Tanzania)
    Samatta-PAOK(Greece)

    NB; TANZANIA WAMECHUKUA POINTS 6 KUTOKA KWA GUINEA. UMEJIFUNZA NINI?
    VIKOSI VYA GUINEA VS TANZANIA 1. GUINEA Camara -Simba (Tanzania) Diakite -Cerce Bruggle(Belgium) Ibrahim Conte-UTA Arad(Romania) Saidou Sow -Strasbourg (France) Issiaga Sylla -Montpellier (France) Mohamed Camara-PAOK (Greece) Abdoulaye Toure -Le Havre(France) Morlaye Sylla -Arouca(Portugal) Seydouba Cisse-Leganese(Spain) Francois Kamano-Damac(Saudi Arabia) Serhou Guirassy -Borussia Dortmund 2. TANZANIA Manula-Simba(Tanzania) Kapombe-Simba(Tanzania) Hussein-Simba(Tanzania) Job-Yanga(Tanzania) Hamad-Yanga(Tanzania) Yahaya-Yanga(Tanzania) Bitegeko-Azam(Tanzania) Msuva-Al Talaba(Iraq) Salum-Azam(Tanzania) Mzize-Yanga(Tanzania) Samatta-PAOK(Greece) NB; TANZANIA WAMECHUKUA POINTS 6 KUTOKA KWA GUINEA. UMEJIFUNZA NINI?
    Like
    Love
    Wow
    8
    1 Commentarii 0 Distribuiri 926 Views
  • Madrid Spain
    Madrid Spain🤩😍
    Like
    Love
    Wow
    24
    6 Commentarii 2 Distribuiri 3K Views
  • Madrid City at spain how it look like this evening
    #socialpop
    Madrid City at spain how it look like this evening🤩 #socialpop
    Like
    Love
    Wow
    Yay
    22
    5 Commentarii 11 Distribuiri 1K Views
  • Mpk sasa matokeo EURO ni Spain 3-0 Croatia dkk 82
    Mpk sasa matokeo EURO ni Spain 🇪🇸 3-0 Croatia 🇭🇷 dkk 82
    Like
    Love
    2
    0 Commentarii 0 Distribuiri 701 Views
  • MECHI ZA LEO IJUMAA

    King Cup - Final:
    20:00 Al Hilal - Al Nassr

    Club Friendly:
    13:00 AS Roma - AC Milan

    Superliga - CL Final:
    19:00 FC Copenhagen - Randers FC

    Egypt Cup:
    16:00 Baladiyat El Mahalla - El Gouna
    16:00 National Bank Egypt - Petrojet

    Euro Women - Qualification:
    18:00 Austria - Iceland
    18:00 Norway - Italy
    18:30 Czech Republic - Belgium
    19:00 Denmark - Spain
    20:30 Germany - Poland
    20:30 Iceland - Sweden
    20:45 Netherlands - Finland
    21:00 England - France

    Euro Women - Qualification:
    17:00 Kosovo - Croatia
    18:00 Serbia - Slovakia
    19:00 Turkey - Azerbaijan
    19:30 Malta - Bosnia & Herzegovina
    20:00 Switzerland - Hungary
    20:05 Scotland - Israel
    20:15 Wales - Ukraine
    21:45 Portugal - Northern Ireland

    Euro Women - Qualification:
    15:00 Armenia - Kazakhstan
    17:00 Estonia - Albania
    17:00 Greece - Montenegro
    17:00 North Macedonia - Moldova
    17:45 Faroe Islands - Andorra
    18:00 Cyprus - Georgia
    18:00 Romania - Bulgaria
    18:00 Slovenia - Latvia

    #Sportsviews
    MECHI ZA LEO IJUMAA 🇸🇦 King Cup - Final: 20:00 Al Hilal - Al Nassr 🌎 Club Friendly: 13:00 AS Roma - AC Milan 🇩🇰 Superliga - CL Final: 19:00 FC Copenhagen - Randers FC 🇪🇬 Egypt Cup: 16:00 Baladiyat El Mahalla - El Gouna 16:00 National Bank Egypt - Petrojet 🇪🇺 Euro Women - Qualification: 18:00 🇦🇹 Austria - Iceland 🇮🇸 18:00 🇳🇴 Norway - Italy 🇮🇹 18:30 🇨🇿 Czech Republic - Belgium 🇧🇪 19:00 🇩🇰 Denmark - Spain 🇪🇸 20:30 🇩🇪 Germany - Poland 🇵🇱 20:30 🇮🇪 Iceland - Sweden 🇸🇪 20:45 🇳🇱 Netherlands - Finland 🇫🇮 21:00 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 England - France 🇫🇷 🇪🇺 Euro Women - Qualification: 17:00 🇽🇰 Kosovo - Croatia 🇭🇷 18:00 🇷🇸 Serbia - Slovakia 🇸🇰 19:00 🇹🇷 Turkey - Azerbaijan 🇦🇿 19:30 🇲🇹 Malta - Bosnia & Herzegovina 🇧🇦 20:00 🇨🇭 Switzerland - Hungary 🇭🇺 20:05 🏴󠁧󠁢󠁳󠁣󠁴󠁿 Scotland - Israel 🇮🇱 20:15 🏴󠁧󠁢󠁷󠁬󠁳󠁿 Wales - Ukraine 🇺🇦 21:45 🇵🇹 Portugal - Northern Ireland 🇬🇧 🇪🇺 Euro Women - Qualification: 15:00 🇦🇲 Armenia - Kazakhstan 🇰🇿 17:00 🇪🇪 Estonia - Albania 🇦🇱 17:00 🇬🇷 Greece - Montenegro 🇲🇪 17:00 🇲🇰 North Macedonia - Moldova 🇲🇩 17:45 🇫🇴 Faroe Islands - Andorra 🇦🇩 18:00 🇨🇾 Cyprus - Georgia 🇬🇪 18:00 🇷🇴 Romania - Bulgaria 🇧🇬 18:00 🇸🇮 Slovenia - Latvia 🇱🇻 #Sportsviews
    Like
    Love
    7
    3 Commentarii 0 Distribuiri 2K Views