• Yanga wamekuwa bora kwenye nyakati 2 muhimu kimbinu;

    - Turn-Overs, kuzuia vizuri na kujibu mashambulizi, moment iliyowapa magoli mawili
    - Mipira ya kutenga, moment iliyowapa magoli mawili

    Yanga walipata mtihani kwenye moment wakiwa na mpira, kwasababu;

    1. Namna Prison walivyokuwa wanazuia, wakiwa na shape ya 4-1-4-1;

    - mbele walimsimamisha Chanongo dhidi ya Bacca na Job, LAKINI target yao kubwa ilikuwa kwenye mstari wa pili wa Yanga, viungo wawili wa kati na mabeki wa pembeni

    - Kwenye mstari huo waliweka watu wanne, Tariq na Sengati dhidi ya Mudathir na Aucho, Segeja na Ngassa dhidi ya Kibwana na Kibabage

    - Hao Walizuia mstari huo wa Yanga ku-progress build up zinazanzia nyuma baada ya Job na Bacca dhidi ya Chanongo

    - Mara nyingi Aziz na Farid kushuka usawa wa viungo kuisaidia timu kusogea juu

    2. Kwenye build up play zao walikuwa na mapungufu kadhaa;

    - Ufanisi wa pasi
    - Combinations play
    - Viungo washambuliaji walipenda kucheza maeneo nje ya blocks

    Turn-Overs za Yanga zimekuwa bora kwasababu ya;

    - Ubora wa kiuzuiaji, Presha nzuri, kuwa pamoja, recovery runs bora
    - Ubora wa kujibu shambulizi, runs , kushambulia nafasi, uharaka, ufanisi was pasi za mwisho na Umaliziaji bora

    Set Plays siri kuu ni;

    - Kushinda mipira ya juu na ya pili (Aerial duels & second balls)
    - Wapigaji wazuri

    NOTE

    1: Dube magoli yanakuja na assist pia

    2: Mzize powerful runs zake kila upande akicheza ana madhara sana

    3: Ngassa kuna kipaji mule shida wenzake wapo wachache mbele

    4: Kibwana anaendelea alipoishia dhidi ya Mashujaa mpaka leo

    5: Aziz KI playmaking inaanza kurudi

    6: Bacca ameongeza magoli tena kwenye game yake

    FT: Yanga 4-0 Prisons

    πŸ‘‰ Yanga wamekuwa bora kwenye nyakati 2 muhimu kimbinu; - Turn-Overs, kuzuia vizuri na kujibu mashambulizi, moment iliyowapa magoli mawili - Mipira ya kutenga, moment iliyowapa magoli mawili πŸ‘‰ Yanga walipata mtihani kwenye moment wakiwa na mpira, kwasababu; 1. Namna Prison walivyokuwa wanazuia, wakiwa na shape ya 4-1-4-1; - mbele walimsimamisha Chanongo dhidi ya Bacca na Job, LAKINI target yao kubwa ilikuwa kwenye mstari wa pili wa Yanga, viungo wawili wa kati na mabeki wa pembeni - Kwenye mstari huo waliweka watu wanne, Tariq na Sengati dhidi ya Mudathir na Aucho, Segeja na Ngassa dhidi ya Kibwana na Kibabage - Hao Walizuia mstari huo wa Yanga ku-progress build up zinazanzia nyuma baada ya Job na Bacca dhidi ya Chanongo - Mara nyingi Aziz na Farid kushuka usawa wa viungo kuisaidia timu kusogea juu 2. Kwenye build up play zao walikuwa na mapungufu kadhaa; - Ufanisi wa pasi - Combinations play - Viungo washambuliaji walipenda kucheza maeneo nje ya blocks πŸ‘‰ Turn-Overs za Yanga zimekuwa bora kwasababu ya; - Ubora wa kiuzuiaji, Presha nzuri, kuwa pamoja, recovery runs bora - Ubora wa kujibu shambulizi, runs , kushambulia nafasi, uharaka, ufanisi was pasi za mwisho na Umaliziaji bora πŸ‘‰ Set Plays siri kuu ni; - Kushinda mipira ya juu na ya pili (Aerial duels & second balls) - Wapigaji wazuri NOTE 1: Dube magoli yanakuja na assist pia πŸ”₯ 2: Mzize powerful runs zake kila upande akicheza ana madhara sana 3: Ngassa kuna kipaji mule shida wenzake wapo wachache mbele 4: Kibwana anaendelea alipoishia dhidi ya Mashujaa mpaka leo 5: Aziz KI playmaking inaanza kurudi 6: Bacca ameongeza magoli tena kwenye game yake FT: Yanga 4-0 Prisons
    0 Comments Β·0 Shares Β·492 Views

  • ... π—–π—’π—‘π—™π—œπ—₯π— π—˜π——

    Wachezaji wa Yanga SC, Clatous Chama na Kennedy Musonda wameitwa kwenye timu ya Taifa ya Zambia, 'Chipolopolo'

    Wachezaji wa klabu za Simba na Yanga walioitwa kwenye timu zao za Taifa :

    Young Africans Sports Club (14)

    ➜ Djigui Diarra
    ➜ Aboutwalib Mshery
    ➜ Stephane Aziz Ki
    ➜ Dickson Job
    ➜ Duke Deuces Abuya
    ➜ Ibrahim Bacca
    ➜ Khalid Aucho
    ➜ Bakari Mwamnyeto
    ➜ Prince Dube
    ➜ Nickson Kibabage
    ➜ Clatous Chama
    ➜ Mudathir Yahya
    ➜ Kennedy Musonda
    ➜ Clement Mzize

    Wazawa saba na wakigeni saba.

    Simba sports Club (5) :

    ➜ Moussa Canara
    ➜ Ally Salim
    ➜ Steven Mukwala
    ➜ Zimbwe Jr
    ➜ Edwin Balua

    Wazawa watatu na wakigeni wawili.
    ... 🚨 π—–π—’π—‘π—™π—œπ—₯π— π—˜π—— Wachezaji wa Yanga SC, Clatous Chama na Kennedy Musonda wameitwa kwenye timu ya Taifa ya Zambia, 'Chipolopolo' πŸ‡ΏπŸ‡² Wachezaji wa klabu za Simba na Yanga walioitwa kwenye timu zao za Taifa : Young Africans Sports Club (14) ➜ Djigui Diarra πŸ‡²πŸ‡± ➜ Aboutwalib Mshery πŸ‡ΉπŸ‡Ώ ➜ Stephane Aziz Ki πŸ‡§πŸ‡« ➜ Dickson Job πŸ‡ΉπŸ‡Ώ ➜ Duke Deuces Abuya πŸ‡°πŸ‡ͺ ➜ Ibrahim Bacca πŸ‡ΉπŸ‡Ώ ➜ Khalid Aucho πŸ‡ΊπŸ‡¬ ➜ Bakari Mwamnyeto πŸ‡ΉπŸ‡Ώ ➜ Prince Dube πŸ‡ΏπŸ‡Ό ➜ Nickson Kibabage πŸ‡ΉπŸ‡Ώ ➜ Clatous Chama πŸ‡ΏπŸ‡² ➜ Mudathir Yahya πŸ‡ΉπŸ‡Ώ ➜ Kennedy Musonda πŸ‡ΏπŸ‡² ➜ Clement Mzize πŸ‡ΉπŸ‡Ώ ℹ️ Wazawa saba na wakigeni saba. Simba sports Club (5) : ➜ Moussa Canara πŸ‡¬πŸ‡³ ➜ Ally Salim πŸ‡ΉπŸ‡Ώ ➜ Steven Mukwala πŸ‡ΊπŸ‡¬ ➜ Zimbwe Jr πŸ‡ΉπŸ‡Ώ ➜ Edwin Balua πŸ‡ΉπŸ‡Ώ ℹ️ Wazawa watatu na wakigeni wawili.
    Like
    Love
    7
    Β· 1 Comments Β·0 Shares Β·899 Views
  • Huyu kibabage kumbe nizaidi ya lomalisa shusha comment @soccersports
    #kibabage
    #kibwana
    #job
    #mshely
    #Nkane
    #yangasc
    Huyu kibabage kumbe nizaidi ya lomalisa🀣 shusha comment πŸ‘‡@soccersports #kibabage #kibwana #job #mshely #Nkane #yangasc
    Love
    Like
    3
    Β· 1 Comments Β·0 Shares Β·1K Views
  • .... Mikataba mipya ndani ya Young Africans

    Djigui Diarra
    Khalid Aucho
    Bakari Mwamnyeto
    Aziz KI
    Farid Mussa
    Jonas Mkude
    Clement Mzize
    Nickson Kibabage
    Kibwana Shomari
    Aboutwalib Mshery
    .... 🚨 Mikataba mipya ndani ya Young Africans πŸ‡ΉπŸ‡Ώ βœ… Djigui Diarra πŸ‡²πŸ‡± βœ… Khalid Aucho πŸ‡ΊπŸ‡¬ βœ… Bakari Mwamnyeto πŸ‡ΉπŸ‡Ώ βœ… Aziz KI πŸ‡§πŸ‡« βœ… Farid Mussa πŸ‡ΉπŸ‡Ώ βœ… Jonas Mkude πŸ‡ΉπŸ‡Ώ βœ… Clement Mzize πŸ‡ΉπŸ‡Ώ βœ… Nickson Kibabage πŸ‡ΉπŸ‡Ώ βŒ› Kibwana Shomari πŸ‡ΉπŸ‡Ώ βŒ› Aboutwalib Mshery πŸ‡ΉπŸ‡Ώ
    Like
    3
    Β· 0 Comments Β·0 Shares Β·436 Views