Αναζήτηση αποτελεσμάτων
Δες όλα τα αποτελέσματα
Socialpop Socialpop Socialpop
Κεντρική Σελίδα
Ομάδες
Σελίδες
Marketplace
δες περισσότερα..
Ομάδες Σελίδες Marketplace Events Blogs Χρηματοδότηση Προσφορές Εργασίες Courses Forum Ταινίες
Γίνε Μέλος
Σύνδεση Εγγραφή
Theme Switcher
Night Mode
Αναζήτηση
Δημοσιεύσεις
Blogs
Χρήστες
Σελίδες
Ομάδες
Events
  • Paul Swai @paulswai πρόσθεσε ένα αρχείο
    2024-11-28 09:29:44 ·

    Mzee Magoma shikilia hapo hapo uliposhika

    #paulswai
    Mzee Magoma shikilia hapo hapo uliposhika😄😄 #paulswai
    Like
    Love
    Haha
    7
    · 6 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·558 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Paul Swai @paulswai added 2 Φωτογραφίες
    2024-07-19 12:43:20 ·
    Kutoka kwenye ukurasa wa Instagram wa Meneja habari na Mawasiliano wa Simba SC AHMED ALLY. ameandika ✍🏿

    "Mgeni rasmi Simba Day ni Mzee Magoma...Ubaya ubwela"
    Kutoka kwenye ukurasa wa Instagram wa Meneja habari na Mawasiliano wa Simba SC AHMED ALLY. ameandika ✍🏿 "Mgeni rasmi Simba Day ni Mzee Magoma...Ubaya ubwela"
    Like
    Haha
    2
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·568 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Paul Swai @paulswai πρόσθεσε ένα video in Γενικά
    2024-07-19 10:37:40 ·
    Mtoto wadogo wanabeba mzigo mzito ILA MAGOMA. #paulswai
    Mtoto wadogo wanabeba mzigo mzito🤣🤣🤣 ILA MAGOMA. #paulswai
    Like
    2
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·502 Views ·35
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Paul Swai @paulswai πρόσθεσε ένα video in Γενικά
    2024-07-19 05:39:08 ·
    Kumekucha!!
    Huyu binti atakuwa binti wa MAGOMA ninii??.. #paulswai
    🚨 Kumekucha!!😂😂😂😂 Huyu binti atakuwa binti wa MAGOMA ninii??..😂😂😂😂 #paulswai
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·509 Views ·59
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Paul Swai @paulswai πρόσθεσε ένα video in Γενικά
    2024-07-18 14:32:44 ·
    Mzee Magoma amemshukia vikali Haji Manara kwa madai ya kutoa kauli za kumkashifu ambapo amechimba mkwara kwamba akacheze anapochezaga kwa sababu anayajua mengi kumhusu Manara ambayo
    Mzee Magoma amemshukia vikali Haji Manara kwa madai ya kutoa kauli za kumkashifu ambapo amechimba mkwara kwamba akacheze anapochezaga kwa sababu anayajua mengi kumhusu Manara ambayo
    Like
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·545 Views ·53
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Soccer Sports @2024pesa πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2024-07-18 13:55:42 ·
    Wazee wa yanga hatumtambui magoma kama mwanachama wa yanga, pia hatutaki awe mwanachama kupitia mkoa wa Dar es salaam
    KULA chuma iyooo
    #jumamagoma
    #Enghersisaid
    #yangasc
    #simbasc
    #azamsc
    Wazee wa yanga hatumtambui magoma kama mwanachama wa yanga, pia hatutaki awe mwanachama kupitia mkoa wa Dar es salaam ✍️ KULA chuma iyooo🤣 #jumamagoma #Enghersisaid #yangasc #simbasc #azamsc
    Like
    Haha
    4
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·1χλμ. Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2024-07-17 17:35:50 ·
    VIONGOZI YANGA SC SIO HALALI, WANACHAMA 2 WALISHINDA KESI MWEZI AGOSTI MWAKA 2023.

    Wanachama wawili wa Yanga SC JUMA MAGOMA (pichani) na GEOFREY MWAIPOPO walishinda kesi waliyofungua katika Mahakama ya Kisutu jijini Dar mwaka jana mwezi Agosti. Kesi yao ilikuwa dhidi ya Baraza la wadhamini la klabu hiyo kuikabidhi klabu kwa mtu wasiyemjua wala asiyekuwa Mwanachama wakati kesi inafunguliwa mwezi Mei mwaka 2022 siku moja kabla ya uchaguzi mkuu wa klabu uliomuweka madarakani Rais wa Yanga Eng Hersi Said. Awali walifungua kesi hiyo Mahakama ya Wilaya ya Ilala iliyopo Kinyerezi jijini Dar, kabla ya kushauriwa kuihamishia katika Mahakama ya Kisutu.

    Walipinga kutumika kwa katiba ya mwaka 2020 ambayo ilitumika kwenye uchaguzi Mkuu uliouweka uongozi uliopo madarakani wakisema katiba hiyo sio halali. Inasemekana RITA waliitwa kutoa ushahidi na wakasema wanaifahamu katiba ya mwaka 2011ambayo ipo ofisini kwao na hiyo ya mwaka 2020 hawaitambui.

    Baada ya kupata hukumu yao mwezi Agosti mwaka 2023 JUMA MAGOMA NA GEOFREY MWAIPOPO wameona hakuna utekelezaji wa hukumu hiyo hata baada ya kuwasilisha kwa wahusika wakaamua kufungua kesi ya kukazia hukumu ambapo itatolewa maamuzi mwezi Agosti tarehe 5 mwaka 2024, ili hukumu hiyo ianze kufanya kazi. Ambapo inategemewa Mkutano Mkuu wa Yanga kuitwa ambao utajumuisha WANACHAMA WOTE HAI sio wawakilishi wa matawi pekee (kama ilivyo sasa) na kwenda kwenye uchaguzi mkuu wa uchaguzi wa viongozi wa klabu kwa kufuata katiba ya mwaka 2011. Kama hili litatokea manake Eng Hersi na timu yake watakuwa wameondoshwa madarakani kwakuwa watakuwa wameingia isivyo halali.

    VIONGOZI YANGA SC SIO HALALI, WANACHAMA 2 WALISHINDA KESI MWEZI AGOSTI MWAKA 2023. Wanachama wawili wa Yanga SC JUMA MAGOMA (pichani) na GEOFREY MWAIPOPO walishinda kesi waliyofungua katika Mahakama ya Kisutu jijini Dar mwaka jana mwezi Agosti. Kesi yao ilikuwa dhidi ya Baraza la wadhamini la klabu hiyo kuikabidhi klabu kwa mtu wasiyemjua wala asiyekuwa Mwanachama wakati kesi inafunguliwa mwezi Mei mwaka 2022 siku moja kabla ya uchaguzi mkuu wa klabu uliomuweka madarakani Rais wa Yanga Eng Hersi Said. Awali walifungua kesi hiyo Mahakama ya Wilaya ya Ilala iliyopo Kinyerezi jijini Dar, kabla ya kushauriwa kuihamishia katika Mahakama ya Kisutu. Walipinga kutumika kwa katiba ya mwaka 2020 ambayo ilitumika kwenye uchaguzi Mkuu uliouweka uongozi uliopo madarakani wakisema katiba hiyo sio halali. Inasemekana RITA waliitwa kutoa ushahidi na wakasema wanaifahamu katiba ya mwaka 2011ambayo ipo ofisini kwao na hiyo ya mwaka 2020 hawaitambui. Baada ya kupata hukumu yao mwezi Agosti mwaka 2023 JUMA MAGOMA NA GEOFREY MWAIPOPO wameona hakuna utekelezaji wa hukumu hiyo hata baada ya kuwasilisha kwa wahusika wakaamua kufungua kesi ya kukazia hukumu ambapo itatolewa maamuzi mwezi Agosti tarehe 5 mwaka 2024, ili hukumu hiyo ianze kufanya kazi. Ambapo inategemewa Mkutano Mkuu wa Yanga kuitwa ambao utajumuisha WANACHAMA WOTE HAI sio wawakilishi wa matawi pekee (kama ilivyo sasa) na kwenda kwenye uchaguzi mkuu wa uchaguzi wa viongozi wa klabu kwa kufuata katiba ya mwaka 2011. Kama hili litatokea manake Eng Hersi na timu yake watakuwa wameondoshwa madarakani kwakuwa watakuwa wameingia isivyo halali.
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·523 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Soccer Sports @2024pesa πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2024-07-17 16:08:48 ·
    Tumefungua channel yetu mpya inatambulika kama #soccersports ndugu shabiki wetu njoo YouTube utusaidie ku subscribe
    #azamtv
    #simbasc
    #magoma
    #yangasc
    #chelsea
    #mancity
    #manunited
    #Arsenal
    #Liverpool
    Tumefungua channel yetu mpya inatambulika kama #soccersports ndugu shabiki wetu njoo YouTube utusaidie ku subscribe 🏆 #azamtv #simbasc #magoma #yangasc #chelsea #mancity #manunited #Arsenal #Liverpool
    Like
    3
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·2χλμ. Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
Upgrade to Pro
διάλεξε το πλάνο που σου ταιριάζει
Αναβάθμισε
© 2025 Socialpop
Greek
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
Σχετικά Όρους Ιδιωτικότητα Επικοινώνησε μαζί μας Κατάλογος Developers