MAOMBI YANAYO JIBIWA SEHEMU YAPILI.
*Mungu huwa awezi kutenda kinyume na neno lake hii ndiyo sababu inatufanya tuombe kwa kumkumbusha ahadi zake.*
Mungu aliapa kwa neno nafsi yake kumbariki Abraham na mpaka leo islaeri yote huesabika kuwa waendelewa sababu tu ya neno alilo mwapia ibrahimu.
*Kwanini basi tunapaswa kuomba kwa kutumia neno.*
1.Tunayajua mapenzi yake kupitia neno lake.
Na huu ndio ujasiri tulio nao kwake, ya kuwa, tukiomba kitu sawasawa na mapenzi yake, atusikia.
*Kumbe ili usikike kirahisi lazima umkumbushe mapenzi yake kwako kupitia neno lake.*
Mathayo 6:10. "Mapenzi yako yatimizwe hapa duniani kama huko mbinguni."
*Hii ni sehemu ya sala aliyo wafundisha Yesu mwenyewe kuwa wakati wakuomba lazima uyaombe mapenzi ya Mungu yatimilike na hayawezi timilika bila neno lake.*
Na mapenzi ya Mungu yanapatikana au yanasikika kupitia neno lake.
2.Neno la mungu lina mamlaka .
Yohana 1;3-5
*Vyote vilifanyika kwa huyo; wala pasipo yeye hakikufanyika chochote kilichofanyika. 4 Ndani yake ndimo ulimokuwa uzima, nao ule uzima ulikuwa nuru ya watu. 5 Nayo nuru yang'aa gizani, wala giza halikuiweza.*
Neno ndo lenye mamlaka pasipo neno nuru haikuwapo.
*Mungu mwenyewe katika uumbaji alianza kwanza na neno ndipo ikawa ,*,
Kumbe neno ndilo utupa mamlaka ya kumkemea muovu na mamlaka .
*Neno ndio funguo yenye mamlaka ya kupokea au kutokupokea kwani Mungu anapo sikiliza maombi anatazama neno lake linasema nini.*
Ebrania 4:12-13
Paulo katika mistali anaonyesha mamlaka na nguvu za neno la Mungu,1.liko hai 2.linanguvu kweli kweli .
33.ni kali kama kupanga ukatao kuwili .
*Ok ukisoma mstali kwa mstali ebrania 4;12-13 utoana ni kwa jinsi gani neno la Mungu lina nguvu kweli kweli.*
Turudi msalabani tumkumbushe Mungu kupitia ahadi zake kupitia neno lake.
Marko 16:17
*Nazo ishara hizi zitafuatana na wanaoamini: Kwa Jina langu watatoa pepo wachafu; watasema kwa lugha mpya*
*Ni neno lake ndilo linalo tuwezesha kupata mamlaka .si kitu kingine chochote.*
Natamani leo tukiomba tuombe kwa kupitia neno lake ili Mungu Atujibu sawasawa na neno lake.
Ahsante sana naitwa sylvester Mwakabende kutoka (Build new eden)
#build new eden
#restore men position
*Mungu huwa awezi kutenda kinyume na neno lake hii ndiyo sababu inatufanya tuombe kwa kumkumbusha ahadi zake.*
Mungu aliapa kwa neno nafsi yake kumbariki Abraham na mpaka leo islaeri yote huesabika kuwa waendelewa sababu tu ya neno alilo mwapia ibrahimu.
*Kwanini basi tunapaswa kuomba kwa kutumia neno.*
1.Tunayajua mapenzi yake kupitia neno lake.
Na huu ndio ujasiri tulio nao kwake, ya kuwa, tukiomba kitu sawasawa na mapenzi yake, atusikia.
*Kumbe ili usikike kirahisi lazima umkumbushe mapenzi yake kwako kupitia neno lake.*
Mathayo 6:10. "Mapenzi yako yatimizwe hapa duniani kama huko mbinguni."
*Hii ni sehemu ya sala aliyo wafundisha Yesu mwenyewe kuwa wakati wakuomba lazima uyaombe mapenzi ya Mungu yatimilike na hayawezi timilika bila neno lake.*
Na mapenzi ya Mungu yanapatikana au yanasikika kupitia neno lake.
2.Neno la mungu lina mamlaka .
Yohana 1;3-5
*Vyote vilifanyika kwa huyo; wala pasipo yeye hakikufanyika chochote kilichofanyika. 4 Ndani yake ndimo ulimokuwa uzima, nao ule uzima ulikuwa nuru ya watu. 5 Nayo nuru yang'aa gizani, wala giza halikuiweza.*
Neno ndo lenye mamlaka pasipo neno nuru haikuwapo.
*Mungu mwenyewe katika uumbaji alianza kwanza na neno ndipo ikawa ,*,
Kumbe neno ndilo utupa mamlaka ya kumkemea muovu na mamlaka .
*Neno ndio funguo yenye mamlaka ya kupokea au kutokupokea kwani Mungu anapo sikiliza maombi anatazama neno lake linasema nini.*
Ebrania 4:12-13
Paulo katika mistali anaonyesha mamlaka na nguvu za neno la Mungu,1.liko hai 2.linanguvu kweli kweli .
33.ni kali kama kupanga ukatao kuwili .
*Ok ukisoma mstali kwa mstali ebrania 4;12-13 utoana ni kwa jinsi gani neno la Mungu lina nguvu kweli kweli.*
Turudi msalabani tumkumbushe Mungu kupitia ahadi zake kupitia neno lake.
Marko 16:17
*Nazo ishara hizi zitafuatana na wanaoamini: Kwa Jina langu watatoa pepo wachafu; watasema kwa lugha mpya*
*Ni neno lake ndilo linalo tuwezesha kupata mamlaka .si kitu kingine chochote.*
Natamani leo tukiomba tuombe kwa kupitia neno lake ili Mungu Atujibu sawasawa na neno lake.
Ahsante sana naitwa sylvester Mwakabende kutoka (Build new eden)
#build new eden
#restore men position
MAOMBI YANAYO JIBIWA SEHEMU YAPILI.
*Mungu huwa awezi kutenda kinyume na neno lake hii ndiyo sababu inatufanya tuombe kwa kumkumbusha ahadi zake.*
Mungu aliapa kwa neno nafsi yake kumbariki Abraham na mpaka leo islaeri yote huesabika kuwa waendelewa sababu tu ya neno alilo mwapia ibrahimu.
*Kwanini basi tunapaswa kuomba kwa kutumia neno.*
1.Tunayajua mapenzi yake kupitia neno lake.
Na huu ndio ujasiri tulio nao kwake, ya kuwa, tukiomba kitu sawasawa na mapenzi yake, atusikia.
*Kumbe ili usikike kirahisi lazima umkumbushe mapenzi yake kwako kupitia neno lake.*
Mathayo 6:10. "Mapenzi yako yatimizwe hapa duniani kama huko mbinguni."
*Hii ni sehemu ya sala aliyo wafundisha Yesu mwenyewe kuwa wakati wakuomba lazima uyaombe mapenzi ya Mungu yatimilike na hayawezi timilika bila neno lake.*
Na mapenzi ya Mungu yanapatikana au yanasikika kupitia neno lake.
2.Neno la mungu lina mamlaka .
Yohana 1;3-5
*Vyote vilifanyika kwa huyo; wala pasipo yeye hakikufanyika chochote kilichofanyika. 4 Ndani yake ndimo ulimokuwa uzima, nao ule uzima ulikuwa nuru ya watu. 5 Nayo nuru yang'aa gizani, wala giza halikuiweza.*
Neno ndo lenye mamlaka pasipo neno nuru haikuwapo.
*Mungu mwenyewe katika uumbaji alianza kwanza na neno ndipo ikawa ,*,
Kumbe neno ndilo utupa mamlaka ya kumkemea muovu na mamlaka .
*Neno ndio funguo yenye mamlaka ya kupokea au kutokupokea kwani Mungu anapo sikiliza maombi anatazama neno lake linasema nini.*
Ebrania 4:12-13
Paulo katika mistali anaonyesha mamlaka na nguvu za neno la Mungu,1.liko hai 2.linanguvu kweli kweli .
33.ni kali kama kupanga ukatao kuwili .
*Ok ukisoma mstali kwa mstali ebrania 4;12-13 utoana ni kwa jinsi gani neno la Mungu lina nguvu kweli kweli.*
Turudi msalabani tumkumbushe Mungu kupitia ahadi zake kupitia neno lake.
Marko 16:17
*Nazo ishara hizi zitafuatana na wanaoamini: Kwa Jina langu watatoa pepo wachafu; watasema kwa lugha mpya*
*Ni neno lake ndilo linalo tuwezesha kupata mamlaka .si kitu kingine chochote.*
Natamani leo tukiomba tuombe kwa kupitia neno lake ili Mungu Atujibu sawasawa na neno lake.
Ahsante sana naitwa sylvester Mwakabende kutoka (Build new eden)
#build new eden
#restore men position
0 Σχόλια
·0 Μοιράστηκε
·30 Views