• https://www.liwadesertsafaris.com/packages/liwa-festival-desert-safari
    https://www.liwadesertsafaris.com/packages/liwa-festival-desert-safari
    Liwa Festival Desert Safari 2025–2026 |VIP Camel Racing & Heritage Tour
    www.liwadesertsafaris.com
    Explore Liwa Festival 2025–2026 with VIP access to camel shows, camel races, falconry demos, artisan markets and dune adventures. Reserve your all‑season tour now!
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·80 Views
  • https://www.liwadesertsafaris.com/packages/evening-liwa-desert-safari
    https://www.liwadesertsafaris.com/packages/evening-liwa-desert-safari
    Evening Liwa Desert Safari with stargazing | Oasis Sunset Tour
    www.liwadesertsafaris.com
    Special Evening Desert safari in Liwa and a stunning Oasis sunset view. Best for families and groups looking for adventure, relaxation desert tour
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·94 Views
  • https://www.liwadesertsafaris.com/packages/liwa-overnight-desert-safari
    https://www.liwadesertsafaris.com/packages/liwa-overnight-desert-safari
    Liwa Overnight Desert Safari – Book Oasis Camp in Rub’al Khali
    www.liwadesertsafaris.com
    Book an Overnight Liwa Desert Safari from Abu Dhabi – Explore the luxury camp stays, Seasonal Stargazing in the Oasis, Sunrise at Tal Moreb and cultural moments
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·94 Views
  • https://www.liwadesertsafaris.com/packages/liwa-full-day-desert-safari
    https://www.liwadesertsafaris.com/packages/liwa-full-day-desert-safari
    Liwa Desert Safari from Abu Dhabi | Full-Day Desert Tour
    www.liwadesertsafaris.com
    Explore the Liwa Desert in the Empty Quarter on a full-day safari from Abu Dhabi with dune bashing and an oasis picnic. Book now for a limited-time offer rate!
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·115 Views
  • https://www.liwadesertsafaris.com
    https://www.liwadesertsafaris.com
    Liwa Desert Safari Abu Dhabi | Book Oasis & Dune Adventure
    www.liwadesertsafaris.com
    Experience the Liwa Desert Safari tour with sunset views, Tal Moreeb dunes, and the vast Empty Quarter. Book your Abu Dhabi desert adventure now!
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·94 Views
  • Arnold Schwarzenegger awasilisha mpango wa kuokoa demokrasia Marekani.

    Mwigizaji Nguli wa Hollywood na Gavana wa zamani wa Jimbo la California, Arnold Schwarzenegger, ameibuka na pendekezo la kina la kuimarisha demokrasia Nchini Marekani. Katika mahojiano yake kwenye kipindi maarufu cha Real Time with Bill Maher, Schwarzenegger alifichua mpango wa hatua tatu ambao anauona kama njia ya “kupatanisha pande zote mbili” yaani Republican na Democratic. Katika maelezo yake rasmi, Schwarzenegger alisema:

    “Tunapaswa kutangaza Siku ya Uchaguzi kuwa likizo ya kitaifa, kuhakikisha kuwa ramani za kisiasa zinatengenezwa na tume huru zisizoegemea upande wowote, na kuimarisha mifumo ya utambulisho wa wapiga kura.”

    Mpango huu, ambao una lengo la kuhamasisha ushiriki mpana wa Wananchi na kulinda uadilifu wa chaguzi, umeungwa mkono na hoja za kisera zinazoegemea misingi ya haki, usawa na uwazi.

    Schwarzenegger pia hakusita kuelezea wasiwasi wake kuhusu Pendekezo la 50 la California, akiliona kama:

    “Hila kubwa ambayo inaweza kurudisha ramani za uchaguzi mikononi mwa Wanasiasa badala ya Wataalamu huru.”

    Kwa mujibu wake, hatua hiyo ya kuruhusu Wanasiasa kushiriki katika uundwaji wa ramani ya majimbo inaweza kuathiri vibaya uwakilishi wa haki kwa Wananchi.

    Mpango huu wa Schwarzenegger una mvuto wa kipekee kwa kuwa unachanganya ushawishi wa jina kubwa na hoja nzito za kisera. Hata hivyo, utekelezaji wake unategemea mabadiliko ya kisheria, mjadala wa kina wa kitaifa, na maridhiano kati ya vyama viwili vikuu vya siasa.

    Kwa mujibu wa Wachambuzi wa siasa za Marekani, hoja za Schwarzenegger zinaibua maswali mapana kuhusu:

    - Usawa katika chaguzi,
    - Usalama wa mfumo wa upigaji kura,
    - Na mwelekeo wa demokrasia ya Marekani kwa vizazi vijavyo.

    Mpaka sasa, bado haijajulikana iwapo pendekezo hili litaungwa mkono na Wabunge, lakini bila shaka, Schwarzenegger amejipambanua tena, safari hii siyo kwenye sinema au siasa za majimbo tu, bali kwenye uwanja mpana wa mustakabali wa kidemokrasia wa taifa lake.
    Arnold Schwarzenegger awasilisha mpango wa kuokoa demokrasia Marekani. Mwigizaji Nguli wa Hollywood na Gavana wa zamani wa Jimbo la California, Arnold Schwarzenegger, ameibuka na pendekezo la kina la kuimarisha demokrasia Nchini Marekani. Katika mahojiano yake kwenye kipindi maarufu cha Real Time with Bill Maher, Schwarzenegger alifichua mpango wa hatua tatu ambao anauona kama njia ya “kupatanisha pande zote mbili” yaani Republican na Democratic. Katika maelezo yake rasmi, Schwarzenegger alisema: “Tunapaswa kutangaza Siku ya Uchaguzi kuwa likizo ya kitaifa, kuhakikisha kuwa ramani za kisiasa zinatengenezwa na tume huru zisizoegemea upande wowote, na kuimarisha mifumo ya utambulisho wa wapiga kura.” Mpango huu, ambao una lengo la kuhamasisha ushiriki mpana wa Wananchi na kulinda uadilifu wa chaguzi, umeungwa mkono na hoja za kisera zinazoegemea misingi ya haki, usawa na uwazi. Schwarzenegger pia hakusita kuelezea wasiwasi wake kuhusu Pendekezo la 50 la California, akiliona kama: “Hila kubwa ambayo inaweza kurudisha ramani za uchaguzi mikononi mwa Wanasiasa badala ya Wataalamu huru.” Kwa mujibu wake, hatua hiyo ya kuruhusu Wanasiasa kushiriki katika uundwaji wa ramani ya majimbo inaweza kuathiri vibaya uwakilishi wa haki kwa Wananchi. Mpango huu wa Schwarzenegger una mvuto wa kipekee kwa kuwa unachanganya ushawishi wa jina kubwa na hoja nzito za kisera. Hata hivyo, utekelezaji wake unategemea mabadiliko ya kisheria, mjadala wa kina wa kitaifa, na maridhiano kati ya vyama viwili vikuu vya siasa. Kwa mujibu wa Wachambuzi wa siasa za Marekani, hoja za Schwarzenegger zinaibua maswali mapana kuhusu: - Usawa katika chaguzi, - Usalama wa mfumo wa upigaji kura, - Na mwelekeo wa demokrasia ya Marekani kwa vizazi vijavyo. Mpaka sasa, bado haijajulikana iwapo pendekezo hili litaungwa mkono na Wabunge, lakini bila shaka, Schwarzenegger amejipambanua tena, safari hii siyo kwenye sinema au siasa za majimbo tu, bali kwenye uwanja mpana wa mustakabali wa kidemokrasia wa taifa lake.
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·179 Views
  • Ac Millan bila Leao wana Christian Pulisic mwamba anaweka sana tangia ajiunge na Milan msimu wa 23/24 amekuwa na takwimu bora sana kila msimu anakupa magoli 10+

    Kwenye mchezo wa jana ameanza safari yake ya kutafuta goals 10+ msimu huu akiwasadia Millan kushinda 2-0 dhidi ya Lecce : Chelsea hichi chuma kwanini mlikiondoa pale darajani ? Mbona ni mtu sana au mlishindwa kumvumilia Captain America

    Au Seria A ni ligi nyepesi sana ?

    #SportsElite
    🚨🚨Ac Millan bila Leao wana Christian Pulisic mwamba anaweka sana tangia ajiunge na Milan msimu wa 23/24 amekuwa na takwimu bora sana kila msimu anakupa magoli 10+ 🙌 Kwenye mchezo wa jana ameanza safari yake ya kutafuta goals 10+ msimu huu akiwasadia Millan kushinda 2-0 dhidi ya Lecce : Chelsea hichi chuma kwanini mlikiondoa pale darajani ? Mbona ni mtu sana 😀 au mlishindwa kumvumilia Captain America 😎 Au Seria A ni ligi nyepesi sana ? #SportsElite
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·563 Views
  • JUST IN: Simba wamemsajili beki wa kati wa Mamelodi,Rushine De Reuck (29) kwa mkataba wa mwaka mmoja.

    Beki huyo mwenye umri wa miaka 29 alitumia kipindi cha pili cha msimu uliopita kwa mkopo katika klabu ya Maccabi Petah Tikva ya Israel ambapo alishiriki katika michezo minne,na sasa ataanza safari mpya baada ya miaka minne na Sundowns.

    Alijiunga na Masandawana kama Beki Bora wa Msimu wa Ligi Kuu ya Soka, wakati akiwa na Maritzburg United,mwaka 2021, ambako alikuwa akifanya kazi chini ya Kocha Mkuu wa sasa wa Simba, Fadlu Davids.


    #SportsElite
    🚨🚨 JUST IN: Simba wamemsajili beki wa kati wa Mamelodi,Rushine De Reuck (29) kwa mkataba wa mwaka mmoja. Beki huyo mwenye umri wa miaka 29 alitumia kipindi cha pili cha msimu uliopita kwa mkopo katika klabu ya Maccabi Petah Tikva ya Israel 🇮🇱ambapo alishiriki katika michezo minne,na sasa ataanza safari mpya baada ya miaka minne na Sundowns. Alijiunga na Masandawana kama Beki Bora wa Msimu wa Ligi Kuu ya Soka, wakati akiwa na Maritzburg United,mwaka 2021, ambako alikuwa akifanya kazi chini ya Kocha Mkuu wa sasa wa Simba, Fadlu Davids. #SportsElite
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·584 Views
  • Marcus Rashford ameanza safari kuelekea Spain kukamilisha taratibu zote za uhamisho wake kujiunga na Fc Barcelona.

    Rashford

    #SportsElite
    Marcus Rashford ameanza safari kuelekea Spain kukamilisha taratibu zote za uhamisho wake kujiunga na Fc Barcelona. Rashford ✈️ #SportsElite
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·300 Views


  • Klabu Ya Fc Barcelona Imetuma Ofa Kwenda Kwa Manchester United Juu Ya Kumsajili Mshambuliaji Wao Na Taifa La Uingereza Marcus Rashford Mwenye Umri Wa Miaka 29.

    Barcelona Wametuma Ofa Ya Kumsajili Kwa Mkopo na Chaguo La Kumnunua Moja Kwa Moja Kama Wataridhishwa Nae.

    Tangu Mwezi June Marcus Alikuwa Anasubiria Ofa Hiyo Ya fc Barcelona Na Alikubali Kuhamia Huko Hispania.

    ILE SAFARI YA MANCHESTER UNITED INAENDA KUKATA KAMBA MUDA SIO MREFU

    #SportsElite
    Klabu Ya Fc Barcelona Imetuma Ofa Kwenda Kwa Manchester United Juu Ya Kumsajili Mshambuliaji Wao Na Taifa La Uingereza Marcus Rashford Mwenye Umri Wa Miaka 29. Barcelona Wametuma Ofa Ya Kumsajili Kwa Mkopo na Chaguo La Kumnunua Moja Kwa Moja Kama Wataridhishwa Nae. Tangu Mwezi June Marcus Alikuwa Anasubiria Ofa Hiyo Ya fc Barcelona Na Alikubali Kuhamia Huko Hispania. ILE SAFARI YA MANCHESTER UNITED INAENDA KUKATA KAMBA MUDA SIO MREFU🥶 #SportsElite
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·398 Views
  • 𝐓𝐎𝐅𝐀𝐋𝐈 𝐋𝐀 𝐔𝐁𝐈𝐍𝐆𝐖𝐀👊🏼 Hii ni Yetu wote WANANCHI.

    HIi ni Kampeni Kubwa itakayobeba Safari yetu ya MAFANIKIO Msimu wa 2025/26.

    Kila shabiki wa @yangasc Duniani atatakiwa kununua 𝐓𝐎𝐅𝐀𝐋𝐈 𝐋𝐀 𝐔𝐁𝐈𝐍𝐆𝐖𝐀 kwa Kulipa Ada ya Mwaka ya Uwanachama wa Klabu Yetu.

    MALENGO ni kupata MATOFALI MILIONI 1 kwa Wanayanga watakaolipia Ada zao kwa njia ya Kimtandao.

    Tukifanikisha hili, Tutakuwa tumefanikisha MAMBO MAKUBWA MAWILI Wanayanga wenzangu

    1: Tumepata HELA ya kufanya USAJILI MKUBWA utakaotupa Timu Bora zaidi ya ilivyokuwa Msimu huu.

    2: Tumepata Bajeti nzuri ya kuiwezesha @yangasc Yetu kushindana kikamilifu katika mashindano Yote [Ya ndani na Yale ya CAF].

    𝐓𝐎𝐅𝐀𝐋𝐈 𝐋𝐀 𝐔𝐁𝐈𝐍𝐆𝐖𝐀 Litauzwa Tsh 24,000

    Tuhakikishe kuanzia kesho Kila Mwanayanga awe Na 𝐓𝐎𝐅𝐀𝐋𝐈 𝐋𝐀 𝐔𝐁𝐈𝐍𝐆𝐖𝐀 ili Tuijenge kwa Pamoja YANGA BINGWA MSIMU UJAO👊🏼

    Daima Mbele Nyuma Mwiko.
    𝐓𝐎𝐅𝐀𝐋𝐈 𝐋𝐀 𝐔𝐁𝐈𝐍𝐆𝐖𝐀👊🏼 Hii ni Yetu wote WANANCHI. HIi ni Kampeni Kubwa itakayobeba Safari yetu ya MAFANIKIO Msimu wa 2025/26. Kila shabiki wa @yangasc Duniani atatakiwa kununua 𝐓𝐎𝐅𝐀𝐋𝐈 𝐋𝐀 𝐔𝐁𝐈𝐍𝐆𝐖𝐀 kwa Kulipa Ada ya Mwaka ya Uwanachama wa Klabu Yetu. MALENGO ni kupata MATOFALI MILIONI 1 kwa Wanayanga watakaolipia Ada zao kwa njia ya Kimtandao. Tukifanikisha hili, Tutakuwa tumefanikisha MAMBO MAKUBWA MAWILI Wanayanga wenzangu 1: Tumepata HELA ya kufanya USAJILI MKUBWA utakaotupa Timu Bora zaidi ya ilivyokuwa Msimu huu. 2: Tumepata Bajeti nzuri ya kuiwezesha @yangasc Yetu kushindana kikamilifu katika mashindano Yote [Ya ndani na Yale ya CAF]. 𝐓𝐎𝐅𝐀𝐋𝐈 𝐋𝐀 𝐔𝐁𝐈𝐍𝐆𝐖𝐀 Litauzwa Tsh 24,000 ✅ Tuhakikishe kuanzia kesho Kila Mwanayanga awe Na 𝐓𝐎𝐅𝐀𝐋𝐈 𝐋𝐀 𝐔𝐁𝐈𝐍𝐆𝐖𝐀 ili Tuijenge kwa Pamoja YANGA BINGWA MSIMU UJAO👊🏼 Daima Mbele Nyuma Mwiko🔰.
    Like
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·986 Views
  • Cassius Mailula aaga rasmi Wydad AC ⚪️

    Mshambuliaji kutoka Afrika Kusini, Cassius Mailula, ameaga rasmi klabu ya Wydad AC baada ya mkopo wake kutoka Toronto FC kumalizika.

    Mailula ameushukuru uongozi wa klabu, wachezaji wenzake, na mashabiki wa Wydad kwa sapoti waliompa katika kipindi chake kifupi lakini chenye kumbukumbu ya kipekee jijini Casablanca.

    Tunamtakia kila la heri anaporejea Toronto FC kuendelea na safari yake ya soka.

    #DimaWydad #WydadAC #CassiusMailula #SokaLaAfrika #TorontoFC #HabariZaSoka

    #SportsElite
    🔚 Cassius Mailula aaga rasmi Wydad AC 🔴⚪️ Mshambuliaji kutoka Afrika Kusini, Cassius Mailula, ameaga rasmi klabu ya Wydad AC baada ya mkopo wake kutoka Toronto FC kumalizika. Mailula ameushukuru uongozi wa klabu, wachezaji wenzake, na mashabiki wa Wydad kwa sapoti waliompa katika kipindi chake kifupi lakini chenye kumbukumbu ya kipekee jijini Casablanca. Tunamtakia kila la heri anaporejea Toronto FC kuendelea na safari yake ya soka. 🇿🇦⚽ #DimaWydad #WydadAC #CassiusMailula #SokaLaAfrika #TorontoFC #HabariZaSoka #SportsElite
    Like
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·1χλμ. Views
  • Book Yacht Rental Dubai

    The best way to explore Dubai is either from the deserts or from the waters! While you are on your Dubai city tour, it is evident that you must have already witnessed the desert safari. So, now it is time to enjoy the Dubai waters. Without any hesitation, grab the best yacht rental Dubai with Travel Saga Tourism and make memories that will astound. The shared and private yacht tours in Dubai make your trip more enchanting and engaging. From private experiences on a 33 ft yacht and a 90 ft yacht to shared live DJs on Dubai Marina Nightlights and dinner. You are going to witness one of the best times on board. Grab your water tours today!

    Visit us : https://travelsaga.com/yacht-rental-dubai/

    #YachtRentalDubai, #yachtcharterrental, #LuxuryYachtCharters
    Book Yacht Rental Dubai The best way to explore Dubai is either from the deserts or from the waters! While you are on your Dubai city tour, it is evident that you must have already witnessed the desert safari. So, now it is time to enjoy the Dubai waters. Without any hesitation, grab the best yacht rental Dubai with Travel Saga Tourism and make memories that will astound. The shared and private yacht tours in Dubai make your trip more enchanting and engaging. From private experiences on a 33 ft yacht and a 90 ft yacht to shared live DJs on Dubai Marina Nightlights and dinner. You are going to witness one of the best times on board. Grab your water tours today! Visit us : https://travelsaga.com/yacht-rental-dubai/ #YachtRentalDubai, #yachtcharterrental, #LuxuryYachtCharters
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·1χλμ. Views
  • SAFARI YA ZANZIBAR
    SAFARI YA ZANZIBAR
    Love
    Like
    3
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·824 Views
  • "Uzito wa Vita vya Kimya"

    Wakati mwingine, sehemu ngumu zaidi ya siku ni wakati uko peke yako na mawazo yako-wakati unapolala, na ulimwengu unatulia. Ni katika utulivu huu ambapo uzito wa hisia ambazo umesukuma kando siku nzima huja haraka. Unafunika uso wako, sio tu kuficha machozi lakini kujikinga na mafuriko makubwa ya hisia ambazo hujui jinsi ya kuzishughulikia kila wakati.

    Hakuna anayezungumza jinsi inavyochosha kubeba uzito wa moyo mzito. Kutabasamu unapovunjika ndani, kushikilia pamoja unapojisikia kutengana, na kuendelea wakati kila kitu ndani yako kinataka tu kusitisha. Vita hivi havionekani kwa ulimwengu lakini vyote ni vya kweli kwako.

    Wewe si dhaifu kwa kuhisi hivi. Hujavunjika kwa sababu una wakati ambapo ni nyingi sana. Kwa kweli, nguvu inayohitajiwa ili kukabiliana na hisia hizi—kujiruhusu kujisikia, kulia, na kuachilia uzito—haiwezi kupimika. Inakukumbusha kuwa wewe ni binadamu, kwamba unasafiri safari hii kwa ujasiri, hata katika siku ambazo huhisi kama huvumilia kwa urahisi.

    Lakini hapa kuna kitu cha kushikilia: hata katika nyakati hizi za giza, unakua. Unatafuta vipande vyako ambavyo hukuwahi kujua vipo. Unagundua uthabiti katika machozi yako na ujasiri katika mazingira magumu yako. Na hauko peke yako, hata wakati inahisi kama ulimwengu hauoni mapambano yako. Mahali fulani huko nje, mtu anakujali, anakuamini, na angefanya chochote kukukumbusha nguvu zako.

    Kwa hiyo usiku wa leo, ikiwa uzito unahisi kuwa mzito sana, ujue kuwa ni sawa kupumzika. Ni sawa kujisikia, kuruhusu machozi kuanguka, na kuchukua muda kwa ajili yako mwenyewe. Lakini kumbuka, hii ni sura tu, sio hadithi nzima. Siku angavu zaidi zinakuja, na utatazama nyuma wakati huu kama uthibitisho wa roho yako isiyoweza kuvunjika.

    Una nguvu kuliko unavyofikiria, na hauko peke yako. Endelea, pumzi moja, chozi moja, na dakika moja baada ya nyingine. Umepata hii.

    #Vita vya Kimya #Una Nguvu #Inakuwa Bora #UponyajiHuchukuaMuda #Hauko Peke Yako
    "Uzito wa Vita vya Kimya" Wakati mwingine, sehemu ngumu zaidi ya siku ni wakati uko peke yako na mawazo yako-wakati unapolala, na ulimwengu unatulia. Ni katika utulivu huu ambapo uzito wa hisia ambazo umesukuma kando siku nzima huja haraka. Unafunika uso wako, sio tu kuficha machozi lakini kujikinga na mafuriko makubwa ya hisia ambazo hujui jinsi ya kuzishughulikia kila wakati. Hakuna anayezungumza jinsi inavyochosha kubeba uzito wa moyo mzito. Kutabasamu unapovunjika ndani, kushikilia pamoja unapojisikia kutengana, na kuendelea wakati kila kitu ndani yako kinataka tu kusitisha. Vita hivi havionekani kwa ulimwengu lakini vyote ni vya kweli kwako. Wewe si dhaifu kwa kuhisi hivi. Hujavunjika kwa sababu una wakati ambapo ni nyingi sana. Kwa kweli, nguvu inayohitajiwa ili kukabiliana na hisia hizi—kujiruhusu kujisikia, kulia, na kuachilia uzito—haiwezi kupimika. Inakukumbusha kuwa wewe ni binadamu, kwamba unasafiri safari hii kwa ujasiri, hata katika siku ambazo huhisi kama huvumilia kwa urahisi. Lakini hapa kuna kitu cha kushikilia: hata katika nyakati hizi za giza, unakua. Unatafuta vipande vyako ambavyo hukuwahi kujua vipo. Unagundua uthabiti katika machozi yako na ujasiri katika mazingira magumu yako. Na hauko peke yako, hata wakati inahisi kama ulimwengu hauoni mapambano yako. Mahali fulani huko nje, mtu anakujali, anakuamini, na angefanya chochote kukukumbusha nguvu zako. Kwa hiyo usiku wa leo, ikiwa uzito unahisi kuwa mzito sana, ujue kuwa ni sawa kupumzika. Ni sawa kujisikia, kuruhusu machozi kuanguka, na kuchukua muda kwa ajili yako mwenyewe. Lakini kumbuka, hii ni sura tu, sio hadithi nzima. Siku angavu zaidi zinakuja, na utatazama nyuma wakati huu kama uthibitisho wa roho yako isiyoweza kuvunjika. Una nguvu kuliko unavyofikiria, na hauko peke yako. Endelea, pumzi moja, chozi moja, na dakika moja baada ya nyingine. Umepata hii. ❤️ #Vita vya Kimya #Una Nguvu #Inakuwa Bora #UponyajiHuchukuaMuda #Hauko Peke Yako
    Love
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·1χλμ. Views
  • Privaldinho akijibu hoja pichani.

    "Biashara ya usemaji sio kama biashara ya matikitiki.

    Media ni kiungo muhimu sana kinachounganisha Idara ya Masoko na wanachama na mashibiki
    Idara ya Masoko na Wadau
    Idara ya masoko na jamii

    Usemaji ni zaidi ya tambo za mitandaoni mnazoona.

    Tumefanya activations nyingi sana ambazo msimamizi mkuu ni Ally Kamwe akishirikiana na @i_sammjr

    Ally Kamwe alianzisha match day treatment and agenda, Mfano Aziz Ki Day. Baadae wadau wakaweka fedha kwenye mechi za Bacca Day, Muda Day, Max Day na Pacome Day tulipaka bleech

    Tulipata wadau kama vile, ZIC, ZIPA PZB na CRDB. CRDB walisupport safari yetu ya kwenda Afrika Kusini Twenzetu kwa madiba ambapo Ally Kamwe aliongoza kampeni hiyo kupitia Azam TV.

    Ally Kamwe akaanzisha kampeni ya kupeleka mashabiki Rwanda na DR Congo ambazo zote ni ilikuwa media agenda, na klabu ilikusanya zaidi ya 100m.

    Tulipata dili za Visit Zanzibar ni moja ya dili kubwa sana ambapo klabu imeingiza zaidi ya milion 500. Dili hili limekuja kutokana na hamasa kubwa ya media ambayo imeongozwa na Ally Kamwe

    Supu Day ilidhaminiwa na Sportpesa na GSM klabu iliingiza zaidi ya milion 30. Kitabu, Documentary kote huku tumeingiza mamilion ya fedha.

    Tulikuwa na Public viewing hapa Jangwan tukiwa na GSM, Haier ambapo klabu iliingiza fedha kupitia hilo na yote hayo ilikuwa media agenda.

    Ukiachana na Hamasa ya media, kupitia idara ya media fedha nyingi zimeingia moja kwa moja chini ya usimamizi wa Msemaji wetu.

    Yanga SC inaingiza mamilion ya fedha kila mwezi kupitia Yanga APP ambapo hivi karibu tumekusanya zaidi ya milion 300 kupitia APP

    Yanga ndio klabu namba moja kwa views zaidi kupitia ukurasa wa Youtube barani AFRIKA ikiwa na views 221m. Huku YouTube kila mwezi Yanga inaingiza mamilion ya fedha.

    Media ya Yanga ndio imepush agenda kubwa ya usajili wa wanachama kwa klabu ambapo kwa mwaka tumekuwa na wastani Tsh 1 bilion kwenye zoezi ya usajili.

    Unaposema wasemaji unapaswa kumuondoa Ally Kamwe kwanza kisha ujadili hao wanaobakia.

    Hamasa ni hela. Tunaongelea Hamasa sio comedy. Kazi kubwa ambayo ameifanya Ally Kamwe imeiingizia Yanga mabilion ya hela. Tumeondoka kwenye Hamasa zaidi Makelele tukafanya biashara" - Privaldinho, Mkuu wa kitengo cha maudhui wa klabu ya Yanga SC.

    Privaldinho akijibu hoja pichani. "Biashara ya usemaji sio kama biashara ya matikitiki. Media ni kiungo muhimu sana kinachounganisha Idara ya Masoko na wanachama na mashibiki Idara ya Masoko na Wadau Idara ya masoko na jamii Usemaji ni zaidi ya tambo za mitandaoni mnazoona. Tumefanya activations nyingi sana ambazo msimamizi mkuu ni Ally Kamwe akishirikiana na @i_sammjr Ally Kamwe alianzisha match day treatment and agenda, Mfano Aziz Ki Day. Baadae wadau wakaweka fedha kwenye mechi za Bacca Day, Muda Day, Max Day na Pacome Day tulipaka bleech Tulipata wadau kama vile, ZIC, ZIPA PZB na CRDB. CRDB walisupport safari yetu ya kwenda Afrika Kusini Twenzetu kwa madiba ambapo Ally Kamwe aliongoza kampeni hiyo kupitia Azam TV. Ally Kamwe akaanzisha kampeni ya kupeleka mashabiki Rwanda na DR Congo ambazo zote ni ilikuwa media agenda, na klabu ilikusanya zaidi ya 100m. Tulipata dili za Visit Zanzibar ni moja ya dili kubwa sana ambapo klabu imeingiza zaidi ya milion 500. Dili hili limekuja kutokana na hamasa kubwa ya media ambayo imeongozwa na Ally Kamwe Supu Day ilidhaminiwa na Sportpesa na GSM klabu iliingiza zaidi ya milion 30. Kitabu, Documentary kote huku tumeingiza mamilion ya fedha. Tulikuwa na Public viewing hapa Jangwan tukiwa na GSM, Haier ambapo klabu iliingiza fedha kupitia hilo na yote hayo ilikuwa media agenda. Ukiachana na Hamasa ya media, kupitia idara ya media fedha nyingi zimeingia moja kwa moja chini ya usimamizi wa Msemaji wetu. Yanga SC inaingiza mamilion ya fedha kila mwezi kupitia Yanga APP ambapo hivi karibu tumekusanya zaidi ya milion 300 kupitia APP Yanga ndio klabu namba moja kwa views zaidi kupitia ukurasa wa Youtube barani AFRIKA ikiwa na views 221m. Huku YouTube kila mwezi Yanga inaingiza mamilion ya fedha. Media ya Yanga ndio imepush agenda kubwa ya usajili wa wanachama kwa klabu ambapo kwa mwaka tumekuwa na wastani Tsh 1 bilion kwenye zoezi ya usajili. Unaposema wasemaji unapaswa kumuondoa Ally Kamwe kwanza kisha ujadili hao wanaobakia. Hamasa ni hela. Tunaongelea Hamasa sio comedy. Kazi kubwa ambayo ameifanya Ally Kamwe imeiingizia Yanga mabilion ya hela. Tumeondoka kwenye Hamasa zaidi Makelele tukafanya biashara" - Privaldinho, Mkuu wa kitengo cha maudhui wa klabu ya Yanga SC.
    Like
    Love
    2
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·2χλμ. Views
  • Maisha ni safari, furahia kila hatua."
    ."
    Maisha ni safari, furahia kila hatua." ."
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·496 Views
  • Mahakama ya Katiba ya Nchi ya Korea Kusini imemwondoa madarakani Rais wa Nchi hiyo, Yoon Suk Yeol aliyekuwa amefutwa kazi kwa kura ya kutokuwa na imani naye, leo imefika mwisho safari ya Urais wake. Uamuzi huo umefikiwa na mahakama leo Ijumaa Aprili 4, 2025, baada ya kutangaza kuwa Rais Yoon hapaswi kuendelea tena kuwepo katika Ikulu ya Taifa hilo na kutoa fursa ya kufanyika kwa uchaguzi mwingine ili kumpa Rais mpya.

    Rais Yoon ambaye ni Mwanasheria wa zamani wa Serikali, aliingia kwenye siasa mwaka mmoja tu kabla ya kushinda Urais mwaka 2022, amepitia misukosuko tangu alipotangaza kuiweka Korea Kusini chini ya Sheria ya Kijeshi (Martial Law) mwishoni mwa 2024. Katika uamuzi uliosomwa mubashara kwenye Televisheni, Kaimu Jaji Mkuu wa Mahakama hiyo, Moon Hyung-bae, amesema jopo la Majaji wanane (8) lilithibitisha kuondolewa kwa Yoon kwa sababu tangazo lake la sheria ya kijeshi lilikiuka katiba na sheria nyingine za Nchi hiyo kwa kiwango kikubwa.

    Mahakama ya Katiba ya Nchi ya Korea Kusini 🇰🇷imemwondoa madarakani Rais wa Nchi hiyo, Yoon Suk Yeol aliyekuwa amefutwa kazi kwa kura ya kutokuwa na imani naye, leo imefika mwisho safari ya Urais wake. Uamuzi huo umefikiwa na mahakama leo Ijumaa Aprili 4, 2025, baada ya kutangaza kuwa Rais Yoon hapaswi kuendelea tena kuwepo katika Ikulu ya Taifa hilo na kutoa fursa ya kufanyika kwa uchaguzi mwingine ili kumpa Rais mpya. Rais Yoon ambaye ni Mwanasheria wa zamani wa Serikali, aliingia kwenye siasa mwaka mmoja tu kabla ya kushinda Urais mwaka 2022, amepitia misukosuko tangu alipotangaza kuiweka Korea Kusini chini ya Sheria ya Kijeshi (Martial Law) mwishoni mwa 2024. Katika uamuzi uliosomwa mubashara kwenye Televisheni, Kaimu Jaji Mkuu wa Mahakama hiyo, Moon Hyung-bae, amesema jopo la Majaji wanane (8) lilithibitisha kuondolewa kwa Yoon kwa sababu tangazo lake la sheria ya kijeshi lilikiuka katiba na sheria nyingine za Nchi hiyo kwa kiwango kikubwa.
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·1χλμ. Views
  • EPUKA MAISHA FEKI YA KIJAMII...

    Tunaishi katika zama ambazo watu hawafanyi kazi tena ili kufanikiwa; wanafanya kazi ili waonekane wamefanikiwa. Ambapo watu hawatafuti tena uzuri wa kweli, lakini udanganyifu wa uzuri. Na ambapo mahusiano hayahusu tena upendo, bali kuhusu kuonyesha toleo lililohaririwa kwa uangalifu la upendo. Shida ni kwamba wanaume wa kisasa hutumia mitandao ya kijamii kughushi mafanikio yao. Wanawake wa kisasa hutumia mitandao ya kijamii kudanganya uzuri wao. Na wawili hawa wanapoingia kwenye uhusiano, wote wawili hutumia mitandao ya kijamii kughushi furaha yao. Hii ina maana gani? Inamaanisha kwamba tunaishi katika ulimwengu wa udanganyifu. Ulimwengu ambao wengi hawajaribu kujenga utajiri wa kweli, wanajaribu tu kuonekana matajiri. Ulimwengu ambapo wanawake wengi hawafanyi kazi juu ya tabia zao, wanafanya kazi tu kwenye vichungi. Ulimwengu ambao uhusiano hauhusu upendo na uaminifu, lakini ni nani anayechapisha picha bora za 'malengo ya wanandoa'. Mafanikio si utendaji wa hadhira. Haipimwi kwa magari, saa, au likizo zilizochapishwa mtandaoni. Mafanikio ni safari, sio post. Walakini, wanaume wa kisasa wanadanganya. Wanaazima magari ili kupiga picha, hukodisha vyumba vya bei ghali ili kuwavutia watu wasiowajua, na kuvaa chapa ambazo hawawezi kumudu. Katika mchakato huo, wanajipoteza. Wanazingatia zaidi kuonekana tajiri kuliko kuwa tajiri.

    Ulimwengu hautoi thawabu kwa kuonekana; inatuza vitu. Unaweza kudanganya watu mtandaoni, lakini huwezi kudanganya ukweli. Ukijifanya kuwa umefanikiwa bila msingi wa bidii, nidhamu na hekima, muda utakuweka wazi. Anasa iliyokodishwa haiwezi kudumisha mawazo duni. Wanawake wa kisasa, pia, wameanguka katika mtego huu. Uzuri sio asili tena; sasa ni bandia. Wengi hutegemea vichungi, upasuaji, na uhariri mzito. Badala ya kuimarisha roho zao, wanaboresha picha zao. Badala ya kujenga akili zao, wanajenga udanganyifu. Lakini nini kinatokea wakati ukweli unakutana na udanganyifu? Ni nini hufanyika wakati kichujio kinapozimwa? Mwanamke ambaye ni mrembo tu mtandaoni lakini hana tabia katika maisha halisi atawavutia wanaume wanaopenda udanganyifu tu, si uhalisia. Wanaume halisi hawatafuti vichungi; wanatafuta wema, wema, akili, kwa mwanamke ambaye uzuri wake si usoni tu bali moyoni. Kwangu mimi, mitandao ya kijamii ni chombo, si kioo cha maisha. Haipaswi kufafanua wewe ni nani. Mafanikio ya mwanamume hayatokani na jinsi mtindo wake wa maisha unavyoonekana ghali mtandaoni, lakini katika uhalisia jinsi alivyo na nidhamu, uchapakazi na kuwajibika. Uzuri wa mwanamke sio jinsi uso wake unavyoonekana kwenye Instagram, lakini kwa jinsi roho, akili na tabia yake ilivyo nzuri katika maisha halisi. Furaha ya uhusiano haiko katika idadi ya likes na maoni inayopata, lakini kwa amani, upendo na umoja watu hao wawili hushiriki bila milango.

    Kuwa halisi. Fanyia kazi mafanikio yako ya kweli, sio picha yako ya mtandaoni. Kuza uzuri wako halisi, si tu uso wako uliochujwa. Jenga uhusiano wa kweli, sio hadithi ya hadithi ya Instagram. Kwa sababu mwisho wa siku ukweli utafichua udanganyifu kila wakati.

    Credit
    Rev.Albert Nwosu
    EPUKA MAISHA FEKI YA KIJAMII... Tunaishi katika zama ambazo watu hawafanyi kazi tena ili kufanikiwa; wanafanya kazi ili waonekane wamefanikiwa. Ambapo watu hawatafuti tena uzuri wa kweli, lakini udanganyifu wa uzuri. Na ambapo mahusiano hayahusu tena upendo, bali kuhusu kuonyesha toleo lililohaririwa kwa uangalifu la upendo. Shida ni kwamba wanaume wa kisasa hutumia mitandao ya kijamii kughushi mafanikio yao. Wanawake wa kisasa hutumia mitandao ya kijamii kudanganya uzuri wao. Na wawili hawa wanapoingia kwenye uhusiano, wote wawili hutumia mitandao ya kijamii kughushi furaha yao. Hii ina maana gani? Inamaanisha kwamba tunaishi katika ulimwengu wa udanganyifu. Ulimwengu ambao wengi hawajaribu kujenga utajiri wa kweli, wanajaribu tu kuonekana matajiri. Ulimwengu ambapo wanawake wengi hawafanyi kazi juu ya tabia zao, wanafanya kazi tu kwenye vichungi. Ulimwengu ambao uhusiano hauhusu upendo na uaminifu, lakini ni nani anayechapisha picha bora za 'malengo ya wanandoa'. Mafanikio si utendaji wa hadhira. Haipimwi kwa magari, saa, au likizo zilizochapishwa mtandaoni. Mafanikio ni safari, sio post. Walakini, wanaume wa kisasa wanadanganya. Wanaazima magari ili kupiga picha, hukodisha vyumba vya bei ghali ili kuwavutia watu wasiowajua, na kuvaa chapa ambazo hawawezi kumudu. Katika mchakato huo, wanajipoteza. Wanazingatia zaidi kuonekana tajiri kuliko kuwa tajiri. Ulimwengu hautoi thawabu kwa kuonekana; inatuza vitu. Unaweza kudanganya watu mtandaoni, lakini huwezi kudanganya ukweli. Ukijifanya kuwa umefanikiwa bila msingi wa bidii, nidhamu na hekima, muda utakuweka wazi. Anasa iliyokodishwa haiwezi kudumisha mawazo duni. Wanawake wa kisasa, pia, wameanguka katika mtego huu. Uzuri sio asili tena; sasa ni bandia. Wengi hutegemea vichungi, upasuaji, na uhariri mzito. Badala ya kuimarisha roho zao, wanaboresha picha zao. Badala ya kujenga akili zao, wanajenga udanganyifu. Lakini nini kinatokea wakati ukweli unakutana na udanganyifu? Ni nini hufanyika wakati kichujio kinapozimwa? Mwanamke ambaye ni mrembo tu mtandaoni lakini hana tabia katika maisha halisi atawavutia wanaume wanaopenda udanganyifu tu, si uhalisia. Wanaume halisi hawatafuti vichungi; wanatafuta wema, wema, akili, kwa mwanamke ambaye uzuri wake si usoni tu bali moyoni. Kwangu mimi, mitandao ya kijamii ni chombo, si kioo cha maisha. Haipaswi kufafanua wewe ni nani. Mafanikio ya mwanamume hayatokani na jinsi mtindo wake wa maisha unavyoonekana ghali mtandaoni, lakini katika uhalisia jinsi alivyo na nidhamu, uchapakazi na kuwajibika. Uzuri wa mwanamke sio jinsi uso wake unavyoonekana kwenye Instagram, lakini kwa jinsi roho, akili na tabia yake ilivyo nzuri katika maisha halisi. Furaha ya uhusiano haiko katika idadi ya likes na maoni inayopata, lakini kwa amani, upendo na umoja watu hao wawili hushiriki bila milango. Kuwa halisi. Fanyia kazi mafanikio yako ya kweli, sio picha yako ya mtandaoni. Kuza uzuri wako halisi, si tu uso wako uliochujwa. Jenga uhusiano wa kweli, sio hadithi ya hadithi ya Instagram. Kwa sababu mwisho wa siku ukweli utafichua udanganyifu kila wakati. Credit Rev.Albert Nwosu
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·2χλμ. Views
  • Balozi wa Afrika Kusini Nchini Marekani , Ebrahim Rasool ambaye ametimuliwa na Nchi ya Marekani kutokana na kukosoa sera za Donald Trump, amerejea Afrika Kusini kwa ufakhari mkubwa na kupokewa kwa shangwe na mamia ya Wananchi waliofurika kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Cape Town Nchini Afrika Kusini.

    Balozi huyo na mkewe, Rosieda, waliwasili jana katika Uwanda wa Ndege wa Kimataifa wa Cape Town baada ya kusafari kutoka Nchini Marekani kupitia Qatar na wamekaribishwa vyema na kwa shangwe na mamia ya Wafuasi wao. Mapema mwezi huu, Balozi Rasool alitangazwa na Serikali ya Marekani kuwa ni Mtu asiyetakiwa kuweko Nchini humo baada ya kukosoa sera za Donald Trump, hatua ambayo inaonesha wazi jinsi madai ya uhuru wa kusema yasivyothaminiwa Nchini Marekani licha ya majigambo makubwa ya Nchi Marekani ya kupigania haki za Binadamu na demokrasia.

    Akiwahutubia mamia ya Mashabiki wake kwenye Uwanja wa Ndege wa Cape Town, Balozi Rasool amesema kwamba ingawa ametakiwa kuondoka huko Marekani lakini jambo hilo limeshindwa kufikia lengo lake kwani Viongozi wa Marekani wanadhani wamemdhalilisha wakati yeye anaona fakhari kwa maneno aliyotoa na Wananchi wa Afrika Kusini nao wanajivunia msimamo huo ndio maana wamejitokea kwa mamia kumpokea kishujaa.

    "Unaporejea nyumbani na kupokewa kwa shangwe na umati kama huu wa watu, mtu unaona fakhari na unajivunia msimamo wako." alisema Rasool.

    Alipoulizwa iwapo diplomasia imeshindwa, amesema ukweli kwamba matamshi yake yamemfanya Trump na Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Marco Rubio kuwa makini na hatua ya Serikali ya Marekani ya kumtangaza kuwa ni Mtu asiyetakiwa nchini humo ni ushahidi kwamba ujumbe wake umefika ngazi za juu kabisa za serikali ya Marekani.

    Balozi wa Afrika Kusini 🇿🇦 Nchini Marekani 🇺🇸, Ebrahim Rasool ambaye ametimuliwa na Nchi ya Marekani kutokana na kukosoa sera za Donald Trump, amerejea Afrika Kusini kwa ufakhari mkubwa na kupokewa kwa shangwe na mamia ya Wananchi waliofurika kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Cape Town Nchini Afrika Kusini. Balozi huyo na mkewe, Rosieda, waliwasili jana katika Uwanda wa Ndege wa Kimataifa wa Cape Town baada ya kusafari kutoka Nchini Marekani kupitia Qatar na wamekaribishwa vyema na kwa shangwe na mamia ya Wafuasi wao. Mapema mwezi huu, Balozi Rasool alitangazwa na Serikali ya Marekani kuwa ni Mtu asiyetakiwa kuweko Nchini humo baada ya kukosoa sera za Donald Trump, hatua ambayo inaonesha wazi jinsi madai ya uhuru wa kusema yasivyothaminiwa Nchini Marekani licha ya majigambo makubwa ya Nchi Marekani ya kupigania haki za Binadamu na demokrasia. Akiwahutubia mamia ya Mashabiki wake kwenye Uwanja wa Ndege wa Cape Town, Balozi Rasool amesema kwamba ingawa ametakiwa kuondoka huko Marekani lakini jambo hilo limeshindwa kufikia lengo lake kwani Viongozi wa Marekani wanadhani wamemdhalilisha wakati yeye anaona fakhari kwa maneno aliyotoa na Wananchi wa Afrika Kusini nao wanajivunia msimamo huo ndio maana wamejitokea kwa mamia kumpokea kishujaa. "Unaporejea nyumbani na kupokewa kwa shangwe na umati kama huu wa watu, mtu unaona fakhari na unajivunia msimamo wako." alisema Rasool. Alipoulizwa iwapo diplomasia imeshindwa, amesema ukweli kwamba matamshi yake yamemfanya Trump na Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Marco Rubio kuwa makini na hatua ya Serikali ya Marekani ya kumtangaza kuwa ni Mtu asiyetakiwa nchini humo ni ushahidi kwamba ujumbe wake umefika ngazi za juu kabisa za serikali ya Marekani.
    Love
    Like
    3
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·1χλμ. Views
Αναζήτηση αποτελεσμάτων