• Let's unite together ili kudumisha upendo katka jamii right
    Let's unite together ili kudumisha upendo katka jamii right
    Like
    1
    1 Comments 0 Shares 38 Views
  • Time flies...
    #upendo...17
    Time flies... #upendo...17
    Like
    1
    1 Comments 0 Shares 154 Views
  • WANAUME WENGINE NI KAMA MAMBA.

    "MAMBA Kila Asubuhi Huamka na Kutoka Nje ya MAJI, Kisha Huachama na Kuacha MDOMO Wake Wazi Hali inayopelekea Kutoa Harufu Mbaya Ambayo Huwafanya NZI Kuvutiwa Nayo na Kuikimbilia Haraka Wakijua Wamepata CHAKULA Cha BURE, na Wakishajaa tu Mdomoni MAMBA Hufunga Mdomo Wake na Kuwatafuna Wote na Kumfanya MAMBA Apate Kifungua Kinywa na Kufaidika Zaidi Kisha Hurudi Zake Majini, Until Further Notice!

    "...Ndivyo Walivyo Hata Baadhi ya WANAUME, Wengi ni Kama MAMBA, Atakuonyesha na Kukuvuta Kwa Mambo Mazuri na Vitu Vingi Vyakutamanika Kama Hela, Gari, AHadi Nzuri, Zawadi, Nyumba, n k Nawewe Ukaingia Kwenye Mfumo Ukizani Wewe ndo Utafaidi na Kunufaika Kumbe Anakusubiri Ujae Kisha AKUTAFUNE Kama NZI Mdomoni Mwa MAMBA!

    "..Huu Ndio Unaitwa UPENDO wa MAMBA na Ndio Umeacha Maumivu, Vidonda, Machozi, Mimba, Majuto, Magonjwa na Usaliti Kwa Mabinti/Wanawake Wengi, Waliozani Wanapendwa na Kwamba Watafaidi Hizo Hela, AHadi Nzuri, Gari, Zawadi Walizoonyeshwa na Kupewa, Bila Kujua Huo ni Mtego Wa MAMBA Kujipatia KIFUNGUA KINYWA na Kushibisha MATAMANIO Yake, Mwisho Wakajikuta Kwenye Dimbwi Zito la MAJUTO, MACHOZI, GIZA na KUHARIBIKIWA MAISHA YAO"

    "..Dear LADIES, Hata Eva Wakati Anapewa AHadi Nzuri ya Tunda Kule Eden Alizani Anapendwa na Kujariwa, Kumbe Lilikuwa na Agenda Yake na Ndilo Lililoleta Mauti, Machozi, Maumivu, Kufukuzwa Bustanini na Kuzaa Kwa Uchungu Mpaka Leo"

    ..So Binti Be Very Careful na Huo UPENDO wa MAMBA Anaokuonyesha Huyo Jamaa Unayemuita Mpenzi au Mchumba!

    Mwenye Masikio na Asikie!
    *-MUNGU KWANZA-*
    WANAUME WENGINE NI KAMA MAMBA. "MAMBA Kila Asubuhi Huamka na Kutoka Nje ya MAJI, Kisha Huachama na Kuacha MDOMO Wake Wazi Hali inayopelekea Kutoa Harufu Mbaya Ambayo Huwafanya NZI Kuvutiwa Nayo na Kuikimbilia Haraka Wakijua Wamepata CHAKULA Cha BURE, na Wakishajaa tu Mdomoni MAMBA Hufunga Mdomo Wake na Kuwatafuna Wote na Kumfanya MAMBA Apate Kifungua Kinywa na Kufaidika Zaidi Kisha Hurudi Zake Majini, Until Further Notice! "...Ndivyo Walivyo Hata Baadhi ya WANAUME, Wengi ni Kama MAMBA, Atakuonyesha na Kukuvuta Kwa Mambo Mazuri na Vitu Vingi Vyakutamanika Kama Hela, Gari, AHadi Nzuri, Zawadi, Nyumba, n k Nawewe Ukaingia Kwenye Mfumo Ukizani Wewe ndo Utafaidi na Kunufaika Kumbe Anakusubiri Ujae Kisha AKUTAFUNE Kama NZI Mdomoni Mwa MAMBA! "..Huu Ndio Unaitwa UPENDO wa MAMBA na Ndio Umeacha Maumivu, Vidonda, Machozi, Mimba, Majuto, Magonjwa na Usaliti Kwa Mabinti/Wanawake Wengi, Waliozani Wanapendwa na Kwamba Watafaidi Hizo Hela, AHadi Nzuri, Gari, Zawadi Walizoonyeshwa na Kupewa, Bila Kujua Huo ni Mtego Wa MAMBA Kujipatia KIFUNGUA KINYWA na Kushibisha MATAMANIO Yake, Mwisho Wakajikuta Kwenye Dimbwi Zito la MAJUTO, MACHOZI, GIZA na KUHARIBIKIWA MAISHA YAO" "..Dear LADIES, Hata Eva Wakati Anapewa AHadi Nzuri ya Tunda Kule Eden Alizani Anapendwa na Kujariwa, Kumbe Lilikuwa na Agenda Yake na Ndilo Lililoleta Mauti, Machozi, Maumivu, Kufukuzwa Bustanini na Kuzaa Kwa Uchungu Mpaka Leo" ..So Binti Be Very Careful na Huo UPENDO wa MAMBA Anaokuonyesha Huyo Jamaa Unayemuita Mpenzi au Mchumba! Mwenye Masikio na Asikie! *-MUNGU KWANZA-*
    0 Comments 0 Shares 429 Views
  • kesho NAFASI ya kuanza upya
    kumaliza kuishi NAFASI ya kufa
    kuivunja sheria NAFASI ya kufuata ruksa
    kuikumbuka jana au kuanza kuifuata FUTURE
    FUTURE ni leo siku ambayo miti hukimbIA
    jua hushuka upendo wa marafiki hufifIA
    hufifia wimbi la wanafki huingIA
    kesho ya tumaini hubakIA
    kesho NAFASI ya kuanza upya kumaliza kuishi NAFASI ya kufa kuivunja sheria NAFASI ya kufuata ruksa kuikumbuka jana au kuanza kuifuata FUTURE FUTURE ni leo siku ambayo miti hukimbIA jua hushuka upendo wa marafiki hufifIA hufifia wimbi la wanafki huingIA kesho ya tumaini hubakIA
    Like
    Love
    3
    0 Comments 0 Shares 138 Views
  • kidogo tuchanane...
    ila tusiboane...
    mautalaam tuonyeshane...
    kwenye maisha tusukumane...
    wana hip hop tuwe na upendo...
    kaza buti usilegeza mwendo...
    tayari mimi nilishaziba pengo...
    ni hatari mana nipo kwenye lengo...
    msijali kidogo tutajuana...
    god bless siku tukikutana...
    salam kwa mikono tukipeana...
    itakuwa good day tutakumbatiana...
    tupendane furaha tukionyeshana...
    tusitengane... kwa pamoja tushirikiane...
    kidogo tuchanane... ila tusiboane... mautalaam tuonyeshane... kwenye maisha tusukumane... wana hip hop tuwe na upendo... kaza buti usilegeza mwendo... tayari mimi nilishaziba pengo... ni hatari mana nipo kwenye lengo... msijali kidogo tutajuana... god bless siku tukikutana... salam kwa mikono tukipeana... itakuwa good day tutakumbatiana... tupendane furaha tukionyeshana... tusitengane... kwa pamoja tushirikiane...
    Like
    3
    1 Comments 0 Shares 305 Views
  • me mzee wa kusambaza upendo...
    Ukitaka umaarufu sambaza skendo...
    Dem kicheche sambaza tendo...
    Najivunia kuwa muafrika...
    Tulishapata uhuru ila hatuna uhuru wa fikra...
    Majaribu mengi kwenye dunia...
    Walinitegea ney wakidhani nitaangamia...
    Mi kufanya Rap wanaona akili haziko sawa...
    Mipango yao mi na misingi kutugawa...
    Hip hop for life kwangu km dawa...
    Upinzani mwingi ukawa...
    Sio kila unayemuona mwema ni right person..
    Ticha am present to you right leason...
    Delila alipendwa mbn alimchoma samson...
    me mzee wa kusambaza upendo... Ukitaka umaarufu sambaza skendo... Dem kicheche sambaza tendo... Najivunia kuwa muafrika... Tulishapata uhuru ila hatuna uhuru wa fikra... Majaribu mengi kwenye dunia... Walinitegea ney wakidhani nitaangamia... Mi kufanya Rap wanaona akili haziko sawa... Mipango yao mi na misingi kutugawa... Hip hop for life kwangu km dawa... Upinzani mwingi ukawa... Sio kila unayemuona mwema ni right person.. Ticha am present to you right leason... Delila alipendwa mbn alimchoma samson...
    Like
    Love
    3
    0 Comments 0 Shares 188 Views
  • Marehemu alikuwa na upendo,, huruma na busara alifanya kwa vitendo,,aah ngeo zake pamoja na mapengo hata mali kwa magendo,,,
    try again...
    Marehemu alikuwa na upendo,, huruma na busara alifanya kwa vitendo,,aah ngeo zake pamoja na mapengo hata mali kwa magendo,,, try again...
    Like
    1
    0 Comments 0 Shares 139 Views
  • Marehemu alikuwa na upendo,, huruma na busara alifanya kwa vitendo,,aah ngeo zake pamoja na mapengo hata mali kwa magendo,,,
    try again...
    Marehemu alikuwa na upendo,, huruma na busara alifanya kwa vitendo,,aah ngeo zake pamoja na mapengo hata mali kwa magendo,,, try again...
    Like
    2
    0 Comments 0 Shares 124 Views
  • Nko juu...kiupendo
    Taratibu. ..ndio mwendo......
    Nmenasa kwako mama ...nmeziba ilo pengo.....//

    Wewe ndio wamalengo ...napenda wako upendo
    Umesimama kama moja ...huna mapepe wala zengo....//

    Askali wa moyo.....asali wa moyo
    Vile ukinanilii...mi nakuwa kibogoyo....//

    Ufundi wako naujua....kwa mapishi unajua
    Kiukweli unatisha kama maradi na mvua..../.

    Malaika wa ubavu .....ata nipige kavu
    Cna ofu na wwe ....kama paper na kitabu.....//

    Cna mbadala wako....kwangu uko peke yako
    Amin ninakupenda ....tuwe wote mpak kifo.....//

    My wushu nakagawa.....ndan ya tempo napagawa
    Nakuwa kama kichaa milembe na we ndio dawa....//
    Nko juu...kiupendo Taratibu. ..ndio mwendo...... Nmenasa kwako mama ...nmeziba ilo pengo.....// Wewe ndio wamalengo ...napenda wako upendo Umesimama kama moja ...huna mapepe wala zengo....// Askali wa moyo.....asali wa moyo Vile ukinanilii...mi nakuwa kibogoyo....// Ufundi wako naujua....kwa mapishi unajua Kiukweli unatisha kama maradi na mvua..../. Malaika wa ubavu .....ata nipige kavu Cna ofu na wwe ....kama paper na kitabu.....// Cna mbadala wako....kwangu uko peke yako Amin ninakupenda ....tuwe wote mpak kifo.....// My wushu nakagawa.....ndan ya tempo napagawa Nakuwa kama kichaa milembe na we ndio dawa....//
    Like
    1
    0 Comments 0 Shares 335 Views
  • Kuna sura.. ya ukweli na sura.. ya upendo..
    Izi zinafanana kama kicheko na sura.. ya mapengo..
    Sura.. nyngne kavu zikikuona hazikupi atashavu..
    Sina ela izi ndo sura.. za tabu.
    Sura.. ya majuto hii ni sura.. ya babu..
    Akikumbuka jins ulivyospnd ujana kwenye club..
    Sura.. ya kihard core ndo sura.. ya humu..
    Wapo wanaume wnye sura.. ya mamu..
    Sura.. ya kujijenga ndo sura.. ya mafanikio..
    Sura.. ya penda penda haichelewi kwenda mbio..
    Nashangaa hana sura.. safi muuza mafagio..
    Sura.. nyingi za kinafki kwenye furah wanaleta kilio..
    Sura.. ya uchesh ya boda ndo inasambaza vibend kwa wanao soma dada zetu..
    Tega skio upate sura.. tulivu.. usitoe jicho pambana usiwe na sura.. ya uvivu..
    Sura.. ya mateso ivue kabla haijafika kesho..
    Mana akuna sura.. special kma sura.. ya leo..
    Kuna sura.. ya ukweli na sura.. ya upendo.. Izi zinafanana kama kicheko na sura.. ya mapengo.. Sura.. nyngne kavu zikikuona hazikupi atashavu.. Sina ela izi ndo sura.. za tabu. Sura.. ya majuto hii ni sura.. ya babu.. Akikumbuka jins ulivyospnd ujana kwenye club.. Sura.. ya kihard core ndo sura.. ya humu.. Wapo wanaume wnye sura.. ya mamu.. Sura.. ya kujijenga ndo sura.. ya mafanikio.. Sura.. ya penda penda haichelewi kwenda mbio.. Nashangaa hana sura.. safi muuza mafagio.. Sura.. nyingi za kinafki kwenye furah wanaleta kilio.. Sura.. ya uchesh ya boda ndo inasambaza vibend kwa wanao soma dada zetu.. Tega skio upate sura.. tulivu.. usitoe jicho pambana usiwe na sura.. ya uvivu.. Sura.. ya mateso ivue kabla haijafika kesho.. Mana akuna sura.. special kma sura.. ya leo..
    0 Comments 0 Shares 247 Views
More Results