• SIKU YA MWANANCHI

    #EXCLUSIVE;Timu ya Wananchi Yanga inatarajiwa kucheza mchezo wa kimataifa wa kirafiki siku ya mwananchi tarehe 12.9.2025 dhidi ya timu ya BANDARI FC kutoka nchini Kenya.

    #BandariFc #SikuYaMwananchi #YangaSC

    #SportsElite
    SIKU YA MWANANCHI 🚨#EXCLUSIVE;Timu ya Wananchi Yanga inatarajiwa kucheza mchezo wa kimataifa wa kirafiki siku ya mwananchi tarehe 12.9.2025 dhidi ya timu ya BANDARI FC kutoka nchini Kenya. #BandariFc #SikuYaMwananchi #YangaSC #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·482 Views
  • Azam FC wamepoteza mchezo wa kirafiki dhidi ya AS Kigali kwa bao 1-0 ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya msimu mpya

    #SportsElite
    🚨🚨Azam FC wamepoteza mchezo wa kirafiki dhidi ya AS Kigali kwa bao 1-0 ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya msimu mpya✍️ #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·197 Views
  • Mchezo wa kirafiki kati ya Simba Sc dhidi ya Al-Zulfi SFC ya nchini Saudia umemalizika kwa Simba kuibuka na ushindi wa goli 1️⃣ kwa 0️⃣.

    Goli la Simba limefungwa mapema kipindi cha kwanza na kiungo Jean Ahoua kwa faulo ya moja kwa moja.

    #SportsElite
    🚨🚨Mchezo wa kirafiki kati ya Simba Sc dhidi ya Al-Zulfi SFC ya nchini Saudia umemalizika kwa Simba kuibuka na ushindi wa goli 1️⃣ kwa 0️⃣. Goli la Simba limefungwa mapema kipindi cha kwanza na kiungo Jean Ahoua kwa faulo ya moja kwa moja. #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·221 Views
  • Klabu ya Yanga imekamlisha usajili wa Mchezaji Edmund John kutoka Singida Black Stars

    Edmund John ni miongoni mwa wachezaji wa Yanga ambao wamewasili Rwanda kwaajili ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Rayon Sports siku ya Ijumaa

    Edmund raia wa Tanzania anajiunga na Yanga kwa mkataba wa miaka miwili.


    #SportsElite
    🚨🚨Klabu ya Yanga imekamlisha usajili wa Mchezaji Edmund John kutoka Singida Black Stars Edmund John ni miongoni mwa wachezaji wa Yanga ambao wamewasili Rwanda kwaajili ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Rayon Sports siku ya Ijumaa Edmund raia wa Tanzania anajiunga na Yanga kwa mkataba wa miaka miwili. #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·403 Views
  • Meneja wa Paris Saint Germain, Luis Enrique ameweka wazi kuwa Uongozi wa klabu hiyo unamuunga mkono kwenye uamuzi wake wa kuachana na Golikipa Gianluigi Donnarumma kutokuwa sehemu ya kikosi cha Timu hiyo hivyo ataanza kwa kuukosa mchezo wa UEFA Super Cup.

    Kipa huyo raia wa Italia aliachwa nje ya kikosi kilichosafiri hadi Udine kwa mechi ya kirafiki leo dhidi ya Tottenham, huku Magolikipa Lucas Chevalier na Renato Marin wakichaguliwa badala yake.

    Katika chapisho lake kwenye mtandao wake wa Instagram, Donnarumma alisema "amesikitishwa na kuvunjika moyo" kwa kukosekana kwake.
    Nyota huyo alikuwa mmoja wa wachezaji wa PSG walioshinda taji la Ligi ya Mabingwa msimu uliopita na uamuzi huo umekuja kwa mshtuko kutokana na hadhi yake na wasifu wake.

    Enrique alisema uamuzi wake ulikuwa na lengo la kutafuta Golikipa mwenye "wasifu tofauti" na Gigi.

    "Uongozi unaniunga mkono na tunajaribu kutafuta suluhu bora," aliongea kwenye mkutano wa wanahabari Jumanne.

    "Ni uamuzi mgumu, namkubali Donnarumma kwani ni mmoja wa makipa bora na mtu bora zaidi. Lakini tulikuwa tunatafuta wasifu tofauti, na ni vigumu sana kuchukua maamuzi ya aina hii." - alimaliza kwa kusema hivyo.

    #SportsElite
    🚨🚨Meneja wa Paris Saint Germain, Luis Enrique ameweka wazi kuwa Uongozi wa klabu hiyo unamuunga mkono kwenye uamuzi wake wa kuachana na Golikipa Gianluigi Donnarumma kutokuwa sehemu ya kikosi cha Timu hiyo hivyo ataanza kwa kuukosa mchezo wa UEFA Super Cup. Kipa huyo raia wa Italia aliachwa nje ya kikosi kilichosafiri hadi Udine kwa mechi ya kirafiki leo dhidi ya Tottenham, huku Magolikipa Lucas Chevalier na Renato Marin wakichaguliwa badala yake. Katika chapisho lake kwenye mtandao wake wa Instagram, Donnarumma alisema "amesikitishwa na kuvunjika moyo" kwa kukosekana kwake. Nyota huyo alikuwa mmoja wa wachezaji wa PSG walioshinda taji la Ligi ya Mabingwa msimu uliopita na uamuzi huo umekuja kwa mshtuko kutokana na hadhi yake na wasifu wake. Enrique alisema uamuzi wake ulikuwa na lengo la kutafuta Golikipa mwenye "wasifu tofauti" na Gigi. "Uongozi unaniunga mkono na tunajaribu kutafuta suluhu bora," aliongea kwenye mkutano wa wanahabari Jumanne. "Ni uamuzi mgumu, namkubali Donnarumma kwani ni mmoja wa makipa bora na mtu bora zaidi. Lakini tulikuwa tunatafuta wasifu tofauti, na ni vigumu sana kuchukua maamuzi ya aina hii." - alimaliza kwa kusema hivyo. #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·538 Views
  • Kwenye mchezo wa kirafiki dhidi ya stoke city kipindi cha kwanza pekee kimetosha Kwa Nunez kufunga Hat-trick 8',12',14'.



    #SportsElite
    Kwenye mchezo wa kirafiki dhidi ya stoke city kipindi cha kwanza pekee kimetosha Kwa Nunez kufunga Hat-trick 8',12',14'. #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·152 Views
  • FOLLOW THE INSTRUCTIONS

    Like, Comment, share
    nitakuwa rafiki ako!!
    FOLLOW THE INSTRUCTIONS 👇 Like, Comment, share nitakuwa rafiki ako!!
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·562 Views
  • NIOMBE URAFIKI
    NIOMBE URAFIKI
    Love
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·181 Views
  • Ombiiii.....
    iliuweze kupata pesa #SocialPop inabidi uwe na rafiki wa kuweza kukutaza na kuona kile unachofanya,nifanye kuwa rafiki ako nami nita_kufollow usisahau ku like page yangu nami nitaku_like
    Ombiiii..... iliuweze kupata pesa #SocialPop inabidi uwe na rafiki wa kuweza kukutaza na kuona kile unachofanya,nifanye kuwa rafiki ako nami nita_kufollow usisahau ku like page yangu nami nitaku_like
    0 Comments ·0 Shares ·793 Views
  • *Roho mtakatifu kama mlinzi wetu*

    Isaya 4:5-6
    [5]Tena juu ya makao yote ya mlima Sayuni, na juu ya makusanyiko yake, BWANA ataumba *wingu na moshi wakati wa mchana, na mwangaza wa miali ya moto wakati wa usiku;* kwa maana juu ya utukufu wote itatandazwa sitara.
    .
    [6]Kisha kutakuwa na hema kuwa uvuli wakati wa mchana kwa sababu ya hari, na kuwa mahali pa kukimbilia na kujificha wakati wa tufani na mvua.


    Wingu linalozungumzwa hapo kwenye agano la kale ni *Roho mtakatifu*

    Kumbe ukimkubali Kristo na kuuoshi wokovu roho wa Bwana anakuwa ndani yako na kazi moja wapo ya huyo *roho ni kukulinda wewe ulieamini*

    Mtu aliye mshika kristo ns kumuamini na kumpokea roho wake wakati wa mchana anafunikwa na kutulizwa na *Bwana na wakati wa usiku anamulikwa na Bwana*


    Kumbe kama roho wa Mungu anatumulika na kutukinga nini kinafanya watu wa Mungu tushindwe kuziishi ahadi ,*tumemuwekea mipaka roho mtakatifu* tukiamini *kunena kwa lugha ndo kipawa na jukumu la roho mtakatifu*

    Sasa tukitizama wakati taifa la islaeri limetoka misri lilikuwa linaongozwa na wingu la Bwana.

    Kutoka 13:21-22
    [21] *BWANA naye akawatangulia mchana ndani ya wingu mfano wa nguzo, ili awaongoze njia*; na usiku, *ndani ya moto mfano wa nguzo, ili kuwapa nuru*; wapate kusafiri mchana na usiku;*

    [22]ile nguzo ya wingu *haikuondoka mchana, wala ile nguzo ya moto haikuondoka usiku,* mbele ya hao watu.

    Hivi ndivyo roho wa Mungu anavyo paswa kukuongoza wakati wa mchana na wakati wa usiku .

    Ukiwa na roho wa Bwana na akawa rafiki yako na kiongozi wako utafanya biashara kwa kubahatisha badala yake yeye atakuongoza uza kitu chenye wateja.

    Unaweza mkaribisha jirani yako kujifunza neno na sisi kwa kujoin link hapa chini
    https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4

    Walokole tunakosa jicho la kuona fursa sababu tumemuwekea mipaka roho mtakatifu na wakati mwingine anatupa wazo tunalizimisha kwa kuto kujiamini na matokeo yake tunabaki jinsi tulivyo.

    Mtu aliye okoka na *akakubali kutii ndiye anayepaswa kula mema ya nchi* lakini imekuwa tofauti na uhalisia mtu ameokoka anaoshi dhana ya kuamini kuwa atakula kwa jasho iyo ilifanya kazi kabla ya wewe kuokoka saizi wewe unakula kwa wazo la kiMungu linalo shushwa na roho mtakatifu na wewe ukichukua hatua linageuka na kuleta matokeo .

    Musa aliijua siri hii ndo mana pasipo wingu akuenda mbele au kurudi nyuma.

    Kutoka 40:37
    [37]bali kama lile wingu halikuinuliwa, wakati ule hawakusafiri hata siku ile lilipoinuliwa tena.

    Cha kujiuliza mimi na wewe ni hatua ngapi yumepiga bila kuongozwa na roho mtakatifu na tukapelekea kupoteza thamani zetu .

    Iko haja turudi kuitafuta toba kwani ni hatua tulienda mbele lakini kumbe ni shetani *alitutenda tu kwa akiri*

    Ni kweli tuliyaona matokeo lakini hayakuwa ya bwana turudi tuitafute tona kwani ya matokeo ya Bwana yanakuja.

    Unasema na sema nini muulize samweli alipo enda nyumbani kwa mzee Yese aliletewa watu 6 ambao ni expert na ni mashujaa kwa kuwaona na yey mwenyewe akazani kuwa yupo mmoja wapo lakini msikie bwana alivyo mwambia

    1 Samweli 16:7
    [7]Lakini BWANA akamwambia Samweli, Usimtazame uso wake, wala urefu wa kimo chake; kwa maana mimi nimemkataa. BWANA haangalii kama binadamu aangaliavyo; maana wanadamu huitazama sura ya nje, bali BWANA huutazama moyo.

    Samweli aljvyo mtazama Abnadabu aliona sifa zote za kuwa mfalme lakini roho akuona kama samweli alivyo kuwa anaona.

    Kumbe hata sisi hatupaswi kuingia kazini ,au kwenye biashara hata kwenye kilimo sababu tu watu wamesema kilimo cha matikiti kinatoa tunapaswa kutazama *Bwana anasema nini*

    Yakobo alimtazama bwana na bwana akamwambia nenda nami nitakuwa pamoja nawe na kukurejesha tena .

    Ok ahsante sana tusiache kuomba toba ungana nami toba hii

    *BWANA YESU TUNAKUJA MBELE ZAKO KUNA HATUA NILISOGEA BILA WEWE ROHO NAOMBA TOBA NISAMEHE YESU NA TANGU LEO NAOMBA ROHO WAKO MTAKATIFU ATEMBEE NA MIMI KAMA MUSA NA WANAISLAERI WALIVYO TEMBEA NA WINGU LAKO WAKATI WA MCHANA UNIPE KIVULI NA WAKATI WA USIKU UNIPE MWANGA SAWA SAWA NA KWENYE MAISHA YANGU* .AMEN

    Ahsante sana naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden ministry)

    Unaweza mkaribisha jirani yako kujifunza neno na sisi kwa kujoin link hapa chini
    https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4

    #Restoremenposition
    #build new eden
    #youth reformation and revival
    *Roho mtakatifu kama mlinzi wetu* Isaya 4:5-6 [5]Tena juu ya makao yote ya mlima Sayuni, na juu ya makusanyiko yake, BWANA ataumba *wingu na moshi wakati wa mchana, na mwangaza wa miali ya moto wakati wa usiku;* kwa maana juu ya utukufu wote itatandazwa sitara. . [6]Kisha kutakuwa na hema kuwa uvuli wakati wa mchana kwa sababu ya hari, na kuwa mahali pa kukimbilia na kujificha wakati wa tufani na mvua. Wingu linalozungumzwa hapo kwenye agano la kale ni *Roho mtakatifu* Kumbe ukimkubali Kristo na kuuoshi wokovu roho wa Bwana anakuwa ndani yako na kazi moja wapo ya huyo *roho ni kukulinda wewe ulieamini* Mtu aliye mshika kristo ns kumuamini na kumpokea roho wake wakati wa mchana anafunikwa na kutulizwa na *Bwana na wakati wa usiku anamulikwa na Bwana* Kumbe kama roho wa Mungu anatumulika na kutukinga nini kinafanya watu wa Mungu tushindwe kuziishi ahadi ,*tumemuwekea mipaka roho mtakatifu* tukiamini *kunena kwa lugha ndo kipawa na jukumu la roho mtakatifu* Sasa tukitizama wakati taifa la islaeri limetoka misri lilikuwa linaongozwa na wingu la Bwana. Kutoka 13:21-22 [21] *BWANA naye akawatangulia mchana ndani ya wingu mfano wa nguzo, ili awaongoze njia*; na usiku, *ndani ya moto mfano wa nguzo, ili kuwapa nuru*; wapate kusafiri mchana na usiku;* [22]ile nguzo ya wingu *haikuondoka mchana, wala ile nguzo ya moto haikuondoka usiku,* mbele ya hao watu. Hivi ndivyo roho wa Mungu anavyo paswa kukuongoza wakati wa mchana na wakati wa usiku . Ukiwa na roho wa Bwana na akawa rafiki yako na kiongozi wako utafanya biashara kwa kubahatisha badala yake yeye atakuongoza uza kitu chenye wateja. Unaweza mkaribisha jirani yako kujifunza neno na sisi kwa kujoin link hapa chini https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4 Walokole tunakosa jicho la kuona fursa sababu tumemuwekea mipaka roho mtakatifu na wakati mwingine anatupa wazo tunalizimisha kwa kuto kujiamini na matokeo yake tunabaki jinsi tulivyo. Mtu aliye okoka na *akakubali kutii ndiye anayepaswa kula mema ya nchi* lakini imekuwa tofauti na uhalisia mtu ameokoka anaoshi dhana ya kuamini kuwa atakula kwa jasho iyo ilifanya kazi kabla ya wewe kuokoka saizi wewe unakula kwa wazo la kiMungu linalo shushwa na roho mtakatifu na wewe ukichukua hatua linageuka na kuleta matokeo . Musa aliijua siri hii ndo mana pasipo wingu akuenda mbele au kurudi nyuma. Kutoka 40:37 [37]bali kama lile wingu halikuinuliwa, wakati ule hawakusafiri hata siku ile lilipoinuliwa tena. Cha kujiuliza mimi na wewe ni hatua ngapi yumepiga bila kuongozwa na roho mtakatifu na tukapelekea kupoteza thamani zetu . Iko haja turudi kuitafuta toba kwani ni hatua tulienda mbele lakini kumbe ni shetani *alitutenda tu kwa akiri* Ni kweli tuliyaona matokeo lakini hayakuwa ya bwana turudi tuitafute tona kwani ya matokeo ya Bwana yanakuja. Unasema na sema nini muulize samweli alipo enda nyumbani kwa mzee Yese aliletewa watu 6 ambao ni expert na ni mashujaa kwa kuwaona na yey mwenyewe akazani kuwa yupo mmoja wapo lakini msikie bwana alivyo mwambia 1 Samweli 16:7 [7]Lakini BWANA akamwambia Samweli, Usimtazame uso wake, wala urefu wa kimo chake; kwa maana mimi nimemkataa. BWANA haangalii kama binadamu aangaliavyo; maana wanadamu huitazama sura ya nje, bali BWANA huutazama moyo. Samweli aljvyo mtazama Abnadabu aliona sifa zote za kuwa mfalme lakini roho akuona kama samweli alivyo kuwa anaona. Kumbe hata sisi hatupaswi kuingia kazini ,au kwenye biashara hata kwenye kilimo sababu tu watu wamesema kilimo cha matikiti kinatoa tunapaswa kutazama *Bwana anasema nini* Yakobo alimtazama bwana na bwana akamwambia nenda nami nitakuwa pamoja nawe na kukurejesha tena . Ok ahsante sana tusiache kuomba toba ungana nami toba hii *BWANA YESU TUNAKUJA MBELE ZAKO KUNA HATUA NILISOGEA BILA WEWE ROHO NAOMBA TOBA NISAMEHE YESU NA TANGU LEO NAOMBA ROHO WAKO MTAKATIFU ATEMBEE NA MIMI KAMA MUSA NA WANAISLAERI WALIVYO TEMBEA NA WINGU LAKO WAKATI WA MCHANA UNIPE KIVULI NA WAKATI WA USIKU UNIPE MWANGA SAWA SAWA NA KWENYE MAISHA YANGU* .AMEN Ahsante sana naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden ministry) Unaweza mkaribisha jirani yako kujifunza neno na sisi kwa kujoin link hapa chini https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4 #Restoremenposition #build new eden #youth reformation and revival
    0 Comments ·0 Shares ·1K Views
  • Sijui kwanini nimesikia kuandika haya , ila naamini kuna mtu atajifunza kitu na inawezekana huyo mtu akawa wewe.

    Nimekuwa nikikaana watu wengi sana hasa vijana mara nyingi wananiuliza nini mtazamo wangu kuhusu mahusiano mpaka ndoa .

    Leo nitaongea machache sana kabla ya kutoa mtazamo natamani ujue haya pengine utajua naelekea wapi katika kutoa mtizamo wangu.

    Naomba nizungumzie vipindi vitatu muhimu vya mahusiano (ndoa).

    1.love
    Kipindi cha upofu wa mapenzi .kipindi kinacho anza urafiki mpka uchumba.

    Ni kipindi ambacho unahisi girl/boy friend wako unamjua lakini uhalisia bado ujaanza kumjua .

    Hiki ndicho kipindi ambacho unaongozwa na hisia zaidi kuliko akiri .

    Ndo kipindi pekee unaweza kosana na kila mtu ili kulinda pendo lenu.

    Waswahili tunakiita love bila kunyumbua lakini wagiriki walinyumbua wanakiita Eros's wakimaanisha kipindi cha mahaba wazungu wanakiita romantic love.

    Kipindi cha pili kinaitwa realization.

    Hiki ndicho kipindi muhimu sana katika maisha .

    Kipindi ambacho unamjua mwenzako uhalisia wake wote tofauti na vile ulivyo kuwa unamuona kwa nje.

    Ndo kipindi ambacho unaijionea rangi halisi ya mwenzako na wakati huo huo uko ndani ya kiapo ambacho kifo uwatenganisha .

    Kipindi hiki ndicho kinaitwa kipinndi cha kuchukuliana na kuvumiliana .

    Hiki ndicho kipindi ambacho familia inaweza tengenezwa kwa amani au lah.

    Join group kwa mafundisho zaidi https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4

    Kipindi cha tatu: Redemption period

    Kipindi cha majuto ,hiki ndicho kipindi kigumu sana katika mahusiano au ndoa .

    Ni kipindi kinacho tokea na makosa yaliyo zalishwa zaidi na kipindi cha kwanza kabisa yaani love .

    Hiki ndicho kipindi unakuwa na machaguo mawili tu moja uamue kuacha ufe kiroho au uamue kuvumilia ili uwe imara zaidi.

    Kutokea hapo ndipo neno mwili mmoja linakamilika kwa maana ya kuchukuliana na mwenzako katika madhaifu yake kama yako na yako kama yake.

    Nimeandika kwa uchache sana lakini kwa mtazamo wangu vijana kutokujua vipindi hivi ndio matokeo ya migogoro katika ndoa au mahusiano

    Mfano ukishavuka kipindi cha uhalisia (, realization) unapasw usiingie katika majuto bali uingie kipindi cha kuchukuliana na kuvumiliana mtazaa kitu kinaitwa kutendeana na hapo ndipo upendo wa kimaisha ule usio na sababu unazaliwa .

    Nashusha karamu yangu chini ila nakukumbusha kabla ujawaza kuoa au kuolewa au hata kama umeshaolewa au kuoa tambua vipindi hivi na anza kuishi uku ukiwa na maarifa ya kila kipindi ili uje uinusuru familia yako kesho.

    Take care,, naitwa sylvester Mwakabende kutoka (Build new eden ministry)

    Join group kwa mafundisho zaidi https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4

    #build new eden
    #restore men position
    Sijui kwanini nimesikia kuandika haya , ila naamini kuna mtu atajifunza kitu na inawezekana huyo mtu akawa wewe. Nimekuwa nikikaana watu wengi sana hasa vijana mara nyingi wananiuliza nini mtazamo wangu kuhusu mahusiano mpaka ndoa . Leo nitaongea machache sana kabla ya kutoa mtazamo natamani ujue haya pengine utajua naelekea wapi katika kutoa mtizamo wangu. Naomba nizungumzie vipindi vitatu muhimu vya mahusiano (ndoa). 1.love Kipindi cha upofu wa mapenzi .kipindi kinacho anza urafiki mpka uchumba. Ni kipindi ambacho unahisi girl/boy friend wako unamjua lakini uhalisia bado ujaanza kumjua . Hiki ndicho kipindi ambacho unaongozwa na hisia zaidi kuliko akiri . Ndo kipindi pekee unaweza kosana na kila mtu ili kulinda pendo lenu. Waswahili tunakiita love bila kunyumbua lakini wagiriki walinyumbua wanakiita Eros's wakimaanisha kipindi cha mahaba wazungu wanakiita romantic love. Kipindi cha pili kinaitwa realization. Hiki ndicho kipindi muhimu sana katika maisha . Kipindi ambacho unamjua mwenzako uhalisia wake wote tofauti na vile ulivyo kuwa unamuona kwa nje. Ndo kipindi ambacho unaijionea rangi halisi ya mwenzako na wakati huo huo uko ndani ya kiapo ambacho kifo uwatenganisha . Kipindi hiki ndicho kinaitwa kipinndi cha kuchukuliana na kuvumiliana . Hiki ndicho kipindi ambacho familia inaweza tengenezwa kwa amani au lah. Join group kwa mafundisho zaidi https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4 Kipindi cha tatu: Redemption period Kipindi cha majuto ,hiki ndicho kipindi kigumu sana katika mahusiano au ndoa . Ni kipindi kinacho tokea na makosa yaliyo zalishwa zaidi na kipindi cha kwanza kabisa yaani love . Hiki ndicho kipindi unakuwa na machaguo mawili tu moja uamue kuacha ufe kiroho au uamue kuvumilia ili uwe imara zaidi. Kutokea hapo ndipo neno mwili mmoja linakamilika kwa maana ya kuchukuliana na mwenzako katika madhaifu yake kama yako na yako kama yake. Nimeandika kwa uchache sana lakini kwa mtazamo wangu vijana kutokujua vipindi hivi ndio matokeo ya migogoro katika ndoa au mahusiano Mfano ukishavuka kipindi cha uhalisia (, realization) unapasw usiingie katika majuto bali uingie kipindi cha kuchukuliana na kuvumiliana mtazaa kitu kinaitwa kutendeana na hapo ndipo upendo wa kimaisha ule usio na sababu unazaliwa . Nashusha karamu yangu chini ila nakukumbusha kabla ujawaza kuoa au kuolewa au hata kama umeshaolewa au kuoa tambua vipindi hivi na anza kuishi uku ukiwa na maarifa ya kila kipindi ili uje uinusuru familia yako kesho. Take care,, naitwa sylvester Mwakabende kutoka (Build new eden ministry) Join group kwa mafundisho zaidi https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4 #build new eden #restore men position
    0 Comments ·0 Shares ·1K Views
  • Dunia imechanganya sana baina ya neno ndoa na uchumba.

    Kuna tofauti kubwa sana kati ya uchumba na ndoa, japo watu wengi wanaishi kama wanandoa ili hali bado wajaona na hili ndilo hupelekea anguko la kanisa.

    Vijana wajafundishwa kwa uhalisia mipaka iliyopo kati ya uchumba na ndoa .

    Na kutokana na kuwa walagai wamekuwa wengi mjini wamelihwribu kanisa na wachungaji wamebaki tu kufukuza watu wazinifu kanisani na si kulitibu kanisa.

    Laiti kama vijana wangekuwa walau kila mwezi mwaka wanasemina maalumu ya kujifunza kuhusu mtazamo sahii wa biblia kuhusu ndoa pengine tungepunguza hali ya anguko la kanisa


    Bahati mbaya sana unakuta dada anaimba kwaya lakini anawanaume watatu sio labda tu be bali wote anawahudumia kama mke hii ni hatari sana kwa kanisa .

    Mchumba ajawai kuwa mke na hili tusifichane ndilo limepelekea anguko la kanisa chanzo kikubwa ni malezi mabovu ya wazazi kwa watoto wao .

    Mama wa binti anafahamu vijana watano wa mwanae na anahisi mwanae anapendwa akili au matope ?

    Yaaani mwanao anathamani sawa na nyumba ya wageni au gest na mama unaona ni sifa hili baya sana.

    Maneno magumu lakini ndo ukweli sasa kama unawanaume zaidi ya mmoja wewe si ni pumziko la wengine au kipozeo cha wengine wewe na gest tofauti yenu nini hasa?

    Dear my sister kuna mapepo mnasumbua wachungaji wawaombee lakini chanzo chake ni zinaa na siyo tu zinaa peke yake wewe ni mama huruma ?

    Naamaanisha nini dada kila kijana anaye kuja wewe kigezo ni pesa anaweza kuchungulia ndani ya nguo zako kuna nini basi jua umepoteza thamani yako.

    Yaani vijana wanalugha yao utasikia beki hazikabi kabisa yule na unajua kabisa wale ni marafiki na wewe kisa ana gari unatembea naye pia yaani marafiki wawili wanakuvua nguo kama ujionei huruma wewe muonee huruma mama yako.


    Lazima tuikatae zinaa hasa kipindi hiki cha uhamsho kwani tunajaribu kujifichia kwenye uchumba ili hali sisi ni wazinzi wanao ishi .

    Ok najua nimekukela lakini siyo mbaya naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden)
    Dunia imechanganya sana baina ya neno ndoa na uchumba. Kuna tofauti kubwa sana kati ya uchumba na ndoa, japo watu wengi wanaishi kama wanandoa ili hali bado wajaona na hili ndilo hupelekea anguko la kanisa. Vijana wajafundishwa kwa uhalisia mipaka iliyopo kati ya uchumba na ndoa . Na kutokana na kuwa walagai wamekuwa wengi mjini wamelihwribu kanisa na wachungaji wamebaki tu kufukuza watu wazinifu kanisani na si kulitibu kanisa. Laiti kama vijana wangekuwa walau kila mwezi mwaka wanasemina maalumu ya kujifunza kuhusu mtazamo sahii wa biblia kuhusu ndoa pengine tungepunguza hali ya anguko la kanisa Bahati mbaya sana unakuta dada anaimba kwaya lakini anawanaume watatu sio labda tu be bali wote anawahudumia kama mke hii ni hatari sana kwa kanisa . Mchumba ajawai kuwa mke na hili tusifichane ndilo limepelekea anguko la kanisa chanzo kikubwa ni malezi mabovu ya wazazi kwa watoto wao . Mama wa binti anafahamu vijana watano wa mwanae na anahisi mwanae anapendwa akili au matope ? Yaaani mwanao anathamani sawa na nyumba ya wageni au gest na mama unaona ni sifa hili baya sana. Maneno magumu lakini ndo ukweli sasa kama unawanaume zaidi ya mmoja wewe si ni pumziko la wengine au kipozeo cha wengine wewe na gest tofauti yenu nini hasa? Dear my sister kuna mapepo mnasumbua wachungaji wawaombee lakini chanzo chake ni zinaa na siyo tu zinaa peke yake wewe ni mama huruma ? Naamaanisha nini dada kila kijana anaye kuja wewe kigezo ni pesa anaweza kuchungulia ndani ya nguo zako kuna nini basi jua umepoteza thamani yako. Yaani vijana wanalugha yao utasikia beki hazikabi kabisa yule na unajua kabisa wale ni marafiki na wewe kisa ana gari unatembea naye pia yaani marafiki wawili wanakuvua nguo kama ujionei huruma wewe muonee huruma mama yako. Lazima tuikatae zinaa hasa kipindi hiki cha uhamsho kwani tunajaribu kujifichia kwenye uchumba ili hali sisi ni wazinzi wanao ishi . Ok najua nimekukela lakini siyo mbaya naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden)
    Love
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·823 Views
  • Tujuane tujenge connection ama bond zenye manufaa urafiki wenye faida kama mwanamke mzuri labd umepata mchumba muaminifu like me.
    Tujuane tujenge connection ama bond zenye manufaa urafiki wenye faida kama mwanamke mzuri labd umepata mchumba muaminifu like me.
    Love
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·551 Views
  • Habari ya usiku ndugu zangu ni siku ya nne leo japo kwa kuchelewe tunaendelea na mwendelezo wa fasiri za ndoto kiblia .

    *Ungana nami Sylvester Mwakabende kwa ufafanuzi zaidi kadiri roho wa Bwana Atakavyo niongoza*

    *Je umewai kuota unafukuzwa na mbwa ? nini maana yake*? .


    Zaburi 22:16
    *[16]Kwa maana mbwa wamenizunguka Kusanyiko la waovu wamenisonga;
    Wamenizua mikono na miguu*
    For dogs have compassed me: the assembly of the wicked have inclosed me: they pierced my hands and my feet.

    1.Kufuatiliwa na roho chafu kama zinaa na uasherati

    Mithali26:11 SUV

    *Kama vile mbwa arudiavyo matapiko yake; Kadhalika mpumbavu afanya upumbavu tena.*

    Kutoka 22:31 BHN
    *Nyinyi mtakuwa watu waliowekwa wakfu kwangu. Kwa hiyo hamtakula nyama ya mnyama aliyeuawa na mnyama wa porini. Nyama hiyo mtawatupia mbwa.*

    Chochote kile kilicho kichafu upaswi kukila .

    Torati 23:18 BHN
    *Usilete ujira wa kahaba, wala mshahara wa mbwa, katika nyumba ya BWANA, Mungu wako, kwa ajili ya nadhiri yoyote; kwani haya ni machukizo kwa BWANA, Mungu wako, yote mawili.*
    2wafalme 9;10

    Zaburi 22;20 BHN
    *Iokoe nafsi yangu mbali na upanga, yaokoe maisha yangu makuchani mwa mbwa hao!*

    *Mbwa ana nguvu maana yake mbwa anawakilisha roho chafu za zinaa, uasherati na machafu yote ya shetani .*
    .
    2.kuiacha njia ya bwana kama kuhani.

    Isaya 56:11 BHN
    *Hao ni kama mbwa wenye uchu sana, wala hawawezi kamwe kutoshelezwa. Wachungaji hao hawana akili yoyote; kila mmoja hutafuta faida yake mwenyewe.*

    Naombaje ?NAMNA YA KUOMBA

    1.Toba ya kweli kwa sababu ya kufungua mlango .

    2.kuhalibu kila njia ya uovu inayo kufuatilia

    3.Muone kuhani kwa ajiri ya ukombozi .

    4.kataa kabisa roho za uharibifu kwa kusimamisha madhabau ya Mungu kwa sadaka.

    Zingatia :Ndoto ni mlango Mungu anao utumia kupitisha ujumbe wake na shetani naye anatumia hivyo hivyo jifunze kuomba uongozi wa roho mtakatifu katika fasiri sahiii japo zingine uja kwa uchovu na shughuli nyingi.

    Ok naitwa Sylvester Mwakabende wa (Build new eden)
    Unaweza share somo hili kwa rafiki wengine.
    Simu no :0622625340
    Habari ya usiku ndugu zangu ni siku ya nne leo japo kwa kuchelewe tunaendelea na mwendelezo wa fasiri za ndoto kiblia . *Ungana nami Sylvester Mwakabende kwa ufafanuzi zaidi kadiri roho wa Bwana Atakavyo niongoza* *Je umewai kuota unafukuzwa na mbwa ? nini maana yake*? . Zaburi 22:16 *[16]Kwa maana mbwa wamenizunguka Kusanyiko la waovu wamenisonga; Wamenizua mikono na miguu* For dogs have compassed me: the assembly of the wicked have inclosed me: they pierced my hands and my feet. 1.Kufuatiliwa na roho chafu kama zinaa na uasherati Mithali26:11 SUV *Kama vile mbwa arudiavyo matapiko yake; Kadhalika mpumbavu afanya upumbavu tena.* Kutoka 22:31 BHN *Nyinyi mtakuwa watu waliowekwa wakfu kwangu. Kwa hiyo hamtakula nyama ya mnyama aliyeuawa na mnyama wa porini. Nyama hiyo mtawatupia mbwa.* Chochote kile kilicho kichafu upaswi kukila . Torati 23:18 BHN *Usilete ujira wa kahaba, wala mshahara wa mbwa, katika nyumba ya BWANA, Mungu wako, kwa ajili ya nadhiri yoyote; kwani haya ni machukizo kwa BWANA, Mungu wako, yote mawili.* 2wafalme 9;10 Zaburi 22;20 BHN *Iokoe nafsi yangu mbali na upanga, yaokoe maisha yangu makuchani mwa mbwa hao!* *Mbwa ana nguvu maana yake mbwa anawakilisha roho chafu za zinaa, uasherati na machafu yote ya shetani .* . 2.kuiacha njia ya bwana kama kuhani. Isaya 56:11 BHN *Hao ni kama mbwa wenye uchu sana, wala hawawezi kamwe kutoshelezwa. Wachungaji hao hawana akili yoyote; kila mmoja hutafuta faida yake mwenyewe.* Naombaje ?NAMNA YA KUOMBA 1.Toba ya kweli kwa sababu ya kufungua mlango . 2.kuhalibu kila njia ya uovu inayo kufuatilia 3.Muone kuhani kwa ajiri ya ukombozi . 4.kataa kabisa roho za uharibifu kwa kusimamisha madhabau ya Mungu kwa sadaka. Zingatia :Ndoto ni mlango Mungu anao utumia kupitisha ujumbe wake na shetani naye anatumia hivyo hivyo jifunze kuomba uongozi wa roho mtakatifu katika fasiri sahiii japo zingine uja kwa uchovu na shughuli nyingi. Ok naitwa Sylvester Mwakabende wa (Build new eden) Unaweza share somo hili kwa rafiki wengine. Simu no :0622625340
    Love
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·1K Views
  • Mamia ya Raia wa Burkina Faso wanaoishi Ufaransa wameandamana nchini Ufaransa kushinikiza Rais wa mpito wa Burkina Faso, Ibrahim Traore aondoke madarakani kwani wanadai kiongozi huyo ni Dikteta.

    Baada ya sakata hili baadhi ya Watu wanadai huenda Waandamanaji hao wamepangwa na Serikali ya Ufaransa baada ya hivi karibuni Ibrahim Traore kukata urafiki na mazoea na nchi hiyo ambayo kwa muda mrefu inadaiwa ilikuwa ikiinyonya Burkina Faso hasa kwenye eneo la madini.

    Traore tangu aingie madarakani amekuwa akipingwa sana na baadhi ya mataifa yenye nguvu Duniani, na hivi sasa Marekani inamtuhumu kuwa anatumia Madini ya Burkina Faso kwa manufaa yake binafsi siyo ya Wananchi wote.
    Mamia ya Raia wa Burkina Faso wanaoishi Ufaransa wameandamana nchini Ufaransa kushinikiza Rais wa mpito wa Burkina Faso, Ibrahim Traore aondoke madarakani kwani wanadai kiongozi huyo ni Dikteta. Baada ya sakata hili baadhi ya Watu wanadai huenda Waandamanaji hao wamepangwa na Serikali ya Ufaransa baada ya hivi karibuni Ibrahim Traore kukata urafiki na mazoea na nchi hiyo ambayo kwa muda mrefu inadaiwa ilikuwa ikiinyonya Burkina Faso hasa kwenye eneo la madini. Traore tangu aingie madarakani amekuwa akipingwa sana na baadhi ya mataifa yenye nguvu Duniani, na hivi sasa Marekani inamtuhumu kuwa anatumia Madini ya Burkina Faso kwa manufaa yake binafsi siyo ya Wananchi wote.
    Like
    3
    · 0 Comments ·0 Shares ·1K Views
  • Miaka kadhaa iliyopita, hii ilikuwa nyumba nzuri zaidi katika mtaa huu. Mmiliki wake alikuwa mtu tajiri zaidi ambaye kila mmoja alimtegemea kwa msaada. Gari lake lilikuwa kivutio kwa macho ya kila mtu. Ilionekana kama ndoto kutimia pale alipoongeza nyumba na gari hilo katika orodha ya mali zake. Lakini leo, mali hizo zimezeeka, na kwa mujibu wa sheria ya asili, lazima ziporomoke ili nafasi ya nyumba mpya ipatikane.
    Kama mtu yeyote atapatikana akiishi ndani ya jengo hilo kwa hali lilivyo sasa, mtu huyo huonekana kama "mchizi" na huogopwa kama hatari.
    Hakuna kitu duniani kinachostahili kupiganiwa kwa udi na uvumba. Mavazi yako bora ni matambara ya mtu mwingine. Salio lako benki ni mchango wa mtu mwingine kwenye harusi. Mpenzi wako wa sasa ni ex wa mtu mwingine. Kila kahaba unayemuona hotelini au mtaani usiku, aliwahi kuwa bikira. Basi kuna sababu gani ya kugombana? Maisha ni mafupi mno kujiona bora au mkubwa kuliko wengine.
    “Tote tuko uchi mbele ya kifo,” alisema Steve Jobs. Hakuna kitu kinachoweza kutuokoa nacho. Sipendi kuona watu wanaojivuna kwa mali, uzuri, akili, elimu, umaarufu au vitu vya kidunia. Hakuna ulichofanikiwa maishani ambacho wengine hawajawahi kupata. Kitu kimoja tu kinachostahili kujivunia ni: “Maisha ndani ya Mungu Mwenyezi.” Kwa hiyo, kuwa mwema kwa wanadamu wenzako na jenga urafiki kila wakati. Kumbuka kwamba wale uliowakanyaga ukiwa unapaa juu, unaweza kuwakuta tena ukiwa unashuka.
    Hivyo, usiwasababishie wengine shida, maana siku moja, wao ndio watakuwa shida yako. Mwisho, hata mgomba hufikia kukauka na kuwa majani makavu. Usiongozwe na mali za dunia – huchakaa na kufa.

    KUWA MWEMA KILA WAKATI.
    Miaka kadhaa iliyopita, hii ilikuwa nyumba nzuri zaidi katika mtaa huu. Mmiliki wake alikuwa mtu tajiri zaidi ambaye kila mmoja alimtegemea kwa msaada. Gari lake lilikuwa kivutio kwa macho ya kila mtu. Ilionekana kama ndoto kutimia pale alipoongeza nyumba na gari hilo katika orodha ya mali zake. Lakini leo, mali hizo zimezeeka, na kwa mujibu wa sheria ya asili, lazima ziporomoke ili nafasi ya nyumba mpya ipatikane. Kama mtu yeyote atapatikana akiishi ndani ya jengo hilo kwa hali lilivyo sasa, mtu huyo huonekana kama "mchizi" na huogopwa kama hatari. Hakuna kitu duniani kinachostahili kupiganiwa kwa udi na uvumba. Mavazi yako bora ni matambara ya mtu mwingine. Salio lako benki ni mchango wa mtu mwingine kwenye harusi. Mpenzi wako wa sasa ni ex wa mtu mwingine. Kila kahaba unayemuona hotelini au mtaani usiku, aliwahi kuwa bikira. Basi kuna sababu gani ya kugombana? Maisha ni mafupi mno kujiona bora au mkubwa kuliko wengine. “Tote tuko uchi mbele ya kifo,” alisema Steve Jobs. Hakuna kitu kinachoweza kutuokoa nacho. Sipendi kuona watu wanaojivuna kwa mali, uzuri, akili, elimu, umaarufu au vitu vya kidunia. Hakuna ulichofanikiwa maishani ambacho wengine hawajawahi kupata. Kitu kimoja tu kinachostahili kujivunia ni: “Maisha ndani ya Mungu Mwenyezi.” Kwa hiyo, kuwa mwema kwa wanadamu wenzako na jenga urafiki kila wakati. Kumbuka kwamba wale uliowakanyaga ukiwa unapaa juu, unaweza kuwakuta tena ukiwa unashuka. Hivyo, usiwasababishie wengine shida, maana siku moja, wao ndio watakuwa shida yako. Mwisho, hata mgomba hufikia kukauka na kuwa majani makavu. Usiongozwe na mali za dunia – huchakaa na kufa. KUWA MWEMA KILA WAKATI.
    Like
    Love
    2
    · 0 Comments ·0 Shares ·904 Views
  • 𝘼 𝙎𝙩𝙤𝙧𝙮 𝙤𝙛 𝙇𝙤𝙫𝙚

    Siku ya harusi yangu, nilimbeba mke wangu mikononi mwangu. Tulipofika kwenye gorofa yetu ndogo, marafiki zangu waliniomba nimbebe ndani. Alikuwa mzito na mwenye haya wakati huo, na mimi nilikuwa bwana harusi mwenye furaha na mwenye nguvu.

    Hiyo ilikuwa miaka kumi iliyopita. Maisha yetu baada ya ndoa yalikuwa rahisi, kama glasi ya maji safi. Tulikuwa na mtoto, na nilifanya kazi kwa bidii ili kukuza biashara yangu. Kadiri nilivyozidi kupata pesa, mapenzi yetu yalififia taratibu. Mke wangu alikuwa mfanyakazi wa serikali, na tulikuwa tukiondoka nyumbani na kurudi wakati uleule kila siku. Mtoto wetu alisoma katika shule ya bweni. Kwa nje, maisha yetu yalionekana kuwa yenye furaha, lakini ndani kabisa, mabadiliko yalikuwa yakitokea.

    Kisha, nilikutana na Dew.

    Ilikuwa ni siku nzuri wakati Dew alinikumbatia kwa nyuma. Nilihisi kupendwa tena. Hata nilikuwa nimemnunulia nyumba. Dew aliwahi kuniambia, "Wewe ni aina ya wanaume wanaowaona wasichana." Maneno yake yalinikumbusha mke wangu. Muda mrefu uliopita, alikuwa amesema kitu kimoja: "Unapofanikiwa, wanawake wengi watavutiwa nawe." Nilihisi hatia, nikijua nilikuwa nikimsaliti, lakini sikuweza kujizuia.

    Nilimuuliza Dew kwenda kuchukua samani wakati nikienda ofisini. Hakufurahi kwa sababu niliahidi kwenda naye. Siku hiyo, wazo la talaka likawa wazi zaidi akilini mwangu. Lakini ilikuwa ngumu kumwambia mke wangu. Alikuwa mke mzuri, akiandaa chakula cha jioni kila wakati na kushiriki jioni tulivu pamoja nami. Hata hivyo, moyo wangu haukuwa naye tena.

    Siku moja, kwa utani, nilimuuliza mke wangu, "Ungefanya nini ikiwa tutaachana?" Hakujibu, kana kwamba ni jambo lisilowezekana kufikiria. Lakini ndani kabisa, nilikuwa nikijiandaa.

    Mke wangu aliponitembelea ofisini kwangu, Dew alikuwa ametoka tu. Watu walimtazama mke wangu kwa huruma. Huenda alikisia kitu lakini akatabasamu kwa upole, ingawa niliona uchungu machoni mwake.

    Umande uliendelea kunisisitiza tuachane. Hatimaye, nilikubali.

    Jioni hiyo, mke wangu alipokuwa akiandaa sahani ya mwisho wakati wa chakula cha jioni, nilimshika mkono na kusema, "Nina jambo la kukuambia." Alikaa kimya, tayari alihisi kuna kitu kibaya. Nikasema, "Nataka talaka." Hakuwa na hasira mwanzoni na akauliza, "Kwa nini?" Nilikwepa kumjibu jambo ambalo lilimkera sana. Alitupa vijiti vyake chini na kupiga kelele, "Wewe si mwanaume!" Alilia usiku huo. Nilijua alikuwa anashangaa mapenzi yetu yameenda wapi, lakini sikuweza kumpa jibu.

    Kwa hatia, niliandika makubaliano ya talaka kumpa nyumba yetu, gari, na sehemu ya kampuni yangu. Aliichana. Kumwona akilia kwa kweli kulinifanya nijisikie raha, kana kwamba ningeweza kusonga mbele.

    Usiku mmoja, nilikuja nyumbani na kumwona akiandika kitu. Asubuhi iliyofuata, alinipa masharti yake ya talaka. Hakutaka chochote kutoka kwangu, lakini alikuwa na ombi moja: kumpa mwezi mmoja kabla ya talaka, na wakati huo, kuishi maisha kwa kawaida iwezekanavyo. Alisema, "Mwana wetu atamaliza mapumziko yake ya kiangazi katika mwezi mmoja. Sitaki aone ndoa yetu ikisambaratika."

    Pia aliomba jambo moja zaidi: "Siku ya harusi yetu, ulinibeba hadi nyumbani kwetu. Tunapoachana, nichukue nje ya chumba cha kulala hadi mlangoni kila asubuhi." Nilikubali, nikidhani ni njia yake ya kuaga kwa utamu fulani.

    Nilipomwambia Dew, alicheka na kudhani ni ujinga. Mwitikio wake ulinisumbua, lakini sikusema chochote.

    Siku ya kwanza, kubeba mke wangu nilijisikia vibaya. Mwana wetu alipiga makofi kwa furaha, akifikiri ilikuwa ya kufurahisha. Kila siku, ikawa rahisi. Niliona mambo ambayo sikuwa nimeona kwa muda mrefu: jinsi alivyoegemea kifua changu, vikumbusho vyake vya upole kuhusu maisha, na kupungua kwa uzito kulikonitia wasiwasi. Alikuwa amekonda sana.

    Kufikia siku za mwisho, niligundua bado ninampenda. Kumbeba mikononi mwangu kila asubuhi kulinikumbusha siku zetu za mapema tukiwa pamoja. Ulaini wake, harufu yake, utunzaji wake wa utulivu kwangu ... niliona yote wazi sasa.

    Siku ya mwisho, nilipomnyanyua, alisema kwa upole, "Laiti ungenibeba hivi hadi tuzeeke." Machozi yalinijaa. Niliendesha gari moja kwa moja hadi kwa Dew na kumwambia, "Sitaachana na mke wangu." Alishtuka na kukasirika, lakini nilijua uamuzi wangu ulikuwa sahihi.

    Nilipokuwa njiani kurudi, nilimnunulia mke wangu maua yake ya kupenda na kuandika kwenye kadi: "Nitakuchukua kila asubuhi hadi tutakapozeeka."
    𝘼 𝙎𝙩𝙤𝙧𝙮 𝙤𝙛 𝙇𝙤𝙫𝙚 Siku ya harusi yangu, nilimbeba mke wangu mikononi mwangu. Tulipofika kwenye gorofa yetu ndogo, marafiki zangu waliniomba nimbebe ndani. Alikuwa mzito na mwenye haya wakati huo, na mimi nilikuwa bwana harusi mwenye furaha na mwenye nguvu. Hiyo ilikuwa miaka kumi iliyopita. Maisha yetu baada ya ndoa yalikuwa rahisi, kama glasi ya maji safi. Tulikuwa na mtoto, na nilifanya kazi kwa bidii ili kukuza biashara yangu. Kadiri nilivyozidi kupata pesa, mapenzi yetu yalififia taratibu. Mke wangu alikuwa mfanyakazi wa serikali, na tulikuwa tukiondoka nyumbani na kurudi wakati uleule kila siku. Mtoto wetu alisoma katika shule ya bweni. Kwa nje, maisha yetu yalionekana kuwa yenye furaha, lakini ndani kabisa, mabadiliko yalikuwa yakitokea. Kisha, nilikutana na Dew. Ilikuwa ni siku nzuri wakati Dew alinikumbatia kwa nyuma. Nilihisi kupendwa tena. Hata nilikuwa nimemnunulia nyumba. Dew aliwahi kuniambia, "Wewe ni aina ya wanaume wanaowaona wasichana." Maneno yake yalinikumbusha mke wangu. Muda mrefu uliopita, alikuwa amesema kitu kimoja: "Unapofanikiwa, wanawake wengi watavutiwa nawe." Nilihisi hatia, nikijua nilikuwa nikimsaliti, lakini sikuweza kujizuia. Nilimuuliza Dew kwenda kuchukua samani wakati nikienda ofisini. Hakufurahi kwa sababu niliahidi kwenda naye. Siku hiyo, wazo la talaka likawa wazi zaidi akilini mwangu. Lakini ilikuwa ngumu kumwambia mke wangu. Alikuwa mke mzuri, akiandaa chakula cha jioni kila wakati na kushiriki jioni tulivu pamoja nami. Hata hivyo, moyo wangu haukuwa naye tena. Siku moja, kwa utani, nilimuuliza mke wangu, "Ungefanya nini ikiwa tutaachana?" Hakujibu, kana kwamba ni jambo lisilowezekana kufikiria. Lakini ndani kabisa, nilikuwa nikijiandaa. Mke wangu aliponitembelea ofisini kwangu, Dew alikuwa ametoka tu. Watu walimtazama mke wangu kwa huruma. Huenda alikisia kitu lakini akatabasamu kwa upole, ingawa niliona uchungu machoni mwake. Umande uliendelea kunisisitiza tuachane. Hatimaye, nilikubali. Jioni hiyo, mke wangu alipokuwa akiandaa sahani ya mwisho wakati wa chakula cha jioni, nilimshika mkono na kusema, "Nina jambo la kukuambia." Alikaa kimya, tayari alihisi kuna kitu kibaya. Nikasema, "Nataka talaka." Hakuwa na hasira mwanzoni na akauliza, "Kwa nini?" Nilikwepa kumjibu jambo ambalo lilimkera sana. Alitupa vijiti vyake chini na kupiga kelele, "Wewe si mwanaume!" Alilia usiku huo. Nilijua alikuwa anashangaa mapenzi yetu yameenda wapi, lakini sikuweza kumpa jibu. Kwa hatia, niliandika makubaliano ya talaka kumpa nyumba yetu, gari, na sehemu ya kampuni yangu. Aliichana. Kumwona akilia kwa kweli kulinifanya nijisikie raha, kana kwamba ningeweza kusonga mbele. Usiku mmoja, nilikuja nyumbani na kumwona akiandika kitu. Asubuhi iliyofuata, alinipa masharti yake ya talaka. Hakutaka chochote kutoka kwangu, lakini alikuwa na ombi moja: kumpa mwezi mmoja kabla ya talaka, na wakati huo, kuishi maisha kwa kawaida iwezekanavyo. Alisema, "Mwana wetu atamaliza mapumziko yake ya kiangazi katika mwezi mmoja. Sitaki aone ndoa yetu ikisambaratika." Pia aliomba jambo moja zaidi: "Siku ya harusi yetu, ulinibeba hadi nyumbani kwetu. Tunapoachana, nichukue nje ya chumba cha kulala hadi mlangoni kila asubuhi." Nilikubali, nikidhani ni njia yake ya kuaga kwa utamu fulani. Nilipomwambia Dew, alicheka na kudhani ni ujinga. Mwitikio wake ulinisumbua, lakini sikusema chochote. Siku ya kwanza, kubeba mke wangu nilijisikia vibaya. Mwana wetu alipiga makofi kwa furaha, akifikiri ilikuwa ya kufurahisha. Kila siku, ikawa rahisi. Niliona mambo ambayo sikuwa nimeona kwa muda mrefu: jinsi alivyoegemea kifua changu, vikumbusho vyake vya upole kuhusu maisha, na kupungua kwa uzito kulikonitia wasiwasi. Alikuwa amekonda sana. Kufikia siku za mwisho, niligundua bado ninampenda. Kumbeba mikononi mwangu kila asubuhi kulinikumbusha siku zetu za mapema tukiwa pamoja. Ulaini wake, harufu yake, utunzaji wake wa utulivu kwangu ... niliona yote wazi sasa. Siku ya mwisho, nilipomnyanyua, alisema kwa upole, "Laiti ungenibeba hivi hadi tuzeeke." Machozi yalinijaa. Niliendesha gari moja kwa moja hadi kwa Dew na kumwambia, "Sitaachana na mke wangu." Alishtuka na kukasirika, lakini nilijua uamuzi wangu ulikuwa sahihi. Nilipokuwa njiani kurudi, nilimnunulia mke wangu maua yake ya kupenda na kuandika kwenye kadi: "Nitakuchukua kila asubuhi hadi tutakapozeeka."
    Like
    Love
    2
    · 0 Comments ·0 Shares ·1K Views
  • Mahakama Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imebatilisha hukumu ya kifo waliyopewa Raia watatu (3) wa Marekani kwa makosa ya jinai, ugaidi na kujaribu kuipindua Serikali ya Nchi hiyo.

    Shirika la Habari la Reuters, limeripoti leo Aprili 2,2025, kuwa taarifa ya Ikulu ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imeeleza watatu hao sasa hawatotumikia adhabu ya kifo badala yake watatumikia kifungo cha maisha jela. Walikuwa miongoni mwa Watu (37) waliohukumiwa kifo Septemba mwaka jana (2024) na Mahakama ya Kijeshi Nchini DR Congo katika mashitaka hayo ambayo hata hivyo waliyakanusha.

    Watatu hao ambao ni Mtoto wa Raia wa Marekani mwenye asili ya DR Congo, Christian Malanga, Marcel Malanga Malu, Rafiki zake Tylor Thomson na Zalman Polun Benjamin, walipewa msamaha kutoka kwa Rais Felix Tshisekedi. Walishtakiwa kwa kuongoza genge la uhalifu lililotekeleza shambulio dhidi ya ikulu na makazi ya Mshirika wa Rais wa Nchi nchi hiyo, Mei, 2024.

    Katika Taarifa iliyosomwa na Msemaji wa Rais Félix Tshisekedi, Tyna Salama kwenye Televisheni ya Taifa, imesema kuwa Rais Tshisekedi ametoa msamaha huo kwa kubatilisha hukumu ya kifo kwa Rais hao na kuwa ya kifungo cha maisha Jela kwa sababu ya kudumisha mahusiano mazuri kimataifa na Nchi ya Marekani.

    Kubatilishwa kwa hukumu hiyo kunakuja kabla ya ziara ya Mshauri mpya Mwandamizi wa Marekani barani Afrika, Massad Boulos. Ambapo ziara hiyo ililenga kwenda DR Congo.
    Mahakama Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo 🇨🇩 imebatilisha hukumu ya kifo waliyopewa Raia watatu (3) wa Marekani 🇺🇸 kwa makosa ya jinai, ugaidi na kujaribu kuipindua Serikali ya Nchi hiyo. Shirika la Habari la Reuters, limeripoti leo Aprili 2,2025, kuwa taarifa ya Ikulu ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imeeleza watatu hao sasa hawatotumikia adhabu ya kifo badala yake watatumikia kifungo cha maisha jela. Walikuwa miongoni mwa Watu (37) waliohukumiwa kifo Septemba mwaka jana (2024) na Mahakama ya Kijeshi Nchini DR Congo katika mashitaka hayo ambayo hata hivyo waliyakanusha. Watatu hao ambao ni Mtoto wa Raia wa Marekani mwenye asili ya DR Congo, Christian Malanga, Marcel Malanga Malu, Rafiki zake Tylor Thomson na Zalman Polun Benjamin, walipewa msamaha kutoka kwa Rais Felix Tshisekedi. Walishtakiwa kwa kuongoza genge la uhalifu lililotekeleza shambulio dhidi ya ikulu na makazi ya Mshirika wa Rais wa Nchi nchi hiyo, Mei, 2024. Katika Taarifa iliyosomwa na Msemaji wa Rais Félix Tshisekedi, Tyna Salama kwenye Televisheni ya Taifa, imesema kuwa Rais Tshisekedi ametoa msamaha huo kwa kubatilisha hukumu ya kifo kwa Rais hao na kuwa ya kifungo cha maisha Jela kwa sababu ya kudumisha mahusiano mazuri kimataifa na Nchi ya Marekani. Kubatilishwa kwa hukumu hiyo kunakuja kabla ya ziara ya Mshauri mpya Mwandamizi wa Marekani barani Afrika, Massad Boulos. Ambapo ziara hiyo ililenga kwenda DR Congo.
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·994 Views
  • PICHA YA SIMBA HUYU NI FUNZO MAISHANI:
    ------------------------------------------------------

    Hivi ndivyo mfalme wa pori anavyoonekana akiwa kwenye siku za mwisho za maisha yake. Jinsi alivyokonda, kujua idadi ya mbavu zake hata huitaji msaada wa calculator.

    Hii picha ilipigwa na "Larry Pannell."

    Alifanikiwa kupata picha ya Simba aliyekuwa kwenye hitimisho la kuvuta pumzi za mwisho. Katika huu ulimwengu wenye mafungamano na dhambi.

    "Larry Pannell" anasema:

    Nilimkuta huyu simba amelala kwenye majani. Akiwa amechoka, miguu ikionekana kumnyima ushirikiano wa kutembea.

    Sikuwa na lakufanya zaidi ya kusimama mita kadhaa. Macho yakifanya ushuhuda wa kutazama, "King of savannah" akipoteza uhai chini ya kivuli cha mti.

    Nikiwa nimesimama kimya. Nilishusha chini camera yangu. Tulitazamana na simba, tukafumba macho yetu pamoja.

    Jinsi mfalme wa nyika alivyokuwa akihangaika kuhema. Pumzi zilionekana kuwa bidhaa hadimu kwenye duka la mapafu yake.

    Kifua chake kilikuwa kikipanda na kushuka. Ishara ya kuonyesha anavuta pumzi za mwisho, kabla ya kukipa ruhusa kifo kiondoke na roho yake.

    Ghafla eneo alilolala Simba ukazaliwa ukimya. Mfalme wa pori akawa haemi wala kutikisika. Mauti ikawa imehitimisha simulizi ya ubabe wake mbugani.

    Hakika maisha ya binadamu na wanyama ni simulizi fupi sana."

    Haijalishi una nguvu kiasi gani. Kuna nyakati zitafika nguvu zitafanya mgomo wa kuishi mwilini mwako. Zitaupisha udhaifu uchukue nafasi ya kukutawala. Udhaifu nao ukikutawala, utayaita maradhi. Bila hiyari utajikuta umekigeuza kitanda kuwa rafiki."

    Kuna shule ya bure hapa: Nguvu tulizonazo ni kitu cha kupita. Hata uzuri umpao kiburi mwanamke una ukomo. Licha ya kujidanganya kwa make up na wanja. Lakini hawezi kuzuia muanguko wa mashavu, uzee unapoanza kumuondoa kwenye kundi la warembo.

    "Chini ya jua kila kitu kina mwanzo na mwisho."

    Hivyo katika maisha tusisahau kuvipa kipaumbele vitu hivi. Utu, wema, ukarimu, heshima, na unyenyekevu.

    Tusaidie wenye maradhi, tuwajali wasiojiweza, na viongozi tusitumie madaraka vibaya.

    Tutende mema tukiamini. Kuna siku pumzi zitamaliza mkataba wa kuishi ndani ya matundu ya pua zetu. Baada ya hapo sisi wote tutalala mauti."

    Imeandikwa na Green Osward
    PICHA YA SIMBA HUYU NI FUNZO MAISHANI: ------------------------------------------------------ Hivi ndivyo mfalme wa pori anavyoonekana akiwa kwenye siku za mwisho za maisha yake. Jinsi alivyokonda, kujua idadi ya mbavu zake hata huitaji msaada wa calculator. Hii picha ilipigwa na "Larry Pannell." Alifanikiwa kupata picha ya Simba aliyekuwa kwenye hitimisho la kuvuta pumzi za mwisho. Katika huu ulimwengu wenye mafungamano na dhambi. "Larry Pannell" anasema: Nilimkuta huyu simba amelala kwenye majani. Akiwa amechoka, miguu ikionekana kumnyima ushirikiano wa kutembea. Sikuwa na lakufanya zaidi ya kusimama mita kadhaa. Macho yakifanya ushuhuda wa kutazama, "King of savannah" akipoteza uhai chini ya kivuli cha mti. Nikiwa nimesimama kimya. Nilishusha chini camera yangu. Tulitazamana na simba, tukafumba macho yetu pamoja. Jinsi mfalme wa nyika alivyokuwa akihangaika kuhema. Pumzi zilionekana kuwa bidhaa hadimu kwenye duka la mapafu yake. Kifua chake kilikuwa kikipanda na kushuka. Ishara ya kuonyesha anavuta pumzi za mwisho, kabla ya kukipa ruhusa kifo kiondoke na roho yake. Ghafla eneo alilolala Simba ukazaliwa ukimya. Mfalme wa pori akawa haemi wala kutikisika. Mauti ikawa imehitimisha simulizi ya ubabe wake mbugani. Hakika maisha ya binadamu na wanyama ni simulizi fupi sana." Haijalishi una nguvu kiasi gani. Kuna nyakati zitafika nguvu zitafanya mgomo wa kuishi mwilini mwako. Zitaupisha udhaifu uchukue nafasi ya kukutawala. Udhaifu nao ukikutawala, utayaita maradhi. Bila hiyari utajikuta umekigeuza kitanda kuwa rafiki." Kuna shule ya bure hapa: Nguvu tulizonazo ni kitu cha kupita. Hata uzuri umpao kiburi mwanamke una ukomo. Licha ya kujidanganya kwa make up na wanja. Lakini hawezi kuzuia muanguko wa mashavu, uzee unapoanza kumuondoa kwenye kundi la warembo. "Chini ya jua kila kitu kina mwanzo na mwisho." Hivyo katika maisha tusisahau kuvipa kipaumbele vitu hivi. Utu, wema, ukarimu, heshima, na unyenyekevu. Tusaidie wenye maradhi, tuwajali wasiojiweza, na viongozi tusitumie madaraka vibaya. Tutende mema tukiamini. Kuna siku pumzi zitamaliza mkataba wa kuishi ndani ya matundu ya pua zetu. Baada ya hapo sisi wote tutalala mauti." Imeandikwa na Green Osward
    Love
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·1K Views
  • Historia ya Wazazi wa Jackie Chan inavutia zaidi hadi Jackie Chan aliamua kuandaa "Documentary" maalum kwa ajili ya kueleza Wazazi wake walivyokutana na walikuwa wanafanya kazi gani.

    Katika kipindi chote Jackie Chan alichoishi na Wazazi wake hakuwahi kufahamu Wazazi wake walikutana vipi pamoja na kazi halisi za awali za Wazazi wake mpaka hapo Baba yake alipokuwa ana umri wa miaka 80 akaamua kumwambia ukweli maana aliamini umri wake umeenda sana hivyo muda wowote anaweza kufariki bila kumueleza ukweli Jackie Chan.

    Baba Mzazi wa Jackie Chan, Charles Chan (1914 - 2008) siku moja akiwa barabarani kwenye gari na Jackie Chan alifunguka kuwa tangu zamani alikuwa Mpelelezi (Shushushu) kwenye Serikali ya China na Mama yake Jackie Chan, Lee-Lee Chan (1916-2002) alikuwa muuza madawa ya kulevya, siku moja katika "operation" ya kukamata Wauza madawa Charles Chan alimkamata Lee-Lee Chan lakini baada ya kumfikisha kwenye vyombo vya dola walijikuta wamependana na wakafunga ndoa.

    Hadithi hii ilimshitua sana Jackie Chan kwani amekua akijua kwamba Baba yake ni Mpishi na amewahi kuwa Mpishi kwenye ubalozi wa Ufaransa - Hong Kong, pamoja na ubalozi wa Marekani Nchini Australia .

    Taarifa nyingine iliyomshitua zaidi ni pale alipoambiwa kuwa kuwa jina la Baba yake sio Chan bali ni Fang Daolong, hivyo kama asingebadili jina, Jackie Chan hivi sasa angefahamika kama Jackie Fang, Baba Jackie Chan alikuwa "Spy" kwenye Serikali ya China iliyokuwa ikiundwa na Chama cha Kuomintang, mwaka 1949 baada ya vita kali ya wenyewe kwa wenyewe Chama cha Kikomunisti kikiongozwa na Mao Zedong kiliipindua Serikali ya Kuomintang kikachukua Nchi hapo ilibidi Baba Jackie Chan abadili jina kwa sababu ya kuficha utambulisho wake maana kulikuwa na vita kubwa baina ya vyama hivyo na baadhi ya makachero wa Kuomintang walikuwa wakikamatwa na kuuawa.

    Historia ya Wazazi wa Jackie Chan imeelezwa kwa urefu kwenye "Documentary" iliyoandaliwa na Jackie Chan "Traces of the Dragon: Jackie Chan and His Lost Family" (2003)

    "Baba alikua jasusi na Mama alikua Muuza madawa na mcheza kamari. Walikutana na wakaoana baada ya Baba yangu kumkamata Mama"

    "Tangu nilipokua Mdogo nilikua najua Baba yangu anafanya kazi ya upishi kwenye Ubalozi wa Marekani mpaka alipotimiza miaka 80 na akaniambia kazi yake ya kweli. Nilishtuka, nilishtuka"

    " Kwahiyo kuna siku moja nilikua naendesha gari nikiwa na Baba yangu ghafla, Baba akageuka na kusema: 'Jackie, Mimi ni Mzee sana na huenda nisiamke kesho. Kuna kitu lazima nikuambie, ni siri' kisha akasema: kwa kweli wewe sio Jackie Chan, jina lako unaitwa Fong.'

    "Nikahisi kupatwa na mshtuko, kwangu ilikua kitu cha kustaajabisha. Kwa haraka nikamuambia asiendelee kuongea nikampigia rafiki yangu ili tutengeneze documentary ya stori ya Baba yangu. Ilituchukua miaka 3 ya kumfata Baba yangu na kuongea nae kuhusu stori yote."

    " Nilihisi mimi ndiye Mwanae wa pekee lakini nilishtuka baada ya kujua kwamba nina ndugu zangu wanne kwa Wazazi wangu. Kaka zangu wawili, upande wa Baba na Dada zangu wawili upande wa Mama. Alilazimika kunificha yote hayo kwa sababu ya kazi yake, baba alikua jasusi. Nilivutiwa sana baada ya kujua kwamba Baba yangu alikua mpole sana. Miaka yote ile nilidhania ni Mpishi. Nimetengeneza movie kupitia hii stori." - Jackie Chan

    Historia ya Wazazi wa Jackie Chan inavutia zaidi hadi Jackie Chan aliamua kuandaa "Documentary" maalum kwa ajili ya kueleza Wazazi wake walivyokutana na walikuwa wanafanya kazi gani. Katika kipindi chote Jackie Chan alichoishi na Wazazi wake hakuwahi kufahamu Wazazi wake walikutana vipi pamoja na kazi halisi za awali za Wazazi wake mpaka hapo Baba yake alipokuwa ana umri wa miaka 80 akaamua kumwambia ukweli maana aliamini umri wake umeenda sana hivyo muda wowote anaweza kufariki bila kumueleza ukweli Jackie Chan. Baba Mzazi wa Jackie Chan, Charles Chan (1914 - 2008) siku moja akiwa barabarani kwenye gari na Jackie Chan alifunguka kuwa tangu zamani alikuwa Mpelelezi (Shushushu) kwenye Serikali ya China na Mama yake Jackie Chan, Lee-Lee Chan (1916-2002) alikuwa muuza madawa ya kulevya, siku moja katika "operation" ya kukamata Wauza madawa Charles Chan alimkamata Lee-Lee Chan lakini baada ya kumfikisha kwenye vyombo vya dola walijikuta wamependana na wakafunga ndoa. Hadithi hii ilimshitua sana Jackie Chan kwani amekua akijua kwamba Baba yake ni Mpishi na amewahi kuwa Mpishi kwenye ubalozi wa Ufaransa 🇫🇷 - Hong Kong, pamoja na ubalozi wa Marekani 🇺🇸 Nchini Australia 🇦🇺. Taarifa nyingine iliyomshitua zaidi ni pale alipoambiwa kuwa kuwa jina la Baba yake sio Chan bali ni Fang Daolong, hivyo kama asingebadili jina, Jackie Chan hivi sasa angefahamika kama Jackie Fang, Baba Jackie Chan alikuwa "Spy" kwenye Serikali ya China iliyokuwa ikiundwa na Chama cha Kuomintang, mwaka 1949 baada ya vita kali ya wenyewe kwa wenyewe Chama cha Kikomunisti kikiongozwa na Mao Zedong kiliipindua Serikali ya Kuomintang kikachukua Nchi hapo ilibidi Baba Jackie Chan abadili jina kwa sababu ya kuficha utambulisho wake maana kulikuwa na vita kubwa baina ya vyama hivyo na baadhi ya makachero wa Kuomintang walikuwa wakikamatwa na kuuawa. Historia ya Wazazi wa Jackie Chan imeelezwa kwa urefu kwenye "Documentary" iliyoandaliwa na Jackie Chan "Traces of the Dragon: Jackie Chan and His Lost Family" (2003) "Baba alikua jasusi na Mama alikua Muuza madawa na mcheza kamari. Walikutana na wakaoana baada ya Baba yangu kumkamata Mama" "Tangu nilipokua Mdogo nilikua najua Baba yangu anafanya kazi ya upishi kwenye Ubalozi wa Marekani mpaka alipotimiza miaka 80 na akaniambia kazi yake ya kweli. Nilishtuka, nilishtuka" " Kwahiyo kuna siku moja nilikua naendesha gari nikiwa na Baba yangu ghafla, Baba akageuka na kusema: 'Jackie, Mimi ni Mzee sana na huenda nisiamke kesho. Kuna kitu lazima nikuambie, ni siri' kisha akasema: kwa kweli wewe sio Jackie Chan, jina lako unaitwa Fong.' "Nikahisi kupatwa na mshtuko, kwangu ilikua kitu cha kustaajabisha. Kwa haraka nikamuambia asiendelee kuongea nikampigia rafiki yangu ili tutengeneze documentary ya stori ya Baba yangu. Ilituchukua miaka 3 ya kumfata Baba yangu na kuongea nae kuhusu stori yote." " Nilihisi mimi ndiye Mwanae wa pekee lakini nilishtuka baada ya kujua kwamba nina ndugu zangu wanne kwa Wazazi wangu. Kaka zangu wawili, upande wa Baba na Dada zangu wawili upande wa Mama. Alilazimika kunificha yote hayo kwa sababu ya kazi yake, baba alikua jasusi. Nilivutiwa sana baada ya kujua kwamba Baba yangu alikua mpole sana. Miaka yote ile nilidhania ni Mpishi. Nimetengeneza movie kupitia hii stori." - Jackie Chan
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·1K Views
More Results