• 5.WATU WANAO WEZA KUKUTAMBULISHA.

    Zawadi kubwa mtu anayo pewa na Mungu ni watu .

    Ukipata watu wanao weza kukutambulisha au kutambulisha maono yako basi jua umepiga hatua.

    Kila aliye fanikiwa anao watu walimshikaga mkono na kuntambulisha kwebye jamii na jamii ikaanza kumuamini kama inavyo muamini aliye kutambulisha.

    Daudi pamoja na kupakwa mafuta lakini bado ili ufalme ukamilike alijitaji mtu anaye weza kutambulisha .

    1 Samweli 16:17-18
    [17]Basi Sauli akawaambia, Vema, nitafutieni mtu aliye stadi wa kupiga kinubi, mkaniletee.

    [18]Ndipo akajibu mmoja wa watumishi wake akasema, Tazama, nimemwona mwana mmoja wa Yese, Mbethlehemi, aliye stadi wa kupiga kinubi, tena ni mtu shujaa, hodari wa vita, anenaye kwa busara, mtu mzuri, ambaye BWANA yu pamoja naye.

    Ile Daudi kupakwa mafuta peke yake haikumfanya awe mfalme ni mpaka alipo patikana mtu anayeweza kuntambulisha na huyu akikutambulisha vyema umeiteka dunia.

    Mfano mwingine Yusuph aliota ndoto akiwa mdogo kuwa ndugu zake na baba yake wote wanamtumikia .

    Lakini ili itimie ndoto ile ilihitaji mtu anaye weza mtambulisha

    Mwanzo 41:9-14
    [9]Basi mkuu wa wanyweshaji akamwambia Farao akisema, Nayakumbuka makosa yangu leo.

    [10]Farao aliwakasirikia watumwa wake, akanitia nifungwe nyumbani mwa mkuu wa askari, mimi na mkuu wa waokaji.

    [11]Tukaota ndoto usiku mmoja, mimi na yeye; kila mtu kwa tafsiri ya ndoto yake tukaota.
    .
    [12]Na huko pamoja nasi palikuwa na kijana; Mwebrania, mtumishi wa mkuu wa askari, tukamhadithia, naye akatufasiria ndoto zetu; akamfasiria kila mtu kama ilivyokuwa ndoto yake.
    .
    [13]Ikawa, kama vile alivyotufasiria ndivyo ilivyotokea; mimi nalirudishwa katika kazi yangu, na yeye alitundikwa.
    .
    [14]Ndipo Farao akapeleka watu, akamwita Yusufu, wakamleta upesi kutoka gerezani. Akanyoa, akabadili nguo zake, na kuingia kwa Farao.

    Kukamilika kwa ndoto alizo ota akiwa mdogo Yusuph ni mpaka alipo patikana mtu anayeweza kuntambulisha tu.

    Jifunze kuwa na prayer point ya kumuomba Mungu akupe mtu anaye weza kukutambulisha na watu wakamkubali hakika

    Changamoto kubwa ya vijana wengi leo hawako tayari kuwa heshimu watu hivyo wanakosa watu wanao weza kuwapa mkono wa shirika na kuwatambulisha.

    Nikwambie ukweli akuna chochote duniani kinakuwa bila watu kukupa mkono wa shirika na kukutambulisha.

    Niwatakie asubui njema na siku njema. Usisahau kutufollow sikiliza mwanangu

    Sylvester Mwakabende
    Build new eden
    0622625340
    5.WATU WANAO WEZA KUKUTAMBULISHA. Zawadi kubwa mtu anayo pewa na Mungu ni watu . Ukipata watu wanao weza kukutambulisha au kutambulisha maono yako basi jua umepiga hatua. Kila aliye fanikiwa anao watu walimshikaga mkono na kuntambulisha kwebye jamii na jamii ikaanza kumuamini kama inavyo muamini aliye kutambulisha. Daudi pamoja na kupakwa mafuta lakini bado ili ufalme ukamilike alijitaji mtu anaye weza kutambulisha . 1 Samweli 16:17-18 [17]Basi Sauli akawaambia, Vema, nitafutieni mtu aliye stadi wa kupiga kinubi, mkaniletee. [18]Ndipo akajibu mmoja wa watumishi wake akasema, Tazama, nimemwona mwana mmoja wa Yese, Mbethlehemi, aliye stadi wa kupiga kinubi, tena ni mtu shujaa, hodari wa vita, anenaye kwa busara, mtu mzuri, ambaye BWANA yu pamoja naye. Ile Daudi kupakwa mafuta peke yake haikumfanya awe mfalme ni mpaka alipo patikana mtu anayeweza kuntambulisha na huyu akikutambulisha vyema umeiteka dunia. Mfano mwingine Yusuph aliota ndoto akiwa mdogo kuwa ndugu zake na baba yake wote wanamtumikia . Lakini ili itimie ndoto ile ilihitaji mtu anaye weza mtambulisha Mwanzo 41:9-14 [9]Basi mkuu wa wanyweshaji akamwambia Farao akisema, Nayakumbuka makosa yangu leo. [10]Farao aliwakasirikia watumwa wake, akanitia nifungwe nyumbani mwa mkuu wa askari, mimi na mkuu wa waokaji. [11]Tukaota ndoto usiku mmoja, mimi na yeye; kila mtu kwa tafsiri ya ndoto yake tukaota. . [12]Na huko pamoja nasi palikuwa na kijana; Mwebrania, mtumishi wa mkuu wa askari, tukamhadithia, naye akatufasiria ndoto zetu; akamfasiria kila mtu kama ilivyokuwa ndoto yake. . [13]Ikawa, kama vile alivyotufasiria ndivyo ilivyotokea; mimi nalirudishwa katika kazi yangu, na yeye alitundikwa. . [14]Ndipo Farao akapeleka watu, akamwita Yusufu, wakamleta upesi kutoka gerezani. Akanyoa, akabadili nguo zake, na kuingia kwa Farao. Kukamilika kwa ndoto alizo ota akiwa mdogo Yusuph ni mpaka alipo patikana mtu anayeweza kuntambulisha tu. Jifunze kuwa na prayer point ya kumuomba Mungu akupe mtu anaye weza kukutambulisha na watu wakamkubali hakika Changamoto kubwa ya vijana wengi leo hawako tayari kuwa heshimu watu hivyo wanakosa watu wanao weza kuwapa mkono wa shirika na kuwatambulisha. Nikwambie ukweli akuna chochote duniani kinakuwa bila watu kukupa mkono wa shirika na kukutambulisha. Niwatakie asubui njema na siku njema. Usisahau kutufollow sikiliza mwanangu Sylvester Mwakabende Build new eden 0622625340
    0 Commenti 0 condivisioni 110 Views
  • Why PureNail Is Becoming a Trusted Nail Health Supplement in USA


    https://yourhealthrights.com/purenail-is-trusted-nail-supplement-in-usa/

    #NailHealth #HealthyNails #NailCare #NailSupplement #BeautySupplements #VitaminsForNails #StrongerNails #NailGrowth #BiotinForNails #CollagenForNails #NailWellness #USAHealth

    Why PureNail Is Becoming a Trusted Nail Health Supplement in USA https://yourhealthrights.com/purenail-is-trusted-nail-supplement-in-usa/ #NailHealth #HealthyNails #NailCare #NailSupplement #BeautySupplements #VitaminsForNails #StrongerNails #NailGrowth #BiotinForNails #CollagenForNails #NailWellness #USAHealth
    0 Commenti 0 condivisioni 676 Views
  • PrimeBiome Reviews 2025


    https://yourhealthrights.com/primebiome-reviews-2025/


    #GutHealth #DigestiveHealth #Probiotics #GutSupport #Microbiome #HealthyDigestion #NaturalSupplements #Wellness2025
    PrimeBiome Reviews 2025 https://yourhealthrights.com/primebiome-reviews-2025/ #GutHealth #DigestiveHealth #Probiotics #GutSupport #Microbiome #HealthyDigestion #NaturalSupplements #Wellness2025
    0 Commenti 0 condivisioni 465 Views
  • Neotonics Reviews 2025: A Natural Path to Gut and Skin Wellness


    https://ushealthyy.blogspot.com/2025/09/neotonics-skin-gut-health.html


    #Neotonics2025 #GutHealth #SkinHealth #GutSkinConnection #NaturalWellness #HolisticHealth #ProbioticSupport #DigestiveHealth #HealthySkin #CleanBeauty #WellnessJourney
    Neotonics Reviews 2025: A Natural Path to Gut and Skin Wellness https://ushealthyy.blogspot.com/2025/09/neotonics-skin-gut-health.html #Neotonics2025 #GutHealth #SkinHealth #GutSkinConnection #NaturalWellness #HolisticHealth #ProbioticSupport #DigestiveHealth #HealthySkin #CleanBeauty #WellnessJourney
    Neotonics Reviews 2025: A Natural Path to Gut and Skin Wellness
    ushealthyy.blogspot.com
    Introduction In 2025, the demand for natural wellness supplements continues to rise, and one product gaining widespread attention is Neotoni...
    0 Commenti 0 condivisioni 505 Views
  • Boost Your Dog’s Digestive Health Naturally with Pawbiotix


    https://68b931a829013.site123.me/blog/boost-your-dog-s-digestive-health-naturally-with-pawbiotix


    Boost Your Dog’s Digestive Health Naturally with Pawbiotix https://68b931a829013.site123.me/blog/boost-your-dog-s-digestive-health-naturally-with-pawbiotix
    0 Commenti 0 condivisioni 213 Views
  • Boost Your Dog’s Digestive Health Naturally with Pawbiotix


    https://usahealthyy.wordpress.com/2025/09/04/boost-your-dogs-digestive-health-naturally-with-pawbiotix/


    #DigestiveHealth #NaturalDogCare #Pawbiotix #HealthyDogs #DogWellness #PetCare #DogSupplements #HappyPup #PetHealth #DogDigestiveCare #NaturalPetCare


    Boost Your Dog’s Digestive Health Naturally with Pawbiotix https://usahealthyy.wordpress.com/2025/09/04/boost-your-dogs-digestive-health-naturally-with-pawbiotix/ #DigestiveHealth #NaturalDogCare #Pawbiotix #HealthyDogs #DogWellness #PetCare #DogSupplements #HappyPup #PetHealth #DogDigestiveCare #NaturalPetCare
    Boost Your Dog’s Digestive Health Naturally with Pawbiotix
    usahealthyy.wordpress.com
    Probiotic Boost for Your Dog’s Gut Health As pet parents, we want nothing more than to see our dogs happy, active, and healthy. While we often focus on exercise, grooming, and vaccinations, one cru…
    0 Commenti 0 condivisioni 582 Views
  • Boost Your Dog’s Digestive Health Naturally with Pawbiotix


    https://ushealthyy.mystrikingly.com/blog/pawbiotix


    #DigestiveHealth #NaturalDogCare #Pawbiotix #HealthyDogs #DogWellness #PetCare #DogSupplements #HappyPup #PetHealth #DogDigestiveCare #NaturalPetCare
    Boost Your Dog’s Digestive Health Naturally with Pawbiotix https://ushealthyy.mystrikingly.com/blog/pawbiotix #DigestiveHealth #NaturalDogCare #Pawbiotix #HealthyDogs #DogWellness #PetCare #DogSupplements #HappyPup #PetHealth #DogDigestiveCare #NaturalPetCare
    Boost Your Dog’s Digestive Health Naturally with Pawbiotix
    ushealthyy.mystrikingly.com
    Discover Pawbiotix Review 2025 – the natural probiotic supplement designed for dogs. Improve your pet’s gut health, boost immunity, support digestion, and enhance skin and coat hea
    0 Commenti 0 condivisioni 511 Views
  • Boost Your Dog’s Digestive Health Naturally with Pawbiotix


    https://ushealthyy.blogspot.com/2025/09/pawbiotix-dog-probiotic-gut-health.html


    #DigestiveHealth #NaturalDogCare #Pawbiotix #HealthyDogs #DogWellness #PetCare #DogSupplements #HappyPup #PetHealth #DogDigestiveCare #NaturalPetCare #ProbioticsForDogs #DogLovers #HealthyPetTips
    Boost Your Dog’s Digestive Health Naturally with Pawbiotix https://ushealthyy.blogspot.com/2025/09/pawbiotix-dog-probiotic-gut-health.html #DigestiveHealth #NaturalDogCare #Pawbiotix #HealthyDogs #DogWellness #PetCare #DogSupplements #HappyPup #PetHealth #DogDigestiveCare #NaturalPetCare #ProbioticsForDogs #DogLovers #HealthyPetTips
    Boost Your Dog???s Digestive Health Naturally with Pawbiotix
    ushealthyy.blogspot.com
    ?? Probiotic Boost for Your Dog???s Gut Health As pet parents, we want nothing more than to see our dogs happy, active, and healthy. While we o...
    0 Commenti 0 condivisioni 579 Views
  • Fahamu RB Leipzig wanafanya mazungumzo ya Moja kwa moja na Liverpool ili kumsajili Harvey Elliott kama mbadala wa Xavi Simons aliyejiunga na Spurs.

    Liverpool bado wanasitasita kumuuza Harvey Elliott lakini itategemea baadae kama Leipzig itatoa £50m.

    Ikiwa Alexander Isak atajiunga na Liverpool kwa saa 24 zijazo basi Liverpool itamuachia Harvey Elliott.

    Source Ben Jacobs

    #SportsElite
    馃毃 Fahamu RB Leipzig wanafanya mazungumzo ya Moja kwa moja na Liverpool ili kumsajili Harvey Elliott kama mbadala wa Xavi Simons aliyejiunga na Spurs. Liverpool bado wanasitasita kumuuza Harvey Elliott lakini itategemea baadae kama Leipzig itatoa £50m. Ikiwa Alexander Isak atajiunga na Liverpool kwa saa 24 zijazo basi Liverpool itamuachia Harvey Elliott. 馃挵 Source Ben Jacobs #SportsElite
    0 Commenti 0 condivisioni 245 Views
  • PrimeBiome Probiotic: The Secret to Better Gut Health in 2025

    Website: https://yourhealthrights.com/primebiome-probiotic-gut-health-2025/


    PrimeBiome Probiotic: The Secret to Better Gut Health in 2025 Website: https://yourhealthrights.com/primebiome-probiotic-gut-health-2025/
    0 Commenti 0 condivisioni 191 Views
  • https://yourhealthrights.com/primebiome-probiotic-gut-health-2025
    https://yourhealthrights.com/primebiome-probiotic-gut-health-2025
    0 Commenti 0 condivisioni 201 Views
  • Liverpool wanapendelea kumbakisha klabuni Harvey Elliott licha ya kutambua nia yake ya kuwa anataka kuwa mchezaji wa kuanza Kikosi cha kwanza

    RB Leipzig imefanya mazungumzo na Liverpool jana Asubuhi lakini hakuna kilichokubaliwa kufikia sasa.

    Liverpool inamthamini Harvey Elliott Ila inategemea na Uamuzi wake lakini nia yao ni kumbakisha klabuni

    Source Ben Jacobs


    #SportsElite
    馃彺鬆仹鬆仮鬆仴鬆伄鬆仹鬆伩馃毃 Liverpool wanapendelea kumbakisha klabuni Harvey Elliott licha ya kutambua nia yake ya kuwa anataka kuwa mchezaji wa kuanza Kikosi cha kwanza RB Leipzig imefanya mazungumzo na Liverpool jana Asubuhi lakini hakuna kilichokubaliwa kufikia sasa.馃敶 Liverpool inamthamini Harvey Elliott Ila inategemea na Uamuzi wake lakini nia yao ni kumbakisha klabuni Source Ben Jacobs #SportsElite
    0 Commenti 0 condivisioni 323 Views
  • Al-Ittihad imeonesha nia ya kumuhitaji Adrien Rabiot.

    (Source: Foot Mercato)

    #SportsElite
    馃毃 Al-Ittihad imeonesha nia ya kumuhitaji Adrien Rabiot. 馃く馃嚫馃嚘 (Source: Foot Mercato) #SportsElite
    0 Commenti 0 condivisioni 59 Views
  • Crystal Palace inapanga kukamilisha usajiri kabla ya dirisha kufungwa na tayari wamegonga hodi kwa Liverpool kumpata kiungo Harvey Elliott.

    Liverpool wanahitaji karibu £40M au ifanyike mabadiilishano kati ya Marc Guehi na Harvey Elliott....

    (Source: Sun Sport)

    #SportsElite
    馃毃 Crystal Palace inapanga kukamilisha usajiri kabla ya dirisha kufungwa na tayari wamegonga hodi kwa Liverpool kumpata kiungo Harvey Elliott. Liverpool wanahitaji karibu £40M au ifanyike mabadiilishano kati ya Marc Guehi na Harvey Elliott.... (Source: Sun Sport) #SportsElite
    0 Commenti 0 condivisioni 328 Views
  • NDOTO ni mlango wa kiroho ambao ulimwengu wa roho unapitisha taarifa zake zinaweza kuwa zinatoka kwa Mungu au shetani anatumia kama mlango wa kuingiza taarifa.

    #Habakuki 2:2-3
    [2]BWANA akanijibu, akasema, Iandike njozi ukaifanye iwe wazi sana katika vibao, ili aisomaye apate kuisoma kama maji.

    [3]Maana njozi hii bado ni kwa wakati ulioamriwa, inafanya haraka ili kuufikilia mwisho wake, wala haitasema uongo; ijapokawia, ingojee; kwa kuwa haina budi kuja, haitakawia.

    Kumbe taarifa ya habakuki ilimfikia kupitia mlango unao itwa ndoto .

    Ndoto pia hutokana na shughuli nyingi au ni revision wa matukio ya mchana.

    #Muhubiri 5:13
    *Kwa maana ndoto huja kwa sababu ya shughuli nyingi; na sauti ya mpumbavu kwa njia ya wingi wa maneno*

    Ila mimi nataka nieleze ndoto kama mlango wa fahamu ambao Mungu hutumia kupeleka taarifa.
    #Ebrania 1:11-14

    #Ayubu 33:14-16
    [14]Kwa kuwa Mungu hunena mara moja,
    Naam, hata mara ya pili, ajapokuwa mtu hajali.
    .
    [15]Katika ndoto, katika maono ya usiku,
    Usingizi mzito uwajiliapo watu,
    Katika usingizi kitandani;
    ;
    [16]Ndipo huyafunua masikio ya watu,
    Na kuyatia muhuri mafundisho yao,

    Kumbe ndoto sasa ni mlango ambao Mungu anatuonyessha picha ya matukio ya nyuma au ya mbele yanayo kuja.,

    Kumbe baada ya kupata taarifa ya iliyo tangulia u inayo kuja lazima ujifunze kumtafuta Mungu.

    #Yeremia 29:13
    [13]Nanyi mtanitafuta na kuniona, mtakaponitafuta kwa moyo wenu wote.

    Kwanini tunamtafuta Mungu ni kwa sababu wewe ni wa rohoni na ndoto ni mlango wa rohoni usipo shughulika nayo itqkushughulikia .

    #1 Kor 2:15 SUV
    Lakini mtu wa rohoni huyatambua yote, wala yeye hatambuliwi na mtu.

    Baada ya kile ulicho kiota mtu wa rohoni lazima uyatambue vizr na ujue namna ya kuomba .

    Kuna watu mafanikio yao yalianzia ndotoni na kuna watu umasikini wao ulianzia ndotoni .

    Kwenye kila ndoto kuna taarifa na ndoto yenye taarifa lazima ikusumbue na ijirusie ndani yako .

    Ndoto ndiyo level ya mwisho kwa Mungu kuzungumza na mtu ,namaanisha hivi Mungu akiona uelewi kupitia mawazo anakuja kwa njia ya njozi kama njia ya mwisho ya kufikisha taarifa.

    Shetani pia akitaka kukupiga wakati mwingine anaanzia ndotoni.

    Kuna mtu aliota anazini na mtu ndotoni kisha toka hapo hamu yq uzinzi inamtawala kila siku .

    Kuna mtu aliota amengatwa na nyoka ndotoni kisha toka hapo homa udhaifu ukaingia.

    Kuna dada aliota kama ananyonyesha mtoto wakati hana mtoto na amengatwa kwenye ziwa lake la kushoto na toka hapo ndipo saratani ya titi ilipo anzia .

    Usichukulie ndoto kama kitu kidoga sana katika level hiyo .

    Ndoto nyingi ni taarifa sema ni vile tu ujajifunza siri ya ufalme wa Mungu katika ulimwengu wa roho.

    Kwa leo naomba nikuache na tafakuri hii kisha kesho tutatazama watu walio ota ndoto kibiblia na jinsi zilivyo timia .

    Nikutakie asubui njema na siku njema .

    Mkaribishe pia mwezio kwa kushare na kumualika ajoin katika group letu hili ili nayeye ajifunze siri hizi.

    Namba :0622625340 Type neno add na jina lako nitakuad katika group .

    Nikutakie asubui njema na siku njema .

    Naitwa mwl Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden ministry)
    #ndoto ni taarifa acha kupuuzia
    #restore men position
    #build new eden
    NDOTO ni mlango wa kiroho ambao ulimwengu wa roho unapitisha taarifa zake zinaweza kuwa zinatoka kwa Mungu au shetani anatumia kama mlango wa kuingiza taarifa. #Habakuki 2:2-3 [2]BWANA akanijibu, akasema, Iandike njozi ukaifanye iwe wazi sana katika vibao, ili aisomaye apate kuisoma kama maji. [3]Maana njozi hii bado ni kwa wakati ulioamriwa, inafanya haraka ili kuufikilia mwisho wake, wala haitasema uongo; ijapokawia, ingojee; kwa kuwa haina budi kuja, haitakawia. Kumbe taarifa ya habakuki ilimfikia kupitia mlango unao itwa ndoto . Ndoto pia hutokana na shughuli nyingi au ni revision wa matukio ya mchana. #Muhubiri 5:13 *Kwa maana ndoto huja kwa sababu ya shughuli nyingi; na sauti ya mpumbavu kwa njia ya wingi wa maneno* Ila mimi nataka nieleze ndoto kama mlango wa fahamu ambao Mungu hutumia kupeleka taarifa. #Ebrania 1:11-14 #Ayubu 33:14-16 [14]Kwa kuwa Mungu hunena mara moja, Naam, hata mara ya pili, ajapokuwa mtu hajali. . [15]Katika ndoto, katika maono ya usiku, Usingizi mzito uwajiliapo watu, Katika usingizi kitandani; ; [16]Ndipo huyafunua masikio ya watu, Na kuyatia muhuri mafundisho yao, Kumbe ndoto sasa ni mlango ambao Mungu anatuonyessha picha ya matukio ya nyuma au ya mbele yanayo kuja., Kumbe baada ya kupata taarifa ya iliyo tangulia u inayo kuja lazima ujifunze kumtafuta Mungu. #Yeremia 29:13 [13]Nanyi mtanitafuta na kuniona, mtakaponitafuta kwa moyo wenu wote. Kwanini tunamtafuta Mungu ni kwa sababu wewe ni wa rohoni na ndoto ni mlango wa rohoni usipo shughulika nayo itqkushughulikia . #1 Kor 2:15 SUV Lakini mtu wa rohoni huyatambua yote, wala yeye hatambuliwi na mtu. Baada ya kile ulicho kiota mtu wa rohoni lazima uyatambue vizr na ujue namna ya kuomba . Kuna watu mafanikio yao yalianzia ndotoni na kuna watu umasikini wao ulianzia ndotoni . Kwenye kila ndoto kuna taarifa na ndoto yenye taarifa lazima ikusumbue na ijirusie ndani yako . Ndoto ndiyo level ya mwisho kwa Mungu kuzungumza na mtu ,namaanisha hivi Mungu akiona uelewi kupitia mawazo anakuja kwa njia ya njozi kama njia ya mwisho ya kufikisha taarifa. Shetani pia akitaka kukupiga wakati mwingine anaanzia ndotoni. Kuna mtu aliota anazini na mtu ndotoni kisha toka hapo hamu yq uzinzi inamtawala kila siku . Kuna mtu aliota amengatwa na nyoka ndotoni kisha toka hapo homa udhaifu ukaingia. Kuna dada aliota kama ananyonyesha mtoto wakati hana mtoto na amengatwa kwenye ziwa lake la kushoto na toka hapo ndipo saratani ya titi ilipo anzia . Usichukulie ndoto kama kitu kidoga sana katika level hiyo . Ndoto nyingi ni taarifa sema ni vile tu ujajifunza siri ya ufalme wa Mungu katika ulimwengu wa roho. Kwa leo naomba nikuache na tafakuri hii kisha kesho tutatazama watu walio ota ndoto kibiblia na jinsi zilivyo timia . Nikutakie asubui njema na siku njema . Mkaribishe pia mwezio kwa kushare na kumualika ajoin katika group letu hili ili nayeye ajifunze siri hizi. Namba :0622625340 Type neno add na jina lako nitakuad katika group . Nikutakie asubui njema na siku njema . Naitwa mwl Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden ministry) #ndoto ni taarifa acha kupuuzia #restore men position #build new eden
    0 Commenti 0 condivisioni 1K Views
  • "two clever people cane fall in love true love need one idiot"
    "two clever people cane fall in love true love need one idiot"
    Like
    Love
    2
    0 Commenti 0 condivisioni 333 Views
  • Club ya Nottingham Forest imeongeza wachezaji wapya wawili katika kiangazii hiki waliotokea Botafogo na wamefanikiwa kujiunga na timu hiyo nyota Hao ni Igor Jesus umri miaka (24), Jair Cunha umri miaka (20)
    Club ya Nottingham Forest imeongeza wachezaji wapya wawili katika kiangazii hiki waliotokea Botafogo na wamefanikiwa kujiunga na timu hiyo nyota Hao ni Igor Jesus umri miaka (24), Jair Cunha umri miaka (20)
    0 Commenti 0 condivisioni 112 Views
  • Kutokana na “Sheria ya Beckham” – ambayo inaruhusu vilabu vya MLS (Major League Soccer) kusaini hadi wachezaji watatu walioko nje ya kiwango cha mshahara kilichowekwa (yaani wanaweza kulipwa zaidi au kusajiliwa kwa ada ya uhamisho) – Rodrigo De Paul atajiunga na Inter Miami kwa mkopo wa miezi 6, ukiambatana na kifungu cha lazima cha kumnunua kwa €15 milioni pamoja na bonasi.

    Mkopo huo utaendelea hadi mwisho wa mwaka 2025
    Kuanzia mwaka 2026, atakuwa mchezaji wa kudumu hadi mwaka 2029

    Atlético Madrid watatumia kipengele cha kuongeza mkataba wa De Paul kwa mwaka mmoja hadi katikati ya 2027 ili kuwezesha mkopo huo.

    Mpango uliopo kwa sasa, uliowasilishwa kwa MLS, ni kwamba De Paul hatakuwa mmoja wa wachezaji walioteuliwa kama “Designated Player (DP)” wakati wa mkopo mwaka 2025.
    Hii ina maana kuwa wachezaji watatu waliopo kwenye nafasi za DP katika Inter Miami watabaki kuwa:

    Lionel Messi

    Jordi Alba

    Sergio Busquets

    Chanzo: GIVEMESPORT

    ---

    Hii ni dili kubwa kwa Inter Miami na inaonyesha jinsi wanavyoendelea kujenga kikosi chenye nguvu huku wakizingatia sheria za mshahara wa MLS kwa ustadi.

    #SportsElite
    馃挘 Kutokana na “Sheria ya Beckham” – ambayo inaruhusu vilabu vya MLS (Major League Soccer) kusaini hadi wachezaji watatu walioko nje ya kiwango cha mshahara kilichowekwa (yaani wanaweza kulipwa zaidi au kusajiliwa kwa ada ya uhamisho) – Rodrigo De Paul atajiunga na Inter Miami kwa mkopo wa miezi 6, ukiambatana na kifungu cha lazima cha kumnunua kwa €15 milioni pamoja na bonasi. 馃敼 Mkopo huo utaendelea hadi mwisho wa mwaka 2025 馃敼 Kuanzia mwaka 2026, atakuwa mchezaji wa kudumu hadi mwaka 2029 馃敼 Atlético Madrid watatumia kipengele cha kuongeza mkataba wa De Paul kwa mwaka mmoja hadi katikati ya 2027 ili kuwezesha mkopo huo. 馃嚘馃嚪馃Ι 鈩癸笍 Mpango uliopo kwa sasa, uliowasilishwa kwa MLS, ni kwamba De Paul hatakuwa mmoja wa wachezaji walioteuliwa kama “Designated Player (DP)” wakati wa mkopo mwaka 2025. Hii ina maana kuwa wachezaji watatu waliopo kwenye nafasi za DP katika Inter Miami watabaki kuwa: Lionel Messi Jordi Alba Sergio Busquets 馃敆 Chanzo: GIVEMESPORT --- Hii ni dili kubwa kwa Inter Miami na inaonyesha jinsi wanavyoendelea kujenga kikosi chenye nguvu huku wakizingatia sheria za mshahara wa MLS kwa ustadi. #SportsElite
    0 Commenti 0 condivisioni 521 Views
  • West Ham United inavutiwa na wachezaji wa Liverpool Elliott na Tyler Morton.

    (Source: The Guardian)

    #SportsElite
    馃毃 West Ham United inavutiwa na wachezaji wa Liverpool Elliott na Tyler Morton. (Source: The Guardian) #SportsElite
    0 Commenti 0 condivisioni 232 Views
  • EsMedication

    L'azithromycine est un antibiotique puissant qui traite rapidement et efficacement un large éventail d'infections bactériennes. Chez EsMedication, nous fournissons de l'azithromycine de haute qualité pour vous aider à vous rétablir plus rapidement de maladies telles que les infections respiratoires, les infections cutanées, etc. Les patients font confiance à EsMedication pour sa fiabilité et son service rapide. Notre azithromycine offre un soulagement rapide des symptômes, vous permettant de vous sentir mieux sans retards inutiles. Choisissez EsMedication pour des soins de confiance.

    Website : https://esmedication.com/
    EsMedication L'azithromycine est un antibiotique puissant qui traite rapidement et efficacement un large éventail d'infections bactériennes. Chez EsMedication, nous fournissons de l'azithromycine de haute qualité pour vous aider à vous rétablir plus rapidement de maladies telles que les infections respiratoires, les infections cutanées, etc. Les patients font confiance à EsMedication pour sa fiabilité et son service rapide. Notre azithromycine offre un soulagement rapide des symptômes, vous permettant de vous sentir mieux sans retards inutiles. Choisissez EsMedication pour des soins de confiance. Website : https://esmedication.com/
    Like
    1
    0 Commenti 0 condivisioni 481 Views
Pagine in Evidenza