• Read plus
    “Ukiwa Mwandishi wa Habari una vitu viwili muhimu vya kuchunga navyo ni Ulimi wako na Mikono yako, unapaswa kufahamu unaongea nini ama unaandika kitu gani, nyuma ya mauaji ya Kimbari yalikuwa ni matamshi ya Watangazaji pia ambao walieneza chuki, kwasasa kuna kazi mbili za hatari nazo ni Ualimu na Waandishi wa Habari, hawa wanaweza kutengeneza taifa la Wajinga ama Waelevu. Nataka kusema nini? Nataka kusema juu ya kelele na shutuma za Yanga na Singida bado hakuna aliyetupa picha kamili zaidi ni kuwa Mashabiki wanalalamika kwa hisia, Waandishi tunalalamika kwa hisia ila hakuna anayekuja mbele kutoa usahihi, inaitwa Proving beyond reasonable doubt! Nimeona Wadau wanasema TFF haifanyi chochote, lakini wewe umewapa tip gani? Taasisi haifanyi maamuzi kwa hisia, the corporate world works differently from streets. Bado kizazi chetu cha Uandishi kuna kitu kinamiss ni INVESTIGATIVE JOURNALISM, binafsi nakiri wazi TUMEFELI sana eneo hili, yaani sote tunalaumu Singida kufanya rotation tunaita kupanga matokeo, tangu lini duniani kubadili kikosi chako ni kupanga matokeo? Ikitokea Coastal kabadili kikosi, ikitokea Simba kabadili ama AZAM? Yani timu inalaumiwa kwa kutumia Wachezaji wake? Tunaweza kuwa na hoja ila mpaka sasa hazina mashiko zaidi tunaonekana tunalalama ila tukipelekwa Mahakamani hakuna ambaye atathibitisha chochote, kama kufungwa ni kupanga matokeo mara ya mwisho Simba kumfunga Yanga ndani ya dakika 90 ni lini? Kama kufungwa ni kupanga matokeo lini Singida kamfunga Simba? Kama kufungwa ni kupanga lini Namungo kamfunga Simba lini? Sisi WAANDISHI tuna homework tunapaswa kufanya, tutaharibu fikra za Watanzania! Wenzetu Ulaya walipoibua kashfa ya Casciopoli pale Italia walikuja na data, hata UEFA Heated Balls Scandal watu walikuwa na data! Yanga wakisema waende kisheria nani anaweza kuja na hoja za kueleweka? Kama hakuna taarifa sahihi, mifano hai basi tunaongelea hisia, TFF atareact endapo atajitokea Mtu akaattack matter not the subject" - Farhan JR, Mchambuzi.
    0 Commentaires ·0 Parts ·371 Vue
  • Read plus
    "Kuanzia Msimu ujao tunakuja na kanuni ya Golikipa Mmoja tu wakigeni kwenye kila timu haiwezekani kwenye timu moja kuwe na magolikipa wawili wa kigeni haiwezekani hii” “Nilikua namtania Rais mwenzangu wa shirikisho aliniambia Mbona kwenye ligi yako kuna wachezaji wa kigeni wengi sana nikamjibu kua siwadekezi watu wavivu, ukiangalia pale Yanga kuna mabeki wengi wakizawa ndio wanacheza hata Siimba pia hivyo hivyo” - W. Karia, Rais wa Shirikisho la Mpira Nchini Tanzania (TFF) kupitia Wasafi FM.
    Like
    1
    · 0 Commentaires ·0 Parts ·199 Vue
  • Read plus
    "Haitochukua muda Wananchi wataanza tena kurejea ule mpira wao na mabao yao, haitochukua muda kabla Clement Mzize aanze kupokea ofa nyingi huko nje, haitochukua muda kuanza kutenganisha maji na mafuta, haichukui muda kugundua Prince Dube kamba zote hajafunga penati, haitochukua muda timu zitaanza kuitwa Matawi. Kama hii hali itaendelea haitochukua muda jina la GSM na udhamini kuanza kuwa kiitikio kwenye ule wimbo maarufu, haitochukua muda kusikia Marefa na TFF wote ni Wananchi, haitochukua muda sana😀" - Farhan JR, Mchambuzi.
    0 Commentaires ·0 Parts ·245 Vue
  • #Yangasc
    #Simbasc
    #TFF#NBCPL
    #CAFCL
    #Yangasc #Simbasc #TFF#NBCPL #CAFCL
    Like
    1
    · 0 Commentaires ·0 Parts ·695 Vue
  • Read plus
    Mchango wa mkunde yanga sc nimkubwa sana katika ligi na klabu bingwa pia japo mnajisahau tu , kwani mkunde siyo wakumlinganisha na Duke abuya huyu ni mchezaji mwenye uzoefu sana kuliko abuya. #KhalidAucho #JonasMkunde #DukeAbuya #TFF #CAFCL
    Love
    1
    · 0 Commentaires ·0 Parts ·502 Vue
  • Read plus
    TANZANIA INA MAWAKALA SABA TU WA WACHEZAJI Mawakala saba pekee wa kusimamia wachezaji kutoka Tanzania ndio wanatambulika na FIFA hadi sasa, hao ndio wenye leseni ya uwakala baada ya kufaulu mtihani nao ni. 1:Erick Mavika 2:Latifa Iddi Pagal 3"Benjamin Nyarukamo Masige 4:Eliya Samweli Rioba 5:Hadji Shaban Omar 6:Hillary Ismail Hassan 7:Nasri Mjandari Kwa mujibu wa TFF wale wote ambao wanajihusisha na uwakala pasipo kuwa na leseni ya Fifa wataripotiwa na kuweza kuchukuliwa hatua.
    Love
    Like
    3
    · 0 Commentaires ·0 Parts ·531 Vue
  • Taarifa kutoka shirikisho la mpira wa miguu Tanzania TFF
    Taarifa kutoka shirikisho la mpira wa miguu Tanzania TFF
    0 Commentaires ·0 Parts ·209 Vue
  • HABARI NJEMA KUTOKA TFF
    HABARI NJEMA KUTOKA TFF
    Like
    Love
    8
    · 1 Commentaires ·0 Parts ·465 Vue
  • Read plus
    "Tukiwa katika majonzi na kazi ikiendelea katika kuwatafuta ndugu zetu ambao tunaamini bado wako hai kufuatia kuporomoka kwa jengo eneo la Kariakoo, ninawapongeza vijana wetu Taifa Stars kwa ushindi na kufuzu kushiriki Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025. Mmeandika historia kwa Taifa letu, ikiwa ni mara yetu ya nne kufikia mafanikio haya makubwa katika kipindi cha zaidi ya miaka arobaini. Hongera kwa kazi nzuri nyote tuliowapa dhamana kusimama na vijana wetu kukamilisha jukumu hili katika Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo, Shirikisho la Mpira wa Miguu (TFF), Benchi la Ufundi na Watanzania wote kwa kuendelea kuipenda, kuithamini na kuipa hamasa Timu ya Taifa. Baada ya ushindi huu, sasa tujikite katika maandalizi mazuri zaidi kwa mashindano yajayo" - Mama Samia Suluhu Hassan, Rais wa Tanzania.
    0 Commentaires ·0 Parts ·555 Vue
  • TFF yatoa adhabu kwa Kocha Gamond
    TFF yatoa adhabu kwa Kocha Gamond
    Love
    2
    · 0 Commentaires ·0 Parts ·348 Vue
  • WAKATI TFF IKIFUTA KADI NYEKUNDU YA BACCA, YEYE MWENYEWE ANAFANYA MAZOEZI YA KUKAMATA NYOKA
    WAKATI TFF IKIFUTA KADI NYEKUNDU YA BACCA, YEYE MWENYEWE ANAFANYA MAZOEZI YA KUKAMATA NYOKA
    00:00
    00:00
    Love
    1
    · 0 Commentaires ·0 Parts ·346 Vue ·29
  • Read plus
    Bodi ya Ligi (TPLB) kupitia kanuni zinazosimamia ligi hiyo zinazokataza makocha, wachezaji na viongozi kuwajadili waamuzi. Kanuni ya 40 kifungu cha (2) cha Udhibiti wa Kimashindano kinaainisha kuwa: . “Ni marufuku kwa kocha/kiongozi wa timu/klabu, mchezaji au mdau mwingine yeyote wa mpira wa miguu kushutumu au kutoa matamshi/maandiko/picha/video kwa lengo la kumkejeli au kumshutumu au kumkashifu au kumdhalilisha mwamuzi yeyote wa mchezo/kiongozi wa TFF/FA (M)/TPLB kwenye vyombo vya habari na mahali pengine popote. . “Kiongozi au mdau atakayekiuka atafungiwa idadi ya michezo isiyopungua mitatu au kutojihusisha na mpira wa miguu kwa kipindi kati ya miezi mitatu mpaka kumi na miwili na au faini kati ya Sh500,000 hadi 5,000,000. #paulswai
    Love
    2
    · 1 Commentaires ·0 Parts ·396 Vue
  • Read plus
    💬 “Najionea vituko tu! Kama Marehemu Hans Pope aliadhibiwa kwa kuongea redioni suala la Morisson liliokuwa kwenye Kamati, sembuse hawa walioenda na Mkataba hadharani? TFF isipochukua hatua sitawaelewa!!” — Crescentius Magori. #paulswai
    Like
    2
    · 1 Commentaires ·0 Parts ·448 Vue
  • TAARIFA KUTOKA KAMATI YA TUZO ZA TFF.

    #paulswai
    TAARIFA KUTOKA KAMATI YA TUZO ZA TFF. #paulswai
    Like
    Love
    2
    · 2 Commentaires ·0 Parts ·281 Vue
  • Read plus
    🚨AWESU AWESU BADO NI MALI YA KMC!!! Baada ya kikao cha kamati ya sheria na hadhi za wachezaji ya (TFF) kilichofanyika leo kuhusu sakata la uhamisho wa Awesu Awesu kutoka KMC kwenda Simba SC. Mwanasheria wa KMC amesema... "Awesu Awesu bado ni mchezaji halali wa klabu ya KMC, Simba SC wakimtaka warudi mezani kwa mazungumzo wakiwa na Sh 200 milioni." "Mambo yamekwenda vizuri Tunasubiri uamuzi wa kamati" ©️ Chief Said. Mwanasheria wa KMC na mjumbe wa bodi ya Wakurugenzi KMC Football Club. #paulswai
    Like
    5
    · 1 Commentaires ·0 Parts ·464 Vue
  • USIKU WA TUZA ZA TFF

    NI LEO AGOSTI 01, 2024. MUDA NI SAA 1 USIKU. KAA KARIBU NA TV YAKO KUSHUHUDIA MOTISHA WATAKAZOPEWA WACHEZAJI WAKO.
    USIKU WA TUZA ZA TFF NI LEO AGOSTI 01, 2024. MUDA NI SAA 1 USIKU. KAA KARIBU NA TV YAKO KUSHUHUDIA MOTISHA WATAKAZOPEWA WACHEZAJI WAKO.
    Like
    1
    · 0 Commentaires ·0 Parts ·375 Vue
  • Read plus
    .*🎖TUZO ZA TFF 202/2024-PIGA KURA YA SHABIKI* ▪️Mashabiki Wana Nafasi Ya Kupiga Kuchagua Katika Kila Kipengele Ikiwa Kura Ya Mashabiki Ni Asilimia 30 (30%) Itatumika Kuchagua Washindi Katika Kila Kipengele *PIGA KURA YAKO👇* https://cutt.ly/TFF-Awards-2024 *MWISHO WA KUPIGA KURA: 31/07/2024*
    Tanzania Football Federation TFF Award 2024 - Tuzo Za TFF 2023/2024
    cutt.ly
    Tanzania Football Federation TFF Award 2024 - Tuzo Za TFF 2023/2024.
    Like
    Love
    4
    · 1 Commentaires ·0 Parts ·378 Vue
  • Read plus
    ... 🚨 𝗣𝗥𝗢𝗣𝗔𝗚𝗔𝗡𝗗𝗔 Sikutaka kabisa kuizungumzia hii propaganda iliyoanzishwa na Edo Kumwembe Instagram. Lakini kwa kuwa nawajali sana wafuasi wangu waliofurika INBOX kuniuliza acha nizungumze kwa kifupi. Kwamba kuna wanachama wachache wa Yanga wameshinda kesi mahakamani kuwa Rais wa Yanga Eng. Hersi Said hapaswi kuwa Rais wa Yanga kwa sababu yuko kinyume na katiba ?! .. Propaganda. ℹ️ Katiba iliyomuweka madarakani Eng. Hersi Said ilipita katika mamlaka zote, Serikali na (TFF) ikapata baraka zote. ◉ BMT ◉ FCC ◉ TFF Taarifa hizo hazi-make sense ndio maana huoni wakitajwa majina hao watu wanaosemwa wameenda mahakamani. ℹ️ Kama wamepeleka masuala ya soka mahakamani, sheria za (FIFA) ziko wazi, wakijulikana WATAFUNGIWA KUJIHUSISHA NA SOKA MAISHA.. Kama michael Wambura. Note : Baadhi ya watu wanamuhofia huyu jamaa that's why wanaunda propaganda. Nadhani nitakuwa nimewajibu vyema. (CC: Tom Cruz)
    0 Commentaires ·0 Parts ·512 Vue
  • Read plus
    Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Wallace Karia akizungumza katika hafla ya uzinduzi wa vifaa vya kuzalisha na kurusha maudhui ya michezo pamoja na Teknolojia ya Usaidizi wa Mwamuzi kupitia Video (VAR) leo kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar. #paulswai
    Like
    1
    · 0 Commentaires ·0 Parts ·522 Vue
  • Read plus
    Taarifa hii imechapishwa na Gazeti la Mwanaspoti. "Chama amesaini mkataba wa miaka miwili (2) na Yanga SC baada ya mkataba wake kumalizika na Simba akigoma kuongeza mkataba na Simba SC sababu kubwa ikitajwa kuwa ni maslahi pamoja na kejeli za hapa na pale." "Yanga SC haikuwa imepanga kumtambulisha jana kama ambayo ilifanyika, lakini hatua hiyo ilitokana na matajiri hao (GSM & Hersi) kupokea simu kutoka kwa kiungo huyo kuwa Simba imepata uhakika kuwa yeye amesaini upande wa Yanga SC." "Kila kilichokuwa kinaendelea usiku wa jumapili baina ya Chama na viongozi wa Simba SC, Chama alikuwa anakishusha kwa Yanga kama kilivyo na ndiye aliyewashauri viongozi wa Yanga waachie picha yake asubuhi kabla ya chai kama kitendo cha kuwanyamazisha wasimsumbue.... Chama anaamini hawakumuheshimu alipokuwa Simba" "Ukweli mwingine ni kwamba Chama aliwaambia rafiki zake kuwa anataka kucheza ligi ya Mabingwa Afrika na Yanga inaonesha uelekeo wa kufika mbali" "Simba SC baada ya kupata taarifa hizo matajiri wake kuanzia June 30 walirudi mezani wakihaha kumbakisha kiungo huyo kwa gharama yoyote wakimuwekea pesa mara mbili ya zile alizochukua Yanga, lakini ngoma ikadunda" "Yanga baada ya kupata taarifa hizo (Kutoka kwa Chama) na kujiridhisha ikaona hapana isambaze picha hizo wakati akisaini kama walivyoshauriwa na Chama, zikawatibua mabosi wa Simba SC" "Hata hivyo Simba hawakukata tanaa mpaka jana Jumatatu mchana waliendelea kusukuma kete ya mwisho kwa Chama wakimtaka akubali kusaini mkataba kisha wao wanajua namna gani watakwenda kumalizana na Yanga (TFF), lakini Chama akakataa"
    0 Commentaires ·0 Parts ·333 Vue
Plus de résultats