• Leon Bailey anaondoka Aston Villa miaka 28 na anaweza kujiunga na AS Roma au kwenda kuchukua pesa za Saudi Arabia.

    Mpaka sasa amekuwa na career nzuri japo ingeweza kuwa bora zaidi sababu uwezo anao lakini ni moja ya wachezaji muendelezo ni changamoto kwake kwa taifa alillotaka anabaki kuwa mchezaji wenye kipaji zaidi natumai Mason Greenwood akijunga rasmi na Jamaica watakuwa na taifa nzuri na shindani.

    #SportsElite
    🚨🚨Leon Bailey anaondoka Aston Villa miaka 28 na anaweza kujiunga na AS Roma au kwenda kuchukua pesa za Saudi Arabia. Mpaka sasa amekuwa na career nzuri japo ingeweza kuwa bora zaidi sababu uwezo anao lakini ni moja ya wachezaji muendelezo ni changamoto kwake kwa taifa alillotaka anabaki kuwa mchezaji wenye kipaji zaidi natumai Mason Greenwood akijunga rasmi na Jamaica watakuwa na taifa nzuri na shindani. #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·150 Views
  • Polisi nchini Gambia wamewafungulia mashtaka wanawake watatu kufuatia kifo cha mtoto wa kike mwenye umri wa mwezi mmoja, aliyefanyiwa ukeketaji (FGM), tukio lililoibua hasira kitaifa licha ya marufuku iliyowekwa miaka kumi iliyopita.

    Kwa mujibu wa Polisi, mashtaka hayo yamewasilishwa chini ya Sheria ya Marekebisho ya Wanawake ya mwaka 2015, inayopiga marufuku ukeketaji. Mmoja wa wanawake hao anakabiliwa na kifungo cha maisha na amewekwa rumande, huku wengine wawili wakishtakiwa kama washirika na kupewa dhamana.

    Mwenyekiti wa Tume ya Kitaifa ya Haki za Binadamu (NHRC), Emmanuel Joof, amesema tukio hilo ni onyo kwa taifa, akisisitiza kuwa ukeketaji si utamaduni tu bali ni kosa la jinai, ukiukaji wa haki za binadamu, na katika visa vingine, husababisha vifo. NHRC inasisitiza kuwa hakuna sababu za kitamaduni au kiasili zinazoweza kuhalalisha madhara kwa watoto. Licha ya marufuku, ukeketaji bado umeenea nchini Gambia, na mwaka jana wabunge walikataa muswada wa kufuta marufuku hiyo
    Polisi nchini Gambia wamewafungulia mashtaka wanawake watatu kufuatia kifo cha mtoto wa kike mwenye umri wa mwezi mmoja, aliyefanyiwa ukeketaji (FGM), tukio lililoibua hasira kitaifa licha ya marufuku iliyowekwa miaka kumi iliyopita. Kwa mujibu wa Polisi, mashtaka hayo yamewasilishwa chini ya Sheria ya Marekebisho ya Wanawake ya mwaka 2015, inayopiga marufuku ukeketaji. Mmoja wa wanawake hao anakabiliwa na kifungo cha maisha na amewekwa rumande, huku wengine wawili wakishtakiwa kama washirika na kupewa dhamana. Mwenyekiti wa Tume ya Kitaifa ya Haki za Binadamu (NHRC), Emmanuel Joof, amesema tukio hilo ni onyo kwa taifa, akisisitiza kuwa ukeketaji si utamaduni tu bali ni kosa la jinai, ukiukaji wa haki za binadamu, na katika visa vingine, husababisha vifo. NHRC inasisitiza kuwa hakuna sababu za kitamaduni au kiasili zinazoweza kuhalalisha madhara kwa watoto. Licha ya marufuku, ukeketaji bado umeenea nchini Gambia, na mwaka jana wabunge walikataa muswada wa kufuta marufuku hiyo
    0 Comments ·0 Shares ·201 Views
  • Real Madrid wametoa taarifa ya KUKATAA VIKALI wazo la kuchezwa kwa mechi ya La Liga kati ya Villarreal na Barcelona huko Miami

    Wazo hilo lilitekelezwa bila kushauriana awali na vilabu vinavyoshiriki La Liga, jambo linalokiuka kanuni muhimu ya "mshikamano wa maeneo" inayosimamia mfumo wa ligi wa mechi za nyumbani na ugenini.

    Mabadiliko ya aina hii yanapaswa kuwa na idhini ya wazi na ya pamoja kutoka kwa vilabu vyote vinavyoshiriki, pamoja na kutimiza kikamilifu masharti ya kitaifa na kimataifa yanayosimamia uendeshaji wa mashindano rasmi.

    Katika kutetea kanuni hii, Real Madrid imechukua hatua tatu mahsusi:

    1. Kuwasilisha ombi kwa FIFA kuzuia mechi hiyo kuchezwa bila idhini ya awali kutoka kwa vilabu vyote vya La Liga.

    2. Kuwasilisha ombi kwa UEFA kuomba RFEF iondoe au ikatae ombi hilo, ikisisitiza vigezo vilivyowekwa mwaka 2018 vinavyokataza kuchezwa kwa mechi rasmi za mashindano ya ndani nje ya ardhi ya taifa, isipokuwa kwa hali za kipekee na zilizo na sababu za msingi ambazo katika kesi hii hazikutimia.

    3. Kuwasilisha ombi kwa Baraza Kuu la Michezo(Consejo Superior de Deportes) kuto kutoa vibali vya kiutawala vinavyohitajika bila kuwepo kwa idhini ya pamoja kutoka kwa vilabu vyote.

    #SportsElite
    ❌⛔🇪🇸Real Madrid wametoa taarifa ya KUKATAA VIKALI wazo la kuchezwa kwa mechi ya La Liga kati ya Villarreal na Barcelona huko Miami Wazo hilo lilitekelezwa bila kushauriana awali na vilabu vinavyoshiriki La Liga, jambo linalokiuka kanuni muhimu ya "mshikamano wa maeneo" inayosimamia mfumo wa ligi wa mechi za nyumbani na ugenini. Mabadiliko ya aina hii yanapaswa kuwa na idhini ya wazi na ya pamoja kutoka kwa vilabu vyote vinavyoshiriki, pamoja na kutimiza kikamilifu masharti ya kitaifa na kimataifa yanayosimamia uendeshaji wa mashindano rasmi. Katika kutetea kanuni hii, Real Madrid imechukua hatua tatu mahsusi: 1. Kuwasilisha ombi kwa FIFA kuzuia mechi hiyo kuchezwa bila idhini ya awali kutoka kwa vilabu vyote vya La Liga. 2. Kuwasilisha ombi kwa UEFA kuomba RFEF iondoe au ikatae ombi hilo, ikisisitiza vigezo vilivyowekwa mwaka 2018 vinavyokataza kuchezwa kwa mechi rasmi za mashindano ya ndani nje ya ardhi ya taifa, isipokuwa kwa hali za kipekee na zilizo na sababu za msingi ambazo katika kesi hii hazikutimia. 3. Kuwasilisha ombi kwa Baraza Kuu la Michezo(Consejo Superior de Deportes) kuto kutoa vibali vya kiutawala vinavyohitajika bila kuwepo kwa idhini ya pamoja kutoka kwa vilabu vyote. #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·119 Views
  • Lamine Yamal na Vinicius Jr – Takwimu zao kwa Team za Taifa ..

    Unaondoka na Nani kati yao hapo??

    Lamine Yamal
    Vinicius Jr

    #SportsElite
    🚨Lamine Yamal na Vinicius Jr – Takwimu zao kwa Team za Taifa ..🔥 Unaondoka na Nani kati yao hapo?? 🤝Lamine Yamal ✅Vinicius Jr #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·96 Views
  • Rais wa Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA), Gianni Infantino ameipongeza klabu ya Young Africans kwa kuwa mabingwa wa Ligi Kuu ya NBC msimu wa 2024/2025.

    Katika barua yake aliyoituma Julai 25 mwaka huu kwa Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Wallace Karia, Rais Infantino amesema juhudi walizofanya msimu mzima zimewalipa kwa kutwaa ubingwa huo.

    Pia amesema salamu zake za pongezi ziende kwa kila mwanachama wa Young Africans kwa kuwa wote ni sehemu ya mafanikio hayo makubwa kwa timu yao.

    "Nakushukuru wewe na Shirikisho lako kwa kazi nzuri ya kusimamia maendeleo ya mpira wa miguu katika nchi yako, na ninatarajia tutaonana hivi karibu, " amesema Rais Infantino katika sehemu ya barua hiyo.

    #SportsElite
    🚨🚨Rais wa Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA), Gianni Infantino ameipongeza klabu ya Young Africans kwa kuwa mabingwa wa Ligi Kuu ya NBC msimu wa 2024/2025. Katika barua yake aliyoituma Julai 25 mwaka huu kwa Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Wallace Karia, Rais Infantino amesema juhudi walizofanya msimu mzima zimewalipa kwa kutwaa ubingwa huo. Pia amesema salamu zake za pongezi ziende kwa kila mwanachama wa Young Africans kwa kuwa wote ni sehemu ya mafanikio hayo makubwa kwa timu yao. "Nakushukuru wewe na Shirikisho lako kwa kazi nzuri ya kusimamia maendeleo ya mpira wa miguu katika nchi yako, na ninatarajia tutaonana hivi karibu, " amesema Rais Infantino katika sehemu ya barua hiyo. #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·490 Views
  • ... Mpaka sasa, Young Africans Sports Club wameshatumia zaidi ya Billion moja kwenye usajili wa wachezaji watatu wa kimataifa.

    ▪︎Celestine Ecua zaidi ya 300 Million zimetumika.

    ▪︎Mousa Balla Conte amewalaza Yanga pesa ambazo hazipungui 500 Million. Hapo ni hela ya kuvunjia mkataba pamoja na signing-on-fee. Japo Signing fee huwa inaweza kulipwa kwa awamu. Inategemeana na makubaliano yao.

    ▪︎Mohammed Doumbia amewagharimu Yanga kiasi kisichopungua 250 Million (Signing fee).

    #SportsElite
    🙆‍♂️... Mpaka sasa, Young Africans Sports Club wameshatumia zaidi ya Billion moja kwenye usajili wa wachezaji watatu wa kimataifa. ▪︎Celestine Ecua zaidi ya 300 Million zimetumika. ▪︎Mousa Balla Conte amewalaza Yanga pesa ambazo hazipungui 500 Million. Hapo ni hela ya kuvunjia mkataba pamoja na signing-on-fee. Japo Signing fee huwa inaweza kulipwa kwa awamu. Inategemeana na makubaliano yao. ▪︎Mohammed Doumbia amewagharimu Yanga kiasi kisichopungua 250 Million (Signing fee). #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·317 Views
  • Barcelona kunufaika kwa €2 milioni kutokana na jeraha la Ter Stegen

    Ripoti ya habari imeeleza uwezekano wa klabu ya FC Barcelona kupokea kiasi cha €2 milioni kufuatia jeraha la mlinda mlango wao wa Kijerumani, Marc-André ter Stegen .

    Kwa mujibu wa Mundo Deportivo, Barcelona waligundua kwanza jeraha la Ter Stegen baada ya mechi za UEFA Nations League dhidi ya Ureno na Ufaransa zilizochezwa Juni 4 na 8.

    Ripoti hiyo imeongeza:

    > "Barcelona waliiarifu FIFA mapema kuhusu matatizo ya mgongo aliyopata Ter Stegen, ambayo yalitokana na mechi zake za hivi karibuni na timu ya taifa ya Ujerumani ."

    Kwa hivyo, FIFA huenda ikalazimika kulipa fidia kifedha kwa Barcelona ikiwa Ter Stegen atakuwa nje ya uwanja kwa zaidi ya siku 28 mfululizo kutokana na jeraha alilopata akiwa kwenye majukumu ya kimataifa .

    Ripoti hiyo imeeleza kuwa klabu ya Catalonia inaweza kupata zaidi ya €2 milioni kutokana na hali hiyo.

    Barcelona tayari waliwahi kunufaika na mpango wa fidia wa FIFA ujulikanao kama Club Protection Program wakati Gavi alipoumia vibaya akiwa na timu ya taifa ya Hispania mwaka 2023, na pia walipopata fidia baada ya Ronald Araújo kuumia akiwa na Uruguay wakati wa Copa América 2024.

    Kwa upande wa Ter Stegen, ikiwa atakosa mashindano kwa miezi 4, Barcelona wangeweza kupokea hadi €2.46 milioni.

    #SportsElite
    🚨 Barcelona kunufaika kwa €2 milioni kutokana na jeraha la Ter Stegen 💰 Ripoti ya habari imeeleza uwezekano wa klabu ya FC Barcelona kupokea kiasi cha €2 milioni kufuatia jeraha la mlinda mlango wao wa Kijerumani, Marc-André ter Stegen 🤕. Kwa mujibu wa Mundo Deportivo, Barcelona waligundua kwanza jeraha la Ter Stegen baada ya mechi za UEFA Nations League dhidi ya Ureno 🇵🇹 na Ufaransa 🇫🇷 zilizochezwa Juni 4 na 8. Ripoti hiyo imeongeza: > "Barcelona waliiarifu FIFA mapema kuhusu matatizo ya mgongo aliyopata Ter Stegen, ambayo yalitokana na mechi zake za hivi karibuni na timu ya taifa ya Ujerumani 🇩🇪." Kwa hivyo, FIFA huenda ikalazimika kulipa fidia kifedha kwa Barcelona ikiwa Ter Stegen atakuwa nje ya uwanja kwa zaidi ya siku 28 mfululizo kutokana na jeraha alilopata akiwa kwenye majukumu ya kimataifa 🏥. Ripoti hiyo imeeleza kuwa klabu ya Catalonia inaweza kupata zaidi ya €2 milioni kutokana na hali hiyo. Barcelona tayari waliwahi kunufaika na mpango wa fidia wa FIFA ujulikanao kama Club Protection Program wakati Gavi alipoumia vibaya akiwa na timu ya taifa ya Hispania 🇪🇸 mwaka 2023, na pia walipopata fidia baada ya Ronald Araújo kuumia akiwa na Uruguay 🇺🇾 wakati wa Copa América 2024. Kwa upande wa Ter Stegen, ikiwa atakosa mashindano kwa miezi 4, Barcelona wangeweza kupokea hadi €2.46 milioni. #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·542 Views


  • Klabu Ya Fc Barcelona Imetuma Ofa Kwenda Kwa Manchester United Juu Ya Kumsajili Mshambuliaji Wao Na Taifa La Uingereza Marcus Rashford Mwenye Umri Wa Miaka 29.

    Barcelona Wametuma Ofa Ya Kumsajili Kwa Mkopo na Chaguo La Kumnunua Moja Kwa Moja Kama Wataridhishwa Nae.

    Tangu Mwezi June Marcus Alikuwa Anasubiria Ofa Hiyo Ya fc Barcelona Na Alikubali Kuhamia Huko Hispania.

    ILE SAFARI YA MANCHESTER UNITED INAENDA KUKATA KAMBA MUDA SIO MREFU

    #SportsElite
    Klabu Ya Fc Barcelona Imetuma Ofa Kwenda Kwa Manchester United Juu Ya Kumsajili Mshambuliaji Wao Na Taifa La Uingereza Marcus Rashford Mwenye Umri Wa Miaka 29. Barcelona Wametuma Ofa Ya Kumsajili Kwa Mkopo na Chaguo La Kumnunua Moja Kwa Moja Kama Wataridhishwa Nae. Tangu Mwezi June Marcus Alikuwa Anasubiria Ofa Hiyo Ya fc Barcelona Na Alikubali Kuhamia Huko Hispania. ILE SAFARI YA MANCHESTER UNITED INAENDA KUKATA KAMBA MUDA SIO MREFU🥶 #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·221 Views
  • Klabu ya Napoli ya nchini Italy imemtambulisha rasmi mshambuliaji wake mpya, Noa Lang (26) akitokea PSV ya nchini uholanzi.

    Noa Lang ni moja ya wachezaji wenye uwezo mkubwa sana na kipaji kikubwa akifanikiwa kufunga magoli 15 na kutoa pasi za magoli 12 msimu uliopita akiwa na PSV pamoja na timu ya taifa.

    #SportsElite
    🚨Klabu ya Napoli ya nchini Italy imemtambulisha rasmi mshambuliaji wake mpya, Noa Lang (26) akitokea PSV ya nchini uholanzi. Noa Lang ni moja ya wachezaji wenye uwezo mkubwa sana na kipaji kikubwa akifanikiwa kufunga magoli 15 na kutoa pasi za magoli 12 msimu uliopita akiwa na PSV pamoja na timu ya taifa. #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·223 Views
  • HERE WE GO! ⚡️ Mchezaji wa kimataifa wa Kenya, Aldrine Kibet, amejiunga na klabu ya Celta Vigo ya Uhispania kwa mkataba utakaodumu hadi mwaka 2029.

    Kibet anatarajiwa kuanza kwa kuwakilisha Celta Fortuna, timu ya pili ya Celta Vigo, huku akipanda ngazi taratibu kuelekea kikosi cha kwanza.

    #SportsElite
    🚨HERE WE GO! ⚡️ Mchezaji wa kimataifa wa Kenya, Aldrine Kibet, amejiunga na klabu ya Celta Vigo ya Uhispania kwa mkataba utakaodumu hadi mwaka 2029. 🇰🇪 Kibet anatarajiwa kuanza kwa kuwakilisha Celta Fortuna, timu ya pili ya Celta Vigo, huku akipanda ngazi taratibu kuelekea kikosi cha kwanza. #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·330 Views
  • Klabu ya Everton imemkaribisha rasmi mshambuliaji chipukizi Thierno Barry ambaye awali alikuwa Villarreal. Barry, anayewakilisha timu ya taifa ya vijana ya Ufaransa chini ya miaka 21, sasa atakuwa sehemu ya kikosi cha Everton kwa mkataba wa miaka minne. DDiili hilo linaripotiwa harimu takribani pauni milionii 27.5.

    #SportsElite
    Klabu ya Everton imemkaribisha rasmi mshambuliaji chipukizi Thierno Barry ambaye awali alikuwa Villarreal. Barry, anayewakilisha timu ya taifa ya vijana ya Ufaransa chini ya miaka 21, sasa atakuwa sehemu ya kikosi cha Everton kwa mkataba wa miaka minne. DDiili hilo linaripotiwa harimu takribani pauni milionii 27.5. 🔵 #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·271 Views
  • #SportsElite

    - Baada ya kusubiriwa kwa muda mrefu, hatimaye mshambuliaji hatari wa klabu ya Inter Miami pamoja Nahodha wa timu ya Taifa ya Argentina, Leo Messi.. kupitia katika Ukurasa wake wa Instagram (@leomessi) ‘FIFA BOY’ ame-share picha ya Diogo Jota, ikiwa ni ishara ya KUGUSWA moja kwa moja na msiba huu mzito katika soka. Kudos Legend..!
    .
    .
    - Hakika kwa kuondokewa na mtu kama Diogo Jota, itoshe kusema familia ya mpira tumepata pigo kubwa haswa! 🥹!
    .
    .

    …Endelea kupumzika, Diogo Jota. 🕊
    #SportsElite - Baada ya kusubiriwa kwa muda mrefu, hatimaye mshambuliaji hatari wa klabu ya Inter Miami pamoja Nahodha wa timu ya Taifa ya Argentina, Leo Messi.. kupitia katika Ukurasa wake wa Instagram (@leomessi) ‘FIFA BOY’ ame-share picha ya Diogo Jota, ikiwa ni ishara ya KUGUSWA moja kwa moja na msiba huu mzito katika soka. Kudos Legend..! 🤝 . . - Hakika kwa kuondokewa na mtu kama Diogo Jota, itoshe kusema familia ya mpira tumepata pigo kubwa haswa! 🥹! . . …Endelea kupumzika, Diogo Jota. 🕊
    0 Comments ·0 Shares ·515 Views
  • BREAKING Mshambuliaji wa Liverpool FC Diogo Jota na Kaka Yake wamefariki Dunia leo kwa Ajali.
    .
    Q Taarifa ya Jeshi la Polisi kutoka huko Uhispania:

    “Diogo Jota na Andre Silva walikuwa kwenye Gari aina ya Lamborghini ambalo liliacha njia kutokana na tairi kupasuka na kulipiga gari jingine na kisha kuwaka moto. Ajali hiyo ilitokea Zamora, Uhispania,

    Source BBC Sports
    .
    DIOGO JOTA MAISHA YAKE AKIWA NA LIVERPOOL

    🏟 Michezo - 182
    ⚽️ Mabao - 65
    Asisst - 22

    Chanzo cha Ajali ni Gari liliacha Njia na Kuwaka moto kwenye Gari Alikuwepo Diogo Jota mwenye miaka 28 na mdogo wake Andre Silva (25) wote wamefariki.

    Siku mbaya kwa wanamichezo Imenitoa machozi hii

    R.I.P Liverpool Legend Mungu Akupe Kauli Thabiti
    .
    🗣 Ujumbe wa Cristiano Ronaldo kwa Kifo cha Jota
    .
    🕊🎙 " Haina maana. Juzi tulikuwa pamoja kwenye timu ya taifa na tumeshinda ubingwa pamoja mbaya zaidi Juzi tu Umefunga ndoa umemuacha mke wako na watoto inauma... Binafsi natuma salamu zangu źa rambirambi kwa Familia yako na kuwatakia Kila lenye Kheri najua Daima utakuwa nao Pumzika salama"
    .
    Weka Alama hii Kama kumuombea Diogo Jota.

    Mungu Atupe mwisho Mwema 🕊.
    .
    #RIPJOTA || #SportsElite #football
    🇵🇹 😢 BREAKING Mshambuliaji wa Liverpool FC Diogo Jota na Kaka Yake wamefariki Dunia leo kwa Ajali.😢 . Q🚨 Taarifa ya Jeshi la Polisi kutoka huko Uhispania: “Diogo Jota na Andre Silva walikuwa kwenye Gari aina ya Lamborghini ambalo liliacha njia kutokana na tairi kupasuka na kulipiga gari jingine na kisha kuwaka moto. Ajali hiyo ilitokea Zamora, Uhispania, Source BBC Sports . 🚨 DIOGO JOTA MAISHA YAKE AKIWA NA LIVERPOOL 🏟 Michezo - 182 ⚽️ Mabao - 65 🎯 Asisst - 22 Chanzo cha Ajali ni Gari liliacha Njia na Kuwaka moto kwenye Gari Alikuwepo Diogo Jota mwenye miaka 28 na mdogo wake Andre Silva (25) wote wamefariki. 😢 Siku mbaya kwa wanamichezo Imenitoa machozi hii😭 R.I.P Liverpool Legend Mungu Akupe Kauli Thabiti 💔 . 🗣 Ujumbe wa Cristiano Ronaldo kwa Kifo cha Jota . 🕊🎙 " Haina maana. Juzi tulikuwa pamoja kwenye timu ya taifa na tumeshinda ubingwa pamoja mbaya zaidi Juzi tu Umefunga ndoa umemuacha mke wako na watoto inauma... Binafsi natuma salamu zangu źa rambirambi kwa Familia yako na kuwatakia Kila lenye Kheri najua Daima utakuwa nao Pumzika salama"😢 . Weka Alama hii 🙏 Kama kumuombea Diogo Jota. 💔 Mungu Atupe mwisho Mwema 💔🙏🕊. . #RIPJOTA || #SportsElite #football
    0 Comments ·0 Shares ·581 Views
  • VITU VINAVYO VUTA UTAJIRI SEHEMU YA PILI.

    #isaya 1:19
    Kama mkikubali na kutii mtakula mema ya nchi

    Kutokea kwenye andiko hili tunapata kanuni ya pili ambayo ikifuatwa inavuta utajiri .


    Kanuni hiyo ni UTII

    Maandiko yanasema ili mema ya nchi ya kufuate ni lazima *ukubali na kutiii*

    Utii ni kanuni katika ulimwengu wa roho ambayo mtu akiifuata lazima itampa matokeo tu.

    Kama unamcha Mungu na utaki kumtii Mungu bsi pia kanuni inakukataa .

    Uzuri wa kanuni hizi ni kuwa hata kama mtu asali lakini amezifuata zitampa matokeo tu ,serikari inapenda watu watii matajiri wanafanya biashara na kuwaaamini na kubebana na watu watii.

    Kuna kundi kubwa sana umaskini kwao siyo pepo bali ni kwa sababu wamekataa kutii tu na dunia ya mafanikio imewatapika kabisa.

    #Mungu alipo wavusha wana islaeri aliwapa kanuni ambazo kama wakifuata na kuzitii ndipo baraka zitatufuata na kama wakitoka nje laana zitawafuata.

    Kanuni ni lazima izingatiwe ikifuatwa inakupa baraka usipo ifuata inakupa laana .

    #Torati 28:1-14

    Kumbukumbu la Torati 28:1-2
    [1]Itakuwa utakaposikia sauti ya BWANA, Mungu wako, kwa bidii, kutunza kuyafanya maagizo yake yote nikuagizayo leo, ndipo BWANA, Mungu wako, atakapokutukuza juu ya mataifa yote ya duniani;

    [2]na baraka hizi zote zitakujilia na kukupata usikiapo sauti ya BWANA, Mungu wako.

    Baraka zinawafuata watu watii peke yake nje ya hapo baraka haziwezi kukufuata na matokeo yake utapata laana .

    Abrahamu sababu ya kutiii alistawi sana ,aliambiwa atoke kwenye nchi aliyo zaliwa aende nje ya kwao na sababu alitii mpaka leo anaitwa baba wa mataifa na baba wa imani.

    #Mwanzo 12:1-2
    [1]BWANA akamwambia Abramu, Toka wewe katika nchi yako, na jamaa zako, na nyumba ya baba yako, uende mpaka nchi nitakayokuonyesha;

    [2]nami nitakufanya wewe kuwa taifa kubwa, na kukubariki, na kulikuza jina lako; nawe uwe baraka;

    Napenda kuiutia moyo kuwa utiii ni kanuni na inapaswa kuwa tabia yako .

    Katika maisha ya kawaida mwanamke mwenye matokeo katika nyumba yake ni yule anaye kubali kuongozwana mume wake yaani anaye mtii mume wake .

    Ukishindwa kumtii mume wako umeshindwa kumtii Mungu uwezi pia kuvuta utajiri .

    Niwatakie jion njema na baraka tele .

    Kwa majina naitwa mwl sylvester Mwakabende kutoka (build new eden ministry).

    Karibu katika group letu la watsap .
    Tuma neno Add kwa namba .0622625340

    #restore men position
    #build new eden
    VITU VINAVYO VUTA UTAJIRI SEHEMU YA PILI. #isaya 1:19 Kama mkikubali na kutii mtakula mema ya nchi Kutokea kwenye andiko hili tunapata kanuni ya pili ambayo ikifuatwa inavuta utajiri . ▪️Kanuni hiyo ni UTII Maandiko yanasema ili mema ya nchi ya kufuate ni lazima *ukubali na kutiii* Utii ni kanuni katika ulimwengu wa roho ambayo mtu akiifuata lazima itampa matokeo tu. Kama unamcha Mungu na utaki kumtii Mungu bsi pia kanuni inakukataa . Uzuri wa kanuni hizi ni kuwa hata kama mtu asali lakini amezifuata zitampa matokeo tu ,serikari inapenda watu watii matajiri wanafanya biashara na kuwaaamini na kubebana na watu watii. Kuna kundi kubwa sana umaskini kwao siyo pepo bali ni kwa sababu wamekataa kutii tu na dunia ya mafanikio imewatapika kabisa. #Mungu alipo wavusha wana islaeri aliwapa kanuni ambazo kama wakifuata na kuzitii ndipo baraka zitatufuata na kama wakitoka nje laana zitawafuata. Kanuni ni lazima izingatiwe ikifuatwa inakupa baraka usipo ifuata inakupa laana . #Torati 28:1-14 Kumbukumbu la Torati 28:1-2 [1]Itakuwa utakaposikia sauti ya BWANA, Mungu wako, kwa bidii, kutunza kuyafanya maagizo yake yote nikuagizayo leo, ndipo BWANA, Mungu wako, atakapokutukuza juu ya mataifa yote ya duniani; [2]na baraka hizi zote zitakujilia na kukupata usikiapo sauti ya BWANA, Mungu wako. Baraka zinawafuata watu watii peke yake nje ya hapo baraka haziwezi kukufuata na matokeo yake utapata laana . Abrahamu sababu ya kutiii alistawi sana ,aliambiwa atoke kwenye nchi aliyo zaliwa aende nje ya kwao na sababu alitii mpaka leo anaitwa baba wa mataifa na baba wa imani. #Mwanzo 12:1-2 [1]BWANA akamwambia Abramu, Toka wewe katika nchi yako, na jamaa zako, na nyumba ya baba yako, uende mpaka nchi nitakayokuonyesha; [2]nami nitakufanya wewe kuwa taifa kubwa, na kukubariki, na kulikuza jina lako; nawe uwe baraka; Napenda kuiutia moyo kuwa utiii ni kanuni na inapaswa kuwa tabia yako . Katika maisha ya kawaida mwanamke mwenye matokeo katika nyumba yake ni yule anaye kubali kuongozwana mume wake yaani anaye mtii mume wake . Ukishindwa kumtii mume wako umeshindwa kumtii Mungu uwezi pia kuvuta utajiri . Niwatakie jion njema na baraka tele . Kwa majina naitwa mwl sylvester Mwakabende kutoka (build new eden ministry). Karibu katika group letu la watsap . Tuma neno Add kwa namba .0622625340 #restore men position #build new eden
    0 Comments ·0 Shares ·759 Views
  • UPDATE

    Mchezo wa ufunguzi wa mashindano ya CHAN 2024 utakuwa ni kati ya timu ya taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' dhidi ya Burkina Faso , mchezo utachezwa Agosti 2 pale Benjamin Mkapa.

    #sportselite
    UPDATE 🚨 🚨 Mchezo wa ufunguzi wa mashindano ya CHAN 2024 utakuwa ni kati ya timu ya taifa ya Tanzania 🇹🇿 'Taifa Stars' dhidi ya Burkina Faso 🇧🇫, mchezo utachezwa Agosti 2 pale Benjamin Mkapa. #sportselite
    0 Comments ·0 Shares ·340 Views
  • Luka 22:31-32
    [31]
    Akasema, Simoni, Simoni, tazama, Shetani amewataka ninyi apate kuwapepeta kama vile ngano;
    :
    [32]lakini nimekuombea wewe ili imani yako isitindike; nawe utakapoongoka waimarishe ndugu zako.

    Hii ina maana kubwa sana kumbe kuba wakati imani zetu huwa zinashindwa na kuishiwa nguvu kutokana na changamoto ambazo shetani anaweza kuwapitisha watoto wa Mungu.
    .
    Kama Yesu alimuombea petro kuhusu imani yake na sisi tunapaswa kuombea imani zetu ziwe na nguvu nyingi ili zisiyumbe kipindi cha majaribio .

    Kwa mantiki hiyo kama ukuwa mtu wa kuomba na kuiombea imani siku ikiguswa kidogo tu inakutoa kwenye njia.

    Kwanini tunapaswa kuombea imani zetu ziiwe na nguvu kubwa

    1.Imani ndiyo inayo tuokoa roho zetu..

    Roho ya mtu itapoke muujiza wa sawa sawa na imani yetu.

    Mara nyingi sehemu ambazo Yesu alifanya miujiza wengi walipokea sawa sawa na imani zao.

    Imarisha imani yako juu ya Mungu uanze kuishi na kupokea yale Mungu amekuhaidi kuyafanya.

    Kimani zetu ndizo zinaamua aina ya majibu juu maombi yetu.

    Wenye nguvu za Mungu ndio wenye imani juu ya matendo ua Mungu.

    Watu wa Mungu lengo la Kristo ni kanisa liwe na imani kubwa na ndio mna hata baada ya shetani kupata kibali ya kuwajaribu wanafunzi wake aliona ipo sababu ya kumuombea Petro awe na imani kubwa.

    Waebrania 11:8
    [8]Kwa imani Ibrahimu alipoitwa aliitika, atoke aende mahali pale atakapopapata kuwa urithi; akatoka asijue aendako

    Na alienda asiko kujua lakini sababu imani yale ilijengwa kiasi cha kuto tikisika sababu yake Ubaba wa imani duniani alipewa yeye na familia yake ikafanywa kuwa taifa na Mungu akaitazama mpaka leo.

    Sijui kama utaona iko haja ya kuimalisha imani zetu kiasi cha shetani kusema kuwa bila wewe Mungu kiuniruhusu mimi siwezi mana umezingira kila kitu chake.

    Maombi ni moja silaha watu wa rohoni wanaitumia kuimalisha imani zao .

    Kama imani yako ilifika kipindi sababu ya kuomba bilz kupokea au majaribu ukaona Mungu amekuacha nataka nikwambie kuw wewe unapendwa na Mungu kuliko unavyo jidhania.

    Kili leo maneno hayakuwa HAKUNA KITAKACHO NITENGA NA UPENDO WA KRISTO YAWE MAISHA MAGUMU ,UMASKINI ,TAABU ,NJAA ,ADHA,UCHI,NA KILA JAMBO LILILOKUWA LINANIRUDISHA NYUMA KIASI CHA KUIASI IMANI NAOMBA BWANA UNIREHEMU NA KUNINYANYUA IMANI YANGU IWE IMARA ZAIDI YA YULE MAMA ALIYE ADHIMIA KUGUSA PINDO LAKO TU NA KUWA MZIMA.

    BWANA YESU NISAIDIE IMANI YANGU ISIYUMBE MIMI NIWE PETRO KWENYE HUDUMA NA WITO WANGU MJARIBU AJAPO KUJA KUNIPEPETA KAMA NGANO IMANI YANGU ISIYUMBE BADALA YAKE IWE IMARA KULIKO JANA NA JUZI.

    BWANA ATAKUPIGANIA NA WEWE UTANYAMAZA KIMYA .
    AMINA ....

    Naitwa mwl sylvester Mwakabende kutoka build
    new eden .

    Karibu kwa mafundisho zaidi unaweza jiunga na sisi katika group letu la watsap.

    https://chat.whatsapp.com/HhjVJc0bcdY5i5LCZnjHZ6

    #build new eden
    #restore men position
    Luka 22:31-32 [31] Akasema, Simoni, Simoni, tazama, Shetani amewataka ninyi apate kuwapepeta kama vile ngano; : [32]lakini nimekuombea wewe ili imani yako isitindike; nawe utakapoongoka waimarishe ndugu zako. Hii ina maana kubwa sana kumbe kuba wakati imani zetu huwa zinashindwa na kuishiwa nguvu kutokana na changamoto ambazo shetani anaweza kuwapitisha watoto wa Mungu. . Kama Yesu alimuombea petro kuhusu imani yake na sisi tunapaswa kuombea imani zetu ziwe na nguvu nyingi ili zisiyumbe kipindi cha majaribio . Kwa mantiki hiyo kama ukuwa mtu wa kuomba na kuiombea imani siku ikiguswa kidogo tu inakutoa kwenye njia. Kwanini tunapaswa kuombea imani zetu ziiwe na nguvu kubwa 1.Imani ndiyo inayo tuokoa roho zetu.. Roho ya mtu itapoke muujiza wa sawa sawa na imani yetu. Mara nyingi sehemu ambazo Yesu alifanya miujiza wengi walipokea sawa sawa na imani zao. Imarisha imani yako juu ya Mungu uanze kuishi na kupokea yale Mungu amekuhaidi kuyafanya. Kimani zetu ndizo zinaamua aina ya majibu juu maombi yetu. Wenye nguvu za Mungu ndio wenye imani juu ya matendo ua Mungu. Watu wa Mungu lengo la Kristo ni kanisa liwe na imani kubwa na ndio mna hata baada ya shetani kupata kibali ya kuwajaribu wanafunzi wake aliona ipo sababu ya kumuombea Petro awe na imani kubwa. Waebrania 11:8 [8]Kwa imani Ibrahimu alipoitwa aliitika, atoke aende mahali pale atakapopapata kuwa urithi; akatoka asijue aendako Na alienda asiko kujua lakini sababu imani yale ilijengwa kiasi cha kuto tikisika sababu yake Ubaba wa imani duniani alipewa yeye na familia yake ikafanywa kuwa taifa na Mungu akaitazama mpaka leo. Sijui kama utaona iko haja ya kuimalisha imani zetu kiasi cha shetani kusema kuwa bila wewe Mungu kiuniruhusu mimi siwezi mana umezingira kila kitu chake. Maombi ni moja silaha watu wa rohoni wanaitumia kuimalisha imani zao . Kama imani yako ilifika kipindi sababu ya kuomba bilz kupokea au majaribu ukaona Mungu amekuacha nataka nikwambie kuw wewe unapendwa na Mungu kuliko unavyo jidhania. Kili leo maneno hayakuwa HAKUNA KITAKACHO NITENGA NA UPENDO WA KRISTO YAWE MAISHA MAGUMU ,UMASKINI ,TAABU ,NJAA ,ADHA,UCHI,NA KILA JAMBO LILILOKUWA LINANIRUDISHA NYUMA KIASI CHA KUIASI IMANI NAOMBA BWANA UNIREHEMU NA KUNINYANYUA IMANI YANGU IWE IMARA ZAIDI YA YULE MAMA ALIYE ADHIMIA KUGUSA PINDO LAKO TU NA KUWA MZIMA. BWANA YESU NISAIDIE IMANI YANGU ISIYUMBE MIMI NIWE PETRO KWENYE HUDUMA NA WITO WANGU MJARIBU AJAPO KUJA KUNIPEPETA KAMA NGANO IMANI YANGU ISIYUMBE BADALA YAKE IWE IMARA KULIKO JANA NA JUZI. BWANA ATAKUPIGANIA NA WEWE UTANYAMAZA KIMYA . AMINA .... Naitwa mwl sylvester Mwakabende kutoka build new eden . Karibu kwa mafundisho zaidi unaweza jiunga na sisi katika group letu la watsap. https://chat.whatsapp.com/HhjVJc0bcdY5i5LCZnjHZ6 #build new eden #restore men position
    0 Comments ·0 Shares ·904 Views
  • PETER TOSH (1944-1987)

    Mtunzi/mwimbaji wa Reggae, mwanaharakati Peter Tosh alizaliwa Winston Hubert McIntosh (aliyepewa jina la Waziri Mkuu wa Uingereza Winston Churchill) mnamo Oktoba 19, 1944, huko Westmoreland, parokia ya magharibi mwa Jamaika, na James McIntosh na Alvera Coke. Aliachwa na wazazi wote wawili na kulelewa na shangazi huko Grange Hill. Walakini, mnamo 1960, Tosh mwenye umri wa miaka 16 alihamia kwa hiari katika jamii ya Kingston's Trench Town na kuanza kuuza juisi ya miwa. Akiwa tayari amejikita katika kanisa la Kikristo la mahali hapo, ambako aliimba katika kwaya, Tosh alikuwa amejifunza kucheza chombo hicho na kufahamu gitaa. Pia alipata kuthaminiwa mapema kwa R&B na doo-wop kwa kusikiliza stesheni za redio zinazotumwa Karibea kutoka Marekani.

    Mnamo 1963, Tosh, Bob Marley, na Bunny Wailer walikuwa washiriki waanzilishi wa bendi ya Wailers huko Kingston. Tosh ndiye pekee katika kundi hilo aliyeweza kupiga ala za muziki, na aliwafundisha Wailers jinsi ya kupiga ala na mambo ya msingi ya muziki. Kundi hili lilichukua muziki wao unaotegemea Karibea hadi katika mdundo wa muziki wa mwamba wa hali ya juu ulioathiriwa na ufahamu wa kijamii na Rastafari. Wakosoaji wengi wa muziki walielezea sauti yao kama mwanzo wa reggae.

    Mnamo 1976, Tosh aliibuka kama mwimbaji pekee na mwanasiasa wa Jamaika alipotoa albamu yake ya kwanza iliyojitayarisha yenyewe ya Legalize It!  ambayo ilitaka kuhalalishwa kwa bangi. Albamu hiyo ilipigwa marufuku kutoka kwa matangazo ya redio huko Jamaica. Ilifikia kilele kwa no. 199 hata hivyo kwenye chati ya U.S. Billboard 200 na kubaki huko kwa wiki 2. Pia iliuza zaidi ya nakala milioni moja na ikasifiwa kuwa albamu bora ya Tosh. Albamu hii ilijumuisha "Igziabeher," "Ketchy Shuby," "Legalize It," "No Sympathy," "Till Your Well runs Dry," na "What'cha Gonna Do." Tosh pia alianzisha Bendi ya Reggae, Neno, Sauti, na Nguvu, mwaka huo huo. Sasa anayechukuliwa kuwa mwanaharakati wa Haki za Kibinadamu kwa utu mweusi na kiburi cha rangi, Tosh mwaka wa 1977, alitoa albamu yake ya pili, Haki sawa.

    Mnamo 1978, albamu ya Tosh Bush Doctor ilipata nafasi ya juu. 104 kwenye Billboard 200 na kusalia kwenye chati kwa wiki 20. Mwaka uliofuata, 1979, Mystic Man alifikia nambari. 123 na kukaa huko kwa wiki 10, huku mwaka wa 1981, Wanted Dread and Alive ilifikia nambari 91 na kusalia katika chati kwa wiki 13. Tosh alitoa Mama Africa mwaka wa 1983. Ilifikia nambari 59 na ikabaki thabiti kwa wiki 17. Mnamo 1984 Captured Lives  yake ilifikia nambari 152 na iliorodheshwa kwa wiki 8. Katika Tuzo za 27 za Mwaka za Grammy mnamo 1984, albamu iliteuliwa kwa "Rekodi Bora ya Reggae." Tosh pia alitumbuiza katika Uwanja wa Mashujaa wa Kitaifa wa Kingston kwenye Maonyesho ya Tuzo za Muziki za Rockers Magazine mnamo 1984. Katika Tuzo za 30 za Kila Mwaka za Grammy mnamo 1987, Tosh alishinda kwa "Rekodi Bora ya Reggae ya "No Nuclear War."

    Peter Tosh, mshiriki wa Rastafarism na baba wa watoto kumi, alikufa mnamo Septemba 11, 1987, katika Hospitali ya Chuo Kikuu cha West Indies Kingston baada ya kupigwa risasi na watu watatu wenye bunduki walioingia nyumbani kwake. Alikuwa 42.

    Mnamo mwaka wa 2012, Peter Tosh alitunukiwa baada ya kifo chake Tuzo la Ubora la Jamaika kama mwanamuziki mwenye kipawa na kipawa, mwigizaji, mwanafikra makini, na mwana asilia.
    PETER TOSH (1944-1987) Mtunzi/mwimbaji wa Reggae, mwanaharakati Peter Tosh alizaliwa Winston Hubert McIntosh (aliyepewa jina la Waziri Mkuu wa Uingereza Winston Churchill) mnamo Oktoba 19, 1944, huko Westmoreland, parokia ya magharibi mwa Jamaika, na James McIntosh na Alvera Coke. Aliachwa na wazazi wote wawili na kulelewa na shangazi huko Grange Hill. Walakini, mnamo 1960, Tosh mwenye umri wa miaka 16 alihamia kwa hiari katika jamii ya Kingston's Trench Town na kuanza kuuza juisi ya miwa. Akiwa tayari amejikita katika kanisa la Kikristo la mahali hapo, ambako aliimba katika kwaya, Tosh alikuwa amejifunza kucheza chombo hicho na kufahamu gitaa. Pia alipata kuthaminiwa mapema kwa R&B na doo-wop kwa kusikiliza stesheni za redio zinazotumwa Karibea kutoka Marekani. Mnamo 1963, Tosh, Bob Marley, na Bunny Wailer walikuwa washiriki waanzilishi wa bendi ya Wailers huko Kingston. Tosh ndiye pekee katika kundi hilo aliyeweza kupiga ala za muziki, na aliwafundisha Wailers jinsi ya kupiga ala na mambo ya msingi ya muziki. Kundi hili lilichukua muziki wao unaotegemea Karibea hadi katika mdundo wa muziki wa mwamba wa hali ya juu ulioathiriwa na ufahamu wa kijamii na Rastafari. Wakosoaji wengi wa muziki walielezea sauti yao kama mwanzo wa reggae. Mnamo 1976, Tosh aliibuka kama mwimbaji pekee na mwanasiasa wa Jamaika alipotoa albamu yake ya kwanza iliyojitayarisha yenyewe ya Legalize It!  ambayo ilitaka kuhalalishwa kwa bangi. Albamu hiyo ilipigwa marufuku kutoka kwa matangazo ya redio huko Jamaica. Ilifikia kilele kwa no. 199 hata hivyo kwenye chati ya U.S. Billboard 200 na kubaki huko kwa wiki 2. Pia iliuza zaidi ya nakala milioni moja na ikasifiwa kuwa albamu bora ya Tosh. Albamu hii ilijumuisha "Igziabeher," "Ketchy Shuby," "Legalize It," "No Sympathy," "Till Your Well runs Dry," na "What'cha Gonna Do." Tosh pia alianzisha Bendi ya Reggae, Neno, Sauti, na Nguvu, mwaka huo huo. Sasa anayechukuliwa kuwa mwanaharakati wa Haki za Kibinadamu kwa utu mweusi na kiburi cha rangi, Tosh mwaka wa 1977, alitoa albamu yake ya pili, Haki sawa. Mnamo 1978, albamu ya Tosh Bush Doctor ilipata nafasi ya juu. 104 kwenye Billboard 200 na kusalia kwenye chati kwa wiki 20. Mwaka uliofuata, 1979, Mystic Man alifikia nambari. 123 na kukaa huko kwa wiki 10, huku mwaka wa 1981, Wanted Dread and Alive ilifikia nambari 91 na kusalia katika chati kwa wiki 13. Tosh alitoa Mama Africa mwaka wa 1983. Ilifikia nambari 59 na ikabaki thabiti kwa wiki 17. Mnamo 1984 Captured Lives  yake ilifikia nambari 152 na iliorodheshwa kwa wiki 8. Katika Tuzo za 27 za Mwaka za Grammy mnamo 1984, albamu iliteuliwa kwa "Rekodi Bora ya Reggae." Tosh pia alitumbuiza katika Uwanja wa Mashujaa wa Kitaifa wa Kingston kwenye Maonyesho ya Tuzo za Muziki za Rockers Magazine mnamo 1984. Katika Tuzo za 30 za Kila Mwaka za Grammy mnamo 1987, Tosh alishinda kwa "Rekodi Bora ya Reggae ya "No Nuclear War." Peter Tosh, mshiriki wa Rastafarism na baba wa watoto kumi, alikufa mnamo Septemba 11, 1987, katika Hospitali ya Chuo Kikuu cha West Indies Kingston baada ya kupigwa risasi na watu watatu wenye bunduki walioingia nyumbani kwake. Alikuwa 42. Mnamo mwaka wa 2012, Peter Tosh alitunukiwa baada ya kifo chake Tuzo la Ubora la Jamaika kama mwanamuziki mwenye kipawa na kipawa, mwigizaji, mwanafikra makini, na mwana asilia.
    Love
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·841 Views
  • *Roho mtakatifu kama mlinzi wetu*

    Isaya 4:5-6
    [5]Tena juu ya makao yote ya mlima Sayuni, na juu ya makusanyiko yake, BWANA ataumba *wingu na moshi wakati wa mchana, na mwangaza wa miali ya moto wakati wa usiku;* kwa maana juu ya utukufu wote itatandazwa sitara.
    .
    [6]Kisha kutakuwa na hema kuwa uvuli wakati wa mchana kwa sababu ya hari, na kuwa mahali pa kukimbilia na kujificha wakati wa tufani na mvua.


    Wingu linalozungumzwa hapo kwenye agano la kale ni *Roho mtakatifu*

    Kumbe ukimkubali Kristo na kuuoshi wokovu roho wa Bwana anakuwa ndani yako na kazi moja wapo ya huyo *roho ni kukulinda wewe ulieamini*

    Mtu aliye mshika kristo ns kumuamini na kumpokea roho wake wakati wa mchana anafunikwa na kutulizwa na *Bwana na wakati wa usiku anamulikwa na Bwana*


    Kumbe kama roho wa Mungu anatumulika na kutukinga nini kinafanya watu wa Mungu tushindwe kuziishi ahadi ,*tumemuwekea mipaka roho mtakatifu* tukiamini *kunena kwa lugha ndo kipawa na jukumu la roho mtakatifu*

    Sasa tukitizama wakati taifa la islaeri limetoka misri lilikuwa linaongozwa na wingu la Bwana.

    Kutoka 13:21-22
    [21] *BWANA naye akawatangulia mchana ndani ya wingu mfano wa nguzo, ili awaongoze njia*; na usiku, *ndani ya moto mfano wa nguzo, ili kuwapa nuru*; wapate kusafiri mchana na usiku;*

    [22]ile nguzo ya wingu *haikuondoka mchana, wala ile nguzo ya moto haikuondoka usiku,* mbele ya hao watu.

    Hivi ndivyo roho wa Mungu anavyo paswa kukuongoza wakati wa mchana na wakati wa usiku .

    Ukiwa na roho wa Bwana na akawa rafiki yako na kiongozi wako utafanya biashara kwa kubahatisha badala yake yeye atakuongoza uza kitu chenye wateja.

    Unaweza mkaribisha jirani yako kujifunza neno na sisi kwa kujoin link hapa chini
    https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4

    Walokole tunakosa jicho la kuona fursa sababu tumemuwekea mipaka roho mtakatifu na wakati mwingine anatupa wazo tunalizimisha kwa kuto kujiamini na matokeo yake tunabaki jinsi tulivyo.

    Mtu aliye okoka na *akakubali kutii ndiye anayepaswa kula mema ya nchi* lakini imekuwa tofauti na uhalisia mtu ameokoka anaoshi dhana ya kuamini kuwa atakula kwa jasho iyo ilifanya kazi kabla ya wewe kuokoka saizi wewe unakula kwa wazo la kiMungu linalo shushwa na roho mtakatifu na wewe ukichukua hatua linageuka na kuleta matokeo .

    Musa aliijua siri hii ndo mana pasipo wingu akuenda mbele au kurudi nyuma.

    Kutoka 40:37
    [37]bali kama lile wingu halikuinuliwa, wakati ule hawakusafiri hata siku ile lilipoinuliwa tena.

    Cha kujiuliza mimi na wewe ni hatua ngapi yumepiga bila kuongozwa na roho mtakatifu na tukapelekea kupoteza thamani zetu .

    Iko haja turudi kuitafuta toba kwani ni hatua tulienda mbele lakini kumbe ni shetani *alitutenda tu kwa akiri*

    Ni kweli tuliyaona matokeo lakini hayakuwa ya bwana turudi tuitafute tona kwani ya matokeo ya Bwana yanakuja.

    Unasema na sema nini muulize samweli alipo enda nyumbani kwa mzee Yese aliletewa watu 6 ambao ni expert na ni mashujaa kwa kuwaona na yey mwenyewe akazani kuwa yupo mmoja wapo lakini msikie bwana alivyo mwambia

    1 Samweli 16:7
    [7]Lakini BWANA akamwambia Samweli, Usimtazame uso wake, wala urefu wa kimo chake; kwa maana mimi nimemkataa. BWANA haangalii kama binadamu aangaliavyo; maana wanadamu huitazama sura ya nje, bali BWANA huutazama moyo.

    Samweli aljvyo mtazama Abnadabu aliona sifa zote za kuwa mfalme lakini roho akuona kama samweli alivyo kuwa anaona.

    Kumbe hata sisi hatupaswi kuingia kazini ,au kwenye biashara hata kwenye kilimo sababu tu watu wamesema kilimo cha matikiti kinatoa tunapaswa kutazama *Bwana anasema nini*

    Yakobo alimtazama bwana na bwana akamwambia nenda nami nitakuwa pamoja nawe na kukurejesha tena .

    Ok ahsante sana tusiache kuomba toba ungana nami toba hii

    *BWANA YESU TUNAKUJA MBELE ZAKO KUNA HATUA NILISOGEA BILA WEWE ROHO NAOMBA TOBA NISAMEHE YESU NA TANGU LEO NAOMBA ROHO WAKO MTAKATIFU ATEMBEE NA MIMI KAMA MUSA NA WANAISLAERI WALIVYO TEMBEA NA WINGU LAKO WAKATI WA MCHANA UNIPE KIVULI NA WAKATI WA USIKU UNIPE MWANGA SAWA SAWA NA KWENYE MAISHA YANGU* .AMEN

    Ahsante sana naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden ministry)

    Unaweza mkaribisha jirani yako kujifunza neno na sisi kwa kujoin link hapa chini
    https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4

    #Restoremenposition
    #build new eden
    #youth reformation and revival
    *Roho mtakatifu kama mlinzi wetu* Isaya 4:5-6 [5]Tena juu ya makao yote ya mlima Sayuni, na juu ya makusanyiko yake, BWANA ataumba *wingu na moshi wakati wa mchana, na mwangaza wa miali ya moto wakati wa usiku;* kwa maana juu ya utukufu wote itatandazwa sitara. . [6]Kisha kutakuwa na hema kuwa uvuli wakati wa mchana kwa sababu ya hari, na kuwa mahali pa kukimbilia na kujificha wakati wa tufani na mvua. Wingu linalozungumzwa hapo kwenye agano la kale ni *Roho mtakatifu* Kumbe ukimkubali Kristo na kuuoshi wokovu roho wa Bwana anakuwa ndani yako na kazi moja wapo ya huyo *roho ni kukulinda wewe ulieamini* Mtu aliye mshika kristo ns kumuamini na kumpokea roho wake wakati wa mchana anafunikwa na kutulizwa na *Bwana na wakati wa usiku anamulikwa na Bwana* Kumbe kama roho wa Mungu anatumulika na kutukinga nini kinafanya watu wa Mungu tushindwe kuziishi ahadi ,*tumemuwekea mipaka roho mtakatifu* tukiamini *kunena kwa lugha ndo kipawa na jukumu la roho mtakatifu* Sasa tukitizama wakati taifa la islaeri limetoka misri lilikuwa linaongozwa na wingu la Bwana. Kutoka 13:21-22 [21] *BWANA naye akawatangulia mchana ndani ya wingu mfano wa nguzo, ili awaongoze njia*; na usiku, *ndani ya moto mfano wa nguzo, ili kuwapa nuru*; wapate kusafiri mchana na usiku;* [22]ile nguzo ya wingu *haikuondoka mchana, wala ile nguzo ya moto haikuondoka usiku,* mbele ya hao watu. Hivi ndivyo roho wa Mungu anavyo paswa kukuongoza wakati wa mchana na wakati wa usiku . Ukiwa na roho wa Bwana na akawa rafiki yako na kiongozi wako utafanya biashara kwa kubahatisha badala yake yeye atakuongoza uza kitu chenye wateja. Unaweza mkaribisha jirani yako kujifunza neno na sisi kwa kujoin link hapa chini https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4 Walokole tunakosa jicho la kuona fursa sababu tumemuwekea mipaka roho mtakatifu na wakati mwingine anatupa wazo tunalizimisha kwa kuto kujiamini na matokeo yake tunabaki jinsi tulivyo. Mtu aliye okoka na *akakubali kutii ndiye anayepaswa kula mema ya nchi* lakini imekuwa tofauti na uhalisia mtu ameokoka anaoshi dhana ya kuamini kuwa atakula kwa jasho iyo ilifanya kazi kabla ya wewe kuokoka saizi wewe unakula kwa wazo la kiMungu linalo shushwa na roho mtakatifu na wewe ukichukua hatua linageuka na kuleta matokeo . Musa aliijua siri hii ndo mana pasipo wingu akuenda mbele au kurudi nyuma. Kutoka 40:37 [37]bali kama lile wingu halikuinuliwa, wakati ule hawakusafiri hata siku ile lilipoinuliwa tena. Cha kujiuliza mimi na wewe ni hatua ngapi yumepiga bila kuongozwa na roho mtakatifu na tukapelekea kupoteza thamani zetu . Iko haja turudi kuitafuta toba kwani ni hatua tulienda mbele lakini kumbe ni shetani *alitutenda tu kwa akiri* Ni kweli tuliyaona matokeo lakini hayakuwa ya bwana turudi tuitafute tona kwani ya matokeo ya Bwana yanakuja. Unasema na sema nini muulize samweli alipo enda nyumbani kwa mzee Yese aliletewa watu 6 ambao ni expert na ni mashujaa kwa kuwaona na yey mwenyewe akazani kuwa yupo mmoja wapo lakini msikie bwana alivyo mwambia 1 Samweli 16:7 [7]Lakini BWANA akamwambia Samweli, Usimtazame uso wake, wala urefu wa kimo chake; kwa maana mimi nimemkataa. BWANA haangalii kama binadamu aangaliavyo; maana wanadamu huitazama sura ya nje, bali BWANA huutazama moyo. Samweli aljvyo mtazama Abnadabu aliona sifa zote za kuwa mfalme lakini roho akuona kama samweli alivyo kuwa anaona. Kumbe hata sisi hatupaswi kuingia kazini ,au kwenye biashara hata kwenye kilimo sababu tu watu wamesema kilimo cha matikiti kinatoa tunapaswa kutazama *Bwana anasema nini* Yakobo alimtazama bwana na bwana akamwambia nenda nami nitakuwa pamoja nawe na kukurejesha tena . Ok ahsante sana tusiache kuomba toba ungana nami toba hii *BWANA YESU TUNAKUJA MBELE ZAKO KUNA HATUA NILISOGEA BILA WEWE ROHO NAOMBA TOBA NISAMEHE YESU NA TANGU LEO NAOMBA ROHO WAKO MTAKATIFU ATEMBEE NA MIMI KAMA MUSA NA WANAISLAERI WALIVYO TEMBEA NA WINGU LAKO WAKATI WA MCHANA UNIPE KIVULI NA WAKATI WA USIKU UNIPE MWANGA SAWA SAWA NA KWENYE MAISHA YANGU* .AMEN Ahsante sana naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden ministry) Unaweza mkaribisha jirani yako kujifunza neno na sisi kwa kujoin link hapa chini https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4 #Restoremenposition #build new eden #youth reformation and revival
    0 Comments ·0 Shares ·884 Views
  • *Tuwatende kwa akiri sehemu ya pili*

    Nikutakie asubui njema na tafakuri njema juu ya neno la asubui na mungu akupe jicho la ndani katika kujifunza na kuifanikisha siku yako .

    Yakobo alikuwa ni mtu aliye pewa baraka na baba yake isacka kabla ya kuomdoka kwenda kwa labani..

    Mwanzo 27:27-29
    [27]Akakaribia akambusu. Naye akasikia harufu ya mavazi yake, akambariki akasema,
    Tazama, harufu ya mwanangu
    Ni kama harufu ya shamba alilolibariki Bwana:

    [28]Mungu na akupe ya umande wa mbingu,
    Na ya manono ya nchi,
    Na wingi wa nafaka na mvinyo.
    :
    [29]Mataifa na wakutumikie
    Na makabila wakusujudie,
    Uwe bwana wa ndugu zako,
    Na wana wa mama yako na wakusujudie.
    alaaniwe,
    Na atakayekubariki abarikiwe.

    Kwa mktadha huo yakobo alikuwa amebarikiwa na hata yeye mwenyewe alijijua kuwa amebarikiwa nahata alipo kuwa akienda alihakikishiwa na Mungu mwenyewe aliye mtokea katika njosi

    Mwanzo 28:12-15
    [12]Akaota ndoto; na tazama, ngazi imesimamishwa juu ya nchi, na ncha yake yafika mbinguni. Tena, tazama, malaika wa Mungu wanapanda, na kushuka juu yake.
    And he dreamed, and behold a ladder set up on the earth, and the top of it reached to heaven: and behold the angels of God ascending and descending on it.
    [13]Na tazama, BWANA amesimama juu yake, akasema, Mimi ni BWANA, Mungu wa Ibrahimu baba yako, na Mungu wa Isaka; nchi hii uilalayo nitakupa wewe na uzao wako.

    [14]Na uzao wako utakuwa kama mavumbi ya nchi, nawe utaenea upande wa magharibi, na mashariki, na kaskazini, na kusini; na katika wewe, na katika uzao wako, jamaa zote za dunia watabarikiwa.
    .
    [15]Na tazama, mimi nipo pamoja nawe, nitakulinda kila uendako, nami nitakuleta tena mpaka nchi hii, kwa maana sitakuacha, hata nitakapokufanyia hayo niliyokuambia.

    Ko ukitizama vizuri utaona kuwa ana uhakika wa kuwa yeye ni mbarikiwa kabisa lakini haikuzuia yeye kulogwa kwa kuwa tu alijisahau kidogo .

    Unasema nimejuaje kama alilogwa ,Uwezi kulala na mwanamke mpka asubui ndo ugundue kumbe uliwekewa asiye mwenyewe yaani lea badala ya Raheli .

    Kwanini labani alifanya hivyo alijua siri ya baraka alizo nazo ni sababu ya Yakobo na Yakobo kapenda akasema acha nitumie uzaifu wake huu kununua miaka 7 mingine( ok unazani kama akulogwa alifanya nini ?)
    Mwanzo 29:18,21-22,25
    [18]Yakobo akampenda Raheli akasema, Nitakutumikia miaka saba kwa kumpata Raheli, binti yako

    [21]Yakobo akamwambia Labani, Nipe mke wangu, maana siku zangu zimetimia; niingie kwake.
    .
    [22]Labani akakusanya watu wote wa mahali
    .
    [25]Ikawa, kulipokuwa asubuhi, kumbe! Ni Lea. Akamwambia Labani, Nini hii uliyonitenda?


    Mtu huyu aliye logwa ndiye mtu aliye kuwa anaishi na baraka alizo pewa na isacka babayake na ndiye aliyetokewa na Mungu na kuhaidiwa kabisa kuwa nitakuwa pamoja nawe.

    Mpaka alipo kuja kugundua na kuanza kuishi maisha

    Mpaka siku anaanza kidai kuondoka bado labani znamng'ang'ania kwa kumpa promotion ili tucaendelee kumtumia.

    Ndivyo ilivyo hata sisi vivyo wivyo watu wanatendwa kwa akiri kwa namna tofauti.

    Kuitwa mbarikiwa au kuokoka pasipo maarifa hakumzuii shetani kukutenda kwa akiri.

    Yakobo sababu ya kumpenda rahel labani akatumia kama fimbo ya kuchezea trick sijui kuhusu wewe ni nini ambacho kinaujaza sana moyo wako ambacho shetani anaweza kukitumia kuharibu uhusiano wako na Mungu wako.

    Au kupoteza kasi yako ya imanii . Watu wengi ksi zao zimepungua baada ya kupata kile walicho zani wanahitaji shetani katumia mlango huo kuharibu kasi yao.

    Yakobo alikumbuka na baada tu ya kukumbuka alipo dai kutaka kurudi nyumbani milango ya baraka zikafunguka na ahadi za Mungu zikatembea pamoja naye .

    Alienda kama yakobo kijana akarudi na watoto na utajiri mwingi sana pamoja na wafanyakazi .

    Ok i hope umejifunza kitu unaweza nisaidia kushare link hii ili wengine pia wajifunze neno la Mungu.

    https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4

    Hata wewe ukijua ni wapi shetani alipatumia ku *"kukudemote by promotion."*

    Yakobo yeye alikuwa rahel sababu ya mapenzi akarogwa kwa kupewa mwingine kwanza ili amgharamie na rahel pia miaka saba mingine yeye azidi barikiwa sana kupitia wewe.

    Yaweza kuwa wewe ni Ndoa unakuta dada kabla ya ndoa ulikuwa unaduka lako na uko charming sans na wateja wako wengi ni wanaume lakini baadaye umeolewa na ndoa ni kitu chema kabisa lakini jamaa ana wivu mpaka basi n kwa kuwa unampenda na unapaswa kutii unajikuta umebadirisha namna ya jinsi ulivyo kuwa unbehave .

    Kuna watu walikuwa wananunua sababu tu ya tabasamu lako na sahizi uko dukani uko seriously muda wote ni nini kimetokea ndoa imeharibu ustawi wako pasipo kujua na huko ndiko kutendwa kwa akiri.

    Tujitahidi sana tunavyo omba Mungu catupe tunavyo vitamani tuombe visiwe vikwazo katika shining yetu na Mungu wetu na maisha yetu na hapo sisi tutakuwa tumeweza .

    Musa alikataaa kuwa prince wa falao akaona bora kuwa mtumwa pamoja na ndugu zake na wakati ulipo fika kila mtu anamfahamu Musa kama mtu na nabii wa Mungu zliye tembea sana na Mungu .

    Lakini mtu huyu alikataa kutendwa kwa akiri na binti potifela .

    Ok i hope umejifunza kitu unaweza nisaidia kushare link hii ili wengine pia wajifunze neno la Mungu.

    https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4

    Ok naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden)

    #build new eden
    #restore men position
    #year of reformation and revival
    *Tuwatende kwa akiri sehemu ya pili* Nikutakie asubui njema na tafakuri njema juu ya neno la asubui na mungu akupe jicho la ndani katika kujifunza na kuifanikisha siku yako . Yakobo alikuwa ni mtu aliye pewa baraka na baba yake isacka kabla ya kuomdoka kwenda kwa labani.. Mwanzo 27:27-29 [27]Akakaribia akambusu. Naye akasikia harufu ya mavazi yake, akambariki akasema, Tazama, harufu ya mwanangu Ni kama harufu ya shamba alilolibariki Bwana: [28]Mungu na akupe ya umande wa mbingu, Na ya manono ya nchi, Na wingi wa nafaka na mvinyo. : [29]Mataifa na wakutumikie Na makabila wakusujudie, Uwe bwana wa ndugu zako, Na wana wa mama yako na wakusujudie. alaaniwe, Na atakayekubariki abarikiwe. Kwa mktadha huo yakobo alikuwa amebarikiwa na hata yeye mwenyewe alijijua kuwa amebarikiwa nahata alipo kuwa akienda alihakikishiwa na Mungu mwenyewe aliye mtokea katika njosi Mwanzo 28:12-15 [12]Akaota ndoto; na tazama, ngazi imesimamishwa juu ya nchi, na ncha yake yafika mbinguni. Tena, tazama, malaika wa Mungu wanapanda, na kushuka juu yake. And he dreamed, and behold a ladder set up on the earth, and the top of it reached to heaven: and behold the angels of God ascending and descending on it. [13]Na tazama, BWANA amesimama juu yake, akasema, Mimi ni BWANA, Mungu wa Ibrahimu baba yako, na Mungu wa Isaka; nchi hii uilalayo nitakupa wewe na uzao wako. [14]Na uzao wako utakuwa kama mavumbi ya nchi, nawe utaenea upande wa magharibi, na mashariki, na kaskazini, na kusini; na katika wewe, na katika uzao wako, jamaa zote za dunia watabarikiwa. . [15]Na tazama, mimi nipo pamoja nawe, nitakulinda kila uendako, nami nitakuleta tena mpaka nchi hii, kwa maana sitakuacha, hata nitakapokufanyia hayo niliyokuambia. Ko ukitizama vizuri utaona kuwa ana uhakika wa kuwa yeye ni mbarikiwa kabisa lakini haikuzuia yeye kulogwa kwa kuwa tu alijisahau kidogo . Unasema nimejuaje kama alilogwa ,Uwezi kulala na mwanamke mpka asubui ndo ugundue kumbe uliwekewa asiye mwenyewe yaani lea badala ya Raheli . Kwanini labani alifanya hivyo alijua siri ya baraka alizo nazo ni sababu ya Yakobo na Yakobo kapenda akasema acha nitumie uzaifu wake huu kununua miaka 7 mingine( ok unazani kama akulogwa alifanya nini ?) Mwanzo 29:18,21-22,25 [18]Yakobo akampenda Raheli akasema, Nitakutumikia miaka saba kwa kumpata Raheli, binti yako [21]Yakobo akamwambia Labani, Nipe mke wangu, maana siku zangu zimetimia; niingie kwake. . [22]Labani akakusanya watu wote wa mahali . [25]Ikawa, kulipokuwa asubuhi, kumbe! Ni Lea. Akamwambia Labani, Nini hii uliyonitenda? Mtu huyu aliye logwa ndiye mtu aliye kuwa anaishi na baraka alizo pewa na isacka babayake na ndiye aliyetokewa na Mungu na kuhaidiwa kabisa kuwa nitakuwa pamoja nawe. Mpaka alipo kuja kugundua na kuanza kuishi maisha Mpaka siku anaanza kidai kuondoka bado labani znamng'ang'ania kwa kumpa promotion ili tucaendelee kumtumia. Ndivyo ilivyo hata sisi vivyo wivyo watu wanatendwa kwa akiri kwa namna tofauti. Kuitwa mbarikiwa au kuokoka pasipo maarifa hakumzuii shetani kukutenda kwa akiri. Yakobo sababu ya kumpenda rahel labani akatumia kama fimbo ya kuchezea trick sijui kuhusu wewe ni nini ambacho kinaujaza sana moyo wako ambacho shetani anaweza kukitumia kuharibu uhusiano wako na Mungu wako. Au kupoteza kasi yako ya imanii . Watu wengi ksi zao zimepungua baada ya kupata kile walicho zani wanahitaji shetani katumia mlango huo kuharibu kasi yao. Yakobo alikumbuka na baada tu ya kukumbuka alipo dai kutaka kurudi nyumbani milango ya baraka zikafunguka na ahadi za Mungu zikatembea pamoja naye . Alienda kama yakobo kijana akarudi na watoto na utajiri mwingi sana pamoja na wafanyakazi . Ok i hope umejifunza kitu unaweza nisaidia kushare link hii ili wengine pia wajifunze neno la Mungu. https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4 Hata wewe ukijua ni wapi shetani alipatumia ku *"kukudemote by promotion."* Yakobo yeye alikuwa rahel sababu ya mapenzi akarogwa kwa kupewa mwingine kwanza ili amgharamie na rahel pia miaka saba mingine yeye azidi barikiwa sana kupitia wewe. Yaweza kuwa wewe ni Ndoa unakuta dada kabla ya ndoa ulikuwa unaduka lako na uko charming sans na wateja wako wengi ni wanaume lakini baadaye umeolewa na ndoa ni kitu chema kabisa lakini jamaa ana wivu mpaka basi n kwa kuwa unampenda na unapaswa kutii unajikuta umebadirisha namna ya jinsi ulivyo kuwa unbehave . Kuna watu walikuwa wananunua sababu tu ya tabasamu lako na sahizi uko dukani uko seriously muda wote ni nini kimetokea ndoa imeharibu ustawi wako pasipo kujua na huko ndiko kutendwa kwa akiri. Tujitahidi sana tunavyo omba Mungu catupe tunavyo vitamani tuombe visiwe vikwazo katika shining yetu na Mungu wetu na maisha yetu na hapo sisi tutakuwa tumeweza . Musa alikataaa kuwa prince wa falao akaona bora kuwa mtumwa pamoja na ndugu zake na wakati ulipo fika kila mtu anamfahamu Musa kama mtu na nabii wa Mungu zliye tembea sana na Mungu . Lakini mtu huyu alikataa kutendwa kwa akiri na binti potifela . Ok i hope umejifunza kitu unaweza nisaidia kushare link hii ili wengine pia wajifunze neno la Mungu. https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4 Ok naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden) #build new eden #restore men position #year of reformation and revival
    0 Comments ·0 Shares ·927 Views
  • Mtu asiye wajibika ni mtu wa visingizio sana .

    Siku ya jana nimebahatika kusoma habari ya dada mmojaaliye itwa Herben Girma ambaye alikuwa haoni wala asikii lakini alikuwa dada wa kwanza kumaliza shahada ya sheria katika chuo kikuu maarufu sana nchini marekani na duniani si kingine bali ni havard university.

    Yeye binafsi alikuwa naulemavu huo lakini pia mama yake Haben alikuwa mkimbizi kutoka Eritea na alikimbia kutokana na vita iliyo kuwa imetokana miaka mingi huko nyuma.

    Kutokana na ulemavu wake na pia kutokana na familia aliyo tokea tulitegemea asubiri kupewa msaada na wasamalia wema ila yeye alikuwa tofauti aliamua kuwajibika kwa maisha yake .

    Herben anasema aliamua kuwajibika kikamilifu katika maisha yake namnukuu *"Nilikuwa na ndoto ya kuwa mwanasheria maarufu sana na hakuona kinacho weza kumzuia na alifanikisha kufika ndoto hiyo ."*

    Kama ujajoin group karibu ujoin ili tuweze jifunza pamoja .
    https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4
    .
    Kwakawaida kama angejionea huruma basi angebaki kuwa omba omba ila kwakuwa aliweza kuuwajibisha ubongo wake ukakubali na kumfanya mkuu.

    Kadiri unavyo laumu ndivyo unavyo uambia ubongo wako wewe siyo wa kuwajibika na wenyewe unachukua hivyo hivyo.

    Watu wa aina hii mdo watu wanao panga mipango na wanategemea wengine kuwatimilizia malengo yao.

    Ok unasema nini ngoja nikuonyeshe kwenye biblia jinsi watu walivyo taka kujitetea kuwajibika na jinsi Mungu alivyo wajibu.

    1.wakati Mungu anauona uwezo wa kishujaa na kikombozi ndani ya Gidion yeye akuona hivyo yeye alikuwa anaona kama awezi kuwajibika juu ya kazi aliyo itiwa.

    Waamuzi 6:15

    [15]Akamwambia, Ee Bwana, nitawaokoa Israeli kwa jinsi gani? *Tazama, jamaa zangu ndio walio maskini sana katika Manase, na mimi ndimi niliye mdogo katika nyumba ya baba yangu*

    Gidion alikuwa anazani sababu ya kutoka katika koo masikini na ndogo kabisa lakini kumbe anawajibu mkubwa sana wakufanyika mkombozi na mwamuzi .

    Haikujalisha kuwa ametokea katika mazingira gani yeye akafanyika lango la uamsho kwa wenzake na kuwakomboa wenzake wote .

    Kwa uwezo gani ule ule wa kutumia upinde na mishare na akashinda .

    Ok kuna hadithi maarufu sana katika agano la kare inayo muhusu Daudi na Goliath ambayo Daudi akuwa war expert wala train soldier lakini Goliath alikua skill and trained soldier mwenye medani za kutosha lakini aliangushwa na Daudi kwa kutumia kombeo.

    Kumbe kuwajibika hakutokani na kiasi unacho pata bali kunatokana na utayari wako wa kuwajibika .

    Siku utakayo amua kuanza kuwajibika ndo siku utayo anza kuwa mshindi .

    Ukianza kuthubutu Mungu ataanza kukutumia katika ukuu ule ule na kukufanya kuwa moja ya wakuu katika taifa husika.

    Ok i hope umejifunza kitu na kujua kuwa hakuna kinacho weza kukuzuia ukiwa na jambo lako na hakika utaweza kuanza kuwajibika acha kupiga kelele sana maisha ni yako.

    Take care.naitwa sylvester kutoka (build new eden) ni mwalimu wa neno la Mungu .

    Kama ujajoin group karibu ujoin ili tuweze jifunza pamoja .
    https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4
    .
    #build new eden
    #restore men position
    Mtu asiye wajibika ni mtu wa visingizio sana . Siku ya jana nimebahatika kusoma habari ya dada mmojaaliye itwa Herben Girma ambaye alikuwa haoni wala asikii lakini alikuwa dada wa kwanza kumaliza shahada ya sheria katika chuo kikuu maarufu sana nchini marekani na duniani si kingine bali ni havard university. Yeye binafsi alikuwa naulemavu huo lakini pia mama yake Haben alikuwa mkimbizi kutoka Eritea na alikimbia kutokana na vita iliyo kuwa imetokana miaka mingi huko nyuma. Kutokana na ulemavu wake na pia kutokana na familia aliyo tokea tulitegemea asubiri kupewa msaada na wasamalia wema ila yeye alikuwa tofauti aliamua kuwajibika kwa maisha yake . Herben anasema aliamua kuwajibika kikamilifu katika maisha yake namnukuu *"Nilikuwa na ndoto ya kuwa mwanasheria maarufu sana na hakuona kinacho weza kumzuia na alifanikisha kufika ndoto hiyo ."* Kama ujajoin group karibu ujoin ili tuweze jifunza pamoja . https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4 . Kwakawaida kama angejionea huruma basi angebaki kuwa omba omba ila kwakuwa aliweza kuuwajibisha ubongo wake ukakubali na kumfanya mkuu. Kadiri unavyo laumu ndivyo unavyo uambia ubongo wako wewe siyo wa kuwajibika na wenyewe unachukua hivyo hivyo. Watu wa aina hii mdo watu wanao panga mipango na wanategemea wengine kuwatimilizia malengo yao. Ok unasema nini ngoja nikuonyeshe kwenye biblia jinsi watu walivyo taka kujitetea kuwajibika na jinsi Mungu alivyo wajibu. 1.wakati Mungu anauona uwezo wa kishujaa na kikombozi ndani ya Gidion yeye akuona hivyo yeye alikuwa anaona kama awezi kuwajibika juu ya kazi aliyo itiwa. Waamuzi 6:15 [15]Akamwambia, Ee Bwana, nitawaokoa Israeli kwa jinsi gani? *Tazama, jamaa zangu ndio walio maskini sana katika Manase, na mimi ndimi niliye mdogo katika nyumba ya baba yangu* Gidion alikuwa anazani sababu ya kutoka katika koo masikini na ndogo kabisa lakini kumbe anawajibu mkubwa sana wakufanyika mkombozi na mwamuzi . Haikujalisha kuwa ametokea katika mazingira gani yeye akafanyika lango la uamsho kwa wenzake na kuwakomboa wenzake wote . Kwa uwezo gani ule ule wa kutumia upinde na mishare na akashinda . Ok kuna hadithi maarufu sana katika agano la kare inayo muhusu Daudi na Goliath ambayo Daudi akuwa war expert wala train soldier lakini Goliath alikua skill and trained soldier mwenye medani za kutosha lakini aliangushwa na Daudi kwa kutumia kombeo. Kumbe kuwajibika hakutokani na kiasi unacho pata bali kunatokana na utayari wako wa kuwajibika . Siku utakayo amua kuanza kuwajibika ndo siku utayo anza kuwa mshindi . Ukianza kuthubutu Mungu ataanza kukutumia katika ukuu ule ule na kukufanya kuwa moja ya wakuu katika taifa husika. Ok i hope umejifunza kitu na kujua kuwa hakuna kinacho weza kukuzuia ukiwa na jambo lako na hakika utaweza kuanza kuwajibika acha kupiga kelele sana maisha ni yako. Take care.naitwa sylvester kutoka (build new eden) ni mwalimu wa neno la Mungu . Kama ujajoin group karibu ujoin ili tuweze jifunza pamoja . https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4 . #build new eden #restore men position
    0 Comments ·0 Shares ·910 Views
More Results