• Nguvu iliyoko kwenye neno part 3.

    #Baada ya kusikia neno na kuanza kulitenda kazi lazima mtizamo wako juu ya Mungu ubadilishwe.

    Ukifika kipindi ambacho katika maisha kabla ujatafakari chochote unamtafakari mungu kwanza jua tayari mtazamo wako kiakiri umelikubali neno la Mungu.

    Mtazamo wako katika neno ukibadilishwa unakusaidia sana kuyajua uzuri wa mungu,mapenzi ya Mungu , ukamilifu wa Mungu na jinsi Mungu anavyo kuwazia mema.

    #Warumi 12:2
    [2]Wala msiifuatishe namna ya dunia hii; bali mgeuzwe kwa kufanywa upya nia zenu, mpate kujua hakika mapenzi ya Mungu yaliyo mema, ya kumpendeza, na ukamilifu.

    Usipo jua mapenzi ya Mungu katika maisha yako utashindwa kujua kusudi la maisha yako .

    Neno la Mungu moja ya kazi yake ni kukujulisha mapenzi ya Mungu katika maisha yako ambapo inapelekea kujua kusudi .

    #Mithali 29:18
    [18] *Pasipo maono, watu huacha kujizuia; Bali ana heri mtu yule aishikaye sheria.*

    Neno lenyewe limejitosheleza kukujulisha kuwa Mungu anataka watu wanao jua kusudi lake.

    #Mtazamo ulio badilishwa inakupatia kusudi na mwelekeo wa maisha kulingana na kusudi la Mungu.

    Ukilijua neno kiasi cha kujua mapenzi ya mungu utakuwa unajua hakika Mungu anakuwazia mawazo ya amani na ustawi kila wakati.

    #Yeremia 29:11
    [11]Maana nayajua mawazo ninayowawazia ninyi, asema BWANA, ni mawazo ya amani wala si ya mabaya, kuwapa ninyi tumaini siku zenu za mwisho.

    Hayo ndiyo mapenzi ya Mungu kwako na katika neno ni wewe kuwa na amani na kufanikiwa katika kila jambo.

    Shida ni kuwa ufanikiwi sababu ujui neno .

    Ngoja nikusaidie neno lenye matokeo ni lile linalo weza badilisha maisha yako lazima ulitendee mema.

    Ukisikia neno na lisikupe cha kufanya neno hilo kwako halina matokeo kwako .

    Karibu katika group

    https://chat.whatsapp.com/HhjVJc0bcdY5i5LCZnjHZ6

    Ok naitwa Sylvester Mwakabende kutoka build new eden revival and restoration ministry

    #restore men position
    #build new eden
    Nguvu iliyoko kwenye neno part 3. #Baada ya kusikia neno na kuanza kulitenda kazi lazima mtizamo wako juu ya Mungu ubadilishwe. Ukifika kipindi ambacho katika maisha kabla ujatafakari chochote unamtafakari mungu kwanza jua tayari mtazamo wako kiakiri umelikubali neno la Mungu. Mtazamo wako katika neno ukibadilishwa unakusaidia sana kuyajua uzuri wa mungu,mapenzi ya Mungu , ukamilifu wa Mungu na jinsi Mungu anavyo kuwazia mema. #Warumi 12:2 [2]Wala msiifuatishe namna ya dunia hii; bali mgeuzwe kwa kufanywa upya nia zenu, mpate kujua hakika mapenzi ya Mungu yaliyo mema, ya kumpendeza, na ukamilifu. Usipo jua mapenzi ya Mungu katika maisha yako utashindwa kujua kusudi la maisha yako . Neno la Mungu moja ya kazi yake ni kukujulisha mapenzi ya Mungu katika maisha yako ambapo inapelekea kujua kusudi . #Mithali 29:18 [18] *Pasipo maono, watu huacha kujizuia; Bali ana heri mtu yule aishikaye sheria.* Neno lenyewe limejitosheleza kukujulisha kuwa Mungu anataka watu wanao jua kusudi lake. #Mtazamo ulio badilishwa inakupatia kusudi na mwelekeo wa maisha kulingana na kusudi la Mungu. Ukilijua neno kiasi cha kujua mapenzi ya mungu utakuwa unajua hakika Mungu anakuwazia mawazo ya amani na ustawi kila wakati. #Yeremia 29:11 [11]Maana nayajua mawazo ninayowawazia ninyi, asema BWANA, ni mawazo ya amani wala si ya mabaya, kuwapa ninyi tumaini siku zenu za mwisho. Hayo ndiyo mapenzi ya Mungu kwako na katika neno ni wewe kuwa na amani na kufanikiwa katika kila jambo. Shida ni kuwa ufanikiwi sababu ujui neno . Ngoja nikusaidie neno lenye matokeo ni lile linalo weza badilisha maisha yako lazima ulitendee mema. Ukisikia neno na lisikupe cha kufanya neno hilo kwako halina matokeo kwako . Karibu katika group https://chat.whatsapp.com/HhjVJc0bcdY5i5LCZnjHZ6 Ok naitwa Sylvester Mwakabende kutoka build new eden revival and restoration ministry #restore men position #build new eden
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·26 مشاهدة
  • Nguvu inayo badilisha mtu .

    Warumi 12:2
    [2]*Wala msiifuatishe namna ya dunia hii;
    *bali mgeuzwe kwa kufanywa upya nia zenu, mpate kujua hakika mapenzi ya Mungu yaliyo mema, ya kumpendeza, na ukamilifu*

    Kama ukiwachukua watu wasili wanao waza sawa tunategemea matokeo yatakuwa sawa.

    Iko nguvu inaitwa neno la Mungu inayo weza badilisha mtu kama tu mtu akijua jinsi Mungu anavyo taka aenende .

    Kiwango chako cha kumjua Mungu katika neno lazima kiendane na matokeo kwani chochote apandacho mtu ndicho atakacho vuna.

    Wagalatia 6:7
    [7]Msidanganyike, Mungu hadhihakiwi; kwa kuwa cho chote apandacho mtu, ndicho atakachovuna.


    faida za kulijua neno kama nguvu inayo badilisha mtu .

    1.INATUHAKIKISHIA KUFNIKIWA.

    Mungu amehakikisha kila anaye mjua sawa sawa na neno anampa nguvu ya kufanikiwa.

    Zaburi 1:1-2
    [1]Heri mtu yule asiyekwenda
    Katika shauri la wasio haki;
    Wala hakusimama katika njia ya wakosaji;
    Wala hakuketi barazani pa wenye mizaha.

    [2]Bali sheria ya BWANA ndiyo impendezayo,
    Na sheria yake huitafakari mchana na usiku.

    Lazma uamue kuishi maisha yasiyo na mizaa kabisa na dhambi kwa kulifuata neno kama mwongozo wako hapo ndipo utampendeza Mungu na Mungu atajihakikishia kukuwazia mema na mafanikio.

    Isaya 55:8-9
    [8] *Maana mawazo yangu si mawazo yenu, wala njia zenu si njia zangu; asema BWANA.*
    .
    [9]Kwa maana kama vile mbingu zilivyo juu sana kuliko nchi, kadhalika njia zangu zi juu sana kuliko njia zenu, na mawazo yangu kuliko mawazo yenu.

    Mawazo ya mungu ni kuona ndoa yako inafanikiwa toka ujana wako mpaka uzee.

    Mawazo ya Mungu nikuona biashara yako inashine kuliko jana .

    Mawazo ya Mungu ni kukuona ukiishi maisha ya mafanikio na furaha siku zote za maisha yako .

    Yeremia 29:11
    [11] *Maana nayajua mawazo ninayowawazia ninyi, asema BWANA, ni mawazo ya amani wala si ya mabaya, kuwapa ninyi tumaini siku zenu za mwisho.*

    Tatizo lako ni moja umeichukulia mzaa dhambi na kufanya mawazo ya Mungu kwako yasitimie .

    Acha dhambi acha mzaa na zinaa kutoka kusema hii ndo zambi yetu vijana anza kuichukia totally maisha yako yatabadilika totally na Mungu atakuhakikishia mafanikio siku zote.

    Mafanikio ni hakika na kweli kabisa kwa mtu anaye kaa na neno, mtu ambaye katika kila jambo anajibu na kulitazama neno linasema nini lazima apokee mafanikio makubwa zaidi.

    2.inatusaidia kutoka katika mawazo na fikra hasi

    Mtu hawezi kufanikiwa zaidi ya vile anavyo amini .

    Mtu awezi kupokea uponyaji zaidi ya vile anavyo hitaji.

    Kiwango cha mafanikio yako kinaamuliwa na kiwango cha imani yako .

    Marko 9:23
    [23]Yesu akamwambia, Ukiweza! Yote yawezekana kwake aaminiye.

    Ukiweza kuwekeza katika neno neno litakupa matokeo ya mwilini kwani neno litakusaidia kujua jinsi gani watu walio tembea na mungu walifanikiwa .

    Utaacha kuona haiwezekani kila jambo utaanza kuona inawezekana kila jambo kwani utajua yeye anasemaji.

    Wafilolipi 4:13
    *Naweza kuyafanya mambo yote katika yeye anitiaye nguvu*

    Ko ni neno litabadilisha msimamo wako juu ya mawazo hasi juu ya mafanikio .

    Kwa maana mtu hawezi kuwa zaidi ya anavyo jiona.

    Mithali 23:7
    [7] *Maana aonavyo nafsini mwake, ndivyo alivyo*.
    Akuambia, Haya, kula, kunywa;
    Lakini moyo wake hauwi pamoja nawe.

    Neno pekee ndilo linaweza badilisha namna unavyo jiona na jinsi unavyo amini ili upokee mambo makubwa .

    Usidanganyikee mtu hawezi kupokea zaidi ya ufunuo alio upata katika neno husika .

    Nimatumaini yangu utaanza kuongeza imani katika neno ili upate nguvu ibadilishayo mtu .

    Take care, naitwa sylvester natokea kutoka (build new eden)

    Karubu tujifunze pamoja neno la Mungu .kupitia group la watsap

    https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4

    #restore men position
    #build new position
    Nguvu inayo badilisha mtu . Warumi 12:2 [2]*Wala msiifuatishe namna ya dunia hii; *bali mgeuzwe kwa kufanywa upya nia zenu, mpate kujua hakika mapenzi ya Mungu yaliyo mema, ya kumpendeza, na ukamilifu* Kama ukiwachukua watu wasili wanao waza sawa tunategemea matokeo yatakuwa sawa. Iko nguvu inaitwa neno la Mungu inayo weza badilisha mtu kama tu mtu akijua jinsi Mungu anavyo taka aenende . Kiwango chako cha kumjua Mungu katika neno lazima kiendane na matokeo kwani chochote apandacho mtu ndicho atakacho vuna. Wagalatia 6:7 [7]Msidanganyike, Mungu hadhihakiwi; kwa kuwa cho chote apandacho mtu, ndicho atakachovuna. faida za kulijua neno kama nguvu inayo badilisha mtu . 1.INATUHAKIKISHIA KUFNIKIWA. Mungu amehakikisha kila anaye mjua sawa sawa na neno anampa nguvu ya kufanikiwa. Zaburi 1:1-2 [1]Heri mtu yule asiyekwenda Katika shauri la wasio haki; Wala hakusimama katika njia ya wakosaji; Wala hakuketi barazani pa wenye mizaha. [2]Bali sheria ya BWANA ndiyo impendezayo, Na sheria yake huitafakari mchana na usiku. Lazma uamue kuishi maisha yasiyo na mizaa kabisa na dhambi kwa kulifuata neno kama mwongozo wako hapo ndipo utampendeza Mungu na Mungu atajihakikishia kukuwazia mema na mafanikio. Isaya 55:8-9 [8] *Maana mawazo yangu si mawazo yenu, wala njia zenu si njia zangu; asema BWANA.* . [9]Kwa maana kama vile mbingu zilivyo juu sana kuliko nchi, kadhalika njia zangu zi juu sana kuliko njia zenu, na mawazo yangu kuliko mawazo yenu. Mawazo ya mungu ni kuona ndoa yako inafanikiwa toka ujana wako mpaka uzee. Mawazo ya Mungu nikuona biashara yako inashine kuliko jana . Mawazo ya Mungu ni kukuona ukiishi maisha ya mafanikio na furaha siku zote za maisha yako . Yeremia 29:11 [11] *Maana nayajua mawazo ninayowawazia ninyi, asema BWANA, ni mawazo ya amani wala si ya mabaya, kuwapa ninyi tumaini siku zenu za mwisho.* Tatizo lako ni moja umeichukulia mzaa dhambi na kufanya mawazo ya Mungu kwako yasitimie . Acha dhambi acha mzaa na zinaa kutoka kusema hii ndo zambi yetu vijana anza kuichukia totally maisha yako yatabadilika totally na Mungu atakuhakikishia mafanikio siku zote. Mafanikio ni hakika na kweli kabisa kwa mtu anaye kaa na neno, mtu ambaye katika kila jambo anajibu na kulitazama neno linasema nini lazima apokee mafanikio makubwa zaidi. 2.inatusaidia kutoka katika mawazo na fikra hasi Mtu hawezi kufanikiwa zaidi ya vile anavyo amini . Mtu awezi kupokea uponyaji zaidi ya vile anavyo hitaji. Kiwango cha mafanikio yako kinaamuliwa na kiwango cha imani yako . Marko 9:23 [23]Yesu akamwambia, Ukiweza! Yote yawezekana kwake aaminiye. Ukiweza kuwekeza katika neno neno litakupa matokeo ya mwilini kwani neno litakusaidia kujua jinsi gani watu walio tembea na mungu walifanikiwa . Utaacha kuona haiwezekani kila jambo utaanza kuona inawezekana kila jambo kwani utajua yeye anasemaji. Wafilolipi 4:13 *Naweza kuyafanya mambo yote katika yeye anitiaye nguvu* Ko ni neno litabadilisha msimamo wako juu ya mawazo hasi juu ya mafanikio . Kwa maana mtu hawezi kuwa zaidi ya anavyo jiona. Mithali 23:7 [7] *Maana aonavyo nafsini mwake, ndivyo alivyo*. Akuambia, Haya, kula, kunywa; Lakini moyo wake hauwi pamoja nawe. Neno pekee ndilo linaweza badilisha namna unavyo jiona na jinsi unavyo amini ili upokee mambo makubwa . Usidanganyikee mtu hawezi kupokea zaidi ya ufunuo alio upata katika neno husika . Nimatumaini yangu utaanza kuongeza imani katika neno ili upate nguvu ibadilishayo mtu . Take care, naitwa sylvester natokea kutoka (build new eden) Karubu tujifunze pamoja neno la Mungu .kupitia group la watsap https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4 #restore men position #build new position
    Like
    1
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·393 مشاهدة
  • 15/21Hakuna neno gumu kwa Bwana.

    Ayubu 42:2
    "Najua ya kuwa waweza kufaya mambo yote na ya kuwa makusudi yako hayawezi zuilika."

    Ndio Bwana anaweza kufanya mambo yote kwako ikiwa tu kama ukikubali na kumfuata.

    Ayubu pamoja na mapito yote haya bado alibaki na tumaini hili la kujua kuwa bwana ndiyo anayeweza kufanya mambo yote.

    Na Bwana akianza kufanya akuna awezaye kuzuia kwani Bwana hufanya kwa ajiri ya kulitimiza kusudi lake na mapenzi yake.

    Kusudi la Mungu ni kuwainua wanao mtumikia ko usipate shida Bwana atakufanyia makubwa sana kama tu hautazimia moyo.

    "Aa! Bwana MUNGU ,tazama wewe umeziumba mbingu na nchi kwa uweza wako mkuu na kwa mkono wako ulionyoshwa ,hapana neno gumu usilo liweza".(Yeremia 32:17)

    Kwa Bwana hakuna jambo gumu hata moja haijalishi umekata tamaa kiasi gani Bwana anataka umlingane kwa kumtafuta tu yeye atakujibu .

    Tazama mimi ni BWANA , Mungu wa wote wenye mwili je! Kuna neno gumu lolote nisilo liweza? (Yeremia 32:27)

    Hili ni neno la Bwana lilo mjia Yeremia Bwana akiuliza je kuna neno gumu lolote yeye asilo liweza.

    Kumbe tatizo lako la uchumi si jambo gumu kwa bwana kiasi wewe kukata tamaa.

    Kama mwamini unacho paswa kukiri ni kuwa "Nayaweza mambo yote katika yeye anitiaye nguvu"

    Ni wewe tu umemuacha Bwana kwa kuifuatisha dunia inavyo enda kiasi cha kuzani kuna mambo ni magumu yeye awezi.

    Nipo hapa asubui ya leo kukutia moyo kuwa bwana anaweza yote ko acha kujidharau .

    Songa mbele kwa kujua kuwa umaskini ulio nao ,adha unayopitia , magumu unayo pitia ni kitambo tu Bwana anakwenda kukuvusha leo.

    Mwamini Mungu kwani neno lake linasema "Nchi na vyote vijazavyo ni mali yake dunia na wote wakaao ndani yake" (zaburi 24:1)

    Kama vyote ni mali ya Bwana kumbe ili uvipate ni kuyatenda mapenzi yake ili yeye alitimize kusudi lake kwako .

    Jifunze kujikubali kabla ujakubaliwa ,kwani ili uweze yote lazima uwe jitu la kujikubali katika kutimiza mapenzi ya Mungu.

    Wanadamu wanaweza kukataaa huwezi lakini vipi Mungu anasemaje?
    Nayey kakukataa kwani ? Jibu utagundua ni hapana sasa kama ni hapana mtazame Mungu anasema nini sio wao wanasema nini na hapo ndipo utaanza kujua nguvu ya Mungu kuwa anaweza yote na hakuna asilo liweza.

    Wanadamu wamesema huwezi kuajiriwa , vipi Mungu aesema nini pia? Ukitizama hivyo utagundua Mungu kasela akuna jambo gumu asilo liweza! Ko ni wewe tu ujamlingana Mungu.

    Madaktari wamesema huwezi kupona huo ugonjwa Mungu amesemaj? Mungu anasema Njoni kwangu enyi nyote mnao lemewa na mizigo nami nitawapunzisha.

    Mwamini Mungu yeye anaweza kukuvusha ktika kila hatua bila ugumu wowote.

    Ok naitwa Sylvester Mwakabende (build new eden) at 06;52am

    #build new eden
    #restore men position
    15/21Hakuna neno gumu kwa Bwana. Ayubu 42:2 "Najua ya kuwa waweza kufaya mambo yote na ya kuwa makusudi yako hayawezi zuilika." Ndio Bwana anaweza kufanya mambo yote kwako ikiwa tu kama ukikubali na kumfuata. Ayubu pamoja na mapito yote haya bado alibaki na tumaini hili la kujua kuwa bwana ndiyo anayeweza kufanya mambo yote. Na Bwana akianza kufanya akuna awezaye kuzuia kwani Bwana hufanya kwa ajiri ya kulitimiza kusudi lake na mapenzi yake. Kusudi la Mungu ni kuwainua wanao mtumikia ko usipate shida Bwana atakufanyia makubwa sana kama tu hautazimia moyo. "Aa! Bwana MUNGU ,tazama wewe umeziumba mbingu na nchi kwa uweza wako mkuu na kwa mkono wako ulionyoshwa ,hapana neno gumu usilo liweza".(Yeremia 32:17) Kwa Bwana hakuna jambo gumu hata moja haijalishi umekata tamaa kiasi gani Bwana anataka umlingane kwa kumtafuta tu yeye atakujibu . Tazama mimi ni BWANA , Mungu wa wote wenye mwili je! Kuna neno gumu lolote nisilo liweza? (Yeremia 32:27) Hili ni neno la Bwana lilo mjia Yeremia Bwana akiuliza je kuna neno gumu lolote yeye asilo liweza. Kumbe tatizo lako la uchumi si jambo gumu kwa bwana kiasi wewe kukata tamaa. Kama mwamini unacho paswa kukiri ni kuwa "Nayaweza mambo yote katika yeye anitiaye nguvu" Ni wewe tu umemuacha Bwana kwa kuifuatisha dunia inavyo enda kiasi cha kuzani kuna mambo ni magumu yeye awezi. Nipo hapa asubui ya leo kukutia moyo kuwa bwana anaweza yote ko acha kujidharau . Songa mbele kwa kujua kuwa umaskini ulio nao ,adha unayopitia , magumu unayo pitia ni kitambo tu Bwana anakwenda kukuvusha leo. Mwamini Mungu kwani neno lake linasema "Nchi na vyote vijazavyo ni mali yake dunia na wote wakaao ndani yake" (zaburi 24:1) Kama vyote ni mali ya Bwana kumbe ili uvipate ni kuyatenda mapenzi yake ili yeye alitimize kusudi lake kwako . Jifunze kujikubali kabla ujakubaliwa ,kwani ili uweze yote lazima uwe jitu la kujikubali katika kutimiza mapenzi ya Mungu. Wanadamu wanaweza kukataaa huwezi lakini vipi Mungu anasemaje? Nayey kakukataa kwani ? Jibu utagundua ni hapana sasa kama ni hapana mtazame Mungu anasema nini sio wao wanasema nini na hapo ndipo utaanza kujua nguvu ya Mungu kuwa anaweza yote na hakuna asilo liweza. Wanadamu wamesema huwezi kuajiriwa , vipi Mungu aesema nini pia? Ukitizama hivyo utagundua Mungu kasela akuna jambo gumu asilo liweza! Ko ni wewe tu ujamlingana Mungu. Madaktari wamesema huwezi kupona huo ugonjwa Mungu amesemaj? Mungu anasema Njoni kwangu enyi nyote mnao lemewa na mizigo nami nitawapunzisha. Mwamini Mungu yeye anaweza kukuvusha ktika kila hatua bila ugumu wowote. Ok naitwa Sylvester Mwakabende (build new eden) at 06;52am #build new eden #restore men position
    Yay
    1
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·738 مشاهدة
  • Ufunuo wa Yohana 6:9-11
    [9]Na alipoifungua muhuri ya tano, nikaona chini ya madhabahu roho zao waliochinjwa kwa ajili ya neno la :
    [10]Wakalia kwa sauti kuu, wakisema, Ee Mola, Mtakatifu, Mwenye kweli, hata lini kutokuhukumu, wala kuipatia haki damu yetu kwa hao wakaao juu ya nchi?

    [11]Nao wakapewa kila mmoja nguo ndefu, nyeupe, wakaambiwa wastarehe bado muda mchache, hata itakapotimia hesabu ya wajoli wao na ndugu zao, watakaouawa vile vile kama wao.

    *Unaweza zani unaua Mungu amekuacha kube ni bado kitambo kidogo sana juu yako.*

    Na ukitaka kujua bado kitmbo kidogo ukiona imefika wakati kanisa linaanza kushambuliwa jua kumeshakucha tayari mwenye kusikia na asikie maneno ambayo roho ayaambia makanisa.

    Ogopa sana wewe kuwa sababu y kukatisha uhai wa mtu katika hii dunia asila ya mungu ikishuka amna namna unaweza kuwa salama.

    *Nazungumza na mtu ambaye wewe kuua nafsi za watu kwako ni kawaida ,Mungu anasema amesubiri kidogo tu kilio kama cha watu wale kiongezeke kidogo tu* .

    Kama kanisa likasema kuwa haki inaminywa matokeo yake ni kuumia kwa maisha yao basi jua kuwa anguko la pili ni kubwa kuliko la kwanza.

    Galatia 6:9-10
    *Tena tusichoke katika kutenda mema; maana tutavuna kwa wakati wake, tusipozimia roho. Kwa hiyo kadiri tupatavyo nafasi na tuwatendee watu wote mema; na hasa jamaa ya waaminio.*

    Sasa kwa namna yeyote ile kutenda mema kwa kanisa ni pamoja na kusema ukweli panapo hitajika kusema.

    *Haki huinua taifa; Bali dhambi ni aibu ya watu wo wote.* Mithali 14:34

    Sasa kama kuna damu inamwagika kwa ajiri ya haki jua kinacho fuatia ni aibu mauti (dhambi).

    Ole kwako dunia ambaye wewe unashiriki kuua masihi wa Bwana na wasema kweli wote kwani anguko lako ni baya sana kuliko hata asiye amini.

    51 *tangu damu ya Abeli mpaka damu ya Zakaria aliyeuawa kati ya madhabahu na mahali patakatifu. Nawaambia kweli, watu wa kizazi hiki wataadhibiwa kwa ajili yao wote* (luka 11:51)

    Kama kwa matoleo damu ya Abiri ililia vipi kuhusu haki damu ya watumishi itakayo lia .

    Misikilize mathayo alivyo andika maneno aliyo yasema masihi wa Bwana.
    Mathayo 23:35
    *Hivyo ile damu ya wenye haki wote iliyomwagwa hapa duniani, tangu damu ya Habili, aliyekuwa mwenye haki, hadi damu ya Zakaria mwana wa Barakia, mliyemuua kati ya patakatifu na madhabahu, itawajia juu yenu*

    Kanisa la Mungu damu ya wenye haki na watumishi wa mungu si damu za kuzishiriki kwani zinahatari sana .

    Cheki laana aliyo ipata kaini baada ya kumuua ndugu yake.
    Mwanzo 4:10-12
    *Umefanya nini? Damu ya ndugu yako yanililia kutoka udongoni. Sasa wewe umelaaniwa! Hutailima tena ardhi yenye rutuba ambayo kama kinywa imeipokea damu ya nduguyo uliyemuua. Ukiilima ardhi haitakupatia tena mazao yake. Utakuwa mtu wa kutangatanga, asiye na makao maalumu duniani.”*

    *Sasa kama taifa ni moja ya madhara yanaweza kukupata wewe ambaye damu ya wataua wa Mungu na wapenda haki unaichezea* .

    Unaweza ukamuua huyo mtumishi msema kweli lakini mara zote damu yake utumika kama wino wa kumkumbusha Mungu na matokeo yake unalaaniwa wewe na kizazi chako chote .

    *Kama askari wa mbinguni huu ni muda mwafaka wa kumlingana Mungu kuhusu maovu yetu kuliko kuendelea kumwaga damu ya wataua.*

    Lakini pia ole kwa kanisa ambalo linaona palipo haribika lakini halitaki kuongea kazi yake kusifiwa na nyinyi pia ole kwenu imefika .
    Yeremia 23:1
    *Ole wao wachungaji, wanaoharibu kondoo za malisho yangu na kuwatawanya! Asema BWANA*

    *Watumishi msidhani kuzini tu ndo ole iyo hata kukaa kimya wakati damu inamwagika pia ni kutawanya kondoo kwani amuwaekezi ukweli kondoo wenu .*

    Wako katika Kristo jasusi wa mbinguni SG Mwakabende kutoka build new eden
    Ufunuo wa Yohana 6:9-11 [9]Na alipoifungua muhuri ya tano, nikaona chini ya madhabahu roho zao waliochinjwa kwa ajili ya neno la : [10]Wakalia kwa sauti kuu, wakisema, Ee Mola, Mtakatifu, Mwenye kweli, hata lini kutokuhukumu, wala kuipatia haki damu yetu kwa hao wakaao juu ya nchi? [11]Nao wakapewa kila mmoja nguo ndefu, nyeupe, wakaambiwa wastarehe bado muda mchache, hata itakapotimia hesabu ya wajoli wao na ndugu zao, watakaouawa vile vile kama wao. *Unaweza zani unaua Mungu amekuacha kube ni bado kitambo kidogo sana juu yako.* Na ukitaka kujua bado kitmbo kidogo ukiona imefika wakati kanisa linaanza kushambuliwa jua kumeshakucha tayari mwenye kusikia na asikie maneno ambayo roho ayaambia makanisa. Ogopa sana wewe kuwa sababu y kukatisha uhai wa mtu katika hii dunia asila ya mungu ikishuka amna namna unaweza kuwa salama. *Nazungumza na mtu ambaye wewe kuua nafsi za watu kwako ni kawaida ,Mungu anasema amesubiri kidogo tu kilio kama cha watu wale kiongezeke kidogo tu* . Kama kanisa likasema kuwa haki inaminywa matokeo yake ni kuumia kwa maisha yao basi jua kuwa anguko la pili ni kubwa kuliko la kwanza. Galatia 6:9-10 *Tena tusichoke katika kutenda mema; maana tutavuna kwa wakati wake, tusipozimia roho. Kwa hiyo kadiri tupatavyo nafasi na tuwatendee watu wote mema; na hasa jamaa ya waaminio.* Sasa kwa namna yeyote ile kutenda mema kwa kanisa ni pamoja na kusema ukweli panapo hitajika kusema. *Haki huinua taifa; Bali dhambi ni aibu ya watu wo wote.* Mithali 14:34 Sasa kama kuna damu inamwagika kwa ajiri ya haki jua kinacho fuatia ni aibu mauti (dhambi). Ole kwako dunia ambaye wewe unashiriki kuua masihi wa Bwana na wasema kweli wote kwani anguko lako ni baya sana kuliko hata asiye amini. 51 *tangu damu ya Abeli mpaka damu ya Zakaria aliyeuawa kati ya madhabahu na mahali patakatifu. Nawaambia kweli, watu wa kizazi hiki wataadhibiwa kwa ajili yao wote* (luka 11:51) Kama kwa matoleo damu ya Abiri ililia vipi kuhusu haki damu ya watumishi itakayo lia . Misikilize mathayo alivyo andika maneno aliyo yasema masihi wa Bwana. Mathayo 23:35 *Hivyo ile damu ya wenye haki wote iliyomwagwa hapa duniani, tangu damu ya Habili, aliyekuwa mwenye haki, hadi damu ya Zakaria mwana wa Barakia, mliyemuua kati ya patakatifu na madhabahu, itawajia juu yenu* Kanisa la Mungu damu ya wenye haki na watumishi wa mungu si damu za kuzishiriki kwani zinahatari sana . Cheki laana aliyo ipata kaini baada ya kumuua ndugu yake. Mwanzo 4:10-12 *Umefanya nini? Damu ya ndugu yako yanililia kutoka udongoni. Sasa wewe umelaaniwa! Hutailima tena ardhi yenye rutuba ambayo kama kinywa imeipokea damu ya nduguyo uliyemuua. Ukiilima ardhi haitakupatia tena mazao yake. Utakuwa mtu wa kutangatanga, asiye na makao maalumu duniani.”* *Sasa kama taifa ni moja ya madhara yanaweza kukupata wewe ambaye damu ya wataua wa Mungu na wapenda haki unaichezea* . Unaweza ukamuua huyo mtumishi msema kweli lakini mara zote damu yake utumika kama wino wa kumkumbusha Mungu na matokeo yake unalaaniwa wewe na kizazi chako chote . *Kama askari wa mbinguni huu ni muda mwafaka wa kumlingana Mungu kuhusu maovu yetu kuliko kuendelea kumwaga damu ya wataua.* Lakini pia ole kwa kanisa ambalo linaona palipo haribika lakini halitaki kuongea kazi yake kusifiwa na nyinyi pia ole kwenu imefika . Yeremia 23:1 *Ole wao wachungaji, wanaoharibu kondoo za malisho yangu na kuwatawanya! Asema BWANA* *Watumishi msidhani kuzini tu ndo ole iyo hata kukaa kimya wakati damu inamwagika pia ni kutawanya kondoo kwani amuwaekezi ukweli kondoo wenu .* Wako katika Kristo jasusi wa mbinguni SG Mwakabende kutoka build new eden
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·875 مشاهدة
  • 13/21. ROHO YA UDANGANYIFU KANISANI.

    Torati 13:1-2
    *1 Kukizuka katikati yako nabii, au mwotaji wa ndoto, akikutolea ishara au ajabu, 2 ikatukia hiyo ishara au hiyo ajabu aliyokuambia akisema, Na tuifuate miungu mingine usiyoijua, tuitumikie hiyo*

    Hayo ndiyo maagizo ambyo Mungu alimpatia Musa ili ayaweke kama kumbukumbu kwa taifa lake (kanisa ) lake hapa duniani .

    *Kumbe inshu siyo anaweza kukuambia kuwa anaona au anaota mambo yako ukajua ni mtu wa Mungu peke yake ,hapana kama tu anaweza yeye kuabudu miungu mingine ujue kabisa uyo si mtu wa Mungu.*

    Unasema nimejuaje andiko linasema *wataponya ,watatoa pepo kwa jina langu lakini mimi sikuwatuma*.

    *Kumbe kutoa pepo kusikufanye uamini sana kama mtu wa Mungu kutabiriwa pia lakini utamtambua jinsi anayo weza kuichukia zambi kwa roho yote.*

    Kukujulisha maisha yako ya nyuma siyo ishara ya kuwa ni mtumishi wa Mungu. Vipi kuhusu yule msichana aliye kuwa na pepo la uaguzi .

    (Ukisoma matendo 16:16-18 utaona )

    *“Hawa watu ni watumishi wa Mungu Mkuu.*

    Ko ukiangalia alikuwa anapenda kufanya hivyo siku hadi siku anajichanganya na watumishi wa kweli akina Paulo ili zsijulikane lakini alikuwa anapepo la uaguzi kwa lugha nyepesi ni *mganga wa kienyeji anaye tabiria watu kanisani*

    Ko muhimu sana kujua ulipo wanakuandaa kwenda mbinguni au wanakuandaa tu kuishi .

    Muombe sana Mungu akusaidie usiende kanisani kwa sababu ya kupata tu unabii au kuwekewa mkono wakti mwingine unajikuta umeenda kuongeza matatizo kwa kigezo cha kutoa tatizo.

    Kama wokovu kwako umejengwa katika dhana ya kutabiriwa peke yake basi kwako wokovu ni kitu kigumu sana .

    Ukisoma Yeremia 28:
    Utaona habari za mtu mmoja anaitwa hanania aliingia hekaruni na kuanza kutabiri neema mbele ya makuhani na yeremia mwenyewe ,lakini kw kuwa nabii Yeremia alikuwa ni mtu wa Mungu aligundua kuwa huyu ananinia ni nabii wa uongo .

    , *“Sikiliza, Hanania, Mwenyezi-Mungu hakukutuma, nawe unawafanya watu hawa waamini uongo*(Yeremia 28:15)

    Lakini ninacho tamani ujue huyu mtu aliingia kama mtu wa Mungu inamaana bila uimara wa Yeremia nabii kanisa lote lingekuwa limelishwa uongo na imani yake katika uongo.

    Lazima kama watumishi wa Mungu tuombe Mungu sana kipindi cha hiki uamsho mkubwa unapokwenda kutokea Tanzania kuna watu wengi watanyanyuka kusema lakini ukweli watakuwa si watu wa Mungu bali wana nguvu iliyo nyuma yao.

    Na bahati mbaya sana watu tunapenda saba ishara basi tunaona hapa ndo penyewe kumbe ni yule binti mwenye pepo la uaguzi.

    Ni kwambie ukweli kanisa la kweli haliwezi kuongozwa na roho ya yezebeli( Zinaa na uasherati) vikawa vitu vya kawaida kanisani.

    Oh mimi napokea kila mtu hapana si kanisa hilo ni lango la shetani *" si maanishi kanisani kwenda lazima mtu awe ameokoka lakini tunategemea baada ya kwenda aanze kubadilika so anatokz church ni worshipa anaenda ghetho kwa msela kuzini hii haikubaliki"*

    Ko kama dunia yatupasa kujiazali sana unabii na mafunuo juu ya ndoto zako si kigezo cha kuwa mtu wa Mungu bali mtawatambua kwa matendo yao.

    Hizi ni nyakati za mwisho ko wapo masihi (watumishi) wa Bwana ambao kazi yao kueneza injiri lakini pia wapo washetani ambao kazi yao ni kulipeleka matopeni kanisa la Mungu pasipo hao watu kujua.

    Unasema nimejuaje kamuulize Ahabu na Yeoshafath walipo taka kwenda vitani manabii wengine wote *waliingiziwa roho ya uongo (shetani) ili wampotoshe ahabu* lakini alikuwepo mmoja anaitwa *Mikaya yeye alikuwa jitu la mbinguni na akukubalika kirahisi mbele ya ahabu sababu ya matendo yake ahabu.*

    Ndivyo ilivyo hata leo manabii wa uongo wanawajaza viongozi wa serikari matumaini pasipo kujua kuwa Mungu anamtaka mtu mnyenyekevu .

    Nazungumza na mgombea mmoja ambaye yeye anatumia kafara arafu anaenda kuuliza kwa manabii uongo na wanampa tumaini na simama kama mikaya nataka nikwambie ukigombea huwezi kushinda kabisa kabisa.

    Manabii wa uongo wamejaa wao kila wakikutana na viongozi wanawatabiria maswala ya amani tu wakati wanaona kabisa mambo hayaeleweki

    Yeremia 28:9
    *Nabii atabiriye habari za amani, neno la nabii yule litakapotokea, ndipo nabii yule atakapojulikana, kweli kuwa BWANA amemtuma.*

    Lakini lisipo tokea mana yake ni wauongo na mwaka huu Mungu anakwenda kulionyeaha taifa kwamba roho za Hanania ni nyingi kanisani zinatabiri uongo kuwapa watu matumaini tu lakini si kweli .

    *Hakuna haki hakuna amani unashindwaje kuliambia taifa ukweli kabisa*


    Tuwaepuke sana manabii wa uongo wanakula sana jitihada za imani zetu kama vijana watoto wa Mungu.

    Dada acha kumue mue kila mtumishi lazima uende wewe na kuzungukia makanisa kama umeambiwa wanakupa ela vile kila siku unaenda kuuliza mambo yako bila kufanya kazi acha uo ujinga.

    Mwamini Mungu kuwa hizi ni siku za mwisho bado kidogo sana masihi aje awachukue walio wake.

    Ahsante sana naitwa Sylvester Mwakabende kutoja (build new eden)

    Karibu sana ujifunze nasi kupitia status pia 0622625340

    #build new eden
    #Restoremenposition
    13/21. ROHO YA UDANGANYIFU KANISANI. Torati 13:1-2 *1 Kukizuka katikati yako nabii, au mwotaji wa ndoto, akikutolea ishara au ajabu, 2 ikatukia hiyo ishara au hiyo ajabu aliyokuambia akisema, Na tuifuate miungu mingine usiyoijua, tuitumikie hiyo* Hayo ndiyo maagizo ambyo Mungu alimpatia Musa ili ayaweke kama kumbukumbu kwa taifa lake (kanisa ) lake hapa duniani . *Kumbe inshu siyo anaweza kukuambia kuwa anaona au anaota mambo yako ukajua ni mtu wa Mungu peke yake ,hapana kama tu anaweza yeye kuabudu miungu mingine ujue kabisa uyo si mtu wa Mungu.* Unasema nimejuaje andiko linasema *wataponya ,watatoa pepo kwa jina langu lakini mimi sikuwatuma*. *Kumbe kutoa pepo kusikufanye uamini sana kama mtu wa Mungu kutabiriwa pia lakini utamtambua jinsi anayo weza kuichukia zambi kwa roho yote.* Kukujulisha maisha yako ya nyuma siyo ishara ya kuwa ni mtumishi wa Mungu. Vipi kuhusu yule msichana aliye kuwa na pepo la uaguzi . (Ukisoma matendo 16:16-18 utaona ) *“Hawa watu ni watumishi wa Mungu Mkuu.* Ko ukiangalia alikuwa anapenda kufanya hivyo siku hadi siku anajichanganya na watumishi wa kweli akina Paulo ili zsijulikane lakini alikuwa anapepo la uaguzi kwa lugha nyepesi ni *mganga wa kienyeji anaye tabiria watu kanisani* Ko muhimu sana kujua ulipo wanakuandaa kwenda mbinguni au wanakuandaa tu kuishi . Muombe sana Mungu akusaidie usiende kanisani kwa sababu ya kupata tu unabii au kuwekewa mkono wakti mwingine unajikuta umeenda kuongeza matatizo kwa kigezo cha kutoa tatizo. Kama wokovu kwako umejengwa katika dhana ya kutabiriwa peke yake basi kwako wokovu ni kitu kigumu sana . Ukisoma Yeremia 28: Utaona habari za mtu mmoja anaitwa hanania aliingia hekaruni na kuanza kutabiri neema mbele ya makuhani na yeremia mwenyewe ,lakini kw kuwa nabii Yeremia alikuwa ni mtu wa Mungu aligundua kuwa huyu ananinia ni nabii wa uongo . , *“Sikiliza, Hanania, Mwenyezi-Mungu hakukutuma, nawe unawafanya watu hawa waamini uongo*(Yeremia 28:15) Lakini ninacho tamani ujue huyu mtu aliingia kama mtu wa Mungu inamaana bila uimara wa Yeremia nabii kanisa lote lingekuwa limelishwa uongo na imani yake katika uongo. Lazima kama watumishi wa Mungu tuombe Mungu sana kipindi cha hiki uamsho mkubwa unapokwenda kutokea Tanzania kuna watu wengi watanyanyuka kusema lakini ukweli watakuwa si watu wa Mungu bali wana nguvu iliyo nyuma yao. Na bahati mbaya sana watu tunapenda saba ishara basi tunaona hapa ndo penyewe kumbe ni yule binti mwenye pepo la uaguzi. Ni kwambie ukweli kanisa la kweli haliwezi kuongozwa na roho ya yezebeli( Zinaa na uasherati) vikawa vitu vya kawaida kanisani. Oh mimi napokea kila mtu hapana si kanisa hilo ni lango la shetani *" si maanishi kanisani kwenda lazima mtu awe ameokoka lakini tunategemea baada ya kwenda aanze kubadilika so anatokz church ni worshipa anaenda ghetho kwa msela kuzini hii haikubaliki"* Ko kama dunia yatupasa kujiazali sana unabii na mafunuo juu ya ndoto zako si kigezo cha kuwa mtu wa Mungu bali mtawatambua kwa matendo yao. Hizi ni nyakati za mwisho ko wapo masihi (watumishi) wa Bwana ambao kazi yao kueneza injiri lakini pia wapo washetani ambao kazi yao ni kulipeleka matopeni kanisa la Mungu pasipo hao watu kujua. Unasema nimejuaje kamuulize Ahabu na Yeoshafath walipo taka kwenda vitani manabii wengine wote *waliingiziwa roho ya uongo (shetani) ili wampotoshe ahabu* lakini alikuwepo mmoja anaitwa *Mikaya yeye alikuwa jitu la mbinguni na akukubalika kirahisi mbele ya ahabu sababu ya matendo yake ahabu.* Ndivyo ilivyo hata leo manabii wa uongo wanawajaza viongozi wa serikari matumaini pasipo kujua kuwa Mungu anamtaka mtu mnyenyekevu . Nazungumza na mgombea mmoja ambaye yeye anatumia kafara arafu anaenda kuuliza kwa manabii uongo na wanampa tumaini na simama kama mikaya nataka nikwambie ukigombea huwezi kushinda kabisa kabisa. Manabii wa uongo wamejaa wao kila wakikutana na viongozi wanawatabiria maswala ya amani tu wakati wanaona kabisa mambo hayaeleweki Yeremia 28:9 *Nabii atabiriye habari za amani, neno la nabii yule litakapotokea, ndipo nabii yule atakapojulikana, kweli kuwa BWANA amemtuma.* Lakini lisipo tokea mana yake ni wauongo na mwaka huu Mungu anakwenda kulionyeaha taifa kwamba roho za Hanania ni nyingi kanisani zinatabiri uongo kuwapa watu matumaini tu lakini si kweli . *Hakuna haki hakuna amani unashindwaje kuliambia taifa ukweli kabisa* Tuwaepuke sana manabii wa uongo wanakula sana jitihada za imani zetu kama vijana watoto wa Mungu. Dada acha kumue mue kila mtumishi lazima uende wewe na kuzungukia makanisa kama umeambiwa wanakupa ela vile kila siku unaenda kuuliza mambo yako bila kufanya kazi acha uo ujinga. Mwamini Mungu kuwa hizi ni siku za mwisho bado kidogo sana masihi aje awachukue walio wake. Ahsante sana naitwa Sylvester Mwakabende kutoja (build new eden) Karibu sana ujifunze nasi kupitia status pia 0622625340 #build new eden #Restoremenposition
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·956 مشاهدة
  • 1/21
    MAOMBI YENYE TIJA MBELE ZA MUNGU.

    tuanze kwa kujua nini maana ya maombi.

    Maombi ni mazungumzo kati ya mtu aliye okoka na Mungu wake .
    Isaya 1:18.
    Haya, *njoni, tusemezane, asema BWANA*. Dhambi zenu zijapokuwa nyekundu sana, zitakuwa nyeupe kama theluji; zijapokuwa nyekundu kama damu, zitakuwa kama sufu.

    Maombi ni hali ya kuhitaji kupeleka mahitaji yetu mbele za bwana.
    Filip 4:6
    6 Msifadhaike juu ya jambo lo lote; lakini katika kila jambo mjulisheni Mungu haja zenu, kwa kusali na kuomba pamoja na kushukuru.

    Maombi ndiyo kibali kinacho mpa Mungu nafasi ya kuingilia kati mambo ya watoto wake.

    Mathayo 7:7-8
    *“Ombeni, nanyi mtapewa; tafuteni, nanyi mtapata; bisheni mlango, nanyi mtafunguliwa. Maana, yeyote aombaye hupewa, atafutaye hupata, na abishaye mlango hufunguliwa.*

    Maombi ni vita .

    Efeso 6:10-12
    Kwa maana kushindana kwetu sisi si juu ya damu na nyama; bali ni juu ya falme na mamlaka, juu ya wakuu wa giza hili, juu ya majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho.

    Maombi pia ni ibada .
    Zaburi 42:1-3

    Maombi yanayo jibiwa ni maombi yanayo ambatana na neno la Mungu.

    Mungu anapo jibu maombi anajibu neno lake siyo wewe unasema nini.

    Ili maombi yako yajibiwe lazima uwe na uhakika naye unaye muomba .

    Warumi 10:17
    *Imani chanzo chake ni kusikia ,na kusikia huja kwa neno la kristo.

    Kiwango chako cha kuliamini neno ndicho kinacho amua aina ya majibu unayo yataka.

    Natamani unavyo ingia msimu mpya uombe kama mtu wa mbinguni kwa kila ombi kumkumbusha Mungu neno lake.

    Mfano.
    Unataka kufanikiwa mkumbushe mungu kuwa kwa neno lako umesema madamu muda wa kupanda udumupo wakati wa kuvuna hauta koma.

    Au kwa neno lako *umesema sinta kuwa mkia nitakuwa kichwa*
    Ndipo anza kuingiza haja yako .

    Au kwa neno lako *umesema nitabarikiwa mjini nitabarikiwa shambani* ndipo uendelee na haja zako.

    Ili umpendeze Mungu lazima uwe na neno lake .
    Ebrania 11:6

    Mungu hawezi kwenda kinyume na neno lake hiyo ndiyo sababu ya kuomba kwa neno lake.
    Ebrania 6:16-17
    Yeremia 1:12

    Mungu alimwambia yeremia umenena vema kwa maana mimi Bwana naangalia neno langu hili nitimize.
    Natumaini maombi yetu leo yataongozwa na neno la Mungu.
    #build new eden
    1/21 MAOMBI YENYE TIJA MBELE ZA MUNGU. tuanze kwa kujua nini maana ya maombi. Maombi ni mazungumzo kati ya mtu aliye okoka na Mungu wake . Isaya 1:18. Haya, *njoni, tusemezane, asema BWANA*. Dhambi zenu zijapokuwa nyekundu sana, zitakuwa nyeupe kama theluji; zijapokuwa nyekundu kama damu, zitakuwa kama sufu. Maombi ni hali ya kuhitaji kupeleka mahitaji yetu mbele za bwana. Filip 4:6 6 Msifadhaike juu ya jambo lo lote; lakini katika kila jambo mjulisheni Mungu haja zenu, kwa kusali na kuomba pamoja na kushukuru. Maombi ndiyo kibali kinacho mpa Mungu nafasi ya kuingilia kati mambo ya watoto wake. Mathayo 7:7-8 *“Ombeni, nanyi mtapewa; tafuteni, nanyi mtapata; bisheni mlango, nanyi mtafunguliwa. Maana, yeyote aombaye hupewa, atafutaye hupata, na abishaye mlango hufunguliwa.* Maombi ni vita . Efeso 6:10-12 Kwa maana kushindana kwetu sisi si juu ya damu na nyama; bali ni juu ya falme na mamlaka, juu ya wakuu wa giza hili, juu ya majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho. Maombi pia ni ibada . Zaburi 42:1-3 Maombi yanayo jibiwa ni maombi yanayo ambatana na neno la Mungu. Mungu anapo jibu maombi anajibu neno lake siyo wewe unasema nini. Ili maombi yako yajibiwe lazima uwe na uhakika naye unaye muomba . Warumi 10:17 *Imani chanzo chake ni kusikia ,na kusikia huja kwa neno la kristo. Kiwango chako cha kuliamini neno ndicho kinacho amua aina ya majibu unayo yataka. Natamani unavyo ingia msimu mpya uombe kama mtu wa mbinguni kwa kila ombi kumkumbusha Mungu neno lake. Mfano. Unataka kufanikiwa mkumbushe mungu kuwa kwa neno lako umesema madamu muda wa kupanda udumupo wakati wa kuvuna hauta koma. Au kwa neno lako *umesema sinta kuwa mkia nitakuwa kichwa* Ndipo anza kuingiza haja yako . Au kwa neno lako *umesema nitabarikiwa mjini nitabarikiwa shambani* ndipo uendelee na haja zako. Ili umpendeze Mungu lazima uwe na neno lake . Ebrania 11:6 Mungu hawezi kwenda kinyume na neno lake hiyo ndiyo sababu ya kuomba kwa neno lake. Ebrania 6:16-17 Yeremia 1:12 Mungu alimwambia yeremia umenena vema kwa maana mimi Bwana naangalia neno langu hili nitimize. Natumaini maombi yetu leo yataongozwa na neno la Mungu. #build new eden
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·795 مشاهدة
  • NINI ASILI YA WAYAHUDI WA LEO NCHINI ISRAEL? ,UKWELI WA MUONEKANO WAO NA HATIMA YA UTAWALA WAO.

    TUKUMBUKE Rais wa Misri wa pili wa zamani wa Umoja wa Jamhuri ya waarabu Gamal Abdel Nasser mwaka 1952 alishawahi kusema mbele ya Televisheni kwamba, watu wa ulaya wanajidai kuwa wao ni wayahudi akasema kwamba; siwezi kuwaheshimu wayahudi nyie wayahudi hamtaweza kuishi kwa amani kwasababu mliondoka hapa mkiwa weusi mkarudi mkiwa weupe.

    Msafiri wa kiitalia Ludovico di Varthema mwaka 1470 hadi mwaka 1517 alijulikana kama mtu wa kwanza Ulaya asiye muislam kuingia Makka kuhiji, karibu kila kitu kinachomuhusu maisha yake kimeandikwa katika kitabu cha "Itinerario de Ludovicode Varthema Bolognese" kilichapishwa Roma mwaka 1510. Moja ya kurasa zake unasomeka ;"mwisho wa siku 8 tukakuta mlima unaoonekana kuwa maili 10 au 12 hivi kwa mzunguko katika mlima huo paliishi wayahudi elfu nne au tano hivi waliokuwa wanatembea bila nguo na viganja vyao vipana, wenye sauti zinazofanana na zile za kike, walikuwa weusi zaidi kuliko rangi nyingine, waliishi wakitegemea kula nyama ya kondoo ,walifanyiwa tohara na kukiri kuwa wao ni wayahudi walipoulizwa ,na iwapo walimkamata mwarabu(moor) walimchuna ngozi akiwa hai ,walikuwa maadui wakubwa na waarabu weusi, hapo chini ya mlima palikuwa na tenki la maji ,maji ambayo yalitokana na mvua, tukawanywesha ngamia wetu 16,000 kwa maji hayo, hao wayahudi wakachukia wakaanza kuuzunguka mlima wao kama mbuzi pori vichaa"

    Kipindi yesu anazaliwa alikuta Israel inatawaliwa na Waroma ambapo kama alivyotabiri baada ya Yesu kukataliwa na wayahudi na baadae kupaa kwenda mbinguni, kulitokea vita kwenye utawala wa Warumi vita hiyo ilipelekea kuharibiwa lile hekalu la Suleiman na wana wa Israel kuchukuliwa mateka utumwani na wengine kukimbilia hasa kusini mwa Israel "kush" au Afrika sababu huko hapakuwa na hiyo vita na ilikuwa rahisi wao kujificha kwa watu wa Kushi sababu walikuwa wanafanana nao ndio maana hii dhana ya hawa wayahudi wa ulaya imekuwa ni moja ya hoja kubwa sana ulimwenguni kivipi wayahudi walikimbilia Ulaya wakati vita ya Roman Empire ndio ilikuwa imetokea huko inashuka Israel ,wayahudi wengi walikimbilia Afrika sio ulaya, sio hawa wanaojiita Ashkenazi au Sephardim wala Mizrahim hawa asili yao ni uturuki, hawa ni wa-- "Khazarians" sio wayahudi wa asili, sio wayahudi waliotokea kwa Yakobo.

    Hata yesu alikuwa mwafrika ,kukua kwa vyombo vya habari pamoja na kumilikiwa na mataifa makubwa imepelekea duniani kote kuamini yesu ,malaika ,na manabii wote ni wazungu ,tukiangalia (Ufunuo 1:13--16) tunaona ,"....na katikati ya vile vinara nikaona mtu mfano wa mwanadamu amevaa vazi lililofika miguuni na kufungwa mshipi wa dhahabu matitini ,kichwa chake na nywele zake zilikuwa nyeupe kama sufu nyeupe, kama theluji na macho yake kama mwali wa moto ,na miguu yake kama shaba iliyosuguliwa sana, kama kwamba imesafishwa katika tanuru, na sauti yake kama sauti ya maji mengi " hapo Ufunuo unamuongelea Yesu( Nabii Issa)

    Tunaamini wayahudi waliopo sasa hivi sio kizazi kile cha Yakobo ,kutokana na sababu lukuki tutakazozielezea hivi punde, maandishi ya mwanzo yanaelezea wayahudi watachukuliwa utumwani na kutawanywa kila sehemu ya dunia na pia Yerusalem itatekwa na mataifa mpaka muda wa mataifa uliotimilizwa ,(Luka 21:5--24) tukiingalia tunaona hili taifa la leo la Israel lipo tofauti kabisa na hayo maandiko hapo juu ndio watu walioshikilia uchumi na utajiri mkubwa duniani ,karibia 60% ya matajiri wa dunia hii ni Waisrael, watu kama familia ya kina Rothschilds, wakati ndio watu wanaoongoza kwa kuanzisha Illuminati na Freemason na ibada nyingi sana duniani.

    Andiko la Torati 28:1--13 ,halipo kabisa kwa wayahudi wa sasa wa Israel ,ili mtu apate baraka za mungu anatakiwa afuate masharti ya Mungu ,hawa wamemuasi Mungu lakini ndio wanasemwa wamebarikiwa, kilichopo kwa hili taifa la Israel ni kinyume, wana wa Israel halisi bado wapo utumwani bado wanaishi maisha ya shida ,ufukara na umaskini zile laana za kumbukumbu la Torati 28 bado ziko juu yao sio hawa Walioko Israel kwa sasa wanaishi maisha ya anasa na utajiri mkubwa.

    Dhumuni la makala haya ni kuangalia muonekano wa wayahudi wa mwanzo walionekanaje, ndio hawa waliopo sasa hivi au kuna wengine? Tukiangalia historia ya biblia na Koran tunaona wayahudi walipokuwa wakiasi lazima laana ije juu yao ,ama hata kutokea kwa magonjwa kama tauni, ukoma ,nk au kupigwa vitani na taifa lao kuchukuliwa mateka na wakiwa huko wakimrudia mungu wao ,Mungu huwainulia nabii mmoja na huenda kuwarudisha kwenye nchi ya baba yao, nchi ya ahadi ,manabii kama Musa,Joshua,Samsoni,Eliya ,Elisha,nk walitumiwa na mungu kuwarudisha toka mateka au utumwani.

    Mei 14 mwaka 1948 wayahudi walirudishwa nchini mwao, haifahamiki kilitumiwa kigezo gani kutambua kuwa huyu ni myahudi na yule sio ,baada ya miaka 2000 hivi ya kupoteana , ni Mungu pekee tu anayeweza kuwatambua na ni pekee tu ndiye anayeweza kuwatambua na ni pekee atawarudisha pale sio hawa wazungu waliojirudisha wenyewe na kujitangaza wana wa Israel ,Luka 21---24 inasema Yerusalem itachukuliwa na kukaliwa na mataifa mpaka muda wa mataifa utakapotimilizwa na pia kitabu cha yeremia 23:5--6 kinasema wayahudi halisi hawatarudi katika nchi yao mpaka masihi yesu atakapokuja.

    Kitabu cha Ufunuo 2:9 kinasema"Naijua dhiki yako na umaskini wako ( Lakini u tajiri) najua na matukano ya hao wasemao ya kuwa ni wayahudi , na sio ,bali ni sinagogi la shetani " mstari huu unatuaminisha kwamba kuna wayahudi halisi na sio halisi ambao ni pandikizi la shetani ,mstari unaweka wazi, wayahudi halisi wapo kwenye dhiki, wapo kwenye umaskini ingawa ni matajiri( utajiri wa kiroho na kimwili) kwa sababu hawakulitii andiko la Torati 28.

    Hata hawa wa sasa wanaojiita Waisrael tunaona hawajawahi kupelekwa utumwani ,ni wayahudi weusi tu ndio wanajua adha ya utumwa ,ndio wao waliouzwa kwenye minada kama bidhaa, na kudhalilishwa na kuteswa na ndio watu waliotapakaa dunia nzima, wakitumika kama watumwa sehemu mbalimbali duniani, kwa sababu Luka 21:19;;24 inazungumzia wayahudi watapigwa na Wengi wataanguka kwa makali ya upanga na watachukuliwa utumwani katika mataifa yote , na Yerusalem itakaliwa na mataifa hata majira ya mataifa yatakapotimia ,mataifa hayo ndio yanayoikalia Israel sasa hivi.

    Sio kwamba watu weusi wote ni wayahudi ,au sio wayahudi ,wayahudi wana wa yakobo walikuwa weusi na kipindi kile watu weusi walikuwa wengi sana kuliko sasa hivi, baada ya ile gharika kuisha katika mstari wa 24 imeandikwa Yerusalem itakaliwa na watu wasio wayahudi mpaka muda utimie ,yaani yesu ( nabii Issa) atakaposhuka.

    Yeremia 23:5--8 Mungu atawatoa Waisrael toka pande zote duniani kuja kuishi Salama katika taifa lao na hawa wazungu wa ulaya kina Netanyau hawa sio Waisrael ndio maana kipigo chao kinaandaliwa ,ndio ile vita ya Armagedoni ya kwenye kitabu cha Ufunuo 16:13 upanga uliotajwa mule ndio maalum kwa Waisrael wa sasa hivi.

    Tunavigusa sana vitabu ili kukazia hoja na kuweka uhalisia juu ya makala haya, katika kitabu cha Ufunuo 7:17 kinaeleza watatumwa malaika wawawekee alama wale wayahudi halisi 144,000 watakaokuwepo duniani kipindi hicho ili wasipate kile kipigo kisichowahusu ,ndio maana kipigo chao kinaandaliwa miaka hii kwasababu tupo nyakati za mwisho , tuliona Urusi kapeleka majeshi Syria ,Marekani na mataifa mengine walipeleka tunaweza kudhani anayepigwa ni Syria ,kibao kitageuka na wale wanaojiita waisrael ndio watakaopata kipigo hicho.

    Tunaamini Waisrael wa sasa sio, kwa kukazia hoja kupitia Vitabu kadhaa ,katika kitabu cha mwanzo Yakobo alioa wake wawili ,Leah na Rachel ,akazaa na vijakazi wawili kwa kila wake zake ,wa Leah ,aliitwa Zilpha aliyemzaa Gadi na Asheri na wa Rachel aliitwa Bilhah aliyemzaa Dani na Naftari kipindi kile wajakazi walitoka Afrika ( kushi) kama alivyokuwa mke wa Musa ,Zupporah, Hesabu 12:1 katika kabila 12 za Israel walikuwa ni watu wa rangi mbalimbali walikuwa ni watu mchanganyiko sio wazungu ( Albinos).

    Tukimwangalia Ayubu 30:30 anaielezea rangi yake ilivyo "anasema" Ngozi yangu ni nyeusi ,nayo yanitoka ,Na mifupa yangu ineteketea kwa hari, " Hata kwenye wimbo ulio bora 1:5 mfalme Suleiman anajielezea rangi yake ilivyo anasema " Mimi ni mweusi -mweusi ,lakini ninao uzuri ,enyi binti wa Yerusalem ,mfano wa hewa za Kedari ,kama mapazia yake Suleiman " Tukumbuke mtu mweusi akipata shida ama ya hali ya hewa, au mateso ule weusi wake huongezeka maradufu na akiwa na raha weusi wake hung'aa.

    Katika wimbo ulio bora 1:6 tunasoma, " msinichunguze kwa kuwa ni mweusi ,kwa sababu jua limeniunguza. ,wana wa mama yangu walinikasirikia wameniweka niwe mlinzi wa mashamba ya mizabibu ,bali shamba langu mwenyewe sikulilinda, Hata tukiangalia kitabu cha 2 Maombolezo 4:8 "Nyuso zao ni nyeusi kwasababu ya hali ya hewa kuliko makaa ,hawajulikani katika njia kuu, ngozi yao yagandamana na mifupa yao imekauka ,imekuwa kama mti " Pia 3 maombolezo 5:10 inaelezea " Ngozi yetu ni nyeusi kama tanuru kwa sababu ya hali ya njaa ituteketezayo" Humu kwenye Vitabu vitakatifu hakuna kifungu chenye historia ya ngozi nyeupe kwasababu mtu mweusi ndiye aliyeijaza dunia.

    Wakati mzee Yakobo alipowatuma watoto wake kwenda Misri kununua mikate walipomkuta Yusufu ndugu yao, walishindwa kumtambua kwa kuwa anafanana na wamisri na wamisri walikuwa weusi sio wazungu. Walishindwa kumtambua ndugu yao. Hata Yusufu na maria waliposikia Kwamba Herode anataka kumuua mtoto yesu walikimbilia kumficha huko Misri mpaka Herode alipofariki kwasababu wayahudi walikuwa wanafananana rangi na wamisri na vibao vilivyovumbuliwa miaka ya karibu vilionyesha walikuwa watu wanaotembeleana , itakuwa kichekesho miaka hii mtanzania akimbilie China kwa nia ya kujificha wakati hafanani na wachina , ndio maana wayahudi wengi sana walikuwa wanakimbilia kusini mwa Israel ,Misri na Kush kujificha sababu walikuwa wanafanana na watu wa huko kuanzia rangi ya ngozi zao mpaka maumbo yao.

    Ukweli filamu za Nuhu, Yesu, Samsoni, Musa nk zinazoonyesha wayahudi ni wazungu ndio kitu kinachofanya wengi tumaini,tunaweza kujiuliza kama studio zote za Hollywood zlizorekodi filamu hizo kwa nini wasijipendelee muonekano na maumbile yao ?(English figure) watoto wa Abraham wasingeweza kutoa mateso kwa wapalestina wa sasa ambao kila siku watoto wao na wanawake wa kipalestina wanapoteza maisha na wengine kujeruhiwa ,utafiti wa mwaka 1980 uligundua kwamba wengi wa wayahudi waliopo Israel asili yao ni uturuki, karibu asilimia 98 ya wayahudi hao hawakuwa wayahudi halisia.

    Katika vitabu pia kwa kutaja vichache ili kupunguza urefu wa makala , kuna watu kama Henry Ford, ambaye sio myahudi Lakini alifanya utafiti kuhusu wayahudi akagundua hawa wanaojiita wayahudi sio wayahudi halisi akaandika kitabu chake cha "International Jews". Haitoshi nae John Beaty kaandika kitabu kinaitwa " The Iron Curtain over America" kuzungumzia uhalisia wa wayahudi ,Aidha naye Col. Curtis B. Dall kaandika kitabu chake ," Israel Five Trililion Dollar Secret " tukija kwa mwanazuoni mwingine ,Arthur Koestler kaandika kitabu, "Thirteen Tribes Book" huyu hapa anamaanisha wao ni kabila la 13 badala ya yale 12 ya wayahudi wa Israel, vinginevyo ni pamoja na kile cha;Freedman , na Shlomo Sands.

    Ushahidi mwingine ili kukazia hoja hii ni kwenye kitabu cha Walawi katika Agano la kale hii ni katika kuthibitisha kwamba Agano la kale wahusika walikuwa waafrika na sio filamu za Hollywood, ambapo tunaona Walawi sura ya 13, 1--10 ,Mungu anawapiga ukoma Waisrael walipoamua kumuasi, walipopigwa ukoma ngozi yao nyeusi ilibadilika kuwa nyeupe ,vinyweleo vyao vinabadilika toka weusi na kuwa vyeupe. Mtu mweupe akipata ukoma huwezi kumtambua sababu ngozi yake ya ndani na nje Zipo sawasawa, ( hakuna melanin) lakini mtu mweusi tu ana rangi tofauti ya nje na ya ndani ,ndio maana anaitwa " coloured people " yaani wengi ni watu wa rangi mbalimbali, Aidha mtu mweusi anaweza akabadili rangi yake nyeusi kuwa nyeupe hata kwa (mkorogo) lakini mweupe hawezi kujibadili rangi yake kuwa nyeusi.

    Ndio maana mweusi akiungua moto ngozi yake inakuwa nyeupe kama kapigwa ukoma ,Kwenye walawi 13:4 tunasoma " kama vinyweleo ( malaika) havigeuki rangi kutoka vyeusi kuwa nyeupe basi huo sio ukoma " hizi ni dalili mungu alikuwa anawaambia makuhani wa Israel jinsi ya kuutambua ukoma katika jamii zao, na jinsi ya kuutibu. Kwa Waisrael wa sasa hili andiko haliwahusu , Waisrael wa sasa wanavinyweleo na ngozi tofauti kabisa ndio maana wa sasa akijitokeza mtu na kuhoji au Kuchambua walipotokea wana kusema kuwa unaanza kuleta Ubaguzi.

    Samson kwenye kitabu cha Waamuzi 16:13 kinasema ,Mungu alimuibua Nabii aliyeitwa Samson baada ya kuwaweka wana wa Israel mikononi mwa wafilisti kwa miaka 40 , alimleta baada ya Waisrael kutubu dhambi zao, tukiangalia nywele za Samson zilikuwa ndefu na zenye vishungi ( Dreadlocks) kwa sasa tunaweza kumwita alikuwa ni Rastafari wa kipindi hicho, na ndio chimbuko la marastafari walianzia hapa, kwamba mtu mweusi akiacha nywele zake bila kuzikata zinatengeneza vishungi ,za mzungu haziwezi wala hazishikamani kama walivyo weusi, kuna utofauti kati ya Rastafari mweusi na yule wa kizungu katika nywele zao
    NINI ASILI YA WAYAHUDI WA LEO NCHINI ISRAEL? ,UKWELI WA MUONEKANO WAO NA HATIMA YA UTAWALA WAO. TUKUMBUKE Rais wa Misri wa pili wa zamani wa Umoja wa Jamhuri ya waarabu Gamal Abdel Nasser mwaka 1952 alishawahi kusema mbele ya Televisheni kwamba, watu wa ulaya wanajidai kuwa wao ni wayahudi akasema kwamba; siwezi kuwaheshimu wayahudi nyie wayahudi hamtaweza kuishi kwa amani kwasababu mliondoka hapa mkiwa weusi mkarudi mkiwa weupe. Msafiri wa kiitalia Ludovico di Varthema mwaka 1470 hadi mwaka 1517 alijulikana kama mtu wa kwanza Ulaya asiye muislam kuingia Makka kuhiji, karibu kila kitu kinachomuhusu maisha yake kimeandikwa katika kitabu cha "Itinerario de Ludovicode Varthema Bolognese" kilichapishwa Roma mwaka 1510. Moja ya kurasa zake unasomeka ;"mwisho wa siku 8 tukakuta mlima unaoonekana kuwa maili 10 au 12 hivi kwa mzunguko katika mlima huo paliishi wayahudi elfu nne au tano hivi waliokuwa wanatembea bila nguo na viganja vyao vipana, wenye sauti zinazofanana na zile za kike, walikuwa weusi zaidi kuliko rangi nyingine, waliishi wakitegemea kula nyama ya kondoo ,walifanyiwa tohara na kukiri kuwa wao ni wayahudi walipoulizwa ,na iwapo walimkamata mwarabu(moor) walimchuna ngozi akiwa hai ,walikuwa maadui wakubwa na waarabu weusi, hapo chini ya mlima palikuwa na tenki la maji ,maji ambayo yalitokana na mvua, tukawanywesha ngamia wetu 16,000 kwa maji hayo, hao wayahudi wakachukia wakaanza kuuzunguka mlima wao kama mbuzi pori vichaa" Kipindi yesu anazaliwa alikuta Israel inatawaliwa na Waroma ambapo kama alivyotabiri baada ya Yesu kukataliwa na wayahudi na baadae kupaa kwenda mbinguni, kulitokea vita kwenye utawala wa Warumi vita hiyo ilipelekea kuharibiwa lile hekalu la Suleiman na wana wa Israel kuchukuliwa mateka utumwani na wengine kukimbilia hasa kusini mwa Israel "kush" au Afrika sababu huko hapakuwa na hiyo vita na ilikuwa rahisi wao kujificha kwa watu wa Kushi sababu walikuwa wanafanana nao ndio maana hii dhana ya hawa wayahudi wa ulaya imekuwa ni moja ya hoja kubwa sana ulimwenguni kivipi wayahudi walikimbilia Ulaya wakati vita ya Roman Empire ndio ilikuwa imetokea huko inashuka Israel ,wayahudi wengi walikimbilia Afrika sio ulaya, sio hawa wanaojiita Ashkenazi au Sephardim wala Mizrahim hawa asili yao ni uturuki, hawa ni wa-- "Khazarians" sio wayahudi wa asili, sio wayahudi waliotokea kwa Yakobo. Hata yesu alikuwa mwafrika ,kukua kwa vyombo vya habari pamoja na kumilikiwa na mataifa makubwa imepelekea duniani kote kuamini yesu ,malaika ,na manabii wote ni wazungu ,tukiangalia (Ufunuo 1:13--16) tunaona ,"....na katikati ya vile vinara nikaona mtu mfano wa mwanadamu amevaa vazi lililofika miguuni na kufungwa mshipi wa dhahabu matitini ,kichwa chake na nywele zake zilikuwa nyeupe kama sufu nyeupe, kama theluji na macho yake kama mwali wa moto ,na miguu yake kama shaba iliyosuguliwa sana, kama kwamba imesafishwa katika tanuru, na sauti yake kama sauti ya maji mengi " hapo Ufunuo unamuongelea Yesu( Nabii Issa) Tunaamini wayahudi waliopo sasa hivi sio kizazi kile cha Yakobo ,kutokana na sababu lukuki tutakazozielezea hivi punde, maandishi ya mwanzo yanaelezea wayahudi watachukuliwa utumwani na kutawanywa kila sehemu ya dunia na pia Yerusalem itatekwa na mataifa mpaka muda wa mataifa uliotimilizwa ,(Luka 21:5--24) tukiingalia tunaona hili taifa la leo la Israel lipo tofauti kabisa na hayo maandiko hapo juu ndio watu walioshikilia uchumi na utajiri mkubwa duniani ,karibia 60% ya matajiri wa dunia hii ni Waisrael, watu kama familia ya kina Rothschilds, wakati ndio watu wanaoongoza kwa kuanzisha Illuminati na Freemason na ibada nyingi sana duniani. Andiko la Torati 28:1--13 ,halipo kabisa kwa wayahudi wa sasa wa Israel ,ili mtu apate baraka za mungu anatakiwa afuate masharti ya Mungu ,hawa wamemuasi Mungu lakini ndio wanasemwa wamebarikiwa, kilichopo kwa hili taifa la Israel ni kinyume, wana wa Israel halisi bado wapo utumwani bado wanaishi maisha ya shida ,ufukara na umaskini zile laana za kumbukumbu la Torati 28 bado ziko juu yao sio hawa Walioko Israel kwa sasa wanaishi maisha ya anasa na utajiri mkubwa. Dhumuni la makala haya ni kuangalia muonekano wa wayahudi wa mwanzo walionekanaje, ndio hawa waliopo sasa hivi au kuna wengine? Tukiangalia historia ya biblia na Koran tunaona wayahudi walipokuwa wakiasi lazima laana ije juu yao ,ama hata kutokea kwa magonjwa kama tauni, ukoma ,nk au kupigwa vitani na taifa lao kuchukuliwa mateka na wakiwa huko wakimrudia mungu wao ,Mungu huwainulia nabii mmoja na huenda kuwarudisha kwenye nchi ya baba yao, nchi ya ahadi ,manabii kama Musa,Joshua,Samsoni,Eliya ,Elisha,nk walitumiwa na mungu kuwarudisha toka mateka au utumwani. Mei 14 mwaka 1948 wayahudi walirudishwa nchini mwao, haifahamiki kilitumiwa kigezo gani kutambua kuwa huyu ni myahudi na yule sio ,baada ya miaka 2000 hivi ya kupoteana , ni Mungu pekee tu anayeweza kuwatambua na ni pekee tu ndiye anayeweza kuwatambua na ni pekee atawarudisha pale sio hawa wazungu waliojirudisha wenyewe na kujitangaza wana wa Israel ,Luka 21---24 inasema Yerusalem itachukuliwa na kukaliwa na mataifa mpaka muda wa mataifa utakapotimilizwa na pia kitabu cha yeremia 23:5--6 kinasema wayahudi halisi hawatarudi katika nchi yao mpaka masihi yesu atakapokuja. Kitabu cha Ufunuo 2:9 kinasema"Naijua dhiki yako na umaskini wako ( Lakini u tajiri) najua na matukano ya hao wasemao ya kuwa ni wayahudi , na sio ,bali ni sinagogi la shetani " mstari huu unatuaminisha kwamba kuna wayahudi halisi na sio halisi ambao ni pandikizi la shetani ,mstari unaweka wazi, wayahudi halisi wapo kwenye dhiki, wapo kwenye umaskini ingawa ni matajiri( utajiri wa kiroho na kimwili) kwa sababu hawakulitii andiko la Torati 28. Hata hawa wa sasa wanaojiita Waisrael tunaona hawajawahi kupelekwa utumwani ,ni wayahudi weusi tu ndio wanajua adha ya utumwa ,ndio wao waliouzwa kwenye minada kama bidhaa, na kudhalilishwa na kuteswa na ndio watu waliotapakaa dunia nzima, wakitumika kama watumwa sehemu mbalimbali duniani, kwa sababu Luka 21:19;;24 inazungumzia wayahudi watapigwa na Wengi wataanguka kwa makali ya upanga na watachukuliwa utumwani katika mataifa yote , na Yerusalem itakaliwa na mataifa hata majira ya mataifa yatakapotimia ,mataifa hayo ndio yanayoikalia Israel sasa hivi. Sio kwamba watu weusi wote ni wayahudi ,au sio wayahudi ,wayahudi wana wa yakobo walikuwa weusi na kipindi kile watu weusi walikuwa wengi sana kuliko sasa hivi, baada ya ile gharika kuisha katika mstari wa 24 imeandikwa Yerusalem itakaliwa na watu wasio wayahudi mpaka muda utimie ,yaani yesu ( nabii Issa) atakaposhuka. Yeremia 23:5--8 Mungu atawatoa Waisrael toka pande zote duniani kuja kuishi Salama katika taifa lao na hawa wazungu wa ulaya kina Netanyau hawa sio Waisrael ndio maana kipigo chao kinaandaliwa ,ndio ile vita ya Armagedoni ya kwenye kitabu cha Ufunuo 16:13 upanga uliotajwa mule ndio maalum kwa Waisrael wa sasa hivi. Tunavigusa sana vitabu ili kukazia hoja na kuweka uhalisia juu ya makala haya, katika kitabu cha Ufunuo 7:17 kinaeleza watatumwa malaika wawawekee alama wale wayahudi halisi 144,000 watakaokuwepo duniani kipindi hicho ili wasipate kile kipigo kisichowahusu ,ndio maana kipigo chao kinaandaliwa miaka hii kwasababu tupo nyakati za mwisho , tuliona Urusi kapeleka majeshi Syria ,Marekani na mataifa mengine walipeleka tunaweza kudhani anayepigwa ni Syria ,kibao kitageuka na wale wanaojiita waisrael ndio watakaopata kipigo hicho. Tunaamini Waisrael wa sasa sio, kwa kukazia hoja kupitia Vitabu kadhaa ,katika kitabu cha mwanzo Yakobo alioa wake wawili ,Leah na Rachel ,akazaa na vijakazi wawili kwa kila wake zake ,wa Leah ,aliitwa Zilpha aliyemzaa Gadi na Asheri na wa Rachel aliitwa Bilhah aliyemzaa Dani na Naftari kipindi kile wajakazi walitoka Afrika ( kushi) kama alivyokuwa mke wa Musa ,Zupporah, Hesabu 12:1 katika kabila 12 za Israel walikuwa ni watu wa rangi mbalimbali walikuwa ni watu mchanganyiko sio wazungu ( Albinos). Tukimwangalia Ayubu 30:30 anaielezea rangi yake ilivyo "anasema" Ngozi yangu ni nyeusi ,nayo yanitoka ,Na mifupa yangu ineteketea kwa hari, " Hata kwenye wimbo ulio bora 1:5 mfalme Suleiman anajielezea rangi yake ilivyo anasema " Mimi ni mweusi -mweusi ,lakini ninao uzuri ,enyi binti wa Yerusalem ,mfano wa hewa za Kedari ,kama mapazia yake Suleiman " Tukumbuke mtu mweusi akipata shida ama ya hali ya hewa, au mateso ule weusi wake huongezeka maradufu na akiwa na raha weusi wake hung'aa. Katika wimbo ulio bora 1:6 tunasoma, " msinichunguze kwa kuwa ni mweusi ,kwa sababu jua limeniunguza. ,wana wa mama yangu walinikasirikia wameniweka niwe mlinzi wa mashamba ya mizabibu ,bali shamba langu mwenyewe sikulilinda, Hata tukiangalia kitabu cha 2 Maombolezo 4:8 "Nyuso zao ni nyeusi kwasababu ya hali ya hewa kuliko makaa ,hawajulikani katika njia kuu, ngozi yao yagandamana na mifupa yao imekauka ,imekuwa kama mti " Pia 3 maombolezo 5:10 inaelezea " Ngozi yetu ni nyeusi kama tanuru kwa sababu ya hali ya njaa ituteketezayo" Humu kwenye Vitabu vitakatifu hakuna kifungu chenye historia ya ngozi nyeupe kwasababu mtu mweusi ndiye aliyeijaza dunia. Wakati mzee Yakobo alipowatuma watoto wake kwenda Misri kununua mikate walipomkuta Yusufu ndugu yao, walishindwa kumtambua kwa kuwa anafanana na wamisri na wamisri walikuwa weusi sio wazungu. Walishindwa kumtambua ndugu yao. Hata Yusufu na maria waliposikia Kwamba Herode anataka kumuua mtoto yesu walikimbilia kumficha huko Misri mpaka Herode alipofariki kwasababu wayahudi walikuwa wanafananana rangi na wamisri na vibao vilivyovumbuliwa miaka ya karibu vilionyesha walikuwa watu wanaotembeleana , itakuwa kichekesho miaka hii mtanzania akimbilie China kwa nia ya kujificha wakati hafanani na wachina , ndio maana wayahudi wengi sana walikuwa wanakimbilia kusini mwa Israel ,Misri na Kush kujificha sababu walikuwa wanafanana na watu wa huko kuanzia rangi ya ngozi zao mpaka maumbo yao. Ukweli filamu za Nuhu, Yesu, Samsoni, Musa nk zinazoonyesha wayahudi ni wazungu ndio kitu kinachofanya wengi tumaini,tunaweza kujiuliza kama studio zote za Hollywood zlizorekodi filamu hizo kwa nini wasijipendelee muonekano na maumbile yao ?(English figure) watoto wa Abraham wasingeweza kutoa mateso kwa wapalestina wa sasa ambao kila siku watoto wao na wanawake wa kipalestina wanapoteza maisha na wengine kujeruhiwa ,utafiti wa mwaka 1980 uligundua kwamba wengi wa wayahudi waliopo Israel asili yao ni uturuki, karibu asilimia 98 ya wayahudi hao hawakuwa wayahudi halisia. Katika vitabu pia kwa kutaja vichache ili kupunguza urefu wa makala , kuna watu kama Henry Ford, ambaye sio myahudi Lakini alifanya utafiti kuhusu wayahudi akagundua hawa wanaojiita wayahudi sio wayahudi halisi akaandika kitabu chake cha "International Jews". Haitoshi nae John Beaty kaandika kitabu kinaitwa " The Iron Curtain over America" kuzungumzia uhalisia wa wayahudi ,Aidha naye Col. Curtis B. Dall kaandika kitabu chake ," Israel Five Trililion Dollar Secret " tukija kwa mwanazuoni mwingine ,Arthur Koestler kaandika kitabu, "Thirteen Tribes Book" huyu hapa anamaanisha wao ni kabila la 13 badala ya yale 12 ya wayahudi wa Israel, vinginevyo ni pamoja na kile cha;Freedman , na Shlomo Sands. Ushahidi mwingine ili kukazia hoja hii ni kwenye kitabu cha Walawi katika Agano la kale hii ni katika kuthibitisha kwamba Agano la kale wahusika walikuwa waafrika na sio filamu za Hollywood, ambapo tunaona Walawi sura ya 13, 1--10 ,Mungu anawapiga ukoma Waisrael walipoamua kumuasi, walipopigwa ukoma ngozi yao nyeusi ilibadilika kuwa nyeupe ,vinyweleo vyao vinabadilika toka weusi na kuwa vyeupe. Mtu mweupe akipata ukoma huwezi kumtambua sababu ngozi yake ya ndani na nje Zipo sawasawa, ( hakuna melanin) lakini mtu mweusi tu ana rangi tofauti ya nje na ya ndani ,ndio maana anaitwa " coloured people " yaani wengi ni watu wa rangi mbalimbali, Aidha mtu mweusi anaweza akabadili rangi yake nyeusi kuwa nyeupe hata kwa (mkorogo) lakini mweupe hawezi kujibadili rangi yake kuwa nyeusi. Ndio maana mweusi akiungua moto ngozi yake inakuwa nyeupe kama kapigwa ukoma ,Kwenye walawi 13:4 tunasoma " kama vinyweleo ( malaika) havigeuki rangi kutoka vyeusi kuwa nyeupe basi huo sio ukoma " hizi ni dalili mungu alikuwa anawaambia makuhani wa Israel jinsi ya kuutambua ukoma katika jamii zao, na jinsi ya kuutibu. Kwa Waisrael wa sasa hili andiko haliwahusu , Waisrael wa sasa wanavinyweleo na ngozi tofauti kabisa ndio maana wa sasa akijitokeza mtu na kuhoji au Kuchambua walipotokea wana kusema kuwa unaanza kuleta Ubaguzi. Samson kwenye kitabu cha Waamuzi 16:13 kinasema ,Mungu alimuibua Nabii aliyeitwa Samson baada ya kuwaweka wana wa Israel mikononi mwa wafilisti kwa miaka 40 , alimleta baada ya Waisrael kutubu dhambi zao, tukiangalia nywele za Samson zilikuwa ndefu na zenye vishungi ( Dreadlocks) kwa sasa tunaweza kumwita alikuwa ni Rastafari wa kipindi hicho, na ndio chimbuko la marastafari walianzia hapa, kwamba mtu mweusi akiacha nywele zake bila kuzikata zinatengeneza vishungi ,za mzungu haziwezi wala hazishikamani kama walivyo weusi, kuna utofauti kati ya Rastafari mweusi na yule wa kizungu katika nywele zao
    Like
    1
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·1كيلو بايت مشاهدة
  • 6 Hakuna aliye kama wewe, Ee Bwana;
    wewe ni mkuu,
    jina lako ni lenye nguvu katika uweza.

    7 Ni nani ambaye haimpasi kukuheshimu wewe,
    Ee Mfalme wa mataifa?
    Hii ni stahili yako.
    Miongoni mwa watu wote wenye hekima
    katika mataifa na katika falme zao zote,
    hakuna aliye kama wewe.

    Yeremia 10:6-7
    6 Hakuna aliye kama wewe, Ee Bwana; wewe ni mkuu, jina lako ni lenye nguvu katika uweza. 7 Ni nani ambaye haimpasi kukuheshimu wewe, Ee Mfalme wa mataifa? Hii ni stahili yako. Miongoni mwa watu wote wenye hekima katika mataifa na katika falme zao zote, hakuna aliye kama wewe. Yeremia 10:6-7
    Like
    3
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·565 مشاهدة