• NENO LA LEO(MKABIZI MUNGU HAJA ZAKO)
    Mithali 16:3-4
    [3]Mkabidhi BWANA kazi zako,
    Na mawazo yako yatathibitika.
    [4]BWANA amefanya kila kitu kwa kusudi lake;

    Ukimkabizi BWANA Mambo yako ,maana yake unataka Mungu aingilie kati kila jambo lako na kila jambo langu pia.

    Na tunakubaliana MUNGU ndo mwenye sababu ya uzima na kusudi letu la kuishi,k ukimkabizi maisha yako maana yake unataka Bwana aamue kuingilia kusudi lako na kulisimamia.

    1 Mambo ya Nyakati 17:27
    kwa hiyo nakuomba uibariki nyumba yangu, mimi mtumishi wako, ili idumu milele mbele yako; kwani unachobariki wewe, huwa kimebarikiwa milele..

    Tukimkabizi Mungu vitu vyetu akivizingira na kuvibariki vinadumu milele yote .

    Natamani sote tumpe Mungu na kumkabizi kila jambo kwetu ili Mungu aingilie kati maisha yetu .

    Na nikisema kumkabizi Bwana, namaanisha kwamba kuongozwa na Bwana na kupiga hatua katika maisha yako.

    Nakuombea Mungu akuongoze katika kila jambo na kila jambo liwe linaanza na Mungu wako.

    Nikutakie asubui njema na siku njema.

    Kwa mafundisho zaidi jiunge na link hapo chini

    https://chat.whatsapp.com/LAB9tcfvKq887DB9IDHvzf

    Sylvester Mwakabende (0622625340)
    #2026_sisi_ndio_wale_tunao piganiwa_na_Bwana.
    NENO LA LEO(MKABIZI MUNGU HAJA ZAKO) Mithali 16:3-4 [3]Mkabidhi BWANA kazi zako, Na mawazo yako yatathibitika. [4]BWANA amefanya kila kitu kwa kusudi lake; Ukimkabizi BWANA Mambo yako ,maana yake unataka Mungu aingilie kati kila jambo lako na kila jambo langu pia. Na tunakubaliana MUNGU ndo mwenye sababu ya uzima na kusudi letu la kuishi,k ukimkabizi maisha yako maana yake unataka Bwana aamue kuingilia kusudi lako na kulisimamia. 1 Mambo ya Nyakati 17:27 kwa hiyo nakuomba uibariki nyumba yangu, mimi mtumishi wako, ili idumu milele mbele yako; kwani unachobariki wewe, huwa kimebarikiwa milele.. Tukimkabizi Mungu vitu vyetu akivizingira na kuvibariki vinadumu milele yote . Natamani sote tumpe Mungu na kumkabizi kila jambo kwetu ili Mungu aingilie kati maisha yetu . Na nikisema kumkabizi Bwana, namaanisha kwamba kuongozwa na Bwana na kupiga hatua katika maisha yako. Nakuombea Mungu akuongoze katika kila jambo na kila jambo liwe linaanza na Mungu wako. Nikutakie asubui njema na siku njema. Kwa mafundisho zaidi jiunge na link hapo chini https://chat.whatsapp.com/LAB9tcfvKq887DB9IDHvzf Sylvester Mwakabende (0622625340) #2026_sisi_ndio_wale_tunao piganiwa_na_Bwana.
    0 Комментарии 0 Поделились 392 Просмотры
  • Sumary ya kile tulicho jifunza .

    Somo jinsi ya kusikia sauti ya MUNGU 2026.

    Lengo la MUNGU kumuumba mwanadamu ni mwanadamu asikie fresh kutoka kwa MUNGU.

    Mwanadamu akuandaliwa ili kuteseka au kuangaika aishi vipi ila kwa makosa ya Adamu wa kwanza ndiyo mwanadamu akajitenga na wanadamu.

    Kumbe sasa sauti ya MUNGU imeandaliwa moja kwa moja kwa ajiri ya wanadamu.

    #Mithali 8:4

    Ukikosea kusikia umekosea kuamua hatma yako

    Mwanadamu aliye fanikiwa kumsikia Mungu ndo mwanadamu aliye fanikiwa katika maisha.

    Sauti ya Mungu inabeba maonyo ,maelekezo,inafundisha .

    Kila ambaye mekuwa domant kwenye maisha ni mtu ambaye bado ajamsikia Mungu

    Kila unacho kiomba kimebebwa katika sauti ya Mungu,kushindwa kumsikia Mungu maombi yanapoteza maana.

    Akuna aliye wahi msikia Mungu na akabaki kuwa wakawaida.

    Wanaofundishwa na Bwana peke yake ndio wanapiga hatua.
    #Torati 4:35-36

    Kila anaye ishi kwa mafanikio duniani ananguvu inayo msimamosha either kutoka kwa Mungu au shetani.

    https://chat.whatsapp.com/LAB9tcfvKq887DB9IDHvzf

    #2026_sisi_ndio_wale _tunapiganiwa_na_Bwana.
    Sumary ya kile tulicho jifunza . Somo jinsi ya kusikia sauti ya MUNGU 2026. ⏩Lengo la MUNGU kumuumba mwanadamu ni mwanadamu asikie fresh kutoka kwa MUNGU. ⏩Mwanadamu akuandaliwa ili kuteseka au kuangaika aishi vipi ila kwa makosa ya Adamu wa kwanza ndiyo mwanadamu akajitenga na wanadamu. ⏩Kumbe sasa sauti ya MUNGU imeandaliwa moja kwa moja kwa ajiri ya wanadamu. #Mithali 8:4 ⏩Ukikosea kusikia umekosea kuamua hatma yako ⏩Mwanadamu aliye fanikiwa kumsikia Mungu ndo mwanadamu aliye fanikiwa katika maisha. ⏩Sauti ya Mungu inabeba maonyo ,maelekezo,inafundisha . ⏩Kila ambaye mekuwa domant kwenye maisha ni mtu ambaye bado ajamsikia Mungu ⏩Kila unacho kiomba kimebebwa katika sauti ya Mungu,kushindwa kumsikia Mungu maombi yanapoteza maana. ⏩Akuna aliye wahi msikia Mungu na akabaki kuwa wakawaida. Wanaofundishwa na Bwana peke yake ndio wanapiga hatua. #Torati 4:35-36 Kila anaye ishi kwa mafanikio duniani ananguvu inayo msimamosha either kutoka kwa Mungu au shetani. https://chat.whatsapp.com/LAB9tcfvKq887DB9IDHvzf #2026_sisi_ndio_wale _tunapiganiwa_na_Bwana.
    0 Комментарии 0 Поделились 490 Просмотры
  • Guide to Dating App Development for Mobile Platforms

    This guide explains how dating app development works for iOS and Android platforms. It covers planning, core features, UI design, backend structure, and real-time chat systems. The article also explains native and cross-platform development, security methods, testing steps, and cost ranges.

    Readers will understand how matching logic works, how data stays protected, and how apps scale as users grow. The content is written in simple language for founders and product teams planning mobile dating apps.

    #DatingAppDevelopment

    https://webappdevelopers.wixsite.com/latest-updates/post/how-dating-app-development-works-for-ios-and-android-platforms
    Guide to Dating App Development for Mobile Platforms This guide explains how dating app development works for iOS and Android platforms. It covers planning, core features, UI design, backend structure, and real-time chat systems. The article also explains native and cross-platform development, security methods, testing steps, and cost ranges. Readers will understand how matching logic works, how data stays protected, and how apps scale as users grow. The content is written in simple language for founders and product teams planning mobile dating apps. #DatingAppDevelopment https://webappdevelopers.wixsite.com/latest-updates/post/how-dating-app-development-works-for-ios-and-android-platforms
    WEBAPPDEVELOPERS.WIXSITE.COM
    How Dating App Development Works for iOS and Android Platforms
    Learn how dating app development works for iOS and Android platforms, from planning and features to technology choices, security needs, costs, and growth strategies for modern matchmaking applications.
    0 Комментарии 0 Поделились 590 Просмотры
  • Why Horchata Cannabis Seeds Are Rising in USA Wellness Culture


    As natural wellness, CBD remedies, and plant‑based lifestyles continue to grow across the USA, cannabis seeds have become a central part of the conversation. Among the many strains gaining attention, Horchata Cannabis Seeds stand out for their balanced effects, rich flavor profile, and therapeutic potential. This hybrid strain has quickly become a favorite among growers, wellness enthusiasts, and individuals seeking a smooth, uplifting experience without overwhelming intensity.


    https://druzefaces.com/blogs/113342/Why-Horchata-Cannabis-Seeds-Are-Rising-in-USA-Wellness-Culture
    Why Horchata Cannabis Seeds Are Rising in USA Wellness Culture As natural wellness, CBD remedies, and plant‑based lifestyles continue to grow across the USA, cannabis seeds have become a central part of the conversation. Among the many strains gaining attention, Horchata Cannabis Seeds stand out for their balanced effects, rich flavor profile, and therapeutic potential. This hybrid strain has quickly become a favorite among growers, wellness enthusiasts, and individuals seeking a smooth, uplifting experience without overwhelming intensity. https://druzefaces.com/blogs/113342/Why-Horchata-Cannabis-Seeds-Are-Rising-in-USA-Wellness-Culture
    DRUZEFACES.COM
    Why Horchata Cannabis Seeds Are Rising in USA Wellness Culture
    Introduction As natural wellness, CBD remedies, and plant‑based lifestyles continue to grow across the USA, cannabis seeds have become a central part of the conversation. Among the many strains gaining attention, Horchata Cannabis Seeds stand out for their balanced effects, rich flavor profile,...
    0 Комментарии 0 Поделились 478 Просмотры
  • https://hyderabad.bbsgirl.in/call-girl-chatta-bazar
    https://hyderabad.bbsgirl.in/call-girl-chilkalguda
    https://hyderabad.bbsgirl.in/call-girl-chintal
    https://hyderabad.bbsgirl.in/call-girl-gachibowli
    https://hyderabad.bbsgirl.in/call-girl-habsiguda
    https://hyderabad.bbsgirl.in/call-girl-hitech-city
    https://hyderabad.bbsgirl.in/call-girl-jubilee-hills
    https://hyderabad.bbsgirl.in/call-girl-kukatpally
    https://jaipur.bbsgirl.in/call-girl-shastri-nagar
    https://jaipur.bbsgirl.in/call-girl-shyam-nagar
    https://jaipur.bbsgirl.in/call-girl-sindhi-camp
    https://jaipur.bbsgirl.in/call-girl-sodala
    https://hyderabad.bbsgirl.in/call-girl-mallapur
    https://hyderabad.bbsgirl.in/call-girl-chatta-bazar https://hyderabad.bbsgirl.in/call-girl-chilkalguda https://hyderabad.bbsgirl.in/call-girl-chintal https://hyderabad.bbsgirl.in/call-girl-gachibowli https://hyderabad.bbsgirl.in/call-girl-habsiguda https://hyderabad.bbsgirl.in/call-girl-hitech-city https://hyderabad.bbsgirl.in/call-girl-jubilee-hills https://hyderabad.bbsgirl.in/call-girl-kukatpally https://jaipur.bbsgirl.in/call-girl-shastri-nagar https://jaipur.bbsgirl.in/call-girl-shyam-nagar https://jaipur.bbsgirl.in/call-girl-sindhi-camp https://jaipur.bbsgirl.in/call-girl-sodala https://hyderabad.bbsgirl.in/call-girl-mallapur
    Call Girls in Chatta Bazar ₹4599/- Cash Payment Free Home Delivery
    Hire one of the Best Real Call Girls in Chatta Bazar ₹4599, here you Can check-in Amazing Call Girls & Escort 24/7 Free Home Delivery.
    0 Комментарии 0 Поделились 539 Просмотры
  • CartCoders: AI Shopify Store Optimization Service Provider

    CartCoders offers AI Shopify store optimization services that transform how merchants manage performance and user experience. Our smart solutions automatically analyze loading speed, search structure, and customer flow, applying intelligent adjustments to improve overall efficiency. From automated SEO upgrades and dynamic product content to predictive insights, every step is designed to make your store faster and more effective.

    The system also includes AI chatbots, product recommendation tools, and inventory forecasting for better engagement and higher sales. Backed by skilled professionals and successful Shopify projects, we help online retailers achieve consistent growth and stronger brand visibility in the evolving eCommerce space.

    https://cartcoders.com/ai-based-shopify-store-optimization.php
    CartCoders: AI Shopify Store Optimization Service Provider CartCoders offers AI Shopify store optimization services that transform how merchants manage performance and user experience. Our smart solutions automatically analyze loading speed, search structure, and customer flow, applying intelligent adjustments to improve overall efficiency. From automated SEO upgrades and dynamic product content to predictive insights, every step is designed to make your store faster and more effective. The system also includes AI chatbots, product recommendation tools, and inventory forecasting for better engagement and higher sales. Backed by skilled professionals and successful Shopify projects, we help online retailers achieve consistent growth and stronger brand visibility in the evolving eCommerce space. https://cartcoders.com/ai-based-shopify-store-optimization.php
    0 Комментарии 0 Поделились 1Кб Просмотры
  • For businesses targeting local markets, a Local SEO Company in India can make all the difference. SEO India Online, founded by Rajiv Rana, leverages 16+ years of expertise in SEO, performance marketing, and white label solutions to help companies of all sizes enhance their local online presence. Their all-in-one SEO services include affordable packages, free website audits, and AI chatbot-optimized strategies, maintaining a 90%+ client retention rate. Discover more at https://seoindiaonline.com/local-seo-company-india/
    For businesses targeting local markets, a Local SEO Company in India can make all the difference. SEO India Online, founded by Rajiv Rana, leverages 16+ years of expertise in SEO, performance marketing, and white label solutions to help companies of all sizes enhance their local online presence. Their all-in-one SEO services include affordable packages, free website audits, and AI chatbot-optimized strategies, maintaining a 90%+ client retention rate. Discover more at https://seoindiaonline.com/local-seo-company-india/
    0 Комментарии 0 Поделились 1Кб Просмотры
  • Chat with Singles Online | Meet New People Today

    In seconds, you can chat with singles online across the country for fun, friendship, or romance! Join free online chat rooms or download free apps that can connect you to like-minded individuals. It is a perfect way to start conversations, anytime, anywhere!

    Visit Now :- https://blenddating.com/
    Chat with Singles Online | Meet New People Today In seconds, you can chat with singles online across the country for fun, friendship, or romance! Join free online chat rooms or download free apps that can connect you to like-minded individuals. It is a perfect way to start conversations, anytime, anywhere! Visit Now :- https://blenddating.com/
    0 Комментарии 0 Поделились 732 Просмотры
  • Chat with Singles Online | Meet New People Today

    In seconds, you can chat with singles online across the country for fun, friendship, or romance! Join free online chat rooms or download free apps that can connect you to like-minded individuals. It is a perfect way to start conversations, anytime, anywhere!

    Visit Now :- https://blenddating.com/
    Chat with Singles Online | Meet New People Today In seconds, you can chat with singles online across the country for fun, friendship, or romance! Join free online chat rooms or download free apps that can connect you to like-minded individuals. It is a perfect way to start conversations, anytime, anywhere! Visit Now :- https://blenddating.com/
    BLENDDATING.COM
    Blend - Online Dating Platform for Singles | Chat With Singles
    Join the best online dating platform for singles. Chat with singles online and discover real connections on one of today’s top dating apps for singles.
    0 Комментарии 0 Поделились 908 Просмотры
  • Instantly Video Chat with Singles – Meet Real People Now
    Connect instantly through video chat with singles near you or worldwide. Enjoy real-time conversations, make new friends, or find your perfect match. Safe, fun, and easy to use—start video chatting with genuine singles today and experience authentic online connections like never before.

    Visit Now :- https://blenddating.com/
    Instantly Video Chat with Singles – Meet Real People Now Connect instantly through video chat with singles near you or worldwide. Enjoy real-time conversations, make new friends, or find your perfect match. Safe, fun, and easy to use—start video chatting with genuine singles today and experience authentic online connections like never before. Visit Now :- https://blenddating.com/
    BLENDDATING.COM
    Blend - Online Dating Platform for Singles | Chat With Singles
    Join the best online dating platform for singles. Chat with singles online and discover real connections on one of today’s top dating apps for singles.
    0 Комментарии 0 Поделились 877 Просмотры
  • Best Dating Apps for Singles to Find Love in 2025
    Find out the best dating apps for singles looking for love, friendship, or a fun time in 2025. Explore dating apps with smart matching, secure chats, and real profiles to meet compatible people to connect with, and start swiping.

    Visit now :- https://blenddating.com/
    Best Dating Apps for Singles to Find Love in 2025 Find out the best dating apps for singles looking for love, friendship, or a fun time in 2025. Explore dating apps with smart matching, secure chats, and real profiles to meet compatible people to connect with, and start swiping. Visit now :- https://blenddating.com/
    0 Комментарии 0 Поделились 924 Просмотры
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Sunderland iko karibu kuinasa saini ya Djordje Petrovic (25) kutoka Chelsea kwa uhamisho €25m
    reports @sachatavolieri. ⚪️

    #SportsElite
    🚨 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: 🇷🇸 Sunderland iko karibu kuinasa saini ya Djordje Petrovic (25) kutoka Chelsea kwa uhamisho €25m reports @sachatavolieri. 🔴⚪️ #SportsElite
    0 Комментарии 0 Поделились 218 Просмотры
  • Nguvu iliyoko kwenye neno part 3.

    #Baada ya kusikia neno na kuanza kulitenda kazi lazima mtizamo wako juu ya Mungu ubadilishwe.

    Ukifika kipindi ambacho katika maisha kabla ujatafakari chochote unamtafakari mungu kwanza jua tayari mtazamo wako kiakiri umelikubali neno la Mungu.

    Mtazamo wako katika neno ukibadilishwa unakusaidia sana kuyajua uzuri wa mungu,mapenzi ya Mungu , ukamilifu wa Mungu na jinsi Mungu anavyo kuwazia mema.

    #Warumi 12:2
    [2]Wala msiifuatishe namna ya dunia hii; bali mgeuzwe kwa kufanywa upya nia zenu, mpate kujua hakika mapenzi ya Mungu yaliyo mema, ya kumpendeza, na ukamilifu.

    Usipo jua mapenzi ya Mungu katika maisha yako utashindwa kujua kusudi la maisha yako .

    Neno la Mungu moja ya kazi yake ni kukujulisha mapenzi ya Mungu katika maisha yako ambapo inapelekea kujua kusudi .

    #Mithali 29:18
    [18] *Pasipo maono, watu huacha kujizuia; Bali ana heri mtu yule aishikaye sheria.*

    Neno lenyewe limejitosheleza kukujulisha kuwa Mungu anataka watu wanao jua kusudi lake.

    #Mtazamo ulio badilishwa inakupatia kusudi na mwelekeo wa maisha kulingana na kusudi la Mungu.

    Ukilijua neno kiasi cha kujua mapenzi ya mungu utakuwa unajua hakika Mungu anakuwazia mawazo ya amani na ustawi kila wakati.

    #Yeremia 29:11
    [11]Maana nayajua mawazo ninayowawazia ninyi, asema BWANA, ni mawazo ya amani wala si ya mabaya, kuwapa ninyi tumaini siku zenu za mwisho.

    Hayo ndiyo mapenzi ya Mungu kwako na katika neno ni wewe kuwa na amani na kufanikiwa katika kila jambo.

    Shida ni kuwa ufanikiwi sababu ujui neno .

    Ngoja nikusaidie neno lenye matokeo ni lile linalo weza badilisha maisha yako lazima ulitendee mema.

    Ukisikia neno na lisikupe cha kufanya neno hilo kwako halina matokeo kwako .

    Karibu katika group

    https://chat.whatsapp.com/HhjVJc0bcdY5i5LCZnjHZ6

    Ok naitwa Sylvester Mwakabende kutoka build new eden revival and restoration ministry

    #restore men position
    #build new eden
    Nguvu iliyoko kwenye neno part 3. #Baada ya kusikia neno na kuanza kulitenda kazi lazima mtizamo wako juu ya Mungu ubadilishwe. Ukifika kipindi ambacho katika maisha kabla ujatafakari chochote unamtafakari mungu kwanza jua tayari mtazamo wako kiakiri umelikubali neno la Mungu. Mtazamo wako katika neno ukibadilishwa unakusaidia sana kuyajua uzuri wa mungu,mapenzi ya Mungu , ukamilifu wa Mungu na jinsi Mungu anavyo kuwazia mema. #Warumi 12:2 [2]Wala msiifuatishe namna ya dunia hii; bali mgeuzwe kwa kufanywa upya nia zenu, mpate kujua hakika mapenzi ya Mungu yaliyo mema, ya kumpendeza, na ukamilifu. Usipo jua mapenzi ya Mungu katika maisha yako utashindwa kujua kusudi la maisha yako . Neno la Mungu moja ya kazi yake ni kukujulisha mapenzi ya Mungu katika maisha yako ambapo inapelekea kujua kusudi . #Mithali 29:18 [18] *Pasipo maono, watu huacha kujizuia; Bali ana heri mtu yule aishikaye sheria.* Neno lenyewe limejitosheleza kukujulisha kuwa Mungu anataka watu wanao jua kusudi lake. #Mtazamo ulio badilishwa inakupatia kusudi na mwelekeo wa maisha kulingana na kusudi la Mungu. Ukilijua neno kiasi cha kujua mapenzi ya mungu utakuwa unajua hakika Mungu anakuwazia mawazo ya amani na ustawi kila wakati. #Yeremia 29:11 [11]Maana nayajua mawazo ninayowawazia ninyi, asema BWANA, ni mawazo ya amani wala si ya mabaya, kuwapa ninyi tumaini siku zenu za mwisho. Hayo ndiyo mapenzi ya Mungu kwako na katika neno ni wewe kuwa na amani na kufanikiwa katika kila jambo. Shida ni kuwa ufanikiwi sababu ujui neno . Ngoja nikusaidie neno lenye matokeo ni lile linalo weza badilisha maisha yako lazima ulitendee mema. Ukisikia neno na lisikupe cha kufanya neno hilo kwako halina matokeo kwako . Karibu katika group https://chat.whatsapp.com/HhjVJc0bcdY5i5LCZnjHZ6 Ok naitwa Sylvester Mwakabende kutoka build new eden revival and restoration ministry #restore men position #build new eden
    0 Комментарии 0 Поделились 2Кб Просмотры
  • Somo :NGUVU YA NENO NA KULITENDEA KAZI .

    Iko siri kubwa sana kwa mtu anaye sikia neno na akalitenda .

    Yakobo 1:22-23
    [22]Lakini iweni watendaji wa neno, wala si wasikiaji tu, hali mkijidanganya nafsi zenu.

    [23]Kwa sababu mtu akiwa ni msikiaji wa neno tu, wala si mtendaji, mtu huyo ni kama mtu anayejiangalia uso wake katika kioo.

    Ili uwe mtu mwenye matokeo lazima uwe mtu wa kulitendea kazi neno la Bwana na siyo kusikiliza peke yake.

    Mungu anakutaka unaposikia neno na kuliamini basi lazima uanze kutenda sawa sawa na ufunuo ulio upata.

    Mtu wa Mungu ili ubadilishe maisha yako lazima kila siku unapo sikia au kusoma neno lazima upate ufunuo wako peke yako ambao unaenda kuuvhukulia hatua.

    Kwani ukisikia neno na kuanza kulitenda Mungu lazima akubaliki kwa kuwa yeye a alitazama neno lake ili akutimizie haja zako.

    Wokovu umekuwa kama kitu kigumu sababu kubwa tunasikia lakini hatutendi ,tunapata mawazo lakini yanaishia kuwa mawazo tunajikuta tunabaki kuwa masikini.

    Mtu anayesikia neno na asilitende anafananishwa na mtu anaye jitazama kwenye kioo kisha anajicheka.

    Mathayo 7:26-27
    [26]Na kila asikiaye hayo maneno yangu asiyafanye, atafananishwa na mtu mpumbavu, aliyejenga nyumba yake juu ya mchanga;

    [27]mvua ikanyesha, mafuriko yakaja, pepo zikavuma, zikaipiga nyumba ile, ikaanguka; nalo anguko lake likawa kubwa.

    Kumbe ukisikia na usilitende biblia inakufananisha na mpumbavu aliye jenga nyumba kwenye mchanga.

    Unapo hubiriwa na neno likagusa moyo wako mfano kuacha umalaya unakuta unasikia na moyo wako unakwambia kabisa acha lakini unapuuzia neno unafananishwa na mpumbavu kwani wewe umepata neema yakusikia.

    Umepata neno la ufunuo kwenye uchumi na inawezekana kabisa kuanza biashara usisubiri sana wewe anza arafu utaona matokeo yanavyo kuja.

    Wapo watu walipata ufunuo juu ya biashara wakaogopa kuanza wenzao walianza leo hii wenzao wako mbali wanabaki kuona wenzao wana bahati sana kumbe hapana ni nguvu yu kuchukua hatua.

    Siyo kazi ngumu kwa shetani kuona umeota unaongoza watu arafu akakufuata ili akujaribu hata kwa kukutenda kwa akiri .

    Kuna mtu kila akijitazama anajiona ameketi na wakuu na ni kweli hata neno la Mungu linasema bwana anaandaa meza katikati ya watesi wako lakini kama utachukua hatua itabakia kuwa ndoto .

    Matendo ni muhimu sana baada ya kuliamini neno anza kuliiishi .

    Wale watenda kile neno imesema ndio wenye haki ya kupokea siyo wale walio sikia peke yake .

    Warumi 2:13
    [13]Kwa sababu sio wale waisikiao sheria walio wenye haki mbele za Mungu, bali ni wale waitendao sheria watakaohesabiwa haki.

    Mungu akusaidie sana uwe mtu wa kulitendea kazi neno lake ndipo utaona ja kusimulia matokeo ya wokovu wa Bwana.

    Ahsante sana mtu wa Mungu , kipekee sana nikutakie juma pili njema yenye mafunuo na utendaji wa neno .

    Karibu katika watsap group letu
    https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4

    Naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden).

    #build new eden
    #restore men position
    Somo :NGUVU YA NENO NA KULITENDEA KAZI . Iko siri kubwa sana kwa mtu anaye sikia neno na akalitenda . Yakobo 1:22-23 [22]Lakini iweni watendaji wa neno, wala si wasikiaji tu, hali mkijidanganya nafsi zenu. [23]Kwa sababu mtu akiwa ni msikiaji wa neno tu, wala si mtendaji, mtu huyo ni kama mtu anayejiangalia uso wake katika kioo. Ili uwe mtu mwenye matokeo lazima uwe mtu wa kulitendea kazi neno la Bwana na siyo kusikiliza peke yake. Mungu anakutaka unaposikia neno na kuliamini basi lazima uanze kutenda sawa sawa na ufunuo ulio upata. Mtu wa Mungu ili ubadilishe maisha yako lazima kila siku unapo sikia au kusoma neno lazima upate ufunuo wako peke yako ambao unaenda kuuvhukulia hatua. Kwani ukisikia neno na kuanza kulitenda Mungu lazima akubaliki kwa kuwa yeye a alitazama neno lake ili akutimizie haja zako. Wokovu umekuwa kama kitu kigumu sababu kubwa tunasikia lakini hatutendi ,tunapata mawazo lakini yanaishia kuwa mawazo tunajikuta tunabaki kuwa masikini. Mtu anayesikia neno na asilitende anafananishwa na mtu anaye jitazama kwenye kioo kisha anajicheka. Mathayo 7:26-27 [26]Na kila asikiaye hayo maneno yangu asiyafanye, atafananishwa na mtu mpumbavu, aliyejenga nyumba yake juu ya mchanga; [27]mvua ikanyesha, mafuriko yakaja, pepo zikavuma, zikaipiga nyumba ile, ikaanguka; nalo anguko lake likawa kubwa. Kumbe ukisikia na usilitende biblia inakufananisha na mpumbavu aliye jenga nyumba kwenye mchanga. Unapo hubiriwa na neno likagusa moyo wako mfano kuacha umalaya unakuta unasikia na moyo wako unakwambia kabisa acha lakini unapuuzia neno unafananishwa na mpumbavu kwani wewe umepata neema yakusikia. Umepata neno la ufunuo kwenye uchumi na inawezekana kabisa kuanza biashara usisubiri sana wewe anza arafu utaona matokeo yanavyo kuja. Wapo watu walipata ufunuo juu ya biashara wakaogopa kuanza wenzao walianza leo hii wenzao wako mbali wanabaki kuona wenzao wana bahati sana kumbe hapana ni nguvu yu kuchukua hatua. Siyo kazi ngumu kwa shetani kuona umeota unaongoza watu arafu akakufuata ili akujaribu hata kwa kukutenda kwa akiri . Kuna mtu kila akijitazama anajiona ameketi na wakuu na ni kweli hata neno la Mungu linasema bwana anaandaa meza katikati ya watesi wako lakini kama utachukua hatua itabakia kuwa ndoto . Matendo ni muhimu sana baada ya kuliamini neno anza kuliiishi . Wale watenda kile neno imesema ndio wenye haki ya kupokea siyo wale walio sikia peke yake . Warumi 2:13 [13]Kwa sababu sio wale waisikiao sheria walio wenye haki mbele za Mungu, bali ni wale waitendao sheria watakaohesabiwa haki. Mungu akusaidie sana uwe mtu wa kulitendea kazi neno lake ndipo utaona ja kusimulia matokeo ya wokovu wa Bwana. Ahsante sana mtu wa Mungu , kipekee sana nikutakie juma pili njema yenye mafunuo na utendaji wa neno . Karibu katika watsap group letu https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4 Naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden). #build new eden #restore men position
    0 Комментарии 0 Поделились 2Кб Просмотры
  • Nguvu inayo badilisha mtu .

    Warumi 12:2
    [2]*Wala msiifuatishe namna ya dunia hii;
    *bali mgeuzwe kwa kufanywa upya nia zenu, mpate kujua hakika mapenzi ya Mungu yaliyo mema, ya kumpendeza, na ukamilifu*

    Kama ukiwachukua watu wasili wanao waza sawa tunategemea matokeo yatakuwa sawa.

    Iko nguvu inaitwa neno la Mungu inayo weza badilisha mtu kama tu mtu akijua jinsi Mungu anavyo taka aenende .

    Kiwango chako cha kumjua Mungu katika neno lazima kiendane na matokeo kwani chochote apandacho mtu ndicho atakacho vuna.

    Wagalatia 6:7
    [7]Msidanganyike, Mungu hadhihakiwi; kwa kuwa cho chote apandacho mtu, ndicho atakachovuna.


    faida za kulijua neno kama nguvu inayo badilisha mtu .

    1.INATUHAKIKISHIA KUFNIKIWA.

    Mungu amehakikisha kila anaye mjua sawa sawa na neno anampa nguvu ya kufanikiwa.

    Zaburi 1:1-2
    [1]Heri mtu yule asiyekwenda
    Katika shauri la wasio haki;
    Wala hakusimama katika njia ya wakosaji;
    Wala hakuketi barazani pa wenye mizaha.

    [2]Bali sheria ya BWANA ndiyo impendezayo,
    Na sheria yake huitafakari mchana na usiku.

    Lazma uamue kuishi maisha yasiyo na mizaa kabisa na dhambi kwa kulifuata neno kama mwongozo wako hapo ndipo utampendeza Mungu na Mungu atajihakikishia kukuwazia mema na mafanikio.

    Isaya 55:8-9
    [8] *Maana mawazo yangu si mawazo yenu, wala njia zenu si njia zangu; asema BWANA.*
    .
    [9]Kwa maana kama vile mbingu zilivyo juu sana kuliko nchi, kadhalika njia zangu zi juu sana kuliko njia zenu, na mawazo yangu kuliko mawazo yenu.

    Mawazo ya mungu ni kuona ndoa yako inafanikiwa toka ujana wako mpaka uzee.

    Mawazo ya Mungu nikuona biashara yako inashine kuliko jana .

    Mawazo ya Mungu ni kukuona ukiishi maisha ya mafanikio na furaha siku zote za maisha yako .

    Yeremia 29:11
    [11] *Maana nayajua mawazo ninayowawazia ninyi, asema BWANA, ni mawazo ya amani wala si ya mabaya, kuwapa ninyi tumaini siku zenu za mwisho.*

    Tatizo lako ni moja umeichukulia mzaa dhambi na kufanya mawazo ya Mungu kwako yasitimie .

    Acha dhambi acha mzaa na zinaa kutoka kusema hii ndo zambi yetu vijana anza kuichukia totally maisha yako yatabadilika totally na Mungu atakuhakikishia mafanikio siku zote.

    Mafanikio ni hakika na kweli kabisa kwa mtu anaye kaa na neno, mtu ambaye katika kila jambo anajibu na kulitazama neno linasema nini lazima apokee mafanikio makubwa zaidi.

    2.inatusaidia kutoka katika mawazo na fikra hasi

    Mtu hawezi kufanikiwa zaidi ya vile anavyo amini .

    Mtu awezi kupokea uponyaji zaidi ya vile anavyo hitaji.

    Kiwango cha mafanikio yako kinaamuliwa na kiwango cha imani yako .

    Marko 9:23
    [23]Yesu akamwambia, Ukiweza! Yote yawezekana kwake aaminiye.

    Ukiweza kuwekeza katika neno neno litakupa matokeo ya mwilini kwani neno litakusaidia kujua jinsi gani watu walio tembea na mungu walifanikiwa .

    Utaacha kuona haiwezekani kila jambo utaanza kuona inawezekana kila jambo kwani utajua yeye anasemaji.

    Wafilolipi 4:13
    *Naweza kuyafanya mambo yote katika yeye anitiaye nguvu*

    Ko ni neno litabadilisha msimamo wako juu ya mawazo hasi juu ya mafanikio .

    Kwa maana mtu hawezi kuwa zaidi ya anavyo jiona.

    Mithali 23:7
    [7] *Maana aonavyo nafsini mwake, ndivyo alivyo*.
    Akuambia, Haya, kula, kunywa;
    Lakini moyo wake hauwi pamoja nawe.

    Neno pekee ndilo linaweza badilisha namna unavyo jiona na jinsi unavyo amini ili upokee mambo makubwa .

    Usidanganyikee mtu hawezi kupokea zaidi ya ufunuo alio upata katika neno husika .

    Nimatumaini yangu utaanza kuongeza imani katika neno ili upate nguvu ibadilishayo mtu .

    Take care, naitwa sylvester natokea kutoka (build new eden)

    Karubu tujifunze pamoja neno la Mungu .kupitia group la watsap

    https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4

    #restore men position
    #build new position
    Nguvu inayo badilisha mtu . Warumi 12:2 [2]*Wala msiifuatishe namna ya dunia hii; *bali mgeuzwe kwa kufanywa upya nia zenu, mpate kujua hakika mapenzi ya Mungu yaliyo mema, ya kumpendeza, na ukamilifu* Kama ukiwachukua watu wasili wanao waza sawa tunategemea matokeo yatakuwa sawa. Iko nguvu inaitwa neno la Mungu inayo weza badilisha mtu kama tu mtu akijua jinsi Mungu anavyo taka aenende . Kiwango chako cha kumjua Mungu katika neno lazima kiendane na matokeo kwani chochote apandacho mtu ndicho atakacho vuna. Wagalatia 6:7 [7]Msidanganyike, Mungu hadhihakiwi; kwa kuwa cho chote apandacho mtu, ndicho atakachovuna. faida za kulijua neno kama nguvu inayo badilisha mtu . 1.INATUHAKIKISHIA KUFNIKIWA. Mungu amehakikisha kila anaye mjua sawa sawa na neno anampa nguvu ya kufanikiwa. Zaburi 1:1-2 [1]Heri mtu yule asiyekwenda Katika shauri la wasio haki; Wala hakusimama katika njia ya wakosaji; Wala hakuketi barazani pa wenye mizaha. [2]Bali sheria ya BWANA ndiyo impendezayo, Na sheria yake huitafakari mchana na usiku. Lazma uamue kuishi maisha yasiyo na mizaa kabisa na dhambi kwa kulifuata neno kama mwongozo wako hapo ndipo utampendeza Mungu na Mungu atajihakikishia kukuwazia mema na mafanikio. Isaya 55:8-9 [8] *Maana mawazo yangu si mawazo yenu, wala njia zenu si njia zangu; asema BWANA.* . [9]Kwa maana kama vile mbingu zilivyo juu sana kuliko nchi, kadhalika njia zangu zi juu sana kuliko njia zenu, na mawazo yangu kuliko mawazo yenu. Mawazo ya mungu ni kuona ndoa yako inafanikiwa toka ujana wako mpaka uzee. Mawazo ya Mungu nikuona biashara yako inashine kuliko jana . Mawazo ya Mungu ni kukuona ukiishi maisha ya mafanikio na furaha siku zote za maisha yako . Yeremia 29:11 [11] *Maana nayajua mawazo ninayowawazia ninyi, asema BWANA, ni mawazo ya amani wala si ya mabaya, kuwapa ninyi tumaini siku zenu za mwisho.* Tatizo lako ni moja umeichukulia mzaa dhambi na kufanya mawazo ya Mungu kwako yasitimie . Acha dhambi acha mzaa na zinaa kutoka kusema hii ndo zambi yetu vijana anza kuichukia totally maisha yako yatabadilika totally na Mungu atakuhakikishia mafanikio siku zote. Mafanikio ni hakika na kweli kabisa kwa mtu anaye kaa na neno, mtu ambaye katika kila jambo anajibu na kulitazama neno linasema nini lazima apokee mafanikio makubwa zaidi. 2.inatusaidia kutoka katika mawazo na fikra hasi Mtu hawezi kufanikiwa zaidi ya vile anavyo amini . Mtu awezi kupokea uponyaji zaidi ya vile anavyo hitaji. Kiwango cha mafanikio yako kinaamuliwa na kiwango cha imani yako . Marko 9:23 [23]Yesu akamwambia, Ukiweza! Yote yawezekana kwake aaminiye. Ukiweza kuwekeza katika neno neno litakupa matokeo ya mwilini kwani neno litakusaidia kujua jinsi gani watu walio tembea na mungu walifanikiwa . Utaacha kuona haiwezekani kila jambo utaanza kuona inawezekana kila jambo kwani utajua yeye anasemaji. Wafilolipi 4:13 *Naweza kuyafanya mambo yote katika yeye anitiaye nguvu* Ko ni neno litabadilisha msimamo wako juu ya mawazo hasi juu ya mafanikio . Kwa maana mtu hawezi kuwa zaidi ya anavyo jiona. Mithali 23:7 [7] *Maana aonavyo nafsini mwake, ndivyo alivyo*. Akuambia, Haya, kula, kunywa; Lakini moyo wake hauwi pamoja nawe. Neno pekee ndilo linaweza badilisha namna unavyo jiona na jinsi unavyo amini ili upokee mambo makubwa . Usidanganyikee mtu hawezi kupokea zaidi ya ufunuo alio upata katika neno husika . Nimatumaini yangu utaanza kuongeza imani katika neno ili upate nguvu ibadilishayo mtu . Take care, naitwa sylvester natokea kutoka (build new eden) Karubu tujifunze pamoja neno la Mungu .kupitia group la watsap https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4 #restore men position #build new position
    Like
    1
    0 Комментарии 0 Поделились 3Кб Просмотры
  • 2 Mambo ya Nyakati 7:16
    [16]Maana sasa nimeichagua nyumba hii na kuitakasa, ili kwamba jina langu lipate kuwako huko milele; yatakuwako na macho yangu, na moyo wangu daima.

    Nyumba yako inaweza chaguliwa na Bwana n kutakaswa sababu cya wewe tu umemlingana Bwana.

    Wewe unweza kuwa mwema mbele ya mbingu kiasi ambacho Mungu akaona iko sababu kuichagua nyumba yako yote .

    Mungu alimwambia suleimani mambo hayo baada ya kufanya yaliyo adili machoni pako.

    Ndio maana maandiko yanasema *"mkikubali na kutii mtakula mema ya nchi"*

    Lazima uwe mtu uliye chagua kutembea na Mungu katika kila hatua siyo mtu wa kutembea na Mungu nusu nusu ,hapana lazma uwe unatembea na Mungu jumla jumla.

    Bwana akiichagua nyumba yako nakuitakasa inamaana kuna mambo mengi sana nyumba yako hawata itaji kutumia nguvu katika kuyafanya badala yake wanahitaji nguvu kidogo tu na matokeo makubwa sana.

    Kama mke ni mtii na wa kumtafuta Mungu nyumba yake itaiitwa nyumba ya sala na nyumba ya hekima sababu tu ni mwanamke muombaji ..

    Mithali 14:1-2
    [1]Kila mwanamke aliye na hekima hujenga nyumba yake;
    Bali aliye mpumbavu huibomoa kwa mikono yake mwenyewe.

    [2]Yeye aendaye kwa unyofu wake humcha BWANA;
    Bali aliye mkaidi katika njia zake humdharau.

    Wenye hekima ndiyo wanao chaguliwa na Bwana mke ambaye anaweza kusimama kuibeba ndoa yake katika kila hali .

    Mke ambaye anaweza kubeba nyumba yake kwa maombi kuna mambo mengi watoto zake wanaeushwa sababu tu ya maombi yake yanapelekea Mungu kuichagua nyumba yake nz kuitakasa.

    Mume mwenye hekima ni ulinzi tosha kwa familia sababu Mungu ndiye aliye mpa hekima na kuichagua nyumba yake lazima awe mtu wa matokeo tu.

    Nyumba iliyo amua kutembea na bwana katika kila hali ina muomba Mungu tu

    2 Mambo ya Nyakati 6:40
    [40]Na sasa, Ee Mungu wangu, macho yako yafumbuke, nakusihi, masikio yako yakasikilize maombi yaombwayo mahali hapa.

    Ni maombi yangu Bwana akufumbue macho ya hekima uenende na hekima yake na mwendelezo wa maarifa ya kiungu.

    MUNGU amekuchagua ila wewe tu ndo unaogopa kutii na kufuata anayo yataka Mungu.

    Naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden
    Karibu kujifunza neno lisilo goshiwa katika group letu la watsap.
    https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4
    #restore men position
    #build new eden
    2 Mambo ya Nyakati 7:16 [16]Maana sasa nimeichagua nyumba hii na kuitakasa, ili kwamba jina langu lipate kuwako huko milele; yatakuwako na macho yangu, na moyo wangu daima. Nyumba yako inaweza chaguliwa na Bwana n kutakaswa sababu cya wewe tu umemlingana Bwana. Wewe unweza kuwa mwema mbele ya mbingu kiasi ambacho Mungu akaona iko sababu kuichagua nyumba yako yote . Mungu alimwambia suleimani mambo hayo baada ya kufanya yaliyo adili machoni pako. Ndio maana maandiko yanasema *"mkikubali na kutii mtakula mema ya nchi"* Lazima uwe mtu uliye chagua kutembea na Mungu katika kila hatua siyo mtu wa kutembea na Mungu nusu nusu ,hapana lazma uwe unatembea na Mungu jumla jumla. Bwana akiichagua nyumba yako nakuitakasa inamaana kuna mambo mengi sana nyumba yako hawata itaji kutumia nguvu katika kuyafanya badala yake wanahitaji nguvu kidogo tu na matokeo makubwa sana. Kama mke ni mtii na wa kumtafuta Mungu nyumba yake itaiitwa nyumba ya sala na nyumba ya hekima sababu tu ni mwanamke muombaji .. Mithali 14:1-2 [1]Kila mwanamke aliye na hekima hujenga nyumba yake; Bali aliye mpumbavu huibomoa kwa mikono yake mwenyewe. [2]Yeye aendaye kwa unyofu wake humcha BWANA; Bali aliye mkaidi katika njia zake humdharau. Wenye hekima ndiyo wanao chaguliwa na Bwana mke ambaye anaweza kusimama kuibeba ndoa yake katika kila hali . Mke ambaye anaweza kubeba nyumba yake kwa maombi kuna mambo mengi watoto zake wanaeushwa sababu tu ya maombi yake yanapelekea Mungu kuichagua nyumba yake nz kuitakasa. Mume mwenye hekima ni ulinzi tosha kwa familia sababu Mungu ndiye aliye mpa hekima na kuichagua nyumba yake lazima awe mtu wa matokeo tu. Nyumba iliyo amua kutembea na bwana katika kila hali ina muomba Mungu tu 2 Mambo ya Nyakati 6:40 [40]Na sasa, Ee Mungu wangu, macho yako yafumbuke, nakusihi, masikio yako yakasikilize maombi yaombwayo mahali hapa. Ni maombi yangu Bwana akufumbue macho ya hekima uenende na hekima yake na mwendelezo wa maarifa ya kiungu. MUNGU amekuchagua ila wewe tu ndo unaogopa kutii na kufuata anayo yataka Mungu. Naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden Karibu kujifunza neno lisilo goshiwa katika group letu la watsap. https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4 #restore men position #build new eden
    0 Комментарии 0 Поделились 2Кб Просмотры
  • Mwanzo 49:3-4
    [3]Reubeni, u mzaliwa wangu wa kwanza,
    Nguvu zangu, na malimbuko ya uwezo wangu.
    Umewapita wengine kwa ukuu na kwa nguvu.

    [4]Umeruka mpaka kama maji, basi usiwe na ukuu,
    Kwa sababu ulikipanda kitanda cha baba yako,
    Ukakitia unajisi; alikipandia kitanda changu

    Tazama athari ya uzinzi ulivyo mpotezea baraka za ukuu na nguvu Ruben

    Kwa kawaida baraka za ufalme urithi mzaliwa wa kwanza lakini sababu ya uzinzi alinyang'anywa baraka za agano za ukuu.

    Starehehe ya sekunde chache ilisababisha Ruben awa cost (awagharimu ) kizazi chake chote kwa sababu ya tamaa ya zinaa.

    Kumbukumbu la Torati 27:20
    [20]Na alaaniwe alalaye na mke wa baba yake, kwa kuwa amefunua mavazi ya babaye. Na watu wote waseme, Amina.

    Yakobo alishindwa kumpa baraka mwanae na tuona miaka ya mbele Mungu pia anapitisha kuwa sheria pia kwamba amelaaniwa alalaye kwenye kitanda cha baba yake hapa wameenda mbali kuwa amefunua mavazi ya mama yake.

    Point yangu kubwa ni namna uzinzi unavyo weza kukubebesha laana za makusudi na laana hizo zina cost kizazi na kizazi.

    Mtu ukisha okoka unapaswakuhakikisha uasherati na uzinzi havitajwi kwako kabisa kwani vikitajwa kwako unalitukanisha jina la kristo na matokeo yake unapokea laana za makusudi .

    Unajua ukikosa hofu ya Mungu, unaweza kufanya madudu ya ajabu!!! yasiyotegemewa kufanyika kwako. Wewe mwenyewe ni shahidi tu,jiangalie pale ulipokuwa huna hofu ya Mungu, kisha angalia yale uliyokuwa ukiyafanya… Ni hatariiii.!!!

    Lakini pia,bila shaka kulikuwa na ukaribu sana kati ya Bilha Sulia na Reubeni hata wakajikuta wakiangukia zinaa. Kwa sababu Rubeni hakumbaka bali walikubaliana kwa hiyo kulikuwa na ukaribu kati yao.

    Ebu fikiria pia hili,kisha jichukue wewe mwenyewe jiweke karibu sana kimazoea na mtu fulani awe mdada au mkaka ambaye ni ndugu wa damu kabisa. Kisha mkawa mnakaa nyumba moja,kisha chukulia mmezoeana sana kiasi kwamba unamfurahia na kuzungumza naye mara kwa mara muda ambao mnabakiaga wawili tu kwenye jumba kubwa namna hiyo.

    Unafikiri mwisho wake ni nini? Bila shaka ndo unasikia binadamu siyo ndugu na unaangukia kwenye zinaa na ukifanya hivyo siyo tu kuharibu kesho yako kama wanao pia wajamjua Mungu kuvunja hiyo laana inatembea mpka kizazi chako chote.

    *Sina lugha nzuri ya kuioma zinaa kama kitu chema katika maisha haya tunayo ishi .usipo kubali kulinda mwili wako shetani atautumia kama sehemu ya kupitisha ajenda zake matokeo yake utaangukia zambini.*

    Yatazame matokeo yq uzinzi wrqfu tazama faida yake kisha amua kipi ulicho amua kukiishi .

    Ruben wakati Yusuph watoto zake wanaingizwa kuwa kabira kutokana na ushujaa wa baba yao yeye Rubeni kutokana na uzinzi aliwaachia sehemu ya laana zake.

    Matokeo ya uzinzi hayakuathiri wewe tu yanaathiri mpaka kizazi chako kama usipo omba.

    Natamani uombe Mungu leo akutoe kabisa katika mateso ya uzinzi na uasherati kwani hayawezi kukusaidia zaidi ya kukuangamiza.

    Nashukuru sana kwa kusoma jumbe hii na Mungu akageuza moyo wako nitafarijika sana.

    Naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden)

    Karibu katika group letu la Whatsapp
    https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4

    Simu :0622625340
    #Restore men position
    #Build new eden
    Mwanzo 49:3-4 [3]Reubeni, u mzaliwa wangu wa kwanza, Nguvu zangu, na malimbuko ya uwezo wangu. Umewapita wengine kwa ukuu na kwa nguvu. [4]Umeruka mpaka kama maji, basi usiwe na ukuu, Kwa sababu ulikipanda kitanda cha baba yako, Ukakitia unajisi; alikipandia kitanda changu Tazama athari ya uzinzi ulivyo mpotezea baraka za ukuu na nguvu Ruben Kwa kawaida baraka za ufalme urithi mzaliwa wa kwanza lakini sababu ya uzinzi alinyang'anywa baraka za agano za ukuu. Starehehe ya sekunde chache ilisababisha Ruben awa cost (awagharimu ) kizazi chake chote kwa sababu ya tamaa ya zinaa. Kumbukumbu la Torati 27:20 [20]Na alaaniwe alalaye na mke wa baba yake, kwa kuwa amefunua mavazi ya babaye. Na watu wote waseme, Amina. Yakobo alishindwa kumpa baraka mwanae na tuona miaka ya mbele Mungu pia anapitisha kuwa sheria pia kwamba amelaaniwa alalaye kwenye kitanda cha baba yake hapa wameenda mbali kuwa amefunua mavazi ya mama yake. Point yangu kubwa ni namna uzinzi unavyo weza kukubebesha laana za makusudi na laana hizo zina cost kizazi na kizazi. Mtu ukisha okoka unapaswakuhakikisha uasherati na uzinzi havitajwi kwako kabisa kwani vikitajwa kwako unalitukanisha jina la kristo na matokeo yake unapokea laana za makusudi . Unajua ukikosa hofu ya Mungu, unaweza kufanya madudu ya ajabu!!! yasiyotegemewa kufanyika kwako. Wewe mwenyewe ni shahidi tu,jiangalie pale ulipokuwa huna hofu ya Mungu, kisha angalia yale uliyokuwa ukiyafanya… Ni hatariiii.!!! Lakini pia,bila shaka kulikuwa na ukaribu sana kati ya Bilha Sulia na Reubeni hata wakajikuta wakiangukia zinaa. Kwa sababu Rubeni hakumbaka bali walikubaliana kwa hiyo kulikuwa na ukaribu kati yao. Ebu fikiria pia hili,kisha jichukue wewe mwenyewe jiweke karibu sana kimazoea na mtu fulani awe mdada au mkaka ambaye ni ndugu wa damu kabisa. Kisha mkawa mnakaa nyumba moja,kisha chukulia mmezoeana sana kiasi kwamba unamfurahia na kuzungumza naye mara kwa mara muda ambao mnabakiaga wawili tu kwenye jumba kubwa namna hiyo. Unafikiri mwisho wake ni nini? Bila shaka ndo unasikia binadamu siyo ndugu na unaangukia kwenye zinaa na ukifanya hivyo siyo tu kuharibu kesho yako kama wanao pia wajamjua Mungu kuvunja hiyo laana inatembea mpka kizazi chako chote. *Sina lugha nzuri ya kuioma zinaa kama kitu chema katika maisha haya tunayo ishi .usipo kubali kulinda mwili wako shetani atautumia kama sehemu ya kupitisha ajenda zake matokeo yake utaangukia zambini.* Yatazame matokeo yq uzinzi wrqfu tazama faida yake kisha amua kipi ulicho amua kukiishi . Ruben wakati Yusuph watoto zake wanaingizwa kuwa kabira kutokana na ushujaa wa baba yao yeye Rubeni kutokana na uzinzi aliwaachia sehemu ya laana zake. Matokeo ya uzinzi hayakuathiri wewe tu yanaathiri mpaka kizazi chako kama usipo omba. Natamani uombe Mungu leo akutoe kabisa katika mateso ya uzinzi na uasherati kwani hayawezi kukusaidia zaidi ya kukuangamiza. Nashukuru sana kwa kusoma jumbe hii na Mungu akageuza moyo wako nitafarijika sana. Naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden) Karibu katika group letu la Whatsapp https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4 Simu :0622625340 #Restore men position #Build new eden
    0 Комментарии 0 Поделились 2Кб Просмотры
  • Luka 22:31-32
    [31]
    Akasema, Simoni, Simoni, tazama, Shetani amewataka ninyi apate kuwapepeta kama vile ngano;
    :
    [32]lakini nimekuombea wewe ili imani yako isitindike; nawe utakapoongoka waimarishe ndugu zako.

    Hii ina maana kubwa sana kumbe kuba wakati imani zetu huwa zinashindwa na kuishiwa nguvu kutokana na changamoto ambazo shetani anaweza kuwapitisha watoto wa Mungu.
    .
    Kama Yesu alimuombea petro kuhusu imani yake na sisi tunapaswa kuombea imani zetu ziwe na nguvu nyingi ili zisiyumbe kipindi cha majaribio .

    Kwa mantiki hiyo kama ukuwa mtu wa kuomba na kuiombea imani siku ikiguswa kidogo tu inakutoa kwenye njia.

    Kwanini tunapaswa kuombea imani zetu ziiwe na nguvu kubwa

    1.Imani ndiyo inayo tuokoa roho zetu..

    Roho ya mtu itapoke muujiza wa sawa sawa na imani yetu.

    Mara nyingi sehemu ambazo Yesu alifanya miujiza wengi walipokea sawa sawa na imani zao.

    Imarisha imani yako juu ya Mungu uanze kuishi na kupokea yale Mungu amekuhaidi kuyafanya.

    Kimani zetu ndizo zinaamua aina ya majibu juu maombi yetu.

    Wenye nguvu za Mungu ndio wenye imani juu ya matendo ua Mungu.

    Watu wa Mungu lengo la Kristo ni kanisa liwe na imani kubwa na ndio mna hata baada ya shetani kupata kibali ya kuwajaribu wanafunzi wake aliona ipo sababu ya kumuombea Petro awe na imani kubwa.

    Waebrania 11:8
    [8]Kwa imani Ibrahimu alipoitwa aliitika, atoke aende mahali pale atakapopapata kuwa urithi; akatoka asijue aendako

    Na alienda asiko kujua lakini sababu imani yale ilijengwa kiasi cha kuto tikisika sababu yake Ubaba wa imani duniani alipewa yeye na familia yake ikafanywa kuwa taifa na Mungu akaitazama mpaka leo.

    Sijui kama utaona iko haja ya kuimalisha imani zetu kiasi cha shetani kusema kuwa bila wewe Mungu kiuniruhusu mimi siwezi mana umezingira kila kitu chake.

    Maombi ni moja silaha watu wa rohoni wanaitumia kuimalisha imani zao .

    Kama imani yako ilifika kipindi sababu ya kuomba bilz kupokea au majaribu ukaona Mungu amekuacha nataka nikwambie kuw wewe unapendwa na Mungu kuliko unavyo jidhania.

    Kili leo maneno hayakuwa HAKUNA KITAKACHO NITENGA NA UPENDO WA KRISTO YAWE MAISHA MAGUMU ,UMASKINI ,TAABU ,NJAA ,ADHA,UCHI,NA KILA JAMBO LILILOKUWA LINANIRUDISHA NYUMA KIASI CHA KUIASI IMANI NAOMBA BWANA UNIREHEMU NA KUNINYANYUA IMANI YANGU IWE IMARA ZAIDI YA YULE MAMA ALIYE ADHIMIA KUGUSA PINDO LAKO TU NA KUWA MZIMA.

    BWANA YESU NISAIDIE IMANI YANGU ISIYUMBE MIMI NIWE PETRO KWENYE HUDUMA NA WITO WANGU MJARIBU AJAPO KUJA KUNIPEPETA KAMA NGANO IMANI YANGU ISIYUMBE BADALA YAKE IWE IMARA KULIKO JANA NA JUZI.

    BWANA ATAKUPIGANIA NA WEWE UTANYAMAZA KIMYA .
    AMINA ....

    Naitwa mwl sylvester Mwakabende kutoka build
    new eden .

    Karibu kwa mafundisho zaidi unaweza jiunga na sisi katika group letu la watsap.

    https://chat.whatsapp.com/HhjVJc0bcdY5i5LCZnjHZ6

    #build new eden
    #restore men position
    Luka 22:31-32 [31] Akasema, Simoni, Simoni, tazama, Shetani amewataka ninyi apate kuwapepeta kama vile ngano; : [32]lakini nimekuombea wewe ili imani yako isitindike; nawe utakapoongoka waimarishe ndugu zako. Hii ina maana kubwa sana kumbe kuba wakati imani zetu huwa zinashindwa na kuishiwa nguvu kutokana na changamoto ambazo shetani anaweza kuwapitisha watoto wa Mungu. . Kama Yesu alimuombea petro kuhusu imani yake na sisi tunapaswa kuombea imani zetu ziwe na nguvu nyingi ili zisiyumbe kipindi cha majaribio . Kwa mantiki hiyo kama ukuwa mtu wa kuomba na kuiombea imani siku ikiguswa kidogo tu inakutoa kwenye njia. Kwanini tunapaswa kuombea imani zetu ziiwe na nguvu kubwa 1.Imani ndiyo inayo tuokoa roho zetu.. Roho ya mtu itapoke muujiza wa sawa sawa na imani yetu. Mara nyingi sehemu ambazo Yesu alifanya miujiza wengi walipokea sawa sawa na imani zao. Imarisha imani yako juu ya Mungu uanze kuishi na kupokea yale Mungu amekuhaidi kuyafanya. Kimani zetu ndizo zinaamua aina ya majibu juu maombi yetu. Wenye nguvu za Mungu ndio wenye imani juu ya matendo ua Mungu. Watu wa Mungu lengo la Kristo ni kanisa liwe na imani kubwa na ndio mna hata baada ya shetani kupata kibali ya kuwajaribu wanafunzi wake aliona ipo sababu ya kumuombea Petro awe na imani kubwa. Waebrania 11:8 [8]Kwa imani Ibrahimu alipoitwa aliitika, atoke aende mahali pale atakapopapata kuwa urithi; akatoka asijue aendako Na alienda asiko kujua lakini sababu imani yale ilijengwa kiasi cha kuto tikisika sababu yake Ubaba wa imani duniani alipewa yeye na familia yake ikafanywa kuwa taifa na Mungu akaitazama mpaka leo. Sijui kama utaona iko haja ya kuimalisha imani zetu kiasi cha shetani kusema kuwa bila wewe Mungu kiuniruhusu mimi siwezi mana umezingira kila kitu chake. Maombi ni moja silaha watu wa rohoni wanaitumia kuimalisha imani zao . Kama imani yako ilifika kipindi sababu ya kuomba bilz kupokea au majaribu ukaona Mungu amekuacha nataka nikwambie kuw wewe unapendwa na Mungu kuliko unavyo jidhania. Kili leo maneno hayakuwa HAKUNA KITAKACHO NITENGA NA UPENDO WA KRISTO YAWE MAISHA MAGUMU ,UMASKINI ,TAABU ,NJAA ,ADHA,UCHI,NA KILA JAMBO LILILOKUWA LINANIRUDISHA NYUMA KIASI CHA KUIASI IMANI NAOMBA BWANA UNIREHEMU NA KUNINYANYUA IMANI YANGU IWE IMARA ZAIDI YA YULE MAMA ALIYE ADHIMIA KUGUSA PINDO LAKO TU NA KUWA MZIMA. BWANA YESU NISAIDIE IMANI YANGU ISIYUMBE MIMI NIWE PETRO KWENYE HUDUMA NA WITO WANGU MJARIBU AJAPO KUJA KUNIPEPETA KAMA NGANO IMANI YANGU ISIYUMBE BADALA YAKE IWE IMARA KULIKO JANA NA JUZI. BWANA ATAKUPIGANIA NA WEWE UTANYAMAZA KIMYA . AMINA .... Naitwa mwl sylvester Mwakabende kutoka build new eden . Karibu kwa mafundisho zaidi unaweza jiunga na sisi katika group letu la watsap. https://chat.whatsapp.com/HhjVJc0bcdY5i5LCZnjHZ6 #build new eden #restore men position
    0 Комментарии 0 Поделились 2Кб Просмотры
  • *Namna ya kuwa na nguvu rohoni na kuweza kushinda*

    Shalom shalom!!!
    Ni jumatatu nyingine BWANA anataka kuendelea kutengeneza washindi na ushindi unapatikana kwa wenye nguvu zake tu.

    Kuna mmbo mengi sana hayawezi kwenda kwa kutumia maarifa yetu ,hekima zetu au hata uzoefu wetu bali yanaitaji nguvu kutoka juu ili itupe ushindi.

    Isaya 40:29-31
    [29] *Huwapa nguvu wazimiao*, *humwongezea nguvu yeye asiyekuwa na uwezo.*
    .
    [30]Hata vijana watazimia na kuchoka, na wanaume vijana wataanguka;

    [31]bali wao wamngojeao BWANA watapata nguvu mpya; watapanda juu kwa mbawa kama tai; watapiga mbio, wala hawatachoka; watakwenda kwa miguu, wala hawatazimia.

    Kuna vitu vingi tunavitaka lakini uhalisia hatuwezi kuvipata bila kuwa na nguvu kwani sheria y kupata ni katika kushindana wenzio wanapatia utajiri kwa waganga na wachawi swali wewe unapatia utajiri wapi?

    Unakuta kwa Mungu pia una imani thabiti unajikuta unashindwa kupata nguvu zinazo weza zalisha matokeo.

    Vitu vingi vinavyo milikiwa na watu ambao tegemezi ni wachawi na waganga sisi tunavipata kwa kuongeza nguvu ya Mungu ndani yetu na ile nguvu inazalisha matokeo .

    Mfano mwepesi sana unafanya biashara moja na mtu ambae mwenzio nguvu yake ipo katika waganga yeye anadawa inayo walazimisha wateja waje hata kama hawataki ila wewe ukiwa na nguvu uliyo pewa na Bwana kuwa na hakika utauza na utamshinda sababu maandiko yanasema *hakuna mchawi wala mganga juu ya Yakobo na islaeri*

    *bali wao wamngojeao BWANA watapata nguvu mpya; watapanda juu kwa mbawa kama tai; watapiga mbio, wala hawatachoka; watakwenda kwa miguu, wala hawatazimia* na nguvu za mungu tunaziatamia kwa kuomba na kumngojea Bwana yeye kwa wakati wake utokea na kuwashangaza wengine.

    Mfano Daudi alishinda vita lakini ukweli kama ungemtafuta msomi na mchmbuzi wa maswala ya vita angekwambia kuwa Goliaths lazima ashinde vita kwa sababu.

    Goliath alikuwa anamzidi daudi karibuni kila kitu.
    -Muonekano
    -Nguvu za mwili(uhodari)
    -miundombinu ya vita (silaha)
    -uweza
    -uzoefu katika uwanja wa vita.

    Kumbuka Goliath alikuwa jemedari wa jeshi na mtu hodari sana katika uwanja wa vita.

    Ko hakukua na namna ambayo ungeweza kumuona Daudi anashinda vita lakini sababu *Daudi alikuwa anatembea n nguvu za Mungu na alijawa na hizo nguvu katikati ya mazingira ya kushindwa aliibuka kuwa mshindi*

    Daudi alishinda vita sababu ya mambo makubwa mawili tu .
    -Alijawa na neno la Mungu (ikazaa imani katika neno)
    -Nguvu za rohoni...

    Kumbe kuna baadhi ya mambo elimu zetu ,uzoefu wetu , connection zetu haziwezi kutusaidia lakini neno la Bwana na Nguvu zake vinatosha kuwa msaada kwetu.

    Lazima ujifunze kumngojea Bwana katika kila jambo ndipo nguvu za Bwana zitakuwa na wewe.

    Yawezekana asubui ya leo umeamka ukitazama kwa kawaida unaona kabisa kuna watu wamekuzidi kila kitu na nafasi ni moja tu katika hiyo kazi natakaukiwa na nguvu wewe utaichuka na wao na GPA zao watabaki wakisubiri.

    Wanauza nguo bei ndogo kuliko wewe lakin i ukiwa na Nguvu za Bwana utauza wewe kuliko wao na wao wataanza kuliimba jina lako .

    Ok nashukuru sana. Omba mungu akupe nguvu zake zikufunike na uanze kuona matunda ya nguvu ya Bwana jumatatu hii .

    Ahsante sana,,naitwa sylvester kutoka (build new eden).

    Karibu tujifunze neno la Mungu kupitia online platform za watsap group.
    https://chat.whatsapp.com/HhjVJc0bcdY5i5LCZnjHZ6

    #build new eden
    #Restoremenposition
    *Namna ya kuwa na nguvu rohoni na kuweza kushinda* Shalom shalom!!! Ni jumatatu nyingine BWANA anataka kuendelea kutengeneza washindi na ushindi unapatikana kwa wenye nguvu zake tu. Kuna mmbo mengi sana hayawezi kwenda kwa kutumia maarifa yetu ,hekima zetu au hata uzoefu wetu bali yanaitaji nguvu kutoka juu ili itupe ushindi. Isaya 40:29-31 [29] *Huwapa nguvu wazimiao*, *humwongezea nguvu yeye asiyekuwa na uwezo.* . [30]Hata vijana watazimia na kuchoka, na wanaume vijana wataanguka; [31]bali wao wamngojeao BWANA watapata nguvu mpya; watapanda juu kwa mbawa kama tai; watapiga mbio, wala hawatachoka; watakwenda kwa miguu, wala hawatazimia. Kuna vitu vingi tunavitaka lakini uhalisia hatuwezi kuvipata bila kuwa na nguvu kwani sheria y kupata ni katika kushindana wenzio wanapatia utajiri kwa waganga na wachawi swali wewe unapatia utajiri wapi? Unakuta kwa Mungu pia una imani thabiti unajikuta unashindwa kupata nguvu zinazo weza zalisha matokeo. Vitu vingi vinavyo milikiwa na watu ambao tegemezi ni wachawi na waganga sisi tunavipata kwa kuongeza nguvu ya Mungu ndani yetu na ile nguvu inazalisha matokeo . Mfano mwepesi sana unafanya biashara moja na mtu ambae mwenzio nguvu yake ipo katika waganga yeye anadawa inayo walazimisha wateja waje hata kama hawataki ila wewe ukiwa na nguvu uliyo pewa na Bwana kuwa na hakika utauza na utamshinda sababu maandiko yanasema *hakuna mchawi wala mganga juu ya Yakobo na islaeri* *bali wao wamngojeao BWANA watapata nguvu mpya; watapanda juu kwa mbawa kama tai; watapiga mbio, wala hawatachoka; watakwenda kwa miguu, wala hawatazimia* na nguvu za mungu tunaziatamia kwa kuomba na kumngojea Bwana yeye kwa wakati wake utokea na kuwashangaza wengine. Mfano Daudi alishinda vita lakini ukweli kama ungemtafuta msomi na mchmbuzi wa maswala ya vita angekwambia kuwa Goliaths lazima ashinde vita kwa sababu. Goliath alikuwa anamzidi daudi karibuni kila kitu. -Muonekano -Nguvu za mwili(uhodari) -miundombinu ya vita (silaha) -uweza -uzoefu katika uwanja wa vita. Kumbuka Goliath alikuwa jemedari wa jeshi na mtu hodari sana katika uwanja wa vita. Ko hakukua na namna ambayo ungeweza kumuona Daudi anashinda vita lakini sababu *Daudi alikuwa anatembea n nguvu za Mungu na alijawa na hizo nguvu katikati ya mazingira ya kushindwa aliibuka kuwa mshindi* Daudi alishinda vita sababu ya mambo makubwa mawili tu . -Alijawa na neno la Mungu (ikazaa imani katika neno) -Nguvu za rohoni... Kumbe kuna baadhi ya mambo elimu zetu ,uzoefu wetu , connection zetu haziwezi kutusaidia lakini neno la Bwana na Nguvu zake vinatosha kuwa msaada kwetu. Lazima ujifunze kumngojea Bwana katika kila jambo ndipo nguvu za Bwana zitakuwa na wewe. Yawezekana asubui ya leo umeamka ukitazama kwa kawaida unaona kabisa kuna watu wamekuzidi kila kitu na nafasi ni moja tu katika hiyo kazi natakaukiwa na nguvu wewe utaichuka na wao na GPA zao watabaki wakisubiri. Wanauza nguo bei ndogo kuliko wewe lakin i ukiwa na Nguvu za Bwana utauza wewe kuliko wao na wao wataanza kuliimba jina lako . Ok nashukuru sana. Omba mungu akupe nguvu zake zikufunike na uanze kuona matunda ya nguvu ya Bwana jumatatu hii . Ahsante sana,,naitwa sylvester kutoka (build new eden). Karibu tujifunze neno la Mungu kupitia online platform za watsap group. https://chat.whatsapp.com/HhjVJc0bcdY5i5LCZnjHZ6 #build new eden #Restoremenposition
    0 Комментарии 0 Поделились 2Кб Просмотры