• PICHA YA SIMBA HUYU NI FUNZO MAISHANI:
    ------------------------------------------------------

    Hivi ndivyo mfalme wa pori anavyoonekana akiwa kwenye siku za mwisho za maisha yake. Jinsi alivyokonda, kujua idadi ya mbavu zake hata huitaji msaada wa calculator.

    Hii picha ilipigwa na "Larry Pannell."

    Alifanikiwa kupata picha ya Simba aliyekuwa kwenye hitimisho la kuvuta pumzi za mwisho. Katika huu ulimwengu wenye mafungamano na dhambi.

    "Larry Pannell" anasema:

    Nilimkuta huyu simba amelala kwenye majani. Akiwa amechoka, miguu ikionekana kumnyima ushirikiano wa kutembea.

    Sikuwa na lakufanya zaidi ya kusimama mita kadhaa. Macho yakifanya ushuhuda wa kutazama, "King of savannah" akipoteza uhai chini ya kivuli cha mti.

    Nikiwa nimesimama kimya. Nilishusha chini camera yangu. Tulitazamana na simba, tukafumba macho yetu pamoja.

    Jinsi mfalme wa nyika alivyokuwa akihangaika kuhema. Pumzi zilionekana kuwa bidhaa hadimu kwenye duka la mapafu yake.

    Kifua chake kilikuwa kikipanda na kushuka. Ishara ya kuonyesha anavuta pumzi za mwisho, kabla ya kukipa ruhusa kifo kiondoke na roho yake.

    Ghafla eneo alilolala Simba ukazaliwa ukimya. Mfalme wa pori akawa haemi wala kutikisika. Mauti ikawa imehitimisha simulizi ya ubabe wake mbugani.

    Hakika maisha ya binadamu na wanyama ni simulizi fupi sana."

    Haijalishi una nguvu kiasi gani. Kuna nyakati zitafika nguvu zitafanya mgomo wa kuishi mwilini mwako. Zitaupisha udhaifu uchukue nafasi ya kukutawala. Udhaifu nao ukikutawala, utayaita maradhi. Bila hiyari utajikuta umekigeuza kitanda kuwa rafiki."

    Kuna shule ya bure hapa: Nguvu tulizonazo ni kitu cha kupita. Hata uzuri umpao kiburi mwanamke una ukomo. Licha ya kujidanganya kwa make up na wanja. Lakini hawezi kuzuia muanguko wa mashavu, uzee unapoanza kumuondoa kwenye kundi la warembo.

    "Chini ya jua kila kitu kina mwanzo na mwisho."

    Hivyo katika maisha tusisahau kuvipa kipaumbele vitu hivi. Utu, wema, ukarimu, heshima, na unyenyekevu.

    Tusaidie wenye maradhi, tuwajali wasiojiweza, na viongozi tusitumie madaraka vibaya.

    Tutende mema tukiamini. Kuna siku pumzi zitamaliza mkataba wa kuishi ndani ya matundu ya pua zetu. Baada ya hapo sisi wote tutalala mauti."

    Imeandikwa na Green Osward
    PICHA YA SIMBA HUYU NI FUNZO MAISHANI: ------------------------------------------------------ Hivi ndivyo mfalme wa pori anavyoonekana akiwa kwenye siku za mwisho za maisha yake. Jinsi alivyokonda, kujua idadi ya mbavu zake hata huitaji msaada wa calculator. Hii picha ilipigwa na "Larry Pannell." Alifanikiwa kupata picha ya Simba aliyekuwa kwenye hitimisho la kuvuta pumzi za mwisho. Katika huu ulimwengu wenye mafungamano na dhambi. "Larry Pannell" anasema: Nilimkuta huyu simba amelala kwenye majani. Akiwa amechoka, miguu ikionekana kumnyima ushirikiano wa kutembea. Sikuwa na lakufanya zaidi ya kusimama mita kadhaa. Macho yakifanya ushuhuda wa kutazama, "King of savannah" akipoteza uhai chini ya kivuli cha mti. Nikiwa nimesimama kimya. Nilishusha chini camera yangu. Tulitazamana na simba, tukafumba macho yetu pamoja. Jinsi mfalme wa nyika alivyokuwa akihangaika kuhema. Pumzi zilionekana kuwa bidhaa hadimu kwenye duka la mapafu yake. Kifua chake kilikuwa kikipanda na kushuka. Ishara ya kuonyesha anavuta pumzi za mwisho, kabla ya kukipa ruhusa kifo kiondoke na roho yake. Ghafla eneo alilolala Simba ukazaliwa ukimya. Mfalme wa pori akawa haemi wala kutikisika. Mauti ikawa imehitimisha simulizi ya ubabe wake mbugani. Hakika maisha ya binadamu na wanyama ni simulizi fupi sana." Haijalishi una nguvu kiasi gani. Kuna nyakati zitafika nguvu zitafanya mgomo wa kuishi mwilini mwako. Zitaupisha udhaifu uchukue nafasi ya kukutawala. Udhaifu nao ukikutawala, utayaita maradhi. Bila hiyari utajikuta umekigeuza kitanda kuwa rafiki." Kuna shule ya bure hapa: Nguvu tulizonazo ni kitu cha kupita. Hata uzuri umpao kiburi mwanamke una ukomo. Licha ya kujidanganya kwa make up na wanja. Lakini hawezi kuzuia muanguko wa mashavu, uzee unapoanza kumuondoa kwenye kundi la warembo. "Chini ya jua kila kitu kina mwanzo na mwisho." Hivyo katika maisha tusisahau kuvipa kipaumbele vitu hivi. Utu, wema, ukarimu, heshima, na unyenyekevu. Tusaidie wenye maradhi, tuwajali wasiojiweza, na viongozi tusitumie madaraka vibaya. Tutende mema tukiamini. Kuna siku pumzi zitamaliza mkataba wa kuishi ndani ya matundu ya pua zetu. Baada ya hapo sisi wote tutalala mauti." Imeandikwa na Green Osward
    Love
    1
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·2KB Ansichten
  • Shirikisho la mpira wa miguu Duniani (FIFA) limetangaza zawadi zitakazotolewa kwa Washiriki wa michuano ya Kombe la Dunia la Klabu (FIFA CLUB WORLD CUP), ambapo bingwa wa michuano hiyo atapata dola milioni 125 ambazo ni zaidi ya Shilingi Bilioni 300 za kitanzania huku kukitarajiwa kutolewa jumla ya dola bilioni 1 kwa klabu 32 zitakavyoshiriki na dola milioni 250 zitatolewa kwa mashirikisho kwa ajili kukuza mpira wa miguu kwa ngazi ya klabu Duniani.

    Shirikisho hilo limepanga kutoa dola milioni 250 ili kusaidia maendeleo ya mpira wa miguu kwa kiwango cha kimataifa ambapo fedha hizi zitatumika kusaidia klabu ndogo, kuboresha miundombinu, kuwekeza katika mafunzo ya Wachezaji na Makocha pamoja na kuimarisha ushirikiano wa klabu kimataifa.

    Aidha, pango huu unalenga kuhakikisha kuwa maendeleo ya mpira wa miguu hayaishii kwa klabu kubwa pekee, bali pia yanawanufaisha hadi klabu dogo na kuinua mpira wa Duniani kote. FIFA pia imesisitiza kuwa, mapato yote ya mashindano haya yatasambazwa kwa klabu bila kugusa akiba yake, ambayo inatumiwa kwa maendeleo ya mpira wa miguu kupitia Vyama (211) Wanachama wa FIFA.

    Mfumo huu ni mkubwa zaidi katika historia ya mpira wa miguu, ukiwa na mechi saba (7) kwenye hatua ya makundi na mfumo wa mchujo.

    Shirikisho la mpira wa miguu Duniani (FIFA) limetangaza zawadi zitakazotolewa kwa Washiriki wa michuano ya Kombe la Dunia la Klabu (FIFA CLUB WORLD CUP), ambapo bingwa wa michuano hiyo atapata dola milioni 125 ambazo ni zaidi ya Shilingi Bilioni 300 za kitanzania huku kukitarajiwa kutolewa jumla ya dola bilioni 1 kwa klabu 32 zitakavyoshiriki na dola milioni 250 zitatolewa kwa mashirikisho kwa ajili kukuza mpira wa miguu kwa ngazi ya klabu Duniani. Shirikisho hilo limepanga kutoa dola milioni 250 ili kusaidia maendeleo ya mpira wa miguu kwa kiwango cha kimataifa ambapo fedha hizi zitatumika kusaidia klabu ndogo, kuboresha miundombinu, kuwekeza katika mafunzo ya Wachezaji na Makocha pamoja na kuimarisha ushirikiano wa klabu kimataifa. Aidha, pango huu unalenga kuhakikisha kuwa maendeleo ya mpira wa miguu hayaishii kwa klabu kubwa pekee, bali pia yanawanufaisha hadi klabu dogo na kuinua mpira wa Duniani kote. FIFA pia imesisitiza kuwa, mapato yote ya mashindano haya yatasambazwa kwa klabu bila kugusa akiba yake, ambayo inatumiwa kwa maendeleo ya mpira wa miguu kupitia Vyama (211) Wanachama wa FIFA. Mfumo huu ni mkubwa zaidi katika historia ya mpira wa miguu, ukiwa na mechi saba (7) kwenye hatua ya makundi na mfumo wa mchujo.
    0 Kommentare ·0 Anteile ·1KB Ansichten
  • Nchi ya China imeanzisha utafiti wa Wataalam kuwa na uwezo kutambua (kubaini) ugonjwa wa Mtu kupitia mshuzi wake ambapo wataandaliwa Watu maalum ambao watapewa mafunzo kisa kupewa kibali baada ya mafunzo hayo ili kuonyesha kuwa wao ni "Professional Fart Smeller" na watakuwa na kazi maalum ya kubaini ugonjwa wa Mtu kupitia mshuzi wake.

    Nchi ya China 🇨🇳 imeanzisha utafiti wa Wataalam kuwa na uwezo kutambua (kubaini) ugonjwa wa Mtu kupitia mshuzi wake ambapo wataandaliwa Watu maalum ambao watapewa mafunzo kisa kupewa kibali baada ya mafunzo hayo ili kuonyesha kuwa wao ni "Professional Fart Smeller" na watakuwa na kazi maalum ya kubaini ugonjwa wa Mtu kupitia mshuzi wake.
    Like
    2
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·500 Ansichten
  • Katika hatua mpya ya mzozo unaoendelea Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo , kundi la Waasi wa M23 likishirikiana na Muungano wa Mto Congo (AFC) limetangaza kuwa Wanajeshi wa zamani wa Jeshi la DR Congo (FARDC) waliokamatwa au kujisalimisha wamehitimu mafunzo ya kiitikadi na mbinu za kijeshi.

    Katika taarifa ya Kundi la M23 kwenye mtandao wao wa X leo Februari 18, picha zilionyesha Wanajeshi hao wakiwa na sare na silaha rasmi za wanamgambo hao. Ujumbe uliambatana na chapisho hilo ulieleza:

    "Wanajeshi wa zamani wa FARDC, waliokamatwa au kujisalimisha, wamemaliza mafunzo ya kiitikadi na mbinu huko Rumangabo Mjini Goma chini ya AFC/M23. Sasa wakiwa na vifaa kamili na wanaolipwa, wametumwa Lubero, ambako wanashiriki kikamilifu muungano wa serikali."

    Wakati huo huo, Uganda imetangaza kuwa vikosi vyake vya kijeshi vimeanza kuelekea Bunia, DRC, ikiwa ni siku chache baada ya Jeshi la Uganda kutoa muda wa saa 24 kwa Askari waliopo eneo hilo kujisalimisha.

    Taarifa nyingine kuwa, hapo jana Kundi la Waasi hao wa M23 wamefanikiwa kuteka eneo la Kamanyola na sasa hivi wanajipanga kuelekea Uvira, Fizi kisha Mkoa wa Tanganyika (Kalemie) kabla ya kwenda Mjini Lubumbashi. Kwa mujibu wa Wananchi wa Kamanyala wanasema kuwa Kundi la Wapiganaji wa Wazalendo ambao wanapigana kwa upande wa Serikali waliibwa Silaha zao kisha wakakimbia na kuwaachia M23 kuichukua Kamanyola.

    Katika hatua mpya ya mzozo unaoendelea Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo 🇨🇩, kundi la Waasi wa M23 likishirikiana na Muungano wa Mto Congo (AFC) limetangaza kuwa Wanajeshi wa zamani wa Jeshi la DR Congo (FARDC) waliokamatwa au kujisalimisha wamehitimu mafunzo ya kiitikadi na mbinu za kijeshi. Katika taarifa ya Kundi la M23 kwenye mtandao wao wa X leo Februari 18, picha zilionyesha Wanajeshi hao wakiwa na sare na silaha rasmi za wanamgambo hao. Ujumbe uliambatana na chapisho hilo ulieleza: "Wanajeshi wa zamani wa FARDC, waliokamatwa au kujisalimisha, wamemaliza mafunzo ya kiitikadi na mbinu huko Rumangabo Mjini Goma chini ya AFC/M23. Sasa wakiwa na vifaa kamili na wanaolipwa, wametumwa Lubero, ambako wanashiriki kikamilifu muungano wa serikali." Wakati huo huo, Uganda imetangaza kuwa vikosi vyake vya kijeshi vimeanza kuelekea Bunia, DRC, ikiwa ni siku chache baada ya Jeshi la Uganda kutoa muda wa saa 24 kwa Askari waliopo eneo hilo kujisalimisha. Taarifa nyingine kuwa, hapo jana Kundi la Waasi hao wa M23 wamefanikiwa kuteka eneo la Kamanyola na sasa hivi wanajipanga kuelekea Uvira, Fizi kisha Mkoa wa Tanganyika (Kalemie) kabla ya kwenda Mjini Lubumbashi. Kwa mujibu wa Wananchi wa Kamanyala wanasema kuwa Kundi la Wapiganaji wa Wazalendo ambao wanapigana kwa upande wa Serikali waliibwa Silaha zao kisha wakakimbia na kuwaachia M23 kuichukua Kamanyola.
    0 Kommentare ·0 Anteile ·1KB Ansichten
  • "Mapema leo katika kazi jijini Dodoma ambapo nchi yetu imeandika historia kwa kuzindua Sera ya Elimu na Mafunzo ya Mwaka 2014 Toleo la 2023, pamoja na mitaala iliyoboreshwa katika ngazi ya Elimu ya Awali, Elimu ya Msingi, Elimu ya Sekondari na Elimu ya Ualimu.

    Uamuzi huu wa kihistoria wa kuboresha sera na muundo wa elimu yetu unakusudia kulipa Taifa letu vijana wenye elimu bora zaidi, wanaojiamini zaidi, na wenye nyenzo stahiki kushindana kikanda na kimataifa. Kazi ya msingi ya ujenzi wa miundombinu inayobeba utekelezaji wa sera na mabadiliko haya inaendelea, ambapo katika kipindi cha mwaka 2021 hadi 2024 tumejenga shule mpya za msingi 1,649, shule mpya za sekondari 1,042, vyuo 64 vya ufundi stadi (VETA) katika wilaya 64 ambazo awali hazikuwa navyo.

    Nimeelekeza Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Wizara ya Fedha, Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) na Wizara ya Mipango na Uwekezaji kusimamia kikamilifu utekelezaji wa mabadiliko haya ili yaweze kuleta manufaa tunayokusudia. Utekelezaji huu uende sambamba na kupitia upya maslahi ya kada ya ualimu nchini ili kuipa hadhi inayostahili kama mama wa taaluma zote duniani." Dk Samia Suluhu Hassan, rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania
    "Mapema leo katika kazi jijini Dodoma ambapo nchi yetu imeandika historia kwa kuzindua Sera ya Elimu na Mafunzo ya Mwaka 2014 Toleo la 2023, pamoja na mitaala iliyoboreshwa katika ngazi ya Elimu ya Awali, Elimu ya Msingi, Elimu ya Sekondari na Elimu ya Ualimu. Uamuzi huu wa kihistoria wa kuboresha sera na muundo wa elimu yetu unakusudia kulipa Taifa letu vijana wenye elimu bora zaidi, wanaojiamini zaidi, na wenye nyenzo stahiki kushindana kikanda na kimataifa. Kazi ya msingi ya ujenzi wa miundombinu inayobeba utekelezaji wa sera na mabadiliko haya inaendelea, ambapo katika kipindi cha mwaka 2021 hadi 2024 tumejenga shule mpya za msingi 1,649, shule mpya za sekondari 1,042, vyuo 64 vya ufundi stadi (VETA) katika wilaya 64 ambazo awali hazikuwa navyo. Nimeelekeza Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Wizara ya Fedha, Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) na Wizara ya Mipango na Uwekezaji kusimamia kikamilifu utekelezaji wa mabadiliko haya ili yaweze kuleta manufaa tunayokusudia. Utekelezaji huu uende sambamba na kupitia upya maslahi ya kada ya ualimu nchini ili kuipa hadhi inayostahili kama mama wa taaluma zote duniani." Dk Samia Suluhu Hassan, rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania
    0 Kommentare ·0 Anteile ·1KB Ansichten
  • OPERATION ENTEBBE -2

    Tayari zilikuwa zimepita siku tatu tangu ndege ya Air France Flight 139 kuondoka Tel Aviv na hatimaye kutekwa baada ya kuruka jijini Athens iliposimama kuchukua abiria. Lakini pia zilikuwa zimepita siku mbili tangu ndege hii kutua katika uwanja wa ndege wa Entebbe nchini Uganda. Katika siku zote mbili hizi tangu ndege hii itue uwanjani hapa, rais wa Uganda Idd Amin Nduli Dadaa alikuwa anafika uwanjani hapo kila siku “kuwajulia hali” mateka hao.
    Kwa muda wa siku hizi zote mbili tangu ndege itue uwanjani hapo, magaidi hawa walioiteka ndege kwa kushirikiana na jeshi la Uganda kuchunguza majina ya kila abiria kama ambavyo yalikuwa yameandikwa kwenye pasport. Lengo lao la kufanya hivi ilikuwa ni kujaribu kufahamu uraia wa kila mateka waliye naye. Baada ya kufanya uchambuzi huu wa passport zote, hatimaye siku hii ya tatu, yaani tarehe 29 June 1976 kiongozi wa magaidi hawa Wilfred Bose akiwa na karatasi mkononi aliingi ndani ya terminal ambayo walikuwa wanaitumia kuwahifadhi mateka na kisha akaanza kusoma majina ya kila abiria. Alichokuwa anakifanya ni kusoma majina ya mateka ambao passport zao zilionyesha walikuwa ni raia wa Israel. Lakini pia alisoma majina ya mateka wengine ambao licha ya passport zao kuonyesha kuwa hawakuwa raia wa Israel lakini walikuwa na majina ya kiyahudi. Pamoja na hao pia mateka wote ambao walikuwa na uraia pacha na uraia huo mmojawapo ukiwa ni Israel basi nao waliunganishwa kwenye list hii.
    Baada ya kuwatenganisha raia wote wa Israel na kuwaweka kwenye chumba kingine peke yao hapo hapo kwenye terminal, kuna mwanadada raia wa Ufaransa aliyeitwa Jocelyne Monier yeye jina lake halikuitwa kwenye ile list ya wanaotakiwa kutengwa kwenye chumba kingine (Waisrael na Wayahudi). Lakini ‘boyfriend’ wake alikuwa ni Muisrael na aliitwa jina na kutengwa na wengine katika kile chumba kingine. Mwanadada huyu ili kuonyesha kumtia moyo mpenzi wake na kupinga huu ubaguzi uliokuwa unafanywa na hawa magaidi, kwa hiari yake alijipeleka kwenye chumba cha mateka wa Kiisrael. Si mwanadada huyu pekee ambaye alifanya kitendo hiki cha ushujaa, lakini pia kulikuwa na mwanamama mwingine aliitwa Janet Almog (rai wa Marekani) na mateka mwingine aliyeitwa Jean-Jacques Mimouni (raia wa Ufaransa) nao kwenye kuonyesha hali ya kuwaunga mkono wenzao waliotengwa kwenye chumba kingine na kupinga ubaguzi uliokuwa unafanywa na maharamia hawa, nao walijipeleka kwa hiari yao kwenye chumba ambacho mateka hao walikibatiza jina “Chumba cha Waisrael”, ambacho mateka wote walijua fika kwamba kuna jambo baya maharamia hao walikuwa wamepanga kulifanya.

    Licha ya maharamia kwa kushirikiana na jeshi la Uganda kufanya uchambuzi huu wa kina kuhusu uraia wa kila mateka waliye naye, lakini walifanya kosa kubwa sana ambalo lilkuja kuwagharimu sana hapo baadae. Kwenye uchambuzi wao wote huu walioufanya walishindwa kumng’amua mateka mmoja mwanajeshi wa Israel ambaye alikuwa ana uraia pacha na siku hiyo alikuwa anatumia passport ambayo sio ya Israel. Mateka huyu alikuja kuwa muhimu sana huko mbeleni kuwapatia Mossad Intelijensia mujarabu kabisa kuhusu watekaji, jengo wanaloshikilia mateka, na namana wanavyoshirikiana na jeshi la Uganda.
    Siku iliyofuata yaani June 30, maharamia haya wakawaachia mkupuo wa kwanza wa mateka wasio raia wa Israel au wayahudi. Katika mkupuo huu wa kwanza waliachia mateka 48 ambao walikuwa ni wazee, watoto na akina mama wenye watoto wadogo.
    Baada ya mkupuo huu wa kwanza wa kuwaachia mateka hawa wachache, maharamia wakaweka wazi matakwa yao ili waweze kuachia mateka wengine. Kwanza kabisa walitaka walipwe fedha kiasi cha dola za Kimarekani milioni 5. Na pili walitakakuachiwa kwa wafungwa 53 wenye asili ya kipalestina wanaotuhumiwa kwa ugaidi, ambao kati yao 40 walikuwa kwenye jela za Israel na 13 katika nchi nyingine za Ulaya. Watekaji hawa wakatoa ‘ultimutum’ kwamba kama matakwa yao hayatatekelezwa ndani ya masaa ishirini na nne yajayo (mpaka tarehe 1 July saa 8 mchana) basi wataanza kuua raia wa Israel mmoja baada ya mwingine.
    Dunia nzima ni kama ilisimama kwa masaa kadhaa kutokana na sintofahamu iliyogubika kila mahali. Sintofahamu hii ililetwa na ukweli kwamba, ilikuwa inajulikana wazi kwa miaka yote kwamba Israel wana sera ya kutofanya mazungumzo au makubaliano na Magaidi. Kwahiyo kila mtu alikuwa nafahamu kuwa kuna uwezekano mkubwa ndani ya masaa 24 yajayo ulimwengu ukashuhidia watu zaidi ya 200 wakichinjwa kama kuku.

    NCHINI ISRAEL: KIKAO CHA BARAZA LA MAWAZIRI
    Nchini Israel kikao cha dharura cha baraza la mawaziri kilikuwa kimeitishwa na waziri Mkuu Yitzhak Rabin kujadili kuhusu hatua za kuchukua kuokoa raia wake ambao wameshikiliwa mateka huko uwanja wa ndege wa Entebbe, Uganda.
    Hali ya kikao ilikuwa tete sana kutokana na kila dakika waliyokuwa wanaitumia kujadili ndivyo ambavyo walikuwa wanaikaribia saa 8 mchana ya tarehe 1 July. Walipowasilana na Ujerumani na Ufaransa ambao nao walikuwa na baadhi ya wafungwa wa Kipalestina ambao watekaji walitaka waachiwe… walipowaomba ushirikiano wao kuhusu kukabali kuachia hao wafungwa, Ujerumani na Ufaransa walikataa katakata kuachia hata mfungwa mmoja wa Kipalestina ambaye alikuwa kwenye magereza zao.
    Sintofahamu ilizidi kuongezeka. Masaa yalizidi kuyoyoma. Saa 8 mchana ya tarehe 1 July ilizidi kukaribia. Harufu ya damu ilikuwa inabisha hodi mlangoni kwao. Licha ya weledi wao wote walionao lakini mbele yao waliona giza.
    Inapaswa kukumbukwa kwamba Idd Amin aliwahi kupatiwa mafunzo ya weledi wa kijeshi nchini Isarel (Special Force Training). Kwa hiyo baraza la mawaziri likamuagiza Baruch Bar-Lev, kamanda mstaafu wa IDF ambaye alihusika kumpatia mafunzo ya kijeshi Amin kipindi yuko Israel na kufanikiwa kujenga naye ukaribu. Baraza la Mawaziri likamuagiza Baruck (marafiki zake humuita “Burka”) kufanya mawasiliano na Rais huyo wa Uganda ili kujaribu kumuomba awashawishi magaidi wanaoshikilia mateka kwenye uwanja wake wa ndege wa Entebbe wawaachie mateka hao bila masharti magumu.
    Kupitia kwa Burka, Israel ilifikia mpaka hatua ya kumuahidi Idd Amin kuwa kama atafanikisha kuachiwa kwa mateka hao basi watatumia ushawishi walionao kuhakikisha kuwa Amin anatunukiwa tuzo ya amani ya Nobel.
    Lakini Amin hakulegeza msimamo, akaendelea kuwasisitiza kuwa hakuna namna nyingine yeyote ambayo mateka hao wataachiwa bila masharti yaliyotolewa na watekaji kutimizwa.
    Baada ya juhudi hii ya kumuhonga ‘tuzo’ kugonga mwamba, Waziri Mkuu wa Israel akawasiliana na serikali ya Marekani na kuwaomba wamshawishi Rais wa Misri Anwar Sadat ambaye alikuwa anaheshimiana sana na Amin ili amshawishi kuwaamuru magaidi yaliyoko uwanjani kwake Entebbe waachiemateka bila masharti magumu.
    Amin bado akashikilia msimamo kwamba hakuna mateka atakayeachiwa pasipo masharti yaliyotolewa kutimizwa.
    Juhudi hizi za kumshawishi Amin zilikula muda mwingi sana na hatimaye wakajikuta tayari kulikuwa kumekucha asubuhi. Mbele yao kulikuwa kumebakia masaa chini ya manane kabla ya damu ya zaidi ya watu 200 kumwagika.
    Baraza la mawaziri la Israel likamuomba Amin aongee na watekaji wakubali kusogeza siku mbele ili kuipa serikali ya Israel muda wakutosha kushughulikia lojistiki na kushawishi Ujerumani na Ufaransa ili waweze kutimiza sharti la kuachiwa kwa wafungwa wa kipalestina 53 wanaotuhumiwa kwa ugaidi.
    Rais Idd Amin baada ya kushawishiwa sana akakubali ombi hili na akaieleza serikali ya Israel kwamba ni siku tatu tu pekee zinaongezwa, yaani ikimaanisha kwamba siku zitaongezwa mpaka tarehe 4 July, saa 8 mchana. Serikali ya Israel ikakubliana na hili.
    Mchana wa siku hiyo, serikali ilitoa taarifa rasmi kwa vyombo vya habari wakilaani vitendo vya kigaidi na hususani matukio ya utekeji wa raia wasio na hatia, na pia ikaendelea kusisitiza kuhusu sera yake ya kutojadili na magaidi. Lakini taarifa hii ikamalizia kwa kueleza kuwa kwa kujali zaidi uhai wa zaidi ya raia 200 ambao bado wanashikiliwa na magaidi hayo, na kujali maumivu ambayo familia zao na taifa zima linapitia, wamekubali kutimiza sharti la magaidi hao la kuwalipa fedha za kimarekani dola milioni tano pamoja na kuachiwa kwa wafungwa wa kipalestina 53 wenye tuhuma za ugaidi.
    Ilikuwa ni moja ya matukio machache ambayo yaliishangaza dunia kwa Israel kukubali kushindwa hadharani. Kwa upande wa maadui wa Israel hii ilikuwa ni sherehe kubwa kwao. Na kwa upande wa Isarel na maswahiba zake hii iikuwa ni maombolezo makubwa.
    Amin na wenzake kule Uganda walikuwa wanasherehekea baada ya taarifa hii kutolewa kwa vyombo vya habari. Walihsi kabisa harufu ya ushindi inanukia kwenye pua zao.
    Kitu ambacho walikuwa hawafahamu ilikuwa ni kwamba, Israel walikuwa wanawafanyia ‘mchezo’ wa kisaikolojia ili Amin, jeshi lake na watekaji wajiamini kwa kuona kuwa ushindi umeegemea upande wao na hatimaye wajisahau kutokana na kujiamini huku.

    NYUMA YA PAZIA
    Huko Tel aviv, makamanda wa IDF na maafisa wa Mossad walikuwa wamekusanyika katika conference room ya mako makuu ya wizara ya ulinzi kuweka mkakati wa oparesheni ya uokozi (rescue mission) wa mateka wanaoshikiliwa katika uwanja wa ndege wa Entebbe, Uganda.
    Kati ya watu muhimu ambao walikuwepo kwenye kikao hiki alikuwa ni Waziri Mkuu Rabin na Ehud Barak ambaye kipindi hicho alikuwa kamanda wa ngazi za juu kwenye jeshi anayeongoza kitengo cha Intelijensia ya jeshi (Military Intelligence).
    Moja kati ya vitu muhimu ambavyo viliwasaidia ilikuwa ni taarifa ya intelijensia iliyoletwa na Mossad kwamba uwanja wa ndege wa Entebbe ulijengwa na kampuni ya Kiisrael inayoitwa Solel Boneh.
    Kwahiyo muwakilishi kutoka katika kampuni hii ya ujenzi naye akaitwa kikaoni kwa ajili ya kuwasilisha michoro kuhusu jengo lote na uwanja wa ndege wa Entebbe ulivyo.
    Lakini pia wakati huo huo kulikuwa na maafisa wa Mossad ambao walikuwa ufaransa kuwahoji wale mateka ambao walikuwa wameachiwa awali. Mtu muhimu zaidi ambaye alitoa taarifa nzuri kwa Mossad alikuwa ni yule afisa wa jeshi niliyemuelezea awali kwamba alikuwa na uraia wan chi mbili (Israel na Ufaransa) na siku hii alikuwa ametumia passport ya nchi ya ufaransa hivyo watekaji walimuachia pamoja na wenzake wa kundi la kwanza lile la watu 48.
    Bwana huyu alitoa taarifa muhimu zaidi kuhusu kilichokuwa kinaendelea katika uwanja wa ndege wa Entebbe, kwa kuwa yeye tofauti na wenzake kutokana na uzoefu wake wa jeshi alikuwa aliweza kuwaeleza Mossad kuhusu ni salaha za namna gani watekaji walikuwa nazo, kulikuwa na ndege za aina gani za kijeshi pale uwanjani (Idd Amin aliamuru Air Force ya Uganda kulinda uwanja huo masaa 24), pia aliweza kuwaeleza kuhusu ‘rotation’ ya ulinzi ya jeshi la Uganda pamoja na taarifa nyingine muhimu ambazo abiria wengine wasingeweza kuzitilia maanani au kkuzieleza kwa ufasaha.
    Baada ya kupata intelijensia ya kutosha, mkakati wa awali ambao ulipendekezwa na jeshi ulikuwa ni kutumia ndege ya kijeshi na kisha kudondosha makomando kwenye ziwa Viktoria na kutoka hapo watatumia boti za mpira kuvuka mpaka nchi kavu na hatimaye kuelekea uwanja wa ndege ambao haukuwa mbali sana na ziwa Viktoria.
    Mkakati huu ulikuwa ni mzuri lakini ulihairishwa baada ya kupewa taarifa kuwa ziwa Viktoria lilikuwa na mamba wengi na ingeweza kuhatarisha uhai wa hawa makomando kabla hata ya kufika kwenye uwanja wa ndege. Kwahiyo ilikuwa dhahiri kwamba mkakati wowote ambao utawekwa ni lazima uwe wa kuvamia kutokea nchi kavu na ikiwezekana kutoka nchi jirani.
    Changamoto kubwa zaidi ilikuwa ni usafiri. Yaani kwamba oparesheni hii ilikuwa si tu kwamba makomando wanaotumwa kutekeleza wanaenda kupambana na magaidi wanne tu walioteka ndege, bali ilikuwa ni kana kwamba wanaenda kupambana na jeshi zima la Uganda. Kwa hiyo kikosi cha makomando ambacho kitatumwa kwenda huko lazima kiwe na watu wengi wa kutosha na pia lazima wachukue silaha nzito za kutosha. Ili kufaniskisha safari yenye makomando wengi hivi na vifaa vizito ilikuwa ni lazima kutumia ndege kubwa za kijeshi zenye uwezo mkubwa pia na hakukuwa na chaguo zuri zaid ya kutumia ndege za kijeshi za LOCKHEED C-130 HERCULES. Sasa changamoto ilikuwa inakuja kwamba huwezi kurusha dege kubwa kama hii kwenda na kurudi kutoka Israel mpaka Uganda bila kujaza mafuta tena japo mara moja.
    Katika kipindi hiki bado Israel walikuwa hawajawa na uwezo wa kufanya ‘Aerial Refuel’, yaani ndege kujazwa mafuta kwa kutumia ndege nyingine ikiwa angani. Lakini pia ilikuwa ni lazima madege hayo yakikaribia Uganda yaruke chini chini ili kukwepa kudunguliwa na kuikwepa rada ya kijeshi. Kwa hiyo ilikuwa ni lazima kupata nchi ndani ya afrika Mashariki ambao watakubali madege hayo ya kijeshi ya Israel kutua kwenye uwanja wake wa ndege na kujaza mafuta lakini pia kujiandaa na kuanzisha operation kutokea hapo na pia anga lao kutumika kuanzisha shambulizi la kijeshi kuelekea Uganda.
    Sasa japokuwa nchi zote za Afrika Mashariki zilikuwa hazikubaliana na kitendo cha Rais wa Uganda kushirikiana na watekaji, lakini hakukuwa na hata nchi moja ambayo ilikuwa iko tayari kuingia kwenye mzozo na Idd Amin kwa kuruhusu viwanja vya vya ndege kutumika na ndege za jeshi la Israel au wanajeshi kujiandaa kuvamia Entebbe au pia kuruhusu anga lao kutumia na jeshi la Israel.
    Ndipo hapa ambapo kwa haraka sana siku hiyo hiyo Waziri Mkuu Rabin akamtuma Ehud Barak na maafisa wachache wa Mossad kwenda Kenya kushawishi serikali ya Mzee Jomo Kenyatta iruhusu ndege za jeshi la Isarel kutumia kiwanja chao cha ndege. Ehud barak na wenzake hawakwenda tu moja kwa moja kwa Mzee Kenyatta, bali kwanza walienda kwa Waziri wa kilimo wa kipindi hicho Bw. Bruce McKenzie ambaye huyu aliwahi kuwa afisa wa Idara ya ujasusi ya Uingereza, MI6 na pia alikuwa swahiba mkubwa wa Ehud Barak.

    Kwa hiyo Israel ikamtumia Bruce McKenzie kumshawishi Mzee Jomo Kenyatta kuruhusu anga la Kenya na viwanjavya ndege kutumiwa na makomando wa Israel na ndege zao.
    Ehud Barak na maafisa wa Mossad hawakuishia hapa tu, bali pia walifanya vikao vya siri na wafanyabiashara wakubwa nchini Kenya wenye asili ya Israel na wale ambao walikuwa na ‘marafiki’ wa Israel kuwaomba watumie ushawishi wao wa kisiasa na kiuchumi wasaidie kumshawishi Kenyatta kukubali ombi la seriakli ya Israael viwanja vyao kutumika na ndege za kijeshi za Israel na makondo wake.
    Baada ya mashinikizo haya kutoka kila upande, Mzee Kenyatta hakuwa na chaguo linguine zaidi ya kukubali ombi lao.
    Bwana huyu McKenzie pia alikuwa na ndege yakebinafsi, na Ehud Barak akaona fursa. Walitumia ndege hii ya kiraia kuruka mpaka Uganda mijini Entebbe na kukatiza juu ya anga la uwanja wa ndege wa Entebbe na walipokuwa wanapita juu ya anga la uwanja wa ndege, Ehud Barak akatumia fursa hii kupiga picha kila eneo la uwanja. Kwa kuwa hii ilikuwa ni ndege ya kiraia, jeshi la Uganda hawakushughulika nayo.
    Picha hizi zilizopigwa na Ehud Barak zilikuja kuwa na umuhimumkubwa katika maandalizi ya mwisho ya oparesheni ya makomando wa Isarel Kuvamia uwanja huu.
    Mpaka kufikia hapa maandalizi yote muhimu yalikuwa yamekamilika.
    WAKATI HUO HUO
    Upande wa watekaji kule Uganda walikuwa wanasubria mifwedha yao dola milioni 5 za kimarekani.
    Rais Idd Amin naye baada ya kufikia makubaliano na Israel kuwa masharti ya fedha na wafungwa wa kipalestina kuachiwa tarehe 4 July, naye ‘akarelax’ na akaona huo ndio muda wa kutekeleza majukumu Mengine akisubiria tarehe 4 July ifike.
    Katika kipindi hiki Idd amin ndiye alikuwa mwenyekiti wa Umoja wa Afrika kwa kuzingatia utaratibu wa uenyekiti kuzunguka kwa kila nchi kwa mwaka mmoja mmoja na wiki hii alikuwa anatakiwa kwenye kikao cha Umoja wa Afrika kilichokuwa kinafanyika Mauritius. Kwa hiyo Amin akafunga safari kuelekea Mauritius kwenda kukabidhi kijiti cha Uenyekiti.
    Ehud Barak aliposikia taarifa hii, kwa kutumia akili yake kubwa ya kuzaliwa aliyojaliwa na uzoefu wake wa ujasusi, aliona fursa adhimu kabisa hapa. Akawasiliana na walioko kikaoni huko Tel Aviv na kuwaeleza taarifa ambazo awali wote hawakuielewa.
    Ehud Barak: “Idd Amin akiwa ndani ya Uganda huwa anatumia Mercedes Limousine katika msafara wake”
    Waziri Mkuu Rabin: “Ok! Limefanyaje?’
    Ehud Barak: “Nataka mtafute gari kama hiyo… Mercedes Limousine”
    Waziri Mkuu Rabin: “la kazi gani?”
    Ehud Barak: “siku ambayo kikosi cha makomando wakipanda kwenye ndege kutoka huko Israel kwenda Uganda, gari hilo nataka pia lipakiwe ndani ya ndge!”
    Kwa dakika kadhaa wote ambao walikuwa wanamsikiliza pale kikaoni kupitia simu hakuna ambaye alielewa nini hasa Ehud Barak alikuwa anapendekeza.
    Yalikuwa yamebaki masaa machache tu ambapo, weledi, ushujaa na uzalendo uliotukuka ulikuwa unaedna kudhihirika.

    Itaendelea
    #TheBOLD_JF
    OPERATION ENTEBBE -2 Tayari zilikuwa zimepita siku tatu tangu ndege ya Air France Flight 139 kuondoka Tel Aviv na hatimaye kutekwa baada ya kuruka jijini Athens iliposimama kuchukua abiria. Lakini pia zilikuwa zimepita siku mbili tangu ndege hii kutua katika uwanja wa ndege wa Entebbe nchini Uganda. Katika siku zote mbili hizi tangu ndege hii itue uwanjani hapa, rais wa Uganda Idd Amin Nduli Dadaa alikuwa anafika uwanjani hapo kila siku “kuwajulia hali” mateka hao. Kwa muda wa siku hizi zote mbili tangu ndege itue uwanjani hapo, magaidi hawa walioiteka ndege kwa kushirikiana na jeshi la Uganda kuchunguza majina ya kila abiria kama ambavyo yalikuwa yameandikwa kwenye pasport. Lengo lao la kufanya hivi ilikuwa ni kujaribu kufahamu uraia wa kila mateka waliye naye. Baada ya kufanya uchambuzi huu wa passport zote, hatimaye siku hii ya tatu, yaani tarehe 29 June 1976 kiongozi wa magaidi hawa Wilfred Bose akiwa na karatasi mkononi aliingi ndani ya terminal ambayo walikuwa wanaitumia kuwahifadhi mateka na kisha akaanza kusoma majina ya kila abiria. Alichokuwa anakifanya ni kusoma majina ya mateka ambao passport zao zilionyesha walikuwa ni raia wa Israel. Lakini pia alisoma majina ya mateka wengine ambao licha ya passport zao kuonyesha kuwa hawakuwa raia wa Israel lakini walikuwa na majina ya kiyahudi. Pamoja na hao pia mateka wote ambao walikuwa na uraia pacha na uraia huo mmojawapo ukiwa ni Israel basi nao waliunganishwa kwenye list hii. Baada ya kuwatenganisha raia wote wa Israel na kuwaweka kwenye chumba kingine peke yao hapo hapo kwenye terminal, kuna mwanadada raia wa Ufaransa aliyeitwa Jocelyne Monier yeye jina lake halikuitwa kwenye ile list ya wanaotakiwa kutengwa kwenye chumba kingine (Waisrael na Wayahudi). Lakini ‘boyfriend’ wake alikuwa ni Muisrael na aliitwa jina na kutengwa na wengine katika kile chumba kingine. Mwanadada huyu ili kuonyesha kumtia moyo mpenzi wake na kupinga huu ubaguzi uliokuwa unafanywa na hawa magaidi, kwa hiari yake alijipeleka kwenye chumba cha mateka wa Kiisrael. Si mwanadada huyu pekee ambaye alifanya kitendo hiki cha ushujaa, lakini pia kulikuwa na mwanamama mwingine aliitwa Janet Almog (rai wa Marekani) na mateka mwingine aliyeitwa Jean-Jacques Mimouni (raia wa Ufaransa) nao kwenye kuonyesha hali ya kuwaunga mkono wenzao waliotengwa kwenye chumba kingine na kupinga ubaguzi uliokuwa unafanywa na maharamia hawa, nao walijipeleka kwa hiari yao kwenye chumba ambacho mateka hao walikibatiza jina “Chumba cha Waisrael”, ambacho mateka wote walijua fika kwamba kuna jambo baya maharamia hao walikuwa wamepanga kulifanya. Licha ya maharamia kwa kushirikiana na jeshi la Uganda kufanya uchambuzi huu wa kina kuhusu uraia wa kila mateka waliye naye, lakini walifanya kosa kubwa sana ambalo lilkuja kuwagharimu sana hapo baadae. Kwenye uchambuzi wao wote huu walioufanya walishindwa kumng’amua mateka mmoja mwanajeshi wa Israel ambaye alikuwa ana uraia pacha na siku hiyo alikuwa anatumia passport ambayo sio ya Israel. Mateka huyu alikuja kuwa muhimu sana huko mbeleni kuwapatia Mossad Intelijensia mujarabu kabisa kuhusu watekaji, jengo wanaloshikilia mateka, na namana wanavyoshirikiana na jeshi la Uganda. Siku iliyofuata yaani June 30, maharamia haya wakawaachia mkupuo wa kwanza wa mateka wasio raia wa Israel au wayahudi. Katika mkupuo huu wa kwanza waliachia mateka 48 ambao walikuwa ni wazee, watoto na akina mama wenye watoto wadogo. Baada ya mkupuo huu wa kwanza wa kuwaachia mateka hawa wachache, maharamia wakaweka wazi matakwa yao ili waweze kuachia mateka wengine. Kwanza kabisa walitaka walipwe fedha kiasi cha dola za Kimarekani milioni 5. Na pili walitakakuachiwa kwa wafungwa 53 wenye asili ya kipalestina wanaotuhumiwa kwa ugaidi, ambao kati yao 40 walikuwa kwenye jela za Israel na 13 katika nchi nyingine za Ulaya. Watekaji hawa wakatoa ‘ultimutum’ kwamba kama matakwa yao hayatatekelezwa ndani ya masaa ishirini na nne yajayo (mpaka tarehe 1 July saa 8 mchana) basi wataanza kuua raia wa Israel mmoja baada ya mwingine. Dunia nzima ni kama ilisimama kwa masaa kadhaa kutokana na sintofahamu iliyogubika kila mahali. Sintofahamu hii ililetwa na ukweli kwamba, ilikuwa inajulikana wazi kwa miaka yote kwamba Israel wana sera ya kutofanya mazungumzo au makubaliano na Magaidi. Kwahiyo kila mtu alikuwa nafahamu kuwa kuna uwezekano mkubwa ndani ya masaa 24 yajayo ulimwengu ukashuhidia watu zaidi ya 200 wakichinjwa kama kuku. NCHINI ISRAEL: KIKAO CHA BARAZA LA MAWAZIRI Nchini Israel kikao cha dharura cha baraza la mawaziri kilikuwa kimeitishwa na waziri Mkuu Yitzhak Rabin kujadili kuhusu hatua za kuchukua kuokoa raia wake ambao wameshikiliwa mateka huko uwanja wa ndege wa Entebbe, Uganda. Hali ya kikao ilikuwa tete sana kutokana na kila dakika waliyokuwa wanaitumia kujadili ndivyo ambavyo walikuwa wanaikaribia saa 8 mchana ya tarehe 1 July. Walipowasilana na Ujerumani na Ufaransa ambao nao walikuwa na baadhi ya wafungwa wa Kipalestina ambao watekaji walitaka waachiwe… walipowaomba ushirikiano wao kuhusu kukabali kuachia hao wafungwa, Ujerumani na Ufaransa walikataa katakata kuachia hata mfungwa mmoja wa Kipalestina ambaye alikuwa kwenye magereza zao. Sintofahamu ilizidi kuongezeka. Masaa yalizidi kuyoyoma. Saa 8 mchana ya tarehe 1 July ilizidi kukaribia. Harufu ya damu ilikuwa inabisha hodi mlangoni kwao. Licha ya weledi wao wote walionao lakini mbele yao waliona giza. Inapaswa kukumbukwa kwamba Idd Amin aliwahi kupatiwa mafunzo ya weledi wa kijeshi nchini Isarel (Special Force Training). Kwa hiyo baraza la mawaziri likamuagiza Baruch Bar-Lev, kamanda mstaafu wa IDF ambaye alihusika kumpatia mafunzo ya kijeshi Amin kipindi yuko Israel na kufanikiwa kujenga naye ukaribu. Baraza la Mawaziri likamuagiza Baruck (marafiki zake humuita “Burka”) kufanya mawasiliano na Rais huyo wa Uganda ili kujaribu kumuomba awashawishi magaidi wanaoshikilia mateka kwenye uwanja wake wa ndege wa Entebbe wawaachie mateka hao bila masharti magumu. Kupitia kwa Burka, Israel ilifikia mpaka hatua ya kumuahidi Idd Amin kuwa kama atafanikisha kuachiwa kwa mateka hao basi watatumia ushawishi walionao kuhakikisha kuwa Amin anatunukiwa tuzo ya amani ya Nobel. Lakini Amin hakulegeza msimamo, akaendelea kuwasisitiza kuwa hakuna namna nyingine yeyote ambayo mateka hao wataachiwa bila masharti yaliyotolewa na watekaji kutimizwa. Baada ya juhudi hii ya kumuhonga ‘tuzo’ kugonga mwamba, Waziri Mkuu wa Israel akawasiliana na serikali ya Marekani na kuwaomba wamshawishi Rais wa Misri Anwar Sadat ambaye alikuwa anaheshimiana sana na Amin ili amshawishi kuwaamuru magaidi yaliyoko uwanjani kwake Entebbe waachiemateka bila masharti magumu. Amin bado akashikilia msimamo kwamba hakuna mateka atakayeachiwa pasipo masharti yaliyotolewa kutimizwa. Juhudi hizi za kumshawishi Amin zilikula muda mwingi sana na hatimaye wakajikuta tayari kulikuwa kumekucha asubuhi. Mbele yao kulikuwa kumebakia masaa chini ya manane kabla ya damu ya zaidi ya watu 200 kumwagika. Baraza la mawaziri la Israel likamuomba Amin aongee na watekaji wakubali kusogeza siku mbele ili kuipa serikali ya Israel muda wakutosha kushughulikia lojistiki na kushawishi Ujerumani na Ufaransa ili waweze kutimiza sharti la kuachiwa kwa wafungwa wa kipalestina 53 wanaotuhumiwa kwa ugaidi. Rais Idd Amin baada ya kushawishiwa sana akakubali ombi hili na akaieleza serikali ya Israel kwamba ni siku tatu tu pekee zinaongezwa, yaani ikimaanisha kwamba siku zitaongezwa mpaka tarehe 4 July, saa 8 mchana. Serikali ya Israel ikakubliana na hili. Mchana wa siku hiyo, serikali ilitoa taarifa rasmi kwa vyombo vya habari wakilaani vitendo vya kigaidi na hususani matukio ya utekeji wa raia wasio na hatia, na pia ikaendelea kusisitiza kuhusu sera yake ya kutojadili na magaidi. Lakini taarifa hii ikamalizia kwa kueleza kuwa kwa kujali zaidi uhai wa zaidi ya raia 200 ambao bado wanashikiliwa na magaidi hayo, na kujali maumivu ambayo familia zao na taifa zima linapitia, wamekubali kutimiza sharti la magaidi hao la kuwalipa fedha za kimarekani dola milioni tano pamoja na kuachiwa kwa wafungwa wa kipalestina 53 wenye tuhuma za ugaidi. Ilikuwa ni moja ya matukio machache ambayo yaliishangaza dunia kwa Israel kukubali kushindwa hadharani. Kwa upande wa maadui wa Israel hii ilikuwa ni sherehe kubwa kwao. Na kwa upande wa Isarel na maswahiba zake hii iikuwa ni maombolezo makubwa. Amin na wenzake kule Uganda walikuwa wanasherehekea baada ya taarifa hii kutolewa kwa vyombo vya habari. Walihsi kabisa harufu ya ushindi inanukia kwenye pua zao. Kitu ambacho walikuwa hawafahamu ilikuwa ni kwamba, Israel walikuwa wanawafanyia ‘mchezo’ wa kisaikolojia ili Amin, jeshi lake na watekaji wajiamini kwa kuona kuwa ushindi umeegemea upande wao na hatimaye wajisahau kutokana na kujiamini huku. NYUMA YA PAZIA Huko Tel aviv, makamanda wa IDF na maafisa wa Mossad walikuwa wamekusanyika katika conference room ya mako makuu ya wizara ya ulinzi kuweka mkakati wa oparesheni ya uokozi (rescue mission) wa mateka wanaoshikiliwa katika uwanja wa ndege wa Entebbe, Uganda. Kati ya watu muhimu ambao walikuwepo kwenye kikao hiki alikuwa ni Waziri Mkuu Rabin na Ehud Barak ambaye kipindi hicho alikuwa kamanda wa ngazi za juu kwenye jeshi anayeongoza kitengo cha Intelijensia ya jeshi (Military Intelligence). Moja kati ya vitu muhimu ambavyo viliwasaidia ilikuwa ni taarifa ya intelijensia iliyoletwa na Mossad kwamba uwanja wa ndege wa Entebbe ulijengwa na kampuni ya Kiisrael inayoitwa Solel Boneh. Kwahiyo muwakilishi kutoka katika kampuni hii ya ujenzi naye akaitwa kikaoni kwa ajili ya kuwasilisha michoro kuhusu jengo lote na uwanja wa ndege wa Entebbe ulivyo. Lakini pia wakati huo huo kulikuwa na maafisa wa Mossad ambao walikuwa ufaransa kuwahoji wale mateka ambao walikuwa wameachiwa awali. Mtu muhimu zaidi ambaye alitoa taarifa nzuri kwa Mossad alikuwa ni yule afisa wa jeshi niliyemuelezea awali kwamba alikuwa na uraia wan chi mbili (Israel na Ufaransa) na siku hii alikuwa ametumia passport ya nchi ya ufaransa hivyo watekaji walimuachia pamoja na wenzake wa kundi la kwanza lile la watu 48. Bwana huyu alitoa taarifa muhimu zaidi kuhusu kilichokuwa kinaendelea katika uwanja wa ndege wa Entebbe, kwa kuwa yeye tofauti na wenzake kutokana na uzoefu wake wa jeshi alikuwa aliweza kuwaeleza Mossad kuhusu ni salaha za namna gani watekaji walikuwa nazo, kulikuwa na ndege za aina gani za kijeshi pale uwanjani (Idd Amin aliamuru Air Force ya Uganda kulinda uwanja huo masaa 24), pia aliweza kuwaeleza kuhusu ‘rotation’ ya ulinzi ya jeshi la Uganda pamoja na taarifa nyingine muhimu ambazo abiria wengine wasingeweza kuzitilia maanani au kkuzieleza kwa ufasaha. Baada ya kupata intelijensia ya kutosha, mkakati wa awali ambao ulipendekezwa na jeshi ulikuwa ni kutumia ndege ya kijeshi na kisha kudondosha makomando kwenye ziwa Viktoria na kutoka hapo watatumia boti za mpira kuvuka mpaka nchi kavu na hatimaye kuelekea uwanja wa ndege ambao haukuwa mbali sana na ziwa Viktoria. Mkakati huu ulikuwa ni mzuri lakini ulihairishwa baada ya kupewa taarifa kuwa ziwa Viktoria lilikuwa na mamba wengi na ingeweza kuhatarisha uhai wa hawa makomando kabla hata ya kufika kwenye uwanja wa ndege. Kwahiyo ilikuwa dhahiri kwamba mkakati wowote ambao utawekwa ni lazima uwe wa kuvamia kutokea nchi kavu na ikiwezekana kutoka nchi jirani. Changamoto kubwa zaidi ilikuwa ni usafiri. Yaani kwamba oparesheni hii ilikuwa si tu kwamba makomando wanaotumwa kutekeleza wanaenda kupambana na magaidi wanne tu walioteka ndege, bali ilikuwa ni kana kwamba wanaenda kupambana na jeshi zima la Uganda. Kwa hiyo kikosi cha makomando ambacho kitatumwa kwenda huko lazima kiwe na watu wengi wa kutosha na pia lazima wachukue silaha nzito za kutosha. Ili kufaniskisha safari yenye makomando wengi hivi na vifaa vizito ilikuwa ni lazima kutumia ndege kubwa za kijeshi zenye uwezo mkubwa pia na hakukuwa na chaguo zuri zaid ya kutumia ndege za kijeshi za LOCKHEED C-130 HERCULES. Sasa changamoto ilikuwa inakuja kwamba huwezi kurusha dege kubwa kama hii kwenda na kurudi kutoka Israel mpaka Uganda bila kujaza mafuta tena japo mara moja. Katika kipindi hiki bado Israel walikuwa hawajawa na uwezo wa kufanya ‘Aerial Refuel’, yaani ndege kujazwa mafuta kwa kutumia ndege nyingine ikiwa angani. Lakini pia ilikuwa ni lazima madege hayo yakikaribia Uganda yaruke chini chini ili kukwepa kudunguliwa na kuikwepa rada ya kijeshi. Kwa hiyo ilikuwa ni lazima kupata nchi ndani ya afrika Mashariki ambao watakubali madege hayo ya kijeshi ya Israel kutua kwenye uwanja wake wa ndege na kujaza mafuta lakini pia kujiandaa na kuanzisha operation kutokea hapo na pia anga lao kutumika kuanzisha shambulizi la kijeshi kuelekea Uganda. Sasa japokuwa nchi zote za Afrika Mashariki zilikuwa hazikubaliana na kitendo cha Rais wa Uganda kushirikiana na watekaji, lakini hakukuwa na hata nchi moja ambayo ilikuwa iko tayari kuingia kwenye mzozo na Idd Amin kwa kuruhusu viwanja vya vya ndege kutumika na ndege za jeshi la Israel au wanajeshi kujiandaa kuvamia Entebbe au pia kuruhusu anga lao kutumia na jeshi la Israel. Ndipo hapa ambapo kwa haraka sana siku hiyo hiyo Waziri Mkuu Rabin akamtuma Ehud Barak na maafisa wachache wa Mossad kwenda Kenya kushawishi serikali ya Mzee Jomo Kenyatta iruhusu ndege za jeshi la Isarel kutumia kiwanja chao cha ndege. Ehud barak na wenzake hawakwenda tu moja kwa moja kwa Mzee Kenyatta, bali kwanza walienda kwa Waziri wa kilimo wa kipindi hicho Bw. Bruce McKenzie ambaye huyu aliwahi kuwa afisa wa Idara ya ujasusi ya Uingereza, MI6 na pia alikuwa swahiba mkubwa wa Ehud Barak. Kwa hiyo Israel ikamtumia Bruce McKenzie kumshawishi Mzee Jomo Kenyatta kuruhusu anga la Kenya na viwanjavya ndege kutumiwa na makomando wa Israel na ndege zao. Ehud Barak na maafisa wa Mossad hawakuishia hapa tu, bali pia walifanya vikao vya siri na wafanyabiashara wakubwa nchini Kenya wenye asili ya Israel na wale ambao walikuwa na ‘marafiki’ wa Israel kuwaomba watumie ushawishi wao wa kisiasa na kiuchumi wasaidie kumshawishi Kenyatta kukubali ombi la seriakli ya Israael viwanja vyao kutumika na ndege za kijeshi za Israel na makondo wake. Baada ya mashinikizo haya kutoka kila upande, Mzee Kenyatta hakuwa na chaguo linguine zaidi ya kukubali ombi lao. Bwana huyu McKenzie pia alikuwa na ndege yakebinafsi, na Ehud Barak akaona fursa. Walitumia ndege hii ya kiraia kuruka mpaka Uganda mijini Entebbe na kukatiza juu ya anga la uwanja wa ndege wa Entebbe na walipokuwa wanapita juu ya anga la uwanja wa ndege, Ehud Barak akatumia fursa hii kupiga picha kila eneo la uwanja. Kwa kuwa hii ilikuwa ni ndege ya kiraia, jeshi la Uganda hawakushughulika nayo. Picha hizi zilizopigwa na Ehud Barak zilikuja kuwa na umuhimumkubwa katika maandalizi ya mwisho ya oparesheni ya makomando wa Isarel Kuvamia uwanja huu. Mpaka kufikia hapa maandalizi yote muhimu yalikuwa yamekamilika. WAKATI HUO HUO Upande wa watekaji kule Uganda walikuwa wanasubria mifwedha yao dola milioni 5 za kimarekani. Rais Idd Amin naye baada ya kufikia makubaliano na Israel kuwa masharti ya fedha na wafungwa wa kipalestina kuachiwa tarehe 4 July, naye ‘akarelax’ na akaona huo ndio muda wa kutekeleza majukumu Mengine akisubiria tarehe 4 July ifike. Katika kipindi hiki Idd amin ndiye alikuwa mwenyekiti wa Umoja wa Afrika kwa kuzingatia utaratibu wa uenyekiti kuzunguka kwa kila nchi kwa mwaka mmoja mmoja na wiki hii alikuwa anatakiwa kwenye kikao cha Umoja wa Afrika kilichokuwa kinafanyika Mauritius. Kwa hiyo Amin akafunga safari kuelekea Mauritius kwenda kukabidhi kijiti cha Uenyekiti. Ehud Barak aliposikia taarifa hii, kwa kutumia akili yake kubwa ya kuzaliwa aliyojaliwa na uzoefu wake wa ujasusi, aliona fursa adhimu kabisa hapa. Akawasiliana na walioko kikaoni huko Tel Aviv na kuwaeleza taarifa ambazo awali wote hawakuielewa. Ehud Barak: “Idd Amin akiwa ndani ya Uganda huwa anatumia Mercedes Limousine katika msafara wake” Waziri Mkuu Rabin: “Ok! Limefanyaje?’ Ehud Barak: “Nataka mtafute gari kama hiyo… Mercedes Limousine” Waziri Mkuu Rabin: “la kazi gani?” Ehud Barak: “siku ambayo kikosi cha makomando wakipanda kwenye ndege kutoka huko Israel kwenda Uganda, gari hilo nataka pia lipakiwe ndani ya ndge!” Kwa dakika kadhaa wote ambao walikuwa wanamsikiliza pale kikaoni kupitia simu hakuna ambaye alielewa nini hasa Ehud Barak alikuwa anapendekeza. Yalikuwa yamebaki masaa machache tu ambapo, weledi, ushujaa na uzalendo uliotukuka ulikuwa unaedna kudhihirika. Itaendelea #TheBOLD_JF
    0 Kommentare ·0 Anteile ·2KB Ansichten
  • Tumbo lenye njaa, mifuko mitupu na moyo ulioumizwa vinaweza kukupa funzo bora la maisha.
    Tumbo lenye njaa, mifuko mitupu na moyo ulioumizwa vinaweza kukupa funzo bora la maisha.
    Like
    Love
    6
    · 295 Kommentare ·0 Anteile ·481 Ansichten
  • OPERATION ENTEBBE -3

    Siku ya July 3 mwaka huo 1976 saa 12 na nusu ya jioni takribani masaa kadhaa kabla ya kufikia deadline ya mwisho waliyopewa na watekaji (July 4), Waziri mkuu wa Israel Yitzhak Rabin alitia saini nyaraka ya kuidhinisha oparesheni ya kijeshi ya uokozi (rescue mission) ambayo iliwasilishwa mezani na Meja Jenerali Yekutiel Adam (maarufu kwa jina la “Kuti”) na Brigedia Generali Dan Shomron. Pia kwa mujibu wa nyaraka hiyo iliyosainiwa na Waziri mkuu, Shomron aliteuliwa kuwa Kamanda wa utekelezaji wa Oparesheni.
    Baada ya oparesheni hii kuidhinishwa rasmi na Baraza la Mawaziri muda huo nilioutaja hapo juu, Meja Jenerali Yekutiel Adam na Brigedia Generali Dan SHomron walikusuka kikosi cha kijeshi kwa ajili ya kutekeleza oparesheni hiyo kama ifuatavyo;
    The Ground Command
    Hiki kilikuwa ni kikosi (japo sio kikosi haswa) ambcho kilikuwa na watu wawili tu, Brigedia Generali Dan Shomron na mwakilishi wa jeshi la Anga la Israel Kanali Ami Ayalon na watu wachache wa masasiliano ya jeshi. Kikosi hiki ndicho ambacho kilikuwa na amri ya mwisho juu ya nini wanajeshi walikuwa wanatakiwa kufanya pindi wakakapoanza utekelezaji wa oparesheni.
    The Asault Team
    Timu hii ilipewa kazi ya kuvamia jengo la uwanja wa ndege ambalo mateka walikuwa wanashikiliwa na kuokoa mateka wote waliomo humo.
    Kikosi hiki kilikuwa na wanajeshi 29 ambacho kiliongozwa na Luteni Kanali Yonathan Netanyahu (kaka yake Waziri Mkuu wa sasa wa Israel, Benjamin Netanyahu). Kikosi hiki kilijumuisha makomando wenye weledi wa hali juu kutoka katika kitengo maalumu cha jeshi la Israel kiitwacho SAYERET MATKAL.
    Nieleze kidogo kuhusu Sayet Matkal.
    Hiki ni kikosi cha weledi maalumu (special force) ndani ya jeshi la Israel la IDF. Makomando wanofuzu kutumika katika kikosi hiki, licha ya kupata mafunzo yote ya kijeshi kama wanajeshi wengine lakini wanaongezewa mafunzo mengine adhimu zaidi kuwafanya waweze kutekeleza oparesheni hata katika mazingira ambayo kwa akili ya kijeshi ya kawaida inaonekana kwamba hakuna uwezekano wa kufanikiwa kwa oparesheni hiyo.
    Mfano wa mafunzo haya adhimu ambayo wanapatiwa ni pamoja na ukusanyaji wa intelijensia, kufanya ‘deep recon’ (nimekosa Kiswahili chake) katika uwanja wa vita, upenyezaji wa intelijensia za kimkakati (strategic intelligence) mafunzo adhimu ya counterterrorism pamoja na uokozi wa mateka nje ya mipaka ya Israel.
    Kwa namna fulani ili kukielewa kikosi hiki unaweza kukifananisha na kikosi cha SAS kwenye jeshi la nchi ya Uingereza japo vinatofauti fulani bado. Ila kwa ufupi huo ndio muonekano wa Sayeret Matkal na shughuli zake.
    The securing Element
    Kikosi hiki kiligawanywa katika vikundi vidogo vidogo vitatu ili kuleta ufanisi.
    1.Paratroopers – hawa waliongozwa na Kanali Matan Vilnai. Kazi yao ilikuwa ni kuhakikisha hakuna shughuli zozote zinaendelea ndani ya uwanja wa ndege wa Entebbe qawakati ambao oparesheni hiyo inatekelezwa. Pia walikuwa wanatakiwa kuhakikisha kuwa njia ya kurukia ndege (runway) iko ‘clear’ muda wote. Pamoja na hayo kikosi hiki pia walikuwa ndio wanaowajibika kulinda ndege za kijeshi za Israel muda wote zinatakapo kuwa kwenye uwanja wa ndege wa Entebbe pamoja na ujazaji mafuta.
    2. The Golani Force – kikundi hikicha kijeshi kiliongozwa na Kanali Uri Sagi. Kazi yao ilikuwa ni kuhakikisha kunakuwa na ulinzi wa yale madege makubwa aina ya Lockheed Harcules C-130. Pia walitakiwa kuyasogeza madege hayo karibu kabisa na terminal ambayo mateka walikuwepo ili waweze kuwapakia pindi ambapo uokozi ukiwa umefanikiwa. Lakini pia kikundi hiki kilifanya kazi kama ‘kikosi’ cha akiba endapo ambapo kungetoke dharura ya upungufu katika kikosi kingine.
    3. The Sayeret Matkal Force – kikosi hiki nacho pia kama ilivyo kwa ‘Assault Team’ ambayo nimeiongelea hapo juu, nacho pia kiliundwa na makomando wa Sayeret Matkal na kazi yao ilikuwa ni kuhakikisha kuwa hakukuwa na ‘interception’ yoyote kutoka kwenye jeshi la anga la Uganda na kuwa tayari kuwazuia na kuzuia shambulizi lolote la kijeshi ikitokea kwamba wanajeshi wa Uganda walioko uwanja wa ndege wakiomba msaada kutoka kambi ya jeshi iliyoko ndani ya jiji la Entebbe.
    Kwa ujumla huo ndio ulikuwa muonekano kamili wa Kikosi kizima na majukumu ya wanajeshi wote waliohusia katika oparesheni ya uokozi kwenye uwanja wa ndege wa Entebbe.
    USIKU WA TAREHE 3 JULY, 1976
    Hatimaye siku ya siku ikawadia, saa lililotarajiwa likafika. Ndege nne kubwa aina ya Lockheed Harcules C-130 zikiwa zimebea zaidi ya makomando 200 pamoja na ile gari Mercedes Limousine (pamoja na gari nyingine aina ya Land Rover) ambayo Ehud Barak alipendekeza waje nayo, ziliruka kutoka kwenye uwanja wa ndege wa kijeshi ulioko eneo la Sharm El Sheikh mpakani kabisa na Misri.
    Ndege hizi nne kubwa Lockheed Harcules C-130 zilisindikizwa nyuma na ndege mbili aina ya Boeing 707 ambazo moja ilikuwa imelengwa kutumiwa kama ‘command post’ na nyingine itumike kama hospitali kutibu majeruhi ambao watatokana na mapambano ya risasi ambayo walikuwa wanayategemea kati yao na watekaji pamoja na jeshi la Uganda.
    Ndege ziliruka katika njia ya kimataifa kupita Red sea na kwa muda mwingi wa safari yake zililazimika kuruka si zaidi ya mita 30 angani (kuna muda inaelezwa kuwa iliwabidi kuruka mpaka futi 35 kutoka ardhini) ili kuepuka kuonekana na rada za Misi, Sudan na Saud Arabia.
    Safari ilikuwa ngumu haswa hasa ukizingatia kuwa ndege kubwa kama zile zikiruka katika usawa wa karibu hivyo na ardhi mtikisiko unakuwa mkubwa haswa ndani ya ndege.
    Waliokaribia mchepuko wa kusini wa Red Sea ndege zilikata kona na kupita kusini mwa nchi ya Djibouti. Kutokea hapo walielekea mpaka kutokea kaskazini mashariki mwa Nairobi, Kenya na kisha Somalia na kupita eneo la Ogaden nchini Ethiopia.
    Kutoka hapo wakapinda magharibi kufuata bonde la ufa ba mpaka kutokea juu ya ziwa Victoria.
    Ikumbukwe kwamba kati ya ndege zile mbili za Boeing 707 zilizokuwa zinafuatia nyuma na zile Harcules nne, moja ambayo ilipangwa itumike kama hospitali ilitua Nairobi, uwanja wa ndege wa Jomo Kenyetta. Ile nyingine ambayo nimeeleza kwamba ilipangwa itumike kama ‘command post’ ilikuwa inaruka kuzunguka uwanja wa ndege wa Entebbe wakati ndege zile za kijeshi zikitua. Ndege hii (command post) haikutua uwanjani na kamanda mkuu wa oparesheni hii Meja Jenerali Yekutiel Adam alikuwa ndani yake kuwaongoza wenzake walipo ardhini.
    Mnamo saa 23:00 ndege za kijeshi za Israel zilitua kwenye uwanja wa ndege wa Entebbe huku milango ya nyuma ya mizigo kwenye ndege ikiwa wazi.
    Hapa nieleze kidogo…
    Mbinu kuu ambayo jeshi la Israel walikuwa wanataka kuitumia ili kufanikisha Oparesheni hii ilikuwa ni kufanya shambulio la kushtukiza. !
    Kivipi?
    Katika sehemu iliyopita nilieleza kuwa Ehud Barak baada ya kukusanya intelijensia za kutosha akiwa Kenya, aliwaeleza wenzake kuwa wapakie gari aina ya Mercedes Limousine inayofanana kabisa na ile ambayo inatumiwa na Rais Idd Amin a Uganda ambayo ilikuwa na rangi nyeusi.
    Kwa kuwa walifahamu Rais Idd Amin alikuwa safarini nchini Mauritius kukabidhi uenyekiti wa O.A.U, hivyo walitaka kuigiza kana kwamba Idd Amin alikuwa anarejea kutoka safarini na alikuwa anaenda kutembelea mateka pale uwanja wa ndege kama ambavyo ilikuwa kawaida yake. Hii ndio sababu ya wao kwenda na ile gari nyeusi aina ya Mercedes Limousine pamoja na Land Rover… ambavyo ndivyo ilikuwa namna ambavyo Idd Amin alikuwa anapenda kwenda kutembelea pale uwanjani…. Mercedes Limousine ambayo ina mbeba yeye na nyuma yake gari aina ya Land Rover iliyo na walinzi wake.
    Kwa hiyo ndege ya kwanza ya jeshi la Israel ilipotua kwenye uwanja wa ndege wa Entebbe ambao kwa muda huo wa saa tano usiku kulikuwa na giza tupu taa zote za uwanja wa ndege zikiwa zimezimwa. Ndege ilitua ikiwa imefunguliwa mlango wa nyuma wa mizigo, ambako ilitoka gari aina ya Mercedes Limousine ikiongozana na Landa Rover na moja kwa zikaendeshwa kuelekea kwenye geti la Terminal ambayo mateka walikuwa wamehifadhiwa.
    Walikuwa wamefaulu kuigiza kabisa msafara wa Idd amin unavyokuwa. Msafara ulikuwa unafanana kabisa na ule wa Idd Amin lakini tofauti ilikuwa kwamba gari hizi ndani yake kuliwa na makomamdo.
    Jambo la ajabu ni kwamba walipofika mbele ya geti la Terminal badala ya kuruhusiwa kupita, wanajeshi wa Uganda waliokuwa wanalinda getini waliinua bunduki zao na kuwanyoosha kuelea magari haya.
    Walichokuwa hawakijua makomando hawa ambacho wanajeshi hawa waliokuwa wanalinda hapa uwanjani walikijua ni kwamba, Siku moja ya kabla ya Idd Amin kwenda Mauritus alibadili rangi ya gari yake kutoka nyeusi kwenda rangi nyeupe.
    Kwa hiyo wanajeshi hawa wa Uganda walipoona magari haya walikuwa wanajua fika kuwa huyu hakuwa Rais wao Idd Amin.

    Itaendelea
    #TheBOLD_JF
    OPERATION ENTEBBE -3 Siku ya July 3 mwaka huo 1976 saa 12 na nusu ya jioni takribani masaa kadhaa kabla ya kufikia deadline ya mwisho waliyopewa na watekaji (July 4), Waziri mkuu wa Israel Yitzhak Rabin alitia saini nyaraka ya kuidhinisha oparesheni ya kijeshi ya uokozi (rescue mission) ambayo iliwasilishwa mezani na Meja Jenerali Yekutiel Adam (maarufu kwa jina la “Kuti”) na Brigedia Generali Dan Shomron. Pia kwa mujibu wa nyaraka hiyo iliyosainiwa na Waziri mkuu, Shomron aliteuliwa kuwa Kamanda wa utekelezaji wa Oparesheni. Baada ya oparesheni hii kuidhinishwa rasmi na Baraza la Mawaziri muda huo nilioutaja hapo juu, Meja Jenerali Yekutiel Adam na Brigedia Generali Dan SHomron walikusuka kikosi cha kijeshi kwa ajili ya kutekeleza oparesheni hiyo kama ifuatavyo; The Ground Command Hiki kilikuwa ni kikosi (japo sio kikosi haswa) ambcho kilikuwa na watu wawili tu, Brigedia Generali Dan Shomron na mwakilishi wa jeshi la Anga la Israel Kanali Ami Ayalon na watu wachache wa masasiliano ya jeshi. Kikosi hiki ndicho ambacho kilikuwa na amri ya mwisho juu ya nini wanajeshi walikuwa wanatakiwa kufanya pindi wakakapoanza utekelezaji wa oparesheni. The Asault Team Timu hii ilipewa kazi ya kuvamia jengo la uwanja wa ndege ambalo mateka walikuwa wanashikiliwa na kuokoa mateka wote waliomo humo. Kikosi hiki kilikuwa na wanajeshi 29 ambacho kiliongozwa na Luteni Kanali Yonathan Netanyahu (kaka yake Waziri Mkuu wa sasa wa Israel, Benjamin Netanyahu). Kikosi hiki kilijumuisha makomando wenye weledi wa hali juu kutoka katika kitengo maalumu cha jeshi la Israel kiitwacho SAYERET MATKAL. Nieleze kidogo kuhusu Sayet Matkal. Hiki ni kikosi cha weledi maalumu (special force) ndani ya jeshi la Israel la IDF. Makomando wanofuzu kutumika katika kikosi hiki, licha ya kupata mafunzo yote ya kijeshi kama wanajeshi wengine lakini wanaongezewa mafunzo mengine adhimu zaidi kuwafanya waweze kutekeleza oparesheni hata katika mazingira ambayo kwa akili ya kijeshi ya kawaida inaonekana kwamba hakuna uwezekano wa kufanikiwa kwa oparesheni hiyo. Mfano wa mafunzo haya adhimu ambayo wanapatiwa ni pamoja na ukusanyaji wa intelijensia, kufanya ‘deep recon’ (nimekosa Kiswahili chake) katika uwanja wa vita, upenyezaji wa intelijensia za kimkakati (strategic intelligence) mafunzo adhimu ya counterterrorism pamoja na uokozi wa mateka nje ya mipaka ya Israel. Kwa namna fulani ili kukielewa kikosi hiki unaweza kukifananisha na kikosi cha SAS kwenye jeshi la nchi ya Uingereza japo vinatofauti fulani bado. Ila kwa ufupi huo ndio muonekano wa Sayeret Matkal na shughuli zake. The securing Element Kikosi hiki kiligawanywa katika vikundi vidogo vidogo vitatu ili kuleta ufanisi. 1.Paratroopers – hawa waliongozwa na Kanali Matan Vilnai. Kazi yao ilikuwa ni kuhakikisha hakuna shughuli zozote zinaendelea ndani ya uwanja wa ndege wa Entebbe qawakati ambao oparesheni hiyo inatekelezwa. Pia walikuwa wanatakiwa kuhakikisha kuwa njia ya kurukia ndege (runway) iko ‘clear’ muda wote. Pamoja na hayo kikosi hiki pia walikuwa ndio wanaowajibika kulinda ndege za kijeshi za Israel muda wote zinatakapo kuwa kwenye uwanja wa ndege wa Entebbe pamoja na ujazaji mafuta. 2. The Golani Force – kikundi hikicha kijeshi kiliongozwa na Kanali Uri Sagi. Kazi yao ilikuwa ni kuhakikisha kunakuwa na ulinzi wa yale madege makubwa aina ya Lockheed Harcules C-130. Pia walitakiwa kuyasogeza madege hayo karibu kabisa na terminal ambayo mateka walikuwepo ili waweze kuwapakia pindi ambapo uokozi ukiwa umefanikiwa. Lakini pia kikundi hiki kilifanya kazi kama ‘kikosi’ cha akiba endapo ambapo kungetoke dharura ya upungufu katika kikosi kingine. 3. The Sayeret Matkal Force – kikosi hiki nacho pia kama ilivyo kwa ‘Assault Team’ ambayo nimeiongelea hapo juu, nacho pia kiliundwa na makomando wa Sayeret Matkal na kazi yao ilikuwa ni kuhakikisha kuwa hakukuwa na ‘interception’ yoyote kutoka kwenye jeshi la anga la Uganda na kuwa tayari kuwazuia na kuzuia shambulizi lolote la kijeshi ikitokea kwamba wanajeshi wa Uganda walioko uwanja wa ndege wakiomba msaada kutoka kambi ya jeshi iliyoko ndani ya jiji la Entebbe. Kwa ujumla huo ndio ulikuwa muonekano kamili wa Kikosi kizima na majukumu ya wanajeshi wote waliohusia katika oparesheni ya uokozi kwenye uwanja wa ndege wa Entebbe. USIKU WA TAREHE 3 JULY, 1976 Hatimaye siku ya siku ikawadia, saa lililotarajiwa likafika. Ndege nne kubwa aina ya Lockheed Harcules C-130 zikiwa zimebea zaidi ya makomando 200 pamoja na ile gari Mercedes Limousine (pamoja na gari nyingine aina ya Land Rover) ambayo Ehud Barak alipendekeza waje nayo, ziliruka kutoka kwenye uwanja wa ndege wa kijeshi ulioko eneo la Sharm El Sheikh mpakani kabisa na Misri. Ndege hizi nne kubwa Lockheed Harcules C-130 zilisindikizwa nyuma na ndege mbili aina ya Boeing 707 ambazo moja ilikuwa imelengwa kutumiwa kama ‘command post’ na nyingine itumike kama hospitali kutibu majeruhi ambao watatokana na mapambano ya risasi ambayo walikuwa wanayategemea kati yao na watekaji pamoja na jeshi la Uganda. Ndege ziliruka katika njia ya kimataifa kupita Red sea na kwa muda mwingi wa safari yake zililazimika kuruka si zaidi ya mita 30 angani (kuna muda inaelezwa kuwa iliwabidi kuruka mpaka futi 35 kutoka ardhini) ili kuepuka kuonekana na rada za Misi, Sudan na Saud Arabia. Safari ilikuwa ngumu haswa hasa ukizingatia kuwa ndege kubwa kama zile zikiruka katika usawa wa karibu hivyo na ardhi mtikisiko unakuwa mkubwa haswa ndani ya ndege. Waliokaribia mchepuko wa kusini wa Red Sea ndege zilikata kona na kupita kusini mwa nchi ya Djibouti. Kutokea hapo walielekea mpaka kutokea kaskazini mashariki mwa Nairobi, Kenya na kisha Somalia na kupita eneo la Ogaden nchini Ethiopia. Kutoka hapo wakapinda magharibi kufuata bonde la ufa ba mpaka kutokea juu ya ziwa Victoria. Ikumbukwe kwamba kati ya ndege zile mbili za Boeing 707 zilizokuwa zinafuatia nyuma na zile Harcules nne, moja ambayo ilipangwa itumike kama hospitali ilitua Nairobi, uwanja wa ndege wa Jomo Kenyetta. Ile nyingine ambayo nimeeleza kwamba ilipangwa itumike kama ‘command post’ ilikuwa inaruka kuzunguka uwanja wa ndege wa Entebbe wakati ndege zile za kijeshi zikitua. Ndege hii (command post) haikutua uwanjani na kamanda mkuu wa oparesheni hii Meja Jenerali Yekutiel Adam alikuwa ndani yake kuwaongoza wenzake walipo ardhini. Mnamo saa 23:00 ndege za kijeshi za Israel zilitua kwenye uwanja wa ndege wa Entebbe huku milango ya nyuma ya mizigo kwenye ndege ikiwa wazi. Hapa nieleze kidogo… Mbinu kuu ambayo jeshi la Israel walikuwa wanataka kuitumia ili kufanikisha Oparesheni hii ilikuwa ni kufanya shambulio la kushtukiza. ! Kivipi? Katika sehemu iliyopita nilieleza kuwa Ehud Barak baada ya kukusanya intelijensia za kutosha akiwa Kenya, aliwaeleza wenzake kuwa wapakie gari aina ya Mercedes Limousine inayofanana kabisa na ile ambayo inatumiwa na Rais Idd Amin a Uganda ambayo ilikuwa na rangi nyeusi. Kwa kuwa walifahamu Rais Idd Amin alikuwa safarini nchini Mauritius kukabidhi uenyekiti wa O.A.U, hivyo walitaka kuigiza kana kwamba Idd Amin alikuwa anarejea kutoka safarini na alikuwa anaenda kutembelea mateka pale uwanja wa ndege kama ambavyo ilikuwa kawaida yake. Hii ndio sababu ya wao kwenda na ile gari nyeusi aina ya Mercedes Limousine pamoja na Land Rover… ambavyo ndivyo ilikuwa namna ambavyo Idd Amin alikuwa anapenda kwenda kutembelea pale uwanjani…. Mercedes Limousine ambayo ina mbeba yeye na nyuma yake gari aina ya Land Rover iliyo na walinzi wake. Kwa hiyo ndege ya kwanza ya jeshi la Israel ilipotua kwenye uwanja wa ndege wa Entebbe ambao kwa muda huo wa saa tano usiku kulikuwa na giza tupu taa zote za uwanja wa ndege zikiwa zimezimwa. Ndege ilitua ikiwa imefunguliwa mlango wa nyuma wa mizigo, ambako ilitoka gari aina ya Mercedes Limousine ikiongozana na Landa Rover na moja kwa zikaendeshwa kuelekea kwenye geti la Terminal ambayo mateka walikuwa wamehifadhiwa. Walikuwa wamefaulu kuigiza kabisa msafara wa Idd amin unavyokuwa. Msafara ulikuwa unafanana kabisa na ule wa Idd Amin lakini tofauti ilikuwa kwamba gari hizi ndani yake kuliwa na makomamdo. Jambo la ajabu ni kwamba walipofika mbele ya geti la Terminal badala ya kuruhusiwa kupita, wanajeshi wa Uganda waliokuwa wanalinda getini waliinua bunduki zao na kuwanyoosha kuelea magari haya. Walichokuwa hawakijua makomando hawa ambacho wanajeshi hawa waliokuwa wanalinda hapa uwanjani walikijua ni kwamba, Siku moja ya kabla ya Idd Amin kwenda Mauritus alibadili rangi ya gari yake kutoka nyeusi kwenda rangi nyeupe. Kwa hiyo wanajeshi hawa wa Uganda walipoona magari haya walikuwa wanajua fika kuwa huyu hakuwa Rais wao Idd Amin. Itaendelea #TheBOLD_JF
    0 Kommentare ·0 Anteile ·2KB Ansichten
  • VIETNAM WAR VITA AMBAYO MAREKANI ILISHINDWA VIBAYA

    Vita maarufu ya Vietnam ni moja ya vita katika historia ya Marekani ambazo taifa kubwa na lenye nguvu duniani lililazimika kuondoka uwanja wa mapambano baada ya kushindwa vibaya.
    Vita hii ilipiganwa kuanzia mwaka 1955 mpaka 1975, na ilipiganwa maeneo ya Vietnam kwenyewe, Laos na Cambodia.

    Kwa juu juu ilikuwa ni vita iliyopiganwa kati ya Vietnam Kaskazini na Vietnam Kusini lakini nyuma ya pazia ilikuwa ni vita ya kijasusi kati ya wababe wa dunia wa wakati huo yaani Marekani na Urusi ya Kisovieti(proxy war), huku kila mbabe akitaka kupandikiza itikadi yake kwa upande huo, Marekani akitaka Ubepari utawale na Mrusi akitaka Ukomunisti utawale.

    Vietnam ya Kaskazini ilisapotiwa na Urusi ya wakati huo(USSR), China na nchi nyingine za Kikomunisti huku Vietnam ya Kusini ikisapotiwa na Marekani, Korea Kusini, Australia, Thailand na nchi nyingine zilizokuwa zikipinga Ukomunisti.

    Wakati vuguvugu la vita limeanza kukolea mwaka 1950 Marekani ilituma kikosi cha majasusi wake nchini Vietnam wakati huo ikiwa Koloni la Mfaransa ikijulikana kama French IndoChina kwa ajili ya mafunzo, udukuzi na kukusanya taarifa za kijasusi kabla ya kuanza mashambulizi mazito, lengo likiwa kutoa mafunzo ya kijeshi na kijasusi kwa askari wa Vietnam ya Kusini na kuviandaa vikosi vyake kwa ajili ya mapigano ya kukata na shoka.

    Ilipofika mwaka 1961 wakati vita imekolea Marekani kwa kutumia taarifa za kijasusi ilizokusanya ilipeleka kikosi maalumu cha makomando wa Jeshi la Anga maarufu kama Green Berets kwa kazi kuu ya kufanya operations za kimya kimya za anga ili kulidhoofisha jeshi la Vietnam Kaskazini.
    Kikosi hiki kiliungana baadaye na kikosi cha makomando wa anga waliojulikana kama ECO 31 na US Marines.

    Hata hivyo kutokana na udhaifu wa taarifa za kijasusi vikosi hivi havikufanikiwa sana hali iliyopelekea kuvunjwa na kuundwa kikosi maalumu kingine mwaka 1962 kilichoitwa U.S. Military Assistance Command, Vietnam (MACV) kilichokuwa chini ya Idara ya Usalama ya Marekani.

    Pamoja na uwezo mkubwa wa Marekani kimafunzo na kisilaha lakini kulikuwa na udhaifu mkubwa wa idara za kijasusi hali iliyopelekea Idara nyeti za usalama za Marekani
    ikiwemo C.I.A kushindwa kutoa makadirio hasa ya kijeshi juu ya uzito wa Vita ile.

    Kutokana na nature ya nchi za Kikomunisti kuendeshwa kwa uzalendo uliotukuka, Marekani alishindwa kukusanya taarifa za msingi za kivita kwa kutumia ujasusi wa kitaaluma, badala yake alitegemea zaidi kuwahoji askari wa adui waliokamatwa na kuteswa.

    Vietnam Kaskazini kwa kusaidiwa na Majasusi wa Russia aliweza "kuwauzia taarifa feki" majasusi wa Kimarekani, na Marekani ikaingia mkenge kwa ku-underestimate uwezo wa Vietnam Kaskazini katika ulingo wa vita, kifupi taarifa za Kijasusi zilizopelekwa Washington na washirika wake zilikuwa tofauti kabisa na kilichokuwa uwanja wa mapambano.

    Kwa mfano Majasusi wa Marekani walishindwa kujua Formation ya Vita(Battle Formation) waliyokuwa wanatumia Wavietnam.
    Wavietnam wakiwa chini ya Majasusi wao wa VCSS waliweza kuunda vikosi vinne ya kimapambano vilivyopambana kwa wakati mmoja huku makamanda na wale wapiganaji mahiri wa kikosi kimoja wakibadilishana na wa Kikosi kingine huku mapambano yakiendelea.

    Kwamba unaweza kumuona leo kamanda fulani anapigana eneo A na kikosi chake akitumia mbinu fulani za msituni, mara baada ya siku tatu unashangaa imefanyika substitution kama ya kwenye mpira kaingia kamanda mpya na mbinu mpya kwa kutumia kikosi kile kile au akaleta wapiganaji wapya kabisa, huku yule wa eneo A akipelekwa eneo B na akabadili pia mbinu za kimapambano.

    Hali hii ilidumu kwa miaka 11 mfululizo mpaka mwaka 1966 Marekani ilipostukia mchezo huu wa kubadilishana makamanda na wapiganaji waliyokuwa wakitumia wa Vietnam, na ikapelekea idara za Kijasusi za Marekani husasani C.I.A na N.A.S.A kutuma upya majasusi maalumu wa kukusanya intelijensia nyingine mpya mwaka 1967.

    Lakini pia Majasusi wa Marekani walishindwa kujua uwezo wao majasusi wa Kivietnam kujipenyeza kwenye kambi ya adui(Inflitration Capabilities) waliokuwa nao Wa Vietnam.
    Inasadikika wengi wa askari wa Kivetman ya Kusini waliokula mafunzo na mbinu za Kivita kutoka Marekani na washirika wake mwanzoni kabisa mwa vuguvugu la kivita walikuwa wa Vietnam ya Kaskazini.
    Kifupi Vikosi vya Marekani viliwapa mafunzo ya kijeshi adui zao na wakauziwa Intelijensi ya uongo.

    Kubwa kuliko Yote Marekani na washirika wake hawakujua hasa Vietnam ana askari wangapi walio mstari wa mbele kwenye mapambano na wale wa akiba, iwapo wa mstari wa mbele
    wakilemewa, hali hii ilisababishwa na ukweli kuwa Vietnam Kaskazini ilikuwa inafuata itikadi za Kikomunisti, kila mtu alikuwa askari wa kuilinda nchi yake.

    Hata kama ungefanya shambulizi ukaua askari 1000 leo, kesho watakuja wengine wapya 1000 walio na morale ya kupambana mpaka kufa kama wale wa kwanza.
    Mwanzoni hili Wamarekani hawakulijua ila kadri mapigano yalivyopamba moto, askari wengi wa Marekani na Washirika wao walianza kuogopa kwenda mstari wa mbele hasa baada ya kugundua wanapambana na askari wengi wasioisha waliokuwa tayari kufa kwa ajili ya nchi yao.

    Baada ya Ripoti ya Kikosi kipya kilichoundwa na C.I.A kuja na taarifa zao za kijasusi walizokusanya uwanja wa mapambano, mwishoni mwa mwaka 1967 walikuja kupata taarifa
    za kustua sana kuwa Vietnam nao walikuwa na Shirika lao la Kijasusi lenye nguvu kubwa na lililokuwa limebobea katika tasnia ya Ujasusi lililokuwa linapewa mafunzo ya Kijasusi toka KGB Na China, Shirika hili liliojulikana kama Viet Cong Security Service (VCSS).

    Mwanzoni taarifa za Kijasusi walizozipata Wamarekani zilikuwa feki kuwa VCSS walikuwa kikosi maalum tu cha wapambanaji walio na silaha dhaifu na si majasusi.

    VCSS walikuwa wababe wa mapigano ya msituni na guilera war huku wakiwa na maajenti wengi zaidi ya 100,000.

    Walikuwa mabingwa wa vita vya kuviziana huku askari wachache wakijificha na kufanya ambush za kijeshi dhidi ya askari wa adui zao, wakati mwingine walivaa nguo za Kiraia na kuingia mtaani na kuishi maisha ya kawaiada kabisa huku wakipanga mikakati yao ya mashambulizi ya kuvizia.

    Ilikuwa ni ngumu sana kujua yupi ni raia yupi ni askari, hali hii iliwatia hofu mno askari wa Kimarekani na washirika wao waliokuwa mstari wa mbele wa mapambano, wengi wa waliokuwa wakidhani ni raia wa kawaida walikuwa ni maajenti wa VCSS.

    Kutokana na usiri mkubwa na umakini wa hali ya juu wa VCSS ilikuwa ni ngumu kwa Marekani kupata intelijensia kutoka vyanzo vya kuaminika, taarifa nyingi zilizokusanywa zilikuwa kupitia kukamata na kutesa askari wa adui waliokamatwa uwanja wa mapambano ambao wengi walikuwa ni askari wa vyeo vya chini au raia waliojitolea kupigana waliopewa mafunzo ya muda mfupi kwa ajili ya kupambana.
    Wengi wao walikuwa na taarifa za kupikwa walizopewa makusudi kwa ajili ya kupotosha iwapo wangekamatwa.

    Moja ya mbinu iliyowashusha morale askari wa kimarekani uwanja wa vita ni hit-and-run technique waliyotumia Wavietnam, Marekani alitegemea sana jeshi la anga na vikosi maalumu kupambana huku wakiwa na silaha nzito nzito za kubeba kwa magari.
    Wavietnam walichimba mahandaki njiani kuzuia magari ya silaha na mizinga kupita msituni,
    wali-block njia za kupitishia silaha za adui kwa kuangusha miti mikubwa kabla ya kufanya ambush, walitengeneza kambi za feki za kijeshi msituni na kila mbinu ya guilera war inayofahamika katika uwanja wa mapambano kubwa ikiwa kuviziana.

    Mfano askari wa ki-Vietnam walivizia kambi ya adui na kufanya ambush ndani ya saa moja na kisha kila askari kutimuka njia yake kilomita kadhaa baada ya kufanya shambulio kabla ya kukukutana tena eneo fulani kwa ajili ya kupanga shambulio jingine, na endapo wakizidiwa katika ambush zao iliwabidi askari hao kuficha silaha kwenye mahandaki na kisha kujichanganya na raia mtaani.

    Nyingi ya kambi za kupambana za Kivietnam hazikuwa zile zilizoonekana, nyingi zilikuwa chini ya mahandaki, madege ya kimarekani yaliposhambulia kambi kwa makombora yao, nyingi ya kambi hizo zilikuwa ni feki, zilizojengwa maalumu kwa ajili ya kum-distract adui, huku silaha nzito kutoka Urusi na China zikifichwa chini ya mahandaki makubwa.

    Wamarekani na Vikosi vyao walitumia teknolojia kupambana, huku wakitumia madege ya B-52, mizinga mikubwa, helkopta, kemikali za kupukutisha majani kwenye miti maarufu kama defoliants, lakini zote hazifua dafu.

    Baada ya makamanda wa vikosi vya Marekani kuona mbinu na silaha zao hazifanikiwi wakaamua kuwahamisha raia wote ambao wengi walikuwa wakulima wadogo wadogo kutoka maeneo ambayo maajenti wa VCSS walikuwa wanayamiliki kwenda sehemu salama ambazo zilikuwa chini ya ulinzi wao, hali hii ilizaa tatizo jingine pia kwani maajenti wengi wa VCSS walijifanya raia wakajipenyeza na kuingia maeneo yaliyokuwa hayana mapigano yaliyokuwa chini ya umiliki wa Vikosi vya Wamarekani na kuanza operations upya kwenye maeneo ambayo yalikuwa
    chini ya umiliki wa adui zao.

    Hili lilipelekea mashambulizi ya kuviziana kuongezeka kwenye maeneo mbayo Wamarekani walikuwa wanayashikilia, patrol zao zilivamiwa na askari kupokonywa silaha hali iliyopelekea morale ya askari kushuka sana, ikabidi Askari wa Kimarekani waandae ndege standby kwa ajili ya kutoa msaada muda wowote patrol zao zitakapostambuliwa,
    lakini bado haikusaidia kitu kwani wengi wa askari wa patrol hawakutaka kabisa kuingia maeneo ya ndani ndani walipita njia kuu na maeneo ya wazi kuogopa mashambulizi ya kushtukiza ambayo Shirika la Kijasusi la VCSS lilikuwa limesambaza maajenti zaidi ya 100,000.

    Kutokana na ripoti za Kijasusi kuvuja nchini Marekani kuwa probability ya kuuwawa kwa askari wao walio vitani nchini Vietnam kuwa ni zaidi ya 20% na kuwa askari waliokuwa mapiganoni wengi walikuwa wanaogopa gorilla war iliyokuwa ikiendeshwa na Wavietnam, ripoti za siri za kijasusi zinasema C.I.A kwa kutumia mbinu za kijasusi waliandaa exit strategy ambayo ilikuwa ni
    kuhamasisha maandamano na propaganda ya kile kilichoitwa vuguvugu la wananchi wa Marekani kupinga nchi yao kujiingiza katika vita ya Vietnam.

    Hatimaye Marekani kwa kisingizio cha maandamano ya wananchi kupinga nchi yao kujiingiza Vietnam mwaka 1973 waliondoa vikosi vyao na kuikabidhi Vietnam Kusini jukumu la kuendelea na mapambano dhidi ya Kaskazini.

    Vietnam ya Kaskazini iliendesha mapigano kwa miaka miwili mfululizo na hatimaye mwaka 1975 ikaukamata mji mashuhuri sana wa Saigon uliokuwa unamilikiwa na Vietnam Kusini na mwaka mmoja baadaye Kusini na Kaskazini zikaungana na kutengeneza nchi moja ya Jamhuri ya watu wa Vietnam.

    Inakadiriwa kuwa vita hiyo iligharimu maisha ya WaVietnam kati ya 966,000 mpaka Milioni 3.8 Wakambodia kati ya 240,000–300,000, Walaotia kati ya 20,000–62,000 na Wamarekani zaidi ya 58,220 huku Wamarekani zaidi ya 1,626 wakipotea na hawakujulikana walipo mpaka leo

    Mwisho
    VIETNAM WAR VITA AMBAYO MAREKANI ILISHINDWA VIBAYA Vita maarufu ya Vietnam ni moja ya vita katika historia ya Marekani ambazo taifa kubwa na lenye nguvu duniani lililazimika kuondoka uwanja wa mapambano baada ya kushindwa vibaya. Vita hii ilipiganwa kuanzia mwaka 1955 mpaka 1975, na ilipiganwa maeneo ya Vietnam kwenyewe, Laos na Cambodia. Kwa juu juu ilikuwa ni vita iliyopiganwa kati ya Vietnam Kaskazini na Vietnam Kusini lakini nyuma ya pazia ilikuwa ni vita ya kijasusi kati ya wababe wa dunia wa wakati huo yaani Marekani na Urusi ya Kisovieti(proxy war), huku kila mbabe akitaka kupandikiza itikadi yake kwa upande huo, Marekani akitaka Ubepari utawale na Mrusi akitaka Ukomunisti utawale. Vietnam ya Kaskazini ilisapotiwa na Urusi ya wakati huo(USSR), China na nchi nyingine za Kikomunisti huku Vietnam ya Kusini ikisapotiwa na Marekani, Korea Kusini, Australia, Thailand na nchi nyingine zilizokuwa zikipinga Ukomunisti. Wakati vuguvugu la vita limeanza kukolea mwaka 1950 Marekani ilituma kikosi cha majasusi wake nchini Vietnam wakati huo ikiwa Koloni la Mfaransa ikijulikana kama French IndoChina kwa ajili ya mafunzo, udukuzi na kukusanya taarifa za kijasusi kabla ya kuanza mashambulizi mazito, lengo likiwa kutoa mafunzo ya kijeshi na kijasusi kwa askari wa Vietnam ya Kusini na kuviandaa vikosi vyake kwa ajili ya mapigano ya kukata na shoka. Ilipofika mwaka 1961 wakati vita imekolea Marekani kwa kutumia taarifa za kijasusi ilizokusanya ilipeleka kikosi maalumu cha makomando wa Jeshi la Anga maarufu kama Green Berets kwa kazi kuu ya kufanya operations za kimya kimya za anga ili kulidhoofisha jeshi la Vietnam Kaskazini. Kikosi hiki kiliungana baadaye na kikosi cha makomando wa anga waliojulikana kama ECO 31 na US Marines. Hata hivyo kutokana na udhaifu wa taarifa za kijasusi vikosi hivi havikufanikiwa sana hali iliyopelekea kuvunjwa na kuundwa kikosi maalumu kingine mwaka 1962 kilichoitwa U.S. Military Assistance Command, Vietnam (MACV) kilichokuwa chini ya Idara ya Usalama ya Marekani. Pamoja na uwezo mkubwa wa Marekani kimafunzo na kisilaha lakini kulikuwa na udhaifu mkubwa wa idara za kijasusi hali iliyopelekea Idara nyeti za usalama za Marekani ikiwemo C.I.A kushindwa kutoa makadirio hasa ya kijeshi juu ya uzito wa Vita ile. Kutokana na nature ya nchi za Kikomunisti kuendeshwa kwa uzalendo uliotukuka, Marekani alishindwa kukusanya taarifa za msingi za kivita kwa kutumia ujasusi wa kitaaluma, badala yake alitegemea zaidi kuwahoji askari wa adui waliokamatwa na kuteswa. Vietnam Kaskazini kwa kusaidiwa na Majasusi wa Russia aliweza "kuwauzia taarifa feki" majasusi wa Kimarekani, na Marekani ikaingia mkenge kwa ku-underestimate uwezo wa Vietnam Kaskazini katika ulingo wa vita, kifupi taarifa za Kijasusi zilizopelekwa Washington na washirika wake zilikuwa tofauti kabisa na kilichokuwa uwanja wa mapambano. Kwa mfano Majasusi wa Marekani walishindwa kujua Formation ya Vita(Battle Formation) waliyokuwa wanatumia Wavietnam. Wavietnam wakiwa chini ya Majasusi wao wa VCSS waliweza kuunda vikosi vinne ya kimapambano vilivyopambana kwa wakati mmoja huku makamanda na wale wapiganaji mahiri wa kikosi kimoja wakibadilishana na wa Kikosi kingine huku mapambano yakiendelea. Kwamba unaweza kumuona leo kamanda fulani anapigana eneo A na kikosi chake akitumia mbinu fulani za msituni, mara baada ya siku tatu unashangaa imefanyika substitution kama ya kwenye mpira kaingia kamanda mpya na mbinu mpya kwa kutumia kikosi kile kile au akaleta wapiganaji wapya kabisa, huku yule wa eneo A akipelekwa eneo B na akabadili pia mbinu za kimapambano. Hali hii ilidumu kwa miaka 11 mfululizo mpaka mwaka 1966 Marekani ilipostukia mchezo huu wa kubadilishana makamanda na wapiganaji waliyokuwa wakitumia wa Vietnam, na ikapelekea idara za Kijasusi za Marekani husasani C.I.A na N.A.S.A kutuma upya majasusi maalumu wa kukusanya intelijensia nyingine mpya mwaka 1967. Lakini pia Majasusi wa Marekani walishindwa kujua uwezo wao majasusi wa Kivietnam kujipenyeza kwenye kambi ya adui(Inflitration Capabilities) waliokuwa nao Wa Vietnam. Inasadikika wengi wa askari wa Kivetman ya Kusini waliokula mafunzo na mbinu za Kivita kutoka Marekani na washirika wake mwanzoni kabisa mwa vuguvugu la kivita walikuwa wa Vietnam ya Kaskazini. Kifupi Vikosi vya Marekani viliwapa mafunzo ya kijeshi adui zao na wakauziwa Intelijensi ya uongo. Kubwa kuliko Yote Marekani na washirika wake hawakujua hasa Vietnam ana askari wangapi walio mstari wa mbele kwenye mapambano na wale wa akiba, iwapo wa mstari wa mbele wakilemewa, hali hii ilisababishwa na ukweli kuwa Vietnam Kaskazini ilikuwa inafuata itikadi za Kikomunisti, kila mtu alikuwa askari wa kuilinda nchi yake. Hata kama ungefanya shambulizi ukaua askari 1000 leo, kesho watakuja wengine wapya 1000 walio na morale ya kupambana mpaka kufa kama wale wa kwanza. Mwanzoni hili Wamarekani hawakulijua ila kadri mapigano yalivyopamba moto, askari wengi wa Marekani na Washirika wao walianza kuogopa kwenda mstari wa mbele hasa baada ya kugundua wanapambana na askari wengi wasioisha waliokuwa tayari kufa kwa ajili ya nchi yao. Baada ya Ripoti ya Kikosi kipya kilichoundwa na C.I.A kuja na taarifa zao za kijasusi walizokusanya uwanja wa mapambano, mwishoni mwa mwaka 1967 walikuja kupata taarifa za kustua sana kuwa Vietnam nao walikuwa na Shirika lao la Kijasusi lenye nguvu kubwa na lililokuwa limebobea katika tasnia ya Ujasusi lililokuwa linapewa mafunzo ya Kijasusi toka KGB Na China, Shirika hili liliojulikana kama Viet Cong Security Service (VCSS). Mwanzoni taarifa za Kijasusi walizozipata Wamarekani zilikuwa feki kuwa VCSS walikuwa kikosi maalum tu cha wapambanaji walio na silaha dhaifu na si majasusi. VCSS walikuwa wababe wa mapigano ya msituni na guilera war huku wakiwa na maajenti wengi zaidi ya 100,000. Walikuwa mabingwa wa vita vya kuviziana huku askari wachache wakijificha na kufanya ambush za kijeshi dhidi ya askari wa adui zao, wakati mwingine walivaa nguo za Kiraia na kuingia mtaani na kuishi maisha ya kawaiada kabisa huku wakipanga mikakati yao ya mashambulizi ya kuvizia. Ilikuwa ni ngumu sana kujua yupi ni raia yupi ni askari, hali hii iliwatia hofu mno askari wa Kimarekani na washirika wao waliokuwa mstari wa mbele wa mapambano, wengi wa waliokuwa wakidhani ni raia wa kawaida walikuwa ni maajenti wa VCSS. Kutokana na usiri mkubwa na umakini wa hali ya juu wa VCSS ilikuwa ni ngumu kwa Marekani kupata intelijensia kutoka vyanzo vya kuaminika, taarifa nyingi zilizokusanywa zilikuwa kupitia kukamata na kutesa askari wa adui waliokamatwa uwanja wa mapambano ambao wengi walikuwa ni askari wa vyeo vya chini au raia waliojitolea kupigana waliopewa mafunzo ya muda mfupi kwa ajili ya kupambana. Wengi wao walikuwa na taarifa za kupikwa walizopewa makusudi kwa ajili ya kupotosha iwapo wangekamatwa. Moja ya mbinu iliyowashusha morale askari wa kimarekani uwanja wa vita ni hit-and-run technique waliyotumia Wavietnam, Marekani alitegemea sana jeshi la anga na vikosi maalumu kupambana huku wakiwa na silaha nzito nzito za kubeba kwa magari. Wavietnam walichimba mahandaki njiani kuzuia magari ya silaha na mizinga kupita msituni, wali-block njia za kupitishia silaha za adui kwa kuangusha miti mikubwa kabla ya kufanya ambush, walitengeneza kambi za feki za kijeshi msituni na kila mbinu ya guilera war inayofahamika katika uwanja wa mapambano kubwa ikiwa kuviziana. Mfano askari wa ki-Vietnam walivizia kambi ya adui na kufanya ambush ndani ya saa moja na kisha kila askari kutimuka njia yake kilomita kadhaa baada ya kufanya shambulio kabla ya kukukutana tena eneo fulani kwa ajili ya kupanga shambulio jingine, na endapo wakizidiwa katika ambush zao iliwabidi askari hao kuficha silaha kwenye mahandaki na kisha kujichanganya na raia mtaani. Nyingi ya kambi za kupambana za Kivietnam hazikuwa zile zilizoonekana, nyingi zilikuwa chini ya mahandaki, madege ya kimarekani yaliposhambulia kambi kwa makombora yao, nyingi ya kambi hizo zilikuwa ni feki, zilizojengwa maalumu kwa ajili ya kum-distract adui, huku silaha nzito kutoka Urusi na China zikifichwa chini ya mahandaki makubwa. Wamarekani na Vikosi vyao walitumia teknolojia kupambana, huku wakitumia madege ya B-52, mizinga mikubwa, helkopta, kemikali za kupukutisha majani kwenye miti maarufu kama defoliants, lakini zote hazifua dafu. Baada ya makamanda wa vikosi vya Marekani kuona mbinu na silaha zao hazifanikiwi wakaamua kuwahamisha raia wote ambao wengi walikuwa wakulima wadogo wadogo kutoka maeneo ambayo maajenti wa VCSS walikuwa wanayamiliki kwenda sehemu salama ambazo zilikuwa chini ya ulinzi wao, hali hii ilizaa tatizo jingine pia kwani maajenti wengi wa VCSS walijifanya raia wakajipenyeza na kuingia maeneo yaliyokuwa hayana mapigano yaliyokuwa chini ya umiliki wa Vikosi vya Wamarekani na kuanza operations upya kwenye maeneo ambayo yalikuwa chini ya umiliki wa adui zao. Hili lilipelekea mashambulizi ya kuviziana kuongezeka kwenye maeneo mbayo Wamarekani walikuwa wanayashikilia, patrol zao zilivamiwa na askari kupokonywa silaha hali iliyopelekea morale ya askari kushuka sana, ikabidi Askari wa Kimarekani waandae ndege standby kwa ajili ya kutoa msaada muda wowote patrol zao zitakapostambuliwa, lakini bado haikusaidia kitu kwani wengi wa askari wa patrol hawakutaka kabisa kuingia maeneo ya ndani ndani walipita njia kuu na maeneo ya wazi kuogopa mashambulizi ya kushtukiza ambayo Shirika la Kijasusi la VCSS lilikuwa limesambaza maajenti zaidi ya 100,000. Kutokana na ripoti za Kijasusi kuvuja nchini Marekani kuwa probability ya kuuwawa kwa askari wao walio vitani nchini Vietnam kuwa ni zaidi ya 20% na kuwa askari waliokuwa mapiganoni wengi walikuwa wanaogopa gorilla war iliyokuwa ikiendeshwa na Wavietnam, ripoti za siri za kijasusi zinasema C.I.A kwa kutumia mbinu za kijasusi waliandaa exit strategy ambayo ilikuwa ni kuhamasisha maandamano na propaganda ya kile kilichoitwa vuguvugu la wananchi wa Marekani kupinga nchi yao kujiingiza katika vita ya Vietnam. Hatimaye Marekani kwa kisingizio cha maandamano ya wananchi kupinga nchi yao kujiingiza Vietnam mwaka 1973 waliondoa vikosi vyao na kuikabidhi Vietnam Kusini jukumu la kuendelea na mapambano dhidi ya Kaskazini. Vietnam ya Kaskazini iliendesha mapigano kwa miaka miwili mfululizo na hatimaye mwaka 1975 ikaukamata mji mashuhuri sana wa Saigon uliokuwa unamilikiwa na Vietnam Kusini na mwaka mmoja baadaye Kusini na Kaskazini zikaungana na kutengeneza nchi moja ya Jamhuri ya watu wa Vietnam. Inakadiriwa kuwa vita hiyo iligharimu maisha ya WaVietnam kati ya 966,000 mpaka Milioni 3.8 Wakambodia kati ya 240,000–300,000, Walaotia kati ya 20,000–62,000 na Wamarekani zaidi ya 58,220 huku Wamarekani zaidi ya 1,626 wakipotea na hawakujulikana walipo mpaka leo Mwisho
    0 Kommentare ·0 Anteile ·2KB Ansichten
  • JE UNAFAHAMU JINA HALISI LA JOSEPH KABILA ANAITWA "HYPOLITE KANAMBE KAZEMBEREMBE"? NA NI MTOTO WA KUFIKIA WA LAURENT DESIRE KABILA?.

    Kumekuwepo maswali mengi sana ndani ya Kongo DRC na nchi nyingi Afrika juu ya uhalisia wa Joseph Kabila Kabange (JKK) kuhusishwa na Unyarwanda (Rwandese), kumetolewa taarifa nyingi za siri zinazo mtaja JKK kuwa sio mtoto wa kuzaa wa Mzee Laurent Desiree Kabila raisi wa tatu wa Kongo DRC na kiongozi wa zamani wa kundi la uasi la AFDL, aliye uondosha madarakani utawala wa vipindi virefu wa Mobutu Seseseko Kuku Ngwendu wa Zabanga kupitia ile iliyoitwa Operation Banyamrenge/Bahima.

    Joseph Kabila mwenyewe na wafuasi wake wamekuwa wakikanusha hilo na kuhusisha taarifa hizo na njama chafu za kumchafua. Mwaka 2010 kwenye maadhimisho ya miaka kumi ya kifo cha Laurent Desire Kabila, Joseph Kabila mwenyewe alitoa maelezo kuhusiana na taarifa hizo zinazo muhusisha na unyarwanda. Pamoja na maelezo yaliyokanusha ya yeye kuhusishwa na taarifa hizo bado kumekuwepo taarifa na ushahidi mwingi unaoendelea kutolewa kuthibitisha kuwa Joseph Kabila ni Mnyarwanda na sio mtoto wa kuzaa wa Mzee Kabila.

    Moja ya tafiti hizo zinazo zungumzia sintofahamu hii ya Joseph Kabila ni "Waraka" ulio chapishwa na jarida la "Africa Federation" jarada hilo lilipewa jina la (titled) : CONCERNING THE TRUE IDENTITY OF MR. HYPPOLITE KANAMBE ALIAS “JOSEPH KABILA” ndani ya jarida lina mtaja Joseph Kabila kuwa sio mtoto wa kuzaliwa na Kabila mzee, waraka huu unaonesha kuwa mke wa Kabila mzee aliyeitwa Sifa Mahanga alikuwa na watoto sita (6) tu ambao alizaa na mzee Laurent-Desire Kabila. Kati ya watoto hao ambao Sifa Mahanga mke wa mzee Kabila alio zaa nao ni Josephine, Cecile, Masengo, Gloria, Kiki and Maguy. Katika list hiyo Joseph kabila hayumo.

    Je huyu Joseph Kabila Kabangee (JKK) anaye tajwa kuwa sio mtoto wa kuzaa (biological child) wa Mzee Kabila ni nani? Kimsingi huyu Joseph Kabila aliyekuwa rais wa nne wa taifa la Kongo DRC jina lake halisi anaitwa Hypolitte Christopher Kanambe na alizaliwa tarehe 04 June 1971 katika kijiji kidogo cha Hewabora, kilichopo katika mji wa Fizi jimboni Kivu ya kusini (South Kivu Province in the Eastern Congo) huku baba yake akiitwa Christopher Kanambe Kazemberembe na mama yake akiitwa Marcellina Mukambukuje.

    Baba yake alikuwa ni muasi kutoka kabila la Watuttsi aliyepinga utawala wa Juvenal Habyarimana raisi wa Rwanda kipindi hicho. Huyo Christopher Kanambe alikimbia Rwanda yeye na familia yake na kukimbilia nchini Kongo DRC mwaka 1960 baada ya machafuko ya kwanza ya kikabila nchini Rwanda yaliyo anza mwaka 1959, na katika harakati hizo za kutaka kuuondoa utawala wa Juvenal Habyarimana madarakani akafanikiwa kutana na Mzee Laurent Kabila mwaka 1964 aliyekuwa kwenye mapigano ya kumpinga Mobutu Seseseko huko mashariki ya Kongo DRC ,wakawa marafiki chanda na pete kwenye issue zao za kivita.

    Baada ya kukutana na kuendelea na ushirikiano wao kwa makubaliano kwamba Mzee Kabila amsaidie Christopher Kanambe kumuondoa Juvenal Habyalimana madarakani kisha yeye atamsaidia Kabila kumuondosha Mobutu ikulu ya Kinshasa. Walikubaliana hayo kwakua utawala wa Mobutu ulikuwa umewekeza base yake kubwa Rwanda chini ya utawala wa Juvenal Habyalimana (Mtoto wake wa ubatizo) hivyo kufatia sababu hizo Rwanda ilikuwa kikwazo kikubwa kufanikisha mapambano dhidi ya utawala wa Mobutu.

    Mwaka 1977 bwana Christopher Kanambe ambae ndie baba yake wa kumzaa Joseph Kabila alifariki dunia (duru za ndani zinataja Mzee kabila kuhusika, tutalitazama hili baadae) na kwa mujibu wa mila zao na taratibu za kijeshi ilibidi kabila amrithi mke wa Kanambe yani huyo mwanamama Marcellina pamoja na watoto wake wawili mapacha ambao ni Hypolitte na Jenny (wale wa karibu na escape 1 mnakumbuka utajiiri na matanuzi ya huyu dada).

    Baada ya kuchukuliwa na Mzee Kabila wote rasmi wakaanza kuitwa kabila, yani huyo Hypolite na Jenny walibadili majina yao kwa Hypolite kuitwa Joseph kabila na huyo Jenny kuitwa Jennifer Kabila. Ila katika harakati za Mzee Kabila za mapambano yalipo mzidi alikimbilia Tanzania na familia yake ingawaje alikuwa na wanawake 13 na watoto 25 katika sehemu mbalimbali huko Kongo DRC.

    Huyu Joseph Kabila (JKK) a.k.a Hypolite ni mpwa wa mkuu wa majeshi wa zamani wa Rwanda anae aitwaye James kabarebe na hadi mwaka 1996 huyu Hypolite alikuwa ni dereva wake kwenye vita ya Banyamulenge ya kumsaidia Mzee Kabila kumtoa Mobutu madarakani, hilo linathibitishwa na waziri wa mambo ya nje kipindi cha utawala wa Mzee Kabila aliyeitwa Bizima Karaha ambae alikuwa ni mnyarwanda, ambae mara kadhaa Karaha anasema anakumbuka kumuona Kabila akiwa dereva wa Kabarebe mwaka 94 na 95 alikuwa porini na jeshi la kagame la RPF ambalo lilikuwa likimsaidia Mzee Kabila katika vita vya msituni dhidi ya Mobutu.

    Je ni Kwanini Joseph Kabila alipewa uraisi wa Kongo DRC kama hakuwa raia wa Kongo DRC? Katika kujibu swali hilo na kulielewa vizuri ni vyema turejee historia ya kifo cha baba yake Kabila aliyeitwa Christopher Kanambe ambae alikuwa ni mtusi wa Rwanda. plan hii ya kupewa uraisi Joseph Kabila ni plan iliyo injiniwa na Paul Kagame rais wa Rwanda ambae baada ya kuvulugana na Mzee Kabila kufatia kukwama kwa makubaliano ya kile kilichoitwa "Mkataba wa Lemela" ilikuwa ni mpango wa kumuondoa Laurent Kabila duniani na kumuweka mnyarwanda huyu Joseph (Hypolite) mkakati huu ulifanyika kwa umakini wa hali ya juu sana ambapo kijasusi mbinu hizi huitwa "TROJAN HORSE TECHNIC".

    Sasa turejee kwenye habari ya kifo cha BABA YAKE HYPPOLITE........
    Christopher Kanambe Kazemberembe na Mzee Laurent Kabila walikutana na kuanza ushirikiano wao mwaka 1964 kila mmoja akiwa anapambania nchi yake, Kanambe Vs Wahutu (Juvenal Habyarimana) na Kabila Vs Mobutu Seseseko, kufatia mapambano hayo mambo yakawa magumu mwaka 1966 kufatia jeshi la Mobutu kujibu mapigo kwa kusambalatisha uasi wote huko mashariki ya Kongo, kufatia hali hiyo Kanambe na Kabila wakakimbilia Tanzania chini ya mwamvuli wa P.R.P. (Parti de la Revolution du Peuple).

    Baada ya vita ya Moba, Mobutu seseseko alituma watu kumuhonga hela nyingi Christopher Kanambe ambaye ni baba halisi wa Joseph Kabila ili amuue Laurent Kabila lakini mission ilibuma, baada ya mzee Laurent kabila kupenyezewa taarifa hizo, hivyo Kabila akaitisha kikao sehemu iitwayo Nyunzu huko mashariki ya Kongo DRC wanajeshi wake kadhaa wakapatikana na hatia akiwemo Christopher kanambe na wakahukumiwa kifo, lakini kabla ya hukumu ya Christopher Kanambe kutekelezwa aliuwawa na askali wake mwaka 1977 kisha huyo askali nae kuuwawa na walinzi wa Kanambe.

    Baada ya kifo cha Kanambe Laurent Desiree Kabila akamuoa Marcelina mke wa Kanambe na kuwa adopt watoto wake mapacha Jenny na Hypolitte......... Ukweli ni kwamba huyu Hypolite (JKK) alizaliwa Kongo, na baba yake Christopher Kanambe alikuwa ukimbizini akifanya uasi dhidi ya serikali ya wahutu ya Habyarimana, na baada ya kifo chake zilitumika mila za kivu, kurithiwa na mzee Kabila.

    Joseph Kabila, jina lake harisi anaitwa Hyppolite Kanambe Kazemberembe, baba yake wa kufikia Mzee Laurent Kabila alikua na wake zaidi ya 13 na watoto zaidi ya 25 na wengine hawajulikani kwani mzee Kabila hakua na muda wa kuwalea watoto hao kwani kipindi wanaishi Msasani Dar es salaam ambako Hyppolite Kanambe alilazimika kufanya kazi za ufundi, taxi dreva na barman katika Jiji la Dar es salaam na Kigoma kipindi hicho baba yake wa kufikia Laurent Desiree Kabila alikua ana ishi Tanzania huku anapigana vita na Mobutu Sese Seko huko Kongo DRC wakati huo ikiitwa Zaire.

    Mwaka 1995, Hyppolite Kanambe aliamua kurudi kwao Rwanda ambako alipokelewa na mjomba wake James Kabarebe, ambae alikuwa ni mkuu wa intelijensia ya Rwandan Patriotic Army (APR), alimkaribisha Kanambe nyumabni kwake na kumtafutia kazi ya udereva wa ma lori na baadae akawa dereva wake katika jeshi.

    Mwaka 1996, Marekani ilipoandaa shambulio dhidi ya Zaire, kupitia ile iliyoitwa "Operation Banyamrenge" chini ya Paul Kagame, Kagame alimchagua Kanal James Kabarebe kuwa kiongozi mkuu wa Operation hiyo na kuhakikisha Mobutu anapinduliwa.

    Katika kuajilia wanajeshi watakao husika na operation hiyo Banyamrenge Kabarebe aliamua kumweka mpwa wake Hyppolite Kanambe (Joseph Kabila) katika mazoezi ya kijeshi ili baadae ampatie nafasi jeshini, baada ya Hippolyte Kanambe kuhitimu mafunzo aliajiliwa kwenye jeshi la Rwanda kupitia mgongo wa James Kabarebe na alitumika katika jeshi la Rwanda kuanzia mwaka 1995 mpaka 1997, na alitumika pia kama mlinzi wa kagame kuanzia mwaka 1997 mpaka mwaka 1998 alipo rudi Kongo DRC na kuteuliwa kuwa Major General kwenye special Force iliyokuwa ikiendesha operation maalumu huko mashariki ya Kongo DRC.

    Je Kuna uhusiano wowote wa Joseph Kabila kuhusika katika mauaji ya Laurent Desiree Kabila?... Je kuna lolote lile linalohusishwa na ulipaji kisasi cha baba yake marehemu Kanambe Kazemberembe? Au upi uhusiano baina ya "Operation Banyamrenge" na mkakati wa Bahima Platform dhidi ya Joseph kabila na kifo cha Mzee Kabila?... Itaendelea sehemu ya pili.

    Endelea kuwa na mimi katika sehemu ya Pili kupata majibu ya maswali hayo....upate kujua kuwa nchi ya Kongo DRC bado ipo contolled by remote from kigali maana Tshisekedi ni pambo tu.

    Ukinakili kazi zangu kumbuka kufanya acknowledgment.
    ®Wako Mjoli wa Historia na diplomasia ya ulimwengu.

    Ndimi: Comred Mbwana Allyamtu
    © Copy rights of this article reserved
    ®written by Comred Mbwana Allyamtu
    JE UNAFAHAMU JINA HALISI LA JOSEPH KABILA ANAITWA "HYPOLITE KANAMBE KAZEMBEREMBE"? NA NI MTOTO WA KUFIKIA WA LAURENT DESIRE KABILA?. Kumekuwepo maswali mengi sana ndani ya Kongo DRC na nchi nyingi Afrika juu ya uhalisia wa Joseph Kabila Kabange (JKK) kuhusishwa na Unyarwanda (Rwandese), kumetolewa taarifa nyingi za siri zinazo mtaja JKK kuwa sio mtoto wa kuzaa wa Mzee Laurent Desiree Kabila raisi wa tatu wa Kongo DRC na kiongozi wa zamani wa kundi la uasi la AFDL, aliye uondosha madarakani utawala wa vipindi virefu wa Mobutu Seseseko Kuku Ngwendu wa Zabanga kupitia ile iliyoitwa Operation Banyamrenge/Bahima. Joseph Kabila mwenyewe na wafuasi wake wamekuwa wakikanusha hilo na kuhusisha taarifa hizo na njama chafu za kumchafua. Mwaka 2010 kwenye maadhimisho ya miaka kumi ya kifo cha Laurent Desire Kabila, Joseph Kabila mwenyewe alitoa maelezo kuhusiana na taarifa hizo zinazo muhusisha na unyarwanda. Pamoja na maelezo yaliyokanusha ya yeye kuhusishwa na taarifa hizo bado kumekuwepo taarifa na ushahidi mwingi unaoendelea kutolewa kuthibitisha kuwa Joseph Kabila ni Mnyarwanda na sio mtoto wa kuzaa wa Mzee Kabila. Moja ya tafiti hizo zinazo zungumzia sintofahamu hii ya Joseph Kabila ni "Waraka" ulio chapishwa na jarida la "Africa Federation" jarada hilo lilipewa jina la (titled) : CONCERNING THE TRUE IDENTITY OF MR. HYPPOLITE KANAMBE ALIAS “JOSEPH KABILA” ndani ya jarida lina mtaja Joseph Kabila kuwa sio mtoto wa kuzaliwa na Kabila mzee, waraka huu unaonesha kuwa mke wa Kabila mzee aliyeitwa Sifa Mahanga alikuwa na watoto sita (6) tu ambao alizaa na mzee Laurent-Desire Kabila. Kati ya watoto hao ambao Sifa Mahanga mke wa mzee Kabila alio zaa nao ni Josephine, Cecile, Masengo, Gloria, Kiki and Maguy. Katika list hiyo Joseph kabila hayumo. Je huyu Joseph Kabila Kabangee (JKK) anaye tajwa kuwa sio mtoto wa kuzaa (biological child) wa Mzee Kabila ni nani? Kimsingi huyu Joseph Kabila aliyekuwa rais wa nne wa taifa la Kongo DRC jina lake halisi anaitwa Hypolitte Christopher Kanambe na alizaliwa tarehe 04 June 1971 katika kijiji kidogo cha Hewabora, kilichopo katika mji wa Fizi jimboni Kivu ya kusini (South Kivu Province in the Eastern Congo) huku baba yake akiitwa Christopher Kanambe Kazemberembe na mama yake akiitwa Marcellina Mukambukuje. Baba yake alikuwa ni muasi kutoka kabila la Watuttsi aliyepinga utawala wa Juvenal Habyarimana raisi wa Rwanda kipindi hicho. Huyo Christopher Kanambe alikimbia Rwanda yeye na familia yake na kukimbilia nchini Kongo DRC mwaka 1960 baada ya machafuko ya kwanza ya kikabila nchini Rwanda yaliyo anza mwaka 1959, na katika harakati hizo za kutaka kuuondoa utawala wa Juvenal Habyarimana madarakani akafanikiwa kutana na Mzee Laurent Kabila mwaka 1964 aliyekuwa kwenye mapigano ya kumpinga Mobutu Seseseko huko mashariki ya Kongo DRC ,wakawa marafiki chanda na pete kwenye issue zao za kivita. Baada ya kukutana na kuendelea na ushirikiano wao kwa makubaliano kwamba Mzee Kabila amsaidie Christopher Kanambe kumuondoa Juvenal Habyalimana madarakani kisha yeye atamsaidia Kabila kumuondosha Mobutu ikulu ya Kinshasa. Walikubaliana hayo kwakua utawala wa Mobutu ulikuwa umewekeza base yake kubwa Rwanda chini ya utawala wa Juvenal Habyalimana (Mtoto wake wa ubatizo) hivyo kufatia sababu hizo Rwanda ilikuwa kikwazo kikubwa kufanikisha mapambano dhidi ya utawala wa Mobutu. Mwaka 1977 bwana Christopher Kanambe ambae ndie baba yake wa kumzaa Joseph Kabila alifariki dunia (duru za ndani zinataja Mzee kabila kuhusika, tutalitazama hili baadae) na kwa mujibu wa mila zao na taratibu za kijeshi ilibidi kabila amrithi mke wa Kanambe yani huyo mwanamama Marcellina pamoja na watoto wake wawili mapacha ambao ni Hypolitte na Jenny (wale wa karibu na escape 1 mnakumbuka utajiiri na matanuzi ya huyu dada). Baada ya kuchukuliwa na Mzee Kabila wote rasmi wakaanza kuitwa kabila, yani huyo Hypolite na Jenny walibadili majina yao kwa Hypolite kuitwa Joseph kabila na huyo Jenny kuitwa Jennifer Kabila. Ila katika harakati za Mzee Kabila za mapambano yalipo mzidi alikimbilia Tanzania na familia yake ingawaje alikuwa na wanawake 13 na watoto 25 katika sehemu mbalimbali huko Kongo DRC. Huyu Joseph Kabila (JKK) a.k.a Hypolite ni mpwa wa mkuu wa majeshi wa zamani wa Rwanda anae aitwaye James kabarebe na hadi mwaka 1996 huyu Hypolite alikuwa ni dereva wake kwenye vita ya Banyamulenge ya kumsaidia Mzee Kabila kumtoa Mobutu madarakani, hilo linathibitishwa na waziri wa mambo ya nje kipindi cha utawala wa Mzee Kabila aliyeitwa Bizima Karaha ambae alikuwa ni mnyarwanda, ambae mara kadhaa Karaha anasema anakumbuka kumuona Kabila akiwa dereva wa Kabarebe mwaka 94 na 95 alikuwa porini na jeshi la kagame la RPF ambalo lilikuwa likimsaidia Mzee Kabila katika vita vya msituni dhidi ya Mobutu. Je ni Kwanini Joseph Kabila alipewa uraisi wa Kongo DRC kama hakuwa raia wa Kongo DRC? Katika kujibu swali hilo na kulielewa vizuri ni vyema turejee historia ya kifo cha baba yake Kabila aliyeitwa Christopher Kanambe ambae alikuwa ni mtusi wa Rwanda. plan hii ya kupewa uraisi Joseph Kabila ni plan iliyo injiniwa na Paul Kagame rais wa Rwanda ambae baada ya kuvulugana na Mzee Kabila kufatia kukwama kwa makubaliano ya kile kilichoitwa "Mkataba wa Lemela" ilikuwa ni mpango wa kumuondoa Laurent Kabila duniani na kumuweka mnyarwanda huyu Joseph (Hypolite) mkakati huu ulifanyika kwa umakini wa hali ya juu sana ambapo kijasusi mbinu hizi huitwa "TROJAN HORSE TECHNIC". Sasa turejee kwenye habari ya kifo cha BABA YAKE HYPPOLITE........ Christopher Kanambe Kazemberembe na Mzee Laurent Kabila walikutana na kuanza ushirikiano wao mwaka 1964 kila mmoja akiwa anapambania nchi yake, Kanambe Vs Wahutu (Juvenal Habyarimana) na Kabila Vs Mobutu Seseseko, kufatia mapambano hayo mambo yakawa magumu mwaka 1966 kufatia jeshi la Mobutu kujibu mapigo kwa kusambalatisha uasi wote huko mashariki ya Kongo, kufatia hali hiyo Kanambe na Kabila wakakimbilia Tanzania chini ya mwamvuli wa P.R.P. (Parti de la Revolution du Peuple). Baada ya vita ya Moba, Mobutu seseseko alituma watu kumuhonga hela nyingi Christopher Kanambe ambaye ni baba halisi wa Joseph Kabila ili amuue Laurent Kabila lakini mission ilibuma, baada ya mzee Laurent kabila kupenyezewa taarifa hizo, hivyo Kabila akaitisha kikao sehemu iitwayo Nyunzu huko mashariki ya Kongo DRC wanajeshi wake kadhaa wakapatikana na hatia akiwemo Christopher kanambe na wakahukumiwa kifo, lakini kabla ya hukumu ya Christopher Kanambe kutekelezwa aliuwawa na askali wake mwaka 1977 kisha huyo askali nae kuuwawa na walinzi wa Kanambe. Baada ya kifo cha Kanambe Laurent Desiree Kabila akamuoa Marcelina mke wa Kanambe na kuwa adopt watoto wake mapacha Jenny na Hypolitte......... Ukweli ni kwamba huyu Hypolite (JKK) alizaliwa Kongo, na baba yake Christopher Kanambe alikuwa ukimbizini akifanya uasi dhidi ya serikali ya wahutu ya Habyarimana, na baada ya kifo chake zilitumika mila za kivu, kurithiwa na mzee Kabila. Joseph Kabila, jina lake harisi anaitwa Hyppolite Kanambe Kazemberembe, baba yake wa kufikia Mzee Laurent Kabila alikua na wake zaidi ya 13 na watoto zaidi ya 25 na wengine hawajulikani kwani mzee Kabila hakua na muda wa kuwalea watoto hao kwani kipindi wanaishi Msasani Dar es salaam ambako Hyppolite Kanambe alilazimika kufanya kazi za ufundi, taxi dreva na barman katika Jiji la Dar es salaam na Kigoma kipindi hicho baba yake wa kufikia Laurent Desiree Kabila alikua ana ishi Tanzania huku anapigana vita na Mobutu Sese Seko huko Kongo DRC wakati huo ikiitwa Zaire. Mwaka 1995, Hyppolite Kanambe aliamua kurudi kwao Rwanda ambako alipokelewa na mjomba wake James Kabarebe, ambae alikuwa ni mkuu wa intelijensia ya Rwandan Patriotic Army (APR), alimkaribisha Kanambe nyumabni kwake na kumtafutia kazi ya udereva wa ma lori na baadae akawa dereva wake katika jeshi. Mwaka 1996, Marekani ilipoandaa shambulio dhidi ya Zaire, kupitia ile iliyoitwa "Operation Banyamrenge" chini ya Paul Kagame, Kagame alimchagua Kanal James Kabarebe kuwa kiongozi mkuu wa Operation hiyo na kuhakikisha Mobutu anapinduliwa. Katika kuajilia wanajeshi watakao husika na operation hiyo Banyamrenge Kabarebe aliamua kumweka mpwa wake Hyppolite Kanambe (Joseph Kabila) katika mazoezi ya kijeshi ili baadae ampatie nafasi jeshini, baada ya Hippolyte Kanambe kuhitimu mafunzo aliajiliwa kwenye jeshi la Rwanda kupitia mgongo wa James Kabarebe na alitumika katika jeshi la Rwanda kuanzia mwaka 1995 mpaka 1997, na alitumika pia kama mlinzi wa kagame kuanzia mwaka 1997 mpaka mwaka 1998 alipo rudi Kongo DRC na kuteuliwa kuwa Major General kwenye special Force iliyokuwa ikiendesha operation maalumu huko mashariki ya Kongo DRC. Je Kuna uhusiano wowote wa Joseph Kabila kuhusika katika mauaji ya Laurent Desiree Kabila?... Je kuna lolote lile linalohusishwa na ulipaji kisasi cha baba yake marehemu Kanambe Kazemberembe? Au upi uhusiano baina ya "Operation Banyamrenge" na mkakati wa Bahima Platform dhidi ya Joseph kabila na kifo cha Mzee Kabila?... Itaendelea sehemu ya pili. Endelea kuwa na mimi katika sehemu ya Pili kupata majibu ya maswali hayo....upate kujua kuwa nchi ya Kongo DRC bado ipo contolled by remote from kigali maana Tshisekedi ni pambo tu. 👉📎Ukinakili kazi zangu kumbuka kufanya acknowledgment. ®Wako Mjoli wa Historia na diplomasia ya ulimwengu. Ndimi: Comred Mbwana Allyamtu © Copy rights of this article reserved ®written by Comred Mbwana Allyamtu
    Like
    2
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·2KB Ansichten
  • MJUE JASUSI(intelejinsia) PAUL KAGAME SIMBA WA VITA.
    (Aliyeiweka Uganda Kiganjani Mwake).

    Unaposikia jina Paul Kagame kama mwana diplomasia mbobezi lazima ushtuke, Huyu jamaa ni mtu hatari sana katika uwanja wa vita. Ni moja ya majasusi wachache wanao ingia mapambanoni wenyewe bila kuangalia vyeo vyao.
    Ikumbukwe kwamba Paul Kagame alikuwa na ushawishi mkubwa kwenye jeshi la Uganda kutokana na umahiri wake wa intelejinsia. Kwann ipo hivi? Kagame ndie aliyeshiriki kumuondoa Idd Amin na ndie aliyeshiriki Kumuweka madarakani Museveni na pia ndie aliyeshiriki kuliasisi na kuliunda jeshi la Uganda Kwa hiyo yeye ndo alkuwa anawashauri nani anafaa kuwa Rais au hafai. Haya sasa twende.

    Baada ya vita ya Kagera, Tanzania wakamsimika Yusuf Lule kuwa Rais wa nchi ya Uganda. Kina Museveni wakaanzisha chombo chao cha kijeshi National Consultative Commission(NCC) hiki chombo ndo walikifanya kuwa na maamuzi ya mwisho ya nchi. Miezi miwili tu baada ya Tanzania kumsimika Yusufu Lule kuwa Rais kukatokea mvutano kati yake na NCC. NCC ya kina Museveni waliona Rais anavuka mipaka yake huku Rais Lule hatak nch iongozwe kijeshi.

    Hatimaye june 10 1979 Kwa ushawishi wa Museveni kiongozi wa NCC wakamuondoa Lule na kumuweka Godfrey Binaisa kuwa Rais wa nchi. Kimsingi Binaisa alikuwa km kikaragosi tu lakini maamuzi yote ya nchi yanatoka kwa NCC. Lakini Binaisa utamu wa Urais ulimkolea akavimba kichwa akamfukuza manadhimu mkuu wa jeshi Ojok baada ya kuhisi atapinduliwa. Kitendo hiki kiliwaumiza sana NCC na wakamuondoa Godfrey Binaisa na kuunda tume maalum iliyoitwa Presidential commission iliyofanya kazi kuongoza nchi baadala ya Rais.

    Baada ya migogoro mingi hapo ndipo umahiri wa Kagame ukaonekana kwa mara nyingine tena baada ya ule wa Kagame aliyeshiriki kumuondoa Dikteta Idd Amin Dada. Maana Kagame aliona Vita ya Panzi furaha kwa kunguru. Pia kumbuka yote yanatokea bado Kagame alkuwa na ushauri mkubwa wa kijeshi Uganda kutokana na umahiri wake wa kiintelejinsia.

    Milton Obote baada ya kushinda Urais 1980 kina Museveni hawakufurahia ushindi wake, ndipo Yoweri Museveni na Paul kagame Wakajitenga NCC na UNLA japokuwa walikuwa na ushawishi mkubwa juu ya vyombo hivyo. Ndipo Yoweri Museveni, Paul Kagame, Fred Rwigyema na waganda wengine 37 walianzisha chombo chao cha kijeshi kilichoitwa National Resistance Army(NRA) ili wampindue Rais.

    Kikundi hiki kilikimbilia msituni na kuanzisha mapigano makali kwa miaka sita dhidi ya majeshi ya serikali, pamoja na udogo wake(japo baadae waliongezeka arobaini wa awali) lakini kiliyachosha majeshi ya serikali kwa miaka sita. Miaka hii sita ya mapambano dhidi ya majeshi ya serikali yalidhihirisha unguli wa Paul Kagame nguli wa 'Physical Werfare' pia baadae ulidhihirika kweny mauaji ya kimbari, baada, nikipata uhai nitaelezea.

    Kwa miaka yote ya vita Paul Kagame alikuwa kiungo muhimu sana na aliheshimika sana na wapiganaji wenzake kuliko hata Museveni mwenyewe. Nyadhifa zao NRA zilikaribia kwenye usawa mmoja.

    Majeshi ya serikali yalikuwa na hali tete kupelekea askari wa miguu kuomba serikali isitishe mapigano maana walikuwa wanakufa wengi Lakini serikili ikanya ngumu kukakataa kusikiliza askari wake. Wanasema la kuvunda halina ubani. Desemba 1980 Mkuu wa majeshi ya Uganda jenerali Oyite Ojok alikufa kwa ajali ya ndege ambayo kuna kila dalili ya mkono wa Kagame.

    Baada ya Jenerali kufariki aliyetegemewa sana na Rais Obote badala ya kumteua waliotegemewa Tito Okello au Bazilio Olara okello ambaye alishiriki kumuondoa Idd Amin hatimaye akamteua askari wa chini kabisa anayetoka nae kabila moja. Hali hii iliwauzi Jeshi la serikali na waganda Na ndipo miaka 2 baadae jeshi likampindua Milton Obote na jeshi kushika nchi na kuanzisha mapambano dhidi ya vikundi vya msituni kila kimoja kikitaka kuongoza nchi. Ndipo yalifanyija maongezi nchini Kenya baina ya vikundi vyote vya msituni na serikali chini ya Rais Daniel Arap Moi ili kuleta Suluhu na kuweka muelekeo mpya wa nchi ya Uganda.

    29 januari 1986 Yoweri Kaguta Museveni akaapishws kuwa Rais mpya wa Uganda. Paul Kagame akateuliwa na Rais kuwa Chief Millitary Intelligence(Mkuu wa usalama wa Jeshi Uganda) na swahiba wake Fred Rwigyema kuwa waziri wa ulinzi. Kutokana na ushawishi wa kagame uganda ilipelekea baraza la mawaziri kujaa watusi kabila la kagame. Kwa maana nyingine twasema Kagame aliiweka Uganda kiganjani mwake japo hakuwa Rais. Mtandao mkubwa alioujenga ndani ya serikal ya Uganda, baraza la mawaziri na jeshi alikuwa na nguvu kumzidi Rais Yoweri Museveni. Uzuri ni kwamba Museveni aliujua umahiri wa kagame kijasusi na hakutaka mvutano nae maana alijua lengo lake lipi. Kagame hakuwa na nia ya Urais wa Uganda wala kuendelea kuliendesha jeshi la uganda. Bali alitaka kuwakomboa ndugu zake watusi waliokuwa wanateseka Rwanda.

    Na sasa alikuwa amekamilika kila kitu. Alikuwa na uzoefu wa kutosha, alikuwa na weledi wa kutosha. Tunathubutu kusema kwamba kwa kipindi hiki hakuna ambaye aliyekuwa anaweza kufikia daraja la juu la umahiri wa Kagame katika masuala ya Ujasusi Afrika Mashariki na Kati. Pia alikuwa na ushawishi katika nchi za kimkakati zinazopakana na Rwanda kama Kongo aliwapeleka wapiganaji wa NRA kupata mafunzo ya Special Force kipindi cha mapigano cha miaka 6 msituni dhidi ya majeshi ya serikali Obote.

    Pia alikuwa na ushawishi Tanzania(mtoto wetu tuliyemfunza wenyewe Ujasusi na alitusaidia sana kwenye vita ya Kagera).

    Mbele yake alikuwa na jambo moja tu kabla ya kuondoka kwenye uso wa Dunia ni kuiweka Rwanda mikononi mwake.

    NOTE: Mungu akinipa uhai nitawaletea Harakati za Kagame kuyamaliza mauaji ya Wahutu na watusi, kimbali hadi Kuwa Rais wa Rwanda.

    Ahsante kwa Utiifu Wako.
    MJUE JASUSI(intelejinsia) PAUL KAGAME SIMBA WA VITA. (Aliyeiweka Uganda Kiganjani Mwake). Unaposikia jina Paul Kagame kama mwana diplomasia mbobezi lazima ushtuke, Huyu jamaa ni mtu hatari sana katika uwanja wa vita. Ni moja ya majasusi wachache wanao ingia mapambanoni wenyewe bila kuangalia vyeo vyao. Ikumbukwe kwamba Paul Kagame alikuwa na ushawishi mkubwa kwenye jeshi la Uganda kutokana na umahiri wake wa intelejinsia. Kwann ipo hivi? Kagame ndie aliyeshiriki kumuondoa Idd Amin na ndie aliyeshiriki Kumuweka madarakani Museveni na pia ndie aliyeshiriki kuliasisi na kuliunda jeshi la Uganda Kwa hiyo yeye ndo alkuwa anawashauri nani anafaa kuwa Rais au hafai. Haya sasa twende. Baada ya vita ya Kagera, Tanzania wakamsimika Yusuf Lule kuwa Rais wa nchi ya Uganda. Kina Museveni wakaanzisha chombo chao cha kijeshi National Consultative Commission(NCC) hiki chombo ndo walikifanya kuwa na maamuzi ya mwisho ya nchi. Miezi miwili tu baada ya Tanzania kumsimika Yusufu Lule kuwa Rais kukatokea mvutano kati yake na NCC. NCC ya kina Museveni waliona Rais anavuka mipaka yake huku Rais Lule hatak nch iongozwe kijeshi. Hatimaye june 10 1979 Kwa ushawishi wa Museveni kiongozi wa NCC wakamuondoa Lule na kumuweka Godfrey Binaisa kuwa Rais wa nchi. Kimsingi Binaisa alikuwa km kikaragosi tu lakini maamuzi yote ya nchi yanatoka kwa NCC. Lakini Binaisa utamu wa Urais ulimkolea akavimba kichwa akamfukuza manadhimu mkuu wa jeshi Ojok baada ya kuhisi atapinduliwa. Kitendo hiki kiliwaumiza sana NCC na wakamuondoa Godfrey Binaisa na kuunda tume maalum iliyoitwa Presidential commission iliyofanya kazi kuongoza nchi baadala ya Rais. Baada ya migogoro mingi hapo ndipo umahiri wa Kagame ukaonekana kwa mara nyingine tena baada ya ule wa Kagame aliyeshiriki kumuondoa Dikteta Idd Amin Dada. Maana Kagame aliona Vita ya Panzi furaha kwa kunguru. Pia kumbuka yote yanatokea bado Kagame alkuwa na ushauri mkubwa wa kijeshi Uganda kutokana na umahiri wake wa kiintelejinsia. Milton Obote baada ya kushinda Urais 1980 kina Museveni hawakufurahia ushindi wake, ndipo Yoweri Museveni na Paul kagame Wakajitenga NCC na UNLA japokuwa walikuwa na ushawishi mkubwa juu ya vyombo hivyo. Ndipo Yoweri Museveni, Paul Kagame, Fred Rwigyema na waganda wengine 37 walianzisha chombo chao cha kijeshi kilichoitwa National Resistance Army(NRA) ili wampindue Rais. Kikundi hiki kilikimbilia msituni na kuanzisha mapigano makali kwa miaka sita dhidi ya majeshi ya serikali, pamoja na udogo wake(japo baadae waliongezeka arobaini wa awali) lakini kiliyachosha majeshi ya serikali kwa miaka sita. Miaka hii sita ya mapambano dhidi ya majeshi ya serikali yalidhihirisha unguli wa Paul Kagame nguli wa 'Physical Werfare' pia baadae ulidhihirika kweny mauaji ya kimbari, baada, nikipata uhai nitaelezea. Kwa miaka yote ya vita Paul Kagame alikuwa kiungo muhimu sana na aliheshimika sana na wapiganaji wenzake kuliko hata Museveni mwenyewe. Nyadhifa zao NRA zilikaribia kwenye usawa mmoja. Majeshi ya serikali yalikuwa na hali tete kupelekea askari wa miguu kuomba serikali isitishe mapigano maana walikuwa wanakufa wengi Lakini serikili ikanya ngumu kukakataa kusikiliza askari wake. Wanasema la kuvunda halina ubani. Desemba 1980 Mkuu wa majeshi ya Uganda jenerali Oyite Ojok alikufa kwa ajali ya ndege ambayo kuna kila dalili ya mkono wa Kagame. Baada ya Jenerali kufariki aliyetegemewa sana na Rais Obote badala ya kumteua waliotegemewa Tito Okello au Bazilio Olara okello ambaye alishiriki kumuondoa Idd Amin hatimaye akamteua askari wa chini kabisa anayetoka nae kabila moja. Hali hii iliwauzi Jeshi la serikali na waganda Na ndipo miaka 2 baadae jeshi likampindua Milton Obote na jeshi kushika nchi na kuanzisha mapambano dhidi ya vikundi vya msituni kila kimoja kikitaka kuongoza nchi. Ndipo yalifanyija maongezi nchini Kenya baina ya vikundi vyote vya msituni na serikali chini ya Rais Daniel Arap Moi ili kuleta Suluhu na kuweka muelekeo mpya wa nchi ya Uganda. 29 januari 1986 Yoweri Kaguta Museveni akaapishws kuwa Rais mpya wa Uganda. Paul Kagame akateuliwa na Rais kuwa Chief Millitary Intelligence(Mkuu wa usalama wa Jeshi Uganda) na swahiba wake Fred Rwigyema kuwa waziri wa ulinzi. Kutokana na ushawishi wa kagame uganda ilipelekea baraza la mawaziri kujaa watusi kabila la kagame. Kwa maana nyingine twasema Kagame aliiweka Uganda kiganjani mwake japo hakuwa Rais. Mtandao mkubwa alioujenga ndani ya serikal ya Uganda, baraza la mawaziri na jeshi alikuwa na nguvu kumzidi Rais Yoweri Museveni. Uzuri ni kwamba Museveni aliujua umahiri wa kagame kijasusi na hakutaka mvutano nae maana alijua lengo lake lipi. Kagame hakuwa na nia ya Urais wa Uganda wala kuendelea kuliendesha jeshi la uganda. Bali alitaka kuwakomboa ndugu zake watusi waliokuwa wanateseka Rwanda. Na sasa alikuwa amekamilika kila kitu. Alikuwa na uzoefu wa kutosha, alikuwa na weledi wa kutosha. Tunathubutu kusema kwamba kwa kipindi hiki hakuna ambaye aliyekuwa anaweza kufikia daraja la juu la umahiri wa Kagame katika masuala ya Ujasusi Afrika Mashariki na Kati. Pia alikuwa na ushawishi katika nchi za kimkakati zinazopakana na Rwanda kama Kongo aliwapeleka wapiganaji wa NRA kupata mafunzo ya Special Force kipindi cha mapigano cha miaka 6 msituni dhidi ya majeshi ya serikali Obote. Pia alikuwa na ushawishi Tanzania(mtoto wetu tuliyemfunza wenyewe Ujasusi na alitusaidia sana kwenye vita ya Kagera). Mbele yake alikuwa na jambo moja tu kabla ya kuondoka kwenye uso wa Dunia ni kuiweka Rwanda mikononi mwake. NOTE: Mungu akinipa uhai nitawaletea Harakati za Kagame kuyamaliza mauaji ya Wahutu na watusi, kimbali hadi Kuwa Rais wa Rwanda. Ahsante kwa Utiifu Wako.
    0 Kommentare ·0 Anteile ·2KB Ansichten
  • Sikia hii kutoka Kwa Rude boy: Kwa sababu ya pesa nlimpoteza mwanamke ambaye hata mama alijua nitamuoa - Rude boy

    Wimbo Reason with me ulisimulia kile kilichonitokea kweli, nlikuwa na msichana ambaye hata mama alijua nitakuja kumuoa, lakini wakaja wale big boys wakafanya Yao kila kitu , kila kitu nlichofanya kikawa kero kwake , hata salamu zangu, lakini hata hivyo nashukuru alinifanya niipambanie maisha yangu kwa ukubwa , unajua pesa inaweza kumfanya mwanamke akuache na kukutaftia sababu zisizo na maana - Rude boy

    Funzo: hakika pesa ni nzuri Mungu abariki kila juhudi halali unayoweka kwa ajili ya mafanikio yako...

    #jewajua
    Sikia hii kutoka Kwa Rude boy: Kwa sababu ya pesa nlimpoteza mwanamke ambaye hata mama alijua nitamuoa - Rude boy Wimbo Reason with me ulisimulia kile kilichonitokea kweli, nlikuwa na msichana ambaye hata mama alijua nitakuja kumuoa, lakini wakaja wale big boys wakafanya Yao kila kitu , kila kitu nlichofanya kikawa kero kwake , hata salamu zangu, lakini hata hivyo nashukuru alinifanya niipambanie maisha yangu kwa ukubwa , unajua pesa inaweza kumfanya mwanamke akuache na kukutaftia sababu zisizo na maana - Rude boy Funzo: hakika pesa ni nzuri Mungu abariki kila juhudi halali unayoweka kwa ajili ya mafanikio yako... #jewajua
    0 Kommentare ·0 Anteile ·927 Ansichten
  • Nyumbu ( wildebeest) uzito 140 hadi 220 kulingana na afya yake, hupendelea kula nyasi ndogo ndogo zinazochipua, kama hatopata suluba huishi hadi miaka 17 na kidogo.uzee ukimzidi akishindwa kufanya safari kutafta malisho na wenzake basi hufa kwa njaa, eidha ufanywa kitoweo cha jioni na mtawala wa eneo hilo (simba)

    Kundi LA nyumbu huwa kati ya 10,000 hadi 90,000. Endapo majani yapo yakutosha nyumbu huongezeka idadi hadi kufikia 100,000 na zaidi.vipindi vya mvua nyingi ndipo nymbu huzaliana kwa kasi zaidi,

    Nyumbu wa Serengeti hula na kuzaliana nyakati za masika tu.endapo kiangazi kitaingia nyumbuwote hufunga safari na kuelekea hifadhi jilani ya Kenya (masaimar). Nyakati hizo huko kenya huwa kunamalisho yakutosha, nyumbu hukaa miezi isiyopungua 6 ndipo hufanya safari zao.

    Nyumbu ni mnyama wa tofauti kidogo na wanyama wengine kimaumbile, yaani nyumbu amebeba muonekano wa wanyama wasiopungua 7, ngoja nikujuze,

    Nywele za shingoni; SIMBA
    Mkia: FARASI
    Ndevu:MBUZI
    Mapaja ya nyuma; PUNDA MILIA
    Mgongo :ng'ombe
    Miguu ya mbele milefu yanyuma mifupi ; FISI

    Watu husema nyumbu ni mwoga na mzembe

    Nyumbu wakiwa katika kundi huwa ni waoga saaaana, yaani at a mtoto wa duma mwenye mwezi mmoja anaweza kutishia kundi LA nyumbu 20000 na wakakimbia, na asiwepo nyumbu wa kudinda ata kugeuka nyuma.

    Ila nyumbu akiwa mwenyew huwa haogopi .ni mala chache mno nyumbu aliye pekeake kumkimbia adui yake, nyumbu akiwa mwenyewe huwa anajiona kama tembo au kifaru, huwa ni hatari zaidi ata duma hutegea wawe kwenye kundi ndio wavamie.

    Nyumbu wakiwa safarini hawajawai kupisha kitu chochote kilichopo mbeleyao. Wakiwa katika mwendo wa mchaka mchaka wakiluka mabonde na mapolomoko, wakivuka mito mikubwa mithiri ya wanajeshi wakiwa mafunzoni.

    Katika safari yao nyumbu hawajawahi kumsubiri nyumbu mwezao aliyepata ajali, aliejisahau eidha alikuw anakul majan, aliyezaa wala aliyekamatwa na mnyama mlanyama, msafala wao huwa hausubiri kitu wala hauna fea.

    Pia nyumbu hawana mda wa kumtetea mwenzao aliyedhibitiwa na mnyama mla mnyama.
    Nyumbu ( wildebeest) uzito 140 hadi 220 kulingana na afya yake, hupendelea kula nyasi ndogo ndogo zinazochipua, kama hatopata suluba huishi hadi miaka 17 na kidogo.uzee ukimzidi akishindwa kufanya safari kutafta malisho na wenzake basi hufa kwa njaa, eidha ufanywa kitoweo cha jioni na mtawala wa eneo hilo (simba) Kundi LA nyumbu huwa kati ya 10,000 hadi 90,000. Endapo majani yapo yakutosha nyumbu huongezeka idadi hadi kufikia 100,000 na zaidi.vipindi vya mvua nyingi ndipo nymbu huzaliana kwa kasi zaidi, Nyumbu wa Serengeti hula na kuzaliana nyakati za masika tu.endapo kiangazi kitaingia nyumbuwote hufunga safari na kuelekea hifadhi jilani ya Kenya (masaimar). Nyakati hizo huko kenya huwa kunamalisho yakutosha, nyumbu hukaa miezi isiyopungua 6 ndipo hufanya safari zao. Nyumbu ni mnyama wa tofauti kidogo na wanyama wengine kimaumbile, yaani nyumbu amebeba muonekano wa wanyama wasiopungua 7, ngoja nikujuze, Nywele za shingoni; SIMBA Mkia: FARASI Ndevu:MBUZI Mapaja ya nyuma; PUNDA MILIA Mgongo :ng'ombe Miguu ya mbele milefu yanyuma mifupi ; FISI Watu husema nyumbu ni mwoga na mzembe Nyumbu wakiwa katika kundi huwa ni waoga saaaana, yaani at a mtoto wa duma mwenye mwezi mmoja anaweza kutishia kundi LA nyumbu 20000 na wakakimbia, na asiwepo nyumbu wa kudinda ata kugeuka nyuma. Ila nyumbu akiwa mwenyew huwa haogopi .ni mala chache mno nyumbu aliye pekeake kumkimbia adui yake, nyumbu akiwa mwenyewe huwa anajiona kama tembo au kifaru, huwa ni hatari zaidi ata duma hutegea wawe kwenye kundi ndio wavamie. Nyumbu wakiwa safarini hawajawai kupisha kitu chochote kilichopo mbeleyao. Wakiwa katika mwendo wa mchaka mchaka wakiluka mabonde na mapolomoko, wakivuka mito mikubwa mithiri ya wanajeshi wakiwa mafunzoni. Katika safari yao nyumbu hawajawahi kumsubiri nyumbu mwezao aliyepata ajali, aliejisahau eidha alikuw anakul majan, aliyezaa wala aliyekamatwa na mnyama mlanyama, msafala wao huwa hausubiri kitu wala hauna fea. Pia nyumbu hawana mda wa kumtetea mwenzao aliyedhibitiwa na mnyama mla mnyama.
    Like
    1
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·1KB Ansichten
  • Privaldinho

    Yanga ndio timu pekee Tanzania hii yenye utajiri wa wachezaji wazawa wenye uwezo wa hali ya juu ambao wanaweza kucheza soka popote pale AFRIKA bila wasiwasi kutokana na ubora wao, uzoefu na mafunzo sahihi waliyopata kutoka kwa makocha bora waliopita Yanga.

    Privaldinho ✍️ Yanga ndio timu pekee Tanzania hii yenye utajiri wa wachezaji wazawa wenye uwezo wa hali ya juu ambao wanaweza kucheza soka popote pale AFRIKA bila wasiwasi kutokana na ubora wao, uzoefu na mafunzo sahihi waliyopata kutoka kwa makocha bora waliopita Yanga.
    0 Kommentare ·0 Anteile ·254 Ansichten
  • Jibu la Wakazi kwa Vanessa Mdee.

    "IT IS NOT FAIR: Ushirikina uko kila mahali kuzidi muziki !!

    Sidhani kama ni sahihi kusema Music peke yake ndio una mambo ya KISHIRIKINA hapo Tanzania! Au kwamba kila anayeufanya au aliyefanikiwa amefanya hivyo sababu ya Maagano ya kishetani.

    Imani za kimila kweli zipo Tanzania, ila hiyo ni sehemu ya utamaduni wetu. Sidhani kama mambo ya uchawi na kulogana ya kwenye muziki, yanafikia hata robo ya yanayotokea kwenye MAPENZI, SIASA, KAZINI, MICHEZO!!

    Watu wanataka kufanikiwa, na wakifikia hiyo desperation ya juu, basi wanaweza kushawishika kufanya lolote ili jambo lao liende. Ila sio wote pia…

    Na kingine, sidhani kama kutoa Sadaka au kwenda kwa Sheikh atie Baraka kabla ya kutoa kazi, huo ni ushirikina. Mimi sio Muislamu, ila nina marafiki Wasanii ambao wanafanya hivyo… na naona ni sawa (kuomba kheri kwenye kazi yako).

    Ila uchawi upo, maagano ya kishetani yapo, na ni kila mahali kwa wanaoamini na walio desperate enough, au wenye husda juu ya mafanikio ya wengine.

    Pia Suala la baadhi nyimbo za dini (“Gospel”) kutosema Yesu, sidhani kama ni sababu ya ushetani. Gospel iligeuka kuwa muziki wa kibiashara na wadau wakubwa walifanya conscious decision ya kuhimiza kusema Mungu ili wasiwatenge baadhi ya walaji, maana tukiwa wakweli, sio Wakristo tu ambao wamekuwa wanafurahia nyimbo za dini. So hakuna conspiracy hapo, maana pia kama hata mahubiri ya kanisani yalivyokuwa sometimes yanahusu maisha, ndoa, mafanikio, nk, hata muziki nao sometimes unatoa mafunzo tu ya kimaisha.

    Pengine tukianza ku-appreciate muziki kwa ubora na utofauti wake, badala ya kuwawekea pressure artist kuwa na stereotypical hits, basi wataacha kuwa desperate na kuhamia kwenye uchawi. Ila bottom line sidhani kama ni sahihi kuwanyooshea kidole wao tu… Mambo ya Jadi ni masuala ya nchi.

    SWALI: Zamani wahayudi walikuwa wanatoa sadaka kwa kichinja kondoo… ili Mungu awabariki. Je mtu akifanya tambiko la kimila@kwa kuchinja mbuzi kwanini aonekane kafanya kitu cha ajabu?! Je tunatofautishaje good magic & dark magic?! ana pia kuna secular artists wameimba nyimbo ambazo ni sawa na hawa Gospel artists wanazofanya, do we accept their songs as gospel? ( Phina - “Sisi Ni Wale”, MwanaFA - “Mfalme”)" - Wakazi, Msanii wa muziki wa Hip-hop Tanzania (wa zamani).

    Jibu la Wakazi kwa Vanessa Mdee. "IT IS NOT FAIR: Ushirikina uko kila mahali kuzidi muziki !! Sidhani kama ni sahihi kusema Music peke yake ndio una mambo ya KISHIRIKINA hapo Tanzania! Au kwamba kila anayeufanya au aliyefanikiwa amefanya hivyo sababu ya Maagano ya kishetani. Imani za kimila kweli zipo Tanzania, ila hiyo ni sehemu ya utamaduni wetu. Sidhani kama mambo ya uchawi na kulogana ya kwenye muziki, yanafikia hata robo ya yanayotokea kwenye MAPENZI, SIASA, KAZINI, MICHEZO!! Watu wanataka kufanikiwa, na wakifikia hiyo desperation ya juu, basi wanaweza kushawishika kufanya lolote ili jambo lao liende. Ila sio wote pia… Na kingine, sidhani kama kutoa Sadaka au kwenda kwa Sheikh atie Baraka kabla ya kutoa kazi, huo ni ushirikina. Mimi sio Muislamu, ila nina marafiki Wasanii ambao wanafanya hivyo… na naona ni sawa (kuomba kheri kwenye kazi yako). Ila uchawi upo, maagano ya kishetani yapo, na ni kila mahali kwa wanaoamini na walio desperate enough, au wenye husda juu ya mafanikio ya wengine. Pia Suala la baadhi nyimbo za dini (“Gospel”) kutosema Yesu, sidhani kama ni sababu ya ushetani. Gospel iligeuka kuwa muziki wa kibiashara na wadau wakubwa walifanya conscious decision ya kuhimiza kusema Mungu ili wasiwatenge baadhi ya walaji, maana tukiwa wakweli, sio Wakristo tu ambao wamekuwa wanafurahia nyimbo za dini. So hakuna conspiracy hapo, maana pia kama hata mahubiri ya kanisani yalivyokuwa sometimes yanahusu maisha, ndoa, mafanikio, nk, hata muziki nao sometimes unatoa mafunzo tu ya kimaisha. Pengine tukianza ku-appreciate muziki kwa ubora na utofauti wake, badala ya kuwawekea pressure artist kuwa na stereotypical hits, basi wataacha kuwa desperate na kuhamia kwenye uchawi. Ila bottom line sidhani kama ni sahihi kuwanyooshea kidole wao tu… Mambo ya Jadi ni masuala ya nchi. SWALI: Zamani wahayudi walikuwa wanatoa sadaka kwa kichinja kondoo… ili Mungu awabariki. Je mtu akifanya tambiko la kimila@kwa kuchinja mbuzi kwanini aonekane kafanya kitu cha ajabu?! Je tunatofautishaje good magic & dark magic?! ana pia kuna secular artists wameimba nyimbo ambazo ni sawa na hawa Gospel artists wanazofanya, do we accept their songs as gospel? ( Phina - “Sisi Ni Wale”, MwanaFA - “Mfalme”)" - Wakazi, Msanii wa muziki wa Hip-hop Tanzania (wa zamani).
    Like
    1
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·1KB Ansichten
  • Ni Mtoto wa Msanii wa Tanzania, Joh Makini anayeitwa King John Mseke mwenye umri wa miaka tisa (9) na anasoma darasa la tano (5), ameenda Nchini England kwenye "Academy" ya klabu ya Manchester City kupata mafunzo ya wiki mbili (2) kisha atafanyiwa vipimo vya uwezo wake wa kimpira wa miguu.

    Ni Mtoto wa Msanii wa Tanzania, Joh Makini anayeitwa King John Mseke mwenye umri wa miaka tisa (9) na anasoma darasa la tano (5), ameenda Nchini England kwenye "Academy" ya klabu ya Manchester City kupata mafunzo ya wiki mbili (2) kisha atafanyiwa vipimo vya uwezo wake wa kimpira wa miguu.
    0 Kommentare ·0 Anteile ·502 Ansichten
  • Kila siku mpya uwanjani inatupa nafasi wachezaji ya kujifunza kitu kipya, mechi mbili zilizopita, ya Ligi ya Mabingwa na Ligi Kuu zimetupa funzo na kesho tutakwenda kupambana ili tupate matokeo mazuri - Aziz KI, Mchezaji wa klabu ya Yanga SC.

    Kila siku mpya uwanjani inatupa nafasi wachezaji ya kujifunza kitu kipya, mechi mbili zilizopita, ya Ligi ya Mabingwa na Ligi Kuu zimetupa funzo na kesho tutakwenda kupambana ili tupate matokeo mazuri - Aziz KI, Mchezaji wa klabu ya Yanga SC.
    0 Kommentare ·0 Anteile ·245 Ansichten
  • Kila siku mpya uwanjani inatupa nafasi wachezaji ya kujifunza kitu kipya, mechi mbili zilizopita, ya Ligi ya Mabingwa na Ligi Kuu zimetupa funzo na kesho tutakwenda kupambana ili tupate matokeo mazuri - Aziz KI

    #timuyawananchi
    #daimambelenyumamwiko
    Kila siku mpya uwanjani inatupa nafasi wachezaji ya kujifunza kitu kipya, mechi mbili zilizopita, ya Ligi ya Mabingwa na Ligi Kuu zimetupa funzo na kesho tutakwenda kupambana ili tupate matokeo mazuri - Aziz KI #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko
    Like
    2
    · 2 Kommentare ·0 Anteile ·513 Ansichten
  • Kalibu wageni hapa tunasubili watakapo fika watu 100 tutaanza dalasa letu la LBL Apo tutajifunza namna ya KUTENGENEZEA pesa kupitia Simu yako
    Share link hii ili watu tujifunze pamoja
    TUNATARAJIA KUWA NA MAFUNZO YA NAMNA UNAWEZA KUJITENGENEZEA PESA KUPITIA SIMU YAKO NA KAMPUNI YA LBL JIUNGE NA GRUP WHATSAPP HAPA
    https://chat.whatsapp.com/ChLEXfUTwc91qRovnnhWvf
    Kalibu wageni hapa tunasubili watakapo fika watu 100 tutaanza dalasa letu la LBL Apo tutajifunza namna ya KUTENGENEZEA pesa kupitia Simu yako Share link hii ili watu tujifunze pamoja TUNATARAJIA KUWA NA MAFUNZO YA NAMNA UNAWEZA KUJITENGENEZEA PESA KUPITIA SIMU YAKO NA KAMPUNI YA LBL JIUNGE NA GRUP WHATSAPP HAPA https://chat.whatsapp.com/ChLEXfUTwc91qRovnnhWvf
    Haha
    Wow
    2
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·371 Ansichten
  • Ufaransa itaipatia Ukraine msaada wa kijeshi katika wiki zijazo, ikiwa ni pamoja na makombora ya Mistral na Aster, ambayo kwa kiasi kikubwa yanafadhiliwa na mapato kutoka kwa mali iliyoganda ya Urusi, Waziri wa Ulinzi wa Ufaransa Sebastien Lecornu anasema. Ufaransa pia iko tayari kuendelea kutoa mafunzo kwa wanajeshi wa Ukraine


    #everyone
    #ukraine
    #urusi
    Ufaransa itaipatia Ukraine msaada wa kijeshi katika wiki zijazo, ikiwa ni pamoja na makombora ya Mistral na Aster, ambayo kwa kiasi kikubwa yanafadhiliwa na mapato kutoka kwa mali iliyoganda ya Urusi, Waziri wa Ulinzi wa Ufaransa Sebastien Lecornu anasema. Ufaransa pia iko tayari kuendelea kutoa mafunzo kwa wanajeshi wa Ukraine #everyone #ukraine #urusi
    Love
    1
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·550 Ansichten
Suchergebnis