• “Mashabiki duniani kote walitarajia tufunge penalti. Lakini tunawezaje kuwa wazuri wa kufunga penalti ikiwa Ronaldo ndiye anayepiga penalti zote kwenye mazoezi?” .

    Dogo aliamua kuweka wazi tatizo la wao kushindwa kwenye mikwaju ya penalti .

    #fcbarcelonaswahilinews

    #SportsElite
    🚨🚨“Mashabiki duniani kote walitarajia tufunge penalti. Lakini tunawezaje kuwa wazuri wa kufunga penalti ikiwa Ronaldo ndiye anayepiga penalti zote kwenye mazoezi?” 😂🤣. Dogo aliamua kuweka wazi tatizo la wao kushindwa kwenye mikwaju ya penalti 😏. #fcbarcelonaswahilinews #SportsElite
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·442 Views
  • Barcelona kunufaika kwa €2 milioni kutokana na jeraha la Ter Stegen

    Ripoti ya habari imeeleza uwezekano wa klabu ya FC Barcelona kupokea kiasi cha €2 milioni kufuatia jeraha la mlinda mlango wao wa Kijerumani, Marc-André ter Stegen .

    Kwa mujibu wa Mundo Deportivo, Barcelona waligundua kwanza jeraha la Ter Stegen baada ya mechi za UEFA Nations League dhidi ya Ureno na Ufaransa zilizochezwa Juni 4 na 8.

    Ripoti hiyo imeongeza:

    > "Barcelona waliiarifu FIFA mapema kuhusu matatizo ya mgongo aliyopata Ter Stegen, ambayo yalitokana na mechi zake za hivi karibuni na timu ya taifa ya Ujerumani ."

    Kwa hivyo, FIFA huenda ikalazimika kulipa fidia kifedha kwa Barcelona ikiwa Ter Stegen atakuwa nje ya uwanja kwa zaidi ya siku 28 mfululizo kutokana na jeraha alilopata akiwa kwenye majukumu ya kimataifa .

    Ripoti hiyo imeeleza kuwa klabu ya Catalonia inaweza kupata zaidi ya €2 milioni kutokana na hali hiyo.

    Barcelona tayari waliwahi kunufaika na mpango wa fidia wa FIFA ujulikanao kama Club Protection Program wakati Gavi alipoumia vibaya akiwa na timu ya taifa ya Hispania mwaka 2023, na pia walipopata fidia baada ya Ronald Araújo kuumia akiwa na Uruguay wakati wa Copa América 2024.

    Kwa upande wa Ter Stegen, ikiwa atakosa mashindano kwa miezi 4, Barcelona wangeweza kupokea hadi €2.46 milioni.

    #SportsElite
    🚨 Barcelona kunufaika kwa €2 milioni kutokana na jeraha la Ter Stegen 💰 Ripoti ya habari imeeleza uwezekano wa klabu ya FC Barcelona kupokea kiasi cha €2 milioni kufuatia jeraha la mlinda mlango wao wa Kijerumani, Marc-André ter Stegen 🤕. Kwa mujibu wa Mundo Deportivo, Barcelona waligundua kwanza jeraha la Ter Stegen baada ya mechi za UEFA Nations League dhidi ya Ureno 🇵🇹 na Ufaransa 🇫🇷 zilizochezwa Juni 4 na 8. Ripoti hiyo imeongeza: > "Barcelona waliiarifu FIFA mapema kuhusu matatizo ya mgongo aliyopata Ter Stegen, ambayo yalitokana na mechi zake za hivi karibuni na timu ya taifa ya Ujerumani 🇩🇪." Kwa hivyo, FIFA huenda ikalazimika kulipa fidia kifedha kwa Barcelona ikiwa Ter Stegen atakuwa nje ya uwanja kwa zaidi ya siku 28 mfululizo kutokana na jeraha alilopata akiwa kwenye majukumu ya kimataifa 🏥. Ripoti hiyo imeeleza kuwa klabu ya Catalonia inaweza kupata zaidi ya €2 milioni kutokana na hali hiyo. Barcelona tayari waliwahi kunufaika na mpango wa fidia wa FIFA ujulikanao kama Club Protection Program wakati Gavi alipoumia vibaya akiwa na timu ya taifa ya Hispania 🇪🇸 mwaka 2023, na pia walipopata fidia baada ya Ronald Araújo kuumia akiwa na Uruguay 🇺🇾 wakati wa Copa América 2024. Kwa upande wa Ter Stegen, ikiwa atakosa mashindano kwa miezi 4, Barcelona wangeweza kupokea hadi €2.46 milioni. #SportsElite
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·882 Views
  • WAZEE WANASEMA;

    "Mtu anayekwenda hospitalini na kuishia kueleza ugonjwa wa mwenzake kuliko ugonjwa wake, hakika atarudi nyumbani akiwa mgonjwa bado." Tutambue kwamba nisitegemee mwenzangu ameze dawa ili ugonjwa wangu upone. Dawa napaswa nimeze mimi. Mara nyingi tunaona shida za wenzetu kuliko za kwetu. Tunafikiria ati wenzetu ndio wenye matatizo bila kujua kwamba matatizo yapo kwetu sisi wenyewe. Tunataka wenzetu wakameze dawa wakati sisi ndio wagonjwa. Tujiulize, dawa zetu tutameza saa ngapi? Unataka mzinzi au aliyefumaniwa akameze dawa-jiulize, na wewe dawa yako ya umbea utameza saa ngapi?, dawa zako za uchoyo, ukatili utazimeza lini?"

    Pd.PK,
    WAZEE WANASEMA; "Mtu anayekwenda hospitalini na kuishia kueleza ugonjwa wa mwenzake kuliko ugonjwa wake, hakika atarudi nyumbani akiwa mgonjwa bado." Tutambue kwamba nisitegemee mwenzangu ameze dawa ili ugonjwa wangu upone. Dawa napaswa nimeze mimi. Mara nyingi tunaona shida za wenzetu kuliko za kwetu. Tunafikiria ati wenzetu ndio wenye matatizo bila kujua kwamba matatizo yapo kwetu sisi wenyewe. Tunataka wenzetu wakameze dawa wakati sisi ndio wagonjwa. Tujiulize, dawa zetu tutameza saa ngapi? Unataka mzinzi au aliyefumaniwa akameze dawa-jiulize, na wewe dawa yako ya umbea utameza saa ngapi?, dawa zako za uchoyo, ukatili utazimeza lini?" ©️Pd.PK,
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·545 Views
  • Nguvu inayo badilisha mtu .

    Warumi 12:2
    [2]*Wala msiifuatishe namna ya dunia hii;
    *bali mgeuzwe kwa kufanywa upya nia zenu, mpate kujua hakika mapenzi ya Mungu yaliyo mema, ya kumpendeza, na ukamilifu*

    Kama ukiwachukua watu wasili wanao waza sawa tunategemea matokeo yatakuwa sawa.

    Iko nguvu inaitwa neno la Mungu inayo weza badilisha mtu kama tu mtu akijua jinsi Mungu anavyo taka aenende .

    Kiwango chako cha kumjua Mungu katika neno lazima kiendane na matokeo kwani chochote apandacho mtu ndicho atakacho vuna.

    Wagalatia 6:7
    [7]Msidanganyike, Mungu hadhihakiwi; kwa kuwa cho chote apandacho mtu, ndicho atakachovuna.


    faida za kulijua neno kama nguvu inayo badilisha mtu .

    1.INATUHAKIKISHIA KUFNIKIWA.

    Mungu amehakikisha kila anaye mjua sawa sawa na neno anampa nguvu ya kufanikiwa.

    Zaburi 1:1-2
    [1]Heri mtu yule asiyekwenda
    Katika shauri la wasio haki;
    Wala hakusimama katika njia ya wakosaji;
    Wala hakuketi barazani pa wenye mizaha.

    [2]Bali sheria ya BWANA ndiyo impendezayo,
    Na sheria yake huitafakari mchana na usiku.

    Lazma uamue kuishi maisha yasiyo na mizaa kabisa na dhambi kwa kulifuata neno kama mwongozo wako hapo ndipo utampendeza Mungu na Mungu atajihakikishia kukuwazia mema na mafanikio.

    Isaya 55:8-9
    [8] *Maana mawazo yangu si mawazo yenu, wala njia zenu si njia zangu; asema BWANA.*
    .
    [9]Kwa maana kama vile mbingu zilivyo juu sana kuliko nchi, kadhalika njia zangu zi juu sana kuliko njia zenu, na mawazo yangu kuliko mawazo yenu.

    Mawazo ya mungu ni kuona ndoa yako inafanikiwa toka ujana wako mpaka uzee.

    Mawazo ya Mungu nikuona biashara yako inashine kuliko jana .

    Mawazo ya Mungu ni kukuona ukiishi maisha ya mafanikio na furaha siku zote za maisha yako .

    Yeremia 29:11
    [11] *Maana nayajua mawazo ninayowawazia ninyi, asema BWANA, ni mawazo ya amani wala si ya mabaya, kuwapa ninyi tumaini siku zenu za mwisho.*

    Tatizo lako ni moja umeichukulia mzaa dhambi na kufanya mawazo ya Mungu kwako yasitimie .

    Acha dhambi acha mzaa na zinaa kutoka kusema hii ndo zambi yetu vijana anza kuichukia totally maisha yako yatabadilika totally na Mungu atakuhakikishia mafanikio siku zote.

    Mafanikio ni hakika na kweli kabisa kwa mtu anaye kaa na neno, mtu ambaye katika kila jambo anajibu na kulitazama neno linasema nini lazima apokee mafanikio makubwa zaidi.

    2.inatusaidia kutoka katika mawazo na fikra hasi

    Mtu hawezi kufanikiwa zaidi ya vile anavyo amini .

    Mtu awezi kupokea uponyaji zaidi ya vile anavyo hitaji.

    Kiwango cha mafanikio yako kinaamuliwa na kiwango cha imani yako .

    Marko 9:23
    [23]Yesu akamwambia, Ukiweza! Yote yawezekana kwake aaminiye.

    Ukiweza kuwekeza katika neno neno litakupa matokeo ya mwilini kwani neno litakusaidia kujua jinsi gani watu walio tembea na mungu walifanikiwa .

    Utaacha kuona haiwezekani kila jambo utaanza kuona inawezekana kila jambo kwani utajua yeye anasemaji.

    Wafilolipi 4:13
    *Naweza kuyafanya mambo yote katika yeye anitiaye nguvu*

    Ko ni neno litabadilisha msimamo wako juu ya mawazo hasi juu ya mafanikio .

    Kwa maana mtu hawezi kuwa zaidi ya anavyo jiona.

    Mithali 23:7
    [7] *Maana aonavyo nafsini mwake, ndivyo alivyo*.
    Akuambia, Haya, kula, kunywa;
    Lakini moyo wake hauwi pamoja nawe.

    Neno pekee ndilo linaweza badilisha namna unavyo jiona na jinsi unavyo amini ili upokee mambo makubwa .

    Usidanganyikee mtu hawezi kupokea zaidi ya ufunuo alio upata katika neno husika .

    Nimatumaini yangu utaanza kuongeza imani katika neno ili upate nguvu ibadilishayo mtu .

    Take care, naitwa sylvester natokea kutoka (build new eden)

    Karubu tujifunze pamoja neno la Mungu .kupitia group la watsap

    https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4

    #restore men position
    #build new position
    Nguvu inayo badilisha mtu . Warumi 12:2 [2]*Wala msiifuatishe namna ya dunia hii; *bali mgeuzwe kwa kufanywa upya nia zenu, mpate kujua hakika mapenzi ya Mungu yaliyo mema, ya kumpendeza, na ukamilifu* Kama ukiwachukua watu wasili wanao waza sawa tunategemea matokeo yatakuwa sawa. Iko nguvu inaitwa neno la Mungu inayo weza badilisha mtu kama tu mtu akijua jinsi Mungu anavyo taka aenende . Kiwango chako cha kumjua Mungu katika neno lazima kiendane na matokeo kwani chochote apandacho mtu ndicho atakacho vuna. Wagalatia 6:7 [7]Msidanganyike, Mungu hadhihakiwi; kwa kuwa cho chote apandacho mtu, ndicho atakachovuna. faida za kulijua neno kama nguvu inayo badilisha mtu . 1.INATUHAKIKISHIA KUFNIKIWA. Mungu amehakikisha kila anaye mjua sawa sawa na neno anampa nguvu ya kufanikiwa. Zaburi 1:1-2 [1]Heri mtu yule asiyekwenda Katika shauri la wasio haki; Wala hakusimama katika njia ya wakosaji; Wala hakuketi barazani pa wenye mizaha. [2]Bali sheria ya BWANA ndiyo impendezayo, Na sheria yake huitafakari mchana na usiku. Lazma uamue kuishi maisha yasiyo na mizaa kabisa na dhambi kwa kulifuata neno kama mwongozo wako hapo ndipo utampendeza Mungu na Mungu atajihakikishia kukuwazia mema na mafanikio. Isaya 55:8-9 [8] *Maana mawazo yangu si mawazo yenu, wala njia zenu si njia zangu; asema BWANA.* . [9]Kwa maana kama vile mbingu zilivyo juu sana kuliko nchi, kadhalika njia zangu zi juu sana kuliko njia zenu, na mawazo yangu kuliko mawazo yenu. Mawazo ya mungu ni kuona ndoa yako inafanikiwa toka ujana wako mpaka uzee. Mawazo ya Mungu nikuona biashara yako inashine kuliko jana . Mawazo ya Mungu ni kukuona ukiishi maisha ya mafanikio na furaha siku zote za maisha yako . Yeremia 29:11 [11] *Maana nayajua mawazo ninayowawazia ninyi, asema BWANA, ni mawazo ya amani wala si ya mabaya, kuwapa ninyi tumaini siku zenu za mwisho.* Tatizo lako ni moja umeichukulia mzaa dhambi na kufanya mawazo ya Mungu kwako yasitimie . Acha dhambi acha mzaa na zinaa kutoka kusema hii ndo zambi yetu vijana anza kuichukia totally maisha yako yatabadilika totally na Mungu atakuhakikishia mafanikio siku zote. Mafanikio ni hakika na kweli kabisa kwa mtu anaye kaa na neno, mtu ambaye katika kila jambo anajibu na kulitazama neno linasema nini lazima apokee mafanikio makubwa zaidi. 2.inatusaidia kutoka katika mawazo na fikra hasi Mtu hawezi kufanikiwa zaidi ya vile anavyo amini . Mtu awezi kupokea uponyaji zaidi ya vile anavyo hitaji. Kiwango cha mafanikio yako kinaamuliwa na kiwango cha imani yako . Marko 9:23 [23]Yesu akamwambia, Ukiweza! Yote yawezekana kwake aaminiye. Ukiweza kuwekeza katika neno neno litakupa matokeo ya mwilini kwani neno litakusaidia kujua jinsi gani watu walio tembea na mungu walifanikiwa . Utaacha kuona haiwezekani kila jambo utaanza kuona inawezekana kila jambo kwani utajua yeye anasemaji. Wafilolipi 4:13 *Naweza kuyafanya mambo yote katika yeye anitiaye nguvu* Ko ni neno litabadilisha msimamo wako juu ya mawazo hasi juu ya mafanikio . Kwa maana mtu hawezi kuwa zaidi ya anavyo jiona. Mithali 23:7 [7] *Maana aonavyo nafsini mwake, ndivyo alivyo*. Akuambia, Haya, kula, kunywa; Lakini moyo wake hauwi pamoja nawe. Neno pekee ndilo linaweza badilisha namna unavyo jiona na jinsi unavyo amini ili upokee mambo makubwa . Usidanganyikee mtu hawezi kupokea zaidi ya ufunuo alio upata katika neno husika . Nimatumaini yangu utaanza kuongeza imani katika neno ili upate nguvu ibadilishayo mtu . Take care, naitwa sylvester natokea kutoka (build new eden) Karubu tujifunze pamoja neno la Mungu .kupitia group la watsap https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4 #restore men position #build new position
    Like
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·1χλμ. Views
  • Zaburi 89:35
    [35]Neno moja nimeliapa kwa utakatifu wangu,
    Hakika sitamwambia Daudi uongo,

    Huyu ni Mungu anasema juu ya mtumishi wake Daudi kuwa ameapa kwa utakatifu wake, hakika atamwambia Daudi uongo.

    Kwa sababu Daudi aliupendeza moyo wa Bwana n Bwana akajitukuza kupitia Daudi .

    Kwa lugha nyepesi ni hivi kuhusu ufalme ukiingia bato na daudi lazima ushindwe uchaguzi kwa sababu Bwana ameapa kumketisha Daudi na familia yake katika enzi ya ufalme.

    Zaburi 89:36-37
    [36] *Wazao wake watadumu milele,Na kitichake kitakuwa kama jua mbele zangu*

    [37]Kitathibitika milele kama mwezi;
    Shahidi aliye mbinguni mwaminifu.

    Unaona kumbe hata watoto wake watarithi uaminifu wa baba yao kwa kukalia kiti cha ufalme milele.

    Haya yanatokea siyo bahati mbaya lazima uwe mwaminifu kwa Bwana.

    Wakati watu wanapata
    nafasi ya kuomba utajiri kwa Bwana msikilize Daudi aliomba nini.

    Zaburi 27:4
    [4]Neno Moja nimelitaka kwa BWANA,
    Nalo ndilo nitakalolitafuta,
    *Nikae nyumbani mwa BWANA*
    Siku zote za maisha yangu,
    *Niutazame uzuri wa BWANA*,
    Na kutafakari hekaluni mwake.

    Kumbuka hizi zaburi sehemu kubwa Daudi aliziandika akiwa porini na wala si katika kiti cha kifalme .

    Kumbe moyo wa Daudi ulimpenda Bwana kiasi cha Bwana kumuamini yeye kuliko mfalme yeyote ,let say wewe leo unataka ubunge na kiagano ni sehemu ya Daudi lakini unapigwa chini na mtu anaye tumia waganga tatizo haliko kwa Mungu ttizo ni kiwango chako cha kuliamini neno ili ligeuke kuwa lako ni ndogo kuliko hofu yako juu ya kushindwa.

    Ukiokoka unapaswa kuaminiwa na Mungu na kuwa sehemu ya agano hili ambalo alimwapia Daudi juu ya *umiliki na utawala na akaapa kwa hakika hatosema uongo*

    Bwana anatupenda katika uaminifu wake kiasi ch sisi kuwa ndani ya agano lake.

    Zaburi 89:34
    *[34]Mimi sitalihalifu agano langu, Sitalibadili neno lililotoka midomoni mwangu.*

    Agano la Mungu ni hakika ni kukubaliki na kukuachia utawala ni maamuzi yako kuupokea utawala au kuishi nje ya kutawala .

    *Kiwango cha uaminifu wako kwa Bwana kitaamua kiwango cha Bwana kukuamini pia .na kujenga makao kwako*

    Ok shukrani sana naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden)
    Simu 0622625340
    #build new eden
    #restore men position
    Zaburi 89:35 [35]Neno moja nimeliapa kwa utakatifu wangu, Hakika sitamwambia Daudi uongo, Huyu ni Mungu anasema juu ya mtumishi wake Daudi kuwa ameapa kwa utakatifu wake, hakika atamwambia Daudi uongo. Kwa sababu Daudi aliupendeza moyo wa Bwana n Bwana akajitukuza kupitia Daudi . Kwa lugha nyepesi ni hivi kuhusu ufalme ukiingia bato na daudi lazima ushindwe uchaguzi kwa sababu Bwana ameapa kumketisha Daudi na familia yake katika enzi ya ufalme. Zaburi 89:36-37 [36] *Wazao wake watadumu milele,Na kitichake kitakuwa kama jua mbele zangu* [37]Kitathibitika milele kama mwezi; Shahidi aliye mbinguni mwaminifu. Unaona kumbe hata watoto wake watarithi uaminifu wa baba yao kwa kukalia kiti cha ufalme milele. Haya yanatokea siyo bahati mbaya lazima uwe mwaminifu kwa Bwana. Wakati watu wanapata nafasi ya kuomba utajiri kwa Bwana msikilize Daudi aliomba nini. Zaburi 27:4 [4]Neno Moja nimelitaka kwa BWANA, Nalo ndilo nitakalolitafuta, *Nikae nyumbani mwa BWANA* Siku zote za maisha yangu, *Niutazame uzuri wa BWANA*, Na kutafakari hekaluni mwake. Kumbuka hizi zaburi sehemu kubwa Daudi aliziandika akiwa porini na wala si katika kiti cha kifalme . Kumbe moyo wa Daudi ulimpenda Bwana kiasi cha Bwana kumuamini yeye kuliko mfalme yeyote ,let say wewe leo unataka ubunge na kiagano ni sehemu ya Daudi lakini unapigwa chini na mtu anaye tumia waganga tatizo haliko kwa Mungu ttizo ni kiwango chako cha kuliamini neno ili ligeuke kuwa lako ni ndogo kuliko hofu yako juu ya kushindwa. Ukiokoka unapaswa kuaminiwa na Mungu na kuwa sehemu ya agano hili ambalo alimwapia Daudi juu ya *umiliki na utawala na akaapa kwa hakika hatosema uongo* Bwana anatupenda katika uaminifu wake kiasi ch sisi kuwa ndani ya agano lake. Zaburi 89:34 *[34]Mimi sitalihalifu agano langu, Sitalibadili neno lililotoka midomoni mwangu.* Agano la Mungu ni hakika ni kukubaliki na kukuachia utawala ni maamuzi yako kuupokea utawala au kuishi nje ya kutawala . *Kiwango cha uaminifu wako kwa Bwana kitaamua kiwango cha Bwana kukuamini pia .na kujenga makao kwako* Ok shukrani sana naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden) Simu 0622625340 #build new eden #restore men position
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·1χλμ. Views
  • MAISHA NI MWALIMU MKUU...

    Kuna walimu wanaozungumza darasani, wahadhiri wanaofundisha kutoka kwenye jukwaa, na washauri wanaoongoza kwa maneno. Lakini kuna mwalimu anayewazidi wote, mwalimu ambaye hahitaji chaki, bodi, silabasi, wala uteuzi. Huyo mwalimu ni maisha. Maisha ni mwalimu mkuu kwa sababu hukufanya uishi somo. Haikupi habari tu; inakupa uzoefu. Sio nadharia za kunong'ona tu; inakukabidhi dhoruba. Na tofauti na mwalimu mtulivu ambaye anauliza ikiwa uko tayari, maisha wakati mwingine huanza mtihani bila onyo. Haisubiri urahisi wako; haiulizi maoni yako. Inaonyesha tu, mbichi, halisi, na bila kuchoka. Kwa mbali, maisha yanaonekana rahisi. Matatizo yanaonekana kutatuliwa. Maamuzi yanaonekana wazi. Unasikia hadithi ya mtu na unafikiri, "Kama ningekuwa wao, ningefanya hivi ... au vile." Kwa mbali, unatikisa kichwa kwa takwimu. Unanukuu nadharia. Unatoa mapendekezo. Wewe hata kutoa hukumu. Kwa sababu wakati huo, ni hadithi tu kwako. Ni hadithi tu kutoka kwa nchi nyingine, hadi maisha yatakapoleta ukweli kwenye mlango wako mwenyewe. Mpaka ugonjwa uwe wako. Mpaka hasara ni yako. Mpaka usaliti ni wako. Mpaka mtoto awe wako. Mpaka mapambano ni yako. Kisha kile ambacho hapo awali kilionekana kama takwimu kitatoka ndani ya nafsi yako. Kile ambacho mara moja kilisikika kama hadithi kitasikika kifuani mwako. Nini mara moja inaonekana nyeusi na nyeupe itageuka kuwa vivuli vya kijivu. Hapo ndipo maisha yanapoacha kuwa nadharia na kuwa ukweli. Hapo ndipo hukumu inapokauka, na unyenyekevu huanza kukua.

    Maisha yatakunyenyekea. Inajua kuwakunja wenye kiburi. Inajua jinsi ya kupunguza makali. Inajua jinsi ya kuwapiga magoti walio na nguvu zaidi, si kuwaangamiza, bali *kuwatengeneza upya, kuwajenga upya, kuwafundisha. tafadhali, mtangulize Mungu. Kwa sababu kuna njia pekee awezaye kukuongoza. Kuna usiku tu nuru yake inaweza kumulika. Kuna dhoruba tu mkono Wake unaweza bado. Bila Mungu, maisha yanaweza kukuvunja. Ukiwa na Mungu, maisha yanaweza kukuchubua, lakini usiwahi kuzika. Vile vile ulivyowahukumu wengine kwa uchaguzi wao, siku inaweza kuja wakati utajipata unatembea kwa viatu vyao. Na ghafla, mtazamo wako utabadilika. Ulimi wako utanyamaza. Moyo wako utakuwa laini. Na utaelewa, haikuwa rahisi kama inavyoonekana kutoka nje. Kwa hiyo uwe mwepesi wa kukosoa. Kuwa mwepesi wa kusikiliza. Kuwa mpole na wale wanaotambaa katika misimu ambayo hujawahi kujua. Kuwa mkarimu kwa watu wanaopitia dhoruba ambazo hujawahi kusafiri. Kwa sababu maisha yana njia ya kuleta mambo duara kamili. Leo wewe ni mtazamaji. Kesho unaweza kuzingatiwa. Leo wewe ni mshauri. Kesho unaweza kuwa unatafuta ushauri. Na itakapofika zamu yako, na ikafika, upate rehema uliyoizuia. Wacha maisha yakufanye uwe na busara, sio uchungu. Hebu ikufundishe neema, sio majivuno. Wacha izae ndani yako huruma, sio haki. Wacha iwe ndani ya roho yako huruma, na sio ubaya.

    Mwishowe, kumbuka kwamba maisha sio kuwa na majibu yote; ni juu ya kujifunza maswali sahihi. Na kwa kila jeraha, kila anguko, kila ushindi, na kila chozi, na uje kuona kwamba digrii kuu zaidi hazipatikani shuleni, hupatikana katika darasa la maisha. Kwa hivyo maisha yanapokuwa mwalimu, usipinga somo. Usifanye moyo wako kuwa mgumu. Acha ikunyooshe, ikutengeneze, ikuvunje, na ikujenge. Na zaidi ya yote, iruhusu ikurudishe kwa Mungu.
    MAISHA NI MWALIMU MKUU... Kuna walimu wanaozungumza darasani, wahadhiri wanaofundisha kutoka kwenye jukwaa, na washauri wanaoongoza kwa maneno. Lakini kuna mwalimu anayewazidi wote, mwalimu ambaye hahitaji chaki, bodi, silabasi, wala uteuzi. Huyo mwalimu ni maisha. Maisha ni mwalimu mkuu kwa sababu hukufanya uishi somo. Haikupi habari tu; inakupa uzoefu. Sio nadharia za kunong'ona tu; inakukabidhi dhoruba. Na tofauti na mwalimu mtulivu ambaye anauliza ikiwa uko tayari, maisha wakati mwingine huanza mtihani bila onyo. Haisubiri urahisi wako; haiulizi maoni yako. Inaonyesha tu, mbichi, halisi, na bila kuchoka. Kwa mbali, maisha yanaonekana rahisi. Matatizo yanaonekana kutatuliwa. Maamuzi yanaonekana wazi. Unasikia hadithi ya mtu na unafikiri, "Kama ningekuwa wao, ningefanya hivi ... au vile." Kwa mbali, unatikisa kichwa kwa takwimu. Unanukuu nadharia. Unatoa mapendekezo. Wewe hata kutoa hukumu. Kwa sababu wakati huo, ni hadithi tu kwako. Ni hadithi tu kutoka kwa nchi nyingine, hadi maisha yatakapoleta ukweli kwenye mlango wako mwenyewe. Mpaka ugonjwa uwe wako. Mpaka hasara ni yako. Mpaka usaliti ni wako. Mpaka mtoto awe wako. Mpaka mapambano ni yako. Kisha kile ambacho hapo awali kilionekana kama takwimu kitatoka ndani ya nafsi yako. Kile ambacho mara moja kilisikika kama hadithi kitasikika kifuani mwako. Nini mara moja inaonekana nyeusi na nyeupe itageuka kuwa vivuli vya kijivu. Hapo ndipo maisha yanapoacha kuwa nadharia na kuwa ukweli. Hapo ndipo hukumu inapokauka, na unyenyekevu huanza kukua. Maisha yatakunyenyekea. Inajua kuwakunja wenye kiburi. Inajua jinsi ya kupunguza makali. Inajua jinsi ya kuwapiga magoti walio na nguvu zaidi, si kuwaangamiza, bali *kuwatengeneza upya, kuwajenga upya, kuwafundisha. tafadhali, mtangulize Mungu. Kwa sababu kuna njia pekee awezaye kukuongoza. Kuna usiku tu nuru yake inaweza kumulika. Kuna dhoruba tu mkono Wake unaweza bado. Bila Mungu, maisha yanaweza kukuvunja. Ukiwa na Mungu, maisha yanaweza kukuchubua, lakini usiwahi kuzika. Vile vile ulivyowahukumu wengine kwa uchaguzi wao, siku inaweza kuja wakati utajipata unatembea kwa viatu vyao. Na ghafla, mtazamo wako utabadilika. Ulimi wako utanyamaza. Moyo wako utakuwa laini. Na utaelewa, haikuwa rahisi kama inavyoonekana kutoka nje. Kwa hiyo uwe mwepesi wa kukosoa. Kuwa mwepesi wa kusikiliza. Kuwa mpole na wale wanaotambaa katika misimu ambayo hujawahi kujua. Kuwa mkarimu kwa watu wanaopitia dhoruba ambazo hujawahi kusafiri. Kwa sababu maisha yana njia ya kuleta mambo duara kamili. Leo wewe ni mtazamaji. Kesho unaweza kuzingatiwa. Leo wewe ni mshauri. Kesho unaweza kuwa unatafuta ushauri. Na itakapofika zamu yako, na ikafika, upate rehema uliyoizuia. Wacha maisha yakufanye uwe na busara, sio uchungu. Hebu ikufundishe neema, sio majivuno. Wacha izae ndani yako huruma, sio haki. Wacha iwe ndani ya roho yako huruma, na sio ubaya. Mwishowe, kumbuka kwamba maisha sio kuwa na majibu yote; ni juu ya kujifunza maswali sahihi. Na kwa kila jeraha, kila anguko, kila ushindi, na kila chozi, na uje kuona kwamba digrii kuu zaidi hazipatikani shuleni, hupatikana katika darasa la maisha. Kwa hivyo maisha yanapokuwa mwalimu, usipinga somo. Usifanye moyo wako kuwa mgumu. Acha ikunyooshe, ikutengeneze, ikuvunje, na ikujenge. Na zaidi ya yote, iruhusu ikurudishe kwa Mungu.
    Love
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·1χλμ. Views
  • HIVI ULIKUA UNALIJUA ILI?
    KABLA NCHI AMBAYO PESA ZIPO KILA MAHALI!

    Karibu kwenye Somaliland nchi isiyo rasmi iliyojitangazia uhuru kutoka Somalia.

    Hapa, pesa si kitu cha kuvutia ni kama karatasi tu.
    Kila mtu anatembea na maburungutu ya noti mfukoni, kwenye mifuko ya plastiki au hata kwenye ndoo!

    Kwenye maduka, huwezi kuona "Lipa kwa Simu" au POS za swipe.

    Hii ni kwa sababu uchumi wao unategemea sana pesa taslimu.
    Mfumo wa mabenki haujasambaa, na watu wengi hawana akaunti ya benki kabisa.

    Sasa fikiria hili:
    Unataka kununua mbuzi sokoni bei ni 600,000 Somaliland Shillings.

    Unatoa maburungutu yako kwenye mfuko wa nailoni na kuhesabu huku unatokwa na jasho.

    Lakini kwanini watu wabebe noti nyingi kiasi hicho?

    Kwa sababu sarafu yao haina thamani kabisa!
    1 USD ni zaidi ya 8,000 SLSH.
    Yaani, hata ukitoa noti laki moja, huwezi kununua soda 3 vizuri.

    Na cha ajabu zaidi:
    Hakuna ATM nyingi, hakuna mabenki ya kisasa, na watu wengi hawana access na huduma za kifedha.

    Wanalazimika kutegemea cash economy, iliyojaa risks kama wizi au usumbufu.

    Sasa unaweza kujiuliza:
    “Hii si inawapa tabu sana?”

    Ni kweli. Lakini pia kuna upande mwingine:
    Kwa sababu hakuna mifumo ya kisasa, Watu wa Somaliland wamejenga ustahimilivu wa kipekee.
    Wanajua kuishi kwa pesa isiyo na nguvu.

    Kuna bidhaa haziuzwi kwa SLSH hata kidogo.
    Wenye maduka wanakataa kabisa.
    Wanaomba malipo kwa Dola au shilingi ya Ethiopia sarafu zenye nguvu zaidi.

    Ili kuepuka matatizo, kuna watu waliamua KUCHAPISHA PESA KUBWA!

    Yaani noti za SLSH 5,000 au 10,000, ambazo hazina hata security features za maana.
    Ni kama kupiga photostat ya pesa.
    Matokeo? Pesa nyingi, thamani hakuna!

    Somaliland inatufundisha kitu muhimu sana:

    Pesa inaweza kuwa nyingi sana mpaka ukaichoka lakini bila thamani ya kweli, haina maana.

    Hii ni reality ya taifa linaloishi kwenye mzigo wa fedha zisizo na nguvu.

    Kama uliwahi kufikiri una pesa nyingi lakini huna kitu karibu Somaliland, utajua maana halisi.

    Je, unadhani ni bora kuwa na hela nyingi zisizo na thamani, au kidogo zenye nguvu?

    Comment

    Follow me pia X (Twitter): x.com/DullahWrites
    HIVI ULIKUA UNALIJUA ILI? KABLA NCHI AMBAYO PESA ZIPO KILA MAHALI! Karibu kwenye Somaliland nchi isiyo rasmi iliyojitangazia uhuru kutoka Somalia. Hapa, pesa si kitu cha kuvutia ni kama karatasi tu. Kila mtu anatembea na maburungutu ya noti mfukoni, kwenye mifuko ya plastiki au hata kwenye ndoo! Kwenye maduka, huwezi kuona "Lipa kwa Simu" au POS za swipe. Hii ni kwa sababu uchumi wao unategemea sana pesa taslimu. Mfumo wa mabenki haujasambaa, na watu wengi hawana akaunti ya benki kabisa. Sasa fikiria hili: Unataka kununua mbuzi sokoni bei ni 600,000 Somaliland Shillings. Unatoa maburungutu yako kwenye mfuko wa nailoni na kuhesabu huku unatokwa na jasho. Lakini kwanini watu wabebe noti nyingi kiasi hicho? Kwa sababu sarafu yao haina thamani kabisa! 1 USD ni zaidi ya 8,000 SLSH. Yaani, hata ukitoa noti laki moja, huwezi kununua soda 3 vizuri. Na cha ajabu zaidi: Hakuna ATM nyingi, hakuna mabenki ya kisasa, na watu wengi hawana access na huduma za kifedha. Wanalazimika kutegemea cash economy, iliyojaa risks kama wizi au usumbufu. Sasa unaweza kujiuliza: “Hii si inawapa tabu sana?” Ni kweli. Lakini pia kuna upande mwingine: Kwa sababu hakuna mifumo ya kisasa, Watu wa Somaliland wamejenga ustahimilivu wa kipekee. Wanajua kuishi kwa pesa isiyo na nguvu. Kuna bidhaa haziuzwi kwa SLSH hata kidogo. Wenye maduka wanakataa kabisa. Wanaomba malipo kwa Dola au shilingi ya Ethiopia sarafu zenye nguvu zaidi. Ili kuepuka matatizo, kuna watu waliamua KUCHAPISHA PESA KUBWA! Yaani noti za SLSH 5,000 au 10,000, ambazo hazina hata security features za maana. Ni kama kupiga photostat ya pesa. Matokeo? Pesa nyingi, thamani hakuna! Somaliland inatufundisha kitu muhimu sana: Pesa inaweza kuwa nyingi sana mpaka ukaichoka lakini bila thamani ya kweli, haina maana. Hii ni reality ya taifa linaloishi kwenye mzigo wa fedha zisizo na nguvu. Kama uliwahi kufikiri una pesa nyingi lakini huna kitu karibu Somaliland, utajua maana halisi. Je, unadhani ni bora kuwa na hela nyingi zisizo na thamani, au kidogo zenye nguvu? Comment Follow me pia X (Twitter): x.com/DullahWrites
    Like
    2
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·1χλμ. Views
  • 15/21Hakuna neno gumu kwa Bwana.

    Ayubu 42:2
    "Najua ya kuwa waweza kufaya mambo yote na ya kuwa makusudi yako hayawezi zuilika."

    Ndio Bwana anaweza kufanya mambo yote kwako ikiwa tu kama ukikubali na kumfuata.

    Ayubu pamoja na mapito yote haya bado alibaki na tumaini hili la kujua kuwa bwana ndiyo anayeweza kufanya mambo yote.

    Na Bwana akianza kufanya akuna awezaye kuzuia kwani Bwana hufanya kwa ajiri ya kulitimiza kusudi lake na mapenzi yake.

    Kusudi la Mungu ni kuwainua wanao mtumikia ko usipate shida Bwana atakufanyia makubwa sana kama tu hautazimia moyo.

    "Aa! Bwana MUNGU ,tazama wewe umeziumba mbingu na nchi kwa uweza wako mkuu na kwa mkono wako ulionyoshwa ,hapana neno gumu usilo liweza".(Yeremia 32:17)

    Kwa Bwana hakuna jambo gumu hata moja haijalishi umekata tamaa kiasi gani Bwana anataka umlingane kwa kumtafuta tu yeye atakujibu .

    Tazama mimi ni BWANA , Mungu wa wote wenye mwili je! Kuna neno gumu lolote nisilo liweza? (Yeremia 32:27)

    Hili ni neno la Bwana lilo mjia Yeremia Bwana akiuliza je kuna neno gumu lolote yeye asilo liweza.

    Kumbe tatizo lako la uchumi si jambo gumu kwa bwana kiasi wewe kukata tamaa.

    Kama mwamini unacho paswa kukiri ni kuwa "Nayaweza mambo yote katika yeye anitiaye nguvu"

    Ni wewe tu umemuacha Bwana kwa kuifuatisha dunia inavyo enda kiasi cha kuzani kuna mambo ni magumu yeye awezi.

    Nipo hapa asubui ya leo kukutia moyo kuwa bwana anaweza yote ko acha kujidharau .

    Songa mbele kwa kujua kuwa umaskini ulio nao ,adha unayopitia , magumu unayo pitia ni kitambo tu Bwana anakwenda kukuvusha leo.

    Mwamini Mungu kwani neno lake linasema "Nchi na vyote vijazavyo ni mali yake dunia na wote wakaao ndani yake" (zaburi 24:1)

    Kama vyote ni mali ya Bwana kumbe ili uvipate ni kuyatenda mapenzi yake ili yeye alitimize kusudi lake kwako .

    Jifunze kujikubali kabla ujakubaliwa ,kwani ili uweze yote lazima uwe jitu la kujikubali katika kutimiza mapenzi ya Mungu.

    Wanadamu wanaweza kukataaa huwezi lakini vipi Mungu anasemaje?
    Nayey kakukataa kwani ? Jibu utagundua ni hapana sasa kama ni hapana mtazame Mungu anasema nini sio wao wanasema nini na hapo ndipo utaanza kujua nguvu ya Mungu kuwa anaweza yote na hakuna asilo liweza.

    Wanadamu wamesema huwezi kuajiriwa , vipi Mungu aesema nini pia? Ukitizama hivyo utagundua Mungu kasela akuna jambo gumu asilo liweza! Ko ni wewe tu ujamlingana Mungu.

    Madaktari wamesema huwezi kupona huo ugonjwa Mungu amesemaj? Mungu anasema Njoni kwangu enyi nyote mnao lemewa na mizigo nami nitawapunzisha.

    Mwamini Mungu yeye anaweza kukuvusha ktika kila hatua bila ugumu wowote.

    Ok naitwa Sylvester Mwakabende (build new eden) at 06;52am

    #build new eden
    #restore men position
    15/21Hakuna neno gumu kwa Bwana. Ayubu 42:2 "Najua ya kuwa waweza kufaya mambo yote na ya kuwa makusudi yako hayawezi zuilika." Ndio Bwana anaweza kufanya mambo yote kwako ikiwa tu kama ukikubali na kumfuata. Ayubu pamoja na mapito yote haya bado alibaki na tumaini hili la kujua kuwa bwana ndiyo anayeweza kufanya mambo yote. Na Bwana akianza kufanya akuna awezaye kuzuia kwani Bwana hufanya kwa ajiri ya kulitimiza kusudi lake na mapenzi yake. Kusudi la Mungu ni kuwainua wanao mtumikia ko usipate shida Bwana atakufanyia makubwa sana kama tu hautazimia moyo. "Aa! Bwana MUNGU ,tazama wewe umeziumba mbingu na nchi kwa uweza wako mkuu na kwa mkono wako ulionyoshwa ,hapana neno gumu usilo liweza".(Yeremia 32:17) Kwa Bwana hakuna jambo gumu hata moja haijalishi umekata tamaa kiasi gani Bwana anataka umlingane kwa kumtafuta tu yeye atakujibu . Tazama mimi ni BWANA , Mungu wa wote wenye mwili je! Kuna neno gumu lolote nisilo liweza? (Yeremia 32:27) Hili ni neno la Bwana lilo mjia Yeremia Bwana akiuliza je kuna neno gumu lolote yeye asilo liweza. Kumbe tatizo lako la uchumi si jambo gumu kwa bwana kiasi wewe kukata tamaa. Kama mwamini unacho paswa kukiri ni kuwa "Nayaweza mambo yote katika yeye anitiaye nguvu" Ni wewe tu umemuacha Bwana kwa kuifuatisha dunia inavyo enda kiasi cha kuzani kuna mambo ni magumu yeye awezi. Nipo hapa asubui ya leo kukutia moyo kuwa bwana anaweza yote ko acha kujidharau . Songa mbele kwa kujua kuwa umaskini ulio nao ,adha unayopitia , magumu unayo pitia ni kitambo tu Bwana anakwenda kukuvusha leo. Mwamini Mungu kwani neno lake linasema "Nchi na vyote vijazavyo ni mali yake dunia na wote wakaao ndani yake" (zaburi 24:1) Kama vyote ni mali ya Bwana kumbe ili uvipate ni kuyatenda mapenzi yake ili yeye alitimize kusudi lake kwako . Jifunze kujikubali kabla ujakubaliwa ,kwani ili uweze yote lazima uwe jitu la kujikubali katika kutimiza mapenzi ya Mungu. Wanadamu wanaweza kukataaa huwezi lakini vipi Mungu anasemaje? Nayey kakukataa kwani ? Jibu utagundua ni hapana sasa kama ni hapana mtazame Mungu anasema nini sio wao wanasema nini na hapo ndipo utaanza kujua nguvu ya Mungu kuwa anaweza yote na hakuna asilo liweza. Wanadamu wamesema huwezi kuajiriwa , vipi Mungu aesema nini pia? Ukitizama hivyo utagundua Mungu kasela akuna jambo gumu asilo liweza! Ko ni wewe tu ujamlingana Mungu. Madaktari wamesema huwezi kupona huo ugonjwa Mungu amesemaj? Mungu anasema Njoni kwangu enyi nyote mnao lemewa na mizigo nami nitawapunzisha. Mwamini Mungu yeye anaweza kukuvusha ktika kila hatua bila ugumu wowote. Ok naitwa Sylvester Mwakabende (build new eden) at 06;52am #build new eden #restore men position
    Yay
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·1χλμ. Views
  • Ufunuo 2:18 KANISA LA ZINAA

    Ufunuo wa Yohana 2:18-19
    [18]Na kwa malaika wa kanisa lililoko Thiatira andika;
    Haya ndiyo anenayo Mwana wa Mungu, yeye aliye na macho yake kama mwali wa moto, na miguu yake mfano wa shaba iliyosuguliwa sana.

    *[19]Nayajua matendo yako na upendo na imani na huduma na subira yako; tena kwamba matendo yako ya mwisho yamezidi yale ya kwanza*.

    Kanisa la thiatra lilikuwa kanisa zuri kabisa lakini lilitawaliwa na roho ya Yezeberi kiasi cha kwamba lilikuwa tayari kufuata mfundisho ya yezeberi.

    Biblia inasema nayajua matendo yako ,imani yako na subira yako .kwa lugha nyepesi ni kuwa matendo yao yalikuwa safi kabisa tatizo ni moja tu na ndilo lilikuwa kubwa sana.

    *Tatizo wanalidhia mafundisho ya Yezeberi,(roho ya Yezeberi) ambayo ni roho ya uharibifu sana kuliko kawaida .*

    Roho ya Yezeberi ni roho ya uharibifu ni roho iliyopo kanisani ambako watu ni walokole lakin wanaongoza kwa uzinzi ,uasherati na mabo mengine.

    Kuna muda lazima tuseme ukweli kanisa la thiatra ni kanisa kubwa lililoko huku duniani s,sadaka linatoa ,kuabudu na kusifu linasifu lakini likitoka hapo linaweza kwenda kwa mchepuko na kuzini naye.

    *Kwa sababu hii imepelekea kanisa kupoteza utu wake kama kanisa na kubaki kama kopo tu*

    Uwezi kuwa mtumishi mzuri ,prayer worier ,worship mzuri huku roho ya Yezeberi imekutawala.

    *Roho za Yezeberi ni zipi. Kanisa lenye zinaa kama maisha yao .Roho ya kujiinua na roho ya kutotii ni roho za Yezeberi na kanisa lisipo tubu litakuwa limepoteza sana kuliko kawaida*

    *Biblia inasema wazi kabisa kosa kubwa alilo lifanya Ahabui ni kuoa YEZEBERI bint Ethbaali.*

    Ahabu alikosea hapo kwa kuoa binti ambaye alikuwa amelelewa na kukuzwa katika miungu ya baali .

    Ok naomba nirudi kwenye mada muhimu sana kuwa kanisa la thiatra linaishi mpaka leo kwa kuwa kanisa bado linaiishi zinaa kama sehemu ya maisha yake.

    *Kristo anasema hivi ametoa nafasi ya watu kutubu kama amta tubu ndipo tutajua kuwa yeye ni Mungu anaye chunguza moyo na viuno*

    Ufunuo wa Yohana 2:20-21
    *[20]Lakini nina neno juu yako, ya kwamba wamridhia yule mwanamke Yezebeli, yeye ajiitaye nabii na kuwafundisha watumishi wangu na kuwapoteza, ili wazini na kula vitu vilivyotolewa sadaka kwa sanamu.*

    [21]Nami nimempa muda ili atubu, wala hataki kuutubia uzinzi wake.

    Kama kanisa tumepewa nafasi ya kutubu ili tuweze kumuona Mungu.

    *Toba ni muhimu sana kama kanisa ili roho ya Yezeberi isilikumbe kanisa kama ilivyo likumba kabisa la thiatra .*

    Huu ndo wito wetu kwa kanisa la leo kurejea kumtafuta masihi kwa kuikataa roho ya yezeberi kwa toba kama Kristo alivyo toa nafasi ya toba.

    Naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden )

    #build new eden
    #restore men position
    Ufunuo 2:18 KANISA LA ZINAA Ufunuo wa Yohana 2:18-19 [18]Na kwa malaika wa kanisa lililoko Thiatira andika; Haya ndiyo anenayo Mwana wa Mungu, yeye aliye na macho yake kama mwali wa moto, na miguu yake mfano wa shaba iliyosuguliwa sana. *[19]Nayajua matendo yako na upendo na imani na huduma na subira yako; tena kwamba matendo yako ya mwisho yamezidi yale ya kwanza*. Kanisa la thiatra lilikuwa kanisa zuri kabisa lakini lilitawaliwa na roho ya Yezeberi kiasi cha kwamba lilikuwa tayari kufuata mfundisho ya yezeberi. Biblia inasema nayajua matendo yako ,imani yako na subira yako .kwa lugha nyepesi ni kuwa matendo yao yalikuwa safi kabisa tatizo ni moja tu na ndilo lilikuwa kubwa sana. *Tatizo wanalidhia mafundisho ya Yezeberi,(roho ya Yezeberi) ambayo ni roho ya uharibifu sana kuliko kawaida .* Roho ya Yezeberi ni roho ya uharibifu ni roho iliyopo kanisani ambako watu ni walokole lakin wanaongoza kwa uzinzi ,uasherati na mabo mengine. Kuna muda lazima tuseme ukweli kanisa la thiatra ni kanisa kubwa lililoko huku duniani s,sadaka linatoa ,kuabudu na kusifu linasifu lakini likitoka hapo linaweza kwenda kwa mchepuko na kuzini naye. *Kwa sababu hii imepelekea kanisa kupoteza utu wake kama kanisa na kubaki kama kopo tu* Uwezi kuwa mtumishi mzuri ,prayer worier ,worship mzuri huku roho ya Yezeberi imekutawala. *Roho za Yezeberi ni zipi. Kanisa lenye zinaa kama maisha yao .Roho ya kujiinua na roho ya kutotii ni roho za Yezeberi na kanisa lisipo tubu litakuwa limepoteza sana kuliko kawaida* *Biblia inasema wazi kabisa kosa kubwa alilo lifanya Ahabui ni kuoa YEZEBERI bint Ethbaali.* Ahabu alikosea hapo kwa kuoa binti ambaye alikuwa amelelewa na kukuzwa katika miungu ya baali . Ok naomba nirudi kwenye mada muhimu sana kuwa kanisa la thiatra linaishi mpaka leo kwa kuwa kanisa bado linaiishi zinaa kama sehemu ya maisha yake. *Kristo anasema hivi ametoa nafasi ya watu kutubu kama amta tubu ndipo tutajua kuwa yeye ni Mungu anaye chunguza moyo na viuno* Ufunuo wa Yohana 2:20-21 *[20]Lakini nina neno juu yako, ya kwamba wamridhia yule mwanamke Yezebeli, yeye ajiitaye nabii na kuwafundisha watumishi wangu na kuwapoteza, ili wazini na kula vitu vilivyotolewa sadaka kwa sanamu.* [21]Nami nimempa muda ili atubu, wala hataki kuutubia uzinzi wake. Kama kanisa tumepewa nafasi ya kutubu ili tuweze kumuona Mungu. *Toba ni muhimu sana kama kanisa ili roho ya Yezeberi isilikumbe kanisa kama ilivyo likumba kabisa la thiatra .* Huu ndo wito wetu kwa kanisa la leo kurejea kumtafuta masihi kwa kuikataa roho ya yezeberi kwa toba kama Kristo alivyo toa nafasi ya toba. Naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden ) #build new eden #restore men position
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·984 Views
  • 13/21. ROHO YA UDANGANYIFU KANISANI.

    Torati 13:1-2
    *1 Kukizuka katikati yako nabii, au mwotaji wa ndoto, akikutolea ishara au ajabu, 2 ikatukia hiyo ishara au hiyo ajabu aliyokuambia akisema, Na tuifuate miungu mingine usiyoijua, tuitumikie hiyo*

    Hayo ndiyo maagizo ambyo Mungu alimpatia Musa ili ayaweke kama kumbukumbu kwa taifa lake (kanisa ) lake hapa duniani .

    *Kumbe inshu siyo anaweza kukuambia kuwa anaona au anaota mambo yako ukajua ni mtu wa Mungu peke yake ,hapana kama tu anaweza yeye kuabudu miungu mingine ujue kabisa uyo si mtu wa Mungu.*

    Unasema nimejuaje andiko linasema *wataponya ,watatoa pepo kwa jina langu lakini mimi sikuwatuma*.

    *Kumbe kutoa pepo kusikufanye uamini sana kama mtu wa Mungu kutabiriwa pia lakini utamtambua jinsi anayo weza kuichukia zambi kwa roho yote.*

    Kukujulisha maisha yako ya nyuma siyo ishara ya kuwa ni mtumishi wa Mungu. Vipi kuhusu yule msichana aliye kuwa na pepo la uaguzi .

    (Ukisoma matendo 16:16-18 utaona )

    *“Hawa watu ni watumishi wa Mungu Mkuu.*

    Ko ukiangalia alikuwa anapenda kufanya hivyo siku hadi siku anajichanganya na watumishi wa kweli akina Paulo ili zsijulikane lakini alikuwa anapepo la uaguzi kwa lugha nyepesi ni *mganga wa kienyeji anaye tabiria watu kanisani*

    Ko muhimu sana kujua ulipo wanakuandaa kwenda mbinguni au wanakuandaa tu kuishi .

    Muombe sana Mungu akusaidie usiende kanisani kwa sababu ya kupata tu unabii au kuwekewa mkono wakti mwingine unajikuta umeenda kuongeza matatizo kwa kigezo cha kutoa tatizo.

    Kama wokovu kwako umejengwa katika dhana ya kutabiriwa peke yake basi kwako wokovu ni kitu kigumu sana .

    Ukisoma Yeremia 28:
    Utaona habari za mtu mmoja anaitwa hanania aliingia hekaruni na kuanza kutabiri neema mbele ya makuhani na yeremia mwenyewe ,lakini kw kuwa nabii Yeremia alikuwa ni mtu wa Mungu aligundua kuwa huyu ananinia ni nabii wa uongo .

    , *“Sikiliza, Hanania, Mwenyezi-Mungu hakukutuma, nawe unawafanya watu hawa waamini uongo*(Yeremia 28:15)

    Lakini ninacho tamani ujue huyu mtu aliingia kama mtu wa Mungu inamaana bila uimara wa Yeremia nabii kanisa lote lingekuwa limelishwa uongo na imani yake katika uongo.

    Lazima kama watumishi wa Mungu tuombe Mungu sana kipindi cha hiki uamsho mkubwa unapokwenda kutokea Tanzania kuna watu wengi watanyanyuka kusema lakini ukweli watakuwa si watu wa Mungu bali wana nguvu iliyo nyuma yao.

    Na bahati mbaya sana watu tunapenda saba ishara basi tunaona hapa ndo penyewe kumbe ni yule binti mwenye pepo la uaguzi.

    Ni kwambie ukweli kanisa la kweli haliwezi kuongozwa na roho ya yezebeli( Zinaa na uasherati) vikawa vitu vya kawaida kanisani.

    Oh mimi napokea kila mtu hapana si kanisa hilo ni lango la shetani *" si maanishi kanisani kwenda lazima mtu awe ameokoka lakini tunategemea baada ya kwenda aanze kubadilika so anatokz church ni worshipa anaenda ghetho kwa msela kuzini hii haikubaliki"*

    Ko kama dunia yatupasa kujiazali sana unabii na mafunuo juu ya ndoto zako si kigezo cha kuwa mtu wa Mungu bali mtawatambua kwa matendo yao.

    Hizi ni nyakati za mwisho ko wapo masihi (watumishi) wa Bwana ambao kazi yao kueneza injiri lakini pia wapo washetani ambao kazi yao ni kulipeleka matopeni kanisa la Mungu pasipo hao watu kujua.

    Unasema nimejuaje kamuulize Ahabu na Yeoshafath walipo taka kwenda vitani manabii wengine wote *waliingiziwa roho ya uongo (shetani) ili wampotoshe ahabu* lakini alikuwepo mmoja anaitwa *Mikaya yeye alikuwa jitu la mbinguni na akukubalika kirahisi mbele ya ahabu sababu ya matendo yake ahabu.*

    Ndivyo ilivyo hata leo manabii wa uongo wanawajaza viongozi wa serikari matumaini pasipo kujua kuwa Mungu anamtaka mtu mnyenyekevu .

    Nazungumza na mgombea mmoja ambaye yeye anatumia kafara arafu anaenda kuuliza kwa manabii uongo na wanampa tumaini na simama kama mikaya nataka nikwambie ukigombea huwezi kushinda kabisa kabisa.

    Manabii wa uongo wamejaa wao kila wakikutana na viongozi wanawatabiria maswala ya amani tu wakati wanaona kabisa mambo hayaeleweki

    Yeremia 28:9
    *Nabii atabiriye habari za amani, neno la nabii yule litakapotokea, ndipo nabii yule atakapojulikana, kweli kuwa BWANA amemtuma.*

    Lakini lisipo tokea mana yake ni wauongo na mwaka huu Mungu anakwenda kulionyeaha taifa kwamba roho za Hanania ni nyingi kanisani zinatabiri uongo kuwapa watu matumaini tu lakini si kweli .

    *Hakuna haki hakuna amani unashindwaje kuliambia taifa ukweli kabisa*


    Tuwaepuke sana manabii wa uongo wanakula sana jitihada za imani zetu kama vijana watoto wa Mungu.

    Dada acha kumue mue kila mtumishi lazima uende wewe na kuzungukia makanisa kama umeambiwa wanakupa ela vile kila siku unaenda kuuliza mambo yako bila kufanya kazi acha uo ujinga.

    Mwamini Mungu kuwa hizi ni siku za mwisho bado kidogo sana masihi aje awachukue walio wake.

    Ahsante sana naitwa Sylvester Mwakabende kutoja (build new eden)

    Karibu sana ujifunze nasi kupitia status pia 0622625340

    #build new eden
    #Restoremenposition
    13/21. ROHO YA UDANGANYIFU KANISANI. Torati 13:1-2 *1 Kukizuka katikati yako nabii, au mwotaji wa ndoto, akikutolea ishara au ajabu, 2 ikatukia hiyo ishara au hiyo ajabu aliyokuambia akisema, Na tuifuate miungu mingine usiyoijua, tuitumikie hiyo* Hayo ndiyo maagizo ambyo Mungu alimpatia Musa ili ayaweke kama kumbukumbu kwa taifa lake (kanisa ) lake hapa duniani . *Kumbe inshu siyo anaweza kukuambia kuwa anaona au anaota mambo yako ukajua ni mtu wa Mungu peke yake ,hapana kama tu anaweza yeye kuabudu miungu mingine ujue kabisa uyo si mtu wa Mungu.* Unasema nimejuaje andiko linasema *wataponya ,watatoa pepo kwa jina langu lakini mimi sikuwatuma*. *Kumbe kutoa pepo kusikufanye uamini sana kama mtu wa Mungu kutabiriwa pia lakini utamtambua jinsi anayo weza kuichukia zambi kwa roho yote.* Kukujulisha maisha yako ya nyuma siyo ishara ya kuwa ni mtumishi wa Mungu. Vipi kuhusu yule msichana aliye kuwa na pepo la uaguzi . (Ukisoma matendo 16:16-18 utaona ) *“Hawa watu ni watumishi wa Mungu Mkuu.* Ko ukiangalia alikuwa anapenda kufanya hivyo siku hadi siku anajichanganya na watumishi wa kweli akina Paulo ili zsijulikane lakini alikuwa anapepo la uaguzi kwa lugha nyepesi ni *mganga wa kienyeji anaye tabiria watu kanisani* Ko muhimu sana kujua ulipo wanakuandaa kwenda mbinguni au wanakuandaa tu kuishi . Muombe sana Mungu akusaidie usiende kanisani kwa sababu ya kupata tu unabii au kuwekewa mkono wakti mwingine unajikuta umeenda kuongeza matatizo kwa kigezo cha kutoa tatizo. Kama wokovu kwako umejengwa katika dhana ya kutabiriwa peke yake basi kwako wokovu ni kitu kigumu sana . Ukisoma Yeremia 28: Utaona habari za mtu mmoja anaitwa hanania aliingia hekaruni na kuanza kutabiri neema mbele ya makuhani na yeremia mwenyewe ,lakini kw kuwa nabii Yeremia alikuwa ni mtu wa Mungu aligundua kuwa huyu ananinia ni nabii wa uongo . , *“Sikiliza, Hanania, Mwenyezi-Mungu hakukutuma, nawe unawafanya watu hawa waamini uongo*(Yeremia 28:15) Lakini ninacho tamani ujue huyu mtu aliingia kama mtu wa Mungu inamaana bila uimara wa Yeremia nabii kanisa lote lingekuwa limelishwa uongo na imani yake katika uongo. Lazima kama watumishi wa Mungu tuombe Mungu sana kipindi cha hiki uamsho mkubwa unapokwenda kutokea Tanzania kuna watu wengi watanyanyuka kusema lakini ukweli watakuwa si watu wa Mungu bali wana nguvu iliyo nyuma yao. Na bahati mbaya sana watu tunapenda saba ishara basi tunaona hapa ndo penyewe kumbe ni yule binti mwenye pepo la uaguzi. Ni kwambie ukweli kanisa la kweli haliwezi kuongozwa na roho ya yezebeli( Zinaa na uasherati) vikawa vitu vya kawaida kanisani. Oh mimi napokea kila mtu hapana si kanisa hilo ni lango la shetani *" si maanishi kanisani kwenda lazima mtu awe ameokoka lakini tunategemea baada ya kwenda aanze kubadilika so anatokz church ni worshipa anaenda ghetho kwa msela kuzini hii haikubaliki"* Ko kama dunia yatupasa kujiazali sana unabii na mafunuo juu ya ndoto zako si kigezo cha kuwa mtu wa Mungu bali mtawatambua kwa matendo yao. Hizi ni nyakati za mwisho ko wapo masihi (watumishi) wa Bwana ambao kazi yao kueneza injiri lakini pia wapo washetani ambao kazi yao ni kulipeleka matopeni kanisa la Mungu pasipo hao watu kujua. Unasema nimejuaje kamuulize Ahabu na Yeoshafath walipo taka kwenda vitani manabii wengine wote *waliingiziwa roho ya uongo (shetani) ili wampotoshe ahabu* lakini alikuwepo mmoja anaitwa *Mikaya yeye alikuwa jitu la mbinguni na akukubalika kirahisi mbele ya ahabu sababu ya matendo yake ahabu.* Ndivyo ilivyo hata leo manabii wa uongo wanawajaza viongozi wa serikari matumaini pasipo kujua kuwa Mungu anamtaka mtu mnyenyekevu . Nazungumza na mgombea mmoja ambaye yeye anatumia kafara arafu anaenda kuuliza kwa manabii uongo na wanampa tumaini na simama kama mikaya nataka nikwambie ukigombea huwezi kushinda kabisa kabisa. Manabii wa uongo wamejaa wao kila wakikutana na viongozi wanawatabiria maswala ya amani tu wakati wanaona kabisa mambo hayaeleweki Yeremia 28:9 *Nabii atabiriye habari za amani, neno la nabii yule litakapotokea, ndipo nabii yule atakapojulikana, kweli kuwa BWANA amemtuma.* Lakini lisipo tokea mana yake ni wauongo na mwaka huu Mungu anakwenda kulionyeaha taifa kwamba roho za Hanania ni nyingi kanisani zinatabiri uongo kuwapa watu matumaini tu lakini si kweli . *Hakuna haki hakuna amani unashindwaje kuliambia taifa ukweli kabisa* Tuwaepuke sana manabii wa uongo wanakula sana jitihada za imani zetu kama vijana watoto wa Mungu. Dada acha kumue mue kila mtumishi lazima uende wewe na kuzungukia makanisa kama umeambiwa wanakupa ela vile kila siku unaenda kuuliza mambo yako bila kufanya kazi acha uo ujinga. Mwamini Mungu kuwa hizi ni siku za mwisho bado kidogo sana masihi aje awachukue walio wake. Ahsante sana naitwa Sylvester Mwakabende kutoja (build new eden) Karibu sana ujifunze nasi kupitia status pia 0622625340 #build new eden #Restoremenposition
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·1χλμ. Views
  • .KIDNEY CARE
    DAWA YA FIGO
    Dawa hii ni unga na imeandaliwa maalum kwa kutibu maradhi yafuatayo.
    1.Huboresha figo katika kufanya kazi.
    2.Huondosha vijiwe katika figo
    3.Huondosha matatizo ya mkojo.
    4.Kuvimba kwa miguu,maumivu na uchovu wa mwili
    5.Husaidia kuboresha kazi ya ubongo.
    6.Huboresha mfumo wa chakula na kinga ya mwili.
    ✦Hakika Mungu ni mponyaji na atakusaidia.
    MATUMIZI.
    Mkubwa:Tumia kijiko 1 cha chakula katika maji moto,maziwa au uji.
    Mtoto:Atumie kijiko 1 cha chai katika mchanganyiko huo.

    KIDNEY CARE
    Herbal Powder
    Powder medicine and has been specially prepared to treat the following diseases.
    1.Improves kidney function.
    2.Removes kidney stones
    3.Eliminates urinary problems.
    4.Swelling of the feet, pain and fatigue
    5.Helps improve brain function.
    6.Improves the digestion system and body immunity.
    ✦Surely God is a healer and will help you.
    USAGE.
    Adult: Use 1X2 tablespoon in hot water, milk or porridge.
    Child: Use 1x2 teaspoon in the mixture.
    ✦𝐝𝐚𝐰𝐚 𝐦𝐩𝐲𝐚 𝐡𝐢𝐢 𝐧𝐚 𝐢𝐥𝐢𝐲𝐨 𝐛𝐨𝐫𝐚 𝐤𝐰𝐚 𝐮𝐰𝐞𝐳𝐨 𝐰𝐚 𝐌𝐮𝐧𝐠𝐮
    .KIDNEY CARE DAWA YA FIGO Dawa hii ni unga na imeandaliwa maalum kwa kutibu maradhi yafuatayo. 1.Huboresha figo katika kufanya kazi. 2.Huondosha vijiwe katika figo 3.Huondosha matatizo ya mkojo. 4.Kuvimba kwa miguu,maumivu na uchovu wa mwili 5.Husaidia kuboresha kazi ya ubongo. 6.Huboresha mfumo wa chakula na kinga ya mwili. ✦Hakika Mungu ni mponyaji na atakusaidia. MATUMIZI. Mkubwa:Tumia kijiko 1 cha chakula katika maji moto,maziwa au uji. Mtoto:Atumie kijiko 1 cha chai katika mchanganyiko huo. KIDNEY CARE Herbal Powder Powder medicine and has been specially prepared to treat the following diseases. 1.Improves kidney function. 2.Removes kidney stones 3.Eliminates urinary problems. 4.Swelling of the feet, pain and fatigue 5.Helps improve brain function. 6.Improves the digestion system and body immunity. ✦Surely God is a healer and will help you. USAGE. Adult: Use 1X2 tablespoon in hot water, milk or porridge. Child: Use 1x2 teaspoon in the mixture. ✦𝐝𝐚𝐰𝐚 𝐦𝐩𝐲𝐚 𝐡𝐢𝐢 𝐧𝐚 𝐢𝐥𝐢𝐲𝐨 𝐛𝐨𝐫𝐚 𝐤𝐰𝐚 𝐮𝐰𝐞𝐳𝐨 𝐰𝐚 𝐌𝐮𝐧𝐠𝐮🙏
    Like
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·1χλμ. Views
  • Unaweza Kuwa Baba bora na Bado Ukapoteza Familia Yako
    Kwa sababu katika ulimwengu wa sasa, juhudi haimaanishi chochote ikiwa wewe ni mwanaume.
    Unaamka mapema.
    Nenda kazini.
    Unalipa kodi.
    Ubaki mwaminifu.
    Unaiombea familia.
    Bado-
    unawapoteza.
    Sio kwa sababu umeshindwa.
    Lakini kwa sababu ubaba wa kisasa umejengwa kama mtego.
    Unafanya kila kitu sawa ...
    na bado kuishia vibaya.
    Anaondoka. Watoto wanafuata. Nyumba inakuwa kumbukumbu.
    Unaendelea kulipa bili.
    Anaendelea kubadilisha simulizi.
    Na ikiwa unathubutu kupaza sauti yako?
    Wewe ni "sumu."
    Wewe "huna msimamo."
    Wewe ndiye "sababu aliondoka."
    Umelipia mpiga filimbi-
    lakini bado anaamuru wimbo.
    Ulifuata sheria. Lakini hilo ndilo tatizo.
    Kwa sababu ukifuata sheria, wewe si kiongozi.
    Ikiwa wewe ni mwaminifu, unakuwa rahisi.
    Uliambiwa umlinde.
    Kwa hivyo ulifanya.
    Uliambiwa utoe.
    Kwa hivyo ulifanya.
    Uliambiwa ukae mwaminifu.
    Kwa hivyo ulifanya.
    Na sasa?
    Umeachana.
    Una huzuni.
    Unaweza kutupwa.
    Mahakama inasema, "Wewe si baba."
    Lakini uharibifu tayari umefanywa.
    Moyo wako? Imevunjwa.
    Jina lako? Iliyotiwa rangi.
    Mkoba wako? Bado kuwajibika.
    Wanaiita “kwa manufaa ya mtoto.”
    Mtoto hatakuruhusu umuone... tangu 2019.
    Wakati huo huo, anatabasamu kwa ukimya.
    Kwa sababu tayari alishinda.
    Uongo huo ulifanya kazi.
    Mfumo ulimsaidia.
    Na jamii ikamshangilia.
    Wewe?
    Uko kwenye mtaala wako wa nne.
    Na hakuna mtu aliyepiga makofi ulivyo nusurika.
    Tuzungumze ukweli.80% ya talaka huanzishwa na wanawake.
    Uchunguzi wa DNA 1 kati ya 3 hurejea kuwa hasi.
    Maelfu ya wanaume wako korokoroni—si kwa uhalifu—
    lakini kwa kutoweza kuendelea na malipo yaliyoidhinishwa na mahakama...
    kwa watoto ambao hata si wao.
    Acha hiyo marinate.
    Unapoteza familia yako ... na bado wanakulaumu.
    "Labda alimuonya."
    "Alichagua uzuri, sio akili."
    "Hakujitambua vya kutosha."
    Kweli?
    Kwa hivyo wakati watu wa Mungu-
    Mchungaji Chris Oyakhilome, Benny Hinn,Kenneth Copeland—
    kuishia kutengana au kuachwa...
    hawakumsikia Mungu? Hawakuwa na kasi ya kutosha?
    Hawakuwa na macho ya kiroho?
    Au labda…
    labda tu…
    walioa wanawake ambao walikuwa wataalamu wa kuficha asili yao halisi.
    Hadi siku moja -
    waliamka, na kubadili.
    Hakuna onyo.
    Hakuna majuto.
    "Nimebadilika tu."
    Wanawake wa kisasa hawakuacha kwa kudanganya.
    Wanaondoka kwa sababu rekodi yako ya matukio imekwisha.
    Hujawa mtu wa njozi haraka vya kutosha.
    Hukuweza kumudu kifurushi cha maisha laini kwa ratiba.
    Kwa hiyo "hupunguza hasara zao" na kupiga risasi mitaani.
    Ulikuwa mzuri.
    Lakini ulikuwa hautoshi.
    Sio tajiri wa kutosha.
    Sio furaha ya kutosha.
    Haielekezi vya kutosha.
    Na sasa watoto wamekwenda.
    Nyumba ni kimya.
    Moyo wako umechoka.
    Na yote unayosikia ni:
    "Wanaume wa kweli hupigania familia zao."
    Kana kwamba haujatoa damu ukijaribu.
    Niseme wazi.

    Unaweza kuwa baba bora -
    na bado kupoteza.
    Sio kwa sababu haukupenda vya kutosha.
    Lakini kwa sababu upendo haujalishi tena.
    Sio kama wewe ni mwanaume.
    Wacha wapiganaji na wataalam wafurike maoni.
    Wacha wanawake waseme "sio sote."
    Waache wakanushaji waje wakibembea.

    Lakini wanaume halisi wanajua.
    Wameishi.
    Wamemwaga damu.
    Wamezika ndoto.
    Usiseme chochote.
    Andika tu "Kupitia" na uendelee.

    #ubaba
    #uanaume
    #maumivu kimya
    #utapeli wa ubaba
    #mahakama ya familia
    Unaweza Kuwa Baba bora na Bado Ukapoteza Familia Yako Kwa sababu katika ulimwengu wa sasa, juhudi haimaanishi chochote ikiwa wewe ni mwanaume. Unaamka mapema. Nenda kazini. Unalipa kodi. Ubaki mwaminifu. Unaiombea familia. Bado- unawapoteza. Sio kwa sababu umeshindwa. Lakini kwa sababu ubaba wa kisasa umejengwa kama mtego. Unafanya kila kitu sawa ... na bado kuishia vibaya. Anaondoka. Watoto wanafuata. Nyumba inakuwa kumbukumbu. Unaendelea kulipa bili. Anaendelea kubadilisha simulizi. Na ikiwa unathubutu kupaza sauti yako? Wewe ni "sumu." Wewe "huna msimamo." Wewe ndiye "sababu aliondoka." Umelipia mpiga filimbi- lakini bado anaamuru wimbo. Ulifuata sheria. Lakini hilo ndilo tatizo. Kwa sababu ukifuata sheria, wewe si kiongozi. Ikiwa wewe ni mwaminifu, unakuwa rahisi. Uliambiwa umlinde. Kwa hivyo ulifanya. Uliambiwa utoe. Kwa hivyo ulifanya. Uliambiwa ukae mwaminifu. Kwa hivyo ulifanya. Na sasa? Umeachana. Una huzuni. Unaweza kutupwa. Mahakama inasema, "Wewe si baba." Lakini uharibifu tayari umefanywa. Moyo wako? Imevunjwa. Jina lako? Iliyotiwa rangi. Mkoba wako? Bado kuwajibika. Wanaiita “kwa manufaa ya mtoto.” Mtoto hatakuruhusu umuone... tangu 2019. Wakati huo huo, anatabasamu kwa ukimya. Kwa sababu tayari alishinda. Uongo huo ulifanya kazi. Mfumo ulimsaidia. Na jamii ikamshangilia. Wewe? Uko kwenye mtaala wako wa nne. Na hakuna mtu aliyepiga makofi ulivyo nusurika. Tuzungumze ukweli.80% ya talaka huanzishwa na wanawake. Uchunguzi wa DNA 1 kati ya 3 hurejea kuwa hasi. Maelfu ya wanaume wako korokoroni—si kwa uhalifu— lakini kwa kutoweza kuendelea na malipo yaliyoidhinishwa na mahakama... kwa watoto ambao hata si wao. Acha hiyo marinate. Unapoteza familia yako ... na bado wanakulaumu. "Labda alimuonya." "Alichagua uzuri, sio akili." "Hakujitambua vya kutosha." Kweli? Kwa hivyo wakati watu wa Mungu- Mchungaji Chris Oyakhilome, Benny Hinn,Kenneth Copeland— kuishia kutengana au kuachwa... hawakumsikia Mungu? Hawakuwa na kasi ya kutosha? Hawakuwa na macho ya kiroho? Au labda… labda tu… walioa wanawake ambao walikuwa wataalamu wa kuficha asili yao halisi. Hadi siku moja - waliamka, na kubadili. Hakuna onyo. Hakuna majuto. "Nimebadilika tu." Wanawake wa kisasa hawakuacha kwa kudanganya. Wanaondoka kwa sababu rekodi yako ya matukio imekwisha. Hujawa mtu wa njozi haraka vya kutosha. Hukuweza kumudu kifurushi cha maisha laini kwa ratiba. Kwa hiyo "hupunguza hasara zao" na kupiga risasi mitaani. Ulikuwa mzuri. Lakini ulikuwa hautoshi. Sio tajiri wa kutosha. Sio furaha ya kutosha. Haielekezi vya kutosha. Na sasa watoto wamekwenda. Nyumba ni kimya. Moyo wako umechoka. Na yote unayosikia ni: "Wanaume wa kweli hupigania familia zao." Kana kwamba haujatoa damu ukijaribu. Niseme wazi. Unaweza kuwa baba bora - na bado kupoteza. Sio kwa sababu haukupenda vya kutosha. Lakini kwa sababu upendo haujalishi tena. Sio kama wewe ni mwanaume. Wacha wapiganaji na wataalam wafurike maoni. Wacha wanawake waseme "sio sote." Waache wakanushaji waje wakibembea. Lakini wanaume halisi wanajua. Wameishi. Wamemwaga damu. Wamezika ndoto. Usiseme chochote. Andika tu "Kupitia" na uendelee. #ubaba #uanaume #maumivu kimya #utapeli wa ubaba #mahakama ya familia
    Like
    Love
    2
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·2χλμ. Views
  • Kwenye mahojiano na waandishi wa Habari , Fadlu alisema kuna uwezekano wa kuanza na washambuliaji wawili wa kati " UWEZEKANO " lakini akaona kama kikombe hakijpasuka kwanini ukitengeneze ? Kocha anajua muundo wake hauna shida bali ilibaki utekelezaji kwa wachezaji wake katika nyakati sahihi .

    Sehemu ambayo Fadlu alibadilisha ni ndogo sana katika muundo wake timu hasa ikiwa inashumbulia :

    1: Ni Position ya Kibu na Mpanzu . Mara nyingi huwa wanaombea mpira kwenye halfspace kabisa karibu na mabeki wa kati wa timu pinzani lakini leo walikuwa wanaanzia kupokea mpira katikati ya wingbacks na mabeki wa kati wa pembeni ( Outside CBs ) kwanini ?

    2: Ili kutengeneza sintofahamu kubwa ya kimaamuzi baina ya hao mabeki wa kati wa pembeni na wingbacks wao , kwa maana wingbacks wa Al Masry hofu yao ni fullbacks wa Simba wanaopanda juu .

    3: Fadlu alifanya hivyo ili kuwapa Kibu na Mpanzu " Shooting spaces" wawe katika nafasi bora za kupiga golini . Hii iliwezekana pia kwasababu ..

    4: Ahoua alikuwa anajaribu sana kuwa karibu na Mukwala asimuache peke yake dhidi ya beki wa kati wa Al Masry .

    5: Nafikiri hiki alichofanya Fadlu leo kimbinu kimeathiriwa sana na hali ya uwanja , vinginevyo ingekuwa jioni ndefu kwa Al Masry

    Al Masry mpango wao ulikuwa ambao umezoeleka

    1: Poteza sana muda kwa kucheza mechi ya taratibu

    2. Zuia sana kulinda mtaji wake

    3: Subiria , counter attack na mipira iliyokufa kupata goli la ugenini

    ✍🏻Kipindi cha pili , kasi ya mchezo ilipungua hasa kutoka kwa mwenyeji nafikiri pia ndio iliwapa Al Masry fursa na wao kuanza angalau kuunganisha hata pasi zao ( hapo nafikiri Simba walikuwa wanacheza moto , ni nafasi na kosa moja tu linaumua taswira nzima ya mechi )

    NOTE

    1: Siamini kama Al Masry waliamua kutaka penati bali hali ya mchezo iliwalazimisha , waliona kufunga kwao ngumu

    2: Hamza anacheza kwenye " GIA " yake mwenyewe anayotaka na hakuna kitu unamfanya

    3: Mukwala . Soma namba ya jezi ya beki basi beki yupo matatizoni

    4: Mpanzu , sio kwamba hawakufanya Homework yao Al Masry bali vitu vingine unakubali yaishe

    5: CAMARA. Unamuona tu golini hali ya kujiamini kubwa kwenye matuta

    FT: Simba 2-0 Al Masry
    (G. Ambangile )


    Kwenye mahojiano na waandishi wa Habari , Fadlu alisema kuna uwezekano wa kuanza na washambuliaji wawili wa kati " UWEZEKANO " lakini akaona kama kikombe hakijpasuka kwanini ukitengeneze ? Kocha anajua muundo wake hauna shida bali ilibaki utekelezaji kwa wachezaji wake katika nyakati sahihi . Sehemu ambayo Fadlu alibadilisha ni ndogo sana katika muundo wake timu hasa ikiwa inashumbulia : 1: Ni Position ya Kibu na Mpanzu . Mara nyingi huwa wanaombea mpira kwenye halfspace kabisa karibu na mabeki wa kati wa timu pinzani lakini leo walikuwa wanaanzia kupokea mpira katikati ya wingbacks na mabeki wa kati wa pembeni ( Outside CBs ) kwanini ? 2: Ili kutengeneza sintofahamu kubwa ya kimaamuzi baina ya hao mabeki wa kati wa pembeni na wingbacks wao , kwa maana wingbacks wa Al Masry hofu yao ni fullbacks wa Simba wanaopanda juu . 3: Fadlu alifanya hivyo ili kuwapa Kibu na Mpanzu " Shooting spaces" wawe katika nafasi bora za kupiga golini . Hii iliwezekana pia kwasababu .. 4: Ahoua alikuwa anajaribu sana kuwa karibu na Mukwala asimuache peke yake dhidi ya beki wa kati wa Al Masry . 5: Nafikiri hiki alichofanya Fadlu leo kimbinu kimeathiriwa sana na hali ya uwanja , vinginevyo ingekuwa jioni ndefu kwa Al Masry Al Masry mpango wao ulikuwa ambao umezoeleka 1: Poteza sana muda kwa kucheza mechi ya taratibu 2. Zuia sana kulinda mtaji wake 3: Subiria , counter attack na mipira iliyokufa kupata goli la ugenini ✍🏻Kipindi cha pili , kasi ya mchezo ilipungua hasa kutoka kwa mwenyeji nafikiri pia ndio iliwapa Al Masry fursa na wao kuanza angalau kuunganisha hata pasi zao ( hapo nafikiri Simba walikuwa wanacheza moto , ni nafasi na kosa moja tu linaumua taswira nzima ya mechi ) NOTE 1: Siamini kama Al Masry waliamua kutaka penati bali hali ya mchezo iliwalazimisha , waliona kufunga kwao ngumu 2: Hamza anacheza kwenye " GIA " yake mwenyewe anayotaka na hakuna kitu unamfanya 3: Mukwala . Soma namba ya jezi ya beki basi beki yupo matatizoni 🔥 4: Mpanzu , sio kwamba hawakufanya Homework yao Al Masry bali vitu vingine unakubali yaishe 5: CAMARA. Unamuona tu golini hali ya kujiamini kubwa kwenye matuta FT: Simba 2-0 Al Masry (G. Ambangile ✍️)
    Like
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·1χλμ. Views
  • Uongozi wa Ligi Kuu ya mpira wa miguu Nchini Marekani , Major League Soccer (MLS), umempiga marufuku Mlinzi binafsi (Bodyguard) wa Lionel Messi, Yassine Cheuko, kuwa kando na kuingia katikati ya Uwanja wakati wa mechi za Inter Miami kwa lengo lake la kumlinda Mwajiri wake Messi.

    Ikumbukwe kwamba Yassine Cheuko, ni Mwanajeshi wa zamani wa kikosi maalumu cha operesheni za kijeshi cha Jeshi la Majini la Marekani (U.S. Navy) kinachobobea katika vita visivyo vya kawaida, kupambana na ugaidi, mashambulizi ya moja kwa moja, na upelelezi wa kijeshi. Tangu Yessine Cheuko aanze kufanya kazi na Messi amejizolea umaarufu mkubwa Duniani kwani ameonekana mara nyingi akiwadhibiti Wavamizi mbalimbali ambao wengi lengo lao huwa sio baya, zaidi wanataka kupiga picha na Messi.

    Tayari uongozi wa Ligi hiyo umemzuia kuingia Uwanjani, sasa ataruhusiwa tu kuwa kwenye Vyumba vya kubadilishia nguo na maeneo ya Waandishi wa habari siku za mechi. Uamuzi huu ni sehemu ya mpango wa (MLS) wa kuchukua mamlaka kamili ya usalama wa mechi.

    Baada ya katazo, Yassine Cheuko ameonyesha kutoridhishwa na hatua hiyo, akisema kuwa Wavamizi wa Uwanja ni tatizo kubwa zaidi Nchini Marekani kuliko Ulaya. Kwa mujibu wake, katika miaka saba aliyofanya kazi Ulaya, kulikuwa na matukio sita pekee ya uvamizi Uwanjani, ilhali katika miezi 20 Nchini Marekani, tayari yameshuhudiwa matukio 16.

    Mlinzi huyo ameendelea kusema kuwa Uongozi wa Ligi Kuu ya Marekani haukutakiwa kumzuia kufanye kazi yake bali walitakiwa kumpa ushirikiano ili kazi hiyo waifanye kwa pamoja kwa sababu eti kipindi yupo barani Ulaya, alipata ushirikiano wa kutosha kutoka kwenye Uongozi na alifanya kazi yake kwa uhuru. Pamoja na kuzuiliwa kuingia Uwanjani au kukaa kando ya Uwanja, Cheuko amesema kuwa ataendelea kufanya kazi yake kama kawaida bila kuvunja sheria au utaratibu uliopo kwenye mchezo wa mpira wa miguu.

    Uongozi wa Ligi Kuu ya mpira wa miguu Nchini Marekani 🇺🇸, Major League Soccer (MLS), umempiga marufuku Mlinzi binafsi (Bodyguard) wa Lionel Messi, Yassine Cheuko, kuwa kando na kuingia katikati ya Uwanja wakati wa mechi za Inter Miami kwa lengo lake la kumlinda Mwajiri wake Messi. Ikumbukwe kwamba Yassine Cheuko, ni Mwanajeshi wa zamani wa kikosi maalumu cha operesheni za kijeshi cha Jeshi la Majini la Marekani (U.S. Navy) kinachobobea katika vita visivyo vya kawaida, kupambana na ugaidi, mashambulizi ya moja kwa moja, na upelelezi wa kijeshi. Tangu Yessine Cheuko aanze kufanya kazi na Messi amejizolea umaarufu mkubwa Duniani kwani ameonekana mara nyingi akiwadhibiti Wavamizi mbalimbali ambao wengi lengo lao huwa sio baya, zaidi wanataka kupiga picha na Messi. Tayari uongozi wa Ligi hiyo umemzuia kuingia Uwanjani, sasa ataruhusiwa tu kuwa kwenye Vyumba vya kubadilishia nguo na maeneo ya Waandishi wa habari siku za mechi. Uamuzi huu ni sehemu ya mpango wa (MLS) wa kuchukua mamlaka kamili ya usalama wa mechi. Baada ya katazo, Yassine Cheuko ameonyesha kutoridhishwa na hatua hiyo, akisema kuwa Wavamizi wa Uwanja ni tatizo kubwa zaidi Nchini Marekani kuliko Ulaya. Kwa mujibu wake, katika miaka saba aliyofanya kazi Ulaya, kulikuwa na matukio sita pekee ya uvamizi Uwanjani, ilhali katika miezi 20 Nchini Marekani, tayari yameshuhudiwa matukio 16. Mlinzi huyo ameendelea kusema kuwa Uongozi wa Ligi Kuu ya Marekani haukutakiwa kumzuia kufanye kazi yake bali walitakiwa kumpa ushirikiano ili kazi hiyo waifanye kwa pamoja kwa sababu eti kipindi yupo barani Ulaya, alipata ushirikiano wa kutosha kutoka kwenye Uongozi na alifanya kazi yake kwa uhuru. Pamoja na kuzuiliwa kuingia Uwanjani au kukaa kando ya Uwanja, Cheuko amesema kuwa ataendelea kufanya kazi yake kama kawaida bila kuvunja sheria au utaratibu uliopo kwenye mchezo wa mpira wa miguu.
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·1χλμ. Views
  • Baada ya kikao kilichofanyika leo hii katika ofisi za Baraza la Michezo Tanzania (BMT), ndani ya Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam, imeelezwa kuwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Prof. Palamagamba Kabudi, hakuja kutoa maamuzi bali kutafuta suluhisho kuhusu hatima ya Dabi ya Kariakoo, iliyokuwa ipigwe Machi 8, 2025 lakini ikaahirishwa.

    "Mheshimiwa Waziri amekuwa na mwanzo mzuri kwa kueleza kwamba jukwaa hilo siyo la maamuzi, bali ni la kutafuta suluhisho la tatizo lililotokea." - Eng. Hersi Said, Rais wa klabu ya Yanga SC

    Aidha, Rais huyo wa klabu ya Yanga SC amewahakikishia Wanachama wa klabu hiyo kuwa Uongozi wao uko imara na unafanya kila jitihada kuhakikisha maslahi ya klabu yanalindwa.Kikao hicho kimewakutanisha Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara (TPLB), Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania (TFF) na klabu ya Yanga SC, ambapo pande zote zimepata fursa ya kuwasilisha hoja zao kwa Waziri Kabudi.

    Baada ya kikao kilichofanyika leo hii katika ofisi za Baraza la Michezo Tanzania (BMT), ndani ya Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam, imeelezwa kuwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Prof. Palamagamba Kabudi, hakuja kutoa maamuzi bali kutafuta suluhisho kuhusu hatima ya Dabi ya Kariakoo, iliyokuwa ipigwe Machi 8, 2025 lakini ikaahirishwa. "Mheshimiwa Waziri amekuwa na mwanzo mzuri kwa kueleza kwamba jukwaa hilo siyo la maamuzi, bali ni la kutafuta suluhisho la tatizo lililotokea." - Eng. Hersi Said, Rais wa klabu ya Yanga SC Aidha, Rais huyo wa klabu ya Yanga SC amewahakikishia Wanachama wa klabu hiyo kuwa Uongozi wao uko imara na unafanya kila jitihada kuhakikisha maslahi ya klabu yanalindwa.Kikao hicho kimewakutanisha Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara (TPLB), Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania (TFF) na klabu ya Yanga SC, ambapo pande zote zimepata fursa ya kuwasilisha hoja zao kwa Waziri Kabudi.
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·1χλμ. Views
  • Taarifa kutoka Nchini Angola zinadai kuwa Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo , Felix Tshisekedi anatarajia kukutana na Waasi cha M23, Jijini Luanda Nchini Angola. Taarifa hii kwa mujibu wa Ofisi ya Rais wa Angola.

    Bado hakijafahamika lini na Pande hizo mbili zitatakutana Nchini humo lakini taarifa hiyo inasema kuwa siku chache zijazo Rais wa Félix Tshisekedi atakutana na Waasi hao ili kutatua tatizo la usalama mdogo Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.

    Taarifa kutoka Nchini Angola 🇦🇴 zinadai kuwa Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo 🇨🇩, Felix Tshisekedi anatarajia kukutana na Waasi cha M23, Jijini Luanda Nchini Angola. Taarifa hii kwa mujibu wa Ofisi ya Rais wa Angola. Bado hakijafahamika lini na Pande hizo mbili zitatakutana Nchini humo lakini taarifa hiyo inasema kuwa siku chache zijazo Rais wa Félix Tshisekedi atakutana na Waasi hao ili kutatua tatizo la usalama mdogo Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.
    Like
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·507 Views
  • Mtoto mmoja mwenye miaka minne (4) kutoka Jijini Wisconsin, Marekani , amepiga simu ya dharura Polisi baada ya Mama yake kula "ice cream" yake huku akiwata Maafisa hao Polisi wanapaswa kumfunga Jela Mama yake Mzazi kwa kutenda kosa hilo la kula "Ice Cream" yake. Katika utetezi kwa Maafisa hao wa Polisi, Mama huyo aliwaambia Polisi kwa njia ya Simu kuwa Mwanae alikasirika sana kwa sababu ya kula "ice cream" hiyo.

    Aidha, baada ya Polisi kufika katika Nyumba hiyo ili kuhakikisha hakuna tatizo kubwa zaidi, Mtoto huyo aliwathibitishia kuwa Mama yake kweli alikula "ice cream" yake na akisisitiza lazima apelekwe Jela, lakini baada ya mazungumzo na Maafisa hao Polisi, Mtoto huyo alikubali yaishe na kubadilisha mawazo yake ya kumshtaki Mama yake.

    Mtoto mmoja mwenye miaka minne (4) kutoka Jijini Wisconsin, Marekani 🇺🇸, amepiga simu ya dharura Polisi baada ya Mama yake kula "ice cream" yake huku akiwata Maafisa hao Polisi wanapaswa kumfunga Jela Mama yake Mzazi kwa kutenda kosa hilo la kula "Ice Cream" yake. Katika utetezi kwa Maafisa hao wa Polisi, Mama huyo aliwaambia Polisi kwa njia ya Simu kuwa Mwanae alikasirika sana kwa sababu ya kula "ice cream" hiyo. Aidha, baada ya Polisi kufika katika Nyumba hiyo ili kuhakikisha hakuna tatizo kubwa zaidi, Mtoto huyo aliwathibitishia kuwa Mama yake kweli alikula "ice cream" yake na akisisitiza lazima apelekwe Jela, lakini baada ya mazungumzo na Maafisa hao Polisi, Mtoto huyo alikubali yaishe na kubadilisha mawazo yake ya kumshtaki Mama yake.
    Like
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·602 Views
  • "Unajua hadithi hiyo, sihitaji kuirudia. Tuna
    angalau makubaliano matano na serikali za Congo tangu Mwaka 2007 na hakuna hata mmoja wao ambaye ameheshimu toka DRC. Wanamgambo wa mauaji ya kimbari bado wanaishi Congo. Kuifanya Rwanda kuwa tatizo ni njia ya kuficha tatizo halisi na kuandika upya historia kwa kumbadilisha mhasiriwa kuwa Mnyongaji“

    "Halafu kuna kutokubaliana kwa wazi na udanganyifu kwa upande wa nchi , kama Ubelgiji, ambazo ni sehemu ya historia na tatizo. Serikali ya DRC inaajiri mamluki, kama kila mtu anavyojua.Wanatoka wapi? Kutoka Ulaya. Je, umewahi kusikia kuhusu nchi moja ya Ulaya wanalaumu wale raia wao ambao wanahusika, pamoja na serikali pia. Nani aliwaajiri?Hakuna. Na bado wanaendelea kurudia kwamba kila kitu ni makosa ya Rwanda. ” - Paul Kagame, Rais wa Rwanda kupitia AJ

    "Unajua hadithi hiyo, sihitaji kuirudia. Tuna angalau makubaliano matano na serikali za Congo tangu Mwaka 2007 na hakuna hata mmoja wao ambaye ameheshimu toka DRC. Wanamgambo wa mauaji ya kimbari bado wanaishi Congo. Kuifanya Rwanda kuwa tatizo ni njia ya kuficha tatizo halisi na kuandika upya historia kwa kumbadilisha mhasiriwa kuwa Mnyongaji“ "Halafu kuna kutokubaliana kwa wazi na udanganyifu kwa upande wa nchi , kama Ubelgiji, ambazo ni sehemu ya historia na tatizo. Serikali ya DRC inaajiri mamluki, kama kila mtu anavyojua.Wanatoka wapi? Kutoka Ulaya. Je, umewahi kusikia kuhusu nchi moja ya Ulaya wanalaumu wale raia wao ambao wanahusika, pamoja na serikali pia. Nani aliwaajiri?Hakuna. Na bado wanaendelea kurudia kwamba kila kitu ni makosa ya Rwanda. ” - Paul Kagame, Rais wa Rwanda 🇷🇼 kupitia AJ
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·567 Views
  • "Congo hawawezi kutuambia tukae kimya wakati wanasababisha matatizo makubwa ya kiusalama dhidi yetu, hakuna wa kutuambia tukae kimya, tumeongea na Congo mara nyingi tumewaita tukae tuongee hawataki"

    "Mimi naomba tusiwe na vikao vingi sana kama ambavyo tayari tumeshakuwa navyo, hatuwezi kila siku kukaa kujadili matatizo maana kinachoendelea pale ni vita ya Kikabila ni suala la kutambuana, kujadiliana na kuwapa haki yao, tutumie kikao hiki kupata suluhu ya kudumu na sio matatizo yatokee Congo kisha ubaya anapewa Rwanda” - Paul Kagame, Rais wa Rwanda akiongea kwenye mkutano wa EAC na SADC.

    "Congo hawawezi kutuambia tukae kimya wakati wanasababisha matatizo makubwa ya kiusalama dhidi yetu, hakuna wa kutuambia tukae kimya, tumeongea na Congo mara nyingi tumewaita tukae tuongee hawataki" "Mimi naomba tusiwe na vikao vingi sana kama ambavyo tayari tumeshakuwa navyo, hatuwezi kila siku kukaa kujadili matatizo maana kinachoendelea pale ni vita ya Kikabila ni suala la kutambuana, kujadiliana na kuwapa haki yao, tutumie kikao hiki kupata suluhu ya kudumu na sio matatizo yatokee Congo kisha ubaya anapewa Rwanda” - Paul Kagame, Rais wa Rwanda 🇷🇼 akiongea kwenye mkutano wa EAC na SADC.
    Haha
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·650 Views
  • Rais wa Rwanda , Paul Kagame amesema kuwa hajui kama Wanajeshi wa Nchi yake wako mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), ambako mapigano kati ya kundi la Waasi la M23 na Wanajeshi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo yanaendelea.

    Rais huyo ameyaomba hayo jana Februari 3, alipohojiwa na Mwandishi Larry Madowo wa CNN aliyetaka kufahamu ikiwa hadi kufikia jana kulikuwa na Vikosi vya kijeshi vya Rwanda Nchini Kongo. Licha ya kuwa Amiri Jeshi Mkuu amesema hajui.

    "Sijui. Ni kweli mimi ni Amiri Jeshi Mkuu ila kuna vitu vingi ambavyo sivifahamu, ila kama utaniuliza kama kuna tatizo Kongo linaloihusu Rwanda na kwamba Rwanda inapaswa kufanya chochote ili kujilinda nitakwambia asilimia mia moja," Paul Kagame, Rais wa Rwanda.

    Majibu ya Kagame yanakuja katika kipindi ambacho sehemu kubwa ya Jumuiya ya kimataifa inaamini kuwa Rwanda inawaunga mkono Waasi wa M23, waliodai kuuteka Mji wa Goma mashariki mwa Kongo wiki iliyopita.

    Wataalamu wa Umoja wa Mataifa wanaamini kuwa takribani Wanajeshi 3,000 - 4,000 wa Rwanda wanawasimamia na kuwaunga mkono wapiganaji wa M23 mashariki mwa DR Congo. Ikinukuu Shirika la Afya Ulimwenguni, Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kuratibu Masuala ya Kibinadamu katika ripoti ya Jumatatu ilidai kuwa kufikia tarehe 31 Januari, takribani miili 900 imepatikana kutoka mitaani.

    Rais wa Rwanda 🇷🇼, Paul Kagame amesema kuwa hajui kama Wanajeshi wa Nchi yake wako mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), ambako mapigano kati ya kundi la Waasi la M23 na Wanajeshi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo 🇨🇩 yanaendelea. Rais huyo ameyaomba hayo jana Februari 3, alipohojiwa na Mwandishi Larry Madowo wa CNN aliyetaka kufahamu ikiwa hadi kufikia jana kulikuwa na Vikosi vya kijeshi vya Rwanda Nchini Kongo. Licha ya kuwa Amiri Jeshi Mkuu amesema hajui. "Sijui. Ni kweli mimi ni Amiri Jeshi Mkuu ila kuna vitu vingi ambavyo sivifahamu, ila kama utaniuliza kama kuna tatizo Kongo linaloihusu Rwanda na kwamba Rwanda inapaswa kufanya chochote ili kujilinda nitakwambia asilimia mia moja," Paul Kagame, Rais wa Rwanda. Majibu ya Kagame yanakuja katika kipindi ambacho sehemu kubwa ya Jumuiya ya kimataifa inaamini kuwa Rwanda inawaunga mkono Waasi wa M23, waliodai kuuteka Mji wa Goma mashariki mwa Kongo wiki iliyopita. Wataalamu wa Umoja wa Mataifa wanaamini kuwa takribani Wanajeshi 3,000 - 4,000 wa Rwanda wanawasimamia na kuwaunga mkono wapiganaji wa M23 mashariki mwa DR Congo. Ikinukuu Shirika la Afya Ulimwenguni, Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kuratibu Masuala ya Kibinadamu katika ripoti ya Jumatatu ilidai kuwa kufikia tarehe 31 Januari, takribani miili 900 imepatikana kutoka mitaani.
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·880 Views
Αναζήτηση αποτελεσμάτων