• Sehemu ya siri.. hii sehemu huwa siri..
    Hii sehemu ina fichwa ili kubaki siri..
    Hii sehem adim.. Siri tamu sio ndim..
    Ata ukiwa umepinda hii sehemu utaiheshim..
    Ogopa kuuza siri.. Ogopa kutoa siri..
    Hii sehem ina heshima.. Basi onja kisiri siri..
    Ukijua sehem siri.. Ukila sehem siri..
    Usitangeze yake siri.. Utafanya ukatili..
    Baadhi ya nguo nazo azina siri..
    Azifichi kama dela zina weka wazi siri..
    Chunga yako siri.. Hiyo yako namba siri..
    Ukijidai washa washa utajikuna kisiri siri..
    Tulia kama moja makumi utoa siri..
    Wa heshim warembo madada wanayo siri..
    Danga ana jua.. Siri yake naijua..
    Ata akigoma powa Mambo yake naya jua..
    Tunza iyo siri.. Makinii kuwa msiri..
    Usionyeshe sehem siri.. Wasije kutoa siri..
    Nimemalizaa#
    Sehemu ya siri.. hii sehemu huwa siri.. Hii sehemu ina fichwa ili kubaki siri.. Hii sehem adim.. Siri tamu sio ndim.. Ata ukiwa umepinda hii sehemu utaiheshim.. Ogopa kuuza siri.. Ogopa kutoa siri.. Hii sehem ina heshima.. Basi onja kisiri siri.. Ukijua sehem siri.. Ukila sehem siri.. Usitangeze yake siri.. Utafanya ukatili.. Baadhi ya nguo nazo azina siri.. Azifichi kama dela zina weka wazi siri.. Chunga yako siri.. Hiyo yako namba siri.. Ukijidai washa washa utajikuna kisiri siri.. Tulia kama moja makumi utoa siri.. Wa heshim warembo madada wanayo siri.. Danga ana jua.. Siri yake naijua.. Ata akigoma powa Mambo yake naya jua.. Tunza iyo siri.. Makinii kuwa msiri.. Usionyeshe sehem siri.. Wasije kutoa siri.. Nimemalizaa#
    Like
    1
    0 Comments 0 Shares 180 Views
  • Tunatumia.. sio kwamba ni muhimu kutumia.. Hapna! kwasababu tunaona tu nasisi tunaiitaji kuitumia..
    Thamani ya maandishi,, utegemea na ufahamu wa anayeyasoma... Ila thamani ya Fumbo.. itabaki kuwa funguo ya Ufahamu wa jambo..
    Acha tujifunze na kulinda Aibu ya Ujinga.. japo jamii uelewa ukiwa Tajiri, ni Nguo tosha yakuvaa Akili na Hekima.
    Ukatili kwao ndio ujasili na Uluma juu Yao Bado watakuita muoga, acha kuchagua njia ipi ikufanye kuwa Bora kwao.. Wewe fanya kinachostaili ila Usiyawinde Sana Mafao..
    Tunatumia.. sio kwamba ni muhimu kutumia.. Hapna! kwasababu tunaona tu nasisi tunaiitaji kuitumia.. Thamani ya maandishi,, utegemea na ufahamu wa anayeyasoma... Ila thamani ya Fumbo.. itabaki kuwa funguo ya Ufahamu wa jambo.. Acha tujifunze na kulinda Aibu ya Ujinga.. japo jamii uelewa ukiwa Tajiri, ni Nguo tosha yakuvaa Akili na Hekima. Ukatili kwao ndio ujasili na Uluma juu Yao Bado watakuita muoga, acha kuchagua njia ipi ikufanye kuwa Bora kwao.. Wewe fanya kinachostaili ila Usiyawinde Sana Mafao..
    0 Comments 0 Shares 155 Views
  • Waarabu jaribuni kuwa na utu hata kidogo.
    Kumfanyia hivi sio vizuri kabisa
    Watu weusi tujitambue.

    #Zuchuwcb #wcb
    #wasafi #ukatili
    #socialpop #Diamondplatnumz
    ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญWaarabu jaribuni kuwa na utu hata kidogo. Kumfanyia hivi sio vizuri kabisa ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ Watu weusi tujitambue.๐Ÿ™๐Ÿ™ #Zuchuwcb #wcb #wasafi #ukatili #socialpop #Diamondplatnumz
    Like
    Sad
    Love
    Wow
    19
    62 Comments 1 Shares 989 Views 736
  • SPY WA KUZIMU | mzigo una husu mama na watoto wake wawili ma pacha !

    So baada ya mama yao kupata ajari anafanyiwa upasuaji wa uso, sasa balaa ni kwamba tokea mama yao amepigwa bandeji usoni Wanashuku kuwa yeye si mama yao halisi, na wanaanza kumchunguza. Wakati wa uchunguzi wao, wanakumbana na matukio ya kutisha na ya kutatanisha, kama vile: Mama yao akiwa anaongea kwa sauti tofauti. Na anaonekana kuwa na ukatili na asiyejali. Maswali

    โ—๏ธMama yao halisi amepotelea wapi?
    โ—๏ธMwanamke aliyevaa bandeji ni nani?
    โ—๏ธJe, mapacha wapo hatarini?

    Telegram ๐Ÿ‘‡๐Ÿป๐Ÿ‘‡๐Ÿป
    https://t.me/HFilam_Official/1408
    Username @HFilam_Official
    SPY WA KUZIMU ๐Ÿ‘น๐Ÿ˜ฐ| mzigo una husu mama na watoto wake wawili ma pacha ! So baada ya mama yao kupata ajari anafanyiwa upasuaji wa uso, sasa ๐Ÿ˜ฌbalaa ni kwamba tokea mama yao amepigwa bandeji usoni Wanashuku kuwa yeye si mama yao halisi, na wanaanza kumchunguza. Wakati wa uchunguzi wao, wanakumbana na matukio ya kutisha na ya kutatanisha, kama vile: Mama yao akiwa anaongea kwa sauti tofauti. Na anaonekana kuwa na ukatili na asiyejali. ๐Ÿ’ญMaswali โ—๏ธ๐Ÿ˜‡Mama yao halisi amepotelea wapi? โ—๏ธ๐Ÿ˜‡Mwanamke aliyevaa bandeji ni nani? โ—๏ธ๐Ÿ˜‡Je, mapacha wapo hatarini? Telegram ๐Ÿ‘‡๐Ÿป๐Ÿ‘‡๐Ÿป https://t.me/HFilam_Official/1408 Username @HFilam_Official
    Like
    Love
    3
    0 Comments 0 Shares 278 Views