• Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imeomba msaada wa kijeshi kutoka Nchini Chad katika jitihada zake za kupambana na Waasi wa kundi la M23 wanaodaiwa kuungwa mkono na Nchi ya Rwanda . Waziri anayeshughulikia masuala ya kikanda wa DR Congo alikutana na Rais wa Chad, Mahamat Idriss Deby Itno, Jumanne akimuwakilisha Rais wa DR Congo, Felix Tshisekedi, kwa mujibu wa taarifa kutoka ofisi ya Rais wa Chad na kusasishwa kwenye wa mtandao wa Facebook.

    Maelezo ya kina ya mazungumzo yao hajawekwa wazi. Mmoja wa Maafisa wa Chad anayeyefahamu mazungumzo hayo alisema Chad inalibeba ombi la kuombwa msaada na DR Congo, lakini bado haijafanya maamuzi kuhusu ombi hilo. Chanzo kutoka Ofisi ya Rais DR Congo C kimeiambia BBC kuwa kuwa Nchi hiyo imeomba msaada wa kijeshi na kidiplomasia kutoka Nchini Chad.

    Hata hivyo chanzo hicho ambacho hakijataka kutambulishwa kwa sababu za ndani, hakijatoa maelezo zaidi. Msemaji wa Serikali ya Chad, Gassim Cherif, hakujibu ombi la kutoa maoni yake kuhusu hili, kwa mujibu wa Reuters. Kwa upande wake, Msemaji wa Rais Tshisekedi, Tina Salama, alisema hana taarifa yoyote kuhusu suala hilo.

    Wiki iliyopita, Waziri wa Mambo ya Nje wa Chad aliiambia Reuters kuwa kupeleka msaada wa kijeshi DR Congo ni "taarifa za tetesi" bado haijathibitishwa rasmi.
    (BBC)

    Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo 馃嚚馃嚛 imeomba msaada wa kijeshi kutoka Nchini Chad 馃嚬馃嚛 katika jitihada zake za kupambana na Waasi wa kundi la M23 wanaodaiwa kuungwa mkono na Nchi ya Rwanda 馃嚪馃嚰. Waziri anayeshughulikia masuala ya kikanda wa DR Congo alikutana na Rais wa Chad, Mahamat Idriss Deby Itno, Jumanne akimuwakilisha Rais wa DR Congo, Felix Tshisekedi, kwa mujibu wa taarifa kutoka ofisi ya Rais wa Chad na kusasishwa kwenye wa mtandao wa Facebook. Maelezo ya kina ya mazungumzo yao hajawekwa wazi. Mmoja wa Maafisa wa Chad anayeyefahamu mazungumzo hayo alisema Chad inalibeba ombi la kuombwa msaada na DR Congo, lakini bado haijafanya maamuzi kuhusu ombi hilo. Chanzo kutoka Ofisi ya Rais DR Congo C kimeiambia BBC kuwa kuwa Nchi hiyo imeomba msaada wa kijeshi na kidiplomasia kutoka Nchini Chad. Hata hivyo chanzo hicho ambacho hakijataka kutambulishwa kwa sababu za ndani, hakijatoa maelezo zaidi. Msemaji wa Serikali ya Chad, Gassim Cherif, hakujibu ombi la kutoa maoni yake kuhusu hili, kwa mujibu wa Reuters. Kwa upande wake, Msemaji wa Rais Tshisekedi, Tina Salama, alisema hana taarifa yoyote kuhusu suala hilo. Wiki iliyopita, Waziri wa Mambo ya Nje wa Chad aliiambia Reuters kuwa kupeleka msaada wa kijeshi DR Congo ni "taarifa za tetesi" bado haijathibitishwa rasmi. (BBC)
    Like
    1
    0 Comments 0 Shares 124 Views
  • “Ukiwa Mwandishi wa Habari una vitu viwili muhimu vya kuchunga navyo ni Ulimi wako na Mikono yako, unapaswa kufahamu unaongea nini ama unaandika kitu gani, nyuma ya mauaji ya Kimbari yalikuwa ni matamshi ya Watangazaji pia ambao walieneza chuki, kwasasa kuna kazi mbili za hatari nazo ni Ualimu na Waandishi wa Habari, hawa wanaweza kutengeneza taifa la Wajinga ama Waelevu.

    Nataka kusema nini? Nataka kusema juu ya kelele na shutuma za Yanga na Singida bado hakuna aliyetupa picha kamili zaidi ni kuwa Mashabiki wanalalamika kwa hisia, Waandishi tunalalamika kwa hisia ila hakuna anayekuja mbele kutoa usahihi, inaitwa Proving beyond reasonable doubt! Nimeona Wadau wanasema TFF haifanyi chochote, lakini wewe umewapa tip gani? Taasisi haifanyi maamuzi kwa hisia, the corporate world works differently from streets.

    Bado kizazi chetu cha Uandishi kuna kitu kinamiss ni INVESTIGATIVE JOURNALISM, binafsi nakiri wazi TUMEFELI sana eneo hili, yaani sote tunalaumu Singida kufanya rotation tunaita kupanga matokeo, tangu lini duniani kubadili kikosi chako ni kupanga matokeo? Ikitokea Coastal kabadili kikosi, ikitokea Simba kabadili ama AZAM? Yani timu inalaumiwa kwa kutumia Wachezaji wake?

    Tunaweza kuwa na hoja ila mpaka sasa hazina mashiko zaidi tunaonekana tunalalama ila tukipelekwa Mahakamani hakuna ambaye atathibitisha chochote, kama kufungwa ni kupanga matokeo mara ya mwisho Simba kumfunga Yanga ndani ya dakika 90 ni lini? Kama kufungwa ni kupanga matokeo lini Singida kamfunga Simba? Kama kufungwa ni kupanga lini Namungo kamfunga Simba lini?

    Sisi WAANDISHI tuna homework tunapaswa kufanya, tutaharibu fikra za Watanzania! Wenzetu Ulaya walipoibua kashfa ya Casciopoli pale Italia walikuja na data, hata UEFA Heated Balls Scandal watu walikuwa na data! Yanga wakisema waende kisheria nani anaweza kuja na hoja za kueleweka? Kama hakuna taarifa sahihi, mifano hai basi tunaongelea hisia, TFF atareact endapo atajitokea Mtu akaattack matter not the subject" - Farhan JR, Mchambuzi.

    “Ukiwa Mwandishi wa Habari una vitu viwili muhimu vya kuchunga navyo ni Ulimi wako na Mikono yako, unapaswa kufahamu unaongea nini ama unaandika kitu gani, nyuma ya mauaji ya Kimbari yalikuwa ni matamshi ya Watangazaji pia ambao walieneza chuki, kwasasa kuna kazi mbili za hatari nazo ni Ualimu na Waandishi wa Habari, hawa wanaweza kutengeneza taifa la Wajinga ama Waelevu. Nataka kusema nini? Nataka kusema juu ya kelele na shutuma za Yanga na Singida bado hakuna aliyetupa picha kamili zaidi ni kuwa Mashabiki wanalalamika kwa hisia, Waandishi tunalalamika kwa hisia ila hakuna anayekuja mbele kutoa usahihi, inaitwa Proving beyond reasonable doubt! Nimeona Wadau wanasema TFF haifanyi chochote, lakini wewe umewapa tip gani? Taasisi haifanyi maamuzi kwa hisia, the corporate world works differently from streets. Bado kizazi chetu cha Uandishi kuna kitu kinamiss ni INVESTIGATIVE JOURNALISM, binafsi nakiri wazi TUMEFELI sana eneo hili, yaani sote tunalaumu Singida kufanya rotation tunaita kupanga matokeo, tangu lini duniani kubadili kikosi chako ni kupanga matokeo? Ikitokea Coastal kabadili kikosi, ikitokea Simba kabadili ama AZAM? Yani timu inalaumiwa kwa kutumia Wachezaji wake? Tunaweza kuwa na hoja ila mpaka sasa hazina mashiko zaidi tunaonekana tunalalama ila tukipelekwa Mahakamani hakuna ambaye atathibitisha chochote, kama kufungwa ni kupanga matokeo mara ya mwisho Simba kumfunga Yanga ndani ya dakika 90 ni lini? Kama kufungwa ni kupanga matokeo lini Singida kamfunga Simba? Kama kufungwa ni kupanga lini Namungo kamfunga Simba lini? Sisi WAANDISHI tuna homework tunapaswa kufanya, tutaharibu fikra za Watanzania! Wenzetu Ulaya walipoibua kashfa ya Casciopoli pale Italia walikuja na data, hata UEFA Heated Balls Scandal watu walikuwa na data! Yanga wakisema waende kisheria nani anaweza kuja na hoja za kueleweka? Kama hakuna taarifa sahihi, mifano hai basi tunaongelea hisia, TFF atareact endapo atajitokea Mtu akaattack matter not the subject" - Farhan JR, Mchambuzi.
    0 Comments 0 Shares 213 Views
  • Zakazakazi amjibu Amri Kiemba.

    TUONGEE KWA FACT

    Ni kweli kwamba Amri Kiemba alicheza Azam FC kwa mkopo wa miezi 6 akitokea Simba, 2014/15.

    Alisajiliwa dirisha dogo lililofunguliwa Disemba 15, 2014, na walikuja wawili, yeye na Saad Kawemba kama mtendaji mku (CEO).

    Akiwa Azam FC, Kiemba alikutana na mechi mbili dhidi ya Simba,

    24/01/2015
    Azam FC 1-1 Simba

    Hii mechi ndiyo ile ambayo Aggrey Morris alimfanyia madhambi Okwi hadi akapoteza fahamu...akaenda kuzindukia hospitali.

    02/05/2015
    Simba 2-1 Azam FC

    Hii mechi kwa asilimia kubwa iliamuliwa na kadi nyekundu ya Salum Abubakar dakika 38, na kuumia kwa Frank Domayo dakika chache baadaye.

    Lakini hadi wakati huo, Azam FC ilikuwa imeushika mchezo hasa. Kipindi cha pili Simba wakapata goli, Azam FC ikiwa pungufu ikasawazisha...dakika za jioni Simba wakapata bao la pili.

    Hii ilikuwa mechi ya kwanza ya Simba kuifunga Azam FC tangu Oktoba 27, 2012 kwenye ile mechi ambayo Azam FC ilisimamisha wachezaji wanne ikiwatuhumu kuihujumu timu.

    Wachezaji hawa ni Agrey Morris, Erasto Nyoni, Dida na Said Morad...na walisimamishwa hadi Aprili 2013. Yaani timu ifanye maandalizi finyu halafu isimamishe wachezaji wanne kwa takribani miezi 6?

    Simba baada ya kushinda mchezo huo, hawakushinda tena ndiyo hadi 2015...na 2016...tena hadi 2018.

    Kuanzia 2013 hadi 2017 Simba walishinda mechi mbili tu dhidi ya Azam...halafu Kiemba anasema alikuwa haoni maandalizi...maandalizi gani?

    Kama adui yako anakufa kwa asali, kwanini umpige bunduki?

    Kiemba alikuwa Simba ambayo ilifungwa mfululizo na Azam FC kwa miaka mitatu...walikuwa wanajiandaaje huko?

    Kiemba anaheshimika sana, lakini huu ushuhuda wake wa kupika unamvunjia heshima.

    Eti maandalizi dhidi ya Yanga yalikuwa tofauti. Ok...akiwa Azam FC, Kiemba alikutana na mechi mbili dhidi ya Yanga.

    28/12/2014
    Yanga 2-2 Azam FC

    06/05/2015
    Azam FC 2-1 Yanga

    Hii mechi ndiyo ile ya siku ya mvua nyingi, Yanga wameshakuwa mabingwa.

    Coutinho anataka kupiga faulo, Ngassa anamnyang'anya mpira.

    Kwa wanaokumbuka, wataikumbuka mechi hii.

    Huu ulikuwa mchezo wa kwanza Azam FC kuifunga Yanga tangu 2013, lakini katika kipindi hicho, Simba akichomoka kwa Azam, ni sare!

    Zakazakazi amjibu Amri Kiemba. TUONGEE KWA FACT Ni kweli kwamba Amri Kiemba alicheza Azam FC kwa mkopo wa miezi 6 akitokea Simba, 2014/15. Alisajiliwa dirisha dogo lililofunguliwa Disemba 15, 2014, na walikuja wawili, yeye na Saad Kawemba kama mtendaji mku (CEO). Akiwa Azam FC, Kiemba alikutana na mechi mbili dhidi ya Simba, 24/01/2015 Azam FC 1-1 Simba Hii mechi ndiyo ile ambayo Aggrey Morris alimfanyia madhambi Okwi hadi akapoteza fahamu...akaenda kuzindukia hospitali. 02/05/2015 Simba 2-1 Azam FC Hii mechi kwa asilimia kubwa iliamuliwa na kadi nyekundu ya Salum Abubakar dakika 38, na kuumia kwa Frank Domayo dakika chache baadaye. Lakini hadi wakati huo, Azam FC ilikuwa imeushika mchezo hasa. Kipindi cha pili Simba wakapata goli, Azam FC ikiwa pungufu ikasawazisha...dakika za jioni Simba wakapata bao la pili. Hii ilikuwa mechi ya kwanza ya Simba kuifunga Azam FC tangu Oktoba 27, 2012 kwenye ile mechi ambayo Azam FC ilisimamisha wachezaji wanne ikiwatuhumu kuihujumu timu. Wachezaji hawa ni Agrey Morris, Erasto Nyoni, Dida na Said Morad...na walisimamishwa hadi Aprili 2013. Yaani timu ifanye maandalizi finyu halafu isimamishe wachezaji wanne kwa takribani miezi 6? Simba baada ya kushinda mchezo huo, hawakushinda tena ndiyo hadi 2015...na 2016...tena hadi 2018. Kuanzia 2013 hadi 2017 Simba walishinda mechi mbili tu dhidi ya Azam...halafu Kiemba anasema alikuwa haoni maandalizi...maandalizi gani? Kama adui yako anakufa kwa asali, kwanini umpige bunduki? Kiemba alikuwa Simba ambayo ilifungwa mfululizo na Azam FC kwa miaka mitatu...walikuwa wanajiandaaje huko? Kiemba anaheshimika sana, lakini huu ushuhuda wake wa kupika unamvunjia heshima. Eti maandalizi dhidi ya Yanga yalikuwa tofauti. Ok...akiwa Azam FC, Kiemba alikutana na mechi mbili dhidi ya Yanga. 28/12/2014 Yanga 2-2 Azam FC 06/05/2015 Azam FC 2-1 Yanga Hii mechi ndiyo ile ya siku ya mvua nyingi, Yanga wameshakuwa mabingwa. Coutinho anataka kupiga faulo, Ngassa anamnyang'anya mpira. Kwa wanaokumbuka, wataikumbuka mechi hii. Huu ulikuwa mchezo wa kwanza Azam FC kuifunga Yanga tangu 2013, lakini katika kipindi hicho, Simba akichomoka kwa Azam, ni sare!
    0 Comments 0 Shares 92 Views

  • KUTOKA SINGIDA BLACK STARS

    HII NI KWENU WACHAMBUZI WOTE WENYE USHABIKI KULIKO UCHAMBUZI

    Singida Black stars Sc ni Timu yenye utaratibu wake na mipango yake juu ya kuiongoza Timu yake kwa misingi yake

    Timu yetu haipangiwi na wala hatupelekeshwi na maneno ya mitandaoni katika kuiendesha Timu Yetu, Tunaomba Mfahamu kuwa kila mchezaji Tuliyemsajili anatufaa na anafaa kuipambania Nembo ya Timu yetu

    Katika kikosi chetu chenye jumla ya wachezaji 33 wote wakiwa wazima wa Afya na Fitness nzuri kocha wetu na Benchi letu la Ufundi lina uhuru wa Kumchagua Mchezaji yeyote akaanza katika kikosi cha kwanza katika mchezo wowote

    Rejea michezo Yetu Mitatu ya nyuma kabla ya mchezo wa jana dhidi ya Yanga sc Tulicheza michezo 3 dhidi ya Kagera Sugar, KMC Fc, na JKT Tanzania

    Katika mchezo wetu dhidi ya Kagera sugar tulianzisha wachezaji wengi wa kimataifa na Tulipata sare ya goli 2-2 mchezo uliofuata tukacheza dhidi ya KMC FC na wachezaji wengi wa kimataifa walianza pia tukafungwa goli 2 bila Benchi la ufundi kikafanya mabadiliko kadhaa kwenye mchezo uliofuata dhidi ya JKT Tanzania Na tukapata ushindi kwenye moja ya Viwanja ambavyo Timu zote za ligi kuu hakuna iliyopata ushindi

    Baada ya Benchi la Ufundi kuridhika na vipaji vya wachezaji wetu wa ndani waliotupa Ushindi wa mchezo wa JKT Tanzania wakaridhishwa kwamba wachezaji wale wanafaa baadhi yao kuanza kwenye mchezo dhidi ya Yanga, kwa upande wa Timu yetu Tumefurahi Timu ilicheza vizuri kwa nidhamu ya hali ya juu na mchezo ukaisha kwa goal 2-1

    Sasa baada ya mchezo ule wameibuka watu wanaojiita wachambuzi kwa vivuli vya ushabiki wao na roho zao mbaya na umaskini uliowajaa wanataka kutupangia Kikosi chetu kitu Ambacho kwetu hakikubaliki hata kidogo

    Ni mfano uone mwanaume Ameoa wake 4 alafu wewe jirani yake unataka kumpangia kwamba Leo kalale kwa mwanamke huyu na utapikiwa na huyu hilo haliwezekani Abadani SISI HATUPANGIWI MAISHA NA VITAKATAKA KAMA NYINYI
    KUTOKA SINGIDA BLACK STARS 鉁嶏笍 HII NI KWENU WACHAMBUZI WOTE WENYE USHABIKI KULIKO UCHAMBUZI Singida Black stars Sc ni Timu yenye utaratibu wake na mipango yake juu ya kuiongoza Timu yake kwa misingi yake Timu yetu haipangiwi na wala hatupelekeshwi na maneno ya mitandaoni katika kuiendesha Timu Yetu, Tunaomba Mfahamu kuwa kila mchezaji Tuliyemsajili anatufaa na anafaa kuipambania Nembo ya Timu yetu Katika kikosi chetu chenye jumla ya wachezaji 33 wote wakiwa wazima wa Afya na Fitness nzuri kocha wetu na Benchi letu la Ufundi lina uhuru wa Kumchagua Mchezaji yeyote akaanza katika kikosi cha kwanza katika mchezo wowote Rejea michezo Yetu Mitatu ya nyuma kabla ya mchezo wa jana dhidi ya Yanga sc Tulicheza michezo 3 dhidi ya Kagera Sugar, KMC Fc, na JKT Tanzania Katika mchezo wetu dhidi ya Kagera sugar tulianzisha wachezaji wengi wa kimataifa na Tulipata sare ya goli 2-2 mchezo uliofuata tukacheza dhidi ya KMC FC na wachezaji wengi wa kimataifa walianza pia tukafungwa goli 2 bila Benchi la ufundi kikafanya mabadiliko kadhaa kwenye mchezo uliofuata dhidi ya JKT Tanzania Na tukapata ushindi kwenye moja ya Viwanja ambavyo Timu zote za ligi kuu hakuna iliyopata ushindi Baada ya Benchi la Ufundi kuridhika na vipaji vya wachezaji wetu wa ndani waliotupa Ushindi wa mchezo wa JKT Tanzania wakaridhishwa kwamba wachezaji wale wanafaa baadhi yao kuanza kwenye mchezo dhidi ya Yanga, kwa upande wa Timu yetu Tumefurahi Timu ilicheza vizuri kwa nidhamu ya hali ya juu na mchezo ukaisha kwa goal 2-1 Sasa baada ya mchezo ule wameibuka watu wanaojiita wachambuzi kwa vivuli vya ushabiki wao na roho zao mbaya na umaskini uliowajaa wanataka kutupangia Kikosi chetu kitu Ambacho kwetu hakikubaliki hata kidogo Ni mfano uone mwanaume Ameoa wake 4 alafu wewe jirani yake unataka kumpangia kwamba Leo kalale kwa mwanamke huyu na utapikiwa na huyu hilo haliwezekani Abadani SISI HATUPANGIWI MAISHA NA VITAKATAKA KAMA NYINYI
    0 Comments 0 Shares 140 Views
  • Aliacha historria (John Jones) ni onyo kali kwa wale wanaopenda mapango.

    Kamwe usipite kwenye sehemu nyembamba sana bila uhakika wa kutoka.

    Hakikisha unakuwa na vifaa vya kutosha vya usalama.

    Usijaribu kupita kwenye njia usizozifahamu vizuri.

    Na zaidi ya yote, uhai ni wa thamani kuliko ujasiri.

    Nutty Putty Cave inabaki kuwa kaburi lililofungwa, na watu wengi wakiogopa hata kufikiria juu yake.
    Aliacha historria (John Jones) ni onyo kali kwa wale wanaopenda mapango. Kamwe usipite kwenye sehemu nyembamba sana bila uhakika wa kutoka. Hakikisha unakuwa na vifaa vya kutosha vya usalama. Usijaribu kupita kwenye njia usizozifahamu vizuri. Na zaidi ya yote, uhai ni wa thamani kuliko ujasiri. Nutty Putty Cave inabaki kuwa kaburi lililofungwa, na watu wengi wakiogopa hata kufikiria juu yake.
    Like
    1
    0 Comments 0 Shares 121 Views
  • John Jones alipambana kwa masaa 27 akiwa amekwama ndani ya pango.

    Mwili wake ulianza kufa ganzi kutokana na ukosefu wa damu.

    Alianza kuhisi uchovu mkubwa na maumivu yasiyovumilika.

    Alizungumza na mke wake kupitia simu na kumwambia, "Ninakupenda, tafadhali mwambie mwanangu kuhusu mimi."

    Waokoaji walijaribu njia zote—lakini hakuna iliyofanya kazi.

    Mwishowe, John alipoteza fahamu kutokana na uchovu na upungufu wa oksijeni.
    John Jones alipambana kwa masaa 27 akiwa amekwama ndani ya pango. Mwili wake ulianza kufa ganzi kutokana na ukosefu wa damu. Alianza kuhisi uchovu mkubwa na maumivu yasiyovumilika. Alizungumza na mke wake kupitia simu na kumwambia, "Ninakupenda, tafadhali mwambie mwanangu kuhusu mimi." Waokoaji walijaribu njia zote—lakini hakuna iliyofanya kazi. Mwishowe, John alipoteza fahamu kutokana na uchovu na upungufu wa oksijeni.
    Love
    1
    0 Comments 0 Shares 69 Views
  • "Kazi bado ni ngumu katika mzozo wa Drc ukitazama maoni ya Marais wa Afrika mashariki utagundua kuwa hii ngoma bado ngumu!!

    Marais wengi wanashauri Tshsekedi afanye mazungumzo na M23 ili kufikia makubaliano na hatimaye amani, ugumu ni kuwa Rais Tshsekedi na serikali yake ya Congo imeapa kamwe haitazungumza na waasi na kufanya hivyo ni kitu ambacho Congo hawataki

    Ugumu ni kuwa tayari M23 imejitangazia serikali yake huko Goma kitendo ambacho ni sawa na uhaini kwa serikali ya Tshsekedi na Tshsekedi hataki kuzungumza na wahaini wa serikali yake

    Hivyo kwa sasa fahamu kuwa sio M23 wanaokataa mazungumzo bali serikali ya Congo ambayo inaona kufanya hivyo ni kuwapa nguvu zaidi waasi

    Ni wazi kuwa njia pekee anayoitaka Tshsekedi ni kutumia mtutu wa silaha dhidi ya M23 kitu ambacho kwa sasa ni kigumu kwa sababu jeshi la Congo ni dhaifu, na hawezi bila msaada wa majeshi mengine.. Congo bado ngoma ni ngumu!!" - Zungu, Mtangazaji na Mchambuzi wa Siasa.

    "Kazi bado ni ngumu katika mzozo wa Drc ukitazama maoni ya Marais wa Afrika mashariki utagundua kuwa hii ngoma bado ngumu!! Marais wengi wanashauri Tshsekedi afanye mazungumzo na M23 ili kufikia makubaliano na hatimaye amani, ugumu ni kuwa Rais Tshsekedi na serikali yake ya Congo imeapa kamwe haitazungumza na waasi na kufanya hivyo ni kitu ambacho Congo hawataki Ugumu ni kuwa tayari M23 imejitangazia serikali yake huko Goma kitendo ambacho ni sawa na uhaini kwa serikali ya Tshsekedi na Tshsekedi hataki kuzungumza na wahaini wa serikali yake Hivyo kwa sasa fahamu kuwa sio M23 wanaokataa mazungumzo bali serikali ya Congo ambayo inaona kufanya hivyo ni kuwapa nguvu zaidi waasi Ni wazi kuwa njia pekee anayoitaka Tshsekedi ni kutumia mtutu wa silaha dhidi ya M23 kitu ambacho kwa sasa ni kigumu kwa sababu jeshi la Congo ni dhaifu, na hawezi bila msaada wa majeshi mengine.. Congo bado ngoma ni ngumu!!" - Zungu, Mtangazaji na Mchambuzi wa Siasa.
    Like
    1
    0 Comments 0 Shares 168 Views
  • USICHEKE NA AMANI YAKO; NI BEI...

    Hakuna kitakachokusogeza katika maisha haya, mara tu unaposhawishika kuwa hukufanya. Ninajua kwamba wale ambao mikono yao ni safi, au wale ambao hawana hatia wakati mwingine huteseka zaidi, lakini napendelea kuteseka kwa mikono yangu safi, kuliko kufurahia kwa mikono ya damu. Amani ya moyo ni zawadi ambayo pesa haiwezi kununua, kwa hivyo nitachagua kusafiri kwenda kazini kwa amani kila siku ya maisha yangu, kuliko kuuza roho yangu kwa mapepo kwa sababu nataka kuendesha Mercedes Benz ambayo haitaweza. nipeleke mbinguni. Ni jambo moja kuwa tajiri, lakini ni jambo tofauti kabisa kuwa na amani ya akili. Usifanye mzaha kwa amani ya akili. Pesa inaweza kukununulia nyumba, lakini usisahau kwamba wengi hawana usingizi katika mlima huo mkubwa. Ndio, wengine walisema, fanya hivyo na uombe msamaha, lakini umesahau kwamba anayeua kwa upanga naye ataangamia kwa upanga. Wengi walisema wakifika huko watapata muda wa kuongea na Mungu, lakini mimi natabasamu, kwa sababu hata kabla ya kufika huko, wakati fulani wanapata uzoefu wa kuzimu hapa, hata katikati ya mambo yote ya anasa na matamu ya maisha. situkuzi umaskini; Ninakuza amani ya akili. Wengi walichapisha walichofanikiwa mnamo 2022, lakini maisha yao yalipunguzwa kwa sababu walichagua kuchukua njia ya mkato. Ningelala na tumbo tupu, kuliko kula na Tinubu na Trump kwa gharama ya roho yangu na amani. Fundisho hili si la kila mtu; ni kwa wale walio na ufahamu wa kina.

    Kwa nini unajisumbua unapoenda kwenye mitandao ya kijamii? Kwa nini nyakati fulani unamwasi Mungu unapopata ripoti za mafanikio ya wanafunzi wenzako wa zamani? Kwa sababu haujala na kusaga mafundisho juu ya maagizo. "Angalia mwenzako;" kauli hiyo imewafanya vijana wengi kuwa na maisha yasiyo na matumaini, yasiyo na msaada na yasiyo na maarifa. Kwamba njaa ya kuwa kama jirani yangu; kununua begi la Versace na manukato ya Gucci. Kiu hiyo ya kuzunguka na bora zaidi na kubarizi na Burna. Tamaa hiyo isiyotosheka ya kuonekana na watu mashuhuri na kuapa almasi na dhahabu. Ingawa sipingani na hili, ninataka pia kukujulisha kwamba mambo sio kila mara yanavyoonekana. Mengi ya mambo hayo unayoyaona na kutamani, ni miraa tu. Katika mwaka huu, usiruhusu mtu yeyote akushinikize. Usichukue njia haramu ili kupata pesa; usichukue njia za mkato ili kuwa mtu mashuhuri. Usitoe roho yako ili kujenga jumba la kifahari. Usikubali kufanya mila fulani ambayo hujui chochote kwa sababu unataka "kupiga." Chukua maisha jey-jey. Usitumie maisha yao kupima yako mwenyewe. Usitumie kasi yao kuamua maendeleo yako. Ikiwa wananunua magari, wanajenga majumba ya kifahari, na wanachukua vyeo vya uchifu, tafadhali waache wachukue. Utafika mahali Mungu alisema utafika. Usiruhusu mtu yeyote akushinikize. Kamwe usifanye mzaha na amani yako ya akili; haina thamani.
    USICHEKE NA AMANI YAKO; NI BEI... Hakuna kitakachokusogeza katika maisha haya, mara tu unaposhawishika kuwa hukufanya. Ninajua kwamba wale ambao mikono yao ni safi, au wale ambao hawana hatia wakati mwingine huteseka zaidi, lakini napendelea kuteseka kwa mikono yangu safi, kuliko kufurahia kwa mikono ya damu. Amani ya moyo ni zawadi ambayo pesa haiwezi kununua, kwa hivyo nitachagua kusafiri kwenda kazini kwa amani kila siku ya maisha yangu, kuliko kuuza roho yangu kwa mapepo kwa sababu nataka kuendesha Mercedes Benz ambayo haitaweza. nipeleke mbinguni. Ni jambo moja kuwa tajiri, lakini ni jambo tofauti kabisa kuwa na amani ya akili. Usifanye mzaha kwa amani ya akili. Pesa inaweza kukununulia nyumba, lakini usisahau kwamba wengi hawana usingizi katika mlima huo mkubwa. Ndio, wengine walisema, fanya hivyo na uombe msamaha, lakini umesahau kwamba anayeua kwa upanga naye ataangamia kwa upanga. Wengi walisema wakifika huko watapata muda wa kuongea na Mungu, lakini mimi natabasamu, kwa sababu hata kabla ya kufika huko, wakati fulani wanapata uzoefu wa kuzimu hapa, hata katikati ya mambo yote ya anasa na matamu ya maisha. situkuzi umaskini; Ninakuza amani ya akili. Wengi walichapisha walichofanikiwa mnamo 2022, lakini maisha yao yalipunguzwa kwa sababu walichagua kuchukua njia ya mkato. Ningelala na tumbo tupu, kuliko kula na Tinubu na Trump kwa gharama ya roho yangu na amani. Fundisho hili si la kila mtu; ni kwa wale walio na ufahamu wa kina. Kwa nini unajisumbua unapoenda kwenye mitandao ya kijamii? Kwa nini nyakati fulani unamwasi Mungu unapopata ripoti za mafanikio ya wanafunzi wenzako wa zamani? Kwa sababu haujala na kusaga mafundisho juu ya maagizo. "Angalia mwenzako;" kauli hiyo imewafanya vijana wengi kuwa na maisha yasiyo na matumaini, yasiyo na msaada na yasiyo na maarifa. Kwamba njaa ya kuwa kama jirani yangu; kununua begi la Versace na manukato ya Gucci. Kiu hiyo ya kuzunguka na bora zaidi na kubarizi na Burna. Tamaa hiyo isiyotosheka ya kuonekana na watu mashuhuri na kuapa almasi na dhahabu. Ingawa sipingani na hili, ninataka pia kukujulisha kwamba mambo sio kila mara yanavyoonekana. Mengi ya mambo hayo unayoyaona na kutamani, ni miraa tu. Katika mwaka huu, usiruhusu mtu yeyote akushinikize. Usichukue njia haramu ili kupata pesa; usichukue njia za mkato ili kuwa mtu mashuhuri. Usitoe roho yako ili kujenga jumba la kifahari. Usikubali kufanya mila fulani ambayo hujui chochote kwa sababu unataka "kupiga." Chukua maisha jey-jey. Usitumie maisha yao kupima yako mwenyewe. Usitumie kasi yao kuamua maendeleo yako. Ikiwa wananunua magari, wanajenga majumba ya kifahari, na wanachukua vyeo vya uchifu, tafadhali waache wachukue. Utafika mahali Mungu alisema utafika. Usiruhusu mtu yeyote akushinikize. Kamwe usifanye mzaha na amani yako ya akili; haina thamani.
    0 Comments 0 Shares 449 Views
  • Uamuzi huo ulizua sintofahamu kubwa, kwani upinzani ulidai kuwa matokeo hayo yalikuwa na mizengwe.

    Wapo waliodai kuwa Nangaa alihusika moja kwa moja kuhakikisha Tshisekedi anashinda ili kumaliza utawala wa muda mrefu wa Joseph Kabila.

    Lakini wakati watu walidhani kuwa jukumu lake katika siasa za Congo limeishia hapo, mambo yalibadilika ghafla.

    Badala ya kustaafu kwenye siasa, Corneille Nangaa aliibuka na Action for Change (AFC), chama kipya cha kisiasa ambacho kilionekana kuja na ajenda tofauti.

    Alianza kujenga ushawishi mkubwa ndani na nje ya Congo, huku akijitokeza kama mpinzani wa utawala wa Tshisekedi aliyechangia kumuweka madarakani.

    Lakini hatua iliyotikisa Congo ni pale ilipogundulika kuwa Nangaa sasa alikuwa na uhusiano wa karibu na kundi la waasi la M23, ambalo linajulikana kwa mapigano yake dhidi ya serikali ya Congo.

    Kwa muda mrefu, kundi la M23 limekuwa likipambana na serikali, likidai haki kwa jamii ya Watutsi wa Congo.

    Lakini sasa, kulikuwa na mabadiliko makubwa M23, haikuwa tu kundi la waasi, bali lilionekana kama jeshi binafsi la Corneille Nangaa.

    Uamuzi huo ulizua sintofahamu kubwa, kwani upinzani ulidai kuwa matokeo hayo yalikuwa na mizengwe. Wapo waliodai kuwa Nangaa alihusika moja kwa moja kuhakikisha Tshisekedi anashinda ili kumaliza utawala wa muda mrefu wa Joseph Kabila. Lakini wakati watu walidhani kuwa jukumu lake katika siasa za Congo limeishia hapo, mambo yalibadilika ghafla. Badala ya kustaafu kwenye siasa, Corneille Nangaa aliibuka na Action for Change (AFC), chama kipya cha kisiasa ambacho kilionekana kuja na ajenda tofauti. Alianza kujenga ushawishi mkubwa ndani na nje ya Congo, huku akijitokeza kama mpinzani wa utawala wa Tshisekedi aliyechangia kumuweka madarakani. Lakini hatua iliyotikisa Congo ni pale ilipogundulika kuwa Nangaa sasa alikuwa na uhusiano wa karibu na kundi la waasi la M23, ambalo linajulikana kwa mapigano yake dhidi ya serikali ya Congo. Kwa muda mrefu, kundi la M23 limekuwa likipambana na serikali, likidai haki kwa jamii ya Watutsi wa Congo. Lakini sasa, kulikuwa na mabadiliko makubwa M23, haikuwa tu kundi la waasi, bali lilionekana kama jeshi binafsi la Corneille Nangaa.
    Like
    1
    0 Comments 0 Shares 269 Views
  • "Ni mambo mawili yakitokea mchambuzi utamlaumu Ladarck Chasambi, moja, ni kama umesahau, mbili, kama haufahamu moja ya msingi wa mpira wa miguu ambao ni kuutunza mpira, na hasa kwa kuutoa mpira sehemu yenye vurugu na kuupeleka palipotulia.

    Kama unafahamu kanuni au principle hii hauwezi kumlaumu Chasambi kupita kiasi, angalia hao wachezaji wa FG niliowawekea mishale, wote wanatoa shinikizo kwa Chasambi, wamefunga njia karibu pande zote na kuacha chaguo moja kubwa la kucheza na golikipa wake.

    Na golikipa Camara alitambua kuwa Chasambi ana chaguo moja tu la kumrudishia yeye mpira na Camara akaonesha utayari wa kuucheza mpira, wanaocheza mpira na walimu wataungana na mimi kuwa mpira una lugha yake na Camara aliitumia kuonesha utayari.

    Kitu pekee ninachoweza kumkumbusha Chasambi ni kuwa wazo lake lilikua sahihi lakini mguso wake kwa mpira ulikuwa mzito na kuufanya mpira uende mbali na kwa kasi zaidi wenzetu wanasema “heavy touch”
    Kitu pekee ninachoweza kumkumbusha Camara ni alitakiwa kusogea kushoto kwa haraka kukutana na boli, ni kama alichelewa kidogo kushiriki mchezo, na misstiming kwa Camara imewai kutokea pia katika mechi ambayo Coastal Union wanasawazisha dhidi ya Simba SC" - Amri Kiemba, Mchambuzi.

    "Ni mambo mawili yakitokea mchambuzi utamlaumu Ladarck Chasambi, moja, ni kama umesahau, mbili, kama haufahamu moja ya msingi wa mpira wa miguu ambao ni kuutunza mpira, na hasa kwa kuutoa mpira sehemu yenye vurugu na kuupeleka palipotulia. Kama unafahamu kanuni au principle hii hauwezi kumlaumu Chasambi kupita kiasi, angalia hao wachezaji wa FG niliowawekea mishale, wote wanatoa shinikizo kwa Chasambi, wamefunga njia karibu pande zote na kuacha chaguo moja kubwa la kucheza na golikipa wake. Na golikipa Camara alitambua kuwa Chasambi ana chaguo moja tu la kumrudishia yeye mpira na Camara akaonesha utayari wa kuucheza mpira, wanaocheza mpira na walimu wataungana na mimi kuwa mpira una lugha yake na Camara aliitumia kuonesha utayari. Kitu pekee ninachoweza kumkumbusha Chasambi ni kuwa wazo lake lilikua sahihi lakini mguso wake kwa mpira ulikuwa mzito na kuufanya mpira uende mbali na kwa kasi zaidi wenzetu wanasema “heavy touch” Kitu pekee ninachoweza kumkumbusha Camara ni alitakiwa kusogea kushoto kwa haraka kukutana na boli, ni kama alichelewa kidogo kushiriki mchezo, na misstiming kwa Camara imewai kutokea pia katika mechi ambayo Coastal Union wanasawazisha dhidi ya Simba SC" - Amri Kiemba, Mchambuzi.
    Like
    1
    0 Comments 0 Shares 255 Views
  • Rais wa Rwanda , Paul Kagame amesema kuwa hajui kama Wanajeshi wa Nchi yake wako mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), ambako mapigano kati ya kundi la Waasi la M23 na Wanajeshi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo yanaendelea.

    Rais huyo ameyaomba hayo jana Februari 3, alipohojiwa na Mwandishi Larry Madowo wa CNN aliyetaka kufahamu ikiwa hadi kufikia jana kulikuwa na Vikosi vya kijeshi vya Rwanda Nchini Kongo. Licha ya kuwa Amiri Jeshi Mkuu amesema hajui.

    "Sijui. Ni kweli mimi ni Amiri Jeshi Mkuu ila kuna vitu vingi ambavyo sivifahamu, ila kama utaniuliza kama kuna tatizo Kongo linaloihusu Rwanda na kwamba Rwanda inapaswa kufanya chochote ili kujilinda nitakwambia asilimia mia moja," Paul Kagame, Rais wa Rwanda.

    Majibu ya Kagame yanakuja katika kipindi ambacho sehemu kubwa ya Jumuiya ya kimataifa inaamini kuwa Rwanda inawaunga mkono Waasi wa M23, waliodai kuuteka Mji wa Goma mashariki mwa Kongo wiki iliyopita.

    Wataalamu wa Umoja wa Mataifa wanaamini kuwa takribani Wanajeshi 3,000 - 4,000 wa Rwanda wanawasimamia na kuwaunga mkono wapiganaji wa M23 mashariki mwa DR Congo. Ikinukuu Shirika la Afya Ulimwenguni, Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kuratibu Masuala ya Kibinadamu katika ripoti ya Jumatatu ilidai kuwa kufikia tarehe 31 Januari, takribani miili 900 imepatikana kutoka mitaani.

    Rais wa Rwanda 馃嚪馃嚰, Paul Kagame amesema kuwa hajui kama Wanajeshi wa Nchi yake wako mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), ambako mapigano kati ya kundi la Waasi la M23 na Wanajeshi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo 馃嚚馃嚛 yanaendelea. Rais huyo ameyaomba hayo jana Februari 3, alipohojiwa na Mwandishi Larry Madowo wa CNN aliyetaka kufahamu ikiwa hadi kufikia jana kulikuwa na Vikosi vya kijeshi vya Rwanda Nchini Kongo. Licha ya kuwa Amiri Jeshi Mkuu amesema hajui. "Sijui. Ni kweli mimi ni Amiri Jeshi Mkuu ila kuna vitu vingi ambavyo sivifahamu, ila kama utaniuliza kama kuna tatizo Kongo linaloihusu Rwanda na kwamba Rwanda inapaswa kufanya chochote ili kujilinda nitakwambia asilimia mia moja," Paul Kagame, Rais wa Rwanda. Majibu ya Kagame yanakuja katika kipindi ambacho sehemu kubwa ya Jumuiya ya kimataifa inaamini kuwa Rwanda inawaunga mkono Waasi wa M23, waliodai kuuteka Mji wa Goma mashariki mwa Kongo wiki iliyopita. Wataalamu wa Umoja wa Mataifa wanaamini kuwa takribani Wanajeshi 3,000 - 4,000 wa Rwanda wanawasimamia na kuwaunga mkono wapiganaji wa M23 mashariki mwa DR Congo. Ikinukuu Shirika la Afya Ulimwenguni, Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kuratibu Masuala ya Kibinadamu katika ripoti ya Jumatatu ilidai kuwa kufikia tarehe 31 Januari, takribani miili 900 imepatikana kutoka mitaani.
    0 Comments 0 Shares 373 Views
  • "Rais wa Afrika Kusini tumeongea siku mbili nyuma na alisema M23 hawajauwa Wanajeshi wake bali FARDC na hakutoa onyo lolote labda kama aliongea kwa Kilugha ambacho Mimi sikifahamu, ila kama Afrika Kusini wanataka kuchangia kwenye upatikanaji wa amani huko Congo hilo ni jambo zuri sana, ila kama Afrika Kusini wanataka vurugu basi Rwanda itajibu mapigo muda wowote na saa yoyote ile” Paul Kagame, Rais wa Rwanda .

    "Rais wa Afrika Kusini tumeongea siku mbili nyuma na alisema M23 hawajauwa Wanajeshi wake bali FARDC na hakutoa onyo lolote labda kama aliongea kwa Kilugha ambacho Mimi sikifahamu, ila kama Afrika Kusini wanataka kuchangia kwenye upatikanaji wa amani huko Congo hilo ni jambo zuri sana, ila kama Afrika Kusini wanataka vurugu basi Rwanda itajibu mapigo muda wowote na saa yoyote ile” Paul Kagame, Rais wa Rwanda 馃嚪馃嚰.
    Like
    1
    0 Comments 0 Shares 280 Views
  • "Tuelekee Congo sasa tuanze kuitazama na kufahamu kiini cha machafuko ya Goma na kwanini Rwanda wanahusihwa!!..

    Kwanza kabisa tujiulize kwanini machafuko yatokee Goma karibu kabisa na mpaka wa Rwanda yaani kule Kivu kusini na kaskazini ndio kiini cha mapigano na migogoro yote pale Congo sehemu hizi zinapakana na Rwanda pia ni sehemu ambazo ni ngome imara ya M23

    Félix Tshisekedi Rais wa Congo anafahamu fika kiini cha mgogoro huu, Rais wa Rwanda Paul Kagame anafahamu vizuri sana kiini cha mgogoro huu na kwanini mara zote Congo imekuwa ikiishtumu Rwanda kuhusika na kufadhili M23, wote wanafahamu sababu na ukweli wa mambo

    Ngoja nikuache na tafakuri ipo hivi wameuwawa wanajeshi 13 wa Afrika Kusini huko Goma sasa kilichotokea Rais wa Afrika Kusini Ramaphosa kampigia simu Kagame ili kutuliza machafuko Goma!! Jiulize Goma ipo Rwanda au Congo? na kwanini simu apigiwe Kagame?

    Matejoo tutaendelea kuwapa madini taratibu mpaka tupate ukweli hatua kwa hatua lakini kwa sasa niseme wazi wa kumaliza yanayoendelea Congo ni Kagame na Tshisekedi ila Kagame ana nafasi kubwa zaidi!!!

    Tukutane wakati mwingine ili ufahamu zaidi!!" - Zungu, Mchambuzi wa Siasa.

    "Tuelekee Congo sasa tuanze kuitazama na kufahamu kiini cha machafuko ya Goma na kwanini Rwanda wanahusihwa!!.. Kwanza kabisa tujiulize kwanini machafuko yatokee Goma karibu kabisa na mpaka wa Rwanda馃嚪馃嚰 yaani kule Kivu kusini na kaskazini ndio kiini cha mapigano na migogoro yote pale Congo sehemu hizi zinapakana na Rwanda pia ni sehemu ambazo ni ngome imara ya M23 Félix Tshisekedi Rais wa Congo anafahamu fika kiini cha mgogoro huu, Rais wa Rwanda Paul Kagame anafahamu vizuri sana kiini cha mgogoro huu na kwanini mara zote Congo imekuwa ikiishtumu Rwanda kuhusika na kufadhili M23, wote wanafahamu sababu na ukweli wa mambo Ngoja nikuache na tafakuri ipo hivi wameuwawa wanajeshi 13 wa Afrika Kusini huko Goma sasa kilichotokea Rais wa Afrika Kusini Ramaphosa kampigia simu Kagame ili kutuliza machafuko Goma!! Jiulize Goma ipo Rwanda au Congo? na kwanini simu apigiwe Kagame? Matejoo tutaendelea kuwapa madini taratibu mpaka tupate ukweli hatua kwa hatua馃憡 lakini kwa sasa niseme wazi wa kumaliza yanayoendelea Congo ni Kagame na Tshisekedi ila Kagame ana nafasi kubwa zaidi!!! Tukutane wakati mwingine ili ufahamu zaidi!!" - Zungu, Mchambuzi wa Siasa.
    Like
    Sad
    4
    0 Comments 0 Shares 365 Views
  • Kuna baadhi ya Watu kwenye "comenti" (baadhi lakini) huwa sipendi kuwajibu kwa sababu ya elimu yao. Ukiandika vibaya (matusi, dhihaka, kejeli au kunishambulia) kwa habari yoyote ile "ninayoiposti" au kama "nime-comenti" sehemu kisha ukaja kujibu. Kwanza ninaangalia "profile" yako ili nijue wewe ni Mtu wa aina gani na nikiona upo upo tu basi sijibu. Lakini nikiona kama umejitoa ufahamu (ujuaji au kudandia gari kwa mbele) basi nakujibu.

    Nimesema hayo kwa sababu gani, kuna baadhi ya Watu hapa mitandao hawajui tena hawajui kama hawajui, wapo Watu ambao ni Wajinga (sio tusi hii, tafuta kamusi ikusaidie) na hata uwaeleweshe vipi, vichwa vyao ni maji au sifuri.

    Mama Samia alikuwa anasherekea siku yake ya mfanano wa kuzaliwa yaani Birthday kwa kiingereza, basi mimi "nili-coment" sehemu fulani "Happy birthday to They". Baada ya muda mfupi nikaona Mtu anakejeli, nikamuacha, baadaye nikaona Watu wengine wanazidi kuongezeka, nikasema "Daaah Dunia haijaelimika kwa kweli".

    Sasa ipo hivi

    Kutumia "They" kumheshimu Mtu, hasa kama unataka kuepuka kuonyesha jinsia ya Mtu au unapoheshimu mamlaka yao kama vile Rais au Mfalme, ni sahihi na inaeleweka. Katika tamaduni nyingi, matumizi ya "they" kama pronomi ya jinsia isiyojulikana au isiyobainika, ni njia ya heshima na inatumika pia kama njia ya kuonyesha heshima kwa Mtu aliye katika nafasi kubwa kama Rais au Mfalme.

    Hii ni tofauti na matumizi ya "he" au "she," ambayo yanaweza kuhusisha jinsia maalum. "They" inaweza kutumika pia kwa kumheshimu Mtu bila kujali jinsia au kama njia ya kujiepusha na maelezo ya kijinsia.

    Kuna mifano ambapo Viongozi wakubwa hutumika "they" kama njia ya kumheshimu na kuonyesha hofu au hadhi ya nafasi yao.

    Hiyo tafsiri nyepesi kabisa kutoka kwa Wajuzi wa lugha ya Kiingereza.

    Kuna baadhi ya Watu kwenye "comenti" (baadhi lakini) huwa sipendi kuwajibu kwa sababu ya elimu yao. Ukiandika vibaya (matusi, dhihaka, kejeli au kunishambulia) kwa habari yoyote ile "ninayoiposti" au kama "nime-comenti" sehemu kisha ukaja kujibu. Kwanza ninaangalia "profile" yako ili nijue wewe ni Mtu wa aina gani na nikiona upo upo tu basi sijibu. Lakini nikiona kama umejitoa ufahamu (ujuaji au kudandia gari kwa mbele) basi nakujibu. Nimesema hayo kwa sababu gani, kuna baadhi ya Watu hapa mitandao hawajui tena hawajui kama hawajui, wapo Watu ambao ni Wajinga (sio tusi hii, tafuta kamusi ikusaidie) na hata uwaeleweshe vipi, vichwa vyao ni maji au sifuri. Mama Samia alikuwa anasherekea siku yake ya mfanano wa kuzaliwa yaani Birthday kwa kiingereza, basi mimi "nili-coment" sehemu fulani "Happy birthday to They". Baada ya muda mfupi nikaona Mtu anakejeli, nikamuacha, baadaye nikaona Watu wengine wanazidi kuongezeka, nikasema "Daaah Dunia haijaelimika kwa kweli". Sasa ipo hivi 馃憞 Kutumia "They" kumheshimu Mtu, hasa kama unataka kuepuka kuonyesha jinsia ya Mtu au unapoheshimu mamlaka yao kama vile Rais au Mfalme, ni sahihi na inaeleweka. Katika tamaduni nyingi, matumizi ya "they" kama pronomi ya jinsia isiyojulikana au isiyobainika, ni njia ya heshima na inatumika pia kama njia ya kuonyesha heshima kwa Mtu aliye katika nafasi kubwa kama Rais au Mfalme. Hii ni tofauti na matumizi ya "he" au "she," ambayo yanaweza kuhusisha jinsia maalum. "They" inaweza kutumika pia kwa kumheshimu Mtu bila kujali jinsia au kama njia ya kujiepusha na maelezo ya kijinsia. Kuna mifano ambapo Viongozi wakubwa hutumika "they" kama njia ya kumheshimu na kuonyesha hofu au hadhi ya nafasi yao. Hiyo tafsiri nyepesi kabisa kutoka kwa Wajuzi wa lugha ya Kiingereza.
    Like
    2
    0 Comments 0 Shares 530 Views
  • Kuna baadhi ya Watu kwenye "comenti" (baadhi lakini) huwa sipendi kuwajibu kwa sababu ya elimu yao. Ukiandika vibaya (matusi, dhihaka, kejeli au kunishambulia) kwa habari yoyote ile "ninayoiposti" au kama "nime-comenti" sehemu kisha ukaja kujibu. Kwanza ninaangalia "profile" yako ili nijue wewe ni Mtu wa aina gani na nikiona upo upo tu basi sijibu. Lakini nikiona kama umejitoa ufahamu (ujuaji au kudandia gari kwa mbele) basi nakujibu.

    Nimesema hayo kwa sababu gani, kuna baadhi ya Watu hapa mitandao hawajui tena hawajui kama hawajui, wapo Watu ambao ni Wajinga (sio tusi hii, tafuta kamusi ikusaidie) na hata uwaeleweshe vipi, vichwa vyao ni maji au sifuri.

    Mama Samia alikuwa anasherekea siku yake ya mfanano wa kuzaliwa yaani Birthday kwa kiingereza, basi mimi "nili-coment" sehemu fulani "Happy birthday to They". Baada ya muda mfupi nikaona Mtu anakejeli, nikamuacha, baadaye nikaona Watu wengine wanazidi kuongezeka, nikasema "Daaah Dunia haijaelimika kwa kweli".

    Sasa ipo hivi

    Kutumia "They" kumheshimu Mtu, hasa kama unataka kuepuka kuonyesha jinsia ya Mtu au unapoheshimu mamlaka yao kama vile Rais au Mfalme, ni sahihi na inaeleweka. Katika tamaduni nyingi, matumizi ya "they" kama pronomi ya jinsia isiyojulikana au isiyobainika, ni njia ya heshima na inatumika pia kama njia ya kuonyesha heshima kwa Mtu aliye katika nafasi kubwa kama Rais au Mfalme.

    Hii ni tofauti na matumizi ya "he" au "she," ambayo yanaweza kuhusisha jinsia maalum. "They" inaweza kutumika pia kwa kumheshimu Mtu bila kujali jinsia au kama njia ya kujiepusha na maelezo ya kijinsia.

    Kuna mifano ambapo Viongozi wakubwa hutumika "they" kama njia ya kumheshimu na kuonyesha hofu au hadhi ya nafasi yao.

    Hiyo tafsiri nyepesi kabisa kutoka kwa Wajuzi wa lugha ya Kiingereza.

    Kuna baadhi ya Watu kwenye "comenti" (baadhi lakini) huwa sipendi kuwajibu kwa sababu ya elimu yao. Ukiandika vibaya (matusi, dhihaka, kejeli au kunishambulia) kwa habari yoyote ile "ninayoiposti" au kama "nime-comenti" sehemu kisha ukaja kujibu. Kwanza ninaangalia "profile" yako ili nijue wewe ni Mtu wa aina gani na nikiona upo upo tu basi sijibu. Lakini nikiona kama umejitoa ufahamu (ujuaji au kudandia gari kwa mbele) basi nakujibu. Nimesema hayo kwa sababu gani, kuna baadhi ya Watu hapa mitandao hawajui tena hawajui kama hawajui, wapo Watu ambao ni Wajinga (sio tusi hii, tafuta kamusi ikusaidie) na hata uwaeleweshe vipi, vichwa vyao ni maji au sifuri. Mama Samia alikuwa anasherekea siku yake ya mfanano wa kuzaliwa yaani Birthday kwa kiingereza, basi mimi "nili-coment" sehemu fulani "Happy birthday to They". Baada ya muda mfupi nikaona Mtu anakejeli, nikamuacha, baadaye nikaona Watu wengine wanazidi kuongezeka, nikasema "Daaah Dunia haijaelimika kwa kweli". Sasa ipo hivi 馃憞 Kutumia "They" kumheshimu Mtu, hasa kama unataka kuepuka kuonyesha jinsia ya Mtu au unapoheshimu mamlaka yao kama vile Rais au Mfalme, ni sahihi na inaeleweka. Katika tamaduni nyingi, matumizi ya "they" kama pronomi ya jinsia isiyojulikana au isiyobainika, ni njia ya heshima na inatumika pia kama njia ya kuonyesha heshima kwa Mtu aliye katika nafasi kubwa kama Rais au Mfalme. Hii ni tofauti na matumizi ya "he" au "she," ambayo yanaweza kuhusisha jinsia maalum. "They" inaweza kutumika pia kwa kumheshimu Mtu bila kujali jinsia au kama njia ya kujiepusha na maelezo ya kijinsia. Kuna mifano ambapo Viongozi wakubwa hutumika "they" kama njia ya kumheshimu na kuonyesha hofu au hadhi ya nafasi yao. Hiyo tafsiri nyepesi kabisa kutoka kwa Wajuzi wa lugha ya Kiingereza.
    Like
    1
    0 Comments 0 Shares 522 Views
  • HAIBA YA KOLERIKI na SHAUKU yake.

    Ni watu wanaopenda Kuongoza wengine, huwa wamezaliwa na Damu ya Uongozi kiasi kwamba hawasubiri kuchaguliwa au kuteuliwa wenyewe huanza kuongoza tu, japo wananafasi kubwa yakuchaguliwa au kuteuliwa lkn tayari hujikuta katika Uongozi moja kwa moja tangu wakiwa watoto, kama ni watoto wako wewe angalia tu hapo ndani utaona kuna mmoja ndiye anayewaelekeza wenzie kila saa na wengine hujikuta wakimfuata na kumsikiliza tu hata kama ni mdogo. Kama ni shuleni hivyo hivyo utamkuta yuko mbele mbele kwenye kila jambo. Anakuwa anapenda sana mambo ya Uongozi na Utawala, na kama ni mke basi hupenda yeye ndio amuongoze mume wake na wote hapo nyumbani, atataka sauti yake tu ndiyo isikilizwe na pasiwe na mwingine yeyote atakayeongea zaidi yake na kutoa maamuzi yoyote ndani ya ya hiyo familia. Huwa mbele kwa kila jambo. Hujitanguliza hata kwa mambo ambayo yangepaswa kuamuliwa kwa pamoja. Kama ni kwenye kundi basi yeye hatasubiri kuchaguliwa bali atajitolea kuongoza hadi wanakikundi wanaamua tu kumpa uongozi.. ni mwanzilishi wa mambo mbali mbali yanayohitaji uongozi ambayo yuko tayari kujitolea.

    MIHEMKO
    ni watu watii na kufuata utaratibu, hujishuhulisha sana na kuhakikisha jambo lake linafanikiwa, hujitoa sana katika mambo ya kimaendeleo hujituma na kufurahia sana mafanikio ya juhudi na kazi yake. Hupenda sana kutambuliwa na kusifiwa. Huwa karibu na watu wanaomtambua na kumsifia.

    SIFA KUU YA Koleriki
    Wana uwezo mkubwa sana wakuongoza wakati wowote. Katika makundi yote manne ya Haiba ndiyo kundi pekee linaloongoza kwa uwezo mkubwa Kiuongozi. Wanauwezo mkubwa wakufanya maamuzi ya haraka na kwa usahihi, wana uwezo wakupanga plan A, B, C kama plan moja ikifeli, tayari wana plan B na C. Huwa hawakubali jambo lao likwame kwa namna yoyote ile. Hufanya mipango sahihi siku zote. Kama ni kwenye ndoa, kuliko akose furaha anayoitegemea kuipata ktk ndoa yake, siku zote ana Plan B na C. Hakubali kushindwa au kupoteza. Wanajali sana kazi kuliko mambo ya utaratibu. ana uwezo wakuamua jambo la kiofisi hata nje ya ofisi, sio lazima umkute ofisini. Sio wepesi wakukata tamaa hata kama atashindwa jambo. Atakazana tu.

    UDHAIFU wao:
    Hupenda kutawala wengine na si wao kutawaliwa. Hupenda ubosi kila wanapokwenda, hawajali maumivu wala hisia za wengine ktk kufanikisha mambo yao, ni madikteta, anachotaka yeye ndio sahihi hata kama kinaumiza wengine, si wavumilivu kwa wenzao punde tu wanapokuwa ktk kufanikisha yao, wanapenda kusifiwa lkn si wao wamsifie mtu mwingine hata kama anafanya vizuri, wana ngozi ngumu ya moyo hiyo huwafanya pia wawe watu katili wanapokuwa ktk kufanikisha jambo fulani, huwa wanasema nipishe nipite, usipopisha wanapita juu yako bila kujali maumivi watakayokusababishia.

    MSONGO WA MAWAZO:
    Mambo ya Koleriki yakienda mrama hushikwa na msongo wa mawazo mkali sana, hupatwa na stress pale watu wakikataa kufanya anavyotaka yeye, hupatwa na stress zaidi anapojitokeza mwenye nguvu zaidi kiuongozi zaidi yake. Hawapendi kushindwa wala kupitwa. Hupenda kuwa juu siku zote.

    HOFU kuu ya koleriki ni kupoteza, kazi, cheo, kuugua, watu wasiokubaliana naye nk. Kuwa na mpambanaji zaidi yake, anahofu pia yakuoa/olewa na mtu tough zaidi yake.

    ANAPENDA watu wanaomkubali, mnyenyekea, wanaomtii, wenye mtazamo kama wakwake, wanaoshirikiana naye, wanaomsifia, wasiompinga kwa chochote.

    HUCHUKIA watu wavivu kwasababu yeye mwenyewe ni mchapakazi, hapendi wanaokataa madaraka yake, wanaojitegemea kimawazo, watu wasiomtii wala kumnyenyekea.

    THAMANI YAKE KAZINI ni mtu anayeweza kufanikiwa kwa muda mfupi kuliko wa Haiba yoyote ingine, kwa sababu ni mchapakazi na hapendi uzembe na hulazimisha mambo yake yaende hata kama hayataki kwenda. Hujiona sahihi wakati wote, hufanya kazi kwa bidii sana. Wababe sana koleriki ndiyo maana wengi wamefanikiwa sana kimaisha.

    Koleriki ni KIONGOZI anayejisikia kuwa Kiongozi kutoka ndani, anauwezo mkubwa sana katika kuongoza, ni aina ya Kiongozi mbabe asiyebembeleza, ni mtu anayejiamini na anaweza kuwaangamiza wote wasiopenda maendeleo yake. Ni mtu mwenye ufahamu mkubwa sana ktk mambo mbalimbali ya muhimu, hufanya kila jitihada ili awe Kiongozi. Huweza kusababisha mgogoro mkubwa kazini ili tu hoja yake ipite.

    ATAWEZA KUFANYA VIZURI ZAIDI ENDAPO TU ataruhusu wengine kufanya maamuzi, akikasimu madaraka kwa wengine, atakuwa mvumilivu, pale atakapotambua kuwa si kila mtu anauwezo kama wakwake hivyo asiwaburuze watu bila kujua aina ya haiba yao.

    KOLERIKI HUPENDELEA KUOA/OLEWA Haiba ya Flegmatiki, kwa sababu ya ukimya wake, huamini kuwa Flegmatiki atamtii na hatampinga mamlaka yake, na awe hajafanikiwa sana kimaisha.

    JINSI YA KUKABILI MSONGO WA MAWAZO
    hutumia mtindo wa kubana madaraka, hufanya kazi kwa bidii, hutumia mtindo wa kumwondoa au kumfukuza kazi mtu anayemwendea kinyume. Kama ni mke anaacha moja kwa moja, harudiani. Huwa hawezi kabisa kupambana na stress hivyo humzimisha na kumkanyaga kabisa anayejaribu kumletea stress. Hii ndiyo haiba pekee ngumu kuishi na mtu anayempa stress, hawawezi handle stress. Huyu akiachana harudi nyuma.

    HUPENDA KUTAMBULIWA kwa utendaju wake wa haraka hiyo humuongezea ari yakuendelea kubuni mambo makubwa na kufanya vizuri zaidi, hupenda kutambuliwa madaraka yake, kwakujiamini kwake na kushika madaraka haraka haraka. Atambuliwe yuko bize hata kwakutokutulia kazini. Ni watu smart hata ktk mavazi, na wanataka watambuliwe pia ktk hilo.
    Wanapenda kusoma na kujiendeleza, hawapendi kupitwa na fursa yoyote. Ni wabunifu na smart ktk mipango yote kazi, binafsi na kifamilia.

    Natumai unaendelea kuelewa Haiba yako ili uweze kuelewa UWEZO na UDHAIFU wa ASILI ulionao wewe na wa watu wanaokuzun
    HAIBA YA KOLERIKI na SHAUKU yake. Ni watu wanaopenda Kuongoza wengine, huwa wamezaliwa na Damu ya Uongozi kiasi kwamba hawasubiri kuchaguliwa au kuteuliwa wenyewe huanza kuongoza tu, japo wananafasi kubwa yakuchaguliwa au kuteuliwa lkn tayari hujikuta katika Uongozi moja kwa moja tangu wakiwa watoto, kama ni watoto wako wewe angalia tu hapo ndani utaona kuna mmoja ndiye anayewaelekeza wenzie kila saa na wengine hujikuta wakimfuata na kumsikiliza tu hata kama ni mdogo. Kama ni shuleni hivyo hivyo utamkuta yuko mbele mbele kwenye kila jambo. Anakuwa anapenda sana mambo ya Uongozi na Utawala, na kama ni mke basi hupenda yeye ndio amuongoze mume wake na wote hapo nyumbani, atataka sauti yake tu ndiyo isikilizwe na pasiwe na mwingine yeyote atakayeongea zaidi yake na kutoa maamuzi yoyote ndani ya ya hiyo familia. Huwa mbele kwa kila jambo. Hujitanguliza hata kwa mambo ambayo yangepaswa kuamuliwa kwa pamoja. Kama ni kwenye kundi basi yeye hatasubiri kuchaguliwa bali atajitolea kuongoza hadi wanakikundi wanaamua tu kumpa uongozi.. ni mwanzilishi wa mambo mbali mbali yanayohitaji uongozi ambayo yuko tayari kujitolea. MIHEMKO ni watu watii na kufuata utaratibu, hujishuhulisha sana na kuhakikisha jambo lake linafanikiwa, hujitoa sana katika mambo ya kimaendeleo hujituma na kufurahia sana mafanikio ya juhudi na kazi yake. Hupenda sana kutambuliwa na kusifiwa. Huwa karibu na watu wanaomtambua na kumsifia. SIFA KUU YA Koleriki Wana uwezo mkubwa sana wakuongoza wakati wowote. Katika makundi yote manne ya Haiba ndiyo kundi pekee linaloongoza kwa uwezo mkubwa Kiuongozi. Wanauwezo mkubwa wakufanya maamuzi ya haraka na kwa usahihi, wana uwezo wakupanga plan A, B, C kama plan moja ikifeli, tayari wana plan B na C. Huwa hawakubali jambo lao likwame kwa namna yoyote ile. Hufanya mipango sahihi siku zote. Kama ni kwenye ndoa, kuliko akose furaha anayoitegemea kuipata ktk ndoa yake, siku zote ana Plan B na C. Hakubali kushindwa au kupoteza. Wanajali sana kazi kuliko mambo ya utaratibu. ana uwezo wakuamua jambo la kiofisi hata nje ya ofisi, sio lazima umkute ofisini. Sio wepesi wakukata tamaa hata kama atashindwa jambo. Atakazana tu. UDHAIFU wao: Hupenda kutawala wengine na si wao kutawaliwa. Hupenda ubosi kila wanapokwenda, hawajali maumivu wala hisia za wengine ktk kufanikisha mambo yao, ni madikteta, anachotaka yeye ndio sahihi hata kama kinaumiza wengine, si wavumilivu kwa wenzao punde tu wanapokuwa ktk kufanikisha yao, wanapenda kusifiwa lkn si wao wamsifie mtu mwingine hata kama anafanya vizuri, wana ngozi ngumu ya moyo hiyo huwafanya pia wawe watu katili wanapokuwa ktk kufanikisha jambo fulani, huwa wanasema nipishe nipite, usipopisha wanapita juu yako bila kujali maumivi watakayokusababishia. MSONGO WA MAWAZO: Mambo ya Koleriki yakienda mrama hushikwa na msongo wa mawazo mkali sana, hupatwa na stress pale watu wakikataa kufanya anavyotaka yeye, hupatwa na stress zaidi anapojitokeza mwenye nguvu zaidi kiuongozi zaidi yake. Hawapendi kushindwa wala kupitwa. Hupenda kuwa juu siku zote. HOFU kuu ya koleriki ni kupoteza, kazi, cheo, kuugua, watu wasiokubaliana naye nk. Kuwa na mpambanaji zaidi yake, anahofu pia yakuoa/olewa na mtu tough zaidi yake. ANAPENDA watu wanaomkubali, mnyenyekea, wanaomtii, wenye mtazamo kama wakwake, wanaoshirikiana naye, wanaomsifia, wasiompinga kwa chochote. HUCHUKIA watu wavivu kwasababu yeye mwenyewe ni mchapakazi, hapendi wanaokataa madaraka yake, wanaojitegemea kimawazo, watu wasiomtii wala kumnyenyekea. THAMANI YAKE KAZINI ni mtu anayeweza kufanikiwa kwa muda mfupi kuliko wa Haiba yoyote ingine, kwa sababu ni mchapakazi na hapendi uzembe na hulazimisha mambo yake yaende hata kama hayataki kwenda. Hujiona sahihi wakati wote, hufanya kazi kwa bidii sana. Wababe sana koleriki ndiyo maana wengi wamefanikiwa sana kimaisha. Koleriki ni KIONGOZI anayejisikia kuwa Kiongozi kutoka ndani, anauwezo mkubwa sana katika kuongoza, ni aina ya Kiongozi mbabe asiyebembeleza, ni mtu anayejiamini na anaweza kuwaangamiza wote wasiopenda maendeleo yake. Ni mtu mwenye ufahamu mkubwa sana ktk mambo mbalimbali ya muhimu, hufanya kila jitihada ili awe Kiongozi. Huweza kusababisha mgogoro mkubwa kazini ili tu hoja yake ipite. ATAWEZA KUFANYA VIZURI ZAIDI ENDAPO TU ataruhusu wengine kufanya maamuzi, akikasimu madaraka kwa wengine, atakuwa mvumilivu, pale atakapotambua kuwa si kila mtu anauwezo kama wakwake hivyo asiwaburuze watu bila kujua aina ya haiba yao. KOLERIKI HUPENDELEA KUOA/OLEWA Haiba ya Flegmatiki, kwa sababu ya ukimya wake, huamini kuwa Flegmatiki atamtii na hatampinga mamlaka yake, na awe hajafanikiwa sana kimaisha. JINSI YA KUKABILI MSONGO WA MAWAZO hutumia mtindo wa kubana madaraka, hufanya kazi kwa bidii, hutumia mtindo wa kumwondoa au kumfukuza kazi mtu anayemwendea kinyume. Kama ni mke anaacha moja kwa moja, harudiani. Huwa hawezi kabisa kupambana na stress hivyo humzimisha na kumkanyaga kabisa anayejaribu kumletea stress. Hii ndiyo haiba pekee ngumu kuishi na mtu anayempa stress, hawawezi handle stress. Huyu akiachana harudi nyuma. HUPENDA KUTAMBULIWA kwa utendaju wake wa haraka hiyo humuongezea ari yakuendelea kubuni mambo makubwa na kufanya vizuri zaidi, hupenda kutambuliwa madaraka yake, kwakujiamini kwake na kushika madaraka haraka haraka. Atambuliwe yuko bize hata kwakutokutulia kazini. Ni watu smart hata ktk mavazi, na wanataka watambuliwe pia ktk hilo. Wanapenda kusoma na kujiendeleza, hawapendi kupitwa na fursa yoyote. Ni wabunifu na smart ktk mipango yote kazi, binafsi na kifamilia. Natumai unaendelea kuelewa Haiba yako ili uweze kuelewa UWEZO na UDHAIFU wa ASILI ulionao wewe na wa watu wanaokuzun
    Like
    1
    0 Comments 0 Shares 552 Views
  • SHERIA YA URAIA NA UHALALI WA WACHEZAJI WA SINGIDA BIG STARS & SIMBA KUPEWA URAIA WA TANZANIA


    Ijumaa, Januari 24, 2025


    1. Usuli

    Jana, Januari 23, 2025, Idara ya Uhamiaji ilieleza kuwa wachezaji watatu (3) wa Singida Big Stars (EK Keyeke, JA Bada & MD Camara) wamepewa uraia tajnisi wa Tanzania kwa mujibu wa vifungu vya 9 & 23 vya Sheria ya Uraia Sura ya 357.

    Kabla jogoo halijawika, klabu ya Simba nayo jana hiyohiyo ikaomba wachezaji wake 9 wa kigeni nao wapewe uraia wa Tanzania.

    2. Wageni Kupewa Uraia kwasababu ya Mbungi Si Jambo Geni

    Si jambo geni kwa wageni kupewa uraia kwasababu ya mbungi. Mfano mzuri ni nchi ya Tunisia.

    Tunisia ilimpa uraia Mbrazil Jose Clayton mwaka 1998 na akaichezea Tunisia michuano ya FIFA (kombe la dunia nchini Ufaransa).

    Tunisia pia ilimpa uraia raia wa Brazil, Franchine Silva dos Santos, mwaka 2000 na akaichezea Tunisia michuano ya FIFA.

    Toka mwaka jana 2024, wananchi wa Tunisia wanashinikiza Mbrazil mwingine, Rodrigo Rodriguez, apewe uraia wa Tunisia. Mshambuliaji huyo wa Esperance de Tunis ni moto wa kuotea mbali.

    Kwa mujibu wa sheria za Tunia, ili mgeni aweze kupewa uraia ni lazma awe amekaa Tunisia si chini ya miaka 5. Hata hivyo, Waziri ameruhusiwa kumpa mgeni uraia iwapo huyo mwombaji _"has provided great services to the country"_.


    3. Wachezaji 3 wa Singida Black Stars

    3.1 Emmanuel Kwame Keyeke

    Huyu raia wa Ghana ni fundi. Ni fundi kwelikweli. Ndiye Mchezaji Bora wa Ligi ya ndani ya Ghana 2023/24.

    Toka asajiliwe Julai 2024 na Singida Black Stars _amekiwasha_ kwelikweli. Ametwaa Tuzo ya Mchezaji Bora wa Mwezi mara Nne !

    3.2 Josephat Athur Bada

    Singida Black Stars ilimsajili Julai 2024 kiungo huyu raia wa Ivory Coast baada ya kuizidi ujanja Ismailia ya Masri.

    3.3 Mohammed Damaro Camara

    Kiungo huyu alisajiliwa Julai 2024.


    4. Kifungu cha 9 & 23

    4.1 Kifungu cha 9 cha Sheria ya Uraia kinaeleza:

    4.1.1 Kifungu cha 9(1) kinaeleza kuwa mgeni yeyote mwenye miaka 18 au zaidi aweza kuomba uraia kwa Waziri wa Mambo ya Ndani na ataweza kupewa uraia tajnisi iwapo ametimiza masharti ya Jedwali la Pili.

    4.2 Kifungu cha 23 kinaeleza kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani hatalazimika kutoa sababu yoyote baada ya kukubali au kukataa maombi ya uraia na uamuzi huo wa Waziri utakuwa wa mwisho na hautaweza kukatiwa rufaa wala kupingwa mahakamani.

    4.3 Jedwali la Pili

    Jedwali la Pili limeweka masharti kadhaa. Sharti moja linaeleza : _"The applicant must have an adequate knowledge of Kiswahili or the English language"_.


    5. Maswali chechefu:

    5.1 Je, wachezaji Josephat Athur Bada na Mohammed Damaro Camara ambao wanazungumza kifaransa tu wamewezaje kukidhi kigezo cha kuwa na _*"ADEQUATE* knowledge"_ ya Kiswahili au Kiingereza ndani ya miezi 6 tu ?

    5.2 Je, Waziri wa Mambo ya Ndani anafahamu kuwa Kisheria ingawa Sheria inaeleza kuwa _"Uamuzi wa Waziri ni wa Mwisho"_, haimaanishi kuwa Waziri akisigina Sheria, uamuzi hauwezi kupingwa? Yapo maamuzi mengi ya Mahakama Kuu yaelezeayo msimamo huu kuntu wa sheria mf :

    5.2.1 Tanzania Air Services Ltd Vs Minister for Labour (1996) TLR 217

    _*"The decision that the Minister's decision is final and conclusive does not mean that the decision cannot be reviewed by the High court. Indeed no appeal against such decision but an aggrieved party may come to the High court and ask for prerogative orders"*_.

    5.2.2 Ben Kahale Vs AG*, Misc. Civil cause 23/2019:

    _*"Our understanding is that when the decision of the Minister is final, it doesn't oust jurisdiction of the court as final authority in dispensation of justice. We say so because the decision may still be subject to Judicial review"*_.

    5.2 Je, kwanini Uomgozi wa Simba ndio uliowaombea wachezaji wake 9 uraia badala ya kila Mchezaji kuomba kama walivyofanya wale wachezaji 3 wa Singida Black Stars? Iweje timu kongwe kama Simba izidiwe uelewa na Singida Black Stars kuhusu mchakato huu ? Simba imekiri kwenye barua yao _"Tunaomba ofisi yako iridhie maombi yetu na kutupa utaratibu husika..."_

    5.3 Je, iwapo tutakuwa tunamwaga tu uraia kwa kila Mchezaji mgeni, haitatuathiri mbeleni ? Ikumbukwe kuwa lengo kubwa la kusajili wageni ni kwavile hakuna wachezaji wa ndani wenye ubora wa kutosha. Je, kila Mchezaji mgeni ana ubora wa kutosha?
    SHERIA YA URAIA NA UHALALI WA WACHEZAJI WA SINGIDA BIG STARS & SIMBA KUPEWA URAIA WA TANZANIA Ijumaa, Januari 24, 2025 1. Usuli Jana, Januari 23, 2025, Idara ya Uhamiaji ilieleza kuwa wachezaji watatu (3) wa Singida Big Stars (EK Keyeke, JA Bada & MD Camara) wamepewa uraia tajnisi wa Tanzania kwa mujibu wa vifungu vya 9 & 23 vya Sheria ya Uraia Sura ya 357. Kabla jogoo halijawika, klabu ya Simba nayo jana hiyohiyo ikaomba wachezaji wake 9 wa kigeni nao wapewe uraia wa Tanzania. 2. Wageni Kupewa Uraia kwasababu ya Mbungi Si Jambo Geni Si jambo geni kwa wageni kupewa uraia kwasababu ya mbungi. Mfano mzuri ni nchi ya Tunisia. Tunisia ilimpa uraia Mbrazil Jose Clayton mwaka 1998 na akaichezea Tunisia michuano ya FIFA (kombe la dunia nchini Ufaransa). Tunisia pia ilimpa uraia raia wa Brazil, Franchine Silva dos Santos, mwaka 2000 na akaichezea Tunisia michuano ya FIFA. Toka mwaka jana 2024, wananchi wa Tunisia wanashinikiza Mbrazil mwingine, Rodrigo Rodriguez, apewe uraia wa Tunisia. Mshambuliaji huyo wa Esperance de Tunis ni moto wa kuotea mbali. Kwa mujibu wa sheria za Tunia, ili mgeni aweze kupewa uraia ni lazma awe amekaa Tunisia si chini ya miaka 5. Hata hivyo, Waziri ameruhusiwa kumpa mgeni uraia iwapo huyo mwombaji _"has provided great services to the country"_. 3. Wachezaji 3 wa Singida Black Stars 3.1 Emmanuel Kwame Keyeke Huyu raia wa Ghana ni fundi. Ni fundi kwelikweli. Ndiye Mchezaji Bora wa Ligi ya ndani ya Ghana 2023/24. Toka asajiliwe Julai 2024 na Singida Black Stars _amekiwasha_ kwelikweli. Ametwaa Tuzo ya Mchezaji Bora wa Mwezi mara Nne ! 3.2 Josephat Athur Bada Singida Black Stars ilimsajili Julai 2024 kiungo huyu raia wa Ivory Coast baada ya kuizidi ujanja Ismailia ya Masri. 3.3 Mohammed Damaro Camara Kiungo huyu alisajiliwa Julai 2024. 4. Kifungu cha 9 & 23 4.1 Kifungu cha 9 cha Sheria ya Uraia kinaeleza: 4.1.1 Kifungu cha 9(1) kinaeleza kuwa mgeni yeyote mwenye miaka 18 au zaidi aweza kuomba uraia kwa Waziri wa Mambo ya Ndani na ataweza kupewa uraia tajnisi iwapo ametimiza masharti ya Jedwali la Pili. 4.2 Kifungu cha 23 kinaeleza kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani hatalazimika kutoa sababu yoyote baada ya kukubali au kukataa maombi ya uraia na uamuzi huo wa Waziri utakuwa wa mwisho na hautaweza kukatiwa rufaa wala kupingwa mahakamani. 4.3 Jedwali la Pili Jedwali la Pili limeweka masharti kadhaa. Sharti moja linaeleza : _"The applicant must have an adequate knowledge of Kiswahili or the English language"_. 5. Maswali chechefu: 5.1 Je, wachezaji Josephat Athur Bada na Mohammed Damaro Camara ambao wanazungumza kifaransa tu wamewezaje kukidhi kigezo cha kuwa na _*"ADEQUATE* knowledge"_ ya Kiswahili au Kiingereza ndani ya miezi 6 tu ? 5.2 Je, Waziri wa Mambo ya Ndani anafahamu kuwa Kisheria ingawa Sheria inaeleza kuwa _"Uamuzi wa Waziri ni wa Mwisho"_, haimaanishi kuwa Waziri akisigina Sheria, uamuzi hauwezi kupingwa? Yapo maamuzi mengi ya Mahakama Kuu yaelezeayo msimamo huu kuntu wa sheria mf : 5.2.1 Tanzania Air Services Ltd Vs Minister for Labour (1996) TLR 217 _*"The decision that the Minister's decision is final and conclusive does not mean that the decision cannot be reviewed by the High court. Indeed no appeal against such decision but an aggrieved party may come to the High court and ask for prerogative orders"*_. 5.2.2 Ben Kahale Vs AG*, Misc. Civil cause 23/2019: _*"Our understanding is that when the decision of the Minister is final, it doesn't oust jurisdiction of the court as final authority in dispensation of justice. We say so because the decision may still be subject to Judicial review"*_. 5.2 Je, kwanini Uomgozi wa Simba ndio uliowaombea wachezaji wake 9 uraia badala ya kila Mchezaji kuomba kama walivyofanya wale wachezaji 3 wa Singida Black Stars? Iweje timu kongwe kama Simba izidiwe uelewa na Singida Black Stars kuhusu mchakato huu ? Simba imekiri kwenye barua yao _"Tunaomba ofisi yako iridhie maombi yetu na kutupa utaratibu husika..."_ 5.3 Je, iwapo tutakuwa tunamwaga tu uraia kwa kila Mchezaji mgeni, haitatuathiri mbeleni ? Ikumbukwe kuwa lengo kubwa la kusajili wageni ni kwavile hakuna wachezaji wa ndani wenye ubora wa kutosha. Je, kila Mchezaji mgeni ana ubora wa kutosha?
    Love
    Like
    Haha
    4
    2 Comments 0 Shares 1K Views
  • WATU WATAJARIBU KUKUANGAMIZA HATA UKIWA MKWELI; OMBA USHAHIDI...

    Kuna mambo machache ya kuhuzunisha zaidi kuliko kushutumiwa kwa jambo ambalo hukufanya au kutoeleweka unaposimama kwa ajili ya ukweli. Maisha, katika magumu yake yote, yanaweza kututupa katika hali ambapo ni Mungu pekee anayejua ukweli. Ingawa Mungu ndiye Hakimu mkuu anayeona na kujua mambo yote, tunaishi katika ulimwengu unaotawaliwa na maoni ya wanadamu, ambamo ukweli una nguvu sawa na uthibitisho unaouunga mkono. Katika kila jambo unalofanya, omba tu usije ukajikuta katika hali ambazo ni Mungu pekee ndiye anayejua unasema ukweli. Ni mahali pa upweke, chungu na chungu kuwa. Vilio vya wasio na hatia mara nyingi huzamishwa na kelele za shutuma, na mzigo wa uthibitisho unakuwa mzito kuliko ukweli wenyewe. Bila uthibitisho, hata mtu mwadilifu zaidi anaweza kuonyeshwa kuwa mwenye hatia, na sauti ya uaminifu zaidi inaweza kutupiliwa mbali kama uwongo. Udhalimu husitawi pale ukweli unapokosa ushahidi. Hadithi ya Yusufu katika Biblia ni mfano halisi. Alishtakiwa kwa uwongo na mke wa Potifa, Yosefu hakuwa na ushahidi wa kujitetea. Ingawa moyo wake ulikuwa safi, alitupwa gerezani, hakueleweka alidhalilishwa na kufedheheshwa. Ni mara ngapi tumeona hadithi kama hizi zikichezwa katika ulimwengu wetu? Maisha yaliharibiwa, sifa kuharibiwa, familia kuvunjwa, yote kwa sababu ukweli ulizikwa chini ya ukosefu wa ushahidi.

    Hii ndiyo sababu lazima tuombe. Omba ufahamu ili kuepuka hali kama hizo. Omba hekima ya kuishi maisha ambayo hayaachi nafasi ya shaka juu ya uadilifu wako. Na muhimu zaidi, omba kwa ushahidi. Ushahidi ni silaha ya ukweli. Ni nuru inayofichua uwongo, ngao inayolinda kutokuwa na hatia kwako, na silaha inayolinda heshima yako. Ukweli pekee hautoshi. Ulimwengu hufanya kazi kwa uthibitisho, sio dhana. Ikiwa unasema ukweli, hakikisha matendo yako yanaacha ushahidi, iwe kwa maneno yako, kumbukumbu zako, tabia yako, au mashahidi wa uadilifu wako. Ishi kwa uwazi, hivyo ukweli wako hauwezi kutiliwa shaka. Katika enzi hii ya kidijitali, ambapo maneno yanaweza kupindishwa, na nia kufasiriwa vibaya, kuwa na nia ya kulinda ukweli wako. Acha shughuli zako ziwe wazi na kumbukumbu. Uaminifu wako uonekane kwa jinsi unavyowatendea wengine. Kumbuka, uadilifu hauhusu tu kuwa mkweli bali ni kuishi kwa njia ambayo ukweli wako unajieleza wenyewe, hata usipokuwepo. Na zaidi ya yote, usiache kuomba. Omba ili Mungu akutetee wakati dhoruba za uwongo zinawaka. Omba nguvu za kustahimili maumivu ya kutiliwa shaka wakati unajua kuwa uko sahihi. Na omba hekima ya kusawazisha matendo yako na uadilifu siku zote ili ushahidi wa uadilifu wako ung'ae kuliko shutuma zozote.

    Ukweli una nguvu, lakini ushahidi ni sauti yake. Omba kwamba ukweli wako daima uwe na sauti.
    WATU WATAJARIBU KUKUANGAMIZA HATA UKIWA MKWELI; OMBA USHAHIDI... Kuna mambo machache ya kuhuzunisha zaidi kuliko kushutumiwa kwa jambo ambalo hukufanya au kutoeleweka unaposimama kwa ajili ya ukweli. Maisha, katika magumu yake yote, yanaweza kututupa katika hali ambapo ni Mungu pekee anayejua ukweli. Ingawa Mungu ndiye Hakimu mkuu anayeona na kujua mambo yote, tunaishi katika ulimwengu unaotawaliwa na maoni ya wanadamu, ambamo ukweli una nguvu sawa na uthibitisho unaouunga mkono. Katika kila jambo unalofanya, omba tu usije ukajikuta katika hali ambazo ni Mungu pekee ndiye anayejua unasema ukweli. Ni mahali pa upweke, chungu na chungu kuwa. Vilio vya wasio na hatia mara nyingi huzamishwa na kelele za shutuma, na mzigo wa uthibitisho unakuwa mzito kuliko ukweli wenyewe. Bila uthibitisho, hata mtu mwadilifu zaidi anaweza kuonyeshwa kuwa mwenye hatia, na sauti ya uaminifu zaidi inaweza kutupiliwa mbali kama uwongo. Udhalimu husitawi pale ukweli unapokosa ushahidi. Hadithi ya Yusufu katika Biblia ni mfano halisi. Alishtakiwa kwa uwongo na mke wa Potifa, Yosefu hakuwa na ushahidi wa kujitetea. Ingawa moyo wake ulikuwa safi, alitupwa gerezani, hakueleweka alidhalilishwa na kufedheheshwa. Ni mara ngapi tumeona hadithi kama hizi zikichezwa katika ulimwengu wetu? Maisha yaliharibiwa, sifa kuharibiwa, familia kuvunjwa, yote kwa sababu ukweli ulizikwa chini ya ukosefu wa ushahidi. Hii ndiyo sababu lazima tuombe. Omba ufahamu ili kuepuka hali kama hizo. Omba hekima ya kuishi maisha ambayo hayaachi nafasi ya shaka juu ya uadilifu wako. Na muhimu zaidi, omba kwa ushahidi. Ushahidi ni silaha ya ukweli. Ni nuru inayofichua uwongo, ngao inayolinda kutokuwa na hatia kwako, na silaha inayolinda heshima yako. Ukweli pekee hautoshi. Ulimwengu hufanya kazi kwa uthibitisho, sio dhana. Ikiwa unasema ukweli, hakikisha matendo yako yanaacha ushahidi, iwe kwa maneno yako, kumbukumbu zako, tabia yako, au mashahidi wa uadilifu wako. Ishi kwa uwazi, hivyo ukweli wako hauwezi kutiliwa shaka. Katika enzi hii ya kidijitali, ambapo maneno yanaweza kupindishwa, na nia kufasiriwa vibaya, kuwa na nia ya kulinda ukweli wako. Acha shughuli zako ziwe wazi na kumbukumbu. Uaminifu wako uonekane kwa jinsi unavyowatendea wengine. Kumbuka, uadilifu hauhusu tu kuwa mkweli bali ni kuishi kwa njia ambayo ukweli wako unajieleza wenyewe, hata usipokuwepo. Na zaidi ya yote, usiache kuomba. Omba ili Mungu akutetee wakati dhoruba za uwongo zinawaka. Omba nguvu za kustahimili maumivu ya kutiliwa shaka wakati unajua kuwa uko sahihi. Na omba hekima ya kusawazisha matendo yako na uadilifu siku zote ili ushahidi wa uadilifu wako ung'ae kuliko shutuma zozote. Ukweli una nguvu, lakini ushahidi ni sauti yake. Omba kwamba ukweli wako daima uwe na sauti.
    Love
    1
    0 Comments 0 Shares 480 Views
  • Fahamu namna ya kuokoa akaunti yako, ndani ya masaa 24! Angalia hapa sehemu ya 1 https://youtu.be/Alt7qM7o0uc?si=ktcKMrmKdTBWiGeI
    Fahamu namna ya kuokoa akaunti yako, ndani ya masaa 24! Angalia hapa sehemu ya 1 馃憠 https://youtu.be/Alt7qM7o0uc?si=ktcKMrmKdTBWiGeI
    Love
    1
    0 Comments 0 Shares 247 Views
  • MACHACHE KUHUSU MFALME MKWASI ZAIDI DUNIANI

    KUNA HISTORIA ambazo ukitaka kuandika unaweza kuchukua siku mbili za kutafakari uanze wapi na au uishie wapi.....Mfalme Sulemani ni mmoja wapo.............

    Mama wa Sulemani (BATH-SHEBA) alikuwa tayari ni mke wa mtu (URIA MHITI) huyu URIA alikuwa askari wa mfalme DAUDI. so mfalme DAUDI aliponogewa na penzi la BATH SHEBA akafanya mbinu za kifo cha URIA vitani.

    ......umewahi kuwaza kwamba unahangaika na familia moja tu dhidi ya mtu anayetajwa kuwa na wenza 700 na masuria 300...hujahesabu watoto, wajakazi, shangazi, mjomba, wajukuu, nk wanaovinjari kila siku katika hemaya zake........tunaambiwa kwamba chakula kilicholiwa kwa siku moja kilikuwa magunia 240 ya unga, magunia 480 ya chakula, ng'ombe kumi kwa nyama choma, ng'ombe ishirini wa mchuzi, kondoo mia moja, ndege na wanyama wengine wa aina mbalimbali ..........

    unahangaika kutafuta mufu wa dhahabu ilihali mwenzako anapokea tani 30 za dhahabu kila mwaka .........Kwa mwaka mmoja pekee alikuwa anapokea tani si chini ya 30 ya vipande bora vya dhahabu ukiachilia mbali Vito na Madini mengine....kila nakshi na chombo ndani ya nyumba ya Sulemani ilikua ni DHAHABU tupu maana nyakati hizo madini ya fedha yalithaminishwa kwa kiwango cha vumbi dhidi ya dhahabu.... Jumba la Hukumu la Sulemani lilikuwa kubwa na lilijengwa na mwerezi na kuzungushwa na pembe zilizofunikwa na dhahabu na kusimamiwa na simba ........... Katika ukuta kulikuwa kumewekwa ngao 500 za dhahabu .................hata vyombo vya kunywea na sahani zilizokuwa kwenye nyumba hii kuu zilikuwa za “dhahabu”. Shaba “ haikuwa kitu cha kuhesabiwa katika siku za Sulemani”.................Pia alianzisha shamba la kifalme na mbuga yenye maziwa bandia, shamba la maua na matunda

    Wana-ikiolojia wamepata ushahidi dhabiti wa majengo ya Sulemani kote nchini hasa Hazori, Megido na Gezeri, mabaki ambayo yanatoa ushahidi wa ukweli wa 1 Wafalme 9:15. Megido ni muhimu kwa vibanda vyake vya magari ya farasi 450. Jeshi kubwa la Sulemani lilihitaji jengo lenye vibanda 4,000 vya farasi na vilijengwa karibu na mipaka ya Israeli na kulindwa na waendeshaji magari ya farasi..

    Sulemani alipata faida kwani Israeli ilikuwa sehemu nzuri katikati mwa bara la Asia na Afrika. Alitawala njia za kaskazini na kusini na kwa usaidizi wa Wafoeniki, alijenga meli nyingi pale Esion-geberi ili zitumike kubeba shaba iliosafishwa na bidhaa zingine. Meli hizi zilifanya safari ya kusini hadi Ethiopia, Yemen na India Arabian mara moja kila miaka mitatu, na kuleta dhahabu, fedha, na pembe, nyani na tausi

    Sulemani pia aliendeleza viwanda vya kusafisha chuma, pamoja na kuchimba madini katika Araba, kusini mwa Bahari ya Chumvi, na kiwanda kikubwa cha kuyeyusha vyuma cha Esion-geberi, mahali ambapo palikuwa bandari karibu na Bahari ya Shamu.

    Kwa Mujibu wa wanahistoria.. Mansa Musa mfalme wa Mali empire... Ndio Binadamu alie wahi kuwa tajir Dunia nzima mpaka leo hamna mtu alie wahi fikia Utajir wake.. (wakati anaenda hiji macca alipitia misri .. Na kusabisha uchumi wao kuyumba kutokana na dhahabu alizo tumia Pale misri)... UKWELI NI KWAMBA MANSA MUSA aliyetawala kati ya mwaka 1312-1337 na utajiri wake ulikadiriwa kufikia USD billion 400 ILIHALI Mfalme Sulemani alikuwa na utajiri unaokadiriwa kufikia dollar za kimarekani trillion 2.1.......Mansa Kankan Mussa ni tajiri wa kwanza katika kipindi cha baada ya Yesu. Wenyewe wanaita Anno Domino (AD)

    Hata Nathaniel Rothchild Family ( zikiwepo rockerfeller, morgan na du pont family yaani FAMILI NZIMA) Utajiri wao haufikii hata theluthi ya Mfalme Sulemani (dola bilioni 600 tu)

    Wingi wa wake za Sulemani unahalasiha kutapanyika kwa kiazazi chake karibu kote duniani, yasemekana hata hawa wahabeshi wa Somalia, Watusi wa Rwanda na wa Iraq wa Tanzania ni mbegu yake huyo jamaa baada ya kumgaragaza malkia wa Ethiopia ( QUEEN OF SHEBA) alivyompelekea kiasi kikubwa cha dhahabu kutoka Afrika kwa ajili ya kupamba hekalu alilokamilisha.

    Usiulizd iwapo alikua anatozwa kodi kwani yeye ndie alikuwa mtawala wa himaya yake kwahiyo asingeweza kutozwa kodi...na utawala wake ulidumu kwa miaka 40

    Uchaguzi wa Busara wa Sulemani kwa kumwomba Bwana “Moyo adili wa kuwahukumu watu wako” ulisababisha idhini ya Bwana na utoaji wa "moyo wa hekima na ufahamu" na kuongezewa "utajiri na heshima "

    Mhhhhhh...............yumkini kama nilivyosema si rahisi sana kumsimulia Sulemani na kuna vyanzo vingi ambavyo kila mtu anaweza kuibuka na chake walau nimeokoteza kwa vyanzo vya uhakika na kwa kuwa ni simulizi tutaendelea kuimani tu maana HATUKUWEPO................

    Mada hii itaendelea kuboreshwa kwa kadri ya vyanzo vingine....
    ..
    MACHACHE KUHUSU MFALME MKWASI ZAIDI DUNIANI KUNA HISTORIA ambazo ukitaka kuandika unaweza kuchukua siku mbili za kutafakari uanze wapi na au uishie wapi.....Mfalme Sulemani ni mmoja wapo............. Mama wa Sulemani (BATH-SHEBA) alikuwa tayari ni mke wa mtu (URIA MHITI) huyu URIA alikuwa askari wa mfalme DAUDI. so mfalme DAUDI aliponogewa na penzi la BATH SHEBA akafanya mbinu za kifo cha URIA vitani. ......umewahi kuwaza kwamba unahangaika na familia moja tu dhidi ya mtu anayetajwa kuwa na wenza 700 na masuria 300...hujahesabu watoto, wajakazi, shangazi, mjomba, wajukuu, nk wanaovinjari kila siku katika hemaya zake........tunaambiwa kwamba chakula kilicholiwa kwa siku moja kilikuwa magunia 240 ya unga, magunia 480 ya chakula, ng'ombe kumi kwa nyama choma, ng'ombe ishirini wa mchuzi, kondoo mia moja, ndege na wanyama wengine wa aina mbalimbali .......... unahangaika kutafuta mufu wa dhahabu ilihali mwenzako anapokea tani 30 za dhahabu kila mwaka .........Kwa mwaka mmoja pekee alikuwa anapokea tani si chini ya 30 ya vipande bora vya dhahabu ukiachilia mbali Vito na Madini mengine....kila nakshi na chombo ndani ya nyumba ya Sulemani ilikua ni DHAHABU tupu maana nyakati hizo madini ya fedha yalithaminishwa kwa kiwango cha vumbi dhidi ya dhahabu.... Jumba la Hukumu la Sulemani lilikuwa kubwa na lilijengwa na mwerezi na kuzungushwa na pembe zilizofunikwa na dhahabu na kusimamiwa na simba ........... Katika ukuta kulikuwa kumewekwa ngao 500 za dhahabu .................hata vyombo vya kunywea na sahani zilizokuwa kwenye nyumba hii kuu zilikuwa za “dhahabu”. Shaba “ haikuwa kitu cha kuhesabiwa katika siku za Sulemani”.................Pia alianzisha shamba la kifalme na mbuga yenye maziwa bandia, shamba la maua na matunda Wana-ikiolojia wamepata ushahidi dhabiti wa majengo ya Sulemani kote nchini hasa Hazori, Megido na Gezeri, mabaki ambayo yanatoa ushahidi wa ukweli wa 1 Wafalme 9:15. Megido ni muhimu kwa vibanda vyake vya magari ya farasi 450. Jeshi kubwa la Sulemani lilihitaji jengo lenye vibanda 4,000 vya farasi na vilijengwa karibu na mipaka ya Israeli na kulindwa na waendeshaji magari ya farasi.. Sulemani alipata faida kwani Israeli ilikuwa sehemu nzuri katikati mwa bara la Asia na Afrika. Alitawala njia za kaskazini na kusini na kwa usaidizi wa Wafoeniki, alijenga meli nyingi pale Esion-geberi ili zitumike kubeba shaba iliosafishwa na bidhaa zingine. Meli hizi zilifanya safari ya kusini hadi Ethiopia, Yemen na India Arabian mara moja kila miaka mitatu, na kuleta dhahabu, fedha, na pembe, nyani na tausi Sulemani pia aliendeleza viwanda vya kusafisha chuma, pamoja na kuchimba madini katika Araba, kusini mwa Bahari ya Chumvi, na kiwanda kikubwa cha kuyeyusha vyuma cha Esion-geberi, mahali ambapo palikuwa bandari karibu na Bahari ya Shamu. Kwa Mujibu wa wanahistoria.. Mansa Musa mfalme wa Mali empire... Ndio Binadamu alie wahi kuwa tajir Dunia nzima mpaka leo hamna mtu alie wahi fikia Utajir wake.. (wakati anaenda hiji macca alipitia misri .. Na kusabisha uchumi wao kuyumba kutokana na dhahabu alizo tumia Pale misri)... UKWELI NI KWAMBA MANSA MUSA aliyetawala kati ya mwaka 1312-1337 na utajiri wake ulikadiriwa kufikia USD billion 400 ILIHALI Mfalme Sulemani alikuwa na utajiri unaokadiriwa kufikia dollar za kimarekani trillion 2.1.......Mansa Kankan Mussa ni tajiri wa kwanza katika kipindi cha baada ya Yesu. Wenyewe wanaita Anno Domino (AD) Hata Nathaniel Rothchild Family ( zikiwepo rockerfeller, morgan na du pont family yaani FAMILI NZIMA) Utajiri wao haufikii hata theluthi ya Mfalme Sulemani (dola bilioni 600 tu) Wingi wa wake za Sulemani unahalasiha kutapanyika kwa kiazazi chake karibu kote duniani, yasemekana hata hawa wahabeshi wa Somalia, Watusi wa Rwanda na wa Iraq wa Tanzania ni mbegu yake huyo jamaa baada ya kumgaragaza malkia wa Ethiopia ( QUEEN OF SHEBA) alivyompelekea kiasi kikubwa cha dhahabu kutoka Afrika kwa ajili ya kupamba hekalu alilokamilisha. Usiulizd iwapo alikua anatozwa kodi kwani yeye ndie alikuwa mtawala wa himaya yake kwahiyo asingeweza kutozwa kodi...na utawala wake ulidumu kwa miaka 40 Uchaguzi wa Busara wa Sulemani kwa kumwomba Bwana “Moyo adili wa kuwahukumu watu wako” ulisababisha idhini ya Bwana na utoaji wa "moyo wa hekima na ufahamu" na kuongezewa "utajiri na heshima " Mhhhhhh...............yumkini kama nilivyosema si rahisi sana kumsimulia Sulemani na kuna vyanzo vingi ambavyo kila mtu anaweza kuibuka na chake walau nimeokoteza kwa vyanzo vya uhakika na kwa kuwa ni simulizi tutaendelea kuimani tu maana HATUKUWEPO................ Mada hii itaendelea kuboreshwa kwa kadri ya vyanzo vingine.... ..
    Love
    Like
    3
    0 Comments 0 Shares 665 Views
More Results