• NDOTO ni mlango wa kiroho ambao ulimwengu wa roho unapitisha taarifa zake zinaweza kuwa zinatoka kwa Mungu au shetani anatumia kama mlango wa kuingiza taarifa.

    #Habakuki 2:2-3
    [2]BWANA akanijibu, akasema, Iandike njozi ukaifanye iwe wazi sana katika vibao, ili aisomaye apate kuisoma kama maji.

    [3]Maana njozi hii bado ni kwa wakati ulioamriwa, inafanya haraka ili kuufikilia mwisho wake, wala haitasema uongo; ijapokawia, ingojee; kwa kuwa haina budi kuja, haitakawia.

    Kumbe taarifa ya habakuki ilimfikia kupitia mlango unao itwa ndoto .

    Ndoto pia hutokana na shughuli nyingi au ni revision wa matukio ya mchana.

    #Muhubiri 5:13
    *Kwa maana ndoto huja kwa sababu ya shughuli nyingi; na sauti ya mpumbavu kwa njia ya wingi wa maneno*

    Ila mimi nataka nieleze ndoto kama mlango wa fahamu ambao Mungu hutumia kupeleka taarifa.
    #Ebrania 1:11-14

    #Ayubu 33:14-16
    [14]Kwa kuwa Mungu hunena mara moja,
    Naam, hata mara ya pili, ajapokuwa mtu hajali.
    .
    [15]Katika ndoto, katika maono ya usiku,
    Usingizi mzito uwajiliapo watu,
    Katika usingizi kitandani;
    ;
    [16]Ndipo huyafunua masikio ya watu,
    Na kuyatia muhuri mafundisho yao,

    Kumbe ndoto sasa ni mlango ambao Mungu anatuonyessha picha ya matukio ya nyuma au ya mbele yanayo kuja.,

    Kumbe baada ya kupata taarifa ya iliyo tangulia u inayo kuja lazima ujifunze kumtafuta Mungu.

    #Yeremia 29:13
    [13]Nanyi mtanitafuta na kuniona, mtakaponitafuta kwa moyo wenu wote.

    Kwanini tunamtafuta Mungu ni kwa sababu wewe ni wa rohoni na ndoto ni mlango wa rohoni usipo shughulika nayo itqkushughulikia .

    #1 Kor 2:15 SUV
    Lakini mtu wa rohoni huyatambua yote, wala yeye hatambuliwi na mtu.

    Baada ya kile ulicho kiota mtu wa rohoni lazima uyatambue vizr na ujue namna ya kuomba .

    Kuna watu mafanikio yao yalianzia ndotoni na kuna watu umasikini wao ulianzia ndotoni .

    Kwenye kila ndoto kuna taarifa na ndoto yenye taarifa lazima ikusumbue na ijirusie ndani yako .

    Ndoto ndiyo level ya mwisho kwa Mungu kuzungumza na mtu ,namaanisha hivi Mungu akiona uelewi kupitia mawazo anakuja kwa njia ya njozi kama njia ya mwisho ya kufikisha taarifa.

    Shetani pia akitaka kukupiga wakati mwingine anaanzia ndotoni.

    Kuna mtu aliota anazini na mtu ndotoni kisha toka hapo hamu yq uzinzi inamtawala kila siku .

    Kuna mtu aliota amengatwa na nyoka ndotoni kisha toka hapo homa udhaifu ukaingia.

    Kuna dada aliota kama ananyonyesha mtoto wakati hana mtoto na amengatwa kwenye ziwa lake la kushoto na toka hapo ndipo saratani ya titi ilipo anzia .

    Usichukulie ndoto kama kitu kidoga sana katika level hiyo .

    Ndoto nyingi ni taarifa sema ni vile tu ujajifunza siri ya ufalme wa Mungu katika ulimwengu wa roho.

    Kwa leo naomba nikuache na tafakuri hii kisha kesho tutatazama watu walio ota ndoto kibiblia na jinsi zilivyo timia .

    Nikutakie asubui njema na siku njema .

    Mkaribishe pia mwezio kwa kushare na kumualika ajoin katika group letu hili ili nayeye ajifunze siri hizi.

    Namba :0622625340 Type neno add na jina lako nitakuad katika group .

    Nikutakie asubui njema na siku njema .

    Naitwa mwl Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden ministry)
    #ndoto ni taarifa acha kupuuzia
    #restore men position
    #build new eden
    NDOTO ni mlango wa kiroho ambao ulimwengu wa roho unapitisha taarifa zake zinaweza kuwa zinatoka kwa Mungu au shetani anatumia kama mlango wa kuingiza taarifa. #Habakuki 2:2-3 [2]BWANA akanijibu, akasema, Iandike njozi ukaifanye iwe wazi sana katika vibao, ili aisomaye apate kuisoma kama maji. [3]Maana njozi hii bado ni kwa wakati ulioamriwa, inafanya haraka ili kuufikilia mwisho wake, wala haitasema uongo; ijapokawia, ingojee; kwa kuwa haina budi kuja, haitakawia. Kumbe taarifa ya habakuki ilimfikia kupitia mlango unao itwa ndoto . Ndoto pia hutokana na shughuli nyingi au ni revision wa matukio ya mchana. #Muhubiri 5:13 *Kwa maana ndoto huja kwa sababu ya shughuli nyingi; na sauti ya mpumbavu kwa njia ya wingi wa maneno* Ila mimi nataka nieleze ndoto kama mlango wa fahamu ambao Mungu hutumia kupeleka taarifa. #Ebrania 1:11-14 #Ayubu 33:14-16 [14]Kwa kuwa Mungu hunena mara moja, Naam, hata mara ya pili, ajapokuwa mtu hajali. . [15]Katika ndoto, katika maono ya usiku, Usingizi mzito uwajiliapo watu, Katika usingizi kitandani; ; [16]Ndipo huyafunua masikio ya watu, Na kuyatia muhuri mafundisho yao, Kumbe ndoto sasa ni mlango ambao Mungu anatuonyessha picha ya matukio ya nyuma au ya mbele yanayo kuja., Kumbe baada ya kupata taarifa ya iliyo tangulia u inayo kuja lazima ujifunze kumtafuta Mungu. #Yeremia 29:13 [13]Nanyi mtanitafuta na kuniona, mtakaponitafuta kwa moyo wenu wote. Kwanini tunamtafuta Mungu ni kwa sababu wewe ni wa rohoni na ndoto ni mlango wa rohoni usipo shughulika nayo itqkushughulikia . #1 Kor 2:15 SUV Lakini mtu wa rohoni huyatambua yote, wala yeye hatambuliwi na mtu. Baada ya kile ulicho kiota mtu wa rohoni lazima uyatambue vizr na ujue namna ya kuomba . Kuna watu mafanikio yao yalianzia ndotoni na kuna watu umasikini wao ulianzia ndotoni . Kwenye kila ndoto kuna taarifa na ndoto yenye taarifa lazima ikusumbue na ijirusie ndani yako . Ndoto ndiyo level ya mwisho kwa Mungu kuzungumza na mtu ,namaanisha hivi Mungu akiona uelewi kupitia mawazo anakuja kwa njia ya njozi kama njia ya mwisho ya kufikisha taarifa. Shetani pia akitaka kukupiga wakati mwingine anaanzia ndotoni. Kuna mtu aliota anazini na mtu ndotoni kisha toka hapo hamu yq uzinzi inamtawala kila siku . Kuna mtu aliota amengatwa na nyoka ndotoni kisha toka hapo homa udhaifu ukaingia. Kuna dada aliota kama ananyonyesha mtoto wakati hana mtoto na amengatwa kwenye ziwa lake la kushoto na toka hapo ndipo saratani ya titi ilipo anzia . Usichukulie ndoto kama kitu kidoga sana katika level hiyo . Ndoto nyingi ni taarifa sema ni vile tu ujajifunza siri ya ufalme wa Mungu katika ulimwengu wa roho. Kwa leo naomba nikuache na tafakuri hii kisha kesho tutatazama watu walio ota ndoto kibiblia na jinsi zilivyo timia . Nikutakie asubui njema na siku njema . Mkaribishe pia mwezio kwa kushare na kumualika ajoin katika group letu hili ili nayeye ajifunze siri hizi. Namba :0622625340 Type neno add na jina lako nitakuad katika group . Nikutakie asubui njema na siku njema . Naitwa mwl Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden ministry) #ndoto ni taarifa acha kupuuzia #restore men position #build new eden
    0 Kommentare ·0 Anteile ·594 Ansichten
  • BREAKING 》Crystal Palace imewafahakisha Arsenal kuwa Wanatakiwa Walipe kiasi cha £35m kwa Eberechi Eze mapema alafu zingine watalipa taratibu.

    Fahamu kifungu cha Eberechi Eze kuuzwa ni £67.5m.

    Source Goal Side

    #SportsElite
    🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿🚨BREAKING 》Crystal Palace imewafahakisha Arsenal kuwa Wanatakiwa Walipe kiasi cha £35m kwa Eberechi Eze mapema alafu zingine watalipa taratibu. Fahamu kifungu cha Eberechi Eze kuuzwa ni £67.5m. Source Goal Side #SportsElite
    0 Kommentare ·0 Anteile ·326 Ansichten
  • Endrick kutaka kuondoka Real Madrid?
    Ripoti kutoka COPE zasema kuwa kambi ya Endrick tayari imezungumza na uongozi wa Real Madrid kuhusu uwezekano wa kuondoka klabuni msimu huu wa joto! ⚪️

    Mpaka sasa hakuna uamuzi rasmi uliochukuliwa, lakini hali inaonekana kuwa na sintofahamu juu ya nafasi yake ndani ya kikosi cha Los Blancos.


    #SportsElite
    Endrick kutaka kuondoka Real Madrid?👀 📰 Ripoti kutoka COPE zasema kuwa kambi ya Endrick 🇧🇷 tayari imezungumza na uongozi wa Real Madrid kuhusu uwezekano wa kuondoka klabuni msimu huu wa joto! 😳⚪️ ➡️ Mpaka sasa hakuna uamuzi rasmi uliochukuliwa, lakini hali inaonekana kuwa na sintofahamu juu ya nafasi yake ndani ya kikosi cha Los Blancos. ⏳🤍 #SportsElite
    0 Kommentare ·0 Anteile ·225 Ansichten
  • BREAKING

    Bayern Munich Wako mbioni kuinasa Saini ya Nyota wa Crystal Palace Eberechi Eze

    Fahamu Eberechi Eze anakifungu cha kuuzwa cha £68m.

    #sportselite
    🚨 BREAKING Bayern Munich Wako mbioni kuinasa Saini ya Nyota wa Crystal Palace Eberechi Eze 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 Fahamu Eberechi Eze anakifungu cha kuuzwa cha £68m.💰 #sportselite
    Like
    Angry
    2
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·339 Ansichten
  • PETER TOSH (1944-1987)

    Mtunzi/mwimbaji wa Reggae, mwanaharakati Peter Tosh alizaliwa Winston Hubert McIntosh (aliyepewa jina la Waziri Mkuu wa Uingereza Winston Churchill) mnamo Oktoba 19, 1944, huko Westmoreland, parokia ya magharibi mwa Jamaika, na James McIntosh na Alvera Coke. Aliachwa na wazazi wote wawili na kulelewa na shangazi huko Grange Hill. Walakini, mnamo 1960, Tosh mwenye umri wa miaka 16 alihamia kwa hiari katika jamii ya Kingston's Trench Town na kuanza kuuza juisi ya miwa. Akiwa tayari amejikita katika kanisa la Kikristo la mahali hapo, ambako aliimba katika kwaya, Tosh alikuwa amejifunza kucheza chombo hicho na kufahamu gitaa. Pia alipata kuthaminiwa mapema kwa R&B na doo-wop kwa kusikiliza stesheni za redio zinazotumwa Karibea kutoka Marekani.

    Mnamo 1963, Tosh, Bob Marley, na Bunny Wailer walikuwa washiriki waanzilishi wa bendi ya Wailers huko Kingston. Tosh ndiye pekee katika kundi hilo aliyeweza kupiga ala za muziki, na aliwafundisha Wailers jinsi ya kupiga ala na mambo ya msingi ya muziki. Kundi hili lilichukua muziki wao unaotegemea Karibea hadi katika mdundo wa muziki wa mwamba wa hali ya juu ulioathiriwa na ufahamu wa kijamii na Rastafari. Wakosoaji wengi wa muziki walielezea sauti yao kama mwanzo wa reggae.

    Mnamo 1976, Tosh aliibuka kama mwimbaji pekee na mwanasiasa wa Jamaika alipotoa albamu yake ya kwanza iliyojitayarisha yenyewe ya Legalize It!  ambayo ilitaka kuhalalishwa kwa bangi. Albamu hiyo ilipigwa marufuku kutoka kwa matangazo ya redio huko Jamaica. Ilifikia kilele kwa no. 199 hata hivyo kwenye chati ya U.S. Billboard 200 na kubaki huko kwa wiki 2. Pia iliuza zaidi ya nakala milioni moja na ikasifiwa kuwa albamu bora ya Tosh. Albamu hii ilijumuisha "Igziabeher," "Ketchy Shuby," "Legalize It," "No Sympathy," "Till Your Well runs Dry," na "What'cha Gonna Do." Tosh pia alianzisha Bendi ya Reggae, Neno, Sauti, na Nguvu, mwaka huo huo. Sasa anayechukuliwa kuwa mwanaharakati wa Haki za Kibinadamu kwa utu mweusi na kiburi cha rangi, Tosh mwaka wa 1977, alitoa albamu yake ya pili, Haki sawa.

    Mnamo 1978, albamu ya Tosh Bush Doctor ilipata nafasi ya juu. 104 kwenye Billboard 200 na kusalia kwenye chati kwa wiki 20. Mwaka uliofuata, 1979, Mystic Man alifikia nambari. 123 na kukaa huko kwa wiki 10, huku mwaka wa 1981, Wanted Dread and Alive ilifikia nambari 91 na kusalia katika chati kwa wiki 13. Tosh alitoa Mama Africa mwaka wa 1983. Ilifikia nambari 59 na ikabaki thabiti kwa wiki 17. Mnamo 1984 Captured Lives  yake ilifikia nambari 152 na iliorodheshwa kwa wiki 8. Katika Tuzo za 27 za Mwaka za Grammy mnamo 1984, albamu iliteuliwa kwa "Rekodi Bora ya Reggae." Tosh pia alitumbuiza katika Uwanja wa Mashujaa wa Kitaifa wa Kingston kwenye Maonyesho ya Tuzo za Muziki za Rockers Magazine mnamo 1984. Katika Tuzo za 30 za Kila Mwaka za Grammy mnamo 1987, Tosh alishinda kwa "Rekodi Bora ya Reggae ya "No Nuclear War."

    Peter Tosh, mshiriki wa Rastafarism na baba wa watoto kumi, alikufa mnamo Septemba 11, 1987, katika Hospitali ya Chuo Kikuu cha West Indies Kingston baada ya kupigwa risasi na watu watatu wenye bunduki walioingia nyumbani kwake. Alikuwa 42.

    Mnamo mwaka wa 2012, Peter Tosh alitunukiwa baada ya kifo chake Tuzo la Ubora la Jamaika kama mwanamuziki mwenye kipawa na kipawa, mwigizaji, mwanafikra makini, na mwana asilia.
    PETER TOSH (1944-1987) Mtunzi/mwimbaji wa Reggae, mwanaharakati Peter Tosh alizaliwa Winston Hubert McIntosh (aliyepewa jina la Waziri Mkuu wa Uingereza Winston Churchill) mnamo Oktoba 19, 1944, huko Westmoreland, parokia ya magharibi mwa Jamaika, na James McIntosh na Alvera Coke. Aliachwa na wazazi wote wawili na kulelewa na shangazi huko Grange Hill. Walakini, mnamo 1960, Tosh mwenye umri wa miaka 16 alihamia kwa hiari katika jamii ya Kingston's Trench Town na kuanza kuuza juisi ya miwa. Akiwa tayari amejikita katika kanisa la Kikristo la mahali hapo, ambako aliimba katika kwaya, Tosh alikuwa amejifunza kucheza chombo hicho na kufahamu gitaa. Pia alipata kuthaminiwa mapema kwa R&B na doo-wop kwa kusikiliza stesheni za redio zinazotumwa Karibea kutoka Marekani. Mnamo 1963, Tosh, Bob Marley, na Bunny Wailer walikuwa washiriki waanzilishi wa bendi ya Wailers huko Kingston. Tosh ndiye pekee katika kundi hilo aliyeweza kupiga ala za muziki, na aliwafundisha Wailers jinsi ya kupiga ala na mambo ya msingi ya muziki. Kundi hili lilichukua muziki wao unaotegemea Karibea hadi katika mdundo wa muziki wa mwamba wa hali ya juu ulioathiriwa na ufahamu wa kijamii na Rastafari. Wakosoaji wengi wa muziki walielezea sauti yao kama mwanzo wa reggae. Mnamo 1976, Tosh aliibuka kama mwimbaji pekee na mwanasiasa wa Jamaika alipotoa albamu yake ya kwanza iliyojitayarisha yenyewe ya Legalize It!  ambayo ilitaka kuhalalishwa kwa bangi. Albamu hiyo ilipigwa marufuku kutoka kwa matangazo ya redio huko Jamaica. Ilifikia kilele kwa no. 199 hata hivyo kwenye chati ya U.S. Billboard 200 na kubaki huko kwa wiki 2. Pia iliuza zaidi ya nakala milioni moja na ikasifiwa kuwa albamu bora ya Tosh. Albamu hii ilijumuisha "Igziabeher," "Ketchy Shuby," "Legalize It," "No Sympathy," "Till Your Well runs Dry," na "What'cha Gonna Do." Tosh pia alianzisha Bendi ya Reggae, Neno, Sauti, na Nguvu, mwaka huo huo. Sasa anayechukuliwa kuwa mwanaharakati wa Haki za Kibinadamu kwa utu mweusi na kiburi cha rangi, Tosh mwaka wa 1977, alitoa albamu yake ya pili, Haki sawa. Mnamo 1978, albamu ya Tosh Bush Doctor ilipata nafasi ya juu. 104 kwenye Billboard 200 na kusalia kwenye chati kwa wiki 20. Mwaka uliofuata, 1979, Mystic Man alifikia nambari. 123 na kukaa huko kwa wiki 10, huku mwaka wa 1981, Wanted Dread and Alive ilifikia nambari 91 na kusalia katika chati kwa wiki 13. Tosh alitoa Mama Africa mwaka wa 1983. Ilifikia nambari 59 na ikabaki thabiti kwa wiki 17. Mnamo 1984 Captured Lives  yake ilifikia nambari 152 na iliorodheshwa kwa wiki 8. Katika Tuzo za 27 za Mwaka za Grammy mnamo 1984, albamu iliteuliwa kwa "Rekodi Bora ya Reggae." Tosh pia alitumbuiza katika Uwanja wa Mashujaa wa Kitaifa wa Kingston kwenye Maonyesho ya Tuzo za Muziki za Rockers Magazine mnamo 1984. Katika Tuzo za 30 za Kila Mwaka za Grammy mnamo 1987, Tosh alishinda kwa "Rekodi Bora ya Reggae ya "No Nuclear War." Peter Tosh, mshiriki wa Rastafarism na baba wa watoto kumi, alikufa mnamo Septemba 11, 1987, katika Hospitali ya Chuo Kikuu cha West Indies Kingston baada ya kupigwa risasi na watu watatu wenye bunduki walioingia nyumbani kwake. Alikuwa 42. Mnamo mwaka wa 2012, Peter Tosh alitunukiwa baada ya kifo chake Tuzo la Ubora la Jamaika kama mwanamuziki mwenye kipawa na kipawa, mwigizaji, mwanafikra makini, na mwana asilia.
    Love
    1
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·842 Ansichten
  • *Tuwatende kwa akiri sehemu ya pili*

    Nikutakie asubui njema na tafakuri njema juu ya neno la asubui na mungu akupe jicho la ndani katika kujifunza na kuifanikisha siku yako .

    Yakobo alikuwa ni mtu aliye pewa baraka na baba yake isacka kabla ya kuomdoka kwenda kwa labani..

    Mwanzo 27:27-29
    [27]Akakaribia akambusu. Naye akasikia harufu ya mavazi yake, akambariki akasema,
    Tazama, harufu ya mwanangu
    Ni kama harufu ya shamba alilolibariki Bwana:

    [28]Mungu na akupe ya umande wa mbingu,
    Na ya manono ya nchi,
    Na wingi wa nafaka na mvinyo.
    :
    [29]Mataifa na wakutumikie
    Na makabila wakusujudie,
    Uwe bwana wa ndugu zako,
    Na wana wa mama yako na wakusujudie.
    alaaniwe,
    Na atakayekubariki abarikiwe.

    Kwa mktadha huo yakobo alikuwa amebarikiwa na hata yeye mwenyewe alijijua kuwa amebarikiwa nahata alipo kuwa akienda alihakikishiwa na Mungu mwenyewe aliye mtokea katika njosi

    Mwanzo 28:12-15
    [12]Akaota ndoto; na tazama, ngazi imesimamishwa juu ya nchi, na ncha yake yafika mbinguni. Tena, tazama, malaika wa Mungu wanapanda, na kushuka juu yake.
    And he dreamed, and behold a ladder set up on the earth, and the top of it reached to heaven: and behold the angels of God ascending and descending on it.
    [13]Na tazama, BWANA amesimama juu yake, akasema, Mimi ni BWANA, Mungu wa Ibrahimu baba yako, na Mungu wa Isaka; nchi hii uilalayo nitakupa wewe na uzao wako.

    [14]Na uzao wako utakuwa kama mavumbi ya nchi, nawe utaenea upande wa magharibi, na mashariki, na kaskazini, na kusini; na katika wewe, na katika uzao wako, jamaa zote za dunia watabarikiwa.
    .
    [15]Na tazama, mimi nipo pamoja nawe, nitakulinda kila uendako, nami nitakuleta tena mpaka nchi hii, kwa maana sitakuacha, hata nitakapokufanyia hayo niliyokuambia.

    Ko ukitizama vizuri utaona kuwa ana uhakika wa kuwa yeye ni mbarikiwa kabisa lakini haikuzuia yeye kulogwa kwa kuwa tu alijisahau kidogo .

    Unasema nimejuaje kama alilogwa ,Uwezi kulala na mwanamke mpka asubui ndo ugundue kumbe uliwekewa asiye mwenyewe yaani lea badala ya Raheli .

    Kwanini labani alifanya hivyo alijua siri ya baraka alizo nazo ni sababu ya Yakobo na Yakobo kapenda akasema acha nitumie uzaifu wake huu kununua miaka 7 mingine( ok unazani kama akulogwa alifanya nini ?)
    Mwanzo 29:18,21-22,25
    [18]Yakobo akampenda Raheli akasema, Nitakutumikia miaka saba kwa kumpata Raheli, binti yako

    [21]Yakobo akamwambia Labani, Nipe mke wangu, maana siku zangu zimetimia; niingie kwake.
    .
    [22]Labani akakusanya watu wote wa mahali
    .
    [25]Ikawa, kulipokuwa asubuhi, kumbe! Ni Lea. Akamwambia Labani, Nini hii uliyonitenda?


    Mtu huyu aliye logwa ndiye mtu aliye kuwa anaishi na baraka alizo pewa na isacka babayake na ndiye aliyetokewa na Mungu na kuhaidiwa kabisa kuwa nitakuwa pamoja nawe.

    Mpaka alipo kuja kugundua na kuanza kuishi maisha

    Mpaka siku anaanza kidai kuondoka bado labani znamng'ang'ania kwa kumpa promotion ili tucaendelee kumtumia.

    Ndivyo ilivyo hata sisi vivyo wivyo watu wanatendwa kwa akiri kwa namna tofauti.

    Kuitwa mbarikiwa au kuokoka pasipo maarifa hakumzuii shetani kukutenda kwa akiri.

    Yakobo sababu ya kumpenda rahel labani akatumia kama fimbo ya kuchezea trick sijui kuhusu wewe ni nini ambacho kinaujaza sana moyo wako ambacho shetani anaweza kukitumia kuharibu uhusiano wako na Mungu wako.

    Au kupoteza kasi yako ya imanii . Watu wengi ksi zao zimepungua baada ya kupata kile walicho zani wanahitaji shetani katumia mlango huo kuharibu kasi yao.

    Yakobo alikumbuka na baada tu ya kukumbuka alipo dai kutaka kurudi nyumbani milango ya baraka zikafunguka na ahadi za Mungu zikatembea pamoja naye .

    Alienda kama yakobo kijana akarudi na watoto na utajiri mwingi sana pamoja na wafanyakazi .

    Ok i hope umejifunza kitu unaweza nisaidia kushare link hii ili wengine pia wajifunze neno la Mungu.

    https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4

    Hata wewe ukijua ni wapi shetani alipatumia ku *"kukudemote by promotion."*

    Yakobo yeye alikuwa rahel sababu ya mapenzi akarogwa kwa kupewa mwingine kwanza ili amgharamie na rahel pia miaka saba mingine yeye azidi barikiwa sana kupitia wewe.

    Yaweza kuwa wewe ni Ndoa unakuta dada kabla ya ndoa ulikuwa unaduka lako na uko charming sans na wateja wako wengi ni wanaume lakini baadaye umeolewa na ndoa ni kitu chema kabisa lakini jamaa ana wivu mpaka basi n kwa kuwa unampenda na unapaswa kutii unajikuta umebadirisha namna ya jinsi ulivyo kuwa unbehave .

    Kuna watu walikuwa wananunua sababu tu ya tabasamu lako na sahizi uko dukani uko seriously muda wote ni nini kimetokea ndoa imeharibu ustawi wako pasipo kujua na huko ndiko kutendwa kwa akiri.

    Tujitahidi sana tunavyo omba Mungu catupe tunavyo vitamani tuombe visiwe vikwazo katika shining yetu na Mungu wetu na maisha yetu na hapo sisi tutakuwa tumeweza .

    Musa alikataaa kuwa prince wa falao akaona bora kuwa mtumwa pamoja na ndugu zake na wakati ulipo fika kila mtu anamfahamu Musa kama mtu na nabii wa Mungu zliye tembea sana na Mungu .

    Lakini mtu huyu alikataa kutendwa kwa akiri na binti potifela .

    Ok i hope umejifunza kitu unaweza nisaidia kushare link hii ili wengine pia wajifunze neno la Mungu.

    https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4

    Ok naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden)

    #build new eden
    #restore men position
    #year of reformation and revival
    *Tuwatende kwa akiri sehemu ya pili* Nikutakie asubui njema na tafakuri njema juu ya neno la asubui na mungu akupe jicho la ndani katika kujifunza na kuifanikisha siku yako . Yakobo alikuwa ni mtu aliye pewa baraka na baba yake isacka kabla ya kuomdoka kwenda kwa labani.. Mwanzo 27:27-29 [27]Akakaribia akambusu. Naye akasikia harufu ya mavazi yake, akambariki akasema, Tazama, harufu ya mwanangu Ni kama harufu ya shamba alilolibariki Bwana: [28]Mungu na akupe ya umande wa mbingu, Na ya manono ya nchi, Na wingi wa nafaka na mvinyo. : [29]Mataifa na wakutumikie Na makabila wakusujudie, Uwe bwana wa ndugu zako, Na wana wa mama yako na wakusujudie. alaaniwe, Na atakayekubariki abarikiwe. Kwa mktadha huo yakobo alikuwa amebarikiwa na hata yeye mwenyewe alijijua kuwa amebarikiwa nahata alipo kuwa akienda alihakikishiwa na Mungu mwenyewe aliye mtokea katika njosi Mwanzo 28:12-15 [12]Akaota ndoto; na tazama, ngazi imesimamishwa juu ya nchi, na ncha yake yafika mbinguni. Tena, tazama, malaika wa Mungu wanapanda, na kushuka juu yake. And he dreamed, and behold a ladder set up on the earth, and the top of it reached to heaven: and behold the angels of God ascending and descending on it. [13]Na tazama, BWANA amesimama juu yake, akasema, Mimi ni BWANA, Mungu wa Ibrahimu baba yako, na Mungu wa Isaka; nchi hii uilalayo nitakupa wewe na uzao wako. [14]Na uzao wako utakuwa kama mavumbi ya nchi, nawe utaenea upande wa magharibi, na mashariki, na kaskazini, na kusini; na katika wewe, na katika uzao wako, jamaa zote za dunia watabarikiwa. . [15]Na tazama, mimi nipo pamoja nawe, nitakulinda kila uendako, nami nitakuleta tena mpaka nchi hii, kwa maana sitakuacha, hata nitakapokufanyia hayo niliyokuambia. Ko ukitizama vizuri utaona kuwa ana uhakika wa kuwa yeye ni mbarikiwa kabisa lakini haikuzuia yeye kulogwa kwa kuwa tu alijisahau kidogo . Unasema nimejuaje kama alilogwa ,Uwezi kulala na mwanamke mpka asubui ndo ugundue kumbe uliwekewa asiye mwenyewe yaani lea badala ya Raheli . Kwanini labani alifanya hivyo alijua siri ya baraka alizo nazo ni sababu ya Yakobo na Yakobo kapenda akasema acha nitumie uzaifu wake huu kununua miaka 7 mingine( ok unazani kama akulogwa alifanya nini ?) Mwanzo 29:18,21-22,25 [18]Yakobo akampenda Raheli akasema, Nitakutumikia miaka saba kwa kumpata Raheli, binti yako [21]Yakobo akamwambia Labani, Nipe mke wangu, maana siku zangu zimetimia; niingie kwake. . [22]Labani akakusanya watu wote wa mahali . [25]Ikawa, kulipokuwa asubuhi, kumbe! Ni Lea. Akamwambia Labani, Nini hii uliyonitenda? Mtu huyu aliye logwa ndiye mtu aliye kuwa anaishi na baraka alizo pewa na isacka babayake na ndiye aliyetokewa na Mungu na kuhaidiwa kabisa kuwa nitakuwa pamoja nawe. Mpaka alipo kuja kugundua na kuanza kuishi maisha Mpaka siku anaanza kidai kuondoka bado labani znamng'ang'ania kwa kumpa promotion ili tucaendelee kumtumia. Ndivyo ilivyo hata sisi vivyo wivyo watu wanatendwa kwa akiri kwa namna tofauti. Kuitwa mbarikiwa au kuokoka pasipo maarifa hakumzuii shetani kukutenda kwa akiri. Yakobo sababu ya kumpenda rahel labani akatumia kama fimbo ya kuchezea trick sijui kuhusu wewe ni nini ambacho kinaujaza sana moyo wako ambacho shetani anaweza kukitumia kuharibu uhusiano wako na Mungu wako. Au kupoteza kasi yako ya imanii . Watu wengi ksi zao zimepungua baada ya kupata kile walicho zani wanahitaji shetani katumia mlango huo kuharibu kasi yao. Yakobo alikumbuka na baada tu ya kukumbuka alipo dai kutaka kurudi nyumbani milango ya baraka zikafunguka na ahadi za Mungu zikatembea pamoja naye . Alienda kama yakobo kijana akarudi na watoto na utajiri mwingi sana pamoja na wafanyakazi . Ok i hope umejifunza kitu unaweza nisaidia kushare link hii ili wengine pia wajifunze neno la Mungu. https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4 Hata wewe ukijua ni wapi shetani alipatumia ku *"kukudemote by promotion."* Yakobo yeye alikuwa rahel sababu ya mapenzi akarogwa kwa kupewa mwingine kwanza ili amgharamie na rahel pia miaka saba mingine yeye azidi barikiwa sana kupitia wewe. Yaweza kuwa wewe ni Ndoa unakuta dada kabla ya ndoa ulikuwa unaduka lako na uko charming sans na wateja wako wengi ni wanaume lakini baadaye umeolewa na ndoa ni kitu chema kabisa lakini jamaa ana wivu mpaka basi n kwa kuwa unampenda na unapaswa kutii unajikuta umebadirisha namna ya jinsi ulivyo kuwa unbehave . Kuna watu walikuwa wananunua sababu tu ya tabasamu lako na sahizi uko dukani uko seriously muda wote ni nini kimetokea ndoa imeharibu ustawi wako pasipo kujua na huko ndiko kutendwa kwa akiri. Tujitahidi sana tunavyo omba Mungu catupe tunavyo vitamani tuombe visiwe vikwazo katika shining yetu na Mungu wetu na maisha yetu na hapo sisi tutakuwa tumeweza . Musa alikataaa kuwa prince wa falao akaona bora kuwa mtumwa pamoja na ndugu zake na wakati ulipo fika kila mtu anamfahamu Musa kama mtu na nabii wa Mungu zliye tembea sana na Mungu . Lakini mtu huyu alikataa kutendwa kwa akiri na binti potifela . Ok i hope umejifunza kitu unaweza nisaidia kushare link hii ili wengine pia wajifunze neno la Mungu. https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4 Ok naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden) #build new eden #restore men position #year of reformation and revival
    0 Kommentare ·0 Anteile ·928 Ansichten
  • *Nguvu iliyoko katika kumsikia Mungu.*

    Kutoka 15:26
    [26]akawaambia, Kwamba *utaisikiza kwa bidii sauti ya BWANA, Mungu wako*, na kuyafanya yaliyoelekea mbele zake, na kutega masikio usikie maagizo yake, na kuzishika amri zake, *mimi sitatia juu yako maradhi yo yote* niliyowatia Wamisri; kwa kuwa Mimi ndimi BWANA nikuponyaye.

    Wanaislaeri walipo toka misri na kuvuka mpaka bahari ya shamu.

    Walipo fika mbele wakakutana na maji machungu wakaendelea nungunikia musa.

    Na katika hayo Musa alimlilia Bwana na maji yalipatikana.

    Lakini andiko letu linasema ikiwa utasikiliza sauti ya bwana kwa bidiii kuna matokeo utayapata

    Kumbe ukiokoka na ukataka utembee katika nguvu zake za neno lake, watu waponywe kupitia wewe lazima ujifunze kumsikia Bwana Mungu wako kwanza.

    Jicho na sikio lake liko kil mahali sema ni wachache wanao lisikia na kuona kile anacho kisema na kulifanyia kazi lile wanaloliona na sababu kubwa ni kukosa bidii katika kumtafuta Bwana au kukosa maarifa sahihi juu ya neno au kukosa imani kabisa katika neno lake.

    Zaburi 91:14-15
    [14]Kwa kuwa amekaza kunipenda
    Nitamwokoa; na kumweka palipo juu,
    Kwa kuwa amenijua Jina langu.
    .
    [15]Ataniita nami nitamwitikia;
    Nitakuwa pamoja naye taabuni,
    Nitamwokoa na kumtukuza;

    Kumbe kama tukilijiua jina la Bwana lazima atatupa matokeo yenye tija katkka maisha .

    Hatupati matokeo katika wokovu sababu hatutaki kuweka imani kwa Mungu wetu na kumtukuza katika kila hatua na kuliishi kusudi lake .

    Maradhi na zaifu nimatokeo ya mtu kutoiishi bidii katika yeye .

    Kumbe iko siri kubwa sana katika kutii na kufuata yale aliyo kuagiza ili akulipe matokeo ya ,kustawi kiafya ,kiuchumi kifamilia na kila hatua.

    Najaribu kukuonesha namna gani mtu akiokoka anapaswa kusitawi kwa kukufunuliw siri hii ya kufuata maagizo ,kusikia sauti ya bwana na kumtazama yeye kabla ya kutazama wengine.

    Hesabu 21:2-3
    [2]Basi Israeli akaweka nadhiri kwa BWANA akasema, *Kama wewe utawatia watu hawa mikononi mwangu kweli ndipo mimi nitaiharibu miji yao kabisa*.

    [3]BWANA akasikiza *sauti ya Israeli*, akawatia Wakanaani mikononi mwao; nao wakawaharibu wao na miji yao kabisa; na jina la mahali hapo likaitwa Horma.

    Kwa kuwa islaeri walimtambua Bwana naye akawatambua kwa kuwatimiliza neno walilo liomba .

    Tumekuwa watu tuliokosa matokeo sababu tunaishi nje ya mapenzi ya Bwana wetu kristo au htutaki kumsikiliza ,kumtii na kumfuata arafu tunataka atupe matokeo.

    Daudi kwenye zaburi anasema kwa kuwa umenipenda

    [14]Kwa kuwa amekaza kunipenda
    *Nitamwokoa; na kumweka palipo juu, Kwa kuwa amenijua Jina langu*

    Kumbe ujapata kuwa juu sababu tu ujampenda bwana au ujalijua jina lake .

    Watu wengi wanamfamu Mungu wakati wa kutoa mapepo lakini hawamfahamu Mungu wakati wa kilimo au biashara zao na kwa kuwa hujamjua Mungu ktika kilimo basi na yeye anakupa nguvu au mafuta katika kuomba lakini katika kukuweka juu anakuacha kwa kuwa pia kuna kanuni zake pia.

    Asubui njema na baraka tele katika ijumaa ya leo .

    Tusiache kujifunza jambo jipya katika maisha kwa majina na itwa mwl Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden ministry)

    Kwa mafundisho zaidi karibu tujifunze kupitia watsap group kwa kujiunga na link hii hapa chini .

    #build new eden
    #restore men position @
    *Nguvu iliyoko katika kumsikia Mungu.* Kutoka 15:26 [26]akawaambia, Kwamba *utaisikiza kwa bidii sauti ya BWANA, Mungu wako*, na kuyafanya yaliyoelekea mbele zake, na kutega masikio usikie maagizo yake, na kuzishika amri zake, *mimi sitatia juu yako maradhi yo yote* niliyowatia Wamisri; kwa kuwa Mimi ndimi BWANA nikuponyaye. Wanaislaeri walipo toka misri na kuvuka mpaka bahari ya shamu. Walipo fika mbele wakakutana na maji machungu wakaendelea nungunikia musa. Na katika hayo Musa alimlilia Bwana na maji yalipatikana. Lakini andiko letu linasema ikiwa utasikiliza sauti ya bwana kwa bidiii kuna matokeo utayapata Kumbe ukiokoka na ukataka utembee katika nguvu zake za neno lake, watu waponywe kupitia wewe lazima ujifunze kumsikia Bwana Mungu wako kwanza. Jicho na sikio lake liko kil mahali sema ni wachache wanao lisikia na kuona kile anacho kisema na kulifanyia kazi lile wanaloliona na sababu kubwa ni kukosa bidii katika kumtafuta Bwana au kukosa maarifa sahihi juu ya neno au kukosa imani kabisa katika neno lake. Zaburi 91:14-15 [14]Kwa kuwa amekaza kunipenda Nitamwokoa; na kumweka palipo juu, Kwa kuwa amenijua Jina langu. . [15]Ataniita nami nitamwitikia; Nitakuwa pamoja naye taabuni, Nitamwokoa na kumtukuza; Kumbe kama tukilijiua jina la Bwana lazima atatupa matokeo yenye tija katkka maisha . Hatupati matokeo katika wokovu sababu hatutaki kuweka imani kwa Mungu wetu na kumtukuza katika kila hatua na kuliishi kusudi lake . Maradhi na zaifu nimatokeo ya mtu kutoiishi bidii katika yeye . Kumbe iko siri kubwa sana katika kutii na kufuata yale aliyo kuagiza ili akulipe matokeo ya ,kustawi kiafya ,kiuchumi kifamilia na kila hatua. Najaribu kukuonesha namna gani mtu akiokoka anapaswa kusitawi kwa kukufunuliw siri hii ya kufuata maagizo ,kusikia sauti ya bwana na kumtazama yeye kabla ya kutazama wengine. Hesabu 21:2-3 [2]Basi Israeli akaweka nadhiri kwa BWANA akasema, *Kama wewe utawatia watu hawa mikononi mwangu kweli ndipo mimi nitaiharibu miji yao kabisa*. [3]BWANA akasikiza *sauti ya Israeli*, akawatia Wakanaani mikononi mwao; nao wakawaharibu wao na miji yao kabisa; na jina la mahali hapo likaitwa Horma. Kwa kuwa islaeri walimtambua Bwana naye akawatambua kwa kuwatimiliza neno walilo liomba . Tumekuwa watu tuliokosa matokeo sababu tunaishi nje ya mapenzi ya Bwana wetu kristo au htutaki kumsikiliza ,kumtii na kumfuata arafu tunataka atupe matokeo. Daudi kwenye zaburi anasema kwa kuwa umenipenda [14]Kwa kuwa amekaza kunipenda *Nitamwokoa; na kumweka palipo juu, Kwa kuwa amenijua Jina langu* Kumbe ujapata kuwa juu sababu tu ujampenda bwana au ujalijua jina lake . Watu wengi wanamfamu Mungu wakati wa kutoa mapepo lakini hawamfahamu Mungu wakati wa kilimo au biashara zao na kwa kuwa hujamjua Mungu ktika kilimo basi na yeye anakupa nguvu au mafuta katika kuomba lakini katika kukuweka juu anakuacha kwa kuwa pia kuna kanuni zake pia. Asubui njema na baraka tele katika ijumaa ya leo . Tusiache kujifunza jambo jipya katika maisha kwa majina na itwa mwl Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden ministry) Kwa mafundisho zaidi karibu tujifunze kupitia watsap group kwa kujiunga na link hii hapa chini . #build new eden #restore men position @
    0 Kommentare ·0 Anteile ·850 Ansichten
  • Dunia imechanganya sana baina ya neno ndoa na uchumba.

    Kuna tofauti kubwa sana kati ya uchumba na ndoa, japo watu wengi wanaishi kama wanandoa ili hali bado wajaona na hili ndilo hupelekea anguko la kanisa.

    Vijana wajafundishwa kwa uhalisia mipaka iliyopo kati ya uchumba na ndoa .

    Na kutokana na kuwa walagai wamekuwa wengi mjini wamelihwribu kanisa na wachungaji wamebaki tu kufukuza watu wazinifu kanisani na si kulitibu kanisa.

    Laiti kama vijana wangekuwa walau kila mwezi mwaka wanasemina maalumu ya kujifunza kuhusu mtazamo sahii wa biblia kuhusu ndoa pengine tungepunguza hali ya anguko la kanisa


    Bahati mbaya sana unakuta dada anaimba kwaya lakini anawanaume watatu sio labda tu be bali wote anawahudumia kama mke hii ni hatari sana kwa kanisa .

    Mchumba ajawai kuwa mke na hili tusifichane ndilo limepelekea anguko la kanisa chanzo kikubwa ni malezi mabovu ya wazazi kwa watoto wao .

    Mama wa binti anafahamu vijana watano wa mwanae na anahisi mwanae anapendwa akili au matope ?

    Yaaani mwanao anathamani sawa na nyumba ya wageni au gest na mama unaona ni sifa hili baya sana.

    Maneno magumu lakini ndo ukweli sasa kama unawanaume zaidi ya mmoja wewe si ni pumziko la wengine au kipozeo cha wengine wewe na gest tofauti yenu nini hasa?

    Dear my sister kuna mapepo mnasumbua wachungaji wawaombee lakini chanzo chake ni zinaa na siyo tu zinaa peke yake wewe ni mama huruma ?

    Naamaanisha nini dada kila kijana anaye kuja wewe kigezo ni pesa anaweza kuchungulia ndani ya nguo zako kuna nini basi jua umepoteza thamani yako.

    Yaani vijana wanalugha yao utasikia beki hazikabi kabisa yule na unajua kabisa wale ni marafiki na wewe kisa ana gari unatembea naye pia yaani marafiki wawili wanakuvua nguo kama ujionei huruma wewe muonee huruma mama yako.


    Lazima tuikatae zinaa hasa kipindi hiki cha uhamsho kwani tunajaribu kujifichia kwenye uchumba ili hali sisi ni wazinzi wanao ishi .

    Ok najua nimekukela lakini siyo mbaya naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden)
    Dunia imechanganya sana baina ya neno ndoa na uchumba. Kuna tofauti kubwa sana kati ya uchumba na ndoa, japo watu wengi wanaishi kama wanandoa ili hali bado wajaona na hili ndilo hupelekea anguko la kanisa. Vijana wajafundishwa kwa uhalisia mipaka iliyopo kati ya uchumba na ndoa . Na kutokana na kuwa walagai wamekuwa wengi mjini wamelihwribu kanisa na wachungaji wamebaki tu kufukuza watu wazinifu kanisani na si kulitibu kanisa. Laiti kama vijana wangekuwa walau kila mwezi mwaka wanasemina maalumu ya kujifunza kuhusu mtazamo sahii wa biblia kuhusu ndoa pengine tungepunguza hali ya anguko la kanisa Bahati mbaya sana unakuta dada anaimba kwaya lakini anawanaume watatu sio labda tu be bali wote anawahudumia kama mke hii ni hatari sana kwa kanisa . Mchumba ajawai kuwa mke na hili tusifichane ndilo limepelekea anguko la kanisa chanzo kikubwa ni malezi mabovu ya wazazi kwa watoto wao . Mama wa binti anafahamu vijana watano wa mwanae na anahisi mwanae anapendwa akili au matope ? Yaaani mwanao anathamani sawa na nyumba ya wageni au gest na mama unaona ni sifa hili baya sana. Maneno magumu lakini ndo ukweli sasa kama unawanaume zaidi ya mmoja wewe si ni pumziko la wengine au kipozeo cha wengine wewe na gest tofauti yenu nini hasa? Dear my sister kuna mapepo mnasumbua wachungaji wawaombee lakini chanzo chake ni zinaa na siyo tu zinaa peke yake wewe ni mama huruma ? Naamaanisha nini dada kila kijana anaye kuja wewe kigezo ni pesa anaweza kuchungulia ndani ya nguo zako kuna nini basi jua umepoteza thamani yako. Yaani vijana wanalugha yao utasikia beki hazikabi kabisa yule na unajua kabisa wale ni marafiki na wewe kisa ana gari unatembea naye pia yaani marafiki wawili wanakuvua nguo kama ujionei huruma wewe muonee huruma mama yako. Lazima tuikatae zinaa hasa kipindi hiki cha uhamsho kwani tunajaribu kujifichia kwenye uchumba ili hali sisi ni wazinzi wanao ishi . Ok najua nimekukela lakini siyo mbaya naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden)
    Love
    1
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·742 Ansichten
  • Matendo ya Mitume 23:11
    [11]Usiku ule Bwana akasimama karibu naye, akasema, Uwe na moyo mkuu; kwa sababu, kama ulivyonishuhudia habari zangu Yerusalemu, imekupasa kunishuhudia vivyo hivyo Rumi nako.

    Mungu alimtokea paulo na kumpasha habari hizi paulo akiwa anakabiliwa na kesi kubwa zaidi kama vile kwa Tanzania uasi au uhaini.

    Kwa sababu wao walidai ameiasi torati na katika sheria za islaeri muasi wa torati ni muhaini lakini kumbe Mungu anataka kutumia njia hiyo hiyo paulo kwenda kueneza injiri rumi .

    Jaribu kuwaza uko katika kipindi cha kujitetea sana kwa sababu ya injiri na watu wa nchi yako hawakuelewi arafu unaambiwa kuna jukumu lingine la kwenda rumi tena kufanya kitu kile kile ambacho watu wa nchi yako wameiterm kama uhaini (treason) .

    Ndio sababu aliambiwa awe na moyo mkuu , moyo wa kimbingu ambao katika magumu kuna fursa ya kufikisha injiri pia .


    Kipindi kama hiki kilimkuta Yoshua pia aliambiwa pia awe hodari na moyo wa ushujaa kipindi ambacho anajukumu kwa ajiri ya kukamilisha kusudi la kufikisha taifa la islaeri kanani lakini anazifahamu tabia za watu wale na pia hajaliona kaburi la Musa anaanzaje katika maswali hayo ndipo Mungu akamjibu pia
    Yoshua 1:6
    [6]Uwe hodari na moyo wa ushujaa, maana ni wewe utakayewarithisha watu hawa nchi hii niliyowaapia baba zao ya kwamba nitawapa

    Kipindi kama hiki kilimkuta Gidion pia yeye sasa ndiye alikuwa na mswali mengi zaidi kutokana na nchi yake kuwa iko mikononi mwa wamidiani lakini katika kipindi hicho alitakiwa kuwa hodari na qliitwa shujaa .

    Waamuzi 6:12-14
    [12]Malaika wa BWANA akamtokea, akamwambia, BWANA yu pamoja nawe, Ee shujaa.

    [13]Gideoni akamwambia, Ee Bwana wangu, ikiwa BWANA yu pamoja nasi, mbona mambo haya yote yametupata? Yako wapi matendo yake ya ajabu, waliyotuhadithia baba zetu, wakisema, Je! Siye BWANA, aliyetuleta huku kutoka Misri? Ila sasa ametutupa, naye ametutia katika mikono ya Midiani.
    .
    [14]BWANA akamtazama, akasema, Enenda kwa uwezo wako huu, ukawaokoe Israeli na mkono wa Midiani. Je! Si mimi ninayekutuma?

    Ko kumbe tunaona kuwa haijalishi uko katika kiindi gani muhimu ni kujua kuwa Mungu yu pamoja nawe na anakusudi na wewe katikati hata ya magumu hayo.

    Ahsante sana naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden)

    #build new eden
    #restore men position
    Matendo ya Mitume 23:11 [11]Usiku ule Bwana akasimama karibu naye, akasema, Uwe na moyo mkuu; kwa sababu, kama ulivyonishuhudia habari zangu Yerusalemu, imekupasa kunishuhudia vivyo hivyo Rumi nako. Mungu alimtokea paulo na kumpasha habari hizi paulo akiwa anakabiliwa na kesi kubwa zaidi kama vile kwa Tanzania uasi au uhaini. Kwa sababu wao walidai ameiasi torati na katika sheria za islaeri muasi wa torati ni muhaini lakini kumbe Mungu anataka kutumia njia hiyo hiyo paulo kwenda kueneza injiri rumi . Jaribu kuwaza uko katika kipindi cha kujitetea sana kwa sababu ya injiri na watu wa nchi yako hawakuelewi arafu unaambiwa kuna jukumu lingine la kwenda rumi tena kufanya kitu kile kile ambacho watu wa nchi yako wameiterm kama uhaini (treason) . Ndio sababu aliambiwa awe na moyo mkuu , moyo wa kimbingu ambao katika magumu kuna fursa ya kufikisha injiri pia . Kipindi kama hiki kilimkuta Yoshua pia aliambiwa pia awe hodari na moyo wa ushujaa kipindi ambacho anajukumu kwa ajiri ya kukamilisha kusudi la kufikisha taifa la islaeri kanani lakini anazifahamu tabia za watu wale na pia hajaliona kaburi la Musa anaanzaje katika maswali hayo ndipo Mungu akamjibu pia Yoshua 1:6 [6]Uwe hodari na moyo wa ushujaa, maana ni wewe utakayewarithisha watu hawa nchi hii niliyowaapia baba zao ya kwamba nitawapa Kipindi kama hiki kilimkuta Gidion pia yeye sasa ndiye alikuwa na mswali mengi zaidi kutokana na nchi yake kuwa iko mikononi mwa wamidiani lakini katika kipindi hicho alitakiwa kuwa hodari na qliitwa shujaa . Waamuzi 6:12-14 [12]Malaika wa BWANA akamtokea, akamwambia, BWANA yu pamoja nawe, Ee shujaa. [13]Gideoni akamwambia, Ee Bwana wangu, ikiwa BWANA yu pamoja nasi, mbona mambo haya yote yametupata? Yako wapi matendo yake ya ajabu, waliyotuhadithia baba zetu, wakisema, Je! Siye BWANA, aliyetuleta huku kutoka Misri? Ila sasa ametutupa, naye ametutia katika mikono ya Midiani. . [14]BWANA akamtazama, akasema, Enenda kwa uwezo wako huu, ukawaokoe Israeli na mkono wa Midiani. Je! Si mimi ninayekutuma? Ko kumbe tunaona kuwa haijalishi uko katika kiindi gani muhimu ni kujua kuwa Mungu yu pamoja nawe na anakusudi na wewe katikati hata ya magumu hayo. Ahsante sana naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden) #build new eden #restore men position
    Angry
    1
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·936 Ansichten
  • Huzuni ni ushahidi...
    Kwamba unaweza kuhisi moyo wako mwenyewe ukivunjika. Ni ukumbusho wa ufahamu wa jinsi ulivyopenda sana, jinsi ulivyojali. Huzuni haiji bila upendo-huzaliwa kutoka kwayo, imeundwa nayo, inachukuliwa mbele kwa sababu yake.

    Huzuni inatisha...
    Kwa sababu haiwezekani kurekebisha sababu ya maumivu haya yote. Haijalishi unajaribu sana, haijalishi ni machozi kiasi gani unayotoa au sala unayonong'ona, mtu uliyempoteza harudi. Na ukweli huo—mwisho wake—ni jambo unalopaswa kukabiliana nalo tena na tena.

    Huzuni ni upweke...
    Hata katika umati wa watu. Kwa sababu mtu pekee ambaye unataka kuzungumza naye ni yule ambaye huwezi kufikia. Kutokuwepo kwao kunasikika kwa sauti kubwa kuliko uwepo wowote. Unakaa ukiwa umezungukwa na sauti, lakini ukimya wa kukosa kusikia kwao huhisi kuziba.

    Huzuni ni kimya…
    Unapojaribu kuungana na yule ambaye amekwenda, na maswali yako yanakutana na ukimya. Unaita, ukitarajia jibu, lakini utupu unabaki bila kubadilika. Ni katika nyakati hizo ambapo huzuni huhisi kuwa nzito-ukumbusho wa kile ambacho kimepotea.

    Huzuni inachosha...
    Kupambana kila wakati dhidi ya hali halisi, kutaka tu kuamka kutoka kwa ndoto hii mbaya. Kila siku unahisi kama kupita kwenye mchanga mwepesi, kila hatua ni ngumu zaidi kuliko ya mwisho.

    Huzuni ni nzito...
    Kusonga mbele katika siku hizi mpya, zisizotambulika katika ulimwengu ambao haujaufahamu sasa. Kila kitu huhisi tofauti kwa sababu hawapo tena. Hata kazi rahisi huhisi kuwa kubwa.

    Lakini huzuni pia ni kipimo...
    cha utupu…
    cha maumivu…
    cha upendo ambao bado unawabeba. Na itakuwa milele.

    Kwa sababu huzuni inaweza kuwa isiyostahimilika, pia ni ushuhuda wa kina cha muunganisho wako. Ni uthibitisho kwamba upendo haupotei-hubadilika. Unakaa moyoni mwako, Ukitengeneza wewe ni nani na kukukumbusha yale muhimu zaidi. ❤

    Hisia za ndani
    mkopo kwa msanii
    Huzuni ni ushahidi... Kwamba unaweza kuhisi moyo wako mwenyewe ukivunjika. Ni ukumbusho wa ufahamu wa jinsi ulivyopenda sana, jinsi ulivyojali. Huzuni haiji bila upendo-huzaliwa kutoka kwayo, imeundwa nayo, inachukuliwa mbele kwa sababu yake. Huzuni inatisha... Kwa sababu haiwezekani kurekebisha sababu ya maumivu haya yote. Haijalishi unajaribu sana, haijalishi ni machozi kiasi gani unayotoa au sala unayonong'ona, mtu uliyempoteza harudi. Na ukweli huo—mwisho wake—ni jambo unalopaswa kukabiliana nalo tena na tena. Huzuni ni upweke... Hata katika umati wa watu. Kwa sababu mtu pekee ambaye unataka kuzungumza naye ni yule ambaye huwezi kufikia. Kutokuwepo kwao kunasikika kwa sauti kubwa kuliko uwepo wowote. Unakaa ukiwa umezungukwa na sauti, lakini ukimya wa kukosa kusikia kwao huhisi kuziba. Huzuni ni kimya… Unapojaribu kuungana na yule ambaye amekwenda, na maswali yako yanakutana na ukimya. Unaita, ukitarajia jibu, lakini utupu unabaki bila kubadilika. Ni katika nyakati hizo ambapo huzuni huhisi kuwa nzito-ukumbusho wa kile ambacho kimepotea. Huzuni inachosha... Kupambana kila wakati dhidi ya hali halisi, kutaka tu kuamka kutoka kwa ndoto hii mbaya. Kila siku unahisi kama kupita kwenye mchanga mwepesi, kila hatua ni ngumu zaidi kuliko ya mwisho. Huzuni ni nzito... Kusonga mbele katika siku hizi mpya, zisizotambulika katika ulimwengu ambao haujaufahamu sasa. Kila kitu huhisi tofauti kwa sababu hawapo tena. Hata kazi rahisi huhisi kuwa kubwa. Lakini huzuni pia ni kipimo... cha utupu… cha maumivu… cha upendo ambao bado unawabeba. Na itakuwa milele. Kwa sababu huzuni inaweza kuwa isiyostahimilika, pia ni ushuhuda wa kina cha muunganisho wako. Ni uthibitisho kwamba upendo haupotei-hubadilika. Unakaa moyoni mwako, Ukitengeneza wewe ni nani na kukukumbusha yale muhimu zaidi. ❤ ✍️Hisia za ndani 🎨mkopo kwa msanii
    Love
    1
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·817 Ansichten
  • (9/21) Kanuni za msamaha.
    Kama tulivyoona awali kuwa msamaha si jambo kimwili bali ni jambo la kiroho.

    *Na kila jambo la kiroho lazima likupe matokeo yaweza kuwa chanya au hasi ila lazima upate matokeo .*

    Aina ya matokeo yanachagizwa na aina ya kanuni uliyo chagua kuifuata ,,,

    Kiufupi msamaha wowote ule lazima uambatane na kanuni za msamaha .

    *Ukijua kanuni za msamaha haitakupa shida kuwa uliye msamehe yeye ajakusamehe.*

    1.msamaha ni jambo la kibinafsi siyo jambo la kundi .
    Ko hatupaswi endeshwa na makundi tunayo ya fahamu bali tunapaswa kujua tu faida ya msamaha na kuuishi huo msamaha.

    Kolosai3:12-13
    *Nyinyi ni watu wake Mungu; yeye aliwapenda na kuwateua. Kwa hiyo, basi, vaeni moyo wa huruma, wema, unyenyekevu, upole na uvumilivu. Vumilianeni na kusameheana iwapo mmoja wenu analo jambo lolote dhidi ya mwenzake. Mnapaswa kusameheana kama Bwana alivyowasamehe nyinyi*

    2.jizoeze kusamehe hata kama ujaombwa msamaha .

    Matendo ya Mitume 7:59-60
    [59]Wakampiga kwa mawe Stefano, naye akiomba, akisema, Bwana Yesu, pokea roho yangu.
    [60] *Akapiga magoti, akalia kwa sauti kuu, Bwana, usiwahesabie dhambi hii* . Akiisha kusema haya akalala. Na Sauli alikuwa akiona vema kwa kuuawa kwake.

    *Stephano aliwaombea heri walio kuwa wanampiga lakini yeye aliona njia salama ni kuwaombea neemea kwa huyu Mungu kwa kuwa tu alijua msamaha ni tabia ya kuingu.*

    3.Jizoeze kusamehe kila wakati pasipo kuhesabu mabaya.

    Jifunze kuwa mtu mwenye moyo wa toba mara zote kwa kusamehe na kusamehewa .

    Mathayo 18:21,23
    [21]Kisha Petro akamwendea akamwambia, Bwana, ndugu yangu anikose mara ngapi nami nimsamehe? Hata mara saba?
    [23]Kwa sababu hii ufalme wa mbinguni umefanana na mfalme mmoja aliyetaka kufanya hesabu na watumwa wake.

    *Ukijengwa na moyo wa msahama unakuwa na moyo safi na lazima ujengwe kwa mazingiera ambayo Mungu anauona moyo wako kama moyo safi usio na mawaa.*

    4.Msamaha ni tabia ya kiungu.

    Bwana anapendezwa na moyo wa toba kwa kuwa yeye ni bwana wa msamahana .

    Moyo uliojaa toba ni rahisi kusamehe wengine .kumbe ili mungu atusamehe makosa yetu lazima na sisi tuwasamehe wengine .

    *Utusamehe makosa yetu kama nasi tunavyo wasamehe walo tukosea .*

    Nazungumza na majasusi wa mbinguni lazima tuwe na moyo wa msamaha katika kuzalisha tanzania ya ndoto ya Mungu wetu.

    *Tanzania ni lango la uamsho lenye mamasihi wa bwana walio itwa kwa jina la mbingu sasa lazima tuishi kwa kujua kuwa tunapaswa kusamehe sana na sana.*

    Ahsante sana naamini kuna kitu kitakujenga katika kuusogelea mwili wa kristo .
    Sylvester Gentleman Mwakabende (build new eden)
    #build new eden
    #restore Men position
    .
    (9/21) Kanuni za msamaha. Kama tulivyoona awali kuwa msamaha si jambo kimwili bali ni jambo la kiroho. *Na kila jambo la kiroho lazima likupe matokeo yaweza kuwa chanya au hasi ila lazima upate matokeo .* Aina ya matokeo yanachagizwa na aina ya kanuni uliyo chagua kuifuata ,,, Kiufupi msamaha wowote ule lazima uambatane na kanuni za msamaha . *Ukijua kanuni za msamaha haitakupa shida kuwa uliye msamehe yeye ajakusamehe.* 1.msamaha ni jambo la kibinafsi siyo jambo la kundi . Ko hatupaswi endeshwa na makundi tunayo ya fahamu bali tunapaswa kujua tu faida ya msamaha na kuuishi huo msamaha. Kolosai3:12-13 *Nyinyi ni watu wake Mungu; yeye aliwapenda na kuwateua. Kwa hiyo, basi, vaeni moyo wa huruma, wema, unyenyekevu, upole na uvumilivu. Vumilianeni na kusameheana iwapo mmoja wenu analo jambo lolote dhidi ya mwenzake. Mnapaswa kusameheana kama Bwana alivyowasamehe nyinyi* 2.jizoeze kusamehe hata kama ujaombwa msamaha . Matendo ya Mitume 7:59-60 [59]Wakampiga kwa mawe Stefano, naye akiomba, akisema, Bwana Yesu, pokea roho yangu. [60] *Akapiga magoti, akalia kwa sauti kuu, Bwana, usiwahesabie dhambi hii* . Akiisha kusema haya akalala. Na Sauli alikuwa akiona vema kwa kuuawa kwake. *Stephano aliwaombea heri walio kuwa wanampiga lakini yeye aliona njia salama ni kuwaombea neemea kwa huyu Mungu kwa kuwa tu alijua msamaha ni tabia ya kuingu.* 3.Jizoeze kusamehe kila wakati pasipo kuhesabu mabaya. Jifunze kuwa mtu mwenye moyo wa toba mara zote kwa kusamehe na kusamehewa . Mathayo 18:21,23 [21]Kisha Petro akamwendea akamwambia, Bwana, ndugu yangu anikose mara ngapi nami nimsamehe? Hata mara saba? [23]Kwa sababu hii ufalme wa mbinguni umefanana na mfalme mmoja aliyetaka kufanya hesabu na watumwa wake. *Ukijengwa na moyo wa msahama unakuwa na moyo safi na lazima ujengwe kwa mazingiera ambayo Mungu anauona moyo wako kama moyo safi usio na mawaa.* 4.Msamaha ni tabia ya kiungu. Bwana anapendezwa na moyo wa toba kwa kuwa yeye ni bwana wa msamahana . Moyo uliojaa toba ni rahisi kusamehe wengine .kumbe ili mungu atusamehe makosa yetu lazima na sisi tuwasamehe wengine . *Utusamehe makosa yetu kama nasi tunavyo wasamehe walo tukosea .* Nazungumza na majasusi wa mbinguni lazima tuwe na moyo wa msamaha katika kuzalisha tanzania ya ndoto ya Mungu wetu. *Tanzania ni lango la uamsho lenye mamasihi wa bwana walio itwa kwa jina la mbingu sasa lazima tuishi kwa kujua kuwa tunapaswa kusamehe sana na sana.* Ahsante sana naamini kuna kitu kitakujenga katika kuusogelea mwili wa kristo . Sylvester Gentleman Mwakabende (build new eden) #build new eden #restore Men position .
    Love
    1
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·991 Ansichten
  • MTAKATIFU ANAYE ISHI PART TWO.

    MTAZAMO CHANYA KUHUSU UTAKATIFU.

    1.*UTAKATIFU NI KUTENGWA*(KUKUBALI KUACHA)

    Dunia inamtazamo wake kuhusu utakatifu na Mbingu pia ina mtazamo wake kuhusu utakatifu.

    *Kitendo cha biblia kukufahamu kama mtakatifu ni lazima Mungu awe amekutenga kwa kusudi maalamu.*

    Kila aliye okoka ni kiungo katika kuukamilisha mwili wa Kristo katika eneo alilo itiwa .inaweza kuwa uchungaji ,ualimu ,uinjiristi ,,biashara ,siasa , utumishi wa uma nk .

    *Na nieleweke zaidi ninapo sema "Kutengwa" au "kuitwa '' simahanishi kuwa muhudumu wa madhabau peke yake hapana na maanisha kila jambo unalo lifanya ukiokoka na ukafanya sawa sawa na mapenzi ya Mungu ndio wito wako wengine wameitwa kuwa wafanya biashara ,wengine watawala ,wengine wachungaji ,wengine ni wasomi na washauri ko kila mmoja katika gield yake anapaswa kujua ametengwa na "Mungu kuwa mtakatifu"*

    Warumi 1:1 *Paulo, mtumishi wa Kristo Yesu, aliyeitwa kuwa mtume na kutengwa kwa ajili ya Injili ya Mungu*

    Paulo yeye alitengwa kwa ajiri ya injiri ya mataifa ,mimi sijui wewe umeitwa katika karia gani ila najenga msingi kuwa katika field uliyo itwa Bwana amekutenga uwe mtakatifu.

    Warumi 12:2. *Wala msiifuatishe namna ya dunia hii; bali mgeuzwe kwa kufanywa upya nia zenu, mpate kujua hakika mapenzi ya Mungu yaliyo mema, ya kumpendeza, na ukamilifu.*

    Kumbuka kuwa Mungu alimuumba mwanadamu ili awe mkamirifu .

    Ndo mana ni rahisi sana kwa mtucasite jua wokovu kuona kama utakatifu unapaswa kuzingatiwa na makuhani peke yake ,

    *Lakini uhalisia utakatifu ni maisha ya mwamini kila wakati na mwamini lazima ujue wewe ni barua unasomwa na wengi*

    Mifano ya watu ambao hawakuwa makuhani wala manabii ila waliupendeza moyo wa Mungu .

    *-Daudi alipendezwa na Mungu na akuwa kuhani wala nabii alikuwa mwanasiasa (mfalme) wa nchi lakini kiwango cha unyenyekevu wake kilimpendeza Mungu.*

    -Daniel akuwa nabii lakini alikuwa mwanasiasa kwa maana ya (ukuu wa wilaya) lugha nyepesi kada wa mlengo wa mfalme (mwanasiasa) lakini alisimama na kukubali kutengwa na kutimiza kusudi la Mungu ata katika ugenini.

    Danieli 10:12. *Aliitwa apendwaye sana sibahati bali ni kwa sababu alikubali kujitenga na kuishi utakatifu , ni wewe tu mwokovu wa leo unaona kama kuishi utakatifu haiwezekani .*

    -Yusuph alikuwa si muhubiri pia wala kuhani lakini alichagua kujitenga na uharibifu wa zinaa na alikuwa mwanasiasa karsmatic leader ko ni wewe tu blaza unatumia ushawishi wako vibaya .

    *Ok nataka kusema hivi kama kila mtu ataamua kuwa barua ya kristo katika eneo alilo itiwa basi jua kabisa tutmpendeza Mungu cna baraka zitatufuata duniani kisha uzima wa milele .*

    Utakatifu ni maisha siyo tukio ukiweza kujua hilo basi utakuwa uleishu kadiri roho apendavyo.

    Ok naitwa sylvester kutoka (build new eden ) kwa mafundisho zaidi unaweza nitafuta kwa namba 0622625340 ni ku add kwenye mfululizo wa mafundisho .

    #build new eden
    #restore men position
    MTAKATIFU ANAYE ISHI PART TWO. MTAZAMO CHANYA KUHUSU UTAKATIFU. 1.*UTAKATIFU NI KUTENGWA*(KUKUBALI KUACHA) Dunia inamtazamo wake kuhusu utakatifu na Mbingu pia ina mtazamo wake kuhusu utakatifu. *Kitendo cha biblia kukufahamu kama mtakatifu ni lazima Mungu awe amekutenga kwa kusudi maalamu.* Kila aliye okoka ni kiungo katika kuukamilisha mwili wa Kristo katika eneo alilo itiwa .inaweza kuwa uchungaji ,ualimu ,uinjiristi ,,biashara ,siasa , utumishi wa uma nk . *Na nieleweke zaidi ninapo sema "Kutengwa" au "kuitwa '' simahanishi kuwa muhudumu wa madhabau peke yake hapana na maanisha kila jambo unalo lifanya ukiokoka na ukafanya sawa sawa na mapenzi ya Mungu ndio wito wako wengine wameitwa kuwa wafanya biashara ,wengine watawala ,wengine wachungaji ,wengine ni wasomi na washauri ko kila mmoja katika gield yake anapaswa kujua ametengwa na "Mungu kuwa mtakatifu"* Warumi 1:1 *Paulo, mtumishi wa Kristo Yesu, aliyeitwa kuwa mtume na kutengwa kwa ajili ya Injili ya Mungu* Paulo yeye alitengwa kwa ajiri ya injiri ya mataifa ,mimi sijui wewe umeitwa katika karia gani ila najenga msingi kuwa katika field uliyo itwa Bwana amekutenga uwe mtakatifu. Warumi 12:2. *Wala msiifuatishe namna ya dunia hii; bali mgeuzwe kwa kufanywa upya nia zenu, mpate kujua hakika mapenzi ya Mungu yaliyo mema, ya kumpendeza, na ukamilifu.* Kumbuka kuwa Mungu alimuumba mwanadamu ili awe mkamirifu . Ndo mana ni rahisi sana kwa mtucasite jua wokovu kuona kama utakatifu unapaswa kuzingatiwa na makuhani peke yake , *Lakini uhalisia utakatifu ni maisha ya mwamini kila wakati na mwamini lazima ujue wewe ni barua unasomwa na wengi* Mifano ya watu ambao hawakuwa makuhani wala manabii ila waliupendeza moyo wa Mungu . *-Daudi alipendezwa na Mungu na akuwa kuhani wala nabii alikuwa mwanasiasa (mfalme) wa nchi lakini kiwango cha unyenyekevu wake kilimpendeza Mungu.* -Daniel akuwa nabii lakini alikuwa mwanasiasa kwa maana ya (ukuu wa wilaya) lugha nyepesi kada wa mlengo wa mfalme (mwanasiasa) lakini alisimama na kukubali kutengwa na kutimiza kusudi la Mungu ata katika ugenini. Danieli 10:12. *Aliitwa apendwaye sana sibahati bali ni kwa sababu alikubali kujitenga na kuishi utakatifu , ni wewe tu mwokovu wa leo unaona kama kuishi utakatifu haiwezekani .* -Yusuph alikuwa si muhubiri pia wala kuhani lakini alichagua kujitenga na uharibifu wa zinaa na alikuwa mwanasiasa karsmatic leader ko ni wewe tu blaza unatumia ushawishi wako vibaya . *Ok nataka kusema hivi kama kila mtu ataamua kuwa barua ya kristo katika eneo alilo itiwa basi jua kabisa tutmpendeza Mungu cna baraka zitatufuata duniani kisha uzima wa milele .* Utakatifu ni maisha siyo tukio ukiweza kujua hilo basi utakuwa uleishu kadiri roho apendavyo. Ok naitwa sylvester kutoka (build new eden ) kwa mafundisho zaidi unaweza nitafuta kwa namba 0622625340 ni ku add kwenye mfululizo wa mafundisho . #build new eden #restore men position
    0 Kommentare ·0 Anteile ·1KB Ansichten
  • NUKUU YA FALSAFA YA USTOA

    "Si aishiye kwa muda mrefu , aliye ishi miaka mingi , bali aliye yaishi maisha kwa busara " Seneca

    Kuna umuhimu sana katika ubora wa maisha tunayo ishi kuliko urefu wake, si katika sifa za kuwapo kwa miaka mingi lakini katika sifa za kuonesha kuwa uliishi kwa maana

    Kihitaji kila wakati kuwa na maisha marefu bila undani ni upotezi wa hitaji hilo, ndiyo maana si kila Mzee ameyaelewa maisha na si kila aliye ishi kwa muda mrefu basi ni hakika ameyaelewa maisha, wengine huishi kama wazimu hata sehemu ya maisha yao hawachukui nafasi ya ukuu wao

    Lazima unapo amka ufahamu thamani ya siku yako , kujua hivyo ni kuelewa sababu ya uwepo wako ulimwenguni. Ishi kwa kusudi, kutafakari na kutenda. Jipe sanaa ya kujitazama upya ili uishi .

    Je ukiambiwa leo ni siku yako ya mwisho utajivunia leo?Kwa kuishi maisha huyafanya kuwa marefu licha ya kutokuwa hakika , kwasababu tunahitajika kukumbatia wakati ulio tupa thamani , kuishi katika wakati wa sasa kunamaanisha kuwa huru katika kutumiza kusudi
    NUKUU YA FALSAFA YA USTOA "Si aishiye kwa muda mrefu , aliye ishi miaka mingi , bali aliye yaishi maisha kwa busara " Seneca Kuna umuhimu sana katika ubora wa maisha tunayo ishi kuliko urefu wake, si katika sifa za kuwapo kwa miaka mingi lakini katika sifa za kuonesha kuwa uliishi kwa maana Kihitaji kila wakati kuwa na maisha marefu bila undani ni upotezi wa hitaji hilo, ndiyo maana si kila Mzee ameyaelewa maisha na si kila aliye ishi kwa muda mrefu basi ni hakika ameyaelewa maisha, wengine huishi kama wazimu hata sehemu ya maisha yao hawachukui nafasi ya ukuu wao Lazima unapo amka ufahamu thamani ya siku yako , kujua hivyo ni kuelewa sababu ya uwepo wako ulimwenguni. Ishi kwa kusudi, kutafakari na kutenda. Jipe sanaa ya kujitazama upya ili uishi . Je ukiambiwa leo ni siku yako ya mwisho utajivunia leo?Kwa kuishi maisha huyafanya kuwa marefu licha ya kutokuwa hakika , kwasababu tunahitajika kukumbatia wakati ulio tupa thamani , kuishi katika wakati wa sasa kunamaanisha kuwa huru katika kutumiza kusudi
    0 Kommentare ·0 Anteile ·636 Ansichten
  • UNAJIUMIZA KWA KUJIDHARAU

    Sio maisha yanayo kunyima nafasi ila niwewe unaye jinyima thamani yako, kila wakati unajiona hustahili, unajiona kuwa hutoshi bila fulani una jiona kila wakati wewe ni fungu la kukosa, hujawahi kujiona katika hali ya ushindi kila wakati unajiweka katika hali ya kujijeruhi hali ambayo inafanya ukose nafasi

    Nafahamu unasema kwa sauti ya chini, lakini ni sauti ya chini iliyo jionia hivyo kila ikitoka inatoka kwa makali sana, kiasi kwamba unapo jiona si kitu inaingiza hofu mbele zako ,unapojitilia shaka inakupotezea thamani kimya kimya

    Acha kujificha kwa tabasamu ili watu wasione jinsi ambavyo una jidharau, katika nyakati za ukimya hali ya kujidharau inapo jirudia hukuumiza zaidi kwakua katika ukimya hujikumbusha mambo. Ulimwengu utakumulika kwa vile ambavyo wewe binafsi utavyo penda kujitazama

    Unafikiri kwakua umefahamu kusema samahani basi unaitoa kila sehemu na kila wakati, mpaka samahani inapoteza thamani yake, yote ni kwasababu wewe binafsi umepoteza thamani yako kwa kujidharau. Unaamua kujidharau kwasababu kila sehemu unaona hustahili

    Marcus Aurielius anasema

    " Una thamani si kwasababu watu wanasema, bali kwasababu upo"

    Naye Epictetus anasema

    "Jifahamu kwanza kisha jipambe na huo ukweli "

    Ndugu unapo jidharau unauonesha ulimwengu haukustahili kukuleta ili ulitimize kusudi kuu la wewe kuwapo, unajidhurumu mpangilio wa maisha unao kustahili. Unaamini kuna watu walio letwa dunia kuwa uthibitisho wako, ikiwa ndivyo basi unajidanganya hakuna aliye letwa kwasababu hiyo zaidi yako

    Acha, acha kujinyima kwa woga wa siwezi, siku zote thamani yako haisubiri sifa za dunia. Usiogope kuzungumza kwa hofu ya kukosea tu si kwakua hujapata cha kuongea.Lazima uamini kuwa sauti yako ina maana mbele ya yoyote yule ,acha kujidogodesha ili tu wengine wajivike vazi la ukubwa.

    Ulimwengu hautakupa mafanikio mpaka pale ambapo utaacha kujidharau, utakapo acha kujificha nyuma ya migongo ya wengine```
    UNAJIUMIZA KWA KUJIDHARAU Sio maisha yanayo kunyima nafasi ila niwewe unaye jinyima thamani yako, kila wakati unajiona hustahili, unajiona kuwa hutoshi bila fulani una jiona kila wakati wewe ni fungu la kukosa, hujawahi kujiona katika hali ya ushindi kila wakati unajiweka katika hali ya kujijeruhi hali ambayo inafanya ukose nafasi Nafahamu unasema kwa sauti ya chini, lakini ni sauti ya chini iliyo jionia hivyo kila ikitoka inatoka kwa makali sana, kiasi kwamba unapo jiona si kitu inaingiza hofu mbele zako ,unapojitilia shaka inakupotezea thamani kimya kimya Acha kujificha kwa tabasamu ili watu wasione jinsi ambavyo una jidharau, katika nyakati za ukimya hali ya kujidharau inapo jirudia hukuumiza zaidi kwakua katika ukimya hujikumbusha mambo. Ulimwengu utakumulika kwa vile ambavyo wewe binafsi utavyo penda kujitazama Unafikiri kwakua umefahamu kusema samahani basi unaitoa kila sehemu na kila wakati, mpaka samahani inapoteza thamani yake, yote ni kwasababu wewe binafsi umepoteza thamani yako kwa kujidharau. Unaamua kujidharau kwasababu kila sehemu unaona hustahili Marcus Aurielius anasema " Una thamani si kwasababu watu wanasema, bali kwasababu upo" Naye Epictetus anasema "Jifahamu kwanza kisha jipambe na huo ukweli " Ndugu unapo jidharau unauonesha ulimwengu haukustahili kukuleta ili ulitimize kusudi kuu la wewe kuwapo, unajidhurumu mpangilio wa maisha unao kustahili. Unaamini kuna watu walio letwa dunia kuwa uthibitisho wako, ikiwa ndivyo basi unajidanganya hakuna aliye letwa kwasababu hiyo zaidi yako Acha, acha kujinyima kwa woga wa siwezi, siku zote thamani yako haisubiri sifa za dunia. Usiogope kuzungumza kwa hofu ya kukosea tu si kwakua hujapata cha kuongea.Lazima uamini kuwa sauti yako ina maana mbele ya yoyote yule ,acha kujidogodesha ili tu wengine wajivike vazi la ukubwa. Ulimwengu hautakupa mafanikio mpaka pale ambapo utaacha kujidharau, utakapo acha kujificha nyuma ya migongo ya wengine```
    Love
    1
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·772 Ansichten
  • Kwenye mahojiano na waandishi wa Habari , Fadlu alisema kuna uwezekano wa kuanza na washambuliaji wawili wa kati " UWEZEKANO " lakini akaona kama kikombe hakijpasuka kwanini ukitengeneze ? Kocha anajua muundo wake hauna shida bali ilibaki utekelezaji kwa wachezaji wake katika nyakati sahihi .

    Sehemu ambayo Fadlu alibadilisha ni ndogo sana katika muundo wake timu hasa ikiwa inashumbulia :

    1: Ni Position ya Kibu na Mpanzu . Mara nyingi huwa wanaombea mpira kwenye halfspace kabisa karibu na mabeki wa kati wa timu pinzani lakini leo walikuwa wanaanzia kupokea mpira katikati ya wingbacks na mabeki wa kati wa pembeni ( Outside CBs ) kwanini ?

    2: Ili kutengeneza sintofahamu kubwa ya kimaamuzi baina ya hao mabeki wa kati wa pembeni na wingbacks wao , kwa maana wingbacks wa Al Masry hofu yao ni fullbacks wa Simba wanaopanda juu .

    3: Fadlu alifanya hivyo ili kuwapa Kibu na Mpanzu " Shooting spaces" wawe katika nafasi bora za kupiga golini . Hii iliwezekana pia kwasababu ..

    4: Ahoua alikuwa anajaribu sana kuwa karibu na Mukwala asimuache peke yake dhidi ya beki wa kati wa Al Masry .

    5: Nafikiri hiki alichofanya Fadlu leo kimbinu kimeathiriwa sana na hali ya uwanja , vinginevyo ingekuwa jioni ndefu kwa Al Masry

    Al Masry mpango wao ulikuwa ambao umezoeleka

    1: Poteza sana muda kwa kucheza mechi ya taratibu

    2. Zuia sana kulinda mtaji wake

    3: Subiria , counter attack na mipira iliyokufa kupata goli la ugenini

    ✍🏻Kipindi cha pili , kasi ya mchezo ilipungua hasa kutoka kwa mwenyeji nafikiri pia ndio iliwapa Al Masry fursa na wao kuanza angalau kuunganisha hata pasi zao ( hapo nafikiri Simba walikuwa wanacheza moto , ni nafasi na kosa moja tu linaumua taswira nzima ya mechi )

    NOTE

    1: Siamini kama Al Masry waliamua kutaka penati bali hali ya mchezo iliwalazimisha , waliona kufunga kwao ngumu

    2: Hamza anacheza kwenye " GIA " yake mwenyewe anayotaka na hakuna kitu unamfanya

    3: Mukwala . Soma namba ya jezi ya beki basi beki yupo matatizoni

    4: Mpanzu , sio kwamba hawakufanya Homework yao Al Masry bali vitu vingine unakubali yaishe

    5: CAMARA. Unamuona tu golini hali ya kujiamini kubwa kwenye matuta

    FT: Simba 2-0 Al Masry
    (G. Ambangile )


    Kwenye mahojiano na waandishi wa Habari , Fadlu alisema kuna uwezekano wa kuanza na washambuliaji wawili wa kati " UWEZEKANO " lakini akaona kama kikombe hakijpasuka kwanini ukitengeneze ? Kocha anajua muundo wake hauna shida bali ilibaki utekelezaji kwa wachezaji wake katika nyakati sahihi . Sehemu ambayo Fadlu alibadilisha ni ndogo sana katika muundo wake timu hasa ikiwa inashumbulia : 1: Ni Position ya Kibu na Mpanzu . Mara nyingi huwa wanaombea mpira kwenye halfspace kabisa karibu na mabeki wa kati wa timu pinzani lakini leo walikuwa wanaanzia kupokea mpira katikati ya wingbacks na mabeki wa kati wa pembeni ( Outside CBs ) kwanini ? 2: Ili kutengeneza sintofahamu kubwa ya kimaamuzi baina ya hao mabeki wa kati wa pembeni na wingbacks wao , kwa maana wingbacks wa Al Masry hofu yao ni fullbacks wa Simba wanaopanda juu . 3: Fadlu alifanya hivyo ili kuwapa Kibu na Mpanzu " Shooting spaces" wawe katika nafasi bora za kupiga golini . Hii iliwezekana pia kwasababu .. 4: Ahoua alikuwa anajaribu sana kuwa karibu na Mukwala asimuache peke yake dhidi ya beki wa kati wa Al Masry . 5: Nafikiri hiki alichofanya Fadlu leo kimbinu kimeathiriwa sana na hali ya uwanja , vinginevyo ingekuwa jioni ndefu kwa Al Masry Al Masry mpango wao ulikuwa ambao umezoeleka 1: Poteza sana muda kwa kucheza mechi ya taratibu 2. Zuia sana kulinda mtaji wake 3: Subiria , counter attack na mipira iliyokufa kupata goli la ugenini ✍🏻Kipindi cha pili , kasi ya mchezo ilipungua hasa kutoka kwa mwenyeji nafikiri pia ndio iliwapa Al Masry fursa na wao kuanza angalau kuunganisha hata pasi zao ( hapo nafikiri Simba walikuwa wanacheza moto , ni nafasi na kosa moja tu linaumua taswira nzima ya mechi ) NOTE 1: Siamini kama Al Masry waliamua kutaka penati bali hali ya mchezo iliwalazimisha , waliona kufunga kwao ngumu 2: Hamza anacheza kwenye " GIA " yake mwenyewe anayotaka na hakuna kitu unamfanya 3: Mukwala . Soma namba ya jezi ya beki basi beki yupo matatizoni 🔥 4: Mpanzu , sio kwamba hawakufanya Homework yao Al Masry bali vitu vingine unakubali yaishe 5: CAMARA. Unamuona tu golini hali ya kujiamini kubwa kwenye matuta FT: Simba 2-0 Al Masry (G. Ambangile ✍️)
    Like
    1
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·1KB Ansichten
  • Mwanaume huyo pichani, anaitwa Ho Van Lang na picha hizo zilipigwa mara baada ya kugunduliwa mwaka 2013, akiwa ameishi katika msitu wa mbali Nchini Vietnam kwa miaka 41 pamoja na Baba yake, Ho Van Thanh. Walikimbia kijiji chao mwaka 1972 kufuatia mashambulizi ya mabomu ya Marekani wakati wa Vita ya Vietnam ambayo yaliwaua baadhi ya Wanafamilia wao.

    Kwa kuogopa usalama wao, Baba na Mwana walitoweka msituni katika mkoa wa Quang Ngai na wakabaki bila mawasiliano na Jamii kwa miongo kadhaa. Lang, ambaye alikuwa Mtoto mchanga walipotoweka, alitumia maisha yake yote akiwa katika hali ya kutengwa, bila kufahamu chochote kuhusu Dunia ya kisasa.

    Hakuwa na dhana ya Jamii, teknolojia, wala hata uwepo wa Wanawake, jambo alilolielewa tu baada ya kurejeshwa kwenye Jamii. Hadithi yake inaonyesha kwa kina uimara wa Mwanadamu na athari za kutengwa kwa muda mrefu katika maendeleo ya mtu binafsi na mtazamo wake wa Dunia.

    Mwanaume huyo pichani, anaitwa Ho Van Lang na picha hizo zilipigwa mara baada ya kugunduliwa mwaka 2013, akiwa ameishi katika msitu wa mbali Nchini Vietnam 🇻🇳 kwa miaka 41 pamoja na Baba yake, Ho Van Thanh. Walikimbia kijiji chao mwaka 1972 kufuatia mashambulizi ya mabomu ya Marekani 🇺🇸 wakati wa Vita ya Vietnam ambayo yaliwaua baadhi ya Wanafamilia wao. Kwa kuogopa usalama wao, Baba na Mwana walitoweka msituni katika mkoa wa Quang Ngai na wakabaki bila mawasiliano na Jamii kwa miongo kadhaa. Lang, ambaye alikuwa Mtoto mchanga walipotoweka, alitumia maisha yake yote akiwa katika hali ya kutengwa, bila kufahamu chochote kuhusu Dunia ya kisasa. Hakuwa na dhana ya Jamii, teknolojia, wala hata uwepo wa Wanawake, jambo alilolielewa tu baada ya kurejeshwa kwenye Jamii. Hadithi yake inaonyesha kwa kina uimara wa Mwanadamu na athari za kutengwa kwa muda mrefu katika maendeleo ya mtu binafsi na mtazamo wake wa Dunia.
    Like
    Haha
    2
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·993 Ansichten
  • "Nafahamu wote kwa pamoja tuna hamu ya kupata matokeo katika mechi hii lakini matokeo haya kuyapata kwa kushinda na kufuzu. Sisi tumeweka mazingira mazuri ambayo yataiwezesha timu yetu kufuzu.”

    “Nipo hapa kuwataka Watanzania kujitokeza kwa wingi Uwanja wa Mkapa alkini ningependa kutoa taarifa muhimu kwamba tunaendelea kushirikiana na serikali kuimarisha usalama wa siku hiyo. Tunawataka wapenzi wetu kuhakikisha kwamba wanazingatia mazingatio yote ambayo yatawekwa ya usalama. Hatutaruhusu mtu yeyote ambaye sio Mwanasimba kutuharibia shughuli yetu.”

    “Katika mchezo uliopita walisema maneno mengi kwamba kuna wazee wafupi, mbuzi lakini tuwatumie ujumbe kwamba kama mechi aikuhusu wabaki nyumbani na sisi tumejiandaa kuthibiti hilo kama klabu.”- Zubeda Sakuru, CEO wa klabu ya Simba SC.

    "Nafahamu wote kwa pamoja tuna hamu ya kupata matokeo katika mechi hii lakini matokeo haya kuyapata kwa kushinda na kufuzu. Sisi tumeweka mazingira mazuri ambayo yataiwezesha timu yetu kufuzu.” “Nipo hapa kuwataka Watanzania kujitokeza kwa wingi Uwanja wa Mkapa alkini ningependa kutoa taarifa muhimu kwamba tunaendelea kushirikiana na serikali kuimarisha usalama wa siku hiyo. Tunawataka wapenzi wetu kuhakikisha kwamba wanazingatia mazingatio yote ambayo yatawekwa ya usalama. Hatutaruhusu mtu yeyote ambaye sio Mwanasimba kutuharibia shughuli yetu.” “Katika mchezo uliopita walisema maneno mengi kwamba kuna wazee wafupi, mbuzi lakini tuwatumie ujumbe kwamba kama mechi aikuhusu wabaki nyumbani na sisi tumejiandaa kuthibiti hilo kama klabu.”- Zubeda Sakuru, CEO wa klabu ya Simba SC.
    Like
    1
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·1KB Ansichten
  • "Sisi Simba tumeitwa kujadili kuhusu soka la Tanzania na maendeleo yake na Waziri, hatujaitwa hapa kujadili kuhusu mchezo wetu dhidi ya Yanga na kama ingekuwa hivyo tungeitwa wote kwa pamoja, wao kama wamejadili kuhusu mchezo huo ni wao sasa ila sisi hatujajadili hilo kwanza hata sifahamu kama Yanga walikuwepo” - Murtaza Mangungu, Mwenyekiti wa klabu ya Simba SC.

    "Sisi Simba tumeitwa kujadili kuhusu soka la Tanzania na maendeleo yake na Waziri, hatujaitwa hapa kujadili kuhusu mchezo wetu dhidi ya Yanga na kama ingekuwa hivyo tungeitwa wote kwa pamoja, wao kama wamejadili kuhusu mchezo huo ni wao sasa ila sisi hatujajadili hilo kwanza hata sifahamu kama Yanga walikuwepo” - Murtaza Mangungu, Mwenyekiti wa klabu ya Simba SC.
    0 Kommentare ·0 Anteile ·869 Ansichten
  • Historia ya Wazazi wa Jackie Chan inavutia zaidi hadi Jackie Chan aliamua kuandaa "Documentary" maalum kwa ajili ya kueleza Wazazi wake walivyokutana na walikuwa wanafanya kazi gani.

    Katika kipindi chote Jackie Chan alichoishi na Wazazi wake hakuwahi kufahamu Wazazi wake walikutana vipi pamoja na kazi halisi za awali za Wazazi wake mpaka hapo Baba yake alipokuwa ana umri wa miaka 80 akaamua kumwambia ukweli maana aliamini umri wake umeenda sana hivyo muda wowote anaweza kufariki bila kumueleza ukweli Jackie Chan.

    Baba Mzazi wa Jackie Chan, Charles Chan (1914 - 2008) siku moja akiwa barabarani kwenye gari na Jackie Chan alifunguka kuwa tangu zamani alikuwa Mpelelezi (Shushushu) kwenye Serikali ya China na Mama yake Jackie Chan, Lee-Lee Chan (1916-2002) alikuwa muuza madawa ya kulevya, siku moja katika "operation" ya kukamata Wauza madawa Charles Chan alimkamata Lee-Lee Chan lakini baada ya kumfikisha kwenye vyombo vya dola walijikuta wamependana na wakafunga ndoa.

    Hadithi hii ilimshitua sana Jackie Chan kwani amekua akijua kwamba Baba yake ni Mpishi na amewahi kuwa Mpishi kwenye ubalozi wa Ufaransa - Hong Kong, pamoja na ubalozi wa Marekani Nchini Australia .

    Taarifa nyingine iliyomshitua zaidi ni pale alipoambiwa kuwa kuwa jina la Baba yake sio Chan bali ni Fang Daolong, hivyo kama asingebadili jina, Jackie Chan hivi sasa angefahamika kama Jackie Fang, Baba Jackie Chan alikuwa "Spy" kwenye Serikali ya China iliyokuwa ikiundwa na Chama cha Kuomintang, mwaka 1949 baada ya vita kali ya wenyewe kwa wenyewe Chama cha Kikomunisti kikiongozwa na Mao Zedong kiliipindua Serikali ya Kuomintang kikachukua Nchi hapo ilibidi Baba Jackie Chan abadili jina kwa sababu ya kuficha utambulisho wake maana kulikuwa na vita kubwa baina ya vyama hivyo na baadhi ya makachero wa Kuomintang walikuwa wakikamatwa na kuuawa.

    Historia ya Wazazi wa Jackie Chan imeelezwa kwa urefu kwenye "Documentary" iliyoandaliwa na Jackie Chan "Traces of the Dragon: Jackie Chan and His Lost Family" (2003)

    "Baba alikua jasusi na Mama alikua Muuza madawa na mcheza kamari. Walikutana na wakaoana baada ya Baba yangu kumkamata Mama"

    "Tangu nilipokua Mdogo nilikua najua Baba yangu anafanya kazi ya upishi kwenye Ubalozi wa Marekani mpaka alipotimiza miaka 80 na akaniambia kazi yake ya kweli. Nilishtuka, nilishtuka"

    " Kwahiyo kuna siku moja nilikua naendesha gari nikiwa na Baba yangu ghafla, Baba akageuka na kusema: 'Jackie, Mimi ni Mzee sana na huenda nisiamke kesho. Kuna kitu lazima nikuambie, ni siri' kisha akasema: kwa kweli wewe sio Jackie Chan, jina lako unaitwa Fong.'

    "Nikahisi kupatwa na mshtuko, kwangu ilikua kitu cha kustaajabisha. Kwa haraka nikamuambia asiendelee kuongea nikampigia rafiki yangu ili tutengeneze documentary ya stori ya Baba yangu. Ilituchukua miaka 3 ya kumfata Baba yangu na kuongea nae kuhusu stori yote."

    " Nilihisi mimi ndiye Mwanae wa pekee lakini nilishtuka baada ya kujua kwamba nina ndugu zangu wanne kwa Wazazi wangu. Kaka zangu wawili, upande wa Baba na Dada zangu wawili upande wa Mama. Alilazimika kunificha yote hayo kwa sababu ya kazi yake, baba alikua jasusi. Nilivutiwa sana baada ya kujua kwamba Baba yangu alikua mpole sana. Miaka yote ile nilidhania ni Mpishi. Nimetengeneza movie kupitia hii stori." - Jackie Chan

    Historia ya Wazazi wa Jackie Chan inavutia zaidi hadi Jackie Chan aliamua kuandaa "Documentary" maalum kwa ajili ya kueleza Wazazi wake walivyokutana na walikuwa wanafanya kazi gani. Katika kipindi chote Jackie Chan alichoishi na Wazazi wake hakuwahi kufahamu Wazazi wake walikutana vipi pamoja na kazi halisi za awali za Wazazi wake mpaka hapo Baba yake alipokuwa ana umri wa miaka 80 akaamua kumwambia ukweli maana aliamini umri wake umeenda sana hivyo muda wowote anaweza kufariki bila kumueleza ukweli Jackie Chan. Baba Mzazi wa Jackie Chan, Charles Chan (1914 - 2008) siku moja akiwa barabarani kwenye gari na Jackie Chan alifunguka kuwa tangu zamani alikuwa Mpelelezi (Shushushu) kwenye Serikali ya China na Mama yake Jackie Chan, Lee-Lee Chan (1916-2002) alikuwa muuza madawa ya kulevya, siku moja katika "operation" ya kukamata Wauza madawa Charles Chan alimkamata Lee-Lee Chan lakini baada ya kumfikisha kwenye vyombo vya dola walijikuta wamependana na wakafunga ndoa. Hadithi hii ilimshitua sana Jackie Chan kwani amekua akijua kwamba Baba yake ni Mpishi na amewahi kuwa Mpishi kwenye ubalozi wa Ufaransa 🇫🇷 - Hong Kong, pamoja na ubalozi wa Marekani 🇺🇸 Nchini Australia 🇦🇺. Taarifa nyingine iliyomshitua zaidi ni pale alipoambiwa kuwa kuwa jina la Baba yake sio Chan bali ni Fang Daolong, hivyo kama asingebadili jina, Jackie Chan hivi sasa angefahamika kama Jackie Fang, Baba Jackie Chan alikuwa "Spy" kwenye Serikali ya China iliyokuwa ikiundwa na Chama cha Kuomintang, mwaka 1949 baada ya vita kali ya wenyewe kwa wenyewe Chama cha Kikomunisti kikiongozwa na Mao Zedong kiliipindua Serikali ya Kuomintang kikachukua Nchi hapo ilibidi Baba Jackie Chan abadili jina kwa sababu ya kuficha utambulisho wake maana kulikuwa na vita kubwa baina ya vyama hivyo na baadhi ya makachero wa Kuomintang walikuwa wakikamatwa na kuuawa. Historia ya Wazazi wa Jackie Chan imeelezwa kwa urefu kwenye "Documentary" iliyoandaliwa na Jackie Chan "Traces of the Dragon: Jackie Chan and His Lost Family" (2003) "Baba alikua jasusi na Mama alikua Muuza madawa na mcheza kamari. Walikutana na wakaoana baada ya Baba yangu kumkamata Mama" "Tangu nilipokua Mdogo nilikua najua Baba yangu anafanya kazi ya upishi kwenye Ubalozi wa Marekani mpaka alipotimiza miaka 80 na akaniambia kazi yake ya kweli. Nilishtuka, nilishtuka" " Kwahiyo kuna siku moja nilikua naendesha gari nikiwa na Baba yangu ghafla, Baba akageuka na kusema: 'Jackie, Mimi ni Mzee sana na huenda nisiamke kesho. Kuna kitu lazima nikuambie, ni siri' kisha akasema: kwa kweli wewe sio Jackie Chan, jina lako unaitwa Fong.' "Nikahisi kupatwa na mshtuko, kwangu ilikua kitu cha kustaajabisha. Kwa haraka nikamuambia asiendelee kuongea nikampigia rafiki yangu ili tutengeneze documentary ya stori ya Baba yangu. Ilituchukua miaka 3 ya kumfata Baba yangu na kuongea nae kuhusu stori yote." " Nilihisi mimi ndiye Mwanae wa pekee lakini nilishtuka baada ya kujua kwamba nina ndugu zangu wanne kwa Wazazi wangu. Kaka zangu wawili, upande wa Baba na Dada zangu wawili upande wa Mama. Alilazimika kunificha yote hayo kwa sababu ya kazi yake, baba alikua jasusi. Nilivutiwa sana baada ya kujua kwamba Baba yangu alikua mpole sana. Miaka yote ile nilidhania ni Mpishi. Nimetengeneza movie kupitia hii stori." - Jackie Chan
    Like
    1
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·1KB Ansichten
  • Rais wa Nchi ya Iran , Ayatollah Ali Khamenei, amesema kuwa vitisho vya Nchi ya Marekani dhidi ya Taifa lake havisaidii lolote na havitaleta matokeo yoyote kama Rais Donald Tramp anavyofikiria. Kiongozi huyo amesema hayo baada ya Rais Trump kuonya uwezekano wa hatua za kijeshi kuchukuliwa dhidi ya Iran.

    "Wamarekani wanapaswa kuelewa kwamba vitisho havitafanikiwa wanapokabiliana na Iran. Wao (Marekani) na wengine wanapaswa kufahamu kuwa wakifanya lolote baya dhidi ya taifa la Iran, watajibiwa kwa nguvu kubwa." alisema Rais Khemenei

    Mnamo Machi 7, Rais Trump alisema kuwa alimwandikia barua Rais Khamenei, akimtaka kuanzisha mazungumzo kuhusu mpango wa nyuklia wa Iran, huku akionya kuwa kuna uwezekano wa kuchukua hatua za kijeshi iwapo Iran itakataa. Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, alisema Alhamisi wiki hii kuwa barua hiyo ilikuwa zaidi ya tishio, ingawa pia ilionesha uwezekano wa mazungumzo.

    "Tunachunguza kwa kina maudhui ya barua hiyo, na tutajibu rasmi katika siku chache zijazo” alisema Waziri huyo

    Kulingana na ripoti ya tovuti ya habari ya Marekani, Axios, ikimnukuu Afisa wa Serikali ya Trump na vyanzo vingine vikisema, barua hiyo inaweka muda wa miezi miwili wa kufikia makubaliano mapya ya nyuklia. Hata hivyo, haijabainishwa ni lini muda huo utaanza au kuisha. Kwa muda mrefu, Rais Khamenei amepuuza wito wa Rais Trump wa mazungumzo ya moja kwa moja, akisema kuwa Rais huyo wa Marekani anajaribu kudanganya ulimwengu kwa kuonesha kuwa Marekani iko tayari kwa mazungumzo huku Iran ikionekana kutotaka kushiriki.

    Ikumbukwe kwamba Trump ambaye alianza muhula wake wa pili Januari 2025, amerudisha sera yake ya shinikizo la juu dhidi ya Iran. Wakati wa kipindi chake cha kwanza, Trump aliiondoa Marekani kwenye makubaliano ya kihistoria ya nyuklia ya 2015 kati ya Iran na mataifa yenye nguvu ulimwenguni na akairejeshea Tehran vikwazo vikubwa vya kiuchumi.

    Rais wa Nchi ya Iran 🇮🇷, Ayatollah Ali Khamenei, amesema kuwa vitisho vya Nchi ya Marekani 🇺🇸 dhidi ya Taifa lake havisaidii lolote na havitaleta matokeo yoyote kama Rais Donald Tramp anavyofikiria. Kiongozi huyo amesema hayo baada ya Rais Trump kuonya uwezekano wa hatua za kijeshi kuchukuliwa dhidi ya Iran. "Wamarekani wanapaswa kuelewa kwamba vitisho havitafanikiwa wanapokabiliana na Iran. Wao (Marekani) na wengine wanapaswa kufahamu kuwa wakifanya lolote baya dhidi ya taifa la Iran, watajibiwa kwa nguvu kubwa." alisema Rais Khemenei Mnamo Machi 7, Rais Trump alisema kuwa alimwandikia barua Rais Khamenei, akimtaka kuanzisha mazungumzo kuhusu mpango wa nyuklia wa Iran, huku akionya kuwa kuna uwezekano wa kuchukua hatua za kijeshi iwapo Iran itakataa. Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, alisema Alhamisi wiki hii kuwa barua hiyo ilikuwa zaidi ya tishio, ingawa pia ilionesha uwezekano wa mazungumzo. "Tunachunguza kwa kina maudhui ya barua hiyo, na tutajibu rasmi katika siku chache zijazo” alisema Waziri huyo Kulingana na ripoti ya tovuti ya habari ya Marekani, Axios, ikimnukuu Afisa wa Serikali ya Trump na vyanzo vingine vikisema, barua hiyo inaweka muda wa miezi miwili wa kufikia makubaliano mapya ya nyuklia. Hata hivyo, haijabainishwa ni lini muda huo utaanza au kuisha. Kwa muda mrefu, Rais Khamenei amepuuza wito wa Rais Trump wa mazungumzo ya moja kwa moja, akisema kuwa Rais huyo wa Marekani anajaribu kudanganya ulimwengu kwa kuonesha kuwa Marekani iko tayari kwa mazungumzo huku Iran ikionekana kutotaka kushiriki. Ikumbukwe kwamba Trump ambaye alianza muhula wake wa pili Januari 2025, amerudisha sera yake ya shinikizo la juu dhidi ya Iran. Wakati wa kipindi chake cha kwanza, Trump aliiondoa Marekani kwenye makubaliano ya kihistoria ya nyuklia ya 2015 kati ya Iran na mataifa yenye nguvu ulimwenguni na akairejeshea Tehran vikwazo vikubwa vya kiuchumi.
    0 Kommentare ·0 Anteile ·1KB Ansichten
Suchergebnis