• Mathayo 18:10- 12
    [10]Angalieni msidharau mmojawapo wadogo hawa; kwa maana nawaambia ya kwamba malaika wao mbinguni siku zote huutazama uso wa Baba yangu aliye mbinguni.

    *[11][Kwa maana Mwana wa Adamu alikuja kukiokoa kilichopotea.*

    Hili ndilo kusudi kubwa la Yesu lilikuwa ni kuja kukomboa kile kilicho ibiwa au kupotea na si kuja kukihukumu kile kilicho potea.

    Yesu alikuja ili amrejeze mwanadamu katika nafasi yake ambayo aliipoteza pale bustanini eden baada ya dhambi kuingia.

    Maandiko yanasema *"wote walio mpokea aliwapa uwezo wa kuwa wana"* na ukisha pata nafasi ya kuwa mwana unaanza kuwa na kazi sawa kabisa na Kristo Yesu ya kuwarudisha wanadamu wengine kwenye nafasi zao na ndio maana ya wokovu halisi.

    Badala ya kumtenga mpendwa aliye tenda dhambi kama mpendwa ambae umefanyika kuwa mwana unapaswa umuombee na kumrudisha kwenye nafasi yake ya kawaida.

    Yesu anatolea mfano huu
    Mathayo 18:12
    [12]Mwaonaje? Mtu akiwa na kondoo mia, mmoja akampotea, je! Hawaachi wale tisa na tisini, akaenda milimani, na kumtafuta yule aliyepotea?

    Sasa lazima tujue kama mfugaji anaweza kufanya hivyo ndivyo ata sisi watu tulio okoka tunapaswa kuishi na kutafuta kondoo wote kuwarudisha zizini kwani iko thawabu kubwa katika kufanya hivyo.

    Mfanye masihi wa Bwana ajivunie wewe katika huduma kama tu ukiweza kutokuwa na moyo wa choyo ubinsfsi na usengenyaji tunweza lete wengi Sana kwa Yesu na jina la yesu likatukuzwa sana.
    .Mathayo 7:1-2
    [1]Msihukumu, msije mkahukumiwa ninyi.
    Judge not, that ye be not judged.
    [2]Kwa kuwa hukumu ile mhukumuyo, ndiyo mtakayohukumiwa; na kipimo kile mpimiacho, ndicho mtakachopimiwa. .

    Kumbe ukiona ndugu yako anaanguka dhambini na wewe unamuona mwite mkanye ili kuutunza na kuhuheshimsha mwili wa Kristo Yesu.

    Ukisimamisha wengine na wewe itasimamishwa pia siku utakapo zimia moyo ,ukiwaacha wengine nawe utachwa siku utakapo zimia moyo .

    Tujifunze kuonyana kwa kila saa tunapo ona hatuendi tunavyo paswa kwenda wokovu ni kuonyana na kuchukuliana.

    Nikisema kuchukuliana simaanishi uingie dhambini hapana ila yakupasa kuchukuliana na wenzako ili uwarudishe watu kwenye nafasi ambayo Kristo anahiitaji .

    Kama ukifanya hivyo lazima taji upate sawa sawa na neno lake.

    Ufunuo wa Yohana 2:7
    [7]Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho ayaambia makanisa. Yeye ashindaye, nitampa kula matunda ya mti wa uzima, ulio katika bustani ya Mungu.

    Kukaa kwenye bustani ya Mungu siyo tu kwenda mbinguni unaanza ustawi wa maisha hapa duniani kisha uzima wa milele .

    Natumai tumejifunza kitu Mungu akubaliki sana tuwe na siku njema na asubui njema .

    Kwa mafundisho zaidi ya neno la Mungu karibu katika group
    https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4

    #build new eden
    #restore men position
    Mathayo 18:10- 12 [10]Angalieni msidharau mmojawapo wadogo hawa; kwa maana nawaambia ya kwamba malaika wao mbinguni siku zote huutazama uso wa Baba yangu aliye mbinguni. *[11][Kwa maana Mwana wa Adamu alikuja kukiokoa kilichopotea.* Hili ndilo kusudi kubwa la Yesu lilikuwa ni kuja kukomboa kile kilicho ibiwa au kupotea na si kuja kukihukumu kile kilicho potea. Yesu alikuja ili amrejeze mwanadamu katika nafasi yake ambayo aliipoteza pale bustanini eden baada ya dhambi kuingia. Maandiko yanasema *"wote walio mpokea aliwapa uwezo wa kuwa wana"* na ukisha pata nafasi ya kuwa mwana unaanza kuwa na kazi sawa kabisa na Kristo Yesu ya kuwarudisha wanadamu wengine kwenye nafasi zao na ndio maana ya wokovu halisi. Badala ya kumtenga mpendwa aliye tenda dhambi kama mpendwa ambae umefanyika kuwa mwana unapaswa umuombee na kumrudisha kwenye nafasi yake ya kawaida. Yesu anatolea mfano huu Mathayo 18:12 [12]Mwaonaje? Mtu akiwa na kondoo mia, mmoja akampotea, je! Hawaachi wale tisa na tisini, akaenda milimani, na kumtafuta yule aliyepotea? Sasa lazima tujue kama mfugaji anaweza kufanya hivyo ndivyo ata sisi watu tulio okoka tunapaswa kuishi na kutafuta kondoo wote kuwarudisha zizini kwani iko thawabu kubwa katika kufanya hivyo. Mfanye masihi wa Bwana ajivunie wewe katika huduma kama tu ukiweza kutokuwa na moyo wa choyo ubinsfsi na usengenyaji tunweza lete wengi Sana kwa Yesu na jina la yesu likatukuzwa sana. .Mathayo 7:1-2 [1]Msihukumu, msije mkahukumiwa ninyi. Judge not, that ye be not judged. [2]Kwa kuwa hukumu ile mhukumuyo, ndiyo mtakayohukumiwa; na kipimo kile mpimiacho, ndicho mtakachopimiwa. . Kumbe ukiona ndugu yako anaanguka dhambini na wewe unamuona mwite mkanye ili kuutunza na kuhuheshimsha mwili wa Kristo Yesu. Ukisimamisha wengine na wewe itasimamishwa pia siku utakapo zimia moyo ,ukiwaacha wengine nawe utachwa siku utakapo zimia moyo . Tujifunze kuonyana kwa kila saa tunapo ona hatuendi tunavyo paswa kwenda wokovu ni kuonyana na kuchukuliana. Nikisema kuchukuliana simaanishi uingie dhambini hapana ila yakupasa kuchukuliana na wenzako ili uwarudishe watu kwenye nafasi ambayo Kristo anahiitaji . Kama ukifanya hivyo lazima taji upate sawa sawa na neno lake. Ufunuo wa Yohana 2:7 [7]Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho ayaambia makanisa. Yeye ashindaye, nitampa kula matunda ya mti wa uzima, ulio katika bustani ya Mungu. Kukaa kwenye bustani ya Mungu siyo tu kwenda mbinguni unaanza ustawi wa maisha hapa duniani kisha uzima wa milele . Natumai tumejifunza kitu Mungu akubaliki sana tuwe na siku njema na asubui njema . Kwa mafundisho zaidi ya neno la Mungu karibu katika group https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4 #build new eden #restore men position
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·439 Visualizações
  • UAMSHO.
    Maana ni kurudi kwenye uzima.
    Ni mminiko wa nguvu na uwepo wa Mungu ndani ya mtu uletao kibali ,neema na baraka.

    Uamsho ni uziilisho wa roho mtakatifu ndani ya mtu na kuleta matokeo chanya.

    Kwa kawaida tunaamsha kitu kilicho lala ,ko lengo la somo hili ni kurejesha uzimani nafsi ya mtu mmoja mmoja .

    Uamsho ni jambo linalo anza na mtu kisha matokeo ya uamsho ndiyo yanayo tukuta sote.

    Mfano mfalme Yosiah alilisi ufalme baada ya baba yake kufa na baba yake alikuwa mfalme Ahazia ambaye akufanya mema machoni pa Bwana.

    2 Wafalme 22:13
    [13]Enendeni, mkamwulize BWANA kwa ajili yangu, na kwa ajili ya watu hawa, na kwa ajili ya Yuda yote, katika habari za maneno ya kitabu hiki kilichoonekana; kwa kuwa hasira ya BWANA ni kubwa aliyotukasirikia, kwa sababu baba zetu hawakuyaangalia maneno ya kitabu hiki, kufanya kama hayo yote tuliyoandikiwa.

    Baada ya kuuliza sasa sikiliza jawabu alilo pewa .

    [16]BWANA asema hivi, Tazama, mimi nitaleta uovu juu ya mahali hapa, na juu yao wakaao hapa, naam, maneno yote ya kitabu alichokisoma mfalme wa Yuda;

    [17]kwa sababu wameniacha mimi, wameifukizia uvumba miungu mingine, ili wapate kunikasirisha kwa kazi yote ya mikono yao; kwa hiyo hasira yangu itawaka juu ya mahali hapa, isizimike

    Kumbe kuna mambo unayapatia sababu tu walio kutangulia waliyafanya ndio maana tunahitqji uamsho.

    muda wa uamsho ndani ya nyumba ya baba yake na taifa lote ulifika .

    Kilicho fanya yuda uqmsho uje ni baada ya kusikia habari za kitabu cha torati ambalo leo hii ndio neno la Mungu.

    2wafalme 22:18-20.

    Ukisoma hapo utaona alivho kifanya baada ya kusikia habari za kitabu aliamua kukusanya wafalme wa yuda wote kwa ajiri ya kuwaambia .

    Na alipo wakusanya kwa kuwa uamsho ni wa mtu akafanya agano lake na Mungu.

    Yeye aliazimia mambo kazaa moja

    1.nikumfuata Bwana
    2.kuyashika maagizo yote.
    3.kuzifuata shuhuda zake .
    4.kuzifuata na kutii amri zake .
    5.navyote hivi atavifanya kwa moyo wote na kwa roho yake yote.

    Baada ya mfalme Yosiah kufanya agano na Mungu wake matokeoa yake wengine wote wakalifuata lile agano .

    Uamsho ndivyo unavyo fanyika ni lazima wewe ulie amua kuwa mfuasi wa kristo uweke agano na Mungu ndipo matokeo yake wengine watakuja ndani ya agano lako.

    Na ndio wanavyo fanya wote waacha alama katika dunia.

    Sababu ya uchovu wa imani makanisa tunazani uamsho ni wa kila mtu na kuhimizana mara utasikia ibada ya uamsho no wafundishe watu wamjue roho mtakatifu lazima watakuwa wameamka.

    Nakukumbusha kuwa huyu mtu yeye alikuwa mwema na aliahidiwa kustarehe na kuishi maisha ya amani mpaka anakufa .

    Ukiendelea kusoma utaona jama alivunja sanamu zote ,ambazo baba zake waliweka kuziabudu alivunja,akawatoa makuhani wote waliowekwa, akawatoa makuhani wote ,mahanithi wote wanawake wafuma mapazia.

    Kama watu tunataka kuwa chanzo cha uamsho lazima lazima ukubali kuacha asili yako na kama yosiah alivyo acha na kumfuatq bwana.

    Kuna mtu mwingine pia anaitwa Yoshua pia alipo taka kurudisha kanisa maala pake aliwapa chaguo lakini yeye alikuwa na azimio lake ndani ya moyo wake.

    Yoshua 24:15-16
    [15]Nanyi kama mkiona ni vibaya kumtumikia BWANA, chagueni hivi leo mtakayemtumikia; kwamba ni miungu ile ambayo baba zenu waliitumikia ng’ambo ya Mto, au kwamba ni miungu ya wale Waamori ambao mnakaa katika nchi yao; lakini mimi na nyumba yangu tutamtumikia BWANA.
    .
    [16]Hao watu wakajibu wakasema, Hasha! Tusimwache BWANA, ili kuitumikia miungu mingine;

    Islaeri walipo anza kufuata miungu mingine alilazimika kuonyesha njia na njia hiyo ni kuwapa watu chaguo huku yeye akifanya agano na Mungu.

    Mchungaji kabla ujawaza kuhusu uamsho jiulize wewe je umeazimia kumfuata bwana kama shujaaa wako au na wewe una mashaka.

    Kama unapenda kujifunza zaidi neno karibu katika group la watsap.
    https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4

    Ok naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (Build new eden)

    #build new eden
    #restore men position
    UAMSHO. Maana ni kurudi kwenye uzima. Ni mminiko wa nguvu na uwepo wa Mungu ndani ya mtu uletao kibali ,neema na baraka. Uamsho ni uziilisho wa roho mtakatifu ndani ya mtu na kuleta matokeo chanya. Kwa kawaida tunaamsha kitu kilicho lala ,ko lengo la somo hili ni kurejesha uzimani nafsi ya mtu mmoja mmoja . Uamsho ni jambo linalo anza na mtu kisha matokeo ya uamsho ndiyo yanayo tukuta sote. Mfano mfalme Yosiah alilisi ufalme baada ya baba yake kufa na baba yake alikuwa mfalme Ahazia ambaye akufanya mema machoni pa Bwana. 2 Wafalme 22:13 [13]Enendeni, mkamwulize BWANA kwa ajili yangu, na kwa ajili ya watu hawa, na kwa ajili ya Yuda yote, katika habari za maneno ya kitabu hiki kilichoonekana; kwa kuwa hasira ya BWANA ni kubwa aliyotukasirikia, kwa sababu baba zetu hawakuyaangalia maneno ya kitabu hiki, kufanya kama hayo yote tuliyoandikiwa. Baada ya kuuliza sasa sikiliza jawabu alilo pewa . [16]BWANA asema hivi, Tazama, mimi nitaleta uovu juu ya mahali hapa, na juu yao wakaao hapa, naam, maneno yote ya kitabu alichokisoma mfalme wa Yuda; [17]kwa sababu wameniacha mimi, wameifukizia uvumba miungu mingine, ili wapate kunikasirisha kwa kazi yote ya mikono yao; kwa hiyo hasira yangu itawaka juu ya mahali hapa, isizimike Kumbe kuna mambo unayapatia sababu tu walio kutangulia waliyafanya ndio maana tunahitqji uamsho. muda wa uamsho ndani ya nyumba ya baba yake na taifa lote ulifika . Kilicho fanya yuda uqmsho uje ni baada ya kusikia habari za kitabu cha torati ambalo leo hii ndio neno la Mungu. 2wafalme 22:18-20. Ukisoma hapo utaona alivho kifanya baada ya kusikia habari za kitabu aliamua kukusanya wafalme wa yuda wote kwa ajiri ya kuwaambia . Na alipo wakusanya kwa kuwa uamsho ni wa mtu akafanya agano lake na Mungu. Yeye aliazimia mambo kazaa moja 1.nikumfuata Bwana 2.kuyashika maagizo yote. 3.kuzifuata shuhuda zake . 4.kuzifuata na kutii amri zake . 5.navyote hivi atavifanya kwa moyo wote na kwa roho yake yote. Baada ya mfalme Yosiah kufanya agano na Mungu wake matokeoa yake wengine wote wakalifuata lile agano . Uamsho ndivyo unavyo fanyika ni lazima wewe ulie amua kuwa mfuasi wa kristo uweke agano na Mungu ndipo matokeo yake wengine watakuja ndani ya agano lako. Na ndio wanavyo fanya wote waacha alama katika dunia. Sababu ya uchovu wa imani makanisa tunazani uamsho ni wa kila mtu na kuhimizana mara utasikia ibada ya uamsho no wafundishe watu wamjue roho mtakatifu lazima watakuwa wameamka. Nakukumbusha kuwa huyu mtu yeye alikuwa mwema na aliahidiwa kustarehe na kuishi maisha ya amani mpaka anakufa . Ukiendelea kusoma utaona jama alivunja sanamu zote ,ambazo baba zake waliweka kuziabudu alivunja,akawatoa makuhani wote waliowekwa, akawatoa makuhani wote ,mahanithi wote wanawake wafuma mapazia. Kama watu tunataka kuwa chanzo cha uamsho lazima lazima ukubali kuacha asili yako na kama yosiah alivyo acha na kumfuatq bwana. Kuna mtu mwingine pia anaitwa Yoshua pia alipo taka kurudisha kanisa maala pake aliwapa chaguo lakini yeye alikuwa na azimio lake ndani ya moyo wake. Yoshua 24:15-16 [15]Nanyi kama mkiona ni vibaya kumtumikia BWANA, chagueni hivi leo mtakayemtumikia; kwamba ni miungu ile ambayo baba zenu waliitumikia ng’ambo ya Mto, au kwamba ni miungu ya wale Waamori ambao mnakaa katika nchi yao; lakini mimi na nyumba yangu tutamtumikia BWANA. . [16]Hao watu wakajibu wakasema, Hasha! Tusimwache BWANA, ili kuitumikia miungu mingine; Islaeri walipo anza kufuata miungu mingine alilazimika kuonyesha njia na njia hiyo ni kuwapa watu chaguo huku yeye akifanya agano na Mungu. Mchungaji kabla ujawaza kuhusu uamsho jiulize wewe je umeazimia kumfuata bwana kama shujaaa wako au na wewe una mashaka. Kama unapenda kujifunza zaidi neno karibu katika group la watsap. https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4 Ok naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (Build new eden) #build new eden #restore men position
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·591 Visualizações
  • Sefania 1:15,17-18
    [15]Siku ile ni siku ya ghadhabu,
    Siku ya fadhaa na dhiki,
    Siku ya uharibifu na ukiwa,
    Siku ya giza na utusitusi,
    Siku ya mawingu na giza kuu,

    [17]Nami nitawaletea wanadamu dhiki, hata watakwenda kama vipofu, kwa sababu wamemtenda BWANA dhambi; na damu yao itamwagwa kama mavumbi, na nyama yao kama mavi.
    .
    [18]Fedha yao wala dhahabu yao havitaweza kuwaokoa katika siku ile ya ghadhabu ya BWANA; bali nchi yote pia itateketezwa kwa moto wa wivu wake; maana atawakomesha watu wote wakaao katika nchi hii, naam, ukomo wa kutisha.

    Siku ngumu sana siku ile kila mwanadamu atalipwa kadiri ya matendo yake .

    Siku ile inayozungumzwa hapo ni siku ya mwisho ambayo ipo katika nafasi tofauti siku ya kutwaliwa kwako kama ukutenda wema ni siku ya dhiki na giza kwako kwani hakuta hakuta kuwa na nafasi nyingine ya kutengeneza.

    Mungu hutoa nafasi ya kutengeneza mara moja tu ambayo ni kipindi uko hai matendo yako ndo ufunguo wa nuru yako au giza yako.

    Mwanadamu anajivunia fedha na uchumi wake au vitu vyake siku ile havita kuokoa badala yake utaviacha wakati wewe unaishi katika giza nene la kutisha na uku ukiteseka kuzimu kisha ukiusubiri moto.

    Mpokeee Yesu leo , tengeneza maisha yako kabla hii siku ya dhiki na uovu haijafika kwa maisha yako ili ukapumzike kifuani pa Ibrahimu umwakati ukisubiri ile siku kuu.

    Yoeli 2:3
    [3]Moto unakula mbele yao; na nyuma yao miali ya moto inateketeza; hiyo nchi inafanana na bustani ya Adeni mbele yao, na nyuma yao imekuwa jangwa tupu; naam, hakuna aliyeokoka asipatikane nao.

    Dhambi itasababisha nchi kuwa giza nene na kila mtu atalia kilio kikuu sababu tu ya uovu.

    Siku hiyo iko karibu mno badili maisha yako leo hii Yesu aingie kwako ili siku ile ya dhiki na giza Bwana awe msaada wako tele na upumzike kwa wema wako.

    Ufunuo wa Yohana 22:11
    [11]Mwenye kudhulumu na azidi kudhulumu; na mwenye uchafu na azidi kuwa mchafu; na mwenye haki na azidi kufanya haki; na mtakatifu na azidi kutakaswa.

    Badilisha njia zako asubui hii na Yesu akupe kushinda sawa sawa na neno lake

    Ufunuo wa Yohana 16:15
    [15](Tazama, naja kama mwivi. Heri akeshaye, na kuyatunza mavazi yake, asiende uchi hata watu wakaione aibu yake.)

    Shika sana ulicho nacho ndugu yangu usije ukaikosa mbingu.

    Tunza sana karama ns huduma yako usije ukaingia katika ile siku ya dhiki badala yako iwe siku ya ushindi.

    Ufunuo wa Yohana 22:12,14
    [12]Tazama, naja upesi, na ujira wangu u pamoja nami, kumlipa kila mtu kama kazi yake ilivyo.

    [14]Heri wazifuao nguo zao, wawe na amri kuuendea huo mti wa uzima, na kuingia mjini kwa milango yake.

    Zidi kujitakasa kila siku ili siku ile ikikute umefua na uko na mavazi safi kwa sjiri ya kwenda na Bwana.

    Ok naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new ede )

    #build new eden
    #restore men position
    Sefania 1:15,17-18 [15]Siku ile ni siku ya ghadhabu, Siku ya fadhaa na dhiki, Siku ya uharibifu na ukiwa, Siku ya giza na utusitusi, Siku ya mawingu na giza kuu, [17]Nami nitawaletea wanadamu dhiki, hata watakwenda kama vipofu, kwa sababu wamemtenda BWANA dhambi; na damu yao itamwagwa kama mavumbi, na nyama yao kama mavi. . [18]Fedha yao wala dhahabu yao havitaweza kuwaokoa katika siku ile ya ghadhabu ya BWANA; bali nchi yote pia itateketezwa kwa moto wa wivu wake; maana atawakomesha watu wote wakaao katika nchi hii, naam, ukomo wa kutisha. Siku ngumu sana siku ile kila mwanadamu atalipwa kadiri ya matendo yake . Siku ile inayozungumzwa hapo ni siku ya mwisho ambayo ipo katika nafasi tofauti siku ya kutwaliwa kwako kama ukutenda wema ni siku ya dhiki na giza kwako kwani hakuta hakuta kuwa na nafasi nyingine ya kutengeneza. Mungu hutoa nafasi ya kutengeneza mara moja tu ambayo ni kipindi uko hai matendo yako ndo ufunguo wa nuru yako au giza yako. Mwanadamu anajivunia fedha na uchumi wake au vitu vyake siku ile havita kuokoa badala yake utaviacha wakati wewe unaishi katika giza nene la kutisha na uku ukiteseka kuzimu kisha ukiusubiri moto. Mpokeee Yesu leo , tengeneza maisha yako kabla hii siku ya dhiki na uovu haijafika kwa maisha yako ili ukapumzike kifuani pa Ibrahimu umwakati ukisubiri ile siku kuu. Yoeli 2:3 [3]Moto unakula mbele yao; na nyuma yao miali ya moto inateketeza; hiyo nchi inafanana na bustani ya Adeni mbele yao, na nyuma yao imekuwa jangwa tupu; naam, hakuna aliyeokoka asipatikane nao. Dhambi itasababisha nchi kuwa giza nene na kila mtu atalia kilio kikuu sababu tu ya uovu. Siku hiyo iko karibu mno badili maisha yako leo hii Yesu aingie kwako ili siku ile ya dhiki na giza Bwana awe msaada wako tele na upumzike kwa wema wako. Ufunuo wa Yohana 22:11 [11]Mwenye kudhulumu na azidi kudhulumu; na mwenye uchafu na azidi kuwa mchafu; na mwenye haki na azidi kufanya haki; na mtakatifu na azidi kutakaswa. Badilisha njia zako asubui hii na Yesu akupe kushinda sawa sawa na neno lake Ufunuo wa Yohana 16:15 [15](Tazama, naja kama mwivi. Heri akeshaye, na kuyatunza mavazi yake, asiende uchi hata watu wakaione aibu yake.) Shika sana ulicho nacho ndugu yangu usije ukaikosa mbingu. Tunza sana karama ns huduma yako usije ukaingia katika ile siku ya dhiki badala yako iwe siku ya ushindi. Ufunuo wa Yohana 22:12,14 [12]Tazama, naja upesi, na ujira wangu u pamoja nami, kumlipa kila mtu kama kazi yake ilivyo. [14]Heri wazifuao nguo zao, wawe na amri kuuendea huo mti wa uzima, na kuingia mjini kwa milango yake. Zidi kujitakasa kila siku ili siku ile ikikute umefua na uko na mavazi safi kwa sjiri ya kwenda na Bwana. Ok naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new ede ) #build new eden #restore men position
    Love
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·540 Visualizações
  • "Aziniye na mwanamke ana akiri kabisa "

    Sio tu ni dhambi bali ni kuwa unakosa akiri kabisa .

    Na ukikosa akiri kabisa na Mungu wetu ni Mungu wa maarifa lazima ujitenge naye .

    Ukitaka kujua muulize daudi baada ya kuzini na mke wa mtu na kumuiba kabisa nini kilitokea alibidi alie kuitafuta toba na kurudisha akiri yake.

    Ndio ni kweli wanakuita sukari wa walembo lakini unafuraha kwani uhalisia uko hivi .

    Kila mwanaume anaye zini akimaliza tu tendo anaanza kujuta kwanini kafanya hivyo.

    Nasema hivi Mungu akinipa uzima na kibali chake nitafundisha juu ya nguvu ya agano na katika hilo utakuja kuelewa maana halisi ya mwanamke kuwa na bikra .

    Ok wewe ndo sukari pasipo kujua kila mwanamke uliye lala naye kuna aina ya nguvu yako inaondoka na anakuachia mapepo kama ni mtu wa mapepo .

    Vijana sex ni tendo la agano linalo simamiwa na kiapo cha mbele ya watu na agano la kitanda ndio watu wanaita tendo la ndoa


    Sababu ya kuto kujua unawaiga wazungu ambao walio wengi wenzako wlisha iachaga imani siku nyingi .

    Sijui nataka kusema nini kila ulipo lala na huyo binti kuna ongezeko limetokea au umebaki na balaa na kuanza kusumbua watu wa Mungu.

    Na kuna tuvijana tuchurch boy mchana usiku getho tumevusha hili halikubaliki kabisa ..

    Ok ngoja nikuache my ndugu lakini sulemani na urijali wake wote anakuja kumaliza kwa kusema wote ni ubatili mtupu na kusema pia mkumbuke muumba wako siku za ujana wako "

    Najua sijakufuraisha ila usisahau jina langu pia naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden)

    #restore men position
    Build new eden
    "Aziniye na mwanamke ana akiri kabisa " Sio tu ni dhambi bali ni kuwa unakosa akiri kabisa . Na ukikosa akiri kabisa na Mungu wetu ni Mungu wa maarifa lazima ujitenge naye . Ukitaka kujua muulize daudi baada ya kuzini na mke wa mtu na kumuiba kabisa nini kilitokea alibidi alie kuitafuta toba na kurudisha akiri yake. Ndio ni kweli wanakuita sukari wa walembo lakini unafuraha kwani uhalisia uko hivi . Kila mwanaume anaye zini akimaliza tu tendo anaanza kujuta kwanini kafanya hivyo. Nasema hivi Mungu akinipa uzima na kibali chake nitafundisha juu ya nguvu ya agano na katika hilo utakuja kuelewa maana halisi ya mwanamke kuwa na bikra . Ok wewe ndo sukari pasipo kujua kila mwanamke uliye lala naye kuna aina ya nguvu yako inaondoka na anakuachia mapepo kama ni mtu wa mapepo . Vijana sex ni tendo la agano linalo simamiwa na kiapo cha mbele ya watu na agano la kitanda ndio watu wanaita tendo la ndoa Sababu ya kuto kujua unawaiga wazungu ambao walio wengi wenzako wlisha iachaga imani siku nyingi . Sijui nataka kusema nini kila ulipo lala na huyo binti kuna ongezeko limetokea au umebaki na balaa na kuanza kusumbua watu wa Mungu. Na kuna tuvijana tuchurch boy mchana usiku getho tumevusha hili halikubaliki kabisa .. Ok ngoja nikuache my ndugu lakini sulemani na urijali wake wote anakuja kumaliza kwa kusema wote ni ubatili mtupu na kusema pia mkumbuke muumba wako siku za ujana wako " Najua sijakufuraisha ila usisahau jina langu pia naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden) #restore men position Build new eden
    Wow
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·486 Visualizações
  • 14 /21 Yesu ni vyote zaidi ya vyote.

    *Petro kauliza tumeacha vyote tumekufuata wewe tutapata nini?*

    Ndipo Petro aka mwambia, “Na sisi tulioacha kila kitu tukakufuata tutapata nini?”

    *Swali hili no swali gumu na kila aliye itwa na Mungu huanza kuliuliza lakini ukitulia vizuri utagundua yesu alimjibu Petro kwa vizuri sana.*

    28 Yesu akawajibu, “Ninawahakikishia kwamba, katika dunia mpya, wakati mimi Mwana wa Adamu nitakapoketi kwenye kiti changu cha utukufu cha enzi, ninyi mlionifuata pia mtaketi katika viti vya enzi kumi na viwili, mkiyahukumu yale makabila kumi na mawili ya Israeli.


    Utapata vyote vya duniani kisha uzima ule wa milele.

    29 Na kila mtu aliyeacha nyumba au ndugu zake au dada zake au baba au mama au watoto wake au mashamba kwa ajili ya jina langu, atapokea mara mia zaidi ya hayo, na atarithi uzima wa milele.

    *Kumbe kadiri unavyo acha kwa ajiri ya injiri ndivyo unavyo pata.*

    Na hili linatimia pale mfalme alipo omba hekima ya kuamua na kuongoza Mungu akampa vyote zaidi ya vyote.

    *Watu wa Mungu ni muhimu sana kujua kuwa kama Mungu amekutenga kwa ajiri ya kazi yake pia hawezi kukuacha hivi hivi lazima tu atakubaliki zaidi .*

    Kumbe kuhimu sana ni utii wa lile kusudi ulilopewa na Mungu .

    Najua hata wewe unajiuliza swali lile lile kuwa nitapata nini nikimfuata Yesu utapata vyote vya duniani kisha mbinguni uzima wa milele na kutawala na Kristo.

    *Walio kubali kumfuata yesu ndio wanapaswa kuitwa vichwa na wala si mkia kwa kuwa yesu ni kichwa cha kanisa kumbe hata sisi ni vichwa mara zote .Ko ni wewe tu kuamua kumfuata yeye ambaye ni zaidi ya vyote.*

    Maandiko yanasema mjue sana Mungu ndipo mema ya kufuate ,kumbe ili yakufuate kuna kanuni yake lazima umjue sana na kumjua ndiko kumuishi (kumfuata ).

    *Ok ni vyema jion hii ukamtaka Yesu ambaye ni vyote zaidi ya vyote ili awe Bwana na mwokozi wa maisha yako na akabadilisha historia yako yote.*

    Ahsante sana naitwa sylvester Mwakabende (build new eden) .

    #build new eden
    #restore men position
    14 /21 Yesu ni vyote zaidi ya vyote. *Petro kauliza tumeacha vyote tumekufuata wewe tutapata nini?* Ndipo Petro aka mwambia, “Na sisi tulioacha kila kitu tukakufuata tutapata nini?” *Swali hili no swali gumu na kila aliye itwa na Mungu huanza kuliuliza lakini ukitulia vizuri utagundua yesu alimjibu Petro kwa vizuri sana.* 28 Yesu akawajibu, “Ninawahakikishia kwamba, katika dunia mpya, wakati mimi Mwana wa Adamu nitakapoketi kwenye kiti changu cha utukufu cha enzi, ninyi mlionifuata pia mtaketi katika viti vya enzi kumi na viwili, mkiyahukumu yale makabila kumi na mawili ya Israeli. Utapata vyote vya duniani kisha uzima ule wa milele. 29 Na kila mtu aliyeacha nyumba au ndugu zake au dada zake au baba au mama au watoto wake au mashamba kwa ajili ya jina langu, atapokea mara mia zaidi ya hayo, na atarithi uzima wa milele. *Kumbe kadiri unavyo acha kwa ajiri ya injiri ndivyo unavyo pata.* Na hili linatimia pale mfalme alipo omba hekima ya kuamua na kuongoza Mungu akampa vyote zaidi ya vyote. *Watu wa Mungu ni muhimu sana kujua kuwa kama Mungu amekutenga kwa ajiri ya kazi yake pia hawezi kukuacha hivi hivi lazima tu atakubaliki zaidi .* Kumbe kuhimu sana ni utii wa lile kusudi ulilopewa na Mungu . Najua hata wewe unajiuliza swali lile lile kuwa nitapata nini nikimfuata Yesu utapata vyote vya duniani kisha mbinguni uzima wa milele na kutawala na Kristo. *Walio kubali kumfuata yesu ndio wanapaswa kuitwa vichwa na wala si mkia kwa kuwa yesu ni kichwa cha kanisa kumbe hata sisi ni vichwa mara zote .Ko ni wewe tu kuamua kumfuata yeye ambaye ni zaidi ya vyote.* Maandiko yanasema mjue sana Mungu ndipo mema ya kufuate ,kumbe ili yakufuate kuna kanuni yake lazima umjue sana na kumjua ndiko kumuishi (kumfuata ). *Ok ni vyema jion hii ukamtaka Yesu ambaye ni vyote zaidi ya vyote ili awe Bwana na mwokozi wa maisha yako na akabadilisha historia yako yote.* Ahsante sana naitwa sylvester Mwakabende (build new eden) . #build new eden #restore men position
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·777 Visualizações
  • MTAKATIFU ANAYE ISHI PART TWO.

    MTAZAMO CHANYA KUHUSU UTAKATIFU.

    1.*UTAKATIFU NI KUTENGWA*(KUKUBALI KUACHA)

    Dunia inamtazamo wake kuhusu utakatifu na Mbingu pia ina mtazamo wake kuhusu utakatifu.

    *Kitendo cha biblia kukufahamu kama mtakatifu ni lazima Mungu awe amekutenga kwa kusudi maalamu.*

    Kila aliye okoka ni kiungo katika kuukamilisha mwili wa Kristo katika eneo alilo itiwa .inaweza kuwa uchungaji ,ualimu ,uinjiristi ,,biashara ,siasa , utumishi wa uma nk .

    *Na nieleweke zaidi ninapo sema "Kutengwa" au "kuitwa '' simahanishi kuwa muhudumu wa madhabau peke yake hapana na maanisha kila jambo unalo lifanya ukiokoka na ukafanya sawa sawa na mapenzi ya Mungu ndio wito wako wengine wameitwa kuwa wafanya biashara ,wengine watawala ,wengine wachungaji ,wengine ni wasomi na washauri ko kila mmoja katika gield yake anapaswa kujua ametengwa na "Mungu kuwa mtakatifu"*

    Warumi 1:1 *Paulo, mtumishi wa Kristo Yesu, aliyeitwa kuwa mtume na kutengwa kwa ajili ya Injili ya Mungu*

    Paulo yeye alitengwa kwa ajiri ya injiri ya mataifa ,mimi sijui wewe umeitwa katika karia gani ila najenga msingi kuwa katika field uliyo itwa Bwana amekutenga uwe mtakatifu.

    Warumi 12:2. *Wala msiifuatishe namna ya dunia hii; bali mgeuzwe kwa kufanywa upya nia zenu, mpate kujua hakika mapenzi ya Mungu yaliyo mema, ya kumpendeza, na ukamilifu.*

    Kumbuka kuwa Mungu alimuumba mwanadamu ili awe mkamirifu .

    Ndo mana ni rahisi sana kwa mtucasite jua wokovu kuona kama utakatifu unapaswa kuzingatiwa na makuhani peke yake ,

    *Lakini uhalisia utakatifu ni maisha ya mwamini kila wakati na mwamini lazima ujue wewe ni barua unasomwa na wengi*

    Mifano ya watu ambao hawakuwa makuhani wala manabii ila waliupendeza moyo wa Mungu .

    *-Daudi alipendezwa na Mungu na akuwa kuhani wala nabii alikuwa mwanasiasa (mfalme) wa nchi lakini kiwango cha unyenyekevu wake kilimpendeza Mungu.*

    -Daniel akuwa nabii lakini alikuwa mwanasiasa kwa maana ya (ukuu wa wilaya) lugha nyepesi kada wa mlengo wa mfalme (mwanasiasa) lakini alisimama na kukubali kutengwa na kutimiza kusudi la Mungu ata katika ugenini.

    Danieli 10:12. *Aliitwa apendwaye sana sibahati bali ni kwa sababu alikubali kujitenga na kuishi utakatifu , ni wewe tu mwokovu wa leo unaona kama kuishi utakatifu haiwezekani .*

    -Yusuph alikuwa si muhubiri pia wala kuhani lakini alichagua kujitenga na uharibifu wa zinaa na alikuwa mwanasiasa karsmatic leader ko ni wewe tu blaza unatumia ushawishi wako vibaya .

    *Ok nataka kusema hivi kama kila mtu ataamua kuwa barua ya kristo katika eneo alilo itiwa basi jua kabisa tutmpendeza Mungu cna baraka zitatufuata duniani kisha uzima wa milele .*

    Utakatifu ni maisha siyo tukio ukiweza kujua hilo basi utakuwa uleishu kadiri roho apendavyo.

    Ok naitwa sylvester kutoka (build new eden ) kwa mafundisho zaidi unaweza nitafuta kwa namba 0622625340 ni ku add kwenye mfululizo wa mafundisho .

    #build new eden
    #restore men position
    MTAKATIFU ANAYE ISHI PART TWO. MTAZAMO CHANYA KUHUSU UTAKATIFU. 1.*UTAKATIFU NI KUTENGWA*(KUKUBALI KUACHA) Dunia inamtazamo wake kuhusu utakatifu na Mbingu pia ina mtazamo wake kuhusu utakatifu. *Kitendo cha biblia kukufahamu kama mtakatifu ni lazima Mungu awe amekutenga kwa kusudi maalamu.* Kila aliye okoka ni kiungo katika kuukamilisha mwili wa Kristo katika eneo alilo itiwa .inaweza kuwa uchungaji ,ualimu ,uinjiristi ,,biashara ,siasa , utumishi wa uma nk . *Na nieleweke zaidi ninapo sema "Kutengwa" au "kuitwa '' simahanishi kuwa muhudumu wa madhabau peke yake hapana na maanisha kila jambo unalo lifanya ukiokoka na ukafanya sawa sawa na mapenzi ya Mungu ndio wito wako wengine wameitwa kuwa wafanya biashara ,wengine watawala ,wengine wachungaji ,wengine ni wasomi na washauri ko kila mmoja katika gield yake anapaswa kujua ametengwa na "Mungu kuwa mtakatifu"* Warumi 1:1 *Paulo, mtumishi wa Kristo Yesu, aliyeitwa kuwa mtume na kutengwa kwa ajili ya Injili ya Mungu* Paulo yeye alitengwa kwa ajiri ya injiri ya mataifa ,mimi sijui wewe umeitwa katika karia gani ila najenga msingi kuwa katika field uliyo itwa Bwana amekutenga uwe mtakatifu. Warumi 12:2. *Wala msiifuatishe namna ya dunia hii; bali mgeuzwe kwa kufanywa upya nia zenu, mpate kujua hakika mapenzi ya Mungu yaliyo mema, ya kumpendeza, na ukamilifu.* Kumbuka kuwa Mungu alimuumba mwanadamu ili awe mkamirifu . Ndo mana ni rahisi sana kwa mtucasite jua wokovu kuona kama utakatifu unapaswa kuzingatiwa na makuhani peke yake , *Lakini uhalisia utakatifu ni maisha ya mwamini kila wakati na mwamini lazima ujue wewe ni barua unasomwa na wengi* Mifano ya watu ambao hawakuwa makuhani wala manabii ila waliupendeza moyo wa Mungu . *-Daudi alipendezwa na Mungu na akuwa kuhani wala nabii alikuwa mwanasiasa (mfalme) wa nchi lakini kiwango cha unyenyekevu wake kilimpendeza Mungu.* -Daniel akuwa nabii lakini alikuwa mwanasiasa kwa maana ya (ukuu wa wilaya) lugha nyepesi kada wa mlengo wa mfalme (mwanasiasa) lakini alisimama na kukubali kutengwa na kutimiza kusudi la Mungu ata katika ugenini. Danieli 10:12. *Aliitwa apendwaye sana sibahati bali ni kwa sababu alikubali kujitenga na kuishi utakatifu , ni wewe tu mwokovu wa leo unaona kama kuishi utakatifu haiwezekani .* -Yusuph alikuwa si muhubiri pia wala kuhani lakini alichagua kujitenga na uharibifu wa zinaa na alikuwa mwanasiasa karsmatic leader ko ni wewe tu blaza unatumia ushawishi wako vibaya . *Ok nataka kusema hivi kama kila mtu ataamua kuwa barua ya kristo katika eneo alilo itiwa basi jua kabisa tutmpendeza Mungu cna baraka zitatufuata duniani kisha uzima wa milele .* Utakatifu ni maisha siyo tukio ukiweza kujua hilo basi utakuwa uleishu kadiri roho apendavyo. Ok naitwa sylvester kutoka (build new eden ) kwa mafundisho zaidi unaweza nitafuta kwa namba 0622625340 ni ku add kwenye mfululizo wa mafundisho . #build new eden #restore men position
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·966 Visualizações
  • MAOMBI YANAYO JIBIWA SEHEMU YAPILI.

    *Mungu huwa awezi kutenda kinyume na neno lake hii ndiyo sababu inatufanya tuombe kwa kumkumbusha ahadi zake.*

    Mungu aliapa kwa neno nafsi yake kumbariki Abraham na mpaka leo islaeri yote huesabika kuwa waendelewa sababu tu ya neno alilo mwapia ibrahimu.

    *Kwanini basi tunapaswa kuomba kwa kutumia neno.*

    1.Tunayajua mapenzi yake kupitia neno lake.

    Na huu ndio ujasiri tulio nao kwake, ya kuwa, tukiomba kitu sawasawa na mapenzi yake, atusikia.

    *Kumbe ili usikike kirahisi lazima umkumbushe mapenzi yake kwako kupitia neno lake.*

    Mathayo 6:10. "Mapenzi yako yatimizwe hapa duniani kama huko mbinguni."

    *Hii ni sehemu ya sala aliyo wafundisha Yesu mwenyewe kuwa wakati wakuomba lazima uyaombe mapenzi ya Mungu yatimilike na hayawezi timilika bila neno lake.*

    Na mapenzi ya Mungu yanapatikana au yanasikika kupitia neno lake.

    2.Neno la mungu lina mamlaka .

    Yohana 1;3-5
    *Vyote vilifanyika kwa huyo; wala pasipo yeye hakikufanyika chochote kilichofanyika. 4 Ndani yake ndimo ulimokuwa uzima, nao ule uzima ulikuwa nuru ya watu. 5 Nayo nuru yang'aa gizani, wala giza halikuiweza.*

    Neno ndo lenye mamlaka pasipo neno nuru haikuwapo.

    *Mungu mwenyewe katika uumbaji alianza kwanza na neno ndipo ikawa ,*,

    Kumbe neno ndilo utupa mamlaka ya kumkemea muovu na mamlaka .

    *Neno ndio funguo yenye mamlaka ya kupokea au kutokupokea kwani Mungu anapo sikiliza maombi anatazama neno lake linasema nini.*

    Ebrania 4:12-13
    Paulo katika mistali anaonyesha mamlaka na nguvu za neno la Mungu,1.liko hai 2.linanguvu kweli kweli .
    33.ni kali kama kupanga ukatao kuwili .

    *Ok ukisoma mstali kwa mstali ebrania 4;12-13 utoana ni kwa jinsi gani neno la Mungu lina nguvu kweli kweli.*

    Turudi msalabani tumkumbushe Mungu kupitia ahadi zake kupitia neno lake.

    Marko 16:17
    *Nazo ishara hizi zitafuatana na wanaoamini: Kwa Jina langu watatoa pepo wachafu; watasema kwa lugha mpya*

    *Ni neno lake ndilo linalo tuwezesha kupata mamlaka .si kitu kingine chochote.*

    Natamani leo tukiomba tuombe kwa kupitia neno lake ili Mungu Atujibu sawasawa na neno lake.

    Ahsante sana naitwa sylvester Mwakabende kutoka (Build new eden)
    #build new eden
    #restore men position
    MAOMBI YANAYO JIBIWA SEHEMU YAPILI. *Mungu huwa awezi kutenda kinyume na neno lake hii ndiyo sababu inatufanya tuombe kwa kumkumbusha ahadi zake.* Mungu aliapa kwa neno nafsi yake kumbariki Abraham na mpaka leo islaeri yote huesabika kuwa waendelewa sababu tu ya neno alilo mwapia ibrahimu. *Kwanini basi tunapaswa kuomba kwa kutumia neno.* 1.Tunayajua mapenzi yake kupitia neno lake. Na huu ndio ujasiri tulio nao kwake, ya kuwa, tukiomba kitu sawasawa na mapenzi yake, atusikia. *Kumbe ili usikike kirahisi lazima umkumbushe mapenzi yake kwako kupitia neno lake.* Mathayo 6:10. "Mapenzi yako yatimizwe hapa duniani kama huko mbinguni." *Hii ni sehemu ya sala aliyo wafundisha Yesu mwenyewe kuwa wakati wakuomba lazima uyaombe mapenzi ya Mungu yatimilike na hayawezi timilika bila neno lake.* Na mapenzi ya Mungu yanapatikana au yanasikika kupitia neno lake. 2.Neno la mungu lina mamlaka . Yohana 1;3-5 *Vyote vilifanyika kwa huyo; wala pasipo yeye hakikufanyika chochote kilichofanyika. 4 Ndani yake ndimo ulimokuwa uzima, nao ule uzima ulikuwa nuru ya watu. 5 Nayo nuru yang'aa gizani, wala giza halikuiweza.* Neno ndo lenye mamlaka pasipo neno nuru haikuwapo. *Mungu mwenyewe katika uumbaji alianza kwanza na neno ndipo ikawa ,*, Kumbe neno ndilo utupa mamlaka ya kumkemea muovu na mamlaka . *Neno ndio funguo yenye mamlaka ya kupokea au kutokupokea kwani Mungu anapo sikiliza maombi anatazama neno lake linasema nini.* Ebrania 4:12-13 Paulo katika mistali anaonyesha mamlaka na nguvu za neno la Mungu,1.liko hai 2.linanguvu kweli kweli . 33.ni kali kama kupanga ukatao kuwili . *Ok ukisoma mstali kwa mstali ebrania 4;12-13 utoana ni kwa jinsi gani neno la Mungu lina nguvu kweli kweli.* Turudi msalabani tumkumbushe Mungu kupitia ahadi zake kupitia neno lake. Marko 16:17 *Nazo ishara hizi zitafuatana na wanaoamini: Kwa Jina langu watatoa pepo wachafu; watasema kwa lugha mpya* *Ni neno lake ndilo linalo tuwezesha kupata mamlaka .si kitu kingine chochote.* Natamani leo tukiomba tuombe kwa kupitia neno lake ili Mungu Atujibu sawasawa na neno lake. Ahsante sana naitwa sylvester Mwakabende kutoka (Build new eden) #build new eden #restore men position
    Love
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·783 Visualizações
  • JE, UNAMLETEA UHAI MPENZI WAKO, AU UNALETA KISU?

    Upendo unakusudiwa kujenga, sio kuvunja. Uhusiano unakusudiwa kuwa patakatifu, sio kichinjio. Nafsi mbili zinapokutana, zinapaswa kuleta uhai kwa kila mmoja, sio majeraha, sio makovu, sio huzuni. Hata hivyo, ukweli wa kusikitisha ni kwamba watu wengi huingia kwenye mahusiano wakitarajia kupendwa lakini hupokea maumivu. Wanatazamia furaha lakini wanakutana na taabu. Badala ya mwenzi anayeleta uzima, wanajikuta wanaishi na mtu ambaye ana kisu, akipunguza ujasiri wao, amani na heshima. Kwa hiyo, unaleta uhai kwa mpenzi wako, au unaleta kisu? Upendo unakusudiwa kumpa uhai yule unayedai kumpenda. Katika Mwanzo Mungu alimpulizia Adamu pumzi ya uhai, naye akawa nafsi hai. Kwa njia hiyo hiyo, uhusiano unapaswa kupumua maisha ndani ya mtu, sio kukimbia maisha kutoka kwao. Unapomhimiza mwenzako kufuata ndoto zake, unaleta uzima. Unapozungumza maneno ya fadhili, heshima, na uthibitisho, unaleta uzima. Unapovumilia mapungufu yao na kutembea nao katika mapambano yao, unaleta uhai. Wakati uwepo wako ni chanzo cha amani na si chanzo cha msongo wa mawazo, unaleta uhai. Upendo haupaswi kamwe kuhisi kama kutembea kwenye uwanja wa vita, ambapo kila neno, kila kitendo na kila siku huhisi kama kupigania kuishi. Mpenzi wako hapaswi kujisikia salama nje kuliko ndani ya uhusiano. Ikiwa unampenda mtu, anapaswa kustawi chini ya upendo wako, sio kukauka.

    Kisu sio lazima kiwe cha mwili kila wakati. Vidonda vingine huenda zaidi kuliko mwili; wanachoma roho. Baadhi yetu, badala ya kuleta uhai, kuleta kisu. Tunaleta kisu cha maneno makali, kukata ndani ya kujithamini kwa mpenzi wetu. Tunaleta kisu cha kulinganisha, na kuwafanya wahisi kama hawatoshi vya kutosha. Tunakuja na kisu cha kupuuza, na njaa ya upendo na tahadhari wanayotamani. Kwa namna fulani, pia kuja na kisu cha usaliti, ambapo uaminifu wetu ni kwa maneno tu lakini si kwa vitendo. Watu wengine wanakufa kihisia na kiroho kwa sababu ya mtu wanayempenda. Furaha yao inafifia taratibu. Kujiamini kwao kunatoweka. Kicheko chao hakitoki tena moyoni. Kwa nini? Kwa sababu aliyekusudiwa kuwalisha sasa ndiye anayewaangamiza. Je, wewe ni mtoaji wa uzima au mleta maumivu? Je, watu hupata amani mbele yako au wasiwasi wako? Je, unainua au kubomoa? Ikiwa mtu unayempenda anafurahi zaidi wakati haupo kuliko wakati haupo, ni ishara kwamba unaweza kuwa unaleta kisu, sio maisha. Upendo unapaswa kuwa kama bustani ambayo watu wawili hukua pamoja. Lakini upendo unawezaje kukua ikiwa mwenzi mmoja anamwaga maji wakati mwingine anamwaga sumu? Ikiwa mmoja anapanda mbegu wakati mwingine anang'oa? Chagua kusema maneno ya uhai badala ya maneno yanayoua kujiamini. Chagua kukumbatia dosari badala ya kuzitumia kama silaha. Chagua kuunga mkono ndoto badala ya kuzikejeli. Chagua kuwa mahali salama, sio eneo la vita.

    Upendo unapaswa kuwa zawadi, sio mzigo. Baraka, si laana. Nguvu ya uponyaji, sio chanzo cha majeraha. Je, katika maisha ya mwenzako wewe ni mganga au mharibifu? Unaleta uhai au kisu?

    Credit
    Albert Nwosu
    JE, UNAMLETEA UHAI MPENZI WAKO, AU UNALETA KISU? Upendo unakusudiwa kujenga, sio kuvunja. Uhusiano unakusudiwa kuwa patakatifu, sio kichinjio. Nafsi mbili zinapokutana, zinapaswa kuleta uhai kwa kila mmoja, sio majeraha, sio makovu, sio huzuni. Hata hivyo, ukweli wa kusikitisha ni kwamba watu wengi huingia kwenye mahusiano wakitarajia kupendwa lakini hupokea maumivu. Wanatazamia furaha lakini wanakutana na taabu. Badala ya mwenzi anayeleta uzima, wanajikuta wanaishi na mtu ambaye ana kisu, akipunguza ujasiri wao, amani na heshima. Kwa hiyo, unaleta uhai kwa mpenzi wako, au unaleta kisu? Upendo unakusudiwa kumpa uhai yule unayedai kumpenda. Katika Mwanzo Mungu alimpulizia Adamu pumzi ya uhai, naye akawa nafsi hai. Kwa njia hiyo hiyo, uhusiano unapaswa kupumua maisha ndani ya mtu, sio kukimbia maisha kutoka kwao. Unapomhimiza mwenzako kufuata ndoto zake, unaleta uzima. Unapozungumza maneno ya fadhili, heshima, na uthibitisho, unaleta uzima. Unapovumilia mapungufu yao na kutembea nao katika mapambano yao, unaleta uhai. Wakati uwepo wako ni chanzo cha amani na si chanzo cha msongo wa mawazo, unaleta uhai. Upendo haupaswi kamwe kuhisi kama kutembea kwenye uwanja wa vita, ambapo kila neno, kila kitendo na kila siku huhisi kama kupigania kuishi. Mpenzi wako hapaswi kujisikia salama nje kuliko ndani ya uhusiano. Ikiwa unampenda mtu, anapaswa kustawi chini ya upendo wako, sio kukauka. Kisu sio lazima kiwe cha mwili kila wakati. Vidonda vingine huenda zaidi kuliko mwili; wanachoma roho. Baadhi yetu, badala ya kuleta uhai, kuleta kisu. Tunaleta kisu cha maneno makali, kukata ndani ya kujithamini kwa mpenzi wetu. Tunaleta kisu cha kulinganisha, na kuwafanya wahisi kama hawatoshi vya kutosha. Tunakuja na kisu cha kupuuza, na njaa ya upendo na tahadhari wanayotamani. Kwa namna fulani, pia kuja na kisu cha usaliti, ambapo uaminifu wetu ni kwa maneno tu lakini si kwa vitendo. Watu wengine wanakufa kihisia na kiroho kwa sababu ya mtu wanayempenda. Furaha yao inafifia taratibu. Kujiamini kwao kunatoweka. Kicheko chao hakitoki tena moyoni. Kwa nini? Kwa sababu aliyekusudiwa kuwalisha sasa ndiye anayewaangamiza. Je, wewe ni mtoaji wa uzima au mleta maumivu? Je, watu hupata amani mbele yako au wasiwasi wako? Je, unainua au kubomoa? Ikiwa mtu unayempenda anafurahi zaidi wakati haupo kuliko wakati haupo, ni ishara kwamba unaweza kuwa unaleta kisu, sio maisha. Upendo unapaswa kuwa kama bustani ambayo watu wawili hukua pamoja. Lakini upendo unawezaje kukua ikiwa mwenzi mmoja anamwaga maji wakati mwingine anamwaga sumu? Ikiwa mmoja anapanda mbegu wakati mwingine anang'oa? Chagua kusema maneno ya uhai badala ya maneno yanayoua kujiamini. Chagua kukumbatia dosari badala ya kuzitumia kama silaha. Chagua kuunga mkono ndoto badala ya kuzikejeli. Chagua kuwa mahali salama, sio eneo la vita. Upendo unapaswa kuwa zawadi, sio mzigo. Baraka, si laana. Nguvu ya uponyaji, sio chanzo cha majeraha. Je, katika maisha ya mwenzako wewe ni mganga au mharibifu? Unaleta uhai au kisu? Credit Albert Nwosu
    Love
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·1K Visualizações
  • Ilichukua zaidi ya miezi mitatu kuzima moto mkubwa na kusafisha eneo la tukio. Ujenzi, ambao uligharimu mamia ya mamilioni ya dola, ulidumu hadi 2007.
    Ilichukua zaidi ya miezi mitatu kuzima moto mkubwa na kusafisha eneo la tukio. Ujenzi, ambao uligharimu mamia ya mamilioni ya dola, ulidumu hadi 2007.
    Like
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·410 Visualizações
  • Rwanda inalichukulia jeshi la Burundi kama tishio jingine la usalama katika eneo la mashariki mwa Jamhuri ya demokrasi ya Congo (DRC).

    Nchi inayopakana na Rwanda na DRC imekuwa na maelfu ya wanajeshi huko kwa miaka mingi.

    Walikwenda kuwafuatilia waasi wa Burundi lakini sasa wanasaidia jeshi la Kinshasa katika vita dhidi ya M23.

    Uhusiano kati ya Rwanda na Burundi ni mbaya.

    Nchi hizi mbili zina muundo wa kikabila unaofanana lakini kinyume na Rwanda, Hutu ndiyo wanaoshikilia madaraka nchini Burundi.

    Nchi zote mbili zimekashifiana kwa kudai kujaribu kuangusha serikali zao.

    Rais wa Burundi, Evariste Ndayishimiye, ametoa onyo kali kwenye mitandao ya kijamii.

    "Ikizidi, Rwanda itaendelea na mashambulizi," aliandika, "Najua vita vitafika Burundi… Siku moja atataka kuingia Burundi - hatutakubaliana na hilo. Vita vitapanuka."

    Tishio hili litakuwa kubwa zaidi ikiwa M23 itaendelea na mashambulizi kutoka Goma kuelekea mkoa wa Kivu kusini karibu na mpaka wa Burundi, ambapo vikosi vyake viko.

    "Kile kinachotafutwa na Burundi hapa ni kuokoa utawala wake," alisema Bw. Stearns.

    "Burundi inahofia kuwa kama vikosi vya Rwanda vitaimarisha ushawishi wao katika eneo la Kivu kusini, inaweza kuteteresha serikali ya Bujumbura. Kile kilicho hatarini hapa ni kuzima uasi huu kabla haujaingilia karibu zaidi."

    Wengine wanahofia kurudi kwa vita mbili zilizoshambulia eneo hilo mwishoni mwa miaka ya 1990, ambazo zilihusisha nchi tisa na kusababisha vifo vya mamilioni ya watu.

    Mara hii, mapigano ya moja kwa moja kati ya majeshi mawili yanaweza kupelekea mgogoro wa DRC kuvuka nje ya mipaka yake.
    (BBC Swahili)

    Rwanda inalichukulia jeshi la Burundi kama tishio jingine la usalama katika eneo la mashariki mwa Jamhuri ya demokrasi ya Congo (DRC). Nchi inayopakana na Rwanda na DRC imekuwa na maelfu ya wanajeshi huko kwa miaka mingi. Walikwenda kuwafuatilia waasi wa Burundi lakini sasa wanasaidia jeshi la Kinshasa katika vita dhidi ya M23. Uhusiano kati ya Rwanda na Burundi ni mbaya. Nchi hizi mbili zina muundo wa kikabila unaofanana lakini kinyume na Rwanda, Hutu ndiyo wanaoshikilia madaraka nchini Burundi. Nchi zote mbili zimekashifiana kwa kudai kujaribu kuangusha serikali zao. Rais wa Burundi, Evariste Ndayishimiye, ametoa onyo kali kwenye mitandao ya kijamii. "Ikizidi, Rwanda itaendelea na mashambulizi," aliandika, "Najua vita vitafika Burundi… Siku moja atataka kuingia Burundi - hatutakubaliana na hilo. Vita vitapanuka." Tishio hili litakuwa kubwa zaidi ikiwa M23 itaendelea na mashambulizi kutoka Goma kuelekea mkoa wa Kivu kusini karibu na mpaka wa Burundi, ambapo vikosi vyake viko. "Kile kinachotafutwa na Burundi hapa ni kuokoa utawala wake," alisema Bw. Stearns. "Burundi inahofia kuwa kama vikosi vya Rwanda vitaimarisha ushawishi wao katika eneo la Kivu kusini, inaweza kuteteresha serikali ya Bujumbura. Kile kilicho hatarini hapa ni kuzima uasi huu kabla haujaingilia karibu zaidi." Wengine wanahofia kurudi kwa vita mbili zilizoshambulia eneo hilo mwishoni mwa miaka ya 1990, ambazo zilihusisha nchi tisa na kusababisha vifo vya mamilioni ya watu. Mara hii, mapigano ya moja kwa moja kati ya majeshi mawili yanaweza kupelekea mgogoro wa DRC kuvuka nje ya mipaka yake. (BBC Swahili)
    Like
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·757 Visualizações
  • CHAGUA KINACHO FAIDA, SI KILE KINACHOSISIMUA...

    Maisha ni safari iliyojaa chaguzi, njia panda, na maamuzi ambayo yanaunda hatima yetu. Hata hivyo, katikati ya haya yote, moja ya majaribu makubwa tunayokabiliana nayo ni chambo cha kile kinachoonekana "kuvutia." Lakini wacha nikukumbushe kwamba sio kila kitu kinachovutia ambacho kinafaa kufuata, na sio kila kitu kitamu kinaongoza kwenye uzima. Tunaishi katika ulimwengu unaotukuza kufuatia raha, mvuto wa burudani, na msisimuko wa muda mfupi tu. Lakini kumbuka hili: "Labda ni ya kuvutia, lakini inaua." Sio nyakati za msisimko za muda mfupi ambazo hufafanua ubora wa maisha yako; ni maamuzi ya muda mrefu unayofanya ambayo ni muhimu sana. Kuna meza ambapo raha hutolewa kwenye sahani za fedha, meza ambapo anasa hupongezwa, na mipaka imefichwa. Jedwali hizi zinaweza kuonekana kuwa za kuvutia, lakini mara nyingi huficha vikombe vyenye sumu. Maisha mengi yameharibiwa na ladha tamu ya anasa. Kinywaji hicho cha ziada, tabia hiyo ya kutojali, tukio hilo lisilo na madhara, yote ya kuvutia kwa sasa, lakini wengi wamelipa kwa afya zao, amani yao, na hata maisha yao. Je! ni watu wangapi wamelala kwenye vitanda vya hospitali leo kwa sababu walifuata kile "kinachovutia"? Ni ndoto ngapi zimekatishwa kwa sababu mtu alifuata kile "kinachosisimua" bila kuzingatia matokeo? Kama vile mithali ya kale inavyosema, “Iko njia ionekanayo kuwa sawa machoni pa mtu, lakini mwisho wake ni njia za mauti” (Mithali 14:12).

    Jedwali lingine la kuepukwa ni meza ya uvumi. Lo, ni jambo la kupendeza kama nini kuketi na kusikiliza mtu akipasuliwa, jina lake likikokotwa kwenye tope! Lakini wacha nikuambie kitu: porojo hazina marafiki wa kudumu. Vinywa vile vile vinavyowachana wengine mbele yako ndivyo vitakugeukia wewe usipokuwepo. Usidanganywe na maoni ya uwongo ya urafiki ambayo porojo hutoa. Uvumi ni kama vampire, unalisha damu ya mahusiano, uaminifu, na sifa. Inavutia, lakini inaua. Inaua urafiki, familia, na jamii. Kama msemo unavyosema, "Mtu anayeondoa kaa linalowaka kutoka kwa paa la jirani yake atalipata peke yake." Unaposhiriki katika uvumi, unafungua mlango wa uharibifu kuingia katika maisha yako mwenyewe. Maisha si msururu wa starehe za kupita muda; ni zawadi takatifu inayokusudiwa kuishi kwa makusudi. Usiishi maisha yako kwa kuzingatia kile kinachovutia. Badala yake, iishi kulingana na kile ambacho kinafaa kwako kwa muda mrefu. Mambo yanayotutegemeza, nidhamu, kazi ngumu, uadilifu, na upendo, si mara zote "yanavutia" kwa sasa, lakini yanajenga maisha yenye thamani. Epuka meza ambapo vitu vya kupendeza tu hutolewa. Jizungushe na watu wanaokupa changamoto, wanaokuhimiza kukua, wanaokuita kwa viwango vya juu zaidi. Kama vile Mtakatifu Paulo anavyoandika, “Vitu vyote ni halali kwangu, lakini si vyote vyenye faida” (1 Wakorintho 10:23). Chagua kile ambacho ni cha manufaa, sio tu kinachosisimua.

    Usiruhusu harakati zako za msisimko zikupoteze maisha ambayo Mungu alikusudia kwa ajili yako. Chagua maisha, chagua kusudi, na uchague njia inayoongoza kwa furaha ya kweli na amani ya kudumu.
    @Fr. Albert Nwosu'
    CHAGUA KINACHO FAIDA, SI KILE KINACHOSISIMUA... Maisha ni safari iliyojaa chaguzi, njia panda, na maamuzi ambayo yanaunda hatima yetu. Hata hivyo, katikati ya haya yote, moja ya majaribu makubwa tunayokabiliana nayo ni chambo cha kile kinachoonekana "kuvutia." Lakini wacha nikukumbushe kwamba sio kila kitu kinachovutia ambacho kinafaa kufuata, na sio kila kitu kitamu kinaongoza kwenye uzima. Tunaishi katika ulimwengu unaotukuza kufuatia raha, mvuto wa burudani, na msisimuko wa muda mfupi tu. Lakini kumbuka hili: "Labda ni ya kuvutia, lakini inaua." Sio nyakati za msisimko za muda mfupi ambazo hufafanua ubora wa maisha yako; ni maamuzi ya muda mrefu unayofanya ambayo ni muhimu sana. Kuna meza ambapo raha hutolewa kwenye sahani za fedha, meza ambapo anasa hupongezwa, na mipaka imefichwa. Jedwali hizi zinaweza kuonekana kuwa za kuvutia, lakini mara nyingi huficha vikombe vyenye sumu. Maisha mengi yameharibiwa na ladha tamu ya anasa. Kinywaji hicho cha ziada, tabia hiyo ya kutojali, tukio hilo lisilo na madhara, yote ya kuvutia kwa sasa, lakini wengi wamelipa kwa afya zao, amani yao, na hata maisha yao. Je! ni watu wangapi wamelala kwenye vitanda vya hospitali leo kwa sababu walifuata kile "kinachovutia"? Ni ndoto ngapi zimekatishwa kwa sababu mtu alifuata kile "kinachosisimua" bila kuzingatia matokeo? Kama vile mithali ya kale inavyosema, “Iko njia ionekanayo kuwa sawa machoni pa mtu, lakini mwisho wake ni njia za mauti” (Mithali 14:12). Jedwali lingine la kuepukwa ni meza ya uvumi. Lo, ni jambo la kupendeza kama nini kuketi na kusikiliza mtu akipasuliwa, jina lake likikokotwa kwenye tope! Lakini wacha nikuambie kitu: porojo hazina marafiki wa kudumu. Vinywa vile vile vinavyowachana wengine mbele yako ndivyo vitakugeukia wewe usipokuwepo. Usidanganywe na maoni ya uwongo ya urafiki ambayo porojo hutoa. Uvumi ni kama vampire, unalisha damu ya mahusiano, uaminifu, na sifa. Inavutia, lakini inaua. Inaua urafiki, familia, na jamii. Kama msemo unavyosema, "Mtu anayeondoa kaa linalowaka kutoka kwa paa la jirani yake atalipata peke yake." Unaposhiriki katika uvumi, unafungua mlango wa uharibifu kuingia katika maisha yako mwenyewe. Maisha si msururu wa starehe za kupita muda; ni zawadi takatifu inayokusudiwa kuishi kwa makusudi. Usiishi maisha yako kwa kuzingatia kile kinachovutia. Badala yake, iishi kulingana na kile ambacho kinafaa kwako kwa muda mrefu. Mambo yanayotutegemeza, nidhamu, kazi ngumu, uadilifu, na upendo, si mara zote "yanavutia" kwa sasa, lakini yanajenga maisha yenye thamani. Epuka meza ambapo vitu vya kupendeza tu hutolewa. Jizungushe na watu wanaokupa changamoto, wanaokuhimiza kukua, wanaokuita kwa viwango vya juu zaidi. Kama vile Mtakatifu Paulo anavyoandika, “Vitu vyote ni halali kwangu, lakini si vyote vyenye faida” (1 Wakorintho 10:23). Chagua kile ambacho ni cha manufaa, sio tu kinachosisimua. Usiruhusu harakati zako za msisimko zikupoteze maisha ambayo Mungu alikusudia kwa ajili yako. Chagua maisha, chagua kusudi, na uchague njia inayoongoza kwa furaha ya kweli na amani ya kudumu. @Fr. Albert Nwosu'
    Love
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·1K Visualizações
  • Itakuchukua miaka kati ya 1,000 hadi 60,000 ili umalize video zote zilizopo kwenye youtube

    Hapo unaangalia mfululizo huku youtube ikistopisha ku upload videos nyengine

    Tofauti na hapo huwezi kuzimaliza
    Itakuchukua miaka kati ya 1,000 hadi 60,000 ili umalize video zote zilizopo kwenye youtube Hapo unaangalia mfululizo huku youtube ikistopisha ku upload videos nyengine Tofauti na hapo huwezi kuzimaliza
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·519 Visualizações
  • MUONEKANO WA NABII ISSA MIAKA HIYO ULIKUWAJE ?

    Karibu kila mtu ana dhana fulani kuhusu muonekano wa Yesu Kristo.
    Ndiye mtu aliyechorwa zaidi katika sanaa ya Magharibi. Picha zake hutambuliwa kwa urahisi, ambapo huoneshwa akiwa na nywele na ndevu, akiwa amevalia vazi lefu lenye mikono mirefu linalofanana na kanzu ( la rangi nyeupe), na pia akiwa amejifunga joho (la rangi ya samawati). Muonekano wa Yesu umefahamika sana na wengi kiasi kwamba unaweza kutambuliwa ukiwa hata kwenye mikate au biskuti.

    Picha za sasa za Yesu zinatokana na enzi ya Byzantine, himaya iliyokuwa na mji mkuu wake Constantinople. Ni picha iliyoanza kutumika karne ya nne hivi. Michoro ya Yesu ya wakati wa utawala wa Byzantine ilikuwa ya ishara, na si muonekano wake. Wasanii waliangazia zaidi maana na si kumfananisha na Yesu mwenyewe.
    Picha zao ziliongozwa na dhana ya Yesu kama mtawala, kwenye kiti cha enzi, kama anavyoonyeshwa kwenye mchoro ulio kwenye altari ya kanisa la Santa Pudenziana jijini Roma.

    Yesu anaoneshwa akiwa amevalia mgolole wa rangi ya dhahabu.
    Ndiye mtawala wa dunia yote aliyetoka mbinguni, mfanano wa picha yake ni ule wa sanamu ya Zeus wa Olympus anayeonyeshwa akiwa na nywele ndefu za ndevu kwenye kiti cha enzi. Ni sanamu iliyokuwa maarufu sana wakati huo kiasi kwamba Mfalme Augustus wa Roma alishurutisha naye atengenezewe sanamu kama hiyo, lakini yake ikiwa bila nywele ndefu na ndevu, Wasanii wa Byzantine, walitaka kumuonyesha Kristo kama mtawala kutoka mbinguni, mfalme wa aina yake, na hivyo wakachora wakimuonyesha kama Zeus, lakini akiwa mdogo kidogo wa umri.

    Kilichotokea kadiri miaka ilivyosonga ni kwamba kuonyeshwa huku kwa Kristo kama mtawala kutoka mbinguni - ambapo wakati mwingine ameonyeshwa hata akiwa kama 'hippie' au 'superstar' (kama ilivyo kwenye mchoro huu hapa chini) - ndiko kumekuwa kama kigezo chetu cha Yesu alivyokuwa. Hebu tuchanganue kutoka kichwani hadi vidole vya miguuni. Wakristo wa nyakati za kwanza wakati walipokuwa wanamwonyesha Kristo si kama mtawala kutoka mbinguni, walimuonyesha kama binadamu wa kawaida tu - akiwa hana ndevu na hana nywele ndefu.

    Lakini pengine, kama msomi wa aina yake aliyekuwa akisafiri kutoka eneo moja hadi jingine, Yesu pengine alikuwa na ndevu, kwa sababu hakuwa akienda kwa vinyozi. Kwa kawaida, kuwa mchafu kiasi na kuwa na ndevu ndefu ni sifa ambazo zilihusishwa na wanafalsafa, wasomi wa ngazi ya juu, na kuwatenganisha na watu wa kawaida.
    Mwanafalsafa maarufu wa kundi la Stoic (Wanafalsafa wa Kigiriki waliofuata mafundisho ya mwanzilishi wao Zeno wa Citium mjini Athens mapema karne ya 3 kabla ya kuzaliwa kwa Yesu) Epictetus aliamini "ilifaa hivyo kwa mujibu wa maumbile." Mambo yalibadilika katika karne ya 1 baada ya kuzaliwa kwa Yesu, wakati wa enzi za Warumi na Wagiriki, ambapo kuwa na nywele fupi na kunyoa ndefu ndiyo mambo yaliyochukuliwa kuwa yafaayo na ya kistaarabu.

    Kuwa na nywele ndefu na ndevu ni mambo ambayo yaliachiwa miungu pekee, si ya watu wa kawaida. Hata wanafalsafa enzi hizo walikuwa na nywele fupi. Ndevu pia hazikuwa sifa za kuwatambulisha Wayahudi enzi hizo. Ukweli ni kwamba moja ya changamoto ambazo waliotaka kuwatesa Wayahudi vipindi mbalimbali katika historia walihangaika sana kuwatofautisha na watu wengine. Hii ni kwa sababu wote walifanana (jambo ambalo limegusiwa katika kitabu cha Wamakabayo). Hata hivyo, picha za wanaume wa Kiyahudi zilizokuwa kwenye sarafu za Judea Capta ambazo zilitolewa na utawala wa Roma baada ya kutekwa kwa mji wa Yerusalemu mwaka 70 baada ya kuzaliwa kwa Yesu zinawaonesha wanaume wakiwa na ndevu, lakini nywele zao si ndefu.

    Kwa hivyo, Yesu, kama mwanafalsafa wa muonekano wa kawaida, kuna uwezekano alikuwa na ndevu lakini si ndefu sana, sawa na wanaume hao walioonyeshwa kwenye sarafu za Judaea Capta, lakini nywele zake basi hazikuwa ndefu sana pia.
    Kama ingetokea kwamba awe na nywele ndefu hata kidogo tu kuliko kawaida, basi angezua mtafaruku Wanaume wa Kiyahudi waliokuwa na ndevu ambazo hazikuwa zimetunzwa vyema na nywele ambazo zilikuwa ndefu kidogo kuliko kawaida walitambulika mara moja kama watu waliokuwa wamekula kiapo cha kuwa Wanazari (Nazarite).

    Hii ilikuwa na maana kwamba wangejitoa wakfu kwa Mungu kwa kipindi fulani, ambapo hawangekunywa vileo wala kuzikata nywele zao. Mwisho wa kipindi hicho, wangenyolewa nywele zao katika sherehe maalum hekaluni Jerusalem (kama inavyoelezwa katika kitabu cha Matendo ya Mitume, Sura ya 21, aya ya 24).
    Lakini Yesu hakuwa amekula kiapo cha kuwa Mnazari, kwa sababu mara nyingi tunamsikia kwenye Biblia akinywa divai - wakosoaji wake hata wakati mwingine wanamshutumu kwa kunywa divai sana, kupita kiasi (Matayo Sura ya 11, aya ya 19). Kama angekuwepo na nywele ndefu, na kuonekana kama Mnazari, tungelitarajia basi kuwepo na tamko pahala fulani kuhusu tofauti ya muonekano wake na matendo aliyokuwa akiyafanya ambayo hayakuendana na Unazari. Hali kwamba alikuwa akinywa divai yenyewe ingekuwa tatizo kubwa.

    Wakati Yesu alipoishi, matajiri walizoea kuvalia kanzu na majoyo ya vitambaa vya thamani, kuonyesha hadhi yao katika jamii. Katika moja ya mahubiri yake, Yesu anasema : "Jihadharini na walimu wa sheria (waandishi). Wao hupenda kutembea wakiwa wamevaa mavazi marefu (stolai), na kusalimiwa kwa heshima masokoni. Pia wao hupenda kukaa kwenye viti vya mbele katika masinagogi, na kupewa nafasi za heshima katika karamu." Mafundisho haya ya Yesu kwa kawaida huchukuliwa kama yenye maelezo ya kuaminika zaidi kwenye Injili, hivyo tunaweza kuwa na msingi kuamini kwamba Yesu hakuvalia mavazi kama hayo marefu. Kwa jumla, mwanamume wakati huo wa Yesu angevalia gwanda au kanzu fupi hivi, na mwanamke angevalia vazi lililomfika kwenye kifundo cha mguu.

    Kwa hivyo, katika karne ya 2 kwenye kitabu cha Matendo ya Mitume, Paul na Thecla, inapotokea kwamba Thecla ambaye ni mwanamke anavalia kanzu fupi kama mwanamume, hilo ni jambo linaloshangaza sana. Kanzu hizi kwa kawaida zingekuwa na ukanda au mstari wa rangi tofauti kutoka kwenye bega hadi kwenye pindo sehemu ya chini. Ni vazi ambalo lingeshonwa au kufumwa kama kipande kimoja cha vazi. Juu ya kanzu hiyo, ungejifunga joho au vazi jingine la nje, na tunajua kwamba Yesu alivalia vazi kama hilo kwa sababu ndilo lililoguswa na mwanamke aliyetaka kuponywa naye. (Marko 5:27): Alikuwa amesikia habari za Yesu, naye akaja kwa nyuma yake kwenye umati wa watu, akaligusa vazi lake, kwa maana alisema moyoni mwake, 'Kama nikiweza kuligusa vazi lake tu, nitaponywa.') Vazi hilo la nje lilifumwa kwa manyoya, lakini halikuwa zito sana na ndipo ili uhisi joto ingemlazimu mtu kuvalia mavazi mawili kama hayo.

    Vazi hilo lingevaliwa kwa njia nyingi, na wakati mwingine lingening'inia hadi chini ya magoti na kulifunika lile kanzu fupi la ndani. (Baadhi ya wanafalsafa walizoea kuvalia vazi hilo la nje pekee bila kuvalia ile kanzu ya ndani na kuacha sehemu ya bega au kifua ikiwa wazi). Mamlaka na hadhi ya mtu ni vitu ambavyo vilidhihirishwa kupitia ubora, ukubwa na rangi ya mavazi hayo ya nje. Rangi ya zambarau na baadhi ya aina za rangi ya buluu (samawati) ni rangi zilizoashiria utajiri, hadhi na kujionea fahari. Zilikuwa ni rangi za kifahari kwa sababu viungo vya kutengeneza rangi hizo vilikuwa adimu na ghali sana.

    Lakini rangi pia huashiria kitu kingine tofauti. Mwanahistoria Josephus, anawaeleza walokole waliofahamika kama Zealots (kundi la Wayahudi wa itikadi kali waliotaka kuwafurusha Warumi kutoka Judea) kama kundi la wahalifu wauaji waliovalia mavazi ya nje yaliyopakwa rangi kwa jina - mavazi anayoyaita chlanidia - kuashiria kwamba yalikuwa ni kama mavazi yaliyovaliwa na wanawake. Hii inaashiria kwamba wanaume kamili, kama hawakuwa na cheo cha juu zaidi katika jamii, walifaa kuvalia mavazi yasiyopakwa rangi.
    Yesu hakuvalia mavazi meupe hata hivyo. Haya yalikuwa mavazi ya kipekee na yalihitaji kupaushwa mara kwa mara (kufanywa meupe tena) au kupakwa chokaa. Judea, mavazi kama hayo meupe yalihusishwa na kundi lililofahamika kama Essenes - ambao ni watu waliofuata ufasiri mkali wa sheria za Kiyahudi. Tofauti kati ya mavazi ya Yesu na mavazi mengine ya rangi nyeupe ya kung'aa inaelezwa kwenye sura ya 9 ya Marko ambapo anaandamana na mitume watatu mlimani.

    Yesu aliwachukua "Petro, Yakobo na Yohana, akawapeleka juu ya mlima mrefu, mahali walipokuwa faraghani. Huko, Yesu akageuka sura mbele yao. Mavazi yake yakawa na weupe wa kuzima macho, meupe kuliko ambavyo mtu yeyote duniani angaliweza kuyangʼarisha. Mose na Eliya wakawatokea, wakawa wanazungumza na Yesu." Marko anaeleza kwamba mavazi ya Yesu yaligeuka rangi yakawa meupe sana, hapa anarejelea vazi la ndani na si la nje. Kabla ya kugeuka sura huku kwa Yesu, anaoneshwa na Marko kama mwanamume wa kawaida, aliyevalia mavazi ya kawaida, ambayo ni ya rangi ambayo haijapaushwa. Katika hali ambayo ndipo yang'ae na kuangaza unahitaji kumpelekea fundi.

    Tunaelezwa zaidi kuhusu mavazi ya Yesu wakati wa kusulubiwa kwake, pale wanajeshi wa Kirumi wanapoyakata mavazi yake ya nje vipande vinne (Yohana19:23: Askari walipokwisha kumsulubisha Yesu, walichukua nguo zake wakazigawa mafungu manne, kila askari fungu lake. Ila walikubaliana wasilichane lile vazi lake kwa maana lilikuwa halina mshono bali limefumwa tangu juu hadi chini.) Kuna uwezekano mavazi hayo ya nje yalikuwa mavazi mawili.

    Moja ya vazi hili huenda lilikuwa ni tallith, ambalo ni vazi la kujifunga Kiyahudi wakati wa maombi. Vazi hili lenye shada (tzitzith) limetajwa moja kwa moja na Yesu katika kitabu cha Mathayo 23:5 anapozungumza kuhusu walimu wa sheria na Mafarisayo (Wao hutenda mambo yao yote ili waonekane na watu. Hupanua vikasha vyao vyenye maandiko ya sheria na kurefusha matamvua ya mavazi yao). Lilikuwa ni vazi la nje lisilo zito, ambalo kawaida lilitengenezwa kwa kitambaa cha manyoya na lilikuwa la rangi ya malai hivi (krimu), na pengine lilikuwa na ukanda au mstari wa rangi ya nili (bluu iliyoiva).

    Miguuni, Yesu angevalia ndara (kandambili au malapa). Kila mtu wakati huo alivalia ndara. Katika mapango yaliyo jangwani karibu na Bahari ya Chumvi (Bahari Mfu) na Masada, ndara za wakati alipoishi Yesu zimegunduliwa, na tunaweza kutazama ndara ambazo huenda alivaa zilivyoonekana. Zilikuwa hazijafanyiwa kazi nyingi sana ya kiufundi. Soli (nyayo au kikanyagio) zake zilikuwa vipande vigumu vya ngozi vilivyoshonwa pamoja, na juu kulikuwa ni kanda za ngozi ambazo mbele zingeingizwa katikati ya vidole, kama malapa tu ya siku hizi.

    Yesu (Nabii Issa) Alikuwa Myahudi, na uso wake pia bila shaka ungefanana na Wayahudi wa wakati huo. Hali kwamba Yesu alikuwa Myahudi (au Mjudea) ni jambo linalorejelewa katika vitabu vingi, zikiwemo barua za Mtume Paulo. Na katika barua yake kwa Waebrania, anaandika: "Kwa maana ni dhahiri kwamba Bwana wetu alitoka katika uzao wa Yuda" (Sura ya 7:14) Kwa hivyo, Myahudi wa wakati huo, mwanamume wa miaka 30 hivi alipoanza kueneza Injili kwa mujibu wa Luka 3, pia akiwa ni mwenye ngozi nyeusi kama ilivyokuwa kwa wayahudi wengi zama zile waliokuwa wakitembeleana na ndugu zao wa Misri (Kushi) kemet.

    Mwaka 2001 mwanaantholopojia (mtaalamu wa elimu ya binadamu hasa elimu ihusuyo habari zinazohusu asili na maendeleo yake ya awali) Richard Neave alitengeneza mfano wa mwanamume wa Galilaya wa zama za Yesu ambao ulitumiwa kwa jina Son of God (Mwana wa Mungu). Alitumia fuvu lililopatikana katika eneo hilo. Hakusema kwamba huo ulikuwa muonekano wa uso wa Yesu. Mfano ulikuwa tu wa kuchochea hisia na kuwafanya watu kumfikiria Yesu kama mwanamume wa zama hizo na eneo hilo, kwa sababu hakuna mchoro wala maelezo yaliyopo ya kina kuhusu muonekano wake halisi.

    Ingawa tunaweza kupata viashiria kutoka kwa teknolojia na kutumia mifupa ya watu wa kale, kiashiria cha karibu sana kuhusu pengine Yesu alionekana vipi labda kinaweza kutokana na mchoro wa Musa kwenye ukuta wa sinagogi ya karne ya 3 ya Dura-Europos, kwani mchoro huo unaonesha jinsi Myahudi wa hekima alidhaniwa kuwa wakati wa utawala wa Wagiriki na Warumi. Musa anaoneshwa akiwa na mavazi ambayo hayajapaushwa, na moja ya vazi lake la nje ni tallith.

    Katika mchoro huo wa Dura wa Musa akitenganisha maji kwenye Bahari ya Sham ili Waisraeli wapite, unaweza kuziona shada (tzitzith) kwenye kona za vazi hilo. Kwa kiwango kikubwa, picha hiyo pengine inatoa msingi bora zaidi wa kumfikiria Yesu alivyokuwa badala ya picha za sasa zinazoongozwa na busara na mawazo ya enzi ya Byzantine - alikuwa na nywele fupi, ndevu fupi, na alikuwa amevalia kanzu fupi lenye mikono mifupi, na alikuwa na joho au vazi la nje.

    Makala hii chimbuko lake ni makala ya Kiingereza ya Joan Taylor ambaye ni profesa wa kitivo cha Asili ya Ukristo na Hekalu la Pili la Wayahudi katika Chuo Kikuu cha King's College London na ndiye mwandishi wa kitabu kwa jina The Essenes, the Scrolls and the Dead Sea.
    MUONEKANO WA NABII ISSA MIAKA HIYO ULIKUWAJE ? Karibu kila mtu ana dhana fulani kuhusu muonekano wa Yesu Kristo. Ndiye mtu aliyechorwa zaidi katika sanaa ya Magharibi. Picha zake hutambuliwa kwa urahisi, ambapo huoneshwa akiwa na nywele na ndevu, akiwa amevalia vazi lefu lenye mikono mirefu linalofanana na kanzu ( la rangi nyeupe), na pia akiwa amejifunga joho (la rangi ya samawati). Muonekano wa Yesu umefahamika sana na wengi kiasi kwamba unaweza kutambuliwa ukiwa hata kwenye mikate au biskuti. Picha za sasa za Yesu zinatokana na enzi ya Byzantine, himaya iliyokuwa na mji mkuu wake Constantinople. Ni picha iliyoanza kutumika karne ya nne hivi. Michoro ya Yesu ya wakati wa utawala wa Byzantine ilikuwa ya ishara, na si muonekano wake. Wasanii waliangazia zaidi maana na si kumfananisha na Yesu mwenyewe. Picha zao ziliongozwa na dhana ya Yesu kama mtawala, kwenye kiti cha enzi, kama anavyoonyeshwa kwenye mchoro ulio kwenye altari ya kanisa la Santa Pudenziana jijini Roma. Yesu anaoneshwa akiwa amevalia mgolole wa rangi ya dhahabu. Ndiye mtawala wa dunia yote aliyetoka mbinguni, mfanano wa picha yake ni ule wa sanamu ya Zeus wa Olympus anayeonyeshwa akiwa na nywele ndefu za ndevu kwenye kiti cha enzi. Ni sanamu iliyokuwa maarufu sana wakati huo kiasi kwamba Mfalme Augustus wa Roma alishurutisha naye atengenezewe sanamu kama hiyo, lakini yake ikiwa bila nywele ndefu na ndevu, Wasanii wa Byzantine, walitaka kumuonyesha Kristo kama mtawala kutoka mbinguni, mfalme wa aina yake, na hivyo wakachora wakimuonyesha kama Zeus, lakini akiwa mdogo kidogo wa umri. Kilichotokea kadiri miaka ilivyosonga ni kwamba kuonyeshwa huku kwa Kristo kama mtawala kutoka mbinguni - ambapo wakati mwingine ameonyeshwa hata akiwa kama 'hippie' au 'superstar' (kama ilivyo kwenye mchoro huu hapa chini) - ndiko kumekuwa kama kigezo chetu cha Yesu alivyokuwa. Hebu tuchanganue kutoka kichwani hadi vidole vya miguuni. Wakristo wa nyakati za kwanza wakati walipokuwa wanamwonyesha Kristo si kama mtawala kutoka mbinguni, walimuonyesha kama binadamu wa kawaida tu - akiwa hana ndevu na hana nywele ndefu. Lakini pengine, kama msomi wa aina yake aliyekuwa akisafiri kutoka eneo moja hadi jingine, Yesu pengine alikuwa na ndevu, kwa sababu hakuwa akienda kwa vinyozi. Kwa kawaida, kuwa mchafu kiasi na kuwa na ndevu ndefu ni sifa ambazo zilihusishwa na wanafalsafa, wasomi wa ngazi ya juu, na kuwatenganisha na watu wa kawaida. Mwanafalsafa maarufu wa kundi la Stoic (Wanafalsafa wa Kigiriki waliofuata mafundisho ya mwanzilishi wao Zeno wa Citium mjini Athens mapema karne ya 3 kabla ya kuzaliwa kwa Yesu) Epictetus aliamini "ilifaa hivyo kwa mujibu wa maumbile." Mambo yalibadilika katika karne ya 1 baada ya kuzaliwa kwa Yesu, wakati wa enzi za Warumi na Wagiriki, ambapo kuwa na nywele fupi na kunyoa ndefu ndiyo mambo yaliyochukuliwa kuwa yafaayo na ya kistaarabu. Kuwa na nywele ndefu na ndevu ni mambo ambayo yaliachiwa miungu pekee, si ya watu wa kawaida. Hata wanafalsafa enzi hizo walikuwa na nywele fupi. Ndevu pia hazikuwa sifa za kuwatambulisha Wayahudi enzi hizo. Ukweli ni kwamba moja ya changamoto ambazo waliotaka kuwatesa Wayahudi vipindi mbalimbali katika historia walihangaika sana kuwatofautisha na watu wengine. Hii ni kwa sababu wote walifanana (jambo ambalo limegusiwa katika kitabu cha Wamakabayo). Hata hivyo, picha za wanaume wa Kiyahudi zilizokuwa kwenye sarafu za Judea Capta ambazo zilitolewa na utawala wa Roma baada ya kutekwa kwa mji wa Yerusalemu mwaka 70 baada ya kuzaliwa kwa Yesu zinawaonesha wanaume wakiwa na ndevu, lakini nywele zao si ndefu. Kwa hivyo, Yesu, kama mwanafalsafa wa muonekano wa kawaida, kuna uwezekano alikuwa na ndevu lakini si ndefu sana, sawa na wanaume hao walioonyeshwa kwenye sarafu za Judaea Capta, lakini nywele zake basi hazikuwa ndefu sana pia. Kama ingetokea kwamba awe na nywele ndefu hata kidogo tu kuliko kawaida, basi angezua mtafaruku Wanaume wa Kiyahudi waliokuwa na ndevu ambazo hazikuwa zimetunzwa vyema na nywele ambazo zilikuwa ndefu kidogo kuliko kawaida walitambulika mara moja kama watu waliokuwa wamekula kiapo cha kuwa Wanazari (Nazarite). Hii ilikuwa na maana kwamba wangejitoa wakfu kwa Mungu kwa kipindi fulani, ambapo hawangekunywa vileo wala kuzikata nywele zao. Mwisho wa kipindi hicho, wangenyolewa nywele zao katika sherehe maalum hekaluni Jerusalem (kama inavyoelezwa katika kitabu cha Matendo ya Mitume, Sura ya 21, aya ya 24). Lakini Yesu hakuwa amekula kiapo cha kuwa Mnazari, kwa sababu mara nyingi tunamsikia kwenye Biblia akinywa divai - wakosoaji wake hata wakati mwingine wanamshutumu kwa kunywa divai sana, kupita kiasi (Matayo Sura ya 11, aya ya 19). Kama angekuwepo na nywele ndefu, na kuonekana kama Mnazari, tungelitarajia basi kuwepo na tamko pahala fulani kuhusu tofauti ya muonekano wake na matendo aliyokuwa akiyafanya ambayo hayakuendana na Unazari. Hali kwamba alikuwa akinywa divai yenyewe ingekuwa tatizo kubwa. Wakati Yesu alipoishi, matajiri walizoea kuvalia kanzu na majoyo ya vitambaa vya thamani, kuonyesha hadhi yao katika jamii. Katika moja ya mahubiri yake, Yesu anasema : "Jihadharini na walimu wa sheria (waandishi). Wao hupenda kutembea wakiwa wamevaa mavazi marefu (stolai), na kusalimiwa kwa heshima masokoni. Pia wao hupenda kukaa kwenye viti vya mbele katika masinagogi, na kupewa nafasi za heshima katika karamu." Mafundisho haya ya Yesu kwa kawaida huchukuliwa kama yenye maelezo ya kuaminika zaidi kwenye Injili, hivyo tunaweza kuwa na msingi kuamini kwamba Yesu hakuvalia mavazi kama hayo marefu. Kwa jumla, mwanamume wakati huo wa Yesu angevalia gwanda au kanzu fupi hivi, na mwanamke angevalia vazi lililomfika kwenye kifundo cha mguu. Kwa hivyo, katika karne ya 2 kwenye kitabu cha Matendo ya Mitume, Paul na Thecla, inapotokea kwamba Thecla ambaye ni mwanamke anavalia kanzu fupi kama mwanamume, hilo ni jambo linaloshangaza sana. Kanzu hizi kwa kawaida zingekuwa na ukanda au mstari wa rangi tofauti kutoka kwenye bega hadi kwenye pindo sehemu ya chini. Ni vazi ambalo lingeshonwa au kufumwa kama kipande kimoja cha vazi. Juu ya kanzu hiyo, ungejifunga joho au vazi jingine la nje, na tunajua kwamba Yesu alivalia vazi kama hilo kwa sababu ndilo lililoguswa na mwanamke aliyetaka kuponywa naye. (Marko 5:27): Alikuwa amesikia habari za Yesu, naye akaja kwa nyuma yake kwenye umati wa watu, akaligusa vazi lake, kwa maana alisema moyoni mwake, 'Kama nikiweza kuligusa vazi lake tu, nitaponywa.') Vazi hilo la nje lilifumwa kwa manyoya, lakini halikuwa zito sana na ndipo ili uhisi joto ingemlazimu mtu kuvalia mavazi mawili kama hayo. Vazi hilo lingevaliwa kwa njia nyingi, na wakati mwingine lingening'inia hadi chini ya magoti na kulifunika lile kanzu fupi la ndani. (Baadhi ya wanafalsafa walizoea kuvalia vazi hilo la nje pekee bila kuvalia ile kanzu ya ndani na kuacha sehemu ya bega au kifua ikiwa wazi). Mamlaka na hadhi ya mtu ni vitu ambavyo vilidhihirishwa kupitia ubora, ukubwa na rangi ya mavazi hayo ya nje. Rangi ya zambarau na baadhi ya aina za rangi ya buluu (samawati) ni rangi zilizoashiria utajiri, hadhi na kujionea fahari. Zilikuwa ni rangi za kifahari kwa sababu viungo vya kutengeneza rangi hizo vilikuwa adimu na ghali sana. Lakini rangi pia huashiria kitu kingine tofauti. Mwanahistoria Josephus, anawaeleza walokole waliofahamika kama Zealots (kundi la Wayahudi wa itikadi kali waliotaka kuwafurusha Warumi kutoka Judea) kama kundi la wahalifu wauaji waliovalia mavazi ya nje yaliyopakwa rangi kwa jina - mavazi anayoyaita chlanidia - kuashiria kwamba yalikuwa ni kama mavazi yaliyovaliwa na wanawake. Hii inaashiria kwamba wanaume kamili, kama hawakuwa na cheo cha juu zaidi katika jamii, walifaa kuvalia mavazi yasiyopakwa rangi. Yesu hakuvalia mavazi meupe hata hivyo. Haya yalikuwa mavazi ya kipekee na yalihitaji kupaushwa mara kwa mara (kufanywa meupe tena) au kupakwa chokaa. Judea, mavazi kama hayo meupe yalihusishwa na kundi lililofahamika kama Essenes - ambao ni watu waliofuata ufasiri mkali wa sheria za Kiyahudi. Tofauti kati ya mavazi ya Yesu na mavazi mengine ya rangi nyeupe ya kung'aa inaelezwa kwenye sura ya 9 ya Marko ambapo anaandamana na mitume watatu mlimani. Yesu aliwachukua "Petro, Yakobo na Yohana, akawapeleka juu ya mlima mrefu, mahali walipokuwa faraghani. Huko, Yesu akageuka sura mbele yao. Mavazi yake yakawa na weupe wa kuzima macho, meupe kuliko ambavyo mtu yeyote duniani angaliweza kuyangʼarisha. Mose na Eliya wakawatokea, wakawa wanazungumza na Yesu." Marko anaeleza kwamba mavazi ya Yesu yaligeuka rangi yakawa meupe sana, hapa anarejelea vazi la ndani na si la nje. Kabla ya kugeuka sura huku kwa Yesu, anaoneshwa na Marko kama mwanamume wa kawaida, aliyevalia mavazi ya kawaida, ambayo ni ya rangi ambayo haijapaushwa. Katika hali ambayo ndipo yang'ae na kuangaza unahitaji kumpelekea fundi. Tunaelezwa zaidi kuhusu mavazi ya Yesu wakati wa kusulubiwa kwake, pale wanajeshi wa Kirumi wanapoyakata mavazi yake ya nje vipande vinne (Yohana19:23: Askari walipokwisha kumsulubisha Yesu, walichukua nguo zake wakazigawa mafungu manne, kila askari fungu lake. Ila walikubaliana wasilichane lile vazi lake kwa maana lilikuwa halina mshono bali limefumwa tangu juu hadi chini.) Kuna uwezekano mavazi hayo ya nje yalikuwa mavazi mawili. Moja ya vazi hili huenda lilikuwa ni tallith, ambalo ni vazi la kujifunga Kiyahudi wakati wa maombi. Vazi hili lenye shada (tzitzith) limetajwa moja kwa moja na Yesu katika kitabu cha Mathayo 23:5 anapozungumza kuhusu walimu wa sheria na Mafarisayo (Wao hutenda mambo yao yote ili waonekane na watu. Hupanua vikasha vyao vyenye maandiko ya sheria na kurefusha matamvua ya mavazi yao). Lilikuwa ni vazi la nje lisilo zito, ambalo kawaida lilitengenezwa kwa kitambaa cha manyoya na lilikuwa la rangi ya malai hivi (krimu), na pengine lilikuwa na ukanda au mstari wa rangi ya nili (bluu iliyoiva). Miguuni, Yesu angevalia ndara (kandambili au malapa). Kila mtu wakati huo alivalia ndara. Katika mapango yaliyo jangwani karibu na Bahari ya Chumvi (Bahari Mfu) na Masada, ndara za wakati alipoishi Yesu zimegunduliwa, na tunaweza kutazama ndara ambazo huenda alivaa zilivyoonekana. Zilikuwa hazijafanyiwa kazi nyingi sana ya kiufundi. Soli (nyayo au kikanyagio) zake zilikuwa vipande vigumu vya ngozi vilivyoshonwa pamoja, na juu kulikuwa ni kanda za ngozi ambazo mbele zingeingizwa katikati ya vidole, kama malapa tu ya siku hizi. Yesu (Nabii Issa) Alikuwa Myahudi, na uso wake pia bila shaka ungefanana na Wayahudi wa wakati huo. Hali kwamba Yesu alikuwa Myahudi (au Mjudea) ni jambo linalorejelewa katika vitabu vingi, zikiwemo barua za Mtume Paulo. Na katika barua yake kwa Waebrania, anaandika: "Kwa maana ni dhahiri kwamba Bwana wetu alitoka katika uzao wa Yuda" (Sura ya 7:14) Kwa hivyo, Myahudi wa wakati huo, mwanamume wa miaka 30 hivi alipoanza kueneza Injili kwa mujibu wa Luka 3, pia akiwa ni mwenye ngozi nyeusi kama ilivyokuwa kwa wayahudi wengi zama zile waliokuwa wakitembeleana na ndugu zao wa Misri (Kushi) kemet. Mwaka 2001 mwanaantholopojia (mtaalamu wa elimu ya binadamu hasa elimu ihusuyo habari zinazohusu asili na maendeleo yake ya awali) Richard Neave alitengeneza mfano wa mwanamume wa Galilaya wa zama za Yesu ambao ulitumiwa kwa jina Son of God (Mwana wa Mungu). Alitumia fuvu lililopatikana katika eneo hilo. Hakusema kwamba huo ulikuwa muonekano wa uso wa Yesu. Mfano ulikuwa tu wa kuchochea hisia na kuwafanya watu kumfikiria Yesu kama mwanamume wa zama hizo na eneo hilo, kwa sababu hakuna mchoro wala maelezo yaliyopo ya kina kuhusu muonekano wake halisi. Ingawa tunaweza kupata viashiria kutoka kwa teknolojia na kutumia mifupa ya watu wa kale, kiashiria cha karibu sana kuhusu pengine Yesu alionekana vipi labda kinaweza kutokana na mchoro wa Musa kwenye ukuta wa sinagogi ya karne ya 3 ya Dura-Europos, kwani mchoro huo unaonesha jinsi Myahudi wa hekima alidhaniwa kuwa wakati wa utawala wa Wagiriki na Warumi. Musa anaoneshwa akiwa na mavazi ambayo hayajapaushwa, na moja ya vazi lake la nje ni tallith. Katika mchoro huo wa Dura wa Musa akitenganisha maji kwenye Bahari ya Sham ili Waisraeli wapite, unaweza kuziona shada (tzitzith) kwenye kona za vazi hilo. Kwa kiwango kikubwa, picha hiyo pengine inatoa msingi bora zaidi wa kumfikiria Yesu alivyokuwa badala ya picha za sasa zinazoongozwa na busara na mawazo ya enzi ya Byzantine - alikuwa na nywele fupi, ndevu fupi, na alikuwa amevalia kanzu fupi lenye mikono mifupi, na alikuwa na joho au vazi la nje. Makala hii chimbuko lake ni makala ya Kiingereza ya Joan Taylor ambaye ni profesa wa kitivo cha Asili ya Ukristo na Hekalu la Pili la Wayahudi katika Chuo Kikuu cha King's College London na ndiye mwandishi wa kitabu kwa jina The Essenes, the Scrolls and the Dead Sea.
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·1K Visualizações
  • MFAHAMU BINADAMU MREFU AMBAYE HAJAWAHI KUTOKEA KWA KARNE HII YA SASA HIVI HAPA DUNIANI.

    Si jambo la kawaida hata kidogo ,haliumizi moyo ila ni jambo la kustaajabisha.

    Katika moja ya mada ambazo ziligonga vichwa vya habari pande zote kuu za dunia,japokua najua wengi wetu hatukuwepo.Ni kumuhusu Robert wadlow.

    Leo naomba niwarudishe nyuma kidogo miongo kadhaa.
    Ilikua ni tarehe 22 February 1918 katika mji wa Alton, Illinois kule nchini marekani ,alizaliwa kijana Robert wadlow akiwa ni mtoto wa kwanza kati ya watoto watano wa familia ya bwana Harold Franklin wadlow na bibi Addie Johnson.

    Kijana Robert wadlow alizaliwa akiwa na uzito wa kg 3.8 na kimo chake kikiwa futi 1.8.

    Alipofikisha umri wa miaka 8 tu tayari kimo chake kilikua ni zaidi ya baba yake mzazi akiwa na urefu wa futi 6 na uzito wa kg 77.

    Robert wadlow akiwa shule walilazimika kumtengenezea dawati lake special, ukirejea katika picha unamuona Robert akiwa amesimama na baba yake mzazi.
    Ama kweli ukistaajabu ya MUSSA basi utayaona ya FILAUNI.

    Mwaka mmoja kabla ya mauti kumfika 1939 Robert alitajwa kuwa yeye ndiye binadamu mwenye kimo kirefu zaidi kuwahi kutokea katika kizazi hiki na kuingizwa katika kumbukumbu ya kitabu cha maajabu ya dunia al maarufu (WORLD BOOK OF GUINNESS) hivyo akawa ameingia kwenye kumbukumbu hiyo akiwa na urefu wa futi 8.11 na uzito wake ukiwa kg 199.

    Mnamo tarehe 15 July 1940 akiwa na umri wa miaka 22 ,miaka mitano baada ya kuingia katika utu uzima alifariki dunia na alizikwa katika makaburi ya oakwood cemetery kule Alton Madison county Illinois katika nchi ya marekan.

    Scailouty activisms presents umoja rules

    Like&share
    MFAHAMU BINADAMU MREFU AMBAYE HAJAWAHI KUTOKEA KWA KARNE HII YA SASA HIVI HAPA DUNIANI. Si jambo la kawaida hata kidogo ,haliumizi moyo ila ni jambo la kustaajabisha. Katika moja ya mada ambazo ziligonga vichwa vya habari pande zote kuu za dunia,japokua najua wengi wetu hatukuwepo.Ni kumuhusu Robert wadlow. Leo naomba niwarudishe nyuma kidogo miongo kadhaa. Ilikua ni tarehe 22 February 1918 katika mji wa Alton, Illinois kule nchini marekani ,alizaliwa kijana Robert wadlow akiwa ni mtoto wa kwanza kati ya watoto watano wa familia ya bwana Harold Franklin wadlow na bibi Addie Johnson. Kijana Robert wadlow alizaliwa akiwa na uzito wa kg 3.8 na kimo chake kikiwa futi 1.8. Alipofikisha umri wa miaka 8 tu tayari kimo chake kilikua ni zaidi ya baba yake mzazi akiwa na urefu wa futi 6 na uzito wa kg 77. Robert wadlow akiwa shule walilazimika kumtengenezea dawati lake special, ukirejea katika picha unamuona Robert akiwa amesimama na baba yake mzazi. Ama kweli ukistaajabu ya MUSSA basi utayaona ya FILAUNI. Mwaka mmoja kabla ya mauti kumfika 1939 Robert alitajwa kuwa yeye ndiye binadamu mwenye kimo kirefu zaidi kuwahi kutokea katika kizazi hiki na kuingizwa katika kumbukumbu ya kitabu cha maajabu ya dunia al maarufu (WORLD BOOK OF GUINNESS) hivyo akawa ameingia kwenye kumbukumbu hiyo akiwa na urefu wa futi 8.11 na uzito wake ukiwa kg 199. Mnamo tarehe 15 July 1940 akiwa na umri wa miaka 22 ,miaka mitano baada ya kuingia katika utu uzima alifariki dunia na alizikwa katika makaburi ya oakwood cemetery kule Alton Madison county Illinois katika nchi ya marekan. Scailouty activisms presents umoja rules Like&share
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·591 Visualizações

  • MADA: KUWA AMBAYE MUNGU ANATAKA UWE, SIYO ANAYETAKA UWE...

    Ulimwengu daima utakuwa na sauti elfu zinazozungumza mara moja. Wengine watapiga kelele zaidi kuliko wengine, kila mmoja akijaribu kukuunda katika toleo ambalo linalingana na matarajio yao. Jamii itachora mistari na kujenga ua, ikikupa njia inayoonekana kuwa ya kawaida na salama, lakini salama haimaanishi sawa kila wakati. Utapewa mapendekezo, na utaonyeshwa barabara tofauti. Mtasikia sauti, na mtapewa dalili. Ninachotaka ujue ni kwamba kuna njia ambazo zinaonekana kuwa sawa, lakini mara nyingi zinakuongoza vibaya. Kwangu mimi, ukuaji wa kweli hauanzii katika faraja ya kuiga bali katika ujasiri wa kuamini sauti yako ya ndani; sauti ya Mungu. Wakati mwingine, sauti hii inaweza isikuambie unachotaka kusikia; bali inazungumza uzima katika maisha yako. Kuna moto unaowaka kipekee ndani yako, taa ambayo hakuna mtu mwingine anayeibeba, lakini unahitaji kumsikiliza mtu wako wa ndani ili uweze kuwa mwanaume/mwanamke. Kuiga kunaweza kuhisi kama kimbilio, lakini kunakuweka kwenye vivuli vya uzuri wa mtu mwingine. Ubinafsi wako ndio uwezo wako mkuu. Usiruhusu mtu yeyote akufanye ufanane naye; baadhi yao hata hawana furaha na wao wenyewe, lakini wanataka wewe kuwa kama wao. Jifunze kuwa mtu ambaye Mungu anataka uwe, si vile wao wanvyotaka uwe.

    Hakuna mtu mwingine kwenye sayari hii yote anayetazama maisha kupitia lenzi sawa na wewe. Makovu yako, ushindi wako, vita vyako vya kimya kimya, na ndoto zako zenye sauti kubwa ni vipande vya fumbo ambalo hakuna mtu mwingine anayeweza kulikamilisha. Ulimwengu unaweza kujaribu kukufanya unafaa, lakini kufaa kamwe haikuwa dhamira yako, Bali kusimama nje ya kufaa . Ninakutia moyo leo, "thubutu kuwa tofauti." Sisitiza uhalisi wako. Sema ukweli wako hata kama sauti yako inatetemeka. Tembea njia ambazo wengine huepuka. Ukuaji hutokea si wakati unalingana lakini wakati unapochanua, bila msamaha, katika ngozi yako mwenyewe. Njia ambayo watu husafiri kidogo inaweza kuhisi upweke wakati fulani, lakini ni kwenye barabara hii ambapo utakutana na utimilifu wa yule unayekusudiwa kuwa. Kuchanganya ndani ni kuishi, lakini kusimama nje ni kuishi. Kwa hiyo, kukua. Inuka zaidi ya kuiga na tegemea upekee wako. Ulimwengu unahitaji zawadi yako, toleo la kweli, lisilochujwa na lisiloweza kurudiwa. Tembea kwa ujasiri. Ongea bila woga. Na ukue kwenye nuru ambayo wewe tu unaweza kutupwa. Usiruhusu mtu yeyote akuinamishe na kuwa mtu mbaya, asiye na moyo, shetani,pepo, mwovu au asiye na maana; uwe yule ambaye Mungu alikuita uwe. Ikiwa watu hawapendi hivyo, wanaweza kuwa yeyote wapendavyo, lakini usiruhusu maoni yao matupu yakufanye uache njia ambayo Mungu amekutengenezea.

    Credit:
    Fr. Albert Nwosu
    MADA: KUWA AMBAYE MUNGU ANATAKA UWE, SIYO ANAYETAKA UWE... Ulimwengu daima utakuwa na sauti elfu zinazozungumza mara moja. Wengine watapiga kelele zaidi kuliko wengine, kila mmoja akijaribu kukuunda katika toleo ambalo linalingana na matarajio yao. Jamii itachora mistari na kujenga ua, ikikupa njia inayoonekana kuwa ya kawaida na salama, lakini salama haimaanishi sawa kila wakati. Utapewa mapendekezo, na utaonyeshwa barabara tofauti. Mtasikia sauti, na mtapewa dalili. Ninachotaka ujue ni kwamba kuna njia ambazo zinaonekana kuwa sawa, lakini mara nyingi zinakuongoza vibaya. Kwangu mimi, ukuaji wa kweli hauanzii katika faraja ya kuiga bali katika ujasiri wa kuamini sauti yako ya ndani; sauti ya Mungu. Wakati mwingine, sauti hii inaweza isikuambie unachotaka kusikia; bali inazungumza uzima katika maisha yako. Kuna moto unaowaka kipekee ndani yako, taa ambayo hakuna mtu mwingine anayeibeba, lakini unahitaji kumsikiliza mtu wako wa ndani ili uweze kuwa mwanaume/mwanamke. Kuiga kunaweza kuhisi kama kimbilio, lakini kunakuweka kwenye vivuli vya uzuri wa mtu mwingine. Ubinafsi wako ndio uwezo wako mkuu. Usiruhusu mtu yeyote akufanye ufanane naye; baadhi yao hata hawana furaha na wao wenyewe, lakini wanataka wewe kuwa kama wao. Jifunze kuwa mtu ambaye Mungu anataka uwe, si vile wao wanvyotaka uwe. Hakuna mtu mwingine kwenye sayari hii yote anayetazama maisha kupitia lenzi sawa na wewe. Makovu yako, ushindi wako, vita vyako vya kimya kimya, na ndoto zako zenye sauti kubwa ni vipande vya fumbo ambalo hakuna mtu mwingine anayeweza kulikamilisha. Ulimwengu unaweza kujaribu kukufanya unafaa, lakini kufaa kamwe haikuwa dhamira yako, Bali kusimama nje ya kufaa . Ninakutia moyo leo, "thubutu kuwa tofauti." Sisitiza uhalisi wako. Sema ukweli wako hata kama sauti yako inatetemeka. Tembea njia ambazo wengine huepuka. Ukuaji hutokea si wakati unalingana lakini wakati unapochanua, bila msamaha, katika ngozi yako mwenyewe. Njia ambayo watu husafiri kidogo inaweza kuhisi upweke wakati fulani, lakini ni kwenye barabara hii ambapo utakutana na utimilifu wa yule unayekusudiwa kuwa. Kuchanganya ndani ni kuishi, lakini kusimama nje ni kuishi. Kwa hiyo, kukua. Inuka zaidi ya kuiga na tegemea upekee wako. Ulimwengu unahitaji zawadi yako, toleo la kweli, lisilochujwa na lisiloweza kurudiwa. Tembea kwa ujasiri. Ongea bila woga. Na ukue kwenye nuru ambayo wewe tu unaweza kutupwa. Usiruhusu mtu yeyote akuinamishe na kuwa mtu mbaya, asiye na moyo, shetani,pepo, mwovu au asiye na maana; uwe yule ambaye Mungu alikuita uwe. Ikiwa watu hawapendi hivyo, wanaweza kuwa yeyote wapendavyo, lakini usiruhusu maoni yao matupu yakufanye uache njia ambayo Mungu amekutengenezea. Credit: Fr. Albert Nwosu
    Like
    Love
    2
    · 1 Comentários ·0 Compartilhamentos ·729 Visualizações
  • HOJA/NONDO (6) SITA ZA LISSU AKIWA LIVE CLUBHOUSE LEO USIKU

    1. SUALA LA MGAO WA RUZUKU

    "Suala la mgao wa Ruzuku ya chama kwenda kwenye ngazi za Wilaya na Mikoa hata kama ni kidogo lilishakuwa changamoto kubwa sana ndani ya chama chetu licha ya kelele nyingi tunazopiga".

    "Tumefanya ugatuaji wa madaraka kwenda kwenye Kanda, lakini masuala yote yahusuyo fedha tumeshikilia sisi Makao Makuu. Hata Mikutano ya hadhara inaandaliwa na Sekretarieti ya Taifa badala ya kugatua madaraka kwa walio chini ili chama kifanye kazi kama team work".

    "Hili tutalifanyia Kazi kwa weledi wa hali ya juu sana; baada ya uchaguzi kama tukiaminiwa na wanachama wenzetu na wakaamua kutupa dhamana ya kuunda mfumo dhabiti wa uongozi".

    2. SUALA LA WABUNGE VITI WA MAALUM

    "Siku ile ya hotuba yangu nilisema, kama wanachama wenzetu wakituamini kuunda mfumo mpya wa uongozi ndani ya chama chetu, tutaweka ukomo wa muda wa kuutumikia ubunge wa viti maalum ili kutoa fursa kwa wamama wa BAWACHA wengi zaidi kuipata hii fursa; kwa mfano, tunaweza kuweka kwamba;

    "Ukishatumikia viti maalum kwa kipindi cha miaka (5) mitano unatafuta jimbo ukapambane kwenye ubunge wa jimbo maana baada ya hiyo miaka (5) mitano xya kuwepo bungeni unakuwa umepata kianzio cha kukuwezesha ili uwapishe na wengine wapate fursa maana wote wanakipigania chama hiki kwa gharama kubwa na mapito magumu sana".

    3. KUYUMBA KWA MISIMAMO YETU YA CHAMA

    "Itakuwa ni makosa sana kuingia kwenye uchaguzi wa mwaka 2025 kama hakuna mabadiliko ya mambo ya msingi ambayo mara zote yamekuwa vipaumbele vyetu kama chama. Tumefanya makosa huko nyuma mara nyingi sana kuigeuka kama sio kuisaliti kwa maksudi kabisa misimamo yetu ya kuibana dola ya CCM ikiwemo misimamo yetu ya kutoshiriki hizi chaguzi za ajabu; na ndio maana hawa CCM na dola yao wamepata kiburi cha kufanya yale wanayotaka na tunaufyata".

    "Kama wanachama wenzetu wakituamini, tutaonyesha njia nini kifanyike ili hawa ambao miaka yote wameshindwa kutusikia tunadai yapi, watatusikia maana hakuna namna zaidi ya kusimama kwenye misimamo yetu kama chama cha upinzani kinachotegemewa na umma kuipumzisha hii CCM"

    4. SUALA LA MPANGO WA VURUGU SIKU YA UCHAGUZI

    "Nimepewa taarifa na mtu wa heshima sana kuhusu maandalizi ya vurugu kwenye uchaguzi. Kuna watu wanaandaliwa waje waingie ukumbini kama Wanachama, kumbe wapo kwa kazi maalum ya kutorosha masanduku ya kura watakapogundua kwamba, mambo ya upande wao hayako sawa; na mhusika amenidokeza kwamba;

    "Vyovyote vile itakavyokuwa, tuhakikishe uchaguzi unafanyika wakati wa mchana na ameonya uchaguzi usifanyike usiku kwa sababu kuna possibility ya wenzetu kuzima taa zote ili kufanikisha utoroshaji wa kura ama kuingiza ndani kura feki".

    "Taarifa hizi tumezipokea; lakini Katibu Mkuu wa Chama anapaswa kutoa ufafanuzi kuhusu huu mchakato wa uchaguzi utakavyokuwa ili kuhakikisha unakuwa uchaguzi ulio huru na wa haki".

    5. SUALA LA HALI YA CHAMA HUKO TUENDAKO

    "Tazameni chama chetu kinavyozidi kupoteza ile ARI na MORALI ya umma kutuunga mkono kama chama kikuu cha upinzani. Tazameni hata ile nguvu yetu ya vijana iliyokuwa inapelekea chama chetu kiitwe chama cha vijana leo hakuna tena nguvu ya vijana ambao ndio nguvu tegemeo ya chama hasa chama kama CHADEMA kinacholenga kukiondoa chama dola madarakani".

    Leo hii vijana wanaona bora wakacheze pool table na ku-bet mitaani kuliko kukipigania chama chao. Ni kwa nini tumefika kwenye hali hii? Hili ndilo swali la msingi sana ambalo wanachama wenzetu wanaokuja kwenye mkutano mkuu wanapaswa kujiuliza na watafakari hali ya hiki chama chetu itakuwaje miaka mitano mingine ijayo kama hatutabadili mifumo ya uongozi wa chama kupitia uchaguzi huu wa januari".

    6. SUALA LA WENJE NA ABDUL KUHONGA WATU

    "Katika hili niseme wazi hapa, kama kweli nimewahi kuomba msamaha kwenye Kamati Kuu kuhusu suala hilo la Abdul kama Wenje alivyosikika akisema, niombe watoe hadharani ile video nzima iliyokuwa inarekodiwa kikaoni pasipo kuihariri jambo lolote kama watathubutu kufanya hivyo".

    "Kwa kuwa walirekodi ili itumike kama ushahidi wa kuondoa sintofahamu ya jambo hili kwa umma, mimi napendekeza iwekwe hadharani ama hata sauti yake tu ili umma usikilize halafu umma wenyewe utasema umeelewa nini kuhusu chama chao kilipofika na kinapoelekea kama ni salama ama sio salama chini ya watu wale wale".

    Tundu A. Lissu,
    Mgombea Uenyekiti CHADEMA,
    Live Clubhouse Usiku.
    23 Desemba, 2024.
    HOJA/NONDO (6) SITA ZA LISSU AKIWA LIVE CLUBHOUSE LEO USIKU 1. SUALA LA MGAO WA RUZUKU "Suala la mgao wa Ruzuku ya chama kwenda kwenye ngazi za Wilaya na Mikoa hata kama ni kidogo lilishakuwa changamoto kubwa sana ndani ya chama chetu licha ya kelele nyingi tunazopiga". "Tumefanya ugatuaji wa madaraka kwenda kwenye Kanda, lakini masuala yote yahusuyo fedha tumeshikilia sisi Makao Makuu. Hata Mikutano ya hadhara inaandaliwa na Sekretarieti ya Taifa badala ya kugatua madaraka kwa walio chini ili chama kifanye kazi kama team work". "Hili tutalifanyia Kazi kwa weledi wa hali ya juu sana; baada ya uchaguzi kama tukiaminiwa na wanachama wenzetu na wakaamua kutupa dhamana ya kuunda mfumo dhabiti wa uongozi". 2. SUALA LA WABUNGE VITI WA MAALUM "Siku ile ya hotuba yangu nilisema, kama wanachama wenzetu wakituamini kuunda mfumo mpya wa uongozi ndani ya chama chetu, tutaweka ukomo wa muda wa kuutumikia ubunge wa viti maalum ili kutoa fursa kwa wamama wa BAWACHA wengi zaidi kuipata hii fursa; kwa mfano, tunaweza kuweka kwamba; "Ukishatumikia viti maalum kwa kipindi cha miaka (5) mitano unatafuta jimbo ukapambane kwenye ubunge wa jimbo maana baada ya hiyo miaka (5) mitano xya kuwepo bungeni unakuwa umepata kianzio cha kukuwezesha ili uwapishe na wengine wapate fursa maana wote wanakipigania chama hiki kwa gharama kubwa na mapito magumu sana". 3. KUYUMBA KWA MISIMAMO YETU YA CHAMA "Itakuwa ni makosa sana kuingia kwenye uchaguzi wa mwaka 2025 kama hakuna mabadiliko ya mambo ya msingi ambayo mara zote yamekuwa vipaumbele vyetu kama chama. Tumefanya makosa huko nyuma mara nyingi sana kuigeuka kama sio kuisaliti kwa maksudi kabisa misimamo yetu ya kuibana dola ya CCM ikiwemo misimamo yetu ya kutoshiriki hizi chaguzi za ajabu; na ndio maana hawa CCM na dola yao wamepata kiburi cha kufanya yale wanayotaka na tunaufyata". "Kama wanachama wenzetu wakituamini, tutaonyesha njia nini kifanyike ili hawa ambao miaka yote wameshindwa kutusikia tunadai yapi, watatusikia maana hakuna namna zaidi ya kusimama kwenye misimamo yetu kama chama cha upinzani kinachotegemewa na umma kuipumzisha hii CCM" 4. SUALA LA MPANGO WA VURUGU SIKU YA UCHAGUZI "Nimepewa taarifa na mtu wa heshima sana kuhusu maandalizi ya vurugu kwenye uchaguzi. Kuna watu wanaandaliwa waje waingie ukumbini kama Wanachama, kumbe wapo kwa kazi maalum ya kutorosha masanduku ya kura watakapogundua kwamba, mambo ya upande wao hayako sawa; na mhusika amenidokeza kwamba; "Vyovyote vile itakavyokuwa, tuhakikishe uchaguzi unafanyika wakati wa mchana na ameonya uchaguzi usifanyike usiku kwa sababu kuna possibility ya wenzetu kuzima taa zote ili kufanikisha utoroshaji wa kura ama kuingiza ndani kura feki". "Taarifa hizi tumezipokea; lakini Katibu Mkuu wa Chama anapaswa kutoa ufafanuzi kuhusu huu mchakato wa uchaguzi utakavyokuwa ili kuhakikisha unakuwa uchaguzi ulio huru na wa haki". 5. SUALA LA HALI YA CHAMA HUKO TUENDAKO "Tazameni chama chetu kinavyozidi kupoteza ile ARI na MORALI ya umma kutuunga mkono kama chama kikuu cha upinzani. Tazameni hata ile nguvu yetu ya vijana iliyokuwa inapelekea chama chetu kiitwe chama cha vijana leo hakuna tena nguvu ya vijana ambao ndio nguvu tegemeo ya chama hasa chama kama CHADEMA kinacholenga kukiondoa chama dola madarakani". Leo hii vijana wanaona bora wakacheze pool table na ku-bet mitaani kuliko kukipigania chama chao. Ni kwa nini tumefika kwenye hali hii? Hili ndilo swali la msingi sana ambalo wanachama wenzetu wanaokuja kwenye mkutano mkuu wanapaswa kujiuliza na watafakari hali ya hiki chama chetu itakuwaje miaka mitano mingine ijayo kama hatutabadili mifumo ya uongozi wa chama kupitia uchaguzi huu wa januari". 6. SUALA LA WENJE NA ABDUL KUHONGA WATU "Katika hili niseme wazi hapa, kama kweli nimewahi kuomba msamaha kwenye Kamati Kuu kuhusu suala hilo la Abdul kama Wenje alivyosikika akisema, niombe watoe hadharani ile video nzima iliyokuwa inarekodiwa kikaoni pasipo kuihariri jambo lolote kama watathubutu kufanya hivyo". "Kwa kuwa walirekodi ili itumike kama ushahidi wa kuondoa sintofahamu ya jambo hili kwa umma, mimi napendekeza iwekwe hadharani ama hata sauti yake tu ili umma usikilize halafu umma wenyewe utasema umeelewa nini kuhusu chama chao kilipofika na kinapoelekea kama ni salama ama sio salama chini ya watu wale wale". Tundu A. Lissu, Mgombea Uenyekiti CHADEMA, Live Clubhouse Usiku. 23 Desemba, 2024.
    Love
    Like
    5
    · 1 Comentários ·0 Compartilhamentos ·1K Visualizações
  • MBWA KICHAA NA USIKU WA GIZA

    Ilianza kama usiku wa kawaida kijijini Mavumbi. Watu walikuwa wamejifungia ndani ya nyumba zao baada ya kushuhudia mwezi mwekundu ukipaa angani. Hii ilikuwa ishara ya giza kwa wakazi wa kijiji, maana waliamini mwezi huu huamsha nguvu za viumbe vya kishetani.

    Kamau, mchungaji wa ng'ombe, alikuwa ameachwa na shangazi yake ndani ya kibanda kidogo pembeni ya msitu. Shangazi yake alimuonya kuwa asithubutu kutoka nje, lakini Kamau alikuwa na ujasiri wa kijinga wa kijana wa miaka kumi na sita.

    Akiwa ameketi karibu na moto, Kamau alisikia mlio wa mbali wa mbwa ukisogea karibu. Mlio huo haukuwa wa kawaida – ulikuwa wa kutisha, kama wimbo wa mauti. Kila mbwa kijijini alijulikana, lakini sauti hii haikuwahi kusikika hapo awali.

    Moto ulipoanza kuzima, Kamau alihisi upepo wa ajabu ukipita. Akaona kivuli kikubwa kikimzunguka, na kisha akaona macho mekundu yakimwangalia nje ya dirisha. Mbwa huyo alikuwa mkubwa kuliko mbwa yeyote aliyewahi kumuona, manyoya yake yakiwa yamejaa matope na damu iliyokauka.

    Kamau alishtuka alipogundua kuwa mbwa huyo hakusogea bali alikuwa amesimama pale pale, akitabasamu kwa namna isiyo ya kawaida. Kisha ghafla, mlango wa kibanda ulifunguka bila mtu kuufungua. Mbwa huyo akaingia ndani polepole, miguu yake ikigonga sakafu kwa mlio wa chuma.

    Kamau alijaribu kupiga kelele, lakini sauti yake haikutoka. Mbwa huyo akasema kwa sauti nzito isiyo ya kawaida, "Wewe ni wa mwisho, Kamau. Familia yako yote imeondoka. Sasa, ni zamu yako."

    Akiwa amepooza kwa hofu, Kamau alikumbuka kifaa kimoja cha zamani ambacho shangazi yake alimwambia kilikuwa na nguvu ya kuondoa pepo waovu – kikombe cha mti kilichowekwa chini ya kitanda. Kwa juhudi za mwisho, Kamau alijitupa chini ya kitanda, akakivuta kikombe, na kumwaga maji yaliyokuwa ndani yake kuelekea kwa mbwa huyo.

    Mlio wa maumivu ulitanda kote kibandani, na mwanga wa ajabu ulijaa kila kona. Mbwa huyo alipotea ghafla, akiacha moshi mzito wenye harufu mbaya.

    Kamau alinusurika, lakini hakuwahi tena kuzungumza. Wanasema, kila mwezi mwekundu unapoonekana, mbwa kichaa hurejea kutafuta mwathirika mpya.

    Usiku huu, je, wewe uko tayari?
    MBWA KICHAA NA USIKU WA GIZA Ilianza kama usiku wa kawaida kijijini Mavumbi. Watu walikuwa wamejifungia ndani ya nyumba zao baada ya kushuhudia mwezi mwekundu ukipaa angani. Hii ilikuwa ishara ya giza kwa wakazi wa kijiji, maana waliamini mwezi huu huamsha nguvu za viumbe vya kishetani. Kamau, mchungaji wa ng'ombe, alikuwa ameachwa na shangazi yake ndani ya kibanda kidogo pembeni ya msitu. Shangazi yake alimuonya kuwa asithubutu kutoka nje, lakini Kamau alikuwa na ujasiri wa kijinga wa kijana wa miaka kumi na sita. Akiwa ameketi karibu na moto, Kamau alisikia mlio wa mbali wa mbwa ukisogea karibu. Mlio huo haukuwa wa kawaida – ulikuwa wa kutisha, kama wimbo wa mauti. Kila mbwa kijijini alijulikana, lakini sauti hii haikuwahi kusikika hapo awali. Moto ulipoanza kuzima, Kamau alihisi upepo wa ajabu ukipita. Akaona kivuli kikubwa kikimzunguka, na kisha akaona macho mekundu yakimwangalia nje ya dirisha. Mbwa huyo alikuwa mkubwa kuliko mbwa yeyote aliyewahi kumuona, manyoya yake yakiwa yamejaa matope na damu iliyokauka. Kamau alishtuka alipogundua kuwa mbwa huyo hakusogea bali alikuwa amesimama pale pale, akitabasamu kwa namna isiyo ya kawaida. Kisha ghafla, mlango wa kibanda ulifunguka bila mtu kuufungua. Mbwa huyo akaingia ndani polepole, miguu yake ikigonga sakafu kwa mlio wa chuma. Kamau alijaribu kupiga kelele, lakini sauti yake haikutoka. Mbwa huyo akasema kwa sauti nzito isiyo ya kawaida, "Wewe ni wa mwisho, Kamau. Familia yako yote imeondoka. Sasa, ni zamu yako." Akiwa amepooza kwa hofu, Kamau alikumbuka kifaa kimoja cha zamani ambacho shangazi yake alimwambia kilikuwa na nguvu ya kuondoa pepo waovu – kikombe cha mti kilichowekwa chini ya kitanda. Kwa juhudi za mwisho, Kamau alijitupa chini ya kitanda, akakivuta kikombe, na kumwaga maji yaliyokuwa ndani yake kuelekea kwa mbwa huyo. Mlio wa maumivu ulitanda kote kibandani, na mwanga wa ajabu ulijaa kila kona. Mbwa huyo alipotea ghafla, akiacha moshi mzito wenye harufu mbaya. Kamau alinusurika, lakini hakuwahi tena kuzungumza. Wanasema, kila mwezi mwekundu unapoonekana, mbwa kichaa hurejea kutafuta mwathirika mpya. Usiku huu, je, wewe uko tayari?
    Like
    1
    · 1 Comentários ·0 Compartilhamentos ·840 Visualizações

  • KAMA UNAELEWA SAYANSI YA MPIRA UTAMUELEWA FADLU, SIMBA YA JANA

    Sayansi ya mpira inasema kabla ya mechi msome sana mpinzani, wazungu wanaita game guiding, lakini pia wakati wa mchezo, ile mechi inaanza tu shika peni na karatasi noti vitu muhimu kwa mpinzani, amekuja kujaje.

    Itasaidia kukupa ABC kudili naye, kutambua ulipo ubora wake & ulipo udhaifu wake. Unaweza kuvunja mitego yake, vunja. Kuna eneo yeye ni bora sana, wewe boresha ilipo nguvu yako kwa lengo la kuudhibiti ubora wake.

    Davids Fadlu kaichukua Simba ambapo moja kati ya eneo lilikuwa linavuja sana ni safu ya ulinzi. Kutoruhusu goli mechi mbili za Ligi Kuu NBC haiwezi kutumika kama guarantee ya kwenda kujilipua ugenini mchezo wa CAF mtoano mbele ya Waarabu.

    Nidhamu ya kwanza ya kimbinu kama mpango kazi, inakulazimu plan A iwe ni kuziba mianya kwa namba kubwa. Sio tena kazi ya mabeki pekee hiyo bali kazi ya timu. System ni mid-block.

    Ilikuwa ni rahisi kumuona mtu kama deep playmaker Deborah Fernandes Mavambo akicheza zaidi chini kuliko ilivyozoeleka. Game Aproach ilimhitaji acheze hivyo.

    Plan A ya kuzima mashambulizi ya mpinzani ilitiki, Plan B ya counter attack ikakataa.Mutale&Balua wakimezwa. Kwenye football kawaida inatokea, kimoja kukubali, kingine kukataa.

    Take away:Bora nusu kitu kuliko kukosa kabisa.
    #paulswai
    KAMA UNAELEWA SAYANSI YA MPIRA UTAMUELEWA FADLU, SIMBA YA JANA Sayansi ya mpira inasema kabla ya mechi msome sana mpinzani, wazungu wanaita game guiding, lakini pia wakati wa mchezo, ile mechi inaanza tu shika peni na karatasi noti vitu muhimu kwa mpinzani, amekuja kujaje. Itasaidia kukupa ABC kudili naye, kutambua ulipo ubora wake & ulipo udhaifu wake. Unaweza kuvunja mitego yake, vunja. Kuna eneo yeye ni bora sana, wewe boresha ilipo nguvu yako kwa lengo la kuudhibiti ubora wake. Davids Fadlu kaichukua Simba ambapo moja kati ya eneo lilikuwa linavuja sana ni safu ya ulinzi. Kutoruhusu goli mechi mbili za Ligi Kuu NBC haiwezi kutumika kama guarantee ya kwenda kujilipua ugenini mchezo wa CAF mtoano mbele ya Waarabu. Nidhamu ya kwanza ya kimbinu kama mpango kazi, inakulazimu plan A iwe ni kuziba mianya kwa namba kubwa. Sio tena kazi ya mabeki pekee hiyo bali kazi ya timu. System ni mid-block. Ilikuwa ni rahisi kumuona mtu kama deep playmaker Deborah Fernandes Mavambo akicheza zaidi chini kuliko ilivyozoeleka. Game Aproach ilimhitaji acheze hivyo. Plan A ya kuzima mashambulizi ya mpinzani ilitiki, Plan B ya counter attack ikakataa.Mutale&Balua wakimezwa. Kwenye football kawaida inatokea, kimoja kukubali, kingine kukataa. Take away:Bora nusu kitu kuliko kukosa kabisa. #paulswai
    Like
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·1K Visualizações

  • Utu Uzima Dawa.!
    #paulswai

    Utu Uzima Dawa.! 😂‼️😜 #paulswai
    Like
    Love
    4
    · 1 Comentários ·0 Compartilhamentos ·427 Visualizações ·41
  • #Kuteseka Kwa Kutenda Mema

    8 Hatimaye, ninyi nyote kuweni na nia moja, wenye kuhurumiana, mkipendana kama ndugu, na mwe wasikitivu na wanyenyekevu.
    9 Msilipe ovu kwa ovu, au jeuri kwa jeuri, bali barikini, kwa maana hili ndilo mliloitiwa ili mpate kurithi baraka.
    10 Kwa maana,
    “Yeyote apendaye uzima
    na kuona siku njema,
    basi auzuie ulimi wake usinene mabaya,
    na midomo yake isiseme hila.
    11 Mtu huyo lazima aache uovu, akatende mema;
    lazima aitafute amani na kuifuatilia sana.
    12 Kwa maana macho ya Bwana
    huwaelekea wenye haki,
    na masikio yake yako makini
    kusikiliza maombi yao.
    Bali uso wa Bwana uko kinyume
    na watendao maovu.”

    1 Petro 3:8-12
    #Kuteseka Kwa Kutenda Mema 8 Hatimaye, ninyi nyote kuweni na nia moja, wenye kuhurumiana, mkipendana kama ndugu, na mwe wasikitivu na wanyenyekevu. 9 Msilipe ovu kwa ovu, au jeuri kwa jeuri, bali barikini, kwa maana hili ndilo mliloitiwa ili mpate kurithi baraka. 10 Kwa maana, “Yeyote apendaye uzima na kuona siku njema, basi auzuie ulimi wake usinene mabaya, na midomo yake isiseme hila. 11 Mtu huyo lazima aache uovu, akatende mema; lazima aitafute amani na kuifuatilia sana. 12 Kwa maana macho ya Bwana huwaelekea wenye haki, na masikio yake yako makini kusikiliza maombi yao. Bali uso wa Bwana uko kinyume na watendao maovu.” 1 Petro 3:8-12
    Like
    Love
    4
    · 1 Comentários ·0 Compartilhamentos ·748 Visualizações
Páginas Impulsionadas