Hongera Timu ya Taifa ya wanaume U20 @ngorongoroheroes kwa kufuzu AFCON U20 2025.
#paulswai
Search
Discover new people, create new connections and make new friends
-
Please log in to like, share and comment!
-
Nilienda GUEST Leo nakupiga kelele MKEO ANAKUJAAAAA wanaume wengi mnoo walikimbia kutoka vyumbani. NAKESHO NAENDA GUEST INGINE
#MTOTOKIBANilienda GUEST Leo nakupiga kelele MKEO ANAKUJAAAAA wanaume wengi mnoo walikimbia kutoka vyumbani. NAKESHO NAENDA GUEST INGINE #MTOTOKIBA -
kaka habari ya kazi mimi nilikuwa naomba ushauri mume wangu tulikuwa tuaishi vizuri tu, baadae akaja akabadilika analala nje ukimuuliza anakuwa mkali, basi nikamuacha kumuuliza nikawa navumilia,siku moja akaniambia mke wangu hapa naona maisha yamekuwa magumu nataka niende sehemu nyingine nikatafute hela nikasema sawa baada ya kuondoka akawa hanipigii simu wala kutuma sms,nikimpigia simu kumuambia matumizi ananiambia sina hela yeyote..
Hivohivo mwisho wa siku akaniambia tusijuane yeye amempata mwanamke anaempenda na mimi nitafute mwanaume niolewe na akaacha kumtafuta maana pale tulipokuwa tunaishi kodi ilikuwa imeisha nikatafuta chumba cha bei nafuu maisha yakaendelea,baada ya mwezi mmoja akanifuta akaniambia nimerudi nilikuwa naomba nije nimsalimie mtoto mimi nikakataa
Basi yakaendelea akaja akaumwa mtoto nikamuambia akatoa fedha ya matibabu, ndipo nikamuuliza unaishi wapi akaniambia amepanga yupo kutafuta hela akipata ndipo atarudi nyumbani kuishi na sisi. nilikuwa naomba ushauri wenu huyu mwanaume niendelee kumsubiri?
[ Unaweza kuuza na kununua bidhaa kupitia https://www.niuziechap.co.tz/ ]
Au jiunge na WhatsApp Channel yangu kwa mahitaji ya Mchumba na Simulizi na video na stories kibao
Link https://bit.ly/4b6xGV4
______________________________________
â– Kama una jambo linakutatiza usikae nalo linaweza kuharibu hatima ya maisha yako, tushirikishe, tusaidiane na tushauriane.. Nitumie ujumbe WhatsApp 0625 791 849kaka habari ya kazi mimi nilikuwa naomba ushauri mume wangu tulikuwa tuaishi vizuri tu, baadae akaja akabadilika analala nje ukimuuliza anakuwa mkali, basi nikamuacha kumuuliza nikawa navumilia,siku moja akaniambia mke wangu hapa naona maisha yamekuwa magumu nataka niende sehemu nyingine nikatafute hela nikasema sawa baada ya kuondoka akawa hanipigii simu wala kutuma sms,nikimpigia simu kumuambia matumizi ananiambia sina hela yeyote.. Hivohivo mwisho wa siku akaniambia tusijuane yeye amempata mwanamke anaempenda na mimi nitafute mwanaume niolewe na akaacha kumtafuta maana pale tulipokuwa tunaishi kodi ilikuwa imeisha nikatafuta chumba cha bei nafuu maisha yakaendelea,baada ya mwezi mmoja akanifuta akaniambia nimerudi nilikuwa naomba nije nimsalimie mtoto mimi nikakataa Basi yakaendelea akaja akaumwa mtoto nikamuambia akatoa fedha ya matibabu, ndipo nikamuuliza unaishi wapi akaniambia amepanga yupo kutafuta hela akipata ndipo atarudi nyumbani kuishi na sisi. nilikuwa naomba ushauri wenu huyu mwanaume niendelee kumsubiri? [ Unaweza kuuza na kununua bidhaa kupitia https://www.niuziechap.co.tz/ ] Au jiunge na WhatsApp Channel yangu kwa mahitaji ya Mchumba na Simulizi na video na stories kibao Link https://bit.ly/4b6xGV4 ______________________________________ â– Kama una jambo linakutatiza usikae nalo linaweza kuharibu hatima ya maisha yako, tushirikishe, tusaidiane na tushauriane.. Nitumie ujumbe WhatsApp 0625 791 849 -
Ukitaka kuoa zingatia mambo yafuatayo..
1)mwanaume unatakiwa kuoa mwanamke aliyekuzidi umri usiopungua miaka kumi na tano na kuendelea
2)Mwanamke usiolewe na mwanaume aliyekuzidi umri au kufanana umri..isipokuwa anayekupenda ila asiwe na sifa na vigezo mnavyotaka..isipokuwa akumudu ktk tendo.....NB nitafafanua zaidi katika nalala zijazo..katika hizo ainaUkitaka kuoa zingatia mambo yafuatayo.. 1)mwanaume unatakiwa kuoa mwanamke aliyekuzidi umri usiopungua miaka kumi na tano na kuendelea 2)Mwanamke usiolewe na mwanaume aliyekuzidi umri au kufanana umri..isipokuwa anayekupenda ila asiwe na sifa na vigezo mnavyotaka..isipokuwa akumudu ktk tendo.....NB nitafafanua zaidi katika nalala zijazo..katika hizo aina -
Licha ya kumwambia mwanae wanaume ni wabaya lakini yeye bado yupo na mmoja waoLicha ya kumwambia mwanae wanaume ni wabaya lakini yeye bado yupo na mmoja wao
-
Ile umeamka tu Ahsubuhi unaambiwa Unga umeisha, Mchele umeisha, Gesi nayo imekata, Mungu aendelee kusimama na wanaume wote Ulimwenguni.Ile umeamka tu Ahsubuhi unaambiwa Unga umeisha, Mchele umeisha, Gesi nayo imekata, Mungu aendelee kusimama na wanaume wote Ulimwenguni.
-
WANAUME WENGINE NI KAMA MAMBA.
"MAMBA Kila Asubuhi Huamka na Kutoka Nje ya MAJI, Kisha Huachama na Kuacha MDOMO Wake Wazi Hali inayopelekea Kutoa Harufu Mbaya Ambayo Huwafanya NZI Kuvutiwa Nayo na Kuikimbilia Haraka Wakijua Wamepata CHAKULA Cha BURE, na Wakishajaa tu Mdomoni MAMBA Hufunga Mdomo Wake na Kuwatafuna Wote na Kumfanya MAMBA Apate Kifungua Kinywa na Kufaidika Zaidi Kisha Hurudi Zake Majini, Until Further Notice!
"...Ndivyo Walivyo Hata Baadhi ya WANAUME, Wengi ni Kama MAMBA, Atakuonyesha na Kukuvuta Kwa Mambo Mazuri na Vitu Vingi Vyakutamanika Kama Hela, Gari, AHadi Nzuri, Zawadi, Nyumba, n k Nawewe Ukaingia Kwenye Mfumo Ukizani Wewe ndo Utafaidi na Kunufaika Kumbe Anakusubiri Ujae Kisha AKUTAFUNE Kama NZI Mdomoni Mwa MAMBA!
"..Huu Ndio Unaitwa UPENDO wa MAMBA na Ndio Umeacha Maumivu, Vidonda, Machozi, Mimba, Majuto, Magonjwa na Usaliti Kwa Mabinti/Wanawake Wengi, Waliozani Wanapendwa na Kwamba Watafaidi Hizo Hela, AHadi Nzuri, Gari, Zawadi Walizoonyeshwa na Kupewa, Bila Kujua Huo ni Mtego Wa MAMBA Kujipatia KIFUNGUA KINYWA na Kushibisha MATAMANIO Yake, Mwisho Wakajikuta Kwenye Dimbwi Zito la MAJUTO, MACHOZI, GIZA na KUHARIBIKIWA MAISHA YAO"
"..Dear LADIES, Hata Eva Wakati Anapewa AHadi Nzuri ya Tunda Kule Eden Alizani Anapendwa na Kujariwa, Kumbe Lilikuwa na Agenda Yake na Ndilo Lililoleta Mauti, Machozi, Maumivu, Kufukuzwa Bustanini na Kuzaa Kwa Uchungu Mpaka Leo"
..So Binti Be Very Careful na Huo UPENDO wa MAMBA Anaokuonyesha Huyo Jamaa Unayemuita Mpenzi au Mchumba!
Mwenye Masikio na Asikie!
*-MUNGU KWANZA-*WANAUME WENGINE NI KAMA MAMBA. "MAMBA Kila Asubuhi Huamka na Kutoka Nje ya MAJI, Kisha Huachama na Kuacha MDOMO Wake Wazi Hali inayopelekea Kutoa Harufu Mbaya Ambayo Huwafanya NZI Kuvutiwa Nayo na Kuikimbilia Haraka Wakijua Wamepata CHAKULA Cha BURE, na Wakishajaa tu Mdomoni MAMBA Hufunga Mdomo Wake na Kuwatafuna Wote na Kumfanya MAMBA Apate Kifungua Kinywa na Kufaidika Zaidi Kisha Hurudi Zake Majini, Until Further Notice! "...Ndivyo Walivyo Hata Baadhi ya WANAUME, Wengi ni Kama MAMBA, Atakuonyesha na Kukuvuta Kwa Mambo Mazuri na Vitu Vingi Vyakutamanika Kama Hela, Gari, AHadi Nzuri, Zawadi, Nyumba, n k Nawewe Ukaingia Kwenye Mfumo Ukizani Wewe ndo Utafaidi na Kunufaika Kumbe Anakusubiri Ujae Kisha AKUTAFUNE Kama NZI Mdomoni Mwa MAMBA! "..Huu Ndio Unaitwa UPENDO wa MAMBA na Ndio Umeacha Maumivu, Vidonda, Machozi, Mimba, Majuto, Magonjwa na Usaliti Kwa Mabinti/Wanawake Wengi, Waliozani Wanapendwa na Kwamba Watafaidi Hizo Hela, AHadi Nzuri, Gari, Zawadi Walizoonyeshwa na Kupewa, Bila Kujua Huo ni Mtego Wa MAMBA Kujipatia KIFUNGUA KINYWA na Kushibisha MATAMANIO Yake, Mwisho Wakajikuta Kwenye Dimbwi Zito la MAJUTO, MACHOZI, GIZA na KUHARIBIKIWA MAISHA YAO" "..Dear LADIES, Hata Eva Wakati Anapewa AHadi Nzuri ya Tunda Kule Eden Alizani Anapendwa na Kujariwa, Kumbe Lilikuwa na Agenda Yake na Ndilo Lililoleta Mauti, Machozi, Maumivu, Kufukuzwa Bustanini na Kuzaa Kwa Uchungu Mpaka Leo" ..So Binti Be Very Careful na Huo UPENDO wa MAMBA Anaokuonyesha Huyo Jamaa Unayemuita Mpenzi au Mchumba! Mwenye Masikio na Asikie! *-MUNGU KWANZA-*0 Comments 0 Shares 413 Views -
tupo motoni tuna ungua .....kira mtu ana lia
Namuona hadi pastor ...... Nayeye ana ungua....//
Aiseee cyo powaa ... Raia naona wengi
Namuona hadi wife .... Aisee naona mengi.....//
Vilio vmetawala..... Wanaume wanawake
Kira mtu ana lia .... Kwajili ya zambi zake......//
machoz yamejaa... Ayazimi ata moto
Sio wakubwa ndugu .....wanaungua hadi watoto.......//
Namuona shetani .....ana ungua akicheka
Anaonekana ana amani .... Sisi tunateseka ......//
Inatisha sanaa...... Jehanam sio powa
Aichagui mwenye zambi ....ata uwe changu doa......//
Wote tumeungua .... Tuna rangi moja
tumefunikwa na moto ..... Tunalia kira mmoja.....//
Akuna uokoaji ..... Huu moto unatisha
Ata uwe zima moto..... Kwa huu moto unasepa......//tupo motoni tuna ungua .....kira mtu ana lia Namuona hadi pastor ...... Nayeye ana ungua....// Aiseee cyo powaa ... Raia naona wengi Namuona hadi wife .... Aisee naona mengi.....// Vilio vmetawala..... Wanaume wanawake Kira mtu ana lia .... Kwajili ya zambi zake......// machoz yamejaa... Ayazimi ata moto Sio wakubwa ndugu .....wanaungua hadi watoto.......// Namuona shetani .....ana ungua akicheka Anaonekana ana amani .... Sisi tunateseka ......// Inatisha sanaa...... Jehanam sio powa Aichagui mwenye zambi ....ata uwe changu doa......// Wote tumeungua .... Tuna rangi moja tumefunikwa na moto ..... Tunalia kira mmoja.....// Akuna uokoaji ..... Huu moto unatisha Ata uwe zima moto..... Kwa huu moto unasepa......// -
Kuna sura.. ya ukweli na sura.. ya upendo..
Izi zinafanana kama kicheko na sura.. ya mapengo..
Sura.. nyngne kavu zikikuona hazikupi atashavu..
Sina ela izi ndo sura.. za tabu.
Sura.. ya majuto hii ni sura.. ya babu..
Akikumbuka jins ulivyospnd ujana kwenye club..
Sura.. ya kihard core ndo sura.. ya humu..
Wapo wanaume wnye sura.. ya mamu..
Sura.. ya kujijenga ndo sura.. ya mafanikio..
Sura.. ya penda penda haichelewi kwenda mbio..
Nashangaa hana sura.. safi muuza mafagio..
Sura.. nyingi za kinafki kwenye furah wanaleta kilio..
Sura.. ya uchesh ya boda ndo inasambaza vibend kwa wanao soma dada zetu..
Tega skio upate sura.. tulivu.. usitoe jicho pambana usiwe na sura.. ya uvivu..
Sura.. ya mateso ivue kabla haijafika kesho..
Mana akuna sura.. special kma sura.. ya leo..Kuna sura.. ya ukweli na sura.. ya upendo.. Izi zinafanana kama kicheko na sura.. ya mapengo.. Sura.. nyngne kavu zikikuona hazikupi atashavu.. Sina ela izi ndo sura.. za tabu. Sura.. ya majuto hii ni sura.. ya babu.. Akikumbuka jins ulivyospnd ujana kwenye club.. Sura.. ya kihard core ndo sura.. ya humu.. Wapo wanaume wnye sura.. ya mamu.. Sura.. ya kujijenga ndo sura.. ya mafanikio.. Sura.. ya penda penda haichelewi kwenda mbio.. Nashangaa hana sura.. safi muuza mafagio.. Sura.. nyingi za kinafki kwenye furah wanaleta kilio.. Sura.. ya uchesh ya boda ndo inasambaza vibend kwa wanao soma dada zetu.. Tega skio upate sura.. tulivu.. usitoe jicho pambana usiwe na sura.. ya uvivu.. Sura.. ya mateso ivue kabla haijafika kesho.. Mana akuna sura.. special kma sura.. ya leo..0 Comments 0 Shares 230 Views -
Mwanamke ambae hamiliki hata kitanda kisha anataka mwanaume mwenye gari huyo nae taahiraMwanamke ambae hamiliki hata kitanda kisha anataka mwanaume mwenye gari huyo nae taahira0 Comments 0 Shares 70 Views
More Results