• 6/21 .MTAKATIFU ANAYE ISHI.

    Utakatifu ni kitendo cha kutakaswa. na kutakaswa ni kuwa safi .
    Kiebrania HAGOIS usimama kama maneno ,vitu na watu waliotengwa kwa ajiri ya Mungu.

    1samweli 2:2
    *Hakuna aliye mtakatifu kama BWANA; Kwa maana hakuna yeyote ila wewe, Wala hakuna mwamba kama Mungu wetu*

    Fasiri stahiki ni kuwa Mungu ana viwango vyake vya utakatifu tofauti na sisi wanadamu .

    Lengo la Mungu kumuumba mwanadamu ilikuwa awe copy yake au mfano wake .
    Mwanzo 2:27
    *Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba, mwanamume na mwanamke aliwaumba*

    Kama sisi tu mfano au mfanano na Mungu wetu kwa asili ni mtakatifu kumbe hata sisi yatupasa kuwa watakatifu.

    Lawi 19:2.
    *Nena na mkutano wote wa wana wa Israeli, uwaambie, Mtakuwa watakatifu; kwa kuwa mimi BWANA, Mungu wenu, ni mtakatifu*

    Kuna watu sababu ya uelewa wao mkubwa utasikia hilo ni agano la kale sisi tuko ndani ya neema .

    Ok Petro mtume na shujaa aliye kabidhiwa kanisa na Kristo mwenyewe ananukuu

    1 Petro 1:15-16
    *Bali mnapaswa kuwa watakatifu katika mwenendo wenu wote, kama vile yule aliyewaiteni ni mtakatifu. Maandiko yasema: “Muwe watakatifu, kwa kuwa mimi alivyo mtakatifu.”*
    Utakatifu ndio unao tusogeza njia ya ukamolifu.
    Yesu mwenyewe anaonyesha
    Mathayo 5:48 NIV
    *Basi, muwe wakamilifu kama Baba yenu wa mbinguni alivyo mkamilifu.*

    Na ili uwe mkamilifu kama Mungu lazima uwe mtakatifu.

    Utakatifu kwetu si tukio u pendekezo bali ni maisha ya mwamini.

    *Sababu ya kanisa kukosa utakatifu tumezalisha kizazi cha kuombewa kila siku na hata wakati mwingine tunaishi na shida zetu sababu tumeshindwa mlingana mungu.*

    *Utakatifu kwa mwokovu ni swala la lazima na siyo hiari*

    Nakupenda wewe jasiri wa imani ambaye unamtafuta Mungu kuliko chochote kile na mungu lazima atakujibu tu kama hautazimia moyo.

    Kama wafuasi wa maisha ya kristo lazima utuishi katika utakatifu kwani ndiyo toka uumbaji MAPENZI yake MUNGU.

    Neno neema lisikuponze kiasi cha kuona kuwa upaswi kuishi kwa utakatifu ni kujipotezea muda wewe mwenyewe .

    Bwana awezi kuwa mkuu kwako ikiwa wewe uwezi kumuheshimu kiwango anacho stahili.

    Nazungumza na mtu mmoja ambaye ni praise team lakini pia kila weekend anazini kamwe uwezi muona Mungu sawa sawa na mapenzi yake.

    Kaka ukichagua kuokokz lazima uwe mtakatifu unayeishi duniani .

    Ok naitwa Sylvester Mwakabende kutoka BUILD NEW EDEN

    #build new eden
    #restore men position
    6/21 .MTAKATIFU ANAYE ISHI. Utakatifu ni kitendo cha kutakaswa. na kutakaswa ni kuwa safi . Kiebrania HAGOIS usimama kama maneno ,vitu na watu waliotengwa kwa ajiri ya Mungu. 1samweli 2:2 *Hakuna aliye mtakatifu kama BWANA; Kwa maana hakuna yeyote ila wewe, Wala hakuna mwamba kama Mungu wetu* Fasiri stahiki ni kuwa Mungu ana viwango vyake vya utakatifu tofauti na sisi wanadamu . Lengo la Mungu kumuumba mwanadamu ilikuwa awe copy yake au mfano wake . Mwanzo 2:27 *Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba, mwanamume na mwanamke aliwaumba* Kama sisi tu mfano au mfanano na Mungu wetu kwa asili ni mtakatifu kumbe hata sisi yatupasa kuwa watakatifu. Lawi 19:2. *Nena na mkutano wote wa wana wa Israeli, uwaambie, Mtakuwa watakatifu; kwa kuwa mimi BWANA, Mungu wenu, ni mtakatifu* Kuna watu sababu ya uelewa wao mkubwa馃ぃ utasikia hilo ni agano la kale sisi tuko ndani ya neema . Ok Petro mtume na shujaa aliye kabidhiwa kanisa na Kristo mwenyewe ananukuu 1 Petro 1:15-16 *Bali mnapaswa kuwa watakatifu katika mwenendo wenu wote, kama vile yule aliyewaiteni ni mtakatifu. Maandiko yasema: “Muwe watakatifu, kwa kuwa mimi alivyo mtakatifu.”* Utakatifu ndio unao tusogeza njia ya ukamolifu. Yesu mwenyewe anaonyesha Mathayo 5:48 NIV *Basi, muwe wakamilifu kama Baba yenu wa mbinguni alivyo mkamilifu.* Na ili uwe mkamilifu kama Mungu lazima uwe mtakatifu. Utakatifu kwetu si tukio u pendekezo bali ni maisha ya mwamini. *Sababu ya kanisa kukosa utakatifu tumezalisha kizazi cha kuombewa kila siku na hata wakati mwingine tunaishi na shida zetu sababu tumeshindwa mlingana mungu.* *Utakatifu kwa mwokovu ni swala la lazima na siyo hiari* Nakupenda wewe jasiri wa imani ambaye unamtafuta Mungu kuliko chochote kile na mungu lazima atakujibu tu kama hautazimia moyo. Kama wafuasi wa maisha ya kristo lazima utuishi katika utakatifu kwani ndiyo toka uumbaji MAPENZI yake MUNGU. Neno neema lisikuponze kiasi cha kuona kuwa upaswi kuishi kwa utakatifu ni kujipotezea muda wewe mwenyewe . Bwana awezi kuwa mkuu kwako ikiwa wewe uwezi kumuheshimu kiwango anacho stahili. Nazungumza na mtu mmoja ambaye ni praise team lakini pia kila weekend anazini kamwe uwezi muona Mungu sawa sawa na mapenzi yake. Kaka ukichagua kuokokz lazima uwe mtakatifu unayeishi duniani . Ok naitwa Sylvester Mwakabende kutoka BUILD NEW EDEN #build new eden #restore men position
    0 Comments 0 Shares 640 Views
  • weekend loading #mood #socialpopreels #viral #fire
    weekend loading #mood #socialpopreels #viral #fire
    Like
    Love
    6
    0 Comments 1 Shares 2K Views 12
  • Everyone is tired from the weekend, so I wish the whole world a happy rest!
    Everyone is tired from the weekend, so I wish the whole world a happy rest!
    0 Comments 0 Shares 770 Views
  • "Wenzetu kwa sasa wanapitia kipindi kigumu mno mpaka wanatembea na calculator, hesabu zao ni ngumu mno, safari yao ni dhahiri ipo ukingoni huenda weekend hii hii wakarudi rasmi nyumbani, Ibenge anaweza kuwanyoa yule. Simba ndio klabu professional, ndio klabu pekee nchini kwa sasa yenye uhakika wa kushinda popote, hatutembei na matumaini hewa tunasonga mbele kwa uhakika saiv tunahitaji point moja tu inatosha"- Ahmed Ally, Msemaji wa klabu ya Simba SC.

    "Wenzetu kwa sasa wanapitia kipindi kigumu mno mpaka wanatembea na calculator, hesabu zao ni ngumu mno, safari yao ni dhahiri ipo ukingoni huenda weekend hii hii wakarudi rasmi nyumbani, Ibenge anaweza kuwanyoa yule. Simba ndio klabu professional, ndio klabu pekee nchini kwa sasa yenye uhakika wa kushinda popote, hatutembei na matumaini hewa tunasonga mbele kwa uhakika saiv tunahitaji point moja tu inatosha"- Ahmed Ally, Msemaji wa klabu ya Simba SC.
    0 Comments 0 Shares 503 Views
  • Wanawake bora wanazo levels na class zao, hawasheherekei WEEKEND bali husheherekea MAFANIKIO. Hawapendi HARUSI bali wanapenda NDOA.

    Huweka mambo ya kipuuzi pembeni ili kufanikisha mambo ya msingi. Na mara wanapofanikiwa ndio huenda mahala na kujipongeza kwa kufikia mafanikio yao.

    Wanawake walio katika class zao hawawezi kumvumilia boyfriend asie na ndoto wala bidii yoyote ile katika maisha.
    Wanachelewa kulala sio kwa sababu wanachat na boyfriends wenye vichaa vya ngono bali kwa sababu wanaandika business proposal na kupanga mipango ya maendeleo.
    Wanawake walio ktk class zao hawachat na boyfriends ambao wanashindwa hata kuandika vizuri kwa sababu boufriends hao wako bize kuchat na wanawake wengine!

    Kwa sababu wanawake wanahitaji kuolewa, kwao ndoa sio ndio kila kitu na jambo la kuomba na kujirahisisha ili tu kuolewa. Wanafahamu falsafa ya "mtu bora, hutambua mtu bora" (real recognizes real). Wana-enjoy maisha sio kwa sababu ni weekend no, bali kwa sababu wamefanikiwa kwenye masomo, kazi, na career zao.
    Na kama wakienda ku-enjoy wanaenda wenyewe na wanarudi wenyewe! Hawaamki asubuhi wakiwa katika vitanda vigeni na wanaume wageni baada ya usiku kufanya vitu vigeni hawapotezi muda na wanaume wanaojiita wenye nazo mjini ambao nguvu yao ni pesa pekee lakini kichwani hamna kitu. Hawa ndio wanawake walio katika ubora wao!

    Tupate wapi wanawake kama hawa ! ?
    Wanawake bora wanazo levels na class zao, hawasheherekei WEEKEND bali husheherekea MAFANIKIO. Hawapendi HARUSI bali wanapenda NDOA. Huweka mambo ya kipuuzi pembeni ili kufanikisha mambo ya msingi. Na mara wanapofanikiwa ndio huenda mahala na kujipongeza kwa kufikia mafanikio yao. Wanawake walio katika class zao hawawezi kumvumilia boyfriend asie na ndoto wala bidii yoyote ile katika maisha. Wanachelewa kulala sio kwa sababu wanachat na boyfriends wenye vichaa vya ngono bali kwa sababu wanaandika business proposal na kupanga mipango ya maendeleo. Wanawake walio ktk class zao hawachat na boyfriends ambao wanashindwa hata kuandika vizuri kwa sababu boufriends hao wako bize kuchat na wanawake wengine! Kwa sababu wanawake wanahitaji kuolewa, kwao ndoa sio ndio kila kitu na jambo la kuomba na kujirahisisha ili tu kuolewa. Wanafahamu falsafa ya "mtu bora, hutambua mtu bora" (real recognizes real). Wana-enjoy maisha sio kwa sababu ni weekend no, bali kwa sababu wamefanikiwa kwenye masomo, kazi, na career zao. Na kama wakienda ku-enjoy wanaenda wenyewe na wanarudi wenyewe! Hawaamki asubuhi wakiwa katika vitanda vigeni na wanaume wageni baada ya usiku kufanya vitu vigeni hawapotezi muda na wanaume wanaojiita wenye nazo mjini ambao nguvu yao ni pesa pekee lakini kichwani hamna kitu. Hawa ndio wanawake walio katika ubora wao! Tupate wapi wanawake kama hawa ! ?
    0 Comments 0 Shares 805 Views
  • KWA WANANDOA NA WALE WANAOTARAJIA KUINGIA KATIKA NDOA.

    Mbebe mke wako pale anaposinzia akiwa sebuleni na mpeleke kulala, muda mwingine mfanye ajisikie kama mtoto mdogo.

    Ukweli ni kwamba kila mwanamke anapenda kudekezwa kama mtoto wa miaka miwili. Ndio maana muda mwingine wanawake hufanya mambo ya kitoto.

    Inawezekana ukawa na mabishano na mkeo na ukaona anafungasha mabegi yake na anataka kuondoka.

    Hiyo haimaanishi anataka kukuacha, ni utoto tu, anachotaka ni wewe umshike mkono, umvutie kwako, umtizame usoni kwake na umwambie 'Samahani kwa mabishano na kukukashifu, haitajirudia tena"

    Huyo ndiye mwanamke wako, ubavu wako, Eva wako. Kila Brother anahitaji kusoma chuo cha wanawake kabla hajaoa, soma vitabu kuhusu wao, soma vitabu vya dini vinasemaje juu ya kuishi nao na kamwe hautakuwa na tatizo la kuishi nae.

    Ingawa kunaweza kuwa na changamoto za hapa na pale, hiyo ni kwa sababu wote mmetoka katika familia tofauti, zenye malezi ya tofauti na historia tofauti.

    Hivyo basi soma vitabu kuhusu ndoa, pitia mafundisho mbalimbali ya walimu wa mahusiano kama Dr. Chris Mauki, Dr. Naahj Naahjum, Hezron, tizama mafunzo ya Dr. Myles Munroe katika Youtube, Ongeza maarifa kuhusu malezi ya watoto na umuhimu wa Ndoa na mengineyo.

    Usikimbilie tu ndoa kisa Washikaji zako wote wameshaoa au umechoka kula msosi wa hotelini, na huku kichwani bado kweupe kuhusiana na ndoa, utajiletea matatizo.

    Ni wanaume wangapi wanaeza vumilia wake zao wanaoongea sana na kushout kwa kila jambo? Kama vile ilivyo shida kwa mwenye miguu ya mzee kupanda mlima uliojaa
    mchanga, ndivyo ilivyo kwa mume mpole kuishi na mke mwenye makelele.

    Unaambiwa uwe mkimya pale mmoja wenu anapokuwa na hasira na kuongea sana, Mmoja wenu anapokuwa moto basi mwingine awe maji. Hapo mambo yataenda sawia.

    Kaka zangu, ukiwa kama mwanaume jifunze kupotezea baadhi ya vitu, sio kila jambo unakua mkali kama pilipili mpaka watoto wanaenda kujificha chini ya uvungu wa vitanda.

    Cheza michezo ya kitoto na mkeo, imba nae siku za weekend huku ukimsaidia kufua au kutengeneza bustani, kuwa serious sana kunamuogopesha mkeo na hawezi kuwa rafiki yako wa karibu.

    Msaidie kazi za nyumbani, yeye si mfanyakazi wako wa ndani bali ni msaidizi, ulikuwa bachelor na kazi zote ulifanya mwenyewe sasa amekuja mke kukusaidia na sio kubadili kuwa kazi zake, menya viazi, teka maji, Oga nae, muamshe kwa ajili ya sala, mfindishe kupika chakula ambacho hajawahi kupika.

    Mpigie simu ukiwa kazini mwambie umemkumbuka na unampenda sana. Andika neno "I Love you" na uweke chini ya mto wake au pochi yake kabla hujaenda kazin.

    Mbusu siku zote, mkumbatie, mbembeleze. Siku zote mueleze kwamba yeye ni mzuri na una bahati ya kuwa mume wake.

    Yote haya ni sehemu ya kuwa romantic, pale mke anaposema kwamba hauko romantic, anamaanisha humfanyii haya mambo, hamaanishi romance mkiwa chumbani.

    Ni vitu fulani vidogo sana na vya kipuuzi ila kwa mwanamke vina maana kubwa sana, niamini mimi.

    Tamati nawashauri kaka zangu, gawanya usiku wako katika sehemu tatu.
    Moja ni kwa ajili yako (kuwaza mipango yako ya maendeleo na kulala).
    Mbili ni kwa ajili ya mke wako (ongea nae, kama uwezekano upo make love with her) na Tatu ni kwa ajili ya Mungu wako (Mshukuru kwa kukulinda siku nzima na kukufanikishia mipango yako)

    Nakuahidi huo utakuwa usiku bora kabisa ambao hujawahi kuupata!

    Mambo mawili ya kuzingatia na mtakua mmemaliza, wanawake watiini wanaume zenu, na wanaume wapendeni wake zenu. utii ni bora kuliko sadaka!

    Busara yangu, "A happy man, marry the woman he loves, but the happiest man keep loving the woman he marry!"
    KWA WANANDOA NA WALE WANAOTARAJIA KUINGIA KATIKA NDOA. Mbebe mke wako pale anaposinzia akiwa sebuleni na mpeleke kulala, muda mwingine mfanye ajisikie kama mtoto mdogo. Ukweli ni kwamba kila mwanamke anapenda kudekezwa kama mtoto wa miaka miwili. Ndio maana muda mwingine wanawake hufanya mambo ya kitoto. Inawezekana ukawa na mabishano na mkeo na ukaona anafungasha mabegi yake na anataka kuondoka. Hiyo haimaanishi anataka kukuacha, ni utoto tu, anachotaka ni wewe umshike mkono, umvutie kwako, umtizame usoni kwake na umwambie 'Samahani kwa mabishano na kukukashifu, haitajirudia tena" Huyo ndiye mwanamke wako, ubavu wako, Eva wako. Kila Brother anahitaji kusoma chuo cha wanawake kabla hajaoa, soma vitabu kuhusu wao, soma vitabu vya dini vinasemaje juu ya kuishi nao na kamwe hautakuwa na tatizo la kuishi nae. Ingawa kunaweza kuwa na changamoto za hapa na pale, hiyo ni kwa sababu wote mmetoka katika familia tofauti, zenye malezi ya tofauti na historia tofauti. Hivyo basi soma vitabu kuhusu ndoa, pitia mafundisho mbalimbali ya walimu wa mahusiano kama Dr. Chris Mauki, Dr. Naahj Naahjum, Hezron, tizama mafunzo ya Dr. Myles Munroe katika Youtube, Ongeza maarifa kuhusu malezi ya watoto na umuhimu wa Ndoa na mengineyo. Usikimbilie tu ndoa kisa Washikaji zako wote wameshaoa au umechoka kula msosi wa hotelini, na huku kichwani bado kweupe kuhusiana na ndoa, utajiletea matatizo. Ni wanaume wangapi wanaeza vumilia wake zao wanaoongea sana na kushout kwa kila jambo? Kama vile ilivyo shida kwa mwenye miguu ya mzee kupanda mlima uliojaa mchanga, ndivyo ilivyo kwa mume mpole kuishi na mke mwenye makelele. Unaambiwa uwe mkimya pale mmoja wenu anapokuwa na hasira na kuongea sana, Mmoja wenu anapokuwa moto basi mwingine awe maji. Hapo mambo yataenda sawia. Kaka zangu, ukiwa kama mwanaume jifunze kupotezea baadhi ya vitu, sio kila jambo unakua mkali kama pilipili mpaka watoto wanaenda kujificha chini ya uvungu wa vitanda. Cheza michezo ya kitoto na mkeo, imba nae siku za weekend huku ukimsaidia kufua au kutengeneza bustani, kuwa serious sana kunamuogopesha mkeo na hawezi kuwa rafiki yako wa karibu. Msaidie kazi za nyumbani, yeye si mfanyakazi wako wa ndani bali ni msaidizi, ulikuwa bachelor na kazi zote ulifanya mwenyewe sasa amekuja mke kukusaidia na sio kubadili kuwa kazi zake, menya viazi, teka maji, Oga nae, muamshe kwa ajili ya sala, mfindishe kupika chakula ambacho hajawahi kupika. Mpigie simu ukiwa kazini mwambie umemkumbuka na unampenda sana. Andika neno "I Love you" na uweke chini ya mto wake au pochi yake kabla hujaenda kazin. Mbusu siku zote, mkumbatie, mbembeleze. Siku zote mueleze kwamba yeye ni mzuri na una bahati ya kuwa mume wake. Yote haya ni sehemu ya kuwa romantic, pale mke anaposema kwamba hauko romantic, anamaanisha humfanyii haya mambo, hamaanishi romance mkiwa chumbani. Ni vitu fulani vidogo sana na vya kipuuzi ila kwa mwanamke vina maana kubwa sana, niamini mimi. Tamati nawashauri kaka zangu, gawanya usiku wako katika sehemu tatu. Moja ni kwa ajili yako (kuwaza mipango yako ya maendeleo na kulala). Mbili ni kwa ajili ya mke wako (ongea nae, kama uwezekano upo make love with her) na Tatu ni kwa ajili ya Mungu wako (Mshukuru kwa kukulinda siku nzima na kukufanikishia mipango yako) Nakuahidi huo utakuwa usiku bora kabisa ambao hujawahi kuupata! Mambo mawili ya kuzingatia na mtakua mmemaliza, wanawake watiini wanaume zenu, na wanaume wapendeni wake zenu. utii ni bora kuliko sadaka! Busara yangu, "A happy man, marry the woman he loves, but the happiest man keep loving the woman he marry!"
    0 Comments 0 Shares 1K Views
  • Kwenye Ule Muendelezo wetu wa series ya CITADEL
    hii ni third story pia
    1: Citadel
    2: Citadel:Diana
    3: Citadel:Honey Bunny
    Enjoy The Weekend
    Kwenye Ule Muendelezo wetu wa series ya CITADEL hii ni third story pia 1: Citadel 2: Citadel:Diana 3: Citadel:Honey Bunny 馃敟 Enjoy The Weekend 馃槉
    0 Comments 0 Shares 744 Views
  • Hello Today it's weekend
    Hello Today it's weekend
    Love
    1
    1 Comments 0 Shares 649 Views
  • Kushoto ni save ya Diarra kwenye mechi ya CAF Champions League Young Africans Sports Club dhidi ya CBE ikimfanya kipa huyo kuondoka na clean sheet

    Kulia ni save kutoka kwa Moussa Camara kipa la wekundu wa msimbazi simba dhidi ya Al Ahli Tripoli ikipigwa naMabululu dakika za jioni na kupelekea wekundu wa msimbazi kwenda makundi CAF Confederation Cup

    IPI KWAKO NI SAVE BORA WEEKEND ILIYOPITA KWA TIMU HIZI ZA KARIAKOO
    Kushoto ni save ya Diarra kwenye mechi ya CAF Champions League Young Africans Sports Club dhidi ya CBE ikimfanya kipa huyo kuondoka na clean sheet Kulia ni save kutoka kwa Moussa Camara kipa la wekundu wa msimbazi simba dhidi ya Al Ahli Tripoli ikipigwa naMabululu dakika za jioni na kupelekea wekundu wa msimbazi kwenda makundi CAF Confederation Cup 馃憠IPI KWAKO NI SAVE BORA WEEKEND ILIYOPITA KWA TIMU HIZI ZA KARIAKOO
    Like
    3
    1 Comments 0 Shares 651 Views
  • Have a great weekend
    Have a great weekend
    Like
    Love
    3
    0 Comments 0 Shares 425 Views
  • Nice weekend

    Nice weekend
    Like
    Love
    2
    3 Comments 0 Shares 572 Views
  • Nice weekend

    Nice weekend
    Like
    Love
    2
    0 Comments 0 Shares 577 Views
  • Happy weekend to all
    Happy weekend to all
    Like
    Wow
    3
    4 Comments 0 Shares 665 Views
  • WEEKEND
    WEEKEND 馃檹馃檹
    Like
    Love
    4
    2 Comments 0 Shares 554 Views
  • WEEKEND
    WEEKEND 馃檹馃檹
    Like
    Love
    3
    1 Comments 0 Shares 552 Views
  • WEEKEND
    WEEKEND 馃檹馃檹
    Like
    Love
    3
    1 Comments 0 Shares 541 Views
  • WEEKEND
    WEEKEND 馃檹馃檹
    Like
    Love
    4
    1 Comments 0 Shares 550 Views
  • WEEKEND
    WEEKEND 馃檹馃檹
    Like
    Love
    2
    0 Comments 0 Shares 550 Views
  • WEEKEND
    WEEKEND 馃檹馃檹
    Like
    Love
    3
    0 Comments 0 Shares 537 Views