• 𝗦𝗧𝗔𝗠𝗣𝗘𝗗 & 𝗦𝗘𝗔𝗟𝗘𝗗!
    𝗙𝗿𝗮𝗻𝗰𝗶𝘀𝗰𝗼 𝗖𝗼𝗻𝗰𝗲𝗶𝗰̧𝗮̃ imefahamika tayari amekamilisha uhamisho kwenda 𝗝𝘂𝘃𝗲𝗻𝘁𝘂𝘀 kwa ada €𝟯𝟬𝗠!

    Mchezaji huyo(21)Winga kinda rasmi atawatumikia Juventus akitokea FC Porto kwa msimu 2025/26.

    [@Record_Portugal | @OddAlerts]
    #Conceicao #Juventus #DoneDeal #LOCOTV

    #SportsElite
    💣 𝗦𝗧𝗔𝗠𝗣𝗘𝗗 & 𝗦𝗘𝗔𝗟𝗘𝗗! 𝗙𝗿𝗮𝗻𝗰𝗶𝘀𝗰𝗼 𝗖𝗼𝗻𝗰𝗲𝗶𝗰̧𝗮̃ imefahamika tayari amekamilisha uhamisho kwenda 𝗝𝘂𝘃𝗲𝗻𝘁𝘂𝘀 kwa ada €𝟯𝟬𝗠! 🔴⚪🇵🇹 Mchezaji huyo(21)Winga kinda rasmi atawatumikia Juventus akitokea FC Porto kwa msimu 2025/26. ✅ 📌 [@Record_Portugal | @OddAlerts] #Conceicao #Juventus #DoneDeal #LOCOTV #SportsElite
    0 التعليقات 0 المشاركات 763 مشاهدة








  • 💚💚💚💚💚💚💚💚💛🖤🖤💛 💙 💚💚💚💚💚💚💚💛🖤🖤 💛💙💙 💚💚💚💚💚💚💛🖤🖤 💛💙💙💙 💚💚💚💚💚💛🖤🖤💛💙💙💙💙 💚💚💚💚💛🖤🖤💛💙💙💙💙💙 💚💚💚💛🖤🖤💛💙💙💙💙💙💙 💚💚💛🖤🖤💛💙💙💙💙💙💙💙 💚💛🖤🖤💛💙💙💙💙💙💙💙💙 💛🖤🖤💛💙💙💙💙💙💙💙💙💙
    Love
    1
    0 التعليقات 0 المشاركات 566 مشاهدة
  • 𝐇𝐀𝐓𝐔𝐈𝐒𝐇𝐈𝐈 𝐇𝐀𝐏𝐀.

    #paulswai
    𝐇𝐀𝐓𝐔𝐈𝐒𝐇𝐈𝐈 𝐇𝐀𝐏𝐀. #paulswai
    Like
    2
    0 التعليقات 0 المشاركات 1كيلو بايت مشاهدة
  • Dodoma stadium mitano Tena Kwa mama
    Dodoma stadium mitano Tena Kwa mama🔥❤️👈👈👈🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
    Haha
    1
    0 التعليقات 0 المشاركات 1كيلو بايت مشاهدة
  • MADHARA YA KUVUTA SIGARA NA TIBA YAKE
    ✦Magonjwa ya macho
    ✦Kukunjana kwa ngozi
    ✦Magonjwa ya masikio
    ✦Saratani ya ngozi
    ✦Magonjwa ya meno
    ✦Magonjwa ya mapafu,Mifupa,Kucha kungoka kwenye vidole na miguu.
    ✦Magonjwa ya ngozi.

    𝐈𝐤𝐢𝐰𝐚 𝐰𝐞𝐰𝐞 𝐧𝐢 𝐦𝐮𝐡𝐚𝐧𝐠𝐚 𝐰𝐚 𝐭𝐚𝐭𝐢𝐳𝐨 𝐡𝐢𝐥𝐨 𝐥𝐚 𝐬𝐢𝐠𝐚𝐫𝐚 𝐧𝐚 𝐡𝐚𝐭𝐚 𝐩𝐞𝐦𝐛𝐞,𝐓𝐰𝐚𝐢𝐛 𝐇𝐞𝐫𝐛𝐬 𝐭𝐮𝐧𝐚 𝐬𝐮𝐥𝐮𝐡𝐢𝐬𝐡𝐨 𝐢𝐤𝐢𝐰𝐚 𝐮𝐧𝐚𝐡𝐢𝐭𝐚𝐣𝐢 𝐤𝐮𝐚𝐜𝐡𝐚 𝐮𝐯𝐮𝐭𝐚𝐣𝐢 𝐰𝐚 𝐚𝐢𝐧𝐚 𝐲𝐨𝐲𝐨𝐭𝐞 𝐧𝐚 𝐩𝐨𝐦𝐛𝐞.

    #𝐖𝐀𝐒𝐈𝐋𝐈𝐀𝐍𝐀_𝐍𝐀𝐒𝐈
    ✦WHATSAP BUSSNESS CATALOGUE
    https://wa.me/c/255767607724

    ✦Instagram:
    https://www.instagram.com/twaibherbs

    ✦Facebook:
    https://www.facebook.com/twaibherbs

    ✦Google/blog.
    https://www.twaibherbs.blogspot.com
    MADHARA YA KUVUTA SIGARA NA TIBA YAKE ✦Magonjwa ya macho ✦Kukunjana kwa ngozi ✦Magonjwa ya masikio ✦Saratani ya ngozi ✦Magonjwa ya meno ✦Magonjwa ya mapafu,Mifupa,Kucha kungoka kwenye vidole na miguu. ✦Magonjwa ya ngozi. 𝐈𝐤𝐢𝐰𝐚 𝐰𝐞𝐰𝐞 𝐧𝐢 𝐦𝐮𝐡𝐚𝐧𝐠𝐚 𝐰𝐚 𝐭𝐚𝐭𝐢𝐳𝐨 𝐡𝐢𝐥𝐨 𝐥𝐚 𝐬𝐢𝐠𝐚𝐫𝐚 𝐧𝐚 𝐡𝐚𝐭𝐚 𝐩𝐞𝐦𝐛𝐞,𝐓𝐰𝐚𝐢𝐛 𝐇𝐞𝐫𝐛𝐬 𝐭𝐮𝐧𝐚 𝐬𝐮𝐥𝐮𝐡𝐢𝐬𝐡𝐨 𝐢𝐤𝐢𝐰𝐚 𝐮𝐧𝐚𝐡𝐢𝐭𝐚𝐣𝐢 𝐤𝐮𝐚𝐜𝐡𝐚 𝐮𝐯𝐮𝐭𝐚𝐣𝐢 𝐰𝐚 𝐚𝐢𝐧𝐚 𝐲𝐨𝐲𝐨𝐭𝐞 𝐧𝐚 𝐩𝐨𝐦𝐛𝐞. #𝐖𝐀𝐒𝐈𝐋𝐈𝐀𝐍𝐀_𝐍𝐀𝐒𝐈 ✦WHATSAP BUSSNESS CATALOGUE https://wa.me/c/255767607724 ✦Instagram: https://www.instagram.com/twaibherbs ✦Facebook: https://www.facebook.com/twaibherbs ✦Google/blog. https://www.twaibherbs.blogspot.com
    Love
    1
    0 التعليقات 0 المشاركات 2كيلو بايت مشاهدة
  • Mbape wa kongo ni mmoja tu kwenye nchi hii ya fulaa na amani haikuwai kutokea dunian kote
    Mbape wa kongo ni mmoja tu kwenye nchi hii ya fulaa na amani haikuwai kutokea dunian kote 👑👏👏💛💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💛💚💛💚
    Like
    1
    0 التعليقات 0 المشاركات 1كيلو بايت مشاهدة
  • .𝐊𝐮𝐦𝐛𝐞 𝐔𝐤𝐰𝐞𝐥𝐢 𝐔𝐧𝐚𝐮𝐦𝐚 𝐞𝐞𝐞
    𝐒𝐚𝐬𝐚 𝐁𝐥 𝟑 𝐍𝐚𝐧𝐮𝐧𝐮𝐚 𝐓𝐞𝐧𝐝𝐚 𝐘𝐚 𝐤𝐮𝐳𝐚𝐥𝐢𝐬𝐡𝐚 𝐉𝐞𝐳𝐢 𝐩𝐚𝐥𝐞 𝐔𝐤𝐨𝐥𝐨𝐧𝐢 𝐚𝐮 ..
    𝐔𝐤𝐰𝐞𝐥i 𝐧𝐢𝐤𝐰𝐚𝐦𝐛𝐚 𝐉𝐞𝐳𝐢 𝐧𝐢 𝐦𝐛𝐨𝐯𝐮 𝐧𝐚 𝐡𝐢𝐥𝐨 𝐡𝐚𝐥𝐢𝐩𝐢𝐧𝐠𝐢 𝐉𝐞𝐳𝐢 𝐳𝐚 𝐘𝐚𝐧𝐠𝐚 𝐙𝐚 𝐊𝐥𝐚𝐛𝐮 𝐛𝐢𝐧𝐠𝐰𝐚 𝐳𝐢𝐦𝐞𝐮𝐳𝐰𝐚 𝐦𝐩𝐚𝐤𝐚 𝐄𝐥𝐟 𝟕𝟓 - 𝐦𝐩𝐚𝐤𝐚 𝟖𝟎 𝐖𝐚𝐨 𝐡𝐚𝐭𝐚 𝐞𝐥𝐟 𝟒𝟎 𝐰𝐚𝐦𝐞𝐳𝐢𝐬𝐡𝐢𝐧𝐝𝐰𝐚
    .𝐊𝐮𝐦𝐛𝐞 𝐔𝐤𝐰𝐞𝐥𝐢 𝐔𝐧𝐚𝐮𝐦𝐚 𝐞𝐞𝐞 😅😅😅 𝐒𝐚𝐬𝐚 𝐁𝐥 𝟑 𝐍𝐚𝐧𝐮𝐧𝐮𝐚 𝐓𝐞𝐧𝐝𝐚 𝐘𝐚 𝐤𝐮𝐳𝐚𝐥𝐢𝐬𝐡𝐚 𝐉𝐞𝐳𝐢 𝐩𝐚𝐥𝐞 𝐔𝐤𝐨𝐥𝐨𝐧𝐢 𝐚𝐮 😅.. 𝐔𝐤𝐰𝐞𝐥i 𝐧𝐢𝐤𝐰𝐚𝐦𝐛𝐚 𝐉𝐞𝐳𝐢 𝐧𝐢 𝐦𝐛𝐨𝐯𝐮 𝐧𝐚 𝐡𝐢𝐥𝐨 𝐡𝐚𝐥𝐢𝐩𝐢𝐧𝐠𝐢 𝐉𝐞𝐳𝐢 𝐳𝐚 𝐘𝐚𝐧𝐠𝐚 𝐙𝐚 𝐊𝐥𝐚𝐛𝐮 𝐛𝐢𝐧𝐠𝐰𝐚 𝐳𝐢𝐦𝐞𝐮𝐳𝐰𝐚 𝐦𝐩𝐚𝐤𝐚 𝐄𝐥𝐟 𝟕𝟓 - 𝐦𝐩𝐚𝐤𝐚 𝟖𝟎 𝐖𝐚𝐨 𝐡𝐚𝐭𝐚 𝐞𝐥𝐟 𝟒𝟎 𝐰𝐚𝐦𝐞𝐳𝐢𝐬𝐡𝐢𝐧𝐝𝐰𝐚 🤣🤣
    Like
    3
    0 التعليقات 0 المشاركات 721 مشاهدة
  • 𝗞𝗪𝗔 𝗧𝗔𝗞𝗪𝗜𝗠𝗨 𝗛𝗜𝗭𝗜 𝗠𝗔𝗔𝗡𝗔 𝗬𝗔𝗡𝗚𝗨 𝗦𝗜𝗠𝗕𝗔 𝗞𝗪𝗔 𝗦𝗔𝗦𝗔 𝗡𝗗𝗜𝗢 𝗧𝗜𝗠𝗨 𝗜𝗡𝗔𝗬𝗢𝗪𝗘𝗭𝗔 𝗞𝗨𝗩𝗨𝗡𝗝𝗔 𝗨𝗞𝗨𝗧𝗔 𝗪𝗔 𝗢𝗣𝗣𝗢𝗡𝗘𝗡𝗧𝗦 NA KU PENETRATE 𝗞𝗨𝗟𝗜𝗞𝗢 𝗧𝗜𝗠𝗨 𝗭𝗢𝗧𝗘 𝗟𝗜𝗚𝗜 𝗞𝗨𝗨
    #paulswai
    𝗞𝗪𝗔 𝗧𝗔𝗞𝗪𝗜𝗠𝗨 𝗛𝗜𝗭𝗜 𝗠𝗔𝗔𝗡𝗔 𝗬𝗔𝗡𝗚𝗨 𝗦𝗜𝗠𝗕𝗔 𝗞𝗪𝗔 𝗦𝗔𝗦𝗔 𝗡𝗗𝗜𝗢 𝗧𝗜𝗠𝗨 𝗜𝗡𝗔𝗬𝗢𝗪𝗘𝗭𝗔 𝗞𝗨𝗩𝗨𝗡𝗝𝗔 𝗨𝗞𝗨𝗧𝗔 𝗪𝗔 𝗢𝗣𝗣𝗢𝗡𝗘𝗡𝗧𝗦 NA KU PENETRATE 𝗞𝗨𝗟𝗜𝗞𝗢 𝗧𝗜𝗠𝗨 𝗭𝗢𝗧𝗘 𝗟𝗜𝗚𝗜 𝗞𝗨𝗨 #paulswai
    Like
    Love
    3
    2 التعليقات 0 المشاركات 753 مشاهدة
  • Tom Cruz

    "𝗔𝗭𝗔𝗠 𝗛𝗜𝗜 𝗡𝗜 𝗣𝗥𝗢𝗣𝗔𝗚𝗔𝗡𝗗𝗔 𝗠𝗡𝗔𝗧𝗔𝗞𝗔 𝗞𝗨𝗜𝗡𝗭𝗜𝗦𝗛𝗔

    Nimevumilia Nimeshindwa Kwakweli😮‍💨Ila Azam Kwan Mna Nia Gan Na yangaIko wap Siri kati yenu Na Wateja Wenu

    Inachekesha sana huu Mjadala wa sindano.

    Na ukitaka kujua hii ni Ajenda Maalum ya ‘Azam FC’ kutaka kuichafua BRAND ya YANGA kwa kutengeneza Propaganda za Kipuuzi, Fatilia hizi hoja hapa chini

    1: Ile Video imetolewa na inaonekana ni baada ya mechi, Yani mtendaji wa Azam akifanya usafi kwenye vyumba vya kubadilishia nguo.

    2:Ni video ya Lini? Mechi gani? Hakuna Taarifa hii, Hata mpuuzi mmoja aliyesambaza hakuweka huu ujinga hakutoa hizi Taarifa Kinachoonekana pale na kufanya wapuuzi wengi kuihusisha yanga ni chupa za maji za GSM, Tujiulize hapa

    3:Ni Timu ngapi za Ligi Kuu zinatumia Maji ya GSM? Ni Yanga pekee wanaodhaminiwa na GSM ndio wamecheza pale, kwanini Yanga?

    4:Mtu akiwaza kwamba hapa pia kuna Vita ya Kibiashara kati ya GSM WATER NA MAJI YA UHAI? kutakuwa na Tatizo? Huyu mfanya usafi wa Azam anaweza kuwa amechukua chupa za maji ya GSM kwa ajili ya kuichafua Brand ya GSM na Yanga kwa ujumla?

    5:Sio kwamba Azam wanatengeneza hii michezo ya kitoto na kurekodi video kisha kuzisambaza?

    Ishu nyingine ni zile sindano.

    Kuna haja gani ya Timu kuwa na madaktari kama sindano zinaonekana tatizo?

    Wachezaji wakiumia hawatibiwi? Zile Ambulance ni za nini pia kama huduma ya afya ya wachezaji ni tatizo. Huu ni Upuuzi sana.

    Zile sindano pale kwenye video zimeonekana ni mbili, kama ni ajenda ya kuongeza nguvu, ndio Yanga wawaongeze nguvu wachezaji wawili tu? Au Sindano wameshare??

    Tuacheni Propaganda za Kipuuzi, Tuchezeni mpira.

    Mwisho, Yanga wawe macho sana na Azam .. Wanaweza kuonekana ni watu wema kwa kanzu wanazovaa, kumbe moyoni ni Mashetani wenye malengo ya kuidhoofisha Yanga"
    Tom Cruz ✍️ "𝗔𝗭𝗔𝗠 𝗛𝗜𝗜 𝗡𝗜 𝗣𝗥𝗢𝗣𝗔𝗚𝗔𝗡𝗗𝗔 𝗠𝗡𝗔𝗧𝗔𝗞𝗔 𝗞𝗨𝗜𝗡𝗭𝗜𝗦𝗛𝗔 Nimevumilia Nimeshindwa Kwakweli😮‍💨Ila Azam Kwan Mna Nia Gan Na yanga😭Iko wap Siri kati yenu Na Wateja Wenu🥵 Inachekesha sana huu Mjadala wa sindano. Na ukitaka kujua hii ni Ajenda Maalum ya ‘Azam FC’ kutaka kuichafua BRAND ya YANGA kwa kutengeneza Propaganda za Kipuuzi, Fatilia hizi hoja hapa chini 1: Ile Video imetolewa na inaonekana ni baada ya mechi, Yani mtendaji wa Azam akifanya usafi kwenye vyumba vya kubadilishia nguo. 2:Ni video ya Lini? Mechi gani? Hakuna Taarifa hii, Hata mpuuzi mmoja aliyesambaza hakuweka huu ujinga hakutoa hizi Taarifa Kinachoonekana pale na kufanya wapuuzi wengi kuihusisha yanga ni chupa za maji za GSM, Tujiulize hapa 3:Ni Timu ngapi za Ligi Kuu zinatumia Maji ya GSM? Ni Yanga pekee wanaodhaminiwa na GSM ndio wamecheza pale, kwanini Yanga? 4:Mtu akiwaza kwamba hapa pia kuna Vita ya Kibiashara kati ya GSM WATER NA MAJI YA UHAI? kutakuwa na Tatizo? Huyu mfanya usafi wa Azam anaweza kuwa amechukua chupa za maji ya GSM kwa ajili ya kuichafua Brand ya GSM na Yanga kwa ujumla? 5:Sio kwamba Azam wanatengeneza hii michezo ya kitoto na kurekodi video kisha kuzisambaza? Ishu nyingine ni zile sindano. Kuna haja gani ya Timu kuwa na madaktari kama sindano zinaonekana tatizo? Wachezaji wakiumia hawatibiwi? Zile Ambulance ni za nini pia kama huduma ya afya ya wachezaji ni tatizo. Huu ni Upuuzi sana. Zile sindano pale kwenye video zimeonekana ni mbili, kama ni ajenda ya kuongeza nguvu, ndio Yanga wawaongeze nguvu wachezaji wawili tu? Au Sindano wameshare?? Tuacheni Propaganda za Kipuuzi, Tuchezeni mpira. Mwisho, Yanga wawe macho sana na Azam .. Wanaweza kuonekana ni watu wema kwa kanzu wanazovaa, kumbe moyoni ni Mashetani wenye malengo ya kuidhoofisha Yanga"
    Love
    1
    1 التعليقات 0 المشاركات 862 مشاهدة