• ๐—ฆ๐—ง๐—”๐— ๐—ฃ๐—˜๐—— & ๐—ฆ๐—˜๐—”๐—Ÿ๐—˜๐——!
    ๐—™๐—ฟ๐—ฎ๐—ป๐—ฐ๐—ถ๐˜€๐—ฐ๐—ผ ๐—–๐—ผ๐—ป๐—ฐ๐—ฒ๐—ถ๐—ฐฬง๐—ฎฬƒ imefahamika tayari amekamilisha uhamisho kwenda ๐—๐˜‚๐˜ƒ๐—ฒ๐—ป๐˜๐˜‚๐˜€ kwa ada €๐Ÿฏ๐Ÿฌ๐— !

    Mchezaji huyo(21)Winga kinda rasmi atawatumikia Juventus akitokea FC Porto kwa msimu 2025/26.

    [@Record_Portugal | @OddAlerts]
    #Conceicao #Juventus #DoneDeal #LOCOTV

    #SportsElite
    ๐Ÿ’ฃ ๐—ฆ๐—ง๐—”๐— ๐—ฃ๐—˜๐—— & ๐—ฆ๐—˜๐—”๐—Ÿ๐—˜๐——! ๐—™๐—ฟ๐—ฎ๐—ป๐—ฐ๐—ถ๐˜€๐—ฐ๐—ผ ๐—–๐—ผ๐—ป๐—ฐ๐—ฒ๐—ถ๐—ฐฬง๐—ฎฬƒ imefahamika tayari amekamilisha uhamisho kwenda ๐—๐˜‚๐˜ƒ๐—ฒ๐—ป๐˜๐˜‚๐˜€ kwa ada €๐Ÿฏ๐Ÿฌ๐— ! ๐Ÿ”ดโšช๐Ÿ‡ต๐Ÿ‡น Mchezaji huyo(21)Winga kinda rasmi atawatumikia Juventus akitokea FC Porto kwa msimu 2025/26. โœ… ๐Ÿ“Œ [@Record_Portugal | @OddAlerts] #Conceicao #Juventus #DoneDeal #LOCOTV #SportsElite
    0 Commentaires 0 Parts 763 Vue








  • ๐Ÿ’š๐Ÿ’š๐Ÿ’š๐Ÿ’š๐Ÿ’š๐Ÿ’š๐Ÿ’š๐Ÿ’š๐Ÿ’›๐Ÿ–ค๐Ÿ–ค๐Ÿ’› ๐Ÿ’™ ๐Ÿ’š๐Ÿ’š๐Ÿ’š๐Ÿ’š๐Ÿ’š๐Ÿ’š๐Ÿ’š๐Ÿ’›๐Ÿ–ค๐Ÿ–ค ๐Ÿ’›๐Ÿ’™๐Ÿ’™ ๐Ÿ’š๐Ÿ’š๐Ÿ’š๐Ÿ’š๐Ÿ’š๐Ÿ’š๐Ÿ’›๐Ÿ–ค๐Ÿ–ค ๐Ÿ’›๐Ÿ’™๐Ÿ’™๐Ÿ’™ ๐Ÿ’š๐Ÿ’š๐Ÿ’š๐Ÿ’š๐Ÿ’š๐Ÿ’›๐Ÿ–ค๐Ÿ–ค๐Ÿ’›๐Ÿ’™๐Ÿ’™๐Ÿ’™๐Ÿ’™ ๐Ÿ’š๐Ÿ’š๐Ÿ’š๐Ÿ’š๐Ÿ’›๐Ÿ–ค๐Ÿ–ค๐Ÿ’›๐Ÿ’™๐Ÿ’™๐Ÿ’™๐Ÿ’™๐Ÿ’™ ๐Ÿ’š๐Ÿ’š๐Ÿ’š๐Ÿ’›๐Ÿ–ค๐Ÿ–ค๐Ÿ’›๐Ÿ’™๐Ÿ’™๐Ÿ’™๐Ÿ’™๐Ÿ’™๐Ÿ’™ ๐Ÿ’š๐Ÿ’š๐Ÿ’›๐Ÿ–ค๐Ÿ–ค๐Ÿ’›๐Ÿ’™๐Ÿ’™๐Ÿ’™๐Ÿ’™๐Ÿ’™๐Ÿ’™๐Ÿ’™ ๐Ÿ’š๐Ÿ’›๐Ÿ–ค๐Ÿ–ค๐Ÿ’›๐Ÿ’™๐Ÿ’™๐Ÿ’™๐Ÿ’™๐Ÿ’™๐Ÿ’™๐Ÿ’™๐Ÿ’™ ๐Ÿ’›๐Ÿ–ค๐Ÿ–ค๐Ÿ’›๐Ÿ’™๐Ÿ’™๐Ÿ’™๐Ÿ’™๐Ÿ’™๐Ÿ’™๐Ÿ’™๐Ÿ’™๐Ÿ’™
    Love
    1
    0 Commentaires 0 Parts 566 Vue
  • ๐‡๐€๐“๐”๐ˆ๐’๐‡๐ˆ๐ˆ ๐‡๐€๐๐€.

    #paulswai
    ๐‡๐€๐“๐”๐ˆ๐’๐‡๐ˆ๐ˆ ๐‡๐€๐๐€. #paulswai
    Like
    2
    0 Commentaires 0 Parts 1KB Vue
  • Dodoma stadium mitano Tena Kwa mama
    Dodoma stadium mitano Tena Kwa mama๐Ÿ”ฅโค๏ธ๐Ÿ‘ˆ๐Ÿ‘ˆ๐Ÿ‘ˆ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ
    Haha
    1
    0 Commentaires 0 Parts 1KB Vue
  • MADHARA YA KUVUTA SIGARA NA TIBA YAKE
    โœฆMagonjwa ya macho
    โœฆKukunjana kwa ngozi
    โœฆMagonjwa ya masikio
    โœฆSaratani ya ngozi
    โœฆMagonjwa ya meno
    โœฆMagonjwa ya mapafu,Mifupa,Kucha kungoka kwenye vidole na miguu.
    โœฆMagonjwa ya ngozi.

    ๐ˆ๐ค๐ข๐ฐ๐š ๐ฐ๐ž๐ฐ๐ž ๐ง๐ข ๐ฆ๐ฎ๐ก๐š๐ง๐ ๐š ๐ฐ๐š ๐ญ๐š๐ญ๐ข๐ณ๐จ ๐ก๐ข๐ฅ๐จ ๐ฅ๐š ๐ฌ๐ข๐ ๐š๐ซ๐š ๐ง๐š ๐ก๐š๐ญ๐š ๐ฉ๐ž๐ฆ๐›๐ž,๐“๐ฐ๐š๐ข๐› ๐‡๐ž๐ซ๐›๐ฌ ๐ญ๐ฎ๐ง๐š ๐ฌ๐ฎ๐ฅ๐ฎ๐ก๐ข๐ฌ๐ก๐จ ๐ข๐ค๐ข๐ฐ๐š ๐ฎ๐ง๐š๐ก๐ข๐ญ๐š๐ฃ๐ข ๐ค๐ฎ๐š๐œ๐ก๐š ๐ฎ๐ฏ๐ฎ๐ญ๐š๐ฃ๐ข ๐ฐ๐š ๐š๐ข๐ง๐š ๐ฒ๐จ๐ฒ๐จ๐ญ๐ž ๐ง๐š ๐ฉ๐จ๐ฆ๐›๐ž.

    #๐–๐€๐’๐ˆ๐‹๐ˆ๐€๐๐€_๐๐€๐’๐ˆ
    โœฆWHATSAP BUSSNESS CATALOGUE
    https://wa.me/c/255767607724

    โœฆInstagram:
    https://www.instagram.com/twaibherbs

    โœฆFacebook:
    https://www.facebook.com/twaibherbs

    โœฆGoogle/blog.
    https://www.twaibherbs.blogspot.com
    MADHARA YA KUVUTA SIGARA NA TIBA YAKE โœฆMagonjwa ya macho โœฆKukunjana kwa ngozi โœฆMagonjwa ya masikio โœฆSaratani ya ngozi โœฆMagonjwa ya meno โœฆMagonjwa ya mapafu,Mifupa,Kucha kungoka kwenye vidole na miguu. โœฆMagonjwa ya ngozi. ๐ˆ๐ค๐ข๐ฐ๐š ๐ฐ๐ž๐ฐ๐ž ๐ง๐ข ๐ฆ๐ฎ๐ก๐š๐ง๐ ๐š ๐ฐ๐š ๐ญ๐š๐ญ๐ข๐ณ๐จ ๐ก๐ข๐ฅ๐จ ๐ฅ๐š ๐ฌ๐ข๐ ๐š๐ซ๐š ๐ง๐š ๐ก๐š๐ญ๐š ๐ฉ๐ž๐ฆ๐›๐ž,๐“๐ฐ๐š๐ข๐› ๐‡๐ž๐ซ๐›๐ฌ ๐ญ๐ฎ๐ง๐š ๐ฌ๐ฎ๐ฅ๐ฎ๐ก๐ข๐ฌ๐ก๐จ ๐ข๐ค๐ข๐ฐ๐š ๐ฎ๐ง๐š๐ก๐ข๐ญ๐š๐ฃ๐ข ๐ค๐ฎ๐š๐œ๐ก๐š ๐ฎ๐ฏ๐ฎ๐ญ๐š๐ฃ๐ข ๐ฐ๐š ๐š๐ข๐ง๐š ๐ฒ๐จ๐ฒ๐จ๐ญ๐ž ๐ง๐š ๐ฉ๐จ๐ฆ๐›๐ž. #๐–๐€๐’๐ˆ๐‹๐ˆ๐€๐๐€_๐๐€๐’๐ˆ โœฆWHATSAP BUSSNESS CATALOGUE https://wa.me/c/255767607724 โœฆInstagram: https://www.instagram.com/twaibherbs โœฆFacebook: https://www.facebook.com/twaibherbs โœฆGoogle/blog. https://www.twaibherbs.blogspot.com
    Love
    1
    0 Commentaires 0 Parts 2KB Vue
  • Mbape wa kongo ni mmoja tu kwenye nchi hii ya fulaa na amani haikuwai kutokea dunian kote
    Mbape wa kongo ni mmoja tu kwenye nchi hii ya fulaa na amani haikuwai kutokea dunian kote ๐Ÿ‘‘๐Ÿ‘๐Ÿ‘๐Ÿ’›๐Ÿ’š๐Ÿ’š๐Ÿ’š๐Ÿ’š๐Ÿ’š๐Ÿ’š๐Ÿ’š๐Ÿ’š๐Ÿ’š๐Ÿ’š๐Ÿ’›๐Ÿ’š๐Ÿ’›๐Ÿ’š
    Like
    1
    0 Commentaires 0 Parts 1KB Vue
  • .๐Š๐ฎ๐ฆ๐›๐ž ๐”๐ค๐ฐ๐ž๐ฅ๐ข ๐”๐ง๐š๐ฎ๐ฆ๐š ๐ž๐ž๐ž
    ๐’๐š๐ฌ๐š ๐๐ฅ ๐Ÿ‘ ๐๐š๐ง๐ฎ๐ง๐ฎ๐š ๐“๐ž๐ง๐๐š ๐˜๐š ๐ค๐ฎ๐ณ๐š๐ฅ๐ข๐ฌ๐ก๐š ๐‰๐ž๐ณ๐ข ๐ฉ๐š๐ฅ๐ž ๐”๐ค๐จ๐ฅ๐จ๐ง๐ข ๐š๐ฎ ..
    ๐”๐ค๐ฐ๐ž๐ฅi ๐ง๐ข๐ค๐ฐ๐š๐ฆ๐›๐š ๐‰๐ž๐ณ๐ข ๐ง๐ข ๐ฆ๐›๐จ๐ฏ๐ฎ ๐ง๐š ๐ก๐ข๐ฅ๐จ ๐ก๐š๐ฅ๐ข๐ฉ๐ข๐ง๐ ๐ข ๐‰๐ž๐ณ๐ข ๐ณ๐š ๐˜๐š๐ง๐ ๐š ๐™๐š ๐Š๐ฅ๐š๐›๐ฎ ๐›๐ข๐ง๐ ๐ฐ๐š ๐ณ๐ข๐ฆ๐ž๐ฎ๐ณ๐ฐ๐š ๐ฆ๐ฉ๐š๐ค๐š ๐„๐ฅ๐Ÿ ๐Ÿ•๐Ÿ“ - ๐ฆ๐ฉ๐š๐ค๐š ๐Ÿ–๐ŸŽ ๐–๐š๐จ ๐ก๐š๐ญ๐š ๐ž๐ฅ๐Ÿ ๐Ÿ’๐ŸŽ ๐ฐ๐š๐ฆ๐ž๐ณ๐ข๐ฌ๐ก๐ข๐ง๐๐ฐ๐š
    .๐Š๐ฎ๐ฆ๐›๐ž ๐”๐ค๐ฐ๐ž๐ฅ๐ข ๐”๐ง๐š๐ฎ๐ฆ๐š ๐ž๐ž๐ž ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜… ๐’๐š๐ฌ๐š ๐๐ฅ ๐Ÿ‘ ๐๐š๐ง๐ฎ๐ง๐ฎ๐š ๐“๐ž๐ง๐๐š ๐˜๐š ๐ค๐ฎ๐ณ๐š๐ฅ๐ข๐ฌ๐ก๐š ๐‰๐ž๐ณ๐ข ๐ฉ๐š๐ฅ๐ž ๐”๐ค๐จ๐ฅ๐จ๐ง๐ข ๐š๐ฎ ๐Ÿ˜….. ๐”๐ค๐ฐ๐ž๐ฅi ๐ง๐ข๐ค๐ฐ๐š๐ฆ๐›๐š ๐‰๐ž๐ณ๐ข ๐ง๐ข ๐ฆ๐›๐จ๐ฏ๐ฎ ๐ง๐š ๐ก๐ข๐ฅ๐จ ๐ก๐š๐ฅ๐ข๐ฉ๐ข๐ง๐ ๐ข ๐‰๐ž๐ณ๐ข ๐ณ๐š ๐˜๐š๐ง๐ ๐š ๐™๐š ๐Š๐ฅ๐š๐›๐ฎ ๐›๐ข๐ง๐ ๐ฐ๐š ๐ณ๐ข๐ฆ๐ž๐ฎ๐ณ๐ฐ๐š ๐ฆ๐ฉ๐š๐ค๐š ๐„๐ฅ๐Ÿ ๐Ÿ•๐Ÿ“ - ๐ฆ๐ฉ๐š๐ค๐š ๐Ÿ–๐ŸŽ ๐–๐š๐จ ๐ก๐š๐ญ๐š ๐ž๐ฅ๐Ÿ ๐Ÿ’๐ŸŽ ๐ฐ๐š๐ฆ๐ž๐ณ๐ข๐ฌ๐ก๐ข๐ง๐๐ฐ๐š ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
    Like
    3
    0 Commentaires 0 Parts 721 Vue
  • ๐—ž๐—ช๐—” ๐—ง๐—”๐—ž๐—ช๐—œ๐— ๐—จ ๐—›๐—œ๐—ญ๐—œ ๐— ๐—”๐—”๐—ก๐—” ๐—ฌ๐—”๐—ก๐—š๐—จ ๐—ฆ๐—œ๐— ๐—•๐—” ๐—ž๐—ช๐—” ๐—ฆ๐—”๐—ฆ๐—” ๐—ก๐——๐—œ๐—ข ๐—ง๐—œ๐— ๐—จ ๐—œ๐—ก๐—”๐—ฌ๐—ข๐—ช๐—˜๐—ญ๐—” ๐—ž๐—จ๐—ฉ๐—จ๐—ก๐—๐—” ๐—จ๐—ž๐—จ๐—ง๐—” ๐—ช๐—” ๐—ข๐—ฃ๐—ฃ๐—ข๐—ก๐—˜๐—ก๐—ง๐—ฆ NA KU PENETRATE ๐—ž๐—จ๐—Ÿ๐—œ๐—ž๐—ข ๐—ง๐—œ๐— ๐—จ ๐—ญ๐—ข๐—ง๐—˜ ๐—Ÿ๐—œ๐—š๐—œ ๐—ž๐—จ๐—จ
    #paulswai
    ๐—ž๐—ช๐—” ๐—ง๐—”๐—ž๐—ช๐—œ๐— ๐—จ ๐—›๐—œ๐—ญ๐—œ ๐— ๐—”๐—”๐—ก๐—” ๐—ฌ๐—”๐—ก๐—š๐—จ ๐—ฆ๐—œ๐— ๐—•๐—” ๐—ž๐—ช๐—” ๐—ฆ๐—”๐—ฆ๐—” ๐—ก๐——๐—œ๐—ข ๐—ง๐—œ๐— ๐—จ ๐—œ๐—ก๐—”๐—ฌ๐—ข๐—ช๐—˜๐—ญ๐—” ๐—ž๐—จ๐—ฉ๐—จ๐—ก๐—๐—” ๐—จ๐—ž๐—จ๐—ง๐—” ๐—ช๐—” ๐—ข๐—ฃ๐—ฃ๐—ข๐—ก๐—˜๐—ก๐—ง๐—ฆ NA KU PENETRATE ๐—ž๐—จ๐—Ÿ๐—œ๐—ž๐—ข ๐—ง๐—œ๐— ๐—จ ๐—ญ๐—ข๐—ง๐—˜ ๐—Ÿ๐—œ๐—š๐—œ ๐—ž๐—จ๐—จ #paulswai
    Like
    Love
    3
    2 Commentaires 0 Parts 753 Vue
  • Tom Cruz

    "๐—”๐—ญ๐—”๐—  ๐—›๐—œ๐—œ ๐—ก๐—œ ๐—ฃ๐—ฅ๐—ข๐—ฃ๐—”๐—š๐—”๐—ก๐——๐—” ๐— ๐—ก๐—”๐—ง๐—”๐—ž๐—” ๐—ž๐—จ๐—œ๐—ก๐—ญ๐—œ๐—ฆ๐—›๐—”

    Nimevumilia Nimeshindwa Kwakweli๐Ÿ˜ฎโ€๐Ÿ’จIla Azam Kwan Mna Nia Gan Na yangaIko wap Siri kati yenu Na Wateja Wenu

    Inachekesha sana huu Mjadala wa sindano.

    Na ukitaka kujua hii ni Ajenda Maalum ya ‘Azam FC’ kutaka kuichafua BRAND ya YANGA kwa kutengeneza Propaganda za Kipuuzi, Fatilia hizi hoja hapa chini

    1: Ile Video imetolewa na inaonekana ni baada ya mechi, Yani mtendaji wa Azam akifanya usafi kwenye vyumba vya kubadilishia nguo.

    2:Ni video ya Lini? Mechi gani? Hakuna Taarifa hii, Hata mpuuzi mmoja aliyesambaza hakuweka huu ujinga hakutoa hizi Taarifa Kinachoonekana pale na kufanya wapuuzi wengi kuihusisha yanga ni chupa za maji za GSM, Tujiulize hapa

    3:Ni Timu ngapi za Ligi Kuu zinatumia Maji ya GSM? Ni Yanga pekee wanaodhaminiwa na GSM ndio wamecheza pale, kwanini Yanga?

    4:Mtu akiwaza kwamba hapa pia kuna Vita ya Kibiashara kati ya GSM WATER NA MAJI YA UHAI? kutakuwa na Tatizo? Huyu mfanya usafi wa Azam anaweza kuwa amechukua chupa za maji ya GSM kwa ajili ya kuichafua Brand ya GSM na Yanga kwa ujumla?

    5:Sio kwamba Azam wanatengeneza hii michezo ya kitoto na kurekodi video kisha kuzisambaza?

    Ishu nyingine ni zile sindano.

    Kuna haja gani ya Timu kuwa na madaktari kama sindano zinaonekana tatizo?

    Wachezaji wakiumia hawatibiwi? Zile Ambulance ni za nini pia kama huduma ya afya ya wachezaji ni tatizo. Huu ni Upuuzi sana.

    Zile sindano pale kwenye video zimeonekana ni mbili, kama ni ajenda ya kuongeza nguvu, ndio Yanga wawaongeze nguvu wachezaji wawili tu? Au Sindano wameshare??

    Tuacheni Propaganda za Kipuuzi, Tuchezeni mpira.

    Mwisho, Yanga wawe macho sana na Azam .. Wanaweza kuonekana ni watu wema kwa kanzu wanazovaa, kumbe moyoni ni Mashetani wenye malengo ya kuidhoofisha Yanga"
    Tom Cruz โœ๏ธ "๐—”๐—ญ๐—”๐—  ๐—›๐—œ๐—œ ๐—ก๐—œ ๐—ฃ๐—ฅ๐—ข๐—ฃ๐—”๐—š๐—”๐—ก๐——๐—” ๐— ๐—ก๐—”๐—ง๐—”๐—ž๐—” ๐—ž๐—จ๐—œ๐—ก๐—ญ๐—œ๐—ฆ๐—›๐—” Nimevumilia Nimeshindwa Kwakweli๐Ÿ˜ฎ‍๐Ÿ’จIla Azam Kwan Mna Nia Gan Na yanga๐Ÿ˜ญIko wap Siri kati yenu Na Wateja Wenu๐Ÿฅต Inachekesha sana huu Mjadala wa sindano. Na ukitaka kujua hii ni Ajenda Maalum ya ‘Azam FC’ kutaka kuichafua BRAND ya YANGA kwa kutengeneza Propaganda za Kipuuzi, Fatilia hizi hoja hapa chini 1: Ile Video imetolewa na inaonekana ni baada ya mechi, Yani mtendaji wa Azam akifanya usafi kwenye vyumba vya kubadilishia nguo. 2:Ni video ya Lini? Mechi gani? Hakuna Taarifa hii, Hata mpuuzi mmoja aliyesambaza hakuweka huu ujinga hakutoa hizi Taarifa Kinachoonekana pale na kufanya wapuuzi wengi kuihusisha yanga ni chupa za maji za GSM, Tujiulize hapa 3:Ni Timu ngapi za Ligi Kuu zinatumia Maji ya GSM? Ni Yanga pekee wanaodhaminiwa na GSM ndio wamecheza pale, kwanini Yanga? 4:Mtu akiwaza kwamba hapa pia kuna Vita ya Kibiashara kati ya GSM WATER NA MAJI YA UHAI? kutakuwa na Tatizo? Huyu mfanya usafi wa Azam anaweza kuwa amechukua chupa za maji ya GSM kwa ajili ya kuichafua Brand ya GSM na Yanga kwa ujumla? 5:Sio kwamba Azam wanatengeneza hii michezo ya kitoto na kurekodi video kisha kuzisambaza? Ishu nyingine ni zile sindano. Kuna haja gani ya Timu kuwa na madaktari kama sindano zinaonekana tatizo? Wachezaji wakiumia hawatibiwi? Zile Ambulance ni za nini pia kama huduma ya afya ya wachezaji ni tatizo. Huu ni Upuuzi sana. Zile sindano pale kwenye video zimeonekana ni mbili, kama ni ajenda ya kuongeza nguvu, ndio Yanga wawaongeze nguvu wachezaji wawili tu? Au Sindano wameshare?? Tuacheni Propaganda za Kipuuzi, Tuchezeni mpira. Mwisho, Yanga wawe macho sana na Azam .. Wanaweza kuonekana ni watu wema kwa kanzu wanazovaa, kumbe moyoni ni Mashetani wenye malengo ya kuidhoofisha Yanga"
    Love
    1
    1 Commentaires 0 Parts 862 Vue