Upgrade to Pro

  • limpeza laser ferrugem
    https://www.laservina.com/products/laser-rust-cleaner/

    A limpeza laser ferrugem é uma técnica avançada que utiliza pulsos de luz de alta energia para remover corrosão de metais com extrema precisão. O processo é rápido, silencioso e ambientalmente responsável, ideal para manutenção industrial e restauração de superfícies metálicas. Oferece desempenho superior e acabamento impecável sem danificar o substrato.
    #limpezalaserferrugem #laserindustrial
    limpeza laser ferrugem https://www.laservina.com/products/laser-rust-cleaner/ A limpeza laser ferrugem é uma técnica avançada que utiliza pulsos de luz de alta energia para remover corrosão de metais com extrema precisão. O processo é rápido, silencioso e ambientalmente responsável, ideal para manutenção industrial e restauração de superfícies metálicas. Oferece desempenho superior e acabamento impecável sem danificar o substrato. #limpezalaserferrugem #laserindustrial
    ·394 Views
  • ISO (Organización Internacional para la Estandarización) es una organización sin fines de lucro que establece estándares de sistemas de gestión de calidad, seguridad y medio ambiente para empresas. La certificación ISO mejora la imagen de los servicios o productos de su empresa.
    https://iasiso-europe.com/spanish/certificacion-iso/
    ISO (Organización Internacional para la Estandarización) es una organización sin fines de lucro que establece estándares de sistemas de gestión de calidad, seguridad y medio ambiente para empresas. La certificación ISO mejora la imagen de los servicios o productos de su empresa. https://iasiso-europe.com/spanish/certificacion-iso/
    ·341 Views
  • 16/21
    BWANA ANATUTAKA TUONGEZE WENGINE
    Ni rahisi sana watu tulio okoka kumwomba Mungu atuongeze ikiwa sisi hatuja fanya chochote juu ya ufalme wake.

    Yohana15:1-5 BHN
    1.“Mimi ni mzabibu wa kweli, na Baba yangu ndiye mkulima.

    2.Kila tawi ndani yangu lisilozaa matunda yeye huliondoa, na kila tawi lizaalo hulisafisha lipate kuzaa zaidi.

    3.Nyinyi mmekwisha kuwa safi kwa sababu ya ule ujumbe niliowaambieni. Kaeni ndani yangu, nami nikae ndani yenu
    4.Kama vile tawi haliwezi peke yake kuzaa matunda lisipobaki katika mzabibu, hali kadhalika nanyi hamwezi kuzaa matunda msipokaa ndani yangu.

    5.“Mimi ni mzabibu, nanyi ni matawi. Akaaye ndani yangu, nami nikiwa ndani yake, huyo huzaa matunda mengi, maana bila mimi hamwezi kufanya chochote.

    Ni maneno yaa Yesu aliyo kuwa akiwaambia wanafunzi wake kuwa yeye ni mzabibu na baba ni mkulima .

    Katika maneno haya tukiangalia kwa upana zaidi kuna jambo kubwa tunakwenda kujifunza ambalo ni

    1.Kama mtoto wa Mungu kujua nafasi yako katika ufalme wa Mungu.

    2.kuzaa na kuongezeka ni kanuni ya kiungu kabisa .
    2."Kila tawi ndani yangu lisilozaa matunda yeye huliondoa, na kila tawi lizaalo hulisafisha lipate kuzaa zaidi."

    Ukisha okoka lazima ujenge tabia ya kuongeza wengine ili nawe uongezeke na kusitawi .

    Kumbe kazi ya kushuhudia si ya mchungaji peke yake bali ya wote katika kuujenga mwili wa kristo.

    3.Kuwa na moyo safi ni ishara ya kuwa ndani ya kristo.

    Kumbe kama mapenzi ya Mungu ni sisi kukaa ndani yake ili tuweze kumpendeza yeye kisha yeye awe ndani yetu.

    Na kama tunavyo jua ili Mungu akae ndani yetu lazima tuwe safi katika moyo wetu kwani yeye ni msafi kila wakati.

    Hayo ndiyo mapenzi ya Mungu ni sisi tuzae matunda iliatuongeze sana lakini bahati mbaya sasa tumewaachia wachungaji ndio wazae matunda (wawalete watu kwa Yesu).

    Ni vyema kama mwamini ukipata nafasi ya kuvuna nafsi ivune ili baba asije akakukata kwa kuwa ni mzabibu usio zaaa.

    Natamani kama kila mtu ndani ya kanisa akaelewa yeye ni tawi ndani ya mzabibu ko lazima ategemee kuzaa wengine .

    Bwana lengo lake ni kutupanda kuwa mzabibu mwema lakini sisi tumegeuka kuwa mzabibu mwitu..

    Wakati mwingine kuna baraka tumezikosa kwa sababu tu ya kuto kuongeza watu wengine katika ufalme wa Mungu.

    Lete mamilioni ya watu kwa Yesu na Yesu atajivunia wewe . Mbingu ilijivunia mitume sababu ya nguvu ya kutafuta wengine kwa ajiri ya ufalme vipi wewe na mimi tumefanya nini kwa ajiri ya ufalme?

    Au tunasubiri kukatwa tawi letu ndipo tuelewe vizr , la hasha tunapaswa kusafishiwa ili tusitawi sana na kufanikiwa sana.

    Kama ni prays unawezaje kuzaa wengine katika prays yako , kama ni mwimbaj unawezaj kuzaa wengine sababu ya uimbaji wako , na wengine katika hicho ulicho pewa unawezaje kuzaa wengine?

    Bwana akusaidie sana na mimi anisaidie tugeuke tuzae matunda kabla tujakatwa au kudumaa kihuduma, kwani huduma ni zawadi tu ,,

    Ahsante sana naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (BUILD NEW EDEN)

    #build new eden
    #restore men position
    16/21 BWANA ANATUTAKA TUONGEZE WENGINE Ni rahisi sana watu tulio okoka kumwomba Mungu atuongeze ikiwa sisi hatuja fanya chochote juu ya ufalme wake. Yohana15:1-5 BHN 1.“Mimi ni mzabibu wa kweli, na Baba yangu ndiye mkulima. 2.Kila tawi ndani yangu lisilozaa matunda yeye huliondoa, na kila tawi lizaalo hulisafisha lipate kuzaa zaidi. 3.Nyinyi mmekwisha kuwa safi kwa sababu ya ule ujumbe niliowaambieni. Kaeni ndani yangu, nami nikae ndani yenu 4.Kama vile tawi haliwezi peke yake kuzaa matunda lisipobaki katika mzabibu, hali kadhalika nanyi hamwezi kuzaa matunda msipokaa ndani yangu. 5.“Mimi ni mzabibu, nanyi ni matawi. Akaaye ndani yangu, nami nikiwa ndani yake, huyo huzaa matunda mengi, maana bila mimi hamwezi kufanya chochote. Ni maneno yaa Yesu aliyo kuwa akiwaambia wanafunzi wake kuwa yeye ni mzabibu na baba ni mkulima . Katika maneno haya tukiangalia kwa upana zaidi kuna jambo kubwa tunakwenda kujifunza ambalo ni 1.Kama mtoto wa Mungu kujua nafasi yako katika ufalme wa Mungu. 2.kuzaa na kuongezeka ni kanuni ya kiungu kabisa . 2."Kila tawi ndani yangu lisilozaa matunda yeye huliondoa, na kila tawi lizaalo hulisafisha lipate kuzaa zaidi." Ukisha okoka lazima ujenge tabia ya kuongeza wengine ili nawe uongezeke na kusitawi . Kumbe kazi ya kushuhudia si ya mchungaji peke yake bali ya wote katika kuujenga mwili wa kristo. 3.Kuwa na moyo safi ni ishara ya kuwa ndani ya kristo. Kumbe kama mapenzi ya Mungu ni sisi kukaa ndani yake ili tuweze kumpendeza yeye kisha yeye awe ndani yetu. Na kama tunavyo jua ili Mungu akae ndani yetu lazima tuwe safi katika moyo wetu kwani yeye ni msafi kila wakati. Hayo ndiyo mapenzi ya Mungu ni sisi tuzae matunda iliatuongeze sana lakini bahati mbaya sasa tumewaachia wachungaji ndio wazae matunda (wawalete watu kwa Yesu). Ni vyema kama mwamini ukipata nafasi ya kuvuna nafsi ivune ili baba asije akakukata kwa kuwa ni mzabibu usio zaaa. Natamani kama kila mtu ndani ya kanisa akaelewa yeye ni tawi ndani ya mzabibu ko lazima ategemee kuzaa wengine . Bwana lengo lake ni kutupanda kuwa mzabibu mwema lakini sisi tumegeuka kuwa mzabibu mwitu.. Wakati mwingine kuna baraka tumezikosa kwa sababu tu ya kuto kuongeza watu wengine katika ufalme wa Mungu. Lete mamilioni ya watu kwa Yesu na Yesu atajivunia wewe . Mbingu ilijivunia mitume sababu ya nguvu ya kutafuta wengine kwa ajiri ya ufalme vipi wewe na mimi tumefanya nini kwa ajiri ya ufalme? Au tunasubiri kukatwa tawi letu ndipo tuelewe vizr , la hasha tunapaswa kusafishiwa ili tusitawi sana na kufanikiwa sana. Kama ni prays unawezaje kuzaa wengine katika prays yako , kama ni mwimbaj unawezaj kuzaa wengine sababu ya uimbaji wako , na wengine katika hicho ulicho pewa unawezaje kuzaa wengine? Bwana akusaidie sana na mimi anisaidie tugeuke tuzae matunda kabla tujakatwa au kudumaa kihuduma, kwani huduma ni zawadi tu ,, Ahsante sana naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (BUILD NEW EDEN) #build new eden #restore men position
    Wow
    1
    ·782 Views
  • TUAMBIENI BASI TUFIKISHE WAPI TUNA POST ADI UNAKATA TAMAA TOENI KIWANGO KAMA TWEETER AU IG WATU WENU TUELEKITU KIMOJA SAW TUNA MABLUE TICK LAKIN ATUPATI FAIDA BADO

    AYA MAMILION TUNAYAONA TU KAMA PICHA

    EBU FANYENI JAMBO Social Pop
    TUAMBIENI BASI TUFIKISHE WAPI TUNA POST ADI UNAKATA TAMAA TOENI KIWANGO KAMA TWEETER AU IG WATU WENU TUELEKITU KIMOJA SAW TUNA MABLUE TICK LAKIN ATUPATI FAIDA BADO AYA MAMILION TUNAYAONA TU KAMA PICHA EBU FANYENI JAMBO [Socialpop1]
    Like
    Love
    2
    2 Commentarios ·2K Views
  • Wilson Orumo Vs Privaldinho

    "Prince Dube akiwa Azam alitumia michezo 54 kufunga magoli 34, wastani wa bao moja kila baada ya mchezo mmoja na dakika 30. Hapo hatujaongelea alivyokuwa ana struggle na mazoezi au kucheza timu ndogo kama Azam.

    Turudi sasa kwenye msimu wake ambao tunaambiwa ameshuka.

    So far amefunga magoli 7 kwenye ligi akiwa ndiye mchezaji pekee mwenye hat trick huku akizidiwa mabao mawili tu na kinara wa mabao.

    Dube amecheza dakika 1042 akihusika magoli 11 sawa kuhusika na goli kila baada ya dakika 94.

    Dube anafunga dhidi ya timu dhaifu miongoni mwa hoja za kipuuzi

    Dube msimu huu kwenye ngao alifunga bao dhidi ya Azam je Azam ni timu dhaifu?

    Dube amefunga magoli dhidi ya Mazembe, ligi ya mabingwa goli muhimu na la dakika za jioni, chance moja muhimu na ngumu.

    Huyu kijeba wao amefunga magoli nane, amekosa nafasi kibao lakini huwezi kusikia akijadiliwa. Kwa mfano leo kijeba amekosa nafasi ya wazi, mechi na Pamba kijeba alikosa nafasi dakika za majeruhi.

    Tuambieni ni mshambuliaji yupi ambaye amehusika magoli mengi kuliko Dube kutoka Ukoloni ?

    Kwa kifupi tuwasaidia takwimu za Dube

    Ligi ya Mabingwa: Magoli - 4, Assists 3
    Ligi kuu: Magoli 7, assists 4,
    Ngao goli 1 vs Azam na assist moja vs Makolo
    Amehusika magoli 20 ndani ya miezi sita halafu anatoke mvimba macho mmoja anaibu agenda za kijinga?

    Wakati akiwa Azam walimuita JANAUME la KOLO, mara Henry leo wanambeza? Shame on You" - Privaldinho.

    Wilson Orumo Vs Privaldinho "Prince Dube akiwa Azam alitumia michezo 54 kufunga magoli 34, wastani wa bao moja kila baada ya mchezo mmoja na dakika 30. Hapo hatujaongelea alivyokuwa ana struggle na mazoezi au kucheza timu ndogo kama Azam. Turudi sasa kwenye msimu wake ambao tunaambiwa ameshuka. So far amefunga magoli 7 kwenye ligi akiwa ndiye mchezaji pekee mwenye hat trick huku akizidiwa mabao mawili tu na kinara wa mabao. Dube amecheza dakika 1042 akihusika magoli 11 sawa kuhusika na goli kila baada ya dakika 94. Dube anafunga dhidi ya timu dhaifu miongoni mwa hoja za kipuuzi Dube msimu huu kwenye ngao alifunga bao dhidi ya Azam je Azam ni timu dhaifu? Dube amefunga magoli dhidi ya Mazembe, ligi ya mabingwa goli muhimu na la dakika za jioni, chance moja muhimu na ngumu. Huyu kijeba wao amefunga magoli nane, amekosa nafasi kibao lakini huwezi kusikia akijadiliwa. Kwa mfano leo kijeba amekosa nafasi ya wazi, mechi na Pamba kijeba alikosa nafasi dakika za majeruhi. Tuambieni ni mshambuliaji yupi ambaye amehusika magoli mengi kuliko Dube kutoka Ukoloni ? Kwa kifupi tuwasaidia takwimu za Dube Ligi ya Mabingwa: Magoli - 4, Assists 3 Ligi kuu: Magoli 7, assists 4, Ngao goli 1 vs Azam na assist moja vs Makolo Amehusika magoli 20 ndani ya miezi sita halafu anatoke mvimba macho mmoja anaibu agenda za kijinga? Wakati akiwa Azam walimuita JANAUME la KOLO, mara Henry leo wanambeza? Shame on You" - Privaldinho.
    Like
    1
    ·532 Views
  • Nimewahi onekana msumbufu kwake, wiki moja baada ya kuniambia ahsante kwa kunijali.

    Nilikuwa mstari wa mbele kwenye matatizo yake yanayohusu pesa, bila kujali umaskini wangu.

    Nilimpenda sana yule mwanamke, aliyewahi niomba nisichoweza kukimudu, ili anikasirikie.

    Kwangu haikuwa blue ticks zisizojibiwa, wala block, alikosa kabisa, muda wa kufungua jumbe nilizomtumia, licha ya kuwa online muda wote.

    Kuna siku aliniahidi kuja, halafu akanizimia simu, dakika chache baada ya kumtumia nauli.

    Hadi nikaitwa kitenzi king'ang'anizi, zilipokuja dalili za wazi, kuwa sitakiwi na yeye.

    Aliyesema mapenzi upofu, ni kama alitaka nisione nafasi yangu kwenye dharau zake.

    Corabo ya dunia isiyonihitaji, na shetani aliyefanikiwa, ikaniaminisha nipo sahihi, ili nizidi kupotea.

    Huzuni ikawa kurasa ya kwanza, kwenye daftari lililoandikwa ninavyostahili.

    Kabla yakuwa single, ilikuwa ngumu kuamini kama naweza kuishi bila yeye.

    Baada ya kuvipa onyo viungo vyangu vya uzazi, siku hizi upweke umekuwa rafiki anayeongozana na mimi kila mahali, nainjoi.

    Mwambieni nimemsamehe Farashuu, maana nikisema nilipize hastahili kuishi, ila msimtaje mbele yangu.

    N.B, Hii Haina uhusiano wowote na mwandishi

    #neliudcosiah
    Nimewahi onekana msumbufu kwake, wiki moja baada ya kuniambia ahsante kwa kunijali. Nilikuwa mstari wa mbele kwenye matatizo yake yanayohusu pesa, bila kujali umaskini wangu. Nilimpenda sana yule mwanamke, aliyewahi niomba nisichoweza kukimudu, ili anikasirikie. Kwangu haikuwa blue ticks zisizojibiwa, wala block, alikosa kabisa, muda wa kufungua jumbe nilizomtumia, licha ya kuwa online muda wote. Kuna siku aliniahidi kuja, halafu akanizimia simu, dakika chache baada ya kumtumia nauli. Hadi nikaitwa kitenzi king'ang'anizi, zilipokuja dalili za wazi, kuwa sitakiwi na yeye. Aliyesema mapenzi upofu, ni kama alitaka nisione nafasi yangu kwenye dharau zake. Corabo ya dunia isiyonihitaji, na shetani aliyefanikiwa, ikaniaminisha nipo sahihi, ili nizidi kupotea. Huzuni ikawa kurasa ya kwanza, kwenye daftari lililoandikwa ninavyostahili. Kabla yakuwa single, ilikuwa ngumu kuamini kama naweza kuishi bila yeye. Baada ya kuvipa onyo viungo vyangu vya uzazi, siku hizi upweke umekuwa rafiki anayeongozana na mimi kila mahali, nainjoi. Mwambieni nimemsamehe Farashuu, maana nikisema nilipize hastahili kuishi, ila msimtaje mbele yangu. N.B, Hii Haina uhusiano wowote na mwandishi 😀😀🙌🙌 #neliudcosiah
    Like
    2
    1 Commentarios ·997 Views
  • Ebu niambieni jamani ni kabila gani hili tusikurupuke kuenda kuowa huko maana mmmmh najiuliza maswali mengi sana
    Ebu niambieni jamani ni kabila gani hili tusikurupuke kuenda kuowa huko maana mmmmh najiuliza maswali mengi sana 😂😂
    Like
    2
    12 Commentarios ·651 Views
  • Wauni tulio peace hatuishi kwa masifa..
    Naishinao mm mbishi sifa zitakuja siku nikifa..
    Wasionipenda waambieni npo Arusha bado naishi..
    Tena siwawazi nikila nashushia na kushi..
    Manigger mwendokasi xyoo ubitozi..
    Nashangaa wanapanga kikosi kunisaka wamekosa kazi..
    Gari limeshawashwa katikati ya sheli..
    Uvutaji wa sigara ni hatari ukiwa mmbovu wa seli..
    Wauni tulio peace hatuishi kwa masifa.. Naishinao mm mbishi sifa zitakuja siku nikifa.. Wasionipenda waambieni npo Arusha bado naishi.. Tena siwawazi nikila nashushia na kushi.. Manigger mwendokasi xyoo ubitozi.. Nashangaa wanapanga kikosi kunisaka wamekosa kazi.. Gari limeshawashwa katikati ya sheli.. Uvutaji wa sigara ni hatari ukiwa mmbovu wa seli..
    ·588 Views
  • Waambieni wale wale waje wale waliwao
    #jeiva
    Waambieni wale wale waje wale waliwao #jeiva
    Like
    Love
    5
    1 Commentarios ·70 Views
  • TagFriends #MwambieNaMwenzio

    #paulswai
    😂😂😂TagFriends #MwambieNaMwenzio #paulswai
    Like
    Love
    2
    1 Commentarios ·357 Views ·43 Views ·1 Acciones