• Baada ya kuondoka kwa aliyekuwa nahodha wa Totenham Heung- min Son, meneja wa Totenham Hotspurs amethibitisha rasmi kuwa Cristian Romero ndie atakuwa nahodha mpya wa klabu hiyo.

    Romero alijiunga na Totenham mwaka 2022 akitokea Atalanta.

    Muda wote amekuwa mchezaji muhimu kwa klabu hiyo na kiongozi mzuri ndani na nje ya uwanja.

    Romero pia ni sehemu ya kikosi cha Totenham kilichofanikiwa kutwaa ubingwa wa UEFA Europa league msimu uliopita.

    #SportsElite
    Baada ya kuondoka kwa aliyekuwa nahodha wa Totenham Heung- min Son, meneja wa Totenham Hotspurs amethibitisha rasmi kuwa Cristian Romero ndie atakuwa nahodha mpya wa klabu hiyo. Romero alijiunga na Totenham mwaka 2022 akitokea Atalanta. Muda wote amekuwa mchezaji muhimu kwa klabu hiyo na kiongozi mzuri ndani na nje ya uwanja. Romero pia ni sehemu ya kikosi cha Totenham kilichofanikiwa kutwaa ubingwa wa UEFA Europa league msimu uliopita. #SportsElite
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·149 Views
  • | BREAKING

    Crystal Palace imepanga kukata rufaa ili kupinga uamuzi wa UEFA kuwashusha kutoka kushiriki EUROPA hadi kushiriki Conference League.

    Nafasi ya ushiriki wa EUROPA ambayo ilikuwa ni ya Crystal Palace atashiriki Nottingham Forest na Palace watashiriki Conference kama mambo yatabakia hivi.

    #SportsElite
    🚨 | BREAKING Crystal Palace imepanga kukata rufaa ili kupinga uamuzi wa UEFA kuwashusha kutoka kushiriki EUROPA hadi kushiriki Conference League. Nafasi ya ushiriki wa EUROPA ambayo ilikuwa ni ya Crystal Palace atashiriki Nottingham Forest na Palace watashiriki Conference kama mambo yatabakia hivi. #SportsElite
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·421 Views
  • RASMI

    UEFA imetangaza kuwa Crystal Palace hawatashiriki EUROPA LEAGUE licha ya kufanikiwa kufuzu kushiriki mashindano hayo.

    Sababu kuu ni uwepo wa Olympique Lyonnais kwenye mashindano hayo, timu zote mbili zipo chini ya mmiliki mmoja.

    Crystal Palace atakuwa na nafasi ya kushiriki Conference League badala ya EUROPA kutokana na sheria.

    #SportsElite
    RASMI ✍️ UEFA imetangaza kuwa Crystal Palace hawatashiriki EUROPA LEAGUE licha ya kufanikiwa kufuzu kushiriki mashindano hayo. Sababu kuu ni uwepo wa Olympique Lyonnais kwenye mashindano hayo, timu zote mbili zipo chini ya mmiliki mmoja. Crystal Palace atakuwa na nafasi ya kushiriki Conference League badala ya EUROPA kutokana na sheria. #SportsElite
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·284 Views
  • 𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Klabu ya Olympique Lyon imeshinda rufaa yake na sasa Klabu hiyo itashiriki Ligi kuu Ufaransa msimu ujao na pia itacheza Europa League.

    Olympique Lyon ilishushwa Daraja mwezi uliopita kutokana na madeni na sasa imekubaliwa rufaa yake.

    #SportsElite
    🚨 𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Klabu ya Olympique Lyon imeshinda rufaa yake na sasa Klabu hiyo itashiriki Ligi kuu Ufaransa msimu ujao na pia itacheza Europa League. Olympique Lyon ilishushwa Daraja mwezi uliopita kutokana na madeni na sasa imekubaliwa rufaa yake. #SportsElite
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·214 Views
  • OFFICIAL Chelsea ni timu ya kwanza katika historia kushinda michuano minne tofauti ya UEFA.

    UEFA Europa Conference
    UEFA Champions League
    UEFA Europa League
    UEFA Cup Winner's Cup

    #SportsElite
    🏆💣 OFFICIAL Chelsea ni timu ya kwanza katika historia kushinda michuano minne tofauti ya UEFA. 🏆 UEFA Europa Conference 🏆🏆 UEFA Champions League 🏆🏆 UEFA Europa League 🏆🏆 UEFA Cup Winner's Cup #SportsElite
    Love
    1
    · 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·621 Views
  • #sportselite
    #Europaligue
    #sportselite #Europaligue
    Like
    Wow
    2
    · 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·404 Views
  • TOTTENHAM HAVE WON THE EUROPA LEAGUE!
    TOTTENHAM HAVE WON THE EUROPA LEAGUE! 🏆
    Love
    2
    · 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·286 Views
  • #SportsElite
    #UEFAEUROPALigue Round 16
    #SportsElite #UEFAEUROPALigue Round 16
    Love
    1
    · 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·1K Views
  • #SportsElite
    #EUROPA
    #SportsElite #EUROPA
    Wow
    1
    · 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·559 Views
  • Gosens ilimbidi aiGoogle "Atalanta ni nani" walipompa ofa.

    "Nilipokuwa Uholanzi walinipigia simu kunishawishi nijiunge na Atalanta, klabu ambayo sikuwahi kuisikia. Niliwatafuta kwenye google na nikaona kwamba wanaenda kucheza Europa League hivyo nikakubali ofa hiyo." [TMW]
    Gosens ilimbidi aiGoogle "Atalanta ni nani" walipompa ofa. 🗣️ "Nilipokuwa Uholanzi walinipigia simu kunishawishi nijiunge na Atalanta, klabu ambayo sikuwahi kuisikia. Niliwatafuta kwenye google na nikaona kwamba wanaenda kucheza Europa League hivyo nikakubali ofa hiyo." [TMW]
    Like
    Haha
    5
    · 1 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·586 Views
  • Olympiakos inashinda Ligi ya Europa Conference 2024, na kutengeneza historia ya Ugiriki

    Olympiakos waliibuka washindi dhidi ya Fiorentina.
    Katika fainali iliyokosa msisimko, klabu hiyo ya Ugiriki, ikinyakua taji lake la kwanza la Uropa, iliishinda timu ya Italia katika muda wa nyongeza kwa bao la Ayoub El Kaabi.
    Kwa Fiorentina, ni kipigo kingine katika hatua hii, ikionyesha kupoteza kwa msimu uliopita dhidi ya West Ham.


    Follow page
    Olympiakos inashinda Ligi ya Europa Conference 2024, na kutengeneza historia ya Ugiriki Olympiakos waliibuka washindi dhidi ya Fiorentina. Katika fainali iliyokosa msisimko, klabu hiyo ya Ugiriki, ikinyakua taji lake la kwanza la Uropa, iliishinda timu ya Italia katika muda wa nyongeza kwa bao la Ayoub El Kaabi. Kwa Fiorentina, ni kipigo kingine katika hatua hii, ikionyesha kupoteza kwa msimu uliopita dhidi ya West Ham. 👏👏👏 Follow page
    Like
    Love
    Wow
    5
    · 1 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·740 Views
  • Timu ya klabu ya Chelsea itashirika michuano ya Europa Conference League baada ya timu ya Man United kutwa kombe la FA dhidi ya Man City

    Kwenye michuano hiyo, Chelsea itaanzia hatua ya Play-offs ambayo itachezwa mwezi wa nane mwishoni

    Kwangu mimi nimeona ni bora tukaanzie huko maana timu yetu naona kama bado haitaweza kupamba Europa League kwa kocha mgeni, maboss wanataka kocha ambaye atakubali kufundisha timu bila kuhusika kwenye usajili au uuzaji wa wachezaji, jambo ambalo litakuwa gumu kwa makocha wenye CV nzuri

    Mpaka sasa Chelsea inahusishwa na makocha wanne
    1. Enzo Marezsca aliyeipandisha Leicester City ligi
    kuu (EPL)
    2. Kieran McKenna aliyeipandisha Ipswich ligi ya
    championship msimu ule uliopita na kuipandisha
    tena EPL msimu huu ulioisha EPL
    3. Thomas Frank kocha wa Brentford anasifiwa kwa
    namna timu yake inacheza
    4. Kocha huyu haku wekwa wazi na timu ya Chelsea
    bali walisema tu ni kocha ambaye anasifika kwa
    kiwango cha timu yake. Kuna taarifa zinasema
    anaweza kuwa Roberto De Zerbi aliyekuwa kocha
    wa Brighton au Reuben Amorim kocha wa
    Sporting Lisbon ya Ureno. Hii taarifa haija
    hakikishwa na source kama Sky sports news au
    Fabrizio Romano

    Kwa hao makocha wote hapo juu lazima wakubaliane na falsafa ya maboss wa Chelsea ya kuwa watahusika na kufundisha timu tu basi, na siyo kuhusika na usijali
    Timu ya klabu ya Chelsea itashirika michuano ya Europa Conference League baada ya timu ya Man United kutwa kombe la FA dhidi ya Man City Kwenye michuano hiyo, Chelsea itaanzia hatua ya Play-offs ambayo itachezwa mwezi wa nane mwishoni Kwangu mimi nimeona ni bora tukaanzie huko maana timu yetu naona kama bado haitaweza kupamba Europa League kwa kocha mgeni, maboss wanataka kocha ambaye atakubali kufundisha timu bila kuhusika kwenye usajili au uuzaji wa wachezaji, jambo ambalo litakuwa gumu kwa makocha wenye CV nzuri Mpaka sasa Chelsea inahusishwa na makocha wanne 1. Enzo Marezsca aliyeipandisha Leicester City ligi kuu (EPL) 2. Kieran McKenna aliyeipandisha Ipswich ligi ya championship msimu ule uliopita na kuipandisha tena EPL msimu huu ulioisha EPL 3. Thomas Frank kocha wa Brentford anasifiwa kwa namna timu yake inacheza 4. Kocha huyu haku wekwa wazi na timu ya Chelsea bali walisema tu ni kocha ambaye anasifika kwa kiwango cha timu yake. Kuna taarifa zinasema anaweza kuwa Roberto De Zerbi aliyekuwa kocha wa Brighton au Reuben Amorim kocha wa Sporting Lisbon ya Ureno. Hii taarifa haija hakikishwa na source kama Sky sports news au Fabrizio Romano Kwa hao makocha wote hapo juu lazima wakubaliane na falsafa ya maboss wa Chelsea ya kuwa watahusika na kufundisha timu tu basi, na siyo kuhusika na usijali
    Like
    Love
    Haha
    7
    · 6 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·1K Views
  • Kikosi bora cha Michuano ya Europa league msimu huu 2023-2024:

    Atalanta : wachezaji 4
    B' Leverkusen : wachezaji 4
    Roma : 2
    Marseille : 1

    #EURO2024#UELfinal#EuropaLeague

    #Sportsview
    Kikosi bora cha Michuano ya Europa league msimu huu 2023-2024: Atalanta 🏆: wachezaji 4 B' Leverkusen : wachezaji 4 Roma : 2 Marseille : 1 #EURO2024#UELfinal#EuropaLeague #Sportsview
    Like
    Love
    7
    · 1 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·1K Views
  • Wachezaji wa Afrika wanaosaka heshima na historia Ulaya

    Picha,Ademola Lookman (atachuana na mchezaji mwenzake wa Nigeria, Victor Boniface (kulia) katika fainali ya Ligi ya Europa siku ya Jumatano.

    Mashindano makubwa ya vilabu barani Ulaya yanafikia kilele chake na wachezaji kadhaa wa Kiafrika wanatarajia kuandika historia.

    Kuna uwakilishi mkubwa kutoka Afrika katika fainali zote tatu za Ulaya, timu sita zinazoshiriki zote zina Waafrika katika safu zao za kwanza.

    Kuna wachezaji wa Afrika ambao wametoa mchango muhimu na ambao utawawekea historia katika muda wa wiki moja na nusu ijayo.
    #Sports view
    Wachezaji wa Afrika wanaosaka heshima na historia Ulaya Picha,Ademola Lookman (atachuana na mchezaji mwenzake wa Nigeria, Victor Boniface (kulia) katika fainali ya Ligi ya Europa siku ya Jumatano. Mashindano makubwa ya vilabu barani Ulaya yanafikia kilele chake na wachezaji kadhaa wa Kiafrika wanatarajia kuandika historia. Kuna uwakilishi mkubwa kutoka Afrika katika fainali zote tatu za Ulaya, timu sita zinazoshiriki zote zina Waafrika katika safu zao za kwanza. Kuna wachezaji wa Afrika ambao wametoa mchango muhimu na ambao utawawekea historia katika muda wa wiki moja na nusu ijayo. #Sports view
    Like
    5
    · 0 Yorumlar ·1 hisse senetleri ·941 Views