• Mpenzi wa zamani wa Israel Adesanya ambaye ni Msanii wa Sanaa za mapigano kutoka Nchini New Zealand mwenye asili ya Nigeria , Charlotte Powdrell amepigwa na butwaa kisha kulia machozi baada ya kumlipa "X" wake Israel dola laki tano (500.000) ambazo ni takribani Shilingi Bilioni 1.3 kwa kumpeleka Mahakamani baada ya kuachana kwao.

    Charlotte na lsreal hawakuwahi kuoana wala kuwa na Watoto, lakini walipoachana, Charlotte alimpeleka mahakamani akidai alistahili nusu ya mali ya Israel kwa sababu ya muda waliokaa kwenye uhusiano, akidai kwamba alistahili kuolewa naye. Makadirio ya utajiri wa Adesanya ulikadiriwa kuwa dola milioni 15 ambazo ni zaidi Shilingi Bilioni 39 .1 hivyo Charlotte alidai kwamba pesa hizo walipaswa kugawana baada ya kuachana.

    Mahakama baada ya kufuatilia na kuchunguza kesi hiyo kwa zaidi ya mwaka mmoja toka mwaka 2023, Mahakama hiyo hatimaye ilipitisha uamuzi kwamba apewe nusu ya utajiri wa lsreal Adesanya, lakini ikagundulika kuwa thamani ya Isreal Adesanya ni sifuri yaani hana chochote anachomiliki wala hajawahi kumiliki akaunti ya benki maisha yake yote.

    Na kwa kuwa Charlotte ana thamani ya dola milioni moja na tajiri zaidi kuliko aliyekuwa Mpenzi wake Adesanya, pesa zake mwenyewe zilipaswa kugawanywa kati yao kwa usawa na kumuacha Israeli na kiasi cha dola laki tano (500.000). Inaripotiwa kuwa pesa zote za Israel Adesanya ambazo ni zaidi dola milioni 15 zinasimamiwa na Mama yake Mzazi, Taiwo na amekuwa akisimamia fedha zake tangu mwanzo wa kazi yake.
    Mpenzi wa zamani wa Israel Adesanya ambaye ni Msanii wa Sanaa za mapigano kutoka Nchini New Zealand 🇳🇿 mwenye asili ya Nigeria 🇳🇬, Charlotte Powdrell amepigwa na butwaa kisha kulia machozi baada ya kumlipa "X" wake Israel dola laki tano (500.000) ambazo ni takribani Shilingi Bilioni 1.3 kwa kumpeleka Mahakamani baada ya kuachana kwao. Charlotte na lsreal hawakuwahi kuoana wala kuwa na Watoto, lakini walipoachana, Charlotte alimpeleka mahakamani akidai alistahili nusu ya mali ya Israel kwa sababu ya muda waliokaa kwenye uhusiano, akidai kwamba alistahili kuolewa naye. Makadirio ya utajiri wa Adesanya ulikadiriwa kuwa dola milioni 15 ambazo ni zaidi Shilingi Bilioni 39 .1 hivyo Charlotte alidai kwamba pesa hizo walipaswa kugawana baada ya kuachana. Mahakama baada ya kufuatilia na kuchunguza kesi hiyo kwa zaidi ya mwaka mmoja toka mwaka 2023, Mahakama hiyo hatimaye ilipitisha uamuzi kwamba apewe nusu ya utajiri wa lsreal Adesanya, lakini ikagundulika kuwa thamani ya Isreal Adesanya ni sifuri yaani hana chochote anachomiliki wala hajawahi kumiliki akaunti ya benki maisha yake yote. Na kwa kuwa Charlotte ana thamani ya dola milioni moja na tajiri zaidi kuliko aliyekuwa Mpenzi wake Adesanya, pesa zake mwenyewe zilipaswa kugawanywa kati yao kwa usawa na kumuacha Israeli na kiasi cha dola laki tano (500.000). Inaripotiwa kuwa pesa zote za Israel Adesanya ambazo ni zaidi dola milioni 15 zinasimamiwa na Mama yake Mzazi, Taiwo na amekuwa akisimamia fedha zake tangu mwanzo wa kazi yake.
    0 Comments ·0 Shares ·5 Views
  • "Kwamba TFF impige mvua ya miaka miwili Kijana wake Ally Kamwe? Nimeona taarifa kwa Ndugu yangu Mkomwa, nimewaza sana kwamba TFF kama Taasisi yetu tunayoiamini ifikie maamuzi kama haya? Labda wacha tusubiri taarifa rasmi, lakini kama ni kweli basi inafikirisha sana.

    Kamwe ametiwa hatiani kwa kosa liloitwa la UDHALILISHAJI, kwamba udhalilishaji aliofanya ni kupost “Leo Mjadala redioni 90% ni kuhusu Makolo na Waamuzi” hapo ndipo wakamtia hatiani kwa kudharirisha, lakini nimewaza sana, Ally ni wa kwanza kulaumu? Hao Makolo ni nani? Wanashiriki ligi gani? Ni timu gani? Bado inafikirisha sana, kwamba kuna timu inachezeshwa na Marefa wetu inaitwa Makolo?

    Tufanye ni kosa lakini ije na adhabu ya miaka miwili? Nakumbuka kuna Msemaji alifanya kosa kama hili alifungiwa miezi mitatu, je utofauti wake na Ally ni upi? Miaka miwili imetokana na nini? Je ni TFF tu au kuna Mtu ndani pale au nje yupo nyuma ya mchezo akisukuma kete zake kwa umakini? Ni kosa kubwa kiasi hicho mpaka tumpoteze Kijana wetu kwa miaka miwili?

    Kwamba tunashindwa kuvumiliana? Kuadhibiana kwa kuhurumiana? Kama ambavyo Wadau wa soka wamekuwa wakiwavumilia Waamuzi? Sikatai amekosea lakini nakataa ukubwa wa adhabu, sitaki kuamini mpaka nione taarifa rasmi ila kama kweli ni miaka miwili basi huenda ikawa adhabu kubwa zaidi kuwahi kutolewa kwa kosa dogo zaidi, inafikirisha, siamini kama taasisi yetu penda ikatoa adhabu kama hii, unless kuwa na Mtu anashawishi.

    Makofi hayamkuzi Mtoto bali yanamuumiza, sheria haipo kusaka haki bali Mshindi, hiyo ni kweli na inafahamika ila Mshindi anapaswa kuwa mpira wa miguu sio Mtu mmoja, kama kweli ni miaka miwili ipo haja ya kupunguza adhabu, kwa maslahi mapana ya mpira kwakuwa Ally ni Kijana wetu, Mtoto wetu ambaye ameutumikia mpira huu kwa mapenzi makubwa sana, itabaki kuwa ni mmoja kati yetu.

    Nachofahamu Chura hawezi kuruka mchana wa jua kali tena nchi kavu kama hakuna kitu kinachomkimbiza" - Farhan JR, Mchambuzi.

    "Kwamba TFF impige mvua ya miaka miwili Kijana wake Ally Kamwe? Nimeona taarifa kwa Ndugu yangu Mkomwa, nimewaza sana kwamba TFF kama Taasisi yetu tunayoiamini ifikie maamuzi kama haya? Labda wacha tusubiri taarifa rasmi, lakini kama ni kweli basi inafikirisha sana. Kamwe ametiwa hatiani kwa kosa liloitwa la UDHALILISHAJI, kwamba udhalilishaji aliofanya ni kupost “Leo Mjadala redioni 90% ni kuhusu Makolo na Waamuzi” hapo ndipo wakamtia hatiani kwa kudharirisha, lakini nimewaza sana, Ally ni wa kwanza kulaumu? Hao Makolo ni nani? Wanashiriki ligi gani? Ni timu gani? Bado inafikirisha sana, kwamba kuna timu inachezeshwa na Marefa wetu inaitwa Makolo? Tufanye ni kosa lakini ije na adhabu ya miaka miwili? Nakumbuka kuna Msemaji alifanya kosa kama hili alifungiwa miezi mitatu, je utofauti wake na Ally ni upi? Miaka miwili imetokana na nini? Je ni TFF tu au kuna Mtu ndani pale au nje yupo nyuma ya mchezo akisukuma kete zake kwa umakini? Ni kosa kubwa kiasi hicho mpaka tumpoteze Kijana wetu kwa miaka miwili? Kwamba tunashindwa kuvumiliana? Kuadhibiana kwa kuhurumiana? Kama ambavyo Wadau wa soka wamekuwa wakiwavumilia Waamuzi? Sikatai amekosea lakini nakataa ukubwa wa adhabu, sitaki kuamini mpaka nione taarifa rasmi ila kama kweli ni miaka miwili basi huenda ikawa adhabu kubwa zaidi kuwahi kutolewa kwa kosa dogo zaidi, inafikirisha, siamini kama taasisi yetu penda ikatoa adhabu kama hii, unless kuwa na Mtu anashawishi. Makofi hayamkuzi Mtoto bali yanamuumiza, sheria haipo kusaka haki bali Mshindi, hiyo ni kweli na inafahamika ila Mshindi anapaswa kuwa mpira wa miguu sio Mtu mmoja, kama kweli ni miaka miwili ipo haja ya kupunguza adhabu, kwa maslahi mapana ya mpira kwakuwa Ally ni Kijana wetu, Mtoto wetu ambaye ameutumikia mpira huu kwa mapenzi makubwa sana, itabaki kuwa ni mmoja kati yetu. Nachofahamu Chura hawezi kuruka mchana wa jua kali tena nchi kavu kama hakuna kitu kinachomkimbiza" - Farhan JR, Mchambuzi.
    0 Comments ·0 Shares ·19 Views
  • Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imeomba msaada wa kijeshi kutoka Nchini Chad katika jitihada zake za kupambana na Waasi wa kundi la M23 wanaodaiwa kuungwa mkono na Nchi ya Rwanda . Waziri anayeshughulikia masuala ya kikanda wa DR Congo alikutana na Rais wa Chad, Mahamat Idriss Deby Itno, Jumanne akimuwakilisha Rais wa DR Congo, Felix Tshisekedi, kwa mujibu wa taarifa kutoka ofisi ya Rais wa Chad na kusasishwa kwenye wa mtandao wa Facebook.

    Maelezo ya kina ya mazungumzo yao hajawekwa wazi. Mmoja wa Maafisa wa Chad anayeyefahamu mazungumzo hayo alisema Chad inalibeba ombi la kuombwa msaada na DR Congo, lakini bado haijafanya maamuzi kuhusu ombi hilo. Chanzo kutoka Ofisi ya Rais DR Congo C kimeiambia BBC kuwa kuwa Nchi hiyo imeomba msaada wa kijeshi na kidiplomasia kutoka Nchini Chad.

    Hata hivyo chanzo hicho ambacho hakijataka kutambulishwa kwa sababu za ndani, hakijatoa maelezo zaidi. Msemaji wa Serikali ya Chad, Gassim Cherif, hakujibu ombi la kutoa maoni yake kuhusu hili, kwa mujibu wa Reuters. Kwa upande wake, Msemaji wa Rais Tshisekedi, Tina Salama, alisema hana taarifa yoyote kuhusu suala hilo.

    Wiki iliyopita, Waziri wa Mambo ya Nje wa Chad aliiambia Reuters kuwa kupeleka msaada wa kijeshi DR Congo ni "taarifa za tetesi" bado haijathibitishwa rasmi.
    (BBC)

    Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo 🇨🇩 imeomba msaada wa kijeshi kutoka Nchini Chad 🇹🇩 katika jitihada zake za kupambana na Waasi wa kundi la M23 wanaodaiwa kuungwa mkono na Nchi ya Rwanda 🇷🇼. Waziri anayeshughulikia masuala ya kikanda wa DR Congo alikutana na Rais wa Chad, Mahamat Idriss Deby Itno, Jumanne akimuwakilisha Rais wa DR Congo, Felix Tshisekedi, kwa mujibu wa taarifa kutoka ofisi ya Rais wa Chad na kusasishwa kwenye wa mtandao wa Facebook. Maelezo ya kina ya mazungumzo yao hajawekwa wazi. Mmoja wa Maafisa wa Chad anayeyefahamu mazungumzo hayo alisema Chad inalibeba ombi la kuombwa msaada na DR Congo, lakini bado haijafanya maamuzi kuhusu ombi hilo. Chanzo kutoka Ofisi ya Rais DR Congo C kimeiambia BBC kuwa kuwa Nchi hiyo imeomba msaada wa kijeshi na kidiplomasia kutoka Nchini Chad. Hata hivyo chanzo hicho ambacho hakijataka kutambulishwa kwa sababu za ndani, hakijatoa maelezo zaidi. Msemaji wa Serikali ya Chad, Gassim Cherif, hakujibu ombi la kutoa maoni yake kuhusu hili, kwa mujibu wa Reuters. Kwa upande wake, Msemaji wa Rais Tshisekedi, Tina Salama, alisema hana taarifa yoyote kuhusu suala hilo. Wiki iliyopita, Waziri wa Mambo ya Nje wa Chad aliiambia Reuters kuwa kupeleka msaada wa kijeshi DR Congo ni "taarifa za tetesi" bado haijathibitishwa rasmi. (BBC)
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·322 Views
  • KWENU MNAOJIITA WACHAMBUZI KWA KOFIA ZA USHABIKI NA CHUKI BINAFSI

    kuna kipindi Azam Fc iliwapa wachezaji 5 Simba sports club ili Simba ichukue Ubingwa

    Kuna kipindi kwenye mchezo mmoja Saido ntibanzokiza aliachiwa magoli matano kwenye mechi moja ili Amfikie Fiston kalala Mayele

    Kuna kipindi mchezaji wa Coastal Union alikwepa mpira uliopigwa na saido ili uwe goli

    Mzunguko wa kwanza michezo 2 ya kwanza ya Simba sc dhidi ya Tabora United na Fountain Gate fc wachezaji walifungiwa na kuonekana hawana vibali baada ya wote kucheza na Simba vibali vyao vilikuwepo na walicheza vema na kushinda

    Mzunguko huu wa pili vivyo hivyo Tabora United wachezaji wake Muhimu walikuwa majeruhi na wengine hawakuwa na vibali ila mara tu baada ya kucheza na Simba wachezaji wote walipata vibali na waliokuwa wanaumwa walipona

    Yanga sc ambayo jana imetufunga goli 2 kwa moja ni kikosi hiki hiki kama sikosei ndicho kilichowalamba Tano ni Yanga hii hii ambayo mtoto amezaliwa na amekuwa hajawahi kuona japo Simba ikipata walau Draw dhidi ya yanga kila siku ni vichapo tu

    Nilichogundua mashabiki wengi wa Simba wana wivu sana huwa wanataka wafungwe wao peke yao na Yanga

    Mkiona hapawafai mnaruhusiwa kuhama ligi ila kwa Taarifa za ndaaaaaaani Yanga wamesema popote mtakapohamia na wenyewe watakuja

    Asubuhi mbaya kwenu wabaya wetu
    KWENU MNAOJIITA WACHAMBUZI KWA KOFIA ZA USHABIKI NA CHUKI BINAFSI kuna kipindi Azam Fc iliwapa wachezaji 5 Simba sports club ili Simba ichukue Ubingwa Kuna kipindi kwenye mchezo mmoja Saido ntibanzokiza aliachiwa magoli matano kwenye mechi moja ili Amfikie Fiston kalala Mayele Kuna kipindi mchezaji wa Coastal Union alikwepa mpira uliopigwa na saido ili uwe goli Mzunguko wa kwanza michezo 2 ya kwanza ya Simba sc dhidi ya Tabora United na Fountain Gate fc wachezaji walifungiwa na kuonekana hawana vibali baada ya wote kucheza na Simba vibali vyao vilikuwepo na walicheza vema na kushinda Mzunguko huu wa pili vivyo hivyo Tabora United wachezaji wake Muhimu walikuwa majeruhi na wengine hawakuwa na vibali ila mara tu baada ya kucheza na Simba wachezaji wote walipata vibali na waliokuwa wanaumwa walipona Yanga sc ambayo jana imetufunga goli 2 kwa moja ni kikosi hiki hiki kama sikosei ndicho kilichowalamba Tano ni Yanga hii hii ambayo mtoto amezaliwa na amekuwa hajawahi kuona japo Simba ikipata walau Draw dhidi ya yanga kila siku ni vichapo tu Nilichogundua mashabiki wengi wa Simba wana wivu sana huwa wanataka wafungwe wao peke yao na Yanga Mkiona hapawafai mnaruhusiwa kuhama ligi ila kwa Taarifa za ndaaaaaaani Yanga wamesema popote mtakapohamia na wenyewe watakuja Asubuhi mbaya kwenu wabaya wetu
    0 Comments ·0 Shares ·387 Views
  • Privaldinho

    CEO wa Getafe si anachambua. Sasa na mimi nianze kuchambua.

    Nimetazama vikosi vya Singida mechi 4 za nyuma

    Makipa
    Vs Kagera - Metacha
    Vs JKT - Amas
    Vs KMC - Masalanga
    Vs Yanga - Masalanga
    Ndani ya mechi nne makipa watatu

    Beki ya kushoto Imoro amecheza mechi 2 kati ya 5, vs Makolo, Mechi za Kagera na KMC akacheza Malonga. Vs JKT akacheza Imoro, vs Yanga akacheza Gadiel. Mechi 5 mabeki wa kushoto 3.

    Mechi ya JKT mabeki wa kati alikuwa Assink na Kennedy (Tra bi ta hakuwepo), jana ameanzia benchi. Mechi ya KMC alianza Tra bita na Kennedy. Tra bi ta alitolewa dkk 46 akaingia Assink beki mpya ambaye ameanza jana.

    Mechi ya Kagera Kennedy hakucheza wakaanza Tra bita na Manyama, vs makolo Kennedy na tra bi na vs Ken Gold, Kennedy na Manyama. Maana yake, kuna Manyama, Tra, Kennedy na ongezeko la beki mpya Assink kutoka Ghana aliyecheza jana. Kiufupi hakuna mwenye uhakika wa namba eneo hilo.

    Viungo wa kati
    Vs Yanga (Damaro, Nashon, Gego) Chukwu akabadilishiwa majukumu)
    Vs JKT (Chukwu, Nashon, Arthur)
    Vs KMC (Damaro, Athur, Tchakei)
    Vs Kagera (Damaro, Chukwu, Athur)
    vs Kolo (Damaro, Gego, Keyekeh)
    Vs Ken Gold (Damaro, Gego, Keyekeh)

    Yanga vs Singida wameanza na viungo wakabaji kiasilia 3. Damaro aliyecheza mechi 5/6, Gego aliyeanza mechi 3/3 na kutokea sub mechi 2.

    NB: Eneo la ushambuliaji, Tchakae hajacheza vs JKT na Yanga. Jana wamelalamika hajacheza ila hawajajiuliza kwanini hakucheza vs JKt

    Vs Yanga - Pokou Rupia Adebayor (Sowah Sub)
    Vs JKT - Lyanga, Sowah, Pokou (Rupia top scorer out)
    Vs KMC - Sowah, Rupia, Pokou (timu ikakosa balance, nyuma yao yupo Tchake (luxury player) wakapoteza mechi.) Hii ni kwa wale mnafirikia Sowah na Rupia kuanza pamoja away. KMC waliongoza umiliki wa mchezo. Kidogo kipindi cha pili Singida walibadilika baada ya sub ya Rupia, Pokou na Tchakei, akaingia Gego na Tchukwu

    Vs Kagera -Sowah, Rupia, Tchakei (matokeo 2-2, kwa mara nyingine wanakuwa vulnerable kudefend. Mbaya zaidi wakiwa nyumbani.

    Vs Kolo - Tchakei, Rupia Athur
    Vs Ken Gold - Tchakei, Rupia, Adebayor
    Vs Prisons - Lyanga, Rupia Tchakei

    Ni wachache sana wenye uhakika wa namba. Agenda ya kikosi kubadilika sio habari mpya kwao labda kama wewe ni mgeni wa JIJI

    Privaldinho ✍️ CEO wa Getafe si anachambua. Sasa na mimi nianze kuchambua. Nimetazama vikosi vya Singida mechi 4 za nyuma Makipa Vs Kagera - Metacha Vs JKT - Amas Vs KMC - Masalanga Vs Yanga - Masalanga Ndani ya mechi nne makipa watatu Beki ya kushoto Imoro amecheza mechi 2 kati ya 5, vs Makolo, Mechi za Kagera na KMC akacheza Malonga. Vs JKT akacheza Imoro, vs Yanga akacheza Gadiel. Mechi 5 mabeki wa kushoto 3. Mechi ya JKT mabeki wa kati alikuwa Assink na Kennedy (Tra bi ta hakuwepo), jana ameanzia benchi. Mechi ya KMC alianza Tra bita na Kennedy. Tra bi ta alitolewa dkk 46 akaingia Assink beki mpya ambaye ameanza jana. Mechi ya Kagera Kennedy hakucheza wakaanza Tra bita na Manyama, vs makolo Kennedy na tra bi na vs Ken Gold, Kennedy na Manyama. Maana yake, kuna Manyama, Tra, Kennedy na ongezeko la beki mpya Assink kutoka Ghana aliyecheza jana. Kiufupi hakuna mwenye uhakika wa namba eneo hilo. Viungo wa kati Vs Yanga (Damaro, Nashon, Gego) Chukwu akabadilishiwa majukumu) Vs JKT (Chukwu, Nashon, Arthur) Vs KMC (Damaro, Athur, Tchakei) Vs Kagera (Damaro, Chukwu, Athur) vs Kolo (Damaro, Gego, Keyekeh) Vs Ken Gold (Damaro, Gego, Keyekeh) Yanga vs Singida wameanza na viungo wakabaji kiasilia 3. Damaro aliyecheza mechi 5/6, Gego aliyeanza mechi 3/3 na kutokea sub mechi 2. NB: Eneo la ushambuliaji, Tchakae hajacheza vs JKT na Yanga. Jana wamelalamika hajacheza ila hawajajiuliza kwanini hakucheza vs JKt Vs Yanga - Pokou Rupia Adebayor (Sowah Sub) Vs JKT - Lyanga, Sowah, Pokou (Rupia top scorer out) Vs KMC - Sowah, Rupia, Pokou (timu ikakosa balance, nyuma yao yupo Tchake (luxury player) wakapoteza mechi.) Hii ni kwa wale mnafirikia Sowah na Rupia kuanza pamoja away. KMC waliongoza umiliki wa mchezo. Kidogo kipindi cha pili Singida walibadilika baada ya sub ya Rupia, Pokou na Tchakei, akaingia Gego na Tchukwu Vs Kagera -Sowah, Rupia, Tchakei (matokeo 2-2, kwa mara nyingine wanakuwa vulnerable kudefend. Mbaya zaidi wakiwa nyumbani. Vs Kolo - Tchakei, Rupia Athur Vs Ken Gold - Tchakei, Rupia, Adebayor Vs Prisons - Lyanga, Rupia Tchakei Ni wachache sana wenye uhakika wa namba. Agenda ya kikosi kubadilika sio habari mpya kwao labda kama wewe ni mgeni wa JIJI
    0 Comments ·0 Shares ·489 Views
  • Zakazakazi azidi kumshushia nondo Amri Kiemba.

    MUONGO!

    Amri Kiemba alicheza Simba kwa misimu mitano na nusu, kuanzia 2009/10 hadi Disemba 2014.

    Katika kipindi hicho, Azam FC na Simba zilikutana mara 10, Simba ikishinda mara tano na Azam FC mara tatu, na mara mbili sare...angalia picha ya pili.

    Katika hizo mara tano ambazo Simba ilishinda, mbili ni za msimu wa 2009/10.

    24/10/2009
    Simba 1-0 Azam FC

    14/3/2010
    Azam FC 0-2 Simba

    Huu ulikuwa msimu ambao Simba ilikuwa kwenye ubora mkubwa sana na ikamaliza ligi bila kupoteza hata mchezo mmoja.

    Walishinda mechi zote za mzunguko wa kwanza, wakaja kupata sare mbili tu mzunguko wa pili, dhidi ya Kagera Sugar na African Lyon.

    Kwa ubora huo, huwezi kuilamu Azam FC ilhali timu zote zilifungwa...kiungwana unawasifia Simba kwamba walikuwa kwenye ubora wa hali ya juu.

    Lakini baada ya msimu huo, Azam FC na Simba zililingana matokeo hadi Kiemba alipoondoka Simba kwenda Azam FC.

    Swali ni je, Kiemba anapata wapi uhalali wa kutilia shaka maandalizi yaliyoleta matokeo kama haya?

    Msimu wa 2013/14, Azam FC ikawa kwenye ubora mkubwa na kumaliza ligi bila kupoteza hata mchezo mmoja, ikiwemo kushinda nje ndani dhidi ya Simba ya Kiemba na maandalizi yao ya hali ya juu.

    28/10/2013
    Simba 1-2 Azam FC

    30/3/2014
    Azam FC 2-1 Simba

    Baada ya mechi hizi Kiemba akaenda Azam FC...na mechi yake ya kwanza ikaisha kwa sare ya 1-1.

    Ni vipi Kiemba hakuridhika na maandalizi ya Azam FC yaliyoleta sare lakini aliridhika na maandalizi ya Simba yaliyowafanya wafungwe nje ndani msimu mmoja tu nyuma yake?

    Msimu mmoja kabla Kiemba hajasajiliwa Simba, Azam FC ilishinda 2-0 na mashabiki wa Simba wakaenda kushusha kinyesi nyumbani kwa mwenyekiti wao Hassan Dalali.

    Ina maana maandalizi ya Azam FC yangekuwa hafifu yangewatoa kinyesi Simba kweli?

    Azam FC ilikuwa inaifunga Simba kabla yeye hajaenda, na ikaifunga akiwemo...kwa maandalizi yale yale...halafu anakuja hadharani leo, miaka zaidi ya 10 na kusema aliona maandalizi hafifu...sasa walikuwa wanashindaje kwa maandalizi hafifu?

    Ni mbaya sana kumuita mtu muongo...lakini Kiemba kwenye hili itoshe tu kusema kwamba WEWE NI MUONGO!

    Zakazakazi azidi kumshushia nondo Amri Kiemba. MUONGO! Amri Kiemba alicheza Simba kwa misimu mitano na nusu, kuanzia 2009/10 hadi Disemba 2014. Katika kipindi hicho, Azam FC na Simba zilikutana mara 10, Simba ikishinda mara tano na Azam FC mara tatu, na mara mbili sare...angalia picha ya pili. Katika hizo mara tano ambazo Simba ilishinda, mbili ni za msimu wa 2009/10. 24/10/2009 Simba 1-0 Azam FC 14/3/2010 Azam FC 0-2 Simba Huu ulikuwa msimu ambao Simba ilikuwa kwenye ubora mkubwa sana na ikamaliza ligi bila kupoteza hata mchezo mmoja. Walishinda mechi zote za mzunguko wa kwanza, wakaja kupata sare mbili tu mzunguko wa pili, dhidi ya Kagera Sugar na African Lyon. Kwa ubora huo, huwezi kuilamu Azam FC ilhali timu zote zilifungwa...kiungwana unawasifia Simba kwamba walikuwa kwenye ubora wa hali ya juu. Lakini baada ya msimu huo, Azam FC na Simba zililingana matokeo hadi Kiemba alipoondoka Simba kwenda Azam FC. Swali ni je, Kiemba anapata wapi uhalali wa kutilia shaka maandalizi yaliyoleta matokeo kama haya? Msimu wa 2013/14, Azam FC ikawa kwenye ubora mkubwa na kumaliza ligi bila kupoteza hata mchezo mmoja, ikiwemo kushinda nje ndani dhidi ya Simba ya Kiemba na maandalizi yao ya hali ya juu. 28/10/2013 Simba 1-2 Azam FC 30/3/2014 Azam FC 2-1 Simba Baada ya mechi hizi Kiemba akaenda Azam FC...na mechi yake ya kwanza ikaisha kwa sare ya 1-1. Ni vipi Kiemba hakuridhika na maandalizi ya Azam FC yaliyoleta sare lakini aliridhika na maandalizi ya Simba yaliyowafanya wafungwe nje ndani msimu mmoja tu nyuma yake? Msimu mmoja kabla Kiemba hajasajiliwa Simba, Azam FC ilishinda 2-0 na mashabiki wa Simba wakaenda kushusha kinyesi nyumbani kwa mwenyekiti wao Hassan Dalali. Ina maana maandalizi ya Azam FC yangekuwa hafifu yangewatoa kinyesi Simba kweli? Azam FC ilikuwa inaifunga Simba kabla yeye hajaenda, na ikaifunga akiwemo...kwa maandalizi yale yale...halafu anakuja hadharani leo, miaka zaidi ya 10 na kusema aliona maandalizi hafifu...sasa walikuwa wanashindaje kwa maandalizi hafifu? Ni mbaya sana kumuita mtu muongo...lakini Kiemba kwenye hili itoshe tu kusema kwamba WEWE NI MUONGO!
    0 Comments ·0 Shares ·308 Views
  • Saa hii ni ghali zaidi ya magari mengi ya kifahari duniani, ghali zaidi ya nyumba za watu mashuhuri, ghali zaidi ya maisha ya watu wengi kwa miaka mingi.

    Lakini kwa nini ni ghali hivyo?

    Kwa sababu Rockstar haikutengenezwa kwa dhahabu tu, wala kwa almasi za kawaida. Iliundwa kwa madini adimu sana, madini yanayopatikana kwenye sehemu chache sana duniani.

    Pia, ilichukua miaka mitano kwa Richard Mille kuitengeneza, na alihusisha wahandisi bora zaidi duniani.

    Saa hii ina teknolojia ya juu sana kiasi kwamba inaweza kuhimili mitikisiko mikali bila kuathiri utendaji wake.

    Watu walipoona alama za vidole vilivyowekwa kwa umakini kwenye uso wa saa hiyo, maswali yalizidi kuibuka. Walijiuliza, "Hii ni alama ya nini? Je, Jay Z ana uhusiano na Freemason?"

    Wengine walikumbuka jinsi Jay Z alivyowahi kuhusishwa na tetesi za Illuminati na Freemason kutokana na ishara alizokuwa akifanya kwenye video zake za muziki.

    Lakini Jay Z amekuwa kimya juu ya tetesi hizi. Hajawahi kuthibitisha wala kukanusha.

    Hii inawafanya watu wengi wazidi kuamini kwamba kuna ukweli nyuma ya hadithi hizi za siri.
    Saa hii ni ghali zaidi ya magari mengi ya kifahari duniani, ghali zaidi ya nyumba za watu mashuhuri, ghali zaidi ya maisha ya watu wengi kwa miaka mingi. Lakini kwa nini ni ghali hivyo? Kwa sababu Rockstar haikutengenezwa kwa dhahabu tu, wala kwa almasi za kawaida. Iliundwa kwa madini adimu sana, madini yanayopatikana kwenye sehemu chache sana duniani. Pia, ilichukua miaka mitano kwa Richard Mille kuitengeneza, na alihusisha wahandisi bora zaidi duniani. Saa hii ina teknolojia ya juu sana kiasi kwamba inaweza kuhimili mitikisiko mikali bila kuathiri utendaji wake. Watu walipoona alama za vidole vilivyowekwa kwa umakini kwenye uso wa saa hiyo, maswali yalizidi kuibuka. Walijiuliza, "Hii ni alama ya nini? Je, Jay Z ana uhusiano na Freemason?" Wengine walikumbuka jinsi Jay Z alivyowahi kuhusishwa na tetesi za Illuminati na Freemason kutokana na ishara alizokuwa akifanya kwenye video zake za muziki. Lakini Jay Z amekuwa kimya juu ya tetesi hizi. Hajawahi kuthibitisha wala kukanusha. Hii inawafanya watu wengi wazidi kuamini kwamba kuna ukweli nyuma ya hadithi hizi za siri.
    0 Comments ·0 Shares ·320 Views
  • Kama uliangalia vizuri zile picha za "Best Man na Woman) kwenye harusi ya Jux, huenda ukaelewa hii "Posti" ya Diamond Platnumz. Sijui kwa nini Baba Lebo hajatoboa siri hii wakati tunajua kuwa Friji lake haligandishi .

    Mimi naishi na huyo mstari wa pili (2).

    Kama uliangalia vizuri zile picha za "Best Man na Woman) kwenye harusi ya Jux, huenda ukaelewa hii "Posti" ya Diamond Platnumz. Sijui kwa nini Baba Lebo hajatoboa siri hii wakati tunajua kuwa Friji lake haligandishi 😆. Mimi naishi na huyo mstari wa pili (2).
    0 Comments ·0 Shares ·204 Views
  • #PART5

    Alimwambia, "Siku hizi wanawake hawana mapenzi ya kweli, Wanachoangalia ni pesa. Wanakuja kuchukua na kuondoka."

    Chris Brown aliposikia hivyo, mpaka leo hajataka ndoa.

    Ukitaka kuzaa na mtu, hakikisha unamjua kwa undani.

    Maana unaweza ukadhani unazaa mtoto, kumbe unazaa silaha ya kukushambulia baadaye.

    Na mwisho wa siku, mtoto akikua, atapambanua mwenyewe nani alikuwa na nia njema naye na nani alitumia chuki kama mtaji.

    50 Cent alijua mwanaye atakua na kuona ukweli mwenyewe.

    Na kweli, siku hizi mtoto ameanza kurudi kwa baba yake, maana ameanza kugundua kuwa mama yake alimtumia.

    Siku zote, ukweli hauwezi kufichika milele.
    #PART5 Alimwambia, "Siku hizi wanawake hawana mapenzi ya kweli, Wanachoangalia ni pesa. Wanakuja kuchukua na kuondoka." Chris Brown aliposikia hivyo, mpaka leo hajataka ndoa. Ukitaka kuzaa na mtu, hakikisha unamjua kwa undani. Maana unaweza ukadhani unazaa mtoto, kumbe unazaa silaha ya kukushambulia baadaye. Na mwisho wa siku, mtoto akikua, atapambanua mwenyewe nani alikuwa na nia njema naye na nani alitumia chuki kama mtaji. 50 Cent alijua mwanaye atakua na kuona ukweli mwenyewe. Na kweli, siku hizi mtoto ameanza kurudi kwa baba yake, maana ameanza kugundua kuwa mama yake alimtumia. Siku zote, ukweli hauwezi kufichika milele.
    0 Comments ·0 Shares ·353 Views
  • Rais wa Marekani , Donald Trump ameendelea na msimamo wake na kuweka mkazo kuhusu kuifanya Nchi ya Canada kuwa jimbo la (51) la Nchi ya Marekani. Kupitia ukurasa wake wa mtandao X, Rais huyo amesema kuwa Nchi yake ya Marekani inatumia mabilioni ya fedha na punguzo za ushuru kuihudumia Canada hivyo hakuna haja Nchi hiyo kuendelea kuifaidi Marekani wakati ingeweza kuwa sehemu ya Marekani na kupata unafuu bila kuinyonya Nchi ya Marekani.

    Donald Trump amesema iwapo Nchi ya Canada itakataa mpango huo basi tozo na ushuru wa bidhaa kwa Taifa hilo utapanda mara dufu na kulingana mataifa mengine. Trump amesema iwapo Canada ikijiunga na Marekani hakutakuwa na tozo wala mazuio ya maelfu ya Raia wa Canada wanaoingia Marekani kufanya kazi.

    Ikumbukwe kwamba Nchi za Canada na Mexico ni kati ya mataifa yenye Raia wengi wanaofanya kazi za kujiingizia kipato Nchini Marekani ambao hawana vibali halali vya kazi na uhamiaji (Wahamiaji haramu). Tayari Donald Trump ameshaongea na Viongozi wakuu wa mataifa hayo na kuwapa muda wa siku thelathini (30) kuchukua hatua kwa mapendekezo yake ama utozaji wa tozo na ushuru wa asilimia (25) kwa bidhaa zao uanze mara moja.

    Viongozi wa Nchi hizo wamekiri kupokea maelekezo ya Trump na kuahidi kuchukua hatua ikiwemo kuzuia mipaka yao kuwa njia za Wahamiaji haramu. Waziri Mkuu wa Canada, Justin Tradeau amesema Canada kuwa sehemu ya Marekani haitawezekana licha ya kwamba huenda wakakutana rungu la kiuchumi kisha Wananchi wakaamua wenyewe kupitia uchunguzi (kura).

    Rais wa Marekani 🇺🇸, Donald Trump ameendelea na msimamo wake na kuweka mkazo kuhusu kuifanya Nchi ya Canada 🇨🇦 kuwa jimbo la (51) la Nchi ya Marekani. Kupitia ukurasa wake wa mtandao X, Rais huyo amesema kuwa Nchi yake ya Marekani inatumia mabilioni ya fedha na punguzo za ushuru kuihudumia Canada hivyo hakuna haja Nchi hiyo kuendelea kuifaidi Marekani wakati ingeweza kuwa sehemu ya Marekani na kupata unafuu bila kuinyonya Nchi ya Marekani. Donald Trump amesema iwapo Nchi ya Canada itakataa mpango huo basi tozo na ushuru wa bidhaa kwa Taifa hilo utapanda mara dufu na kulingana mataifa mengine. Trump amesema iwapo Canada ikijiunga na Marekani hakutakuwa na tozo wala mazuio ya maelfu ya Raia wa Canada wanaoingia Marekani kufanya kazi. Ikumbukwe kwamba Nchi za Canada na Mexico 🇲🇽 ni kati ya mataifa yenye Raia wengi wanaofanya kazi za kujiingizia kipato Nchini Marekani ambao hawana vibali halali vya kazi na uhamiaji (Wahamiaji haramu). Tayari Donald Trump ameshaongea na Viongozi wakuu wa mataifa hayo na kuwapa muda wa siku thelathini (30) kuchukua hatua kwa mapendekezo yake ama utozaji wa tozo na ushuru wa asilimia (25) kwa bidhaa zao uanze mara moja. Viongozi wa Nchi hizo wamekiri kupokea maelekezo ya Trump na kuahidi kuchukua hatua ikiwemo kuzuia mipaka yao kuwa njia za Wahamiaji haramu. Waziri Mkuu wa Canada, Justin Tradeau amesema Canada kuwa sehemu ya Marekani haitawezekana licha ya kwamba huenda wakakutana rungu la kiuchumi kisha Wananchi wakaamua wenyewe kupitia uchunguzi (kura).
    Love
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·382 Views
  • Chama cha Economic Freedom Fighters (EFF) cha Afrika Kusini kimeitaka Serikali ya Afrika Kusini kufunga ubalozi wa Rwanda Nchini humo, kikidai kuwa hakuna haja ya kuendeleza uhusiano wa kidiplomasia na nchi inayodhoofisha uhuru wa taifa hilo.

    Akizungumza katika mkutano na Waandishi wa habari Jijini Johannesburg, Afrika Kusini, Jumatatu, Februari 3, 2025, Kiongozi wa EFF, Julius Malema, amemtaka Rais Cyril Ramaphosa kuchukua hatua kali dhidi ya Nchi ya Rwanda endapo itabainika imehusika katika shambulio dhidi ya Wanajeshi wa Afrika Kusini waliopo Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kwa shughuli za ulinzi wa amani.

    "Haikubaliki kwa wanajeshi wetu kushiriki kwenye mzozo ambao hauleti amani katika eneo hilo. Kama itathibitishwa kuwa Rwanda ililenga vikosi vya Afrika Kusini kwa makusudi, basi Rais Cyril Ramaphosa lazima achukue hatua kali," Julius Malema, Kiongozi wa EFF.

    Aidha, Malema amesisitiza kuwa Nchi ya Afrika Kusini inapaswa kuondoa Wanajeshi wake kutoka DR Congo mara moja na kusitisha makubaliano yote ya kibiashara na Rwanda.

    "Iwapo Rwanda itathibitishwa kuhusika moja kwa moja katika mashambulizi dhidi ya wanajeshi wetu, basi makubaliano yote ya biashara na ushirikiano na nchi hiyo yafutwe mara moja. Ubalozi wa Rwanda unapaswa kufungwa bila kuchelewa," amemalizia kusema Malema.

    Chama cha Economic Freedom Fighters (EFF) cha Afrika Kusini 🇿🇦 kimeitaka Serikali ya Afrika Kusini kufunga ubalozi wa Rwanda Nchini humo, kikidai kuwa hakuna haja ya kuendeleza uhusiano wa kidiplomasia na nchi inayodhoofisha uhuru wa taifa hilo. Akizungumza katika mkutano na Waandishi wa habari Jijini Johannesburg, Afrika Kusini, Jumatatu, Februari 3, 2025, Kiongozi wa EFF, Julius Malema, amemtaka Rais Cyril Ramaphosa kuchukua hatua kali dhidi ya Nchi ya Rwanda endapo itabainika imehusika katika shambulio dhidi ya Wanajeshi wa Afrika Kusini waliopo Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo 🇨🇩 kwa shughuli za ulinzi wa amani. "Haikubaliki kwa wanajeshi wetu kushiriki kwenye mzozo ambao hauleti amani katika eneo hilo. Kama itathibitishwa kuwa Rwanda ililenga vikosi vya Afrika Kusini kwa makusudi, basi Rais Cyril Ramaphosa lazima achukue hatua kali," Julius Malema, Kiongozi wa EFF. Aidha, Malema amesisitiza kuwa Nchi ya Afrika Kusini inapaswa kuondoa Wanajeshi wake kutoka DR Congo mara moja na kusitisha makubaliano yote ya kibiashara na Rwanda. "Iwapo Rwanda itathibitishwa kuhusika moja kwa moja katika mashambulizi dhidi ya wanajeshi wetu, basi makubaliano yote ya biashara na ushirikiano na nchi hiyo yafutwe mara moja. Ubalozi wa Rwanda unapaswa kufungwa bila kuchelewa," amemalizia kusema Malema.
    Like
    2
    · 0 Comments ·0 Shares ·365 Views
  • Kama utafuatilia kwa undani kinachoendelea Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo , lazima utagundua kuwa Nchi ya Kongo ilikua na kila sababu kuweza kudhibiti hali ya Mashariki mwa Taifa hilo ila kutokana na mipango mibovu na kutegemea misaada na uthaifu wa Viongozi wa Nchi akiwemo Raisi Félix Tshisekedi ndio maana waliodharauliwa sasa wanasonga mbele kwa namna isiyo ya kawaida.

    Toka Rais Tshisekedi aingia madarakani mwaka 2018 ni mambo yapi ya kimkakati amefanya ili kuhakikisha anakomesha makundi ya uasi mashariki mwa Kongo utabaini hakuna, yeye anaongoza tu akiwa Kinshasa ukanda wa mashariki ni kama amewasusa hali imezidi kuwa mbaya. Hajafanikiwa kubadili upepo kwa namna yoyote sio kijeshi wala kimazungumzo.

    Mojawapo ya jukumu kuu la Rais wa Nchi yoyote Duniani ni kuhakikisha usalama na amani ya Raia anaowaongoza, sasa Tshisekedi zaidi ya miaka saba (7) sasa yupo madarakani huku Raia wakiendelea kuteswa na vita Mashariki mwa Nchi hiyo huku yeye akiwa hana jipya alilofanya kama Rais kuwanusuru Raia wake, sasa hapo mnatarajia nini kama sio kuvamiwa?

    Kilichotokea na kinachoelea kwa sasa hivi Nchini Kongo, Viongozi Wakuu wanapaswa kujilaumu wenyewe, maadui zao wanatumia udhaifu wa kimkakati na kufanikisha ajenda zao.Tshisekedi alipaswa baada ya kutwaa Urais tu angehakikisha nguvu kubwa na mipango anaelekeza Mashariki mwa Nchi kwa sababu kule ndipo kwenye changamoto kubwa Nchini Kongo ila hadi sasa anatoa hotuba za kuilaumu Rwanda tu, yeye hajaja na mpango kwamba amejipanga vipi kukomesha uasi eneo hilo la mashariki na kuweka amani ya kudumu.

    Inashauriwa kabla ya kutaka uongozi wa juu wa Nchi, jipime kwanza. Je, wanafaa? utaweza majukumu? au unafikiri kuongoza Nchi ni rahisi tu kama kumsukuma Mlevi kwenye shimo!

    Kwa kumalizia, kama Kongo ingekuwa na uongozi thabiti, wenye maono, nguvu, mipango na mikakati madhubuti kupitia tu Jeshi la ndani ilikua na uwezo wa kukomesha Maadui wote. Mipaka ya Kongo inaimgilika kama maji ya kunywa, misitu kama yote haina uangalizi au ulinzi wowote ule. Tuendelee kuiombea Nchi ya Kongo ipate kwanza Viongozi bora na sio bora Viongozi.

    Kama utafuatilia kwa undani kinachoendelea Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo 🇨🇩, lazima utagundua kuwa Nchi ya Kongo ilikua na kila sababu kuweza kudhibiti hali ya Mashariki mwa Taifa hilo ila kutokana na mipango mibovu na kutegemea misaada na uthaifu wa Viongozi wa Nchi akiwemo Raisi Félix Tshisekedi ndio maana waliodharauliwa sasa wanasonga mbele kwa namna isiyo ya kawaida. Toka Rais Tshisekedi aingia madarakani mwaka 2018 ni mambo yapi ya kimkakati amefanya ili kuhakikisha anakomesha makundi ya uasi mashariki mwa Kongo utabaini hakuna, yeye anaongoza tu akiwa Kinshasa ukanda wa mashariki ni kama amewasusa hali imezidi kuwa mbaya. Hajafanikiwa kubadili upepo kwa namna yoyote sio kijeshi wala kimazungumzo. Mojawapo ya jukumu kuu la Rais wa Nchi yoyote Duniani ni kuhakikisha usalama na amani ya Raia anaowaongoza, sasa Tshisekedi zaidi ya miaka saba (7) sasa yupo madarakani huku Raia wakiendelea kuteswa na vita Mashariki mwa Nchi hiyo huku yeye akiwa hana jipya alilofanya kama Rais kuwanusuru Raia wake, sasa hapo mnatarajia nini kama sio kuvamiwa? Kilichotokea na kinachoelea kwa sasa hivi Nchini Kongo, Viongozi Wakuu wanapaswa kujilaumu wenyewe, maadui zao wanatumia udhaifu wa kimkakati na kufanikisha ajenda zao.Tshisekedi alipaswa baada ya kutwaa Urais tu angehakikisha nguvu kubwa na mipango anaelekeza Mashariki mwa Nchi kwa sababu kule ndipo kwenye changamoto kubwa Nchini Kongo ila hadi sasa anatoa hotuba za kuilaumu Rwanda tu, yeye hajaja na mpango kwamba amejipanga vipi kukomesha uasi eneo hilo la mashariki na kuweka amani ya kudumu. Inashauriwa kabla ya kutaka uongozi wa juu wa Nchi, jipime kwanza. Je, wanafaa? utaweza majukumu? au unafikiri kuongoza Nchi ni rahisi tu kama kumsukuma Mlevi kwenye shimo! Kwa kumalizia, kama Kongo ingekuwa na uongozi thabiti, wenye maono, nguvu, mipango na mikakati madhubuti kupitia tu Jeshi la ndani ilikua na uwezo wa kukomesha Maadui wote. Mipaka ya Kongo inaimgilika kama maji ya kunywa, misitu kama yote haina uangalizi au ulinzi wowote ule. Tuendelee kuiombea Nchi ya Kongo ipate kwanza Viongozi bora na sio bora Viongozi.
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·450 Views
  • Wasiwasi kati ya Rwanda na Afrika Kusini umeongezeka sana. Hii ni baada ya Rais wa Rwanda Paul Kagame kutoa onyo kali kwa Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa, akisema kwamba Rwanda imejiandaa kwa makabiliano iwapo kutakuwa na ulazima wa kufanya hivyo.

    Taarifa ya Bw Kagame ilikuwa inajibu maoni ya Bw Ramaphosa juu ya jukumu la Kikosi cha Ulinzi cha Rwanda na Kikundi cha Waasi cha M23 katika mapigano yanayoendelea katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.

    Jibu la Rais Paul Kagame kwa Cyril Ramaphosa liliashiria mzozo mbaya wa kidiplomasia kati ya Afrika Kusini na Rwanda.

    Katika taarifa iliyo na maneno makali akimjibu moja kwa moja Cyril Ramaphosa kwenye mtandao wa kijamii wa X, Bwana Kagame alimshtumu Rais wa Afrika Kusini kwa kupotosha mazungumzo ya faragha juu ya hali tete mashariki mwa DRC.

    Kiongozi huyo wa Rwanda pia alisema Bwana Ramaphosa alikuwa hajaonya Rwanda juu ya shughuli zake za kijeshi DRC lakini badala yake alikuwa ameomba msaada wa vifaa, pamoja na umeme, chakula, na maji kwa wanajeshi wa Afrika Kusini.

    Wakati akikaribisha juhudi za Afrika Kusini za amani, Bwana Kagame alisisitiza kwamba nchi hiyo haikuwa katika nafasi ya kuwa mtafutaji amani wala mpatanishi na alionya zaidi kwamba ikiwa Afrika Kusini inataka makabiliano, Rwanda ingejibu ipasavyo.
    (Zungu)

    Wasiwasi kati ya Rwanda na Afrika Kusini umeongezeka sana. Hii ni baada ya Rais wa Rwanda Paul Kagame kutoa onyo kali kwa Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa, akisema kwamba Rwanda imejiandaa kwa makabiliano iwapo kutakuwa na ulazima wa kufanya hivyo. Taarifa ya Bw Kagame ilikuwa inajibu maoni ya Bw Ramaphosa juu ya jukumu la Kikosi cha Ulinzi cha Rwanda na Kikundi cha Waasi cha M23 katika mapigano yanayoendelea katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo. Jibu la Rais Paul Kagame kwa Cyril Ramaphosa liliashiria mzozo mbaya wa kidiplomasia kati ya Afrika Kusini na Rwanda. Katika taarifa iliyo na maneno makali akimjibu moja kwa moja Cyril Ramaphosa kwenye mtandao wa kijamii wa X, Bwana Kagame alimshtumu Rais wa Afrika Kusini kwa kupotosha mazungumzo ya faragha juu ya hali tete mashariki mwa DRC. Kiongozi huyo wa Rwanda pia alisema Bwana Ramaphosa alikuwa hajaonya Rwanda juu ya shughuli zake za kijeshi DRC lakini badala yake alikuwa ameomba msaada wa vifaa, pamoja na umeme, chakula, na maji kwa wanajeshi wa Afrika Kusini. Wakati akikaribisha juhudi za Afrika Kusini za amani, Bwana Kagame alisisitiza kwamba nchi hiyo haikuwa katika nafasi ya kuwa mtafutaji amani wala mpatanishi na alionya zaidi kwamba ikiwa Afrika Kusini inataka makabiliano, Rwanda ingejibu ipasavyo. (Zungu)
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·435 Views
  • NAKUKUMBUSHA MAMBO YA KUZINGATIA UNAPOKWENDA KUNUNUA WANAWAKE WANAOJIUZA (DADA POA)
    ``````````````````````````````````
    Soma kwa makini kilichoandikwa acha kukurupuka kuacha comment..hii ni kwa ajili ya Elimu.

    Mambo haya pengine ni ya aibu na hayasemeki kwa urahisi tena hayafurahishi kusemwa hadharani.

    Lakini leo nitayasema kwa uchache kwa nia ya kujenga na wala sikusudii kuhamasisha uzinzi wala biashara hiyo

    1. Usiende na nguo ambazo unazitumia katika shughuli zako za uzalishaji, iwe ni kazi ya kuajiriwa au kujiajiri. Na kama utaenda nazo basi ukimaliza usizitumie tena katika shughuli zako hizo baadhi yao Wana nuksi

    2. Usiende na pesa nyingi ikiwa utaenda katika makazi yao. Kama bei ya kumnunua ni Tsh 5,000 basi nenda na walau 10,000 tu

    3. Usifike na kuchagua papo hapo. Bali fika na usimame umbali kidogo utakaokuruhusu kuwaona vizuri na kuchagua umtakae. Usiwakaribie kabla hujachagua ukiwa mbali.

    4. Chagua dada poa ambaye ngozi yake bado inanuru, pia zingatia umri wake usiwe mdogo sana wala usiwe mkubwa sana.

    5. Usimuulize ulize maswali personal, wala usiombe namba zake za simu ikiwa ndio mara yako ya kwanza au ya pili kupata huduma yake.

    6. Bila shaka hatakuruhusu kumnyonya romance, labda utoe dau kubwa. Hata uvutiwe naye kwa kiwango kipi, kamwe usikutanishe mdomo wako na wake, wala ulimi wako na wake kukwepa magonjwa kama hepatitis A,B,C.

    7. Usiwe na vitu vingi na wala usivue suruali yote wakati wa tendo (short time) Na Kama umemchukua kwa full time ili umtumie usiku mzima. Basi asubuhi isikukute naye kahaba huyo. Hakikisha unaondoka kabla jogoo wa asubuhi hajawika au aondoke kabla ya jogoo wa alfajiri hajawika jitahidi sana mjukuu wangu mchweo yasikukute na Dada poa maana nyota njema huonekana asubuhi

    8. Usimpeleke malaya katika geto au nyumba yako unayoitumia wewe na mkeo, wanao wakuwazaa au ndugu zako.

    9. Usimdhulumu Dada poa malipo yake. Mpe kadiri ya mapatano yenu mlivyoelewana

    10. Usitumie ulimi wako kumlamba mahala popote HUYO Dada poa

    11. Usionyeshe ubora wa nguvu zako Kwa Dada poa pindi ufanyapo naye mapenzi. Kwa maana huwezi shindana na dada poa, na wala huwezi onyesha nguvu zako kwake. Utakuja ujifie

    12. Usitumie Dawa za kusisimua kuongeza nguvu za kiume au urijali ufanyapo mapenzi na Dada poa
    Huwezi pata sifa popote Kwa kufanya hivyo.
    Ni afadhali utumie mbinu hizo kwa mkeo wa ndoa. Utasifiiwa na hakuna atakayekulaumu.

    13. Usiogope magonjwa ya zinaa Kama UKIMWI n.k ufanyapo mapenzi na Dada poa isipokuwa ogopa dhambi ya uzinzi unayoifanya.

    14. Usikae chini alafu Dada poa aje juu yako, bali wewe ndio uwe juu Kwa mitindo yote mtakayoitumia.
    Kwa sababu mwanaume ndiye anapaswa kuwa juu. Na Kama kuna mwanamke anayestahili kuwa juu basi ni Mkeo uliyemuoa ukamuacha nyumbani hii ni kwasababu za kiusalama zaidi.

    15. Utakapofika mshindo, usiache shahawa zako kwenye kondomu kiholela. Ikiwezekana ondoka nazo ukazitupie mbele Kwa mbele, uwa wanazitumia kwenye uganga wa kienyeji kuvutia Watu madukani huku wewe unafirisika hela haikai mfukoni.

    16. Usiwekeane ahadi na nadhiri na Dada poa. Usimuahidi ahadi yoyote kwa maana wengi wao wamejawa na hila za falme za giza

    17. Usiguse Jambo lolote nyumbani kwako utakaporudi kabla haujajitakasa.
    Usimkumbatie Mkeo, wala watoto wako, wala wajukuu wako utokapo kufanya uzinzi na kahaba

    18. Usije ukajisahau ukazaa na dada poa ilhali unajua unamke.

    19. Usifanye mapenzi na dada poa taa zikiwa zimezimwa, kama huna D mbili huwezi kuelewa hapa

    20. Usifanye mapenzi na dada poa ukiwa haupo timamu kiakili, aidha ukiwa umelewa pombe au kutumia vilevi vingine vinavyoathiri ubongo

    21. Kama vile usivyomjua vizuri huyo dada poa nawe asikujue vizuri.
    Jitahidi kudanganya karibu kila kitu hasa mambo yanayohusu familia yako, na kazi yako.

    22. Usiende kununua dada poa kama hujiwezi Kwa self-defence na kupigana. Hii itakusaidia Kama itatokea dharura za yeye kukufanyia uhuni kwa kukuuza Kwa ving'asti kwa kukusingizia haujamlipa au umemlipa Pungufu ilhali ulimlipa mlivyokubaliana

    23. Kama amekufurahisha Sana unaweza mpa bonus Kwa kuifanya roho yako ijisikie Raha.

    24. Ikiwa umenunua dada poa kwa Tsh 30,000/= basi hakikisha NYUMBANI siku hiyo umeacha mara mbili ya hiyo

    25. Ikiwa utaundiwa zengwe na kukamatwa na huyo dada poa basi suluhisha uwezavyo ishu isifike nyumbani kwa familia yako.

    Mwisho usinunue dada poa eneo ambalo ni mbali na barabara. Eneo ambalo limejitenga sana usiende kununua, utakuja kunishukuru

    Kama hakuna ulazima wa kununua dada poa mwaka huu nakushauri acha kwani sio kitu kizuri kiroho kwani miili yao mingi imebeba laana, mikosi na mabalaa kwa kua wanalala na kitu mtu mwenye kila aina ya changamoto kwa sababu tu ya pesa huu ndio ushauri wangu kwako
    ``````````````````````````````````````````
    Acha maoni yako soma kwa umakini...
    NAKUKUMBUSHA MAMBO YA KUZINGATIA UNAPOKWENDA KUNUNUA WANAWAKE WANAOJIUZA (DADA POA) `````````````````````````````````` Soma kwa makini kilichoandikwa acha kukurupuka kuacha comment..hii ni kwa ajili ya Elimu. Mambo haya pengine ni ya aibu na hayasemeki kwa urahisi tena hayafurahishi kusemwa hadharani. Lakini leo nitayasema kwa uchache kwa nia ya kujenga na wala sikusudii kuhamasisha uzinzi wala biashara hiyo 1. Usiende na nguo ambazo unazitumia katika shughuli zako za uzalishaji, iwe ni kazi ya kuajiriwa au kujiajiri. Na kama utaenda nazo basi ukimaliza usizitumie tena katika shughuli zako hizo baadhi yao Wana nuksi 2. Usiende na pesa nyingi ikiwa utaenda katika makazi yao. Kama bei ya kumnunua ni Tsh 5,000 basi nenda na walau 10,000 tu 3. Usifike na kuchagua papo hapo. Bali fika na usimame umbali kidogo utakaokuruhusu kuwaona vizuri na kuchagua umtakae. Usiwakaribie kabla hujachagua ukiwa mbali. 4. Chagua dada poa ambaye ngozi yake bado inanuru, pia zingatia umri wake usiwe mdogo sana wala usiwe mkubwa sana. 5. Usimuulize ulize maswali personal, wala usiombe namba zake za simu ikiwa ndio mara yako ya kwanza au ya pili kupata huduma yake. 6. Bila shaka hatakuruhusu kumnyonya romance, labda utoe dau kubwa. Hata uvutiwe naye kwa kiwango kipi, kamwe usikutanishe mdomo wako na wake, wala ulimi wako na wake kukwepa magonjwa kama hepatitis A,B,C. 7. Usiwe na vitu vingi na wala usivue suruali yote wakati wa tendo (short time) Na Kama umemchukua kwa full time ili umtumie usiku mzima. Basi asubuhi isikukute naye kahaba huyo. Hakikisha unaondoka kabla jogoo wa asubuhi hajawika au aondoke kabla ya jogoo wa alfajiri hajawika jitahidi sana mjukuu wangu mchweo yasikukute na Dada poa maana nyota njema huonekana asubuhi 8. Usimpeleke malaya katika geto au nyumba yako unayoitumia wewe na mkeo, wanao wakuwazaa au ndugu zako. 9. Usimdhulumu Dada poa malipo yake. Mpe kadiri ya mapatano yenu mlivyoelewana 10. Usitumie ulimi wako kumlamba mahala popote HUYO Dada poa 11. Usionyeshe ubora wa nguvu zako Kwa Dada poa pindi ufanyapo naye mapenzi. Kwa maana huwezi shindana na dada poa, na wala huwezi onyesha nguvu zako kwake. Utakuja ujifie 12. Usitumie Dawa za kusisimua kuongeza nguvu za kiume au urijali ufanyapo mapenzi na Dada poa Huwezi pata sifa popote Kwa kufanya hivyo. Ni afadhali utumie mbinu hizo kwa mkeo wa ndoa. Utasifiiwa na hakuna atakayekulaumu. 13. Usiogope magonjwa ya zinaa Kama UKIMWI n.k ufanyapo mapenzi na Dada poa isipokuwa ogopa dhambi ya uzinzi unayoifanya. 14. Usikae chini alafu Dada poa aje juu yako, bali wewe ndio uwe juu Kwa mitindo yote mtakayoitumia. Kwa sababu mwanaume ndiye anapaswa kuwa juu. Na Kama kuna mwanamke anayestahili kuwa juu basi ni Mkeo uliyemuoa ukamuacha nyumbani hii ni kwasababu za kiusalama zaidi. 15. Utakapofika mshindo, usiache shahawa zako kwenye kondomu kiholela. Ikiwezekana ondoka nazo ukazitupie mbele Kwa mbele, uwa wanazitumia kwenye uganga wa kienyeji kuvutia Watu madukani huku wewe unafirisika hela haikai mfukoni. 16. Usiwekeane ahadi na nadhiri na Dada poa. Usimuahidi ahadi yoyote kwa maana wengi wao wamejawa na hila za falme za giza 17. Usiguse Jambo lolote nyumbani kwako utakaporudi kabla haujajitakasa. Usimkumbatie Mkeo, wala watoto wako, wala wajukuu wako utokapo kufanya uzinzi na kahaba 18. Usije ukajisahau ukazaa na dada poa ilhali unajua unamke. 19. Usifanye mapenzi na dada poa taa zikiwa zimezimwa, kama huna D mbili huwezi kuelewa hapa 😂 20. Usifanye mapenzi na dada poa ukiwa haupo timamu kiakili, aidha ukiwa umelewa pombe au kutumia vilevi vingine vinavyoathiri ubongo 21. Kama vile usivyomjua vizuri huyo dada poa nawe asikujue vizuri. Jitahidi kudanganya karibu kila kitu hasa mambo yanayohusu familia yako, na kazi yako. 22. Usiende kununua dada poa kama hujiwezi Kwa self-defence na kupigana. Hii itakusaidia Kama itatokea dharura za yeye kukufanyia uhuni kwa kukuuza Kwa ving'asti kwa kukusingizia haujamlipa au umemlipa Pungufu ilhali ulimlipa mlivyokubaliana 23. Kama amekufurahisha Sana unaweza mpa bonus Kwa kuifanya roho yako ijisikie Raha. 24. Ikiwa umenunua dada poa kwa Tsh 30,000/= basi hakikisha NYUMBANI siku hiyo umeacha mara mbili ya hiyo 25. Ikiwa utaundiwa zengwe na kukamatwa na huyo dada poa basi suluhisha uwezavyo ishu isifike nyumbani kwa familia yako. Mwisho usinunue dada poa eneo ambalo ni mbali na barabara. Eneo ambalo limejitenga sana usiende kununua, utakuja kunishukuru Kama hakuna ulazima wa kununua dada poa mwaka huu nakushauri acha kwani sio kitu kizuri kiroho kwani miili yao mingi imebeba laana, mikosi na mabalaa kwa kua wanalala na kitu mtu mwenye kila aina ya changamoto kwa sababu tu ya pesa huu ndio ushauri wangu kwako `````````````````````````````````````````` Acha maoni yako soma kwa umakini...🙏
    Love
    2
    · 0 Comments ·0 Shares ·828 Views
  • Shirika la habari la New York Post imeripoti kuwa Rais wa Marekani , Donald Trump amesitisha ufadhili wa kifedha kwenye mifuko inayopambana na virusi vya ukimwi Duniani kwa muda wa miezi mitatu. Zuio hilo litasababisha wasiwasi mkubwa wa upatikanaji wa dawa za kupambana na ugonjwa huo hatari kwa Wagonjwa takribani milioni (25) waliokuwa wanufaika na dawa hizo.

    Baadhi ya mifuko mikubwa iliyokuwa ikipokea fedha ikiwemo PEPFAR na Shirika la USAID yataathirika na zuio hilo. Zuio hilo ni moja ya mazuio ya Donald Trump ya utoaji fedha nje kwa ajili ya misaada ambao unafanyiwa mapitio na Serikali yake kuona tija yake ili kuona kama kuna haja ya kuendelea na ufadhili.

    Waathirika wakubwa katika zuio hilo ni bara la Afrika ambako idadi ya maambukizi na Wagonjwa bado ni kubwa huku hali ya umasikini kuweza kumudu gharama za dawa ikiwa sio nzuri. Trump anaendelea na sera ambazo zinatajwa kugusa makundi mbalimbali ulimwenguni kwa kila namna.

    Ikumbukwe kwamba Marekani ndio Nchi linaloongoza kwa kutoa misaada Duniani ikiwemo ya kugharamia udhibiti wa magonjwa mbalimbali ikiwemo ugonjwa hatari wa UKIMWI, malaria na kifua kikuu.

    Shirika la habari la New York Post imeripoti kuwa Rais wa Marekani 🇺🇸, Donald Trump amesitisha ufadhili wa kifedha kwenye mifuko inayopambana na virusi vya ukimwi Duniani kwa muda wa miezi mitatu. Zuio hilo litasababisha wasiwasi mkubwa wa upatikanaji wa dawa za kupambana na ugonjwa huo hatari kwa Wagonjwa takribani milioni (25) waliokuwa wanufaika na dawa hizo. Baadhi ya mifuko mikubwa iliyokuwa ikipokea fedha ikiwemo PEPFAR na Shirika la USAID yataathirika na zuio hilo. Zuio hilo ni moja ya mazuio ya Donald Trump ya utoaji fedha nje kwa ajili ya misaada ambao unafanyiwa mapitio na Serikali yake kuona tija yake ili kuona kama kuna haja ya kuendelea na ufadhili. Waathirika wakubwa katika zuio hilo ni bara la Afrika ambako idadi ya maambukizi na Wagonjwa bado ni kubwa huku hali ya umasikini kuweza kumudu gharama za dawa ikiwa sio nzuri. Trump anaendelea na sera ambazo zinatajwa kugusa makundi mbalimbali ulimwenguni kwa kila namna. Ikumbukwe kwamba Marekani ndio Nchi linaloongoza kwa kutoa misaada Duniani ikiwemo ya kugharamia udhibiti wa magonjwa mbalimbali ikiwemo ugonjwa hatari wa UKIMWI, malaria na kifua kikuu.
    0 Comments ·0 Shares ·715 Views
  • Jose mourinho : "Naweza kusema kazi ngumu niliyokuwa nayo ni Messi, nikikuta kitabu kimeandikwa kwenye jalada lake "How to stop Messi" ningenunua vitabu vyote vya kusoma na kuwapa wachezaji wangu, nilifanya hivyo. sikumtafutia suluhu nikiwa Real Madrid ningenunua mabeki bora na mwisho ningewakuta wanaanguka chini na Messi anakimbia na kujisemea

    "kuna bora zaidi ya hawa wachezaji? Hakuna, kwa hiyo tatizo halipo kwangu wala kwao, tatizo ni kwamba hakuna namna ya kumzuia" Naomba tu Mungu afanye muujiza kwa muujiza huu wa soka maana masuluhisho ya dunia hayatafanya kazi naye, Nataka kumwambia kocha yeyote ambaye hajakutana na Messi “una bahati sana kwani unalala vizuri kwani timu unazocheza nazo hazina Messi”, makocha watakaokutana naye nataka kusema “Usijisumbue na usijaribu kumzuia, furahia tu au utajikuta umekaa ukiwaza usiku wa manane"

    Jose mourinho 🗣️ : "Naweza kusema kazi ngumu niliyokuwa nayo ni Messi, nikikuta kitabu kimeandikwa kwenye jalada lake "How to stop Messi" ningenunua vitabu vyote vya kusoma na kuwapa wachezaji wangu, nilifanya hivyo. sikumtafutia suluhu nikiwa Real Madrid ningenunua mabeki bora na mwisho ningewakuta wanaanguka chini na Messi anakimbia na kujisemea "kuna bora zaidi ya hawa wachezaji? Hakuna, kwa hiyo tatizo halipo kwangu wala kwao, tatizo ni kwamba hakuna namna ya kumzuia" Naomba tu Mungu afanye muujiza kwa muujiza huu wa soka maana masuluhisho ya dunia hayatafanya kazi naye, Nataka kumwambia kocha yeyote ambaye hajakutana na Messi “una bahati sana kwani unalala vizuri kwani timu unazocheza nazo hazina Messi”, makocha watakaokutana naye nataka kusema “Usijisumbue na usijaribu kumzuia, furahia tu au utajikuta umekaa ukiwaza usiku wa manane"
    Like
    2
    · 0 Comments ·0 Shares ·399 Views
  • Bosi mmoja wa juu wa Yanga SC ameliambia Mwanaspoti kuwa, ukiacha ofa za klabu za Afrika Kaska-zini zilizofikia Sh2 Bilioni ambayo klabu yao ilipanga kumuuza sasa klabu hiyo ya Ubelgiji inataka kutoa zaidi ya fedha hizo kufikia 2.5 bilioni. Dau hilo limewachanganya mabosi wa Yanga SC na sasa wanafikiria kufanya biashara haraka kumpa fursa mshambuliaji huyo ambaye tayari msimu huu ameshafunga mabao sita kwenye Ligi Kuu pekee.

    "Hii wikiendi ni vile tu hajacheza na hajafunga lakini akifunga tu utaona kuna barua pepe itaingia klabu zinauliza vipi jamani bado hamjafikiria," alisema bosi huyo.

    "Tunafikiria kufanya biashara fedha zinazosemwa ni nyingi unajua pia tunataka kufikiria juu ya maisha ya baadaye ya mchezaji ili akajiendeleze tutaangalia ofa ipi itakuwa sahihi zaidi kwa klabu na kwake.

    Cc Mwanaspoti
    Bosi mmoja wa juu wa Yanga SC ameliambia Mwanaspoti kuwa, ukiacha ofa za klabu za Afrika Kaska-zini zilizofikia Sh2 Bilioni ambayo klabu yao ilipanga kumuuza sasa klabu hiyo ya Ubelgiji inataka kutoa zaidi ya fedha hizo kufikia 2.5 bilioni. Dau hilo limewachanganya mabosi wa Yanga SC na sasa wanafikiria kufanya biashara haraka kumpa fursa mshambuliaji huyo ambaye tayari msimu huu ameshafunga mabao sita kwenye Ligi Kuu pekee. "Hii wikiendi ni vile tu hajacheza na hajafunga lakini akifunga tu utaona kuna barua pepe itaingia klabu zinauliza vipi jamani bado hamjafikiria," alisema bosi huyo. "Tunafikiria kufanya biashara fedha zinazosemwa ni nyingi unajua pia tunataka kufikiria juu ya maisha ya baadaye ya mchezaji ili akajiendeleze tutaangalia ofa ipi itakuwa sahihi zaidi kwa klabu na kwake. Cc Mwanaspoti
    Love
    1
    · 1 Comments ·0 Shares ·249 Views
  • HAIBA YA KOLERIKI na SHAUKU yake.

    Ni watu wanaopenda Kuongoza wengine, huwa wamezaliwa na Damu ya Uongozi kiasi kwamba hawasubiri kuchaguliwa au kuteuliwa wenyewe huanza kuongoza tu, japo wananafasi kubwa yakuchaguliwa au kuteuliwa lkn tayari hujikuta katika Uongozi moja kwa moja tangu wakiwa watoto, kama ni watoto wako wewe angalia tu hapo ndani utaona kuna mmoja ndiye anayewaelekeza wenzie kila saa na wengine hujikuta wakimfuata na kumsikiliza tu hata kama ni mdogo. Kama ni shuleni hivyo hivyo utamkuta yuko mbele mbele kwenye kila jambo. Anakuwa anapenda sana mambo ya Uongozi na Utawala, na kama ni mke basi hupenda yeye ndio amuongoze mume wake na wote hapo nyumbani, atataka sauti yake tu ndiyo isikilizwe na pasiwe na mwingine yeyote atakayeongea zaidi yake na kutoa maamuzi yoyote ndani ya ya hiyo familia. Huwa mbele kwa kila jambo. Hujitanguliza hata kwa mambo ambayo yangepaswa kuamuliwa kwa pamoja. Kama ni kwenye kundi basi yeye hatasubiri kuchaguliwa bali atajitolea kuongoza hadi wanakikundi wanaamua tu kumpa uongozi.. ni mwanzilishi wa mambo mbali mbali yanayohitaji uongozi ambayo yuko tayari kujitolea.

    MIHEMKO
    ni watu watii na kufuata utaratibu, hujishuhulisha sana na kuhakikisha jambo lake linafanikiwa, hujitoa sana katika mambo ya kimaendeleo hujituma na kufurahia sana mafanikio ya juhudi na kazi yake. Hupenda sana kutambuliwa na kusifiwa. Huwa karibu na watu wanaomtambua na kumsifia.

    SIFA KUU YA Koleriki
    Wana uwezo mkubwa sana wakuongoza wakati wowote. Katika makundi yote manne ya Haiba ndiyo kundi pekee linaloongoza kwa uwezo mkubwa Kiuongozi. Wanauwezo mkubwa wakufanya maamuzi ya haraka na kwa usahihi, wana uwezo wakupanga plan A, B, C kama plan moja ikifeli, tayari wana plan B na C. Huwa hawakubali jambo lao likwame kwa namna yoyote ile. Hufanya mipango sahihi siku zote. Kama ni kwenye ndoa, kuliko akose furaha anayoitegemea kuipata ktk ndoa yake, siku zote ana Plan B na C. Hakubali kushindwa au kupoteza. Wanajali sana kazi kuliko mambo ya utaratibu. ana uwezo wakuamua jambo la kiofisi hata nje ya ofisi, sio lazima umkute ofisini. Sio wepesi wakukata tamaa hata kama atashindwa jambo. Atakazana tu.

    UDHAIFU wao:
    Hupenda kutawala wengine na si wao kutawaliwa. Hupenda ubosi kila wanapokwenda, hawajali maumivu wala hisia za wengine ktk kufanikisha mambo yao, ni madikteta, anachotaka yeye ndio sahihi hata kama kinaumiza wengine, si wavumilivu kwa wenzao punde tu wanapokuwa ktk kufanikisha yao, wanapenda kusifiwa lkn si wao wamsifie mtu mwingine hata kama anafanya vizuri, wana ngozi ngumu ya moyo hiyo huwafanya pia wawe watu katili wanapokuwa ktk kufanikisha jambo fulani, huwa wanasema nipishe nipite, usipopisha wanapita juu yako bila kujali maumivi watakayokusababishia.

    MSONGO WA MAWAZO:
    Mambo ya Koleriki yakienda mrama hushikwa na msongo wa mawazo mkali sana, hupatwa na stress pale watu wakikataa kufanya anavyotaka yeye, hupatwa na stress zaidi anapojitokeza mwenye nguvu zaidi kiuongozi zaidi yake. Hawapendi kushindwa wala kupitwa. Hupenda kuwa juu siku zote.

    HOFU kuu ya koleriki ni kupoteza, kazi, cheo, kuugua, watu wasiokubaliana naye nk. Kuwa na mpambanaji zaidi yake, anahofu pia yakuoa/olewa na mtu tough zaidi yake.

    ANAPENDA watu wanaomkubali, mnyenyekea, wanaomtii, wenye mtazamo kama wakwake, wanaoshirikiana naye, wanaomsifia, wasiompinga kwa chochote.

    HUCHUKIA watu wavivu kwasababu yeye mwenyewe ni mchapakazi, hapendi wanaokataa madaraka yake, wanaojitegemea kimawazo, watu wasiomtii wala kumnyenyekea.

    THAMANI YAKE KAZINI ni mtu anayeweza kufanikiwa kwa muda mfupi kuliko wa Haiba yoyote ingine, kwa sababu ni mchapakazi na hapendi uzembe na hulazimisha mambo yake yaende hata kama hayataki kwenda. Hujiona sahihi wakati wote, hufanya kazi kwa bidii sana. Wababe sana koleriki ndiyo maana wengi wamefanikiwa sana kimaisha.

    Koleriki ni KIONGOZI anayejisikia kuwa Kiongozi kutoka ndani, anauwezo mkubwa sana katika kuongoza, ni aina ya Kiongozi mbabe asiyebembeleza, ni mtu anayejiamini na anaweza kuwaangamiza wote wasiopenda maendeleo yake. Ni mtu mwenye ufahamu mkubwa sana ktk mambo mbalimbali ya muhimu, hufanya kila jitihada ili awe Kiongozi. Huweza kusababisha mgogoro mkubwa kazini ili tu hoja yake ipite.

    ATAWEZA KUFANYA VIZURI ZAIDI ENDAPO TU ataruhusu wengine kufanya maamuzi, akikasimu madaraka kwa wengine, atakuwa mvumilivu, pale atakapotambua kuwa si kila mtu anauwezo kama wakwake hivyo asiwaburuze watu bila kujua aina ya haiba yao.

    KOLERIKI HUPENDELEA KUOA/OLEWA Haiba ya Flegmatiki, kwa sababu ya ukimya wake, huamini kuwa Flegmatiki atamtii na hatampinga mamlaka yake, na awe hajafanikiwa sana kimaisha.

    JINSI YA KUKABILI MSONGO WA MAWAZO
    hutumia mtindo wa kubana madaraka, hufanya kazi kwa bidii, hutumia mtindo wa kumwondoa au kumfukuza kazi mtu anayemwendea kinyume. Kama ni mke anaacha moja kwa moja, harudiani. Huwa hawezi kabisa kupambana na stress hivyo humzimisha na kumkanyaga kabisa anayejaribu kumletea stress. Hii ndiyo haiba pekee ngumu kuishi na mtu anayempa stress, hawawezi handle stress. Huyu akiachana harudi nyuma.

    HUPENDA KUTAMBULIWA kwa utendaju wake wa haraka hiyo humuongezea ari yakuendelea kubuni mambo makubwa na kufanya vizuri zaidi, hupenda kutambuliwa madaraka yake, kwakujiamini kwake na kushika madaraka haraka haraka. Atambuliwe yuko bize hata kwakutokutulia kazini. Ni watu smart hata ktk mavazi, na wanataka watambuliwe pia ktk hilo.
    Wanapenda kusoma na kujiendeleza, hawapendi kupitwa na fursa yoyote. Ni wabunifu na smart ktk mipango yote kazi, binafsi na kifamilia.

    Natumai unaendelea kuelewa Haiba yako ili uweze kuelewa UWEZO na UDHAIFU wa ASILI ulionao wewe na wa watu wanaokuzun
    HAIBA YA KOLERIKI na SHAUKU yake. Ni watu wanaopenda Kuongoza wengine, huwa wamezaliwa na Damu ya Uongozi kiasi kwamba hawasubiri kuchaguliwa au kuteuliwa wenyewe huanza kuongoza tu, japo wananafasi kubwa yakuchaguliwa au kuteuliwa lkn tayari hujikuta katika Uongozi moja kwa moja tangu wakiwa watoto, kama ni watoto wako wewe angalia tu hapo ndani utaona kuna mmoja ndiye anayewaelekeza wenzie kila saa na wengine hujikuta wakimfuata na kumsikiliza tu hata kama ni mdogo. Kama ni shuleni hivyo hivyo utamkuta yuko mbele mbele kwenye kila jambo. Anakuwa anapenda sana mambo ya Uongozi na Utawala, na kama ni mke basi hupenda yeye ndio amuongoze mume wake na wote hapo nyumbani, atataka sauti yake tu ndiyo isikilizwe na pasiwe na mwingine yeyote atakayeongea zaidi yake na kutoa maamuzi yoyote ndani ya ya hiyo familia. Huwa mbele kwa kila jambo. Hujitanguliza hata kwa mambo ambayo yangepaswa kuamuliwa kwa pamoja. Kama ni kwenye kundi basi yeye hatasubiri kuchaguliwa bali atajitolea kuongoza hadi wanakikundi wanaamua tu kumpa uongozi.. ni mwanzilishi wa mambo mbali mbali yanayohitaji uongozi ambayo yuko tayari kujitolea. MIHEMKO ni watu watii na kufuata utaratibu, hujishuhulisha sana na kuhakikisha jambo lake linafanikiwa, hujitoa sana katika mambo ya kimaendeleo hujituma na kufurahia sana mafanikio ya juhudi na kazi yake. Hupenda sana kutambuliwa na kusifiwa. Huwa karibu na watu wanaomtambua na kumsifia. SIFA KUU YA Koleriki Wana uwezo mkubwa sana wakuongoza wakati wowote. Katika makundi yote manne ya Haiba ndiyo kundi pekee linaloongoza kwa uwezo mkubwa Kiuongozi. Wanauwezo mkubwa wakufanya maamuzi ya haraka na kwa usahihi, wana uwezo wakupanga plan A, B, C kama plan moja ikifeli, tayari wana plan B na C. Huwa hawakubali jambo lao likwame kwa namna yoyote ile. Hufanya mipango sahihi siku zote. Kama ni kwenye ndoa, kuliko akose furaha anayoitegemea kuipata ktk ndoa yake, siku zote ana Plan B na C. Hakubali kushindwa au kupoteza. Wanajali sana kazi kuliko mambo ya utaratibu. ana uwezo wakuamua jambo la kiofisi hata nje ya ofisi, sio lazima umkute ofisini. Sio wepesi wakukata tamaa hata kama atashindwa jambo. Atakazana tu. UDHAIFU wao: Hupenda kutawala wengine na si wao kutawaliwa. Hupenda ubosi kila wanapokwenda, hawajali maumivu wala hisia za wengine ktk kufanikisha mambo yao, ni madikteta, anachotaka yeye ndio sahihi hata kama kinaumiza wengine, si wavumilivu kwa wenzao punde tu wanapokuwa ktk kufanikisha yao, wanapenda kusifiwa lkn si wao wamsifie mtu mwingine hata kama anafanya vizuri, wana ngozi ngumu ya moyo hiyo huwafanya pia wawe watu katili wanapokuwa ktk kufanikisha jambo fulani, huwa wanasema nipishe nipite, usipopisha wanapita juu yako bila kujali maumivi watakayokusababishia. MSONGO WA MAWAZO: Mambo ya Koleriki yakienda mrama hushikwa na msongo wa mawazo mkali sana, hupatwa na stress pale watu wakikataa kufanya anavyotaka yeye, hupatwa na stress zaidi anapojitokeza mwenye nguvu zaidi kiuongozi zaidi yake. Hawapendi kushindwa wala kupitwa. Hupenda kuwa juu siku zote. HOFU kuu ya koleriki ni kupoteza, kazi, cheo, kuugua, watu wasiokubaliana naye nk. Kuwa na mpambanaji zaidi yake, anahofu pia yakuoa/olewa na mtu tough zaidi yake. ANAPENDA watu wanaomkubali, mnyenyekea, wanaomtii, wenye mtazamo kama wakwake, wanaoshirikiana naye, wanaomsifia, wasiompinga kwa chochote. HUCHUKIA watu wavivu kwasababu yeye mwenyewe ni mchapakazi, hapendi wanaokataa madaraka yake, wanaojitegemea kimawazo, watu wasiomtii wala kumnyenyekea. THAMANI YAKE KAZINI ni mtu anayeweza kufanikiwa kwa muda mfupi kuliko wa Haiba yoyote ingine, kwa sababu ni mchapakazi na hapendi uzembe na hulazimisha mambo yake yaende hata kama hayataki kwenda. Hujiona sahihi wakati wote, hufanya kazi kwa bidii sana. Wababe sana koleriki ndiyo maana wengi wamefanikiwa sana kimaisha. Koleriki ni KIONGOZI anayejisikia kuwa Kiongozi kutoka ndani, anauwezo mkubwa sana katika kuongoza, ni aina ya Kiongozi mbabe asiyebembeleza, ni mtu anayejiamini na anaweza kuwaangamiza wote wasiopenda maendeleo yake. Ni mtu mwenye ufahamu mkubwa sana ktk mambo mbalimbali ya muhimu, hufanya kila jitihada ili awe Kiongozi. Huweza kusababisha mgogoro mkubwa kazini ili tu hoja yake ipite. ATAWEZA KUFANYA VIZURI ZAIDI ENDAPO TU ataruhusu wengine kufanya maamuzi, akikasimu madaraka kwa wengine, atakuwa mvumilivu, pale atakapotambua kuwa si kila mtu anauwezo kama wakwake hivyo asiwaburuze watu bila kujua aina ya haiba yao. KOLERIKI HUPENDELEA KUOA/OLEWA Haiba ya Flegmatiki, kwa sababu ya ukimya wake, huamini kuwa Flegmatiki atamtii na hatampinga mamlaka yake, na awe hajafanikiwa sana kimaisha. JINSI YA KUKABILI MSONGO WA MAWAZO hutumia mtindo wa kubana madaraka, hufanya kazi kwa bidii, hutumia mtindo wa kumwondoa au kumfukuza kazi mtu anayemwendea kinyume. Kama ni mke anaacha moja kwa moja, harudiani. Huwa hawezi kabisa kupambana na stress hivyo humzimisha na kumkanyaga kabisa anayejaribu kumletea stress. Hii ndiyo haiba pekee ngumu kuishi na mtu anayempa stress, hawawezi handle stress. Huyu akiachana harudi nyuma. HUPENDA KUTAMBULIWA kwa utendaju wake wa haraka hiyo humuongezea ari yakuendelea kubuni mambo makubwa na kufanya vizuri zaidi, hupenda kutambuliwa madaraka yake, kwakujiamini kwake na kushika madaraka haraka haraka. Atambuliwe yuko bize hata kwakutokutulia kazini. Ni watu smart hata ktk mavazi, na wanataka watambuliwe pia ktk hilo. Wanapenda kusoma na kujiendeleza, hawapendi kupitwa na fursa yoyote. Ni wabunifu na smart ktk mipango yote kazi, binafsi na kifamilia. Natumai unaendelea kuelewa Haiba yako ili uweze kuelewa UWEZO na UDHAIFU wa ASILI ulionao wewe na wa watu wanaokuzun
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·686 Views
  • Naitwa calvin nina miaka 27, namshukuru Mungu kuniweka salama hadi leo na sina changamoto yoyote ya kiafya,Siishi nyumbani nimejitegemea(geto),

    Shida yangu ilianza nilipopata kazi mwaka jana Nikawa bize sana kuipambania future yangu kwani umasikini nilikuwa nisha onja radha yake,

    Nilipokuwa bize mpenzi wangu alianza kunihisi namcheat kwani sitengi muda mwingi kwaajili yake kama zamani,,(Nikumbushe kitu Wanaume wasio na kazi wanaharibu sana mahusiano ya watu na hii kwa sababu muda wowote wakihitajika wanapatikana),,tuendelee

    Baada ya muda kidogo Akaamua kuniacha kabisa sababu alitaka niwe nae muda mwingi kama ilivyokuwa kipindi sina kazi,,

    Tangu hapo nikawa single nikaamua kudiri na future yangu namshukuru Mungu katika hilo nimefanikiwa Asilimia fulani,,Shida yangu kubwa iliyo nileta hapa nikutafuta mchumba,,

    Nimekua bize sana na kazi hata ninaowapata nikidet nao,kutokana na ubize wangu wanahisi sina malengo nao kwani siwapi muda wanaotaka wao,,wanaamua kumove on,,lakini pia Kwa eneo ninaloishi Asilimia kubwa ya mabinti ninao wapata wamerekodiwa video za faragha na ma-x zao,

    Unaweza pata binti fresh mkadet vizuri tu shida itakuja utakapo watambulisha marafiki zako,Watakupa kila kitu kumhusu huyo binti hadi list ya wanaume aliolala nao na ukibisha wanakuonyesha video za faragha,

    Hii kitu imenikuta mara kibao sana na inavunja moyo kumuona unae mpenda kavuliwa nguo na mwanaume mwingne hili eneo nililopo natamani nitoke niende sehemu nyingine,Nikakae japo kwa muda kidogo labda nitabahatika kupata wa kuendana nae lakini kazi zimenibana,,nakosa huo muda

    Sina mtoto na wala sijawahi kuoa,Natamani nipate mwanamke ambae hana mtoto na hajawahi kuolewa,mwenye hofu ya Mungu na mwenye Akili timamu,,Umri asinizidi awe chini yangu,Asiwe mnene sana,awe msafi wa ndani na nje,asiwe na tatoo wala brich

    Akipatikana nikamuelewa nipo tayari kuanza nae ukurasa mpya,,Naahidi kama ataniheshimu na kunisikiliza nitampenda na kumthamini,,

    Naamin huenda kupitia page hii nitampata alie sahihi,,whatsp No;0748374716,,cha kwanza tuma picha isiyo na filter

    La mwisho kabisa mabinti mkiwa kwenye mahusiano msikubali kurekodiwa,siku mkiachana hiyo clip itatumika kama uthibitisho kama umeshaliwa,,Nakama umerekodiwa kaa ukijua mashemeji zako wamesha onyweshwa faragha yako,,,
    Naitwa calvin nina miaka 27, namshukuru Mungu kuniweka salama hadi leo na sina changamoto yoyote ya kiafya,Siishi nyumbani nimejitegemea(geto), Shida yangu ilianza nilipopata kazi mwaka jana Nikawa bize sana kuipambania future yangu kwani umasikini nilikuwa nisha onja radha yake, Nilipokuwa bize mpenzi wangu alianza kunihisi namcheat kwani sitengi muda mwingi kwaajili yake kama zamani,,(Nikumbushe kitu Wanaume wasio na kazi wanaharibu sana mahusiano ya watu na hii kwa sababu muda wowote wakihitajika wanapatikana),,tuendelee👇👇 Baada ya muda kidogo Akaamua kuniacha kabisa sababu alitaka niwe nae muda mwingi kama ilivyokuwa kipindi sina kazi,, Tangu hapo nikawa single nikaamua kudiri na future yangu namshukuru Mungu katika hilo nimefanikiwa Asilimia fulani,,Shida yangu kubwa iliyo nileta hapa nikutafuta mchumba,, Nimekua bize sana na kazi hata ninaowapata nikidet nao,kutokana na ubize wangu wanahisi sina malengo nao kwani siwapi muda wanaotaka wao,,wanaamua kumove on,,lakini pia Kwa eneo ninaloishi Asilimia kubwa ya mabinti ninao wapata wamerekodiwa video za faragha na ma-x zao, Unaweza pata binti fresh mkadet vizuri tu shida itakuja utakapo watambulisha marafiki zako,Watakupa kila kitu kumhusu huyo binti hadi list ya wanaume aliolala nao na ukibisha wanakuonyesha video za faragha, Hii kitu imenikuta mara kibao sana na inavunja moyo kumuona unae mpenda kavuliwa nguo na mwanaume mwingne hili eneo nililopo natamani nitoke niende sehemu nyingine,Nikakae japo kwa muda kidogo labda nitabahatika kupata wa kuendana nae lakini kazi zimenibana,,nakosa huo muda Sina mtoto na wala sijawahi kuoa,Natamani nipate mwanamke ambae hana mtoto na hajawahi kuolewa,mwenye hofu ya Mungu na mwenye Akili timamu,,Umri asinizidi awe chini yangu,Asiwe mnene sana,awe msafi wa ndani na nje,asiwe na tatoo wala brich Akipatikana nikamuelewa nipo tayari kuanza nae ukurasa mpya,,Naahidi kama ataniheshimu na kunisikiliza nitampenda na kumthamini,, Naamin huenda kupitia page hii nitampata alie sahihi,,whatsp No;0748374716,,cha kwanza tuma picha isiyo na filter La mwisho kabisa mabinti mkiwa kwenye mahusiano msikubali kurekodiwa,siku mkiachana hiyo clip itatumika kama uthibitisho kama umeshaliwa,,Nakama umerekodiwa kaa ukijua mashemeji zako wamesha onyweshwa faragha yako,,,
    Like
    2
    · 0 Comments ·0 Shares ·780 Views
  • Kwa mujibu wa Sheria , kanuni na utaratibu wa Shirikisho la mpira wa miguu Duniani (FIFA), Mchezaji anaruhusiwa kucheza Taifa ya Nchi husika (Tanzania) endapo atakuwa na vigezo vifuatavyo:

    - Amezaliwa Tanzania
    - Baba yake au Mama yake amezaliwa Tanzania
    - Babu yake au Bibi yake amezaliwa Tanzania
    - Ameishi Tanzania angalau miaka mitatu (3) Kabla hajafikisha miaka kumi (10)

    - Ameishi Tanzania akiwa na umri kati ya miaka 10-18 kwa angalau miaka mitano (5). Na kama ni kuanzia miaka (18) nayo ni miaka mitano (5)

    - Mchezaji lazima atoe ushahidi Kwamba sababu ambazo zimemfanya aje Tanzania sio za kimpira.

    Kwa mujibu wa Sheria , kanuni na utaratibu wa Shirikisho la mpira wa miguu Duniani (FIFA), Mchezaji anaruhusiwa kucheza Taifa ya Nchi husika (Tanzania) endapo atakuwa na vigezo vifuatavyo: - Amezaliwa Tanzania - Baba yake au Mama yake amezaliwa Tanzania - Babu yake au Bibi yake amezaliwa Tanzania - Ameishi Tanzania angalau miaka mitatu (3) Kabla hajafikisha miaka kumi (10) - Ameishi Tanzania akiwa na umri kati ya miaka 10-18 kwa angalau miaka mitano (5). Na kama ni kuanzia miaka (18) nayo ni miaka mitano (5) - Mchezaji lazima atoe ushahidi Kwamba sababu ambazo zimemfanya aje Tanzania sio za kimpira.
    Like
    1
    · 1 Comments ·0 Shares ·346 Views
More Results