• Luka 22:31-32
    [31]
    Akasema, Simoni, Simoni, tazama, Shetani amewataka ninyi apate kuwapepeta kama vile ngano;
    :
    [32]lakini nimekuombea wewe ili imani yako isitindike; nawe utakapoongoka waimarishe ndugu zako.

    Hii ina maana kubwa sana kumbe kuba wakati imani zetu huwa zinashindwa na kuishiwa nguvu kutokana na changamoto ambazo shetani anaweza kuwapitisha watoto wa Mungu.
    .
    Kama Yesu alimuombea petro kuhusu imani yake na sisi tunapaswa kuombea imani zetu ziwe na nguvu nyingi ili zisiyumbe kipindi cha majaribio .

    Kwa mantiki hiyo kama ukuwa mtu wa kuomba na kuiombea imani siku ikiguswa kidogo tu inakutoa kwenye njia.

    Kwanini tunapaswa kuombea imani zetu ziiwe na nguvu kubwa

    1.Imani ndiyo inayo tuokoa roho zetu..

    Roho ya mtu itapoke muujiza wa sawa sawa na imani yetu.

    Mara nyingi sehemu ambazo Yesu alifanya miujiza wengi walipokea sawa sawa na imani zao.

    Imarisha imani yako juu ya Mungu uanze kuishi na kupokea yale Mungu amekuhaidi kuyafanya.

    Kimani zetu ndizo zinaamua aina ya majibu juu maombi yetu.

    Wenye nguvu za Mungu ndio wenye imani juu ya matendo ua Mungu.

    Watu wa Mungu lengo la Kristo ni kanisa liwe na imani kubwa na ndio mna hata baada ya shetani kupata kibali ya kuwajaribu wanafunzi wake aliona ipo sababu ya kumuombea Petro awe na imani kubwa.

    Waebrania 11:8
    [8]Kwa imani Ibrahimu alipoitwa aliitika, atoke aende mahali pale atakapopapata kuwa urithi; akatoka asijue aendako

    Na alienda asiko kujua lakini sababu imani yale ilijengwa kiasi cha kuto tikisika sababu yake Ubaba wa imani duniani alipewa yeye na familia yake ikafanywa kuwa taifa na Mungu akaitazama mpaka leo.

    Sijui kama utaona iko haja ya kuimalisha imani zetu kiasi cha shetani kusema kuwa bila wewe Mungu kiuniruhusu mimi siwezi mana umezingira kila kitu chake.

    Maombi ni moja silaha watu wa rohoni wanaitumia kuimalisha imani zao .

    Kama imani yako ilifika kipindi sababu ya kuomba bilz kupokea au majaribu ukaona Mungu amekuacha nataka nikwambie kuw wewe unapendwa na Mungu kuliko unavyo jidhania.

    Kili leo maneno hayakuwa HAKUNA KITAKACHO NITENGA NA UPENDO WA KRISTO YAWE MAISHA MAGUMU ,UMASKINI ,TAABU ,NJAA ,ADHA,UCHI,NA KILA JAMBO LILILOKUWA LINANIRUDISHA NYUMA KIASI CHA KUIASI IMANI NAOMBA BWANA UNIREHEMU NA KUNINYANYUA IMANI YANGU IWE IMARA ZAIDI YA YULE MAMA ALIYE ADHIMIA KUGUSA PINDO LAKO TU NA KUWA MZIMA.

    BWANA YESU NISAIDIE IMANI YANGU ISIYUMBE MIMI NIWE PETRO KWENYE HUDUMA NA WITO WANGU MJARIBU AJAPO KUJA KUNIPEPETA KAMA NGANO IMANI YANGU ISIYUMBE BADALA YAKE IWE IMARA KULIKO JANA NA JUZI.

    BWANA ATAKUPIGANIA NA WEWE UTANYAMAZA KIMYA .
    AMINA ....

    Naitwa mwl sylvester Mwakabende kutoka build
    new eden .

    Karibu kwa mafundisho zaidi unaweza jiunga na sisi katika group letu la watsap.

    https://chat.whatsapp.com/HhjVJc0bcdY5i5LCZnjHZ6

    #build new eden
    #restore men position
    Luka 22:31-32 [31] Akasema, Simoni, Simoni, tazama, Shetani amewataka ninyi apate kuwapepeta kama vile ngano; : [32]lakini nimekuombea wewe ili imani yako isitindike; nawe utakapoongoka waimarishe ndugu zako. Hii ina maana kubwa sana kumbe kuba wakati imani zetu huwa zinashindwa na kuishiwa nguvu kutokana na changamoto ambazo shetani anaweza kuwapitisha watoto wa Mungu. . Kama Yesu alimuombea petro kuhusu imani yake na sisi tunapaswa kuombea imani zetu ziwe na nguvu nyingi ili zisiyumbe kipindi cha majaribio . Kwa mantiki hiyo kama ukuwa mtu wa kuomba na kuiombea imani siku ikiguswa kidogo tu inakutoa kwenye njia. Kwanini tunapaswa kuombea imani zetu ziiwe na nguvu kubwa 1.Imani ndiyo inayo tuokoa roho zetu.. Roho ya mtu itapoke muujiza wa sawa sawa na imani yetu. Mara nyingi sehemu ambazo Yesu alifanya miujiza wengi walipokea sawa sawa na imani zao. Imarisha imani yako juu ya Mungu uanze kuishi na kupokea yale Mungu amekuhaidi kuyafanya. Kimani zetu ndizo zinaamua aina ya majibu juu maombi yetu. Wenye nguvu za Mungu ndio wenye imani juu ya matendo ua Mungu. Watu wa Mungu lengo la Kristo ni kanisa liwe na imani kubwa na ndio mna hata baada ya shetani kupata kibali ya kuwajaribu wanafunzi wake aliona ipo sababu ya kumuombea Petro awe na imani kubwa. Waebrania 11:8 [8]Kwa imani Ibrahimu alipoitwa aliitika, atoke aende mahali pale atakapopapata kuwa urithi; akatoka asijue aendako Na alienda asiko kujua lakini sababu imani yale ilijengwa kiasi cha kuto tikisika sababu yake Ubaba wa imani duniani alipewa yeye na familia yake ikafanywa kuwa taifa na Mungu akaitazama mpaka leo. Sijui kama utaona iko haja ya kuimalisha imani zetu kiasi cha shetani kusema kuwa bila wewe Mungu kiuniruhusu mimi siwezi mana umezingira kila kitu chake. Maombi ni moja silaha watu wa rohoni wanaitumia kuimalisha imani zao . Kama imani yako ilifika kipindi sababu ya kuomba bilz kupokea au majaribu ukaona Mungu amekuacha nataka nikwambie kuw wewe unapendwa na Mungu kuliko unavyo jidhania. Kili leo maneno hayakuwa HAKUNA KITAKACHO NITENGA NA UPENDO WA KRISTO YAWE MAISHA MAGUMU ,UMASKINI ,TAABU ,NJAA ,ADHA,UCHI,NA KILA JAMBO LILILOKUWA LINANIRUDISHA NYUMA KIASI CHA KUIASI IMANI NAOMBA BWANA UNIREHEMU NA KUNINYANYUA IMANI YANGU IWE IMARA ZAIDI YA YULE MAMA ALIYE ADHIMIA KUGUSA PINDO LAKO TU NA KUWA MZIMA. BWANA YESU NISAIDIE IMANI YANGU ISIYUMBE MIMI NIWE PETRO KWENYE HUDUMA NA WITO WANGU MJARIBU AJAPO KUJA KUNIPEPETA KAMA NGANO IMANI YANGU ISIYUMBE BADALA YAKE IWE IMARA KULIKO JANA NA JUZI. BWANA ATAKUPIGANIA NA WEWE UTANYAMAZA KIMYA . AMINA .... Naitwa mwl sylvester Mwakabende kutoka build new eden . Karibu kwa mafundisho zaidi unaweza jiunga na sisi katika group letu la watsap. https://chat.whatsapp.com/HhjVJc0bcdY5i5LCZnjHZ6 #build new eden #restore men position
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·438 Visualizações
  • *Roho mtakatifu kama mlinzi wetu*

    Isaya 4:5-6
    [5]Tena juu ya makao yote ya mlima Sayuni, na juu ya makusanyiko yake, BWANA ataumba *wingu na moshi wakati wa mchana, na mwangaza wa miali ya moto wakati wa usiku;* kwa maana juu ya utukufu wote itatandazwa sitara.
    .
    [6]Kisha kutakuwa na hema kuwa uvuli wakati wa mchana kwa sababu ya hari, na kuwa mahali pa kukimbilia na kujificha wakati wa tufani na mvua.


    Wingu linalozungumzwa hapo kwenye agano la kale ni *Roho mtakatifu*

    Kumbe ukimkubali Kristo na kuuoshi wokovu roho wa Bwana anakuwa ndani yako na kazi moja wapo ya huyo *roho ni kukulinda wewe ulieamini*

    Mtu aliye mshika kristo ns kumuamini na kumpokea roho wake wakati wa mchana anafunikwa na kutulizwa na *Bwana na wakati wa usiku anamulikwa na Bwana*


    Kumbe kama roho wa Mungu anatumulika na kutukinga nini kinafanya watu wa Mungu tushindwe kuziishi ahadi ,*tumemuwekea mipaka roho mtakatifu* tukiamini *kunena kwa lugha ndo kipawa na jukumu la roho mtakatifu*

    Sasa tukitizama wakati taifa la islaeri limetoka misri lilikuwa linaongozwa na wingu la Bwana.

    Kutoka 13:21-22
    [21] *BWANA naye akawatangulia mchana ndani ya wingu mfano wa nguzo, ili awaongoze njia*; na usiku, *ndani ya moto mfano wa nguzo, ili kuwapa nuru*; wapate kusafiri mchana na usiku;*

    [22]ile nguzo ya wingu *haikuondoka mchana, wala ile nguzo ya moto haikuondoka usiku,* mbele ya hao watu.

    Hivi ndivyo roho wa Mungu anavyo paswa kukuongoza wakati wa mchana na wakati wa usiku .

    Ukiwa na roho wa Bwana na akawa rafiki yako na kiongozi wako utafanya biashara kwa kubahatisha badala yake yeye atakuongoza uza kitu chenye wateja.

    Unaweza mkaribisha jirani yako kujifunza neno na sisi kwa kujoin link hapa chini
    https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4

    Walokole tunakosa jicho la kuona fursa sababu tumemuwekea mipaka roho mtakatifu na wakati mwingine anatupa wazo tunalizimisha kwa kuto kujiamini na matokeo yake tunabaki jinsi tulivyo.

    Mtu aliye okoka na *akakubali kutii ndiye anayepaswa kula mema ya nchi* lakini imekuwa tofauti na uhalisia mtu ameokoka anaoshi dhana ya kuamini kuwa atakula kwa jasho iyo ilifanya kazi kabla ya wewe kuokoka saizi wewe unakula kwa wazo la kiMungu linalo shushwa na roho mtakatifu na wewe ukichukua hatua linageuka na kuleta matokeo .

    Musa aliijua siri hii ndo mana pasipo wingu akuenda mbele au kurudi nyuma.

    Kutoka 40:37
    [37]bali kama lile wingu halikuinuliwa, wakati ule hawakusafiri hata siku ile lilipoinuliwa tena.

    Cha kujiuliza mimi na wewe ni hatua ngapi yumepiga bila kuongozwa na roho mtakatifu na tukapelekea kupoteza thamani zetu .

    Iko haja turudi kuitafuta toba kwani ni hatua tulienda mbele lakini kumbe ni shetani *alitutenda tu kwa akiri*

    Ni kweli tuliyaona matokeo lakini hayakuwa ya bwana turudi tuitafute tona kwani ya matokeo ya Bwana yanakuja.

    Unasema na sema nini muulize samweli alipo enda nyumbani kwa mzee Yese aliletewa watu 6 ambao ni expert na ni mashujaa kwa kuwaona na yey mwenyewe akazani kuwa yupo mmoja wapo lakini msikie bwana alivyo mwambia

    1 Samweli 16:7
    [7]Lakini BWANA akamwambia Samweli, Usimtazame uso wake, wala urefu wa kimo chake; kwa maana mimi nimemkataa. BWANA haangalii kama binadamu aangaliavyo; maana wanadamu huitazama sura ya nje, bali BWANA huutazama moyo.

    Samweli aljvyo mtazama Abnadabu aliona sifa zote za kuwa mfalme lakini roho akuona kama samweli alivyo kuwa anaona.

    Kumbe hata sisi hatupaswi kuingia kazini ,au kwenye biashara hata kwenye kilimo sababu tu watu wamesema kilimo cha matikiti kinatoa tunapaswa kutazama *Bwana anasema nini*

    Yakobo alimtazama bwana na bwana akamwambia nenda nami nitakuwa pamoja nawe na kukurejesha tena .

    Ok ahsante sana tusiache kuomba toba ungana nami toba hii

    *BWANA YESU TUNAKUJA MBELE ZAKO KUNA HATUA NILISOGEA BILA WEWE ROHO NAOMBA TOBA NISAMEHE YESU NA TANGU LEO NAOMBA ROHO WAKO MTAKATIFU ATEMBEE NA MIMI KAMA MUSA NA WANAISLAERI WALIVYO TEMBEA NA WINGU LAKO WAKATI WA MCHANA UNIPE KIVULI NA WAKATI WA USIKU UNIPE MWANGA SAWA SAWA NA KWENYE MAISHA YANGU* .AMEN

    Ahsante sana naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden ministry)

    Unaweza mkaribisha jirani yako kujifunza neno na sisi kwa kujoin link hapa chini
    https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4

    #Restoremenposition
    #build new eden
    #youth reformation and revival
    *Roho mtakatifu kama mlinzi wetu* Isaya 4:5-6 [5]Tena juu ya makao yote ya mlima Sayuni, na juu ya makusanyiko yake, BWANA ataumba *wingu na moshi wakati wa mchana, na mwangaza wa miali ya moto wakati wa usiku;* kwa maana juu ya utukufu wote itatandazwa sitara. . [6]Kisha kutakuwa na hema kuwa uvuli wakati wa mchana kwa sababu ya hari, na kuwa mahali pa kukimbilia na kujificha wakati wa tufani na mvua. Wingu linalozungumzwa hapo kwenye agano la kale ni *Roho mtakatifu* Kumbe ukimkubali Kristo na kuuoshi wokovu roho wa Bwana anakuwa ndani yako na kazi moja wapo ya huyo *roho ni kukulinda wewe ulieamini* Mtu aliye mshika kristo ns kumuamini na kumpokea roho wake wakati wa mchana anafunikwa na kutulizwa na *Bwana na wakati wa usiku anamulikwa na Bwana* Kumbe kama roho wa Mungu anatumulika na kutukinga nini kinafanya watu wa Mungu tushindwe kuziishi ahadi ,*tumemuwekea mipaka roho mtakatifu* tukiamini *kunena kwa lugha ndo kipawa na jukumu la roho mtakatifu* Sasa tukitizama wakati taifa la islaeri limetoka misri lilikuwa linaongozwa na wingu la Bwana. Kutoka 13:21-22 [21] *BWANA naye akawatangulia mchana ndani ya wingu mfano wa nguzo, ili awaongoze njia*; na usiku, *ndani ya moto mfano wa nguzo, ili kuwapa nuru*; wapate kusafiri mchana na usiku;* [22]ile nguzo ya wingu *haikuondoka mchana, wala ile nguzo ya moto haikuondoka usiku,* mbele ya hao watu. Hivi ndivyo roho wa Mungu anavyo paswa kukuongoza wakati wa mchana na wakati wa usiku . Ukiwa na roho wa Bwana na akawa rafiki yako na kiongozi wako utafanya biashara kwa kubahatisha badala yake yeye atakuongoza uza kitu chenye wateja. Unaweza mkaribisha jirani yako kujifunza neno na sisi kwa kujoin link hapa chini https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4 Walokole tunakosa jicho la kuona fursa sababu tumemuwekea mipaka roho mtakatifu na wakati mwingine anatupa wazo tunalizimisha kwa kuto kujiamini na matokeo yake tunabaki jinsi tulivyo. Mtu aliye okoka na *akakubali kutii ndiye anayepaswa kula mema ya nchi* lakini imekuwa tofauti na uhalisia mtu ameokoka anaoshi dhana ya kuamini kuwa atakula kwa jasho iyo ilifanya kazi kabla ya wewe kuokoka saizi wewe unakula kwa wazo la kiMungu linalo shushwa na roho mtakatifu na wewe ukichukua hatua linageuka na kuleta matokeo . Musa aliijua siri hii ndo mana pasipo wingu akuenda mbele au kurudi nyuma. Kutoka 40:37 [37]bali kama lile wingu halikuinuliwa, wakati ule hawakusafiri hata siku ile lilipoinuliwa tena. Cha kujiuliza mimi na wewe ni hatua ngapi yumepiga bila kuongozwa na roho mtakatifu na tukapelekea kupoteza thamani zetu . Iko haja turudi kuitafuta toba kwani ni hatua tulienda mbele lakini kumbe ni shetani *alitutenda tu kwa akiri* Ni kweli tuliyaona matokeo lakini hayakuwa ya bwana turudi tuitafute tona kwani ya matokeo ya Bwana yanakuja. Unasema na sema nini muulize samweli alipo enda nyumbani kwa mzee Yese aliletewa watu 6 ambao ni expert na ni mashujaa kwa kuwaona na yey mwenyewe akazani kuwa yupo mmoja wapo lakini msikie bwana alivyo mwambia 1 Samweli 16:7 [7]Lakini BWANA akamwambia Samweli, Usimtazame uso wake, wala urefu wa kimo chake; kwa maana mimi nimemkataa. BWANA haangalii kama binadamu aangaliavyo; maana wanadamu huitazama sura ya nje, bali BWANA huutazama moyo. Samweli aljvyo mtazama Abnadabu aliona sifa zote za kuwa mfalme lakini roho akuona kama samweli alivyo kuwa anaona. Kumbe hata sisi hatupaswi kuingia kazini ,au kwenye biashara hata kwenye kilimo sababu tu watu wamesema kilimo cha matikiti kinatoa tunapaswa kutazama *Bwana anasema nini* Yakobo alimtazama bwana na bwana akamwambia nenda nami nitakuwa pamoja nawe na kukurejesha tena . Ok ahsante sana tusiache kuomba toba ungana nami toba hii *BWANA YESU TUNAKUJA MBELE ZAKO KUNA HATUA NILISOGEA BILA WEWE ROHO NAOMBA TOBA NISAMEHE YESU NA TANGU LEO NAOMBA ROHO WAKO MTAKATIFU ATEMBEE NA MIMI KAMA MUSA NA WANAISLAERI WALIVYO TEMBEA NA WINGU LAKO WAKATI WA MCHANA UNIPE KIVULI NA WAKATI WA USIKU UNIPE MWANGA SAWA SAWA NA KWENYE MAISHA YANGU* .AMEN Ahsante sana naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden ministry) Unaweza mkaribisha jirani yako kujifunza neno na sisi kwa kujoin link hapa chini https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4 #Restoremenposition #build new eden #youth reformation and revival
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·481 Visualizações
  • Matendo ya Mitume 23:11
    [11]Usiku ule Bwana akasimama karibu naye, akasema, Uwe na moyo mkuu; kwa sababu, kama ulivyonishuhudia habari zangu Yerusalemu, imekupasa kunishuhudia vivyo hivyo Rumi nako.

    Mungu alimtokea paulo na kumpasha habari hizi paulo akiwa anakabiliwa na kesi kubwa zaidi kama vile kwa Tanzania uasi au uhaini.

    Kwa sababu wao walidai ameiasi torati na katika sheria za islaeri muasi wa torati ni muhaini lakini kumbe Mungu anataka kutumia njia hiyo hiyo paulo kwenda kueneza injiri rumi .

    Jaribu kuwaza uko katika kipindi cha kujitetea sana kwa sababu ya injiri na watu wa nchi yako hawakuelewi arafu unaambiwa kuna jukumu lingine la kwenda rumi tena kufanya kitu kile kile ambacho watu wa nchi yako wameiterm kama uhaini (treason) .

    Ndio sababu aliambiwa awe na moyo mkuu , moyo wa kimbingu ambao katika magumu kuna fursa ya kufikisha injiri pia .


    Kipindi kama hiki kilimkuta Yoshua pia aliambiwa pia awe hodari na moyo wa ushujaa kipindi ambacho anajukumu kwa ajiri ya kukamilisha kusudi la kufikisha taifa la islaeri kanani lakini anazifahamu tabia za watu wale na pia hajaliona kaburi la Musa anaanzaje katika maswali hayo ndipo Mungu akamjibu pia
    Yoshua 1:6
    [6]Uwe hodari na moyo wa ushujaa, maana ni wewe utakayewarithisha watu hawa nchi hii niliyowaapia baba zao ya kwamba nitawapa

    Kipindi kama hiki kilimkuta Gidion pia yeye sasa ndiye alikuwa na mswali mengi zaidi kutokana na nchi yake kuwa iko mikononi mwa wamidiani lakini katika kipindi hicho alitakiwa kuwa hodari na qliitwa shujaa .

    Waamuzi 6:12-14
    [12]Malaika wa BWANA akamtokea, akamwambia, BWANA yu pamoja nawe, Ee shujaa.

    [13]Gideoni akamwambia, Ee Bwana wangu, ikiwa BWANA yu pamoja nasi, mbona mambo haya yote yametupata? Yako wapi matendo yake ya ajabu, waliyotuhadithia baba zetu, wakisema, Je! Siye BWANA, aliyetuleta huku kutoka Misri? Ila sasa ametutupa, naye ametutia katika mikono ya Midiani.
    .
    [14]BWANA akamtazama, akasema, Enenda kwa uwezo wako huu, ukawaokoe Israeli na mkono wa Midiani. Je! Si mimi ninayekutuma?

    Ko kumbe tunaona kuwa haijalishi uko katika kiindi gani muhimu ni kujua kuwa Mungu yu pamoja nawe na anakusudi na wewe katikati hata ya magumu hayo.

    Ahsante sana naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden)

    #build new eden
    #restore men position
    Matendo ya Mitume 23:11 [11]Usiku ule Bwana akasimama karibu naye, akasema, Uwe na moyo mkuu; kwa sababu, kama ulivyonishuhudia habari zangu Yerusalemu, imekupasa kunishuhudia vivyo hivyo Rumi nako. Mungu alimtokea paulo na kumpasha habari hizi paulo akiwa anakabiliwa na kesi kubwa zaidi kama vile kwa Tanzania uasi au uhaini. Kwa sababu wao walidai ameiasi torati na katika sheria za islaeri muasi wa torati ni muhaini lakini kumbe Mungu anataka kutumia njia hiyo hiyo paulo kwenda kueneza injiri rumi . Jaribu kuwaza uko katika kipindi cha kujitetea sana kwa sababu ya injiri na watu wa nchi yako hawakuelewi arafu unaambiwa kuna jukumu lingine la kwenda rumi tena kufanya kitu kile kile ambacho watu wa nchi yako wameiterm kama uhaini (treason) . Ndio sababu aliambiwa awe na moyo mkuu , moyo wa kimbingu ambao katika magumu kuna fursa ya kufikisha injiri pia . Kipindi kama hiki kilimkuta Yoshua pia aliambiwa pia awe hodari na moyo wa ushujaa kipindi ambacho anajukumu kwa ajiri ya kukamilisha kusudi la kufikisha taifa la islaeri kanani lakini anazifahamu tabia za watu wale na pia hajaliona kaburi la Musa anaanzaje katika maswali hayo ndipo Mungu akamjibu pia Yoshua 1:6 [6]Uwe hodari na moyo wa ushujaa, maana ni wewe utakayewarithisha watu hawa nchi hii niliyowaapia baba zao ya kwamba nitawapa Kipindi kama hiki kilimkuta Gidion pia yeye sasa ndiye alikuwa na mswali mengi zaidi kutokana na nchi yake kuwa iko mikononi mwa wamidiani lakini katika kipindi hicho alitakiwa kuwa hodari na qliitwa shujaa . Waamuzi 6:12-14 [12]Malaika wa BWANA akamtokea, akamwambia, BWANA yu pamoja nawe, Ee shujaa. [13]Gideoni akamwambia, Ee Bwana wangu, ikiwa BWANA yu pamoja nasi, mbona mambo haya yote yametupata? Yako wapi matendo yake ya ajabu, waliyotuhadithia baba zetu, wakisema, Je! Siye BWANA, aliyetuleta huku kutoka Misri? Ila sasa ametutupa, naye ametutia katika mikono ya Midiani. . [14]BWANA akamtazama, akasema, Enenda kwa uwezo wako huu, ukawaokoe Israeli na mkono wa Midiani. Je! Si mimi ninayekutuma? Ko kumbe tunaona kuwa haijalishi uko katika kiindi gani muhimu ni kujua kuwa Mungu yu pamoja nawe na anakusudi na wewe katikati hata ya magumu hayo. Ahsante sana naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden) #build new eden #restore men position
    Angry
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·715 Visualizações
  • 8/21 NGUVU YA MSAMAHA.

    Msamaha si tukio la kimwili bali ni tukio la kiroho .

    Mungu mwenyewe ndo mwenye asili ya msamaha hivyo basi kukosa ndo tabia ya mwanadamu lakini kusamehe ni tabia ya mungu mwenyewe.
    Efeso 4:32 BHN
    *Muwe na moyo mwema na wenye kuhurumiana; kila mmoja na amsamehe mwenzake kama naye Mungu alivyowasamehe*

    Moja y ishara inayo thibitisha upendo wetu kwa Mungu ni msamaha ,tunasamehe ili tumuone Mungu katika namna ya upendo wake .

    Lawi 19:18
    *Usifanye kisasi, wala kuwa na kinyongo juu ya wana wa watu wako; bali umpende jirani yako kama nafsi yako; Mimi ndimi BWANA.*

    *Kumbe msamaha uashiria upendo na upendo ni Amri kuu ambayo Mungu alituachia ya kuwa yatupasa pendana*

    *Atusamehe ili tumnufaishe aliye tukosea tunasamehe ili tumuone Mungu katika maisha yetu*

    Kwanini tunasamehe.

    1.kusamehe kuna kupa fursa ya kusamehewa makosa yako
    Mathayo 6:12 *Na utusamehe makosa yetu kama sisi tulivyokwisha kuwa samehe waliotukosea*

    2.kusamehe kunakupa fursa ya kusikilizwa maombi yako .
    Isaya 59:1-2

    Kumbe ili kusamehewa na Mungu wetu ni lazima wewe usamehe pia.

    3.kusamehe kunaweza saidia kufungua mlango wa sadaka ili ipate kibali.
    Mathayo 5:23-24

    4.Msamaha ni mlango wa uponyaji wako .yakobo5:14-15

    5.Msamaha ni mlango wa baraka katika maisha yako
    mwanzo 37:23-27

    6.Msamaha ni mlango wa wokovu kwa watu wengine.
    Luka 23:33-34
    Rumi 12:14

    Ko kumbe ukitizama vizuri tunasamehe kwa ajiri ya kutimiza kusudi lake Mungu wetu.

    *Jifunze kusamehe ili utumiwe na Mungu na kusikilizwa haja zako.*

    Ahsante naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden)

    #build new eden
    #Restoremenposition
    8/21 NGUVU YA MSAMAHA. Msamaha si tukio la kimwili bali ni tukio la kiroho . Mungu mwenyewe ndo mwenye asili ya msamaha hivyo basi kukosa ndo tabia ya mwanadamu lakini kusamehe ni tabia ya mungu mwenyewe. Efeso 4:32 BHN *Muwe na moyo mwema na wenye kuhurumiana; kila mmoja na amsamehe mwenzake kama naye Mungu alivyowasamehe* Moja y ishara inayo thibitisha upendo wetu kwa Mungu ni msamaha ,tunasamehe ili tumuone Mungu katika namna ya upendo wake . Lawi 19:18 *Usifanye kisasi, wala kuwa na kinyongo juu ya wana wa watu wako; bali umpende jirani yako kama nafsi yako; Mimi ndimi BWANA.* *Kumbe msamaha uashiria upendo na upendo ni Amri kuu ambayo Mungu alituachia ya kuwa yatupasa pendana* *Atusamehe ili tumnufaishe aliye tukosea tunasamehe ili tumuone Mungu katika maisha yetu* Kwanini tunasamehe. 1.kusamehe kuna kupa fursa ya kusamehewa makosa yako Mathayo 6:12 *Na utusamehe makosa yetu kama sisi tulivyokwisha kuwa samehe waliotukosea* 2.kusamehe kunakupa fursa ya kusikilizwa maombi yako . Isaya 59:1-2 Kumbe ili kusamehewa na Mungu wetu ni lazima wewe usamehe pia. 3.kusamehe kunaweza saidia kufungua mlango wa sadaka ili ipate kibali. Mathayo 5:23-24 4.Msamaha ni mlango wa uponyaji wako .yakobo5:14-15 5.Msamaha ni mlango wa baraka katika maisha yako mwanzo 37:23-27 6.Msamaha ni mlango wa wokovu kwa watu wengine. Luka 23:33-34 Rumi 12:14 Ko kumbe ukitizama vizuri tunasamehe kwa ajiri ya kutimiza kusudi lake Mungu wetu. *Jifunze kusamehe ili utumiwe na Mungu na kusikilizwa haja zako.* Ahsante naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden) #build new eden #Restoremenposition
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·691 Visualizações
  • 1/21
    MAOMBI YENYE TIJA MBELE ZA MUNGU.

    tuanze kwa kujua nini maana ya maombi.

    Maombi ni mazungumzo kati ya mtu aliye okoka na Mungu wake .
    Isaya 1:18.
    Haya, *njoni, tusemezane, asema BWANA*. Dhambi zenu zijapokuwa nyekundu sana, zitakuwa nyeupe kama theluji; zijapokuwa nyekundu kama damu, zitakuwa kama sufu.

    Maombi ni hali ya kuhitaji kupeleka mahitaji yetu mbele za bwana.
    Filip 4:6
    6 Msifadhaike juu ya jambo lo lote; lakini katika kila jambo mjulisheni Mungu haja zenu, kwa kusali na kuomba pamoja na kushukuru.

    Maombi ndiyo kibali kinacho mpa Mungu nafasi ya kuingilia kati mambo ya watoto wake.

    Mathayo 7:7-8
    *“Ombeni, nanyi mtapewa; tafuteni, nanyi mtapata; bisheni mlango, nanyi mtafunguliwa. Maana, yeyote aombaye hupewa, atafutaye hupata, na abishaye mlango hufunguliwa.*

    Maombi ni vita .

    Efeso 6:10-12
    Kwa maana kushindana kwetu sisi si juu ya damu na nyama; bali ni juu ya falme na mamlaka, juu ya wakuu wa giza hili, juu ya majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho.

    Maombi pia ni ibada .
    Zaburi 42:1-3

    Maombi yanayo jibiwa ni maombi yanayo ambatana na neno la Mungu.

    Mungu anapo jibu maombi anajibu neno lake siyo wewe unasema nini.

    Ili maombi yako yajibiwe lazima uwe na uhakika naye unaye muomba .

    Warumi 10:17
    *Imani chanzo chake ni kusikia ,na kusikia huja kwa neno la kristo.

    Kiwango chako cha kuliamini neno ndicho kinacho amua aina ya majibu unayo yataka.

    Natamani unavyo ingia msimu mpya uombe kama mtu wa mbinguni kwa kila ombi kumkumbusha Mungu neno lake.

    Mfano.
    Unataka kufanikiwa mkumbushe mungu kuwa kwa neno lako umesema madamu muda wa kupanda udumupo wakati wa kuvuna hauta koma.

    Au kwa neno lako *umesema sinta kuwa mkia nitakuwa kichwa*
    Ndipo anza kuingiza haja yako .

    Au kwa neno lako *umesema nitabarikiwa mjini nitabarikiwa shambani* ndipo uendelee na haja zako.

    Ili umpendeze Mungu lazima uwe na neno lake .
    Ebrania 11:6

    Mungu hawezi kwenda kinyume na neno lake hiyo ndiyo sababu ya kuomba kwa neno lake.
    Ebrania 6:16-17
    Yeremia 1:12

    Mungu alimwambia yeremia umenena vema kwa maana mimi Bwana naangalia neno langu hili nitimize.
    Natumaini maombi yetu leo yataongozwa na neno la Mungu.
    #build new eden
    1/21 MAOMBI YENYE TIJA MBELE ZA MUNGU. tuanze kwa kujua nini maana ya maombi. Maombi ni mazungumzo kati ya mtu aliye okoka na Mungu wake . Isaya 1:18. Haya, *njoni, tusemezane, asema BWANA*. Dhambi zenu zijapokuwa nyekundu sana, zitakuwa nyeupe kama theluji; zijapokuwa nyekundu kama damu, zitakuwa kama sufu. Maombi ni hali ya kuhitaji kupeleka mahitaji yetu mbele za bwana. Filip 4:6 6 Msifadhaike juu ya jambo lo lote; lakini katika kila jambo mjulisheni Mungu haja zenu, kwa kusali na kuomba pamoja na kushukuru. Maombi ndiyo kibali kinacho mpa Mungu nafasi ya kuingilia kati mambo ya watoto wake. Mathayo 7:7-8 *“Ombeni, nanyi mtapewa; tafuteni, nanyi mtapata; bisheni mlango, nanyi mtafunguliwa. Maana, yeyote aombaye hupewa, atafutaye hupata, na abishaye mlango hufunguliwa.* Maombi ni vita . Efeso 6:10-12 Kwa maana kushindana kwetu sisi si juu ya damu na nyama; bali ni juu ya falme na mamlaka, juu ya wakuu wa giza hili, juu ya majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho. Maombi pia ni ibada . Zaburi 42:1-3 Maombi yanayo jibiwa ni maombi yanayo ambatana na neno la Mungu. Mungu anapo jibu maombi anajibu neno lake siyo wewe unasema nini. Ili maombi yako yajibiwe lazima uwe na uhakika naye unaye muomba . Warumi 10:17 *Imani chanzo chake ni kusikia ,na kusikia huja kwa neno la kristo. Kiwango chako cha kuliamini neno ndicho kinacho amua aina ya majibu unayo yataka. Natamani unavyo ingia msimu mpya uombe kama mtu wa mbinguni kwa kila ombi kumkumbusha Mungu neno lake. Mfano. Unataka kufanikiwa mkumbushe mungu kuwa kwa neno lako umesema madamu muda wa kupanda udumupo wakati wa kuvuna hauta koma. Au kwa neno lako *umesema sinta kuwa mkia nitakuwa kichwa* Ndipo anza kuingiza haja yako . Au kwa neno lako *umesema nitabarikiwa mjini nitabarikiwa shambani* ndipo uendelee na haja zako. Ili umpendeze Mungu lazima uwe na neno lake . Ebrania 11:6 Mungu hawezi kwenda kinyume na neno lake hiyo ndiyo sababu ya kuomba kwa neno lake. Ebrania 6:16-17 Yeremia 1:12 Mungu alimwambia yeremia umenena vema kwa maana mimi Bwana naangalia neno langu hili nitimize. Natumaini maombi yetu leo yataongozwa na neno la Mungu. #build new eden
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·783 Visualizações
  • UTAPATA TENA - BARUA KWA MOYO WAKO ULIOCHOKA

    Labda sio leo. Labda si kesho. Lakini siku moja, utaamka, na uzito katika kifua chako utakuwa nyepesi kidogo.
    Maumivu yanayong’ang’ania nafsi yako, maumivu hayo tulivu unayoyabeba hata katikati ya kicheko—Hayatatoweka mara moja. Lakini polepole, kwa upole, itaanza kufifia. Na ukimya unaohisi kuwa unakumeza mzima sasa hivi? Itageuka kuwa mahali ambapo amani huanza kunong'ona tena.
    Hivi sasa, inaweza kuhisi kama unazama katika vita visivyoonekana. Kama vile unajitokeza kwa ajili ya ulimwengu kwa tabasamu lililopakwa rangi huku moyo wako ukitoweka nyuma ya pazia. Lakini hata hapa, katika machafuko haya, uponyaji umeanza.
    Huenda huioni bado— Lakini ni kwa jinsi unavyoinuka kitandani wakati ingekuwa rahisi kujikunja. Ni kwa njia ambayo bado unajaribu, bado unatumaini, bado unapumua- Hata wakati kila kitu kinahisi kuwa kizito.
    Si lazima kuwa na yote kufikiriwa nje. Huna haja ya kuwa na nguvu kila wakati. Kulia haimaanishi kuwa wewe ni dhaifu. Kuhitaji nafasi hakukufanyi kuwa mzigo. Kuvunjika hakukufanyi kuvunjika.
    Wewe ni binadamu. Na uponyaji sio njia moja kwa moja - ni mbaya. Ni nyuma na kando. Ni kicheko katika pumzi moja na machozi katika inayofuata.
    Siku kadhaa, utahisi kama umefika upande mwingine. Na siku kadhaa, itahisi kama umerudi mwanzoni. Lakini hujashindwa. Huo ni mdundo tu wa kupona- Lugha ya ustahimilivu.
    Utapata njia yako ya kurudi kwako - kwa toleo lako ambalo halifafanuliwa na maumivu, lakini linaloundwa nayo. Mwenye hekima zaidi. Laini zaidi. Nguvu zaidi. Sio licha ya yale ambayo umepitia, Lakini kwa sababu yake.
    Siku moja, utaona jua likiangaza kupitia nyufa za roho yako, Na utambue kuwa linahisi joto tena. Utasikia wimbo na kutetemeka, Na utambue uzito wa kifua chako sio mkubwa. Utakutana na tafakari yako kwa wema, Sio ukosoaji.
    Na siku hiyo ikija - Utatabasamu. Kwa sababu utajua: Uliokoka. Umepona. Umefanikiwa.
    Kwa hivyo shikilia. Ichukue dakika moja baada ya nyingine. Sio lazima kuharakisha. Sio lazima kujifanya uko sawa wakati hauko sawa. Lazima tu uendelee.

    Hata kama ni kupumua tu.

    Hata kama ni kuishi tu.

    Kwa sababu utakuwa sawa tena.

    Na siku moja, utakuwa sawa - utakuwa mzima.

    #UponyajiSiyo Mstari ##KutokaMaumivuKwendaAmani #
    UTAPATA TENA - BARUA KWA MOYO WAKO ULIOCHOKA Labda sio leo. Labda si kesho. Lakini siku moja, utaamka, na uzito katika kifua chako utakuwa nyepesi kidogo. Maumivu yanayong’ang’ania nafsi yako, maumivu hayo tulivu unayoyabeba hata katikati ya kicheko—Hayatatoweka mara moja. Lakini polepole, kwa upole, itaanza kufifia. Na ukimya unaohisi kuwa unakumeza mzima sasa hivi? Itageuka kuwa mahali ambapo amani huanza kunong'ona tena. Hivi sasa, inaweza kuhisi kama unazama katika vita visivyoonekana. Kama vile unajitokeza kwa ajili ya ulimwengu kwa tabasamu lililopakwa rangi huku moyo wako ukitoweka nyuma ya pazia. Lakini hata hapa, katika machafuko haya, uponyaji umeanza. Huenda huioni bado— Lakini ni kwa jinsi unavyoinuka kitandani wakati ingekuwa rahisi kujikunja. Ni kwa njia ambayo bado unajaribu, bado unatumaini, bado unapumua- Hata wakati kila kitu kinahisi kuwa kizito. Si lazima kuwa na yote kufikiriwa nje. Huna haja ya kuwa na nguvu kila wakati. Kulia haimaanishi kuwa wewe ni dhaifu. Kuhitaji nafasi hakukufanyi kuwa mzigo. Kuvunjika hakukufanyi kuvunjika. Wewe ni binadamu. Na uponyaji sio njia moja kwa moja - ni mbaya. Ni nyuma na kando. Ni kicheko katika pumzi moja na machozi katika inayofuata. Siku kadhaa, utahisi kama umefika upande mwingine. Na siku kadhaa, itahisi kama umerudi mwanzoni. Lakini hujashindwa. Huo ni mdundo tu wa kupona- Lugha ya ustahimilivu. Utapata njia yako ya kurudi kwako - kwa toleo lako ambalo halifafanuliwa na maumivu, lakini linaloundwa nayo. Mwenye hekima zaidi. Laini zaidi. Nguvu zaidi. Sio licha ya yale ambayo umepitia, Lakini kwa sababu yake. Siku moja, utaona jua likiangaza kupitia nyufa za roho yako, Na utambue kuwa linahisi joto tena. Utasikia wimbo na kutetemeka, Na utambue uzito wa kifua chako sio mkubwa. Utakutana na tafakari yako kwa wema, Sio ukosoaji. Na siku hiyo ikija - Utatabasamu. Kwa sababu utajua: Uliokoka. Umepona. Umefanikiwa. Kwa hivyo shikilia. Ichukue dakika moja baada ya nyingine. Sio lazima kuharakisha. Sio lazima kujifanya uko sawa wakati hauko sawa. Lazima tu uendelee. Hata kama ni kupumua tu. Hata kama ni kuishi tu. Kwa sababu utakuwa sawa tena. Na siku moja, utakuwa sawa - utakuwa mzima. #UponyajiSiyo Mstari ##KutokaMaumivuKwendaAmani #
    Love
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·763 Visualizações
  • KUWA KWENYE UHUSIANO NA MWANAUME MWENYE KAZI NGUMU

    Kuwa na mwanamume mchapakazi si jambo la kukata tamaa.
    Ni kwa ajili ya mwanamke ambaye anaelewa kwamba upendo hauji kila wakati na waridi na mashairi -
    Wakati mwingine, huja na usiku wa manane, macho yenye uchovu, na mikono iliyochoshwa na jukumu.
    Hawezi kuwa na saa za kutumia simu kila wakati au jioni ndefu za kimapenzi zilizopangwa,
    Sio kwa sababu hajali ...
    Lakini kwa sababu yuko huko akijenga siku zijazo - kwa ajili yako.
    Kwa nyinyi wawili.
    Mwanaume mwenye bidii hawezi kujibu mara moja,
    Lakini ukimya wake mara nyingi huzungumza juu ya dhabihu.
    Ni katika zamu hizo ndefu, saa za ziada, mapumziko yaliyoruka -
    Hapo ndipo upendo wake unaishi.
    Na ndio, kutakuwa na siku ambazo nishati yake pekee itatumika kurudi nyumbani,
    Kumbusu usiku mwema, na kugonga kitandani
    Ili tu kuamka na kuifanya tena.
    Lakini kamwe usichanganye uchovu na kutojali.
    Kamwe usichanganye utulivu na umbali.
    Kwa sababu uaminifu wake hauvai suti kila wakati na kuzungumza kwa maua -
    Wakati mwingine huvaa buti zilizovaliwa, mashati yenye rangi, na macho ambayo ndoto ya kukupa kila kitu.
    Ikiwa una mwanaume mwenye bidii,
    Mthamini.
    Ongea lugha yake ya upendo - uvumilivu, imani, kutia moyo.
    Simama karibu naye, sio nyuma yake -
    Mshangilie, sio kumshinikiza -
    Muunge mkono, usimdharau.
    Kwa sababu nyuma ya kila familia yenye nguvu, salama, na yenye mafanikio
    Ni mtu aliyeinuka kabla ya jua
    Na ilifanya kazi hadi ilipowekwa -
    Sio kwa pesa tu,
    Lakini kwa maisha aliyokuahidi.
    Basi hapa ni kwa wanaume wanaobeba uzito wa dunia mabegani mwao,
    Na wanawake wenye uwezo wa kutembea nao kwa neema.
    Kufanya kazi kwa bidii ni lugha yake ya upendo.
    Na ikiwa unasikiliza kwa makini -
    Utasikia "nakupenda"
    Katika kila juhudi anazofanya.

    #WeweNdiweMaishaYangu # #UmejengwaKwaSadaka# #UpendoHalisi Huzungumza Kwa Utulivu #
    KUWA KWENYE UHUSIANO NA MWANAUME MWENYE KAZI NGUMU Kuwa na mwanamume mchapakazi si jambo la kukata tamaa. Ni kwa ajili ya mwanamke ambaye anaelewa kwamba upendo hauji kila wakati na waridi na mashairi - Wakati mwingine, huja na usiku wa manane, macho yenye uchovu, na mikono iliyochoshwa na jukumu. Hawezi kuwa na saa za kutumia simu kila wakati au jioni ndefu za kimapenzi zilizopangwa, Sio kwa sababu hajali ... Lakini kwa sababu yuko huko akijenga siku zijazo - kwa ajili yako. Kwa nyinyi wawili. Mwanaume mwenye bidii hawezi kujibu mara moja, Lakini ukimya wake mara nyingi huzungumza juu ya dhabihu. Ni katika zamu hizo ndefu, saa za ziada, mapumziko yaliyoruka - Hapo ndipo upendo wake unaishi. Na ndio, kutakuwa na siku ambazo nishati yake pekee itatumika kurudi nyumbani, Kumbusu usiku mwema, na kugonga kitandani Ili tu kuamka na kuifanya tena. Lakini kamwe usichanganye uchovu na kutojali. Kamwe usichanganye utulivu na umbali. Kwa sababu uaminifu wake hauvai suti kila wakati na kuzungumza kwa maua - Wakati mwingine huvaa buti zilizovaliwa, mashati yenye rangi, na macho ambayo ndoto ya kukupa kila kitu. Ikiwa una mwanaume mwenye bidii, Mthamini. Ongea lugha yake ya upendo - uvumilivu, imani, kutia moyo. Simama karibu naye, sio nyuma yake - Mshangilie, sio kumshinikiza - Muunge mkono, usimdharau. Kwa sababu nyuma ya kila familia yenye nguvu, salama, na yenye mafanikio Ni mtu aliyeinuka kabla ya jua Na ilifanya kazi hadi ilipowekwa - Sio kwa pesa tu, Lakini kwa maisha aliyokuahidi. Basi hapa ni kwa wanaume wanaobeba uzito wa dunia mabegani mwao, Na wanawake wenye uwezo wa kutembea nao kwa neema. Kufanya kazi kwa bidii ni lugha yake ya upendo. Na ikiwa unasikiliza kwa makini - Utasikia "nakupenda" Katika kila juhudi anazofanya. #WeweNdiweMaishaYangu # #UmejengwaKwaSadaka# #UpendoHalisi Huzungumza Kwa Utulivu #
    Love
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·866 Visualizações
  • Msemaji wa klabu ya Yanga SC, Ali Kamwe alikamatwa na Jeshi Polisi baada ya mchezo wao dhidi ya klabu ya Tabora United majira ya saa saba na nusu usiku wa kuamkia leo hii. Ali Kamwe alipelekwa kituo kikubwa cha Polisi cha Mkoa na amelala ndani hapo na hadi sasa bado hajaachiwa.

    Viongozi wa Yanga SC bado wanaendelea kufanya jitihada za kumtoa Ali Kamwe hapo haijawekwa bayana makosa aliyoyafanya Msemaji huyo. Taarifa iliyopo ni kuwa, inadaiwa Ali Kamwe alitoa kauli isiyokuwa nzuri kipindi anamjibu Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Paul Chacha kabla ya mechi kama sehemu ya utani baada ya Mkuu huyo kutoa ahadi ya Shilingi milioni sitini (60) endapo klabu ya Tabora United ikimfunga Yanga SC ambapo mchezo ulimalizika kwa ushindi wa Yanga SC wa mabao matatu kwa bila (0-3).

    Msemaji wa klabu ya Yanga SC, Ali Kamwe alikamatwa na Jeshi Polisi baada ya mchezo wao dhidi ya klabu ya Tabora United majira ya saa saba na nusu usiku wa kuamkia leo hii. Ali Kamwe alipelekwa kituo kikubwa cha Polisi cha Mkoa na amelala ndani hapo na hadi sasa bado hajaachiwa. Viongozi wa Yanga SC bado wanaendelea kufanya jitihada za kumtoa Ali Kamwe hapo haijawekwa bayana makosa aliyoyafanya Msemaji huyo. Taarifa iliyopo ni kuwa, inadaiwa Ali Kamwe alitoa kauli isiyokuwa nzuri kipindi anamjibu Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Paul Chacha kabla ya mechi kama sehemu ya utani baada ya Mkuu huyo kutoa ahadi ya Shilingi milioni sitini (60) endapo klabu ya Tabora United ikimfunga Yanga SC ambapo mchezo ulimalizika kwa ushindi wa Yanga SC wa mabao matatu kwa bila (0-3).
    Like
    Wow
    2
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·600 Visualizações
  • "Najisikia vibaya namna watu wanavyoniona na kuanza kuniita Yesu, wanafikia hata kutundika picha zangu katika nyumba zao, mimi ni mwigizaji tu, mimi ni mtu" - Jonathan Roumie(50), mwigizaji wa Marekani

    Aidha, Jonathan Roumie katika mahojiano amesema maisha yake binafsi alikuwa na hali mbaya kiuchumi hakuwa na uhakika siku inayofuata atakula nini, alikuwa mwigizaji ila kiuchumi alikuwa bado hajafanikiwa. Baada ya mambo kuzidi kuwa magumu siku moja ni kama alikuwa anamuomba Mungu kuhusu hali anayopitia ili mambo yake yakae sawa

    Baada ya miezi kama mitatu ndio akapata nafasi ya kuigiza kama Yesu katika series ya "The Chosen" iliyoanza kuoneshwa 2017 ambayo imejipatia umaarufu mkubwa sana hadi sasa imetazamwa na watu zaidi ya milioni 250 na misimu mipya inafuata huku ikipongezwa kwa kinachoonekana kuigizwa

    Umaarufu wa uhusika wake kama Yesu umempa umaarufu mkubwa na fursa nyingi ikiwemo katika mikutano na makongamano makubwa ya kidini na app za dini ya kikiristo

    Jonathan ambaye ni mkatoliki, alipoulizwa na New York Times, je ni tukio gani gumu analokumbuka ambalo alishakutana nalo baada ya kuigiza kama Yesu, amejibu kwa kusema kuna kipindi alikuwa katika mkutano kwenye uwanja wenye watu takribani 40,000 baadaye alishuka stejini akaenda kwenye chumba fulani uwanjani hapo, mmoja wa walinzi alikuja akamwambia nje kuna mwanamke ana mtoto kwenye kiti cha magurudumu anaomba kusalimiana na wewe

    Jonathan alitoka akaonana na mwanamke husika na mwanae ambaye kwa ufupi alieleza jinsi Yesu alivyoponya mtu katika hiyo series ya "The Chosen" na kusema angependa mwanae pia apone yaani akimtaka Jonathan amponye mtoto wake. Ilibidi Jonathan amueleze ukweli kwamba yeye sio mponyaji wala mhubiri bali ni mwigizaji tu.

    Jonathan akamueleza wafanye maombi wote ilichukua kama dakika moja, walipomaliza maombi wakafurahi na kushukuru kisha Jonathan akarudi alipokuwa huku akitokwa na machozi akihisi amewaangusha matarajio waliyokuwa nayo kwake ila amesema ni bora waujue ukweli kuwa yeye sio Yesu wala mponyaji bali ni mwigizaji tu

    Ukiacha hayo ya uhusika wake wa Yesu na dini, Jonathan Roumie amegusia pia kwamba alishafika Tanzania na Rwanda sababu kuna watoto kadhaa wanaoishi katika mazingira magumu huwa anawasaidia na familia zao

    Jonathan Roumie pia ameweka wazi kwamba anatamani watu pia wawe wanamuona katika nyuma ya pazia(behind the scene) anayopitia katika kujiandaa na uigizaji wake kama Yesu ili watu wengine waelewe wajue kumtofautisha katika maisha halisi na kisanaa

    KUMBUKA, zipo filamu nyingine miaka ya nyuma kuhusu Yesu zilizohusisha waigizaji wengine kabla ya sasa Jonathan Roumie kupata umaarufu na uhusika wa Yesu katika series maarufu ya "The Chosen"
    (Swahili Word)

    "Najisikia vibaya namna watu wanavyoniona na kuanza kuniita Yesu, wanafikia hata kutundika picha zangu katika nyumba zao, mimi ni mwigizaji tu, mimi ni mtu" - Jonathan Roumie(50), mwigizaji wa Marekani Aidha, Jonathan Roumie katika mahojiano amesema maisha yake binafsi alikuwa na hali mbaya kiuchumi hakuwa na uhakika siku inayofuata atakula nini, alikuwa mwigizaji ila kiuchumi alikuwa bado hajafanikiwa. Baada ya mambo kuzidi kuwa magumu siku moja ni kama alikuwa anamuomba Mungu kuhusu hali anayopitia ili mambo yake yakae sawa Baada ya miezi kama mitatu ndio akapata nafasi ya kuigiza kama Yesu katika series ya "The Chosen" iliyoanza kuoneshwa 2017 ambayo imejipatia umaarufu mkubwa sana hadi sasa imetazamwa na watu zaidi ya milioni 250 na misimu mipya inafuata huku ikipongezwa kwa kinachoonekana kuigizwa Umaarufu wa uhusika wake kama Yesu umempa umaarufu mkubwa na fursa nyingi ikiwemo katika mikutano na makongamano makubwa ya kidini na app za dini ya kikiristo Jonathan ambaye ni mkatoliki, alipoulizwa na New York Times, je ni tukio gani gumu analokumbuka ambalo alishakutana nalo baada ya kuigiza kama Yesu, amejibu kwa kusema kuna kipindi alikuwa katika mkutano kwenye uwanja wenye watu takribani 40,000 baadaye alishuka stejini akaenda kwenye chumba fulani uwanjani hapo, mmoja wa walinzi alikuja akamwambia nje kuna mwanamke ana mtoto kwenye kiti cha magurudumu anaomba kusalimiana na wewe Jonathan alitoka akaonana na mwanamke husika na mwanae ambaye kwa ufupi alieleza jinsi Yesu alivyoponya mtu katika hiyo series ya "The Chosen" na kusema angependa mwanae pia apone yaani akimtaka Jonathan amponye mtoto wake. Ilibidi Jonathan amueleze ukweli kwamba yeye sio mponyaji wala mhubiri bali ni mwigizaji tu. Jonathan akamueleza wafanye maombi wote ilichukua kama dakika moja, walipomaliza maombi wakafurahi na kushukuru kisha Jonathan akarudi alipokuwa huku akitokwa na machozi akihisi amewaangusha matarajio waliyokuwa nayo kwake ila amesema ni bora waujue ukweli kuwa yeye sio Yesu wala mponyaji bali ni mwigizaji tu Ukiacha hayo ya uhusika wake wa Yesu na dini, Jonathan Roumie amegusia pia kwamba alishafika Tanzania na Rwanda sababu kuna watoto kadhaa wanaoishi katika mazingira magumu huwa anawasaidia na familia zao Jonathan Roumie pia ameweka wazi kwamba anatamani watu pia wawe wanamuona katika nyuma ya pazia(behind the scene) anayopitia katika kujiandaa na uigizaji wake kama Yesu ili watu wengine waelewe wajue kumtofautisha katika maisha halisi na kisanaa KUMBUKA, zipo filamu nyingine miaka ya nyuma kuhusu Yesu zilizohusisha waigizaji wengine kabla ya sasa Jonathan Roumie kupata umaarufu na uhusika wa Yesu katika series maarufu ya "The Chosen" (Swahili Word)
    Love
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·1K Visualizações
  • SIFA ZA WANAUME WENYE THAMANI KUBWA [ HIGH VALUE MEN ].

    Kama mwanaume wako ana sifa zifuatazo basi jua una mwanaume mwenye thamani kubwa sana, na mwanaume mwenye thamani kubwa maana yake ni mwanaume bora.

    1. Hazoeleki kiurahisi.
    Moja ya sifa za wanaume wenye thamani kubwa ni wao kutozoeleka kiurahisi, hadi kumzoea mtu wa aina hii ni lazima uwe na sababu maalumu.

    2. Wana roho nzuri ila wana maamuzi magumu sana.
    Siku zote watu wa aina hii huwa na roho nzuri sana, huwa na huruma lakini wapo vizuri kufanya maamuzi mazito pale inapobidi.

    3. Haishi maisha ya kuigiza.
    Siku zote huishi maisha yake halisi, haigizi maisha.

    4. Anajua vitu vingi.
    Watu wa aina hii huwa na uelewa wa vitu vingi sana, ni ngumu kumuuliza kitu fulani akawa hakijui kabisa.

    5. Anasimamia mipango yake bila kuyumbishwa.
    Akishaamua kufanya kitu huwa hayumbishwi tena, haijalishi anaambiwa na nani, kama anahisi ni muhimu kwake kukitekeleza basi atafanya kwa vyovyote vile.

    6. Haoni shida kuanza upya.
    Ni watu wepesi sana kuamua kuanza upya, kama ni mahusiano yakilegalega ni rahisi tu kuachana nayo na kuanza upya, kwenye chochote kile kama hakiende sawa huamua kuanza upya.

    7. Jasiri sana.
    Hawa huwa hawaogopi kitu, ni majasiri kwenye kila kitu, wanajiamini sana.

    8. Hawapendi mikopo.
    Huwa hawapendi mikopo na hawapendi watu wanaopenda mikopo pia.

    9. Hana cha kuongea na x wake.
    Kama hajazaa nae huwezi kumkuna ana muda na x wake, yakiisha yameisha kweli.

    10. Hawezi kuwa chawa.
    Huwezi kumkuta anatafuta ukaribu na mtu mwenye pesa au maarufu.

    11. Huwa hana cha kujadili na mwanamke msaliti.
    Huyu ni mtu ambaye ukimsaliti basi kwa asilimia kubwa hayo mahusiano yanavunjika.

    12. Hababaishwi na muonekano wa mwanamke au ufundi wake kitandani.
    Haijalishi wewe ni mrembo kiasi gani, haijalishi wewe ni fundi kitandani kwa kiasi gani, yeye ni mtu ambaye hababaishwi na vitu hivyo, kwa kifupi huwezi kumuendesha kwa uzuri wako.

    13. Haoni shida kuondoka.
    Iwe ni kazini wakimzingua ataacha hiyo kazi, iwe kwenye mahusiano ukimzingua ataondoka, kwa kifupi anapenda vitu vilivyonyooka, hataki longo longo.

    14. Hapendi mwanamke mwenye drama, mapicha picha mengi.
    Watu hawa huhitaji wanawake wanaojitambua na wasio na mambo mengi, yani hawataki mapicha picha kwenye mahusiano.

    15. Mwanamke ukikosea atakuwajibisha.
    Hawafumbii macho mambo, ukikosea atakuchana live kabisa bila kupepesa macho.

    16. Wanajiamini sana.
    Sababu ya kujiamini ni kwakuwa wanajua vitu vingi, wanajua kipi sahihi na kipi sio sahihi.

    17. Hawaoni shida kuwa wenyewe.
    Uwezo wao wa kuishi wenyewe bila kuhisi upweke ni mkubwa sana.

    18. Hapendi uonevu.
    Huweza kumsaidia hata mtu asiyemjua pale tu anapohisi mtu huyo anaonewa.

    19. Kwenye mahusiano sio watoaji sana ila atahakikisha anakupa mahitaji yako ya msingi.
    Huwa hawapendi kutoa toa hela bila mpangilio, na hii ni kutokana na mipango yao katika maisha, ila siku zote atajitahidi kukupa mahitaji yako muhimu.

    20. Huwa hawapo romantic.
    Hawa ni wanaume ambao wanalalamikiwa sana kwenye mahusiano, hawapo romantic ila ni wanaume bora sana, hasa kwenye kulea familia.

    21. Wana huruma sana.
    Muda pekee utakaojua wana huruma ni pale utakapokuwa na shida, kama ni mwanamke wake ni pale utakapokuwa unaumwa au unapitia jambo lolote gumu, hawa ni wanaume ambao wana uwezo wa kupika, kufua, kuogesha watoto, kulisha na kufanya kila kitu kuhakikisha wanakusaidia.

    22. Sio waongeaji sana.
    Moja ya sifa yao kuu ni ukimya, muda mwingi wanahitaji kuwa kimya wakifanya mambo yao, ukiwa mwanamke muongeaji sana muda mwingi atautumia kutabasamu unavyoongea na kukujibu kwa kifupi, na mara nyingi hunyamaza bila kujibu kama hiko ulichoongea atakiona hakina maana yoyote.

    23. Hana marafiki wengi.
    Tafiti zinaonyesha watu hawa huwa hawana marafiki wengi, wanachagua sana marafiki.

    24. Hupenda kukataza na kuonya mara nyingi.
    Kwa mwanamke ukiwa na mwanaume wa namna hii, jiandae kukutazwa na kupata maonyo kwa wingi, lakini jambo zuri kuhusu hilo huwa wanakukataza au kukuonya kwa jambo ambalo linaweza kukuletea shida. Mara nyingi ukifatilia vitu anavyokukutaza au kukuonya utagundua vitakuletea shida huko mbele.

    25. Anajua vitu vingi kukuhusu kuliko unavyodhani.
    Uwezo wao wa kukutafiti ni mkubwa mno, anajua mambo mengi kukuhusu ila hawezi kukwambia, na siku akikwambia utashangaa alijua lini? Na alijuaje?
    SIFA ZA WANAUME WENYE THAMANI KUBWA [ HIGH VALUE MEN ]. Kama mwanaume wako ana sifa zifuatazo basi jua una mwanaume mwenye thamani kubwa sana, na mwanaume mwenye thamani kubwa maana yake ni mwanaume bora. 1. Hazoeleki kiurahisi. Moja ya sifa za wanaume wenye thamani kubwa ni wao kutozoeleka kiurahisi, hadi kumzoea mtu wa aina hii ni lazima uwe na sababu maalumu. 2. Wana roho nzuri ila wana maamuzi magumu sana. Siku zote watu wa aina hii huwa na roho nzuri sana, huwa na huruma lakini wapo vizuri kufanya maamuzi mazito pale inapobidi. 3. Haishi maisha ya kuigiza. Siku zote huishi maisha yake halisi, haigizi maisha. 4. Anajua vitu vingi. Watu wa aina hii huwa na uelewa wa vitu vingi sana, ni ngumu kumuuliza kitu fulani akawa hakijui kabisa. 5. Anasimamia mipango yake bila kuyumbishwa. Akishaamua kufanya kitu huwa hayumbishwi tena, haijalishi anaambiwa na nani, kama anahisi ni muhimu kwake kukitekeleza basi atafanya kwa vyovyote vile. 6. Haoni shida kuanza upya. Ni watu wepesi sana kuamua kuanza upya, kama ni mahusiano yakilegalega ni rahisi tu kuachana nayo na kuanza upya, kwenye chochote kile kama hakiende sawa huamua kuanza upya. 7. Jasiri sana. Hawa huwa hawaogopi kitu, ni majasiri kwenye kila kitu, wanajiamini sana. 8. Hawapendi mikopo. Huwa hawapendi mikopo na hawapendi watu wanaopenda mikopo pia. 9. Hana cha kuongea na x wake. Kama hajazaa nae huwezi kumkuna ana muda na x wake, yakiisha yameisha kweli. 10. Hawezi kuwa chawa. Huwezi kumkuta anatafuta ukaribu na mtu mwenye pesa au maarufu. 11. Huwa hana cha kujadili na mwanamke msaliti. Huyu ni mtu ambaye ukimsaliti basi kwa asilimia kubwa hayo mahusiano yanavunjika. 12. Hababaishwi na muonekano wa mwanamke au ufundi wake kitandani. Haijalishi wewe ni mrembo kiasi gani, haijalishi wewe ni fundi kitandani kwa kiasi gani, yeye ni mtu ambaye hababaishwi na vitu hivyo, kwa kifupi huwezi kumuendesha kwa uzuri wako. 13. Haoni shida kuondoka. Iwe ni kazini wakimzingua ataacha hiyo kazi, iwe kwenye mahusiano ukimzingua ataondoka, kwa kifupi anapenda vitu vilivyonyooka, hataki longo longo. 14. Hapendi mwanamke mwenye drama, mapicha picha mengi. Watu hawa huhitaji wanawake wanaojitambua na wasio na mambo mengi, yani hawataki mapicha picha kwenye mahusiano. 15. Mwanamke ukikosea atakuwajibisha. Hawafumbii macho mambo, ukikosea atakuchana live kabisa bila kupepesa macho. 16. Wanajiamini sana. Sababu ya kujiamini ni kwakuwa wanajua vitu vingi, wanajua kipi sahihi na kipi sio sahihi. 17. Hawaoni shida kuwa wenyewe. Uwezo wao wa kuishi wenyewe bila kuhisi upweke ni mkubwa sana. 18. Hapendi uonevu. Huweza kumsaidia hata mtu asiyemjua pale tu anapohisi mtu huyo anaonewa. 19. Kwenye mahusiano sio watoaji sana ila atahakikisha anakupa mahitaji yako ya msingi. Huwa hawapendi kutoa toa hela bila mpangilio, na hii ni kutokana na mipango yao katika maisha, ila siku zote atajitahidi kukupa mahitaji yako muhimu. 20. Huwa hawapo romantic. Hawa ni wanaume ambao wanalalamikiwa sana kwenye mahusiano, hawapo romantic ila ni wanaume bora sana, hasa kwenye kulea familia. 21. Wana huruma sana. Muda pekee utakaojua wana huruma ni pale utakapokuwa na shida, kama ni mwanamke wake ni pale utakapokuwa unaumwa au unapitia jambo lolote gumu, hawa ni wanaume ambao wana uwezo wa kupika, kufua, kuogesha watoto, kulisha na kufanya kila kitu kuhakikisha wanakusaidia. 22. Sio waongeaji sana. Moja ya sifa yao kuu ni ukimya, muda mwingi wanahitaji kuwa kimya wakifanya mambo yao, ukiwa mwanamke muongeaji sana muda mwingi atautumia kutabasamu unavyoongea na kukujibu kwa kifupi, na mara nyingi hunyamaza bila kujibu kama hiko ulichoongea atakiona hakina maana yoyote. 23. Hana marafiki wengi. Tafiti zinaonyesha watu hawa huwa hawana marafiki wengi, wanachagua sana marafiki. 24. Hupenda kukataza na kuonya mara nyingi. Kwa mwanamke ukiwa na mwanaume wa namna hii, jiandae kukutazwa na kupata maonyo kwa wingi, lakini jambo zuri kuhusu hilo huwa wanakukataza au kukuonya kwa jambo ambalo linaweza kukuletea shida. Mara nyingi ukifatilia vitu anavyokukutaza au kukuonya utagundua vitakuletea shida huko mbele. 25. Anajua vitu vingi kukuhusu kuliko unavyodhani. Uwezo wao wa kukutafiti ni mkubwa mno, anajua mambo mengi kukuhusu ila hawezi kukwambia, na siku akikwambia utashangaa alijua lini? Na alijuaje?
    Love
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·1K Visualizações
  • Kwa mujibu wa Magazeti Nchini Burkina Faso , Aziz K alitoa sharti la kusafiri na Mke wake Hamisa Mobeto kwenda kuitumikia Timu ya Taifa (Les Étalons) na alipiwe gharama zote za safari hadi Nchini Burkina Faso. Lakini Jambo ambalo lilikaliwa na Kocha Mkuu wa Timu ya Taifa ya Burkina Faso, Brama Traoré.

    Ikumbukwe kwamba Kocha Traoré alitangaza kikosi chake kwa mechi za kufuzu Kombe la Dunia 2026 huku Aziz K hajaitwa. Timu ya Taifa ya Burkina Faso inajiandaa na mchezo dhidi ya Timu ya Taifa ya Djibouti Machi 21, na baadae itacheza dhidi ya Timu ya Taifa ya Guinea-Bissau Machi 24, 2025

    Burkina Faso wapo nafasi ya 3 wakiwa na alama tano 5, katika kundi A linaloongozwa na Misri wenye alama 10.

    Kwa mujibu wa Magazeti Nchini Burkina Faso 🇧🇫, Aziz K alitoa sharti la kusafiri na Mke wake Hamisa Mobeto kwenda kuitumikia Timu ya Taifa (Les Étalons) na alipiwe gharama zote za safari hadi Nchini Burkina Faso. Lakini Jambo ambalo lilikaliwa na Kocha Mkuu wa Timu ya Taifa ya Burkina Faso, Brama Traoré. Ikumbukwe kwamba Kocha Traoré alitangaza kikosi chake kwa mechi za kufuzu Kombe la Dunia 2026 huku Aziz K hajaitwa. Timu ya Taifa ya Burkina Faso inajiandaa na mchezo dhidi ya Timu ya Taifa ya Djibouti 🇩🇯 Machi 21, na baadae itacheza dhidi ya Timu ya Taifa ya Guinea-Bissau 🇬🇼 Machi 24, 2025 Burkina Faso 🇧🇫 wapo nafasi ya 3 wakiwa na alama tano 5, katika kundi A linaloongozwa na Misri 🇪🇬 wenye alama 10.
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·434 Visualizações
  • "Paul Kagame the Rock from East Africa leo kawajibu Belgium kwa kumfukuza balozi wao Rwanda, kiufupi hakuna tena kwa sasa mahusiano kati ya Rwanda na Belgium

    Kagame anaishtumu Belgium kuwa ni kimbelembele yaani ana kamdomo cha kumchongea Rwanda kwa wakubwa ambao ni Uingereza na Marekani ndio maana Rwanda kapigwa vikwazo

    The Rock kagame kayatibua na Belgium huku tayari ana vikwazo kutoka Marekani na Uingereza na hajali wala nini, yeye siku zote anasema kuwa Rwanda haihusiki na M23 hivyo basi hivyo vikwazo yeye anaona kuwa Rwanda inaonewa tu!

    Huyo ndiye Kagame the Rock from East Africa hanaga unafiki Ukijichanganya tu anaruka na wewe, wewe muulize Museveni licha ya kuwa marafiki wa kitambo na kuhaso pamoja lakini Kagame haonagi haya kumsema Museveni akijichanganya, ... Yeye Kagame kwake ni kitu cha kawaida kuingia katika migogoro na kiongozi yeyote kutoka eneo lolote li mradi tu anatetea maslahi ya Rwanda ama Misimamo yake binafsi!!!

    Niwaache na swali je ni nchi gani ya Afrika mashariki ambayo Kagame hajawahi kuingia kwenye mgogoro nayo?" - Zungu, Mtangazaji na Mchambuzi wa siasa.

    "Paul Kagame the Rock from East Africa leo kawajibu Belgium kwa kumfukuza balozi wao Rwanda, kiufupi hakuna tena kwa sasa mahusiano kati ya Rwanda na Belgium Kagame anaishtumu Belgium kuwa ni kimbelembele yaani ana kamdomo cha kumchongea Rwanda kwa wakubwa ambao ni Uingereza na Marekani ndio maana Rwanda kapigwa vikwazo The Rock kagame kayatibua na Belgium huku tayari ana vikwazo kutoka Marekani na Uingereza na hajali wala nini, yeye siku zote anasema kuwa Rwanda haihusiki na M23 😃 hivyo basi hivyo vikwazo yeye anaona kuwa Rwanda inaonewa tu! Huyo ndiye Kagame the Rock from East Africa hanaga unafiki Ukijichanganya tu anaruka na wewe, wewe muulize Museveni licha ya kuwa marafiki wa kitambo na kuhaso pamoja lakini Kagame haonagi haya kumsema Museveni akijichanganya, ... Yeye Kagame kwake ni kitu cha kawaida kuingia katika migogoro na kiongozi yeyote kutoka eneo lolote li mradi tu anatetea maslahi ya Rwanda ama Misimamo yake binafsi!!! Niwaache na swali je ni nchi gani ya Afrika mashariki ambayo Kagame hajawahi kuingia kwenye mgogoro nayo?" - Zungu, Mtangazaji na Mchambuzi wa siasa.
    Like
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·903 Visualizações
  • MTU ALIYE MTUMWA WA MALI HAWEZI KUWA MWAMINIFU

    Mtu aliye mtumwa wa mali hawezi kuwa mwaminifu inamaanisha kwamba mtu anayekitwaa sana na kutafuta utajiri mara nyingi hupoteza uadilifu wake. Hii ni kwa sababu zifuatazo:

    1. Utajiri Unakuwa Kipaumbele; Ikiwa kupata mali ndilo jambo la kwanza maishani mwa mtu, anaweza kuwa tayari kukiuka maadili ili kufanikisha malengo yake ya kifedha. Uaminifu unakuwa si muhimu kwake.

    2. Jaribu la Kudanganya; Mtu anayetamani sana utajiri anaweza kutumia udanganyifu, hila, au hata kuwadhulumu wengine ili kupata faida za kifedha. Ukweli wake unakuwa chini ya tamaa ya mali.

    3. Hofu ya Kupoteza; Mtu aliye mtumwa wa mali anaweza kuwa na hofu ya kupoteza alichonacho, hivyo atakuwa tayari kutumia mbinu zisizo za haki ili kulinda utajiri wake.

    4. Uozo wa Maadili; Kadiri mtu anavyoweka pesa mbele ya maadili, ndivyo anavyopoteza mwelekeo wa uaminifu wake. Vitendo vidogo vya udanganyifu huweza kuwa tabia ya kawaida.

    5. Ukosefu wa Kuridhika; Uaminifu wa kweli unahitaji mtu awe na moyo wa kuridhika. Mtu anayefungwa na tamaa ya mali mara nyingi hajatosheka na anaweza kuhalalisha udanganyifu ili kupata zaidi.

    Kwa ujumla, utajiri si jambo baya, lakini kuwa mtumwa wake kunaweza kumfanya mtu asiwe mwaminifu. Ni muhimu kuwa na mizani kati ya kutafuta mafanikio na kushikamana na maadili mema.
    MTU ALIYE MTUMWA WA MALI HAWEZI KUWA MWAMINIFU Mtu aliye mtumwa wa mali hawezi kuwa mwaminifu inamaanisha kwamba mtu anayekitwaa sana na kutafuta utajiri mara nyingi hupoteza uadilifu wake. Hii ni kwa sababu zifuatazo: 1. Utajiri Unakuwa Kipaumbele; Ikiwa kupata mali ndilo jambo la kwanza maishani mwa mtu, anaweza kuwa tayari kukiuka maadili ili kufanikisha malengo yake ya kifedha. Uaminifu unakuwa si muhimu kwake. 2. Jaribu la Kudanganya; Mtu anayetamani sana utajiri anaweza kutumia udanganyifu, hila, au hata kuwadhulumu wengine ili kupata faida za kifedha. Ukweli wake unakuwa chini ya tamaa ya mali. 3. Hofu ya Kupoteza; Mtu aliye mtumwa wa mali anaweza kuwa na hofu ya kupoteza alichonacho, hivyo atakuwa tayari kutumia mbinu zisizo za haki ili kulinda utajiri wake. 4. Uozo wa Maadili; Kadiri mtu anavyoweka pesa mbele ya maadili, ndivyo anavyopoteza mwelekeo wa uaminifu wake. Vitendo vidogo vya udanganyifu huweza kuwa tabia ya kawaida. 5. Ukosefu wa Kuridhika; Uaminifu wa kweli unahitaji mtu awe na moyo wa kuridhika. Mtu anayefungwa na tamaa ya mali mara nyingi hajatosheka na anaweza kuhalalisha udanganyifu ili kupata zaidi. Kwa ujumla, utajiri si jambo baya, lakini kuwa mtumwa wake kunaweza kumfanya mtu asiwe mwaminifu. Ni muhimu kuwa na mizani kati ya kutafuta mafanikio na kushikamana na maadili mema.
    Love
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·493 Visualizações
  • USIMSAHAU

    Kabla hajaaga dunia mzee mmoja alimpa maneno ya hekima kwa machozi mtoto wake .Alimuambia haya ,"Mwanangu hali yangu ni mbaya naendea safari ya wasafiri wote duniani lakini ninakuhusia neno hili ,katika maisha yako usije kuwasahau watu wawili wafuatao"

    Wakwanza
    Mwanangu usimsahau mtu yule aliyekaa nawe katika magumu yako.
    Yule aliyesema wewe ni mwema,wengine waliposema wewe ni mbaya.
    Yule aliyesonga mbele akabaki nawe,wengine waliporudi nyuma kuachana nawe.
    Yule uliyemfanyia wema mmoja akautumia huo kupuuza mabaya yako yote.
    Yule ambaye katika giza nene la dhiki zako,akaleta nuru ya faraja ya ulimi wake.
    Yule ambaye katika masika ya mateso yako,alifanyiza hema la mwili wake akukinge usinyeshewe.
    Yule ambaye katika joto kali la kuandamwa na watesi wako alileta baridi kwa tabasamu lake akufariji.
    Yule ambaye kwenye upweke wako ,uwepo wake ukafanyika upo na kundi kubwa.
    USIMSAHAU

    Wapili
    Mwanangu usimsahau mtu aliyekuacha kipindi cha mateso yako.
    Aliyetakiwa akusaidie, akakudhihaki.
    Aliyetakiwa akupe msaada, akageuka mwiba.
    Aliyetakiwa akushukuru akakulaumu.
    Aliyesahau wema wako wote na kukumbuka ubaya wako mmoja.
    Aliyetakiwa akufariji ,akakuletea jeuri.
    Aliyewaona wengine wanakukimbia,akaungana nao.
    Aliyeona upweke wako akakuacha,akijihesabu yeye ni wa muhimu na akuoneshe unamhitaji.
    USIMSAHAU
    Kwaheri mwanangu!!!
    USIMSAHAU😭😭😭 Kabla hajaaga dunia mzee mmoja alimpa maneno ya hekima kwa machozi mtoto wake .Alimuambia haya ,"Mwanangu hali yangu ni mbaya naendea safari ya wasafiri wote duniani lakini ninakuhusia neno hili ,katika maisha yako usije kuwasahau watu wawili wafuatao" Wakwanza Mwanangu usimsahau mtu yule aliyekaa nawe katika magumu yako. Yule aliyesema wewe ni mwema,wengine waliposema wewe ni mbaya. Yule aliyesonga mbele akabaki nawe,wengine waliporudi nyuma kuachana nawe. Yule uliyemfanyia wema mmoja akautumia huo kupuuza mabaya yako yote. Yule ambaye katika giza nene la dhiki zako,akaleta nuru ya faraja ya ulimi wake. Yule ambaye katika masika ya mateso yako,alifanyiza hema la mwili wake akukinge usinyeshewe. Yule ambaye katika joto kali la kuandamwa na watesi wako alileta baridi kwa tabasamu lake akufariji. Yule ambaye kwenye upweke wako ,uwepo wake ukafanyika upo na kundi kubwa. USIMSAHAU Wapili Mwanangu usimsahau mtu aliyekuacha kipindi cha mateso yako. Aliyetakiwa akusaidie, akakudhihaki. Aliyetakiwa akupe msaada, akageuka mwiba. Aliyetakiwa akushukuru akakulaumu. Aliyesahau wema wako wote na kukumbuka ubaya wako mmoja. Aliyetakiwa akufariji ,akakuletea jeuri. Aliyewaona wengine wanakukimbia,akaungana nao. Aliyeona upweke wako akakuacha,akijihesabu yeye ni wa muhimu na akuoneshe unamhitaji. USIMSAHAU Kwaheri mwanangu!!!
    Love
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·885 Visualizações
  • Mpenzi wa zamani wa Israel Adesanya ambaye ni Msanii wa Sanaa za mapigano kutoka Nchini New Zealand mwenye asili ya Nigeria , Charlotte Powdrell amepigwa na butwaa kisha kulia machozi baada ya kumlipa "X" wake Israel dola laki tano (500.000) ambazo ni takribani Shilingi Bilioni 1.3 kwa kumpeleka Mahakamani baada ya kuachana kwao.

    Charlotte na lsreal hawakuwahi kuoana wala kuwa na Watoto, lakini walipoachana, Charlotte alimpeleka mahakamani akidai alistahili nusu ya mali ya Israel kwa sababu ya muda waliokaa kwenye uhusiano, akidai kwamba alistahili kuolewa naye. Makadirio ya utajiri wa Adesanya ulikadiriwa kuwa dola milioni 15 ambazo ni zaidi Shilingi Bilioni 39 .1 hivyo Charlotte alidai kwamba pesa hizo walipaswa kugawana baada ya kuachana.

    Mahakama baada ya kufuatilia na kuchunguza kesi hiyo kwa zaidi ya mwaka mmoja toka mwaka 2023, Mahakama hiyo hatimaye ilipitisha uamuzi kwamba apewe nusu ya utajiri wa lsreal Adesanya, lakini ikagundulika kuwa thamani ya Isreal Adesanya ni sifuri yaani hana chochote anachomiliki wala hajawahi kumiliki akaunti ya benki maisha yake yote.

    Na kwa kuwa Charlotte ana thamani ya dola milioni moja na tajiri zaidi kuliko aliyekuwa Mpenzi wake Adesanya, pesa zake mwenyewe zilipaswa kugawanywa kati yao kwa usawa na kumuacha Israeli na kiasi cha dola laki tano (500.000). Inaripotiwa kuwa pesa zote za Israel Adesanya ambazo ni zaidi dola milioni 15 zinasimamiwa na Mama yake Mzazi, Taiwo na amekuwa akisimamia fedha zake tangu mwanzo wa kazi yake.
    Mpenzi wa zamani wa Israel Adesanya ambaye ni Msanii wa Sanaa za mapigano kutoka Nchini New Zealand 🇳🇿 mwenye asili ya Nigeria 🇳🇬, Charlotte Powdrell amepigwa na butwaa kisha kulia machozi baada ya kumlipa "X" wake Israel dola laki tano (500.000) ambazo ni takribani Shilingi Bilioni 1.3 kwa kumpeleka Mahakamani baada ya kuachana kwao. Charlotte na lsreal hawakuwahi kuoana wala kuwa na Watoto, lakini walipoachana, Charlotte alimpeleka mahakamani akidai alistahili nusu ya mali ya Israel kwa sababu ya muda waliokaa kwenye uhusiano, akidai kwamba alistahili kuolewa naye. Makadirio ya utajiri wa Adesanya ulikadiriwa kuwa dola milioni 15 ambazo ni zaidi Shilingi Bilioni 39 .1 hivyo Charlotte alidai kwamba pesa hizo walipaswa kugawana baada ya kuachana. Mahakama baada ya kufuatilia na kuchunguza kesi hiyo kwa zaidi ya mwaka mmoja toka mwaka 2023, Mahakama hiyo hatimaye ilipitisha uamuzi kwamba apewe nusu ya utajiri wa lsreal Adesanya, lakini ikagundulika kuwa thamani ya Isreal Adesanya ni sifuri yaani hana chochote anachomiliki wala hajawahi kumiliki akaunti ya benki maisha yake yote. Na kwa kuwa Charlotte ana thamani ya dola milioni moja na tajiri zaidi kuliko aliyekuwa Mpenzi wake Adesanya, pesa zake mwenyewe zilipaswa kugawanywa kati yao kwa usawa na kumuacha Israeli na kiasi cha dola laki tano (500.000). Inaripotiwa kuwa pesa zote za Israel Adesanya ambazo ni zaidi dola milioni 15 zinasimamiwa na Mama yake Mzazi, Taiwo na amekuwa akisimamia fedha zake tangu mwanzo wa kazi yake.
    Like
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·583 Visualizações
  • "Kwamba TFF impige mvua ya miaka miwili Kijana wake Ally Kamwe? Nimeona taarifa kwa Ndugu yangu Mkomwa, nimewaza sana kwamba TFF kama Taasisi yetu tunayoiamini ifikie maamuzi kama haya? Labda wacha tusubiri taarifa rasmi, lakini kama ni kweli basi inafikirisha sana.

    Kamwe ametiwa hatiani kwa kosa liloitwa la UDHALILISHAJI, kwamba udhalilishaji aliofanya ni kupost “Leo Mjadala redioni 90% ni kuhusu Makolo na Waamuzi” hapo ndipo wakamtia hatiani kwa kudharirisha, lakini nimewaza sana, Ally ni wa kwanza kulaumu? Hao Makolo ni nani? Wanashiriki ligi gani? Ni timu gani? Bado inafikirisha sana, kwamba kuna timu inachezeshwa na Marefa wetu inaitwa Makolo?

    Tufanye ni kosa lakini ije na adhabu ya miaka miwili? Nakumbuka kuna Msemaji alifanya kosa kama hili alifungiwa miezi mitatu, je utofauti wake na Ally ni upi? Miaka miwili imetokana na nini? Je ni TFF tu au kuna Mtu ndani pale au nje yupo nyuma ya mchezo akisukuma kete zake kwa umakini? Ni kosa kubwa kiasi hicho mpaka tumpoteze Kijana wetu kwa miaka miwili?

    Kwamba tunashindwa kuvumiliana? Kuadhibiana kwa kuhurumiana? Kama ambavyo Wadau wa soka wamekuwa wakiwavumilia Waamuzi? Sikatai amekosea lakini nakataa ukubwa wa adhabu, sitaki kuamini mpaka nione taarifa rasmi ila kama kweli ni miaka miwili basi huenda ikawa adhabu kubwa zaidi kuwahi kutolewa kwa kosa dogo zaidi, inafikirisha, siamini kama taasisi yetu penda ikatoa adhabu kama hii, unless kuwa na Mtu anashawishi.

    Makofi hayamkuzi Mtoto bali yanamuumiza, sheria haipo kusaka haki bali Mshindi, hiyo ni kweli na inafahamika ila Mshindi anapaswa kuwa mpira wa miguu sio Mtu mmoja, kama kweli ni miaka miwili ipo haja ya kupunguza adhabu, kwa maslahi mapana ya mpira kwakuwa Ally ni Kijana wetu, Mtoto wetu ambaye ameutumikia mpira huu kwa mapenzi makubwa sana, itabaki kuwa ni mmoja kati yetu.

    Nachofahamu Chura hawezi kuruka mchana wa jua kali tena nchi kavu kama hakuna kitu kinachomkimbiza" - Farhan JR, Mchambuzi.

    "Kwamba TFF impige mvua ya miaka miwili Kijana wake Ally Kamwe? Nimeona taarifa kwa Ndugu yangu Mkomwa, nimewaza sana kwamba TFF kama Taasisi yetu tunayoiamini ifikie maamuzi kama haya? Labda wacha tusubiri taarifa rasmi, lakini kama ni kweli basi inafikirisha sana. Kamwe ametiwa hatiani kwa kosa liloitwa la UDHALILISHAJI, kwamba udhalilishaji aliofanya ni kupost “Leo Mjadala redioni 90% ni kuhusu Makolo na Waamuzi” hapo ndipo wakamtia hatiani kwa kudharirisha, lakini nimewaza sana, Ally ni wa kwanza kulaumu? Hao Makolo ni nani? Wanashiriki ligi gani? Ni timu gani? Bado inafikirisha sana, kwamba kuna timu inachezeshwa na Marefa wetu inaitwa Makolo? Tufanye ni kosa lakini ije na adhabu ya miaka miwili? Nakumbuka kuna Msemaji alifanya kosa kama hili alifungiwa miezi mitatu, je utofauti wake na Ally ni upi? Miaka miwili imetokana na nini? Je ni TFF tu au kuna Mtu ndani pale au nje yupo nyuma ya mchezo akisukuma kete zake kwa umakini? Ni kosa kubwa kiasi hicho mpaka tumpoteze Kijana wetu kwa miaka miwili? Kwamba tunashindwa kuvumiliana? Kuadhibiana kwa kuhurumiana? Kama ambavyo Wadau wa soka wamekuwa wakiwavumilia Waamuzi? Sikatai amekosea lakini nakataa ukubwa wa adhabu, sitaki kuamini mpaka nione taarifa rasmi ila kama kweli ni miaka miwili basi huenda ikawa adhabu kubwa zaidi kuwahi kutolewa kwa kosa dogo zaidi, inafikirisha, siamini kama taasisi yetu penda ikatoa adhabu kama hii, unless kuwa na Mtu anashawishi. Makofi hayamkuzi Mtoto bali yanamuumiza, sheria haipo kusaka haki bali Mshindi, hiyo ni kweli na inafahamika ila Mshindi anapaswa kuwa mpira wa miguu sio Mtu mmoja, kama kweli ni miaka miwili ipo haja ya kupunguza adhabu, kwa maslahi mapana ya mpira kwakuwa Ally ni Kijana wetu, Mtoto wetu ambaye ameutumikia mpira huu kwa mapenzi makubwa sana, itabaki kuwa ni mmoja kati yetu. Nachofahamu Chura hawezi kuruka mchana wa jua kali tena nchi kavu kama hakuna kitu kinachomkimbiza" - Farhan JR, Mchambuzi.
    Like
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·706 Visualizações
  • Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imeomba msaada wa kijeshi kutoka Nchini Chad katika jitihada zake za kupambana na Waasi wa kundi la M23 wanaodaiwa kuungwa mkono na Nchi ya Rwanda . Waziri anayeshughulikia masuala ya kikanda wa DR Congo alikutana na Rais wa Chad, Mahamat Idriss Deby Itno, Jumanne akimuwakilisha Rais wa DR Congo, Felix Tshisekedi, kwa mujibu wa taarifa kutoka ofisi ya Rais wa Chad na kusasishwa kwenye wa mtandao wa Facebook.

    Maelezo ya kina ya mazungumzo yao hajawekwa wazi. Mmoja wa Maafisa wa Chad anayeyefahamu mazungumzo hayo alisema Chad inalibeba ombi la kuombwa msaada na DR Congo, lakini bado haijafanya maamuzi kuhusu ombi hilo. Chanzo kutoka Ofisi ya Rais DR Congo C kimeiambia BBC kuwa kuwa Nchi hiyo imeomba msaada wa kijeshi na kidiplomasia kutoka Nchini Chad.

    Hata hivyo chanzo hicho ambacho hakijataka kutambulishwa kwa sababu za ndani, hakijatoa maelezo zaidi. Msemaji wa Serikali ya Chad, Gassim Cherif, hakujibu ombi la kutoa maoni yake kuhusu hili, kwa mujibu wa Reuters. Kwa upande wake, Msemaji wa Rais Tshisekedi, Tina Salama, alisema hana taarifa yoyote kuhusu suala hilo.

    Wiki iliyopita, Waziri wa Mambo ya Nje wa Chad aliiambia Reuters kuwa kupeleka msaada wa kijeshi DR Congo ni "taarifa za tetesi" bado haijathibitishwa rasmi.
    (BBC)

    Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo 🇨🇩 imeomba msaada wa kijeshi kutoka Nchini Chad 🇹🇩 katika jitihada zake za kupambana na Waasi wa kundi la M23 wanaodaiwa kuungwa mkono na Nchi ya Rwanda 🇷🇼. Waziri anayeshughulikia masuala ya kikanda wa DR Congo alikutana na Rais wa Chad, Mahamat Idriss Deby Itno, Jumanne akimuwakilisha Rais wa DR Congo, Felix Tshisekedi, kwa mujibu wa taarifa kutoka ofisi ya Rais wa Chad na kusasishwa kwenye wa mtandao wa Facebook. Maelezo ya kina ya mazungumzo yao hajawekwa wazi. Mmoja wa Maafisa wa Chad anayeyefahamu mazungumzo hayo alisema Chad inalibeba ombi la kuombwa msaada na DR Congo, lakini bado haijafanya maamuzi kuhusu ombi hilo. Chanzo kutoka Ofisi ya Rais DR Congo C kimeiambia BBC kuwa kuwa Nchi hiyo imeomba msaada wa kijeshi na kidiplomasia kutoka Nchini Chad. Hata hivyo chanzo hicho ambacho hakijataka kutambulishwa kwa sababu za ndani, hakijatoa maelezo zaidi. Msemaji wa Serikali ya Chad, Gassim Cherif, hakujibu ombi la kutoa maoni yake kuhusu hili, kwa mujibu wa Reuters. Kwa upande wake, Msemaji wa Rais Tshisekedi, Tina Salama, alisema hana taarifa yoyote kuhusu suala hilo. Wiki iliyopita, Waziri wa Mambo ya Nje wa Chad aliiambia Reuters kuwa kupeleka msaada wa kijeshi DR Congo ni "taarifa za tetesi" bado haijathibitishwa rasmi. (BBC)
    Like
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·774 Visualizações
  • KWENU MNAOJIITA WACHAMBUZI KWA KOFIA ZA USHABIKI NA CHUKI BINAFSI

    kuna kipindi Azam Fc iliwapa wachezaji 5 Simba sports club ili Simba ichukue Ubingwa

    Kuna kipindi kwenye mchezo mmoja Saido ntibanzokiza aliachiwa magoli matano kwenye mechi moja ili Amfikie Fiston kalala Mayele

    Kuna kipindi mchezaji wa Coastal Union alikwepa mpira uliopigwa na saido ili uwe goli

    Mzunguko wa kwanza michezo 2 ya kwanza ya Simba sc dhidi ya Tabora United na Fountain Gate fc wachezaji walifungiwa na kuonekana hawana vibali baada ya wote kucheza na Simba vibali vyao vilikuwepo na walicheza vema na kushinda

    Mzunguko huu wa pili vivyo hivyo Tabora United wachezaji wake Muhimu walikuwa majeruhi na wengine hawakuwa na vibali ila mara tu baada ya kucheza na Simba wachezaji wote walipata vibali na waliokuwa wanaumwa walipona

    Yanga sc ambayo jana imetufunga goli 2 kwa moja ni kikosi hiki hiki kama sikosei ndicho kilichowalamba Tano ni Yanga hii hii ambayo mtoto amezaliwa na amekuwa hajawahi kuona japo Simba ikipata walau Draw dhidi ya yanga kila siku ni vichapo tu

    Nilichogundua mashabiki wengi wa Simba wana wivu sana huwa wanataka wafungwe wao peke yao na Yanga

    Mkiona hapawafai mnaruhusiwa kuhama ligi ila kwa Taarifa za ndaaaaaaani Yanga wamesema popote mtakapohamia na wenyewe watakuja

    Asubuhi mbaya kwenu wabaya wetu
    KWENU MNAOJIITA WACHAMBUZI KWA KOFIA ZA USHABIKI NA CHUKI BINAFSI kuna kipindi Azam Fc iliwapa wachezaji 5 Simba sports club ili Simba ichukue Ubingwa Kuna kipindi kwenye mchezo mmoja Saido ntibanzokiza aliachiwa magoli matano kwenye mechi moja ili Amfikie Fiston kalala Mayele Kuna kipindi mchezaji wa Coastal Union alikwepa mpira uliopigwa na saido ili uwe goli Mzunguko wa kwanza michezo 2 ya kwanza ya Simba sc dhidi ya Tabora United na Fountain Gate fc wachezaji walifungiwa na kuonekana hawana vibali baada ya wote kucheza na Simba vibali vyao vilikuwepo na walicheza vema na kushinda Mzunguko huu wa pili vivyo hivyo Tabora United wachezaji wake Muhimu walikuwa majeruhi na wengine hawakuwa na vibali ila mara tu baada ya kucheza na Simba wachezaji wote walipata vibali na waliokuwa wanaumwa walipona Yanga sc ambayo jana imetufunga goli 2 kwa moja ni kikosi hiki hiki kama sikosei ndicho kilichowalamba Tano ni Yanga hii hii ambayo mtoto amezaliwa na amekuwa hajawahi kuona japo Simba ikipata walau Draw dhidi ya yanga kila siku ni vichapo tu Nilichogundua mashabiki wengi wa Simba wana wivu sana huwa wanataka wafungwe wao peke yao na Yanga Mkiona hapawafai mnaruhusiwa kuhama ligi ila kwa Taarifa za ndaaaaaaani Yanga wamesema popote mtakapohamia na wenyewe watakuja Asubuhi mbaya kwenu wabaya wetu
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·955 Visualizações
  • Privaldinho

    CEO wa Getafe si anachambua. Sasa na mimi nianze kuchambua.

    Nimetazama vikosi vya Singida mechi 4 za nyuma

    Makipa
    Vs Kagera - Metacha
    Vs JKT - Amas
    Vs KMC - Masalanga
    Vs Yanga - Masalanga
    Ndani ya mechi nne makipa watatu

    Beki ya kushoto Imoro amecheza mechi 2 kati ya 5, vs Makolo, Mechi za Kagera na KMC akacheza Malonga. Vs JKT akacheza Imoro, vs Yanga akacheza Gadiel. Mechi 5 mabeki wa kushoto 3.

    Mechi ya JKT mabeki wa kati alikuwa Assink na Kennedy (Tra bi ta hakuwepo), jana ameanzia benchi. Mechi ya KMC alianza Tra bita na Kennedy. Tra bi ta alitolewa dkk 46 akaingia Assink beki mpya ambaye ameanza jana.

    Mechi ya Kagera Kennedy hakucheza wakaanza Tra bita na Manyama, vs makolo Kennedy na tra bi na vs Ken Gold, Kennedy na Manyama. Maana yake, kuna Manyama, Tra, Kennedy na ongezeko la beki mpya Assink kutoka Ghana aliyecheza jana. Kiufupi hakuna mwenye uhakika wa namba eneo hilo.

    Viungo wa kati
    Vs Yanga (Damaro, Nashon, Gego) Chukwu akabadilishiwa majukumu)
    Vs JKT (Chukwu, Nashon, Arthur)
    Vs KMC (Damaro, Athur, Tchakei)
    Vs Kagera (Damaro, Chukwu, Athur)
    vs Kolo (Damaro, Gego, Keyekeh)
    Vs Ken Gold (Damaro, Gego, Keyekeh)

    Yanga vs Singida wameanza na viungo wakabaji kiasilia 3. Damaro aliyecheza mechi 5/6, Gego aliyeanza mechi 3/3 na kutokea sub mechi 2.

    NB: Eneo la ushambuliaji, Tchakae hajacheza vs JKT na Yanga. Jana wamelalamika hajacheza ila hawajajiuliza kwanini hakucheza vs JKt

    Vs Yanga - Pokou Rupia Adebayor (Sowah Sub)
    Vs JKT - Lyanga, Sowah, Pokou (Rupia top scorer out)
    Vs KMC - Sowah, Rupia, Pokou (timu ikakosa balance, nyuma yao yupo Tchake (luxury player) wakapoteza mechi.) Hii ni kwa wale mnafirikia Sowah na Rupia kuanza pamoja away. KMC waliongoza umiliki wa mchezo. Kidogo kipindi cha pili Singida walibadilika baada ya sub ya Rupia, Pokou na Tchakei, akaingia Gego na Tchukwu

    Vs Kagera -Sowah, Rupia, Tchakei (matokeo 2-2, kwa mara nyingine wanakuwa vulnerable kudefend. Mbaya zaidi wakiwa nyumbani.

    Vs Kolo - Tchakei, Rupia Athur
    Vs Ken Gold - Tchakei, Rupia, Adebayor
    Vs Prisons - Lyanga, Rupia Tchakei

    Ni wachache sana wenye uhakika wa namba. Agenda ya kikosi kubadilika sio habari mpya kwao labda kama wewe ni mgeni wa JIJI

    Privaldinho ✍️ CEO wa Getafe si anachambua. Sasa na mimi nianze kuchambua. Nimetazama vikosi vya Singida mechi 4 za nyuma Makipa Vs Kagera - Metacha Vs JKT - Amas Vs KMC - Masalanga Vs Yanga - Masalanga Ndani ya mechi nne makipa watatu Beki ya kushoto Imoro amecheza mechi 2 kati ya 5, vs Makolo, Mechi za Kagera na KMC akacheza Malonga. Vs JKT akacheza Imoro, vs Yanga akacheza Gadiel. Mechi 5 mabeki wa kushoto 3. Mechi ya JKT mabeki wa kati alikuwa Assink na Kennedy (Tra bi ta hakuwepo), jana ameanzia benchi. Mechi ya KMC alianza Tra bita na Kennedy. Tra bi ta alitolewa dkk 46 akaingia Assink beki mpya ambaye ameanza jana. Mechi ya Kagera Kennedy hakucheza wakaanza Tra bita na Manyama, vs makolo Kennedy na tra bi na vs Ken Gold, Kennedy na Manyama. Maana yake, kuna Manyama, Tra, Kennedy na ongezeko la beki mpya Assink kutoka Ghana aliyecheza jana. Kiufupi hakuna mwenye uhakika wa namba eneo hilo. Viungo wa kati Vs Yanga (Damaro, Nashon, Gego) Chukwu akabadilishiwa majukumu) Vs JKT (Chukwu, Nashon, Arthur) Vs KMC (Damaro, Athur, Tchakei) Vs Kagera (Damaro, Chukwu, Athur) vs Kolo (Damaro, Gego, Keyekeh) Vs Ken Gold (Damaro, Gego, Keyekeh) Yanga vs Singida wameanza na viungo wakabaji kiasilia 3. Damaro aliyecheza mechi 5/6, Gego aliyeanza mechi 3/3 na kutokea sub mechi 2. NB: Eneo la ushambuliaji, Tchakae hajacheza vs JKT na Yanga. Jana wamelalamika hajacheza ila hawajajiuliza kwanini hakucheza vs JKt Vs Yanga - Pokou Rupia Adebayor (Sowah Sub) Vs JKT - Lyanga, Sowah, Pokou (Rupia top scorer out) Vs KMC - Sowah, Rupia, Pokou (timu ikakosa balance, nyuma yao yupo Tchake (luxury player) wakapoteza mechi.) Hii ni kwa wale mnafirikia Sowah na Rupia kuanza pamoja away. KMC waliongoza umiliki wa mchezo. Kidogo kipindi cha pili Singida walibadilika baada ya sub ya Rupia, Pokou na Tchakei, akaingia Gego na Tchukwu Vs Kagera -Sowah, Rupia, Tchakei (matokeo 2-2, kwa mara nyingine wanakuwa vulnerable kudefend. Mbaya zaidi wakiwa nyumbani. Vs Kolo - Tchakei, Rupia Athur Vs Ken Gold - Tchakei, Rupia, Adebayor Vs Prisons - Lyanga, Rupia Tchakei Ni wachache sana wenye uhakika wa namba. Agenda ya kikosi kubadilika sio habari mpya kwao labda kama wewe ni mgeni wa JIJI
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·933 Visualizações
  • Zakazakazi azidi kumshushia nondo Amri Kiemba.

    MUONGO!

    Amri Kiemba alicheza Simba kwa misimu mitano na nusu, kuanzia 2009/10 hadi Disemba 2014.

    Katika kipindi hicho, Azam FC na Simba zilikutana mara 10, Simba ikishinda mara tano na Azam FC mara tatu, na mara mbili sare...angalia picha ya pili.

    Katika hizo mara tano ambazo Simba ilishinda, mbili ni za msimu wa 2009/10.

    24/10/2009
    Simba 1-0 Azam FC

    14/3/2010
    Azam FC 0-2 Simba

    Huu ulikuwa msimu ambao Simba ilikuwa kwenye ubora mkubwa sana na ikamaliza ligi bila kupoteza hata mchezo mmoja.

    Walishinda mechi zote za mzunguko wa kwanza, wakaja kupata sare mbili tu mzunguko wa pili, dhidi ya Kagera Sugar na African Lyon.

    Kwa ubora huo, huwezi kuilamu Azam FC ilhali timu zote zilifungwa...kiungwana unawasifia Simba kwamba walikuwa kwenye ubora wa hali ya juu.

    Lakini baada ya msimu huo, Azam FC na Simba zililingana matokeo hadi Kiemba alipoondoka Simba kwenda Azam FC.

    Swali ni je, Kiemba anapata wapi uhalali wa kutilia shaka maandalizi yaliyoleta matokeo kama haya?

    Msimu wa 2013/14, Azam FC ikawa kwenye ubora mkubwa na kumaliza ligi bila kupoteza hata mchezo mmoja, ikiwemo kushinda nje ndani dhidi ya Simba ya Kiemba na maandalizi yao ya hali ya juu.

    28/10/2013
    Simba 1-2 Azam FC

    30/3/2014
    Azam FC 2-1 Simba

    Baada ya mechi hizi Kiemba akaenda Azam FC...na mechi yake ya kwanza ikaisha kwa sare ya 1-1.

    Ni vipi Kiemba hakuridhika na maandalizi ya Azam FC yaliyoleta sare lakini aliridhika na maandalizi ya Simba yaliyowafanya wafungwe nje ndani msimu mmoja tu nyuma yake?

    Msimu mmoja kabla Kiemba hajasajiliwa Simba, Azam FC ilishinda 2-0 na mashabiki wa Simba wakaenda kushusha kinyesi nyumbani kwa mwenyekiti wao Hassan Dalali.

    Ina maana maandalizi ya Azam FC yangekuwa hafifu yangewatoa kinyesi Simba kweli?

    Azam FC ilikuwa inaifunga Simba kabla yeye hajaenda, na ikaifunga akiwemo...kwa maandalizi yale yale...halafu anakuja hadharani leo, miaka zaidi ya 10 na kusema aliona maandalizi hafifu...sasa walikuwa wanashindaje kwa maandalizi hafifu?

    Ni mbaya sana kumuita mtu muongo...lakini Kiemba kwenye hili itoshe tu kusema kwamba WEWE NI MUONGO!

    Zakazakazi azidi kumshushia nondo Amri Kiemba. MUONGO! Amri Kiemba alicheza Simba kwa misimu mitano na nusu, kuanzia 2009/10 hadi Disemba 2014. Katika kipindi hicho, Azam FC na Simba zilikutana mara 10, Simba ikishinda mara tano na Azam FC mara tatu, na mara mbili sare...angalia picha ya pili. Katika hizo mara tano ambazo Simba ilishinda, mbili ni za msimu wa 2009/10. 24/10/2009 Simba 1-0 Azam FC 14/3/2010 Azam FC 0-2 Simba Huu ulikuwa msimu ambao Simba ilikuwa kwenye ubora mkubwa sana na ikamaliza ligi bila kupoteza hata mchezo mmoja. Walishinda mechi zote za mzunguko wa kwanza, wakaja kupata sare mbili tu mzunguko wa pili, dhidi ya Kagera Sugar na African Lyon. Kwa ubora huo, huwezi kuilamu Azam FC ilhali timu zote zilifungwa...kiungwana unawasifia Simba kwamba walikuwa kwenye ubora wa hali ya juu. Lakini baada ya msimu huo, Azam FC na Simba zililingana matokeo hadi Kiemba alipoondoka Simba kwenda Azam FC. Swali ni je, Kiemba anapata wapi uhalali wa kutilia shaka maandalizi yaliyoleta matokeo kama haya? Msimu wa 2013/14, Azam FC ikawa kwenye ubora mkubwa na kumaliza ligi bila kupoteza hata mchezo mmoja, ikiwemo kushinda nje ndani dhidi ya Simba ya Kiemba na maandalizi yao ya hali ya juu. 28/10/2013 Simba 1-2 Azam FC 30/3/2014 Azam FC 2-1 Simba Baada ya mechi hizi Kiemba akaenda Azam FC...na mechi yake ya kwanza ikaisha kwa sare ya 1-1. Ni vipi Kiemba hakuridhika na maandalizi ya Azam FC yaliyoleta sare lakini aliridhika na maandalizi ya Simba yaliyowafanya wafungwe nje ndani msimu mmoja tu nyuma yake? Msimu mmoja kabla Kiemba hajasajiliwa Simba, Azam FC ilishinda 2-0 na mashabiki wa Simba wakaenda kushusha kinyesi nyumbani kwa mwenyekiti wao Hassan Dalali. Ina maana maandalizi ya Azam FC yangekuwa hafifu yangewatoa kinyesi Simba kweli? Azam FC ilikuwa inaifunga Simba kabla yeye hajaenda, na ikaifunga akiwemo...kwa maandalizi yale yale...halafu anakuja hadharani leo, miaka zaidi ya 10 na kusema aliona maandalizi hafifu...sasa walikuwa wanashindaje kwa maandalizi hafifu? Ni mbaya sana kumuita mtu muongo...lakini Kiemba kwenye hili itoshe tu kusema kwamba WEWE NI MUONGO!
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·851 Visualizações
Páginas Impulsionadas