• Rais wa zamani wa Marekani , Barack Obama katika mahojiano na chuo cha Hamilton College Nchini humo aliongea kuhusu hali ya Nchi chini ya muhula wa pili wa Rais wa sasa Donald Trump na alikosoa vikali hatua za hivi karibuni za utawala huo.

    Rais huyo Mstaafu ambaye alitangulia muhula wa kwanza wa Trump, alimkosoa vikali Trump kwa juhudi zake za kubadilisha mfumo wa Serikali ya Shirikisho, kukandamiza uhamiaji na upinzani, pamoja na kuwatisha Wanahabari na Taasisi ya sheria.

    “Hivyo basi, hii ndio mara yangu ya kwanza kuzungumza hadharani kwa muda sasa,” Obama alisema wakati wa mahojiano jukwaani katika Chuo cha Hamilton. “Nimekuwa nikitazama kwa muda.”

    "Hebu fikiria kama ningekuwa nimefanya chochote kati ya haya,”

    “Ni jambo lisilowezekana kufikirika kwamba vyama vilevile vinavyonyamaza sasa vingevumilia tabia kama hiyo kutoka kwangu, au hata kutoka kwa baadhi ya walionitangulia.” alisema Obama

    Obama aliendelea kusema kuwa haamini tangazo jipya la ushuru lililotolewa na Trump “litakuwa zuri kwa Marekani.” Hata hivyo, alieleza kuwa anahofia zaidi kile alichokiita kama uvunjaji wa haki unaofanywa na Ikulu.

    Rais wa zamani wa Marekani 🇺🇸, Barack Obama katika mahojiano na chuo cha Hamilton College Nchini humo aliongea kuhusu hali ya Nchi chini ya muhula wa pili wa Rais wa sasa Donald Trump na alikosoa vikali hatua za hivi karibuni za utawala huo. Rais huyo Mstaafu ambaye alitangulia muhula wa kwanza wa Trump, alimkosoa vikali Trump kwa juhudi zake za kubadilisha mfumo wa Serikali ya Shirikisho, kukandamiza uhamiaji na upinzani, pamoja na kuwatisha Wanahabari na Taasisi ya sheria. “Hivyo basi, hii ndio mara yangu ya kwanza kuzungumza hadharani kwa muda sasa,” Obama alisema wakati wa mahojiano jukwaani katika Chuo cha Hamilton. “Nimekuwa nikitazama kwa muda.” "Hebu fikiria kama ningekuwa nimefanya chochote kati ya haya,” “Ni jambo lisilowezekana kufikirika kwamba vyama vilevile vinavyonyamaza sasa vingevumilia tabia kama hiyo kutoka kwangu, au hata kutoka kwa baadhi ya walionitangulia.” alisema Obama Obama aliendelea kusema kuwa haamini tangazo jipya la ushuru lililotolewa na Trump “litakuwa zuri kwa Marekani.” Hata hivyo, alieleza kuwa anahofia zaidi kile alichokiita kama uvunjaji wa haki unaofanywa na Ikulu.
    0 Kommentare ·0 Anteile ·9 Ansichten
  • "Nafahamu wote kwa pamoja tuna hamu ya kupata matokeo katika mechi hii lakini matokeo haya kuyapata kwa kushinda na kufuzu. Sisi tumeweka mazingira mazuri ambayo yataiwezesha timu yetu kufuzu.”

    “Nipo hapa kuwataka Watanzania kujitokeza kwa wingi Uwanja wa Mkapa alkini ningependa kutoa taarifa muhimu kwamba tunaendelea kushirikiana na serikali kuimarisha usalama wa siku hiyo. Tunawataka wapenzi wetu kuhakikisha kwamba wanazingatia mazingatio yote ambayo yatawekwa ya usalama. Hatutaruhusu mtu yeyote ambaye sio Mwanasimba kutuharibia shughuli yetu.”

    “Katika mchezo uliopita walisema maneno mengi kwamba kuna wazee wafupi, mbuzi lakini tuwatumie ujumbe kwamba kama mechi aikuhusu wabaki nyumbani na sisi tumejiandaa kuthibiti hilo kama klabu.”- Zubeda Sakuru, CEO wa klabu ya Simba SC.

    "Nafahamu wote kwa pamoja tuna hamu ya kupata matokeo katika mechi hii lakini matokeo haya kuyapata kwa kushinda na kufuzu. Sisi tumeweka mazingira mazuri ambayo yataiwezesha timu yetu kufuzu.” “Nipo hapa kuwataka Watanzania kujitokeza kwa wingi Uwanja wa Mkapa alkini ningependa kutoa taarifa muhimu kwamba tunaendelea kushirikiana na serikali kuimarisha usalama wa siku hiyo. Tunawataka wapenzi wetu kuhakikisha kwamba wanazingatia mazingatio yote ambayo yatawekwa ya usalama. Hatutaruhusu mtu yeyote ambaye sio Mwanasimba kutuharibia shughuli yetu.” “Katika mchezo uliopita walisema maneno mengi kwamba kuna wazee wafupi, mbuzi lakini tuwatumie ujumbe kwamba kama mechi aikuhusu wabaki nyumbani na sisi tumejiandaa kuthibiti hilo kama klabu.”- Zubeda Sakuru, CEO wa klabu ya Simba SC.
    0 Kommentare ·0 Anteile ·96 Ansichten
  • kwa mujibu wa Jarida la Forbes, hii hapa orodha ya Jamii ya Watu Weusi wenye utajiri mkubwa Duniani kwa Mwaka 2025 ambapo wanakadariwa kumiliki utajiri wa dola bilioni 96.2. Wengi wao utajiri wao unatokana sekta za teknolojia, fedha, nishati na burudani, huku Mfanyabiashara Aliko Dangote wa Nigeria akiongoza kwa kuwa na utajiri wa dola bilioni 23.9.

    1. Aliko Dangote (Nigeria) : $23.9B (Saruji, sukari)
    2. David Steward (Marekani) : $11.4B (Teknolojia)
    3. Robert F. Smith (Marekani) : $10.8B (Uwekezaji binafsi)

    4. Alexander Karp (Marekani) : $8.4B (Programu za uchambuzi wa data)
    5. Mike Adenuga (Nigeria) : $6.8B (Mawasiliano, mafuta)
    6. Abdulsamad Rabiu (Nigeria) : $5.1B (Saruji, sukari)

    7. Michael Jordan (Marekani) : $3.5B (Michezo, matangazo)
    8. Patrice Motsepe (Afrika Kusini) : $3B (Madini)
    9. Oprah Winfrey (Marekani) : $3B (Runinga)

    10. Jay-Z (Marekani) : $2.5B (Muziki, biashara)
    11. Adebayo Ogunlesi (Marekani) :$2.2B (Uwekezaji binafsi)
    12. Magic Johnson (Marekani) : $1.5B (Michezo, uwekezaji)

    13. Femi Otedola (Nigeria) : $1.5B (Nishati)
    14. Tope Awotona (Marekani) : $1.4B (Programu "Calendly")
    15. Tyler Perry (Marekani) : $1.4B (Filamu, Runinga)

    16. Tiger Woods (Marekani) : $1.4B (Gofu)
    17. Rihanna (Barbados) : $1.4B (Muziki, urembo)
    18. Mo Ibrahim (Uingereza) : $1.3B (Mawasiliano)

    19. LeBron James (Marekani) : $1.3B (Kikapu)
    20. Strive Masiyiwa (Zimbabwe) : $1.2B (Mawasiliano)
    21. Michael Lee-Chin (Canada) : $1.1B (Uwekezaji wa fedha)

    22. Herriot Tabuteau (Marekani) : $1.1B (Afya)
    23. Sheila Johnson (Marekani) : $1B (Runinga, hoteli)

    kwa mujibu wa Jarida la Forbes, hii hapa orodha ya Jamii ya Watu Weusi wenye utajiri mkubwa Duniani kwa Mwaka 2025 ambapo wanakadariwa kumiliki utajiri wa dola bilioni 96.2. Wengi wao utajiri wao unatokana sekta za teknolojia, fedha, nishati na burudani, huku Mfanyabiashara Aliko Dangote wa Nigeria 🇳🇬 akiongoza kwa kuwa na utajiri wa dola bilioni 23.9. 1. Aliko Dangote (Nigeria) : $23.9B (Saruji, sukari) 2. David Steward (Marekani) : $11.4B (Teknolojia) 3. Robert F. Smith (Marekani) : $10.8B (Uwekezaji binafsi) 4. Alexander Karp (Marekani) : $8.4B (Programu za uchambuzi wa data) 5. Mike Adenuga (Nigeria) : $6.8B (Mawasiliano, mafuta) 6. Abdulsamad Rabiu (Nigeria) : $5.1B (Saruji, sukari) 7. Michael Jordan (Marekani) : $3.5B (Michezo, matangazo) 8. Patrice Motsepe (Afrika Kusini) : $3B (Madini) 9. Oprah Winfrey (Marekani) : $3B (Runinga) 10. Jay-Z (Marekani) : $2.5B (Muziki, biashara) 11. Adebayo Ogunlesi (Marekani) :$2.2B (Uwekezaji binafsi) 12. Magic Johnson (Marekani) : $1.5B (Michezo, uwekezaji) 13. Femi Otedola (Nigeria) : $1.5B (Nishati) 14. Tope Awotona (Marekani) : $1.4B (Programu "Calendly") 15. Tyler Perry (Marekani) : $1.4B (Filamu, Runinga) 16. Tiger Woods (Marekani) : $1.4B (Gofu) 17. Rihanna (Barbados) : $1.4B (Muziki, urembo) 18. Mo Ibrahim (Uingereza) : $1.3B (Mawasiliano) 19. LeBron James (Marekani) : $1.3B (Kikapu) 20. Strive Masiyiwa (Zimbabwe) : $1.2B (Mawasiliano) 21. Michael Lee-Chin (Canada) : $1.1B (Uwekezaji wa fedha) 22. Herriot Tabuteau (Marekani) : $1.1B (Afya) 23. Sheila Johnson (Marekani) : $1B (Runinga, hoteli)
    0 Kommentare ·0 Anteile ·203 Ansichten
  • Nchi ya Marekani imeunda sera mpya inayozuia Wafanyakazi wa Serikali, Wanafamilia, na Wakandarasi walio na vibali vya usalama kujihusisha na uhusiano wa kimapenzi au kingono na Raia wa China . Hii ni kwa mujibu wa Shirika la Habari la Associated Press.

    Sera hiyo imewekwa na aliyekuwa Balozi wa Marekani, Nicholas Burns mnamo Januari, ikiwa ni uondoaji mkubwa kutoka kwa miongo ya awali, ambayo ilizuia uhusiano na Raia wa China wanaofanya kazi katika majukumu maalum, kama vile Walinzi wa ubalozi. Inaripotiwa kuwa uamuzi huo umechukuliwa kutokana na hofu kwamba Mawakala wa China wanaweza kuchukua taarifa za siri za Serikali ya Marekani na kuziwasilisha kwa Serikali ya China.

    Sera hiyo inatumika kwa Wafanyakazi wa Marekani walioko China Bara, ikiwa ni pamoja na ubalozi wa Beijing na balozi ndogo huko Guangzhou, Shanghai, Shenyang na Wuhan, pamoja na ubalozi mdogo wa Marekani huko Hong Kong. Pia haitumiki kwa Wafanyakazi wa Marekani walioko nje ya China ambao wana uhusiano uliokuwepo hapo awali na Raia wa China ingawa wanaweza kutuma maombi ya misamaha, lakini wakikataliwa, lazima wasitishe uhusiano huo au waache nafasi zao.

    Ikiwa sera hiyo itakiukwa, Wafanyakazi wanaohusika wataamriwa kuondoka China mara moja. Hata hivyo, Sera hiyo inaashiria mabadiliko makubwa katika mtazamo wa Serikali ya Marekani kuhusu usalama Nchini China, ikionyesha mvutano unaoongezeka kati ya Washington na Beijing kuhusu biashara, teknolojia na ushindani wa kijiografia na kisiasa.

    Kwaupande wa Wizara ya mambo ya nje ya China imekataa kutoa maoni yake kuhusu sera hiyo, ikisema kwamba "ni sahihi zaidi kuuliza Marekani kuhusu swali hilo." imekadiriwa ikisema Wizara hiyo ya China.

    Nchi ya Marekani 🇺🇸 imeunda sera mpya inayozuia Wafanyakazi wa Serikali, Wanafamilia, na Wakandarasi walio na vibali vya usalama kujihusisha na uhusiano wa kimapenzi au kingono na Raia wa China 🇨🇳. Hii ni kwa mujibu wa Shirika la Habari la Associated Press. Sera hiyo imewekwa na aliyekuwa Balozi wa Marekani, Nicholas Burns mnamo Januari, ikiwa ni uondoaji mkubwa kutoka kwa miongo ya awali, ambayo ilizuia uhusiano na Raia wa China wanaofanya kazi katika majukumu maalum, kama vile Walinzi wa ubalozi. Inaripotiwa kuwa uamuzi huo umechukuliwa kutokana na hofu kwamba Mawakala wa China wanaweza kuchukua taarifa za siri za Serikali ya Marekani na kuziwasilisha kwa Serikali ya China. Sera hiyo inatumika kwa Wafanyakazi wa Marekani walioko China Bara, ikiwa ni pamoja na ubalozi wa Beijing na balozi ndogo huko Guangzhou, Shanghai, Shenyang na Wuhan, pamoja na ubalozi mdogo wa Marekani huko Hong Kong. Pia haitumiki kwa Wafanyakazi wa Marekani walioko nje ya China ambao wana uhusiano uliokuwepo hapo awali na Raia wa China ingawa wanaweza kutuma maombi ya misamaha, lakini wakikataliwa, lazima wasitishe uhusiano huo au waache nafasi zao. Ikiwa sera hiyo itakiukwa, Wafanyakazi wanaohusika wataamriwa kuondoka China mara moja. Hata hivyo, Sera hiyo inaashiria mabadiliko makubwa katika mtazamo wa Serikali ya Marekani kuhusu usalama Nchini China, ikionyesha mvutano unaoongezeka kati ya Washington na Beijing kuhusu biashara, teknolojia na ushindani wa kijiografia na kisiasa. Kwaupande wa Wizara ya mambo ya nje ya China imekataa kutoa maoni yake kuhusu sera hiyo, ikisema kwamba "ni sahihi zaidi kuuliza Marekani kuhusu swali hilo." imekadiriwa ikisema Wizara hiyo ya China.
    0 Kommentare ·0 Anteile ·205 Ansichten
  • Msemaji wa klabu ya Yanga SC, Ali Kamwe alikamatwa na Jeshi Polisi baada ya mchezo wao dhidi ya klabu ya Tabora United majira ya saa saba na nusu usiku wa kuamkia leo hii. Ali Kamwe alipelekwa kituo kikubwa cha Polisi cha Mkoa na amelala ndani hapo na hadi sasa bado hajaachiwa.

    Viongozi wa Yanga SC bado wanaendelea kufanya jitihada za kumtoa Ali Kamwe hapo haijawekwa bayana makosa aliyoyafanya Msemaji huyo. Taarifa iliyopo ni kuwa, inadaiwa Ali Kamwe alitoa kauli isiyokuwa nzuri kipindi anamjibu Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Paul Chacha kabla ya mechi kama sehemu ya utani baada ya Mkuu huyo kutoa ahadi ya Shilingi milioni sitini (60) endapo klabu ya Tabora United ikimfunga Yanga SC ambapo mchezo ulimalizika kwa ushindi wa Yanga SC wa mabao matatu kwa bila (0-3).

    Msemaji wa klabu ya Yanga SC, Ali Kamwe alikamatwa na Jeshi Polisi baada ya mchezo wao dhidi ya klabu ya Tabora United majira ya saa saba na nusu usiku wa kuamkia leo hii. Ali Kamwe alipelekwa kituo kikubwa cha Polisi cha Mkoa na amelala ndani hapo na hadi sasa bado hajaachiwa. Viongozi wa Yanga SC bado wanaendelea kufanya jitihada za kumtoa Ali Kamwe hapo haijawekwa bayana makosa aliyoyafanya Msemaji huyo. Taarifa iliyopo ni kuwa, inadaiwa Ali Kamwe alitoa kauli isiyokuwa nzuri kipindi anamjibu Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Paul Chacha kabla ya mechi kama sehemu ya utani baada ya Mkuu huyo kutoa ahadi ya Shilingi milioni sitini (60) endapo klabu ya Tabora United ikimfunga Yanga SC ambapo mchezo ulimalizika kwa ushindi wa Yanga SC wa mabao matatu kwa bila (0-3).
    Like
    Wow
    2
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·200 Ansichten
  • "Simba SC wamepoteza lakini HII WANAVUKA, NO DOUBT. Sioni Al Masry wakileta ubishi kwa Mkapa, dhahiri watatii Sheria iwe kwa shuruti au bila shuruti. Heads up boys, come finish your job. TANZANIA KWANZA" - Jemedari Said, Mchambuzi.

    "Simba SC wamepoteza lakini HII WANAVUKA, NO DOUBT. Sioni Al Masry wakileta ubishi kwa Mkapa, dhahiri watatii Sheria iwe kwa shuruti au bila shuruti. Heads up boys, come finish your job. TANZANIA 🇹🇿 KWANZA" - Jemedari Said, Mchambuzi.
    Like
    2
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·234 Ansichten
  • Pamoja na uwezo wa ugomvi wa Mashabiki ambao ulitokea kwenye mchezo wa jana kati ya Mamelodi Sundowns dhidi ya Esperence kwenye mchezo wa klabu bingwa barani Afrika (CAF Champions League) lakini hiki kitendo kimesisimua zaidi Mashabiki wengi.

    Picha hii inaeleza sababu milioni ya upendo ambao unatakiwa pindi Mashabiki wawapo Uwanjani. Mpira wa miguu unatufanya kuwa ndugu hii ndio maana unaitwa Football kwa kiingereza.

    Pamoja na uwezo wa ugomvi wa Mashabiki ambao ulitokea kwenye mchezo wa jana kati ya Mamelodi Sundowns 🇿🇦dhidi ya Esperence 🇹🇳 kwenye mchezo wa klabu bingwa barani Afrika (CAF Champions League) lakini hiki kitendo kimesisimua zaidi Mashabiki wengi. Picha hii inaeleza sababu milioni ya upendo ambao unatakiwa pindi Mashabiki wawapo Uwanjani. Mpira wa miguu unatufanya kuwa ndugu hii ndio maana unaitwa Football kwa kiingereza.
    0 Kommentare ·0 Anteile ·214 Ansichten
  • Rais wa Nchi ya Burkina Faso , Kapteni Ibrahim Traoré ametoa msamaha kwa Wanajeshi (21) waliojaribu kufanya mapinduzi ya Serikali ya Septemba mwaka 2015. Katika amri iliyosainiwa Machi 24 na kuwekwa hadharani Jumapili hii, Kapteni Traore aliweka masharti ya msamaha huu, ambao ulipigiwa kura na Bunge la Nchi hiy Desemba iliyopita.

    Wanajeshi hao (21), wakiwemo Maafisa, Maafisa wasio na kamisheni na Vyeo vingine, walifikishwa mahakamani na kutiwa hatiani kwa matendo yaliyofanywa Septemba 15 na 16, 2015, inasema amri iliyotiwa saini na Rais wa Nchi hiyo Kapteni Ibrahim Traore. Amri hii iliyopitishwa na Bunge mwishoni mwa Desemba 2024 ya msamaha na masharti ya kutoa msamaha kwa Watu waliopatikana na hatia kuhusiana na mapinduzi yaliyofeli ya 2015.

    Sheria hii pia imeweka wazi kwamba Askari waliotiwa hatiani au kufunguliwa mashtaka kuhusiana na kesi hii, wakionyesha kujitolea katika mapambano dhidi ya ugaidi Nchini humo, wanaweza kupata fursa ya neema ya msamaha ili kupandishwa cheo kazini.

    Rais wa Nchi ya Burkina Faso 🇧🇫, Kapteni Ibrahim Traoré ametoa msamaha kwa Wanajeshi (21) waliojaribu kufanya mapinduzi ya Serikali ya Septemba mwaka 2015. Katika amri iliyosainiwa Machi 24 na kuwekwa hadharani Jumapili hii, Kapteni Traore aliweka masharti ya msamaha huu, ambao ulipigiwa kura na Bunge la Nchi hiy Desemba iliyopita. Wanajeshi hao (21), wakiwemo Maafisa, Maafisa wasio na kamisheni na Vyeo vingine, walifikishwa mahakamani na kutiwa hatiani kwa matendo yaliyofanywa Septemba 15 na 16, 2015, inasema amri iliyotiwa saini na Rais wa Nchi hiyo Kapteni Ibrahim Traore. Amri hii iliyopitishwa na Bunge mwishoni mwa Desemba 2024 ya msamaha na masharti ya kutoa msamaha kwa Watu waliopatikana na hatia kuhusiana na mapinduzi yaliyofeli ya 2015. Sheria hii pia imeweka wazi kwamba Askari waliotiwa hatiani au kufunguliwa mashtaka kuhusiana na kesi hii, wakionyesha kujitolea katika mapambano dhidi ya ugaidi Nchini humo, wanaweza kupata fursa ya neema ya msamaha ili kupandishwa cheo kazini.
    0 Kommentare ·0 Anteile ·218 Ansichten
  • "Marekani mpaka sasa hawajasaini mkataba wa kuilinda Congo mchakato umekuwa mrefu. Jiulize vile vikwazo vya Magharibi walivyoiwekea Rwanda vimeishia wapi

    Kagame anajua anachokifanya ndio maana licha ya ripoti za UN , US na EU kuonyesha Rwanda wanaifadhili M23 plus Vikwazo hakuna kilichobadilika Congo

    Wanachokifanya wanaoibia Congo na Africa ni ile ile mbinu ya wakati wa ukoloni inaitwa "Divided and Rule " yaani wagawanywe uwatawale nakumbuka hii mbinu pia enzi hizo ndio iliyozaa utani wa jadi wa Yanga na Simba

    Oooh Africa " - Zungu, Mchambuzi wa Siasa na Mtangazaji.

    "Marekani mpaka sasa hawajasaini mkataba wa kuilinda Congo mchakato umekuwa mrefu. Jiulize vile vikwazo vya Magharibi walivyoiwekea Rwanda vimeishia wapi 😀😀😀😀 Kagame anajua anachokifanya ndio maana licha ya ripoti za UN , US na EU kuonyesha Rwanda wanaifadhili M23 plus Vikwazo hakuna kilichobadilika Congo 😭😭😭😭 Wanachokifanya wanaoibia Congo na Africa ni ile ile mbinu ya wakati wa ukoloni inaitwa "Divided and Rule " yaani wagawanywe uwatawale nakumbuka hii mbinu pia enzi hizo ndio iliyozaa utani wa jadi wa Yanga na Simba Oooh Africa🌍 😭" - Zungu, Mchambuzi wa Siasa na Mtangazaji.
    Like
    1
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·362 Ansichten
  • Amesema Steve Nyerere.

    "Mstafuuu ,,, Ivi Mama Akipenda kwenda kuangalia Dabi,....Pale uwanja wa Taifa pamoja na Watanzania na mashabiki wa Simba na Yanga Si Itapendeza sana,......Naimani Timu zote zitafurahia kuazimisha Miaka 4 Ya Rais wetu Mpendwa kwa Kucheza Dabi,...Maana ndani ya Miaka 4 Ya Mh @samia_suluhu_hassan Soka Limekuwa kivutio kikubwa sana Na Muanko wa Soka umekuwa mkubwa Baada ya Mh Rais kuhakikisha sekta hii Inapiga hatua,......

    Kuazimisha Miaka 4 Ya kipenzi cha Watanzania Dr Samia Suluhu Hassan Dabi halafu mgeni Rasmi Mama Itapendeza Tutajaaaa balaaa,...Apo vipi.,.," - Steve Nyerere, Mwigizaji wa filamu Tanzania.

    Amesema Steve Nyerere. "Mstafuuu ,,, Ivi Mama Akipenda kwenda kuangalia Dabi,....Pale uwanja wa Taifa pamoja na Watanzania na mashabiki wa Simba na Yanga Si Itapendeza sana,......Naimani Timu zote zitafurahia kuazimisha Miaka 4 Ya Rais wetu Mpendwa kwa Kucheza Dabi,...Maana ndani ya Miaka 4 Ya Mh @samia_suluhu_hassan Soka Limekuwa kivutio kikubwa sana Na Muanko wa Soka umekuwa mkubwa Baada ya Mh Rais kuhakikisha sekta hii Inapiga hatua,...... Kuazimisha Miaka 4 Ya kipenzi cha Watanzania Dr Samia Suluhu Hassan Dabi halafu mgeni Rasmi Mama Itapendeza Tutajaaaa balaaa,...Apo vipi.,.," - Steve Nyerere, Mwigizaji wa filamu Tanzania.
    0 Kommentare ·0 Anteile ·245 Ansichten
  • PICHA YA SIMBA HUYU NI FUNZO MAISHANI:
    ------------------------------------------------------

    Hivi ndivyo mfalme wa pori anavyoonekana akiwa kwenye siku za mwisho za maisha yake. Jinsi alivyokonda, kujua idadi ya mbavu zake hata huitaji msaada wa calculator.

    Hii picha ilipigwa na "Larry Pannell."

    Alifanikiwa kupata picha ya Simba aliyekuwa kwenye hitimisho la kuvuta pumzi za mwisho. Katika huu ulimwengu wenye mafungamano na dhambi.

    "Larry Pannell" anasema:

    Nilimkuta huyu simba amelala kwenye majani. Akiwa amechoka, miguu ikionekana kumnyima ushirikiano wa kutembea.

    Sikuwa na lakufanya zaidi ya kusimama mita kadhaa. Macho yakifanya ushuhuda wa kutazama, "King of savannah" akipoteza uhai chini ya kivuli cha mti.

    Nikiwa nimesimama kimya. Nilishusha chini camera yangu. Tulitazamana na simba, tukafumba macho yetu pamoja.

    Jinsi mfalme wa nyika alivyokuwa akihangaika kuhema. Pumzi zilionekana kuwa bidhaa hadimu kwenye duka la mapafu yake.

    Kifua chake kilikuwa kikipanda na kushuka. Ishara ya kuonyesha anavuta pumzi za mwisho, kabla ya kukipa ruhusa kifo kiondoke na roho yake.

    Ghafla eneo alilolala Simba ukazaliwa ukimya. Mfalme wa pori akawa haemi wala kutikisika. Mauti ikawa imehitimisha simulizi ya ubabe wake mbugani.

    Hakika maisha ya binadamu na wanyama ni simulizi fupi sana."

    Haijalishi una nguvu kiasi gani. Kuna nyakati zitafika nguvu zitafanya mgomo wa kuishi mwilini mwako. Zitaupisha udhaifu uchukue nafasi ya kukutawala. Udhaifu nao ukikutawala, utayaita maradhi. Bila hiyari utajikuta umekigeuza kitanda kuwa rafiki."

    Kuna shule ya bure hapa: Nguvu tulizonazo ni kitu cha kupita. Hata uzuri umpao kiburi mwanamke una ukomo. Licha ya kujidanganya kwa make up na wanja. Lakini hawezi kuzuia muanguko wa mashavu, uzee unapoanza kumuondoa kwenye kundi la warembo.

    "Chini ya jua kila kitu kina mwanzo na mwisho."

    Hivyo katika maisha tusisahau kuvipa kipaumbele vitu hivi. Utu, wema, ukarimu, heshima, na unyenyekevu.

    Tusaidie wenye maradhi, tuwajali wasiojiweza, na viongozi tusitumie madaraka vibaya.

    Tutende mema tukiamini. Kuna siku pumzi zitamaliza mkataba wa kuishi ndani ya matundu ya pua zetu. Baada ya hapo sisi wote tutalala mauti."

    Imeandikwa na Green Osward
    PICHA YA SIMBA HUYU NI FUNZO MAISHANI: ------------------------------------------------------ Hivi ndivyo mfalme wa pori anavyoonekana akiwa kwenye siku za mwisho za maisha yake. Jinsi alivyokonda, kujua idadi ya mbavu zake hata huitaji msaada wa calculator. Hii picha ilipigwa na "Larry Pannell." Alifanikiwa kupata picha ya Simba aliyekuwa kwenye hitimisho la kuvuta pumzi za mwisho. Katika huu ulimwengu wenye mafungamano na dhambi. "Larry Pannell" anasema: Nilimkuta huyu simba amelala kwenye majani. Akiwa amechoka, miguu ikionekana kumnyima ushirikiano wa kutembea. Sikuwa na lakufanya zaidi ya kusimama mita kadhaa. Macho yakifanya ushuhuda wa kutazama, "King of savannah" akipoteza uhai chini ya kivuli cha mti. Nikiwa nimesimama kimya. Nilishusha chini camera yangu. Tulitazamana na simba, tukafumba macho yetu pamoja. Jinsi mfalme wa nyika alivyokuwa akihangaika kuhema. Pumzi zilionekana kuwa bidhaa hadimu kwenye duka la mapafu yake. Kifua chake kilikuwa kikipanda na kushuka. Ishara ya kuonyesha anavuta pumzi za mwisho, kabla ya kukipa ruhusa kifo kiondoke na roho yake. Ghafla eneo alilolala Simba ukazaliwa ukimya. Mfalme wa pori akawa haemi wala kutikisika. Mauti ikawa imehitimisha simulizi ya ubabe wake mbugani. Hakika maisha ya binadamu na wanyama ni simulizi fupi sana." Haijalishi una nguvu kiasi gani. Kuna nyakati zitafika nguvu zitafanya mgomo wa kuishi mwilini mwako. Zitaupisha udhaifu uchukue nafasi ya kukutawala. Udhaifu nao ukikutawala, utayaita maradhi. Bila hiyari utajikuta umekigeuza kitanda kuwa rafiki." Kuna shule ya bure hapa: Nguvu tulizonazo ni kitu cha kupita. Hata uzuri umpao kiburi mwanamke una ukomo. Licha ya kujidanganya kwa make up na wanja. Lakini hawezi kuzuia muanguko wa mashavu, uzee unapoanza kumuondoa kwenye kundi la warembo. "Chini ya jua kila kitu kina mwanzo na mwisho." Hivyo katika maisha tusisahau kuvipa kipaumbele vitu hivi. Utu, wema, ukarimu, heshima, na unyenyekevu. Tusaidie wenye maradhi, tuwajali wasiojiweza, na viongozi tusitumie madaraka vibaya. Tutende mema tukiamini. Kuna siku pumzi zitamaliza mkataba wa kuishi ndani ya matundu ya pua zetu. Baada ya hapo sisi wote tutalala mauti." Imeandikwa na Green Osward
    Love
    1
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·530 Ansichten
  • EPUKA MAISHA FEKI YA KIJAMII...

    Tunaishi katika zama ambazo watu hawafanyi kazi tena ili kufanikiwa; wanafanya kazi ili waonekane wamefanikiwa. Ambapo watu hawatafuti tena uzuri wa kweli, lakini udanganyifu wa uzuri. Na ambapo mahusiano hayahusu tena upendo, bali kuhusu kuonyesha toleo lililohaririwa kwa uangalifu la upendo. Shida ni kwamba wanaume wa kisasa hutumia mitandao ya kijamii kughushi mafanikio yao. Wanawake wa kisasa hutumia mitandao ya kijamii kudanganya uzuri wao. Na wawili hawa wanapoingia kwenye uhusiano, wote wawili hutumia mitandao ya kijamii kughushi furaha yao. Hii ina maana gani? Inamaanisha kwamba tunaishi katika ulimwengu wa udanganyifu. Ulimwengu ambao wengi hawajaribu kujenga utajiri wa kweli, wanajaribu tu kuonekana matajiri. Ulimwengu ambapo wanawake wengi hawafanyi kazi juu ya tabia zao, wanafanya kazi tu kwenye vichungi. Ulimwengu ambao uhusiano hauhusu upendo na uaminifu, lakini ni nani anayechapisha picha bora za 'malengo ya wanandoa'. Mafanikio si utendaji wa hadhira. Haipimwi kwa magari, saa, au likizo zilizochapishwa mtandaoni. Mafanikio ni safari, sio post. Walakini, wanaume wa kisasa wanadanganya. Wanaazima magari ili kupiga picha, hukodisha vyumba vya bei ghali ili kuwavutia watu wasiowajua, na kuvaa chapa ambazo hawawezi kumudu. Katika mchakato huo, wanajipoteza. Wanazingatia zaidi kuonekana tajiri kuliko kuwa tajiri.

    Ulimwengu hautoi thawabu kwa kuonekana; inatuza vitu. Unaweza kudanganya watu mtandaoni, lakini huwezi kudanganya ukweli. Ukijifanya kuwa umefanikiwa bila msingi wa bidii, nidhamu na hekima, muda utakuweka wazi. Anasa iliyokodishwa haiwezi kudumisha mawazo duni. Wanawake wa kisasa, pia, wameanguka katika mtego huu. Uzuri sio asili tena; sasa ni bandia. Wengi hutegemea vichungi, upasuaji, na uhariri mzito. Badala ya kuimarisha roho zao, wanaboresha picha zao. Badala ya kujenga akili zao, wanajenga udanganyifu. Lakini nini kinatokea wakati ukweli unakutana na udanganyifu? Ni nini hufanyika wakati kichujio kinapozimwa? Mwanamke ambaye ni mrembo tu mtandaoni lakini hana tabia katika maisha halisi atawavutia wanaume wanaopenda udanganyifu tu, si uhalisia. Wanaume halisi hawatafuti vichungi; wanatafuta wema, wema, akili, kwa mwanamke ambaye uzuri wake si usoni tu bali moyoni. Kwangu mimi, mitandao ya kijamii ni chombo, si kioo cha maisha. Haipaswi kufafanua wewe ni nani. Mafanikio ya mwanamume hayatokani na jinsi mtindo wake wa maisha unavyoonekana ghali mtandaoni, lakini katika uhalisia jinsi alivyo na nidhamu, uchapakazi na kuwajibika. Uzuri wa mwanamke sio jinsi uso wake unavyoonekana kwenye Instagram, lakini kwa jinsi roho, akili na tabia yake ilivyo nzuri katika maisha halisi. Furaha ya uhusiano haiko katika idadi ya likes na maoni inayopata, lakini kwa amani, upendo na umoja watu hao wawili hushiriki bila milango.

    Kuwa halisi. Fanyia kazi mafanikio yako ya kweli, sio picha yako ya mtandaoni. Kuza uzuri wako halisi, si tu uso wako uliochujwa. Jenga uhusiano wa kweli, sio hadithi ya hadithi ya Instagram. Kwa sababu mwisho wa siku ukweli utafichua udanganyifu kila wakati.

    Credit
    Rev.Albert Nwosu
    EPUKA MAISHA FEKI YA KIJAMII... Tunaishi katika zama ambazo watu hawafanyi kazi tena ili kufanikiwa; wanafanya kazi ili waonekane wamefanikiwa. Ambapo watu hawatafuti tena uzuri wa kweli, lakini udanganyifu wa uzuri. Na ambapo mahusiano hayahusu tena upendo, bali kuhusu kuonyesha toleo lililohaririwa kwa uangalifu la upendo. Shida ni kwamba wanaume wa kisasa hutumia mitandao ya kijamii kughushi mafanikio yao. Wanawake wa kisasa hutumia mitandao ya kijamii kudanganya uzuri wao. Na wawili hawa wanapoingia kwenye uhusiano, wote wawili hutumia mitandao ya kijamii kughushi furaha yao. Hii ina maana gani? Inamaanisha kwamba tunaishi katika ulimwengu wa udanganyifu. Ulimwengu ambao wengi hawajaribu kujenga utajiri wa kweli, wanajaribu tu kuonekana matajiri. Ulimwengu ambapo wanawake wengi hawafanyi kazi juu ya tabia zao, wanafanya kazi tu kwenye vichungi. Ulimwengu ambao uhusiano hauhusu upendo na uaminifu, lakini ni nani anayechapisha picha bora za 'malengo ya wanandoa'. Mafanikio si utendaji wa hadhira. Haipimwi kwa magari, saa, au likizo zilizochapishwa mtandaoni. Mafanikio ni safari, sio post. Walakini, wanaume wa kisasa wanadanganya. Wanaazima magari ili kupiga picha, hukodisha vyumba vya bei ghali ili kuwavutia watu wasiowajua, na kuvaa chapa ambazo hawawezi kumudu. Katika mchakato huo, wanajipoteza. Wanazingatia zaidi kuonekana tajiri kuliko kuwa tajiri. Ulimwengu hautoi thawabu kwa kuonekana; inatuza vitu. Unaweza kudanganya watu mtandaoni, lakini huwezi kudanganya ukweli. Ukijifanya kuwa umefanikiwa bila msingi wa bidii, nidhamu na hekima, muda utakuweka wazi. Anasa iliyokodishwa haiwezi kudumisha mawazo duni. Wanawake wa kisasa, pia, wameanguka katika mtego huu. Uzuri sio asili tena; sasa ni bandia. Wengi hutegemea vichungi, upasuaji, na uhariri mzito. Badala ya kuimarisha roho zao, wanaboresha picha zao. Badala ya kujenga akili zao, wanajenga udanganyifu. Lakini nini kinatokea wakati ukweli unakutana na udanganyifu? Ni nini hufanyika wakati kichujio kinapozimwa? Mwanamke ambaye ni mrembo tu mtandaoni lakini hana tabia katika maisha halisi atawavutia wanaume wanaopenda udanganyifu tu, si uhalisia. Wanaume halisi hawatafuti vichungi; wanatafuta wema, wema, akili, kwa mwanamke ambaye uzuri wake si usoni tu bali moyoni. Kwangu mimi, mitandao ya kijamii ni chombo, si kioo cha maisha. Haipaswi kufafanua wewe ni nani. Mafanikio ya mwanamume hayatokani na jinsi mtindo wake wa maisha unavyoonekana ghali mtandaoni, lakini katika uhalisia jinsi alivyo na nidhamu, uchapakazi na kuwajibika. Uzuri wa mwanamke sio jinsi uso wake unavyoonekana kwenye Instagram, lakini kwa jinsi roho, akili na tabia yake ilivyo nzuri katika maisha halisi. Furaha ya uhusiano haiko katika idadi ya likes na maoni inayopata, lakini kwa amani, upendo na umoja watu hao wawili hushiriki bila milango. Kuwa halisi. Fanyia kazi mafanikio yako ya kweli, sio picha yako ya mtandaoni. Kuza uzuri wako halisi, si tu uso wako uliochujwa. Jenga uhusiano wa kweli, sio hadithi ya hadithi ya Instagram. Kwa sababu mwisho wa siku ukweli utafichua udanganyifu kila wakati. Credit Rev.Albert Nwosu
    0 Kommentare ·0 Anteile ·516 Ansichten
  • Shirikisho la mpira wa miguu Duniani (FIFA) limetangaza zawadi zitakazotolewa kwa Washiriki wa michuano ya Kombe la Dunia la Klabu (FIFA CLUB WORLD CUP), ambapo bingwa wa michuano hiyo atapata dola milioni 125 ambazo ni zaidi ya Shilingi Bilioni 300 za kitanzania huku kukitarajiwa kutolewa jumla ya dola bilioni 1 kwa klabu 32 zitakavyoshiriki na dola milioni 250 zitatolewa kwa mashirikisho kwa ajili kukuza mpira wa miguu kwa ngazi ya klabu Duniani.

    Shirikisho hilo limepanga kutoa dola milioni 250 ili kusaidia maendeleo ya mpira wa miguu kwa kiwango cha kimataifa ambapo fedha hizi zitatumika kusaidia klabu ndogo, kuboresha miundombinu, kuwekeza katika mafunzo ya Wachezaji na Makocha pamoja na kuimarisha ushirikiano wa klabu kimataifa.

    Aidha, pango huu unalenga kuhakikisha kuwa maendeleo ya mpira wa miguu hayaishii kwa klabu kubwa pekee, bali pia yanawanufaisha hadi klabu dogo na kuinua mpira wa Duniani kote. FIFA pia imesisitiza kuwa, mapato yote ya mashindano haya yatasambazwa kwa klabu bila kugusa akiba yake, ambayo inatumiwa kwa maendeleo ya mpira wa miguu kupitia Vyama (211) Wanachama wa FIFA.

    Mfumo huu ni mkubwa zaidi katika historia ya mpira wa miguu, ukiwa na mechi saba (7) kwenye hatua ya makundi na mfumo wa mchujo.

    Shirikisho la mpira wa miguu Duniani (FIFA) limetangaza zawadi zitakazotolewa kwa Washiriki wa michuano ya Kombe la Dunia la Klabu (FIFA CLUB WORLD CUP), ambapo bingwa wa michuano hiyo atapata dola milioni 125 ambazo ni zaidi ya Shilingi Bilioni 300 za kitanzania huku kukitarajiwa kutolewa jumla ya dola bilioni 1 kwa klabu 32 zitakavyoshiriki na dola milioni 250 zitatolewa kwa mashirikisho kwa ajili kukuza mpira wa miguu kwa ngazi ya klabu Duniani. Shirikisho hilo limepanga kutoa dola milioni 250 ili kusaidia maendeleo ya mpira wa miguu kwa kiwango cha kimataifa ambapo fedha hizi zitatumika kusaidia klabu ndogo, kuboresha miundombinu, kuwekeza katika mafunzo ya Wachezaji na Makocha pamoja na kuimarisha ushirikiano wa klabu kimataifa. Aidha, pango huu unalenga kuhakikisha kuwa maendeleo ya mpira wa miguu hayaishii kwa klabu kubwa pekee, bali pia yanawanufaisha hadi klabu dogo na kuinua mpira wa Duniani kote. FIFA pia imesisitiza kuwa, mapato yote ya mashindano haya yatasambazwa kwa klabu bila kugusa akiba yake, ambayo inatumiwa kwa maendeleo ya mpira wa miguu kupitia Vyama (211) Wanachama wa FIFA. Mfumo huu ni mkubwa zaidi katika historia ya mpira wa miguu, ukiwa na mechi saba (7) kwenye hatua ya makundi na mfumo wa mchujo.
    0 Kommentare ·0 Anteile ·335 Ansichten
  • Baada ya kikao kilichofanyika leo hii katika ofisi za Baraza la Michezo Tanzania (BMT), ndani ya Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam, imeelezwa kuwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Prof. Palamagamba Kabudi, hakuja kutoa maamuzi bali kutafuta suluhisho kuhusu hatima ya Dabi ya Kariakoo, iliyokuwa ipigwe Machi 8, 2025 lakini ikaahirishwa.

    "Mheshimiwa Waziri amekuwa na mwanzo mzuri kwa kueleza kwamba jukwaa hilo siyo la maamuzi, bali ni la kutafuta suluhisho la tatizo lililotokea." - Eng. Hersi Said, Rais wa klabu ya Yanga SC

    Aidha, Rais huyo wa klabu ya Yanga SC amewahakikishia Wanachama wa klabu hiyo kuwa Uongozi wao uko imara na unafanya kila jitihada kuhakikisha maslahi ya klabu yanalindwa.Kikao hicho kimewakutanisha Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara (TPLB), Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania (TFF) na klabu ya Yanga SC, ambapo pande zote zimepata fursa ya kuwasilisha hoja zao kwa Waziri Kabudi.

    Baada ya kikao kilichofanyika leo hii katika ofisi za Baraza la Michezo Tanzania (BMT), ndani ya Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam, imeelezwa kuwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Prof. Palamagamba Kabudi, hakuja kutoa maamuzi bali kutafuta suluhisho kuhusu hatima ya Dabi ya Kariakoo, iliyokuwa ipigwe Machi 8, 2025 lakini ikaahirishwa. "Mheshimiwa Waziri amekuwa na mwanzo mzuri kwa kueleza kwamba jukwaa hilo siyo la maamuzi, bali ni la kutafuta suluhisho la tatizo lililotokea." - Eng. Hersi Said, Rais wa klabu ya Yanga SC Aidha, Rais huyo wa klabu ya Yanga SC amewahakikishia Wanachama wa klabu hiyo kuwa Uongozi wao uko imara na unafanya kila jitihada kuhakikisha maslahi ya klabu yanalindwa.Kikao hicho kimewakutanisha Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara (TPLB), Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania (TFF) na klabu ya Yanga SC, ambapo pande zote zimepata fursa ya kuwasilisha hoja zao kwa Waziri Kabudi.
    0 Kommentare ·0 Anteile ·305 Ansichten
  • Rais wa Nchi ya Burundi , Evariste Ndayishimiye anasema kuwa Nchi ya Rwanda ina mpango wa kuivamia Burundi kupitia Congo ambapo anasema Nchi hiyo itakuwa imekosea sana.

    “Tunajua kwamba Rwanda inajaribu kutushambulia kupitia eneo la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, kupitia vuguvugu la Red-Tabara. Lakini tunawaambia kwamba ikiwa wanataka kushambulia Bujumbura kupitia Congo na sisi Kigali hatuko mbali kupitia Kirundo,” alisema Rais Evariste Ndayishimiye

    Baada ya kauli hiyo, Msemaji wa Serikali ya Rwanda Yolande Makolo amesema kuwa, ameshangazwa na kauli ya Rais Evariste Ndayishimiye huku akihoji Rais Ndayishimiye anaeleza kuwa ana taarifa za kuaminika kuwa Rwanda ina mpango wa kushambulia Burundi ?. Msemaji huyo alisema pia endapo hali hiyo ikitokea basi migogoro inaweza kuwa na maafa kwani inaweza kusambaa katika ukanda mzima wa Afrika Mashariki na kati.

    Rais Ndayishimiye amemalizia kwa kusema kuwa tayari ameshatuma Wajumbe kadhaa kwa Rais wa Rwanda Paul Kagame wa kumtaka atekeleze makubaliano ambayo yatazileta pamoja Nchi hizo mbili pamoja lakini hadi leo hii hakuna majibu yoyote yaliyotolewa na bado anayasubiri pia.

    Rais wa Nchi ya Burundi 🇧🇮, Evariste Ndayishimiye anasema kuwa Nchi ya Rwanda 🇷🇼 ina mpango wa kuivamia Burundi kupitia Congo ambapo anasema Nchi hiyo itakuwa imekosea sana. “Tunajua kwamba Rwanda inajaribu kutushambulia kupitia eneo la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, kupitia vuguvugu la Red-Tabara. Lakini tunawaambia kwamba ikiwa wanataka kushambulia Bujumbura kupitia Congo na sisi Kigali hatuko mbali kupitia Kirundo,” alisema Rais Evariste Ndayishimiye Baada ya kauli hiyo, Msemaji wa Serikali ya Rwanda Yolande Makolo amesema kuwa, ameshangazwa na kauli ya Rais Evariste Ndayishimiye huku akihoji Rais Ndayishimiye anaeleza kuwa ana taarifa za kuaminika kuwa Rwanda ina mpango wa kushambulia Burundi ?. Msemaji huyo alisema pia endapo hali hiyo ikitokea basi migogoro inaweza kuwa na maafa kwani inaweza kusambaa katika ukanda mzima wa Afrika Mashariki na kati. Rais Ndayishimiye amemalizia kwa kusema kuwa tayari ameshatuma Wajumbe kadhaa kwa Rais wa Rwanda Paul Kagame wa kumtaka atekeleze makubaliano ambayo yatazileta pamoja Nchi hizo mbili pamoja lakini hadi leo hii hakuna majibu yoyote yaliyotolewa na bado anayasubiri pia.
    Like
    1
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·231 Ansichten
  • Jeshi la Nchi ya Uganda limesema limewaua Wapiganaji 242 wa kundi la Waasi Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo linalojulikana kama CODECO baada ya kushambulia kambi ya Jeshi hilo la Uganda mpakani mashariki mwa DR Congo mapema wiki hii ambapo madai yamepingwa na Kundi hilo.

    Msemaji wa Jeshi la Uganda, Chris Magezi, amesema mamia ya Wapiganaji wa kundi la CODECO walishambulia kituo cha kijeshi cha Uganda People's Defence Forces (UPDF) katika eneo la Fataki, Mkoani Ituri, siku ya Jumatano na Alhamisi. Jeshi hilo lilijibu mashambulizi hayo mara zote mbili, likiwaangamiza Wapiganaji 31 siku ya kwanza na 211 siku ya pili, Magezi alisema katika chapisho kwenye akaunti yake ya Mtandao wa X Ijumaa usiku na kuongeza kuwa askari mmoja wa UPDF aliuawa na wengine wanne kujeruhiwa.

    Msemaji wa CODECO, Basa Zukpa Gerson, alipinga taarifa ya jeshi Jumamosi, akisema kundi hilo lilipoteza wapiganaji wawili tu na kwamba idadi ya vifo vya Wanajeshi wa UPDF ilikuwa juu zaidi. Chanzo kimoja cha Umoja wa Mataifa ambacho hakikutaka kutajwa jina kilisema Waasi 70 na Wanajeshi wa Uganda 12 waliuawa.

    Kulikuwa na mapigano zaidi kati ya pande hizo mbili asubuhi ya Jumamosi, alisema Msemaji wa CODECO na kiongozi mmoja wa jamii za kiraia wa eneo hilo. Wapiganaji wa CODECO wanasema lengo lao ni kuwalinda Wakulima wa Lendu dhidi ya Wafungaji wa Hema, ambao kihistoria wamekuwa wakigombana kuhusu ardhi.

    Kundi hilo ni moja ya makundi mengi ya Waasi yanayopigania ardhi na rasilimali za madini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, ambapo Waasi wa M23 wameongeza mashambulizi mwaka huu na kupata mafanikio makubwa. Uganda ilituma wanajeshi DR Congo mwaka 2021 kusaidia Serikali kupambana na kundi lingine la Waasi, Allied Democratic Forces (ADF), ambalo lina uhusiano na Islamic State na linafanya mashambulizi ya kikatili kwenye baadhi ya Vijiji.

    Jeshi la Nchi ya Uganda 🇺🇬 limesema limewaua Wapiganaji 242 wa kundi la Waasi Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo 🇨🇩 linalojulikana kama CODECO baada ya kushambulia kambi ya Jeshi hilo la Uganda mpakani mashariki mwa DR Congo mapema wiki hii ambapo madai yamepingwa na Kundi hilo. Msemaji wa Jeshi la Uganda, Chris Magezi, amesema mamia ya Wapiganaji wa kundi la CODECO walishambulia kituo cha kijeshi cha Uganda People's Defence Forces (UPDF) katika eneo la Fataki, Mkoani Ituri, siku ya Jumatano na Alhamisi. Jeshi hilo lilijibu mashambulizi hayo mara zote mbili, likiwaangamiza Wapiganaji 31 siku ya kwanza na 211 siku ya pili, Magezi alisema katika chapisho kwenye akaunti yake ya Mtandao wa X Ijumaa usiku na kuongeza kuwa askari mmoja wa UPDF aliuawa na wengine wanne kujeruhiwa. Msemaji wa CODECO, Basa Zukpa Gerson, alipinga taarifa ya jeshi Jumamosi, akisema kundi hilo lilipoteza wapiganaji wawili tu na kwamba idadi ya vifo vya Wanajeshi wa UPDF ilikuwa juu zaidi. Chanzo kimoja cha Umoja wa Mataifa ambacho hakikutaka kutajwa jina kilisema Waasi 70 na Wanajeshi wa Uganda 12 waliuawa. Kulikuwa na mapigano zaidi kati ya pande hizo mbili asubuhi ya Jumamosi, alisema Msemaji wa CODECO na kiongozi mmoja wa jamii za kiraia wa eneo hilo. Wapiganaji wa CODECO wanasema lengo lao ni kuwalinda Wakulima wa Lendu dhidi ya Wafungaji wa Hema, ambao kihistoria wamekuwa wakigombana kuhusu ardhi. Kundi hilo ni moja ya makundi mengi ya Waasi yanayopigania ardhi na rasilimali za madini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, ambapo Waasi wa M23 wameongeza mashambulizi mwaka huu na kupata mafanikio makubwa. Uganda ilituma wanajeshi DR Congo mwaka 2021 kusaidia Serikali kupambana na kundi lingine la Waasi, Allied Democratic Forces (ADF), ambalo lina uhusiano na Islamic State na linafanya mashambulizi ya kikatili kwenye baadhi ya Vijiji.
    Like
    1
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·274 Ansichten
  • Zungu

    Miaka miwili ya Rais Ibrahim Traore wa Burkina Faso: na hii ni Ripoti tangu kuchukua uongozi wa Taifa hilo la Afrika Magharibi

    1. GDP ya Burkina Faso iliongezeka kutoka karibu dola bilioni 18.8 hadi $ 22.1 bilioni.

    2. Alikataa mikopo kutoka kwa Mfuko wa Fedha wa Kimataifa (IMF) na Benki ya Dunia, akisema, "Afrika haiitaji Benki ya Dunia, IMF, Ulaya, au Amerika."

    3. Alikata mishahara ya mawaziri na wabunge kwa 30% wakati akiinua mishahara ya wafanyikazi wa umma na 50%.

    4. Alisafisha deni la ndani la Burkina Faso.

    5. Alianzisha mimea ya kwanza ya usindikaji wa nyanya.

    6. Mnamo 2023, alizindua mgodi wa dhahabu wa kisasa ili kuimarisha uwezo wa usindikaji wa ndani.

    7. Alisimamisha usafirishaji wa dhahabu isiyo wazi kutoka Burkina Faso kwenda Ulaya.

    8. Aliunda mmea wa pili wa usindikaji wa pamba wa Burkina Faso, na kuongeza kwenye ile iliyopo.

    9. Alianzisha Kituo cha Msaada wa Kitaifa cha Usindikaji wa Pamba ya Artisanal, wa kwanza wa aina yake, kusaidia wakulima wa pamba wa ndani.

    10. Alikataza matumizi ya wigs za kisheria za Uingereza na gauni katika korti za mitaa, na kuzibadilisha na mavazi ya jadi ya burkinabé.

    11. Alitanguliza kilimo kwa kusambaza matrekta zaidi ya 400, viboreshaji 239, pampu 710 za gari, na pikipiki 714 ili kuongeza uzalishaji na kusaidia jamii za vijijini.

    12. Aliwezesha ufikiaji wa mbegu zilizoboreshwa na pembejeo zingine za kilimo ili kuongeza mavuno ya kilimo.

    Uzalishaji wa nyanya ulikua kutoka tani 315,000 za tani mnamo 2022 hadi tani 360,000 za tani mnamo 2024.

    Uzalishaji wa Millet uliongezeka kutoka tani 907,000 za tani 2022 hadi tani milioni 1.1 mnamo 2024.

    15. Uzalishaji wa mchele uliongezeka kutoka tani 280,000 za tani 2022 hadi tani 326,000 mnamo 2024.

    16. Alipiga marufuku shughuli za kijeshi za Ufaransa huko Burkina Faso.

    17. Alikataza vyombo vya habari vya Ufaransa kufanya kazi nchini.

    18. Aliwafukuza askari wa Ufaransa kutoka Burkina Faso.

    19. Serikali yake inaunda barabara mpya, kupanua zile zilizopo, na kubadilisha barabara za changarawe kuwa nyuso za lami.

    20. Anajenga kinu kikubwa cha nyuklia kwa ajili ya umeme wa uhakika wa nchi yake ya Burkina faso

    Zungu ✍️ Miaka miwili ya Rais Ibrahim Traore wa Burkina Faso: na hii ni Ripoti tangu kuchukua uongozi wa Taifa hilo la Afrika Magharibi 1. GDP ya Burkina Faso iliongezeka kutoka karibu dola bilioni 18.8 hadi $ 22.1 bilioni. 2. Alikataa mikopo kutoka kwa Mfuko wa Fedha wa Kimataifa (IMF) na Benki ya Dunia, akisema, "Afrika haiitaji Benki ya Dunia, IMF, Ulaya, au Amerika." 3. Alikata mishahara ya mawaziri na wabunge kwa 30% wakati akiinua mishahara ya wafanyikazi wa umma na 50%. 4. Alisafisha deni la ndani la Burkina Faso. 5. Alianzisha mimea ya kwanza ya usindikaji wa nyanya. 6. Mnamo 2023, alizindua mgodi wa dhahabu wa kisasa ili kuimarisha uwezo wa usindikaji wa ndani. 7. Alisimamisha usafirishaji wa dhahabu isiyo wazi kutoka Burkina Faso kwenda Ulaya. 8. Aliunda mmea wa pili wa usindikaji wa pamba wa Burkina Faso, na kuongeza kwenye ile iliyopo. 9. Alianzisha Kituo cha Msaada wa Kitaifa cha Usindikaji wa Pamba ya Artisanal, wa kwanza wa aina yake, kusaidia wakulima wa pamba wa ndani. 10. Alikataza matumizi ya wigs za kisheria za Uingereza na gauni katika korti za mitaa, na kuzibadilisha na mavazi ya jadi ya burkinabé. 11. Alitanguliza kilimo kwa kusambaza matrekta zaidi ya 400, viboreshaji 239, pampu 710 za gari, na pikipiki 714 ili kuongeza uzalishaji na kusaidia jamii za vijijini. 12. Aliwezesha ufikiaji wa mbegu zilizoboreshwa na pembejeo zingine za kilimo ili kuongeza mavuno ya kilimo. Uzalishaji wa nyanya ulikua kutoka tani 315,000 za tani mnamo 2022 hadi tani 360,000 za tani mnamo 2024. Uzalishaji wa Millet uliongezeka kutoka tani 907,000 za tani 2022 hadi tani milioni 1.1 mnamo 2024. 15. Uzalishaji wa mchele uliongezeka kutoka tani 280,000 za tani 2022 hadi tani 326,000 mnamo 2024. 16. Alipiga marufuku shughuli za kijeshi za Ufaransa huko Burkina Faso. 17. Alikataza vyombo vya habari vya Ufaransa kufanya kazi nchini. 18. Aliwafukuza askari wa Ufaransa kutoka Burkina Faso. 19. Serikali yake inaunda barabara mpya, kupanua zile zilizopo, na kubadilisha barabara za changarawe kuwa nyuso za lami. 20. Anajenga kinu kikubwa cha nyuklia kwa ajili ya umeme wa uhakika wa nchi yake ya Burkina faso
    Love
    1
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·363 Ansichten
  • Historia ya Wazazi wa Jackie Chan inavutia zaidi hadi Jackie Chan aliamua kuandaa "Documentary" maalum kwa ajili ya kueleza Wazazi wake walivyokutana na walikuwa wanafanya kazi gani.

    Katika kipindi chote Jackie Chan alichoishi na Wazazi wake hakuwahi kufahamu Wazazi wake walikutana vipi pamoja na kazi halisi za awali za Wazazi wake mpaka hapo Baba yake alipokuwa ana umri wa miaka 80 akaamua kumwambia ukweli maana aliamini umri wake umeenda sana hivyo muda wowote anaweza kufariki bila kumueleza ukweli Jackie Chan.

    Baba Mzazi wa Jackie Chan, Charles Chan (1914 - 2008) siku moja akiwa barabarani kwenye gari na Jackie Chan alifunguka kuwa tangu zamani alikuwa Mpelelezi (Shushushu) kwenye Serikali ya China na Mama yake Jackie Chan, Lee-Lee Chan (1916-2002) alikuwa muuza madawa ya kulevya, siku moja katika "operation" ya kukamata Wauza madawa Charles Chan alimkamata Lee-Lee Chan lakini baada ya kumfikisha kwenye vyombo vya dola walijikuta wamependana na wakafunga ndoa.

    Hadithi hii ilimshitua sana Jackie Chan kwani amekua akijua kwamba Baba yake ni Mpishi na amewahi kuwa Mpishi kwenye ubalozi wa Ufaransa - Hong Kong, pamoja na ubalozi wa Marekani Nchini Australia .

    Taarifa nyingine iliyomshitua zaidi ni pale alipoambiwa kuwa kuwa jina la Baba yake sio Chan bali ni Fang Daolong, hivyo kama asingebadili jina, Jackie Chan hivi sasa angefahamika kama Jackie Fang, Baba Jackie Chan alikuwa "Spy" kwenye Serikali ya China iliyokuwa ikiundwa na Chama cha Kuomintang, mwaka 1949 baada ya vita kali ya wenyewe kwa wenyewe Chama cha Kikomunisti kikiongozwa na Mao Zedong kiliipindua Serikali ya Kuomintang kikachukua Nchi hapo ilibidi Baba Jackie Chan abadili jina kwa sababu ya kuficha utambulisho wake maana kulikuwa na vita kubwa baina ya vyama hivyo na baadhi ya makachero wa Kuomintang walikuwa wakikamatwa na kuuawa.

    Historia ya Wazazi wa Jackie Chan imeelezwa kwa urefu kwenye "Documentary" iliyoandaliwa na Jackie Chan "Traces of the Dragon: Jackie Chan and His Lost Family" (2003)

    "Baba alikua jasusi na Mama alikua Muuza madawa na mcheza kamari. Walikutana na wakaoana baada ya Baba yangu kumkamata Mama"

    "Tangu nilipokua Mdogo nilikua najua Baba yangu anafanya kazi ya upishi kwenye Ubalozi wa Marekani mpaka alipotimiza miaka 80 na akaniambia kazi yake ya kweli. Nilishtuka, nilishtuka"

    " Kwahiyo kuna siku moja nilikua naendesha gari nikiwa na Baba yangu ghafla, Baba akageuka na kusema: 'Jackie, Mimi ni Mzee sana na huenda nisiamke kesho. Kuna kitu lazima nikuambie, ni siri' kisha akasema: kwa kweli wewe sio Jackie Chan, jina lako unaitwa Fong.'

    "Nikahisi kupatwa na mshtuko, kwangu ilikua kitu cha kustaajabisha. Kwa haraka nikamuambia asiendelee kuongea nikampigia rafiki yangu ili tutengeneze documentary ya stori ya Baba yangu. Ilituchukua miaka 3 ya kumfata Baba yangu na kuongea nae kuhusu stori yote."

    " Nilihisi mimi ndiye Mwanae wa pekee lakini nilishtuka baada ya kujua kwamba nina ndugu zangu wanne kwa Wazazi wangu. Kaka zangu wawili, upande wa Baba na Dada zangu wawili upande wa Mama. Alilazimika kunificha yote hayo kwa sababu ya kazi yake, baba alikua jasusi. Nilivutiwa sana baada ya kujua kwamba Baba yangu alikua mpole sana. Miaka yote ile nilidhania ni Mpishi. Nimetengeneza movie kupitia hii stori." - Jackie Chan

    Historia ya Wazazi wa Jackie Chan inavutia zaidi hadi Jackie Chan aliamua kuandaa "Documentary" maalum kwa ajili ya kueleza Wazazi wake walivyokutana na walikuwa wanafanya kazi gani. Katika kipindi chote Jackie Chan alichoishi na Wazazi wake hakuwahi kufahamu Wazazi wake walikutana vipi pamoja na kazi halisi za awali za Wazazi wake mpaka hapo Baba yake alipokuwa ana umri wa miaka 80 akaamua kumwambia ukweli maana aliamini umri wake umeenda sana hivyo muda wowote anaweza kufariki bila kumueleza ukweli Jackie Chan. Baba Mzazi wa Jackie Chan, Charles Chan (1914 - 2008) siku moja akiwa barabarani kwenye gari na Jackie Chan alifunguka kuwa tangu zamani alikuwa Mpelelezi (Shushushu) kwenye Serikali ya China na Mama yake Jackie Chan, Lee-Lee Chan (1916-2002) alikuwa muuza madawa ya kulevya, siku moja katika "operation" ya kukamata Wauza madawa Charles Chan alimkamata Lee-Lee Chan lakini baada ya kumfikisha kwenye vyombo vya dola walijikuta wamependana na wakafunga ndoa. Hadithi hii ilimshitua sana Jackie Chan kwani amekua akijua kwamba Baba yake ni Mpishi na amewahi kuwa Mpishi kwenye ubalozi wa Ufaransa 🇫🇷 - Hong Kong, pamoja na ubalozi wa Marekani 🇺🇸 Nchini Australia 🇦🇺. Taarifa nyingine iliyomshitua zaidi ni pale alipoambiwa kuwa kuwa jina la Baba yake sio Chan bali ni Fang Daolong, hivyo kama asingebadili jina, Jackie Chan hivi sasa angefahamika kama Jackie Fang, Baba Jackie Chan alikuwa "Spy" kwenye Serikali ya China iliyokuwa ikiundwa na Chama cha Kuomintang, mwaka 1949 baada ya vita kali ya wenyewe kwa wenyewe Chama cha Kikomunisti kikiongozwa na Mao Zedong kiliipindua Serikali ya Kuomintang kikachukua Nchi hapo ilibidi Baba Jackie Chan abadili jina kwa sababu ya kuficha utambulisho wake maana kulikuwa na vita kubwa baina ya vyama hivyo na baadhi ya makachero wa Kuomintang walikuwa wakikamatwa na kuuawa. Historia ya Wazazi wa Jackie Chan imeelezwa kwa urefu kwenye "Documentary" iliyoandaliwa na Jackie Chan "Traces of the Dragon: Jackie Chan and His Lost Family" (2003) "Baba alikua jasusi na Mama alikua Muuza madawa na mcheza kamari. Walikutana na wakaoana baada ya Baba yangu kumkamata Mama" "Tangu nilipokua Mdogo nilikua najua Baba yangu anafanya kazi ya upishi kwenye Ubalozi wa Marekani mpaka alipotimiza miaka 80 na akaniambia kazi yake ya kweli. Nilishtuka, nilishtuka" " Kwahiyo kuna siku moja nilikua naendesha gari nikiwa na Baba yangu ghafla, Baba akageuka na kusema: 'Jackie, Mimi ni Mzee sana na huenda nisiamke kesho. Kuna kitu lazima nikuambie, ni siri' kisha akasema: kwa kweli wewe sio Jackie Chan, jina lako unaitwa Fong.' "Nikahisi kupatwa na mshtuko, kwangu ilikua kitu cha kustaajabisha. Kwa haraka nikamuambia asiendelee kuongea nikampigia rafiki yangu ili tutengeneze documentary ya stori ya Baba yangu. Ilituchukua miaka 3 ya kumfata Baba yangu na kuongea nae kuhusu stori yote." " Nilihisi mimi ndiye Mwanae wa pekee lakini nilishtuka baada ya kujua kwamba nina ndugu zangu wanne kwa Wazazi wangu. Kaka zangu wawili, upande wa Baba na Dada zangu wawili upande wa Mama. Alilazimika kunificha yote hayo kwa sababu ya kazi yake, baba alikua jasusi. Nilivutiwa sana baada ya kujua kwamba Baba yangu alikua mpole sana. Miaka yote ile nilidhania ni Mpishi. Nimetengeneza movie kupitia hii stori." - Jackie Chan
    Like
    1
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·419 Ansichten
  • Rais wa Nchi ya Iran , Ayatollah Ali Khamenei, amesema kuwa vitisho vya Nchi ya Marekani dhidi ya Taifa lake havisaidii lolote na havitaleta matokeo yoyote kama Rais Donald Tramp anavyofikiria. Kiongozi huyo amesema hayo baada ya Rais Trump kuonya uwezekano wa hatua za kijeshi kuchukuliwa dhidi ya Iran.

    "Wamarekani wanapaswa kuelewa kwamba vitisho havitafanikiwa wanapokabiliana na Iran. Wao (Marekani) na wengine wanapaswa kufahamu kuwa wakifanya lolote baya dhidi ya taifa la Iran, watajibiwa kwa nguvu kubwa." alisema Rais Khemenei

    Mnamo Machi 7, Rais Trump alisema kuwa alimwandikia barua Rais Khamenei, akimtaka kuanzisha mazungumzo kuhusu mpango wa nyuklia wa Iran, huku akionya kuwa kuna uwezekano wa kuchukua hatua za kijeshi iwapo Iran itakataa. Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, alisema Alhamisi wiki hii kuwa barua hiyo ilikuwa zaidi ya tishio, ingawa pia ilionesha uwezekano wa mazungumzo.

    "Tunachunguza kwa kina maudhui ya barua hiyo, na tutajibu rasmi katika siku chache zijazo” alisema Waziri huyo

    Kulingana na ripoti ya tovuti ya habari ya Marekani, Axios, ikimnukuu Afisa wa Serikali ya Trump na vyanzo vingine vikisema, barua hiyo inaweka muda wa miezi miwili wa kufikia makubaliano mapya ya nyuklia. Hata hivyo, haijabainishwa ni lini muda huo utaanza au kuisha. Kwa muda mrefu, Rais Khamenei amepuuza wito wa Rais Trump wa mazungumzo ya moja kwa moja, akisema kuwa Rais huyo wa Marekani anajaribu kudanganya ulimwengu kwa kuonesha kuwa Marekani iko tayari kwa mazungumzo huku Iran ikionekana kutotaka kushiriki.

    Ikumbukwe kwamba Trump ambaye alianza muhula wake wa pili Januari 2025, amerudisha sera yake ya shinikizo la juu dhidi ya Iran. Wakati wa kipindi chake cha kwanza, Trump aliiondoa Marekani kwenye makubaliano ya kihistoria ya nyuklia ya 2015 kati ya Iran na mataifa yenye nguvu ulimwenguni na akairejeshea Tehran vikwazo vikubwa vya kiuchumi.

    Rais wa Nchi ya Iran 🇮🇷, Ayatollah Ali Khamenei, amesema kuwa vitisho vya Nchi ya Marekani 🇺🇸 dhidi ya Taifa lake havisaidii lolote na havitaleta matokeo yoyote kama Rais Donald Tramp anavyofikiria. Kiongozi huyo amesema hayo baada ya Rais Trump kuonya uwezekano wa hatua za kijeshi kuchukuliwa dhidi ya Iran. "Wamarekani wanapaswa kuelewa kwamba vitisho havitafanikiwa wanapokabiliana na Iran. Wao (Marekani) na wengine wanapaswa kufahamu kuwa wakifanya lolote baya dhidi ya taifa la Iran, watajibiwa kwa nguvu kubwa." alisema Rais Khemenei Mnamo Machi 7, Rais Trump alisema kuwa alimwandikia barua Rais Khamenei, akimtaka kuanzisha mazungumzo kuhusu mpango wa nyuklia wa Iran, huku akionya kuwa kuna uwezekano wa kuchukua hatua za kijeshi iwapo Iran itakataa. Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, alisema Alhamisi wiki hii kuwa barua hiyo ilikuwa zaidi ya tishio, ingawa pia ilionesha uwezekano wa mazungumzo. "Tunachunguza kwa kina maudhui ya barua hiyo, na tutajibu rasmi katika siku chache zijazo” alisema Waziri huyo Kulingana na ripoti ya tovuti ya habari ya Marekani, Axios, ikimnukuu Afisa wa Serikali ya Trump na vyanzo vingine vikisema, barua hiyo inaweka muda wa miezi miwili wa kufikia makubaliano mapya ya nyuklia. Hata hivyo, haijabainishwa ni lini muda huo utaanza au kuisha. Kwa muda mrefu, Rais Khamenei amepuuza wito wa Rais Trump wa mazungumzo ya moja kwa moja, akisema kuwa Rais huyo wa Marekani anajaribu kudanganya ulimwengu kwa kuonesha kuwa Marekani iko tayari kwa mazungumzo huku Iran ikionekana kutotaka kushiriki. Ikumbukwe kwamba Trump ambaye alianza muhula wake wa pili Januari 2025, amerudisha sera yake ya shinikizo la juu dhidi ya Iran. Wakati wa kipindi chake cha kwanza, Trump aliiondoa Marekani kwenye makubaliano ya kihistoria ya nyuklia ya 2015 kati ya Iran na mataifa yenye nguvu ulimwenguni na akairejeshea Tehran vikwazo vikubwa vya kiuchumi.
    0 Kommentare ·0 Anteile ·359 Ansichten
  • Nchi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imetangaza rasmi kuondoa hitaji la visa kwa Watanzania wanaoingia Nchini humo, kuanzia tarehe 20 Machi, 2025. Hatua hii ni sehemu ya utekelezaji wa uanachama wa DR Congo katika Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) na jitihada za kuimarisha uhusiano wa kidiplomasia na kiuchumi kati ya mataifa hayo mawili.

    Ikumbukwe kwamba Nchi ya Tanzania ilikuwa imeondoa utaratibu wa malipo ya visa kwa Raia wa DRC tangu Septemba 2, 2023, ikitarajia hatua ya kurudishiwa fadhila. Uamuzi wa sasa wa DR Congo unaimarisha mahusiano ya ujirani mwema na kufungua fursa zaidi za biashara na ushirikiano wa kikanda.

    Serikali ya Tanzania imesifu hatua hiyo, ikisisitiza kuwa inalingana na ajenda za Jumuiya ya Afrika Mashariki na Mkataba wa Eneo Huru la Biashara la Afrika (AfCFTA). Hatua hii inaashiria ushirikiano bora wa kidiplomasia na unaleta unafuu mkubwa kwa Wafanyabiashara na wasafiri wa pande zote mbili.

    Nchi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo 🇨🇩 imetangaza rasmi kuondoa hitaji la visa kwa Watanzania wanaoingia Nchini humo, kuanzia tarehe 20 Machi, 2025. Hatua hii ni sehemu ya utekelezaji wa uanachama wa DR Congo katika Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) na jitihada za kuimarisha uhusiano wa kidiplomasia na kiuchumi kati ya mataifa hayo mawili. Ikumbukwe kwamba Nchi ya Tanzania 🇹🇿 ilikuwa imeondoa utaratibu wa malipo ya visa kwa Raia wa DRC tangu Septemba 2, 2023, ikitarajia hatua ya kurudishiwa fadhila. Uamuzi wa sasa wa DR Congo unaimarisha mahusiano ya ujirani mwema na kufungua fursa zaidi za biashara na ushirikiano wa kikanda. Serikali ya Tanzania imesifu hatua hiyo, ikisisitiza kuwa inalingana na ajenda za Jumuiya ya Afrika Mashariki na Mkataba wa Eneo Huru la Biashara la Afrika (AfCFTA). Hatua hii inaashiria ushirikiano bora wa kidiplomasia na unaleta unafuu mkubwa kwa Wafanyabiashara na wasafiri wa pande zote mbili.
    0 Kommentare ·0 Anteile ·316 Ansichten
Suchergebnis