• ateba leonel
    ateba leonel
    Haha
    Like
    3
    · 1 Comments ·0 Shares ·107 Views
  • #Hamieni LEON bet hamtaki #

    #Photographchallenge#
    #Hamieni LEON bet hamtaki # 😄😄😄 #Photographchallenge#
    1 Comments ·0 Shares ·217 Views
  • USICHOJUA KUHUSU WANAOTUMIA MASHOTO

    Mashoto ni watu waliokithiri katika utumiaji wa mkono wa kushoto

    Sasa leo nakujuza juu ya watu wanaotumia mkono wa kushoto

    1. Zaidi ya watu 836, 000, 000 wanatumia mkono wa kushoto duniani....ambapo ni sawa na asilimia kati ya 8 hadi 15 ya watu wote duniani....kumbuka hadi sasa hivi kuna watu bilion 7 duniani

    2. Wanaitumia mikono ya kushoto wengi wao ni wanaume

    3. Katika tafiti zilizofanyika hakuna iliyokuja na jibu la moja kwa moja ni kwa nini kuwa watu wengi wanatumia mkono wa kulia kuliko wa kushoto....lakini baadhi ya wataalamu walisema kuwa sehemu kubwa ya akili inatawala upande wa kulia

    4. Tar 13 mwezi 8 kila mwaka ni siku ya watu wanaotukia mkono wa kushoto duniani ....ambapi siku hiyo inatumika kuielimisha jamii juu ya matumuzi ya mkono wa kushoto na kutoa yale mawazo mabaya juu ya wanaotumia mkono wa kushoto...hapa Tanzania huwa wanauita mkonk wa shetani au mkono wa mavi kitu ambacho kwa namna moja au nyengine huweza kumuathiri mtu aliyezaliwa akiwa anatumia mkono wa kushoto....na pia kuna klabu ya watu wanaotumua mkono wa kushoto duniani (LEFT HANDERS CLUB)

    5. Wanaotumia mkono wa kushoto huwa wanapenda sana pombe

    6. Wanaotumia mkono wa kushoto huwa na akili sana kuliko wanaotumua mkono wa kulia

    7. Huwa ni wagumu katika kujifunza lugha

    8. Wanauwezo wakufanya kazi zaidi ya moja (mult-tasking) na pia wana uwezo wa kukumbuka zaidi

    9. Wanaishi maisha mafupi zaidi ya wanaotumia mkono wa kulia... Wanaotumia mkono wa kulia wanaishi miaka 9 zaidi ya wanaotumia mkono wa kushoto

    10. Wanauwezo wa kupona ugonjwa wa kupooza (stroke) haraka zaidi ya wanaotumia mkono wa kulia

    11. Ni wazuri zaidi kwenye masuala ya michezo....kwa mfano asilimia 40 ya wachezaji bora wa tenis duniani wanatumia mkono wa kushoto

    12. Watu wanaotumia mkono wa kushoto ni wabunifu zaidi ya wanaotumia mkono wa kulia

    13. Kama ulikuwa hujui Kucha za mkono wa kushoto hukua zaidi ya mkono wa kulia

    14. Hawa ndio watu maarufu wanaotumia mkonobwa kushoto... Amitha bachan,.. Charlie Chaplin, Angelina Jolie , Brad Pitt , Rambo, celine Dion, Aristotle, Albert Eistein , Napoleon Bornaparte, Julius Cesar, Neil Armstrong .. Boby Charlton, Pele, Maradona , Barack Obama, Bill Clinton, Justin Bieber
    USICHOJUA KUHUSU WANAOTUMIA MASHOTO Mashoto ni watu waliokithiri katika utumiaji wa mkono wa kushoto Sasa leo nakujuza juu ya watu wanaotumia mkono wa kushoto 1. Zaidi ya watu 836, 000, 000 wanatumia mkono wa kushoto duniani....ambapo ni sawa na asilimia kati ya 8 hadi 15 ya watu wote duniani....kumbuka hadi sasa hivi kuna watu bilion 7 duniani 2. Wanaitumia mikono ya kushoto wengi wao ni wanaume 3. Katika tafiti zilizofanyika hakuna iliyokuja na jibu la moja kwa moja ni kwa nini kuwa watu wengi wanatumia mkono wa kulia kuliko wa kushoto....lakini baadhi ya wataalamu walisema kuwa sehemu kubwa ya akili inatawala upande wa kulia 4. Tar 13 mwezi 8 kila mwaka ni siku ya watu wanaotukia mkono wa kushoto duniani ....ambapi siku hiyo inatumika kuielimisha jamii juu ya matumuzi ya mkono wa kushoto na kutoa yale mawazo mabaya juu ya wanaotumia mkono wa kushoto...hapa Tanzania huwa wanauita mkonk wa shetani au mkono wa mavi kitu ambacho kwa namna moja au nyengine huweza kumuathiri mtu aliyezaliwa akiwa anatumia mkono wa kushoto....na pia kuna klabu ya watu wanaotumua mkono wa kushoto duniani (LEFT HANDERS CLUB) 5. Wanaotumia mkono wa kushoto huwa wanapenda sana pombe 6. Wanaotumia mkono wa kushoto huwa na akili sana kuliko wanaotumua mkono wa kulia 7. Huwa ni wagumu katika kujifunza lugha 8. Wanauwezo wakufanya kazi zaidi ya moja (mult-tasking) na pia wana uwezo wa kukumbuka zaidi 9. Wanaishi maisha mafupi zaidi ya wanaotumia mkono wa kulia... Wanaotumia mkono wa kulia wanaishi miaka 9 zaidi ya wanaotumia mkono wa kushoto 10. Wanauwezo wa kupona ugonjwa wa kupooza (stroke) haraka zaidi ya wanaotumia mkono wa kulia 11. Ni wazuri zaidi kwenye masuala ya michezo....kwa mfano asilimia 40 ya wachezaji bora wa tenis duniani wanatumia mkono wa kushoto 12. Watu wanaotumia mkono wa kushoto ni wabunifu zaidi ya wanaotumia mkono wa kulia 13. Kama ulikuwa hujui Kucha za mkono wa kushoto hukua zaidi ya mkono wa kulia 14. Hawa ndio watu maarufu wanaotumia mkonobwa kushoto... Amitha bachan,.. Charlie Chaplin, Angelina Jolie , Brad Pitt , Rambo, celine Dion, Aristotle, Albert Eistein , Napoleon Bornaparte, Julius Cesar, Neil Armstrong .. Boby Charlton, Pele, Maradona , Barack Obama, Bill Clinton, Justin Bieber
    0 Comments ·0 Shares ·294 Views
  • Wajue maraisi watano wa Africa waliouwawa baada ya kupinduliwa.

    Kama yalivyo maeneo mengine ya dunia, bara la Afrika halijasalimika na mapinduzi ya kirai na kijeshi. Lakini wakati mwingine mapinduzi haya, hupelekea mauaji ya wanaopinduliwa.

    Miongoni hao marais wapo ambao walipinduliwa lakini roho zao zikasalimika, wapo ambao waliponea katika tundu la sindano, na wengine bahati hazikuwa za kwao, wakaishi kuuawa.

    Makala hii inaangazia orodha ya marais watano waliouawa barani Afrika, baada ya serikali zao kuzindiwa nguvu na kuondolewa madarakani, tangu mataifa ya Afrika yapate uhuru:

    Sylvanus Épiphanio Olympio, alizaliwa tarehe 6 Septemba 1902. Familia ya Olympio ilikuwa moja wapo ya familia tajiri nchini Togo mwanzoni mwa miaka ya 1900.

    Alisoma na kuhitimu London School of Economics. Baada ya Vita vya Pili vya Dunia, Olympio alipata umaarufu mkubwa katika juhudi za kupigania uhuru wa Togo na chama chake kilishinda uchaguzi wa 1958, na kumfanya kuwa waziri mkuu wa nchi hiyo.

    Nguvu yake iliimarika zaidi pale Togo ilipopata uhuru na akashinda uchaguzi wa 1961, na kumfanya kuwa rais wa kwanza wa Togo.

    Tarehe 13 Januari 1963, Olympio na mke wake waliamshwa na wanajeshi waliokuwa wakivunja nyumba yao. Aliuawa 1963, miaka mitatu tu baada ya kuchukua madaraka.

    Mwili wa Olympio ulipatikana na Balozi wa Marekani Leon B. Poullada futi tatu kutoka mlango wa Ubalozi wa Marekani. Akawa Rais wa kwanza kuuawa baada ya mapinduzi barani Afrika.

    William Richard Tolbert alizaliwa 13 Mei 1913, alikuwa mwanasiasa wa Liberia na rais wa 20 wa Liberia kuanzia 1971 hadi mwaka 1980.

    Tolbert aliingia katika Baraza la Wawakilishi mwaka 1943 kupitia chama cha True Whig, kikiwa chama pekee kilichoanzishwa nchini Liberia wakati huo. Tolbert alichaguliwa kuwa makamu wa rais wa 23 wa Liberia chini ya rais William Tubman mwaka 1952 na alihudumu katika nafasi hiyo hadi alipokuwa rais kufuatia kifo cha Tubman mwaka 1971.

    Mapema tarehe 12 Aprili 1980, maofisa 17 wa Jeshi la Liberia wakiongozwa na Sajenti Samuel Doe walianzisha mapinduzi. Kundi hilo liliingia katika Ikulu ya Rais na kumuua Tolbert, na mwili wake ulitupwa kwenye kaburi la pamoja na wahanga wengine 27 wa mapinduzi hayo. Mwili wa Tolbert baadaye ulitolewa na kupelekwa Monrovia kwa mazishi rasmi.
    Wajue maraisi watano wa Africa waliouwawa baada ya kupinduliwa. Kama yalivyo maeneo mengine ya dunia, bara la Afrika halijasalimika na mapinduzi ya kirai na kijeshi. Lakini wakati mwingine mapinduzi haya, hupelekea mauaji ya wanaopinduliwa. Miongoni hao marais wapo ambao walipinduliwa lakini roho zao zikasalimika, wapo ambao waliponea katika tundu la sindano, na wengine bahati hazikuwa za kwao, wakaishi kuuawa. Makala hii inaangazia orodha ya marais watano waliouawa barani Afrika, baada ya serikali zao kuzindiwa nguvu na kuondolewa madarakani, tangu mataifa ya Afrika yapate uhuru: Sylvanus Épiphanio Olympio, alizaliwa tarehe 6 Septemba 1902. Familia ya Olympio ilikuwa moja wapo ya familia tajiri nchini Togo mwanzoni mwa miaka ya 1900. Alisoma na kuhitimu London School of Economics. Baada ya Vita vya Pili vya Dunia, Olympio alipata umaarufu mkubwa katika juhudi za kupigania uhuru wa Togo na chama chake kilishinda uchaguzi wa 1958, na kumfanya kuwa waziri mkuu wa nchi hiyo. Nguvu yake iliimarika zaidi pale Togo ilipopata uhuru na akashinda uchaguzi wa 1961, na kumfanya kuwa rais wa kwanza wa Togo. Tarehe 13 Januari 1963, Olympio na mke wake waliamshwa na wanajeshi waliokuwa wakivunja nyumba yao. Aliuawa 1963, miaka mitatu tu baada ya kuchukua madaraka. Mwili wa Olympio ulipatikana na Balozi wa Marekani Leon B. Poullada futi tatu kutoka mlango wa Ubalozi wa Marekani. Akawa Rais wa kwanza kuuawa baada ya mapinduzi barani Afrika. William Richard Tolbert alizaliwa 13 Mei 1913, alikuwa mwanasiasa wa Liberia na rais wa 20 wa Liberia kuanzia 1971 hadi mwaka 1980. Tolbert aliingia katika Baraza la Wawakilishi mwaka 1943 kupitia chama cha True Whig, kikiwa chama pekee kilichoanzishwa nchini Liberia wakati huo. Tolbert alichaguliwa kuwa makamu wa rais wa 23 wa Liberia chini ya rais William Tubman mwaka 1952 na alihudumu katika nafasi hiyo hadi alipokuwa rais kufuatia kifo cha Tubman mwaka 1971. Mapema tarehe 12 Aprili 1980, maofisa 17 wa Jeshi la Liberia wakiongozwa na Sajenti Samuel Doe walianzisha mapinduzi. Kundi hilo liliingia katika Ikulu ya Rais na kumuua Tolbert, na mwili wake ulitupwa kwenye kaburi la pamoja na wahanga wengine 27 wa mapinduzi hayo. Mwili wa Tolbert baadaye ulitolewa na kupelekwa Monrovia kwa mazishi rasmi.
    0 Comments ·0 Shares ·213 Views
  • Maombi na Dua kwa Jose Chameleone yanaendelea kama kawaida
    Maombi na Dua kwa Jose Chameleone yanaendelea kama kawaida 🙌
    0 Comments ·0 Shares ·138 Views
  • Profesa Jay amuombea afya Njema Chameleone.!
    Profesa Jay amuombea afya Njema Chameleone.!
    0 Comments ·0 Shares ·257 Views
  • Leonel Ateba akizungumza namna wachezaji wamejiandaa kuwakabili CS Constantine.

    #paulswai
    🎙️ Leonel Ateba akizungumza namna wachezaji wamejiandaa kuwakabili CS Constantine. #paulswai
    Love
    Like
    3
    · 0 Comments ·0 Shares ·220 Views
  • Matokeo ya "droo" ya makundi ya michuano ya klabu bingwa Duniani 2025.

    GROUP A
    Palmeiras
    FC Porto
    Al Ahly FC
    Inter Miami CF

    GROUP B
    Paris Saint Germainy
    Atletico Madrid
    Botafogo
    Seattle Sounders FC

    GROUP C
    Bayern Munich
    SL Benfica
    Boca Juniors
    Auckland City

    GROUP D
    Framingo
    Chelsea FC
    Club Leon
    Esperance De Tunis

    GROUP E
    River Plate
    Inter Milan
    CF Monterrey
    Urawa Red Diamonds

    GROUP F
    Fluminense FC
    Borussia Dortmund
    Ulsan HD FC
    Mamelodi Sundowns

    GROUP G
    Manchester City
    Juventus
    Wydad Athletic
    Al ain

    GROUP H
    Real Madrid CF
    RB Salzburg
    Al Hilal
    CF Pachuca

    Matokeo ya "droo" ya makundi ya michuano ya klabu bingwa Duniani 2025. GROUP A 🇧🇷 Palmeiras 🇵🇹 FC Porto 🇪🇬 Al Ahly FC 🇺🇸 Inter Miami CF GROUP B 🇫🇷 Paris Saint Germainy 🇪🇸 Atletico Madrid 🇧🇷 Botafogo 🇺🇸 Seattle Sounders FC GROUP C 🇩🇪 Bayern Munich 🇵🇹 SL Benfica 🇦🇷 Boca Juniors 🇳🇿 Auckland City GROUP D 🇧🇷 Framingo 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 Chelsea FC 🇲🇽 Club Leon 🇹🇳 Esperance De Tunis GROUP E 🇦🇷 River Plate 🇮🇹 Inter Milan 🇲🇽 CF Monterrey 🇯🇵Urawa Red Diamonds GROUP F 🇧🇷 Fluminense FC 🇩🇪 Borussia Dortmund 🇰🇷 Ulsan HD FC 🇿🇦 Mamelodi Sundowns GROUP G 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 Manchester City 🇮🇹 Juventus 🇲🇦 Wydad Athletic 🇶🇦 Al ain GROUP H 🇪🇸 Real Madrid CF 🇦🇹 RB Salzburg 🇸🇦 Al Hilal 🇲🇽 CF Pachuca
    0 Comments ·0 Shares ·474 Views
  • #HABARI Wanaodaiwa kuwa ni wamiliki wa jengo la ghorofa lililoporomoka katika eneo la Kariakoo na kusababisha vifo vya watu 29, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam wakikabiliwa na mashtaka 31 ya kuua bila kukusudia.

    Washtakiwa hao watatu wamepandishwa kizimbani mahakamani hapo hii leo Novemba 29 na kusomewa mashtaka ya kesi hiyo na hayo na mawakili watatu waandamizi wa serikali Adolf Lema, Grace Mwanga na Erick Kamala mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi, Godfrey Mhini.

    Waliofikishwa mahakamani hapo ni Leondela Mdete (49), mkazi wa Mbezi Beach, Zenabu Islam (61), mkazi wa Kariakoo na Ashour Awadh Ashour (38), mkazi wa Ilala.

    Kwenye mashtaka hayo, washtakiwa hao wanadaiwa Novemba 16, 2024 katika mtaa Mchikichi na Congo, Kariakoo jijini Dar es Salaam, isivyo halali, kwa pamoja walishindwa kutimiza majukumu na kusabashisha vifo vya watu 29.

    #HABARI Wanaodaiwa kuwa ni wamiliki wa jengo la ghorofa lililoporomoka katika eneo la Kariakoo na kusababisha vifo vya watu 29, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam wakikabiliwa na mashtaka 31 ya kuua bila kukusudia. Washtakiwa hao watatu wamepandishwa kizimbani mahakamani hapo hii leo Novemba 29 na kusomewa mashtaka ya kesi hiyo na hayo na mawakili watatu waandamizi wa serikali Adolf Lema, Grace Mwanga na Erick Kamala mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi, Godfrey Mhini. Waliofikishwa mahakamani hapo ni Leondela Mdete (49), mkazi wa Mbezi Beach, Zenabu Islam (61), mkazi wa Kariakoo na Ashour Awadh Ashour (38), mkazi wa Ilala. Kwenye mashtaka hayo, washtakiwa hao wanadaiwa Novemba 16, 2024 katika mtaa Mchikichi na Congo, Kariakoo jijini Dar es Salaam, isivyo halali, kwa pamoja walishindwa kutimiza majukumu na kusabashisha vifo vya watu 29.
    Like
    3
    · 0 Comments ·0 Shares ·221 Views
  • Mpaka sasa Simba Sports wanaongoza kuchukua Tuzo za mchezaji bora wa mechi ligi Kuu NBC

    Katika michezo 11, Wamebeba tuzo 8

    Jean Ahoua (2)
    Che Melone (2)
    Shomari Kapombe
    Debora Mavambo
    Moussa Camara
    Leonel Ateba

    Hii ni dhahiri Simba wana wachezaji wengi wenye ubora mkubwa

    #paulswai
    Mpaka sasa Simba Sports wanaongoza kuchukua Tuzo za mchezaji bora wa mechi ligi Kuu NBC Katika michezo 11, Wamebeba tuzo 8🙌 🏅Jean Ahoua (2) 🏅Che Melone (2) 🏅Shomari Kapombe 🏅Debora Mavambo 🏅Moussa Camara 🏅Leonel Ateba Hii ni dhahiri Simba wana wachezaji wengi wenye ubora mkubwa🔥 #paulswai
    Like
    Love
    8
    · 3 Comments ·0 Shares ·506 Views
  • Leonel Ateba "Siwaogopi Yanga na staki kujua wachezaji wao wanacheza vipi ninachojua mimi nitawafunga kwenye derby "

    #paulswai
    Leonel Ateba 🗣️"Siwaogopi Yanga na staki kujua wachezaji wao wanacheza vipi ninachojua mimi nitawafunga kwenye derby " #paulswai
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·286 Views
  • " Kabla ya mimi kusajili Simba nilipata ofa kutoka Yanga ila kwangu mimi nilichagua kuja kucheza Simba,nilikua naifahamu Simba pekee yake Tanzania tofauti na timu zingine, Yanga nawafahamu ila sio sana Kama Simba SC, mchezaji wa Yanga niliyekuwa namfahamu ni Aziz Ki, Azam siwafahamu"

    Leonel Ateba mbele ya waandishi wa habari kwenye Simba Media Day.
    #paulswai
    " Kabla ya mimi kusajili Simba nilipata ofa kutoka Yanga ila kwangu mimi nilichagua kuja kucheza Simba,nilikua naifahamu Simba pekee yake Tanzania tofauti na timu zingine, Yanga nawafahamu ila sio sana Kama Simba SC, mchezaji wa Yanga niliyekuwa namfahamu ni Aziz Ki, Azam siwafahamu" 🗣️ Leonel Ateba mbele ya waandishi wa habari kwenye Simba Media Day. #paulswai
    Like
    3
    · 0 Comments ·0 Shares ·501 Views
  • Hiki hapa kikosi cha SIMBA kamili kilichopangwa:
    .
    Moussa Camara (40), Shomari Kapombe (12), Mohamed Hussein (15), Che Malone (20), Abdulrazack Hamza (14), Yusuph (21), Kibu Denis (38), Deborah Fernandes (17), Leonel Ateba (13), Jean Charles Ahoua (10), Joshua Mutale (26).
    .
    Wachezaji wa Akiba
    .
    Ally Salim (1), Kelvin Kijili (33), Valentine Nouma (29), Karaboue Chamou (2), Fabrice Ngoma (6), Awesu Awesu (23), Augustine Okajepha (25), Steve Mukwala (11), Edwin Balua (37)

    #paulswai
    Hiki hapa kikosi cha SIMBA kamili kilichopangwa: . Moussa Camara (40), Shomari Kapombe (12), Mohamed Hussein (15), Che Malone (20), Abdulrazack Hamza (14), Yusuph (21), Kibu Denis (38), Deborah Fernandes (17), Leonel Ateba (13), Jean Charles Ahoua (10), Joshua Mutale (26). . Wachezaji wa Akiba . Ally Salim (1), Kelvin Kijili (33), Valentine Nouma (29), Karaboue Chamou (2), Fabrice Ngoma (6), Awesu Awesu (23), Augustine Okajepha (25), Steve Mukwala (11), Edwin Balua (37) #paulswai
    Like
    Love
    3
    · 2 Comments ·0 Shares ·281 Views
  • HABARI NJEMA KWENU WAWEKEZAJI
    Eeee banna Kama wewe ni mdau wa kubashiri na unajiuliza ni wapi pa kupata odds zile kubwa kubwa ambazo zinakupa wewe nafasi na Uhuru wa wewe kushinda mikeka yako
    Basi jibu ni moja tu Leon Bet
    Tumejaza 𝐎𝐃𝐃𝐒 𝐤𝐮𝐛𝐰𝐚 𝐤𝐮𝐥𝐢𝐤𝐨 na ukishinda 𝐭𝐮𝐧𝐚𝐤𝐮𝐥𝐢𝐩𝐚 𝐏𝐚𝐩𝐨 𝐇𝐚𝐩𝐨!

    Unaanzaje kupitwa na maunyama ya #SimbaLaMikeka ?

    Jisajili fasta kupitia Tumejaza 𝐎𝐃𝐃𝐒 𝐤𝐮𝐛𝐰𝐚 𝐤𝐮𝐥𝐢𝐤𝐨 na ukishinda 𝐭𝐮𝐧𝐚𝐤𝐮𝐥𝐢𝐩𝐚 𝐏𝐚𝐩𝐨 𝐇𝐚𝐩𝐨!

    Unaanzaje kupitwa na maunyama ya #SimbaLaMikeka ?

    Jisajili fasta kupitia https://bit.ly/mikeka

    #LEON #LeonBetTZ #SimbaLaMikeka #leonbet #simba

    #LEON #LeonBetTZ #SimbaLaMikeka #leonbet #MasineTz
    HABARI NJEMA KWENU WAWEKEZAJI Eeee banna Kama wewe ni mdau wa kubashiri na unajiuliza ni wapi pa kupata odds zile kubwa kubwa ambazo zinakupa wewe nafasi na Uhuru wa wewe kushinda ✅🟢 mikeka yako 🤩🤩✅ Basi jibu ni moja tu Leon Bet Tumejaza 𝐎𝐃𝐃𝐒 𝐤𝐮𝐛𝐰𝐚 𝐤𝐮𝐥𝐢𝐤𝐨 na ukishinda 𝐭𝐮𝐧𝐚𝐤𝐮𝐥𝐢𝐩𝐚 𝐏𝐚𝐩𝐨 𝐇𝐚𝐩𝐨🎉! Unaanzaje kupitwa na maunyama ya #SimbaLaMikeka 🤩? Jisajili fasta kupitia 👉 Tumejaza 𝐎𝐃𝐃𝐒 𝐤𝐮𝐛𝐰𝐚 𝐤𝐮𝐥𝐢𝐤𝐨 na ukishinda 𝐭𝐮𝐧𝐚𝐤𝐮𝐥𝐢𝐩𝐚 𝐏𝐚𝐩𝐨 𝐇𝐚𝐩𝐨🎉! Unaanzaje kupitwa na maunyama ya #SimbaLaMikeka 🤩? Jisajili fasta kupitia 👉 https://bit.ly/mikeka #LEON #LeonBetTZ #SimbaLaMikeka #leonbet #simba #LEON #LeonBetTZ #SimbaLaMikeka #leonbet #MasineTz
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·626 Views
  • STREKA LA UBAYA UBWELA ⚽️
    .
    — LEONEL ATEBA.
    #paulswai
    STREKA LA UBAYA UBWELA ⚽️ . — LEONEL ATEBA. #paulswai
    1 Comments ·0 Shares ·355 Views ·41

  • LEONEL ATEBA VIBALI VIPO TAYARI ¦ KUANZA NA AL HILAL MCHEZO WA KIRAFIKI.

    Kocha Mkuu wa Simba, Fadlu Davids, amesema anatarajiwa kumtumia straika huyo aliyesajiliwa kutoka USM Alger ya Algeria ambaye hakumpanga katika mchezo uliopita wa Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Fountain Gate kutokana na taratibu za vibali kutokamilika

    "Sikumtumia sio kwa sababu za kiufundi, ila alikuwa na matatizo ya vibali, kwa sasa kila kitu kipo tayari, nitamtumia katika mchezo huo ili kumweka sawa, azoeane na wenzake kuelekea katika mechi yetu ya Kombe la Shirikisho," alisema Fadlu.
    #paulswai
    🚨LEONEL ATEBA VIBALI VIPO TAYARI ¦ KUANZA NA AL HILAL MCHEZO WA KIRAFIKI. 🗣️Kocha Mkuu wa Simba, Fadlu Davids, amesema anatarajiwa kumtumia straika huyo aliyesajiliwa kutoka USM Alger ya Algeria ambaye hakumpanga katika mchezo uliopita wa Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Fountain Gate kutokana na taratibu za vibali kutokamilika 🗣️"Sikumtumia sio kwa sababu za kiufundi, ila alikuwa na matatizo ya vibali, kwa sasa kila kitu kipo tayari, nitamtumia katika mchezo huo ili kumweka sawa, azoeane na wenzake kuelekea katika mechi yetu ya Kombe la Shirikisho," alisema Fadlu. #paulswai
    Like
    Love
    2
    · 2 Comments ·0 Shares ·312 Views
  • Mashine ya kazi Leonel Ateba Kuanza kazi rasmi Msimbazi..!! Mshambuliaji mpya wa Simba, Leonel Ateba sasa ruska kuitumikia klabu yetu katika michezo ya Ligi Kuu baada ya kukamilika kwa vibali vya kazi pamoja na ITC yake kuwasili.

    “Tumekamilisha taratibu zote za vibali, Ateba sasa ruksa kucheza ligi, hata tukipangiwa mechi leo mshambuliaji huyo yupo tayari kucheza, ni mipango ya kocha Fadlu tu kumtumia,”

    amesema Ahmed. Mchezo ujao ni dhidi ya Fountain pale pale uwanjambo Kmc
    Mashine ya kazi Leonel Ateba Kuanza kazi rasmi Msimbazi..!! Mshambuliaji mpya wa Simba, Leonel Ateba sasa ruska kuitumikia klabu yetu katika michezo ya Ligi Kuu baada ya kukamilika kwa vibali vya kazi pamoja na ITC yake kuwasili. “Tumekamilisha taratibu zote za vibali, Ateba sasa ruksa kucheza ligi, hata tukipangiwa mechi leo mshambuliaji huyo yupo tayari kucheza, ni mipango ya kocha Fadlu tu kumtumia,” amesema Ahmed. Mchezo ujao ni dhidi ya Fountain pale pale uwanjambo Kmc
    Like
    Love
    4
    · 1 Comments ·0 Shares ·250 Views
  • Mashine ya kazi Leonel Ateba Kuanza kazi rasmi Msimbazi..!! Mshambuliaji mpya wa Simba, Leonel Ateba sasa ruska kuitumikia klabu yetu katika michezo ya Ligi Kuu baada ya kukamilika kwa vibali vya kazi pamoja na ITC yake kuwasili.

    “Tumekamilisha taratibu zote za vibali, Ateba sasa ruksa kucheza ligi, hata tukipangiwa mechi leo mshambuliaji huyo yupo tayari kucheza, ni mipango ya kocha Fadlu tu kumtumia,”

    amesema Ahmed. Mchezo ujao ni dhidi ya Fountain pale pale uwanjambo Kmc
    #paulswai
    Mashine ya kazi Leonel Ateba Kuanza kazi rasmi Msimbazi..!! Mshambuliaji mpya wa Simba, Leonel Ateba sasa ruska kuitumikia klabu yetu katika michezo ya Ligi Kuu baada ya kukamilika kwa vibali vya kazi pamoja na ITC yake kuwasili. “Tumekamilisha taratibu zote za vibali, Ateba sasa ruksa kucheza ligi, hata tukipangiwa mechi leo mshambuliaji huyo yupo tayari kucheza, ni mipango ya kocha Fadlu tu kumtumia,” amesema Ahmed. Mchezo ujao ni dhidi ya Fountain pale pale uwanjambo Kmc #paulswai
    Love
    Like
    Haha
    4
    · 1 Comments ·0 Shares ·247 Views
  • - Mshambuliaji Freddy Michael Kouablan 🇨🇮 amejiunga na klabu ya USM Alger akitokea Simba SC

    USM Alger imemsajili mshambuliaji huyo baada ya kuachana na mshambuliaji wao Leonel Ateba #paulswai
    - Mshambuliaji Freddy Michael Kouablan 🇨🇮 amejiunga na klabu ya USM Alger 🇩🇿 akitokea Simba SC 🇹🇿 ➡️ USM Alger 🇩🇿 imemsajili mshambuliaji huyo baada ya kuachana na mshambuliaji wao Leonel Ateba 🇨🇲 #paulswai
    Like
    Love
    3
    · 0 Comments ·0 Shares ·308 Views
  • CONFIRMED: Mshambuliaji Leonel Ateba amejiunga na kikosi cha Simba kutoka USM Alger ya Algeria kwa mkataba wa miaka miwili.

    Ateba ambaye ana umri wa miaka 25 raia wa Cameroon amewasili nchini leo na tayari amefanyiwa vipimo vya Afya na amefuzu.
    🚨 CONFIRMED: Mshambuliaji Leonel Ateba amejiunga na kikosi cha Simba kutoka USM Alger ya Algeria kwa mkataba wa miaka miwili. Ateba ambaye ana umri wa miaka 25 raia wa Cameroon 🇨🇲 amewasili nchini leo na tayari amefanyiwa vipimo vya Afya na amefuzu.
    Like
    1
    · 1 Comments ·0 Shares ·341 Views
More Results