VITU VINAVYO VUTA UTAJIRI SEHEMU YA PILI.
#isaya 1:19
Kama mkikubali na kutii mtakula mema ya nchi
Kutokea kwenye andiko hili tunapata kanuni ya pili ambayo ikifuatwa inavuta utajiri .
Kanuni hiyo ni UTII
Maandiko yanasema ili mema ya nchi ya kufuate ni lazima *ukubali na kutiii*
Utii ni kanuni katika ulimwengu wa roho ambayo mtu akiifuata lazima itampa matokeo tu.
Kama unamcha Mungu na utaki kumtii Mungu bsi pia kanuni inakukataa .
Uzuri wa kanuni hizi ni kuwa hata kama mtu asali lakini amezifuata zitampa matokeo tu ,serikari inapenda watu watii matajiri wanafanya biashara na kuwaaamini na kubebana na watu watii.
Kuna kundi kubwa sana umaskini kwao siyo pepo bali ni kwa sababu wamekataa kutii tu na dunia ya mafanikio imewatapika kabisa.
#Mungu alipo wavusha wana islaeri aliwapa kanuni ambazo kama wakifuata na kuzitii ndipo baraka zitatufuata na kama wakitoka nje laana zitawafuata.
Kanuni ni lazima izingatiwe ikifuatwa inakupa baraka usipo ifuata inakupa laana .
#Torati 28:1-14
Kumbukumbu la Torati 28:1-2
[1]Itakuwa utakaposikia sauti ya BWANA, Mungu wako, kwa bidii, kutunza kuyafanya maagizo yake yote nikuagizayo leo, ndipo BWANA, Mungu wako, atakapokutukuza juu ya mataifa yote ya duniani;
[2]na baraka hizi zote zitakujilia na kukupata usikiapo sauti ya BWANA, Mungu wako.
Baraka zinawafuata watu watii peke yake nje ya hapo baraka haziwezi kukufuata na matokeo yake utapata laana .
Abrahamu sababu ya kutiii alistawi sana ,aliambiwa atoke kwenye nchi aliyo zaliwa aende nje ya kwao na sababu alitii mpaka leo anaitwa baba wa mataifa na baba wa imani.
#Mwanzo 12:1-2
[1]BWANA akamwambia Abramu, Toka wewe katika nchi yako, na jamaa zako, na nyumba ya baba yako, uende mpaka nchi nitakayokuonyesha;
[2]nami nitakufanya wewe kuwa taifa kubwa, na kukubariki, na kulikuza jina lako; nawe uwe baraka;
Napenda kuiutia moyo kuwa utiii ni kanuni na inapaswa kuwa tabia yako .
Katika maisha ya kawaida mwanamke mwenye matokeo katika nyumba yake ni yule anaye kubali kuongozwana mume wake yaani anaye mtii mume wake .
Ukishindwa kumtii mume wako umeshindwa kumtii Mungu uwezi pia kuvuta utajiri .
Niwatakie jion njema na baraka tele .
Kwa majina naitwa mwl sylvester Mwakabende kutoka (build new eden ministry).
Karibu katika group letu la watsap .
Tuma neno Add kwa namba .0622625340
#restore men position
#build new eden
#isaya 1:19
Kama mkikubali na kutii mtakula mema ya nchi
Kutokea kwenye andiko hili tunapata kanuni ya pili ambayo ikifuatwa inavuta utajiri .
Kanuni hiyo ni UTII
Maandiko yanasema ili mema ya nchi ya kufuate ni lazima *ukubali na kutiii*
Utii ni kanuni katika ulimwengu wa roho ambayo mtu akiifuata lazima itampa matokeo tu.
Kama unamcha Mungu na utaki kumtii Mungu bsi pia kanuni inakukataa .
Uzuri wa kanuni hizi ni kuwa hata kama mtu asali lakini amezifuata zitampa matokeo tu ,serikari inapenda watu watii matajiri wanafanya biashara na kuwaaamini na kubebana na watu watii.
Kuna kundi kubwa sana umaskini kwao siyo pepo bali ni kwa sababu wamekataa kutii tu na dunia ya mafanikio imewatapika kabisa.
#Mungu alipo wavusha wana islaeri aliwapa kanuni ambazo kama wakifuata na kuzitii ndipo baraka zitatufuata na kama wakitoka nje laana zitawafuata.
Kanuni ni lazima izingatiwe ikifuatwa inakupa baraka usipo ifuata inakupa laana .
#Torati 28:1-14
Kumbukumbu la Torati 28:1-2
[1]Itakuwa utakaposikia sauti ya BWANA, Mungu wako, kwa bidii, kutunza kuyafanya maagizo yake yote nikuagizayo leo, ndipo BWANA, Mungu wako, atakapokutukuza juu ya mataifa yote ya duniani;
[2]na baraka hizi zote zitakujilia na kukupata usikiapo sauti ya BWANA, Mungu wako.
Baraka zinawafuata watu watii peke yake nje ya hapo baraka haziwezi kukufuata na matokeo yake utapata laana .
Abrahamu sababu ya kutiii alistawi sana ,aliambiwa atoke kwenye nchi aliyo zaliwa aende nje ya kwao na sababu alitii mpaka leo anaitwa baba wa mataifa na baba wa imani.
#Mwanzo 12:1-2
[1]BWANA akamwambia Abramu, Toka wewe katika nchi yako, na jamaa zako, na nyumba ya baba yako, uende mpaka nchi nitakayokuonyesha;
[2]nami nitakufanya wewe kuwa taifa kubwa, na kukubariki, na kulikuza jina lako; nawe uwe baraka;
Napenda kuiutia moyo kuwa utiii ni kanuni na inapaswa kuwa tabia yako .
Katika maisha ya kawaida mwanamke mwenye matokeo katika nyumba yake ni yule anaye kubali kuongozwana mume wake yaani anaye mtii mume wake .
Ukishindwa kumtii mume wako umeshindwa kumtii Mungu uwezi pia kuvuta utajiri .
Niwatakie jion njema na baraka tele .
Kwa majina naitwa mwl sylvester Mwakabende kutoka (build new eden ministry).
Karibu katika group letu la watsap .
Tuma neno Add kwa namba .0622625340
#restore men position
#build new eden
VITU VINAVYO VUTA UTAJIRI SEHEMU YA PILI.
#isaya 1:19
Kama mkikubali na kutii mtakula mema ya nchi
Kutokea kwenye andiko hili tunapata kanuni ya pili ambayo ikifuatwa inavuta utajiri .
▪️Kanuni hiyo ni UTII
Maandiko yanasema ili mema ya nchi ya kufuate ni lazima *ukubali na kutiii*
Utii ni kanuni katika ulimwengu wa roho ambayo mtu akiifuata lazima itampa matokeo tu.
Kama unamcha Mungu na utaki kumtii Mungu bsi pia kanuni inakukataa .
Uzuri wa kanuni hizi ni kuwa hata kama mtu asali lakini amezifuata zitampa matokeo tu ,serikari inapenda watu watii matajiri wanafanya biashara na kuwaaamini na kubebana na watu watii.
Kuna kundi kubwa sana umaskini kwao siyo pepo bali ni kwa sababu wamekataa kutii tu na dunia ya mafanikio imewatapika kabisa.
#Mungu alipo wavusha wana islaeri aliwapa kanuni ambazo kama wakifuata na kuzitii ndipo baraka zitatufuata na kama wakitoka nje laana zitawafuata.
Kanuni ni lazima izingatiwe ikifuatwa inakupa baraka usipo ifuata inakupa laana .
#Torati 28:1-14
Kumbukumbu la Torati 28:1-2
[1]Itakuwa utakaposikia sauti ya BWANA, Mungu wako, kwa bidii, kutunza kuyafanya maagizo yake yote nikuagizayo leo, ndipo BWANA, Mungu wako, atakapokutukuza juu ya mataifa yote ya duniani;
[2]na baraka hizi zote zitakujilia na kukupata usikiapo sauti ya BWANA, Mungu wako.
Baraka zinawafuata watu watii peke yake nje ya hapo baraka haziwezi kukufuata na matokeo yake utapata laana .
Abrahamu sababu ya kutiii alistawi sana ,aliambiwa atoke kwenye nchi aliyo zaliwa aende nje ya kwao na sababu alitii mpaka leo anaitwa baba wa mataifa na baba wa imani.
#Mwanzo 12:1-2
[1]BWANA akamwambia Abramu, Toka wewe katika nchi yako, na jamaa zako, na nyumba ya baba yako, uende mpaka nchi nitakayokuonyesha;
[2]nami nitakufanya wewe kuwa taifa kubwa, na kukubariki, na kulikuza jina lako; nawe uwe baraka;
Napenda kuiutia moyo kuwa utiii ni kanuni na inapaswa kuwa tabia yako .
Katika maisha ya kawaida mwanamke mwenye matokeo katika nyumba yake ni yule anaye kubali kuongozwana mume wake yaani anaye mtii mume wake .
Ukishindwa kumtii mume wako umeshindwa kumtii Mungu uwezi pia kuvuta utajiri .
Niwatakie jion njema na baraka tele .
Kwa majina naitwa mwl sylvester Mwakabende kutoka (build new eden ministry).
Karibu katika group letu la watsap .
Tuma neno Add kwa namba .0622625340
#restore men position
#build new eden
0 Kommentare
·0 Anteile
·142 Ansichten