• Baada ya kikao kilichofanyika leo hii katika ofisi za Baraza la Michezo Tanzania (BMT), ndani ya Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam, imeelezwa kuwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Prof. Palamagamba Kabudi, hakuja kutoa maamuzi bali kutafuta suluhisho kuhusu hatima ya Dabi ya Kariakoo, iliyokuwa ipigwe Machi 8, 2025 lakini ikaahirishwa.

    "Mheshimiwa Waziri amekuwa na mwanzo mzuri kwa kueleza kwamba jukwaa hilo siyo la maamuzi, bali ni la kutafuta suluhisho la tatizo lililotokea." - Eng. Hersi Said, Rais wa klabu ya Yanga SC

    Aidha, Rais huyo wa klabu ya Yanga SC amewahakikishia Wanachama wa klabu hiyo kuwa Uongozi wao uko imara na unafanya kila jitihada kuhakikisha maslahi ya klabu yanalindwa.Kikao hicho kimewakutanisha Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara (TPLB), Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania (TFF) na klabu ya Yanga SC, ambapo pande zote zimepata fursa ya kuwasilisha hoja zao kwa Waziri Kabudi.

    Baada ya kikao kilichofanyika leo hii katika ofisi za Baraza la Michezo Tanzania (BMT), ndani ya Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam, imeelezwa kuwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Prof. Palamagamba Kabudi, hakuja kutoa maamuzi bali kutafuta suluhisho kuhusu hatima ya Dabi ya Kariakoo, iliyokuwa ipigwe Machi 8, 2025 lakini ikaahirishwa. "Mheshimiwa Waziri amekuwa na mwanzo mzuri kwa kueleza kwamba jukwaa hilo siyo la maamuzi, bali ni la kutafuta suluhisho la tatizo lililotokea." - Eng. Hersi Said, Rais wa klabu ya Yanga SC Aidha, Rais huyo wa klabu ya Yanga SC amewahakikishia Wanachama wa klabu hiyo kuwa Uongozi wao uko imara na unafanya kila jitihada kuhakikisha maslahi ya klabu yanalindwa.Kikao hicho kimewakutanisha Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara (TPLB), Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania (TFF) na klabu ya Yanga SC, ambapo pande zote zimepata fursa ya kuwasilisha hoja zao kwa Waziri Kabudi.
    0 Commentaires ·0 Parts ·515 Vue
  • "Pengine ulitegemea baada ya kutumikia kifungo cha 'kikatili’ dhidi yangu na kilichojaa Uonevu usiomithilika,labda tukikutana ntaleta nongwa ya Kizaramo? Hapana laa hasha!! Sipo hivyo na nilishasamehe.

    Ila haiondoi ukweli pamoja na ‘ cheko hili tukikutana’ inabidi akubali kuwajibika yeye na wenzie.
    Tutacheka lakini tutaendelea kushinikiza aombe radhi na apumzike uongozi kwa sasa.

    #KariaMustGo" - Haji Manara baada ya kukutana na Rais wa Shirikisho la mpira wa miguu Nchini Tanzania (TFF).

    "Pengine ulitegemea baada ya kutumikia kifungo cha 'kikatili’ dhidi yangu na kilichojaa Uonevu usiomithilika,labda tukikutana ntaleta nongwa ya Kizaramo? Hapana laa hasha!! Sipo hivyo na nilishasamehe. Ila haiondoi ukweli pamoja na ‘ cheko hili tukikutana’ inabidi akubali kuwajibika yeye na wenzie. Tutacheka lakini tutaendelea kushinikiza aombe radhi na apumzike uongozi kwa sasa. #KariaMustGo" - Haji Manara baada ya kukutana na Rais wa Shirikisho la mpira wa miguu Nchini Tanzania (TFF).
    Like
    Love
    2
    · 0 Commentaires ·0 Parts ·412 Vue
  • Mchambuzi Farhan JR.

    Nimeona andiko la Waukae @zakazakazi kuhusu TFF kutengeneza Vijana ambalo lilipaswa kuwa jukumu la Klabu na akienda mbali kusema kwamba TFF ndio Shirikisho pekee duniani ambalo lina kituo ambacho kinazalisha na kulea vipaji vya vijana, kwanza kabla ya kupingana nae kuna kitu kwanza nataka kukiweka sawa kwenye eneo hilo.

    Duniani kote Mashirikisho kama TFF yamejikita zaidi kwenye DEVELOPMENT PROJECTS yaani Miradi ya maendeleo kisha wakaachia Mashindano kadhaa yasimamiwe na Bodi zao za Ligi kwa 90% bila kuyaingilia, TFF anachokifanya ni sahihi lakini pia sio sahihi sana kufanya yeye alipaswa kuwa na CLINICS tu ila kuna changamoto sehemu ambayo imeletwa na TFF wenyewe.

    Duniani Klabu zinaweza kuendesha miradi ya Vijana kwasababu kuna kitu kinaitwa FALSAFA ya nchi kwenye mpira, kuanzia mifumo, afya tiba, afya lishe na miundo yote ambayo portifolio hutoka Shirikisho (TFF) Klabu zinaenda kutekeleza mifumo hiyo na kuadjust baadhi ya maeneo halafu Vijana wakienda Clinics za Kitaifa wanaenda kukazia tu.

    Swali linakuja Je Waukaye @zakazakazi FALSAFA ya Tanzania kwenye mpira wa Miguu ni ipi? Iliwasilishwa lini? Anayo nani? Hilo ni Jukumu la TFF ambalo halijatekelezwa, kuna kitu kinaitwa TALENT ID FRAMEWORK ili kupata Vijana je tunayo? Ipoje, anayo nani? Inasemaje? Klabu hazina Mwongozo kutoka kwa TFF? Academy zote nchini zipite humo LAZIMA TFF wafanye wanachoweza, tupo katikati, TFF ASIMAMIE HILO KIKAMILIFU.

    TFF wasiende mbali waende tu hapo Uganda ilipo FUFA, wana Talent ID Framework ambayo Mashirikisho yoote yalipigwa huo Msasa sambamba na Kamati zao tendaji, ndio maana Uganda wapo mbali mno kwenye soka la Vijana kwenye Klabu zao na National Team, kwasababu wana ramani wanaifuata, wameintergrate mfumo wao na FIFA Talent Development Schemes (TDS) je sisi lini tutaforce Klabu zipite humo?

    TFF anajipa majukumu ambayo mengine sio ya kwake, kujadili mikataba ya kibiashara sio Jukumu lake bali Vilabu na Bodi yao, TFF anabaki kama Baba pekee, duniani kote TFF zao zina majukumu yao ukitoa michuano ya FA na Ngao basi Ligi Kuu sio mali yao, TFF ASIMAMIE HASWA JUKUMU LA MAENDELEO NI LAKE.

    Mchambuzi Farhan JR. Nimeona andiko la Waukae @zakazakazi kuhusu TFF kutengeneza Vijana ambalo lilipaswa kuwa jukumu la Klabu na akienda mbali kusema kwamba TFF ndio Shirikisho pekee duniani ambalo lina kituo ambacho kinazalisha na kulea vipaji vya vijana, kwanza kabla ya kupingana nae kuna kitu kwanza nataka kukiweka sawa kwenye eneo hilo. Duniani kote Mashirikisho kama TFF yamejikita zaidi kwenye DEVELOPMENT PROJECTS yaani Miradi ya maendeleo kisha wakaachia Mashindano kadhaa yasimamiwe na Bodi zao za Ligi kwa 90% bila kuyaingilia, TFF anachokifanya ni sahihi lakini pia sio sahihi sana kufanya yeye alipaswa kuwa na CLINICS tu ila kuna changamoto sehemu ambayo imeletwa na TFF wenyewe. Duniani Klabu zinaweza kuendesha miradi ya Vijana kwasababu kuna kitu kinaitwa FALSAFA ya nchi kwenye mpira, kuanzia mifumo, afya tiba, afya lishe na miundo yote ambayo portifolio hutoka Shirikisho (TFF) Klabu zinaenda kutekeleza mifumo hiyo na kuadjust baadhi ya maeneo halafu Vijana wakienda Clinics za Kitaifa wanaenda kukazia tu. Swali linakuja Je Waukaye @zakazakazi FALSAFA ya Tanzania kwenye mpira wa Miguu ni ipi? Iliwasilishwa lini? Anayo nani? Hilo ni Jukumu la TFF ambalo halijatekelezwa, kuna kitu kinaitwa TALENT ID FRAMEWORK ili kupata Vijana je tunayo? Ipoje, anayo nani? Inasemaje? Klabu hazina Mwongozo kutoka kwa TFF? Academy zote nchini zipite humo LAZIMA TFF wafanye wanachoweza, tupo katikati, TFF ASIMAMIE HILO KIKAMILIFU. TFF wasiende mbali waende tu hapo Uganda ilipo FUFA, wana Talent ID Framework ambayo Mashirikisho yoote yalipigwa huo Msasa sambamba na Kamati zao tendaji, ndio maana Uganda wapo mbali mno kwenye soka la Vijana kwenye Klabu zao na National Team, kwasababu wana ramani wanaifuata, wameintergrate mfumo wao na FIFA Talent Development Schemes (TDS) je sisi lini tutaforce Klabu zipite humo? TFF anajipa majukumu ambayo mengine sio ya kwake, kujadili mikataba ya kibiashara sio Jukumu lake bali Vilabu na Bodi yao, TFF anabaki kama Baba pekee, duniani kote TFF zao zina majukumu yao ukitoa michuano ya FA na Ngao basi Ligi Kuu sio mali yao, TFF ASIMAMIE HASWA JUKUMU LA MAENDELEO NI LAKE.
    Like
    2
    · 0 Commentaires ·0 Parts ·527 Vue
  • Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo wa Tanzania , Profesa Palamagamba Kabudi anatarajiwa kukutana na Viongozi wa klabu za Simba SC na Yanga SC kuzungumzia sakata la uamuzi wa klabu ya Simba SC kugomea mechi ya watani wa jadi iliyokuwa ifanyike Machi 8, 2025 kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam.

    Pamoja na Viongozi hao wa klabu ya Simba SC na Yanga SC, Wengine ambao wanatarajiwa kushiriki kikao hicho kilichopangwa kufanyika Machi 27 mwaka huu ni Viongozi wa Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania (TFF) pamoja na Viongozi kutoka Bodi ya Ligi Kuu ya Tanzania Bara (TPBL).

    Ikumbukwe kwamba klabu ya Simba Sports SC iligomea mchezo huo kwa madai ya ukiukwaji wa Kanuni namba 17(45) ya Kanuni za Ligi Kuu Tanzania Bara kwa zuiliwa kwa Vijana (Mabausa) waliodhaniwa kuwa ni wa klabu ya Yanga SC, ambayo inaruhusu klabu ngeni kufanya mazoezi kwenye Uwanja wa mechi angalau mara moja kabla ya siku ya mechi.

    Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo wa Tanzania 🇹🇿, Profesa Palamagamba Kabudi anatarajiwa kukutana na Viongozi wa klabu za Simba SC na Yanga SC kuzungumzia sakata la uamuzi wa klabu ya Simba SC kugomea mechi ya watani wa jadi iliyokuwa ifanyike Machi 8, 2025 kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam. Pamoja na Viongozi hao wa klabu ya Simba SC na Yanga SC, Wengine ambao wanatarajiwa kushiriki kikao hicho kilichopangwa kufanyika Machi 27 mwaka huu ni Viongozi wa Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania (TFF) pamoja na Viongozi kutoka Bodi ya Ligi Kuu ya Tanzania Bara (TPBL). Ikumbukwe kwamba klabu ya Simba Sports SC iligomea mchezo huo kwa madai ya ukiukwaji wa Kanuni namba 17(45) ya Kanuni za Ligi Kuu Tanzania Bara kwa zuiliwa kwa Vijana (Mabausa) waliodhaniwa kuwa ni wa klabu ya Yanga SC, ambayo inaruhusu klabu ngeni kufanya mazoezi kwenye Uwanja wa mechi angalau mara moja kabla ya siku ya mechi.
    Like
    1
    · 0 Commentaires ·0 Parts ·653 Vue
  • Klabu ya Kengold inayoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara, imeiandikia barua redio ya FURAHA FM kupitia kwa Mwanasheria wake Nicky Ngale wakidai fidia ya Shilingi Billion moja na kuombwa radhi kupitia mitandao ya Kijamii baada ya Radio hiyo kupitia mtandao wake wa Kijamii wa Instagram kuchapisha taarifa kuwa:

    “Kengold yaomba alama 15 atakazokatwa Simba na TFF, wapewe wao alama tatu”

    Kufuatia kuchapisha chapisho hilo, Mwanasheria anadai Mteja wake ameathirika kwa kiasi kikubwa huku jina lao likichafuka kwa kiasi kikubwa, nje na hapo matakwa yao yote yanapaswa kutimizwa ndani ya siku saba (7).

    Klabu ya Kengold inayoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara, imeiandikia barua redio ya FURAHA FM kupitia kwa Mwanasheria wake Nicky Ngale wakidai fidia ya Shilingi Billion moja na kuombwa radhi kupitia mitandao ya Kijamii baada ya Radio hiyo kupitia mtandao wake wa Kijamii wa Instagram kuchapisha taarifa kuwa: “Kengold yaomba alama 15 atakazokatwa Simba na TFF, wapewe wao alama tatu” Kufuatia kuchapisha chapisho hilo, Mwanasheria anadai Mteja wake ameathirika kwa kiasi kikubwa huku jina lao likichafuka kwa kiasi kikubwa, nje na hapo matakwa yao yote yanapaswa kutimizwa ndani ya siku saba (7).
    0 Commentaires ·0 Parts ·522 Vue
  • Ahmed Ally, Msemaji wa klabu ya Simba SC

    Anatokea mwehu mmoja anamdhihaki huyu Rais au kikundi cha vijana wa hovyo wanadhihaki Mamlaka za mpira wetu, Hii Nchi uhuru umepitiliza sana

    Wallace Karia, TFF na Bodi ya Ligi Wanapaswa kuheshimiwa, kuenziwa, kutunzwa na kulindwa maana wamefanya kazi kubwa na wanaendelea kufanya kazi kubwa kwenye mpira wetu

    Yote tuliyokua tunayaota kwenye mpira sasa hivi yanatokea, yale tuliyodhani ni magumu kwa Karia yamewezekana

    Na kama haitoshi tunaiona kesho njema ya mpira wa Tanzania chini ya Karia na wenzake

    President @wallacekaria na Uongozi wako wa TFF na Bodi ya ligi msirudi nyuma na msikubali mtu akaturudisha nyuma sasa hivi tunawaza World Cup tunawaza Utawala wa AFCON na Ubingwa Afrika ngazi klabu

    KAMA HUMPENDI KARIA PENDA MAFANIKIO YAKE"

    Ahmed Ally, Msemaji wa klabu ya Simba SC ✍️ Anatokea mwehu mmoja anamdhihaki huyu Rais au kikundi cha vijana wa hovyo wanadhihaki Mamlaka za mpira wetu, Hii Nchi uhuru umepitiliza sana Wallace Karia, TFF na Bodi ya Ligi Wanapaswa kuheshimiwa, kuenziwa, kutunzwa na kulindwa maana wamefanya kazi kubwa na wanaendelea kufanya kazi kubwa kwenye mpira wetu Yote tuliyokua tunayaota kwenye mpira sasa hivi yanatokea, yale tuliyodhani ni magumu kwa Karia yamewezekana Na kama haitoshi tunaiona kesho njema ya mpira wa Tanzania chini ya Karia na wenzake President @wallacekaria na Uongozi wako wa TFF na Bodi ya ligi msirudi nyuma na msikubali mtu akaturudisha nyuma sasa hivi tunawaza World Cup tunawaza Utawala wa AFCON na Ubingwa Afrika ngazi klabu KAMA HUMPENDI KARIA PENDA MAFANIKIO YAKE"
    Like
    1
    · 0 Commentaires ·0 Parts ·468 Vue
  • Klabu ya Yanga SC imefungua malalamiko kwenye Mahakama ya usuhishi wa michezo Duniani (CAS) baada ya kutoridhishwa na majibu ya TFF. Klabu ya Yanga haina imani na Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara na wameshindwa kukubaliana kabisa na majibu ya barua iliyotoka na hivyo wameamuwa kusonga mbele (CAS) ili kudai haki yao.

    Mara ya baada ya kutuma malalamiko yao CAS, klabu ya Yanga SC itasubiri taratibu kutoka katika Mahakama hiyo kisha kesi yao kuanza kusikilizwa.

    Klabu ya Yanga SC imefungua malalamiko kwenye Mahakama ya usuhishi wa michezo Duniani (CAS) baada ya kutoridhishwa na majibu ya TFF. Klabu ya Yanga haina imani na Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara na wameshindwa kukubaliana kabisa na majibu ya barua iliyotoka na hivyo wameamuwa kusonga mbele (CAS) ili kudai haki yao. Mara ya baada ya kutuma malalamiko yao CAS, klabu ya Yanga SC itasubiri taratibu kutoka katika Mahakama hiyo kisha kesi yao kuanza kusikilizwa.
    Like
    Haha
    2
    · 0 Commentaires ·0 Parts ·393 Vue
  • “Taratibu zitafuatwa na tuziache zifuatwe,Lakini huwezi Kusema Bodi ya Ligi Kuu (TPLB) Ijiuzulu. Hata wanaosema Bodi ijiuzulu wawaambie na Viongozi wao wenyewe wako Sawa? Hawastahili Kujiuzulu?

    “Vitu vingine Vinafanyika vya Kitoto,Vya Kijinga sijui vinataka Kutujaribu au Kutuporomoshea mpira wetu .Kama watu wamechoka Kucheza mpira basi wakaendelee na Sinema zao” - Wallace Karia, Rais wa Shirikisho la mpira wa miguu Nchini Tanzania (TFF).

    “Taratibu zitafuatwa na tuziache zifuatwe,Lakini huwezi Kusema Bodi ya Ligi Kuu (TPLB) Ijiuzulu. Hata wanaosema Bodi ijiuzulu wawaambie na Viongozi wao wenyewe wako Sawa? Hawastahili Kujiuzulu? “Vitu vingine Vinafanyika vya Kitoto,Vya Kijinga sijui vinataka Kutujaribu au Kutuporomoshea mpira wetu .Kama watu wamechoka Kucheza mpira basi wakaendelee na Sinema zao” - Wallace Karia, Rais wa Shirikisho la mpira wa miguu Nchini Tanzania (TFF).
    0 Commentaires ·0 Parts ·239 Vue
  • BODI YA LIGI SIO CHOMBO HURU KWA MUJIBU WA RAIS WA TFF WALLECE KARIA.

    Dhumuni la Baba wa Taifa kupigania uhuru wa Tanganyika ilikuwa kuhitaji Tanganyika kuwa huru ili iweze kujiamulia mambo yake na kujipangia kipi ifanye kwa wakati wowote.

    Uhuru ni Jambo la msingi sana kwa binadamu yoyote kwani humsaidia katika kufanya maamuzi yake binafsi.

    Kwa mujibu wa kauli za Rais wa TFF Baba Yangu Mzee Wallece Karia ni dhahiri shahiri kuwa bodi ya ligi sio chombo huru.

    Wallece Karia akiwa katika mahojiano Wasafi Fm katika kipindi cha “Jana na Leo” Alisema kuwa

    “Kuna siku tulipokea Barua kutoka CAF Wakihitaji waamuzi wetu Wawili kwenda kuchezesha michuano ya kimataifa”

    “Wakati barua ile imekuja ofisini kuhitaji wale waamuzi kulikuwa na changamoto, Kwani mojawapo ya wale waamuzi ambae ni Ahmed Arajiga alikuwa amefungiwa na kamati ya masaa 72”

    “Ilikuwa ngumu sana kwangu, maana CAF wamemtaka mwamuzi alafu huku kwetu kamati imemfungia, lakini nikafanya maamuzi”

    “Nilifanya maamuzi nikawaambia hawa waamuzi waruhusiwe waende, Walienda wote wawili lakini bahati mbaya mmoja ndio alifuzu ambae ni Ahmed Arajiga”

    “Yalikuwa maamuzi magumu ila sikuwa na namna n Ahmed Arajiga alienda kuwakilisha Tanzania vema sana, Hata mechi aliyochezesha alichezesha vizuri sana”

    Kwa maelezo ya Wallece Karia aliingilia maamuzi ya Kamati ya Masaa 72 ambayo ipo chini ya bodi ya ligi. Kumruhusu Mwamuzi aliyefungiwa katika ligi kwenda kuchezesha mechi za kimataifa.
    (khalil ufadiga)

    BODI YA LIGI SIO CHOMBO HURU KWA MUJIBU WA RAIS WA TFF WALLECE KARIA. Dhumuni la Baba wa Taifa kupigania uhuru wa Tanganyika ilikuwa kuhitaji Tanganyika kuwa huru ili iweze kujiamulia mambo yake na kujipangia kipi ifanye kwa wakati wowote. Uhuru ni Jambo la msingi sana kwa binadamu yoyote kwani humsaidia katika kufanya maamuzi yake binafsi. Kwa mujibu wa kauli za Rais wa TFF Baba Yangu Mzee Wallece Karia ni dhahiri shahiri kuwa bodi ya ligi sio chombo huru. Wallece Karia akiwa katika mahojiano Wasafi Fm katika kipindi cha “Jana na Leo” Alisema kuwa “Kuna siku tulipokea Barua kutoka CAF Wakihitaji waamuzi wetu Wawili kwenda kuchezesha michuano ya kimataifa” “Wakati barua ile imekuja ofisini kuhitaji wale waamuzi kulikuwa na changamoto, Kwani mojawapo ya wale waamuzi ambae ni Ahmed Arajiga alikuwa amefungiwa na kamati ya masaa 72” “Ilikuwa ngumu sana kwangu, maana CAF wamemtaka mwamuzi alafu huku kwetu kamati imemfungia, lakini nikafanya maamuzi” “Nilifanya maamuzi nikawaambia hawa waamuzi waruhusiwe waende, Walienda wote wawili lakini bahati mbaya mmoja ndio alifuzu ambae ni Ahmed Arajiga” “Yalikuwa maamuzi magumu ila sikuwa na namna n Ahmed Arajiga alienda kuwakilisha Tanzania vema sana, Hata mechi aliyochezesha alichezesha vizuri sana” Kwa maelezo ya Wallece Karia aliingilia maamuzi ya Kamati ya Masaa 72 ambayo ipo chini ya bodi ya ligi. Kumruhusu Mwamuzi aliyefungiwa katika ligi kwenda kuchezesha mechi za kimataifa. (khalil ufadiga)
    0 Commentaires ·0 Parts ·596 Vue
  • "Siamini na sitakaa niamini kama TFF kupitia kamati yake inakwenda kumfungia Ali Kamwe kama tetesi zinavyosema, nataka kuamini huenda wanaanzisha jambo kuangalia mapokeo ya watu”

    “Maoni yangu kama kuna jambo ambalo TFF linapaswa kulitazama ni hili la kuanza kuwaandama wasemaji wa vilabu haswa klabu ya Yanga, kwa taarifa niliyonayo na ninayoifahamu alifungiwa Hassan Bumbuli, Antonio Nugaz, nimefungiwa mimi (Jerry Muro),amefunguwa Haji Manara na sasa wanataka kumfungia Ali Kamwe watu watano katika kipindi cha miaka mitano sitaki kusema kama hawa waliofungiwa wamefanya makosa kuliko wengine”

    “Wasemaji ni sehemu ya familia ya mpira japo sio main actors kwenye mpira sio wachezaji,sio benchi la ufundi, sio mwenyekiti wala makatibu hawa ni familia ya mpira,nachotaka kuwashauri kabla ya kuwafungia wasemaji sasa ni wakati wa TFF kutengeneza kanuni na miongozo na taratibu zinazosimamia eneo la usemaji kama zinavyotengenezwa kanuni za chama cha marefa au soka la wanawake” - Jerry Muro.

    "Siamini na sitakaa niamini kama TFF kupitia kamati yake inakwenda kumfungia Ali Kamwe kama tetesi zinavyosema, nataka kuamini huenda wanaanzisha jambo kuangalia mapokeo ya watu” “Maoni yangu kama kuna jambo ambalo TFF linapaswa kulitazama ni hili la kuanza kuwaandama wasemaji wa vilabu haswa klabu ya Yanga, kwa taarifa niliyonayo na ninayoifahamu alifungiwa Hassan Bumbuli, Antonio Nugaz, nimefungiwa mimi (Jerry Muro),amefunguwa Haji Manara na sasa wanataka kumfungia Ali Kamwe watu watano katika kipindi cha miaka mitano sitaki kusema kama hawa waliofungiwa wamefanya makosa kuliko wengine” “Wasemaji ni sehemu ya familia ya mpira japo sio main actors kwenye mpira sio wachezaji,sio benchi la ufundi, sio mwenyekiti wala makatibu hawa ni familia ya mpira,nachotaka kuwashauri kabla ya kuwafungia wasemaji sasa ni wakati wa TFF kutengeneza kanuni na miongozo na taratibu zinazosimamia eneo la usemaji kama zinavyotengenezwa kanuni za chama cha marefa au soka la wanawake” - Jerry Muro.
    Like
    2
    · 0 Commentaires ·0 Parts ·441 Vue
  • "Kwamba TFF impige mvua ya miaka miwili Kijana wake Ally Kamwe? Nimeona taarifa kwa Ndugu yangu Mkomwa, nimewaza sana kwamba TFF kama Taasisi yetu tunayoiamini ifikie maamuzi kama haya? Labda wacha tusubiri taarifa rasmi, lakini kama ni kweli basi inafikirisha sana.

    Kamwe ametiwa hatiani kwa kosa liloitwa la UDHALILISHAJI, kwamba udhalilishaji aliofanya ni kupost “Leo Mjadala redioni 90% ni kuhusu Makolo na Waamuzi” hapo ndipo wakamtia hatiani kwa kudharirisha, lakini nimewaza sana, Ally ni wa kwanza kulaumu? Hao Makolo ni nani? Wanashiriki ligi gani? Ni timu gani? Bado inafikirisha sana, kwamba kuna timu inachezeshwa na Marefa wetu inaitwa Makolo?

    Tufanye ni kosa lakini ije na adhabu ya miaka miwili? Nakumbuka kuna Msemaji alifanya kosa kama hili alifungiwa miezi mitatu, je utofauti wake na Ally ni upi? Miaka miwili imetokana na nini? Je ni TFF tu au kuna Mtu ndani pale au nje yupo nyuma ya mchezo akisukuma kete zake kwa umakini? Ni kosa kubwa kiasi hicho mpaka tumpoteze Kijana wetu kwa miaka miwili?

    Kwamba tunashindwa kuvumiliana? Kuadhibiana kwa kuhurumiana? Kama ambavyo Wadau wa soka wamekuwa wakiwavumilia Waamuzi? Sikatai amekosea lakini nakataa ukubwa wa adhabu, sitaki kuamini mpaka nione taarifa rasmi ila kama kweli ni miaka miwili basi huenda ikawa adhabu kubwa zaidi kuwahi kutolewa kwa kosa dogo zaidi, inafikirisha, siamini kama taasisi yetu penda ikatoa adhabu kama hii, unless kuwa na Mtu anashawishi.

    Makofi hayamkuzi Mtoto bali yanamuumiza, sheria haipo kusaka haki bali Mshindi, hiyo ni kweli na inafahamika ila Mshindi anapaswa kuwa mpira wa miguu sio Mtu mmoja, kama kweli ni miaka miwili ipo haja ya kupunguza adhabu, kwa maslahi mapana ya mpira kwakuwa Ally ni Kijana wetu, Mtoto wetu ambaye ameutumikia mpira huu kwa mapenzi makubwa sana, itabaki kuwa ni mmoja kati yetu.

    Nachofahamu Chura hawezi kuruka mchana wa jua kali tena nchi kavu kama hakuna kitu kinachomkimbiza" - Farhan JR, Mchambuzi.

    "Kwamba TFF impige mvua ya miaka miwili Kijana wake Ally Kamwe? Nimeona taarifa kwa Ndugu yangu Mkomwa, nimewaza sana kwamba TFF kama Taasisi yetu tunayoiamini ifikie maamuzi kama haya? Labda wacha tusubiri taarifa rasmi, lakini kama ni kweli basi inafikirisha sana. Kamwe ametiwa hatiani kwa kosa liloitwa la UDHALILISHAJI, kwamba udhalilishaji aliofanya ni kupost “Leo Mjadala redioni 90% ni kuhusu Makolo na Waamuzi” hapo ndipo wakamtia hatiani kwa kudharirisha, lakini nimewaza sana, Ally ni wa kwanza kulaumu? Hao Makolo ni nani? Wanashiriki ligi gani? Ni timu gani? Bado inafikirisha sana, kwamba kuna timu inachezeshwa na Marefa wetu inaitwa Makolo? Tufanye ni kosa lakini ije na adhabu ya miaka miwili? Nakumbuka kuna Msemaji alifanya kosa kama hili alifungiwa miezi mitatu, je utofauti wake na Ally ni upi? Miaka miwili imetokana na nini? Je ni TFF tu au kuna Mtu ndani pale au nje yupo nyuma ya mchezo akisukuma kete zake kwa umakini? Ni kosa kubwa kiasi hicho mpaka tumpoteze Kijana wetu kwa miaka miwili? Kwamba tunashindwa kuvumiliana? Kuadhibiana kwa kuhurumiana? Kama ambavyo Wadau wa soka wamekuwa wakiwavumilia Waamuzi? Sikatai amekosea lakini nakataa ukubwa wa adhabu, sitaki kuamini mpaka nione taarifa rasmi ila kama kweli ni miaka miwili basi huenda ikawa adhabu kubwa zaidi kuwahi kutolewa kwa kosa dogo zaidi, inafikirisha, siamini kama taasisi yetu penda ikatoa adhabu kama hii, unless kuwa na Mtu anashawishi. Makofi hayamkuzi Mtoto bali yanamuumiza, sheria haipo kusaka haki bali Mshindi, hiyo ni kweli na inafahamika ila Mshindi anapaswa kuwa mpira wa miguu sio Mtu mmoja, kama kweli ni miaka miwili ipo haja ya kupunguza adhabu, kwa maslahi mapana ya mpira kwakuwa Ally ni Kijana wetu, Mtoto wetu ambaye ameutumikia mpira huu kwa mapenzi makubwa sana, itabaki kuwa ni mmoja kati yetu. Nachofahamu Chura hawezi kuruka mchana wa jua kali tena nchi kavu kama hakuna kitu kinachomkimbiza" - Farhan JR, Mchambuzi.
    Like
    1
    · 0 Commentaires ·0 Parts ·483 Vue
  • “Ukiwa Mwandishi wa Habari una vitu viwili muhimu vya kuchunga navyo ni Ulimi wako na Mikono yako, unapaswa kufahamu unaongea nini ama unaandika kitu gani, nyuma ya mauaji ya Kimbari yalikuwa ni matamshi ya Watangazaji pia ambao walieneza chuki, kwasasa kuna kazi mbili za hatari nazo ni Ualimu na Waandishi wa Habari, hawa wanaweza kutengeneza taifa la Wajinga ama Waelevu.

    Nataka kusema nini? Nataka kusema juu ya kelele na shutuma za Yanga na Singida bado hakuna aliyetupa picha kamili zaidi ni kuwa Mashabiki wanalalamika kwa hisia, Waandishi tunalalamika kwa hisia ila hakuna anayekuja mbele kutoa usahihi, inaitwa Proving beyond reasonable doubt! Nimeona Wadau wanasema TFF haifanyi chochote, lakini wewe umewapa tip gani? Taasisi haifanyi maamuzi kwa hisia, the corporate world works differently from streets.

    Bado kizazi chetu cha Uandishi kuna kitu kinamiss ni INVESTIGATIVE JOURNALISM, binafsi nakiri wazi TUMEFELI sana eneo hili, yaani sote tunalaumu Singida kufanya rotation tunaita kupanga matokeo, tangu lini duniani kubadili kikosi chako ni kupanga matokeo? Ikitokea Coastal kabadili kikosi, ikitokea Simba kabadili ama AZAM? Yani timu inalaumiwa kwa kutumia Wachezaji wake?

    Tunaweza kuwa na hoja ila mpaka sasa hazina mashiko zaidi tunaonekana tunalalama ila tukipelekwa Mahakamani hakuna ambaye atathibitisha chochote, kama kufungwa ni kupanga matokeo mara ya mwisho Simba kumfunga Yanga ndani ya dakika 90 ni lini? Kama kufungwa ni kupanga matokeo lini Singida kamfunga Simba? Kama kufungwa ni kupanga lini Namungo kamfunga Simba lini?

    Sisi WAANDISHI tuna homework tunapaswa kufanya, tutaharibu fikra za Watanzania! Wenzetu Ulaya walipoibua kashfa ya Casciopoli pale Italia walikuja na data, hata UEFA Heated Balls Scandal watu walikuwa na data! Yanga wakisema waende kisheria nani anaweza kuja na hoja za kueleweka? Kama hakuna taarifa sahihi, mifano hai basi tunaongelea hisia, TFF atareact endapo atajitokea Mtu akaattack matter not the subject" - Farhan JR, Mchambuzi.

    “Ukiwa Mwandishi wa Habari una vitu viwili muhimu vya kuchunga navyo ni Ulimi wako na Mikono yako, unapaswa kufahamu unaongea nini ama unaandika kitu gani, nyuma ya mauaji ya Kimbari yalikuwa ni matamshi ya Watangazaji pia ambao walieneza chuki, kwasasa kuna kazi mbili za hatari nazo ni Ualimu na Waandishi wa Habari, hawa wanaweza kutengeneza taifa la Wajinga ama Waelevu. Nataka kusema nini? Nataka kusema juu ya kelele na shutuma za Yanga na Singida bado hakuna aliyetupa picha kamili zaidi ni kuwa Mashabiki wanalalamika kwa hisia, Waandishi tunalalamika kwa hisia ila hakuna anayekuja mbele kutoa usahihi, inaitwa Proving beyond reasonable doubt! Nimeona Wadau wanasema TFF haifanyi chochote, lakini wewe umewapa tip gani? Taasisi haifanyi maamuzi kwa hisia, the corporate world works differently from streets. Bado kizazi chetu cha Uandishi kuna kitu kinamiss ni INVESTIGATIVE JOURNALISM, binafsi nakiri wazi TUMEFELI sana eneo hili, yaani sote tunalaumu Singida kufanya rotation tunaita kupanga matokeo, tangu lini duniani kubadili kikosi chako ni kupanga matokeo? Ikitokea Coastal kabadili kikosi, ikitokea Simba kabadili ama AZAM? Yani timu inalaumiwa kwa kutumia Wachezaji wake? Tunaweza kuwa na hoja ila mpaka sasa hazina mashiko zaidi tunaonekana tunalalama ila tukipelekwa Mahakamani hakuna ambaye atathibitisha chochote, kama kufungwa ni kupanga matokeo mara ya mwisho Simba kumfunga Yanga ndani ya dakika 90 ni lini? Kama kufungwa ni kupanga matokeo lini Singida kamfunga Simba? Kama kufungwa ni kupanga lini Namungo kamfunga Simba lini? Sisi WAANDISHI tuna homework tunapaswa kufanya, tutaharibu fikra za Watanzania! Wenzetu Ulaya walipoibua kashfa ya Casciopoli pale Italia walikuja na data, hata UEFA Heated Balls Scandal watu walikuwa na data! Yanga wakisema waende kisheria nani anaweza kuja na hoja za kueleweka? Kama hakuna taarifa sahihi, mifano hai basi tunaongelea hisia, TFF atareact endapo atajitokea Mtu akaattack matter not the subject" - Farhan JR, Mchambuzi.
    0 Commentaires ·0 Parts ·948 Vue
  • "Kuanzia Msimu ujao tunakuja na kanuni ya Golikipa Mmoja tu wakigeni kwenye kila timu haiwezekani kwenye timu moja kuwe na magolikipa wawili wa kigeni haiwezekani hii”

    “Nilikua namtania Rais mwenzangu wa shirikisho aliniambia Mbona kwenye ligi yako kuna wachezaji wa kigeni wengi sana nikamjibu kua siwadekezi watu wavivu, ukiangalia pale Yanga kuna mabeki wengi wakizawa ndio wanacheza hata Siimba pia hivyo hivyo” - W. Karia, Rais wa Shirikisho la Mpira Nchini Tanzania (TFF) kupitia Wasafi FM.

    "Kuanzia Msimu ujao tunakuja na kanuni ya Golikipa Mmoja tu wakigeni kwenye kila timu haiwezekani kwenye timu moja kuwe na magolikipa wawili wa kigeni haiwezekani hii” “Nilikua namtania Rais mwenzangu wa shirikisho aliniambia Mbona kwenye ligi yako kuna wachezaji wa kigeni wengi sana nikamjibu kua siwadekezi watu wavivu, ukiangalia pale Yanga kuna mabeki wengi wakizawa ndio wanacheza hata Siimba pia hivyo hivyo” - W. Karia, Rais wa Shirikisho la Mpira Nchini Tanzania (TFF) kupitia Wasafi FM.
    Like
    1
    · 0 Commentaires ·0 Parts ·502 Vue
  • "Haitochukua muda Wananchi wataanza tena kurejea ule mpira wao na mabao yao, haitochukua muda kabla Clement Mzize aanze kupokea ofa nyingi huko nje, haitochukua muda kuanza kutenganisha maji na mafuta, haichukui muda kugundua Prince Dube kamba zote hajafunga penati, haitochukua muda timu zitaanza kuitwa Matawi.

    Kama hii hali itaendelea haitochukua muda jina la GSM na udhamini kuanza kuwa kiitikio kwenye ule wimbo maarufu, haitochukua muda kusikia Marefa na TFF wote ni Wananchi, haitochukua muda sana" - Farhan JR, Mchambuzi.

    "Haitochukua muda Wananchi wataanza tena kurejea ule mpira wao na mabao yao, haitochukua muda kabla Clement Mzize aanze kupokea ofa nyingi huko nje, haitochukua muda kuanza kutenganisha maji na mafuta, haichukui muda kugundua Prince Dube kamba zote hajafunga penati, haitochukua muda timu zitaanza kuitwa Matawi. Kama hii hali itaendelea haitochukua muda jina la GSM na udhamini kuanza kuwa kiitikio kwenye ule wimbo maarufu, haitochukua muda kusikia Marefa na TFF wote ni Wananchi, haitochukua muda sana😀" - Farhan JR, Mchambuzi.
    0 Commentaires ·0 Parts ·338 Vue
  • #Yangasc
    #Simbasc
    #TFF#NBCPL
    #CAFCL
    #Yangasc #Simbasc #TFF#NBCPL #CAFCL
    Like
    1
    · 0 Commentaires ·0 Parts ·1KB Vue
  • Mchango wa mkunde yanga sc nimkubwa sana katika ligi na klabu bingwa pia japo mnajisahau tu , kwani mkunde siyo wakumlinganisha na Duke abuya huyu ni mchezaji mwenye uzoefu sana kuliko abuya.
    #KhalidAucho
    #JonasMkunde
    #DukeAbuya
    #TFF #CAFCL
    Mchango wa mkunde yanga sc nimkubwa sana katika ligi na klabu bingwa pia japo mnajisahau tu , kwani mkunde siyo wakumlinganisha na Duke abuya huyu ni mchezaji mwenye uzoefu sana kuliko abuya. #KhalidAucho #JonasMkunde #DukeAbuya #TFF #CAFCL
    Love
    1
    · 0 Commentaires ·0 Parts ·700 Vue
  • TANZANIA INA MAWAKALA SABA TU WA WACHEZAJI

    Mawakala saba pekee wa kusimamia wachezaji kutoka Tanzania ndio wanatambulika na FIFA hadi sasa, hao ndio wenye leseni ya uwakala baada ya kufaulu mtihani nao ni.

    1:Erick Mavika
    2:Latifa Iddi Pagal
    3"Benjamin Nyarukamo Masige
    4:Eliya Samweli Rioba
    5:Hadji Shaban Omar
    6:Hillary Ismail Hassan
    7:Nasri Mjandari

    Kwa mujibu wa TFF wale wote ambao wanajihusisha na uwakala pasipo kuwa na leseni ya Fifa wataripotiwa na kuweza kuchukuliwa hatua.
    TANZANIA INA MAWAKALA SABA TU WA WACHEZAJI Mawakala saba pekee wa kusimamia wachezaji kutoka Tanzania ndio wanatambulika na FIFA hadi sasa, hao ndio wenye leseni ya uwakala baada ya kufaulu mtihani nao ni. 1:Erick Mavika 2:Latifa Iddi Pagal 3"Benjamin Nyarukamo Masige 4:Eliya Samweli Rioba 5:Hadji Shaban Omar 6:Hillary Ismail Hassan 7:Nasri Mjandari Kwa mujibu wa TFF wale wote ambao wanajihusisha na uwakala pasipo kuwa na leseni ya Fifa wataripotiwa na kuweza kuchukuliwa hatua.
    Love
    Like
    3
    · 0 Commentaires ·0 Parts ·642 Vue
  • Taarifa kutoka shirikisho la mpira wa miguu Tanzania TFF
    Taarifa kutoka shirikisho la mpira wa miguu Tanzania TFF
    0 Commentaires ·0 Parts ·293 Vue
  • HABARI NJEMA KUTOKA TFF
    HABARI NJEMA KUTOKA TFF
    Like
    Love
    8
    · 1 Commentaires ·0 Parts ·546 Vue
  • "Tukiwa katika majonzi na kazi ikiendelea katika kuwatafuta ndugu zetu ambao tunaamini bado wako hai kufuatia kuporomoka kwa jengo eneo la Kariakoo, ninawapongeza vijana wetu Taifa Stars kwa ushindi na kufuzu kushiriki Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025. Mmeandika historia kwa Taifa letu, ikiwa ni mara yetu ya nne kufikia mafanikio haya makubwa katika kipindi cha zaidi ya miaka arobaini.

    Hongera kwa kazi nzuri nyote tuliowapa dhamana kusimama na vijana wetu kukamilisha jukumu hili katika Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo, Shirikisho la Mpira wa Miguu (TFF), Benchi la Ufundi na Watanzania wote kwa kuendelea kuipenda, kuithamini na kuipa hamasa Timu ya Taifa.

    Baada ya ushindi huu, sasa tujikite katika maandalizi mazuri zaidi kwa mashindano yajayo" - Mama Samia Suluhu Hassan, Rais wa Tanzania.

    "Tukiwa katika majonzi na kazi ikiendelea katika kuwatafuta ndugu zetu ambao tunaamini bado wako hai kufuatia kuporomoka kwa jengo eneo la Kariakoo, ninawapongeza vijana wetu Taifa Stars kwa ushindi na kufuzu kushiriki Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025. Mmeandika historia kwa Taifa letu, ikiwa ni mara yetu ya nne kufikia mafanikio haya makubwa katika kipindi cha zaidi ya miaka arobaini. Hongera kwa kazi nzuri nyote tuliowapa dhamana kusimama na vijana wetu kukamilisha jukumu hili katika Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo, Shirikisho la Mpira wa Miguu (TFF), Benchi la Ufundi na Watanzania wote kwa kuendelea kuipenda, kuithamini na kuipa hamasa Timu ya Taifa. Baada ya ushindi huu, sasa tujikite katika maandalizi mazuri zaidi kwa mashindano yajayo" - Mama Samia Suluhu Hassan, Rais wa Tanzania.
    0 Commentaires ·0 Parts ·674 Vue
Plus de résultats