• "Msimu uliyopita Zamalek aligomea mechi dhidi ya Al Ahly, Mamlaka za soka nchini Misri zikampa ushindi Al Ahly wa mabao mawili na alama zake tatu kisha wakailima Zamalek alama tatu na timu ikashuka mpaka nafasi ya 12 kama sikosei, Bodi na Chama wala hakikuwaza mara mbili, ni kesi kubwa sana kwenye dunia ya soka kukacha mechi.

    Jana, Al Ahly nae kaleta mbwembwe zile zile za masuala ya Kanuni akagomea mchezo, akasahau kanuni ya kutokea Uwanjani na kucheza mechi ndio kanuni yenye maana zaidi kwenye soka, amejikuta anapoteza alama tatu na mabao matatu kwa Zamalek, Kanuni hii inaweza kusema hivi ila Kanuni nyingine ikawa na maelezo mengine.

    Nikukumbushe tu Al Ahly aliyeadhibiwa ndio Klabu Tajiri zaidi Afrika, Klabu yenye Mashabiki na Wanachama wengi zaidi Afrika, ndio Klabu ya pili kwa Mataji mengi duniani baada ya Real Madrid, ila huko Misri watu hawatazami makunyanzi, ukileta maksudi, Bodi na Chama cha soka zinakufanyia bahati mbaya, Ahly inatajwa pia ina nguvu kubwa sana CAF, sio ya kufikirika ama nadharia ndio uhalisia ila wamepita nayo mapema tu.

    Nawakumbusha tena Watu wangu HAKI huenda na WAJIBU, mfano Tanzania kwa mujibu wa Katiba kuandamana ni haki yako ila unapaswa kutoa taarifa kwa Polisi masaa 72 kabla, umeelewa hapo? Ni haki yako ila huja na Wajibu, Kanuni ili ikulinde hakikisha umetekeleza Wajibu, biashara za Mamlaka za soka duniani ni mpira, kutocheza mpira ni kuzitusi, hazikuachi salama.

    Ni haki yako kuja kufanya mazoezi uwanja wa mechi siku moja kabla ila ni Wajibu wako kunijulisha kuwa nakuja, ili nikuandalie mazingira, huenda narekebisha mfumo wa Umeme? Huenda hali ya usalama sio shwari, huenda nimepulizia dawa za dudu zinaweka kukuathiri, yaani ni HAKI yako ila una WAJIBU wako huu ni mfano tu.

    Mnasemaje Watu wangu wa nchini Yemen haya hayawahusu sana, huko kwenu Kivyenu vyenu Wayemen" - Farhan JR, Mchambuzi.

    "Msimu uliyopita Zamalek aligomea mechi dhidi ya Al Ahly, Mamlaka za soka nchini Misri zikampa ushindi Al Ahly wa mabao mawili na alama zake tatu kisha wakailima Zamalek alama tatu na timu ikashuka mpaka nafasi ya 12 kama sikosei, Bodi na Chama wala hakikuwaza mara mbili, ni kesi kubwa sana kwenye dunia ya soka kukacha mechi. Jana, Al Ahly nae kaleta mbwembwe zile zile za masuala ya Kanuni akagomea mchezo, akasahau kanuni ya kutokea Uwanjani na kucheza mechi ndio kanuni yenye maana zaidi kwenye soka, amejikuta anapoteza alama tatu na mabao matatu kwa Zamalek, Kanuni hii inaweza kusema hivi ila Kanuni nyingine ikawa na maelezo mengine. Nikukumbushe tu Al Ahly aliyeadhibiwa ndio Klabu Tajiri zaidi Afrika, Klabu yenye Mashabiki na Wanachama wengi zaidi Afrika, ndio Klabu ya pili kwa Mataji mengi duniani baada ya Real Madrid, ila huko Misri watu hawatazami makunyanzi, ukileta maksudi, Bodi na Chama cha soka zinakufanyia bahati mbaya, Ahly inatajwa pia ina nguvu kubwa sana CAF, sio ya kufikirika ama nadharia ndio uhalisia ila wamepita nayo mapema tu. Nawakumbusha tena Watu wangu HAKI huenda na WAJIBU, mfano Tanzania kwa mujibu wa Katiba kuandamana ni haki yako ila unapaswa kutoa taarifa kwa Polisi masaa 72 kabla, umeelewa hapo? Ni haki yako ila huja na Wajibu, Kanuni ili ikulinde hakikisha umetekeleza Wajibu, biashara za Mamlaka za soka duniani ni mpira, kutocheza mpira ni kuzitusi, hazikuachi salama. Ni haki yako kuja kufanya mazoezi uwanja wa mechi siku moja kabla ila ni Wajibu wako kunijulisha kuwa nakuja, ili nikuandalie mazingira, huenda narekebisha mfumo wa Umeme? Huenda hali ya usalama sio shwari, huenda nimepulizia dawa za dudu zinaweka kukuathiri, yaani ni HAKI yako ila una WAJIBU wako huu ni mfano tu. Mnasemaje Watu wangu wa nchini Yemen haya hayawahusu sana, huko kwenu Kivyenu vyenu Wayemen😀" - Farhan JR, Mchambuzi.
    Like
    1
    · 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·62 Views
  • Afande Sele, Msanii wa muziki Hip-hop Tanzania

    "Tutusa" limeamua kugawa rasilimali muhimu za nchi yake masikini sana kwa Marekani,kusudi Marekani walihakikishie ulinzi wa cheo chake cha urais tu,

    Kuna wakati fulani pale bungeni Dodoma,Mbunge wa Misungwi mdogo wangu Mnyeti,aliwahi kutania kwa kusema vijana wa Congo kama Mayele,badala ya kubaki kwao kulinda nchi yao,kinyume chake wao wanakimbilia nje ya nchi kutetema na kukata mauno

    Baada ya Mnyeti kutania utani huo wa kweli,chakushangaza wabongo lala kama kawaida yetu,tukaacha kujadili hoja yake,badala yake tukaanza kumshambulia mtoa hoja kwasababu za ugonjwa wetu sugu wa usimba na Yanga,

    Ona sasa matokeo yake ndio haya,,nchi yao inauzwa kwa malipo ya kulinda madaraka ya Rais wao ambae hata hivyo hakushinda kihalalii na wakati huo wacongoman wanaendelea kuuza mauno duniani na sio kupaaza sauti zao au kuandamana kupinga ujambazi huo kwa kumshinikiza Rais wao akae kwenye meza ya mazungumzo na ndugu zao wa M23 ili kumaliza mzozo kama Dunia yote inavyomshaurj

    Kinachosikitisha zaidi nj ukweli kwamba Marekani siku zote huwa wanasema hawana rafiki wala Adui wa kudumu,bali wao wanamaslahi ya kudumu,hivyo sio ajabu Marekani wakatumia ufala huo wa Tutusa kuvuna madini kutoka upande wa serekali na upande wa waasi kwa kugawa silaha pande zote kusudi waendelee kupigana na wao Marekani wapate nafasi nzuri ya kuchukua madini ya kila upande kwa Raha zao

    Bila Marekani.

    Each one Teach one
    I Change Nation
    Sina Hatia

    Afande Sele, Msanii wa muziki Hip-hop Tanzania ✍️ "Tutusa" limeamua kugawa rasilimali muhimu za nchi yake masikini sana kwa Marekani,kusudi Marekani walihakikishie ulinzi wa cheo chake cha urais tu,😞 Kuna wakati fulani pale bungeni Dodoma,Mbunge wa Misungwi mdogo wangu Mnyeti,aliwahi kutania kwa kusema vijana wa Congo kama Mayele,badala ya kubaki kwao kulinda nchi yao,kinyume chake wao wanakimbilia nje ya nchi kutetema na kukata mauno🤣 Baada ya Mnyeti kutania utani huo wa kweli,chakushangaza wabongo lala kama kawaida yetu,tukaacha kujadili hoja yake,badala yake tukaanza kumshambulia mtoa hoja kwasababu za ugonjwa wetu sugu wa usimba na Yanga,⚽ Ona sasa matokeo yake ndio haya,,nchi yao inauzwa kwa malipo ya kulinda madaraka ya Rais wao ambae hata hivyo hakushinda kihalalii na wakati huo wacongoman wanaendelea kuuza mauno duniani na sio kupaaza sauti zao au kuandamana kupinga ujambazi huo kwa kumshinikiza Rais wao akae kwenye meza ya mazungumzo na ndugu zao wa M23 ili kumaliza mzozo kama Dunia yote inavyomshaurj💪 Kinachosikitisha zaidi nj ukweli kwamba Marekani siku zote huwa wanasema hawana rafiki wala Adui wa kudumu,bali wao wanamaslahi ya kudumu,hivyo sio ajabu Marekani wakatumia ufala huo wa Tutusa kuvuna madini kutoka upande wa serekali na upande wa waasi kwa kugawa silaha pande zote kusudi waendelee kupigana na wao Marekani wapate nafasi nzuri ya kuchukua madini ya kila upande kwa Raha zao 😜 Bila Marekani.🌚 Each one Teach one🔨 I Change Nation🌎 Sina Hatia⚖️
    Like
    1
    · 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·176 Views
  • Taarifa kwa umma kutoka katika klabu ya Yanga SC kuhusu msimamo wao kufuatia kughairisha kwa mchezo wao dhidi ya klabu ya Simba SC.

    - Kupewa alama tatu kwa sababu walifuata taratibu zote za mchezo huku kamati ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara ikichukua uamuzi wa kughairisha mchezo huo bila kufuata kanuni.

    - Yanga SC haitacheza mchezo mwingine shidi ya klabu ya Simba SC msimu huu Ligi Kuu Tanzania Bara (labda wakutane kombe la Shirikisho FA).

    - Klabu ya Simba SC walikuwa na haki ya kufanya mazoezi ya mwisho kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa lakini hakufuata utaratibu wa kupewa haki hiyo kama kutoa taarifa kwa Afisa wa Uwanja, klabu ya Yanga SC ili waandaliwe mazingira ya wao kutumia Uwanja huo.

    Taarifa kwa umma kutoka katika klabu ya Yanga SC kuhusu msimamo wao kufuatia kughairisha kwa mchezo wao dhidi ya klabu ya Simba SC. - Kupewa alama tatu kwa sababu walifuata taratibu zote za mchezo huku kamati ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara ikichukua uamuzi wa kughairisha mchezo huo bila kufuata kanuni. - Yanga SC haitacheza mchezo mwingine shidi ya klabu ya Simba SC msimu huu Ligi Kuu Tanzania Bara (labda wakutane kombe la Shirikisho FA). - Klabu ya Simba SC walikuwa na haki ya kufanya mazoezi ya mwisho kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa lakini hakufuata utaratibu wa kupewa haki hiyo kama kutoa taarifa kwa Afisa wa Uwanja, klabu ya Yanga SC ili waandaliwe mazingira ya wao kutumia Uwanja huo.
    Like
    1
    · 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·173 Views
  • KWANINI WANAWAKE WAZURI HUOLEWA NA WANAUME WASIO SAHIHI.

    1) KUKATA TAMAA

    "Umri unaenda, bora tu niwe na mume"
    "Yeyote atakayekuja, nitaolewa, nitajikakamua, bora tu niingie kwenye ndoa"

    Kutoka kwenye ndoa, wanaingia kwenye madhara, na baada ya muda tunaanza kusikia hadithi zinazogusa koo za Kasongo mbona Wewooo, Mobali na Ngai. Mbona Wewoooo.

    Pale Kukata Tamaa kunapoingia ndani, Ufunuo hutoka nje.

    ---

    2) MUONEKANO/FANTASIA

    Unadhani maisha halisi ni kama Instagram na Pinterest au Tiktok?

    Pale Binti anapotaka kuolewa na Mwanaume kwa sababu tu ni mzuri kwa sura na anavaa vizuri (ili wapige picha za couple za kuwasha mitandao) bila kuchunguza tabia zake zaidi ya muonekano.

    "Mwanaume nitakayemuoa lazima afanane na crush wangu wa Kikorea"

    Lee Min-ho.

    Sasa umeolewa na Lee Min-ho wako, Furaha na Amani ya moyo zimekimbia.

    Sasa uko ofisini kwa washauri wa ndoa ukilia.

    Dada yangu,

    Niachie basi.

    Uliolewa na Mwanaume mzuri kwa sura bila tabia njema ili utupake pilipili mitandaoni.

    Sasa huyo Mwanaume mzuri anakupaka pilipili nje ya mtandao.

    Ukatupaka pilipili Singles na walio kwenye ndoa mtandaoni, ukarudi nyumbani ukapakwa pilipili wewe binafsi.

    Dhibiti pilipili yako, nasi tutaendelea kudhibiti zetu.

    Huwa nasema utajikoroboa sana sura iwe kama tui la nazi Ila wapi, Chubua akili sio ngozi au Sura. Sura hata mbuzi au kitimoto anayo

    ---

    3) KWA AJILI YA PESA NA UMAARUFU

    Wanapokuacha baada ya miaka mingi, wewe na mashabiki wako mnasema "Wanaume wote ni wabaya".

    Kumbuka: Maamuzi daima yana matokeo.

    ---

    4) KWA AJILI YA KUPENDEKEZA FAMILIA

    Ili tu Mama na Baba wafurahi, wengi wanaingia kwenye mahusiano na ndoa zisizo na maisha, ili kulipa bili za familia (bili ambazo hukuzitengeneza, umaskini ambao si kosa lako) unataka kuolewa na mwanaume mbaya waziwazi.

    Dada yangu, usiogope Mama asikasirike, atajitahidi kuvumilia huzuni kidogo.

    Ukifa kesho, hiyo familia unayooa ili uwasaidie itasonga mbele.

    ---

    Dada yangu,

    Kwa ajili ya kesho yako,

    OLEWA KWA AJILI YA AMANI YAKO.
    OLEWA VIZURI.

    Nimehitimisha hoja yangu.

    Arnold Kisanga || +255719545472
    Kilimanjaro, Tanzania.
    KWANINI WANAWAKE WAZURI HUOLEWA NA WANAUME WASIO SAHIHI.

    1) KUKATA TAMAA

    "Umri unaenda, bora tu niwe na mume"
    "Yeyote atakayekuja, nitaolewa, nitajikakamua, bora tu niingie kwenye ndoa"

    Kutoka kwenye ndoa, wanaingia kwenye madhara, na baada ya muda tunaanza kusikia hadithi zinazogusa koo za Kasongo mbona Wewooo, Mobali na Ngai. Mbona Wewoooo.

    Pale Kukata Tamaa kunapoingia ndani, Ufunuo hutoka nje.

    ---

    2) MUONEKANO/FANTASIA

    Unadhani maisha halisi ni kama Instagram na Pinterest au Tiktok?

    Pale Binti anapotaka kuolewa na Mwanaume kwa sababu tu ni mzuri kwa sura na anavaa vizuri (ili wapige picha za couple za kuwasha mitandao) bila kuchunguza tabia zake zaidi ya muonekano.

    "Mwanaume nitakayemuoa lazima afanane na crush wangu wa Kikorea"

    Lee Min-ho.

    Sasa umeolewa na Lee Min-ho wako, Furaha na Amani ya moyo zimekimbia.

    Sasa uko ofisini kwa washauri wa ndoa ukilia.

    Dada yangu,

    Niachie basi.

    Uliolewa na Mwanaume mzuri kwa sura bila tabia njema ili utupake pilipili mitandaoni.

    Sasa huyo Mwanaume mzuri anakupaka pilipili nje ya mtandao.

    Ukatupaka pilipili Singles na walio kwenye ndoa mtandaoni, ukarudi nyumbani ukapakwa pilipili wewe binafsi.

    Dhibiti pilipili yako, nasi tutaendelea kudhibiti zetu.

    Huwa nasema utajikoroboa sana sura iwe kama tui la nazi Ila wapi, Chubua akili sio ngozi au Sura. Sura hata mbuzi au kitimoto anayo

    ---

    3) KWA AJILI YA PESA NA UMAARUFU

    Wanapokuacha baada ya miaka mingi, wewe na mashabiki wako mnasema "Wanaume wote ni wabaya".

    Kumbuka: Maamuzi daima yana matokeo.

    ---

    4) KWA AJILI YA KUPENDEKEZA FAMILIA

    Ili tu Mama na Baba wafurahi, wengi wanaingia kwenye mahusiano na ndoa zisizo na maisha, ili kulipa bili za familia (bili ambazo hukuzitengeneza, umaskini ambao si kosa lako) unataka kuolewa na mwanaume mbaya waziwazi.

    Dada yangu, usiogope Mama asikasirike, atajitahidi kuvumilia huzuni kidogo.

    Ukifa kesho, hiyo familia unayooa ili uwasaidie itasonga mbele.

    ---

    Dada yangu,

    Kwa ajili ya kesho yako,

    OLEWA KWA AJILI YA AMANI YAKO.
    OLEWA VIZURI.

    Nimehitimisha hoja yangu.

    Credit
    Arnold Kisanga
    KWANINI WANAWAKE WAZURI HUOLEWA NA WANAUME WASIO SAHIHI. 1) KUKATA TAMAA "Umri unaenda, bora tu niwe na mume" "Yeyote atakayekuja, nitaolewa, nitajikakamua, bora tu niingie kwenye ndoa" Kutoka kwenye ndoa, wanaingia kwenye madhara, na baada ya muda tunaanza kusikia hadithi zinazogusa koo za Kasongo mbona Wewooo, Mobali na Ngai. Mbona Wewoooo. Pale Kukata Tamaa kunapoingia ndani, Ufunuo hutoka nje. --- 2) MUONEKANO/FANTASIA Unadhani maisha halisi ni kama Instagram na Pinterest au Tiktok? Pale Binti anapotaka kuolewa na Mwanaume kwa sababu tu ni mzuri kwa sura na anavaa vizuri (ili wapige picha za couple za kuwasha mitandao) bila kuchunguza tabia zake zaidi ya muonekano. "Mwanaume nitakayemuoa lazima afanane na crush wangu wa Kikorea" Lee Min-ho. Sasa umeolewa na Lee Min-ho wako, Furaha na Amani ya moyo zimekimbia. Sasa uko ofisini kwa washauri wa ndoa ukilia. Dada yangu, Niachie basi. Uliolewa na Mwanaume mzuri kwa sura bila tabia njema ili utupake pilipili mitandaoni. Sasa huyo Mwanaume mzuri anakupaka pilipili nje ya mtandao. Ukatupaka pilipili Singles na walio kwenye ndoa mtandaoni, ukarudi nyumbani ukapakwa pilipili wewe binafsi. Dhibiti pilipili yako, nasi tutaendelea kudhibiti zetu. Huwa nasema utajikoroboa sana sura iwe kama tui la nazi Ila wapi, Chubua akili sio ngozi au Sura. Sura hata mbuzi au kitimoto anayo --- 3) KWA AJILI YA PESA NA UMAARUFU Wanapokuacha baada ya miaka mingi, wewe na mashabiki wako mnasema "Wanaume wote ni wabaya". Kumbuka: Maamuzi daima yana matokeo. --- 4) KWA AJILI YA KUPENDEKEZA FAMILIA Ili tu Mama na Baba wafurahi, wengi wanaingia kwenye mahusiano na ndoa zisizo na maisha, ili kulipa bili za familia (bili ambazo hukuzitengeneza, umaskini ambao si kosa lako) unataka kuolewa na mwanaume mbaya waziwazi. Dada yangu, usiogope Mama asikasirike, atajitahidi kuvumilia huzuni kidogo. Ukifa kesho, hiyo familia unayooa ili uwasaidie itasonga mbele. --- Dada yangu, Kwa ajili ya kesho yako, OLEWA KWA AJILI YA AMANI YAKO. OLEWA VIZURI. Nimehitimisha hoja yangu. Arnold Kisanga || +255719545472 Kilimanjaro, Tanzania. KWANINI WANAWAKE WAZURI HUOLEWA NA WANAUME WASIO SAHIHI. 1) KUKATA TAMAA "Umri unaenda, bora tu niwe na mume" "Yeyote atakayekuja, nitaolewa, nitajikakamua, bora tu niingie kwenye ndoa" Kutoka kwenye ndoa, wanaingia kwenye madhara, na baada ya muda tunaanza kusikia hadithi zinazogusa koo za Kasongo mbona Wewooo, Mobali na Ngai. Mbona Wewoooo. Pale Kukata Tamaa kunapoingia ndani, Ufunuo hutoka nje. --- 2) MUONEKANO/FANTASIA Unadhani maisha halisi ni kama Instagram na Pinterest au Tiktok? Pale Binti anapotaka kuolewa na Mwanaume kwa sababu tu ni mzuri kwa sura na anavaa vizuri (ili wapige picha za couple za kuwasha mitandao) bila kuchunguza tabia zake zaidi ya muonekano. "Mwanaume nitakayemuoa lazima afanane na crush wangu wa Kikorea" Lee Min-ho. Sasa umeolewa na Lee Min-ho wako, Furaha na Amani ya moyo zimekimbia. Sasa uko ofisini kwa washauri wa ndoa ukilia. Dada yangu, Niachie basi. Uliolewa na Mwanaume mzuri kwa sura bila tabia njema ili utupake pilipili mitandaoni. Sasa huyo Mwanaume mzuri anakupaka pilipili nje ya mtandao. Ukatupaka pilipili Singles na walio kwenye ndoa mtandaoni, ukarudi nyumbani ukapakwa pilipili wewe binafsi. Dhibiti pilipili yako, nasi tutaendelea kudhibiti zetu. Huwa nasema utajikoroboa sana sura iwe kama tui la nazi Ila wapi, Chubua akili sio ngozi au Sura. Sura hata mbuzi au kitimoto anayo --- 3) KWA AJILI YA PESA NA UMAARUFU Wanapokuacha baada ya miaka mingi, wewe na mashabiki wako mnasema "Wanaume wote ni wabaya". Kumbuka: Maamuzi daima yana matokeo. --- 4) KWA AJILI YA KUPENDEKEZA FAMILIA Ili tu Mama na Baba wafurahi, wengi wanaingia kwenye mahusiano na ndoa zisizo na maisha, ili kulipa bili za familia (bili ambazo hukuzitengeneza, umaskini ambao si kosa lako) unataka kuolewa na mwanaume mbaya waziwazi. Dada yangu, usiogope Mama asikasirike, atajitahidi kuvumilia huzuni kidogo. Ukifa kesho, hiyo familia unayooa ili uwasaidie itasonga mbele. --- Dada yangu, Kwa ajili ya kesho yako, OLEWA KWA AJILI YA AMANI YAKO. OLEWA VIZURI. Nimehitimisha hoja yangu. Credit Arnold Kisanga
    Love
    1
    · 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·264 Views
  • Orodha ya Watayarishaji bora kwenye historia ya muziki wa Tanzania.

    1. P Funk
    2. Master Jay
    3. Miika Mwamba
    4. Bonny Love
    5. Prof Ludigo

    6. Bizzman
    7. Enrico
    8. Marco Chali
    9. Hermy B
    10. Lamar

    11. Man Walter
    12. Alain Mapigo
    13. Said Comorean
    14. Ambrose Dunga
    15. Pancho Latino

    16. J Ryder
    17. T Touch
    18. Kameta
    19. Mona Gangster
    20. Shaddy Clever

    21. Complex
    22. Manecky
    23. Abbah
    24. KGT
    25. Bob Junior

    26. Mensen Selekta
    27. Duke
    28. S2Kezzy
    29. Laizer
    30. Abby Daddy

    31. Bonga
    32. Emma The Boy
    33. Nahreel
    34. Mangustino
    35. Kidbway

    36. Shirko
    37. Fundi Samuel
    38. Ali Baucha.

    Panga orodha yako Watayarishaji wa tano bora wa muda wote.
    Orodha ya Watayarishaji bora kwenye historia ya muziki wa Tanzania. 1. P Funk 2. Master Jay 3. Miika Mwamba 4. Bonny Love 5. Prof Ludigo 6. Bizzman 7. Enrico 8. Marco Chali 9. Hermy B 10. Lamar 11. Man Walter 12. Alain Mapigo 13. Said Comorean 14. Ambrose Dunga 15. Pancho Latino 16. J Ryder 17. T Touch 18. Kameta 19. Mona Gangster 20. Shaddy Clever 21. Complex 22. Manecky 23. Abbah 24. KGT 25. Bob Junior 26. Mensen Selekta 27. Duke 28. S2Kezzy 29. Laizer 30. Abby Daddy 31. Bonga 32. Emma The Boy 33. Nahreel 34. Mangustino 35. Kidbway 36. Shirko 37. Fundi Samuel 38. Ali Baucha. Panga orodha yako Watayarishaji wa tano bora wa muda wote.
    Like
    1
    · 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·301 Views
  • MTUNZI WA JINA LA 'TANZANIA' AFARIKI

    Hicho ni kipande cha gazeti la The Nationalist la Oktoba 30, 1964. Habari kubwa kwenye gazeti hili na Nchi kwa ujumla ni jina jipya la TANZANIA. Ni kwamba baada ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar wa April 26, 1964, jina la nchi mpya lilikuwa Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Lakini jina hili lilikuwa refu sana na kuwa kero kwa Watumiaji.

    Serikali kupitia wizara ya habari na utalii chini ya waziri Dkt. Idrisa Abdul Wakili, ikaanzisha mchakato wa kutafuta jina jipya litakalokuwa fupi na rahisi. Ikatoa tangazo kupitia gazeti la Tanganyika Standard, ambalo sasa ni Daily News, kuwataka Watanzania wenye kuweza kubuni jina jipya la Nchi kufanya hivyo. Ndipo kijana wa miaka 18 kutoka Morogoro, Mohamed Iqbal Dar, Mwanafunzi wa Sekondari ya Aga Khan Morogoro, akaliona tangazo hilo na kushiriki.

    Akatunga jina la Tanzania na kulituma kwenye anwani iliyotangazwa. Baada ya muda kupita, akapata barua kutoka serikalini ikimtaja na kumpongeza yeye kama mmoja wa Washindi 16 na wakatakiwa kufika ofisi za wizara. Kwa pamoja watu hawa walitakiwa kugawana zawadi ya shilingi 200, wakati huo shilingi moja ilikuwa sawa na dola 8 za Marekani.

    Siku ilipofika, watu wawili tu walijitokeza; yeye Mohamed Iqbal Dar na Yusufal Pir Mohamed. Lakini huyo mwenzake hakuwa na ile barua ya kutajwa kama mshindi na kupongezwa... Serikali ikashindwa kumthibitisha hivyo kumtangaza Mohamed Iqbal Dar kama Mshindi pekee. Ndipo Jumatano ya Oktoba 29, 1964 serikali ikatangaza rasmi kwamba jina jipya la nchi ni Tanzania na gazeti la The Nationalist likaichapisha habari hii kubwa, Alhamisi ya Oktoba 30, 1964. Jina la Tanzania likaanza kutumika rasmi Novemba Mosi, 1964.

    - Alitungaje jina?

    TAN - kutoka Tanganyika
    ZAN - kutoka Zanzibar
    I - kutoka jina lake la Iqbal.
    A - kutoka dini yake ya Ahmadiya. Hii pia ikawa rahisi zaidi kwake kwani majina ya nchi nyingi za Afrika yaliishia na A kama Ethiopia, Zambia, Gambia nk.

    - Ni nani huyu Mohamed Iqbal Dar?

    Ni mtoto wa Dkt. Dar, ambaye alikuja Tanzania mwaka 1930 kutoka India. Alifikia Tanga, na ndiko alikozaliwa Mohamed, hakafu akahamia Morogoro. Mohamed amefarikia huko Birmingham Nchini Uingereza .
    MTUNZI WA JINA LA 'TANZANIA' AFARIKI Hicho ni kipande cha gazeti la The Nationalist la Oktoba 30, 1964. Habari kubwa kwenye gazeti hili na Nchi kwa ujumla ni jina jipya la TANZANIA. Ni kwamba baada ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar wa April 26, 1964, jina la nchi mpya lilikuwa Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Lakini jina hili lilikuwa refu sana na kuwa kero kwa Watumiaji. Serikali kupitia wizara ya habari na utalii chini ya waziri Dkt. Idrisa Abdul Wakili, ikaanzisha mchakato wa kutafuta jina jipya litakalokuwa fupi na rahisi. Ikatoa tangazo kupitia gazeti la Tanganyika Standard, ambalo sasa ni Daily News, kuwataka Watanzania wenye kuweza kubuni jina jipya la Nchi kufanya hivyo. Ndipo kijana wa miaka 18 kutoka Morogoro, Mohamed Iqbal Dar, Mwanafunzi wa Sekondari ya Aga Khan Morogoro, akaliona tangazo hilo na kushiriki. Akatunga jina la Tanzania na kulituma kwenye anwani iliyotangazwa. Baada ya muda kupita, akapata barua kutoka serikalini ikimtaja na kumpongeza yeye kama mmoja wa Washindi 16 na wakatakiwa kufika ofisi za wizara. Kwa pamoja watu hawa walitakiwa kugawana zawadi ya shilingi 200, wakati huo shilingi moja ilikuwa sawa na dola 8 za Marekani. Siku ilipofika, watu wawili tu walijitokeza; yeye Mohamed Iqbal Dar na Yusufal Pir Mohamed. Lakini huyo mwenzake hakuwa na ile barua ya kutajwa kama mshindi na kupongezwa... Serikali ikashindwa kumthibitisha hivyo kumtangaza Mohamed Iqbal Dar kama Mshindi pekee. Ndipo Jumatano ya Oktoba 29, 1964 serikali ikatangaza rasmi kwamba jina jipya la nchi ni Tanzania na gazeti la The Nationalist likaichapisha habari hii kubwa, Alhamisi ya Oktoba 30, 1964. Jina la Tanzania likaanza kutumika rasmi Novemba Mosi, 1964. - Alitungaje jina? TAN - kutoka Tanganyika ZAN - kutoka Zanzibar I - kutoka jina lake la Iqbal. A - kutoka dini yake ya Ahmadiya. Hii pia ikawa rahisi zaidi kwake kwani majina ya nchi nyingi za Afrika yaliishia na A kama Ethiopia, Zambia, Gambia nk. - Ni nani huyu Mohamed Iqbal Dar? Ni mtoto wa Dkt. Dar, ambaye alikuja Tanzania mwaka 1930 kutoka India. Alifikia Tanga, na ndiko alikozaliwa Mohamed, hakafu akahamia Morogoro. Mohamed amefarikia huko Birmingham Nchini Uingereza 🇬🇧.
    Like
    2
    · 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·383 Views
  • #Repost @georgejob_gj
    MASTER KI NI MVP TUSISAHAU.

    Tusisahau kua huyu Aziz Ki ndiye MVP wa ligi yetu Tanzania Bara msimu wa 2023/2024 haya anayo yafanya sio kwa Bahati Mbaya au kwa sababu Pamba ni wabovu Master Ki is a versatile player

    Goli la pili alilo piga ukiangalia mentality yake ilivyo change kwa haraka kutoka kutaka kutoa pasi na kufanya maamuzi ya kupiga shuti la kucave golini utagundua Azizi Ki ni mchezaji Mwenye akili kubwa sana ya Mpira.

    Pamba walizidiwa kimbinu kwenye kila sehemu Substitution walizo fanya ya Nakibinge na Habib Kyombo wallijaribu kutaka kubadilisha mchezo lakini mbinu ya Yanga bado iliendelea kutawala mchezo.

    Yona Amos moja ya Makipa Bora sana nchini bahati mbaya leo kakutana na Yanga iliyo Bora sana kimbinu karibu magoli yote aliyofungwa ni magoli ambayo sio ya kumlaumu ni magoii ya kiufundi.

    NB: Ikangalombo apewe muda au Mali ipo?
    (George Job, Mchambuzi)

    #Repost @georgejob_gj MASTER KI NI MVP TUSISAHAU. Tusisahau kua huyu Aziz Ki ndiye MVP wa ligi yetu Tanzania Bara msimu wa 2023/2024 haya anayo yafanya sio kwa Bahati Mbaya au kwa sababu Pamba ni wabovu Master Ki is a versatile player 🙌 Goli la pili alilo piga ukiangalia mentality yake ilivyo change kwa haraka kutoka kutaka kutoa pasi na kufanya maamuzi ya kupiga shuti la kucave golini utagundua Azizi Ki ni mchezaji Mwenye akili kubwa sana ya Mpira. Pamba walizidiwa kimbinu kwenye kila sehemu Substitution walizo fanya ya Nakibinge na Habib Kyombo wallijaribu kutaka kubadilisha mchezo lakini mbinu ya Yanga bado iliendelea kutawala mchezo. Yona Amos moja ya Makipa Bora sana nchini bahati mbaya leo kakutana na Yanga iliyo Bora sana kimbinu karibu magoli yote aliyofungwa ni magoli ambayo sio ya kumlaumu ni magoii ya kiufundi. NB: Ikangalombo apewe muda au Mali ipo? (George Job, Mchambuzi)
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·379 Views
  • Zambia wana Laptop zao zinaitwa NEO, Rwanda wana MARA Phones na Satelite , Uganda wana Simu zao zinaitwa SIMI, Kenya wana Laptop zao zinaitwa TAIFA Wana Starlink pia wana Satelite yao, Tanzania tuna nini ?
    Zambia wana Laptop zao zinaitwa NEO, Rwanda wana MARA Phones na Satelite , Uganda wana Simu zao zinaitwa SIMI, Kenya wana Laptop zao zinaitwa TAIFA Wana Starlink pia wana Satelite yao, Tanzania tuna nini ?
    Like
    Wow
    2
    · 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·473 Views
  • #SportsElite
    Msimamo wa Ligi ya @championshiptz ya @nbc_tanzania
    #SportsElite 🇹🇿 Msimamo wa Ligi ya @championshiptz ya @nbc_tanzania
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·267 Views
  • #SportsElite
    #Matokeo ya mchezo wa Ligi ya @championshiptz ya @nbc_tanzania

    #SportsElite🇹🇿 #Matokeo ya mchezo wa Ligi ya @championshiptz ya @nbc_tanzania
    Love
    1
    · 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·303 Views
  • MEME RUSH
    HERE WE GO
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .[Neemadish]
    #SocialPop
    #tanzaniasocialmedia
    #socialpoptanzania
    #Supportsocialpop
    MEME RUSH 😂 😂 ⭐ HERE WE GO . . . . . . . . .[Neemadish] #SocialPop #tanzaniasocialmedia #socialpoptanzania #Supportsocialpop
    Like
    1
    · 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·574 Views

  • #viral [Neemadish]
    #SocialPop
    #tanzaniasocialmedia
    #socialpoptanzania
    #Supportsocialpop
    😂😂😂😂😂😂 #viral [Neemadish] #SocialPop #tanzaniasocialmedia #socialpoptanzania #Supportsocialpop🤣🤣🤣🤣🤣🤣
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·567 Views ·2
  • “Ukiwa Mwandishi wa Habari una vitu viwili muhimu vya kuchunga navyo ni Ulimi wako na Mikono yako, unapaswa kufahamu unaongea nini ama unaandika kitu gani, nyuma ya mauaji ya Kimbari yalikuwa ni matamshi ya Watangazaji pia ambao walieneza chuki, kwasasa kuna kazi mbili za hatari nazo ni Ualimu na Waandishi wa Habari, hawa wanaweza kutengeneza taifa la Wajinga ama Waelevu.

    Nataka kusema nini? Nataka kusema juu ya kelele na shutuma za Yanga na Singida bado hakuna aliyetupa picha kamili zaidi ni kuwa Mashabiki wanalalamika kwa hisia, Waandishi tunalalamika kwa hisia ila hakuna anayekuja mbele kutoa usahihi, inaitwa Proving beyond reasonable doubt! Nimeona Wadau wanasema TFF haifanyi chochote, lakini wewe umewapa tip gani? Taasisi haifanyi maamuzi kwa hisia, the corporate world works differently from streets.

    Bado kizazi chetu cha Uandishi kuna kitu kinamiss ni INVESTIGATIVE JOURNALISM, binafsi nakiri wazi TUMEFELI sana eneo hili, yaani sote tunalaumu Singida kufanya rotation tunaita kupanga matokeo, tangu lini duniani kubadili kikosi chako ni kupanga matokeo? Ikitokea Coastal kabadili kikosi, ikitokea Simba kabadili ama AZAM? Yani timu inalaumiwa kwa kutumia Wachezaji wake?

    Tunaweza kuwa na hoja ila mpaka sasa hazina mashiko zaidi tunaonekana tunalalama ila tukipelekwa Mahakamani hakuna ambaye atathibitisha chochote, kama kufungwa ni kupanga matokeo mara ya mwisho Simba kumfunga Yanga ndani ya dakika 90 ni lini? Kama kufungwa ni kupanga matokeo lini Singida kamfunga Simba? Kama kufungwa ni kupanga lini Namungo kamfunga Simba lini?

    Sisi WAANDISHI tuna homework tunapaswa kufanya, tutaharibu fikra za Watanzania! Wenzetu Ulaya walipoibua kashfa ya Casciopoli pale Italia walikuja na data, hata UEFA Heated Balls Scandal watu walikuwa na data! Yanga wakisema waende kisheria nani anaweza kuja na hoja za kueleweka? Kama hakuna taarifa sahihi, mifano hai basi tunaongelea hisia, TFF atareact endapo atajitokea Mtu akaattack matter not the subject" - Farhan JR, Mchambuzi.

    “Ukiwa Mwandishi wa Habari una vitu viwili muhimu vya kuchunga navyo ni Ulimi wako na Mikono yako, unapaswa kufahamu unaongea nini ama unaandika kitu gani, nyuma ya mauaji ya Kimbari yalikuwa ni matamshi ya Watangazaji pia ambao walieneza chuki, kwasasa kuna kazi mbili za hatari nazo ni Ualimu na Waandishi wa Habari, hawa wanaweza kutengeneza taifa la Wajinga ama Waelevu. Nataka kusema nini? Nataka kusema juu ya kelele na shutuma za Yanga na Singida bado hakuna aliyetupa picha kamili zaidi ni kuwa Mashabiki wanalalamika kwa hisia, Waandishi tunalalamika kwa hisia ila hakuna anayekuja mbele kutoa usahihi, inaitwa Proving beyond reasonable doubt! Nimeona Wadau wanasema TFF haifanyi chochote, lakini wewe umewapa tip gani? Taasisi haifanyi maamuzi kwa hisia, the corporate world works differently from streets. Bado kizazi chetu cha Uandishi kuna kitu kinamiss ni INVESTIGATIVE JOURNALISM, binafsi nakiri wazi TUMEFELI sana eneo hili, yaani sote tunalaumu Singida kufanya rotation tunaita kupanga matokeo, tangu lini duniani kubadili kikosi chako ni kupanga matokeo? Ikitokea Coastal kabadili kikosi, ikitokea Simba kabadili ama AZAM? Yani timu inalaumiwa kwa kutumia Wachezaji wake? Tunaweza kuwa na hoja ila mpaka sasa hazina mashiko zaidi tunaonekana tunalalama ila tukipelekwa Mahakamani hakuna ambaye atathibitisha chochote, kama kufungwa ni kupanga matokeo mara ya mwisho Simba kumfunga Yanga ndani ya dakika 90 ni lini? Kama kufungwa ni kupanga matokeo lini Singida kamfunga Simba? Kama kufungwa ni kupanga lini Namungo kamfunga Simba lini? Sisi WAANDISHI tuna homework tunapaswa kufanya, tutaharibu fikra za Watanzania! Wenzetu Ulaya walipoibua kashfa ya Casciopoli pale Italia walikuja na data, hata UEFA Heated Balls Scandal watu walikuwa na data! Yanga wakisema waende kisheria nani anaweza kuja na hoja za kueleweka? Kama hakuna taarifa sahihi, mifano hai basi tunaongelea hisia, TFF atareact endapo atajitokea Mtu akaattack matter not the subject" - Farhan JR, Mchambuzi.
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·728 Views
  • Mkojo wa Sungura wageuka dhahabu Nchini Kenya.

    Kumekukuwa na wimbi kubwa la mahitaji ya mkojo wa Sungura Nchini Kenya huku lita moja (1) ikiuzwa kwa Shilingi elfu moja (1,000) ambazo ni takribani Shilingi 19,885 za Kitanzania hali ambayo imepelekea Wakulima wengi kuvutiwa zaidi kuwekeza katika ufugaji wa Wanyama hao.

    Sanjari na kitoweo cha Sungura kuuzwa kwa kati ya Shilingi elfu moja (1,000) na elfu elfu mbili (2,000) za Kenya (39,790 Tsh) kwa kilo, Wakulima sasa wanapata faida kutokana na mkojo wa Mnyama huyo, ambao hutumika kama mbolea ya asili na dawa ya kuua Wadudu wanaoshambulia mimea.

    Mkojo wa Sungura wageuka dhahabu Nchini Kenya. Kumekukuwa na wimbi kubwa la mahitaji ya mkojo wa Sungura Nchini Kenya 🇰🇪 huku lita moja (1) ikiuzwa kwa Shilingi elfu moja (1,000) ambazo ni takribani Shilingi 19,885 za Kitanzania hali ambayo imepelekea Wakulima wengi kuvutiwa zaidi kuwekeza katika ufugaji wa Wanyama hao. Sanjari na kitoweo cha Sungura kuuzwa kwa kati ya Shilingi elfu moja (1,000) na elfu elfu mbili (2,000) za Kenya (39,790 Tsh) kwa kilo, Wakulima sasa wanapata faida kutokana na mkojo wa Mnyama huyo, ambao hutumika kama mbolea ya asili na dawa ya kuua Wadudu wanaoshambulia mimea.
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·299 Views
  • "Wakati tunazilaumu Simba Sports na Azam Football Club Kuukosa Ubingwa,tukumbuke pia Mazingira Yao Magumu ya Kushindana

    Parameters za Simba Sports na Azam Fc Kuchukua Ubingwa zimebadilika Kabisa na ni tofauti Washindani wenzao Kwenye Ligi

    Kuna hoja Lazy sana eti Mbona Simba Sports alicheza na Tabora United Dhaifu?

    Kwenye Mechi zote 2 Tabora wana uwezo wa Ku justifie Kwanini walichezesha Vikosi vile na ukawaelewa vizuri tu.

    Mechi ya Kwanza n issue ya Vibali,na mechi ya Pili Heritier Makambo alikuwa na Kadi 3 za njano. Yacouba Sogne alikuwa ni Majeruhi..

    Kuna hoja Lazy nyingine Kwamba mbona Kikosi bora cha Singida Black Stars Kilifungwa 2-0 na KMC ambayo ilifungwa 6-1 na Yanga?

    Kwanza Kwenye hiyo hoja hapo wote tumekubaliana Kwamba Singida Black Stars wamepanga Kikosi Dhaifu

    Pili, Sisi hatusemi Singida Black Stars angepanga Kikosi bora lazima angeshinda dhidi ya Yanga au asingepoteza mechi

    Mbona ile Mechi ya Kwanza Kule Amani Complex Zanzibar Singida Black Stars waliweka Full Mkoko na bado Yanga alishinda 1-0 bao la Paccome ?

    Swali ni Sababu ipi ya Singida Black Stars Kubadilisha wachezaji 6 Kutoka Kwenye Kikosi Kilichomfunga Jkt Tanzania 1-0?

    Mbaya zaidi Kuna wachezaji walichezeshwa Kabisa nje ya Maeneo ya ya asili na wachezaji wenye nafasi zao wakiwa bench

    Singida black stars Dhaifu ilipigwa 2-0 Kipindi Cha Kwanza na Stars bora ilishinda 1-0 Kipindi cha Pili.

    Ligi yetu tukufu inachezewa na watu ambao hawana nia njema na Mpira wetu na Kama tusipotwanga sasa hivi tutakuja Kuula Mbichi" - Wilson Orumo, Mchambuzi.

    "Wakati tunazilaumu Simba Sports na Azam Football Club Kuukosa Ubingwa,tukumbuke pia Mazingira Yao Magumu ya Kushindana Parameters za Simba Sports na Azam Fc Kuchukua Ubingwa zimebadilika Kabisa na ni tofauti Washindani wenzao Kwenye Ligi Kuna hoja Lazy sana eti Mbona Simba Sports alicheza na Tabora United Dhaifu? Kwenye Mechi zote 2 Tabora wana uwezo wa Ku justifie Kwanini walichezesha Vikosi vile na ukawaelewa vizuri tu. Mechi ya Kwanza n issue ya Vibali,na mechi ya Pili Heritier Makambo alikuwa na Kadi 3 za njano. Yacouba Sogne alikuwa ni Majeruhi.. Kuna hoja Lazy nyingine Kwamba mbona Kikosi bora cha Singida Black Stars Kilifungwa 2-0 na KMC ambayo ilifungwa 6-1 na Yanga? Kwanza Kwenye hiyo hoja hapo wote tumekubaliana Kwamba Singida Black Stars wamepanga Kikosi Dhaifu Pili, Sisi hatusemi Singida Black Stars angepanga Kikosi bora lazima angeshinda dhidi ya Yanga au asingepoteza mechi Mbona ile Mechi ya Kwanza Kule Amani Complex Zanzibar Singida Black Stars waliweka Full Mkoko na bado Yanga alishinda 1-0 bao la Paccome ? Swali ni Sababu ipi ya Singida Black Stars Kubadilisha wachezaji 6 Kutoka Kwenye Kikosi Kilichomfunga Jkt Tanzania 1-0? Mbaya zaidi Kuna wachezaji walichezeshwa Kabisa nje ya Maeneo ya ya asili na wachezaji wenye nafasi zao wakiwa bench Singida black stars Dhaifu ilipigwa 2-0 Kipindi Cha Kwanza na Stars bora ilishinda 1-0 Kipindi cha Pili. Ligi yetu tukufu inachezewa na watu ambao hawana nia njema na Mpira wetu na Kama tusipotwanga sasa hivi tutakuja Kuula Mbichi" - Wilson Orumo, Mchambuzi.
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·559 Views

  • KUTOKA SINGIDA BLACK STARS

    HII NI KWENU WACHAMBUZI WOTE WENYE USHABIKI KULIKO UCHAMBUZI

    Singida Black stars Sc ni Timu yenye utaratibu wake na mipango yake juu ya kuiongoza Timu yake kwa misingi yake

    Timu yetu haipangiwi na wala hatupelekeshwi na maneno ya mitandaoni katika kuiendesha Timu Yetu, Tunaomba Mfahamu kuwa kila mchezaji Tuliyemsajili anatufaa na anafaa kuipambania Nembo ya Timu yetu

    Katika kikosi chetu chenye jumla ya wachezaji 33 wote wakiwa wazima wa Afya na Fitness nzuri kocha wetu na Benchi letu la Ufundi lina uhuru wa Kumchagua Mchezaji yeyote akaanza katika kikosi cha kwanza katika mchezo wowote

    Rejea michezo Yetu Mitatu ya nyuma kabla ya mchezo wa jana dhidi ya Yanga sc Tulicheza michezo 3 dhidi ya Kagera Sugar, KMC Fc, na JKT Tanzania

    Katika mchezo wetu dhidi ya Kagera sugar tulianzisha wachezaji wengi wa kimataifa na Tulipata sare ya goli 2-2 mchezo uliofuata tukacheza dhidi ya KMC FC na wachezaji wengi wa kimataifa walianza pia tukafungwa goli 2 bila Benchi la ufundi kikafanya mabadiliko kadhaa kwenye mchezo uliofuata dhidi ya JKT Tanzania Na tukapata ushindi kwenye moja ya Viwanja ambavyo Timu zote za ligi kuu hakuna iliyopata ushindi

    Baada ya Benchi la Ufundi kuridhika na vipaji vya wachezaji wetu wa ndani waliotupa Ushindi wa mchezo wa JKT Tanzania wakaridhishwa kwamba wachezaji wale wanafaa baadhi yao kuanza kwenye mchezo dhidi ya Yanga, kwa upande wa Timu yetu Tumefurahi Timu ilicheza vizuri kwa nidhamu ya hali ya juu na mchezo ukaisha kwa goal 2-1

    Sasa baada ya mchezo ule wameibuka watu wanaojiita wachambuzi kwa vivuli vya ushabiki wao na roho zao mbaya na umaskini uliowajaa wanataka kutupangia Kikosi chetu kitu Ambacho kwetu hakikubaliki hata kidogo

    Ni mfano uone mwanaume Ameoa wake 4 alafu wewe jirani yake unataka kumpangia kwamba Leo kalale kwa mwanamke huyu na utapikiwa na huyu hilo haliwezekani Abadani SISI HATUPANGIWI MAISHA NA VITAKATAKA KAMA NYINYI
    KUTOKA SINGIDA BLACK STARS ✍️ HII NI KWENU WACHAMBUZI WOTE WENYE USHABIKI KULIKO UCHAMBUZI Singida Black stars Sc ni Timu yenye utaratibu wake na mipango yake juu ya kuiongoza Timu yake kwa misingi yake Timu yetu haipangiwi na wala hatupelekeshwi na maneno ya mitandaoni katika kuiendesha Timu Yetu, Tunaomba Mfahamu kuwa kila mchezaji Tuliyemsajili anatufaa na anafaa kuipambania Nembo ya Timu yetu Katika kikosi chetu chenye jumla ya wachezaji 33 wote wakiwa wazima wa Afya na Fitness nzuri kocha wetu na Benchi letu la Ufundi lina uhuru wa Kumchagua Mchezaji yeyote akaanza katika kikosi cha kwanza katika mchezo wowote Rejea michezo Yetu Mitatu ya nyuma kabla ya mchezo wa jana dhidi ya Yanga sc Tulicheza michezo 3 dhidi ya Kagera Sugar, KMC Fc, na JKT Tanzania Katika mchezo wetu dhidi ya Kagera sugar tulianzisha wachezaji wengi wa kimataifa na Tulipata sare ya goli 2-2 mchezo uliofuata tukacheza dhidi ya KMC FC na wachezaji wengi wa kimataifa walianza pia tukafungwa goli 2 bila Benchi la ufundi kikafanya mabadiliko kadhaa kwenye mchezo uliofuata dhidi ya JKT Tanzania Na tukapata ushindi kwenye moja ya Viwanja ambavyo Timu zote za ligi kuu hakuna iliyopata ushindi Baada ya Benchi la Ufundi kuridhika na vipaji vya wachezaji wetu wa ndani waliotupa Ushindi wa mchezo wa JKT Tanzania wakaridhishwa kwamba wachezaji wale wanafaa baadhi yao kuanza kwenye mchezo dhidi ya Yanga, kwa upande wa Timu yetu Tumefurahi Timu ilicheza vizuri kwa nidhamu ya hali ya juu na mchezo ukaisha kwa goal 2-1 Sasa baada ya mchezo ule wameibuka watu wanaojiita wachambuzi kwa vivuli vya ushabiki wao na roho zao mbaya na umaskini uliowajaa wanataka kutupangia Kikosi chetu kitu Ambacho kwetu hakikubaliki hata kidogo Ni mfano uone mwanaume Ameoa wake 4 alafu wewe jirani yake unataka kumpangia kwamba Leo kalale kwa mwanamke huyu na utapikiwa na huyu hilo haliwezekani Abadani SISI HATUPANGIWI MAISHA NA VITAKATAKA KAMA NYINYI
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·630 Views
  • Tanzania 2️⃣ - 0️⃣ Burkina Faso
    Tanzania 2️⃣ - 0️⃣ Burkina Faso 😂😂
    Like
    1
    · 1 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·141 Views
  • Mahakama ya ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu (AfCHPR) imeanza kusikiliza shauri la Nchi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo dhidi ya Nchi ya Rwanda , ambalo limefunguliwa kwenye mahakama hiyo iliyoko Jijini Arusha Nchini Tanzania .

    Aidha, DR Congo ilifungua kesi dhidi ya Rwanda, Agosti 21 2023, ikiituhumu Nchi hiyo kwa ukiukwaji mkubwa wa haki za kibinadamu. Kupitia kesi namba 007/2023, DR Congo inadai kuwa Nchi ya Rwanda inahusika na mgogoro unaeondelea Mashariki mwa Nchi hiyo hasa Mkoa wa Sud-Kivu.

    Mahakama ya ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu (AfCHPR) imeanza kusikiliza shauri la Nchi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo 🇨🇩 dhidi ya Nchi ya Rwanda 🇷🇼, ambalo limefunguliwa kwenye mahakama hiyo iliyoko Jijini Arusha Nchini Tanzania 🇹🇿. Aidha, DR Congo ilifungua kesi dhidi ya Rwanda, Agosti 21 2023, ikiituhumu Nchi hiyo kwa ukiukwaji mkubwa wa haki za kibinadamu. Kupitia kesi namba 007/2023, DR Congo inadai kuwa Nchi ya Rwanda inahusika na mgogoro unaeondelea Mashariki mwa Nchi hiyo hasa Mkoa wa Sud-Kivu.
    Like
    1
    · 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·351 Views
  • "Kuanzia Msimu ujao tunakuja na kanuni ya Golikipa Mmoja tu wakigeni kwenye kila timu haiwezekani kwenye timu moja kuwe na magolikipa wawili wa kigeni haiwezekani hii”

    “Nilikua namtania Rais mwenzangu wa shirikisho aliniambia Mbona kwenye ligi yako kuna wachezaji wa kigeni wengi sana nikamjibu kua siwadekezi watu wavivu, ukiangalia pale Yanga kuna mabeki wengi wakizawa ndio wanacheza hata Siimba pia hivyo hivyo” - W. Karia, Rais wa Shirikisho la Mpira Nchini Tanzania (TFF) kupitia Wasafi FM.

    "Kuanzia Msimu ujao tunakuja na kanuni ya Golikipa Mmoja tu wakigeni kwenye kila timu haiwezekani kwenye timu moja kuwe na magolikipa wawili wa kigeni haiwezekani hii” “Nilikua namtania Rais mwenzangu wa shirikisho aliniambia Mbona kwenye ligi yako kuna wachezaji wa kigeni wengi sana nikamjibu kua siwadekezi watu wavivu, ukiangalia pale Yanga kuna mabeki wengi wakizawa ndio wanacheza hata Siimba pia hivyo hivyo” - W. Karia, Rais wa Shirikisho la Mpira Nchini Tanzania (TFF) kupitia Wasafi FM.
    Like
    1
    · 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·359 Views
  • "Wakati nakuja Dar nikitokea Kigoma nilimdanganya Mzee (baba yangu). Nilikuwa mwalimu Kigoma, nilimdanganya Mzee kuwa nimepata shule nyingine Dar es Salaam na hapo sikuwa nimepata shule.

    "Mimi mwalimu wa Sekondari nafundisha kuanzia Form One hadi Four. Nilikuwa mwalimu wa Hesabu na Chemistry

    "Kwahiyo nilimwambia Mzee nimepata shule nyingine wanalipa hela nyingi kuliko Kigoma. Akaniruhusu. Ukweli sikuwa na shule na sikujua nafikia wapi"

    "Nilijilipua kwamba nikifika Dar natoboa. Nilikuja na Treni. Sikutaka kupanda basi. Nilikuwa nawacheki washkaji zangu waliopo Dar wote waliniambia hawapo.

    "Nilimcheki dogo mmoja aliniambia yupo Dar anaishi Ubungo. Nilimwambia na Mimi nakuja Dar kuna ishu naifuatilia Gongo la Mboto (nilimdanganya)"- Ndaro, Mchekeshaji (Tanzania) kupitia Clouds TV.

    "Wakati nakuja Dar nikitokea Kigoma nilimdanganya Mzee (baba yangu). Nilikuwa mwalimu Kigoma, nilimdanganya Mzee kuwa nimepata shule nyingine Dar es Salaam na hapo sikuwa nimepata shule. "Mimi mwalimu wa Sekondari nafundisha kuanzia Form One hadi Four. Nilikuwa mwalimu wa Hesabu na Chemistry "Kwahiyo nilimwambia Mzee nimepata shule nyingine wanalipa hela nyingi kuliko Kigoma. Akaniruhusu. Ukweli sikuwa na shule na sikujua nafikia wapi" "Nilijilipua kwamba nikifika Dar natoboa. Nilikuja na Treni. Sikutaka kupanda basi. Nilikuwa nawacheki washkaji zangu waliopo Dar wote waliniambia hawapo. "Nilimcheki dogo mmoja aliniambia yupo Dar anaishi Ubungo. Nilimwambia na Mimi nakuja Dar kuna ishu naifuatilia Gongo la Mboto (nilimdanganya)"- Ndaro, Mchekeshaji (Tanzania) kupitia Clouds TV.
    Like
    1
    · 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·239 Views
Arama Sonuçları