• NJIA MPYA YA KUJIINGIZIA PESA FACEBOOK KUPITIA POSTS ZA MAANDISHI, VIDEO NA REELS.

    October 2, 2024 Facebook Walizindua Programu Mpya waliyoipa Jina “Content Monetization” ambayo imezijumuisha kwa Pamoja category ambazo mwanzo zilijitegemea, Category hizo zilikuwa,

    ⬜️ Ads On Reels
    ⬜️ InStream Ads
    ⬜️ Performance Bonus

    Category hizi kwasasa zimejumuishwa kwa Pamoja na Kupewa Jina “Content Monetization” ambapo Mtu yeyote kwasasa mwenye Page ya Facebook au Account ambayo iko “on Professional Mode” iliyo na Video, Picha, Post au Maudhui yoyote ambayo yatakuwa yanafaa Kulipwa basi Facebook watapachika Matangazo yao na Mhusika ataanza Kulipwa kwa Ukubwa zaidi kuliko Mwanzo. Malipo ni kila Tarehe 21-23 ya Kila Mwezi na kiwango cha Chini cha Kutoa Pesa ni $100 (Tshs 271,500), yaani ikiwa Page au Account yako haijafikisha Kiwango hicho hutoruhusiwa Kutoa mpaka utakapofikisha au kupita kiwango hicho na Ni rahisi kufikisha ikiwa unatengeneza Video zaidi na zinatazamwa zaidi.

    Hii Itawapa Motisha zaidi Content Creators kutengeneza Video zaidi katika Platform hiyo.

    Mfumo huu kwasasa unatolewa kwa Mualiko Pekee, ikiwa Una Page au Account yenye Video au Posts zilizo tazamwa zaidi fuata hatua zifuatazo hapo chini kuomba Mualiko wa Kuunganishwa na Programu hii BURE.

    ⬜️ Ingia >> hapa https://creators.facebook.com/tools/facebook-content-monetization
    ⬜️ Chagua >> I'm Interested
    ⬜️ Jaza Taarifa zako
    ⬜️ Sehemu ya Email Address, Weka Email yako yoyote iliyo hewani (Ni Vizuri ukitumia uliyo Link katika Account yako)
    ⬜️ Sehemu ya Facebook Account URL, Weka Link ya Account au Page yako unayohitaji Iwe na Programu hiyo.
    ⬜️ Sehemu ya Other Social Media Accounts, Weka Link ya Account yako katika Mtandao Mwingine (Hasa Instagram).
    Baadae Bofya LET'S DO THIS


    Utapokea Email ya Uthibitisho baada ya Siku kadhaa ikiwa Account au Page yako imeruhusiwa Kutumia Programu hiyo.

    Programu hii ni Programu nzuri na Bora zaidi kwa Content Creators wadogo, Wakubwa na Wanaochipukia (Upcoming Creators). Ni Programu Rafiki kwa kila Mmoja, itakusaidia Kupata Chochote kupitia Kazi zako.
    NJIA MPYA YA KUJIINGIZIA PESA FACEBOOK KUPITIA POSTS ZA MAANDISHI, VIDEO NA REELS. October 2, 2024 Facebook Walizindua Programu Mpya waliyoipa Jina “Content Monetization” ambayo imezijumuisha kwa Pamoja category ambazo mwanzo zilijitegemea, Category hizo zilikuwa, ⬜️ Ads On Reels ⬜️ InStream Ads ⬜️ Performance Bonus Category hizi kwasasa zimejumuishwa kwa Pamoja na Kupewa Jina “Content Monetization” ambapo Mtu yeyote kwasasa mwenye Page ya Facebook au Account ambayo iko “on Professional Mode” iliyo na Video, Picha, Post au Maudhui yoyote ambayo yatakuwa yanafaa Kulipwa basi Facebook watapachika Matangazo yao na Mhusika ataanza Kulipwa kwa Ukubwa zaidi kuliko Mwanzo. Malipo ni kila Tarehe 21-23 ya Kila Mwezi na kiwango cha Chini cha Kutoa Pesa ni $100 (Tshs 271,500), yaani ikiwa Page au Account yako haijafikisha Kiwango hicho hutoruhusiwa Kutoa mpaka utakapofikisha au kupita kiwango hicho na Ni rahisi kufikisha ikiwa unatengeneza Video zaidi na zinatazamwa zaidi. Hii Itawapa Motisha zaidi Content Creators kutengeneza Video zaidi katika Platform hiyo. Mfumo huu kwasasa unatolewa kwa Mualiko Pekee, ikiwa Una Page au Account yenye Video au Posts zilizo tazamwa zaidi fuata hatua zifuatazo hapo chini kuomba Mualiko wa Kuunganishwa na Programu hii BURE. ⬜️ Ingia >> hapa https://creators.facebook.com/tools/facebook-content-monetization ⬜️ Chagua >> I'm Interested ⬜️ Jaza Taarifa zako ⬜️ Sehemu ya Email Address, Weka Email yako yoyote iliyo hewani (Ni Vizuri ukitumia uliyo Link katika Account yako) ⬜️ Sehemu ya Facebook Account URL, Weka Link ya Account au Page yako unayohitaji Iwe na Programu hiyo. ⬜️ Sehemu ya Other Social Media Accounts, Weka Link ya Account yako katika Mtandao Mwingine (Hasa Instagram). 🔗 Baadae Bofya LET'S DO THIS Utapokea Email ya Uthibitisho baada ya Siku kadhaa ikiwa Account au Page yako imeruhusiwa Kutumia Programu hiyo. Programu hii ni Programu nzuri na Bora zaidi kwa Content Creators wadogo, Wakubwa na Wanaochipukia (Upcoming Creators). Ni Programu Rafiki kwa kila Mmoja, itakusaidia Kupata Chochote kupitia Kazi zako.
    Love
    1
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·2Кб Просмотры
  • "INJINI MOJA YA BOEING787 DREAMLINER INASUKUMA TANI MOJA NA ROBO YA HEWA KWA SEKUNDE IKIWA KATIKA 'FULL POWER'
    (Hesabu inasema, inachukua takribani miezi isiyopungua mitatu kwa binaadam wa kawaida kutumia kiwango hiki cha hewa)

    Leo si vibaya kama tukifahamu juu juu kuhusu aina ya injini za ndege ili kila mmoja wetu asibaki nyuma sana.

    Zipo ndege zenye injini 1,2,3,4,6 hadi 8 katika ndege moja.
    Ndege nyingi zinaendeshwa na injini za aina 2 kwa muonekano tuliozoea.

    (1)-Injini za Jeti (Zenye mfano wa pipa lililolazwa)

    (2)-Injini za Propeller (Maarufu Mapangaboi)

    1> MFUMO WA INJINI ZA JETI
    Huu umegawanyika kutokana na 'modification' ya ufanisi na matumizi yake ambazo pia zipo katika makundi mbalimbali mfano,

    *Turbojet 'PureJet'(Mfumo wa ndege nyingi za awali)

    *Turbofan(Mfumo wa ndege nyingi za sasa)

    *Turboshaft(Mfumo wa baadhi ya ndege za sasa mfano Helicopter n.k

    *Scramjet.(Mfumo ulio katika ndege za majaribio za mwendokasi mara nyingi ufanisi wake uanzia mara tano ya kasi ya sauti 'Hypersonic')

    Injini za jeti zinafanya kazi kwa:

    1-Kunyonya hewa mbele (suck)
    2-Kukandamiza (compression)
    3-Kulipua hewa iliyokandamizwa kwa kuchanganya na mafuta(Ignition)
    4-Kisha inatoka/kupulizwa nyuma kwa kasi kubwa na kuisukuma ndege mbele.(Thrust)
    Mfano mzuri kazi ya injini hizi ni kama Puto lililopulizwa na kuachiwa hewani pasipo kuzibwa mdomo wake.(Action and reaction)

    Ndege nyingi za kisasa zinatumia injini aina ya 'Turbofan' (Gas driven) katika kundi la jeti ambazo zinasemakana kuwa na nguvu kubwa na ulaji mdogo wa mafuta.
    (Unaweza kutambua injini hizi kwa haraka kwa kuona feni kubwa lililo mbele ya injini kwa ndani kidogo..usifananishe na mapangaboi)

    Injini za 'Turbojet/Purejet' ambazo moja kwa moja zinanyonya hewa mbele zinakandamiza,kulipua na kuitoa hewa moja ya moto kwa kasi nyuma ambayo ndiyo nguvu pekee inayosukuma ndege kwenda mbele, hutumia mafuta mengi kuliko
    Injini ya 'Turbofan' ambayo ni tofauti kidogo kwani feni lake linavuta na kusukuma hewa mbili nyuma huku hewa ya kwanza ikiwa ile inayoingia kwenye mfumo wa ndani ya injini ambayo unyonywa,kukandamizwa na kulipuliwa na hewa ya pili ni pale hewa ya kwanza iliyolipuliwa kabla ya kufika nje inazungusha visahani maalum 'turbine' zilizoungwa na 'shaft' kwenda kwenye feni lake mbele ambapo huzunguka pamoja na feni na kufanya livute na kusukuma nyuma hewa ya pili yenye nguvu zaidi inayopita nje ya mfumo wa injini(Bypass air) hivyo kuleta nguvu zaidi kwa kutumia mafuta kidogo.

    2-MFUMO WA INJINI ZA MAPANGABOI
    Mapangaboi au 'Propeller'nazo zinafanya kazi kwa kutumia mapanga yake kuchota hewa mbele na kuisukuma nyuma kwa kasi na kuifanya ndege kwenda mbele.

    *Pangaboi linaweza kuwa linazungushwa na 'propeller' iliyoungwa na piston za injini,

    *Au kwa mapangaboi yenye injini ya 'turbo' (turbopropeller)yanazungushwa na hewa iliyolipuliwa (hii aina ya jeti engine yenye mapangaboi)kupitia visahani 'turbine' vilivyo ungwa na propela ya mapangaboi kupitia mfumo wa gear(Geared turboprop)au yanayozunguka kupitia mkandamizo 'pressure' ya hewa iliyolipuliwa pasipo kuungana na chochote (free turbine).

    *Pia 'turboshaft' Mapangaboi yanayozungushwa na hewa iliyolipuliwa kupitia visahani 'turbine' vilivyoungana na propela ya mapangaboi moja kwa moja,pia yaweza kuwa 'Geared' au ila si 'free turbine'

    Mifumo ya injini za kisasa ya mapangaboi inafanya kazi sawa na jeti (Ukiacha za piston)katika mfumo wa ufuaji wa nishati na kuzitofautisha tu katika muonekano wa nje wa injini.

    Injini zenye mfumo ya jeti ni fanisi zaidi kwa ndege zinazopaa anga za juu ambapo hewa ni hafifu,masafa marefu na mwendokasi hasa unaozidi spidi ya sauti 'supersonic'
    Wakati,
    Injini za mfumo wa Mapangaboi ni fanisi zaidi katika mwendo ulio chini ya spidi ya sauti 'subsonic',anga za chini na kati na masafa mafupi kwenda ya kati.

    Tukumbuke pia injini za ndege hazina mahusiano wala kiunganishi chochote na tairi za ndege.
    Tairi za ndege ni 'freewheel' na zimeunganishwa na mfumo wa 'brake' na kona tu.
    Hakuna kinachozungusha tairi kutoka kwenye injini bali zinafuata uelekeo wa kule ndege inaposukumwa.

    Crdts: Online,Aero book,wikimedia.
    "INJINI MOJA YA BOEING787 DREAMLINER INASUKUMA TANI MOJA NA ROBO YA HEWA KWA SEKUNDE IKIWA KATIKA 'FULL POWER' (Hesabu inasema, inachukua takribani miezi isiyopungua mitatu kwa binaadam wa kawaida kutumia kiwango hiki cha hewa) Leo si vibaya kama tukifahamu juu juu kuhusu aina ya injini za ndege ili kila mmoja wetu asibaki nyuma sana. Zipo ndege zenye injini 1,2,3,4,6 hadi 8 katika ndege moja. Ndege nyingi zinaendeshwa na injini za aina 2 kwa muonekano tuliozoea. (1)-Injini za Jeti (Zenye mfano wa pipa lililolazwa) (2)-Injini za Propeller (Maarufu Mapangaboi) 1> MFUMO WA INJINI ZA JETI Huu umegawanyika kutokana na 'modification' ya ufanisi na matumizi yake ambazo pia zipo katika makundi mbalimbali mfano, *Turbojet 'PureJet'(Mfumo wa ndege nyingi za awali) *Turbofan(Mfumo wa ndege nyingi za sasa) *Turboshaft(Mfumo wa baadhi ya ndege za sasa mfano Helicopter n.k *Scramjet.(Mfumo ulio katika ndege za majaribio za mwendokasi mara nyingi ufanisi wake uanzia mara tano ya kasi ya sauti 'Hypersonic') Injini za jeti zinafanya kazi kwa: 1-Kunyonya hewa mbele (suck) 2-Kukandamiza (compression) 3-Kulipua hewa iliyokandamizwa kwa kuchanganya na mafuta(Ignition) 4-Kisha inatoka/kupulizwa nyuma kwa kasi kubwa na kuisukuma ndege mbele.(Thrust) Mfano mzuri kazi ya injini hizi ni kama Puto lililopulizwa na kuachiwa hewani pasipo kuzibwa mdomo wake.(Action and reaction) Ndege nyingi za kisasa zinatumia injini aina ya 'Turbofan' (Gas driven) katika kundi la jeti ambazo zinasemakana kuwa na nguvu kubwa na ulaji mdogo wa mafuta. (Unaweza kutambua injini hizi kwa haraka kwa kuona feni kubwa lililo mbele ya injini kwa ndani kidogo..usifananishe na mapangaboi) Injini za 'Turbojet/Purejet' ambazo moja kwa moja zinanyonya hewa mbele zinakandamiza,kulipua na kuitoa hewa moja ya moto kwa kasi nyuma ambayo ndiyo nguvu pekee inayosukuma ndege kwenda mbele, hutumia mafuta mengi kuliko Injini ya 'Turbofan' ambayo ni tofauti kidogo kwani feni lake linavuta na kusukuma hewa mbili nyuma huku hewa ya kwanza ikiwa ile inayoingia kwenye mfumo wa ndani ya injini ambayo unyonywa,kukandamizwa na kulipuliwa na hewa ya pili ni pale hewa ya kwanza iliyolipuliwa kabla ya kufika nje inazungusha visahani maalum 'turbine' zilizoungwa na 'shaft' kwenda kwenye feni lake mbele ambapo huzunguka pamoja na feni na kufanya livute na kusukuma nyuma hewa ya pili yenye nguvu zaidi inayopita nje ya mfumo wa injini(Bypass air) hivyo kuleta nguvu zaidi kwa kutumia mafuta kidogo. 2-MFUMO WA INJINI ZA MAPANGABOI Mapangaboi au 'Propeller'nazo zinafanya kazi kwa kutumia mapanga yake kuchota hewa mbele na kuisukuma nyuma kwa kasi na kuifanya ndege kwenda mbele. *Pangaboi linaweza kuwa linazungushwa na 'propeller' iliyoungwa na piston za injini, *Au kwa mapangaboi yenye injini ya 'turbo' (turbopropeller)yanazungushwa na hewa iliyolipuliwa (hii aina ya jeti engine yenye mapangaboi)kupitia visahani 'turbine' vilivyo ungwa na propela ya mapangaboi kupitia mfumo wa gear(Geared turboprop)au yanayozunguka kupitia mkandamizo 'pressure' ya hewa iliyolipuliwa pasipo kuungana na chochote (free turbine). *Pia 'turboshaft' Mapangaboi yanayozungushwa na hewa iliyolipuliwa kupitia visahani 'turbine' vilivyoungana na propela ya mapangaboi moja kwa moja,pia yaweza kuwa 'Geared' au ila si 'free turbine' Mifumo ya injini za kisasa ya mapangaboi inafanya kazi sawa na jeti (Ukiacha za piston)katika mfumo wa ufuaji wa nishati na kuzitofautisha tu katika muonekano wa nje wa injini. Injini zenye mfumo ya jeti ni fanisi zaidi kwa ndege zinazopaa anga za juu ambapo hewa ni hafifu,masafa marefu na mwendokasi hasa unaozidi spidi ya sauti 'supersonic' Wakati, Injini za mfumo wa Mapangaboi ni fanisi zaidi katika mwendo ulio chini ya spidi ya sauti 'subsonic',anga za chini na kati na masafa mafupi kwenda ya kati. Tukumbuke pia injini za ndege hazina mahusiano wala kiunganishi chochote na tairi za ndege. Tairi za ndege ni 'freewheel' na zimeunganishwa na mfumo wa 'brake' na kona tu. Hakuna kinachozungusha tairi kutoka kwenye injini bali zinafuata uelekeo wa kule ndege inaposukumwa. Crdts: Online,Aero book,wikimedia.
    0 Комментарии ·0 Поделились ·1Кб Просмотры
  • SOMA HII.. Tajiri namba Moja Elon musk haja na smartphone kiboko haiitaji umeme unatumia internet wakati wote.

    Kampuni ya Tesla inayomilikiwa na bilionea Elon Musk, imetoa taarifa kwamba simu yake ya Tesla Pi inatarajiwa kuanza kupatikana kote duniani mwishoni mwa mwaka huu, 2024.

    Simu hiyo inatajwa kuja kuleta mapinduzi makubwa katika sekta ya mawasiliano kwa simu za mkononi, ikiwa na sifa kibao ambazo hazipo kwenye simu nyingine, kubwa ikiwa inatumia nishati ya jua kujichaji.

    Inaelezwa kuwa huenda simu hiyo ikaja kuleta upinzani mkubwa kwa simu za iPhone ambazo zinasifika duniani kote kutokana na ubora wake.

    Sifa za kipekee za simu hizo, ya kwanza ni kwamba kama ilivyoelezwa, hakuna haja ya kuchaji betri kwa sababu inajichaji yenyewe kwa kutumia nishati ya jua.

    Huna haja ya kuchomeka ‘charger’ kwenye umeme, unachotakiwa ni kuwa tu sehemu yenye jua au yenye mwanga kisha simu inaendelea kujichaji yenyewe ‘automatically’.

    Sifa yake ya pili ni kwamba hakuna haja ya kujiunga na intaneti ya kawaida kwani simu hizo zinaunganishwa moja kwa moja na mtandao wa Starlink uliosambaa duniani kote unaotumia satelite ili kupata intaneti.

    Sifa nyingine kubwa ni kwamba simu hiyo ina uwezo wa kuunganisha dunia, mwezi na sayari ya Mars, kwamba kama upo duniani na mtu mwingine yupo mwezini, basi unampata vizuri kabisa hewani ukimpigia simu.

    Inaelezwa kuwa simu za Tesla zinakuja kuleta mapinduzi makubwa katika ulimwengu wa teknolojia na kubadilisha kabisa jinsi watu wanavyotumia simu za kisasa.
    SOMA HII.. Tajiri namba Moja Elon musk haja na smartphone kiboko haiitaji umeme unatumia internet wakati wote. Kampuni ya Tesla inayomilikiwa na bilionea Elon Musk, imetoa taarifa kwamba simu yake ya Tesla Pi inatarajiwa kuanza kupatikana kote duniani mwishoni mwa mwaka huu, 2024. Simu hiyo inatajwa kuja kuleta mapinduzi makubwa katika sekta ya mawasiliano kwa simu za mkononi, ikiwa na sifa kibao ambazo hazipo kwenye simu nyingine, kubwa ikiwa inatumia nishati ya jua kujichaji. Inaelezwa kuwa huenda simu hiyo ikaja kuleta upinzani mkubwa kwa simu za iPhone ambazo zinasifika duniani kote kutokana na ubora wake. Sifa za kipekee za simu hizo, ya kwanza ni kwamba kama ilivyoelezwa, hakuna haja ya kuchaji betri kwa sababu inajichaji yenyewe kwa kutumia nishati ya jua. Huna haja ya kuchomeka ‘charger’ kwenye umeme, unachotakiwa ni kuwa tu sehemu yenye jua au yenye mwanga kisha simu inaendelea kujichaji yenyewe ‘automatically’. Sifa yake ya pili ni kwamba hakuna haja ya kujiunga na intaneti ya kawaida kwani simu hizo zinaunganishwa moja kwa moja na mtandao wa Starlink uliosambaa duniani kote unaotumia satelite ili kupata intaneti. Sifa nyingine kubwa ni kwamba simu hiyo ina uwezo wa kuunganisha dunia, mwezi na sayari ya Mars, kwamba kama upo duniani na mtu mwingine yupo mwezini, basi unampata vizuri kabisa hewani ukimpigia simu. Inaelezwa kuwa simu za Tesla zinakuja kuleta mapinduzi makubwa katika ulimwengu wa teknolojia na kubadilisha kabisa jinsi watu wanavyotumia simu za kisasa.
    Like
    1
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·1Кб Просмотры
  • Mmeamkaje wana familia? Je mko tayari
    Rk ametujuza tarehe 5 anaachia mziko kuwa hewani
    Mshabiki wa bongo movie kali
    Mmeamkaje wana familia? Je mko tayari Rk ametujuza tarehe 5 anaachia mziko kuwa hewani Mshabiki wa bongo movie kali🥳
    Like
    1
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·1Кб Просмотры
  • WEWE NI MAISHA YANGU
    Uzuri wa Kutokamilika:
    Maisha Yanapotokea Katika Nyakati za fujo.
    Maisha yana njia ya kuchekesha ya kutukumbusha kuwa ukamilifu sio mahali ambapo magic ipo.Ni katika machafuko, vicheko, na nyakati ndogo ambazo hazieleweki.
    Kama siku hiyo jikoni, wakati nia ilikuwa kupika upishi mtamu, lakini matokeo yalikuwa kitu kisichotarajiwa kabisa - fujo nzuri.
    Viungo vilimwagika, michuzi ikatapakaa kwenye kaunta, na mvuke ulijaa hewani huku kipima saa kwenye jiko kikilia bila huruma. Na katikati ya yote? Huko alikuwa akicheka, akiweka kijiko cha mbao kwa mkono mmoja na simu yake kwa mkono mwingine, akijaribu kujua ikiwa atachochea au kupiga picha. chakula?
    Wacha tuseme haikuwa kile mapishi yalikusudia. Lakini kicheko? Loo, huo ulikuwa ukamilifu. Kicheko hicho kilikuwa ukumbusho kwamba nyakati ambazo kila kitu huanguka mara nyingi ndio ambapo kila kitu huhisi kuwa hai zaidi.

    WEWE NI CHAPISHO LA MAISHA YANGU
    Maisha si kuhusu kaunta zisizo na doa au sahani zilizobanwa kikamilifu. Ni kuhusu hadithi za madoa, furaha katika makosa, na upendo unaofurika unapojaribu kuunda kitu maalum.
    Kila kumwagika kwenye sakafu hiyo ya jikoni kuna kumbukumbu. Kila kucheka ni wimbo. Na kila wakati usio kamili ni uthibitisho kwamba unaishi, kwamba unajaribu, na kwamba unafanya kitu kuwa chako cha kipekee.
    Kwa hivyo hapa kuna jikoni zenye fujo, chakula cha jioni kilichopikwa sana, na kicheko ambacho husikika muda mrefu baada ya sahani kumalizika. Hapa kuna uchawi wa kutokamilika, uzuri wa kujaribu, na upendo unaochanua katika machafuko.
    Kwa sababu maisha, kama vile kupika, yanakusudiwa kuwa tukio la kupendeza lisilo kamilifu.
    Umewahi kuwa na wakati ambapo mambo hayakwenda kama ilivyopangwa, lakini ikawa kumbukumbu ya kupendeza?
    Tushiriki hadithi hii pamoja
    Wacha tusherehekee uzuri wa nyakati zenye fujo na nzuri zaidi maishani pamoja.


    WEWE NI MAISHA YANGU Uzuri wa Kutokamilika: Maisha Yanapotokea Katika Nyakati za fujo. Maisha yana njia ya kuchekesha ya kutukumbusha kuwa ukamilifu sio mahali ambapo magic ipo.Ni katika machafuko, vicheko, na nyakati ndogo ambazo hazieleweki. Kama siku hiyo jikoni, wakati nia ilikuwa kupika upishi mtamu, lakini matokeo yalikuwa kitu kisichotarajiwa kabisa - fujo nzuri. Viungo vilimwagika, michuzi ikatapakaa kwenye kaunta, na mvuke ulijaa hewani huku kipima saa kwenye jiko kikilia bila huruma. Na katikati ya yote? Huko alikuwa akicheka, akiweka kijiko cha mbao kwa mkono mmoja na simu yake kwa mkono mwingine, akijaribu kujua ikiwa atachochea au kupiga picha. chakula? Wacha tuseme haikuwa kile mapishi yalikusudia. Lakini kicheko? Loo, huo ulikuwa ukamilifu. Kicheko hicho kilikuwa ukumbusho kwamba nyakati ambazo kila kitu huanguka mara nyingi ndio ambapo kila kitu huhisi kuwa hai zaidi. WEWE NI CHAPISHO LA MAISHA YANGU Maisha si kuhusu kaunta zisizo na doa au sahani zilizobanwa kikamilifu. Ni kuhusu hadithi za madoa, furaha katika makosa, na upendo unaofurika unapojaribu kuunda kitu maalum. Kila kumwagika kwenye sakafu hiyo ya jikoni kuna kumbukumbu. Kila kucheka ni wimbo. Na kila wakati usio kamili ni uthibitisho kwamba unaishi, kwamba unajaribu, na kwamba unafanya kitu kuwa chako cha kipekee. Kwa hivyo hapa kuna jikoni zenye fujo, chakula cha jioni kilichopikwa sana, na kicheko ambacho husikika muda mrefu baada ya sahani kumalizika. Hapa kuna uchawi wa kutokamilika, uzuri wa kujaribu, na upendo unaochanua katika machafuko. Kwa sababu maisha, kama vile kupika, yanakusudiwa kuwa tukio la kupendeza lisilo kamilifu. Umewahi kuwa na wakati ambapo mambo hayakwenda kama ilivyopangwa, lakini ikawa kumbukumbu ya kupendeza? Tushiriki hadithi hii pamoja Wacha tusherehekee uzuri wa nyakati zenye fujo na nzuri zaidi maishani pamoja.
    Love
    2
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·890 Просмотры
  • Ameganda hewani
    Ameganda hewani
    Like
    Love
    7
    · 1 Комментарии ·0 Поделились ·439 Просмотры
  • Teknolojia Mpya:
    Spacetop G1 na Uhalisia wa Ongezeko

    Kompyuta ya Spacetop G1 inabadilisha jinsi tunavyoona teknolojia ya uhalisia. Ikiwa na miwani ya AR, unaweza kujionea skrini kubwa ya inchi 100 ikionekana hewani, ingawa kompyuta yenyewe haina skrini ya kawaida. Teknolojia hii inaleta uzoefu mpya wa matumizi ya kompyuta kwa njia ya kipekee na ya kisasa.

    #Hora_Tech
    #Spacetop #Computer #AR #Uhalisia
    🌐 Teknolojia Mpya: Spacetop G1 na Uhalisia wa Ongezeko 💻 Kompyuta ya Spacetop G1 inabadilisha jinsi tunavyoona teknolojia ya uhalisia. Ikiwa na miwani ya AR, unaweza kujionea skrini kubwa ya inchi 100 ikionekana hewani, ingawa kompyuta yenyewe haina skrini ya kawaida. Teknolojia hii inaleta uzoefu mpya wa matumizi ya kompyuta kwa njia ya kipekee na ya kisasa. ➤ #Hora_Tech #Spacetop #Computer #AR #Uhalisia
    Like
    Love
    2
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·2Кб Просмотры
  • Tumebadili gia hewani badala ya Mashine ya Kizawa tunashusha Mashine ya Kibabe 🫶

    Mpango mzima ni kwenye Simba App saa 12:00 jioni. #WenyeNchi #NguvuMoja
    Tumebadili gia hewani badala ya Mashine ya Kizawa tunashusha Mashine ya Kibabe 🔥🔥🫶 Mpango mzima ni kwenye Simba App saa 12:00 jioni. #WenyeNchi #NguvuMoja
    Like
    Love
    3
    · 1 Комментарии ·0 Поделились ·373 Просмотры
  • Am back again mwandamizi mfuwadhi wa tungo #salaries
    Michoro black combain kwa miluzi hii its not rap #siries
    ben wa michoro na tungo za kiimani Fanya moyo mnyofu taamka #kinywani
    Hichi kidonge cha mpenda rap kwenye map utusue #hewani
    Hip hop sio maji beba peleka bafuni lazma uumize kichwa kama umeng'atwa #kunguni
    Mwenda wa zimu aliechanganyikiwa kwa virusi vya #hip hop
    Natema ngumu kwenye beat napachika #mnofu
    Wananiita teacher ingawa me lecture wa #chuo
    All Mcz nawapa rhymes kwa mgao ili mnipe #cheo
    Ata Siku nikifa tungo zangu mtatumia kama #kombeo
    Paroko damu yangu ulimwengu umejaa #majungu
    Mcz na marapa bifu za kijinga tuzitupe kwenye #uvungu
    Vina kalandika pamoja toka ujana mpaka tuna #pinda
    Am back again mwandamizi mfuwadhi wa tungo #salaries Michoro black combain kwa miluzi hii its not rap #siries ben wa michoro na tungo za kiimani Fanya moyo mnyofu taamka #kinywani Hichi kidonge cha mpenda rap kwenye map utusue #hewani Hip hop sio maji beba peleka bafuni lazma uumize kichwa kama umeng'atwa #kunguni Mwenda wa zimu aliechanganyikiwa kwa virusi vya #hip hop Natema ngumu kwenye beat napachika #mnofu Wananiita teacher ingawa me lecture wa #chuo All Mcz nawapa rhymes kwa mgao ili mnipe #cheo Ata Siku nikifa tungo zangu mtatumia kama #kombeo Paroko damu yangu ulimwengu umejaa #majungu Mcz na marapa bifu za kijinga tuzitupe kwenye #uvungu Vina kalandika pamoja toka ujana mpaka tuna #pinda
    Like
    1
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·2Кб Просмотры