• KWANINI NCHI MASIKINI HUWA NA WANASIASA MATAJIRI SANA?

    Hii ni moja ya mafumbo makubwa ya kisiasa Afrika:
    Nchi ni masikini...
    Raia hawana huduma...
    Lakini wanasiasa wana nyumba za kifahari, magari ya kifahari, na watoto wao wanasoma nje ya nchi.

    Unawezaje kuongoza nchi yenye njaa, lakini wewe unanenepa?

    Sababu ya kwanza: Siasa ni Biashara.
    Watu wengi wanaingia kwenye siasa si kwa sababu ya maono, bali kwa sababu wanajua kuna "return on investment".
    Unatumia milioni 100 kugombea, lakini ukishinda, unaweza rudisha mara 10 zaidi kupitia dili.

    Sababu ya pili: Rushwa Iliyohalalishwa.
    Nchi nyingi masikini zina mifumo dhaifu ya ukaguzi.
    Mwanasiasa anaweza toa tenda kwa kampuni yake mwenyewe kupitia proxies.
    Hakuna accountability.
    "Public office" inageuka kuwa ATM ya binafsi.

    Sababu ya tatu: Ukosefu wa elimu ya uraia.
    Raia wengi hawajui haki zao.
    Wanapewa kilo ya unga au t-shirt wakati wa uchaguzi, wanapitisha mwizi mwingine.
    Siasa zinageuka kuwa mashindano ya maigizo, si sera.

    Sababu ya nne: Tabaka la kimasikini linaogopa mabadiliko.
    Wengi wetu tunaishi kwa matumaini ya kusaidiwa binafsi na si kwa kutengeneza mfumo unaosaidia wote.
    Tunapenda “mheshimiwa” badala ya mfumo bora.
    Hili linafanya mafisadi waendelee kutawala.

    Sababu ya tano: Woga wa taasisi.
    Asasi za kiraia, vyombo vya habari na mahakama huwa dhaifu au vimetiwa mfukoni.
    Hii inawapa wanasiasa uhuru wa kuiba bila hofu ya kushtakiwa.

    Na mwisho kabisa:
    Wanasiasa hawawajibiki kwa wananchi bali kwa wafadhili wao.
    Wale waliowasaidia kugombea (wakubwa wa biashara, makampuni ya kigeni, n.k.) ndio wanaoamua sera.
    Mwananchi? Yuko pembeni kabisa.

    Hii ndiyo sababu utaona mtu anakuwa mbunge kwa miaka 15 lakini eneo lake halina maji wala barabara.
    Lakini yeye ana ghorofa 3, magari 4, na clinic binafsi Nairobi.

    Umasikini wa raia si bahati mbaya ni mpango wa kisiasa.

    Suluhisho?

    Elimu ya uraia

    Uwajibikaji

    Sheria kali za kupiga vita ufisadi

    Vyombo huru vya habari

    Raia wasioogopa kuuliza maswali

    Je, wewe unaona nini kifanyike ili tuwajibishe viongozi wetu?
    Tumezoea maisha magumu kiasi kwamba tumeyakubali kama kawaida.
    Ni muda wa kubadilika.

    #Kireportel #Ufisadi #Siasa #Africa #Kujitambua

    Follow me pia X (Twitter): x.com/DullahWrites
    KWANINI NCHI MASIKINI HUWA NA WANASIASA MATAJIRI SANA? Hii ni moja ya mafumbo makubwa ya kisiasa Afrika: Nchi ni masikini... Raia hawana huduma... Lakini wanasiasa wana nyumba za kifahari, magari ya kifahari, na watoto wao wanasoma nje ya nchi. Unawezaje kuongoza nchi yenye njaa, lakini wewe unanenepa? Sababu ya kwanza: Siasa ni Biashara. Watu wengi wanaingia kwenye siasa si kwa sababu ya maono, bali kwa sababu wanajua kuna "return on investment". Unatumia milioni 100 kugombea, lakini ukishinda, unaweza rudisha mara 10 zaidi kupitia dili. Sababu ya pili: Rushwa Iliyohalalishwa. Nchi nyingi masikini zina mifumo dhaifu ya ukaguzi. Mwanasiasa anaweza toa tenda kwa kampuni yake mwenyewe kupitia proxies. Hakuna accountability. "Public office" inageuka kuwa ATM ya binafsi. Sababu ya tatu: Ukosefu wa elimu ya uraia. Raia wengi hawajui haki zao. Wanapewa kilo ya unga au t-shirt wakati wa uchaguzi, wanapitisha mwizi mwingine. Siasa zinageuka kuwa mashindano ya maigizo, si sera. Sababu ya nne: Tabaka la kimasikini linaogopa mabadiliko. Wengi wetu tunaishi kwa matumaini ya kusaidiwa binafsi na si kwa kutengeneza mfumo unaosaidia wote. Tunapenda “mheshimiwa” badala ya mfumo bora. Hili linafanya mafisadi waendelee kutawala. Sababu ya tano: Woga wa taasisi. Asasi za kiraia, vyombo vya habari na mahakama huwa dhaifu au vimetiwa mfukoni. Hii inawapa wanasiasa uhuru wa kuiba bila hofu ya kushtakiwa. Na mwisho kabisa: Wanasiasa hawawajibiki kwa wananchi bali kwa wafadhili wao. Wale waliowasaidia kugombea (wakubwa wa biashara, makampuni ya kigeni, n.k.) ndio wanaoamua sera. Mwananchi? Yuko pembeni kabisa. Hii ndiyo sababu utaona mtu anakuwa mbunge kwa miaka 15 lakini eneo lake halina maji wala barabara. Lakini yeye ana ghorofa 3, magari 4, na clinic binafsi Nairobi. Umasikini wa raia si bahati mbaya ni mpango wa kisiasa. Suluhisho? Elimu ya uraia Uwajibikaji Sheria kali za kupiga vita ufisadi Vyombo huru vya habari Raia wasioogopa kuuliza maswali Je, wewe unaona nini kifanyike ili tuwajibishe viongozi wetu? Tumezoea maisha magumu kiasi kwamba tumeyakubali kama kawaida. Ni muda wa kubadilika. #Kireportel #Ufisadi #Siasa #Africa #Kujitambua Follow me pia X (Twitter): x.com/DullahWrites
    Like
    2
    · 0 Commentaires ·0 Parts ·2KB Vue
  • "Nimetazama Interview ya Rais wa Marekani na Rais wa Ukraine pale Oval Office ndani ya Ikulu ya Marekani, nimekuja kugundua Rais wa Ukraine anahisi anajadiliana na Mwanasiasa mwenzake ila anachosahau Trump ni Mfanyabiashara na hawezi kufanya kitu cha bure ambacho Taifa lake Marekani halinufaiki na chochote, ndio maan anamsukumia sana kuwa amalizane na Urusi wasaini mkataba wa amani.

    Pale Ukraine kuna madini adimu sana duniani, Mrusi hapigani Kichwa kichwa ndio maana maeneo ya Donbass na Zaporizhia yanabaki kuwa maeneo ya Kimkakati sana kwa Mrusi, hata Marekani hawapo kichwa kichwa maana Secretary Rubio wa Marekani alimwambia Rais wa Ukraine akubali kusaini mkataba wa madini ili wao waendelee kumlinda, Mrusi na Mmarekani wapo rada sana eneo lile na kila mmoja yupo Kitalaam.

    Kwa akili ya kawaida Marekani hataki kuendelea kugharamikia vita hivyo bila faida.

    Juzi kuna website nilisoma ya taarifa za Kiuchunguzi ni kuwa Marekani, China na Urusi kwasasa wapo meza moja na wazo lao kubwa wamekubaliana juu ya MULTIPOLAR WORLD ORDER ambapo Mataifa zaidi ya mawili yanakuwa na nguvu sawa ama yanakaribiana, kwa ufupi sana mataifa haya matatu yanataka kuitawala dunia bila kugusana.

    Ndio maana Trump alivyoingia madarakani akapush agenda chap ya BRICS kuachana na wazo lao la kuibadili dola ya Marekani kuwa sio sarafu rasmi kwenye umoja wao, ndio maana alipoingia wamerudi mezani kwa mengi ikiwemo Trump na Putin wote kukiri kuwa watashirikiana na Trump atasafiri kuelekea Urusi kwenye sherehe za Mei 9, ambapo watakutana Marais wote watatu yani Putin, Xi Jinping na Trump.

    Kifupi sana Marekani ya Donald Trump ina Approach tofauti sana, ndio maana hata Waziri Mkuu wa Uingereza Keir Stearmer alipofika White House kukutana na Trump kwenye mazungumzo yao akalisifia sana Jeshi la Uingereza ila kuna sehemu akampiga kwa kumwambia huwezi kuichukua Urusi peke yako, hata leo amesisitiza Ukraine wakubali amani nje na hapo bila msaada wake hawamuwezi Mrusi, huyo ndio Donald Trump" - Farhan JR, Mchambuzi.

    "Nimetazama Interview ya Rais wa Marekani na Rais wa Ukraine pale Oval Office ndani ya Ikulu ya Marekani, nimekuja kugundua Rais wa Ukraine anahisi anajadiliana na Mwanasiasa mwenzake ila anachosahau Trump ni Mfanyabiashara na hawezi kufanya kitu cha bure ambacho Taifa lake Marekani halinufaiki na chochote, ndio maan anamsukumia sana kuwa amalizane na Urusi wasaini mkataba wa amani. Pale Ukraine kuna madini adimu sana duniani, Mrusi hapigani Kichwa kichwa ndio maana maeneo ya Donbass na Zaporizhia yanabaki kuwa maeneo ya Kimkakati sana kwa Mrusi, hata Marekani hawapo kichwa kichwa maana Secretary Rubio wa Marekani alimwambia Rais wa Ukraine akubali kusaini mkataba wa madini ili wao waendelee kumlinda, Mrusi na Mmarekani wapo rada sana eneo lile na kila mmoja yupo Kitalaam. Kwa akili ya kawaida Marekani hataki kuendelea kugharamikia vita hivyo bila faida. Juzi kuna website nilisoma ya taarifa za Kiuchunguzi ni kuwa Marekani, China na Urusi kwasasa wapo meza moja na wazo lao kubwa wamekubaliana juu ya MULTIPOLAR WORLD ORDER ambapo Mataifa zaidi ya mawili yanakuwa na nguvu sawa ama yanakaribiana, kwa ufupi sana mataifa haya matatu yanataka kuitawala dunia bila kugusana. Ndio maana Trump alivyoingia madarakani akapush agenda chap ya BRICS kuachana na wazo lao la kuibadili dola ya Marekani kuwa sio sarafu rasmi kwenye umoja wao, ndio maana alipoingia wamerudi mezani kwa mengi ikiwemo Trump na Putin wote kukiri kuwa watashirikiana na Trump atasafiri kuelekea Urusi kwenye sherehe za Mei 9, ambapo watakutana Marais wote watatu yani Putin, Xi Jinping na Trump. Kifupi sana Marekani ya Donald Trump ina Approach tofauti sana, ndio maana hata Waziri Mkuu wa Uingereza Keir Stearmer alipofika White House kukutana na Trump kwenye mazungumzo yao akalisifia sana Jeshi la Uingereza ila kuna sehemu akampiga kwa kumwambia huwezi kuichukua Urusi peke yako, hata leo amesisitiza Ukraine wakubali amani nje na hapo bila msaada wake hawamuwezi Mrusi, huyo ndio Donald Trump" - Farhan JR, Mchambuzi.
    0 Commentaires ·0 Parts ·1KB Vue
  • JAMBAZI MTUKUTU.

    Nchini Tanzania, kuna manju 'Dj' fulani wa muziki anayejulikana kwa jina maarufu la 'DJ JD' au kwa kirefu *'DJ John Dilinga'.* Huyu ni moja kati ya maDj wakongwe na mahiri sana tuliobahatika kuwa nao hapa nchini Tanzania. Kwa wale wapenzi na wadau wa muziki wa 'bongofleva' hususani wa miaka ya nyumanyuma kidogo, bila shaka mtakua mnamfahamu Dj huyu.

    Kwa muda mrefu nimekuwa nikitamani kufahamu ni kwanini anaitwa John Dilinga..nikiwa nataka kujua kama hilo ni jina lake halisi au ni 'a.k.a'. Maana ni kawaida kuona watu mbalimbali hususani walio kwenye tasnia ya burudani wakitumia majina ya ziada (a.k.a) kuliko majina yao halisi.

    Kitu kilichonifanya nianze na DJ JD ni baada ya kugundua kuwa leo ni tarehe 22 Julai. Tarehe ambayo ulimwengu mzima unamtaja bwana mmoja mtukutu sana, aliyewahi kusumbua vichwa vya maofisa usalama wa nchi ya Marekani, akifahamika kama *John Dillinger.* Huyu alikuwa ni moja kati ya wahuni wakubwa nchini Marekani aliyetamba sana katika miaka ya 1930 kwa kujihusisha na matukio ya kihalifu hususani uporaji wa fedha kwenye mabenki.

    Tofauti ni kwamba John Dilinga wa Tanzania ni DJ, wakati John Dillinger wa Marekani alikuwa ni jambazi mtukutu.

    Utukutu wake ulianza angali ana umri mdogo na hata aliweza kuacha shule ili kwenda kutafuta pesa!! Alianza kama mdokozi wa vitu vidogovidogo lakini tukio lake la kwanza lilikuwa ni *kuiba gari*, kisha 'kwenda misele' kwa mpenzi wake mpya. Siku chache baadae alikuja kukamatwa na mapolisi akiwa anazurula mtaani japokuwa alifanikiwa kuchoropoka na 'kutokomea kusikojulikana'.

    Baadae alipata kazi katika jeshi la majini 'navy', akifanya katika meli ya jeshi ya 'USS Uttah'. Baada ya miezi kadhaa John Dillinger alitoroka kazini.

    April 1924 akiwa hana shughuli ya kumuingizia kipato, John Dillinger alifunga ndoa na mwanadada Beryl Hovious ambapo walienda kuishi kwenye nyumba ya baba yake ambapo John Dillinger aliahidi kwamba sasa atatulia na kuacha utukutu wote. Lakini wiki chache baada ya ndoa, Dillinger alikamatwa na hata kufikishwa mahakamani kwa kosa la wizi wa kuku, "nadhani alikuwa anatafuta mboga ya kwenda kula na mkewe".

    Lakini kwa msaada wa Baba yake, kesi ya Dillinger iliweza kufutwa. Baadae Dillinger aliamua kutoka kwenye nyumba ya baba yake na kwenda kuishi kwenye nyumba ya wazazi wa mwanamke ambapo huko alibahatika kupata kazi kwenye duka la kuuza vifaa vya ujenzi. Akiwa huko, Dillinger alikutana na rafiki yake wa muda mrefu aitwaye *Edgar Singleton,* ambapo walipanga mikakati ya kuiba pesa. Ndipo tarehe 6 septemba 1924 waliiba pesa katika moja ya Grocery japokuwa walikamatwa na kufikishwa mahakamani ambapo John Dillinger alihukumiwa kifungo cha miaka 20 katika Gereza la "Indiana State Reformatory in Pendleton".

    Alipokuwa jela, alikutana na wafungwa wengine ambao walimfundisha mbinu nyingine za uhalifu mkubwa hususani uporaji wa fedha kwenye mabenki. Alitumikia kifungo chake hadi mwaka 1933 kwa paroli. Siku chache tu baada ya kutoka jela, John Dillinger alifanya uhalifu mkubwa, safari hii akivamia benki na kuiba pesa benki ingawa alikamatwa na kuhukumiwa kifungo katika gereza la Lima.

    Siku chache baada ya Dillinger kuingia jela, wafungwa 12 ambao baadhi yao ni rafiki zake Dillinger, waliweza kutoroka katika gereza la "Indiana State Prison". Hili ni gereza alilowahi kufungwa John Dillinger baada ya kuhamishwa toka kwenye gereza lile la awali.

    Miongoni mwa hao waliotoroka, ambao baadhi yao ni marafiki wa Dillinger, walifika katika gereza alilofungwa Dillinger lengo ni kumtorosha rafiki yao. Walimuua askari mmoja na kuchukua funguo kisha kufungua mlango wa selo alilomo Dillinger kisha kutoroka naye. Baada ya kutoroka, John Dillinger na wenzake walielekea mjini Chicago ambapo waliunda genge kubwa la kihalifu *Dillinger Gang*. Genge hili lilipora pesa kwenye mabenki mbalimbali, na ili kuongeza nguvu, walivamia ghala la silaha na kuiba silaha nzitonzito walizozotumia katika shughuli zao za kihalifu.

    Wahuni hao walitokea kupata umaarufu mkubwa pale Marekani, hususani huyu Dillinger ambaye alikuwa maarufu sana mithili ya 'nyota wa hollywood' kwani kila siku jina lake lilikuwa likitajwa kwenye vyombo vya habari na kuandikwa magazetini. Sifa nyingine ya genge hili ni kwamba walikuwa watanashati mno wakipendelea kuvaa suti na kofia nyeusi.

    Januari 15 1934, Dillinger alivamia benki kuiba pesa. Katika tukio la majibizano ya risasi, Dillinger alimuua askari mmoja aliyejulikana kwa jina la William O'Malley. Yeye alipigwa risasi kadhaa japokuwa hakufa kwasababu alivaa 'bullet proof'.

    Baadae, 'Dillinger Gang' walikuja kukamatwa, ambapo Dillinger alipelekwa katika gereza la *crown point* kwa kosa la kumuua Askari. Gereza hilo lilipewa jina la 'escape proof' kwakuwa lilikuwa nj ngumu kutoroka hapo. Umaarufu wake ulipelekea wananchi kufurika mahakamani na gerezani kwa ajili ya kutaka kumuona John Dillinger.

    Tarehe 3 Machi 1934, John Dillinger alifanikiwa kutoroka tena katika gereza la *Crown point,* safari hii akitoroka kwa kutumia 'bunduki feki' aliyoichonga kwa kutumia mbao na kuipaka rangi nyeusi. Aliitumia bunduki hiyo kumtisha askari kisha akapora gari la askari na kutoroka nalo. Kitendo hiko kiliwafanya polisi waombe msaada kutoka *FBI* ambao walifanya msako kabambe wa kumkamata John Dillinger.

    Alipotoroka, alikimbilia mjini Chicago ambako huko aliunda Genge jipya safari hii akimchukua mtu hatari aliyejulikana kama 'Baby Face Nelson'. Genge hilo liliendelea kufanya matukio mengi ya uporaji wa pesa benki na hata wizi wa silaha. Katika kipindi hiki, John Dillinger alianzisha mahusiano na binti aliyeitwa 'Polly Hamilton' mhudumu wa mgahawa pale Chicago ambaye hapo kabla alikuwa akijihusisha na ukahaba. Ifahamike kuwa kipindi yupo jela, Dillinger alitalikiana na yule mkewe.

    MSAKO wa kumpata John Dillinger ulikuwa ukiendelea ambapo FBI walisambaza picha za Dillinger pamoja na kutangaza dau nono kwa yeyote atakayefanikisha upatikanaji wake. FBI walitangaza dau la dola $10,000 kwa yeyote atakayefakiwa kumkamata Dillinger na $5,000 kwa yule atakayetoa taarifa za kupatikana kwake. John Dillinger alisumbua sana vichwa vya maafisa usalama kiasi cha FBI kumtangaza kuwa *"Public Enemy Nō 1".* Ukiona hadi mtu anaitwa Public Enemy Nō 1 ujue huyo alikuwa ni 'kiboko pasua kichwa'.

    John Dillinger naye hakuwa nyuma katika kuhakikisha hakamatwi. Unajua alifanyaje??.

    Aliamua kufanya operesheni ya uso *"plastic surgery"* ili kubadilisha muonekano wa sura yake. Pia alifanya uperesheni ya kubadilisha alama za vidole yaani 'finger prints'.

    Mkuu wa FBI bwana J. Edgar Hoover alimteua bwana Samuel Cowley kuongoza misheni ya kumkamata John Dillinger. Cowley naye aliungana na Afisa *Mervin Purvis* kutoka mjini Chicago. Kwa pamoja walishirikiana na polisi kuhakikisha huyu 'Adui namba moja' anapatikana.

    Ilikuwa ni siku ya tarehe 21 Julai 1934 ambapo maafisa usalama walipokea simu kutoka kwa mwanadada mmoja aliyejitambulisha kwa jina la Anna. Binti huyu alitoa taarifa za siri kwamba 'kesho jioni, yeye, John Dillinger pamoja na mpenzi wake, Polly Hamilton, wataenda kuangalia filamu kwenye moja ya majumba ya sinema, akaeleza kwamba watachagua kwenda aidha Biograph Theater au Marbo Theater. Na wakapanga kwamba atavaa vazi la rangi nyekundu ili iwe rahisi kwa maofisa hao kumtambua.

    Ilipofika kesho yake, maofisa wakampigia simu Anna Sage ili 'ku-comfirm' ni wapi wataenda kati ya Biograph au Marbo??. Lakini kwakua Anna alikuwa bado hajui ni wapi haswa wataenda, tuliona maofisa usalama wakiongozwa na Marvin Purvis wakijigawa kwenda 'kukava' sehemu zote mbili.

    Hatimaye ilipofika majira ya saa 2:30 usiku, Anna, John Dillinger pamoja na Polly Hamilton, walionekana wakiingia kwenye jumba la sinema la *Biograph Theater*. Baada ya kina Dillinger kuingia, tukaona wale maofisa wengine waliokuwepo kule 'Marbo Theater' wakiwasili haraka pale 'Biograph Theater' kwa ajili ya kuongeza nguvu.

    Saa 4:30 usiku, baada ya filamu kumalizika, alionekana John Dillinger akiwa na wale warembo wake wawili, mmoja kulia mwingine kushoto, wakiwa wanatoka nje. Wakati wanakuja usawa wa aliposimama ofisa Purvis. Purvis aliwasha sigara yake kama ishara ya wale wenzake kusogea jirani. Wakati anafanya hivyo, kumbe Dillinger alikuwa *'ameshahisi hali ya hatari',* akatoa bastola yake huku akijihami kwa kujaribu kukimbia.

    Lakini kabla hajafika mbali, risasi tatu zilifika kwenye mwili wa John Dillinger. Risasi moja ikipenya upande wa nyuma wa shingo na kutokezea kwenye sikio. Dakika chache zilizofuata, hospitali ya Alexian Brothers ilitangaza kifo cha John Dillinger. Na hiyo ndio ikawa mwisho wa mtukutu huyu ambaye alifariki tarehe kama ya leo *22 Julai 1934.* Baada ya kuenea taarifa za kifo chake watu wengi walifurika eneo la tukio angalau waweze kuuona mwili wa John Dillinger.

    ****

    Lakini nafahamu utakuwa unajiuliza yule mwanadada aliyetoa taarifa za siri za kurahisisha kukamatwa kwa John Dillinger ni nani na kwanini alifanya hivyo?!! Baadae nitaeleza kisa hiko. Lakini kwa sasa tuishie hapa.

    Ahsante.

    JAMBAZI MTUKUTU. Nchini Tanzania, kuna manju 'Dj' fulani wa muziki anayejulikana kwa jina maarufu la 'DJ JD' au kwa kirefu *'DJ John Dilinga'.* Huyu ni moja kati ya maDj wakongwe na mahiri sana tuliobahatika kuwa nao hapa nchini Tanzania. Kwa wale wapenzi na wadau wa muziki wa 'bongofleva' hususani wa miaka ya nyumanyuma kidogo, bila shaka mtakua mnamfahamu Dj huyu. Kwa muda mrefu nimekuwa nikitamani kufahamu ni kwanini anaitwa John Dilinga..nikiwa nataka kujua kama hilo ni jina lake halisi au ni 'a.k.a'. Maana ni kawaida kuona watu mbalimbali hususani walio kwenye tasnia ya burudani wakitumia majina ya ziada (a.k.a) kuliko majina yao halisi. Kitu kilichonifanya nianze na DJ JD ni baada ya kugundua kuwa leo ni tarehe 22 Julai. Tarehe ambayo ulimwengu mzima unamtaja bwana mmoja mtukutu sana, aliyewahi kusumbua vichwa vya maofisa usalama wa nchi ya Marekani, akifahamika kama *John Dillinger.* Huyu alikuwa ni moja kati ya wahuni wakubwa nchini Marekani aliyetamba sana katika miaka ya 1930 kwa kujihusisha na matukio ya kihalifu hususani uporaji wa fedha kwenye mabenki. Tofauti ni kwamba John Dilinga wa Tanzania ni DJ, wakati John Dillinger wa Marekani alikuwa ni jambazi mtukutu. Utukutu wake ulianza angali ana umri mdogo na hata aliweza kuacha shule ili kwenda kutafuta pesa!! Alianza kama mdokozi wa vitu vidogovidogo lakini tukio lake la kwanza lilikuwa ni *kuiba gari*, kisha 'kwenda misele' kwa mpenzi wake mpya. Siku chache baadae alikuja kukamatwa na mapolisi akiwa anazurula mtaani japokuwa alifanikiwa kuchoropoka na 'kutokomea kusikojulikana'. Baadae alipata kazi katika jeshi la majini 'navy', akifanya katika meli ya jeshi ya 'USS Uttah'. Baada ya miezi kadhaa John Dillinger alitoroka kazini. April 1924 akiwa hana shughuli ya kumuingizia kipato, John Dillinger alifunga ndoa na mwanadada Beryl Hovious ambapo walienda kuishi kwenye nyumba ya baba yake ambapo John Dillinger aliahidi kwamba sasa atatulia na kuacha utukutu wote. Lakini wiki chache baada ya ndoa, Dillinger alikamatwa na hata kufikishwa mahakamani kwa kosa la wizi wa kuku, "nadhani alikuwa anatafuta mboga ya kwenda kula na mkewe". Lakini kwa msaada wa Baba yake, kesi ya Dillinger iliweza kufutwa. Baadae Dillinger aliamua kutoka kwenye nyumba ya baba yake na kwenda kuishi kwenye nyumba ya wazazi wa mwanamke ambapo huko alibahatika kupata kazi kwenye duka la kuuza vifaa vya ujenzi. Akiwa huko, Dillinger alikutana na rafiki yake wa muda mrefu aitwaye *Edgar Singleton,* ambapo walipanga mikakati ya kuiba pesa. Ndipo tarehe 6 septemba 1924 waliiba pesa katika moja ya Grocery japokuwa walikamatwa na kufikishwa mahakamani ambapo John Dillinger alihukumiwa kifungo cha miaka 20 katika Gereza la "Indiana State Reformatory in Pendleton". Alipokuwa jela, alikutana na wafungwa wengine ambao walimfundisha mbinu nyingine za uhalifu mkubwa hususani uporaji wa fedha kwenye mabenki. Alitumikia kifungo chake hadi mwaka 1933 kwa paroli. Siku chache tu baada ya kutoka jela, John Dillinger alifanya uhalifu mkubwa, safari hii akivamia benki na kuiba pesa benki ingawa alikamatwa na kuhukumiwa kifungo katika gereza la Lima. Siku chache baada ya Dillinger kuingia jela, wafungwa 12 ambao baadhi yao ni rafiki zake Dillinger, waliweza kutoroka katika gereza la "Indiana State Prison". Hili ni gereza alilowahi kufungwa John Dillinger baada ya kuhamishwa toka kwenye gereza lile la awali. Miongoni mwa hao waliotoroka, ambao baadhi yao ni marafiki wa Dillinger, walifika katika gereza alilofungwa Dillinger lengo ni kumtorosha rafiki yao. Walimuua askari mmoja na kuchukua funguo kisha kufungua mlango wa selo alilomo Dillinger kisha kutoroka naye. Baada ya kutoroka, John Dillinger na wenzake walielekea mjini Chicago ambapo waliunda genge kubwa la kihalifu *Dillinger Gang*. Genge hili lilipora pesa kwenye mabenki mbalimbali, na ili kuongeza nguvu, walivamia ghala la silaha na kuiba silaha nzitonzito walizozotumia katika shughuli zao za kihalifu. Wahuni hao walitokea kupata umaarufu mkubwa pale Marekani, hususani huyu Dillinger ambaye alikuwa maarufu sana mithili ya 'nyota wa hollywood' kwani kila siku jina lake lilikuwa likitajwa kwenye vyombo vya habari na kuandikwa magazetini. Sifa nyingine ya genge hili ni kwamba walikuwa watanashati mno wakipendelea kuvaa suti na kofia nyeusi. Januari 15 1934, Dillinger alivamia benki kuiba pesa. Katika tukio la majibizano ya risasi, Dillinger alimuua askari mmoja aliyejulikana kwa jina la William O'Malley. Yeye alipigwa risasi kadhaa japokuwa hakufa kwasababu alivaa 'bullet proof'. Baadae, 'Dillinger Gang' walikuja kukamatwa, ambapo Dillinger alipelekwa katika gereza la *crown point* kwa kosa la kumuua Askari. Gereza hilo lilipewa jina la 'escape proof' kwakuwa lilikuwa nj ngumu kutoroka hapo. Umaarufu wake ulipelekea wananchi kufurika mahakamani na gerezani kwa ajili ya kutaka kumuona John Dillinger. Tarehe 3 Machi 1934, John Dillinger alifanikiwa kutoroka tena katika gereza la *Crown point,* safari hii akitoroka kwa kutumia 'bunduki feki' aliyoichonga kwa kutumia mbao na kuipaka rangi nyeusi. Aliitumia bunduki hiyo kumtisha askari kisha akapora gari la askari na kutoroka nalo. Kitendo hiko kiliwafanya polisi waombe msaada kutoka *FBI* ambao walifanya msako kabambe wa kumkamata John Dillinger. Alipotoroka, alikimbilia mjini Chicago ambako huko aliunda Genge jipya safari hii akimchukua mtu hatari aliyejulikana kama 'Baby Face Nelson'. Genge hilo liliendelea kufanya matukio mengi ya uporaji wa pesa benki na hata wizi wa silaha. Katika kipindi hiki, John Dillinger alianzisha mahusiano na binti aliyeitwa 'Polly Hamilton' mhudumu wa mgahawa pale Chicago ambaye hapo kabla alikuwa akijihusisha na ukahaba. Ifahamike kuwa kipindi yupo jela, Dillinger alitalikiana na yule mkewe. MSAKO wa kumpata John Dillinger ulikuwa ukiendelea ambapo FBI walisambaza picha za Dillinger pamoja na kutangaza dau nono kwa yeyote atakayefanikisha upatikanaji wake. FBI walitangaza dau la dola $10,000 kwa yeyote atakayefakiwa kumkamata Dillinger na $5,000 kwa yule atakayetoa taarifa za kupatikana kwake. John Dillinger alisumbua sana vichwa vya maafisa usalama kiasi cha FBI kumtangaza kuwa *"Public Enemy Nō 1".* Ukiona hadi mtu anaitwa Public Enemy Nō 1 ujue huyo alikuwa ni 'kiboko pasua kichwa'. John Dillinger naye hakuwa nyuma katika kuhakikisha hakamatwi. Unajua alifanyaje??. Aliamua kufanya operesheni ya uso *"plastic surgery"* ili kubadilisha muonekano wa sura yake. Pia alifanya uperesheni ya kubadilisha alama za vidole yaani 'finger prints'. Mkuu wa FBI bwana J. Edgar Hoover alimteua bwana Samuel Cowley kuongoza misheni ya kumkamata John Dillinger. Cowley naye aliungana na Afisa *Mervin Purvis* kutoka mjini Chicago. Kwa pamoja walishirikiana na polisi kuhakikisha huyu 'Adui namba moja' anapatikana. Ilikuwa ni siku ya tarehe 21 Julai 1934 ambapo maafisa usalama walipokea simu kutoka kwa mwanadada mmoja aliyejitambulisha kwa jina la Anna. Binti huyu alitoa taarifa za siri kwamba 'kesho jioni, yeye, John Dillinger pamoja na mpenzi wake, Polly Hamilton, wataenda kuangalia filamu kwenye moja ya majumba ya sinema, akaeleza kwamba watachagua kwenda aidha Biograph Theater au Marbo Theater. Na wakapanga kwamba atavaa vazi la rangi nyekundu ili iwe rahisi kwa maofisa hao kumtambua. Ilipofika kesho yake, maofisa wakampigia simu Anna Sage ili 'ku-comfirm' ni wapi wataenda kati ya Biograph au Marbo??. Lakini kwakua Anna alikuwa bado hajui ni wapi haswa wataenda, tuliona maofisa usalama wakiongozwa na Marvin Purvis wakijigawa kwenda 'kukava' sehemu zote mbili. Hatimaye ilipofika majira ya saa 2:30 usiku, Anna, John Dillinger pamoja na Polly Hamilton, walionekana wakiingia kwenye jumba la sinema la *Biograph Theater*. Baada ya kina Dillinger kuingia, tukaona wale maofisa wengine waliokuwepo kule 'Marbo Theater' wakiwasili haraka pale 'Biograph Theater' kwa ajili ya kuongeza nguvu. Saa 4:30 usiku, baada ya filamu kumalizika, alionekana John Dillinger akiwa na wale warembo wake wawili, mmoja kulia mwingine kushoto, wakiwa wanatoka nje. Wakati wanakuja usawa wa aliposimama ofisa Purvis. Purvis aliwasha sigara yake kama ishara ya wale wenzake kusogea jirani. Wakati anafanya hivyo, kumbe Dillinger alikuwa *'ameshahisi hali ya hatari',* akatoa bastola yake huku akijihami kwa kujaribu kukimbia. Lakini kabla hajafika mbali, risasi tatu zilifika kwenye mwili wa John Dillinger. Risasi moja ikipenya upande wa nyuma wa shingo na kutokezea kwenye sikio. Dakika chache zilizofuata, hospitali ya Alexian Brothers ilitangaza kifo cha John Dillinger. Na hiyo ndio ikawa mwisho wa mtukutu huyu ambaye alifariki tarehe kama ya leo *22 Julai 1934.* Baada ya kuenea taarifa za kifo chake watu wengi walifurika eneo la tukio angalau waweze kuuona mwili wa John Dillinger. **** Lakini nafahamu utakuwa unajiuliza yule mwanadada aliyetoa taarifa za siri za kurahisisha kukamatwa kwa John Dillinger ni nani na kwanini alifanya hivyo?!! Baadae nitaeleza kisa hiko. Lakini kwa sasa tuishie hapa. Ahsante.
    Like
    1
    · 0 Commentaires ·0 Parts ·2KB Vue
  • JE UNAKIJUA CHUMBA MAARUFU NAMBA 39?...

    ROOM 39.....

    NIlipokuwa nikisoma kuhusu dada yake kiongozi wa Korea Kaskazini aitwae Kim Yo-jong nikapata kidogo ufahamu wa chumba kiitwacho Room 39 ambacho inasadikiwa kuwa mume wake dada huyo aitwae Chong Ryong-hae anafanya kazi ndani ya chumba hicho.

    Chumba hiki kina majina mengi kadhaa kama vile Bureau au Kitengo, Division au sehemu au pia Office 39.

    Chumba hiki kipo ndani ya jengo la chama cha wafanyakazi wa Korea kaskazini jengo ambalo halipo mbali na makazi rasmi ya kiongozi wa Korea Kaskazini bwana Kim Jong-un.

    Lakini kiukweli hiki ni kitengo maalum cha kijasusi ambacho kinafanya kazi zake ndani ya chama cha wafanyakazi wa Korea Kaskazni ambacho kina jukumu moja tu, kuhakikisha viongozi wa Korea Kaskazini wana fedha za kigeni za matumizi wakiwa nje ya nchi hiyo.

    Room 39 kipo chini ya usimamizi wa kamati kuu ya chama hicho lakini upande wa kamati ya kijeshi ambayo ina majukumu ya kupitisha matumizi ya fedha kwa jeshi kwenye ununuzi wa silaha na usimamzi wa maliasili za nchi hiyo madini yakiwemo.

    Inakisiwa kuwa kitengo hicho kinaingiza kati ya dola milioni 500 hadi bilioni 1 au zaidi kwa mwaka, na fedha hizo ni kutokana na biashara za aina zote tunazozifahamu duniani zikiwemo halali na haramu.

    Ukiangalia kazi za kitengo hiki waweza kukifananisha kwa mbali na jeshi maalum la Iran la IRGC ambalo pia linajitegemea na linahisiwa kuingiza kiasi cha dola hadi bilioni 12 kwa mwaka zinatotokana na shughuli mbalimbali za kiuchumi.

    Tofauti iliyopo kidogo ni kwamba Chumba 39 au Room 39 kimejikita zaidi kwenye ujasusi wa nje ya Korea Kaskazini na kinaratibu ofisi na makampuni mbalimbali ndani na nje ya Korea Kaskazini huku wakibadilisha majina mara kwa mara.

    Mfano wa makampuni mbalimbali yanayoendesha shughuli zake nje ya Korea Kaskazini ni migahawa iitwayo Pyongyang ambayo ipo sehemu mbalimbali duniani.

    Kampuni ingine ni ile ya KNIC ambayo inashughulika na masuala ya bima na ina ofisi katika miji ya Hamburg nchini Ujerumani na London nchini Uingereza. Mwaka 2015 umoja wa Ulaya uliwahi kuifungia kampuni hii kutokana na kujishughulisha na biashara haramu na bima bandia na kujipatia fedha kutokana na kudai bima hewa.

    Chumba 39 kilianzishwa kwenye miaka ya 70 na Kim II Sung ambae ni babu yake Kim Jong-un na kukabidhiwa majukumu ya kuhakikisha utawala wa Korea kaskazini huishiwi fedha za kujiendesha pamoja na usimamizi wa uchumi wa nchi hiyo.

    Mahali kilipoanzia shughuli zake ni chumba kilichoitwa Office 39 na baadae kubatiza chumba hichi jina la Room 39 kikiwa nyuma ya chumba kingine kiitwacho room 36 ambacho kazi yake kubwa ni kusimamia fedha za utawala wa Korea Kakazini.

    Chumba hiki kina shughuli nyingi na kimesheheni majasusi wenye taaluma zote muhimu wakiwemo wakemia ambao hudaiwa kutengeneza madawa mbalimbali na kuyauza nchini China, Japan na sehemu zingine barani Asia.

    Pia majasusi wakemia wa chumba 39 wanasadikiwa kutengeneza dawa za kuongeza nguvu za kiume maarufu kama Viagra zenye vimelea mbalimbali kwenye viwanda vyake vilivyoko sehemu iitwayo Chonglin na kuuza kwenye nchi za Hong Kong, China na Mashariki ya kati.

    Kitengo hiki pia kina wataalam wa masuala ya fedha na watengenezaji noti bandia ziitwazo "Supernotes" ambazo huonekana kama fedha halali kwa matumizi na huwa na thamani ya hadi dola milioni 100.

    Kitengo hiki cha kipekee pia hutengeneza bidhaa ambazo baadae huwekwa nembo ya bidhaa za China na kupitishwa na kufanikiwa kufika kwenye masoko ya kimataifa kwenye nchi kama za Ufaransa, Italia na Korea Kusini.

    Bidhaa hizo ni pamoja na Eyelashes (kalamu ya urembo wa kope za macho), vifaa vya muziki na sigara ambavyo kwa pamoja vinasadikiwa kuiingizia nchi hiyo dola milioni 120 kwa mwaka.

    Kwa upande wa mauzo ya silaha nchi hiyo iliwekewa vikwazo kwenye uuzajiw a silaha zake lakini chumba namba 39 kikafanikwia na mwaka 2014 silaha za Korea kaskazini ziliuzwa kwa kutumia makampuni yake yenye majna halali kwa nchi za Syria, Myanmar, Eritrea, Tanzania, Ethiopia, Somalia na Iran.

    Kitengo hiki pia mwaka 2016 kwa kutumia majasusi wake wataalam wa teknolojia walifanikiwa kudukua hazina ya New York iitwayo Federal Reserve na kuchukua kiasi cha dola bilioni 1.

    Majasusi wa Marekani walipokuwa wakifuatilia wizi huo walikuja kugundua kasoro ya maandishi kwenye makaratasi ya kuombea kufanya mialama na ndipo walipogundua kasoro kwenye neno Foundation lililoandikwa "fandation" ndipo walipobaini kuwa wakorea kaskazini ndio walofanya uharibifu.

    Itakumbukwa kuwa mwaka huohuo wa 2016 ndio mwaka ambao kulitokea kirusi cha kompyuta cha "Wannacry" ambacho kilivamia mifumo mbalimbali ya kompyuta duniani.

    Pia majasusi hao wa Room 39 waliweza kuingiza kwenye mifumo ya ulinzi wa anga ya Korea Kusini na kufanikiwa kuiba ndege za kivita na kisha kuzirusha na kuzitua salama nchini Korea Kaskazini na zisipatikane hadi leo.

    Nchi nyingi zilizoendelea kwa sasa zimeamua kuwekeza kwenye utaalam wa masuala ya mitandao uitwao Cyber Security kwani inasadikiwa kuwa chumba namba 39 kina majasusi wengi walopikwa tayari kushambulia nchi yoyote ile duniani.

    Ama hakika chumba hiki kiitwacho Room 39 ni chumba hatari kuwahi kutokea duniani na hivi karibuni na kuendelea tuzidi kusikiliza kauli zinazotoka kwa utawala wa PyongYang khasa dada yake Kim Jong-un aitwae Kim Yo-jong ambae kiufundi anaonekana ndie kamanda wa Room 39.

    Hii inaweza kumfanya aonekane kuwa ni mwanamke hatari zaidi kuwahi kutokea duniani.

    NB: Ombi kwa MOds msiuunganishe uzi huu.

    Karibu.
    JE UNAKIJUA CHUMBA MAARUFU NAMBA 39?... ROOM 39..... NIlipokuwa nikisoma kuhusu dada yake kiongozi wa Korea Kaskazini aitwae Kim Yo-jong nikapata kidogo ufahamu wa chumba kiitwacho Room 39 ambacho inasadikiwa kuwa mume wake dada huyo aitwae Chong Ryong-hae anafanya kazi ndani ya chumba hicho. Chumba hiki kina majina mengi kadhaa kama vile Bureau au Kitengo, Division au sehemu au pia Office 39. Chumba hiki kipo ndani ya jengo la chama cha wafanyakazi wa Korea kaskazini jengo ambalo halipo mbali na makazi rasmi ya kiongozi wa Korea Kaskazini bwana Kim Jong-un. Lakini kiukweli hiki ni kitengo maalum cha kijasusi ambacho kinafanya kazi zake ndani ya chama cha wafanyakazi wa Korea Kaskazni ambacho kina jukumu moja tu, kuhakikisha viongozi wa Korea Kaskazini wana fedha za kigeni za matumizi wakiwa nje ya nchi hiyo. Room 39 kipo chini ya usimamizi wa kamati kuu ya chama hicho lakini upande wa kamati ya kijeshi ambayo ina majukumu ya kupitisha matumizi ya fedha kwa jeshi kwenye ununuzi wa silaha na usimamzi wa maliasili za nchi hiyo madini yakiwemo. Inakisiwa kuwa kitengo hicho kinaingiza kati ya dola milioni 500 hadi bilioni 1 au zaidi kwa mwaka, na fedha hizo ni kutokana na biashara za aina zote tunazozifahamu duniani zikiwemo halali na haramu. Ukiangalia kazi za kitengo hiki waweza kukifananisha kwa mbali na jeshi maalum la Iran la IRGC ambalo pia linajitegemea na linahisiwa kuingiza kiasi cha dola hadi bilioni 12 kwa mwaka zinatotokana na shughuli mbalimbali za kiuchumi. Tofauti iliyopo kidogo ni kwamba Chumba 39 au Room 39 kimejikita zaidi kwenye ujasusi wa nje ya Korea Kaskazini na kinaratibu ofisi na makampuni mbalimbali ndani na nje ya Korea Kaskazini huku wakibadilisha majina mara kwa mara. Mfano wa makampuni mbalimbali yanayoendesha shughuli zake nje ya Korea Kaskazini ni migahawa iitwayo Pyongyang ambayo ipo sehemu mbalimbali duniani. Kampuni ingine ni ile ya KNIC ambayo inashughulika na masuala ya bima na ina ofisi katika miji ya Hamburg nchini Ujerumani na London nchini Uingereza. Mwaka 2015 umoja wa Ulaya uliwahi kuifungia kampuni hii kutokana na kujishughulisha na biashara haramu na bima bandia na kujipatia fedha kutokana na kudai bima hewa. Chumba 39 kilianzishwa kwenye miaka ya 70 na Kim II Sung ambae ni babu yake Kim Jong-un na kukabidhiwa majukumu ya kuhakikisha utawala wa Korea kaskazini huishiwi fedha za kujiendesha pamoja na usimamizi wa uchumi wa nchi hiyo. Mahali kilipoanzia shughuli zake ni chumba kilichoitwa Office 39 na baadae kubatiza chumba hichi jina la Room 39 kikiwa nyuma ya chumba kingine kiitwacho room 36 ambacho kazi yake kubwa ni kusimamia fedha za utawala wa Korea Kakazini. Chumba hiki kina shughuli nyingi na kimesheheni majasusi wenye taaluma zote muhimu wakiwemo wakemia ambao hudaiwa kutengeneza madawa mbalimbali na kuyauza nchini China, Japan na sehemu zingine barani Asia. Pia majasusi wakemia wa chumba 39 wanasadikiwa kutengeneza dawa za kuongeza nguvu za kiume maarufu kama Viagra zenye vimelea mbalimbali kwenye viwanda vyake vilivyoko sehemu iitwayo Chonglin na kuuza kwenye nchi za Hong Kong, China na Mashariki ya kati. Kitengo hiki pia kina wataalam wa masuala ya fedha na watengenezaji noti bandia ziitwazo "Supernotes" ambazo huonekana kama fedha halali kwa matumizi na huwa na thamani ya hadi dola milioni 100. Kitengo hiki cha kipekee pia hutengeneza bidhaa ambazo baadae huwekwa nembo ya bidhaa za China na kupitishwa na kufanikiwa kufika kwenye masoko ya kimataifa kwenye nchi kama za Ufaransa, Italia na Korea Kusini. Bidhaa hizo ni pamoja na Eyelashes (kalamu ya urembo wa kope za macho), vifaa vya muziki na sigara ambavyo kwa pamoja vinasadikiwa kuiingizia nchi hiyo dola milioni 120 kwa mwaka. Kwa upande wa mauzo ya silaha nchi hiyo iliwekewa vikwazo kwenye uuzajiw a silaha zake lakini chumba namba 39 kikafanikwia na mwaka 2014 silaha za Korea kaskazini ziliuzwa kwa kutumia makampuni yake yenye majna halali kwa nchi za Syria, Myanmar, Eritrea, Tanzania, Ethiopia, Somalia na Iran. Kitengo hiki pia mwaka 2016 kwa kutumia majasusi wake wataalam wa teknolojia walifanikiwa kudukua hazina ya New York iitwayo Federal Reserve na kuchukua kiasi cha dola bilioni 1. Majasusi wa Marekani walipokuwa wakifuatilia wizi huo walikuja kugundua kasoro ya maandishi kwenye makaratasi ya kuombea kufanya mialama na ndipo walipogundua kasoro kwenye neno Foundation lililoandikwa "fandation" ndipo walipobaini kuwa wakorea kaskazini ndio walofanya uharibifu. Itakumbukwa kuwa mwaka huohuo wa 2016 ndio mwaka ambao kulitokea kirusi cha kompyuta cha "Wannacry" ambacho kilivamia mifumo mbalimbali ya kompyuta duniani. Pia majasusi hao wa Room 39 waliweza kuingiza kwenye mifumo ya ulinzi wa anga ya Korea Kusini na kufanikiwa kuiba ndege za kivita na kisha kuzirusha na kuzitua salama nchini Korea Kaskazini na zisipatikane hadi leo. Nchi nyingi zilizoendelea kwa sasa zimeamua kuwekeza kwenye utaalam wa masuala ya mitandao uitwao Cyber Security kwani inasadikiwa kuwa chumba namba 39 kina majasusi wengi walopikwa tayari kushambulia nchi yoyote ile duniani. Ama hakika chumba hiki kiitwacho Room 39 ni chumba hatari kuwahi kutokea duniani na hivi karibuni na kuendelea tuzidi kusikiliza kauli zinazotoka kwa utawala wa PyongYang khasa dada yake Kim Jong-un aitwae Kim Yo-jong ambae kiufundi anaonekana ndie kamanda wa Room 39. Hii inaweza kumfanya aonekane kuwa ni mwanamke hatari zaidi kuwahi kutokea duniani. NB: Ombi kwa MOds msiuunganishe uzi huu. Karibu.
    0 Commentaires ·0 Parts ·2KB Vue
  • Katika nchi ya Italy, Ottorino Barassi anafika ofisini kwake na moja kwa moja anaenda katika 'vaux', yaani chumba au kabati maalumu kunamohifadhiwa vitu nyeti au vyenye thamani. Vaux ni mahali salama ambapo si rahisi kwa mtu yeyote kuingia na kuiba.

    Kwa umakini na usiri mkubwa, Ottorino Barassi anafika katika 'vaux' na kulichukua. Kisha anaenda nalo nyumbani kwake na kulificha. Yote hiyo ni kwa sababu hakutaka kuona wanajeshi wa nazi wanakuja kulichukua.

    Ilikuwa ni katika vita ya pili ya dunia, ambapo majeshi ya Nazi, yakiongozwa na Adolf Hitler walikuwa wakilitafuta kwa udi na uvumba ili wapate kulitia mkononi.

    Walifika hadi nyumbani kufanya upekuzi lakini hawakuweza kulipata. Kumbe Barassi alikuwa amelificha uvunguni mwa kitanda anacholala.

    Unajua ni kitu gani nazungumzia hapo?.

    Ni Kombe la dunia. Hitler alitaka kulinyakua kinguvu mnamo 1939, mwaka mmoja baada ya taifa la Italia kushinda michuano ya mpira wa mguu.

    Kombe hilo lilikuwa likiitwa Jules Rimet, likipewa jina la aliyekuwa rais wa kwanza wa FIFA. Ottonio Barrasi alikuwa ni rais wa chama cha soka nchini Italy
    Katika nchi ya Italy, Ottorino Barassi anafika ofisini kwake na moja kwa moja anaenda katika 'vaux', yaani chumba au kabati maalumu kunamohifadhiwa vitu nyeti au vyenye thamani. Vaux ni mahali salama ambapo si rahisi kwa mtu yeyote kuingia na kuiba. Kwa umakini na usiri mkubwa, Ottorino Barassi anafika katika 'vaux' na kulichukua. Kisha anaenda nalo nyumbani kwake na kulificha. Yote hiyo ni kwa sababu hakutaka kuona wanajeshi wa nazi wanakuja kulichukua. Ilikuwa ni katika vita ya pili ya dunia, ambapo majeshi ya Nazi, yakiongozwa na Adolf Hitler walikuwa wakilitafuta kwa udi na uvumba ili wapate kulitia mkononi. Walifika hadi nyumbani kufanya upekuzi lakini hawakuweza kulipata. Kumbe Barassi alikuwa amelificha uvunguni mwa kitanda anacholala. Unajua ni kitu gani nazungumzia hapo?. Ni Kombe la dunia. Hitler alitaka kulinyakua kinguvu mnamo 1939, mwaka mmoja baada ya taifa la Italia kushinda michuano ya mpira wa mguu. Kombe hilo lilikuwa likiitwa Jules Rimet, likipewa jina la aliyekuwa rais wa kwanza wa FIFA. Ottonio Barrasi alikuwa ni rais wa chama cha soka nchini Italy
    0 Commentaires ·0 Parts ·644 Vue
  • Shida nyingine imewasili hapa mjini,timu nyingi zimenza kunyanyasika zikikutana na Yanga.

    Chini ya makocha wawili waliopita (Nabi & Gamond) Yanga walicheza mpira wa pasi nyingi,Yanga walikuwa na utaratibu wa kuwatongoza wapinzani kwa pasi nyingi kabla ya kufunga magoli (TIP TAP FOOTBALL) ila chini ya Ramovic tunashuhudia pira “Gegen-Pressing” au kwa kizungu tunasema “Counter-pressing).

    -Yanga ya Ramovic haitaki pasi 10 kufika kwenye lango la mpinzani,badala yake inahitaji pasi tatu hadi nne kufika kwako na kukufunga

    -Yanga ya Ramovic haitaki back-pass wala Sideway pass,mchezaji akiiba mpira ni kwenda mbele Yanga wako direct sana

    -Yanga ya Ramovic haipigi cross nyingi za juu,badala yake mashambulizi mengi yanatokea pembeni kwa fullbacks na wingers kisha zinapigwa V-pass kwenye 12 na viungo washambuliaji wanafunga…..rejea magoli mawili ya Pacome leo

    JINSI GANI YANGA WANAWEKA MTEGO KABLA YA KUFANYA PRESSING?

    Mara nyingi tumezoea kuona mstari wa kwanza wa namba 9 na 10 ukianzisha pressing kwa walinzi wa timu pinzani,ila Yanga ya Ramovic,inasubiri wapinzani wafike kati kati ya uwanja kisha viungo wazuiaji (Aucho na Muda) wanaweka pressure kwa mchezaji mwenye mpira huku walinzi wa kati (Job na Bacca) wakisogea kati kati ya uwanja kukata passing option…..baada ya kuiba mpira unapigwa pembeni kwa mawinga na fullbacks kisha shambulizi linaanzia hapo

    Ndugu zangu huu mpira wa Yanga una magoli mengi ya “Turnovers” wapinzani wanafanyishwa makosa mengi na kuhadhibiwa.

    FT Yanga 5-0 Fountain Gate.

    Shida nyingine imewasili hapa mjini,timu nyingi zimenza kunyanyasika zikikutana na Yanga. Chini ya makocha wawili waliopita (Nabi & Gamond) Yanga walicheza mpira wa pasi nyingi,Yanga walikuwa na utaratibu wa kuwatongoza wapinzani kwa pasi nyingi kabla ya kufunga magoli (TIP TAP FOOTBALL) ila chini ya Ramovic tunashuhudia pira “Gegen-Pressing” au kwa kizungu tunasema “Counter-pressing). -Yanga ya Ramovic haitaki pasi 10 kufika kwenye lango la mpinzani,badala yake inahitaji pasi tatu hadi nne kufika kwako na kukufunga✍️ -Yanga ya Ramovic haitaki back-pass wala Sideway pass,mchezaji akiiba mpira ni kwenda mbele Yanga wako direct sana✍️ -Yanga ya Ramovic haipigi cross nyingi za juu,badala yake mashambulizi mengi yanatokea pembeni kwa fullbacks na wingers kisha zinapigwa V-pass kwenye 12 na viungo washambuliaji wanafunga…..rejea magoli mawili ya Pacome leo✍️ JINSI GANI YANGA WANAWEKA MTEGO KABLA YA KUFANYA PRESSING? Mara nyingi tumezoea kuona mstari wa kwanza wa namba 9 na 10 ukianzisha pressing kwa walinzi wa timu pinzani,ila Yanga ya Ramovic,inasubiri wapinzani wafike kati kati ya uwanja kisha viungo wazuiaji (Aucho na Muda) wanaweka pressure kwa mchezaji mwenye mpira huku walinzi wa kati (Job na Bacca) wakisogea kati kati ya uwanja kukata passing option…..baada ya kuiba mpira unapigwa pembeni kwa mawinga na fullbacks kisha shambulizi linaanzia hapo✍️ Ndugu zangu huu mpira wa Yanga una magoli mengi ya “Turnovers” wapinzani wanafanyishwa makosa mengi na kuhadhibiwa. FT Yanga 5-0 Fountain Gate.
    0 Commentaires ·0 Parts ·618 Vue
  • Tunaishi chini ya jua lenye ushindani mwingi na wa kipuuzi sana kwa kizazi cha sasa.Wale tuliopaswa kurithi ama kujifunza mambo mema kutoka kwao ndo hao wengi wao wanafanya ujinga na kujificha kwenye kivuli cha unavyofikiri sivyo ilivyo.
    Binadamu siku hizi anakufanyia ubaya alaf anakujia Kwa mgongo wa utani.Na bahati mbaya dini na charity siku hizi zinatumika kama kichaka cha kuficha uovu wa watu.Binadamu amekuwa si binadamu tena. Wakati mwingine anae kuchukia na asiyekutakia mema ni ndugu wa damu kabisa,ndo dunia ilipofika.
    Tunaishi kwenye hatari tuliyoamua kuibatiza jina la salama.
    Shari tumeigeuza shwari.
    Maumivu na huzuni ya mtu ni furaha ya mwingine.Huku tukitumia hadhara kutengeneza mazingira ya kuendelea kutekeleza maovu.Kwa kivuli cha nani ameniona?au nani anajua?
    Kile kitu Dunia imeshindwa kutambua majira na nyakati yamebadilika sana.
    Zamani zile kulikuwa hakuna siri ya watu wawili ila zamani hizi hakuna siri ya mtu mmoja.Wakati twasema ni siri kuna mtu mahala fulani anaijua hiyo siri.
    Na hapo ndo tunasema mtu anapigana na kivuli chake mwenyewe Kwa kujiongopea kuwa hakuna maumivi.
    Lakini swali la kujiuliza kati ya kivuli cha mtu na mtu mwenyewe ni nani anaumia? Tutafakari
    Tunaishi chini ya jua lenye ushindani mwingi na wa kipuuzi sana kwa kizazi cha sasa.Wale tuliopaswa kurithi ama kujifunza mambo mema kutoka kwao ndo hao wengi wao wanafanya ujinga na kujificha kwenye kivuli cha unavyofikiri sivyo ilivyo. Binadamu siku hizi anakufanyia ubaya alaf anakujia Kwa mgongo wa utani.Na bahati mbaya dini na charity siku hizi zinatumika kama kichaka cha kuficha uovu wa watu.Binadamu amekuwa si binadamu tena. Wakati mwingine anae kuchukia na asiyekutakia mema ni ndugu wa damu kabisa,ndo dunia ilipofika. Tunaishi kwenye hatari tuliyoamua kuibatiza jina la salama. Shari tumeigeuza shwari. Maumivu na huzuni ya mtu ni furaha ya mwingine.Huku tukitumia hadhara kutengeneza mazingira ya kuendelea kutekeleza maovu.Kwa kivuli cha nani ameniona?au nani anajua? Kile kitu Dunia imeshindwa kutambua majira na nyakati yamebadilika sana. Zamani zile kulikuwa hakuna siri ya watu wawili ila zamani hizi hakuna siri ya mtu mmoja.Wakati twasema ni siri kuna mtu mahala fulani anaijua hiyo siri. Na hapo ndo tunasema mtu anapigana na kivuli chake mwenyewe Kwa kujiongopea kuwa hakuna maumivi. Lakini swali la kujiuliza kati ya kivuli cha mtu na mtu mwenyewe ni nani anaumia? Tutafakari
    Like
    Love
    2
    · 0 Commentaires ·0 Parts ·1KB Vue
  • HOJA/NONDO (6) SITA ZA LISSU AKIWA LIVE CLUBHOUSE LEO USIKU

    1. SUALA LA MGAO WA RUZUKU

    "Suala la mgao wa Ruzuku ya chama kwenda kwenye ngazi za Wilaya na Mikoa hata kama ni kidogo lilishakuwa changamoto kubwa sana ndani ya chama chetu licha ya kelele nyingi tunazopiga".

    "Tumefanya ugatuaji wa madaraka kwenda kwenye Kanda, lakini masuala yote yahusuyo fedha tumeshikilia sisi Makao Makuu. Hata Mikutano ya hadhara inaandaliwa na Sekretarieti ya Taifa badala ya kugatua madaraka kwa walio chini ili chama kifanye kazi kama team work".

    "Hili tutalifanyia Kazi kwa weledi wa hali ya juu sana; baada ya uchaguzi kama tukiaminiwa na wanachama wenzetu na wakaamua kutupa dhamana ya kuunda mfumo dhabiti wa uongozi".

    2. SUALA LA WABUNGE VITI WA MAALUM

    "Siku ile ya hotuba yangu nilisema, kama wanachama wenzetu wakituamini kuunda mfumo mpya wa uongozi ndani ya chama chetu, tutaweka ukomo wa muda wa kuutumikia ubunge wa viti maalum ili kutoa fursa kwa wamama wa BAWACHA wengi zaidi kuipata hii fursa; kwa mfano, tunaweza kuweka kwamba;

    "Ukishatumikia viti maalum kwa kipindi cha miaka (5) mitano unatafuta jimbo ukapambane kwenye ubunge wa jimbo maana baada ya hiyo miaka (5) mitano xya kuwepo bungeni unakuwa umepata kianzio cha kukuwezesha ili uwapishe na wengine wapate fursa maana wote wanakipigania chama hiki kwa gharama kubwa na mapito magumu sana".

    3. KUYUMBA KWA MISIMAMO YETU YA CHAMA

    "Itakuwa ni makosa sana kuingia kwenye uchaguzi wa mwaka 2025 kama hakuna mabadiliko ya mambo ya msingi ambayo mara zote yamekuwa vipaumbele vyetu kama chama. Tumefanya makosa huko nyuma mara nyingi sana kuigeuka kama sio kuisaliti kwa maksudi kabisa misimamo yetu ya kuibana dola ya CCM ikiwemo misimamo yetu ya kutoshiriki hizi chaguzi za ajabu; na ndio maana hawa CCM na dola yao wamepata kiburi cha kufanya yale wanayotaka na tunaufyata".

    "Kama wanachama wenzetu wakituamini, tutaonyesha njia nini kifanyike ili hawa ambao miaka yote wameshindwa kutusikia tunadai yapi, watatusikia maana hakuna namna zaidi ya kusimama kwenye misimamo yetu kama chama cha upinzani kinachotegemewa na umma kuipumzisha hii CCM"

    4. SUALA LA MPANGO WA VURUGU SIKU YA UCHAGUZI

    "Nimepewa taarifa na mtu wa heshima sana kuhusu maandalizi ya vurugu kwenye uchaguzi. Kuna watu wanaandaliwa waje waingie ukumbini kama Wanachama, kumbe wapo kwa kazi maalum ya kutorosha masanduku ya kura watakapogundua kwamba, mambo ya upande wao hayako sawa; na mhusika amenidokeza kwamba;

    "Vyovyote vile itakavyokuwa, tuhakikishe uchaguzi unafanyika wakati wa mchana na ameonya uchaguzi usifanyike usiku kwa sababu kuna possibility ya wenzetu kuzima taa zote ili kufanikisha utoroshaji wa kura ama kuingiza ndani kura feki".

    "Taarifa hizi tumezipokea; lakini Katibu Mkuu wa Chama anapaswa kutoa ufafanuzi kuhusu huu mchakato wa uchaguzi utakavyokuwa ili kuhakikisha unakuwa uchaguzi ulio huru na wa haki".

    5. SUALA LA HALI YA CHAMA HUKO TUENDAKO

    "Tazameni chama chetu kinavyozidi kupoteza ile ARI na MORALI ya umma kutuunga mkono kama chama kikuu cha upinzani. Tazameni hata ile nguvu yetu ya vijana iliyokuwa inapelekea chama chetu kiitwe chama cha vijana leo hakuna tena nguvu ya vijana ambao ndio nguvu tegemeo ya chama hasa chama kama CHADEMA kinacholenga kukiondoa chama dola madarakani".

    Leo hii vijana wanaona bora wakacheze pool table na ku-bet mitaani kuliko kukipigania chama chao. Ni kwa nini tumefika kwenye hali hii? Hili ndilo swali la msingi sana ambalo wanachama wenzetu wanaokuja kwenye mkutano mkuu wanapaswa kujiuliza na watafakari hali ya hiki chama chetu itakuwaje miaka mitano mingine ijayo kama hatutabadili mifumo ya uongozi wa chama kupitia uchaguzi huu wa januari".

    6. SUALA LA WENJE NA ABDUL KUHONGA WATU

    "Katika hili niseme wazi hapa, kama kweli nimewahi kuomba msamaha kwenye Kamati Kuu kuhusu suala hilo la Abdul kama Wenje alivyosikika akisema, niombe watoe hadharani ile video nzima iliyokuwa inarekodiwa kikaoni pasipo kuihariri jambo lolote kama watathubutu kufanya hivyo".

    "Kwa kuwa walirekodi ili itumike kama ushahidi wa kuondoa sintofahamu ya jambo hili kwa umma, mimi napendekeza iwekwe hadharani ama hata sauti yake tu ili umma usikilize halafu umma wenyewe utasema umeelewa nini kuhusu chama chao kilipofika na kinapoelekea kama ni salama ama sio salama chini ya watu wale wale".

    Tundu A. Lissu,
    Mgombea Uenyekiti CHADEMA,
    Live Clubhouse Usiku.
    23 Desemba, 2024.
    HOJA/NONDO (6) SITA ZA LISSU AKIWA LIVE CLUBHOUSE LEO USIKU 1. SUALA LA MGAO WA RUZUKU "Suala la mgao wa Ruzuku ya chama kwenda kwenye ngazi za Wilaya na Mikoa hata kama ni kidogo lilishakuwa changamoto kubwa sana ndani ya chama chetu licha ya kelele nyingi tunazopiga". "Tumefanya ugatuaji wa madaraka kwenda kwenye Kanda, lakini masuala yote yahusuyo fedha tumeshikilia sisi Makao Makuu. Hata Mikutano ya hadhara inaandaliwa na Sekretarieti ya Taifa badala ya kugatua madaraka kwa walio chini ili chama kifanye kazi kama team work". "Hili tutalifanyia Kazi kwa weledi wa hali ya juu sana; baada ya uchaguzi kama tukiaminiwa na wanachama wenzetu na wakaamua kutupa dhamana ya kuunda mfumo dhabiti wa uongozi". 2. SUALA LA WABUNGE VITI WA MAALUM "Siku ile ya hotuba yangu nilisema, kama wanachama wenzetu wakituamini kuunda mfumo mpya wa uongozi ndani ya chama chetu, tutaweka ukomo wa muda wa kuutumikia ubunge wa viti maalum ili kutoa fursa kwa wamama wa BAWACHA wengi zaidi kuipata hii fursa; kwa mfano, tunaweza kuweka kwamba; "Ukishatumikia viti maalum kwa kipindi cha miaka (5) mitano unatafuta jimbo ukapambane kwenye ubunge wa jimbo maana baada ya hiyo miaka (5) mitano xya kuwepo bungeni unakuwa umepata kianzio cha kukuwezesha ili uwapishe na wengine wapate fursa maana wote wanakipigania chama hiki kwa gharama kubwa na mapito magumu sana". 3. KUYUMBA KWA MISIMAMO YETU YA CHAMA "Itakuwa ni makosa sana kuingia kwenye uchaguzi wa mwaka 2025 kama hakuna mabadiliko ya mambo ya msingi ambayo mara zote yamekuwa vipaumbele vyetu kama chama. Tumefanya makosa huko nyuma mara nyingi sana kuigeuka kama sio kuisaliti kwa maksudi kabisa misimamo yetu ya kuibana dola ya CCM ikiwemo misimamo yetu ya kutoshiriki hizi chaguzi za ajabu; na ndio maana hawa CCM na dola yao wamepata kiburi cha kufanya yale wanayotaka na tunaufyata". "Kama wanachama wenzetu wakituamini, tutaonyesha njia nini kifanyike ili hawa ambao miaka yote wameshindwa kutusikia tunadai yapi, watatusikia maana hakuna namna zaidi ya kusimama kwenye misimamo yetu kama chama cha upinzani kinachotegemewa na umma kuipumzisha hii CCM" 4. SUALA LA MPANGO WA VURUGU SIKU YA UCHAGUZI "Nimepewa taarifa na mtu wa heshima sana kuhusu maandalizi ya vurugu kwenye uchaguzi. Kuna watu wanaandaliwa waje waingie ukumbini kama Wanachama, kumbe wapo kwa kazi maalum ya kutorosha masanduku ya kura watakapogundua kwamba, mambo ya upande wao hayako sawa; na mhusika amenidokeza kwamba; "Vyovyote vile itakavyokuwa, tuhakikishe uchaguzi unafanyika wakati wa mchana na ameonya uchaguzi usifanyike usiku kwa sababu kuna possibility ya wenzetu kuzima taa zote ili kufanikisha utoroshaji wa kura ama kuingiza ndani kura feki". "Taarifa hizi tumezipokea; lakini Katibu Mkuu wa Chama anapaswa kutoa ufafanuzi kuhusu huu mchakato wa uchaguzi utakavyokuwa ili kuhakikisha unakuwa uchaguzi ulio huru na wa haki". 5. SUALA LA HALI YA CHAMA HUKO TUENDAKO "Tazameni chama chetu kinavyozidi kupoteza ile ARI na MORALI ya umma kutuunga mkono kama chama kikuu cha upinzani. Tazameni hata ile nguvu yetu ya vijana iliyokuwa inapelekea chama chetu kiitwe chama cha vijana leo hakuna tena nguvu ya vijana ambao ndio nguvu tegemeo ya chama hasa chama kama CHADEMA kinacholenga kukiondoa chama dola madarakani". Leo hii vijana wanaona bora wakacheze pool table na ku-bet mitaani kuliko kukipigania chama chao. Ni kwa nini tumefika kwenye hali hii? Hili ndilo swali la msingi sana ambalo wanachama wenzetu wanaokuja kwenye mkutano mkuu wanapaswa kujiuliza na watafakari hali ya hiki chama chetu itakuwaje miaka mitano mingine ijayo kama hatutabadili mifumo ya uongozi wa chama kupitia uchaguzi huu wa januari". 6. SUALA LA WENJE NA ABDUL KUHONGA WATU "Katika hili niseme wazi hapa, kama kweli nimewahi kuomba msamaha kwenye Kamati Kuu kuhusu suala hilo la Abdul kama Wenje alivyosikika akisema, niombe watoe hadharani ile video nzima iliyokuwa inarekodiwa kikaoni pasipo kuihariri jambo lolote kama watathubutu kufanya hivyo". "Kwa kuwa walirekodi ili itumike kama ushahidi wa kuondoa sintofahamu ya jambo hili kwa umma, mimi napendekeza iwekwe hadharani ama hata sauti yake tu ili umma usikilize halafu umma wenyewe utasema umeelewa nini kuhusu chama chao kilipofika na kinapoelekea kama ni salama ama sio salama chini ya watu wale wale". Tundu A. Lissu, Mgombea Uenyekiti CHADEMA, Live Clubhouse Usiku. 23 Desemba, 2024.
    Love
    Like
    5
    · 1 Commentaires ·0 Parts ·1KB Vue
  • Kabla ya kuanza kujifunza CSS (Cascading Style Sheets), ni muhimu kuelewa msingi wa HTML (Hypertext Markup Language) kwanza. CSS ni lugha inayotumika kwa ajili ya kubadilisha muonekano wa ukurasa wa wavuti ulioandikwa kwa kutumia HTML.

    Hapa kuna vitu vya msingi vya kujifunza kuhusu CSS:

    1. Chagua chombo cha kujifunzia: Kuna rasilimali nyingi mkondoni ambazo zinaweza kukusaidia kujifunza CSS, kama vile tovuti, vitabu, na video. Unaweza kutumia W3Schools, Mozilla Developer Network (MDN), Codecademy, au freeCodeCamp kuanza.

    2. Kuanza na msingi: Anza kwa kujifunza misingi kama vile jinsi ya kuandika chaguzi za CSS kwa vitambulisho (IDs), aina (classes), na sehemu (elements). Unaweza pia kujifunza kuhusu CSS selectors, properties, na values.

    3. Jaribu mazoezi: Ni muhimu kutekeleza mazoezi ya vitendo ili kujifunza kwa vitendo. Jaribu kubuni ukurasa wa wavuti rahisi na tumia CSS kuibadilisha. Pia, hakikisha kuwa unajaribu kufanya maandishi yako, picha, na vitu vingine vionekane vizuri na kuundwa kwa njia inayofaa kwako.

    4. Jifunze jinsi ya kuandika kanuni safi na yenye muundo mzuri: CSS inazidi kuwa ngumu kadri unavyojifunza zaidi, kwa hivyo ni muhimu kuweka kanuni zako kuwa safi, yenye mantiki, na yenye muundo mzuri. Kutumia vipindi vya kurasa (indentation), maoni (comments), na kutenganisha muundo wa kanuni yako ni muhimu.

    5. Tembelea tovuti zingine na uchunguze kificho chao: Wakati mwingine njia bora ya kujifunza ni kwa kuangalia kificho cha wavuti zingine. Jisikie huru kutembelea tovuti zinazovutia na uchunguze jinsi CSS imefanyika. Hii itakupa wazo la mazoea bora na kukuhamasisha kujifunza zaidi.

    Usiwe na hofu ya kujaribu na kufanya makosa, kwa sababu ndivyo unavyojifunza! CSS ni ujuzi mzuri wa kuwa nao katika ulimwengu wa wavuti, na kujifunza jinsi ya kutekeleza awali ni hatua muhimu katika safari yako ya kuelekea kuwa mtengenezaji wa wavuti.

    Kabla ya kuanza kujifunza CSS (Cascading Style Sheets), ni muhimu kuelewa msingi wa HTML (Hypertext Markup Language) kwanza. CSS ni lugha inayotumika kwa ajili ya kubadilisha muonekano wa ukurasa wa wavuti ulioandikwa kwa kutumia HTML. Hapa kuna vitu vya msingi vya kujifunza kuhusu CSS: 1. Chagua chombo cha kujifunzia: Kuna rasilimali nyingi mkondoni ambazo zinaweza kukusaidia kujifunza CSS, kama vile tovuti, vitabu, na video. Unaweza kutumia W3Schools, Mozilla Developer Network (MDN), Codecademy, au freeCodeCamp kuanza. 2. Kuanza na msingi: Anza kwa kujifunza misingi kama vile jinsi ya kuandika chaguzi za CSS kwa vitambulisho (IDs), aina (classes), na sehemu (elements). Unaweza pia kujifunza kuhusu CSS selectors, properties, na values. 3. Jaribu mazoezi: Ni muhimu kutekeleza mazoezi ya vitendo ili kujifunza kwa vitendo. Jaribu kubuni ukurasa wa wavuti rahisi na tumia CSS kuibadilisha. Pia, hakikisha kuwa unajaribu kufanya maandishi yako, picha, na vitu vingine vionekane vizuri na kuundwa kwa njia inayofaa kwako. 4. Jifunze jinsi ya kuandika kanuni safi na yenye muundo mzuri: CSS inazidi kuwa ngumu kadri unavyojifunza zaidi, kwa hivyo ni muhimu kuweka kanuni zako kuwa safi, yenye mantiki, na yenye muundo mzuri. Kutumia vipindi vya kurasa (indentation), maoni (comments), na kutenganisha muundo wa kanuni yako ni muhimu. 5. Tembelea tovuti zingine na uchunguze kificho chao: Wakati mwingine njia bora ya kujifunza ni kwa kuangalia kificho cha wavuti zingine. Jisikie huru kutembelea tovuti zinazovutia na uchunguze jinsi CSS imefanyika. Hii itakupa wazo la mazoea bora na kukuhamasisha kujifunza zaidi. Usiwe na hofu ya kujaribu na kufanya makosa, kwa sababu ndivyo unavyojifunza! CSS ni ujuzi mzuri wa kuwa nao katika ulimwengu wa wavuti, na kujifunza jinsi ya kutekeleza awali ni hatua muhimu katika safari yako ya kuelekea kuwa mtengenezaji wa wavuti. 👑🎓🎓🎓🎓🎓
    Like
    Yay
    5
    · 0 Commentaires ·0 Parts ·701 Vue
  • JIFUNZE KUHUSU GAME GUARDIAN (GAME HACKING APP)

    $Game guadian ni app ambayo inatupa sisi uwezo wa ku weka uanvyotaka(modify)
    mifumo inayofanya kazi kwenye games za android ili kupata faida na improvement
    kinyume na inavyo takiwa .kufanya kwake kazi kuna jikita sana kwenye code injetion
    wakati game linachezwa kwa ku modfy parameters za game

    $Pale tu gamaguardian imekuwa installed unaweza ukuliacha file likawa linafanya
    kazi kwa nyuma(background)na inabaki transparent icon kwenye screen ambayo unaweza
    ukaiona wakati unacheza game wakati wote. wakati ume launch game unaweza ukafungua
    game guardian na kuchangua process ipi ya game unataka ku modify. kwa mfano kama
    una kiasi fulani cha gold,coins au bullets unaweza ukatumia game guardian hexadecimal
    editor kutafuta hiyo namba na kuibadilisha na kuweka unayoitaka wewe

    🛎$Kitu kingine kuhusu gameguardian ina uwezo wa ku modify tarehe ya game na ya simu pia
    ili wewe uweze kupata kitu fulani ambacho ulitakiwa ukisubiri kwa muda mrefu mfano ⚰⚰Gangster
    Vegas ukienda kuuza zile super cars mfululizo wanakupa kama lisaa kusubiri na hauna pa kuliweka
    gari basi hili file linaweza kuurusha muda mbele na ukamaliza mission zako .ili kusimamisha
    au kupeleka muda haraka jaribu ku bonyeza ile floating icon na uchague mwenyewe mda uende slow
    au speed

    $Hili file limetengenezwa kaajili ya cheating lakini kuna games ambazo ukijulikana unatumia
    hili file kucheat basi kuna uwezekano mkubwa wa wewe kuipoteza account yako ya kwenye game hilo
    hasa hasa online games
    ===============================================================================================

    JINSI YA KUTUMIA GAME GUARDIAN

    $Kama file hauna basi download kwenye official website ya game guardian na wala sio pengine ili
    kujikinga na hatari ya kudownload virus

    $Baada ya kuinstall file lako lifungue alafu bonyeza home button ili kuliacha liendelee kufanya kazi
    kwa nyuma (background)

    $Anzisha game ambalo unataka ku hack , hakikisha kwamba umeandika kiasi ambacho unataka kubadilisha mfano
    kiasi cha gold au scores

    $Baada ya hapo click ile transparent icon ya game guardian kwenye screen alafu click >>search<< baada
    ya hapo ingiza kiasi unachotaka kubadilisha

    $Itaonesha results nyingi sasa cheza game na tumia gold zaidi na zaidi

    $Baada ya hapo rudia tena kuandika namba zile mpaka upate tokeo moja

    $Baada ya kupata tokeo moja badi hold hiyo results alf ingiza namba ambayo ungependa zaidi iwe

    basi mambo yatabadilika baada ya wewe kubonyeza OK na hii ndio njia nzima ya ku hack game kwa kutumia game guardian
    ili kupata free rewards pia kuna files nyingi kama vile lucky patcher,aimbots,wallhacks,speed hacks, na hizi sana sana
    zinatumika kwenye games kama vile PUBG

    ======================================================================================================================
    🏁🎭 JIFUNZE KUHUSU GAME GUARDIAN (GAME HACKING APP)🎭🎭 ⏰⏰$Game guadian ni app ambayo inatupa sisi uwezo wa ku weka uanvyotaka(modify) mifumo inayofanya kazi kwenye games za android ili kupata faida na improvement kinyume na inavyo takiwa .kufanya kwake kazi kuna jikita sana kwenye code injetion wakati game linachezwa kwa ku modfy parameters za game 🕑🕑🕑$Pale tu gamaguardian imekuwa installed unaweza ukuliacha file likawa linafanya kazi kwa nyuma(background)na inabaki transparent icon kwenye screen ambayo unaweza ukaiona wakati unacheza game wakati wote. wakati ume launch game unaweza ukafungua game guardian na kuchangua process ipi ya game unataka ku modify. kwa mfano kama una kiasi fulani cha gold,coins au bullets unaweza ukatumia game guardian hexadecimal editor kutafuta hiyo namba na kuibadilisha na kuweka unayoitaka wewe 🛎🛀$Kitu kingine kuhusu gameguardian ina uwezo wa ku modify tarehe ya game na ya simu pia ili wewe uweze kupata kitu fulani ambacho ulitakiwa ukisubiri kwa muda mrefu mfano ⚰⚰⌚⏳Gangster Vegas ukienda kuuza zile super cars mfululizo wanakupa kama lisaa kusubiri na hauna pa kuliweka gari basi hili file linaweza kuurusha muda mbele na ukamaliza mission zako .ili kusimamisha au kupeleka muda haraka jaribu ku bonyeza ile floating icon na uchague mwenyewe mda uende slow au speed 🚜 🚜🚜$Hili file limetengenezwa kaajili ya cheating lakini kuna games ambazo ukijulikana unatumia hili file kucheat basi kuna uwezekano mkubwa wa wewe kuipoteza account yako ya kwenye game hilo hasa hasa online games =============================================================================================== ⚓⚓ JINSI YA KUTUMIA GAME GUARDIAN⛽⛽ 🚧 🚧🚧 $Kama file hauna basi download kwenye official website ya game guardian na wala sio pengine ili kujikinga na hatari ya kudownload virus 🚔🚔$Baada ya kuinstall file lako lifungue alafu bonyeza home button ili kuliacha liendelee kufanya kazi kwa nyuma (background) 🙄🙄$Anzisha game ambalo unataka ku hack , hakikisha kwamba umeandika kiasi ambacho unataka kubadilisha mfano kiasi cha gold au scores 🤗🤗$Baada ya hapo click ile transparent icon ya game guardian kwenye screen alafu click >>search<< baada ya hapo ingiza kiasi unachotaka kubadilisha 😎😎 $Itaonesha results nyingi sasa cheza game na tumia gold zaidi na zaidi 🤔🤔$Baada ya hapo rudia tena kuandika namba zile mpaka upate tokeo moja 😐😐 $Baada ya kupata tokeo moja badi hold hiyo results alf ingiza namba ambayo ungependa zaidi iwe basi mambo yatabadilika baada ya wewe kubonyeza 😣OK na hii ndio njia nzima ya ku hack game kwa kutumia game guardian ili kupata free rewards pia kuna files nyingi kama vile lucky patcher,aimbots,wallhacks,speed hacks, na hizi sana sana zinatumika kwenye games kama vile PUBG ======================================================================================================================
    Like
    1
    · 0 Commentaires ·0 Parts ·1KB Vue
  • "Safari ya Tumaini"

    Kulikuwa na kijana anayeitwa Brian, mwenye miaka 24, msomi wa juu wa masuala ya uhandisi wa kompyuta. Brian alikuwa amezaliwa katika kijiji kidogo cha Milimani, eneo ambalo umaskini ulikuwa sehemu ya maisha ya kila siku. Pamoja na changamoto za mazingira, Brian alisimama kwa bidii yake, akifaulu shuleni kwa juhudi zisizopimika.

    Baada ya kuhitimu kutoka chuo kikuu, Brian alipata kazi jijini Nairobi katika kampuni maarufu ya teknolojia. Lakini alihisi pengo moyoni mwake. Hakuridhika kuona kijiji chake kikizidi kuzama katika matatizo ya maji safi, umeme wa kutegemewa, na ukosefu wa ajira. Akaamua kurudi kijijini kwa lengo la kubadilisha maisha ya watu wake.

    Brian alirudi na wazo la kuunda mfumo wa nishati ya jua unaoweza kutumika kwa bei nafuu. Usiku mmoja, akiwa karakana ya baba yake ya zamani, aligundua nishati ya kuhifadhiwa kwa betri za kienyeji kupitia paneli ndogo za jua. Mradi wake ulianza kwa kusambaza taa moja kwa familia masikini. Habari za uvumbuzi wake zilisambaa, na kijiji kilianza kupata matumaini mapya.

    Siku moja, mtu asiyejulikana kutoka kampuni kubwa ya nishati alisikia habari za Brian. Wakamtembelea na kumwomba kuuza uvumbuzi wake kwa malipo makubwa. Lakini Brian alikataa. Hakuwa na nia ya kunufaika peke yake; alitaka kusaidia jamii yake.

    Kampuni hiyo haikufurahia. Walimtishia Brian na hata kujaribu kuiba mipango yake. Brian, akijua kuwa hatari ilikuwa karibu, aliamua kufundisha vijana wa kijiji mbinu alizotumia. Kwa pamoja, walilinda uvumbuzi wao na kuendeleza mradi huo.

    Miezi kadhaa baadaye, mradi wa Brian ulikuwa umewasha umeme katika vijiji saba, na vijana wengi walikuwa wameajiriwa. Hatimaye, kijiji cha Milimani kilibadilika kuwa mfano wa maendeleo vijijini.

    Brian hakujulikana tu kama mhandisi, bali pia kama shujaa wa kweli wa jamii yake. Aliwaonyesha watu kuwa maarifa si kwa ajili ya mafanikio ya mtu binafsi pekee, bali kwa kubadilisha maisha ya wengi. Safari yake ikawa somo la matumaini, mshikamano, na nguvu ya mabadiliko.
    "Safari ya Tumaini" Kulikuwa na kijana anayeitwa Brian, mwenye miaka 24, msomi wa juu wa masuala ya uhandisi wa kompyuta. Brian alikuwa amezaliwa katika kijiji kidogo cha Milimani, eneo ambalo umaskini ulikuwa sehemu ya maisha ya kila siku. Pamoja na changamoto za mazingira, Brian alisimama kwa bidii yake, akifaulu shuleni kwa juhudi zisizopimika. Baada ya kuhitimu kutoka chuo kikuu, Brian alipata kazi jijini Nairobi katika kampuni maarufu ya teknolojia. Lakini alihisi pengo moyoni mwake. Hakuridhika kuona kijiji chake kikizidi kuzama katika matatizo ya maji safi, umeme wa kutegemewa, na ukosefu wa ajira. Akaamua kurudi kijijini kwa lengo la kubadilisha maisha ya watu wake. Brian alirudi na wazo la kuunda mfumo wa nishati ya jua unaoweza kutumika kwa bei nafuu. Usiku mmoja, akiwa karakana ya baba yake ya zamani, aligundua nishati ya kuhifadhiwa kwa betri za kienyeji kupitia paneli ndogo za jua. Mradi wake ulianza kwa kusambaza taa moja kwa familia masikini. Habari za uvumbuzi wake zilisambaa, na kijiji kilianza kupata matumaini mapya. Siku moja, mtu asiyejulikana kutoka kampuni kubwa ya nishati alisikia habari za Brian. Wakamtembelea na kumwomba kuuza uvumbuzi wake kwa malipo makubwa. Lakini Brian alikataa. Hakuwa na nia ya kunufaika peke yake; alitaka kusaidia jamii yake. Kampuni hiyo haikufurahia. Walimtishia Brian na hata kujaribu kuiba mipango yake. Brian, akijua kuwa hatari ilikuwa karibu, aliamua kufundisha vijana wa kijiji mbinu alizotumia. Kwa pamoja, walilinda uvumbuzi wao na kuendeleza mradi huo. Miezi kadhaa baadaye, mradi wa Brian ulikuwa umewasha umeme katika vijiji saba, na vijana wengi walikuwa wameajiriwa. Hatimaye, kijiji cha Milimani kilibadilika kuwa mfano wa maendeleo vijijini. Brian hakujulikana tu kama mhandisi, bali pia kama shujaa wa kweli wa jamii yake. Aliwaonyesha watu kuwa maarifa si kwa ajili ya mafanikio ya mtu binafsi pekee, bali kwa kubadilisha maisha ya wengi. Safari yake ikawa somo la matumaini, mshikamano, na nguvu ya mabadiliko.
    0 Commentaires ·0 Parts ·1KB Vue
  • Kutana na mme mkorofi na mke mkorofi angalia matokeo siku moja mke aliandika latiba kwa mume wake na kuibandaka chumbani kwao ratiba hiyo ilisomeka kama ifwatavyo-;
    RATIBA YA KUKUPA;
    Jumatatu-sikupi
    JUMANNE-sikupi
    JUMATANO-nakupa
    ARHAMIS-sikupi
    IJUMAA-sikupi
    JUMAMOSI-sikupi
    JUMAPILI-nakupa
    Sihitaji usumbufu siku ambazo sikupi
    MUME KUONA HIYO RATIBA NAE akaandika yake iliyo someka hivi:-
    RATIBA YA KULALA NJE:
    J'3-nje
    J'4-nje
    J'5-naumwa
    Alhamis-nje
    Ijumaa-nje
    Jumamosi-nje
    Jumapili-naumwa

    Ww si unajifanya nunda, siku nitakazo umwasitaki usumbufu.

    NANI MKALI ZAIDI?
    Kutana na mme mkorofi na mke mkorofi angalia matokeo siku moja mke aliandika latiba kwa mume wake na kuibandaka chumbani kwao ratiba hiyo ilisomeka kama ifwatavyo-; RATIBA YA KUKUPA; Jumatatu-sikupi JUMANNE-sikupi JUMATANO-nakupa ARHAMIS-sikupi IJUMAA-sikupi JUMAMOSI-sikupi JUMAPILI-nakupa Sihitaji usumbufu siku ambazo sikupi MUME KUONA HIYO RATIBA NAE akaandika yake iliyo someka hivi:- RATIBA YA KULALA NJE: J'3-nje J'4-nje J'5-naumwa Alhamis-nje Ijumaa-nje Jumamosi-nje Jumapili-naumwa Ww si unajifanya nunda, siku nitakazo umwasitaki usumbufu. NANI MKALI ZAIDI?😂😂😂😂
    Like
    1
    · 0 Commentaires ·0 Parts ·277 Vue
  • Kutana na mme mkorofi na mke mkorofi angalia matokeo siku moja mke aliandika latiba kwa mume wake na kuibandaka chumbani kwao ratiba hiyo ilisomeka kama ifwatavyo-;
    RATIBA YA KUKUPA;
    Jumatatu-sikupi
    JUMANNE-sikupi
    JUMATANO-nakupa
    ARHAMIS-sikupi
    IJUMAA-sikupi
    JUMAMOSI-sikupi
    JUMAPILI-nakupa
    Sihitaji usumbufu siku ambazo sikupi
    MUME KUONA HIYO RATIBA NAE akaandika yake iliyo someka hivi:-
    RATIBA YA KULALA NJE:
    J'3-nje
    J'4-nje
    J'5-naumwa
    Alhamis-nje
    Ijumaa-nje
    Jumamosi-nje
    Jumapili-naumwa

    Ww si unajifanya nunda, siku nitakazo umwasitaki usumbufu.

    NANI MKALI ZAIDI?
    Kutana na mme mkorofi na mke mkorofi angalia matokeo siku moja mke aliandika latiba kwa mume wake na kuibandaka chumbani kwao ratiba hiyo ilisomeka kama ifwatavyo-; RATIBA YA KUKUPA; Jumatatu-sikupi JUMANNE-sikupi JUMATANO-nakupa ARHAMIS-sikupi IJUMAA-sikupi JUMAMOSI-sikupi JUMAPILI-nakupa Sihitaji usumbufu siku ambazo sikupi MUME KUONA HIYO RATIBA NAE akaandika yake iliyo someka hivi:- RATIBA YA KULALA NJE: J'3-nje J'4-nje J'5-naumwa Alhamis-nje Ijumaa-nje Jumamosi-nje Jumapili-naumwa Ww si unajifanya nunda, siku nitakazo umwasitaki usumbufu. NANI MKALI ZAIDI?😂😂😂😂
    Like
    1
    · 0 Commentaires ·0 Parts ·254 Vue
  • TAHADHARI

    Wapendwa wananchi, kwa taarifa yako: *Ilani ya Usalama wa Juu:* Tafadhali fahamu kuwa kuna kundi la watu wanaokwenda nyumba kwa nyumba wakijifanya kuwa wafanyakazi wa Wizara ya Mambo ya Ndani.    Wana hati na barua kutoka kwa Wizara ya Mambo ya Ndani na wanadai wanahitaji kuthibitisha kuwa kila mtu ana kitambulisho halali kwa sensa ijayo.   Kumbe wanataka kuiba nyumba yako.    Wako kila mahali na wanaonekana maridadi.     Mtu atakuja nyumbani kwako na kusema *Nataka kuchukua picha/alama yako ya vidole kulingana na mpango fulani*.    Wana kompyuta ndogo, mashine ya biometriska na orodha ya majina yote.    Wanaonyesha menyu na kuuliza habari hii yote.     Tafadhali kumbuka kuwa hakuna mpango kama huo wa serikali.     Tafadhali fahamu kuwa haya yote ni bandia.    Usiwape taarifa yoyote.    Kila mtu anahitaji kuwa macho na *kufahamu*!     Tuma hii kwa vikundi vyako vyote vya jumuiya.    Tafadhali wajulishe familia yako na marafiki.

    *Be warned*
    TAHADHARI Wapendwa wananchi, kwa taarifa yako: *Ilani ya Usalama wa Juu:* Tafadhali fahamu kuwa kuna kundi la watu wanaokwenda nyumba kwa nyumba wakijifanya kuwa wafanyakazi wa Wizara ya Mambo ya Ndani.    Wana hati na barua kutoka kwa Wizara ya Mambo ya Ndani na wanadai wanahitaji kuthibitisha kuwa kila mtu ana kitambulisho halali kwa sensa ijayo.   Kumbe wanataka kuiba nyumba yako.    Wako kila mahali na wanaonekana maridadi.     Mtu atakuja nyumbani kwako na kusema *Nataka kuchukua picha/alama yako ya vidole kulingana na mpango fulani*.    Wana kompyuta ndogo, mashine ya biometriska na orodha ya majina yote.    Wanaonyesha menyu na kuuliza habari hii yote.     Tafadhali kumbuka kuwa hakuna mpango kama huo wa serikali.     Tafadhali fahamu kuwa haya yote ni bandia.    Usiwape taarifa yoyote.    Kila mtu anahitaji kuwa macho na *kufahamu*!     Tuma hii kwa vikundi vyako vyote vya jumuiya.    Tafadhali wajulishe familia yako na marafiki. *Be warned*
    Like
    Haha
    2
    · 0 Commentaires ·0 Parts ·596 Vue
  • Pesa aiwezi nunua #furaha//

    Bongo ukweli unaua au chanzo cha #majeraha//

    narap adi jasho bado nyota #imekataa//

    Elimu ya mitaa michoro ya chuo #kikuu//

    Hip hop imeniteka kichwa chin miguu #juu//

    Nang'aa bila riflecter nyota ya #mtaa//

    Maamuzi ya gadhabu sio dawa ya tatizo #kujibu//

    Fikiri sumbua ubongo gain mawazo yenye #tiba//

    Kukata tamaa uvivu ni nyota ya #kuiba//

    Usiishi kivivu ata kama umekosa cha #kushiba/
    Pesa aiwezi nunua #furaha// Bongo ukweli unaua au chanzo cha #majeraha// narap adi jasho bado nyota #imekataa// Elimu ya mitaa michoro ya chuo #kikuu// Hip hop imeniteka kichwa chin miguu #juu// Nang'aa bila riflecter nyota ya #mtaa// Maamuzi ya gadhabu sio dawa ya tatizo #kujibu// Fikiri sumbua ubongo gain mawazo yenye #tiba// Kukata tamaa uvivu ni nyota ya #kuiba// Usiishi kivivu ata kama umekosa cha #kushiba/
    Like
    1
    · 0 Commentaires ·0 Parts ·1KB Vue
  • Alikuwa Mpole Mwelevu Msikivu Tena Mcha Mungu\
    Alikuja Geuka Gobole Baada Ya Kuzin Na Mke Wa Mtu\
    Kitaa Alisifika Kwa Sifa Nyingi Job Aliwajibika\
    Mwana Hakujua Kuiba Chamtu Aliheshimu Kama Anavoeshimika\\
    Nahuu Ni Mzunguko Wa Maisha Uliojaa Vituko\
    Mwana Akaanza Badilika Wake Za Watu Kuwashika\
    Hakuogopa Kuathirika Kila Binti Alimuwajibisha\
    Ndugu Akaanza Wadharau Baada Ya Pesa Kupanda Dau\
    Machzi Akatusahau Akatutusi Kwa Nahau\
    Yah Inashangaza Na Inachekesha Pia\
    Umasikini Umewasha Mwanga Anajuta Na Kushndwa Kulia\
    Mwili Unazidi Dhoofika Baba Na Mama Wanalia\
    Msamaha Hauwezi Saidia Mola Tu Ndo Ataingilia\
    Badilika Kama Waivo Chenji Ish Kwa Heshma Uaminifu Ukweli Na Upendo
    Alikuwa Mpole Mwelevu Msikivu Tena Mcha Mungu\ Alikuja Geuka Gobole Baada Ya Kuzin Na Mke Wa Mtu\ Kitaa Alisifika Kwa Sifa Nyingi Job Aliwajibika\ Mwana Hakujua Kuiba Chamtu Aliheshimu Kama Anavoeshimika\\ Nahuu Ni Mzunguko Wa Maisha Uliojaa Vituko\ Mwana Akaanza Badilika Wake Za Watu Kuwashika\ Hakuogopa Kuathirika Kila Binti Alimuwajibisha\ Ndugu Akaanza Wadharau Baada Ya Pesa Kupanda Dau\ Machzi Akatusahau Akatutusi Kwa Nahau\ Yah Inashangaza Na Inachekesha Pia\ Umasikini Umewasha Mwanga Anajuta Na Kushndwa Kulia\ Mwili Unazidi Dhoofika Baba Na Mama Wanalia\ Msamaha Hauwezi Saidia Mola Tu Ndo Ataingilia\ Badilika Kama Waivo Chenji Ish Kwa Heshma Uaminifu Ukweli Na Upendo
    Like
    1
    · 1 Commentaires ·0 Parts ·471 Vue
  • kusoma sio kazi
    Kazi kuibadilisha elimu
    Kuwa pesa.
    kusoma sio kazi Kazi kuibadilisha elimu Kuwa pesa.💰
    Like
    Love
    3
    · 1 Commentaires ·0 Parts ·367 Vue
  • MAMBO UNAYOPASWA KUJUA KUHUSU MTOTO

    1- Epuka Kumpa mtoto wako kila kitu anachoomba. Atakua akiamini kuwa ana haki ya kupata kila anachotaka.

    2-Epuka kucheka mtoto wako anapozungumza maneno ya matusi. Atakua akifikiri kutoheshimu ni burudani.

    3-Epuka kubaki asiyejali tabia mbaya ambayo anaweza kuionyesha bila kumkemea kwa tabia yake mbaya. Atakua anafikiri kuwa hakuna sheria kwenye jamii.

    4- Epuka kuokota chochote ambacho mtoto wako anakiharibu. Atakua akiamini kwamba wengine lazima wawajibike kwa majukumu yake.

    5- Epuka kumwacha atazame kipindi chochote kwenye TV. Atakua akifikiri kuwa hakuna tofauti kati ya kuwa mtoto na kuwa mtu mzima.

    6- Epuka kumpa mtoto wako pesa zote anazoomba. Atakua akifikiria kupata pesa ni rahisi na hatasita kuiba kwa ajili yake.

    7- Siku zote epuka kujiweka upande wake anapokosea majirani, walimu wake, polisi. Atakua anafikiri kila anachofanya ni sawa, wengine ndio wamekosea.

    8- Epuka kumwacha peke yake nyumbani unapoenda ibadani, la sivyo atakua anafikiri Mungu hayupo.

    Kazi yetu juu ya watoto wetu isiwe bure.
    MAMBO UNAYOPASWA KUJUA KUHUSU MTOTO 1- Epuka Kumpa mtoto wako kila kitu anachoomba. Atakua akiamini kuwa ana haki ya kupata kila anachotaka. 2-Epuka kucheka mtoto wako anapozungumza maneno ya matusi. Atakua akifikiri kutoheshimu ni burudani. 3-Epuka kubaki asiyejali tabia mbaya ambayo anaweza kuionyesha bila kumkemea kwa tabia yake mbaya. Atakua anafikiri kuwa hakuna sheria kwenye jamii. 4- Epuka kuokota chochote ambacho mtoto wako anakiharibu. Atakua akiamini kwamba wengine lazima wawajibike kwa majukumu yake. 5- Epuka kumwacha atazame kipindi chochote kwenye TV. Atakua akifikiri kuwa hakuna tofauti kati ya kuwa mtoto na kuwa mtu mzima. 6- Epuka kumpa mtoto wako pesa zote anazoomba. Atakua akifikiria kupata pesa ni rahisi na hatasita kuiba kwa ajili yake. 7- Siku zote epuka kujiweka upande wake anapokosea majirani, walimu wake, polisi. Atakua anafikiri kila anachofanya ni sawa, wengine ndio wamekosea. 8- Epuka kumwacha peke yake nyumbani unapoenda ibadani, la sivyo atakua anafikiri Mungu hayupo. Kazi yetu juu ya watoto wetu isiwe bure.
    Love
    1
    · 0 Commentaires ·0 Parts ·541 Vue