• Ratiba iliyofanyiwa mabadiliko ya Ligi Kuu ya NBC kwa mwezi Oktoba tukianza na Kariakoo Derby.
    #paulswai
    Ratiba iliyofanyiwa mabadiliko ya Ligi Kuu ya NBC kwa mwezi Oktoba tukianza na Kariakoo Derby. #paulswai
    Like
    2
    0 Comments 0 Shares 42 Views
  • Simba ina habari njema juu ya beki wake wa kati, Abdulrazack Hamza ambaye alipata majeraha muda mfupi baada ya kujiunga na kambi ya timu ya Taifa Stars’ hivi karibuni kwa ajili ya maandalizi ya mechi 2 dhidi ya DR Congo za kuwania kufuzu fainali za mataifa ya Afrika (Afcon) 2025.

    Baada ya matibabu ambayo ameyapata chini ya uangalizi wa jopo la madaktari wa Simba, beki huyo yupo katika maendeleo mazuri kiafya na leo Jumatatu ataungana na wenzake kikosini kujiandaa na mchezo ujao dhidi ya Yanga.
    #paulswai
    Simba ina habari njema juu ya beki wake wa kati, Abdulrazack Hamza ambaye alipata majeraha muda mfupi baada ya kujiunga na kambi ya timu ya Taifa Stars’ hivi karibuni kwa ajili ya maandalizi ya mechi 2 dhidi ya DR Congo za kuwania kufuzu fainali za mataifa ya Afrika (Afcon) 2025. Baada ya matibabu ambayo ameyapata chini ya uangalizi wa jopo la madaktari wa Simba, beki huyo yupo katika maendeleo mazuri kiafya na leo Jumatatu ataungana na wenzake kikosini kujiandaa na mchezo ujao dhidi ya Yanga. #paulswai
    Like
    1
    0 Comments 0 Shares 42 Views
  • HIZI HAPA MECHI TATU ZA SIMBA ZIJAZO ZA NBC PRIMER LEAGUE

    Kulingana na maboresho ya ratiba, Simba atacheza mechi tatu za ligi kuu katika kipindi cha wiki moja kabla ya mapumziko ya kalenda ya FIFA.

    Baada ya mchezo dhidi ya Azam Fc, kikosi cha kocha Fadlu Davids kitaelekea mkoani Dodoma kwa ajili ya mchezo dhidi ya Dodoma Jiji utakaopigwa Septemba 29 na Oktoba 04 Simba itakuwa Dar es salaam kuikabili Coastal Union katika mchezo utakaopigwa KMC Complex.
    #paulswai
    HIZI HAPA MECHI TATU ZA SIMBA ZIJAZO ZA NBC PRIMER LEAGUE ⛳ 🔗 Kulingana na maboresho ya ratiba, Simba atacheza mechi tatu za ligi kuu katika kipindi cha wiki moja kabla ya mapumziko ya kalenda ya FIFA. Baada ya mchezo dhidi ya Azam Fc, kikosi cha kocha Fadlu Davids kitaelekea mkoani Dodoma kwa ajili ya mchezo dhidi ya Dodoma Jiji utakaopigwa Septemba 29 na Oktoba 04 Simba itakuwa Dar es salaam kuikabili Coastal Union katika mchezo utakaopigwa KMC Complex. #paulswai
    Like
    3
    0 Comments 0 Shares 148 Views

  • HII HAPAHii RATIBA NA TAREHE YA MECHI ZIJAZO ZA SIMBASC MWEZI HUU ..!!

    Al Ahli Tripoli Vs Simba SC
    🗓15/9 (CAFCC - Away)

    Simba SC Vs Al Ahli Tripoli
    22/9 (CAFCC- Home)

    Azam FC Vs Simba SC
    26/9 (NBC - Away)

    Dodoma Jiji Vs Simba SC
    29/9(NBC - Away)

    Unaizungumziaje ratba yetu ya mwezi huu wa tisaa..

    #paulswai
    HII HAPAHii RATIBA NA TAREHE YA MECHI ZIJAZO ZA SIMBASC MWEZI HUU ..!! 🔗Al Ahli Tripoli Vs Simba SC 🗓15/9 (CAFCC - Away) 🔗Simba SC Vs Al Ahli Tripoli 🗓️22/9 (CAFCC- Home) 🔗Azam FC Vs Simba SC 🗓️26/9 (NBC - Away) 🔗Dodoma Jiji Vs Simba SC 🗓️29/9(NBC - Away) Unaizungumziaje ratba yetu ya mwezi huu wa tisaa..🙌 🙌 #paulswai
    Like
    2
    2 Comments 0 Shares 204 Views
  • Ratiba ya mwezi Septemba, 2024. #WenyeNchi #NguvuMoja
    #paulswai
    Ratiba ya mwezi Septemba, 2024. #WenyeNchi #NguvuMoja #paulswai
    Like
    Love
    3
    1 Comments 0 Shares 124 Views
  • kaka habari ya kazi mimi nilikuwa naomba ushauri mume wangu tulikuwa tuaishi vizuri tu, baadae akaja akabadilika analala nje ukimuuliza anakuwa mkali, basi nikamuacha kumuuliza nikawa navumilia,siku moja akaniambia mke wangu hapa naona maisha yamekuwa magumu nataka niende sehemu nyingine nikatafute hela nikasema sawa baada ya kuondoka akawa hanipigii simu wala kutuma sms,nikimpigia simu kumuambia matumizi ananiambia sina hela yeyote..
    Hivohivo mwisho wa siku akaniambia tusijuane yeye amempata mwanamke anaempenda na mimi nitafute mwanaume niolewe na akaacha kumtafuta maana pale tulipokuwa tunaishi kodi ilikuwa imeisha nikatafuta chumba cha bei nafuu maisha yakaendelea,baada ya mwezi mmoja akanifuta akaniambia nimerudi nilikuwa naomba nije nimsalimie mtoto mimi nikakataa
    Basi yakaendelea akaja akaumwa mtoto nikamuambia akatoa fedha ya matibabu, ndipo nikamuuliza unaishi wapi akaniambia amepanga yupo kutafuta hela akipata ndipo atarudi nyumbani kuishi na sisi. nilikuwa naomba ushauri wenu huyu mwanaume niendelee kumsubiri?
    [ Unaweza kuuza na kununua bidhaa kupitia https://www.niuziechap.co.tz/ ]
    Au jiunge na WhatsApp Channel yangu kwa mahitaji ya Mchumba na Simulizi na video na stories kibao
    Link https://bit.ly/4b6xGV4
    ______________________________________
    ■Kama una jambo linakutatiza usikae nalo linaweza kuharibu hatima ya maisha yako, tushirikishe, tusaidiane na tushauriane.. Nitumie ujumbe WhatsApp 0625 791 849
    kaka habari ya kazi mimi nilikuwa naomba ushauri mume wangu tulikuwa tuaishi vizuri tu, baadae akaja akabadilika analala nje ukimuuliza anakuwa mkali, basi nikamuacha kumuuliza nikawa navumilia,siku moja akaniambia mke wangu hapa naona maisha yamekuwa magumu nataka niende sehemu nyingine nikatafute hela nikasema sawa baada ya kuondoka akawa hanipigii simu wala kutuma sms,nikimpigia simu kumuambia matumizi ananiambia sina hela yeyote.. Hivohivo mwisho wa siku akaniambia tusijuane yeye amempata mwanamke anaempenda na mimi nitafute mwanaume niolewe na akaacha kumtafuta maana pale tulipokuwa tunaishi kodi ilikuwa imeisha nikatafuta chumba cha bei nafuu maisha yakaendelea,baada ya mwezi mmoja akanifuta akaniambia nimerudi nilikuwa naomba nije nimsalimie mtoto mimi nikakataa Basi yakaendelea akaja akaumwa mtoto nikamuambia akatoa fedha ya matibabu, ndipo nikamuuliza unaishi wapi akaniambia amepanga yupo kutafuta hela akipata ndipo atarudi nyumbani kuishi na sisi. nilikuwa naomba ushauri wenu huyu mwanaume niendelee kumsubiri? [ Unaweza kuuza na kununua bidhaa kupitia https://www.niuziechap.co.tz/ ] Au jiunge na WhatsApp Channel yangu kwa mahitaji ya Mchumba na Simulizi na video na stories kibao Link https://bit.ly/4b6xGV4 ______________________________________ ■Kama una jambo linakutatiza usikae nalo linaweza kuharibu hatima ya maisha yako, tushirikishe, tusaidiane na tushauriane.. Nitumie ujumbe WhatsApp 0625 791 849
    Like
    Love
    8
    2 Comments 0 Shares 282 Views
  • *TABIA 12 ZITAKAZOKUFANYA UWE MWENYE FURAHA MAISHANI*

    *1. SAMEHE*
    Samehee hata wasiostahili kusamehewa.
    Usikubali kuwa na kinyongo au ugomvi na mtu yeyeto.
    Jifunze kupotezea.
    Usimjibu kila mtu kila kitu.
    Hata ukimya ni majibu.

    *2. JIAMINI*

    Hakuna lisilowezekana chini ya jua. Anza sasa.
    Wenye imani wana amani kila wakati.
    Wenye imani wanakuwa na uhakika wa kile wanachokitarajia.

    *3. JIFUNZE*

    Mungu hakumuumba mtu kuweza kila kitu wakati wowote.

    *4. JIPENDE*

    Umeumbwa kwa sura na mfano wa Mungu. Usijidharau wala kujishusha kiwango. Jitamkia mambo mazuri kila wakati.

    *5. TABASAMU*

    Furaha ni tiba ya moyo
    Jifunze kuhesabu baraka ambazo Mungu amekupatia itakisaidia kutabasamu kila wakati.

    *6. USIHUKUMU*

    Hakuna mwaminifu chini ya jua. Kila mmoja anakosea hata wewe huwa unakosea na kuwakosea wengine.

    *7. JIHESHIMU*

    Mfumo wa maisha yako ndio utakuwa msaada kwa wengine. Wewe ndiye utakayewafanya wengine kukutafasiri.

    *8. PANGA MALENGO*

    Malengo ni taa, dira, ramani,kesho, mwelekeo, matumaini. Usiishi pasipo kujua kesho yako au pasipo kujua unapoelekea.

    *9. FANYA IBADA*

    Mahusiano yako pamoja na Mungu ndio chanzo cha kubarikiwa kwako.

    *10. KULA VIZURI*

    Mwili wako ni hekalu la Roho Mtakatifu kuwa makini sana kwenye ulaji wako. Usile chochote unachotaka Bali kula chochote kinachohitajika mwilini mwako.

    *11. KUWA MKARIMU*

    Hukuja duniani na kitu Bali vyote ulivyonavyo chanzo chake ni Mungu. Lakini pia vyote utaviacha duniani siku yako ya kufa itakapofika. Ukarimu ni akiba ya baadae kwa ajili yako na kizazi chako.

    *12. KUWA NA SHUKRANI*

    Ukitambua na kutafakari ulipotolewa na huyu Mungu hakika hautashindwa kusema asante kwake.
    Mshukuru Mungu kwa kila jambo hata kama mengine yanaenda vibaya endelea kumwambia Mungu asante.

    *MAISHA NI WATU*
    *TABIA 12 ZITAKAZOKUFANYA UWE MWENYE FURAHA MAISHANI* *1. SAMEHE* Samehee hata wasiostahili kusamehewa. Usikubali kuwa na kinyongo au ugomvi na mtu yeyeto. Jifunze kupotezea. Usimjibu kila mtu kila kitu. Hata ukimya ni majibu. *2. JIAMINI* Hakuna lisilowezekana chini ya jua. Anza sasa. Wenye imani wana amani kila wakati. Wenye imani wanakuwa na uhakika wa kile wanachokitarajia. *3. JIFUNZE* Mungu hakumuumba mtu kuweza kila kitu wakati wowote. *4. JIPENDE* Umeumbwa kwa sura na mfano wa Mungu. Usijidharau wala kujishusha kiwango. Jitamkia mambo mazuri kila wakati. *5. TABASAMU* Furaha ni tiba ya moyo Jifunze kuhesabu baraka ambazo Mungu amekupatia itakisaidia kutabasamu kila wakati. *6. USIHUKUMU* Hakuna mwaminifu chini ya jua. Kila mmoja anakosea hata wewe huwa unakosea na kuwakosea wengine. *7. JIHESHIMU* Mfumo wa maisha yako ndio utakuwa msaada kwa wengine. Wewe ndiye utakayewafanya wengine kukutafasiri. *8. PANGA MALENGO* Malengo ni taa, dira, ramani,kesho, mwelekeo, matumaini. Usiishi pasipo kujua kesho yako au pasipo kujua unapoelekea. *9. FANYA IBADA* Mahusiano yako pamoja na Mungu ndio chanzo cha kubarikiwa kwako. *10. KULA VIZURI* Mwili wako ni hekalu la Roho Mtakatifu kuwa makini sana kwenye ulaji wako. Usile chochote unachotaka Bali kula chochote kinachohitajika mwilini mwako. *11. KUWA MKARIMU* Hukuja duniani na kitu Bali vyote ulivyonavyo chanzo chake ni Mungu. Lakini pia vyote utaviacha duniani siku yako ya kufa itakapofika. Ukarimu ni akiba ya baadae kwa ajili yako na kizazi chako. *12. KUWA NA SHUKRANI* Ukitambua na kutafakari ulipotolewa na huyu Mungu hakika hautashindwa kusema asante kwake. Mshukuru Mungu kwa kila jambo hata kama mengine yanaenda vibaya endelea kumwambia Mungu asante. *MAISHA NI WATU*
    Like
    Love
    2
    0 Comments 0 Shares 230 Views

  • RATIBA KAMILI INAYOFUATA LIGI KUU NDIO HIYO
    RATIBA KAMILI INAYOFUATA LIGI KUU NDIO HIYO
    Like
    Love
    2
    2 Comments 0 Shares 96 Views

  • Dkt. Kagabo azungumzia Hali ya Mutale

    Daktari wa timu, Edwin Kagabo amesema jeraha alilopata kiungo mshambuliaji Joshua Mutale sio kubwa na tayari ameanza matibabu.

    Mon, Aug 19

    Mutale alipata maumivu ya nyama za paja katika mchezo wa jana wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Tabora United na kutolewa dakika ya 31.

    Dkt. Kagabo amesema Mutale amepata changamoto ya nyama za paja (hamstring muscles) lakini hali yake sio mbaya sana.

    "Mutale alipata maumivu ya nyama za paja na tayari ameanza matibabu ya awali na uchanguzi kuhusu ukubwa wa tatizo utakamilika baada ya saa 48 ingawa inaonekana sio kubwa," amesema Dk. Kagabo. #paulswai
    Dkt. Kagabo azungumzia Hali ya Mutale Daktari wa timu, Edwin Kagabo amesema jeraha alilopata kiungo mshambuliaji Joshua Mutale sio kubwa na tayari ameanza matibabu. Mon, Aug 19 Mutale alipata maumivu ya nyama za paja katika mchezo wa jana wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Tabora United na kutolewa dakika ya 31. Dkt. Kagabo amesema Mutale amepata changamoto ya nyama za paja (hamstring muscles) lakini hali yake sio mbaya sana. "Mutale alipata maumivu ya nyama za paja na tayari ameanza matibabu ya awali na uchanguzi kuhusu ukubwa wa tatizo utakamilika baada ya saa 48 ingawa inaonekana sio kubwa," amesema Dk. Kagabo. #paulswai
    Like
    Love
    5
    2 Comments 0 Shares 177 Views
  • Mechi zetu Tano Za Awali Ligi Kuu baaada ya ratiba kutoka

    Simba sc vs Tabora (Kmc Complex)
    Simba Sc vs Fountain Gate (Kmc C.)
    Simbasc vs Prisons (Sokoine)
    Simba Sc vs Azam (Benjamin Mkapa)
    Simba Sc Vs Namungo (Kmc C.)

    #paulswai
    Mechi zetu Tano Za Awali Ligi Kuu baaada ya ratiba kutoka🎌 ▫️Simba sc vs Tabora (Kmc Complex) ▫️Simba Sc vs Fountain Gate (Kmc C.) ▫️Simbasc vs Prisons (Sokoine) ▫️Simba Sc vs Azam (Benjamin Mkapa) ▫️Simba Sc Vs Namungo (Kmc C.) #paulswai
    Like
    Love
    6
    2 Comments 2 Shares 177 Views
More Results