• Tumemtoa kwa mkopo Omary Omary kwenda Mashujaa FC. Taarifa zaidi fungua Simba App. #NguvuMoja

    #paulswai
    ℹ️ Tumemtoa kwa mkopo Omary Omary kwenda Mashujaa FC. Taarifa zaidi fungua Simba App. #NguvuMoja #paulswai
    Like
    Love
    2
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·7 Visualizações
  • OMARY OMARY AMEPELEKWA MASHUJAA FC KWA MKOPO
    OMARY OMARY AMEPELEKWA MASHUJAA FC KWA MKOPO
    Like
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·6 Visualizações
  • Mwanzo 49:3-4
    [3]Reubeni, u mzaliwa wangu wa kwanza,
    Nguvu zangu, na malimbuko ya uwezo wangu.
    Umewapita wengine kwa ukuu na kwa nguvu.

    [4]Umeruka mpaka kama maji, basi usiwe na ukuu,
    Kwa sababu ulikipanda kitanda cha baba yako,
    Ukakitia unajisi; alikipandia kitanda changu

    Tazama athari ya uzinzi ulivyo mpotezea baraka za ukuu na nguvu Ruben

    Kwa kawaida baraka za ufalme urithi mzaliwa wa kwanza lakini sababu ya uzinzi alinyang'anywa baraka za agano za ukuu.

    Starehehe ya sekunde chache ilisababisha Ruben awa cost (awagharimu ) kizazi chake chote kwa sababu ya tamaa ya zinaa.

    Kumbukumbu la Torati 27:20
    [20]Na alaaniwe alalaye na mke wa baba yake, kwa kuwa amefunua mavazi ya babaye. Na watu wote waseme, Amina.

    Yakobo alishindwa kumpa baraka mwanae na tuona miaka ya mbele Mungu pia anapitisha kuwa sheria pia kwamba amelaaniwa alalaye kwenye kitanda cha baba yake hapa wameenda mbali kuwa amefunua mavazi ya mama yake.

    Point yangu kubwa ni namna uzinzi unavyo weza kukubebesha laana za makusudi na laana hizo zina cost kizazi na kizazi.

    Mtu ukisha okoka unapaswakuhakikisha uasherati na uzinzi havitajwi kwako kabisa kwani vikitajwa kwako unalitukanisha jina la kristo na matokeo yake unapokea laana za makusudi .

    Unajua ukikosa hofu ya Mungu, unaweza kufanya madudu ya ajabu!!! yasiyotegemewa kufanyika kwako. Wewe mwenyewe ni shahidi tu,jiangalie pale ulipokuwa huna hofu ya Mungu, kisha angalia yale uliyokuwa ukiyafanya… Ni hatariiii.!!!

    Lakini pia,bila shaka kulikuwa na ukaribu sana kati ya Bilha Sulia na Reubeni hata wakajikuta wakiangukia zinaa. Kwa sababu Rubeni hakumbaka bali walikubaliana kwa hiyo kulikuwa na ukaribu kati yao.

    Ebu fikiria pia hili,kisha jichukue wewe mwenyewe jiweke karibu sana kimazoea na mtu fulani awe mdada au mkaka ambaye ni ndugu wa damu kabisa. Kisha mkawa mnakaa nyumba moja,kisha chukulia mmezoeana sana kiasi kwamba unamfurahia na kuzungumza naye mara kwa mara muda ambao mnabakiaga wawili tu kwenye jumba kubwa namna hiyo.

    Unafikiri mwisho wake ni nini? Bila shaka ndo unasikia binadamu siyo ndugu na unaangukia kwenye zinaa na ukifanya hivyo siyo tu kuharibu kesho yako kama wanao pia wajamjua Mungu kuvunja hiyo laana inatembea mpka kizazi chako chote.

    *Sina lugha nzuri ya kuioma zinaa kama kitu chema katika maisha haya tunayo ishi .usipo kubali kulinda mwili wako shetani atautumia kama sehemu ya kupitisha ajenda zake matokeo yake utaangukia zambini.*

    Yatazame matokeo yq uzinzi wrqfu tazama faida yake kisha amua kipi ulicho amua kukiishi .

    Ruben wakati Yusuph watoto zake wanaingizwa kuwa kabira kutokana na ushujaa wa baba yao yeye Rubeni kutokana na uzinzi aliwaachia sehemu ya laana zake.

    Matokeo ya uzinzi hayakuathiri wewe tu yanaathiri mpaka kizazi chako kama usipo omba.

    Natamani uombe Mungu leo akutoe kabisa katika mateso ya uzinzi na uasherati kwani hayawezi kukusaidia zaidi ya kukuangamiza.

    Nashukuru sana kwa kusoma jumbe hii na Mungu akageuza moyo wako nitafarijika sana.

    Naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden)

    Karibu katika group letu la Whatsapp
    https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4

    Simu :0622625340
    #Restore men position
    #Build new eden
    Mwanzo 49:3-4 [3]Reubeni, u mzaliwa wangu wa kwanza, Nguvu zangu, na malimbuko ya uwezo wangu. Umewapita wengine kwa ukuu na kwa nguvu. [4]Umeruka mpaka kama maji, basi usiwe na ukuu, Kwa sababu ulikipanda kitanda cha baba yako, Ukakitia unajisi; alikipandia kitanda changu Tazama athari ya uzinzi ulivyo mpotezea baraka za ukuu na nguvu Ruben Kwa kawaida baraka za ufalme urithi mzaliwa wa kwanza lakini sababu ya uzinzi alinyang'anywa baraka za agano za ukuu. Starehehe ya sekunde chache ilisababisha Ruben awa cost (awagharimu ) kizazi chake chote kwa sababu ya tamaa ya zinaa. Kumbukumbu la Torati 27:20 [20]Na alaaniwe alalaye na mke wa baba yake, kwa kuwa amefunua mavazi ya babaye. Na watu wote waseme, Amina. Yakobo alishindwa kumpa baraka mwanae na tuona miaka ya mbele Mungu pia anapitisha kuwa sheria pia kwamba amelaaniwa alalaye kwenye kitanda cha baba yake hapa wameenda mbali kuwa amefunua mavazi ya mama yake. Point yangu kubwa ni namna uzinzi unavyo weza kukubebesha laana za makusudi na laana hizo zina cost kizazi na kizazi. Mtu ukisha okoka unapaswakuhakikisha uasherati na uzinzi havitajwi kwako kabisa kwani vikitajwa kwako unalitukanisha jina la kristo na matokeo yake unapokea laana za makusudi . Unajua ukikosa hofu ya Mungu, unaweza kufanya madudu ya ajabu!!! yasiyotegemewa kufanyika kwako. Wewe mwenyewe ni shahidi tu,jiangalie pale ulipokuwa huna hofu ya Mungu, kisha angalia yale uliyokuwa ukiyafanya… Ni hatariiii.!!! Lakini pia,bila shaka kulikuwa na ukaribu sana kati ya Bilha Sulia na Reubeni hata wakajikuta wakiangukia zinaa. Kwa sababu Rubeni hakumbaka bali walikubaliana kwa hiyo kulikuwa na ukaribu kati yao. Ebu fikiria pia hili,kisha jichukue wewe mwenyewe jiweke karibu sana kimazoea na mtu fulani awe mdada au mkaka ambaye ni ndugu wa damu kabisa. Kisha mkawa mnakaa nyumba moja,kisha chukulia mmezoeana sana kiasi kwamba unamfurahia na kuzungumza naye mara kwa mara muda ambao mnabakiaga wawili tu kwenye jumba kubwa namna hiyo. Unafikiri mwisho wake ni nini? Bila shaka ndo unasikia binadamu siyo ndugu na unaangukia kwenye zinaa na ukifanya hivyo siyo tu kuharibu kesho yako kama wanao pia wajamjua Mungu kuvunja hiyo laana inatembea mpka kizazi chako chote. *Sina lugha nzuri ya kuioma zinaa kama kitu chema katika maisha haya tunayo ishi .usipo kubali kulinda mwili wako shetani atautumia kama sehemu ya kupitisha ajenda zake matokeo yake utaangukia zambini.* Yatazame matokeo yq uzinzi wrqfu tazama faida yake kisha amua kipi ulicho amua kukiishi . Ruben wakati Yusuph watoto zake wanaingizwa kuwa kabira kutokana na ushujaa wa baba yao yeye Rubeni kutokana na uzinzi aliwaachia sehemu ya laana zake. Matokeo ya uzinzi hayakuathiri wewe tu yanaathiri mpaka kizazi chako kama usipo omba. Natamani uombe Mungu leo akutoe kabisa katika mateso ya uzinzi na uasherati kwani hayawezi kukusaidia zaidi ya kukuangamiza. Nashukuru sana kwa kusoma jumbe hii na Mungu akageuza moyo wako nitafarijika sana. Naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden) Karibu katika group letu la Whatsapp https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4 Simu :0622625340 #Restore men position #Build new eden
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·597 Visualizações
  • PETER TOSH (1944-1987)

    Mtunzi/mwimbaji wa Reggae, mwanaharakati Peter Tosh alizaliwa Winston Hubert McIntosh (aliyepewa jina la Waziri Mkuu wa Uingereza Winston Churchill) mnamo Oktoba 19, 1944, huko Westmoreland, parokia ya magharibi mwa Jamaika, na James McIntosh na Alvera Coke. Aliachwa na wazazi wote wawili na kulelewa na shangazi huko Grange Hill. Walakini, mnamo 1960, Tosh mwenye umri wa miaka 16 alihamia kwa hiari katika jamii ya Kingston's Trench Town na kuanza kuuza juisi ya miwa. Akiwa tayari amejikita katika kanisa la Kikristo la mahali hapo, ambako aliimba katika kwaya, Tosh alikuwa amejifunza kucheza chombo hicho na kufahamu gitaa. Pia alipata kuthaminiwa mapema kwa R&B na doo-wop kwa kusikiliza stesheni za redio zinazotumwa Karibea kutoka Marekani.

    Mnamo 1963, Tosh, Bob Marley, na Bunny Wailer walikuwa washiriki waanzilishi wa bendi ya Wailers huko Kingston. Tosh ndiye pekee katika kundi hilo aliyeweza kupiga ala za muziki, na aliwafundisha Wailers jinsi ya kupiga ala na mambo ya msingi ya muziki. Kundi hili lilichukua muziki wao unaotegemea Karibea hadi katika mdundo wa muziki wa mwamba wa hali ya juu ulioathiriwa na ufahamu wa kijamii na Rastafari. Wakosoaji wengi wa muziki walielezea sauti yao kama mwanzo wa reggae.

    Mnamo 1976, Tosh aliibuka kama mwimbaji pekee na mwanasiasa wa Jamaika alipotoa albamu yake ya kwanza iliyojitayarisha yenyewe ya Legalize It!  ambayo ilitaka kuhalalishwa kwa bangi. Albamu hiyo ilipigwa marufuku kutoka kwa matangazo ya redio huko Jamaica. Ilifikia kilele kwa no. 199 hata hivyo kwenye chati ya U.S. Billboard 200 na kubaki huko kwa wiki 2. Pia iliuza zaidi ya nakala milioni moja na ikasifiwa kuwa albamu bora ya Tosh. Albamu hii ilijumuisha "Igziabeher," "Ketchy Shuby," "Legalize It," "No Sympathy," "Till Your Well runs Dry," na "What'cha Gonna Do." Tosh pia alianzisha Bendi ya Reggae, Neno, Sauti, na Nguvu, mwaka huo huo. Sasa anayechukuliwa kuwa mwanaharakati wa Haki za Kibinadamu kwa utu mweusi na kiburi cha rangi, Tosh mwaka wa 1977, alitoa albamu yake ya pili, Haki sawa.

    Mnamo 1978, albamu ya Tosh Bush Doctor ilipata nafasi ya juu. 104 kwenye Billboard 200 na kusalia kwenye chati kwa wiki 20. Mwaka uliofuata, 1979, Mystic Man alifikia nambari. 123 na kukaa huko kwa wiki 10, huku mwaka wa 1981, Wanted Dread and Alive ilifikia nambari 91 na kusalia katika chati kwa wiki 13. Tosh alitoa Mama Africa mwaka wa 1983. Ilifikia nambari 59 na ikabaki thabiti kwa wiki 17. Mnamo 1984 Captured Lives  yake ilifikia nambari 152 na iliorodheshwa kwa wiki 8. Katika Tuzo za 27 za Mwaka za Grammy mnamo 1984, albamu iliteuliwa kwa "Rekodi Bora ya Reggae." Tosh pia alitumbuiza katika Uwanja wa Mashujaa wa Kitaifa wa Kingston kwenye Maonyesho ya Tuzo za Muziki za Rockers Magazine mnamo 1984. Katika Tuzo za 30 za Kila Mwaka za Grammy mnamo 1987, Tosh alishinda kwa "Rekodi Bora ya Reggae ya "No Nuclear War."

    Peter Tosh, mshiriki wa Rastafarism na baba wa watoto kumi, alikufa mnamo Septemba 11, 1987, katika Hospitali ya Chuo Kikuu cha West Indies Kingston baada ya kupigwa risasi na watu watatu wenye bunduki walioingia nyumbani kwake. Alikuwa 42.

    Mnamo mwaka wa 2012, Peter Tosh alitunukiwa baada ya kifo chake Tuzo la Ubora la Jamaika kama mwanamuziki mwenye kipawa na kipawa, mwigizaji, mwanafikra makini, na mwana asilia.
    PETER TOSH (1944-1987) Mtunzi/mwimbaji wa Reggae, mwanaharakati Peter Tosh alizaliwa Winston Hubert McIntosh (aliyepewa jina la Waziri Mkuu wa Uingereza Winston Churchill) mnamo Oktoba 19, 1944, huko Westmoreland, parokia ya magharibi mwa Jamaika, na James McIntosh na Alvera Coke. Aliachwa na wazazi wote wawili na kulelewa na shangazi huko Grange Hill. Walakini, mnamo 1960, Tosh mwenye umri wa miaka 16 alihamia kwa hiari katika jamii ya Kingston's Trench Town na kuanza kuuza juisi ya miwa. Akiwa tayari amejikita katika kanisa la Kikristo la mahali hapo, ambako aliimba katika kwaya, Tosh alikuwa amejifunza kucheza chombo hicho na kufahamu gitaa. Pia alipata kuthaminiwa mapema kwa R&B na doo-wop kwa kusikiliza stesheni za redio zinazotumwa Karibea kutoka Marekani. Mnamo 1963, Tosh, Bob Marley, na Bunny Wailer walikuwa washiriki waanzilishi wa bendi ya Wailers huko Kingston. Tosh ndiye pekee katika kundi hilo aliyeweza kupiga ala za muziki, na aliwafundisha Wailers jinsi ya kupiga ala na mambo ya msingi ya muziki. Kundi hili lilichukua muziki wao unaotegemea Karibea hadi katika mdundo wa muziki wa mwamba wa hali ya juu ulioathiriwa na ufahamu wa kijamii na Rastafari. Wakosoaji wengi wa muziki walielezea sauti yao kama mwanzo wa reggae. Mnamo 1976, Tosh aliibuka kama mwimbaji pekee na mwanasiasa wa Jamaika alipotoa albamu yake ya kwanza iliyojitayarisha yenyewe ya Legalize It!  ambayo ilitaka kuhalalishwa kwa bangi. Albamu hiyo ilipigwa marufuku kutoka kwa matangazo ya redio huko Jamaica. Ilifikia kilele kwa no. 199 hata hivyo kwenye chati ya U.S. Billboard 200 na kubaki huko kwa wiki 2. Pia iliuza zaidi ya nakala milioni moja na ikasifiwa kuwa albamu bora ya Tosh. Albamu hii ilijumuisha "Igziabeher," "Ketchy Shuby," "Legalize It," "No Sympathy," "Till Your Well runs Dry," na "What'cha Gonna Do." Tosh pia alianzisha Bendi ya Reggae, Neno, Sauti, na Nguvu, mwaka huo huo. Sasa anayechukuliwa kuwa mwanaharakati wa Haki za Kibinadamu kwa utu mweusi na kiburi cha rangi, Tosh mwaka wa 1977, alitoa albamu yake ya pili, Haki sawa. Mnamo 1978, albamu ya Tosh Bush Doctor ilipata nafasi ya juu. 104 kwenye Billboard 200 na kusalia kwenye chati kwa wiki 20. Mwaka uliofuata, 1979, Mystic Man alifikia nambari. 123 na kukaa huko kwa wiki 10, huku mwaka wa 1981, Wanted Dread and Alive ilifikia nambari 91 na kusalia katika chati kwa wiki 13. Tosh alitoa Mama Africa mwaka wa 1983. Ilifikia nambari 59 na ikabaki thabiti kwa wiki 17. Mnamo 1984 Captured Lives  yake ilifikia nambari 152 na iliorodheshwa kwa wiki 8. Katika Tuzo za 27 za Mwaka za Grammy mnamo 1984, albamu iliteuliwa kwa "Rekodi Bora ya Reggae." Tosh pia alitumbuiza katika Uwanja wa Mashujaa wa Kitaifa wa Kingston kwenye Maonyesho ya Tuzo za Muziki za Rockers Magazine mnamo 1984. Katika Tuzo za 30 za Kila Mwaka za Grammy mnamo 1987, Tosh alishinda kwa "Rekodi Bora ya Reggae ya "No Nuclear War." Peter Tosh, mshiriki wa Rastafarism na baba wa watoto kumi, alikufa mnamo Septemba 11, 1987, katika Hospitali ya Chuo Kikuu cha West Indies Kingston baada ya kupigwa risasi na watu watatu wenye bunduki walioingia nyumbani kwake. Alikuwa 42. Mnamo mwaka wa 2012, Peter Tosh alitunukiwa baada ya kifo chake Tuzo la Ubora la Jamaika kama mwanamuziki mwenye kipawa na kipawa, mwigizaji, mwanafikra makini, na mwana asilia.
    Love
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·598 Visualizações
  • *Roho mtakatifu kama mlinzi wetu*

    Isaya 4:5-6
    [5]Tena juu ya makao yote ya mlima Sayuni, na juu ya makusanyiko yake, BWANA ataumba *wingu na moshi wakati wa mchana, na mwangaza wa miali ya moto wakati wa usiku;* kwa maana juu ya utukufu wote itatandazwa sitara.
    .
    [6]Kisha kutakuwa na hema kuwa uvuli wakati wa mchana kwa sababu ya hari, na kuwa mahali pa kukimbilia na kujificha wakati wa tufani na mvua.


    Wingu linalozungumzwa hapo kwenye agano la kale ni *Roho mtakatifu*

    Kumbe ukimkubali Kristo na kuuoshi wokovu roho wa Bwana anakuwa ndani yako na kazi moja wapo ya huyo *roho ni kukulinda wewe ulieamini*

    Mtu aliye mshika kristo ns kumuamini na kumpokea roho wake wakati wa mchana anafunikwa na kutulizwa na *Bwana na wakati wa usiku anamulikwa na Bwana*


    Kumbe kama roho wa Mungu anatumulika na kutukinga nini kinafanya watu wa Mungu tushindwe kuziishi ahadi ,*tumemuwekea mipaka roho mtakatifu* tukiamini *kunena kwa lugha ndo kipawa na jukumu la roho mtakatifu*

    Sasa tukitizama wakati taifa la islaeri limetoka misri lilikuwa linaongozwa na wingu la Bwana.

    Kutoka 13:21-22
    [21] *BWANA naye akawatangulia mchana ndani ya wingu mfano wa nguzo, ili awaongoze njia*; na usiku, *ndani ya moto mfano wa nguzo, ili kuwapa nuru*; wapate kusafiri mchana na usiku;*

    [22]ile nguzo ya wingu *haikuondoka mchana, wala ile nguzo ya moto haikuondoka usiku,* mbele ya hao watu.

    Hivi ndivyo roho wa Mungu anavyo paswa kukuongoza wakati wa mchana na wakati wa usiku .

    Ukiwa na roho wa Bwana na akawa rafiki yako na kiongozi wako utafanya biashara kwa kubahatisha badala yake yeye atakuongoza uza kitu chenye wateja.

    Unaweza mkaribisha jirani yako kujifunza neno na sisi kwa kujoin link hapa chini
    https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4

    Walokole tunakosa jicho la kuona fursa sababu tumemuwekea mipaka roho mtakatifu na wakati mwingine anatupa wazo tunalizimisha kwa kuto kujiamini na matokeo yake tunabaki jinsi tulivyo.

    Mtu aliye okoka na *akakubali kutii ndiye anayepaswa kula mema ya nchi* lakini imekuwa tofauti na uhalisia mtu ameokoka anaoshi dhana ya kuamini kuwa atakula kwa jasho iyo ilifanya kazi kabla ya wewe kuokoka saizi wewe unakula kwa wazo la kiMungu linalo shushwa na roho mtakatifu na wewe ukichukua hatua linageuka na kuleta matokeo .

    Musa aliijua siri hii ndo mana pasipo wingu akuenda mbele au kurudi nyuma.

    Kutoka 40:37
    [37]bali kama lile wingu halikuinuliwa, wakati ule hawakusafiri hata siku ile lilipoinuliwa tena.

    Cha kujiuliza mimi na wewe ni hatua ngapi yumepiga bila kuongozwa na roho mtakatifu na tukapelekea kupoteza thamani zetu .

    Iko haja turudi kuitafuta toba kwani ni hatua tulienda mbele lakini kumbe ni shetani *alitutenda tu kwa akiri*

    Ni kweli tuliyaona matokeo lakini hayakuwa ya bwana turudi tuitafute tona kwani ya matokeo ya Bwana yanakuja.

    Unasema na sema nini muulize samweli alipo enda nyumbani kwa mzee Yese aliletewa watu 6 ambao ni expert na ni mashujaa kwa kuwaona na yey mwenyewe akazani kuwa yupo mmoja wapo lakini msikie bwana alivyo mwambia

    1 Samweli 16:7
    [7]Lakini BWANA akamwambia Samweli, Usimtazame uso wake, wala urefu wa kimo chake; kwa maana mimi nimemkataa. BWANA haangalii kama binadamu aangaliavyo; maana wanadamu huitazama sura ya nje, bali BWANA huutazama moyo.

    Samweli aljvyo mtazama Abnadabu aliona sifa zote za kuwa mfalme lakini roho akuona kama samweli alivyo kuwa anaona.

    Kumbe hata sisi hatupaswi kuingia kazini ,au kwenye biashara hata kwenye kilimo sababu tu watu wamesema kilimo cha matikiti kinatoa tunapaswa kutazama *Bwana anasema nini*

    Yakobo alimtazama bwana na bwana akamwambia nenda nami nitakuwa pamoja nawe na kukurejesha tena .

    Ok ahsante sana tusiache kuomba toba ungana nami toba hii

    *BWANA YESU TUNAKUJA MBELE ZAKO KUNA HATUA NILISOGEA BILA WEWE ROHO NAOMBA TOBA NISAMEHE YESU NA TANGU LEO NAOMBA ROHO WAKO MTAKATIFU ATEMBEE NA MIMI KAMA MUSA NA WANAISLAERI WALIVYO TEMBEA NA WINGU LAKO WAKATI WA MCHANA UNIPE KIVULI NA WAKATI WA USIKU UNIPE MWANGA SAWA SAWA NA KWENYE MAISHA YANGU* .AMEN

    Ahsante sana naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden ministry)

    Unaweza mkaribisha jirani yako kujifunza neno na sisi kwa kujoin link hapa chini
    https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4

    #Restoremenposition
    #build new eden
    #youth reformation and revival
    *Roho mtakatifu kama mlinzi wetu* Isaya 4:5-6 [5]Tena juu ya makao yote ya mlima Sayuni, na juu ya makusanyiko yake, BWANA ataumba *wingu na moshi wakati wa mchana, na mwangaza wa miali ya moto wakati wa usiku;* kwa maana juu ya utukufu wote itatandazwa sitara. . [6]Kisha kutakuwa na hema kuwa uvuli wakati wa mchana kwa sababu ya hari, na kuwa mahali pa kukimbilia na kujificha wakati wa tufani na mvua. Wingu linalozungumzwa hapo kwenye agano la kale ni *Roho mtakatifu* Kumbe ukimkubali Kristo na kuuoshi wokovu roho wa Bwana anakuwa ndani yako na kazi moja wapo ya huyo *roho ni kukulinda wewe ulieamini* Mtu aliye mshika kristo ns kumuamini na kumpokea roho wake wakati wa mchana anafunikwa na kutulizwa na *Bwana na wakati wa usiku anamulikwa na Bwana* Kumbe kama roho wa Mungu anatumulika na kutukinga nini kinafanya watu wa Mungu tushindwe kuziishi ahadi ,*tumemuwekea mipaka roho mtakatifu* tukiamini *kunena kwa lugha ndo kipawa na jukumu la roho mtakatifu* Sasa tukitizama wakati taifa la islaeri limetoka misri lilikuwa linaongozwa na wingu la Bwana. Kutoka 13:21-22 [21] *BWANA naye akawatangulia mchana ndani ya wingu mfano wa nguzo, ili awaongoze njia*; na usiku, *ndani ya moto mfano wa nguzo, ili kuwapa nuru*; wapate kusafiri mchana na usiku;* [22]ile nguzo ya wingu *haikuondoka mchana, wala ile nguzo ya moto haikuondoka usiku,* mbele ya hao watu. Hivi ndivyo roho wa Mungu anavyo paswa kukuongoza wakati wa mchana na wakati wa usiku . Ukiwa na roho wa Bwana na akawa rafiki yako na kiongozi wako utafanya biashara kwa kubahatisha badala yake yeye atakuongoza uza kitu chenye wateja. Unaweza mkaribisha jirani yako kujifunza neno na sisi kwa kujoin link hapa chini https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4 Walokole tunakosa jicho la kuona fursa sababu tumemuwekea mipaka roho mtakatifu na wakati mwingine anatupa wazo tunalizimisha kwa kuto kujiamini na matokeo yake tunabaki jinsi tulivyo. Mtu aliye okoka na *akakubali kutii ndiye anayepaswa kula mema ya nchi* lakini imekuwa tofauti na uhalisia mtu ameokoka anaoshi dhana ya kuamini kuwa atakula kwa jasho iyo ilifanya kazi kabla ya wewe kuokoka saizi wewe unakula kwa wazo la kiMungu linalo shushwa na roho mtakatifu na wewe ukichukua hatua linageuka na kuleta matokeo . Musa aliijua siri hii ndo mana pasipo wingu akuenda mbele au kurudi nyuma. Kutoka 40:37 [37]bali kama lile wingu halikuinuliwa, wakati ule hawakusafiri hata siku ile lilipoinuliwa tena. Cha kujiuliza mimi na wewe ni hatua ngapi yumepiga bila kuongozwa na roho mtakatifu na tukapelekea kupoteza thamani zetu . Iko haja turudi kuitafuta toba kwani ni hatua tulienda mbele lakini kumbe ni shetani *alitutenda tu kwa akiri* Ni kweli tuliyaona matokeo lakini hayakuwa ya bwana turudi tuitafute tona kwani ya matokeo ya Bwana yanakuja. Unasema na sema nini muulize samweli alipo enda nyumbani kwa mzee Yese aliletewa watu 6 ambao ni expert na ni mashujaa kwa kuwaona na yey mwenyewe akazani kuwa yupo mmoja wapo lakini msikie bwana alivyo mwambia 1 Samweli 16:7 [7]Lakini BWANA akamwambia Samweli, Usimtazame uso wake, wala urefu wa kimo chake; kwa maana mimi nimemkataa. BWANA haangalii kama binadamu aangaliavyo; maana wanadamu huitazama sura ya nje, bali BWANA huutazama moyo. Samweli aljvyo mtazama Abnadabu aliona sifa zote za kuwa mfalme lakini roho akuona kama samweli alivyo kuwa anaona. Kumbe hata sisi hatupaswi kuingia kazini ,au kwenye biashara hata kwenye kilimo sababu tu watu wamesema kilimo cha matikiti kinatoa tunapaswa kutazama *Bwana anasema nini* Yakobo alimtazama bwana na bwana akamwambia nenda nami nitakuwa pamoja nawe na kukurejesha tena . Ok ahsante sana tusiache kuomba toba ungana nami toba hii *BWANA YESU TUNAKUJA MBELE ZAKO KUNA HATUA NILISOGEA BILA WEWE ROHO NAOMBA TOBA NISAMEHE YESU NA TANGU LEO NAOMBA ROHO WAKO MTAKATIFU ATEMBEE NA MIMI KAMA MUSA NA WANAISLAERI WALIVYO TEMBEA NA WINGU LAKO WAKATI WA MCHANA UNIPE KIVULI NA WAKATI WA USIKU UNIPE MWANGA SAWA SAWA NA KWENYE MAISHA YANGU* .AMEN Ahsante sana naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden ministry) Unaweza mkaribisha jirani yako kujifunza neno na sisi kwa kujoin link hapa chini https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4 #Restoremenposition #build new eden #youth reformation and revival
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·641 Visualizações
  • Mtu asiye wajibika ni mtu wa visingizio sana .

    Siku ya jana nimebahatika kusoma habari ya dada mmojaaliye itwa Herben Girma ambaye alikuwa haoni wala asikii lakini alikuwa dada wa kwanza kumaliza shahada ya sheria katika chuo kikuu maarufu sana nchini marekani na duniani si kingine bali ni havard university.

    Yeye binafsi alikuwa naulemavu huo lakini pia mama yake Haben alikuwa mkimbizi kutoka Eritea na alikimbia kutokana na vita iliyo kuwa imetokana miaka mingi huko nyuma.

    Kutokana na ulemavu wake na pia kutokana na familia aliyo tokea tulitegemea asubiri kupewa msaada na wasamalia wema ila yeye alikuwa tofauti aliamua kuwajibika kwa maisha yake .

    Herben anasema aliamua kuwajibika kikamilifu katika maisha yake namnukuu *"Nilikuwa na ndoto ya kuwa mwanasheria maarufu sana na hakuona kinacho weza kumzuia na alifanikisha kufika ndoto hiyo ."*

    Kama ujajoin group karibu ujoin ili tuweze jifunza pamoja .
    https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4
    .
    Kwakawaida kama angejionea huruma basi angebaki kuwa omba omba ila kwakuwa aliweza kuuwajibisha ubongo wake ukakubali na kumfanya mkuu.

    Kadiri unavyo laumu ndivyo unavyo uambia ubongo wako wewe siyo wa kuwajibika na wenyewe unachukua hivyo hivyo.

    Watu wa aina hii mdo watu wanao panga mipango na wanategemea wengine kuwatimilizia malengo yao.

    Ok unasema nini ngoja nikuonyeshe kwenye biblia jinsi watu walivyo taka kujitetea kuwajibika na jinsi Mungu alivyo wajibu.

    1.wakati Mungu anauona uwezo wa kishujaa na kikombozi ndani ya Gidion yeye akuona hivyo yeye alikuwa anaona kama awezi kuwajibika juu ya kazi aliyo itiwa.

    Waamuzi 6:15

    [15]Akamwambia, Ee Bwana, nitawaokoa Israeli kwa jinsi gani? *Tazama, jamaa zangu ndio walio maskini sana katika Manase, na mimi ndimi niliye mdogo katika nyumba ya baba yangu*

    Gidion alikuwa anazani sababu ya kutoka katika koo masikini na ndogo kabisa lakini kumbe anawajibu mkubwa sana wakufanyika mkombozi na mwamuzi .

    Haikujalisha kuwa ametokea katika mazingira gani yeye akafanyika lango la uamsho kwa wenzake na kuwakomboa wenzake wote .

    Kwa uwezo gani ule ule wa kutumia upinde na mishare na akashinda .

    Ok kuna hadithi maarufu sana katika agano la kare inayo muhusu Daudi na Goliath ambayo Daudi akuwa war expert wala train soldier lakini Goliath alikua skill and trained soldier mwenye medani za kutosha lakini aliangushwa na Daudi kwa kutumia kombeo.

    Kumbe kuwajibika hakutokani na kiasi unacho pata bali kunatokana na utayari wako wa kuwajibika .

    Siku utakayo amua kuanza kuwajibika ndo siku utayo anza kuwa mshindi .

    Ukianza kuthubutu Mungu ataanza kukutumia katika ukuu ule ule na kukufanya kuwa moja ya wakuu katika taifa husika.

    Ok i hope umejifunza kitu na kujua kuwa hakuna kinacho weza kukuzuia ukiwa na jambo lako na hakika utaweza kuanza kuwajibika acha kupiga kelele sana maisha ni yako.

    Take care.naitwa sylvester kutoka (build new eden) ni mwalimu wa neno la Mungu .

    Kama ujajoin group karibu ujoin ili tuweze jifunza pamoja .
    https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4
    .
    #build new eden
    #restore men position
    Mtu asiye wajibika ni mtu wa visingizio sana . Siku ya jana nimebahatika kusoma habari ya dada mmojaaliye itwa Herben Girma ambaye alikuwa haoni wala asikii lakini alikuwa dada wa kwanza kumaliza shahada ya sheria katika chuo kikuu maarufu sana nchini marekani na duniani si kingine bali ni havard university. Yeye binafsi alikuwa naulemavu huo lakini pia mama yake Haben alikuwa mkimbizi kutoka Eritea na alikimbia kutokana na vita iliyo kuwa imetokana miaka mingi huko nyuma. Kutokana na ulemavu wake na pia kutokana na familia aliyo tokea tulitegemea asubiri kupewa msaada na wasamalia wema ila yeye alikuwa tofauti aliamua kuwajibika kwa maisha yake . Herben anasema aliamua kuwajibika kikamilifu katika maisha yake namnukuu *"Nilikuwa na ndoto ya kuwa mwanasheria maarufu sana na hakuona kinacho weza kumzuia na alifanikisha kufika ndoto hiyo ."* Kama ujajoin group karibu ujoin ili tuweze jifunza pamoja . https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4 . Kwakawaida kama angejionea huruma basi angebaki kuwa omba omba ila kwakuwa aliweza kuuwajibisha ubongo wake ukakubali na kumfanya mkuu. Kadiri unavyo laumu ndivyo unavyo uambia ubongo wako wewe siyo wa kuwajibika na wenyewe unachukua hivyo hivyo. Watu wa aina hii mdo watu wanao panga mipango na wanategemea wengine kuwatimilizia malengo yao. Ok unasema nini ngoja nikuonyeshe kwenye biblia jinsi watu walivyo taka kujitetea kuwajibika na jinsi Mungu alivyo wajibu. 1.wakati Mungu anauona uwezo wa kishujaa na kikombozi ndani ya Gidion yeye akuona hivyo yeye alikuwa anaona kama awezi kuwajibika juu ya kazi aliyo itiwa. Waamuzi 6:15 [15]Akamwambia, Ee Bwana, nitawaokoa Israeli kwa jinsi gani? *Tazama, jamaa zangu ndio walio maskini sana katika Manase, na mimi ndimi niliye mdogo katika nyumba ya baba yangu* Gidion alikuwa anazani sababu ya kutoka katika koo masikini na ndogo kabisa lakini kumbe anawajibu mkubwa sana wakufanyika mkombozi na mwamuzi . Haikujalisha kuwa ametokea katika mazingira gani yeye akafanyika lango la uamsho kwa wenzake na kuwakomboa wenzake wote . Kwa uwezo gani ule ule wa kutumia upinde na mishare na akashinda . Ok kuna hadithi maarufu sana katika agano la kare inayo muhusu Daudi na Goliath ambayo Daudi akuwa war expert wala train soldier lakini Goliath alikua skill and trained soldier mwenye medani za kutosha lakini aliangushwa na Daudi kwa kutumia kombeo. Kumbe kuwajibika hakutokani na kiasi unacho pata bali kunatokana na utayari wako wa kuwajibika . Siku utakayo amua kuanza kuwajibika ndo siku utayo anza kuwa mshindi . Ukianza kuthubutu Mungu ataanza kukutumia katika ukuu ule ule na kukufanya kuwa moja ya wakuu katika taifa husika. Ok i hope umejifunza kitu na kujua kuwa hakuna kinacho weza kukuzuia ukiwa na jambo lako na hakika utaweza kuanza kuwajibika acha kupiga kelele sana maisha ni yako. Take care.naitwa sylvester kutoka (build new eden) ni mwalimu wa neno la Mungu . Kama ujajoin group karibu ujoin ili tuweze jifunza pamoja . https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4 . #build new eden #restore men position
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·670 Visualizações
  • UAMSHO.
    Maana ni kurudi kwenye uzima.
    Ni mminiko wa nguvu na uwepo wa Mungu ndani ya mtu uletao kibali ,neema na baraka.

    Uamsho ni uziilisho wa roho mtakatifu ndani ya mtu na kuleta matokeo chanya.

    Kwa kawaida tunaamsha kitu kilicho lala ,ko lengo la somo hili ni kurejesha uzimani nafsi ya mtu mmoja mmoja .

    Uamsho ni jambo linalo anza na mtu kisha matokeo ya uamsho ndiyo yanayo tukuta sote.

    Mfano mfalme Yosiah alilisi ufalme baada ya baba yake kufa na baba yake alikuwa mfalme Ahazia ambaye akufanya mema machoni pa Bwana.

    2 Wafalme 22:13
    [13]Enendeni, mkamwulize BWANA kwa ajili yangu, na kwa ajili ya watu hawa, na kwa ajili ya Yuda yote, katika habari za maneno ya kitabu hiki kilichoonekana; kwa kuwa hasira ya BWANA ni kubwa aliyotukasirikia, kwa sababu baba zetu hawakuyaangalia maneno ya kitabu hiki, kufanya kama hayo yote tuliyoandikiwa.

    Baada ya kuuliza sasa sikiliza jawabu alilo pewa .

    [16]BWANA asema hivi, Tazama, mimi nitaleta uovu juu ya mahali hapa, na juu yao wakaao hapa, naam, maneno yote ya kitabu alichokisoma mfalme wa Yuda;

    [17]kwa sababu wameniacha mimi, wameifukizia uvumba miungu mingine, ili wapate kunikasirisha kwa kazi yote ya mikono yao; kwa hiyo hasira yangu itawaka juu ya mahali hapa, isizimike

    Kumbe kuna mambo unayapatia sababu tu walio kutangulia waliyafanya ndio maana tunahitqji uamsho.

    muda wa uamsho ndani ya nyumba ya baba yake na taifa lote ulifika .

    Kilicho fanya yuda uqmsho uje ni baada ya kusikia habari za kitabu cha torati ambalo leo hii ndio neno la Mungu.

    2wafalme 22:18-20.

    Ukisoma hapo utaona alivho kifanya baada ya kusikia habari za kitabu aliamua kukusanya wafalme wa yuda wote kwa ajiri ya kuwaambia .

    Na alipo wakusanya kwa kuwa uamsho ni wa mtu akafanya agano lake na Mungu.

    Yeye aliazimia mambo kazaa moja

    1.nikumfuata Bwana
    2.kuyashika maagizo yote.
    3.kuzifuata shuhuda zake .
    4.kuzifuata na kutii amri zake .
    5.navyote hivi atavifanya kwa moyo wote na kwa roho yake yote.

    Baada ya mfalme Yosiah kufanya agano na Mungu wake matokeoa yake wengine wote wakalifuata lile agano .

    Uamsho ndivyo unavyo fanyika ni lazima wewe ulie amua kuwa mfuasi wa kristo uweke agano na Mungu ndipo matokeo yake wengine watakuja ndani ya agano lako.

    Na ndio wanavyo fanya wote waacha alama katika dunia.

    Sababu ya uchovu wa imani makanisa tunazani uamsho ni wa kila mtu na kuhimizana mara utasikia ibada ya uamsho no wafundishe watu wamjue roho mtakatifu lazima watakuwa wameamka.

    Nakukumbusha kuwa huyu mtu yeye alikuwa mwema na aliahidiwa kustarehe na kuishi maisha ya amani mpaka anakufa .

    Ukiendelea kusoma utaona jama alivunja sanamu zote ,ambazo baba zake waliweka kuziabudu alivunja,akawatoa makuhani wote waliowekwa, akawatoa makuhani wote ,mahanithi wote wanawake wafuma mapazia.

    Kama watu tunataka kuwa chanzo cha uamsho lazima lazima ukubali kuacha asili yako na kama yosiah alivyo acha na kumfuatq bwana.

    Kuna mtu mwingine pia anaitwa Yoshua pia alipo taka kurudisha kanisa maala pake aliwapa chaguo lakini yeye alikuwa na azimio lake ndani ya moyo wake.

    Yoshua 24:15-16
    [15]Nanyi kama mkiona ni vibaya kumtumikia BWANA, chagueni hivi leo mtakayemtumikia; kwamba ni miungu ile ambayo baba zenu waliitumikia ng’ambo ya Mto, au kwamba ni miungu ya wale Waamori ambao mnakaa katika nchi yao; lakini mimi na nyumba yangu tutamtumikia BWANA.
    .
    [16]Hao watu wakajibu wakasema, Hasha! Tusimwache BWANA, ili kuitumikia miungu mingine;

    Islaeri walipo anza kufuata miungu mingine alilazimika kuonyesha njia na njia hiyo ni kuwapa watu chaguo huku yeye akifanya agano na Mungu.

    Mchungaji kabla ujawaza kuhusu uamsho jiulize wewe je umeazimia kumfuata bwana kama shujaaa wako au na wewe una mashaka.

    Kama unapenda kujifunza zaidi neno karibu katika group la watsap.
    https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4

    Ok naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (Build new eden)

    #build new eden
    #restore men position
    UAMSHO. Maana ni kurudi kwenye uzima. Ni mminiko wa nguvu na uwepo wa Mungu ndani ya mtu uletao kibali ,neema na baraka. Uamsho ni uziilisho wa roho mtakatifu ndani ya mtu na kuleta matokeo chanya. Kwa kawaida tunaamsha kitu kilicho lala ,ko lengo la somo hili ni kurejesha uzimani nafsi ya mtu mmoja mmoja . Uamsho ni jambo linalo anza na mtu kisha matokeo ya uamsho ndiyo yanayo tukuta sote. Mfano mfalme Yosiah alilisi ufalme baada ya baba yake kufa na baba yake alikuwa mfalme Ahazia ambaye akufanya mema machoni pa Bwana. 2 Wafalme 22:13 [13]Enendeni, mkamwulize BWANA kwa ajili yangu, na kwa ajili ya watu hawa, na kwa ajili ya Yuda yote, katika habari za maneno ya kitabu hiki kilichoonekana; kwa kuwa hasira ya BWANA ni kubwa aliyotukasirikia, kwa sababu baba zetu hawakuyaangalia maneno ya kitabu hiki, kufanya kama hayo yote tuliyoandikiwa. Baada ya kuuliza sasa sikiliza jawabu alilo pewa . [16]BWANA asema hivi, Tazama, mimi nitaleta uovu juu ya mahali hapa, na juu yao wakaao hapa, naam, maneno yote ya kitabu alichokisoma mfalme wa Yuda; [17]kwa sababu wameniacha mimi, wameifukizia uvumba miungu mingine, ili wapate kunikasirisha kwa kazi yote ya mikono yao; kwa hiyo hasira yangu itawaka juu ya mahali hapa, isizimike Kumbe kuna mambo unayapatia sababu tu walio kutangulia waliyafanya ndio maana tunahitqji uamsho. muda wa uamsho ndani ya nyumba ya baba yake na taifa lote ulifika . Kilicho fanya yuda uqmsho uje ni baada ya kusikia habari za kitabu cha torati ambalo leo hii ndio neno la Mungu. 2wafalme 22:18-20. Ukisoma hapo utaona alivho kifanya baada ya kusikia habari za kitabu aliamua kukusanya wafalme wa yuda wote kwa ajiri ya kuwaambia . Na alipo wakusanya kwa kuwa uamsho ni wa mtu akafanya agano lake na Mungu. Yeye aliazimia mambo kazaa moja 1.nikumfuata Bwana 2.kuyashika maagizo yote. 3.kuzifuata shuhuda zake . 4.kuzifuata na kutii amri zake . 5.navyote hivi atavifanya kwa moyo wote na kwa roho yake yote. Baada ya mfalme Yosiah kufanya agano na Mungu wake matokeoa yake wengine wote wakalifuata lile agano . Uamsho ndivyo unavyo fanyika ni lazima wewe ulie amua kuwa mfuasi wa kristo uweke agano na Mungu ndipo matokeo yake wengine watakuja ndani ya agano lako. Na ndio wanavyo fanya wote waacha alama katika dunia. Sababu ya uchovu wa imani makanisa tunazani uamsho ni wa kila mtu na kuhimizana mara utasikia ibada ya uamsho no wafundishe watu wamjue roho mtakatifu lazima watakuwa wameamka. Nakukumbusha kuwa huyu mtu yeye alikuwa mwema na aliahidiwa kustarehe na kuishi maisha ya amani mpaka anakufa . Ukiendelea kusoma utaona jama alivunja sanamu zote ,ambazo baba zake waliweka kuziabudu alivunja,akawatoa makuhani wote waliowekwa, akawatoa makuhani wote ,mahanithi wote wanawake wafuma mapazia. Kama watu tunataka kuwa chanzo cha uamsho lazima lazima ukubali kuacha asili yako na kama yosiah alivyo acha na kumfuatq bwana. Kuna mtu mwingine pia anaitwa Yoshua pia alipo taka kurudisha kanisa maala pake aliwapa chaguo lakini yeye alikuwa na azimio lake ndani ya moyo wake. Yoshua 24:15-16 [15]Nanyi kama mkiona ni vibaya kumtumikia BWANA, chagueni hivi leo mtakayemtumikia; kwamba ni miungu ile ambayo baba zenu waliitumikia ng’ambo ya Mto, au kwamba ni miungu ya wale Waamori ambao mnakaa katika nchi yao; lakini mimi na nyumba yangu tutamtumikia BWANA. . [16]Hao watu wakajibu wakasema, Hasha! Tusimwache BWANA, ili kuitumikia miungu mingine; Islaeri walipo anza kufuata miungu mingine alilazimika kuonyesha njia na njia hiyo ni kuwapa watu chaguo huku yeye akifanya agano na Mungu. Mchungaji kabla ujawaza kuhusu uamsho jiulize wewe je umeazimia kumfuata bwana kama shujaaa wako au na wewe una mashaka. Kama unapenda kujifunza zaidi neno karibu katika group la watsap. https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4 Ok naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (Build new eden) #build new eden #restore men position
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·704 Visualizações
  • Power of choise part 4.

    Neno msingi.Angalia nawawekea mbele yako yaani baraka na laana. Kumbu kumbu la torati 11:26

    Ukikosea kuchagua au kuongozwa na nguvu ya kuchagua umekosea maisha.

    Baada ya kuwaangalia mashujaa kazaa walio pata matokeo kwa kujiongoza kuchagua badi tunapaswa kurudi kuangalia pia walio kosea kuchagua na matokeo waliyo yapata.

    Kumbuka nikisema nguvu ya kuchagua namaanisha jambo kubwa sana rohoni kuliko kuwaza kuchagua mweza .

    Nazungumzia kanuni thabiti ya maisha ambayo kama ukiijua na kuiishi lazima matokeo yakufuate.

    1.Sauil
    Sauli alipo chagua kito kutiii sauti ya Mungu akapelekea kupoteza nafasi ya kifalme kwa sababu ya tamaa ya siku moja ..

    Bahati mbaya sana wengi sana tukikosea kuchagua si rahisi kuomba toba kwa kuwa tunakuwa na mbinu nyingi sana za kujitetea.


    1 Samweli 13:11-14
    [11]Samweli akasema, Umefanya nini? Naye Sauli akasema, Ni kwa sababu naliona ya kuwa watu wanatawanyika mbali nami, na wewe hukuja siku zile zilizonenwa; nao Wafilisti wamekusanyika pamoja huko Mikmashi;

    [12]basi nikasema, Wafilisti watanishukia sasa mpaka Gilgali, kabla sijaomba fadhili za BWANA; kwa hiyo nalijishurutisha, nikatoa sadaka ya kuteketezwa.
    .
    [13]Naye Samweli akamwambia Sauli, Umefanya upumbavu; hukuishika amri ya BWANA, Mungu wako, aliyokuamuru; kwa maana BWANA angaliufanya ufalme wako kuwa imara juu ya Israeli milele.

    [14]Lakini sasa ufalme wako hautadumu; BWANA amejitafutia mtu aupendezaye moyo wake, naye BWANA amemwamuru yeye kuwa mkuu juu ya watu wake, kwa sababu wewe hukulishika neno lile BWANA alilokuamuru.


    Hii mara ya kwanza Sauli anajiongoza vibaya katika nguvu iliyo ndani yake inayo itwa nguvu ya kuchagua.

    1 Samweli 15:23
    [23]Kwani kuasi ni kama dhambi ya uchawi,
    Na ukaidi ni kama ukafiri na vinyago;
    Kwa kuwa umelikataa neno la BWANA,
    Yeye naye amekukataa wewe usiwe mfalme.

    Anashindwa pia kufuata maelekezo si kwa sababu anapenda bali sababu ya kuto kuwa na nguvu inayo kuwezesha kuchagua.

    Na ili uchague lazima uwe na roho mtakatifu kati ya nguvu anayo kupa ni nguvu ya kuchagua .

    Bahati mbaya sana akina sauli wako wengi duniani wanafanya kile wasicho agizwa kwa tamaa zao arafu wanasema ni kwa ajiri ya injiri .

    Mfano mwepesi huwezi kuwa dada au kaka wa plays arafu kutwa unazini arafu utegemee Mungu atakukubali kwani dhambi ni matokeo ya kukosa nguvu ya kuchagua.

    Natamani sana vijana tujue siri ya uyu roho ambaye ndiye aliyetupa Nguvu hii ya kuchagua na jinsi inavyo weza badilisha Maisha yetu.

    Ukiweza kuiishi nguvu hii inayo itwa kuchagua basi uneyaweza maisha .

    Ahsantenaitwa Sylvester Mwakabende Kutoka (build new eden )

    #build new eden
    #restore men position
    Power of choise part 4. Neno msingi.Angalia nawawekea mbele yako yaani baraka na laana. Kumbu kumbu la torati 11:26 Ukikosea kuchagua au kuongozwa na nguvu ya kuchagua umekosea maisha. Baada ya kuwaangalia mashujaa kazaa walio pata matokeo kwa kujiongoza kuchagua badi tunapaswa kurudi kuangalia pia walio kosea kuchagua na matokeo waliyo yapata. Kumbuka nikisema nguvu ya kuchagua namaanisha jambo kubwa sana rohoni kuliko kuwaza kuchagua mweza . Nazungumzia kanuni thabiti ya maisha ambayo kama ukiijua na kuiishi lazima matokeo yakufuate. 1.Sauil Sauli alipo chagua kito kutiii sauti ya Mungu akapelekea kupoteza nafasi ya kifalme kwa sababu ya tamaa ya siku moja .. Bahati mbaya sana wengi sana tukikosea kuchagua si rahisi kuomba toba kwa kuwa tunakuwa na mbinu nyingi sana za kujitetea. 1 Samweli 13:11-14 [11]Samweli akasema, Umefanya nini? Naye Sauli akasema, Ni kwa sababu naliona ya kuwa watu wanatawanyika mbali nami, na wewe hukuja siku zile zilizonenwa; nao Wafilisti wamekusanyika pamoja huko Mikmashi; [12]basi nikasema, Wafilisti watanishukia sasa mpaka Gilgali, kabla sijaomba fadhili za BWANA; kwa hiyo nalijishurutisha, nikatoa sadaka ya kuteketezwa. . [13]Naye Samweli akamwambia Sauli, Umefanya upumbavu; hukuishika amri ya BWANA, Mungu wako, aliyokuamuru; kwa maana BWANA angaliufanya ufalme wako kuwa imara juu ya Israeli milele. [14]Lakini sasa ufalme wako hautadumu; BWANA amejitafutia mtu aupendezaye moyo wake, naye BWANA amemwamuru yeye kuwa mkuu juu ya watu wake, kwa sababu wewe hukulishika neno lile BWANA alilokuamuru. Hii mara ya kwanza Sauli anajiongoza vibaya katika nguvu iliyo ndani yake inayo itwa nguvu ya kuchagua. 1 Samweli 15:23 [23]Kwani kuasi ni kama dhambi ya uchawi, Na ukaidi ni kama ukafiri na vinyago; Kwa kuwa umelikataa neno la BWANA, Yeye naye amekukataa wewe usiwe mfalme. Anashindwa pia kufuata maelekezo si kwa sababu anapenda bali sababu ya kuto kuwa na nguvu inayo kuwezesha kuchagua. Na ili uchague lazima uwe na roho mtakatifu kati ya nguvu anayo kupa ni nguvu ya kuchagua . Bahati mbaya sana akina sauli wako wengi duniani wanafanya kile wasicho agizwa kwa tamaa zao arafu wanasema ni kwa ajiri ya injiri . Mfano mwepesi huwezi kuwa dada au kaka wa plays arafu kutwa unazini arafu utegemee Mungu atakukubali kwani dhambi ni matokeo ya kukosa nguvu ya kuchagua. Natamani sana vijana tujue siri ya uyu roho ambaye ndiye aliyetupa Nguvu hii ya kuchagua na jinsi inavyo weza badilisha Maisha yetu. Ukiweza kuiishi nguvu hii inayo itwa kuchagua basi uneyaweza maisha . Ahsantenaitwa Sylvester Mwakabende Kutoka (build new eden ) #build new eden #restore men position
    Yay
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·601 Visualizações
  • Matendo ya Mitume 23:11
    [11]Usiku ule Bwana akasimama karibu naye, akasema, Uwe na moyo mkuu; kwa sababu, kama ulivyonishuhudia habari zangu Yerusalemu, imekupasa kunishuhudia vivyo hivyo Rumi nako.

    Mungu alimtokea paulo na kumpasha habari hizi paulo akiwa anakabiliwa na kesi kubwa zaidi kama vile kwa Tanzania uasi au uhaini.

    Kwa sababu wao walidai ameiasi torati na katika sheria za islaeri muasi wa torati ni muhaini lakini kumbe Mungu anataka kutumia njia hiyo hiyo paulo kwenda kueneza injiri rumi .

    Jaribu kuwaza uko katika kipindi cha kujitetea sana kwa sababu ya injiri na watu wa nchi yako hawakuelewi arafu unaambiwa kuna jukumu lingine la kwenda rumi tena kufanya kitu kile kile ambacho watu wa nchi yako wameiterm kama uhaini (treason) .

    Ndio sababu aliambiwa awe na moyo mkuu , moyo wa kimbingu ambao katika magumu kuna fursa ya kufikisha injiri pia .


    Kipindi kama hiki kilimkuta Yoshua pia aliambiwa pia awe hodari na moyo wa ushujaa kipindi ambacho anajukumu kwa ajiri ya kukamilisha kusudi la kufikisha taifa la islaeri kanani lakini anazifahamu tabia za watu wale na pia hajaliona kaburi la Musa anaanzaje katika maswali hayo ndipo Mungu akamjibu pia
    Yoshua 1:6
    [6]Uwe hodari na moyo wa ushujaa, maana ni wewe utakayewarithisha watu hawa nchi hii niliyowaapia baba zao ya kwamba nitawapa

    Kipindi kama hiki kilimkuta Gidion pia yeye sasa ndiye alikuwa na mswali mengi zaidi kutokana na nchi yake kuwa iko mikononi mwa wamidiani lakini katika kipindi hicho alitakiwa kuwa hodari na qliitwa shujaa .

    Waamuzi 6:12-14
    [12]Malaika wa BWANA akamtokea, akamwambia, BWANA yu pamoja nawe, Ee shujaa.

    [13]Gideoni akamwambia, Ee Bwana wangu, ikiwa BWANA yu pamoja nasi, mbona mambo haya yote yametupata? Yako wapi matendo yake ya ajabu, waliyotuhadithia baba zetu, wakisema, Je! Siye BWANA, aliyetuleta huku kutoka Misri? Ila sasa ametutupa, naye ametutia katika mikono ya Midiani.
    .
    [14]BWANA akamtazama, akasema, Enenda kwa uwezo wako huu, ukawaokoe Israeli na mkono wa Midiani. Je! Si mimi ninayekutuma?

    Ko kumbe tunaona kuwa haijalishi uko katika kiindi gani muhimu ni kujua kuwa Mungu yu pamoja nawe na anakusudi na wewe katikati hata ya magumu hayo.

    Ahsante sana naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden)

    #build new eden
    #restore men position
    Matendo ya Mitume 23:11 [11]Usiku ule Bwana akasimama karibu naye, akasema, Uwe na moyo mkuu; kwa sababu, kama ulivyonishuhudia habari zangu Yerusalemu, imekupasa kunishuhudia vivyo hivyo Rumi nako. Mungu alimtokea paulo na kumpasha habari hizi paulo akiwa anakabiliwa na kesi kubwa zaidi kama vile kwa Tanzania uasi au uhaini. Kwa sababu wao walidai ameiasi torati na katika sheria za islaeri muasi wa torati ni muhaini lakini kumbe Mungu anataka kutumia njia hiyo hiyo paulo kwenda kueneza injiri rumi . Jaribu kuwaza uko katika kipindi cha kujitetea sana kwa sababu ya injiri na watu wa nchi yako hawakuelewi arafu unaambiwa kuna jukumu lingine la kwenda rumi tena kufanya kitu kile kile ambacho watu wa nchi yako wameiterm kama uhaini (treason) . Ndio sababu aliambiwa awe na moyo mkuu , moyo wa kimbingu ambao katika magumu kuna fursa ya kufikisha injiri pia . Kipindi kama hiki kilimkuta Yoshua pia aliambiwa pia awe hodari na moyo wa ushujaa kipindi ambacho anajukumu kwa ajiri ya kukamilisha kusudi la kufikisha taifa la islaeri kanani lakini anazifahamu tabia za watu wale na pia hajaliona kaburi la Musa anaanzaje katika maswali hayo ndipo Mungu akamjibu pia Yoshua 1:6 [6]Uwe hodari na moyo wa ushujaa, maana ni wewe utakayewarithisha watu hawa nchi hii niliyowaapia baba zao ya kwamba nitawapa Kipindi kama hiki kilimkuta Gidion pia yeye sasa ndiye alikuwa na mswali mengi zaidi kutokana na nchi yake kuwa iko mikononi mwa wamidiani lakini katika kipindi hicho alitakiwa kuwa hodari na qliitwa shujaa . Waamuzi 6:12-14 [12]Malaika wa BWANA akamtokea, akamwambia, BWANA yu pamoja nawe, Ee shujaa. [13]Gideoni akamwambia, Ee Bwana wangu, ikiwa BWANA yu pamoja nasi, mbona mambo haya yote yametupata? Yako wapi matendo yake ya ajabu, waliyotuhadithia baba zetu, wakisema, Je! Siye BWANA, aliyetuleta huku kutoka Misri? Ila sasa ametutupa, naye ametutia katika mikono ya Midiani. . [14]BWANA akamtazama, akasema, Enenda kwa uwezo wako huu, ukawaokoe Israeli na mkono wa Midiani. Je! Si mimi ninayekutuma? Ko kumbe tunaona kuwa haijalishi uko katika kiindi gani muhimu ni kujua kuwa Mungu yu pamoja nawe na anakusudi na wewe katikati hata ya magumu hayo. Ahsante sana naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden) #build new eden #restore men position
    Angry
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·779 Visualizações
  • 6/21 .MTAKATIFU ANAYE ISHI.

    Utakatifu ni kitendo cha kutakaswa. na kutakaswa ni kuwa safi .
    Kiebrania HAGOIS usimama kama maneno ,vitu na watu waliotengwa kwa ajiri ya Mungu.

    1samweli 2:2
    *Hakuna aliye mtakatifu kama BWANA; Kwa maana hakuna yeyote ila wewe, Wala hakuna mwamba kama Mungu wetu*

    Fasiri stahiki ni kuwa Mungu ana viwango vyake vya utakatifu tofauti na sisi wanadamu .

    Lengo la Mungu kumuumba mwanadamu ilikuwa awe copy yake au mfano wake .
    Mwanzo 2:27
    *Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba, mwanamume na mwanamke aliwaumba*

    Kama sisi tu mfano au mfanano na Mungu wetu kwa asili ni mtakatifu kumbe hata sisi yatupasa kuwa watakatifu.

    Lawi 19:2.
    *Nena na mkutano wote wa wana wa Israeli, uwaambie, Mtakuwa watakatifu; kwa kuwa mimi BWANA, Mungu wenu, ni mtakatifu*

    Kuna watu sababu ya uelewa wao mkubwa utasikia hilo ni agano la kale sisi tuko ndani ya neema .

    Ok Petro mtume na shujaa aliye kabidhiwa kanisa na Kristo mwenyewe ananukuu

    1 Petro 1:15-16
    *Bali mnapaswa kuwa watakatifu katika mwenendo wenu wote, kama vile yule aliyewaiteni ni mtakatifu. Maandiko yasema: “Muwe watakatifu, kwa kuwa mimi alivyo mtakatifu.”*
    Utakatifu ndio unao tusogeza njia ya ukamolifu.
    Yesu mwenyewe anaonyesha
    Mathayo 5:48 NIV
    *Basi, muwe wakamilifu kama Baba yenu wa mbinguni alivyo mkamilifu.*

    Na ili uwe mkamilifu kama Mungu lazima uwe mtakatifu.

    Utakatifu kwetu si tukio u pendekezo bali ni maisha ya mwamini.

    *Sababu ya kanisa kukosa utakatifu tumezalisha kizazi cha kuombewa kila siku na hata wakati mwingine tunaishi na shida zetu sababu tumeshindwa mlingana mungu.*

    *Utakatifu kwa mwokovu ni swala la lazima na siyo hiari*

    Nakupenda wewe jasiri wa imani ambaye unamtafuta Mungu kuliko chochote kile na mungu lazima atakujibu tu kama hautazimia moyo.

    Kama wafuasi wa maisha ya kristo lazima utuishi katika utakatifu kwani ndiyo toka uumbaji MAPENZI yake MUNGU.

    Neno neema lisikuponze kiasi cha kuona kuwa upaswi kuishi kwa utakatifu ni kujipotezea muda wewe mwenyewe .

    Bwana awezi kuwa mkuu kwako ikiwa wewe uwezi kumuheshimu kiwango anacho stahili.

    Nazungumza na mtu mmoja ambaye ni praise team lakini pia kila weekend anazini kamwe uwezi muona Mungu sawa sawa na mapenzi yake.

    Kaka ukichagua kuokokz lazima uwe mtakatifu unayeishi duniani .

    Ok naitwa Sylvester Mwakabende kutoka BUILD NEW EDEN

    #build new eden
    #restore men position
    6/21 .MTAKATIFU ANAYE ISHI. Utakatifu ni kitendo cha kutakaswa. na kutakaswa ni kuwa safi . Kiebrania HAGOIS usimama kama maneno ,vitu na watu waliotengwa kwa ajiri ya Mungu. 1samweli 2:2 *Hakuna aliye mtakatifu kama BWANA; Kwa maana hakuna yeyote ila wewe, Wala hakuna mwamba kama Mungu wetu* Fasiri stahiki ni kuwa Mungu ana viwango vyake vya utakatifu tofauti na sisi wanadamu . Lengo la Mungu kumuumba mwanadamu ilikuwa awe copy yake au mfano wake . Mwanzo 2:27 *Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba, mwanamume na mwanamke aliwaumba* Kama sisi tu mfano au mfanano na Mungu wetu kwa asili ni mtakatifu kumbe hata sisi yatupasa kuwa watakatifu. Lawi 19:2. *Nena na mkutano wote wa wana wa Israeli, uwaambie, Mtakuwa watakatifu; kwa kuwa mimi BWANA, Mungu wenu, ni mtakatifu* Kuna watu sababu ya uelewa wao mkubwa🤣 utasikia hilo ni agano la kale sisi tuko ndani ya neema . Ok Petro mtume na shujaa aliye kabidhiwa kanisa na Kristo mwenyewe ananukuu 1 Petro 1:15-16 *Bali mnapaswa kuwa watakatifu katika mwenendo wenu wote, kama vile yule aliyewaiteni ni mtakatifu. Maandiko yasema: “Muwe watakatifu, kwa kuwa mimi alivyo mtakatifu.”* Utakatifu ndio unao tusogeza njia ya ukamolifu. Yesu mwenyewe anaonyesha Mathayo 5:48 NIV *Basi, muwe wakamilifu kama Baba yenu wa mbinguni alivyo mkamilifu.* Na ili uwe mkamilifu kama Mungu lazima uwe mtakatifu. Utakatifu kwetu si tukio u pendekezo bali ni maisha ya mwamini. *Sababu ya kanisa kukosa utakatifu tumezalisha kizazi cha kuombewa kila siku na hata wakati mwingine tunaishi na shida zetu sababu tumeshindwa mlingana mungu.* *Utakatifu kwa mwokovu ni swala la lazima na siyo hiari* Nakupenda wewe jasiri wa imani ambaye unamtafuta Mungu kuliko chochote kile na mungu lazima atakujibu tu kama hautazimia moyo. Kama wafuasi wa maisha ya kristo lazima utuishi katika utakatifu kwani ndiyo toka uumbaji MAPENZI yake MUNGU. Neno neema lisikuponze kiasi cha kuona kuwa upaswi kuishi kwa utakatifu ni kujipotezea muda wewe mwenyewe . Bwana awezi kuwa mkuu kwako ikiwa wewe uwezi kumuheshimu kiwango anacho stahili. Nazungumza na mtu mmoja ambaye ni praise team lakini pia kila weekend anazini kamwe uwezi muona Mungu sawa sawa na mapenzi yake. Kaka ukichagua kuokokz lazima uwe mtakatifu unayeishi duniani . Ok naitwa Sylvester Mwakabende kutoka BUILD NEW EDEN #build new eden #restore men position
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·766 Visualizações
  • "Kila mtu ana hadithi yake, andika yako kwa ushujaa
    "Kila mtu ana hadithi yake, andika yako kwa ushujaa
    Love
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·216 Visualizações
  • Balozi wa Afrika Kusini Nchini Marekani , Ebrahim Rasool ambaye ametimuliwa na Nchi ya Marekani kutokana na kukosoa sera za Donald Trump, amerejea Afrika Kusini kwa ufakhari mkubwa na kupokewa kwa shangwe na mamia ya Wananchi waliofurika kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Cape Town Nchini Afrika Kusini.

    Balozi huyo na mkewe, Rosieda, waliwasili jana katika Uwanda wa Ndege wa Kimataifa wa Cape Town baada ya kusafari kutoka Nchini Marekani kupitia Qatar na wamekaribishwa vyema na kwa shangwe na mamia ya Wafuasi wao. Mapema mwezi huu, Balozi Rasool alitangazwa na Serikali ya Marekani kuwa ni Mtu asiyetakiwa kuweko Nchini humo baada ya kukosoa sera za Donald Trump, hatua ambayo inaonesha wazi jinsi madai ya uhuru wa kusema yasivyothaminiwa Nchini Marekani licha ya majigambo makubwa ya Nchi Marekani ya kupigania haki za Binadamu na demokrasia.

    Akiwahutubia mamia ya Mashabiki wake kwenye Uwanja wa Ndege wa Cape Town, Balozi Rasool amesema kwamba ingawa ametakiwa kuondoka huko Marekani lakini jambo hilo limeshindwa kufikia lengo lake kwani Viongozi wa Marekani wanadhani wamemdhalilisha wakati yeye anaona fakhari kwa maneno aliyotoa na Wananchi wa Afrika Kusini nao wanajivunia msimamo huo ndio maana wamejitokea kwa mamia kumpokea kishujaa.

    "Unaporejea nyumbani na kupokewa kwa shangwe na umati kama huu wa watu, mtu unaona fakhari na unajivunia msimamo wako." alisema Rasool.

    Alipoulizwa iwapo diplomasia imeshindwa, amesema ukweli kwamba matamshi yake yamemfanya Trump na Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Marco Rubio kuwa makini na hatua ya Serikali ya Marekani ya kumtangaza kuwa ni Mtu asiyetakiwa nchini humo ni ushahidi kwamba ujumbe wake umefika ngazi za juu kabisa za serikali ya Marekani.

    Balozi wa Afrika Kusini 🇿🇦 Nchini Marekani 🇺🇸, Ebrahim Rasool ambaye ametimuliwa na Nchi ya Marekani kutokana na kukosoa sera za Donald Trump, amerejea Afrika Kusini kwa ufakhari mkubwa na kupokewa kwa shangwe na mamia ya Wananchi waliofurika kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Cape Town Nchini Afrika Kusini. Balozi huyo na mkewe, Rosieda, waliwasili jana katika Uwanda wa Ndege wa Kimataifa wa Cape Town baada ya kusafari kutoka Nchini Marekani kupitia Qatar na wamekaribishwa vyema na kwa shangwe na mamia ya Wafuasi wao. Mapema mwezi huu, Balozi Rasool alitangazwa na Serikali ya Marekani kuwa ni Mtu asiyetakiwa kuweko Nchini humo baada ya kukosoa sera za Donald Trump, hatua ambayo inaonesha wazi jinsi madai ya uhuru wa kusema yasivyothaminiwa Nchini Marekani licha ya majigambo makubwa ya Nchi Marekani ya kupigania haki za Binadamu na demokrasia. Akiwahutubia mamia ya Mashabiki wake kwenye Uwanja wa Ndege wa Cape Town, Balozi Rasool amesema kwamba ingawa ametakiwa kuondoka huko Marekani lakini jambo hilo limeshindwa kufikia lengo lake kwani Viongozi wa Marekani wanadhani wamemdhalilisha wakati yeye anaona fakhari kwa maneno aliyotoa na Wananchi wa Afrika Kusini nao wanajivunia msimamo huo ndio maana wamejitokea kwa mamia kumpokea kishujaa. "Unaporejea nyumbani na kupokewa kwa shangwe na umati kama huu wa watu, mtu unaona fakhari na unajivunia msimamo wako." alisema Rasool. Alipoulizwa iwapo diplomasia imeshindwa, amesema ukweli kwamba matamshi yake yamemfanya Trump na Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Marco Rubio kuwa makini na hatua ya Serikali ya Marekani ya kumtangaza kuwa ni Mtu asiyetakiwa nchini humo ni ushahidi kwamba ujumbe wake umefika ngazi za juu kabisa za serikali ya Marekani.
    Love
    Like
    3
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·984 Visualizações
  • Maisha yatakujaribu. Yatakusukuma hadi ukingoni. Yatakufanya uhoji kila kitu: thamani yako, kusudi lako, nguvu zako. Utalia. Utaanguka. Utajisikia kukata tamaa.

    Lakini nisikilize: usikate tamaa. Usiruhusu mapambano ya leo yakushawishi kuwa kesho haitakuwa bora. Usiruhusu maumivu yako yanyamazishe ndoto zako. Una nguvu kuliko unavyofikiria. Una nguvu zaidi kuliko mapambano yako. Umeokoka kila siku mbaya uliyodhani itakuangamiza. Na utaokoka hii pia.

    Futa machozi yako, nyoosha mgongo wako, na tembea mbele kwa ujasiri. Maumivu yako si jela yako; ni mafuta yako. Hukuumbwa kuvunjika. Uliumbwa kushinda. Simama kwa urefu. Endelea kusonga mbele. Waache wakutie shaka. Waache wazungumze juu yako. Lakini kamwe, kamwe waache wakuzuie. Siku bora zinakuja, endelea kuwa na nguvu na ENDELEA KUPIGANA.

    Vikwazo vyako si mwisho wako; wao ni vijiwe vya kukanyaga kwenye kitu kikubwa zaidi. Kila dhoruba unayovumilia inakutengeneza, hukusafisha na kukutayarisha kwa ushindi ulio mbele yako. Maumivu unayoyasikia leo ni kujenga nguvu utakazohitaji kesho. Amini mchakato, jiamini, na amini kuwa kila pambano linakufanya ushindwe kuzuilika.

    Hukuwekwa katika dunia hii kuishi kwa hofu au kusitasita katika uso wa dhiki. Ulikusudiwa kuinuka, kuangaza, kuhamasisha. Moto ulio ndani yako ni mkubwa kuliko vikwazo vilivyo mbele yako. Kwa hivyo pumua kwa kina, nyamazisha mashaka yako, na ujikumbushe wewe ni nani: shujaa, mwokoaji, mpiganaji. Na wapiganaji hawaachi.

    Ulimwengu unaweza usione thamani yako kila wakati, lakini hiyo haimaanishi kuwa wewe sio wa thamani. Ndoto zako ni muhimu. Sauti yako ni muhimu. Wewe ni muhimu. Kwa hivyo simama, jitokeze, na ujithibitishie kuwa hakuna changamoto kubwa kuliko roho yako. Endelea kuamini, endelea kusukuma, na tazama jinsi maisha yanavyokuegemeza.

    Anza safari yako ya ukuaji.
    Maisha yatakujaribu. Yatakusukuma hadi ukingoni. Yatakufanya uhoji kila kitu: thamani yako, kusudi lako, nguvu zako. Utalia. Utaanguka. Utajisikia kukata tamaa. Lakini nisikilize: usikate tamaa. Usiruhusu mapambano ya leo yakushawishi kuwa kesho haitakuwa bora. Usiruhusu maumivu yako yanyamazishe ndoto zako. Una nguvu kuliko unavyofikiria. Una nguvu zaidi kuliko mapambano yako. Umeokoka kila siku mbaya uliyodhani itakuangamiza. Na utaokoka hii pia. Futa machozi yako, nyoosha mgongo wako, na tembea mbele kwa ujasiri. Maumivu yako si jela yako; ni mafuta yako. Hukuumbwa kuvunjika. Uliumbwa kushinda. Simama kwa urefu. Endelea kusonga mbele. Waache wakutie shaka. Waache wazungumze juu yako. Lakini kamwe, kamwe waache wakuzuie. Siku bora zinakuja, endelea kuwa na nguvu na ENDELEA KUPIGANA. Vikwazo vyako si mwisho wako; wao ni vijiwe vya kukanyaga kwenye kitu kikubwa zaidi. Kila dhoruba unayovumilia inakutengeneza, hukusafisha na kukutayarisha kwa ushindi ulio mbele yako. Maumivu unayoyasikia leo ni kujenga nguvu utakazohitaji kesho. Amini mchakato, jiamini, na amini kuwa kila pambano linakufanya ushindwe kuzuilika. Hukuwekwa katika dunia hii kuishi kwa hofu au kusitasita katika uso wa dhiki. Ulikusudiwa kuinuka, kuangaza, kuhamasisha. Moto ulio ndani yako ni mkubwa kuliko vikwazo vilivyo mbele yako. Kwa hivyo pumua kwa kina, nyamazisha mashaka yako, na ujikumbushe wewe ni nani: shujaa, mwokoaji, mpiganaji. Na wapiganaji hawaachi. Ulimwengu unaweza usione thamani yako kila wakati, lakini hiyo haimaanishi kuwa wewe sio wa thamani. Ndoto zako ni muhimu. Sauti yako ni muhimu. Wewe ni muhimu. Kwa hivyo simama, jitokeze, na ujithibitishie kuwa hakuna changamoto kubwa kuliko roho yako. Endelea kuamini, endelea kusukuma, na tazama jinsi maisha yanavyokuegemeza. Anza safari yako ya ukuaji.
    Love
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·848 Visualizações
  • 6. BONDE LA ELAH

    Bonde hili linajulikana kwa kuandaa moja ya pambano maarufu katika historia.

    Goliathi, jitu la Mfilisti, alitoa changamoto kwa jeshi la Israeli kutuma mtu wa kupigana naye mahali hapa.

    Watu wote wa Sauli walimwogopa yule shujaa mkubwa ambaye alikuwa na urefu wa zaidi ya futi nane. Mchungaji kijana Daudi alisimama na kujitolea kwenda kinyume naye. Jitu lilishindwa na Israeli wakashinda jeshi la Wafilisti.
    6. BONDE LA ELAH Bonde hili linajulikana kwa kuandaa moja ya pambano maarufu katika historia. Goliathi, jitu la Mfilisti, alitoa changamoto kwa jeshi la Israeli kutuma mtu wa kupigana naye mahali hapa. Watu wote wa Sauli walimwogopa yule shujaa mkubwa ambaye alikuwa na urefu wa zaidi ya futi nane. Mchungaji kijana Daudi alisimama na kujitolea kwenda kinyume naye. Jitu lilishindwa na Israeli wakashinda jeshi la Wafilisti.
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·699 Visualizações
  • Kikao cha mazungumzo ya kumaliza mzozo wa Nchi ya Ukraine na Nchi ya Urusi kinaendelea Nchini Saudi Arabia 🇸 ambapo Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Urusi chini ya Sergie Lavrov na Marekani chini ya Marco Rubio. Hata hivyo, Ukraine na Umoja wa Ulaya (EU) hawajashirikishwa huku Ukraine upande wake inapinga kikao hicho kuwa makubaliano yoyote haitayatambua.

    Katika kusisitiza hilo Ukraine imeendelea kusisitiza kwamba itaendelea kupigana vita kwa kutegemea Ulaya sio Marekani kama mwanzo huku Rais wa Nchi hiyo Volodmiry Zelensky akisema Ukraine ni Taifa huru, hivyo haliwezi kuamuliwa mambo yake na Marekani, itautetea uhuru wake hadi tone la mwisho. Marekani imejibu kwa kusema inaitaka Ukraine irejeshe haraka deni lote la usaidizi wa vita lililotolewa na Marekani tangu Februari 2022 Oparesheni ya Urusi ilipoanza.

    Kikao hiki kinachoendelea ni hatua muhimu kuelekea mkutano wa Rais Putin na Rais Trump uliopangwa mwezi Mei katika sherehe za Mashujaa wa Urusi utakaofanyika Jijini Moscow, Urusi ambapo pia mkutano huo utamwalika Rais wa China Xi Ping kama Mgeni mwalikwa muhimu.

    Kikao cha mazungumzo ya kumaliza mzozo wa Nchi ya Ukraine 🇺🇦 na Nchi ya Urusi 🇷🇺 kinaendelea Nchini Saudi Arabia 🇸 ambapo Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Urusi chini ya Sergie Lavrov na Marekani 🇺🇸 chini ya Marco Rubio. Hata hivyo, Ukraine na Umoja wa Ulaya (EU) hawajashirikishwa huku Ukraine upande wake inapinga kikao hicho kuwa makubaliano yoyote haitayatambua. Katika kusisitiza hilo Ukraine imeendelea kusisitiza kwamba itaendelea kupigana vita kwa kutegemea Ulaya sio Marekani kama mwanzo huku Rais wa Nchi hiyo Volodmiry Zelensky akisema Ukraine ni Taifa huru, hivyo haliwezi kuamuliwa mambo yake na Marekani, itautetea uhuru wake hadi tone la mwisho. Marekani imejibu kwa kusema inaitaka Ukraine irejeshe haraka deni lote la usaidizi wa vita lililotolewa na Marekani tangu Februari 2022 Oparesheni ya Urusi ilipoanza. Kikao hiki kinachoendelea ni hatua muhimu kuelekea mkutano wa Rais Putin na Rais Trump uliopangwa mwezi Mei katika sherehe za Mashujaa wa Urusi utakaofanyika Jijini Moscow, Urusi ambapo pia mkutano huo utamwalika Rais wa China 🇨🇳 Xi Ping kama Mgeni mwalikwa muhimu.
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·704 Visualizações
  • Admin wa Mashujaa
    Admin wa Mashujaa🤣
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·335 Visualizações
  • "Wakati anachukua madaraka mwamba Ibrahim Traore Rais wa Burkina Faso alichagua kuwa upande wa Urusi na kumtosa mfaransa, wakati huo waasi walikuwa wamechukua sehemu fulani ya ya nchi, faida ya Traore kuchagua upande wa mashariki ambao ni Urusi tunaiona hadi leo, nchi yake imetulia kwa kiasi kikubwa, waasi wanakiona cha moto, Urusi kupitia Wagner wameamua kuilinda mazima Burkina faso, mwisho wa siku Traore anaonekana kama shujaa wa nchi yake na Afrika kwa ujumla

    Somo kwa Rais Tshisekedi chagua upande acha kuwa vuguvugu hii haitosaidia Congo, hata vikao vya AU, SADC, NA EAC, havijasaidia chochote Congo, chagua upande papa Tshisekedi ili Congo ilindwe na waasi wapate upinzani , coz jeshi la Congo ni dhaifu mnoo halina hata uwezo nusu wa kukabiliana na waasi,chagua upande uikomboe Congo yako

    Changamoto kubwa Rais Tshisekedi na ufaransa ni pete na kidole na hakuna ubaya kwenye hilo lakini swali kubwa urafiki wa Congo na nchi za magharibi kama Ufaransa umeisadia vipi Congo tena dhidi ya waasi kama M23 ?

    Chagua upande Tshisekedi hakuna namna!! Vinginevyo wanakuchezea too bad" - Zungu, Mtangazaji na Mchambuzi wa Siasa.

    "Wakati anachukua madaraka mwamba Ibrahim Traore Rais wa Burkina Faso🇧🇫 alichagua kuwa upande wa Urusi na kumtosa mfaransa, wakati huo waasi walikuwa wamechukua sehemu fulani ya ya nchi, faida ya Traore kuchagua upande wa mashariki ambao ni Urusi tunaiona hadi leo, nchi yake imetulia kwa kiasi kikubwa, waasi wanakiona cha moto, Urusi kupitia Wagner wameamua kuilinda mazima Burkina faso🇧🇫, mwisho wa siku Traore anaonekana kama shujaa wa nchi yake na Afrika kwa ujumla Somo kwa Rais Tshisekedi chagua upande acha kuwa vuguvugu hii haitosaidia Congo, hata vikao vya AU, SADC, NA EAC, havijasaidia chochote Congo, chagua upande papa Tshisekedi ili Congo ilindwe na waasi wapate upinzani , coz jeshi la Congo ni dhaifu mnoo halina hata uwezo nusu wa kukabiliana na waasi,chagua upande uikomboe Congo yako Changamoto kubwa Rais Tshisekedi na ufaransa ni pete na kidole na hakuna ubaya kwenye hilo lakini swali kubwa urafiki wa Congo na nchi za magharibi kama Ufaransa umeisadia vipi Congo tena dhidi ya waasi kama M23 ? Chagua upande Tshisekedi hakuna namna!! Vinginevyo wanakuchezea too bad" - Zungu, Mtangazaji na Mchambuzi wa Siasa.
    Love
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·892 Visualizações
  • Rais wa Senegal , Bassirou Diomaye Faye ametangaza mpango wa kubadilisha majina ya mitaa yenye majina ya enzi za ukoloni na kuyapa majina ya mashujaa wa kitaifa na matukio muhimu ya kihistoria ya Nchi ya Senegal. Mpango huo ulioanzishwa wakati wa mkutano wa hivi karibuni wa Baraza la Mawaziri ni sehemu ya juhudi za kurejesha utambulisho wa kitamaduni wa Nchi hiyo.

    Mpango huyo utahusu pia kubadilisha majina na kuandika upya historia ya Nchi ya Senegal katika kwa umma, alisema Rais huyo ambapo pia aliongeza kwa kusema “Lazima tuelimishe Vijana wetu kuhusu Watu na matukio yaliyounda na kuijenga Senegal"

    Rais wa Senegal 🇸🇳, Bassirou Diomaye Faye ametangaza mpango wa kubadilisha majina ya mitaa yenye majina ya enzi za ukoloni na kuyapa majina ya mashujaa wa kitaifa na matukio muhimu ya kihistoria ya Nchi ya Senegal. Mpango huo ulioanzishwa wakati wa mkutano wa hivi karibuni wa Baraza la Mawaziri ni sehemu ya juhudi za kurejesha utambulisho wa kitamaduni wa Nchi hiyo. Mpango huyo utahusu pia kubadilisha majina na kuandika upya historia ya Nchi ya Senegal katika kwa umma, alisema Rais huyo ambapo pia aliongeza kwa kusema “Lazima tuelimishe Vijana wetu kuhusu Watu na matukio yaliyounda na kuijenga Senegal"
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·677 Visualizações
  • Jeshi la Uganda (UPDF) limesema Wanajeshi wake walioko Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo , watatafuta mbinu ya kujiimarisha kiulinzi ili kuyazuwia makundi mengine ya Waasi kuingia mashariki mwa Taifa hilo.

    Hali inazidi kuwa tete mashariki mwa Kongo, huku Waasi wa kujndi la M23 wanaosemekana kuungwa mkono na Rwanda wakiendelea kuyadhibiti maeneo kadhaa ya eneo hilo ukiwemo Mji wa Goma, hali iliyoisababisha Uganda kupitia Jeshi lake kusema inataka kujipanga upya kiulinzi, katika eneo inayofanyia operesheni zake hadi mzozo huo wa DR Congo utakapotulia. Imesema nia yake ni kuyazuwia makundi mengine ya Waasi yasitumie mwanya wa vita kuingia mashariki mwa Taifa hilo. 

    Nchi ya Uganda ina jukumu muhimu katika kanda hiyo. Inafanya kazi pamoja na Wanajeshi wa Kongo katika mpango wa Operesheni Shujaa dhidi ya makundi yaliyo na itikadi kali kama Allied Democratic Forces, ADF, ambalo limekuwa likifungamanishwa na kundi la dola la kiislamu. Lakini kando na hayo, Uganda pia imekuwa ikishutumiwa na Wataalamu wa Umoja wa Mataifa na mashirika mengine kwa kuwaunga mkono Waasi wa M23 kwa kuwaruhusu kutumia ardhi yake kupitisha silaha zake madai ambayo Uganda imeyakanusha vikali.

    Jeshi la Uganda 🇺🇬 (UPDF) limesema Wanajeshi wake walioko Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo 🇨🇩, watatafuta mbinu ya kujiimarisha kiulinzi ili kuyazuwia makundi mengine ya Waasi kuingia mashariki mwa Taifa hilo. Hali inazidi kuwa tete mashariki mwa Kongo, huku Waasi wa kujndi la M23 wanaosemekana kuungwa mkono na Rwanda 🇷🇼 wakiendelea kuyadhibiti maeneo kadhaa ya eneo hilo ukiwemo Mji wa Goma, hali iliyoisababisha Uganda kupitia Jeshi lake kusema inataka kujipanga upya kiulinzi, katika eneo inayofanyia operesheni zake hadi mzozo huo wa DR Congo utakapotulia. Imesema nia yake ni kuyazuwia makundi mengine ya Waasi yasitumie mwanya wa vita kuingia mashariki mwa Taifa hilo.  Nchi ya Uganda ina jukumu muhimu katika kanda hiyo. Inafanya kazi pamoja na Wanajeshi wa Kongo katika mpango wa Operesheni Shujaa dhidi ya makundi yaliyo na itikadi kali kama Allied Democratic Forces, ADF, ambalo limekuwa likifungamanishwa na kundi la dola la kiislamu. Lakini kando na hayo, Uganda pia imekuwa ikishutumiwa na Wataalamu wa Umoja wa Mataifa na mashirika mengine kwa kuwaunga mkono Waasi wa M23 kwa kuwaruhusu kutumia ardhi yake kupitisha silaha zake madai ambayo Uganda imeyakanusha vikali.
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·630 Visualizações
  • SOMO LANGU LA ASUBUHI
    MADA: KUWA NA MARAFIKI WENGI NI KITENDO CHA UOGA...

    Katika maisha, mara nyingi tunajaribiwa kujieneza kwa wembamba, kukusanya marafiki wengi iwezekanavyo, tukiamini kuwa umaarufu unalingana na nguvu. Lakini nakuambia kuwa na marafiki wengi sio ishara ya ujasiri, bali ni kitendo cha woga. Kwa nini nasema hivi? Kwa sababu urafiki wa kweli unahitaji ujasiri, ujasiri wa kusimama imara, kusema ukweli, kukabiliana kwa upendo, na kuacha maadili yanapovunjwa. Lakini wakati mtu anatafuta kupendeza kila mtu, kukusanya marafiki kama nyara, mara nyingi ni kuzuia usumbufu wa kuwa peke yake na imani yake. "Mtu wa marafiki wengi anaweza kuangamia, lakini yuko rafiki anayeshikamana na mtu kuliko ndugu."
    Anayejizunguka na marafiki wengi ni kama mti unaotandaza matawi yake kila upande, lakini mizizi yake ni midogo. Dhoruba ikija, mti huo utaanguka, si kwa sababu haukuwa na matawi, bali kwa sababu haukuwa na kina. Napenda kukukumbusha kwamba ubora ni mkubwa kuliko wingi. Inachukua ushujaa kukata mduara wako, kuwaweka karibu wale wanaokunoa na kuwaachilia wale wanaokubembeleza tu. Ni uoga kuwaweka watu wengi wanaokukatisha tamaa, huku ukikosa nguvu ya kusimama na wale wachache wanaokuinua.

    Simba hatembei katika makundi; anatembea peke yake au na wachache. Kwa upande mwingine, kondoo hukusanyika katika umati kwa sababu anajua kwamba bila kundi, hana ulinzi. Marafiki wengi mara nyingi ni ngao ya ukosefu wa usalama. Tunajificha nyuma yao, tukiogopa kukabili ukimya ambapo ukweli unasikika kwa sauti kubwa zaidi. Marafiki wa kweli watakupa changamoto, watakuwajibisha, na watakuongoza nyuma unapopotea. Lakini kukubali kila mkono ulionyooshwa kwako ni kukaribisha machafuko ndani ya moyo wako. Tafadhali, usiogope upweke. Wakati mwingine, kutembea peke yako ni bei ya ukuu. Ilikuwa ni jangwani ambapo Musa alikutana na Mungu. Ilikuwa peke yake ndipo Eliya aliposikia sauti ndogo tulivu. Na hata Kristo, ingawa alizungukwa na wengi, alichagua kumi na wawili tu. Usiogope kupoteza watu; hofu ya kupoteza mwenyewe. Wapende wote, lakini tembea kwa karibu na wachache. Wachague masahaba si kwa ajili ya umati wanaokuja nao bali kwa hekima waliyobeba. Hatimaye, ni bora kutembea na rafiki mmoja wa kweli katika mwanga kuliko kucheza na mia moja katika giza. Hebu sote tuwe na nguvu ya kuchagua kina juu ya upana, ukweli juu ya kupiga makofi, na ubora juu ya wingi.
    SOMO LANGU LA ASUBUHI MADA: KUWA NA MARAFIKI WENGI NI KITENDO CHA UOGA... Katika maisha, mara nyingi tunajaribiwa kujieneza kwa wembamba, kukusanya marafiki wengi iwezekanavyo, tukiamini kuwa umaarufu unalingana na nguvu. Lakini nakuambia kuwa na marafiki wengi sio ishara ya ujasiri, bali ni kitendo cha woga. Kwa nini nasema hivi? Kwa sababu urafiki wa kweli unahitaji ujasiri, ujasiri wa kusimama imara, kusema ukweli, kukabiliana kwa upendo, na kuacha maadili yanapovunjwa. Lakini wakati mtu anatafuta kupendeza kila mtu, kukusanya marafiki kama nyara, mara nyingi ni kuzuia usumbufu wa kuwa peke yake na imani yake. "Mtu wa marafiki wengi anaweza kuangamia, lakini yuko rafiki anayeshikamana na mtu kuliko ndugu." Anayejizunguka na marafiki wengi ni kama mti unaotandaza matawi yake kila upande, lakini mizizi yake ni midogo. Dhoruba ikija, mti huo utaanguka, si kwa sababu haukuwa na matawi, bali kwa sababu haukuwa na kina. Napenda kukukumbusha kwamba ubora ni mkubwa kuliko wingi. Inachukua ushujaa kukata mduara wako, kuwaweka karibu wale wanaokunoa na kuwaachilia wale wanaokubembeleza tu. Ni uoga kuwaweka watu wengi wanaokukatisha tamaa, huku ukikosa nguvu ya kusimama na wale wachache wanaokuinua. Simba hatembei katika makundi; anatembea peke yake au na wachache. Kwa upande mwingine, kondoo hukusanyika katika umati kwa sababu anajua kwamba bila kundi, hana ulinzi. Marafiki wengi mara nyingi ni ngao ya ukosefu wa usalama. Tunajificha nyuma yao, tukiogopa kukabili ukimya ambapo ukweli unasikika kwa sauti kubwa zaidi. Marafiki wa kweli watakupa changamoto, watakuwajibisha, na watakuongoza nyuma unapopotea. Lakini kukubali kila mkono ulionyooshwa kwako ni kukaribisha machafuko ndani ya moyo wako. Tafadhali, usiogope upweke. Wakati mwingine, kutembea peke yako ni bei ya ukuu. Ilikuwa ni jangwani ambapo Musa alikutana na Mungu. Ilikuwa peke yake ndipo Eliya aliposikia sauti ndogo tulivu. Na hata Kristo, ingawa alizungukwa na wengi, alichagua kumi na wawili tu. Usiogope kupoteza watu; hofu ya kupoteza mwenyewe. Wapende wote, lakini tembea kwa karibu na wachache. Wachague masahaba si kwa ajili ya umati wanaokuja nao bali kwa hekima waliyobeba. Hatimaye, ni bora kutembea na rafiki mmoja wa kweli katika mwanga kuliko kucheza na mia moja katika giza. Hebu sote tuwe na nguvu ya kuchagua kina juu ya upana, ukweli juu ya kupiga makofi, na ubora juu ya wingi.
    Love
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·997 Visualizações
Páginas Impulsionadas