• "Naweza kudate na kumvumilia Mwanaume asiyekuwa na pesa, Lakini siwezi kudumu hata kidogo na Mwanaume bahili kwenye swala la pesa."

    - Poshy Queen, Mwanamitandao maarufu Tanzania.

    Toa maoni yako
    #Udaku
    "Naweza kudate na kumvumilia Mwanaume asiyekuwa na pesa, Lakini siwezi kudumu hata kidogo na Mwanaume bahili kwenye swala la pesa." - Poshy Queen, Mwanamitandao maarufu Tanzania. Toa maoni yako #Udaku
    0 Comments 0 Shares 72 Views
  • Karen Bujulu afunguka kuhusu Juma Jux: “Moyo wangu ni mweupe, sina kinyongo”.

    Mrembo Karen Bujulu, ambaye aliwahi kuwa kwenye uhusiano wa kimapenzi na mkali wa RnB kutoka Tanzania, Juma Jux, amevunja ukimya na kueleza hisia zake kufuatia ndoa ya aliyekuwa Mpenzi wake huyo.

    Kupitia maelezo yake ya hivi karibuni, Karen amesisitiza kuwa hana chuki wala kinyongo chochote, licha ya watu wengi kudhani kuwa bado anaumizwa na uamuzi wa Jux kufunga ndoa.

    “Hadi leo watu wengi wanadhani moyo wangu unapitia maumivu makali mno kwa kitendo cha Ex wangu kufunga ndoa, hilo jambo halipo. Mnapaswa kujua kuwa moyo wangu ni mweupe na sina kinyongo chochote, nimeisha achilia kila kitu. Nimefungua ukurasa mpya kabisa na ninafurahia maisha haya mapya.”

    Kauli hiyo imeibua mjadala mpana mitandaoni, huku baadhi ya mashabiki wakimpongeza kwa ukomavu wa kiakili na kihisia, na wengine wakichambua kwa kina historia ya uhusiano wao.

    Ikumbukwe kuwa wakati uhusiano wao ulipovunjika, baadhi ya wanablogu waliibua madai kuwa chanzo kilikuwa ni Karen kuhusishwa kimapenzi na Ommy Dimpoz. Hata hivyo, Karen aliwahi kukanusha taarifa hizo na kueleza kuwa hazikuwa na ukweli wowote.

    Tangu wakati huo, kila mmoja ameendelea na maisha yake, huku Jux akiingia katika hatua mpya ya ndoa na Karen akisisitiza kuwa yeye pia ameanza safari mpya ya maisha.

    (Maoni Yangu)

    Kwa mtazamo wa kijamii na kisaikolojia, kauli ya Karen inaonyesha kiwango fulani cha ukomavu wa kihisia (emotional maturity). Katika uhusiano ya hadharani, mara nyingi presha ya mitandao ya kijamii huongeza maumivu au kuzalisha simulizi zisizo sahihi.

    Kukubali hali, kuachilia yaliyopita na kuendelea mbele ni ishara ya mtu aliyeamua kulinda amani yake ya ndani. Aidha, ni fundisho kwa jamii kuwa si kila uhusiano unaovunjika lazima uishe kwa chuki au visasi.

    Kwa upande mwingine, ni muhimu pia kutambua kuwa watu mashuhuri huishi chini ya lenzi ya umma, hivyo kila kauli au tukio huwa na tafsiri nyingi tofauti.

    Wewe unaonaje? Je, unaamini kweli hakuna maumivu yaliyobaki, au ni njia ya kulinda heshima yake mbele ya umma?

    Toa maoni yako
    #Udaku
    #Habari
    Karen Bujulu afunguka kuhusu Juma Jux: “Moyo wangu ni mweupe, sina kinyongo”. Mrembo Karen Bujulu, ambaye aliwahi kuwa kwenye uhusiano wa kimapenzi na mkali wa RnB kutoka Tanzania, Juma Jux, amevunja ukimya na kueleza hisia zake kufuatia ndoa ya aliyekuwa Mpenzi wake huyo. Kupitia maelezo yake ya hivi karibuni, Karen amesisitiza kuwa hana chuki wala kinyongo chochote, licha ya watu wengi kudhani kuwa bado anaumizwa na uamuzi wa Jux kufunga ndoa. “Hadi leo watu wengi wanadhani moyo wangu unapitia maumivu makali mno kwa kitendo cha Ex wangu kufunga ndoa, hilo jambo halipo. Mnapaswa kujua kuwa moyo wangu ni mweupe na sina kinyongo chochote, nimeisha achilia kila kitu. Nimefungua ukurasa mpya kabisa na ninafurahia maisha haya mapya.” Kauli hiyo imeibua mjadala mpana mitandaoni, huku baadhi ya mashabiki wakimpongeza kwa ukomavu wa kiakili na kihisia, na wengine wakichambua kwa kina historia ya uhusiano wao. Ikumbukwe kuwa wakati uhusiano wao ulipovunjika, baadhi ya wanablogu waliibua madai kuwa chanzo kilikuwa ni Karen kuhusishwa kimapenzi na Ommy Dimpoz. Hata hivyo, Karen aliwahi kukanusha taarifa hizo na kueleza kuwa hazikuwa na ukweli wowote. Tangu wakati huo, kila mmoja ameendelea na maisha yake, huku Jux akiingia katika hatua mpya ya ndoa na Karen akisisitiza kuwa yeye pia ameanza safari mpya ya maisha. (Maoni Yangu) Kwa mtazamo wa kijamii na kisaikolojia, kauli ya Karen inaonyesha kiwango fulani cha ukomavu wa kihisia (emotional maturity). Katika uhusiano ya hadharani, mara nyingi presha ya mitandao ya kijamii huongeza maumivu au kuzalisha simulizi zisizo sahihi. Kukubali hali, kuachilia yaliyopita na kuendelea mbele ni ishara ya mtu aliyeamua kulinda amani yake ya ndani. Aidha, ni fundisho kwa jamii kuwa si kila uhusiano unaovunjika lazima uishe kwa chuki au visasi. Kwa upande mwingine, ni muhimu pia kutambua kuwa watu mashuhuri huishi chini ya lenzi ya umma, hivyo kila kauli au tukio huwa na tafsiri nyingi tofauti. Wewe unaonaje? Je, unaamini kweli hakuna maumivu yaliyobaki, au ni njia ya kulinda heshima yake mbele ya umma? Toa maoni yako #Udaku #Habari
    0 Comments 0 Shares 136 Views
  • Rushaynah afunguka: Bado anamtamani Khalid Aucho.

    Mwigizaji wa filamu na Mwanamitandao maarufu Tanzania, Rushaynah, ambaye ni Mke wa zamani wa Diwani wa Kariakoo, Haji Manara, amefunguka kuhusu hisia zake za mapenzi na Mchezaji wa Singida Big Star, Khalid Aucho.

    Katika mahojiano ya hivi karibuni, Rushaynah ameeleza wazi kuwa bado anamtamani Aucho, huku akibainisha mvuto wake kwa Mchezaji huyo: "Aucho ni Mwanaume mwenye mvuto sana ananivutia sana nahitaji Mwanaume kama yeye, Hata kama ana Mwanamke lakini kwangu bado ana-nafasi."

    Kwa maneno haya, Rushaynah anaonyesha wazi kuwa ingawa Aucho ana uhusiano mwingine, kwake bado bado kuna nafasi ya hisia. Hii imemfanya Mwigizaji huyo kushiriki hadhira yake, hisia za ndani, jambo ambalo limevutia mashabiki wengi mitandaoni.

    Toa maoni yako
    Rushaynah afunguka: Bado anamtamani Khalid Aucho. Mwigizaji wa filamu na Mwanamitandao maarufu Tanzania, Rushaynah, ambaye ni Mke wa zamani wa Diwani wa Kariakoo, Haji Manara, amefunguka kuhusu hisia zake za mapenzi na Mchezaji wa Singida Big Star, Khalid Aucho. Katika mahojiano ya hivi karibuni, Rushaynah ameeleza wazi kuwa bado anamtamani Aucho, huku akibainisha mvuto wake kwa Mchezaji huyo: "Aucho ni Mwanaume mwenye mvuto sana ananivutia sana nahitaji Mwanaume kama yeye, Hata kama ana Mwanamke lakini kwangu bado ana-nafasi." Kwa maneno haya, Rushaynah anaonyesha wazi kuwa ingawa Aucho ana uhusiano mwingine, kwake bado bado kuna nafasi ya hisia. Hii imemfanya Mwigizaji huyo kushiriki hadhira yake, hisia za ndani, jambo ambalo limevutia mashabiki wengi mitandaoni. Toa maoni yako
    0 Comments 0 Shares 106 Views
  • RATIBA YA LEO IJUMAA YA NOVEMBER 14 - 2025

    🏟 13:20 - Japan Ghana

    🏟 14:00 - South Korea Bolivia

    🏟 16:00 - Burkina Faso Niger

    🏟 18:00 - Kenya Equatorial Guinea

    🏟 19:00 - Angola Argentina

    🏟 19:00 - Uzbekistan Egypt

    🏟 19:30 - Saudi Arabia Ivory Coast

    🏟 21:00 - Kuwait Tanzania

    🏟 22:00 - Morocco Mozambique

    🏟 22:45 - Luxembourg Germany

    🏟 22:45 - Croatia Faroe Island

    🏟 22:45 - Poland Netherlands

    Kama bado haujajisajili na Sporpesa unapitwa na mambo mengi Odds zao kubwa Jisajili sasa Utakujaga kunishukuru baadae Bonyeza Link kisha jisajili https://bit.ly/MicroFB08

    #sportpesaushindiuendelee
    #sportpesaTZ
    🚨 RATIBA YA LEO IJUMAA YA NOVEMBER 14 - 2025 🏟 13:20 - Japan 🇯🇵 ⚔️ Ghana 🇬🇭 🏟 14:00 - South Korea 🇰🇷 ⚔️ Bolivia 🇧🇴 🏟 16:00 - Burkina Faso 🇧🇫 ⚔️ Niger 🇳🇪 🏟 18:00 - Kenya 🇰🇪 ⚔️Equatorial Guinea 🇬🇶 🏟 19:00 - Angola 🇦🇴 ⚔️ Argentina 🇦🇷 🏟 19:00 - Uzbekistan 🇺🇿 ⚔️ Egypt 🇪🇬 🏟 19:30 - Saudi Arabia 🇸🇦 ⚔️ Ivory Coast 🇮🇪 🏟 21:00 - Kuwait 🇰🇼 ⚔️ Tanzania 🇹🇿 🏟 22:00 - Morocco 🇲🇦 ⚔️ Mozambique 🇲🇿 🏟 22:45 - Luxembourg 🇱🇺 ⚔️ Germany 🇩🇪 🏟 22:45 - Croatia 🇭🇷 ⚔️ Faroe Island 🇫🇴 🏟 22:45 - Poland 🇵🇱 ⚔️ Netherlands 🇳🇱 ✍️ Kama bado haujajisajili na Sporpesa unapitwa na mambo mengi Odds zao kubwa Jisajili sasa Utakujaga kunishukuru baadae Bonyeza Link kisha jisajili https://bit.ly/MicroFB08 #sportpesaushindiuendelee #sportpesaTZ
    0 Comments 0 Shares 1K Views
  • Wiki ya 5️⃣ ya ligi ya @championshiptz ya @nbc_tanzania ipo hivi

    @tanfootball @nbc_tanzania @fifaplus
    Wiki ya 5️⃣ ya ligi ya @championshiptz ya @nbc_tanzania ipo hivi 🔥 @tanfootball @nbc_tanzania @fifaplus
    0 Comments 0 Shares 812 Views
  • Klabu ya Al-Ahli Tripoli kutoka nchini Libya imetuma rasmi ofa ya Dola za Kimarekani 800,000 (sawa na takriban Shilingi bilioni 1.97 za Tanzania) kwa ajili ya kuvunja mkataba wa kiungo nyota wa Tanzania, Feisal Salum Abdallah (27).

    Kwa mujibu wa taarifa kutoka vyanzo vya kuaminika, Al-Ahli Tripoli imekuwa ikimfuatilia Feisal tangu mwezi Agosti 2025, baada ya kuvutiwa na kiwango chake cha juu katika Ligi Kuu ya NBC na timu ya taifa, Taifa Stars.

    Inadaiwa kuwa klabu hiyo ilituma barua ya kwanza rasmi ya maombi kwa klabu anayochezea Feisal mnamo tarehe 14 Septemba 2025, ikiwa ni hatua ya awali kuelekea mazungumzo ya kuhitimisha dili hilo.

    Endapo mchakato huo utakamilika, Feisal Salum ataungana na wachezaji kadhaa wa Afrika Mashariki waliowahi kucheza katika ligi ya Libya, ligi inayojulikana kwa malipo mazuri na ushindani mkubwa katika ukanda wa Afrika Kaskazini.

    Feisal, ambaye pia ni mchezaji muhimu wa Taifa Stars, ameendelea kuvutia vilabu kadhaa vya nje kutokana na ubora wake wa kiufundi, nidhamu, na uzoefu mkubwa katika soka la kimataifa.

    Kwa sasa, klabu anayochezea Feisal haijatoa tamko rasmi kuhusu ofa hiyo, huku mashabiki wakiendelea kusubiri matokeo ya mazungumzo kati ya pande hizo mbili.
    Klabu ya Al-Ahli Tripoli kutoka nchini Libya imetuma rasmi ofa ya Dola za Kimarekani 800,000 (sawa na takriban Shilingi bilioni 1.97 za Tanzania) kwa ajili ya kuvunja mkataba wa kiungo nyota wa Tanzania, Feisal Salum Abdallah (27). Kwa mujibu wa taarifa kutoka vyanzo vya kuaminika, Al-Ahli Tripoli imekuwa ikimfuatilia Feisal tangu mwezi Agosti 2025, baada ya kuvutiwa na kiwango chake cha juu katika Ligi Kuu ya NBC na timu ya taifa, Taifa Stars. Inadaiwa kuwa klabu hiyo ilituma barua ya kwanza rasmi ya maombi kwa klabu anayochezea Feisal mnamo tarehe 14 Septemba 2025, ikiwa ni hatua ya awali kuelekea mazungumzo ya kuhitimisha dili hilo. Endapo mchakato huo utakamilika, Feisal Salum ataungana na wachezaji kadhaa wa Afrika Mashariki waliowahi kucheza katika ligi ya Libya, ligi inayojulikana kwa malipo mazuri na ushindani mkubwa katika ukanda wa Afrika Kaskazini. Feisal, ambaye pia ni mchezaji muhimu wa Taifa Stars, ameendelea kuvutia vilabu kadhaa vya nje kutokana na ubora wake wa kiufundi, nidhamu, na uzoefu mkubwa katika soka la kimataifa. Kwa sasa, klabu anayochezea Feisal haijatoa tamko rasmi kuhusu ofa hiyo, huku mashabiki wakiendelea kusubiri matokeo ya mazungumzo kati ya pande hizo mbili.
    0 Comments 0 Shares 1K Views
  • Msimamo wa Ligi ya @championshiptz ya @nbc_tanzania

    @tanfootball @championshiptz @nbc_tanzania @fifaplus
    Msimamo wa Ligi ya @championshiptz ya @nbc_tanzania 📊 @tanfootball @championshiptz @nbc_tanzania @fifaplus
    0 Comments 0 Shares 781 Views
  • RATIBA YA LEO IJUMAA YA OCTOBER 24 - 2025

    16:00 - Mbeya City JKT Tanzania FC

    🏟 17:00 - Azam FC KMKM FC

    21:00 - Al Ittihad FC Al Hilal FC

    21:45 - Weder Bremen Union Berlin

    21:45 - Paris FC Nantes

    21:45 - AC Milan Pisa FC

    21:45 - Sporting Anderlecht

    22:00 - Preston Sheffield United

    22:00 - Real Sociedad Sevilla FC

    22:00 - Leeds United West Ham United
    🚨 RATIBA YA LEO IJUMAA YA OCTOBER 24 - 2025 🇹🇿 16:00 - Mbeya City ⚔️ JKT Tanzania FC 🏟 17:00 - Azam FC ⚔️ KMKM FC 🇸🇦21:00 - Al Ittihad FC ⚔️ Al Hilal FC 🇩🇪 21:45 - Weder Bremen ⚔️ Union Berlin 🇫🇷 21:45 - Paris FC ⚔️ Nantes 🇮🇹 21:45 - AC Milan ⚔️ Pisa FC 🇧🇪 21:45 - Sporting ⚔️ Anderlecht 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 22:00 - Preston ⚔️ Sheffield United 🇪🇸 22:00 - Real Sociedad ⚔️ Sevilla FC 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 22:00 - Leeds United ⚔️ West Ham United
    0 Comments 0 Shares 829 Views
  • SACKED

    Fadlu Davids ameondoka Simba SC

    Uamuzi umefanywa na kukubaliwa, faili lake limefungwa.

    Kocha huyo raia wa Afrika Kusini alikeisha ifahamisha klabu hiyo msimamo wake baada ya kupoteza imani na kutojihisi salama tena kufuatia matamshi ya vitisho kutoka kwa baadhi ya viongozi wa juu wa klabu ya Simba SC Tanzania.

    FADLU anaona kwa usalama wake binafsi haupo na amepoteza kujiamini ndani ya klabu hiyo.
    Kocha FADLU ataondoka pamoja na benchi lake lote la ufundi isipokuwa kocha Seleman Abdallah Matola

    Thank you Fadlu

    Ozil Kiiza Morris
    Kita A Kita
    SACKED Fadlu Davids ameondoka Simba SC Uamuzi umefanywa na kukubaliwa, faili lake limefungwa. ✍️ Kocha huyo raia wa Afrika Kusini alikeisha ifahamisha klabu hiyo msimamo wake baada ya kupoteza imani na kutojihisi salama tena kufuatia matamshi ya vitisho kutoka kwa baadhi ya viongozi wa juu wa klabu ya Simba SC Tanzania. FADLU anaona kwa usalama wake binafsi haupo na amepoteza kujiamini ndani ya klabu hiyo. Kocha FADLU ataondoka pamoja na benchi lake lote la ufundi isipokuwa kocha Seleman Abdallah Matola Thank you Fadlu Ozil Kiiza Morris Kita A Kita
    Yay
    1
    0 Comments 0 Shares 1K Views
  • RATIBA YA LEO JUMAPILI YA SEPTEMBER 21 - 2025

    13:30 - SS Lazio AS Roma

    15:00 - Rayo Vallecano Celta Vigo

    15:30 - PSV Eindhoven Ajax

    16:00 - Torino FC Atalanta BC

    16:00 - Sunderland Aston Villa

    16:00 - Bournemouth Newcastle United

    16:00 - Mashujaa FC Mtibwa Sugar

    16:30 - Frankfurt Union Berlin

    17:15 - Real Mallorca Atletico Madrid

    17:30 - Partick Thistle Celtic FC

    17:45 - Az Alkmaar Feyenoord

    18:15 - AS Monaco Metz

    18:30 - Bayer Leverkusen M'gladbach

    18:30 - Arsenal FC Manchester City

    19:00 - Namungo FC Tanzania Prisons

    19:00 - Fiorentina Como FC

    20:00 - Kasimpasa Fenerbahce FK

    20:30 - Dortmund Wolfsburg

    21:45 - Inter Milan Sassuolo

    21:45 - Marseille Paris Saint Germain

    22:00 - Barcelona Getafe FC
    🚨 RATIBA YA LEO JUMAPILI YA SEPTEMBER 21 - 2025 🇮🇹 13:30 - SS Lazio ⚔️ AS Roma 🇪🇸 15:00 - Rayo Vallecano ⚔️ Celta Vigo 🇳🇱 15:30 - PSV Eindhoven ⚔️ Ajax 🇮🇹 16:00 - Torino FC ⚔️ Atalanta BC 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 16:00 - Sunderland ⚔️ Aston Villa 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 16:00 - Bournemouth ⚔️ Newcastle United 🇹🇿 16:00 - Mashujaa FC ⚔️ Mtibwa Sugar 🇩🇪 16:30 - Frankfurt ⚔️ Union Berlin 🇪🇸 17:15 - Real Mallorca ⚔️ Atletico Madrid 🏴󠁧󠁢󠁳󠁣󠁴󠁿 17:30 - Partick Thistle ⚔️ Celtic FC 🇳🇱 17:45 - Az Alkmaar ⚔️ Feyenoord 🇫🇷 18:15 - AS Monaco ⚔️ Metz 🇩🇪 18:30 - Bayer Leverkusen ⚔️ M'gladbach 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 18:30 - Arsenal FC ⚔️ Manchester City 🇹🇿 19:00 - Namungo FC ⚔️ Tanzania Prisons 🇮🇹 19:00 - Fiorentina ⚔️ Como FC 🇹🇷 20:00 - Kasimpasa ⚔️ Fenerbahce FK 🇩🇪 20:30 - Dortmund ⚔️ Wolfsburg 🇮🇹 21:45 - Inter Milan ⚔️ Sassuolo 🇫🇷 21:45 - Marseille ⚔️ Paris Saint Germain 🇪🇸 22:00 - Barcelona ⚔️ Getafe FC
    Love
    1
    0 Comments 0 Shares 1K Views
  • Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kigoma Mjini kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Clayton Chipando almaarufu Baba Levo akisalimiana na viongozi wa dini mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Katosho kunapofanyika kampeni za kuomba kura za Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, wabunge na madiwani wa mkoa huo kupitia CCM.
    Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kigoma Mjini kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Clayton Chipando almaarufu Baba Levo akisalimiana na viongozi wa dini mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Katosho kunapofanyika kampeni za kuomba kura za Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, wabunge na madiwani wa mkoa huo kupitia CCM.
    Like
    2
    0 Comments 0 Shares 855 Views
  • Msanii wa Bongo Fleva, @officialzuchu , ataandika historia mpya leo akiwa kama msanii mkuu atakayetoa burudani katika Fainali za African Nation Champion League (CHAN) 2024.

    Zuchu atatoa burudani ya kipekee katika Tamasha hilo kubwa ambalo litafanyika leo Jumamosi, tarehe 30 Agosti 2025, katika Uwanja wa Kasarani jijini Nairobi, Kenya, likiwakutanisha Madagascar dhidi ya Morocco.

    Wakati macho ya wapenzi wa soka yakiwa kwa fainali hiyo, masikio na mioyo ya mashabiki wa muziki yataelekezwa kwa Zuchu, ambaye atapanda jukwaani kuonyesha uwezo wake na kuwakilisha Tanzania katika anga ya kimataifa.

    | @errymars_

    #ManaraTV
    #ManaraTVUpdates
    Msanii wa Bongo Fleva, @officialzuchu , ataandika historia mpya leo akiwa kama msanii mkuu atakayetoa burudani katika Fainali za African Nation Champion League (CHAN) 2024. Zuchu atatoa burudani ya kipekee katika Tamasha hilo kubwa ambalo litafanyika leo Jumamosi, tarehe 30 Agosti 2025, katika Uwanja wa Kasarani jijini Nairobi, Kenya, likiwakutanisha Madagascar dhidi ya Morocco. Wakati macho ya wapenzi wa soka yakiwa kwa fainali hiyo, masikio na mioyo ya mashabiki wa muziki yataelekezwa kwa Zuchu, ambaye atapanda jukwaani kuonyesha uwezo wake na kuwakilisha Tanzania 🇹🇿 katika anga ya kimataifa. ✍️| @errymars_ #ManaraTV #ManaraTVUpdates
    0 Comments 0 Shares 2K Views
  • Tanzania ni miongoni mwa Mataifa yatakayoshiriki mashindano matatu ya efootball Mobile, Console na Rocket kuanzia Septemba 2, 2025 kwa njia ya mtandao, wakali wa PS ni wakati wenu kujisajili kushiriki mashindano hayo kuelekea Kombe la Dunia 2025, jisajili kupata akaunti ya FIFA ID kupitia tovuti ya fifa.gg ili kutambulika kama mchezaji ambaye unaweza kupata fursa ya kuwa mchezaji wa Timu ya Taifa ya Tanzania. @fifae

    haya sasa wa Dream league mje mtwambie ligi yenu lini
    🚨🚨Tanzania ni miongoni mwa Mataifa yatakayoshiriki mashindano matatu ya efootball Mobile, Console na Rocket kuanzia Septemba 2, 2025 kwa njia ya mtandao, wakali wa PS ni wakati wenu kujisajili kushiriki mashindano hayo kuelekea Kombe la Dunia 2025, jisajili kupata akaunti ya FIFA ID kupitia tovuti ya fifa.gg ili kutambulika kama mchezaji ambaye unaweza kupata fursa ya kuwa mchezaji wa Timu ya Taifa ya Tanzania. @fifae haya sasa wa Dream league mje mtwambie ligi yenu lini😂😂😂😂
    0 Comments 0 Shares 1K Views
  • Klabu ya Chelsea inayoshiriki ligi kuu nchini Uingereza ,imetoa Posho za wachezaji walizozipata baada ya kutwaa ubingwa wa kombe la dunia la vilabu kwa familia ya aliyekuwa mchezaji wa Liverpool marehemu Diogo Jota aliyefariki kwa ajali ya gari mwezi June mwaka huu.

    Chelsea wametoa kiasi cha dola milioni 15.5 ambazo ni zaidi ya bilioni 39 kwa pesa za Tanzania,jambo ambalo limewafurahisha mashabiki wengi wa soka ulimwenguni.

    #SportsElite
    🚨🚨Klabu ya Chelsea inayoshiriki ligi kuu nchini Uingereza ,imetoa Posho za wachezaji walizozipata baada ya kutwaa ubingwa wa kombe la dunia la vilabu kwa familia ya aliyekuwa mchezaji wa Liverpool marehemu Diogo Jota aliyefariki kwa ajali ya gari mwezi June mwaka huu. Chelsea wametoa kiasi cha dola milioni 15.5 ambazo ni zaidi ya bilioni 39 kwa pesa za Tanzania,jambo ambalo limewafurahisha mashabiki wengi wa soka ulimwenguni. #SportsElite
    0 Comments 0 Shares 1K Views
  • Klabu ya Yanga imekamlisha usajili wa Mchezaji Edmund John kutoka Singida Black Stars

    Edmund John ni miongoni mwa wachezaji wa Yanga ambao wamewasili Rwanda kwaajili ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Rayon Sports siku ya Ijumaa

    Edmund raia wa Tanzania anajiunga na Yanga kwa mkataba wa miaka miwili.


    #SportsElite
    🚨🚨Klabu ya Yanga imekamlisha usajili wa Mchezaji Edmund John kutoka Singida Black Stars Edmund John ni miongoni mwa wachezaji wa Yanga ambao wamewasili Rwanda kwaajili ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Rayon Sports siku ya Ijumaa Edmund raia wa Tanzania anajiunga na Yanga kwa mkataba wa miaka miwili. #SportsElite
    0 Comments 0 Shares 947 Views
  • Klabu ya Singida Black Stars imekamilisha usajili wa mshambuliaji raia wa Congo DR Malanga Horso Mwaku (21).

    Tayari ameshawaaga FC Lupopo , Mkataba wa miaka 3 umesainiwa tayari .

    Muda wowote kuanzia sasa kuwasili Tanzania ili kujiunga na waajiri wake hao wapya .

    #SportsElite
    🚨🚨Klabu ya Singida Black Stars imekamilisha usajili wa mshambuliaji raia wa Congo DR Malanga Horso Mwaku (21). Tayari ameshawaaga FC Lupopo , Mkataba wa miaka 3 umesainiwa tayari . Muda wowote kuanzia sasa kuwasili Tanzania ili kujiunga na waajiri wake hao wapya . #SportsElite
    0 Comments 0 Shares 808 Views
  • Kelvin John mtanzania anaecheza Ligi kuu ya Denmark katika timu ya Aalborg fc ni kinara wa upachikaji mabao katika ligi hiyo baada ya kufunga tena leo magori mawili. Baada ya mpira kuisha mashabiki uwanja mzima wameiba jina lakee wakiita "Tanzanian John Kelvin John John John" Hongera kwake kwa kuiwakilisha vyema bendera ya Tanzania.

    #sportselite
    Kelvin John mtanzania anaecheza Ligi kuu ya Denmark katika timu ya Aalborg fc ni kinara wa upachikaji mabao katika ligi hiyo baada ya kufunga tena leo magori mawili. Baada ya mpira kuisha mashabiki uwanja mzima wameiba jina lakee wakiita "Tanzanian John Kelvin John John John" 👏👏 Hongera kwake kwa kuiwakilisha vyema bendera ya Tanzania. #sportselite
    0 Comments 0 Shares 612 Views
  • Klabu ya Simba Sc imethibitisha kumsajili kiungo mkabaji Hussein Daudi Semfuko (21) raia wa Tanzania kwa mkataba wa miaka mitatu utakaombakisha klabuni hapo mpaka Juni 2028 akitokea Coastal Union

    #SportsElite
    🚨🚨Klabu ya Simba Sc imethibitisha kumsajili kiungo mkabaji Hussein Daudi Semfuko (21) raia wa Tanzania kwa mkataba wa miaka mitatu utakaombakisha klabuni hapo mpaka Juni 2028 akitokea Coastal Union #SportsElite
    0 Comments 0 Shares 842 Views
  • #CONFIRMED;Ligi kuu Tanzania Nbc premier league inatarajiwa kuanza September 16,2025

    #NBCPremierLeague #Tff #BodiYaLigi

    #SportsElite
    🚨#CONFIRMED;Ligi kuu Tanzania Nbc premier league inatarajiwa kuanza September 16,2025 #NBCPremierLeague #Tff #BodiYaLigi #SportsElite
    0 Comments 0 Shares 2K Views
  • 𝐑𝐀𝐒𝐌𝐈: Klabu ya Yanga Sc imethibitisha kumsajili beki wa kulia Israel Patrick Mwenda kwa mkataba wa miaka mitatu utakaombakisha klabuni hapo mpaka Juni 2028 akitokea Singida Black Stars.

    Mwenda (25) raia wa Tanzania ambaye alicheza Yanga Sc kwa mkopo msimu uliopita ameamua kuendelea kuwatumikia Wananchi mpaka 2028.

    #SportsElite
    📝 𝐑𝐀𝐒𝐌𝐈: Klabu ya Yanga Sc imethibitisha kumsajili beki wa kulia Israel Patrick Mwenda kwa mkataba wa miaka mitatu utakaombakisha klabuni hapo mpaka Juni 2028 akitokea Singida Black Stars. Mwenda (25) raia wa Tanzania ambaye alicheza Yanga Sc kwa mkopo msimu uliopita ameamua kuendelea kuwatumikia Wananchi mpaka 2028. #SportsElite
    0 Comments 0 Shares 979 Views
More Results