• BIASHARA MATANGAZO, TANGAZA NASI KWA BEI NAFUU
    #sokachampions #Digitalcomedy
    BIASHARA MATANGAZO, TANGAZA NASI KWA BEI NAFUU👇 #sokachampions #Digitalcomedy
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·4 مشاهدة
  • Niliandika kwa ufupi lakini bado uyu mtoto amepata 10,000 tu
    So far!!!

    Huyu mtoto anaitwa jenifa miaka yake ni 9 aliokotwa ametumwa akiwa na mwaka mmoja
    Bibi alimwokota na kumlea lakini kila alivyo kuwa alionyesha ni mlemavu na aongei kabisa

    Mwaka jana nilipigwa simu kupewa taalifa zake lakini alikuwa akiomba Wheelchair NIKAOMBA waje Dar es Salaam!! Walifika na nikaona si mbaya aende CCBRT KWA UCHUNGUZI

    ALICHUNGUZWA NA MAJIBU YALIONYESHA ANAWEZA TEMBEA AKIFANYIWA MATIBABU BASI KWAKUWA MUDA WA KUKAA NA SIKUWA NA PROGRAM YA KUMWOMBEA ATIBIWE WARIRUDI IRINGA!!!

    NDUGU ZANGU WEEK MBILI ZILIZO PITA NIKATAFUTWA NA MWALIMU WA SHULE YA MSINGI KUSHINIKIZA ASAIDIWE ANAAKILI SANA ILA. BIBI AONI KWAHIYO HATA SHULE SASA AMESIMAMA
    HII ILINIUMA AS MOMY OR SISTER
    " DISABILITY NOT INABILITY"

    NA GHARAMA WA MATIBABU NI 400K
    USAFIRI 50K
    TUNAHITAJI LAKI 500K
    ELFY 50K NI EMERGENCY

    NAOMBA GUSWA SI LAZIMA KIKUBWA HATA KIDOGO UNAWEZA TOA

    SADAKA NI IBADA

    0777787549
    TIGOPESA
    SHAKILA NANTAMBALELE
    Niliandika kwa ufupi lakini bado uyu mtoto amepata 10,000 tu 🥵 😭 So far!!! Huyu mtoto anaitwa jenifa miaka yake ni 9 aliokotwa ametumwa akiwa na mwaka mmoja Bibi alimwokota na kumlea lakini kila alivyo kuwa alionyesha ni mlemavu na aongei kabisa Mwaka jana nilipigwa simu kupewa taalifa zake lakini alikuwa akiomba Wheelchair NIKAOMBA waje Dar es Salaam!! Walifika na nikaona si mbaya aende CCBRT KWA UCHUNGUZI ALICHUNGUZWA NA MAJIBU YALIONYESHA ANAWEZA TEMBEA AKIFANYIWA MATIBABU BASI KWAKUWA MUDA WA KUKAA NA SIKUWA NA PROGRAM YA KUMWOMBEA ATIBIWE WARIRUDI IRINGA!!! NDUGU ZANGU WEEK MBILI ZILIZO PITA NIKATAFUTWA NA MWALIMU WA SHULE YA MSINGI KUSHINIKIZA ASAIDIWE ANAAKILI SANA ILA. BIBI AONI KWAHIYO HATA SHULE SASA AMESIMAMA 😭😭😭 HII ILINIUMA AS MOMY OR SISTER " DISABILITY NOT INABILITY" NA GHARAMA WA MATIBABU NI 400K USAFIRI 50K TUNAHITAJI LAKI 500K ELFY 50K NI EMERGENCY NAOMBA GUSWA SI LAZIMA KIKUBWA HATA KIDOGO UNAWEZA TOA SADAKA NI IBADA 0777787549 TIGOPESA SHAKILA NANTAMBALELE
    Like
    1
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·22 مشاهدة
  • Alejandro Garnacho amekataa uhamisho kwenda Al Nassr kwa sababu anapendelea kusalia barani Ulaya.

    (Chanzo: Telegraph)

    #SportsElite
    🚨Alejandro Garnacho amekataa uhamisho kwenda Al Nassr kwa sababu anapendelea kusalia barani Ulaya. (Chanzo: Telegraph) #SportsElite
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·20 مشاهدة
  • Manchester United inavutiwa na kinda wa Manchester City Tyrese Noubissie 16

    Alijiunga Man City 2023 kwa ada ya £1M.

    (Source: @StevenRailston)

    #SportsElite
    🚨 Manchester United inavutiwa na kinda wa Manchester City Tyrese Noubissie 16 Alijiunga Man City 2023 kwa ada ya £1M. (Source: @StevenRailston) #SportsElite
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·18 مشاهدة
  • Mambo kumi muhimu ambayo ukiyafuata yatakupa mafanikio .

    1.Mafanikio ni kanuni na moja ya kanuni ni uzalishaji.*law of production*

    #Mathayo 25:14-30.
    Kwa kanuni kabla ujala kabisa pesa yoyote lazima uzalishe kwanza.

    2.Kuokoka bila kanuni za mafanikio *law of multiplying* hakuzuii kufa masikini.

    #Wafalme 4:1-7
    Unaweza kuwa unatoa pepi na unamcha sana Mungu lakini bado ukafa masikini.

    3.Mafanikio yanategemea sana uwezo wako ulio nao ,usipo kuwa na uwezo uwezi kufanikiwa

    #waamuzi 6:14

    4.ili Mungu akufanikishe akukute na kitu cha kuanzia .

    #2wafalme 4:2
    Mafanikio yake au ulipaji madeni ulianzia katika chupa ya mafuta.

    5.Utajiri ni nguvu anayo kupa Bwana ili aimaliahe agano na wewe.

    #Ndipo utamkumbuka Bwana Mungu wako akupaye nguvu ya kuupata utajiri.

    6.Akuna aliye fanikiwa arafu atoi fungu la kumi.

    Ibrahimu alikuwa mtu wa kwanza kabisa na alifanikiwa ndiye aliye anza kutoa fungu la kumi.

    Matajiri wote duniani wanajua siri ya hii na wanatoa either kwa waganga au kwa Mungu.
    #Malaki 3:10

    7.Mafanikio ya mtu yamebebwa ndani ya kitu kinacho itwa baraka ya Bwana.

    #Mithali 10:22

    8.Mafanikio yategemea sana na akiba unayo weka kipindi unacho .

    Yesu mwenyewe alijua hilo baada ya muujiza wa mikate mitano na samaki wawili bado aliwambia wakusanye vipande vilivyo baki.

    9.mafanikio mara zote yanategemea sana na aina ya watu ulio chagua kuambatana nao.

    Mwana mpotevu aliambatana na watu waovyo akatapanya mali zote na akaanza kujiona sawa na nguruwe.

    Ko kumbe kabla ujaomba mali omba Mungu akupe watu wa maana.

    #isaya 43:4

    10.Mafanikio yote yanaanzia katika mawazo ndiko chimbuko la umasikini au utajiri .

    #Kwa maana ajionavyo mtu nafsini mwake ndivyo alivyo.

    All in all mawazo ya mungu kwako ni kukufanya ufanikiwe ila bahati mbaya wewe ndiye una kiuka taratibu.
    #yeremia 29:11

    Kama unapenda kuendelea kujifunza tuma neno Add kwa namba 0622625340

    Ili uendelee kujifunza katika group zetu .

    Ahsante sana naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden ministry)
    #build new eden
    #Restore men position
    Mambo kumi muhimu ambayo ukiyafuata yatakupa mafanikio . 1.Mafanikio ni kanuni na moja ya kanuni ni uzalishaji.*law of production* #Mathayo 25:14-30. Kwa kanuni kabla ujala kabisa pesa yoyote lazima uzalishe kwanza. 2.Kuokoka bila kanuni za mafanikio *law of multiplying* hakuzuii kufa masikini. #Wafalme 4:1-7 Unaweza kuwa unatoa pepi na unamcha sana Mungu lakini bado ukafa masikini. 3.Mafanikio yanategemea sana uwezo wako ulio nao ,usipo kuwa na uwezo uwezi kufanikiwa #waamuzi 6:14 4.ili Mungu akufanikishe akukute na kitu cha kuanzia . #2wafalme 4:2 Mafanikio yake au ulipaji madeni ulianzia katika chupa ya mafuta. 5.Utajiri ni nguvu anayo kupa Bwana ili aimaliahe agano na wewe. #Ndipo utamkumbuka Bwana Mungu wako akupaye nguvu ya kuupata utajiri. 6.Akuna aliye fanikiwa arafu atoi fungu la kumi. Ibrahimu alikuwa mtu wa kwanza kabisa na alifanikiwa ndiye aliye anza kutoa fungu la kumi. Matajiri wote duniani wanajua siri ya hii na wanatoa either kwa waganga au kwa Mungu. #Malaki 3:10 7.Mafanikio ya mtu yamebebwa ndani ya kitu kinacho itwa baraka ya Bwana. #Mithali 10:22 8.Mafanikio yategemea sana na akiba unayo weka kipindi unacho . Yesu mwenyewe alijua hilo baada ya muujiza wa mikate mitano na samaki wawili bado aliwambia wakusanye vipande vilivyo baki. 9.mafanikio mara zote yanategemea sana na aina ya watu ulio chagua kuambatana nao. Mwana mpotevu aliambatana na watu waovyo akatapanya mali zote na akaanza kujiona sawa na nguruwe. Ko kumbe kabla ujaomba mali omba Mungu akupe watu wa maana. #isaya 43:4 10.Mafanikio yote yanaanzia katika mawazo ndiko chimbuko la umasikini au utajiri . #Kwa maana ajionavyo mtu nafsini mwake ndivyo alivyo. All in all mawazo ya mungu kwako ni kukufanya ufanikiwe ila bahati mbaya wewe ndiye una kiuka taratibu. #yeremia 29:11 Kama unapenda kuendelea kujifunza tuma neno Add kwa namba 0622625340 Ili uendelee kujifunza katika group zetu . Ahsante sana naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden ministry) #build new eden #Restore men position
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·54 مشاهدة
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Juventus imetuma ofa ya €15M kwa Manchester United juu ya uhamisho wa Jadon Sancho, ambae sasa kwenye kikosi cha kocha Ruben Amorim hayuko kwenye mpango wake. .
    🚨💣 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Juventus imetuma ofa ya €15M kwa Manchester United juu ya uhamisho wa Jadon Sancho, ambae sasa kwenye kikosi cha kocha Ruben Amorim hayuko kwenye mpango wake. . ⚫⚪
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·30 مشاهدة
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Patrick Agyemang hato jumuishwa kwenye kikosi cha Charlotte FC kwenye mechi leo usku dhidi ya NYCFC na tayari yuko mbioni kukamilisha uhamisho kwenda Derby County.

    Vipimo vya afya tayari vimekamilika Alhamisi iliyo pita. Na dili limekamilika kwa ada ya $8M na nyongeza ya $2M...
    🚨💣 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: 🇺🇸 Patrick Agyemang hato jumuishwa kwenye kikosi cha Charlotte FC kwenye mechi leo usku dhidi ya NYCFC na tayari yuko mbioni kukamilisha uhamisho kwenda Derby County. Vipimo vya afya tayari vimekamilika Alhamisi iliyo pita. Na dili limekamilika kwa ada ya $8M na nyongeza ya $2M...
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·40 مشاهدة
  • Baada ya kurejea timu yake ya zamani Rosario de Central, Angel de Maria leo ataanza kwenye mchezo wake wa kwanza dhidi ya Godoy Cruz mchezo wa ligi kuu nchini Argentina.

    Rosario de Central ndio timu iliyomtoa Di maria kabla ya kutimkia vilabu vya ulaya kama vile Benfica, Real Madrid, Manchester united pamoja na PSG.

    #SportsElite
    Baada ya kurejea timu yake ya zamani Rosario de Central, Angel de Maria leo ataanza kwenye mchezo wake wa kwanza dhidi ya Godoy Cruz mchezo wa ligi kuu nchini Argentina. Rosario de Central ndio timu iliyomtoa Di maria kabla ya kutimkia vilabu vya ulaya kama vile Benfica, Real Madrid, Manchester united pamoja na PSG. #SportsElite
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·57 مشاهدة
  • | JUST IN

    Barcelona na Frenkie de Jong wako kwenye hatua za mwisho za kusaini mkataba wa muda mrefu hadi Juni 2029, na chaguo la mwaka mmoja zaidi. Mazungumzo sasa yako katika hatua za juu na yanaendelea vyema.

    Ili kusaidia uthabiti wa kifedha wa klabu, De Jong anakubali kupunguza mshahara wake kwa kiasi kikubwa—kutoka zaidi ya €700k kwa wiki (kutokana na malipo yaliyocheleweshwa hapo awali) hadi kiasi cha kudumu kati ya €200k na €250k kwa wiki.

    Source [ Transfer News]

    #SportsElite
    🚨 | JUST IN Barcelona na Frenkie de Jong wako kwenye hatua za mwisho za kusaini mkataba wa muda mrefu hadi Juni 2029, na chaguo la mwaka mmoja zaidi. Mazungumzo sasa yako katika hatua za juu na yanaendelea vyema. 🔵🔴 Ili kusaidia uthabiti wa kifedha wa klabu, De Jong anakubali kupunguza mshahara wake kwa kiasi kikubwa—kutoka zaidi ya €700k kwa wiki (kutokana na malipo yaliyocheleweshwa hapo awali) hadi kiasi cha kudumu kati ya €200k na €250k kwa wiki. 💰 Source [ Transfer News] #SportsElite
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·77 مشاهدة
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Manchester United inaimani ya kulipa $8m kwa John Victor kama ada ya uhamisho wa golikipa huyo wa Botafogo.

    #SportsElite
    🚨💣 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Manchester United inaimani ya kulipa $8m kwa John Victor kama ada ya uhamisho wa golikipa huyo wa Botafogo. #SportsElite
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·47 مشاهدة
  • TAARIFA KWA UMMA... FABRICE LUAMBA NGOMA Hatutakua nae kwenye msimu ujao kilala kheri

    #paulswai
    TAARIFA KWA UMMA... FABRICE LUAMBA NGOMA Hatutakua nae kwenye msimu ujao kilala kheri #paulswai
    Like
    Love
    2
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·76 مشاهدة
  • Tumemtoa kwa mkopo Omary Omary kwenda Mashujaa FC. Taarifa zaidi fungua Simba App. #NguvuMoja

    #paulswai
    ℹ️ Tumemtoa kwa mkopo Omary Omary kwenda Mashujaa FC. Taarifa zaidi fungua Simba App. #NguvuMoja #paulswai
    Like
    Love
    2
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·111 مشاهدة
  • WAZEE WANASEMA;

    "Mtu anayekwenda hospitalini na kuishia kueleza ugonjwa wa mwenzake kuliko ugonjwa wake, hakika atarudi nyumbani akiwa mgonjwa bado." Tutambue kwamba nisitegemee mwenzangu ameze dawa ili ugonjwa wangu upone. Dawa napaswa nimeze mimi. Mara nyingi tunaona shida za wenzetu kuliko za kwetu. Tunafikiria ati wenzetu ndio wenye matatizo bila kujua kwamba matatizo yapo kwetu sisi wenyewe. Tunataka wenzetu wakameze dawa wakati sisi ndio wagonjwa. Tujiulize, dawa zetu tutameza saa ngapi? Unataka mzinzi au aliyefumaniwa akameze dawa-jiulize, na wewe dawa yako ya umbea utameza saa ngapi?, dawa zako za uchoyo, ukatili utazimeza lini?"

    Pd.PK,
    WAZEE WANASEMA; "Mtu anayekwenda hospitalini na kuishia kueleza ugonjwa wa mwenzake kuliko ugonjwa wake, hakika atarudi nyumbani akiwa mgonjwa bado." Tutambue kwamba nisitegemee mwenzangu ameze dawa ili ugonjwa wangu upone. Dawa napaswa nimeze mimi. Mara nyingi tunaona shida za wenzetu kuliko za kwetu. Tunafikiria ati wenzetu ndio wenye matatizo bila kujua kwamba matatizo yapo kwetu sisi wenyewe. Tunataka wenzetu wakameze dawa wakati sisi ndio wagonjwa. Tujiulize, dawa zetu tutameza saa ngapi? Unataka mzinzi au aliyefumaniwa akameze dawa-jiulize, na wewe dawa yako ya umbea utameza saa ngapi?, dawa zako za uchoyo, ukatili utazimeza lini?" ©️Pd.PK,
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·92 مشاهدة
  • FABRICE NGOMA AMPEWA MKONO WA KWA HERI
    FABRICE NGOMA AMPEWA MKONO WA KWA HERI
    Like
    1
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·56 مشاهدة
  • OMARY OMARY AMEPELEKWA MASHUJAA FC KWA MKOPO
    OMARY OMARY AMEPELEKWA MASHUJAA FC KWA MKOPO
    Like
    1
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·54 مشاهدة
  • Chelsea wameweka bei ya pauni milioni 100 kwa mshambuliaji wao Nicolas Jackson, wakitoa ujumbe wazi kwa vilabu vinavyomtaka kuwa hawako tayari kumuachia kirahisi.

    #SportsElite
    Chelsea wameweka bei ya pauni milioni 100 kwa mshambuliaji wao Nicolas Jackson, wakitoa ujumbe wazi kwa vilabu vinavyomtaka kuwa hawako tayari kumuachia kirahisi. #SportsElite
    Like
    1
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·58 مشاهدة
  • Manchester United imepokea ofa ya £6M kwa uhamisho wa Anthony Elanga kwenda Newcastle.

    (Source: @sistoney67)

    #SportsElite
    🚨 Manchester United imepokea ofa ya £6M kwa uhamisho wa Anthony Elanga kwenda Newcastle. (Source: @sistoney67) #SportsElite
    Like
    1
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·39 مشاهدة
  • Tottenham Hotspur bado Ina nia ya kumsaini Yoane Wissa.

    Japokuwa bado hakuna mawasiliano yoyote tangu dau lilipo wekwa bayana £50M.

    (Source: Standard Sport)

    #SportsElite
    🚨 Tottenham Hotspur bado Ina nia ya kumsaini Yoane Wissa. Japokuwa bado hakuna mawasiliano yoyote tangu dau lilipo wekwa bayana £50M. (Source: Standard Sport) #SportsElite
    Like
    1
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·57 مشاهدة
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Sporting CP imefikia makubaliano na Alberto Costa kwa mkataba hadi 2030 na Juventus atapokea €18 (pamoja na bonasi zote) ili kukamilisha dili hilo.

    Juventus wanahitaji kiasi kikubwa zaidi ya ofa iliopo mezani, mazungumzo bado yanaendelea..

    #SportsElite
    🚨💣 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Sporting CP imefikia makubaliano na Alberto Costa kwa mkataba hadi 2030 na Juventus atapokea €18 (pamoja na bonasi zote) ili kukamilisha dili hilo. 💚 Juventus wanahitaji kiasi kikubwa zaidi ya ofa iliopo mezani, mazungumzo bado yanaendelea.. #SportsElite
    Like
    1
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·35 مشاهدة
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Wesley yuko karibu kujiunga na AS Roma kutokea Flamengo, kwa mkataba hadi 2030.
    🚨💣 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Wesley yuko karibu kujiunga na AS Roma kutokea Flamengo, kwa mkataba hadi 2030. ❤️💛
    Like
    1
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·42 مشاهدة
الصفحات المعززة