• Cristiano Ronaldo ni Ni moja ya Magwiji wakubwa Sana kwenye soccer Duniani hio Haina hata ubishi wowote... Lakini kwenye hao magwiji lazima utampata Gwiji namba moja, .... Na kama unaakili timamu lazima ulitaje jina la #LIONEL_MESSI ndiye mchezaji Bora Zaidi Duniani,.... Na kwenye huo Ubora unapimwa na vitu alivyo fanikiwa kubeba kwenye soccer ,... Sasa bwana huyu Mchawi mfupi hakuna kitu alicho kiacha kwenye Dunia ya Soka Kwa taarifa yenu

    Any way huyo Alie kua na Ronaldo ni nani
    🌀Cristiano Ronaldo ni Ni moja ya Magwiji wakubwa Sana kwenye soccer Duniani hio Haina hata ubishi wowote...✊ Lakini kwenye hao magwiji lazima utampata Gwiji namba moja, .... Na kama unaakili timamu lazima ulitaje jina la #LIONEL_MESSI ndiye mchezaji Bora Zaidi Duniani,.... Na kwenye huo Ubora unapimwa na vitu alivyo fanikiwa kubeba kwenye soccer ,... Sasa bwana huyu Mchawi mfupi hakuna kitu alicho kiacha kwenye Dunia ya Soka Kwa taarifa yenu😀 Any way huyo Alie kua na Ronaldo ni nani ❔❓😀
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·4 Views
  • Wachezaji wenye magoli na Assist Nyingi Karne ya 21

    Lionel Messi – 1264
    Cristiano Ronaldo – 1196
    Robert Lewandowski – 841
    Luis Suarez – 836
    Zlatan Ibrahimovic – 726
    Karim Benzema – 689
    🚨🚨Wachezaji wenye magoli na Assist Nyingi Karne ya 21 🔥 🇦🇷 Lionel Messi – 1264 🇵🇹 Cristiano Ronaldo – 1196 🇵🇱 Robert Lewandowski – 841 🇺🇾 Luis Suarez – 836 🇸🇪 Zlatan Ibrahimovic – 726 🇫🇷 Karim Benzema – 689
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·112 Views
  • Lionel Messi ameweka rekodi mpya kama mfungaji bora wa mabao mengi zaidi katika historia ya soka bila penalti.

    Mabao kutoka kwa mchezo wa kawaida (bila penalti):
    1️⃣ Lionel Messi – mabao 764
    2️⃣ Cristiano Ronaldo – mabao 763

    Ufanisi wa Messi unazidi kudhihirisha ubora wake wa kipekee ndani ya uwanja.

    #SportsElite
    Lionel Messi ameweka rekodi mpya kama mfungaji bora wa mabao mengi zaidi katika historia ya soka bila penalti. 🐐 Mabao kutoka kwa mchezo wa kawaida (bila penalti): 1️⃣ Lionel Messi – mabao 764 🔝 2️⃣ Cristiano Ronaldo – mabao 763 Ufanisi wa Messi unazidi kudhihirisha ubora wake wa kipekee ndani ya uwanja. #SportsElite
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·230 Views
  • Baada ya Inter Miami kuibuka na ushindi wa magoli 5️⃣ kwa 1️⃣ dhidi ya New York Red alfajiri ya leo

    Lionel Messi akaibuka Mchezaji Bora wa mchezo huo baada ya kuisaidia timu yake kwa kufunga magoli mawili na kutoa assist moja — akiwa amechangia jumla ya magoli matatu!

    Katika michezo saba mfululizo ya Inter Miami, Lionel Messi amefunga kwenye michezo sita (6️⃣) — akiwa ana funga magoli mawili mawili katika mchezo mmoja, isipokuwa mchezo mmoja tu ndio hakuweza kufunga wala kutoa pasi ya goli,

    Takwimu za Messi katika michezo saba ya ligi kuu ya MLS:

    ⚽ Magoli: 12
    Assist: 5
    Jumla ya magoli aliyochangia: 17


    #SportsElite
    🚨 Baada ya Inter Miami kuibuka na ushindi wa magoli 5️⃣ kwa 1️⃣ dhidi ya New York Red alfajiri ya leo 🌅⚽️ 👑 Lionel Messi akaibuka Mchezaji Bora wa mchezo huo baada ya kuisaidia timu yake kwa kufunga magoli mawili ⚽⚽ na kutoa assist moja 🎯 — akiwa amechangia jumla ya magoli matatu! 🔥🙌 📊 Katika michezo saba mfululizo ya Inter Miami, Lionel Messi amefunga kwenye michezo sita (6️⃣) — akiwa ana funga magoli mawili mawili katika mchezo mmoja, isipokuwa mchezo mmoja tu ndio hakuweza kufunga wala kutoa pasi ya goli, 📈 Takwimu za Messi katika michezo saba ya ligi kuu ya MLS: ⚽ Magoli: 12 🎯 Assist: 5 🔢 Jumla ya magoli aliyochangia: 17 #SportsElite
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·273 Views
  • Kutokana na “Sheria ya Beckham” – ambayo inaruhusu vilabu vya MLS (Major League Soccer) kusaini hadi wachezaji watatu walioko nje ya kiwango cha mshahara kilichowekwa (yaani wanaweza kulipwa zaidi au kusajiliwa kwa ada ya uhamisho) – Rodrigo De Paul atajiunga na Inter Miami kwa mkopo wa miezi 6, ukiambatana na kifungu cha lazima cha kumnunua kwa €15 milioni pamoja na bonasi.

    Mkopo huo utaendelea hadi mwisho wa mwaka 2025
    Kuanzia mwaka 2026, atakuwa mchezaji wa kudumu hadi mwaka 2029

    Atlético Madrid watatumia kipengele cha kuongeza mkataba wa De Paul kwa mwaka mmoja hadi katikati ya 2027 ili kuwezesha mkopo huo.

    Mpango uliopo kwa sasa, uliowasilishwa kwa MLS, ni kwamba De Paul hatakuwa mmoja wa wachezaji walioteuliwa kama “Designated Player (DP)” wakati wa mkopo mwaka 2025.
    Hii ina maana kuwa wachezaji watatu waliopo kwenye nafasi za DP katika Inter Miami watabaki kuwa:

    Lionel Messi

    Jordi Alba

    Sergio Busquets

    Chanzo: GIVEMESPORT

    ---

    Hii ni dili kubwa kwa Inter Miami na inaonyesha jinsi wanavyoendelea kujenga kikosi chenye nguvu huku wakizingatia sheria za mshahara wa MLS kwa ustadi.

    #SportsElite
    💣 Kutokana na “Sheria ya Beckham” – ambayo inaruhusu vilabu vya MLS (Major League Soccer) kusaini hadi wachezaji watatu walioko nje ya kiwango cha mshahara kilichowekwa (yaani wanaweza kulipwa zaidi au kusajiliwa kwa ada ya uhamisho) – Rodrigo De Paul atajiunga na Inter Miami kwa mkopo wa miezi 6, ukiambatana na kifungu cha lazima cha kumnunua kwa €15 milioni pamoja na bonasi. 🔹 Mkopo huo utaendelea hadi mwisho wa mwaka 2025 🔹 Kuanzia mwaka 2026, atakuwa mchezaji wa kudumu hadi mwaka 2029 🔹 Atlético Madrid watatumia kipengele cha kuongeza mkataba wa De Paul kwa mwaka mmoja hadi katikati ya 2027 ili kuwezesha mkopo huo. 🇦🇷🦩 ℹ️ Mpango uliopo kwa sasa, uliowasilishwa kwa MLS, ni kwamba De Paul hatakuwa mmoja wa wachezaji walioteuliwa kama “Designated Player (DP)” wakati wa mkopo mwaka 2025. Hii ina maana kuwa wachezaji watatu waliopo kwenye nafasi za DP katika Inter Miami watabaki kuwa: Lionel Messi Jordi Alba Sergio Busquets 🔗 Chanzo: GIVEMESPORT --- Hii ni dili kubwa kwa Inter Miami na inaonyesha jinsi wanavyoendelea kujenga kikosi chenye nguvu huku wakizingatia sheria za mshahara wa MLS kwa ustadi. #SportsElite
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·355 Views
  • Inter Miami yahatarisha kupoteza €300M endapo Messi ataondoka!

    Klabu ya Inter Miami inaweza kupata pigo kubwa kifedha ikiwa Lionel Messi ataondoka. Tangu ajiunge, wameingiza €265M kupitia tiketi za mechi na €29.7M kupitia Apple TV

    #SportsElite
    🚨 Inter Miami yahatarisha kupoteza €300M endapo Messi ataondoka! 😮📉 Klabu ya Inter Miami inaweza kupata pigo kubwa kifedha ikiwa Lionel Messi 🇦🇷 ataondoka. Tangu ajiunge, wameingiza €265M kupitia tiketi za mechi na €29.7M kupitia Apple TV 📺🔥 #SportsElite
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·316 Views
  • Uongozi wa Ligi Kuu ya mpira wa miguu Nchini Marekani , Major League Soccer (MLS), umempiga marufuku Mlinzi binafsi (Bodyguard) wa Lionel Messi, Yassine Cheuko, kuwa kando na kuingia katikati ya Uwanja wakati wa mechi za Inter Miami kwa lengo lake la kumlinda Mwajiri wake Messi.

    Ikumbukwe kwamba Yassine Cheuko, ni Mwanajeshi wa zamani wa kikosi maalumu cha operesheni za kijeshi cha Jeshi la Majini la Marekani (U.S. Navy) kinachobobea katika vita visivyo vya kawaida, kupambana na ugaidi, mashambulizi ya moja kwa moja, na upelelezi wa kijeshi. Tangu Yessine Cheuko aanze kufanya kazi na Messi amejizolea umaarufu mkubwa Duniani kwani ameonekana mara nyingi akiwadhibiti Wavamizi mbalimbali ambao wengi lengo lao huwa sio baya, zaidi wanataka kupiga picha na Messi.

    Tayari uongozi wa Ligi hiyo umemzuia kuingia Uwanjani, sasa ataruhusiwa tu kuwa kwenye Vyumba vya kubadilishia nguo na maeneo ya Waandishi wa habari siku za mechi. Uamuzi huu ni sehemu ya mpango wa (MLS) wa kuchukua mamlaka kamili ya usalama wa mechi.

    Baada ya katazo, Yassine Cheuko ameonyesha kutoridhishwa na hatua hiyo, akisema kuwa Wavamizi wa Uwanja ni tatizo kubwa zaidi Nchini Marekani kuliko Ulaya. Kwa mujibu wake, katika miaka saba aliyofanya kazi Ulaya, kulikuwa na matukio sita pekee ya uvamizi Uwanjani, ilhali katika miezi 20 Nchini Marekani, tayari yameshuhudiwa matukio 16.

    Mlinzi huyo ameendelea kusema kuwa Uongozi wa Ligi Kuu ya Marekani haukutakiwa kumzuia kufanye kazi yake bali walitakiwa kumpa ushirikiano ili kazi hiyo waifanye kwa pamoja kwa sababu eti kipindi yupo barani Ulaya, alipata ushirikiano wa kutosha kutoka kwenye Uongozi na alifanya kazi yake kwa uhuru. Pamoja na kuzuiliwa kuingia Uwanjani au kukaa kando ya Uwanja, Cheuko amesema kuwa ataendelea kufanya kazi yake kama kawaida bila kuvunja sheria au utaratibu uliopo kwenye mchezo wa mpira wa miguu.

    Uongozi wa Ligi Kuu ya mpira wa miguu Nchini Marekani 🇺🇸, Major League Soccer (MLS), umempiga marufuku Mlinzi binafsi (Bodyguard) wa Lionel Messi, Yassine Cheuko, kuwa kando na kuingia katikati ya Uwanja wakati wa mechi za Inter Miami kwa lengo lake la kumlinda Mwajiri wake Messi. Ikumbukwe kwamba Yassine Cheuko, ni Mwanajeshi wa zamani wa kikosi maalumu cha operesheni za kijeshi cha Jeshi la Majini la Marekani (U.S. Navy) kinachobobea katika vita visivyo vya kawaida, kupambana na ugaidi, mashambulizi ya moja kwa moja, na upelelezi wa kijeshi. Tangu Yessine Cheuko aanze kufanya kazi na Messi amejizolea umaarufu mkubwa Duniani kwani ameonekana mara nyingi akiwadhibiti Wavamizi mbalimbali ambao wengi lengo lao huwa sio baya, zaidi wanataka kupiga picha na Messi. Tayari uongozi wa Ligi hiyo umemzuia kuingia Uwanjani, sasa ataruhusiwa tu kuwa kwenye Vyumba vya kubadilishia nguo na maeneo ya Waandishi wa habari siku za mechi. Uamuzi huu ni sehemu ya mpango wa (MLS) wa kuchukua mamlaka kamili ya usalama wa mechi. Baada ya katazo, Yassine Cheuko ameonyesha kutoridhishwa na hatua hiyo, akisema kuwa Wavamizi wa Uwanja ni tatizo kubwa zaidi Nchini Marekani kuliko Ulaya. Kwa mujibu wake, katika miaka saba aliyofanya kazi Ulaya, kulikuwa na matukio sita pekee ya uvamizi Uwanjani, ilhali katika miezi 20 Nchini Marekani, tayari yameshuhudiwa matukio 16. Mlinzi huyo ameendelea kusema kuwa Uongozi wa Ligi Kuu ya Marekani haukutakiwa kumzuia kufanye kazi yake bali walitakiwa kumpa ushirikiano ili kazi hiyo waifanye kwa pamoja kwa sababu eti kipindi yupo barani Ulaya, alipata ushirikiano wa kutosha kutoka kwenye Uongozi na alifanya kazi yake kwa uhuru. Pamoja na kuzuiliwa kuingia Uwanjani au kukaa kando ya Uwanja, Cheuko amesema kuwa ataendelea kufanya kazi yake kama kawaida bila kuvunja sheria au utaratibu uliopo kwenye mchezo wa mpira wa miguu.
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·1χλμ. Views
  • Mtoto wa Lionel Messi, Thiago Messi amefunga mabao (11) kwenye mchezo ulioikutanisha klabu yake ya Inter Miami ya Watoto wenye umri chini ya miaka (13) dhidi ya klabu ya Atlanta United ambapo mchezo umemaliza kwa ushindi Inter Miami wa mabao (12-0).

    Thiago Messi amefanya hivyo kwa kufunga mabao hayo (11) ikiwa ni siku kadhaa zimepita tangu Mtoto wa Cristiano Ronaldo, Cristiano Junior kuifungia klabu yake ya Al Nasr (Watoto) mabao matano (5) kwenye mchezo mmoja.

    Mtoto wa Lionel Messi, Thiago Messi amefunga mabao (11) kwenye mchezo ulioikutanisha klabu yake ya Inter Miami ya Watoto wenye umri chini ya miaka (13) dhidi ya klabu ya Atlanta United ambapo mchezo umemaliza kwa ushindi Inter Miami wa mabao (12-0). Thiago Messi amefanya hivyo kwa kufunga mabao hayo (11) ikiwa ni siku kadhaa zimepita tangu Mtoto wa Cristiano Ronaldo, Cristiano Junior kuifungia klabu yake ya Al Nasr (Watoto) mabao matano (5) kwenye mchezo mmoja.
    Like
    1
    · 1 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·537 Views
  • Hapo ni wakati Joe Biden ambaye ni Rais wa Marekani akimsubiri Lionel Messi ili ampe metali uhuru lakini Mwargentina huyo akifika eneo la tukio wala hakutuma Mtu yeyote kumwakilisha.

    Hapo ni wakati Joe Biden ambaye ni Rais wa Marekani 🇺🇸 akimsubiri Lionel Messi ili ampe metali uhuru lakini Mwargentina huyo akifika eneo la tukio wala hakutuma Mtu yeyote kumwakilisha.
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·470 Views
  • 𝗙𝗔𝗖𝗧𝗦 𝗭𝗔 𝗞𝗨𝗦𝗛𝗔𝗡𝗚𝗔𝗭𝗔

    ➜ Mtoto wa Cristiano Ronaldo, Ronaldo Junior na mtoto wa Lionel Messi, Thiago Andreas Messi wanapishana siku (869) za kuzaliwa, sawa na umri wanaopishana baba zao Lionel Messi na Cristiano Ronaldo

    ➜ Kocha Jose Mourinho hakuwahi kupoteza mechi nyumbani kwa muda wa miaka (9) sawa na Michezo (150) akiwa kocha wa FC Porto, Chelsea, Inter Milan na Real Madrid kuanzia 16 March 2002 hadi 2 April 2011.

    ➜ Beki wa kati, John Terry amefunga magoli mengi (EPL) akiwa Chelsea (68 ) kumzidi fundi Andres Iniesta aliyefunga mabao (35) tu La Liga akiwa FC Barcelona.

    ➜ Mark Hughes na Cole Palmer ndio wachezaji (2) pekee ambao walicheza mechi (2) tofauti (rasmi) ndani ya siku moja.

    • Asubuhi Mark Hughes aliitumikia timu ya Taifa ya Wales na Alasiri ya siku hiyo hiyo akaitumikia klabu ya Bayern Munich

    • Cole Palmer aliitumikia klabu ya Manchester city (Senior team) Alasiri na Jioni na akafunga Hattrick akiwa team (B U23).

    ➜ 2016 Cristiano Ronaldo alitwaa makombe (4) kuzidi idadi ya mechi alizopoteza (3).

    ➜ Lionel Messi ndiye mchezaji pekee aliyetwaa tuzo ya Ballon d'or katika Decades | Miongo (3) tofauti kwenye historia.

    ➜ Left Fullback,, Layvin Kurzawa ana hat-trick nyingi UEFA champions league kuwazidi Xavi, Zidane, Kroos na Suarez kwa pamoja !!

    ➜ Raphinha ana hatricks nyingi La liga kumzidi Ronaldinho Gaucho !.

    ➜ Neymar alikuwa mchezaji wa kwanza wa FC Barcelona kutwaa tuzo ya mchezaji bora wa mwezi La liga (November 2015).

    ➜ Klabu ya Nottingham Forest imetwaa makombe mengi ya European Cup mara nyingi zaidi kuliko klabu za Manchester City, Arsenal, Atletico Madrid na Tottenham kwa pamoja Kabla ya Kombe Hilo kuitwa UEFA champions league.

    ➜ Klabu ya Chelsea ilishashuka daraja mara (6), mara nyingi kuliko idadi ya makombe ya (EPL) waliyotwaa mpaka sasa (5).

    ➜ Harry Maguire ndiye mchezaji pekee England aliyewahi kushuka daraja mara mbili katika msimu mmoja na amewahi kushuka daraja mara (5) kwenye career yake

    ➜ Kingsley Coman ndiye mchezaji pekee Ulaya kwa sasa mwenye makombe mengi zaidi (29) kuliko umri wake (28 yrs)

    ➜ Real Madrid ndiyo timu pekee Ulaya iliyocheza mechi rasmi ya ushindani kwenye fainali dhidi ya timu yake (B).

    • 1980 Real Madrid walitwaa kombe la Copa Del Rey kwa kuifunga Real Madrid (B) mabao (6-1), Mechi hiyo ilichezwa Bernabeu.

    ➜ Jamie Carragher amejifunga magoli mengi (7) kuliko idadi ya magoli aliyoifungia klabu ya Liverpool (3) !

    ➜ Juventus waliuza jezi (0) za Lord Nicklas Bendtner katika msimu mzima.

    ➜ Zidane ndiye mchezaji pekee aliyeoneshwa kadi nyekundu (Straight red card) kisha akatwaa tuzo ya mchezaji bora wa mashindano (World cup 2006) siku hiyohiyo aliyooneshwa red card.

    ♠ Fundi Wa Mpira Kevin De Bruyne Ajawahi kutwaa Tuzo ya Mchezaji Bora Wa Mwenzi wowote Toka aanze kuitumikia Manchester City

    FACTS gani imekushangaza ?

    🚨𝗙𝗔𝗖𝗧𝗦 𝗭𝗔 𝗞𝗨𝗦𝗛𝗔𝗡𝗚𝗔𝗭𝗔 ➜ Mtoto wa Cristiano Ronaldo, Ronaldo Junior na mtoto wa Lionel Messi, Thiago Andreas Messi wanapishana siku (869) za kuzaliwa, sawa na umri wanaopishana baba zao Lionel Messi 🇦🇷 na Cristiano Ronaldo 🇵🇹 ➜ Kocha Jose Mourinho hakuwahi kupoteza mechi nyumbani kwa muda wa miaka (9) sawa na Michezo (150) akiwa kocha wa FC Porto, Chelsea, Inter Milan na Real Madrid kuanzia 16 March 2002 hadi 2 April 2011. ➜ Beki wa kati, John Terry amefunga magoli mengi (EPL) akiwa Chelsea (68 ⚽) kumzidi fundi Andres Iniesta aliyefunga mabao (35) tu La Liga akiwa FC Barcelona. ➜ Mark Hughes na Cole Palmer ndio wachezaji (2) pekee ambao walicheza mechi (2) tofauti (rasmi) ndani ya siku moja. • Asubuhi Mark Hughes aliitumikia timu ya Taifa ya Wales 🏴󠁧󠁢󠁷󠁬󠁳󠁿 na Alasiri ya siku hiyo hiyo akaitumikia klabu ya Bayern Munich 🇩🇪 • Cole Palmer aliitumikia klabu ya Manchester city (Senior team) Alasiri na Jioni na akafunga Hattrick akiwa team (B U23). ➜ 2016 Cristiano Ronaldo alitwaa makombe (4) kuzidi idadi ya mechi alizopoteza (3). ➜ Lionel Messi ndiye mchezaji pekee aliyetwaa tuzo ya Ballon d'or katika Decades | Miongo (3) tofauti kwenye historia. ➜ Left Fullback,, Layvin Kurzawa ana hat-trick nyingi UEFA champions league kuwazidi Xavi, Zidane, Kroos na Suarez kwa pamoja !! ➜ Raphinha ana hatricks nyingi La liga kumzidi Ronaldinho Gaucho !. ➜ Neymar alikuwa mchezaji wa kwanza wa FC Barcelona kutwaa tuzo ya mchezaji bora wa mwezi La liga (November 2015). ➜ Klabu ya Nottingham Forest imetwaa makombe mengi ya European Cup mara nyingi zaidi kuliko klabu za Manchester City, Arsenal, Atletico Madrid na Tottenham kwa pamoja Kabla ya Kombe Hilo kuitwa UEFA champions league. ➜ Klabu ya Chelsea ilishashuka daraja mara (6), mara nyingi kuliko idadi ya makombe ya (EPL) waliyotwaa mpaka sasa (5). ➜ Harry Maguire ndiye mchezaji pekee England aliyewahi kushuka daraja mara mbili katika msimu mmoja na amewahi kushuka daraja mara (5) kwenye career yake 😀 ➜ Kingsley Coman ndiye mchezaji pekee Ulaya kwa sasa mwenye makombe mengi zaidi (29) kuliko umri wake (28 yrs) ➜ Real Madrid ndiyo timu pekee Ulaya iliyocheza mechi rasmi ya ushindani kwenye fainali dhidi ya timu yake (B). • 1980 Real Madrid walitwaa kombe la Copa Del Rey kwa kuifunga Real Madrid (B) mabao (6-1), Mechi hiyo ilichezwa Bernabeu. ➜ Jamie Carragher amejifunga magoli mengi (7) kuliko idadi ya magoli aliyoifungia klabu ya Liverpool (3) ! 😀 ➜ Juventus waliuza jezi (0) za Lord Nicklas Bendtner katika msimu mzima. ➜ Zidane ndiye mchezaji pekee aliyeoneshwa kadi nyekundu (Straight red card) kisha akatwaa tuzo ya mchezaji bora wa mashindano (World cup 2006) siku hiyohiyo aliyooneshwa red card. ♠ Fundi Wa Mpira Kevin De Bruyne Ajawahi kutwaa Tuzo ya Mchezaji Bora Wa Mwenzi wowote Toka aanze kuitumikia Manchester City FACTS gani imekushangaza ? 😎
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·2χλμ. Views
  • Lionel Messi amechaguliwa kuwa Mchezaji bora wa Ligi Kuu ya Marekani 2024 baada ya kucheza michezo 19 msimu huu na kufanikiwa kufunga mabao 20 huku akitoa Pasi saidizi za mabao (assist) kumi (10).

    19
    ⚽️ 20
    10

    Lionel Messi amechaguliwa kuwa Mchezaji bora wa Ligi Kuu ya Marekani 2024 baada ya kucheza michezo 19 msimu huu na kufanikiwa kufunga mabao 20 huku akitoa Pasi saidizi za mabao (assist) kumi (10). 🏟️ 19 ⚽️ 20 🎯 10
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·521 Views
  • Lionel Messi amechaguliwa kuwa Mchezaji bora wa Ligi Kuu ya Marekani 2024 baada ya kucheza michezo 19 msimu huu na kufanikiwa kufunga mabao 20 huku akitoa Pasi saidizi za mabao (assist) kumi (10).

    19
    ⚽️ 20
    10
    Lionel Messi amechaguliwa kuwa Mchezaji bora wa Ligi Kuu ya Marekani 2024 baada ya kucheza michezo 19 msimu huu na kufanikiwa kufunga mabao 20 huku akitoa Pasi saidizi za mabao (assist) kumi (10). 🏟️ 19 ⚽️ 20 🎯 10
    Like
    2
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·533 Views
  • Mchezaji aliyefunga mabao mengi zaidi katika historia:-
    1. Cristiano Ronaldo ( 900 )
    2. Lionel Messi (833)
    3. Joseph Bican (805)

    Mchezaji aliye na pasi nyingi za mabao katika historia: [Opta wanasaidia pekee]
    1. Lionel Messi (363)
    2. Ferenc Puskas (359)
    3. Johan Cruyff (358)

    Mchezaji aliye na chenga nyingi zaidi katika historia: [kutoka msimu wa 2006-07 na Opta]
    1. Lionel Messi (2,358)
    2. Eden Hazard (1,285)
    3. Franck Ribery (1,061)

    Washindi wengi wa Ballon d'Or ya Ufaransa katika historia:
    1. Lionel Messi (8)
    2. Cristiano Ronaldo (5)
    3. Johan Cruyff (3)

    FIFA Wachezaji wengi walioshinda tuzo bora katika historia:
    1. Lionel Messi (8)
    2. Cristiano Ronaldo (5)
    3. Zinedine Zidane (3)

    Tuzo nyingi zaidi za Mpira wa Dhahabu katika historia ya Kombe la Dunia la FIFA:
    1. Lionel Messi (2)
    2. Diego Maradona (1)
    3. Oliver Kahn (1)

    Wamiliki wengi wa Kiatu cha Dhahabu cha Uropa katika historia:
    1. Lionel Messi (6)
    2. Cristiano Ronaldo (4)
    3. Luis Suarez (2)

    Mchezaji aliye na MOTM nyingi katika historia: [Ligi ya Ndani + Ligi ya Mabingwa kuanzia msimu wa 2009-10]
    1. Lionel Messi (318)
    2. Cristiano Ronaldo (168)
    3. Zlatan Ibrahimovic (116)

    Wachezaji walio na Tuzo nyingi zaidi za Mchezaji Bora Duniani za IFFHS katika historia:
    1. Lionel Messi (5)
    2. Xavi Hernandez (4)
    3. Kevin De Bruyne (3)

    Mchezaji aliye na tuzo nyingi zaidi za Mchezaji wa Kimataifa wa Mashindano katika historia:
    1. Lionel Messi (7)
    2. Jose Nasaji (3)
    3. Pele Arantes (2)

    Wachezaji walio na mataji mengi zaidi katika historia:
    1. Lionel Messi (44)
    2. Dani Alves (43)
    3. Andres Iniesta (37)

    Mchezaji aliye na tuzo nyingi za kibinafsi katika historia:
    1. Lionel Messi
    2. Cristiano Ronaldo
    3. Ronaldo Nazario

    Messi is the GOAT no doubt

    #PM96
    Mchezaji aliyefunga mabao mengi zaidi katika historia:- 1. 🇵🇹 Cristiano Ronaldo ( 900 )✅ 2. 🇦🇷 Lionel Messi (833) 3. 🇦🇹 Joseph Bican (805) Mchezaji aliye na pasi nyingi za mabao katika historia: [Opta wanasaidia pekee] 1. 🇦🇷 Lionel Messi (363)✅ 2. 🇭🇺 Ferenc Puskas (359) 3. 🇳🇱 Johan Cruyff (358) Mchezaji aliye na chenga nyingi zaidi katika historia: [kutoka msimu wa 2006-07 na Opta] 1. 🇦🇷 Lionel Messi (2,358)✅ 2. 🇧🇪 Eden Hazard (1,285) 3. 🇨🇵 Franck Ribery (1,061) Washindi wengi wa Ballon d'Or ya Ufaransa katika historia: 1. 🇦🇷 Lionel Messi (8)✅ 2. 🇵🇹 Cristiano Ronaldo (5) 3. 🇳🇱 Johan Cruyff (3) FIFA Wachezaji wengi walioshinda tuzo bora katika historia: 1. 🇦🇷 Lionel Messi (8)✅ 2. 🇵🇹 Cristiano Ronaldo (5) 3. 🇨🇵 Zinedine Zidane (3) Tuzo nyingi zaidi za Mpira wa Dhahabu katika historia ya Kombe la Dunia la FIFA: 1. 🇦🇷 Lionel Messi (2)✅ 2. 🇦🇷 Diego Maradona (1) 3. 🇩🇪 Oliver Kahn (1) Wamiliki wengi wa Kiatu cha Dhahabu cha Uropa katika historia: 1. 🇦🇷 Lionel Messi (6)✅ 2. 🇵🇹 Cristiano Ronaldo (4) 3. 🇺🇾 Luis Suarez (2) Mchezaji aliye na MOTM nyingi katika historia: [Ligi ya Ndani + Ligi ya Mabingwa kuanzia msimu wa 2009-10] 1. 🇦🇷 Lionel Messi (318)✅ 2. 🇵🇹 Cristiano Ronaldo (168) 3. 🇸🇪 Zlatan Ibrahimovic (116) Wachezaji walio na Tuzo nyingi zaidi za Mchezaji Bora Duniani za IFFHS katika historia: 1. 🇦🇷 Lionel Messi (5)✅ 2. 🇪🇦 Xavi Hernandez (4) 3. 🇧🇪 Kevin De Bruyne (3) Mchezaji aliye na tuzo nyingi zaidi za Mchezaji wa Kimataifa wa Mashindano katika historia: 1. 🇦🇷 Lionel Messi (7)✅ 2. 🇺🇾 Jose Nasaji (3) 3. 🇧🇷 Pele Arantes (2) Wachezaji walio na mataji mengi zaidi katika historia: 1. 🇦🇷 Lionel Messi (44)✅ 2. 🇧🇷 Dani Alves (43) 3. 🇪🇦 Andres Iniesta (37) Mchezaji aliye na tuzo nyingi za kibinafsi katika historia: 1. 🇦🇷 Lionel Messi✅ 2. 🇵🇹 Cristiano Ronaldo 3. 🇧🇷 Ronaldo Nazario Messi is the GOAT 🐐no doubt #PM96
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·1χλμ. Views
  • Mchezaji aliyefunga mabao mengi zaidi katika historia:-
    1. Cristiano Ronaldo ( 900 )
    2. Lionel Messi (833)
    3. Joseph Bican (805)

    Mchezaji aliye na pasi nyingi za mabao katika historia: [Opta wanasaidia pekee]
    1. Lionel Messi (363)
    2. Ferenc Puskas (359)
    3. Johan Cruyff (358)

    Mchezaji aliye na chenga nyingi zaidi katika historia: [kutoka msimu wa 2006-07 na Opta]
    1. Lionel Messi (2,358)
    2. Eden Hazard (1,285)
    3. Franck Ribery (1,061)

    Washindi wengi wa Ballon d'Or ya Ufaransa katika historia:
    1. Lionel Messi (8)
    2. Cristiano Ronaldo (5)
    3. Johan Cruyff (3)

    FIFA Wachezaji wengi walioshinda tuzo bora katika historia:
    1. Lionel Messi (8)
    2. Cristiano Ronaldo (5)
    3. Zinedine Zidane (3)

    Tuzo nyingi zaidi za Mpira wa Dhahabu katika historia ya Kombe la Dunia la FIFA:
    1. Lionel Messi (2)
    2. Diego Maradona (1)
    3. Oliver Kahn (1)

    Wamiliki wengi wa Kiatu cha Dhahabu cha Uropa katika historia:
    1. Lionel Messi (6)
    2. Cristiano Ronaldo (4)
    3. Luis Suarez (2)

    Mchezaji aliye na MOTM nyingi katika historia: [Ligi ya Ndani + Ligi ya Mabingwa kuanzia msimu wa 2009-10]
    1. Lionel Messi (318)
    2. Cristiano Ronaldo (168)
    3. Zlatan Ibrahimovic (116)

    Wachezaji walio na Tuzo nyingi zaidi za Mchezaji Bora Duniani za IFFHS katika historia:
    1. Lionel Messi (5)
    2. Xavi Hernandez (4)
    3. Kevin De Bruyne (3)

    Mchezaji aliye na tuzo nyingi zaidi za Mchezaji wa Kimataifa wa Mashindano katika historia:
    1. Lionel Messi (7)
    2. Jose Nasaji (3)
    3. Pele Arantes (2)

    Wachezaji walio na mataji mengi zaidi katika historia:
    1. Lionel Messi (44)
    2. Dani Alves (43)
    3. Andres Iniesta (37)

    Mchezaji aliye na tuzo nyingi za kibinafsi katika historia:
    1. Lionel Messi
    2. Cristiano Ronaldo
    3. Ronaldo Nazario

    Messi is the GOAT no doubt
    Mchezaji aliyefunga mabao mengi zaidi katika historia:- 1. 🇵🇹 Cristiano Ronaldo ( 900 )✅ 2. 🇦🇷 Lionel Messi (833) 3. 🇦🇹 Joseph Bican (805) Mchezaji aliye na pasi nyingi za mabao katika historia: [Opta wanasaidia pekee] 1. 🇦🇷 Lionel Messi (363)✅ 2. 🇭🇺 Ferenc Puskas (359) 3. 🇳🇱 Johan Cruyff (358) Mchezaji aliye na chenga nyingi zaidi katika historia: [kutoka msimu wa 2006-07 na Opta] 1. 🇦🇷 Lionel Messi (2,358)✅ 2. 🇧🇪 Eden Hazard (1,285) 3. 🇨🇵 Franck Ribery (1,061) Washindi wengi wa Ballon d'Or ya Ufaransa katika historia: 1. 🇦🇷 Lionel Messi (8)✅ 2. 🇵🇹 Cristiano Ronaldo (5) 3. 🇳🇱 Johan Cruyff (3) FIFA Wachezaji wengi walioshinda tuzo bora katika historia: 1. 🇦🇷 Lionel Messi (8)✅ 2. 🇵🇹 Cristiano Ronaldo (5) 3. 🇨🇵 Zinedine Zidane (3) Tuzo nyingi zaidi za Mpira wa Dhahabu katika historia ya Kombe la Dunia la FIFA: 1. 🇦🇷 Lionel Messi (2)✅ 2. 🇦🇷 Diego Maradona (1) 3. 🇩🇪 Oliver Kahn (1) Wamiliki wengi wa Kiatu cha Dhahabu cha Uropa katika historia: 1. 🇦🇷 Lionel Messi (6)✅ 2. 🇵🇹 Cristiano Ronaldo (4) 3. 🇺🇾 Luis Suarez (2) Mchezaji aliye na MOTM nyingi katika historia: [Ligi ya Ndani + Ligi ya Mabingwa kuanzia msimu wa 2009-10] 1. 🇦🇷 Lionel Messi (318)✅ 2. 🇵🇹 Cristiano Ronaldo (168) 3. 🇸🇪 Zlatan Ibrahimovic (116) Wachezaji walio na Tuzo nyingi zaidi za Mchezaji Bora Duniani za IFFHS katika historia: 1. 🇦🇷 Lionel Messi (5)✅ 2. 🇪🇦 Xavi Hernandez (4) 3. 🇧🇪 Kevin De Bruyne (3) Mchezaji aliye na tuzo nyingi zaidi za Mchezaji wa Kimataifa wa Mashindano katika historia: 1. 🇦🇷 Lionel Messi (7)✅ 2. 🇺🇾 Jose Nasaji (3) 3. 🇧🇷 Pele Arantes (2) Wachezaji walio na mataji mengi zaidi katika historia: 1. 🇦🇷 Lionel Messi (44)✅ 2. 🇧🇷 Dani Alves (43) 3. 🇪🇦 Andres Iniesta (37) Mchezaji aliye na tuzo nyingi za kibinafsi katika historia: 1. 🇦🇷 Lionel Messi✅ 2. 🇵🇹 Cristiano Ronaldo 3. 🇧🇷 Ronaldo Nazario Messi is the GOAT 🐐no doubt
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·1χλμ. Views
  • CRISTIANO RONALDO TERMINATOR

    Hizi kejeli zimekuwa Kali sana kwa Timu pinzani pindi tu wakikutana na Cristiano Ronaldo .Wengine Kila akishika Mpira wanaimba jina la Lionel Messi.

    Kwenye Mchezo kati ya Ureno dhidi ya Slovenia kuna Shabiki kamuonesha Cristiano Ronaldo jezi ambayo imeandikwa Messi

    End of an Era Cristiano Ronaldo Mr Champions League au Terminator ,hii dharau ilikuwa inalipwa kwa Hat Trick.

    Sema Muda umekimbia sana.
    CRISTIANO RONALDO 🤝 TERMINATOR 😳 Hizi kejeli zimekuwa Kali sana kwa Timu pinzani pindi tu wakikutana na Cristiano Ronaldo .Wengine Kila akishika Mpira wanaimba jina la Lionel Messi. Kwenye Mchezo kati ya Ureno dhidi ya Slovenia kuna Shabiki kamuonesha Cristiano Ronaldo jezi ambayo imeandikwa Messi End of an Era 😰 Cristiano Ronaldo Mr Champions League au Terminator ,hii dharau ilikuwa inalipwa kwa Hat Trick. Sema Muda umekimbia sana.
    Like
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·349 Views
  • Lionel Messi
    Lionel Messi
    Like
    Love
    Haha
    13
    · 4 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·938 Views
  • Back in 2016, Conor McGregor told Cristiano Ronaldo that he’d become the number 1 on the Forbes list.

    Fast forward to 2021, he done exactly that, beating Cristiano Ronaldo and Lionel Messi whilst taking in $180M

    Spoke it into existence

    -

    #mma #ufc #viral #conormcgregor #sports #cristianoronaldo #forbes #lionelmessi
    Back in 2016, Conor McGregor told Cristiano Ronaldo that he’d become the number 1 on the Forbes list. Fast forward to 2021, he done exactly that, beating Cristiano Ronaldo and Lionel Messi whilst taking in $180M 😳💰 Spoke it into existence 🗣️ - #mma #ufc #viral #conormcgregor #sports #cristianoronaldo #forbes #lionelmessi
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·1χλμ. Views
  • Ifuatayo ni orodha ya wachezaji 10 wanaolipwa fedha nyingi zaidi duniani
    1. Cristiano Ronaldo, football: $260m (£205m)

    2. Jon Rahm, Gofu: $218m (£172m)

    3. Lionel Messi, Soka: $135m (£107m)

    4. LeBron James, Mpira wa vikapu: $128.2m (£101m)

    5. Giannis Antetokounmpo, Mpira wa vikapu: $111m (£88m)

    6. Kylian Mbappe, Soka $110m (£87m)

    7. Neymar, Soka: $108m (£85m)

    8. Karim Benzema, Soka: $106m (£84m)

    9. Stephen Curry, Mpira wa vikapu $102m (£80m)

    10. Lamar Jackson, Soka ya Marekani: $100.5m (£79m). # #Sports view
    Ifuatayo ni orodha ya wachezaji 10 wanaolipwa fedha nyingi zaidi duniani 1. Cristiano Ronaldo, football: $260m (£205m) 2. Jon Rahm, Gofu: $218m (£172m) 3. Lionel Messi, Soka: $135m (£107m) 4. LeBron James, Mpira wa vikapu: $128.2m (£101m) 5. Giannis Antetokounmpo, Mpira wa vikapu: $111m (£88m) 6. Kylian Mbappe, Soka $110m (£87m) 7. Neymar, Soka: $108m (£85m) 8. Karim Benzema, Soka: $106m (£84m) 9. Stephen Curry, Mpira wa vikapu $102m (£80m) 10. Lamar Jackson, Soka ya Marekani: $100.5m (£79m). # #Sports view
    Love
    Like
    3
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·665 Views
  • Wachezaji wanaolipwa fedha nyingi zaidi duniani 2024
    .CHANZO CHA PICHA,REUTERS
    Maelezo ya picha,Christiano Ronaldo
    17 Mei 2024
    Cristiano Ronaldo ameongoza orodha ya Forbes ya wanariadha wanaolipwa fedha nyingi zaidi duniani kwa mara ya nne katika maisha yake ya soka, huku Jon Rahm mcheza gofu akipanda hadi nafasi ya pili.

    Ronaldo pia aliongoza orodha hiyo mwaka jana baada ya kuhamia klabu ya soka ya Saudi Arabia ya Al Nassr.

    Jarida la biashara la Forbes linasema, mshambuliaji huyo wa Ureno mwenye umri wa miaka 39 alipata kiasi cha $260m (£205m) - kutoka $136m (£108.7m) - katika kipindi cha miezi 12 iliyopita.

    Mpinzani mkubwa wa Ronaldo Lionel Messi ameporomoka hadi nafasi ya tatu nyuma ya Rahm.

    Mchezaji gofu wa Uhispania amepanda hadi nafasi pili nyuma kabla ya kufanyika kwa safari yake ya kwenda kucheza Gofu ya LIV inayofadhiliwa na Saudia na anaripotiwa kupata $218m (£172m).

    Mcheza gofu huyo wa Uhispania ni mmoja wa wanariadha 22 walio na umri wa chini ya miaka 30 kwenye orodha hiyo, jambo ambalo linaweza kuashiria mabadiliko.

    Wachezaji waliodumu katika hiyo orodha kama vile Serena Williams, Roger Federer na Tom Brady tayari wamestaafu , wakati Ronaldo, LeBron James, Tiger Woods na wanariadha wengine watatu wenye umri wa miaka 39 au zaidi, pia nao wakitarajiwa kuchukua hatua hiyo hivi karibuni.

    Wanasoka Neymar na Karim Benzema pia wameingia kwenye 10 bora baada ya kuhamia katika ligi ya soka ya Saudi Pro League.

    Giannis Antetokounmpo (katika nafasi ya tano) anaungana na nyota wenzake wa mpira wa vikapu LeBron James (wa nne) na Stephen Curry (wa tisa) kwenye orodha hiyo , huku beki wa pembeni wa kandanda wa Marekani Lamar Jackson akiwa katika nafasi ya 10.##Sports view
    Wachezaji wanaolipwa fedha nyingi zaidi duniani 2024 .CHANZO CHA PICHA,REUTERS Maelezo ya picha,Christiano Ronaldo 17 Mei 2024 Cristiano Ronaldo ameongoza orodha ya Forbes ya wanariadha wanaolipwa fedha nyingi zaidi duniani kwa mara ya nne katika maisha yake ya soka, huku Jon Rahm mcheza gofu akipanda hadi nafasi ya pili. Ronaldo pia aliongoza orodha hiyo mwaka jana baada ya kuhamia klabu ya soka ya Saudi Arabia ya Al Nassr. Jarida la biashara la Forbes linasema, mshambuliaji huyo wa Ureno mwenye umri wa miaka 39 alipata kiasi cha $260m (£205m) - kutoka $136m (£108.7m) - katika kipindi cha miezi 12 iliyopita. Mpinzani mkubwa wa Ronaldo Lionel Messi ameporomoka hadi nafasi ya tatu nyuma ya Rahm. Mchezaji gofu wa Uhispania amepanda hadi nafasi pili nyuma kabla ya kufanyika kwa safari yake ya kwenda kucheza Gofu ya LIV inayofadhiliwa na Saudia na anaripotiwa kupata $218m (£172m). Mcheza gofu huyo wa Uhispania ni mmoja wa wanariadha 22 walio na umri wa chini ya miaka 30 kwenye orodha hiyo, jambo ambalo linaweza kuashiria mabadiliko. Wachezaji waliodumu katika hiyo orodha kama vile Serena Williams, Roger Federer na Tom Brady tayari wamestaafu , wakati Ronaldo, LeBron James, Tiger Woods na wanariadha wengine watatu wenye umri wa miaka 39 au zaidi, pia nao wakitarajiwa kuchukua hatua hiyo hivi karibuni. Wanasoka Neymar na Karim Benzema pia wameingia kwenye 10 bora baada ya kuhamia katika ligi ya soka ya Saudi Pro League. Giannis Antetokounmpo (katika nafasi ya tano) anaungana na nyota wenzake wa mpira wa vikapu LeBron James (wa nne) na Stephen Curry (wa tisa) kwenye orodha hiyo , huku beki wa pembeni wa kandanda wa Marekani Lamar Jackson akiwa katika nafasi ya 10.##Sports view
    Love
    Like
    4
    · 2 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·567 Views