• Homegrown Kitchen is the Best Catering Company in Los Angeles. From private parties to corporate events, we offer customized catering solutions, delicious food, and professional staff that help make every occasion smooth and successful.

    Visit Here:- https://www.homegrown.kitchen/

    #PrivateChefCateringBeverlyHills
    #PrivateChefCateringMalibu
    #PrivateDinnerCateringMalibu
    Homegrown Kitchen is the Best Catering Company in Los Angeles. From private parties to corporate events, we offer customized catering solutions, delicious food, and professional staff that help make every occasion smooth and successful. Visit Here:- https://www.homegrown.kitchen/ #PrivateChefCateringBeverlyHills #PrivateChefCateringMalibu #PrivateDinnerCateringMalibu
    0 Kommentare 0 Anteile 158 Ansichten
  • Modern Hot Tub Repair Services in Los Angeles focus on sustainability and efficiency. Technicians use eco-conscious methods and energy-saving parts to restore performance while reducing costs and environmental impact. Keep your spa running smoothly, safely, and sustainably all year long with professional care
    For Further Details Contact Us : (323) 918-5604
    Visit Our Website : https://hottubservicelocalexperts.com/los-angeles-ca
    Modern Hot Tub Repair Services in Los Angeles focus on sustainability and efficiency. Technicians use eco-conscious methods and energy-saving parts to restore performance while reducing costs and environmental impact. Keep your spa running smoothly, safely, and sustainably all year long with professional care For Further Details Contact Us : (323) 918-5604 Visit Our Website : https://hottubservicelocalexperts.com/los-angeles-ca
    HOTTUBSERVICELOCALEXPERTS.COM
    Jacuzzi Repair in Los Angeles, CA Near Me - 90291 Hot Tub Services
    Looking for jacuzzi repair in Los Angeles, CA? Our expert technicians offer fast and reliable service in 90291. Get your hot tub back in working order today!
    0 Kommentare 0 Anteile 1KB Ansichten
  • Katika mchezo wa Chelsea dhidi ya Los Angeles, kipindi cha pili cha mchezo kilicheleweshwa kwa dakika chache kwani Olivier Giroud hakuwa na jezi ya kuvaa

    Mshambuliaji wa Kifaransa alikuwa ameiacha jezi yake kwenye chumba cha kubadilishia nguo golikipa David Ochoa akaenda kuichukua

    #sportselite
    Katika mchezo wa Chelsea dhidi ya Los Angeles, kipindi cha pili cha mchezo kilicheleweshwa kwa dakika chache kwani Olivier Giroud hakuwa na jezi ya kuvaa 😅👕 Mshambuliaji wa Kifaransa alikuwa ameiacha jezi yake kwenye chumba cha kubadilishia nguo golikipa David Ochoa akaenda kuichukua 😅 #sportselite
    Like
    Wow
    2
    0 Kommentare 0 Anteile 379 Ansichten
  • Moto mwingine mkubwa umezuka hapo jana na kuteketeza eneo lenya ukubwa wa takribani ekari 9400 katika eneo la Castaic, Kaskazini mwa Mji wa Los Angeles, California Nchini Marekani .

    Moto huo uliopewa jina la The Hughes Fire, unatajwa kuwa mkubwa kwa theluthi mbili ukilinganishwa na Moto wa Eaton ulioiteketeza vibaya Los Angeles. Zaidi ya watu 31,000 wametakiwa kuyahama makazi yao haraka iwezekanavyo wakati vikosi vya askari wa zimamoto na uokoaji zaidi ya 4000 wakiendelea kupambana na moto huo unaowaka umbali wa takribani kilometa 80, Kaskazini mwa Los Angeles.

    Tangu kuzuka kwa jangala moto Mjini Los Angeles, vikosi vya zimamoto vimefanikiwa kuidhibiti mioto miwili tu huku juhudi zikiendelea usiku na mchana.

    Moto mwingine mkubwa umezuka hapo jana na kuteketeza eneo lenya ukubwa wa takribani ekari 9400 katika eneo la Castaic, Kaskazini mwa Mji wa Los Angeles, California Nchini Marekani 🇺🇸. Moto huo uliopewa jina la The Hughes Fire, unatajwa kuwa mkubwa kwa theluthi mbili ukilinganishwa na Moto wa Eaton ulioiteketeza vibaya Los Angeles. Zaidi ya watu 31,000 wametakiwa kuyahama makazi yao haraka iwezekanavyo wakati vikosi vya askari wa zimamoto na uokoaji zaidi ya 4000 wakiendelea kupambana na moto huo unaowaka umbali wa takribani kilometa 80, Kaskazini mwa Los Angeles. Tangu kuzuka kwa jangala moto Mjini Los Angeles, vikosi vya zimamoto vimefanikiwa kuidhibiti mioto miwili tu huku juhudi zikiendelea usiku na mchana.
    0 Kommentare 0 Anteile 1KB Ansichten
  • Moto mwingine mkubwa umezuka hapo jana na kuteketeza eneo lenya ukubwa wa takribani ekari 9400 katika eneo la Castaic, Kaskazini mwa Mji wa Los Angeles, California Nchini Marekani .

    Moto huo uliopewa jina la The Hughes Fire, unatajwa kuwa mkubwa kwa theluthi mbili ukilinganishwa na Moto wa Eaton ulioiteketeza vibaya Los Angeles. Zaidi ya watu 31,000 wametakiwa kuyahama makazi yao haraka iwezekanavyo wakati vikosi vya askari wa zimamoto na uokoaji zaidi ya 4000 wakiendelea kupambana na moto huo unaowaka umbali wa takribani kilometa 80, Kaskazini mwa Los Angeles.

    Tangu kuzuka kwa jangala moto Mjini Los Angeles, vikosi vya zimamoto vimefanikiwa kuidhibiti mioto miwili tu huku juhudi zikiendelea usiku na mchana.

    Moto mwingine mkubwa umezuka hapo jana na kuteketeza eneo lenya ukubwa wa takribani ekari 9400 katika eneo la Castaic, Kaskazini mwa Mji wa Los Angeles, California Nchini Marekani 🇺🇸. Moto huo uliopewa jina la The Hughes Fire, unatajwa kuwa mkubwa kwa theluthi mbili ukilinganishwa na Moto wa Eaton ulioiteketeza vibaya Los Angeles. Zaidi ya watu 31,000 wametakiwa kuyahama makazi yao haraka iwezekanavyo wakati vikosi vya askari wa zimamoto na uokoaji zaidi ya 4000 wakiendelea kupambana na moto huo unaowaka umbali wa takribani kilometa 80, Kaskazini mwa Los Angeles. Tangu kuzuka kwa jangala moto Mjini Los Angeles, vikosi vya zimamoto vimefanikiwa kuidhibiti mioto miwili tu huku juhudi zikiendelea usiku na mchana.
    Like
    Love
    Sad
    3
    0 Kommentare 0 Anteile 902 Ansichten
  • #HABARI Moto wa Los Angeles Kabla ya Kutokea

    Siku tatu kabla ya moto mkubwa kutokea Los Angeles, waandaaji wa tuzo maarufu za Global Leaders Awards walikuwa wakijitayarisha kwa hafla yao ya kila mwaka. Tuzo hizi zina lengo la kutambua na kusherehekea mchango wa watu mashuhuri katika nyanja mbalimbali, ikiwemo utunzi na uandaaji wa filamu bora.

    Kwa mara ya kwanza katika historia ya tuzo hizo, waandaaji walimuweka Mungu kama mmoja wa washindani katika kipengele cha "Mchango wa kipekee wa Maisha katika Sanaa". Hili lilizua mjadala mkubwa na hisia tofauti miongoni mwa waliohudhuria hafla hiyo.

    MC wa usiku huo alipochukua kipaza sauti, alitoa kauli iliyozua mjadala:
    "Ni jambo la kushangaza kwamba tumemuweka Mungu katika orodha ya washindani kwa tuzo hii, lakini amekosa kura kabisa. Inaonekana hata Mungu anahitaji kujipanga zaidi kwa ajili ya hafla zijazo."

    Kauli hiyo ilisababisha kicheko kutoka kwa baadhi ya wageni waalikwa, huku wengine wakiwa hawakufurahishwa na utani huo.

    Katika kipengele hicho, wagombea walikuwa:

    1. Cast and Crow - waliopata kura 11

    2. Moms - waliopata kura 3

    3. Mungu - aliyepata kura 0

    Hafla hiyo ya usiku ilimalizika kwa hali ya mchanganyiko wa furaha na maoni ya kukosoa, huku watu wakitafakari zaidi nafasi ya maadili na heshima katika sanaa na burudani.
    N.B, MUNGU HADHIHAKIWI

    #neliudcosiah
    #HABARI Moto wa Los Angeles Kabla ya Kutokea Siku tatu kabla ya moto mkubwa kutokea Los Angeles, waandaaji wa tuzo maarufu za Global Leaders Awards walikuwa wakijitayarisha kwa hafla yao ya kila mwaka. Tuzo hizi zina lengo la kutambua na kusherehekea mchango wa watu mashuhuri katika nyanja mbalimbali, ikiwemo utunzi na uandaaji wa filamu bora. Kwa mara ya kwanza katika historia ya tuzo hizo, waandaaji walimuweka Mungu kama mmoja wa washindani katika kipengele cha "Mchango wa kipekee wa Maisha katika Sanaa". Hili lilizua mjadala mkubwa na hisia tofauti miongoni mwa waliohudhuria hafla hiyo. MC wa usiku huo alipochukua kipaza sauti, alitoa kauli iliyozua mjadala: "Ni jambo la kushangaza kwamba tumemuweka Mungu katika orodha ya washindani kwa tuzo hii, lakini amekosa kura kabisa. Inaonekana hata Mungu anahitaji kujipanga zaidi kwa ajili ya hafla zijazo." Kauli hiyo ilisababisha kicheko kutoka kwa baadhi ya wageni waalikwa, huku wengine wakiwa hawakufurahishwa na utani huo. Katika kipengele hicho, wagombea walikuwa: 1. Cast and Crow - waliopata kura 11 2. Moms - waliopata kura 3 3. Mungu - aliyepata kura 0 Hafla hiyo ya usiku ilimalizika kwa hali ya mchanganyiko wa furaha na maoni ya kukosoa, huku watu wakitafakari zaidi nafasi ya maadili na heshima katika sanaa na burudani. N.B, MUNGU HADHIHAKIWI ✍️ #neliudcosiah
    Like
    Love
    3
    1 Kommentare 1 Anteile 1KB Ansichten
  • Pichani ni mwanamama, muuguzi (nurse) mstaafu mwenye umri wa miaka 65, alizaliwa tarehe 22 Januari mwaka 1954.

    Ni mama wa watoto sita, kati ya hao wawili ni madaktari, wawili wengine walimu, mmoja ni ofisa wa polisi na mwingine ni mfanyabiashara mkubwa. Mwanamama huyo ni kutoka Los Angeles, Marekani. Licha ya umri wa miaka 65 anaonekana kama binti wa miaka 25. Picha unayoiona ilipigwa tarehe 22 Januari 2019 alipoadhimisha siku yake ya kuzaliwa.

    Sema jambo hapo.
    Pichani ni mwanamama, muuguzi (nurse) mstaafu mwenye umri wa miaka 65, alizaliwa tarehe 22 Januari mwaka 1954. Ni mama wa watoto sita, kati ya hao wawili ni madaktari, wawili wengine walimu, mmoja ni ofisa wa polisi na mwingine ni mfanyabiashara mkubwa. Mwanamama huyo ni kutoka Los Angeles, Marekani. Licha ya umri wa miaka 65 anaonekana kama binti wa miaka 25. Picha unayoiona ilipigwa tarehe 22 Januari 2019 alipoadhimisha siku yake ya kuzaliwa. Sema jambo hapo.
    Like
    1
    0 Kommentare 0 Anteile 788 Ansichten
  • #JEWAJUA
    Jumba la Mfalme wa muziki wa Pop Michael Jackson ambalo alilinunua mwaka 1987 kwa USD milioni 19.5 limenunuliwa na Tajiri Ron Burkle kwa kiwango kinachotajwa kufika USD milioni 22 (USD milioni moja ni sawa na Tsh. Bilioni 2.3 )

    Jumba hilo ambalo lipo Los Olivos, California likijulikana kwa jina maarufu la ‘Neverland’ likiwa ndani ya hekari 2700 na humo ndani lina zoo ya Wanyama mbalimbali kama Tembo na Twiga.

    Ron Burkle ni miongoni mwa Wamiliki wa Team ya mchezo wa Magongo unaochezwa kwenye barafu ya Pittsburgh Penguins, Michael Jackson alifariki mwaka 2009 kwenye jumba jingine alilokua anaishi Los Angeles Marekani.
    #JEWAJUA Jumba la Mfalme wa muziki wa Pop Michael Jackson ambalo alilinunua mwaka 1987 kwa USD milioni 19.5 limenunuliwa na Tajiri Ron Burkle kwa kiwango kinachotajwa kufika USD milioni 22 (USD milioni moja ni sawa na Tsh. Bilioni 2.3 ) Jumba hilo ambalo lipo Los Olivos, California likijulikana kwa jina maarufu la ‘Neverland’ likiwa ndani ya hekari 2700 na humo ndani lina zoo ya Wanyama mbalimbali kama Tembo na Twiga. Ron Burkle ni miongoni mwa Wamiliki wa Team ya mchezo wa Magongo unaochezwa kwenye barafu ya Pittsburgh Penguins, Michael Jackson alifariki mwaka 2009 kwenye jumba jingine alilokua anaishi Los Angeles Marekani.
    Like
    1
    0 Kommentare 0 Anteile 1KB Ansichten