• Klabu ya Fenerbahce ya Uturuki ilimpa Filipe Luis mara 10 ya mshahara wake wa sasa, lakini akaukataa

    Alisema anataka kutimiza ahadi yake na Flamengo kwa sasa. 🫡 Tayari ana mipango ya kazi yake—ana ndoto ya kufundisha Ulaya, lakini si hivi sasa.

    FOLLOW US
    🚨 🇧🇷 Klabu ya Fenerbahce ya Uturuki ilimpa Filipe Luis mara 10 ya mshahara wake wa sasa, lakini akaukataa ❌ Alisema anataka kutimiza ahadi yake na Flamengo kwa sasa. 🫡 Tayari ana mipango ya kazi yake—ana ndoto ya kufundisha Ulaya, lakini si hivi sasa. 💛 FOLLOW US
    0 Kommentare ·0 Anteile ·158 Ansichten
  • | Rodri juu ya ushindani wa "maalum" wa Arsenal / Man City: "Sikudhani ilikuwa hapo awali, lakini katika miaka michache iliyopita tulikuwa washindani wa taji, kwa hivyo ndio [ni maalum]. "

    Bila shaka, kwa sababu tulikuwa na wachezaji waliocheza hapa, [na] wamekwenda Arsenal. Mikel [Arteta] alikuwa hapa [kama sehemu ya wahudumu wa Guardiola] na akaenda huko na ikawa kubwa zaidi.

    "Tuko kwenye mdundo hivi sasa ambapo wako katika nafasi nzuri na wako kwenye kiwango bora zaidi kwa hivyo ikiwa tunataka kuendelea kupigana nao, lazima tuongeze kiwango, ni dhahiri.

    "Tunajua kuwa ni mwanzo wa msimu ambapo tutacheza kadri tuwezavyo ili kurudisha kiwango hicho."

    Source ::[@ManCity]

    FOLLOW US
    🗣️| Rodri juu ya ushindani wa "maalum" wa Arsenal / Man City: "Sikudhani ilikuwa hapo awali, lakini katika miaka michache iliyopita tulikuwa washindani wa taji, kwa hivyo ndio [ni maalum]. " Bila shaka, kwa sababu tulikuwa na wachezaji waliocheza hapa, [na] wamekwenda Arsenal. Mikel [Arteta] alikuwa hapa [kama sehemu ya wahudumu wa Guardiola] na akaenda huko na ikawa kubwa zaidi. "Tuko kwenye mdundo hivi sasa ambapo wako katika nafasi nzuri na wako kwenye kiwango bora zaidi kwa hivyo ikiwa tunataka kuendelea kupigana nao, lazima tuongeze kiwango, ni dhahiri. "Tunajua kuwa ni mwanzo wa msimu ambapo tutacheza kadri tuwezavyo ili kurudisha kiwango hicho." Source ::[@ManCity] FOLLOW US
    0 Kommentare ·0 Anteile ·147 Ansichten
  • CHUKUA HII

    Mohamed Salah anashika nafasi ya 3 ya wafungaji wa muda wote ndani ya klabu ya Liverpool mpaka hivi sasa, akiwa ameifungua Liverpool magoli 246 katika michezo 405.
    CHUKUA HII 👇 👉Mohamed Salah anashika nafasi ya 3 ya wafungaji wa muda wote ndani ya klabu ya Liverpool mpaka hivi sasa, akiwa ameifungua Liverpool magoli 246 katika michezo 405.
    Like
    1
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·240 Ansichten
  • BREAKING Arsenal wako karibu sana kukamilisha Usajili wa Beki wa Bayer Leverkusen Piero Hincape kwa mkopo makubaliano yako karibu kufikiwa.

    Here we Go hivi karibuni.

    Source Fabrizio Romano

    #SportsElite
    🚨 BREAKING Arsenal wako karibu sana kukamilisha Usajili wa Beki wa Bayer Leverkusen Piero Hincape kwa mkopo makubaliano yako karibu kufikiwa.🔴 🇨🇴 Here we Go hivi karibuni. Source Fabrizio Romano #SportsElite
    0 Kommentare ·0 Anteile ·457 Ansichten
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Wolverhampton Wanderers imetuma ofa ya €20m kwa Getafe ikimuhitaji Christantus Uche, na uhamisho huo unaweza ukakamilika siku za hivi usoni.


    #SportsElite
    🚨🇳🇬💣 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Wolverhampton Wanderers imetuma ofa ya €20m kwa Getafe ikimuhitaji Christantus Uche, na uhamisho huo unaweza ukakamilika siku za hivi usoni. #SportsElite
    0 Kommentare ·0 Anteile ·197 Ansichten
  • Van Dijk Ampongeza Isak Wakati Liverpool Wakiendelea Kumsaka

    Beki wa Liverpool, Virgil van Dijk, amemtaja Alexander Isak kuwa miongoni mwa washambuliaji wagumu zaidi aliowahi kukutana nao kwenye Ligi Kuu ya England, akimtaja sambamba na majina makubwa kama Erling Haaland, Ollie Watkins na Harry Kane.

    Isak ambaye amefunga mabao manne katika mechi sita dhidi ya Liverpool, hivi karibuni alieleza kutoridhishwa kwake na hali yake ndani ya Newcastle United. Straika huyo wa Kiswidi amesema hataki tena kucheza katika Uwanja wa St. James’ Park, akidai uongozi wa klabu hiyo umemzuia kupitia upya mkataba wake.

    Liverpool tayari walitoa dau la pauni milioni 110 ambalo Newcastle walilikataa, wakisisitiza hawana mpango wa kumuuza nyota wao. Hata hivyo, Isak amesisitiza nia ya kuondoka, jambo linaloweza kuwa pigo kubwa kwa Newcastle ikizingatiwa mchango wake kwenye mafanikio ya hivi karibuni, ikiwemo kutwaa Carabao Cup na kuchaguliwa katika kikosi bora cha msimu wa EPL.

    Hali hiyo sasa imeweka sintofahamu kuhusu hatima ya mshambuliaji huyo, huku Liverpool wakionekana kutafuta kwa nguvu saini yake.

    🚨Van Dijk Ampongeza Isak Wakati Liverpool Wakiendelea Kumsaka Beki wa Liverpool, Virgil van Dijk, amemtaja Alexander Isak kuwa miongoni mwa washambuliaji wagumu zaidi aliowahi kukutana nao kwenye Ligi Kuu ya England, akimtaja sambamba na majina makubwa kama Erling Haaland, Ollie Watkins na Harry Kane. Isak ambaye amefunga mabao manne katika mechi sita dhidi ya Liverpool, hivi karibuni alieleza kutoridhishwa kwake na hali yake ndani ya Newcastle United. Straika huyo wa Kiswidi amesema hataki tena kucheza katika Uwanja wa St. James’ Park, akidai uongozi wa klabu hiyo umemzuia kupitia upya mkataba wake. Liverpool tayari walitoa dau la pauni milioni 110 ambalo Newcastle walilikataa, wakisisitiza hawana mpango wa kumuuza nyota wao. Hata hivyo, Isak amesisitiza nia ya kuondoka, jambo linaloweza kuwa pigo kubwa kwa Newcastle ikizingatiwa mchango wake kwenye mafanikio ya hivi karibuni, ikiwemo kutwaa Carabao Cup na kuchaguliwa katika kikosi bora cha msimu wa EPL. Hali hiyo sasa imeweka sintofahamu kuhusu hatima ya mshambuliaji huyo, huku Liverpool wakionekana kutafuta kwa nguvu saini yake.
    0 Kommentare ·0 Anteile ·567 Ansichten
  • Huwenda Eberechi Eze akajiunga na Tottenham siku za hivi karibuni.

    (Source: Daily Mail Sport)

    #SportsElite
    🚨 Huwenda Eberechi Eze akajiunga na Tottenham siku za hivi karibuni. (Source: Daily Mail Sport) #SportsElite
    0 Kommentare ·0 Anteile ·212 Ansichten
  • LA MASIA KUHUSU NAMBA TISA SIO SHIDA ZAO

    Hivi La masia inashida gani na namba 9 wakuu? miaka nenda miaka rudi sijawai kuona mshambuliaji namba9 katokea academy yetu? au ni utamaduni wa club kununua mshambuliaji? maana nimewashuhudia hawa wote
    1: Etoo
    2: Ibrahimovic
    3: Vila
    4: Suarez
    5:Aguero
    6:Auba
    7: lewandowski

    kuna shida gani wakuu? au ndio utamaduni wetu kununua namba 9


    #SportsElite
    LA MASIA KUHUSU NAMBA TISA SIO SHIDA ZAO Hivi La masia inashida gani na namba 9 wakuu? miaka nenda miaka rudi sijawai kuona mshambuliaji namba9 katokea academy yetu? au ni utamaduni wa club kununua mshambuliaji? maana nimewashuhudia hawa wote 1: Etoo 2: Ibrahimovic 3: Vila 4: Suarez 5:Aguero 6:Auba 7: lewandowski kuna shida gani wakuu? au ndio utamaduni wetu kununua namba 9 #SportsElite
    0 Kommentare ·0 Anteile ·498 Ansichten
  • Savinho Kutimkia Spurs *

    Tottenham wapo kwenye mazungumzo na Manchester City juu ya kutaka kumsajili Winga wa Brazil Savinho.

    Majadiliano yamefanyika kati ya klabu hizo mbili katika siku za hivi karibuni kuhusu uwezekano wa kumnunua mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 21 lakini itachukua ofa ya zaidi ya pauni milioni 50 kuwashawishi City kumuuza Staa huyo.

    #SportsElite
    🚨Savinho Kutimkia Spurs 🤝* Tottenham wapo kwenye mazungumzo na Manchester City juu ya kutaka kumsajili Winga wa Brazil Savinho. Majadiliano yamefanyika kati ya klabu hizo mbili katika siku za hivi karibuni kuhusu uwezekano wa kumnunua mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 21 lakini itachukua ofa ya zaidi ya pauni milioni 50 kuwashawishi City kumuuza Staa huyo. #SportsElite
    0 Kommentare ·0 Anteile ·314 Ansichten
  • RASMI: Hivi ndiyo viwango vipya vya klabu bora barani Ulaya (UEFA) kwa sasa

    1️⃣ Real Madrid
    2️⃣ Bayern Munich
    3️⃣ Inter Milan
    4️⃣ Manchester City
    5️⃣ Liverpool
    6️⃣ Paris Saint-Germain
    7️⃣ Bayer Leverkusen
    8️⃣ Borussia Dortmund
    9️⃣ Barcelona
    AS Roma
    🚨 RASMI: Hivi ndiyo viwango vipya vya klabu bora barani Ulaya (UEFA) kwa sasa 1️⃣ Real Madrid 🇪🇸 2️⃣ Bayern Munich 🇩🇪 ⬆️ 3️⃣ Inter Milan 🇮🇹 ⬆️ 4️⃣ Manchester City 🏴⬇️ 5️⃣ Liverpool 🏴⬇️ 6️⃣ Paris Saint-Germain 🇫🇷 ⬇️ 7️⃣ Bayer Leverkusen 🇩🇪 ⬆️ 8️⃣ Borussia Dortmund 🇩🇪 ⬆️ 9️⃣ Barcelona 🇪🇸 ⬆️ 🔟 AS Roma 🇮🇹 ⬇️
    0 Kommentare ·0 Anteile ·345 Ansichten
  • NDOTO ni mlango wa kiroho ambao ulimwengu wa roho unapitisha taarifa zake zinaweza kuwa zinatoka kwa Mungu au shetani anatumia kama mlango wa kuingiza taarifa.

    #Habakuki 2:2-3
    [2]BWANA akanijibu, akasema, Iandike njozi ukaifanye iwe wazi sana katika vibao, ili aisomaye apate kuisoma kama maji.

    [3]Maana njozi hii bado ni kwa wakati ulioamriwa, inafanya haraka ili kuufikilia mwisho wake, wala haitasema uongo; ijapokawia, ingojee; kwa kuwa haina budi kuja, haitakawia.

    Kumbe taarifa ya habakuki ilimfikia kupitia mlango unao itwa ndoto .

    Ndoto pia hutokana na shughuli nyingi au ni revision wa matukio ya mchana.

    #Muhubiri 5:13
    *Kwa maana ndoto huja kwa sababu ya shughuli nyingi; na sauti ya mpumbavu kwa njia ya wingi wa maneno*

    Ila mimi nataka nieleze ndoto kama mlango wa fahamu ambao Mungu hutumia kupeleka taarifa.
    #Ebrania 1:11-14

    #Ayubu 33:14-16
    [14]Kwa kuwa Mungu hunena mara moja,
    Naam, hata mara ya pili, ajapokuwa mtu hajali.
    .
    [15]Katika ndoto, katika maono ya usiku,
    Usingizi mzito uwajiliapo watu,
    Katika usingizi kitandani;
    ;
    [16]Ndipo huyafunua masikio ya watu,
    Na kuyatia muhuri mafundisho yao,

    Kumbe ndoto sasa ni mlango ambao Mungu anatuonyessha picha ya matukio ya nyuma au ya mbele yanayo kuja.,

    Kumbe baada ya kupata taarifa ya iliyo tangulia u inayo kuja lazima ujifunze kumtafuta Mungu.

    #Yeremia 29:13
    [13]Nanyi mtanitafuta na kuniona, mtakaponitafuta kwa moyo wenu wote.

    Kwanini tunamtafuta Mungu ni kwa sababu wewe ni wa rohoni na ndoto ni mlango wa rohoni usipo shughulika nayo itqkushughulikia .

    #1 Kor 2:15 SUV
    Lakini mtu wa rohoni huyatambua yote, wala yeye hatambuliwi na mtu.

    Baada ya kile ulicho kiota mtu wa rohoni lazima uyatambue vizr na ujue namna ya kuomba .

    Kuna watu mafanikio yao yalianzia ndotoni na kuna watu umasikini wao ulianzia ndotoni .

    Kwenye kila ndoto kuna taarifa na ndoto yenye taarifa lazima ikusumbue na ijirusie ndani yako .

    Ndoto ndiyo level ya mwisho kwa Mungu kuzungumza na mtu ,namaanisha hivi Mungu akiona uelewi kupitia mawazo anakuja kwa njia ya njozi kama njia ya mwisho ya kufikisha taarifa.

    Shetani pia akitaka kukupiga wakati mwingine anaanzia ndotoni.

    Kuna mtu aliota anazini na mtu ndotoni kisha toka hapo hamu yq uzinzi inamtawala kila siku .

    Kuna mtu aliota amengatwa na nyoka ndotoni kisha toka hapo homa udhaifu ukaingia.

    Kuna dada aliota kama ananyonyesha mtoto wakati hana mtoto na amengatwa kwenye ziwa lake la kushoto na toka hapo ndipo saratani ya titi ilipo anzia .

    Usichukulie ndoto kama kitu kidoga sana katika level hiyo .

    Ndoto nyingi ni taarifa sema ni vile tu ujajifunza siri ya ufalme wa Mungu katika ulimwengu wa roho.

    Kwa leo naomba nikuache na tafakuri hii kisha kesho tutatazama watu walio ota ndoto kibiblia na jinsi zilivyo timia .

    Nikutakie asubui njema na siku njema .

    Mkaribishe pia mwezio kwa kushare na kumualika ajoin katika group letu hili ili nayeye ajifunze siri hizi.

    Namba :0622625340 Type neno add na jina lako nitakuad katika group .

    Nikutakie asubui njema na siku njema .

    Naitwa mwl Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden ministry)
    #ndoto ni taarifa acha kupuuzia
    #restore men position
    #build new eden
    NDOTO ni mlango wa kiroho ambao ulimwengu wa roho unapitisha taarifa zake zinaweza kuwa zinatoka kwa Mungu au shetani anatumia kama mlango wa kuingiza taarifa. #Habakuki 2:2-3 [2]BWANA akanijibu, akasema, Iandike njozi ukaifanye iwe wazi sana katika vibao, ili aisomaye apate kuisoma kama maji. [3]Maana njozi hii bado ni kwa wakati ulioamriwa, inafanya haraka ili kuufikilia mwisho wake, wala haitasema uongo; ijapokawia, ingojee; kwa kuwa haina budi kuja, haitakawia. Kumbe taarifa ya habakuki ilimfikia kupitia mlango unao itwa ndoto . Ndoto pia hutokana na shughuli nyingi au ni revision wa matukio ya mchana. #Muhubiri 5:13 *Kwa maana ndoto huja kwa sababu ya shughuli nyingi; na sauti ya mpumbavu kwa njia ya wingi wa maneno* Ila mimi nataka nieleze ndoto kama mlango wa fahamu ambao Mungu hutumia kupeleka taarifa. #Ebrania 1:11-14 #Ayubu 33:14-16 [14]Kwa kuwa Mungu hunena mara moja, Naam, hata mara ya pili, ajapokuwa mtu hajali. . [15]Katika ndoto, katika maono ya usiku, Usingizi mzito uwajiliapo watu, Katika usingizi kitandani; ; [16]Ndipo huyafunua masikio ya watu, Na kuyatia muhuri mafundisho yao, Kumbe ndoto sasa ni mlango ambao Mungu anatuonyessha picha ya matukio ya nyuma au ya mbele yanayo kuja., Kumbe baada ya kupata taarifa ya iliyo tangulia u inayo kuja lazima ujifunze kumtafuta Mungu. #Yeremia 29:13 [13]Nanyi mtanitafuta na kuniona, mtakaponitafuta kwa moyo wenu wote. Kwanini tunamtafuta Mungu ni kwa sababu wewe ni wa rohoni na ndoto ni mlango wa rohoni usipo shughulika nayo itqkushughulikia . #1 Kor 2:15 SUV Lakini mtu wa rohoni huyatambua yote, wala yeye hatambuliwi na mtu. Baada ya kile ulicho kiota mtu wa rohoni lazima uyatambue vizr na ujue namna ya kuomba . Kuna watu mafanikio yao yalianzia ndotoni na kuna watu umasikini wao ulianzia ndotoni . Kwenye kila ndoto kuna taarifa na ndoto yenye taarifa lazima ikusumbue na ijirusie ndani yako . Ndoto ndiyo level ya mwisho kwa Mungu kuzungumza na mtu ,namaanisha hivi Mungu akiona uelewi kupitia mawazo anakuja kwa njia ya njozi kama njia ya mwisho ya kufikisha taarifa. Shetani pia akitaka kukupiga wakati mwingine anaanzia ndotoni. Kuna mtu aliota anazini na mtu ndotoni kisha toka hapo hamu yq uzinzi inamtawala kila siku . Kuna mtu aliota amengatwa na nyoka ndotoni kisha toka hapo homa udhaifu ukaingia. Kuna dada aliota kama ananyonyesha mtoto wakati hana mtoto na amengatwa kwenye ziwa lake la kushoto na toka hapo ndipo saratani ya titi ilipo anzia . Usichukulie ndoto kama kitu kidoga sana katika level hiyo . Ndoto nyingi ni taarifa sema ni vile tu ujajifunza siri ya ufalme wa Mungu katika ulimwengu wa roho. Kwa leo naomba nikuache na tafakuri hii kisha kesho tutatazama watu walio ota ndoto kibiblia na jinsi zilivyo timia . Nikutakie asubui njema na siku njema . Mkaribishe pia mwezio kwa kushare na kumualika ajoin katika group letu hili ili nayeye ajifunze siri hizi. Namba :0622625340 Type neno add na jina lako nitakuad katika group . Nikutakie asubui njema na siku njema . Naitwa mwl Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden ministry) #ndoto ni taarifa acha kupuuzia #restore men position #build new eden
    0 Kommentare ·0 Anteile ·1KB Ansichten
  • Rais wa Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA), Gianni Infantino ameipongeza klabu ya Young Africans kwa kuwa mabingwa wa Ligi Kuu ya NBC msimu wa 2024/2025.

    Katika barua yake aliyoituma Julai 25 mwaka huu kwa Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Wallace Karia, Rais Infantino amesema juhudi walizofanya msimu mzima zimewalipa kwa kutwaa ubingwa huo.

    Pia amesema salamu zake za pongezi ziende kwa kila mwanachama wa Young Africans kwa kuwa wote ni sehemu ya mafanikio hayo makubwa kwa timu yao.

    "Nakushukuru wewe na Shirikisho lako kwa kazi nzuri ya kusimamia maendeleo ya mpira wa miguu katika nchi yako, na ninatarajia tutaonana hivi karibu, " amesema Rais Infantino katika sehemu ya barua hiyo.

    #SportsElite
    🚨🚨Rais wa Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA), Gianni Infantino ameipongeza klabu ya Young Africans kwa kuwa mabingwa wa Ligi Kuu ya NBC msimu wa 2024/2025. Katika barua yake aliyoituma Julai 25 mwaka huu kwa Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Wallace Karia, Rais Infantino amesema juhudi walizofanya msimu mzima zimewalipa kwa kutwaa ubingwa huo. Pia amesema salamu zake za pongezi ziende kwa kila mwanachama wa Young Africans kwa kuwa wote ni sehemu ya mafanikio hayo makubwa kwa timu yao. "Nakushukuru wewe na Shirikisho lako kwa kazi nzuri ya kusimamia maendeleo ya mpira wa miguu katika nchi yako, na ninatarajia tutaonana hivi karibu, " amesema Rais Infantino katika sehemu ya barua hiyo. #SportsElite
    0 Kommentare ·0 Anteile ·957 Ansichten
  • OFFICIAL : Garnacho, Sancho, Antony pamoja na Tyrell Malacia wote wameondolewa kwenye kikosi cha Man United kwa ajili ya maandalizi ya msimu mpya.

    Harry Maguire hayupo na timu lakini kwa sababu za kibinafsi tu, ila atarejea hivi karibuni kambini

    Jadon Sancho, Alejandro Garnacho, Antony pamoja na Tyler Malacia wote wako Sokoni wanauzwa.

    #SportsElite
    👋🚨OFFICIAL : Garnacho, Sancho, Antony pamoja na Tyrell Malacia wote wameondolewa kwenye kikosi cha Man United kwa ajili ya maandalizi ya msimu mpya.🔴 Harry Maguire hayupo na timu lakini kwa sababu za kibinafsi tu, ila atarejea hivi karibuni kambini Jadon Sancho, Alejandro Garnacho, Antony pamoja na Tyler Malacia wote wako Sokoni wanauzwa. #SportsElite
    0 Kommentare ·0 Anteile ·470 Ansichten
  • Atlético Madrid tayari wametoa ofa mbili kwa Chelsea kumsajili Renato Veiga, ya hivi punde ikiwa ni €35 milioni ikijumuisha marupurupu.

    #SportsElite
    Atlético Madrid tayari wametoa ofa mbili kwa Chelsea kumsajili Renato Veiga, ya hivi punde ikiwa ni €35 milioni ikijumuisha marupurupu. #SportsElite
    0 Kommentare ·0 Anteile ·345 Ansichten
  • USAJILI MPAKA HIVI KWA VILABU ENGLAND

    MANCHESTER UNITED
    Matheus Cunha
    Diego Leon
    Bryan MBEUMO
    Emi Martinez Dibu

    Liverpool -
    Wirtz
    Frimpong
    Mamardashvilli
    Hugo Etikite
    Isak

    Manchester City
    Reijnders
    Cherki
    Ait Nouri

    Chelsea:
    Gittens
    Joao Pedro
    Delap

    Arsenal -
    Zubimendi
    Madeueke
    Norgaard
    Kepa
    Gyokeres

    Tottenham Hotspur Spurs
    Gibbs White
    Kudus

    Newcastle United-
    Elanga
    Ekitike

    #SportsElite
    USAJILI MPAKA HIVI KWA VILABU ENGLAND 🔴MANCHESTER UNITED 🇧🇷 Matheus Cunha 🇵🇾 Diego Leon 🇨🇲Bryan MBEUMO ⏳Emi Martinez Dibu 🔴Liverpool - ✅ Wirtz ✅ Frimpong ✅ Mamardashvilli ✅Hugo Etikite ⏳ Isak 🔵Manchester City ✅ Reijnders ✅ Cherki ✅ Ait Nouri 🔵Chelsea: ✅ Gittens ✅ Joao Pedro ✅ Delap 🔴Arsenal - ✅ Zubimendi ✅ Madeueke ✅ Norgaard ✅ Kepa ⏳ Gyokeres ⚪Tottenham Hotspur Spurs ✅ Gibbs White ✅ Kudus ⚪Newcastle United- ✅ Elanga ⏳ Ekitike #SportsElite
    0 Kommentare ·0 Anteile ·562 Ansichten
  • Barcelona kunufaika kwa €2 milioni kutokana na jeraha la Ter Stegen

    Ripoti ya habari imeeleza uwezekano wa klabu ya FC Barcelona kupokea kiasi cha €2 milioni kufuatia jeraha la mlinda mlango wao wa Kijerumani, Marc-André ter Stegen .

    Kwa mujibu wa Mundo Deportivo, Barcelona waligundua kwanza jeraha la Ter Stegen baada ya mechi za UEFA Nations League dhidi ya Ureno na Ufaransa zilizochezwa Juni 4 na 8.

    Ripoti hiyo imeongeza:

    > "Barcelona waliiarifu FIFA mapema kuhusu matatizo ya mgongo aliyopata Ter Stegen, ambayo yalitokana na mechi zake za hivi karibuni na timu ya taifa ya Ujerumani ."

    Kwa hivyo, FIFA huenda ikalazimika kulipa fidia kifedha kwa Barcelona ikiwa Ter Stegen atakuwa nje ya uwanja kwa zaidi ya siku 28 mfululizo kutokana na jeraha alilopata akiwa kwenye majukumu ya kimataifa .

    Ripoti hiyo imeeleza kuwa klabu ya Catalonia inaweza kupata zaidi ya €2 milioni kutokana na hali hiyo.

    Barcelona tayari waliwahi kunufaika na mpango wa fidia wa FIFA ujulikanao kama Club Protection Program wakati Gavi alipoumia vibaya akiwa na timu ya taifa ya Hispania mwaka 2023, na pia walipopata fidia baada ya Ronald Araújo kuumia akiwa na Uruguay wakati wa Copa América 2024.

    Kwa upande wa Ter Stegen, ikiwa atakosa mashindano kwa miezi 4, Barcelona wangeweza kupokea hadi €2.46 milioni.

    #SportsElite
    🚨 Barcelona kunufaika kwa €2 milioni kutokana na jeraha la Ter Stegen 💰 Ripoti ya habari imeeleza uwezekano wa klabu ya FC Barcelona kupokea kiasi cha €2 milioni kufuatia jeraha la mlinda mlango wao wa Kijerumani, Marc-André ter Stegen 🤕. Kwa mujibu wa Mundo Deportivo, Barcelona waligundua kwanza jeraha la Ter Stegen baada ya mechi za UEFA Nations League dhidi ya Ureno 🇵🇹 na Ufaransa 🇫🇷 zilizochezwa Juni 4 na 8. Ripoti hiyo imeongeza: > "Barcelona waliiarifu FIFA mapema kuhusu matatizo ya mgongo aliyopata Ter Stegen, ambayo yalitokana na mechi zake za hivi karibuni na timu ya taifa ya Ujerumani 🇩🇪." Kwa hivyo, FIFA huenda ikalazimika kulipa fidia kifedha kwa Barcelona ikiwa Ter Stegen atakuwa nje ya uwanja kwa zaidi ya siku 28 mfululizo kutokana na jeraha alilopata akiwa kwenye majukumu ya kimataifa 🏥. Ripoti hiyo imeeleza kuwa klabu ya Catalonia inaweza kupata zaidi ya €2 milioni kutokana na hali hiyo. Barcelona tayari waliwahi kunufaika na mpango wa fidia wa FIFA ujulikanao kama Club Protection Program wakati Gavi alipoumia vibaya akiwa na timu ya taifa ya Hispania 🇪🇸 mwaka 2023, na pia walipopata fidia baada ya Ronald Araújo kuumia akiwa na Uruguay 🇺🇾 wakati wa Copa América 2024. Kwa upande wa Ter Stegen, ikiwa atakosa mashindano kwa miezi 4, Barcelona wangeweza kupokea hadi €2.46 milioni. #SportsElite
    0 Kommentare ·0 Anteile ·863 Ansichten
  • Sasa dili limetikiii rasmi club ya Barcelona imekubali kumsainii mchezaji Marcus Rashford wa Manchester united,, na club hyo ya Manchester imetoa tamko mchezaji huyo atajiunga na Club ya Barcelona hivi karibunii


    #SportsElite
    🚨 Sasa dili limetikiii rasmi club ya Barcelona imekubali kumsainii mchezaji Marcus Rashford wa Manchester united,, na club hyo ya Manchester imetoa tamko mchezaji huyo atajiunga na Club ya Barcelona hivi karibunii #SportsElite
    0 Kommentare ·0 Anteile ·313 Ansichten
  • 𝗡𝗘𝗬𝗠𝗔𝗥 𝗝𝗥 kuhusu mtoto wa Robhinho : "Juninho ana uwezo mkubwa. Anafanana sana na baba yake, bila kujali baba yake aliyopitia. Kijana ana kichwa kizuri sana, ana nguvu sana, si rahisi kuwa kwenye viatu vyake.

    "Si rahisi kucheza kwa mara ya kwanza hivi, kwa shinikizo linalokuja na jina lake. Yeye yuko hapa, nami niko hapa kuisaidia Santos; ni mvulana mwenye moyo mzuri. Nampigia debe sana. Nilimwona alipokuwa mdogo, na sasa anacheza pamoja nami. Wakati unapita, na ana ujuzi." (EsportesCNN)

    #SportsElite
    𝗡𝗘𝗬𝗠𝗔𝗥 𝗝𝗥 kuhusu mtoto wa Robhinho : 🎙️"Juninho ana uwezo mkubwa. Anafanana sana na baba yake, bila kujali baba yake aliyopitia. Kijana ana kichwa kizuri sana, ana nguvu sana, si rahisi kuwa kwenye viatu vyake. "Si rahisi kucheza kwa mara ya kwanza hivi, kwa shinikizo linalokuja na jina lake. Yeye yuko hapa, nami niko hapa kuisaidia Santos; ni mvulana mwenye moyo mzuri. Nampigia debe sana. Nilimwona alipokuwa mdogo, na sasa anacheza pamoja nami. Wakati unapita, na ana ujuzi." (EsportesCNN) #SportsElite
    0 Kommentare ·0 Anteile ·337 Ansichten
  • | BREAKING

    Crystal Palace imepanga kukata rufaa ili kupinga uamuzi wa UEFA kuwashusha kutoka kushiriki EUROPA hadi kushiriki Conference League.

    Nafasi ya ushiriki wa EUROPA ambayo ilikuwa ni ya Crystal Palace atashiriki Nottingham Forest na Palace watashiriki Conference kama mambo yatabakia hivi.

    #SportsElite
    🚨 | BREAKING Crystal Palace imepanga kukata rufaa ili kupinga uamuzi wa UEFA kuwashusha kutoka kushiriki EUROPA hadi kushiriki Conference League. Nafasi ya ushiriki wa EUROPA ambayo ilikuwa ni ya Crystal Palace atashiriki Nottingham Forest na Palace watashiriki Conference kama mambo yatabakia hivi. #SportsElite
    0 Kommentare ·0 Anteile ·550 Ansichten
  • | BREAKING:

    Barcelona wako kwenye mazungumzo ya hali ya juu kuhakikisha wanamsajili Zé Lucas, mmoja wa vijana wanaovuma zaidi nchini Brazil.

    Kiungo wa kati mwenye umri wa miaka 17 anachezea Sport Recife.

    Makubaliano ya mwisho kati ya pande zote yanatarajiwa hivi karibuni.

    — Felix Diaz | Marca

    #sportselite
    🚨| BREAKING: Barcelona wako kwenye mazungumzo ya hali ya juu kuhakikisha wanamsajili Zé Lucas, mmoja wa vijana wanaovuma zaidi nchini Brazil. Kiungo wa kati mwenye umri wa miaka 17 anachezea Sport Recife. Makubaliano ya mwisho kati ya pande zote yanatarajiwa hivi karibuni. — Felix Diaz | Marca 🥇 #sportselite
    0 Kommentare ·0 Anteile ·415 Ansichten
Suchergebnis