• Rais wa Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA), Gianni Infantino ameipongeza klabu ya Young Africans kwa kuwa mabingwa wa Ligi Kuu ya NBC msimu wa 2024/2025.

    Katika barua yake aliyoituma Julai 25 mwaka huu kwa Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Wallace Karia, Rais Infantino amesema juhudi walizofanya msimu mzima zimewalipa kwa kutwaa ubingwa huo.

    Pia amesema salamu zake za pongezi ziende kwa kila mwanachama wa Young Africans kwa kuwa wote ni sehemu ya mafanikio hayo makubwa kwa timu yao.

    "Nakushukuru wewe na Shirikisho lako kwa kazi nzuri ya kusimamia maendeleo ya mpira wa miguu katika nchi yako, na ninatarajia tutaonana hivi karibu, " amesema Rais Infantino katika sehemu ya barua hiyo.

    #SportsElite
    🚨🚨Rais wa Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA), Gianni Infantino ameipongeza klabu ya Young Africans kwa kuwa mabingwa wa Ligi Kuu ya NBC msimu wa 2024/2025. Katika barua yake aliyoituma Julai 25 mwaka huu kwa Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Wallace Karia, Rais Infantino amesema juhudi walizofanya msimu mzima zimewalipa kwa kutwaa ubingwa huo. Pia amesema salamu zake za pongezi ziende kwa kila mwanachama wa Young Africans kwa kuwa wote ni sehemu ya mafanikio hayo makubwa kwa timu yao. "Nakushukuru wewe na Shirikisho lako kwa kazi nzuri ya kusimamia maendeleo ya mpira wa miguu katika nchi yako, na ninatarajia tutaonana hivi karibu, " amesema Rais Infantino katika sehemu ya barua hiyo. #SportsElite
    0 Reacties ·0 aandelen ·220 Views
  • OFFICIAL : Garnacho, Sancho, Antony pamoja na Tyrell Malacia wote wameondolewa kwenye kikosi cha Man United kwa ajili ya maandalizi ya msimu mpya.

    Harry Maguire hayupo na timu lakini kwa sababu za kibinafsi tu, ila atarejea hivi karibuni kambini

    Jadon Sancho, Alejandro Garnacho, Antony pamoja na Tyler Malacia wote wako Sokoni wanauzwa.

    #SportsElite
    👋🚨OFFICIAL : Garnacho, Sancho, Antony pamoja na Tyrell Malacia wote wameondolewa kwenye kikosi cha Man United kwa ajili ya maandalizi ya msimu mpya.🔴 Harry Maguire hayupo na timu lakini kwa sababu za kibinafsi tu, ila atarejea hivi karibuni kambini Jadon Sancho, Alejandro Garnacho, Antony pamoja na Tyler Malacia wote wako Sokoni wanauzwa. #SportsElite
    0 Reacties ·0 aandelen ·138 Views
  • Atlético Madrid tayari wametoa ofa mbili kwa Chelsea kumsajili Renato Veiga, ya hivi punde ikiwa ni €35 milioni ikijumuisha marupurupu.

    #SportsElite
    Atlético Madrid tayari wametoa ofa mbili kwa Chelsea kumsajili Renato Veiga, ya hivi punde ikiwa ni €35 milioni ikijumuisha marupurupu. #SportsElite
    0 Reacties ·0 aandelen ·166 Views
  • USAJILI MPAKA HIVI KWA VILABU ENGLAND

    MANCHESTER UNITED
    Matheus Cunha
    Diego Leon
    Bryan MBEUMO
    Emi Martinez Dibu

    Liverpool -
    Wirtz
    Frimpong
    Mamardashvilli
    Hugo Etikite
    Isak

    Manchester City
    Reijnders
    Cherki
    Ait Nouri

    Chelsea:
    Gittens
    Joao Pedro
    Delap

    Arsenal -
    Zubimendi
    Madeueke
    Norgaard
    Kepa
    Gyokeres

    Tottenham Hotspur Spurs
    Gibbs White
    Kudus

    Newcastle United-
    Elanga
    Ekitike

    #SportsElite
    USAJILI MPAKA HIVI KWA VILABU ENGLAND 🔴MANCHESTER UNITED 🇧🇷 Matheus Cunha 🇵🇾 Diego Leon 🇨🇲Bryan MBEUMO ⏳Emi Martinez Dibu 🔴Liverpool - ✅ Wirtz ✅ Frimpong ✅ Mamardashvilli ✅Hugo Etikite ⏳ Isak 🔵Manchester City ✅ Reijnders ✅ Cherki ✅ Ait Nouri 🔵Chelsea: ✅ Gittens ✅ Joao Pedro ✅ Delap 🔴Arsenal - ✅ Zubimendi ✅ Madeueke ✅ Norgaard ✅ Kepa ⏳ Gyokeres ⚪Tottenham Hotspur Spurs ✅ Gibbs White ✅ Kudus ⚪Newcastle United- ✅ Elanga ⏳ Ekitike #SportsElite
    0 Reacties ·0 aandelen ·178 Views
  • Barcelona kunufaika kwa €2 milioni kutokana na jeraha la Ter Stegen

    Ripoti ya habari imeeleza uwezekano wa klabu ya FC Barcelona kupokea kiasi cha €2 milioni kufuatia jeraha la mlinda mlango wao wa Kijerumani, Marc-André ter Stegen .

    Kwa mujibu wa Mundo Deportivo, Barcelona waligundua kwanza jeraha la Ter Stegen baada ya mechi za UEFA Nations League dhidi ya Ureno na Ufaransa zilizochezwa Juni 4 na 8.

    Ripoti hiyo imeongeza:

    > "Barcelona waliiarifu FIFA mapema kuhusu matatizo ya mgongo aliyopata Ter Stegen, ambayo yalitokana na mechi zake za hivi karibuni na timu ya taifa ya Ujerumani ."

    Kwa hivyo, FIFA huenda ikalazimika kulipa fidia kifedha kwa Barcelona ikiwa Ter Stegen atakuwa nje ya uwanja kwa zaidi ya siku 28 mfululizo kutokana na jeraha alilopata akiwa kwenye majukumu ya kimataifa .

    Ripoti hiyo imeeleza kuwa klabu ya Catalonia inaweza kupata zaidi ya €2 milioni kutokana na hali hiyo.

    Barcelona tayari waliwahi kunufaika na mpango wa fidia wa FIFA ujulikanao kama Club Protection Program wakati Gavi alipoumia vibaya akiwa na timu ya taifa ya Hispania mwaka 2023, na pia walipopata fidia baada ya Ronald Araújo kuumia akiwa na Uruguay wakati wa Copa América 2024.

    Kwa upande wa Ter Stegen, ikiwa atakosa mashindano kwa miezi 4, Barcelona wangeweza kupokea hadi €2.46 milioni.

    #SportsElite
    🚨 Barcelona kunufaika kwa €2 milioni kutokana na jeraha la Ter Stegen 💰 Ripoti ya habari imeeleza uwezekano wa klabu ya FC Barcelona kupokea kiasi cha €2 milioni kufuatia jeraha la mlinda mlango wao wa Kijerumani, Marc-André ter Stegen 🤕. Kwa mujibu wa Mundo Deportivo, Barcelona waligundua kwanza jeraha la Ter Stegen baada ya mechi za UEFA Nations League dhidi ya Ureno 🇵🇹 na Ufaransa 🇫🇷 zilizochezwa Juni 4 na 8. Ripoti hiyo imeongeza: > "Barcelona waliiarifu FIFA mapema kuhusu matatizo ya mgongo aliyopata Ter Stegen, ambayo yalitokana na mechi zake za hivi karibuni na timu ya taifa ya Ujerumani 🇩🇪." Kwa hivyo, FIFA huenda ikalazimika kulipa fidia kifedha kwa Barcelona ikiwa Ter Stegen atakuwa nje ya uwanja kwa zaidi ya siku 28 mfululizo kutokana na jeraha alilopata akiwa kwenye majukumu ya kimataifa 🏥. Ripoti hiyo imeeleza kuwa klabu ya Catalonia inaweza kupata zaidi ya €2 milioni kutokana na hali hiyo. Barcelona tayari waliwahi kunufaika na mpango wa fidia wa FIFA ujulikanao kama Club Protection Program wakati Gavi alipoumia vibaya akiwa na timu ya taifa ya Hispania 🇪🇸 mwaka 2023, na pia walipopata fidia baada ya Ronald Araújo kuumia akiwa na Uruguay 🇺🇾 wakati wa Copa América 2024. Kwa upande wa Ter Stegen, ikiwa atakosa mashindano kwa miezi 4, Barcelona wangeweza kupokea hadi €2.46 milioni. #SportsElite
    0 Reacties ·0 aandelen ·338 Views
  • Sasa dili limetikiii rasmi club ya Barcelona imekubali kumsainii mchezaji Marcus Rashford wa Manchester united,, na club hyo ya Manchester imetoa tamko mchezaji huyo atajiunga na Club ya Barcelona hivi karibunii


    #SportsElite
    🚨 Sasa dili limetikiii rasmi club ya Barcelona imekubali kumsainii mchezaji Marcus Rashford wa Manchester united,, na club hyo ya Manchester imetoa tamko mchezaji huyo atajiunga na Club ya Barcelona hivi karibunii #SportsElite
    0 Reacties ·0 aandelen ·133 Views
  • 𝗡𝗘𝗬𝗠𝗔𝗥 𝗝𝗥 kuhusu mtoto wa Robhinho : "Juninho ana uwezo mkubwa. Anafanana sana na baba yake, bila kujali baba yake aliyopitia. Kijana ana kichwa kizuri sana, ana nguvu sana, si rahisi kuwa kwenye viatu vyake.

    "Si rahisi kucheza kwa mara ya kwanza hivi, kwa shinikizo linalokuja na jina lake. Yeye yuko hapa, nami niko hapa kuisaidia Santos; ni mvulana mwenye moyo mzuri. Nampigia debe sana. Nilimwona alipokuwa mdogo, na sasa anacheza pamoja nami. Wakati unapita, na ana ujuzi." (EsportesCNN)

    #SportsElite
    𝗡𝗘𝗬𝗠𝗔𝗥 𝗝𝗥 kuhusu mtoto wa Robhinho : 🎙️"Juninho ana uwezo mkubwa. Anafanana sana na baba yake, bila kujali baba yake aliyopitia. Kijana ana kichwa kizuri sana, ana nguvu sana, si rahisi kuwa kwenye viatu vyake. "Si rahisi kucheza kwa mara ya kwanza hivi, kwa shinikizo linalokuja na jina lake. Yeye yuko hapa, nami niko hapa kuisaidia Santos; ni mvulana mwenye moyo mzuri. Nampigia debe sana. Nilimwona alipokuwa mdogo, na sasa anacheza pamoja nami. Wakati unapita, na ana ujuzi." (EsportesCNN) #SportsElite
    0 Reacties ·0 aandelen ·196 Views
  • | BREAKING

    Crystal Palace imepanga kukata rufaa ili kupinga uamuzi wa UEFA kuwashusha kutoka kushiriki EUROPA hadi kushiriki Conference League.

    Nafasi ya ushiriki wa EUROPA ambayo ilikuwa ni ya Crystal Palace atashiriki Nottingham Forest na Palace watashiriki Conference kama mambo yatabakia hivi.

    #SportsElite
    🚨 | BREAKING Crystal Palace imepanga kukata rufaa ili kupinga uamuzi wa UEFA kuwashusha kutoka kushiriki EUROPA hadi kushiriki Conference League. Nafasi ya ushiriki wa EUROPA ambayo ilikuwa ni ya Crystal Palace atashiriki Nottingham Forest na Palace watashiriki Conference kama mambo yatabakia hivi. #SportsElite
    0 Reacties ·0 aandelen ·238 Views
  • | BREAKING:

    Barcelona wako kwenye mazungumzo ya hali ya juu kuhakikisha wanamsajili Zé Lucas, mmoja wa vijana wanaovuma zaidi nchini Brazil.

    Kiungo wa kati mwenye umri wa miaka 17 anachezea Sport Recife.

    Makubaliano ya mwisho kati ya pande zote yanatarajiwa hivi karibuni.

    — Felix Diaz | Marca

    #sportselite
    🚨| BREAKING: Barcelona wako kwenye mazungumzo ya hali ya juu kuhakikisha wanamsajili Zé Lucas, mmoja wa vijana wanaovuma zaidi nchini Brazil. Kiungo wa kati mwenye umri wa miaka 17 anachezea Sport Recife. Makubaliano ya mwisho kati ya pande zote yanatarajiwa hivi karibuni. — Felix Diaz | Marca 🥇 #sportselite
    0 Reacties ·0 aandelen ·279 Views
  • UMECHOKA KUNUNUA BANDO KILA SIKU?

    Elfu 2 leo, elfu 3 kesho... halafu zinaisha bila huruma?

    Chukua akili mpya kabisa: SME BANDO kutoka Airtel! GB 15 kwa TZS 15,000
    GB 22 kwa TZS 20,000
    GB 35 kwa TZS 30,000
    Kwa mwezi mzima — si za siku, si za wiki. Ni full mwezi!

    Hakuna makato. Hakuna kuungua. Hakuna stress.

    Nicheki WhatsApp sasa hivi 0786 711 057

    Wengine wameshachukua. Wewe je?
    Usikose hii fursa ya #DataYaUkweli!

    #SMEBando #BandoKali #FullMwezi #SMEAPO #HustleSmart
    📣 UMECHOKA KUNUNUA BANDO KILA SIKU? 😤 Elfu 2 leo, elfu 3 kesho... halafu zinaisha bila huruma? 🧠 Chukua akili mpya kabisa: 🔴 SME BANDO kutoka Airtel! ✅ GB 15 kwa TZS 15,000 ✅ GB 22 kwa TZS 20,000 ✅ GB 35 kwa TZS 30,000 📆 Kwa mwezi mzima — si za siku, si za wiki. Ni full mwezi! 💥 Hakuna makato. Hakuna kuungua. Hakuna stress. 📲 Nicheki WhatsApp sasa hivi 👉 0786 711 057 🚀 Wengine wameshachukua. Wewe je? 👀 Usikose hii fursa ya #DataYaUkweli! #SMEBando #BandoKali #FullMwezi #SMEAPO #HustleSmart
    0 Reacties ·0 aandelen ·447 Views
  • WATUMIAJI WA DATA WA UKWELI!

    SME BANDO YA AIRTEL imerudi kwa kishindo!

    Unatumia 5K–7K kila wiki kwa bando?
    ACHANA NAYO!

    Kwa 15,000 tu unapata:
    GB 15 za mwezi mzima
    + Dakika 500 (kama ni combo)

    Hakuna longolongo, hakuna makato.
    Data safi, muda mwingi, bei ndogo!

    Wahi kabla salio halijaisha tu sasa hivi…
    DM NIKUSAIDIE KUFUNGUA

    Piga+255786711057

    #SMEBando #DataYaUkweli #AirtelSME #BandoKali #HustleSmart
    📣 WATUMIAJI WA DATA WA UKWELI! 🚨 SME BANDO YA AIRTEL imerudi kwa kishindo! 🚨 Unatumia 5K–7K kila wiki kwa bando? 🚫 ACHANA NAYO! ✅ Kwa 15,000 tu unapata: 📶 GB 15 za mwezi mzima 📞 + Dakika 500 (kama ni combo) Hakuna longolongo, hakuna makato. 💯 Data safi, muda mwingi, bei ndogo! ⏳ Wahi kabla salio halijaisha tu sasa hivi… 📲 DM NIKUSAIDIE KUFUNGUA 💬 Piga+255786711057 #SMEBando #DataYaUkweli #AirtelSME #BandoKali #HustleSmart
    0 Reacties ·0 aandelen ·537 Views
  • WATUMIAJI WA DATA WA UKWELI!

    SME BANDO YA AIRTEL imerudi kwa kishindo!

    Unatumia 5K–7K kila wiki kwa bando?
    ACHANA NAYO!

    Kwa 15,000 tu unapata:
    GB 15 za mwezi mzima
    + Dakika 500 (kama ni combo)

    Hakuna longolongo, hakuna makato.
    Data safi, muda mwingi, bei ndogo!

    Wahi kabla salio halijaisha tu sasa hivi…
    DM NIKUSAIDIE KUFUNGUA

    Piga+255786711057

    #SMEBando #DataYaUkweli #AirtelSME #BandoKali #HustleSmart
    📣 WATUMIAJI WA DATA WA UKWELI! 🚨 SME BANDO YA AIRTEL imerudi kwa kishindo! 🚨 Unatumia 5K–7K kila wiki kwa bando? 🚫 ACHANA NAYO! ✅ Kwa 15,000 tu unapata: 📶 GB 15 za mwezi mzima 📞 + Dakika 500 (kama ni combo) Hakuna longolongo, hakuna makato. 💯 Data safi, muda mwingi, bei ndogo! ⏳ Wahi kabla salio halijaisha tu sasa hivi… 📲 DM NIKUSAIDIE KUFUNGUA 💬 Piga+255786711057 #SMEBando #DataYaUkweli #AirtelSME #BandoKali #HustleSmart
    Like
    1
    · 0 Reacties ·0 aandelen ·570 Views
  • SME AIRTEL FREE
    ACTIVATION

    LIPA AIRTEL FREE
    ACTIVATION
    KIGEZO
    NAMBA YA SIMU TU

    LIPA YAS FREE ACTIVATION
    PIA NATOA USER POPOTE PALE ULIPO USER INAINGIA KIDOLE CHOCHOTE

    LIPA MPESA FREE ACTIVATION

    NAPOKEA ODER KUANZIA
    SAHIVI USIACHE PESA MTAANI
    AGENT
    Piga simu
    0786711057
    📌SME AIRTEL FREE ACTIVATION 📌LIPA AIRTEL FREE ACTIVATION KIGEZO ↔️NAMBA YA SIMU TU 📌LIPA YAS FREE ACTIVATION PIA NATOA USER POPOTE PALE ULIPO USER INAINGIA KIDOLE CHOCHOTE 📌LIPA MPESA FREE ACTIVATION NAPOKEA ODER KUANZIA SAHIVI USIACHE PESA MTAANI AGENT Piga simu 0786711057 👏👏👏👏👏
    Love
    1
    · 0 Reacties ·0 aandelen ·489 Views
  • Zaburi 89:35
    [35]Neno moja nimeliapa kwa utakatifu wangu,
    Hakika sitamwambia Daudi uongo,

    Huyu ni Mungu anasema juu ya mtumishi wake Daudi kuwa ameapa kwa utakatifu wake, hakika atamwambia Daudi uongo.

    Kwa sababu Daudi aliupendeza moyo wa Bwana n Bwana akajitukuza kupitia Daudi .

    Kwa lugha nyepesi ni hivi kuhusu ufalme ukiingia bato na daudi lazima ushindwe uchaguzi kwa sababu Bwana ameapa kumketisha Daudi na familia yake katika enzi ya ufalme.

    Zaburi 89:36-37
    [36] *Wazao wake watadumu milele,Na kitichake kitakuwa kama jua mbele zangu*

    [37]Kitathibitika milele kama mwezi;
    Shahidi aliye mbinguni mwaminifu.

    Unaona kumbe hata watoto wake watarithi uaminifu wa baba yao kwa kukalia kiti cha ufalme milele.

    Haya yanatokea siyo bahati mbaya lazima uwe mwaminifu kwa Bwana.

    Wakati watu wanapata
    nafasi ya kuomba utajiri kwa Bwana msikilize Daudi aliomba nini.

    Zaburi 27:4
    [4]Neno Moja nimelitaka kwa BWANA,
    Nalo ndilo nitakalolitafuta,
    *Nikae nyumbani mwa BWANA*
    Siku zote za maisha yangu,
    *Niutazame uzuri wa BWANA*,
    Na kutafakari hekaluni mwake.

    Kumbuka hizi zaburi sehemu kubwa Daudi aliziandika akiwa porini na wala si katika kiti cha kifalme .

    Kumbe moyo wa Daudi ulimpenda Bwana kiasi cha Bwana kumuamini yeye kuliko mfalme yeyote ,let say wewe leo unataka ubunge na kiagano ni sehemu ya Daudi lakini unapigwa chini na mtu anaye tumia waganga tatizo haliko kwa Mungu ttizo ni kiwango chako cha kuliamini neno ili ligeuke kuwa lako ni ndogo kuliko hofu yako juu ya kushindwa.

    Ukiokoka unapaswa kuaminiwa na Mungu na kuwa sehemu ya agano hili ambalo alimwapia Daudi juu ya *umiliki na utawala na akaapa kwa hakika hatosema uongo*

    Bwana anatupenda katika uaminifu wake kiasi ch sisi kuwa ndani ya agano lake.

    Zaburi 89:34
    *[34]Mimi sitalihalifu agano langu, Sitalibadili neno lililotoka midomoni mwangu.*

    Agano la Mungu ni hakika ni kukubaliki na kukuachia utawala ni maamuzi yako kuupokea utawala au kuishi nje ya kutawala .

    *Kiwango cha uaminifu wako kwa Bwana kitaamua kiwango cha Bwana kukuamini pia .na kujenga makao kwako*

    Ok shukrani sana naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden)
    Simu 0622625340
    #build new eden
    #restore men position
    Zaburi 89:35 [35]Neno moja nimeliapa kwa utakatifu wangu, Hakika sitamwambia Daudi uongo, Huyu ni Mungu anasema juu ya mtumishi wake Daudi kuwa ameapa kwa utakatifu wake, hakika atamwambia Daudi uongo. Kwa sababu Daudi aliupendeza moyo wa Bwana n Bwana akajitukuza kupitia Daudi . Kwa lugha nyepesi ni hivi kuhusu ufalme ukiingia bato na daudi lazima ushindwe uchaguzi kwa sababu Bwana ameapa kumketisha Daudi na familia yake katika enzi ya ufalme. Zaburi 89:36-37 [36] *Wazao wake watadumu milele,Na kitichake kitakuwa kama jua mbele zangu* [37]Kitathibitika milele kama mwezi; Shahidi aliye mbinguni mwaminifu. Unaona kumbe hata watoto wake watarithi uaminifu wa baba yao kwa kukalia kiti cha ufalme milele. Haya yanatokea siyo bahati mbaya lazima uwe mwaminifu kwa Bwana. Wakati watu wanapata nafasi ya kuomba utajiri kwa Bwana msikilize Daudi aliomba nini. Zaburi 27:4 [4]Neno Moja nimelitaka kwa BWANA, Nalo ndilo nitakalolitafuta, *Nikae nyumbani mwa BWANA* Siku zote za maisha yangu, *Niutazame uzuri wa BWANA*, Na kutafakari hekaluni mwake. Kumbuka hizi zaburi sehemu kubwa Daudi aliziandika akiwa porini na wala si katika kiti cha kifalme . Kumbe moyo wa Daudi ulimpenda Bwana kiasi cha Bwana kumuamini yeye kuliko mfalme yeyote ,let say wewe leo unataka ubunge na kiagano ni sehemu ya Daudi lakini unapigwa chini na mtu anaye tumia waganga tatizo haliko kwa Mungu ttizo ni kiwango chako cha kuliamini neno ili ligeuke kuwa lako ni ndogo kuliko hofu yako juu ya kushindwa. Ukiokoka unapaswa kuaminiwa na Mungu na kuwa sehemu ya agano hili ambalo alimwapia Daudi juu ya *umiliki na utawala na akaapa kwa hakika hatosema uongo* Bwana anatupenda katika uaminifu wake kiasi ch sisi kuwa ndani ya agano lake. Zaburi 89:34 *[34]Mimi sitalihalifu agano langu, Sitalibadili neno lililotoka midomoni mwangu.* Agano la Mungu ni hakika ni kukubaliki na kukuachia utawala ni maamuzi yako kuupokea utawala au kuishi nje ya kutawala . *Kiwango cha uaminifu wako kwa Bwana kitaamua kiwango cha Bwana kukuamini pia .na kujenga makao kwako* Ok shukrani sana naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden) Simu 0622625340 #build new eden #restore men position
    0 Reacties ·0 aandelen ·626 Views
  • *Roho mtakatifu kama mlinzi wetu*

    Isaya 4:5-6
    [5]Tena juu ya makao yote ya mlima Sayuni, na juu ya makusanyiko yake, BWANA ataumba *wingu na moshi wakati wa mchana, na mwangaza wa miali ya moto wakati wa usiku;* kwa maana juu ya utukufu wote itatandazwa sitara.
    .
    [6]Kisha kutakuwa na hema kuwa uvuli wakati wa mchana kwa sababu ya hari, na kuwa mahali pa kukimbilia na kujificha wakati wa tufani na mvua.


    Wingu linalozungumzwa hapo kwenye agano la kale ni *Roho mtakatifu*

    Kumbe ukimkubali Kristo na kuuoshi wokovu roho wa Bwana anakuwa ndani yako na kazi moja wapo ya huyo *roho ni kukulinda wewe ulieamini*

    Mtu aliye mshika kristo ns kumuamini na kumpokea roho wake wakati wa mchana anafunikwa na kutulizwa na *Bwana na wakati wa usiku anamulikwa na Bwana*


    Kumbe kama roho wa Mungu anatumulika na kutukinga nini kinafanya watu wa Mungu tushindwe kuziishi ahadi ,*tumemuwekea mipaka roho mtakatifu* tukiamini *kunena kwa lugha ndo kipawa na jukumu la roho mtakatifu*

    Sasa tukitizama wakati taifa la islaeri limetoka misri lilikuwa linaongozwa na wingu la Bwana.

    Kutoka 13:21-22
    [21] *BWANA naye akawatangulia mchana ndani ya wingu mfano wa nguzo, ili awaongoze njia*; na usiku, *ndani ya moto mfano wa nguzo, ili kuwapa nuru*; wapate kusafiri mchana na usiku;*

    [22]ile nguzo ya wingu *haikuondoka mchana, wala ile nguzo ya moto haikuondoka usiku,* mbele ya hao watu.

    Hivi ndivyo roho wa Mungu anavyo paswa kukuongoza wakati wa mchana na wakati wa usiku .

    Ukiwa na roho wa Bwana na akawa rafiki yako na kiongozi wako utafanya biashara kwa kubahatisha badala yake yeye atakuongoza uza kitu chenye wateja.

    Unaweza mkaribisha jirani yako kujifunza neno na sisi kwa kujoin link hapa chini
    https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4

    Walokole tunakosa jicho la kuona fursa sababu tumemuwekea mipaka roho mtakatifu na wakati mwingine anatupa wazo tunalizimisha kwa kuto kujiamini na matokeo yake tunabaki jinsi tulivyo.

    Mtu aliye okoka na *akakubali kutii ndiye anayepaswa kula mema ya nchi* lakini imekuwa tofauti na uhalisia mtu ameokoka anaoshi dhana ya kuamini kuwa atakula kwa jasho iyo ilifanya kazi kabla ya wewe kuokoka saizi wewe unakula kwa wazo la kiMungu linalo shushwa na roho mtakatifu na wewe ukichukua hatua linageuka na kuleta matokeo .

    Musa aliijua siri hii ndo mana pasipo wingu akuenda mbele au kurudi nyuma.

    Kutoka 40:37
    [37]bali kama lile wingu halikuinuliwa, wakati ule hawakusafiri hata siku ile lilipoinuliwa tena.

    Cha kujiuliza mimi na wewe ni hatua ngapi yumepiga bila kuongozwa na roho mtakatifu na tukapelekea kupoteza thamani zetu .

    Iko haja turudi kuitafuta toba kwani ni hatua tulienda mbele lakini kumbe ni shetani *alitutenda tu kwa akiri*

    Ni kweli tuliyaona matokeo lakini hayakuwa ya bwana turudi tuitafute tona kwani ya matokeo ya Bwana yanakuja.

    Unasema na sema nini muulize samweli alipo enda nyumbani kwa mzee Yese aliletewa watu 6 ambao ni expert na ni mashujaa kwa kuwaona na yey mwenyewe akazani kuwa yupo mmoja wapo lakini msikie bwana alivyo mwambia

    1 Samweli 16:7
    [7]Lakini BWANA akamwambia Samweli, Usimtazame uso wake, wala urefu wa kimo chake; kwa maana mimi nimemkataa. BWANA haangalii kama binadamu aangaliavyo; maana wanadamu huitazama sura ya nje, bali BWANA huutazama moyo.

    Samweli aljvyo mtazama Abnadabu aliona sifa zote za kuwa mfalme lakini roho akuona kama samweli alivyo kuwa anaona.

    Kumbe hata sisi hatupaswi kuingia kazini ,au kwenye biashara hata kwenye kilimo sababu tu watu wamesema kilimo cha matikiti kinatoa tunapaswa kutazama *Bwana anasema nini*

    Yakobo alimtazama bwana na bwana akamwambia nenda nami nitakuwa pamoja nawe na kukurejesha tena .

    Ok ahsante sana tusiache kuomba toba ungana nami toba hii

    *BWANA YESU TUNAKUJA MBELE ZAKO KUNA HATUA NILISOGEA BILA WEWE ROHO NAOMBA TOBA NISAMEHE YESU NA TANGU LEO NAOMBA ROHO WAKO MTAKATIFU ATEMBEE NA MIMI KAMA MUSA NA WANAISLAERI WALIVYO TEMBEA NA WINGU LAKO WAKATI WA MCHANA UNIPE KIVULI NA WAKATI WA USIKU UNIPE MWANGA SAWA SAWA NA KWENYE MAISHA YANGU* .AMEN

    Ahsante sana naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden ministry)

    Unaweza mkaribisha jirani yako kujifunza neno na sisi kwa kujoin link hapa chini
    https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4

    #Restoremenposition
    #build new eden
    #youth reformation and revival
    *Roho mtakatifu kama mlinzi wetu* Isaya 4:5-6 [5]Tena juu ya makao yote ya mlima Sayuni, na juu ya makusanyiko yake, BWANA ataumba *wingu na moshi wakati wa mchana, na mwangaza wa miali ya moto wakati wa usiku;* kwa maana juu ya utukufu wote itatandazwa sitara. . [6]Kisha kutakuwa na hema kuwa uvuli wakati wa mchana kwa sababu ya hari, na kuwa mahali pa kukimbilia na kujificha wakati wa tufani na mvua. Wingu linalozungumzwa hapo kwenye agano la kale ni *Roho mtakatifu* Kumbe ukimkubali Kristo na kuuoshi wokovu roho wa Bwana anakuwa ndani yako na kazi moja wapo ya huyo *roho ni kukulinda wewe ulieamini* Mtu aliye mshika kristo ns kumuamini na kumpokea roho wake wakati wa mchana anafunikwa na kutulizwa na *Bwana na wakati wa usiku anamulikwa na Bwana* Kumbe kama roho wa Mungu anatumulika na kutukinga nini kinafanya watu wa Mungu tushindwe kuziishi ahadi ,*tumemuwekea mipaka roho mtakatifu* tukiamini *kunena kwa lugha ndo kipawa na jukumu la roho mtakatifu* Sasa tukitizama wakati taifa la islaeri limetoka misri lilikuwa linaongozwa na wingu la Bwana. Kutoka 13:21-22 [21] *BWANA naye akawatangulia mchana ndani ya wingu mfano wa nguzo, ili awaongoze njia*; na usiku, *ndani ya moto mfano wa nguzo, ili kuwapa nuru*; wapate kusafiri mchana na usiku;* [22]ile nguzo ya wingu *haikuondoka mchana, wala ile nguzo ya moto haikuondoka usiku,* mbele ya hao watu. Hivi ndivyo roho wa Mungu anavyo paswa kukuongoza wakati wa mchana na wakati wa usiku . Ukiwa na roho wa Bwana na akawa rafiki yako na kiongozi wako utafanya biashara kwa kubahatisha badala yake yeye atakuongoza uza kitu chenye wateja. Unaweza mkaribisha jirani yako kujifunza neno na sisi kwa kujoin link hapa chini https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4 Walokole tunakosa jicho la kuona fursa sababu tumemuwekea mipaka roho mtakatifu na wakati mwingine anatupa wazo tunalizimisha kwa kuto kujiamini na matokeo yake tunabaki jinsi tulivyo. Mtu aliye okoka na *akakubali kutii ndiye anayepaswa kula mema ya nchi* lakini imekuwa tofauti na uhalisia mtu ameokoka anaoshi dhana ya kuamini kuwa atakula kwa jasho iyo ilifanya kazi kabla ya wewe kuokoka saizi wewe unakula kwa wazo la kiMungu linalo shushwa na roho mtakatifu na wewe ukichukua hatua linageuka na kuleta matokeo . Musa aliijua siri hii ndo mana pasipo wingu akuenda mbele au kurudi nyuma. Kutoka 40:37 [37]bali kama lile wingu halikuinuliwa, wakati ule hawakusafiri hata siku ile lilipoinuliwa tena. Cha kujiuliza mimi na wewe ni hatua ngapi yumepiga bila kuongozwa na roho mtakatifu na tukapelekea kupoteza thamani zetu . Iko haja turudi kuitafuta toba kwani ni hatua tulienda mbele lakini kumbe ni shetani *alitutenda tu kwa akiri* Ni kweli tuliyaona matokeo lakini hayakuwa ya bwana turudi tuitafute tona kwani ya matokeo ya Bwana yanakuja. Unasema na sema nini muulize samweli alipo enda nyumbani kwa mzee Yese aliletewa watu 6 ambao ni expert na ni mashujaa kwa kuwaona na yey mwenyewe akazani kuwa yupo mmoja wapo lakini msikie bwana alivyo mwambia 1 Samweli 16:7 [7]Lakini BWANA akamwambia Samweli, Usimtazame uso wake, wala urefu wa kimo chake; kwa maana mimi nimemkataa. BWANA haangalii kama binadamu aangaliavyo; maana wanadamu huitazama sura ya nje, bali BWANA huutazama moyo. Samweli aljvyo mtazama Abnadabu aliona sifa zote za kuwa mfalme lakini roho akuona kama samweli alivyo kuwa anaona. Kumbe hata sisi hatupaswi kuingia kazini ,au kwenye biashara hata kwenye kilimo sababu tu watu wamesema kilimo cha matikiti kinatoa tunapaswa kutazama *Bwana anasema nini* Yakobo alimtazama bwana na bwana akamwambia nenda nami nitakuwa pamoja nawe na kukurejesha tena . Ok ahsante sana tusiache kuomba toba ungana nami toba hii *BWANA YESU TUNAKUJA MBELE ZAKO KUNA HATUA NILISOGEA BILA WEWE ROHO NAOMBA TOBA NISAMEHE YESU NA TANGU LEO NAOMBA ROHO WAKO MTAKATIFU ATEMBEE NA MIMI KAMA MUSA NA WANAISLAERI WALIVYO TEMBEA NA WINGU LAKO WAKATI WA MCHANA UNIPE KIVULI NA WAKATI WA USIKU UNIPE MWANGA SAWA SAWA NA KWENYE MAISHA YANGU* .AMEN Ahsante sana naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden ministry) Unaweza mkaribisha jirani yako kujifunza neno na sisi kwa kujoin link hapa chini https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4 #Restoremenposition #build new eden #youth reformation and revival
    0 Reacties ·0 aandelen ·755 Views
  • Sijui kwanini nimesikia kuandika haya , ila naamini kuna mtu atajifunza kitu na inawezekana huyo mtu akawa wewe.

    Nimekuwa nikikaana watu wengi sana hasa vijana mara nyingi wananiuliza nini mtazamo wangu kuhusu mahusiano mpaka ndoa .

    Leo nitaongea machache sana kabla ya kutoa mtazamo natamani ujue haya pengine utajua naelekea wapi katika kutoa mtizamo wangu.

    Naomba nizungumzie vipindi vitatu muhimu vya mahusiano (ndoa).

    1.love
    Kipindi cha upofu wa mapenzi .kipindi kinacho anza urafiki mpka uchumba.

    Ni kipindi ambacho unahisi girl/boy friend wako unamjua lakini uhalisia bado ujaanza kumjua .

    Hiki ndicho kipindi ambacho unaongozwa na hisia zaidi kuliko akiri .

    Ndo kipindi pekee unaweza kosana na kila mtu ili kulinda pendo lenu.

    Waswahili tunakiita love bila kunyumbua lakini wagiriki walinyumbua wanakiita Eros's wakimaanisha kipindi cha mahaba wazungu wanakiita romantic love.

    Kipindi cha pili kinaitwa realization.

    Hiki ndicho kipindi muhimu sana katika maisha .

    Kipindi ambacho unamjua mwenzako uhalisia wake wote tofauti na vile ulivyo kuwa unamuona kwa nje.

    Ndo kipindi ambacho unaijionea rangi halisi ya mwenzako na wakati huo huo uko ndani ya kiapo ambacho kifo uwatenganisha .

    Kipindi hiki ndicho kinaitwa kipinndi cha kuchukuliana na kuvumiliana .

    Hiki ndicho kipindi ambacho familia inaweza tengenezwa kwa amani au lah.

    Join group kwa mafundisho zaidi https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4

    Kipindi cha tatu: Redemption period

    Kipindi cha majuto ,hiki ndicho kipindi kigumu sana katika mahusiano au ndoa .

    Ni kipindi kinacho tokea na makosa yaliyo zalishwa zaidi na kipindi cha kwanza kabisa yaani love .

    Hiki ndicho kipindi unakuwa na machaguo mawili tu moja uamue kuacha ufe kiroho au uamue kuvumilia ili uwe imara zaidi.

    Kutokea hapo ndipo neno mwili mmoja linakamilika kwa maana ya kuchukuliana na mwenzako katika madhaifu yake kama yako na yako kama yake.

    Nimeandika kwa uchache sana lakini kwa mtazamo wangu vijana kutokujua vipindi hivi ndio matokeo ya migogoro katika ndoa au mahusiano

    Mfano ukishavuka kipindi cha uhalisia (, realization) unapasw usiingie katika majuto bali uingie kipindi cha kuchukuliana na kuvumiliana mtazaa kitu kinaitwa kutendeana na hapo ndipo upendo wa kimaisha ule usio na sababu unazaliwa .

    Nashusha karamu yangu chini ila nakukumbusha kabla ujawaza kuoa au kuolewa au hata kama umeshaolewa au kuoa tambua vipindi hivi na anza kuishi uku ukiwa na maarifa ya kila kipindi ili uje uinusuru familia yako kesho.

    Take care,, naitwa sylvester Mwakabende kutoka (Build new eden ministry)

    Join group kwa mafundisho zaidi https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4

    #build new eden
    #restore men position
    Sijui kwanini nimesikia kuandika haya , ila naamini kuna mtu atajifunza kitu na inawezekana huyo mtu akawa wewe. Nimekuwa nikikaana watu wengi sana hasa vijana mara nyingi wananiuliza nini mtazamo wangu kuhusu mahusiano mpaka ndoa . Leo nitaongea machache sana kabla ya kutoa mtazamo natamani ujue haya pengine utajua naelekea wapi katika kutoa mtizamo wangu. Naomba nizungumzie vipindi vitatu muhimu vya mahusiano (ndoa). 1.love Kipindi cha upofu wa mapenzi .kipindi kinacho anza urafiki mpka uchumba. Ni kipindi ambacho unahisi girl/boy friend wako unamjua lakini uhalisia bado ujaanza kumjua . Hiki ndicho kipindi ambacho unaongozwa na hisia zaidi kuliko akiri . Ndo kipindi pekee unaweza kosana na kila mtu ili kulinda pendo lenu. Waswahili tunakiita love bila kunyumbua lakini wagiriki walinyumbua wanakiita Eros's wakimaanisha kipindi cha mahaba wazungu wanakiita romantic love. Kipindi cha pili kinaitwa realization. Hiki ndicho kipindi muhimu sana katika maisha . Kipindi ambacho unamjua mwenzako uhalisia wake wote tofauti na vile ulivyo kuwa unamuona kwa nje. Ndo kipindi ambacho unaijionea rangi halisi ya mwenzako na wakati huo huo uko ndani ya kiapo ambacho kifo uwatenganisha . Kipindi hiki ndicho kinaitwa kipinndi cha kuchukuliana na kuvumiliana . Hiki ndicho kipindi ambacho familia inaweza tengenezwa kwa amani au lah. Join group kwa mafundisho zaidi https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4 Kipindi cha tatu: Redemption period Kipindi cha majuto ,hiki ndicho kipindi kigumu sana katika mahusiano au ndoa . Ni kipindi kinacho tokea na makosa yaliyo zalishwa zaidi na kipindi cha kwanza kabisa yaani love . Hiki ndicho kipindi unakuwa na machaguo mawili tu moja uamue kuacha ufe kiroho au uamue kuvumilia ili uwe imara zaidi. Kutokea hapo ndipo neno mwili mmoja linakamilika kwa maana ya kuchukuliana na mwenzako katika madhaifu yake kama yako na yako kama yake. Nimeandika kwa uchache sana lakini kwa mtazamo wangu vijana kutokujua vipindi hivi ndio matokeo ya migogoro katika ndoa au mahusiano Mfano ukishavuka kipindi cha uhalisia (, realization) unapasw usiingie katika majuto bali uingie kipindi cha kuchukuliana na kuvumiliana mtazaa kitu kinaitwa kutendeana na hapo ndipo upendo wa kimaisha ule usio na sababu unazaliwa . Nashusha karamu yangu chini ila nakukumbusha kabla ujawaza kuoa au kuolewa au hata kama umeshaolewa au kuoa tambua vipindi hivi na anza kuishi uku ukiwa na maarifa ya kila kipindi ili uje uinusuru familia yako kesho. Take care,, naitwa sylvester Mwakabende kutoka (Build new eden ministry) Join group kwa mafundisho zaidi https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4 #build new eden #restore men position
    0 Reacties ·0 aandelen ·768 Views
  • UAMSHO.
    Maana ni kurudi kwenye uzima.
    Ni mminiko wa nguvu na uwepo wa Mungu ndani ya mtu uletao kibali ,neema na baraka.

    Uamsho ni uziilisho wa roho mtakatifu ndani ya mtu na kuleta matokeo chanya.

    Kwa kawaida tunaamsha kitu kilicho lala ,ko lengo la somo hili ni kurejesha uzimani nafsi ya mtu mmoja mmoja .

    Uamsho ni jambo linalo anza na mtu kisha matokeo ya uamsho ndiyo yanayo tukuta sote.

    Mfano mfalme Yosiah alilisi ufalme baada ya baba yake kufa na baba yake alikuwa mfalme Ahazia ambaye akufanya mema machoni pa Bwana.

    2 Wafalme 22:13
    [13]Enendeni, mkamwulize BWANA kwa ajili yangu, na kwa ajili ya watu hawa, na kwa ajili ya Yuda yote, katika habari za maneno ya kitabu hiki kilichoonekana; kwa kuwa hasira ya BWANA ni kubwa aliyotukasirikia, kwa sababu baba zetu hawakuyaangalia maneno ya kitabu hiki, kufanya kama hayo yote tuliyoandikiwa.

    Baada ya kuuliza sasa sikiliza jawabu alilo pewa .

    [16]BWANA asema hivi, Tazama, mimi nitaleta uovu juu ya mahali hapa, na juu yao wakaao hapa, naam, maneno yote ya kitabu alichokisoma mfalme wa Yuda;

    [17]kwa sababu wameniacha mimi, wameifukizia uvumba miungu mingine, ili wapate kunikasirisha kwa kazi yote ya mikono yao; kwa hiyo hasira yangu itawaka juu ya mahali hapa, isizimike

    Kumbe kuna mambo unayapatia sababu tu walio kutangulia waliyafanya ndio maana tunahitqji uamsho.

    muda wa uamsho ndani ya nyumba ya baba yake na taifa lote ulifika .

    Kilicho fanya yuda uqmsho uje ni baada ya kusikia habari za kitabu cha torati ambalo leo hii ndio neno la Mungu.

    2wafalme 22:18-20.

    Ukisoma hapo utaona alivho kifanya baada ya kusikia habari za kitabu aliamua kukusanya wafalme wa yuda wote kwa ajiri ya kuwaambia .

    Na alipo wakusanya kwa kuwa uamsho ni wa mtu akafanya agano lake na Mungu.

    Yeye aliazimia mambo kazaa moja

    1.nikumfuata Bwana
    2.kuyashika maagizo yote.
    3.kuzifuata shuhuda zake .
    4.kuzifuata na kutii amri zake .
    5.navyote hivi atavifanya kwa moyo wote na kwa roho yake yote.

    Baada ya mfalme Yosiah kufanya agano na Mungu wake matokeoa yake wengine wote wakalifuata lile agano .

    Uamsho ndivyo unavyo fanyika ni lazima wewe ulie amua kuwa mfuasi wa kristo uweke agano na Mungu ndipo matokeo yake wengine watakuja ndani ya agano lako.

    Na ndio wanavyo fanya wote waacha alama katika dunia.

    Sababu ya uchovu wa imani makanisa tunazani uamsho ni wa kila mtu na kuhimizana mara utasikia ibada ya uamsho no wafundishe watu wamjue roho mtakatifu lazima watakuwa wameamka.

    Nakukumbusha kuwa huyu mtu yeye alikuwa mwema na aliahidiwa kustarehe na kuishi maisha ya amani mpaka anakufa .

    Ukiendelea kusoma utaona jama alivunja sanamu zote ,ambazo baba zake waliweka kuziabudu alivunja,akawatoa makuhani wote waliowekwa, akawatoa makuhani wote ,mahanithi wote wanawake wafuma mapazia.

    Kama watu tunataka kuwa chanzo cha uamsho lazima lazima ukubali kuacha asili yako na kama yosiah alivyo acha na kumfuatq bwana.

    Kuna mtu mwingine pia anaitwa Yoshua pia alipo taka kurudisha kanisa maala pake aliwapa chaguo lakini yeye alikuwa na azimio lake ndani ya moyo wake.

    Yoshua 24:15-16
    [15]Nanyi kama mkiona ni vibaya kumtumikia BWANA, chagueni hivi leo mtakayemtumikia; kwamba ni miungu ile ambayo baba zenu waliitumikia ng’ambo ya Mto, au kwamba ni miungu ya wale Waamori ambao mnakaa katika nchi yao; lakini mimi na nyumba yangu tutamtumikia BWANA.
    .
    [16]Hao watu wakajibu wakasema, Hasha! Tusimwache BWANA, ili kuitumikia miungu mingine;

    Islaeri walipo anza kufuata miungu mingine alilazimika kuonyesha njia na njia hiyo ni kuwapa watu chaguo huku yeye akifanya agano na Mungu.

    Mchungaji kabla ujawaza kuhusu uamsho jiulize wewe je umeazimia kumfuata bwana kama shujaaa wako au na wewe una mashaka.

    Kama unapenda kujifunza zaidi neno karibu katika group la watsap.
    https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4

    Ok naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (Build new eden)

    #build new eden
    #restore men position
    UAMSHO. Maana ni kurudi kwenye uzima. Ni mminiko wa nguvu na uwepo wa Mungu ndani ya mtu uletao kibali ,neema na baraka. Uamsho ni uziilisho wa roho mtakatifu ndani ya mtu na kuleta matokeo chanya. Kwa kawaida tunaamsha kitu kilicho lala ,ko lengo la somo hili ni kurejesha uzimani nafsi ya mtu mmoja mmoja . Uamsho ni jambo linalo anza na mtu kisha matokeo ya uamsho ndiyo yanayo tukuta sote. Mfano mfalme Yosiah alilisi ufalme baada ya baba yake kufa na baba yake alikuwa mfalme Ahazia ambaye akufanya mema machoni pa Bwana. 2 Wafalme 22:13 [13]Enendeni, mkamwulize BWANA kwa ajili yangu, na kwa ajili ya watu hawa, na kwa ajili ya Yuda yote, katika habari za maneno ya kitabu hiki kilichoonekana; kwa kuwa hasira ya BWANA ni kubwa aliyotukasirikia, kwa sababu baba zetu hawakuyaangalia maneno ya kitabu hiki, kufanya kama hayo yote tuliyoandikiwa. Baada ya kuuliza sasa sikiliza jawabu alilo pewa . [16]BWANA asema hivi, Tazama, mimi nitaleta uovu juu ya mahali hapa, na juu yao wakaao hapa, naam, maneno yote ya kitabu alichokisoma mfalme wa Yuda; [17]kwa sababu wameniacha mimi, wameifukizia uvumba miungu mingine, ili wapate kunikasirisha kwa kazi yote ya mikono yao; kwa hiyo hasira yangu itawaka juu ya mahali hapa, isizimike Kumbe kuna mambo unayapatia sababu tu walio kutangulia waliyafanya ndio maana tunahitqji uamsho. muda wa uamsho ndani ya nyumba ya baba yake na taifa lote ulifika . Kilicho fanya yuda uqmsho uje ni baada ya kusikia habari za kitabu cha torati ambalo leo hii ndio neno la Mungu. 2wafalme 22:18-20. Ukisoma hapo utaona alivho kifanya baada ya kusikia habari za kitabu aliamua kukusanya wafalme wa yuda wote kwa ajiri ya kuwaambia . Na alipo wakusanya kwa kuwa uamsho ni wa mtu akafanya agano lake na Mungu. Yeye aliazimia mambo kazaa moja 1.nikumfuata Bwana 2.kuyashika maagizo yote. 3.kuzifuata shuhuda zake . 4.kuzifuata na kutii amri zake . 5.navyote hivi atavifanya kwa moyo wote na kwa roho yake yote. Baada ya mfalme Yosiah kufanya agano na Mungu wake matokeoa yake wengine wote wakalifuata lile agano . Uamsho ndivyo unavyo fanyika ni lazima wewe ulie amua kuwa mfuasi wa kristo uweke agano na Mungu ndipo matokeo yake wengine watakuja ndani ya agano lako. Na ndio wanavyo fanya wote waacha alama katika dunia. Sababu ya uchovu wa imani makanisa tunazani uamsho ni wa kila mtu na kuhimizana mara utasikia ibada ya uamsho no wafundishe watu wamjue roho mtakatifu lazima watakuwa wameamka. Nakukumbusha kuwa huyu mtu yeye alikuwa mwema na aliahidiwa kustarehe na kuishi maisha ya amani mpaka anakufa . Ukiendelea kusoma utaona jama alivunja sanamu zote ,ambazo baba zake waliweka kuziabudu alivunja,akawatoa makuhani wote waliowekwa, akawatoa makuhani wote ,mahanithi wote wanawake wafuma mapazia. Kama watu tunataka kuwa chanzo cha uamsho lazima lazima ukubali kuacha asili yako na kama yosiah alivyo acha na kumfuatq bwana. Kuna mtu mwingine pia anaitwa Yoshua pia alipo taka kurudisha kanisa maala pake aliwapa chaguo lakini yeye alikuwa na azimio lake ndani ya moyo wake. Yoshua 24:15-16 [15]Nanyi kama mkiona ni vibaya kumtumikia BWANA, chagueni hivi leo mtakayemtumikia; kwamba ni miungu ile ambayo baba zenu waliitumikia ng’ambo ya Mto, au kwamba ni miungu ya wale Waamori ambao mnakaa katika nchi yao; lakini mimi na nyumba yangu tutamtumikia BWANA. . [16]Hao watu wakajibu wakasema, Hasha! Tusimwache BWANA, ili kuitumikia miungu mingine; Islaeri walipo anza kufuata miungu mingine alilazimika kuonyesha njia na njia hiyo ni kuwapa watu chaguo huku yeye akifanya agano na Mungu. Mchungaji kabla ujawaza kuhusu uamsho jiulize wewe je umeazimia kumfuata bwana kama shujaaa wako au na wewe una mashaka. Kama unapenda kujifunza zaidi neno karibu katika group la watsap. https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4 Ok naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (Build new eden) #build new eden #restore men position
    0 Reacties ·0 aandelen ·803 Views
  • "Aziniye na mwanamke ana akiri kabisa "

    Sio tu ni dhambi bali ni kuwa unakosa akiri kabisa .

    Na ukikosa akiri kabisa na Mungu wetu ni Mungu wa maarifa lazima ujitenge naye .

    Ukitaka kujua muulize daudi baada ya kuzini na mke wa mtu na kumuiba kabisa nini kilitokea alibidi alie kuitafuta toba na kurudisha akiri yake.

    Ndio ni kweli wanakuita sukari wa walembo lakini unafuraha kwani uhalisia uko hivi .

    Kila mwanaume anaye zini akimaliza tu tendo anaanza kujuta kwanini kafanya hivyo.

    Nasema hivi Mungu akinipa uzima na kibali chake nitafundisha juu ya nguvu ya agano na katika hilo utakuja kuelewa maana halisi ya mwanamke kuwa na bikra .

    Ok wewe ndo sukari pasipo kujua kila mwanamke uliye lala naye kuna aina ya nguvu yako inaondoka na anakuachia mapepo kama ni mtu wa mapepo .

    Vijana sex ni tendo la agano linalo simamiwa na kiapo cha mbele ya watu na agano la kitanda ndio watu wanaita tendo la ndoa


    Sababu ya kuto kujua unawaiga wazungu ambao walio wengi wenzako wlisha iachaga imani siku nyingi .

    Sijui nataka kusema nini kila ulipo lala na huyo binti kuna ongezeko limetokea au umebaki na balaa na kuanza kusumbua watu wa Mungu.

    Na kuna tuvijana tuchurch boy mchana usiku getho tumevusha hili halikubaliki kabisa ..

    Ok ngoja nikuache my ndugu lakini sulemani na urijali wake wote anakuja kumaliza kwa kusema wote ni ubatili mtupu na kusema pia mkumbuke muumba wako siku za ujana wako "

    Najua sijakufuraisha ila usisahau jina langu pia naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden)

    #restore men position
    Build new eden
    "Aziniye na mwanamke ana akiri kabisa " Sio tu ni dhambi bali ni kuwa unakosa akiri kabisa . Na ukikosa akiri kabisa na Mungu wetu ni Mungu wa maarifa lazima ujitenge naye . Ukitaka kujua muulize daudi baada ya kuzini na mke wa mtu na kumuiba kabisa nini kilitokea alibidi alie kuitafuta toba na kurudisha akiri yake. Ndio ni kweli wanakuita sukari wa walembo lakini unafuraha kwani uhalisia uko hivi . Kila mwanaume anaye zini akimaliza tu tendo anaanza kujuta kwanini kafanya hivyo. Nasema hivi Mungu akinipa uzima na kibali chake nitafundisha juu ya nguvu ya agano na katika hilo utakuja kuelewa maana halisi ya mwanamke kuwa na bikra . Ok wewe ndo sukari pasipo kujua kila mwanamke uliye lala naye kuna aina ya nguvu yako inaondoka na anakuachia mapepo kama ni mtu wa mapepo . Vijana sex ni tendo la agano linalo simamiwa na kiapo cha mbele ya watu na agano la kitanda ndio watu wanaita tendo la ndoa Sababu ya kuto kujua unawaiga wazungu ambao walio wengi wenzako wlisha iachaga imani siku nyingi . Sijui nataka kusema nini kila ulipo lala na huyo binti kuna ongezeko limetokea au umebaki na balaa na kuanza kusumbua watu wa Mungu. Na kuna tuvijana tuchurch boy mchana usiku getho tumevusha hili halikubaliki kabisa .. Ok ngoja nikuache my ndugu lakini sulemani na urijali wake wote anakuja kumaliza kwa kusema wote ni ubatili mtupu na kusema pia mkumbuke muumba wako siku za ujana wako " Najua sijakufuraisha ila usisahau jina langu pia naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden) #restore men position Build new eden
    Wow
    1
    · 0 Reacties ·0 aandelen ·671 Views
  • MAISHA NI MWALIMU MKUU...

    Kuna walimu wanaozungumza darasani, wahadhiri wanaofundisha kutoka kwenye jukwaa, na washauri wanaoongoza kwa maneno. Lakini kuna mwalimu anayewazidi wote, mwalimu ambaye hahitaji chaki, bodi, silabasi, wala uteuzi. Huyo mwalimu ni maisha. Maisha ni mwalimu mkuu kwa sababu hukufanya uishi somo. Haikupi habari tu; inakupa uzoefu. Sio nadharia za kunong'ona tu; inakukabidhi dhoruba. Na tofauti na mwalimu mtulivu ambaye anauliza ikiwa uko tayari, maisha wakati mwingine huanza mtihani bila onyo. Haisubiri urahisi wako; haiulizi maoni yako. Inaonyesha tu, mbichi, halisi, na bila kuchoka. Kwa mbali, maisha yanaonekana rahisi. Matatizo yanaonekana kutatuliwa. Maamuzi yanaonekana wazi. Unasikia hadithi ya mtu na unafikiri, "Kama ningekuwa wao, ningefanya hivi ... au vile." Kwa mbali, unatikisa kichwa kwa takwimu. Unanukuu nadharia. Unatoa mapendekezo. Wewe hata kutoa hukumu. Kwa sababu wakati huo, ni hadithi tu kwako. Ni hadithi tu kutoka kwa nchi nyingine, hadi maisha yatakapoleta ukweli kwenye mlango wako mwenyewe. Mpaka ugonjwa uwe wako. Mpaka hasara ni yako. Mpaka usaliti ni wako. Mpaka mtoto awe wako. Mpaka mapambano ni yako. Kisha kile ambacho hapo awali kilionekana kama takwimu kitatoka ndani ya nafsi yako. Kile ambacho mara moja kilisikika kama hadithi kitasikika kifuani mwako. Nini mara moja inaonekana nyeusi na nyeupe itageuka kuwa vivuli vya kijivu. Hapo ndipo maisha yanapoacha kuwa nadharia na kuwa ukweli. Hapo ndipo hukumu inapokauka, na unyenyekevu huanza kukua.

    Maisha yatakunyenyekea. Inajua kuwakunja wenye kiburi. Inajua jinsi ya kupunguza makali. Inajua jinsi ya kuwapiga magoti walio na nguvu zaidi, si kuwaangamiza, bali *kuwatengeneza upya, kuwajenga upya, kuwafundisha. tafadhali, mtangulize Mungu. Kwa sababu kuna njia pekee awezaye kukuongoza. Kuna usiku tu nuru yake inaweza kumulika. Kuna dhoruba tu mkono Wake unaweza bado. Bila Mungu, maisha yanaweza kukuvunja. Ukiwa na Mungu, maisha yanaweza kukuchubua, lakini usiwahi kuzika. Vile vile ulivyowahukumu wengine kwa uchaguzi wao, siku inaweza kuja wakati utajipata unatembea kwa viatu vyao. Na ghafla, mtazamo wako utabadilika. Ulimi wako utanyamaza. Moyo wako utakuwa laini. Na utaelewa, haikuwa rahisi kama inavyoonekana kutoka nje. Kwa hiyo uwe mwepesi wa kukosoa. Kuwa mwepesi wa kusikiliza. Kuwa mpole na wale wanaotambaa katika misimu ambayo hujawahi kujua. Kuwa mkarimu kwa watu wanaopitia dhoruba ambazo hujawahi kusafiri. Kwa sababu maisha yana njia ya kuleta mambo duara kamili. Leo wewe ni mtazamaji. Kesho unaweza kuzingatiwa. Leo wewe ni mshauri. Kesho unaweza kuwa unatafuta ushauri. Na itakapofika zamu yako, na ikafika, upate rehema uliyoizuia. Wacha maisha yakufanye uwe na busara, sio uchungu. Hebu ikufundishe neema, sio majivuno. Wacha izae ndani yako huruma, sio haki. Wacha iwe ndani ya roho yako huruma, na sio ubaya.

    Mwishowe, kumbuka kwamba maisha sio kuwa na majibu yote; ni juu ya kujifunza maswali sahihi. Na kwa kila jeraha, kila anguko, kila ushindi, na kila chozi, na uje kuona kwamba digrii kuu zaidi hazipatikani shuleni, hupatikana katika darasa la maisha. Kwa hivyo maisha yanapokuwa mwalimu, usipinga somo. Usifanye moyo wako kuwa mgumu. Acha ikunyooshe, ikutengeneze, ikuvunje, na ikujenge. Na zaidi ya yote, iruhusu ikurudishe kwa Mungu.
    MAISHA NI MWALIMU MKUU... Kuna walimu wanaozungumza darasani, wahadhiri wanaofundisha kutoka kwenye jukwaa, na washauri wanaoongoza kwa maneno. Lakini kuna mwalimu anayewazidi wote, mwalimu ambaye hahitaji chaki, bodi, silabasi, wala uteuzi. Huyo mwalimu ni maisha. Maisha ni mwalimu mkuu kwa sababu hukufanya uishi somo. Haikupi habari tu; inakupa uzoefu. Sio nadharia za kunong'ona tu; inakukabidhi dhoruba. Na tofauti na mwalimu mtulivu ambaye anauliza ikiwa uko tayari, maisha wakati mwingine huanza mtihani bila onyo. Haisubiri urahisi wako; haiulizi maoni yako. Inaonyesha tu, mbichi, halisi, na bila kuchoka. Kwa mbali, maisha yanaonekana rahisi. Matatizo yanaonekana kutatuliwa. Maamuzi yanaonekana wazi. Unasikia hadithi ya mtu na unafikiri, "Kama ningekuwa wao, ningefanya hivi ... au vile." Kwa mbali, unatikisa kichwa kwa takwimu. Unanukuu nadharia. Unatoa mapendekezo. Wewe hata kutoa hukumu. Kwa sababu wakati huo, ni hadithi tu kwako. Ni hadithi tu kutoka kwa nchi nyingine, hadi maisha yatakapoleta ukweli kwenye mlango wako mwenyewe. Mpaka ugonjwa uwe wako. Mpaka hasara ni yako. Mpaka usaliti ni wako. Mpaka mtoto awe wako. Mpaka mapambano ni yako. Kisha kile ambacho hapo awali kilionekana kama takwimu kitatoka ndani ya nafsi yako. Kile ambacho mara moja kilisikika kama hadithi kitasikika kifuani mwako. Nini mara moja inaonekana nyeusi na nyeupe itageuka kuwa vivuli vya kijivu. Hapo ndipo maisha yanapoacha kuwa nadharia na kuwa ukweli. Hapo ndipo hukumu inapokauka, na unyenyekevu huanza kukua. Maisha yatakunyenyekea. Inajua kuwakunja wenye kiburi. Inajua jinsi ya kupunguza makali. Inajua jinsi ya kuwapiga magoti walio na nguvu zaidi, si kuwaangamiza, bali *kuwatengeneza upya, kuwajenga upya, kuwafundisha. tafadhali, mtangulize Mungu. Kwa sababu kuna njia pekee awezaye kukuongoza. Kuna usiku tu nuru yake inaweza kumulika. Kuna dhoruba tu mkono Wake unaweza bado. Bila Mungu, maisha yanaweza kukuvunja. Ukiwa na Mungu, maisha yanaweza kukuchubua, lakini usiwahi kuzika. Vile vile ulivyowahukumu wengine kwa uchaguzi wao, siku inaweza kuja wakati utajipata unatembea kwa viatu vyao. Na ghafla, mtazamo wako utabadilika. Ulimi wako utanyamaza. Moyo wako utakuwa laini. Na utaelewa, haikuwa rahisi kama inavyoonekana kutoka nje. Kwa hiyo uwe mwepesi wa kukosoa. Kuwa mwepesi wa kusikiliza. Kuwa mpole na wale wanaotambaa katika misimu ambayo hujawahi kujua. Kuwa mkarimu kwa watu wanaopitia dhoruba ambazo hujawahi kusafiri. Kwa sababu maisha yana njia ya kuleta mambo duara kamili. Leo wewe ni mtazamaji. Kesho unaweza kuzingatiwa. Leo wewe ni mshauri. Kesho unaweza kuwa unatafuta ushauri. Na itakapofika zamu yako, na ikafika, upate rehema uliyoizuia. Wacha maisha yakufanye uwe na busara, sio uchungu. Hebu ikufundishe neema, sio majivuno. Wacha izae ndani yako huruma, sio haki. Wacha iwe ndani ya roho yako huruma, na sio ubaya. Mwishowe, kumbuka kwamba maisha sio kuwa na majibu yote; ni juu ya kujifunza maswali sahihi. Na kwa kila jeraha, kila anguko, kila ushindi, na kila chozi, na uje kuona kwamba digrii kuu zaidi hazipatikani shuleni, hupatikana katika darasa la maisha. Kwa hivyo maisha yanapokuwa mwalimu, usipinga somo. Usifanye moyo wako kuwa mgumu. Acha ikunyooshe, ikutengeneze, ikuvunje, na ikujenge. Na zaidi ya yote, iruhusu ikurudishe kwa Mungu.
    Love
    1
    · 0 Reacties ·0 aandelen ·758 Views
  • HIVI ULIKUA UNALIJUA ILI?
    KABLA NCHI AMBAYO PESA ZIPO KILA MAHALI!

    Karibu kwenye Somaliland nchi isiyo rasmi iliyojitangazia uhuru kutoka Somalia.

    Hapa, pesa si kitu cha kuvutia ni kama karatasi tu.
    Kila mtu anatembea na maburungutu ya noti mfukoni, kwenye mifuko ya plastiki au hata kwenye ndoo!

    Kwenye maduka, huwezi kuona "Lipa kwa Simu" au POS za swipe.

    Hii ni kwa sababu uchumi wao unategemea sana pesa taslimu.
    Mfumo wa mabenki haujasambaa, na watu wengi hawana akaunti ya benki kabisa.

    Sasa fikiria hili:
    Unataka kununua mbuzi sokoni bei ni 600,000 Somaliland Shillings.

    Unatoa maburungutu yako kwenye mfuko wa nailoni na kuhesabu huku unatokwa na jasho.

    Lakini kwanini watu wabebe noti nyingi kiasi hicho?

    Kwa sababu sarafu yao haina thamani kabisa!
    1 USD ni zaidi ya 8,000 SLSH.
    Yaani, hata ukitoa noti laki moja, huwezi kununua soda 3 vizuri.

    Na cha ajabu zaidi:
    Hakuna ATM nyingi, hakuna mabenki ya kisasa, na watu wengi hawana access na huduma za kifedha.

    Wanalazimika kutegemea cash economy, iliyojaa risks kama wizi au usumbufu.

    Sasa unaweza kujiuliza:
    “Hii si inawapa tabu sana?”

    Ni kweli. Lakini pia kuna upande mwingine:
    Kwa sababu hakuna mifumo ya kisasa, Watu wa Somaliland wamejenga ustahimilivu wa kipekee.
    Wanajua kuishi kwa pesa isiyo na nguvu.

    Kuna bidhaa haziuzwi kwa SLSH hata kidogo.
    Wenye maduka wanakataa kabisa.
    Wanaomba malipo kwa Dola au shilingi ya Ethiopia sarafu zenye nguvu zaidi.

    Ili kuepuka matatizo, kuna watu waliamua KUCHAPISHA PESA KUBWA!

    Yaani noti za SLSH 5,000 au 10,000, ambazo hazina hata security features za maana.
    Ni kama kupiga photostat ya pesa.
    Matokeo? Pesa nyingi, thamani hakuna!

    Somaliland inatufundisha kitu muhimu sana:

    Pesa inaweza kuwa nyingi sana mpaka ukaichoka lakini bila thamani ya kweli, haina maana.

    Hii ni reality ya taifa linaloishi kwenye mzigo wa fedha zisizo na nguvu.

    Kama uliwahi kufikiri una pesa nyingi lakini huna kitu karibu Somaliland, utajua maana halisi.

    Je, unadhani ni bora kuwa na hela nyingi zisizo na thamani, au kidogo zenye nguvu?

    Comment

    Follow me pia X (Twitter): x.com/DullahWrites
    HIVI ULIKUA UNALIJUA ILI? KABLA NCHI AMBAYO PESA ZIPO KILA MAHALI! Karibu kwenye Somaliland nchi isiyo rasmi iliyojitangazia uhuru kutoka Somalia. Hapa, pesa si kitu cha kuvutia ni kama karatasi tu. Kila mtu anatembea na maburungutu ya noti mfukoni, kwenye mifuko ya plastiki au hata kwenye ndoo! Kwenye maduka, huwezi kuona "Lipa kwa Simu" au POS za swipe. Hii ni kwa sababu uchumi wao unategemea sana pesa taslimu. Mfumo wa mabenki haujasambaa, na watu wengi hawana akaunti ya benki kabisa. Sasa fikiria hili: Unataka kununua mbuzi sokoni bei ni 600,000 Somaliland Shillings. Unatoa maburungutu yako kwenye mfuko wa nailoni na kuhesabu huku unatokwa na jasho. Lakini kwanini watu wabebe noti nyingi kiasi hicho? Kwa sababu sarafu yao haina thamani kabisa! 1 USD ni zaidi ya 8,000 SLSH. Yaani, hata ukitoa noti laki moja, huwezi kununua soda 3 vizuri. Na cha ajabu zaidi: Hakuna ATM nyingi, hakuna mabenki ya kisasa, na watu wengi hawana access na huduma za kifedha. Wanalazimika kutegemea cash economy, iliyojaa risks kama wizi au usumbufu. Sasa unaweza kujiuliza: “Hii si inawapa tabu sana?” Ni kweli. Lakini pia kuna upande mwingine: Kwa sababu hakuna mifumo ya kisasa, Watu wa Somaliland wamejenga ustahimilivu wa kipekee. Wanajua kuishi kwa pesa isiyo na nguvu. Kuna bidhaa haziuzwi kwa SLSH hata kidogo. Wenye maduka wanakataa kabisa. Wanaomba malipo kwa Dola au shilingi ya Ethiopia sarafu zenye nguvu zaidi. Ili kuepuka matatizo, kuna watu waliamua KUCHAPISHA PESA KUBWA! Yaani noti za SLSH 5,000 au 10,000, ambazo hazina hata security features za maana. Ni kama kupiga photostat ya pesa. Matokeo? Pesa nyingi, thamani hakuna! Somaliland inatufundisha kitu muhimu sana: Pesa inaweza kuwa nyingi sana mpaka ukaichoka lakini bila thamani ya kweli, haina maana. Hii ni reality ya taifa linaloishi kwenye mzigo wa fedha zisizo na nguvu. Kama uliwahi kufikiri una pesa nyingi lakini huna kitu karibu Somaliland, utajua maana halisi. Je, unadhani ni bora kuwa na hela nyingi zisizo na thamani, au kidogo zenye nguvu? Comment Follow me pia X (Twitter): x.com/DullahWrites
    Like
    2
    · 0 Reacties ·0 aandelen ·755 Views
Zoekresultaten