KWANINI WANAWAKE WAZURI HUOLEWA NA WANAUME WASIO SAHIHI.
1) KUKATA TAMAA
"Umri unaenda, bora tu niwe na mume"
"Yeyote atakayekuja, nitaolewa, nitajikakamua, bora tu niingie kwenye ndoa"
Kutoka kwenye ndoa, wanaingia kwenye madhara, na baada ya muda tunaanza kusikia hadithi zinazogusa koo za Kasongo mbona Wewooo, Mobali na Ngai. Mbona Wewoooo.
Pale Kukata Tamaa kunapoingia ndani, Ufunuo hutoka nje.
---
2) MUONEKANO/FANTASIA
Unadhani maisha halisi ni kama Instagram na Pinterest au Tiktok?
Pale Binti anapotaka kuolewa na Mwanaume kwa sababu tu ni mzuri kwa sura na anavaa vizuri (ili wapige picha za couple za kuwasha mitandao) bila kuchunguza tabia zake zaidi ya muonekano.
"Mwanaume nitakayemuoa lazima afanane na crush wangu wa Kikorea"
Lee Min-ho.
Sasa umeolewa na Lee Min-ho wako, Furaha na Amani ya moyo zimekimbia.
Sasa uko ofisini kwa washauri wa ndoa ukilia.
Dada yangu,
Niachie basi.
Uliolewa na Mwanaume mzuri kwa sura bila tabia njema ili utupake pilipili mitandaoni.
Sasa huyo Mwanaume mzuri anakupaka pilipili nje ya mtandao.
Ukatupaka pilipili Singles na walio kwenye ndoa mtandaoni, ukarudi nyumbani ukapakwa pilipili wewe binafsi.
Dhibiti pilipili yako, nasi tutaendelea kudhibiti zetu.
Huwa nasema utajikoroboa sana sura iwe kama tui la nazi Ila wapi, Chubua akili sio ngozi au Sura. Sura hata mbuzi au kitimoto anayo
---
3) KWA AJILI YA PESA NA UMAARUFU
Wanapokuacha baada ya miaka mingi, wewe na mashabiki wako mnasema "Wanaume wote ni wabaya".
Kumbuka: Maamuzi daima yana matokeo.
---
4) KWA AJILI YA KUPENDEKEZA FAMILIA
Ili tu Mama na Baba wafurahi, wengi wanaingia kwenye mahusiano na ndoa zisizo na maisha, ili kulipa bili za familia (bili ambazo hukuzitengeneza, umaskini ambao si kosa lako) unataka kuolewa na mwanaume mbaya waziwazi.
Dada yangu, usiogope Mama asikasirike, atajitahidi kuvumilia huzuni kidogo.
Ukifa kesho, hiyo familia unayooa ili uwasaidie itasonga mbele.
---
Dada yangu,
Kwa ajili ya kesho yako,
OLEWA KWA AJILI YA AMANI YAKO.
OLEWA VIZURI.
Nimehitimisha hoja yangu.
Arnold Kisanga || +255719545472
Kilimanjaro, Tanzania.
KWANINI WANAWAKE WAZURI HUOLEWA NA WANAUME WASIO SAHIHI.
1) KUKATA TAMAA
"Umri unaenda, bora tu niwe na mume"
"Yeyote atakayekuja, nitaolewa, nitajikakamua, bora tu niingie kwenye ndoa"
Kutoka kwenye ndoa, wanaingia kwenye madhara, na baada ya muda tunaanza kusikia hadithi zinazogusa koo za Kasongo mbona Wewooo, Mobali na Ngai. Mbona Wewoooo.
Pale Kukata Tamaa kunapoingia ndani, Ufunuo hutoka nje.
---
2) MUONEKANO/FANTASIA
Unadhani maisha halisi ni kama Instagram na Pinterest au Tiktok?
Pale Binti anapotaka kuolewa na Mwanaume kwa sababu tu ni mzuri kwa sura na anavaa vizuri (ili wapige picha za couple za kuwasha mitandao) bila kuchunguza tabia zake zaidi ya muonekano.
"Mwanaume nitakayemuoa lazima afanane na crush wangu wa Kikorea"
Lee Min-ho.
Sasa umeolewa na Lee Min-ho wako, Furaha na Amani ya moyo zimekimbia.
Sasa uko ofisini kwa washauri wa ndoa ukilia.
Dada yangu,
Niachie basi.
Uliolewa na Mwanaume mzuri kwa sura bila tabia njema ili utupake pilipili mitandaoni.
Sasa huyo Mwanaume mzuri anakupaka pilipili nje ya mtandao.
Ukatupaka pilipili Singles na walio kwenye ndoa mtandaoni, ukarudi nyumbani ukapakwa pilipili wewe binafsi.
Dhibiti pilipili yako, nasi tutaendelea kudhibiti zetu.
Huwa nasema utajikoroboa sana sura iwe kama tui la nazi Ila wapi, Chubua akili sio ngozi au Sura. Sura hata mbuzi au kitimoto anayo
---
3) KWA AJILI YA PESA NA UMAARUFU
Wanapokuacha baada ya miaka mingi, wewe na mashabiki wako mnasema "Wanaume wote ni wabaya".
Kumbuka: Maamuzi daima yana matokeo.
---
4) KWA AJILI YA KUPENDEKEZA FAMILIA
Ili tu Mama na Baba wafurahi, wengi wanaingia kwenye mahusiano na ndoa zisizo na maisha, ili kulipa bili za familia (bili ambazo hukuzitengeneza, umaskini ambao si kosa lako) unataka kuolewa na mwanaume mbaya waziwazi.
Dada yangu, usiogope Mama asikasirike, atajitahidi kuvumilia huzuni kidogo.
Ukifa kesho, hiyo familia unayooa ili uwasaidie itasonga mbele.
---
Dada yangu,
Kwa ajili ya kesho yako,
OLEWA KWA AJILI YA AMANI YAKO.
OLEWA VIZURI.
Nimehitimisha hoja yangu.
Credit
Arnold Kisanga
1) KUKATA TAMAA
"Umri unaenda, bora tu niwe na mume"
"Yeyote atakayekuja, nitaolewa, nitajikakamua, bora tu niingie kwenye ndoa"
Kutoka kwenye ndoa, wanaingia kwenye madhara, na baada ya muda tunaanza kusikia hadithi zinazogusa koo za Kasongo mbona Wewooo, Mobali na Ngai. Mbona Wewoooo.
Pale Kukata Tamaa kunapoingia ndani, Ufunuo hutoka nje.
---
2) MUONEKANO/FANTASIA
Unadhani maisha halisi ni kama Instagram na Pinterest au Tiktok?
Pale Binti anapotaka kuolewa na Mwanaume kwa sababu tu ni mzuri kwa sura na anavaa vizuri (ili wapige picha za couple za kuwasha mitandao) bila kuchunguza tabia zake zaidi ya muonekano.
"Mwanaume nitakayemuoa lazima afanane na crush wangu wa Kikorea"
Lee Min-ho.
Sasa umeolewa na Lee Min-ho wako, Furaha na Amani ya moyo zimekimbia.
Sasa uko ofisini kwa washauri wa ndoa ukilia.
Dada yangu,
Niachie basi.
Uliolewa na Mwanaume mzuri kwa sura bila tabia njema ili utupake pilipili mitandaoni.
Sasa huyo Mwanaume mzuri anakupaka pilipili nje ya mtandao.
Ukatupaka pilipili Singles na walio kwenye ndoa mtandaoni, ukarudi nyumbani ukapakwa pilipili wewe binafsi.
Dhibiti pilipili yako, nasi tutaendelea kudhibiti zetu.
Huwa nasema utajikoroboa sana sura iwe kama tui la nazi Ila wapi, Chubua akili sio ngozi au Sura. Sura hata mbuzi au kitimoto anayo
---
3) KWA AJILI YA PESA NA UMAARUFU
Wanapokuacha baada ya miaka mingi, wewe na mashabiki wako mnasema "Wanaume wote ni wabaya".
Kumbuka: Maamuzi daima yana matokeo.
---
4) KWA AJILI YA KUPENDEKEZA FAMILIA
Ili tu Mama na Baba wafurahi, wengi wanaingia kwenye mahusiano na ndoa zisizo na maisha, ili kulipa bili za familia (bili ambazo hukuzitengeneza, umaskini ambao si kosa lako) unataka kuolewa na mwanaume mbaya waziwazi.
Dada yangu, usiogope Mama asikasirike, atajitahidi kuvumilia huzuni kidogo.
Ukifa kesho, hiyo familia unayooa ili uwasaidie itasonga mbele.
---
Dada yangu,
Kwa ajili ya kesho yako,
OLEWA KWA AJILI YA AMANI YAKO.
OLEWA VIZURI.
Nimehitimisha hoja yangu.
Arnold Kisanga || +255719545472
Kilimanjaro, Tanzania.
KWANINI WANAWAKE WAZURI HUOLEWA NA WANAUME WASIO SAHIHI.
1) KUKATA TAMAA
"Umri unaenda, bora tu niwe na mume"
"Yeyote atakayekuja, nitaolewa, nitajikakamua, bora tu niingie kwenye ndoa"
Kutoka kwenye ndoa, wanaingia kwenye madhara, na baada ya muda tunaanza kusikia hadithi zinazogusa koo za Kasongo mbona Wewooo, Mobali na Ngai. Mbona Wewoooo.
Pale Kukata Tamaa kunapoingia ndani, Ufunuo hutoka nje.
---
2) MUONEKANO/FANTASIA
Unadhani maisha halisi ni kama Instagram na Pinterest au Tiktok?
Pale Binti anapotaka kuolewa na Mwanaume kwa sababu tu ni mzuri kwa sura na anavaa vizuri (ili wapige picha za couple za kuwasha mitandao) bila kuchunguza tabia zake zaidi ya muonekano.
"Mwanaume nitakayemuoa lazima afanane na crush wangu wa Kikorea"
Lee Min-ho.
Sasa umeolewa na Lee Min-ho wako, Furaha na Amani ya moyo zimekimbia.
Sasa uko ofisini kwa washauri wa ndoa ukilia.
Dada yangu,
Niachie basi.
Uliolewa na Mwanaume mzuri kwa sura bila tabia njema ili utupake pilipili mitandaoni.
Sasa huyo Mwanaume mzuri anakupaka pilipili nje ya mtandao.
Ukatupaka pilipili Singles na walio kwenye ndoa mtandaoni, ukarudi nyumbani ukapakwa pilipili wewe binafsi.
Dhibiti pilipili yako, nasi tutaendelea kudhibiti zetu.
Huwa nasema utajikoroboa sana sura iwe kama tui la nazi Ila wapi, Chubua akili sio ngozi au Sura. Sura hata mbuzi au kitimoto anayo
---
3) KWA AJILI YA PESA NA UMAARUFU
Wanapokuacha baada ya miaka mingi, wewe na mashabiki wako mnasema "Wanaume wote ni wabaya".
Kumbuka: Maamuzi daima yana matokeo.
---
4) KWA AJILI YA KUPENDEKEZA FAMILIA
Ili tu Mama na Baba wafurahi, wengi wanaingia kwenye mahusiano na ndoa zisizo na maisha, ili kulipa bili za familia (bili ambazo hukuzitengeneza, umaskini ambao si kosa lako) unataka kuolewa na mwanaume mbaya waziwazi.
Dada yangu, usiogope Mama asikasirike, atajitahidi kuvumilia huzuni kidogo.
Ukifa kesho, hiyo familia unayooa ili uwasaidie itasonga mbele.
---
Dada yangu,
Kwa ajili ya kesho yako,
OLEWA KWA AJILI YA AMANI YAKO.
OLEWA VIZURI.
Nimehitimisha hoja yangu.
Credit
Arnold Kisanga
KWANINI WANAWAKE WAZURI HUOLEWA NA WANAUME WASIO SAHIHI.
1) KUKATA TAMAA
"Umri unaenda, bora tu niwe na mume"
"Yeyote atakayekuja, nitaolewa, nitajikakamua, bora tu niingie kwenye ndoa"
Kutoka kwenye ndoa, wanaingia kwenye madhara, na baada ya muda tunaanza kusikia hadithi zinazogusa koo za Kasongo mbona Wewooo, Mobali na Ngai. Mbona Wewoooo.
Pale Kukata Tamaa kunapoingia ndani, Ufunuo hutoka nje.
---
2) MUONEKANO/FANTASIA
Unadhani maisha halisi ni kama Instagram na Pinterest au Tiktok?
Pale Binti anapotaka kuolewa na Mwanaume kwa sababu tu ni mzuri kwa sura na anavaa vizuri (ili wapige picha za couple za kuwasha mitandao) bila kuchunguza tabia zake zaidi ya muonekano.
"Mwanaume nitakayemuoa lazima afanane na crush wangu wa Kikorea"
Lee Min-ho.
Sasa umeolewa na Lee Min-ho wako, Furaha na Amani ya moyo zimekimbia.
Sasa uko ofisini kwa washauri wa ndoa ukilia.
Dada yangu,
Niachie basi.
Uliolewa na Mwanaume mzuri kwa sura bila tabia njema ili utupake pilipili mitandaoni.
Sasa huyo Mwanaume mzuri anakupaka pilipili nje ya mtandao.
Ukatupaka pilipili Singles na walio kwenye ndoa mtandaoni, ukarudi nyumbani ukapakwa pilipili wewe binafsi.
Dhibiti pilipili yako, nasi tutaendelea kudhibiti zetu.
Huwa nasema utajikoroboa sana sura iwe kama tui la nazi Ila wapi, Chubua akili sio ngozi au Sura. Sura hata mbuzi au kitimoto anayo
---
3) KWA AJILI YA PESA NA UMAARUFU
Wanapokuacha baada ya miaka mingi, wewe na mashabiki wako mnasema "Wanaume wote ni wabaya".
Kumbuka: Maamuzi daima yana matokeo.
---
4) KWA AJILI YA KUPENDEKEZA FAMILIA
Ili tu Mama na Baba wafurahi, wengi wanaingia kwenye mahusiano na ndoa zisizo na maisha, ili kulipa bili za familia (bili ambazo hukuzitengeneza, umaskini ambao si kosa lako) unataka kuolewa na mwanaume mbaya waziwazi.
Dada yangu, usiogope Mama asikasirike, atajitahidi kuvumilia huzuni kidogo.
Ukifa kesho, hiyo familia unayooa ili uwasaidie itasonga mbele.
---
Dada yangu,
Kwa ajili ya kesho yako,
OLEWA KWA AJILI YA AMANI YAKO.
OLEWA VIZURI.
Nimehitimisha hoja yangu.
Arnold Kisanga || +255719545472
Kilimanjaro, Tanzania.
KWANINI WANAWAKE WAZURI HUOLEWA NA WANAUME WASIO SAHIHI.
1) KUKATA TAMAA
"Umri unaenda, bora tu niwe na mume"
"Yeyote atakayekuja, nitaolewa, nitajikakamua, bora tu niingie kwenye ndoa"
Kutoka kwenye ndoa, wanaingia kwenye madhara, na baada ya muda tunaanza kusikia hadithi zinazogusa koo za Kasongo mbona Wewooo, Mobali na Ngai. Mbona Wewoooo.
Pale Kukata Tamaa kunapoingia ndani, Ufunuo hutoka nje.
---
2) MUONEKANO/FANTASIA
Unadhani maisha halisi ni kama Instagram na Pinterest au Tiktok?
Pale Binti anapotaka kuolewa na Mwanaume kwa sababu tu ni mzuri kwa sura na anavaa vizuri (ili wapige picha za couple za kuwasha mitandao) bila kuchunguza tabia zake zaidi ya muonekano.
"Mwanaume nitakayemuoa lazima afanane na crush wangu wa Kikorea"
Lee Min-ho.
Sasa umeolewa na Lee Min-ho wako, Furaha na Amani ya moyo zimekimbia.
Sasa uko ofisini kwa washauri wa ndoa ukilia.
Dada yangu,
Niachie basi.
Uliolewa na Mwanaume mzuri kwa sura bila tabia njema ili utupake pilipili mitandaoni.
Sasa huyo Mwanaume mzuri anakupaka pilipili nje ya mtandao.
Ukatupaka pilipili Singles na walio kwenye ndoa mtandaoni, ukarudi nyumbani ukapakwa pilipili wewe binafsi.
Dhibiti pilipili yako, nasi tutaendelea kudhibiti zetu.
Huwa nasema utajikoroboa sana sura iwe kama tui la nazi Ila wapi, Chubua akili sio ngozi au Sura. Sura hata mbuzi au kitimoto anayo
---
3) KWA AJILI YA PESA NA UMAARUFU
Wanapokuacha baada ya miaka mingi, wewe na mashabiki wako mnasema "Wanaume wote ni wabaya".
Kumbuka: Maamuzi daima yana matokeo.
---
4) KWA AJILI YA KUPENDEKEZA FAMILIA
Ili tu Mama na Baba wafurahi, wengi wanaingia kwenye mahusiano na ndoa zisizo na maisha, ili kulipa bili za familia (bili ambazo hukuzitengeneza, umaskini ambao si kosa lako) unataka kuolewa na mwanaume mbaya waziwazi.
Dada yangu, usiogope Mama asikasirike, atajitahidi kuvumilia huzuni kidogo.
Ukifa kesho, hiyo familia unayooa ili uwasaidie itasonga mbele.
---
Dada yangu,
Kwa ajili ya kesho yako,
OLEWA KWA AJILI YA AMANI YAKO.
OLEWA VIZURI.
Nimehitimisha hoja yangu.
Credit
Arnold Kisanga
