• **"Usiogope kuchukua hatari; mafanikio yanakuja kwa wale wanaojaribu."*
    **"Usiogope kuchukua hatari; mafanikio yanakuja kwa wale wanaojaribu."*
    0 Commenti ·0 condivisioni ·16 Views
  • Miaka kadhaa iliyopita, hii ilikuwa nyumba nzuri zaidi katika mtaa huu. Mmiliki wake alikuwa mtu tajiri zaidi ambaye kila mmoja alimtegemea kwa msaada. Gari lake lilikuwa kivutio kwa macho ya kila mtu. Ilionekana kama ndoto kutimia pale alipoongeza nyumba na gari hilo katika orodha ya mali zake. Lakini leo, mali hizo zimezeeka, na kwa mujibu wa sheria ya asili, lazima ziporomoke ili nafasi ya nyumba mpya ipatikane.
    Kama mtu yeyote atapatikana akiishi ndani ya jengo hilo kwa hali lilivyo sasa, mtu huyo huonekana kama "mchizi" na huogopwa kama hatari.
    Hakuna kitu duniani kinachostahili kupiganiwa kwa udi na uvumba. Mavazi yako bora ni matambara ya mtu mwingine. Salio lako benki ni mchango wa mtu mwingine kwenye harusi. Mpenzi wako wa sasa ni ex wa mtu mwingine. Kila kahaba unayemuona hotelini au mtaani usiku, aliwahi kuwa bikira. Basi kuna sababu gani ya kugombana? Maisha ni mafupi mno kujiona bora au mkubwa kuliko wengine.
    “Tote tuko uchi mbele ya kifo,” alisema Steve Jobs. Hakuna kitu kinachoweza kutuokoa nacho. Sipendi kuona watu wanaojivuna kwa mali, uzuri, akili, elimu, umaarufu au vitu vya kidunia. Hakuna ulichofanikiwa maishani ambacho wengine hawajawahi kupata. Kitu kimoja tu kinachostahili kujivunia ni: “Maisha ndani ya Mungu Mwenyezi.” Kwa hiyo, kuwa mwema kwa wanadamu wenzako na jenga urafiki kila wakati. Kumbuka kwamba wale uliowakanyaga ukiwa unapaa juu, unaweza kuwakuta tena ukiwa unashuka.
    Hivyo, usiwasababishie wengine shida, maana siku moja, wao ndio watakuwa shida yako. Mwisho, hata mgomba hufikia kukauka na kuwa majani makavu. Usiongozwe na mali za dunia – huchakaa na kufa.

    KUWA MWEMA KILA WAKATI.
    Miaka kadhaa iliyopita, hii ilikuwa nyumba nzuri zaidi katika mtaa huu. Mmiliki wake alikuwa mtu tajiri zaidi ambaye kila mmoja alimtegemea kwa msaada. Gari lake lilikuwa kivutio kwa macho ya kila mtu. Ilionekana kama ndoto kutimia pale alipoongeza nyumba na gari hilo katika orodha ya mali zake. Lakini leo, mali hizo zimezeeka, na kwa mujibu wa sheria ya asili, lazima ziporomoke ili nafasi ya nyumba mpya ipatikane. Kama mtu yeyote atapatikana akiishi ndani ya jengo hilo kwa hali lilivyo sasa, mtu huyo huonekana kama "mchizi" na huogopwa kama hatari. Hakuna kitu duniani kinachostahili kupiganiwa kwa udi na uvumba. Mavazi yako bora ni matambara ya mtu mwingine. Salio lako benki ni mchango wa mtu mwingine kwenye harusi. Mpenzi wako wa sasa ni ex wa mtu mwingine. Kila kahaba unayemuona hotelini au mtaani usiku, aliwahi kuwa bikira. Basi kuna sababu gani ya kugombana? Maisha ni mafupi mno kujiona bora au mkubwa kuliko wengine. “Tote tuko uchi mbele ya kifo,” alisema Steve Jobs. Hakuna kitu kinachoweza kutuokoa nacho. Sipendi kuona watu wanaojivuna kwa mali, uzuri, akili, elimu, umaarufu au vitu vya kidunia. Hakuna ulichofanikiwa maishani ambacho wengine hawajawahi kupata. Kitu kimoja tu kinachostahili kujivunia ni: “Maisha ndani ya Mungu Mwenyezi.” Kwa hiyo, kuwa mwema kwa wanadamu wenzako na jenga urafiki kila wakati. Kumbuka kwamba wale uliowakanyaga ukiwa unapaa juu, unaweza kuwakuta tena ukiwa unashuka. Hivyo, usiwasababishie wengine shida, maana siku moja, wao ndio watakuwa shida yako. Mwisho, hata mgomba hufikia kukauka na kuwa majani makavu. Usiongozwe na mali za dunia – huchakaa na kufa. KUWA MWEMA KILA WAKATI.
    Like
    Love
    2
    · 0 Commenti ·0 condivisioni ·341 Views
  • Nikueleze kwa kifupi sana kiini cha mgogoro. Kabla ya mwaka 1991 Ukraine ilikua sehemu ya Urusi kupitia muungano wa kisovieti wa USSR. Baada ya USSR kufa ndipo taifa la Ukraine likazaliwa pamoja na mataifa mengine 14 yaliyokua majimbo ya Urusi.

    Lakini usisahau mwaka 1949 umoja wa kujihami wa nchi za magharibi (NATO) ulianzishwa dhidi ya Urusi (USSR). Makubaliano yao ni kwamba ikiwa Urusi itamgusa mmoja wao basi wote watamvamia. Marekani akiwa kinara.

    Kuanguka kwa USSR kukafanya mataifa 15 mapya kuzaliwa. Baadhi ya Mataifa hayo yakawa na hofu kuwa Urusi inaweza kurudi kuyakalia kimabavu. Kwahiyo yakaomba kujiunga NATO kwa usalama wao. Estonia, Latvia na Lithuania zikapata uanachana wa NATO chap kwa haraka. Ukraine ilipoomba uanachama Urusi ikakataa, kwa sababu ya strategic position ya Ukraine ambayo inaiweka Urusi hatarini.

    Ukraine ilipokosa uanachama NATO ikamua kujilinda kwa kusuka mpango wa nyuklia. Marekani na Urusi zikashtuka. Kwa kutambua hatari ya nyuklia zikamsihi sana Ukraine aachane na mpango huo. Mwaka 1994 ukaandaliwa mkataba uitwao Budapest memorundum, huko Hungary. Mkataba huo ulihusisha nchi 4. Urusi na Ukraine zilisaini kwamba hakuna atakayemvamia mwenzake. Marekani na Uingereza zikasaini kwamba atakayemvamia mwenzake watampiga bila huruma. Pia Marekani na Uingereza zitagharamia fedha na vifaa vyote vya vita. Mkataba ukasainiwa na Ukraine ikasitisha mpango wake wa nyuklia.

    Lakini Mwaka 2014 Urusi ikaivamia Ukraine na kuchukua jimbo lake la Crimea kimabavu. Marekani na Uingereza hazikuipiga Urusi kama mkataba wa Budapest unavyosema. Ukraine akalalamika lakini akapuuzwa. Kwenye vita inayoendelea sasa, Urusi ameshajitwalia majimbo manne Donetsk, Luhansk, Zaporizhzhia na Kherson lakini Marekani na Uingereza ziko kimya.

    Ukraine inaona imesalitiwa. Mkataba wa Budapest ulikua kiini macho. Laiti Ukraine ingekataa kusaini na kuendelea na mpango wake wa nyuklia, leo Urusi isingethubutu kuigusa. Lakini Waliomdanganya sasa wamemgeuka na wanamfokea. Ukraine ingeyajua maneno ya Mzee Jomo Kenyatta "Learn to fight your own battle" isingeachana na mpango wake wa nyuklia mwaka 1994. Wangejifunza kupigana vita yao wenyewe bila kutegemea mtu.!
    (Malisa GJ)

    Nikueleze kwa kifupi sana kiini cha mgogoro. Kabla ya mwaka 1991 Ukraine ilikua sehemu ya Urusi kupitia muungano wa kisovieti wa USSR. Baada ya USSR kufa ndipo taifa la Ukraine likazaliwa pamoja na mataifa mengine 14 yaliyokua majimbo ya Urusi. Lakini usisahau mwaka 1949 umoja wa kujihami wa nchi za magharibi (NATO) ulianzishwa dhidi ya Urusi (USSR). Makubaliano yao ni kwamba ikiwa Urusi itamgusa mmoja wao basi wote watamvamia. Marekani akiwa kinara. Kuanguka kwa USSR kukafanya mataifa 15 mapya kuzaliwa. Baadhi ya Mataifa hayo yakawa na hofu kuwa Urusi inaweza kurudi kuyakalia kimabavu. Kwahiyo yakaomba kujiunga NATO kwa usalama wao. Estonia, Latvia na Lithuania zikapata uanachana wa NATO chap kwa haraka. Ukraine ilipoomba uanachama Urusi ikakataa, kwa sababu ya strategic position ya Ukraine ambayo inaiweka Urusi hatarini. Ukraine ilipokosa uanachama NATO ikamua kujilinda kwa kusuka mpango wa nyuklia. Marekani na Urusi zikashtuka. Kwa kutambua hatari ya nyuklia zikamsihi sana Ukraine aachane na mpango huo. Mwaka 1994 ukaandaliwa mkataba uitwao Budapest memorundum, huko Hungary. Mkataba huo ulihusisha nchi 4. Urusi na Ukraine zilisaini kwamba hakuna atakayemvamia mwenzake. Marekani na Uingereza zikasaini kwamba atakayemvamia mwenzake watampiga bila huruma. Pia Marekani na Uingereza zitagharamia fedha na vifaa vyote vya vita. Mkataba ukasainiwa na Ukraine ikasitisha mpango wake wa nyuklia. Lakini Mwaka 2014 Urusi ikaivamia Ukraine na kuchukua jimbo lake la Crimea kimabavu. Marekani na Uingereza hazikuipiga Urusi kama mkataba wa Budapest unavyosema. Ukraine akalalamika lakini akapuuzwa. Kwenye vita inayoendelea sasa, Urusi ameshajitwalia majimbo manne Donetsk, Luhansk, Zaporizhzhia na Kherson lakini Marekani na Uingereza ziko kimya. Ukraine inaona imesalitiwa. Mkataba wa Budapest ulikua kiini macho. Laiti Ukraine ingekataa kusaini na kuendelea na mpango wake wa nyuklia, leo Urusi isingethubutu kuigusa. Lakini Waliomdanganya sasa wamemgeuka na wanamfokea. Ukraine ingeyajua maneno ya Mzee Jomo Kenyatta "Learn to fight your own battle" isingeachana na mpango wake wa nyuklia mwaka 1994. Wangejifunza kupigana vita yao wenyewe bila kutegemea mtu.! (Malisa GJ)
    Like
    1
    · 0 Commenti ·0 condivisioni ·765 Views
  • (A)
    Katika jamii, daktari ni mtu unayemwamini zaidi unapokuwa unaumwa au dhaifu.

    Ni mtu anayeshika maisha yako mikononi mwake na kufanya kila awezalo kuhakikisha unabaki hai.

    But vipi yule unayemtegemea ndio anayekuua taratibu, bila hata wewe kujua?

    Huyu ni Harold Shipman, daktari aliyekuwa muuaji wa kutisha zaidi katika historia ya Uingereza—pengine duniani kote.

    Muuaji hatari aliyejificha kwenye taaluma ya tiba.

    Thread
    (A) Katika jamii, daktari ni mtu unayemwamini zaidi unapokuwa unaumwa au dhaifu. Ni mtu anayeshika maisha yako mikononi mwake na kufanya kila awezalo kuhakikisha unabaki hai. But vipi yule unayemtegemea ndio anayekuua taratibu, bila hata wewe kujua? Huyu ni Harold Shipman, daktari aliyekuwa muuaji wa kutisha zaidi katika historia ya Uingereza—pengine duniani kote. Muuaji hatari aliyejificha kwenye taaluma ya tiba. Thread 🧵
    Like
    Wow
    2
    · 0 Commenti ·0 condivisioni ·633 Views
  • “Ukiwa Mwandishi wa Habari una vitu viwili muhimu vya kuchunga navyo ni Ulimi wako na Mikono yako, unapaswa kufahamu unaongea nini ama unaandika kitu gani, nyuma ya mauaji ya Kimbari yalikuwa ni matamshi ya Watangazaji pia ambao walieneza chuki, kwasasa kuna kazi mbili za hatari nazo ni Ualimu na Waandishi wa Habari, hawa wanaweza kutengeneza taifa la Wajinga ama Waelevu.

    Nataka kusema nini? Nataka kusema juu ya kelele na shutuma za Yanga na Singida bado hakuna aliyetupa picha kamili zaidi ni kuwa Mashabiki wanalalamika kwa hisia, Waandishi tunalalamika kwa hisia ila hakuna anayekuja mbele kutoa usahihi, inaitwa Proving beyond reasonable doubt! Nimeona Wadau wanasema TFF haifanyi chochote, lakini wewe umewapa tip gani? Taasisi haifanyi maamuzi kwa hisia, the corporate world works differently from streets.

    Bado kizazi chetu cha Uandishi kuna kitu kinamiss ni INVESTIGATIVE JOURNALISM, binafsi nakiri wazi TUMEFELI sana eneo hili, yaani sote tunalaumu Singida kufanya rotation tunaita kupanga matokeo, tangu lini duniani kubadili kikosi chako ni kupanga matokeo? Ikitokea Coastal kabadili kikosi, ikitokea Simba kabadili ama AZAM? Yani timu inalaumiwa kwa kutumia Wachezaji wake?

    Tunaweza kuwa na hoja ila mpaka sasa hazina mashiko zaidi tunaonekana tunalalama ila tukipelekwa Mahakamani hakuna ambaye atathibitisha chochote, kama kufungwa ni kupanga matokeo mara ya mwisho Simba kumfunga Yanga ndani ya dakika 90 ni lini? Kama kufungwa ni kupanga matokeo lini Singida kamfunga Simba? Kama kufungwa ni kupanga lini Namungo kamfunga Simba lini?

    Sisi WAANDISHI tuna homework tunapaswa kufanya, tutaharibu fikra za Watanzania! Wenzetu Ulaya walipoibua kashfa ya Casciopoli pale Italia walikuja na data, hata UEFA Heated Balls Scandal watu walikuwa na data! Yanga wakisema waende kisheria nani anaweza kuja na hoja za kueleweka? Kama hakuna taarifa sahihi, mifano hai basi tunaongelea hisia, TFF atareact endapo atajitokea Mtu akaattack matter not the subject" - Farhan JR, Mchambuzi.

    “Ukiwa Mwandishi wa Habari una vitu viwili muhimu vya kuchunga navyo ni Ulimi wako na Mikono yako, unapaswa kufahamu unaongea nini ama unaandika kitu gani, nyuma ya mauaji ya Kimbari yalikuwa ni matamshi ya Watangazaji pia ambao walieneza chuki, kwasasa kuna kazi mbili za hatari nazo ni Ualimu na Waandishi wa Habari, hawa wanaweza kutengeneza taifa la Wajinga ama Waelevu. Nataka kusema nini? Nataka kusema juu ya kelele na shutuma za Yanga na Singida bado hakuna aliyetupa picha kamili zaidi ni kuwa Mashabiki wanalalamika kwa hisia, Waandishi tunalalamika kwa hisia ila hakuna anayekuja mbele kutoa usahihi, inaitwa Proving beyond reasonable doubt! Nimeona Wadau wanasema TFF haifanyi chochote, lakini wewe umewapa tip gani? Taasisi haifanyi maamuzi kwa hisia, the corporate world works differently from streets. Bado kizazi chetu cha Uandishi kuna kitu kinamiss ni INVESTIGATIVE JOURNALISM, binafsi nakiri wazi TUMEFELI sana eneo hili, yaani sote tunalaumu Singida kufanya rotation tunaita kupanga matokeo, tangu lini duniani kubadili kikosi chako ni kupanga matokeo? Ikitokea Coastal kabadili kikosi, ikitokea Simba kabadili ama AZAM? Yani timu inalaumiwa kwa kutumia Wachezaji wake? Tunaweza kuwa na hoja ila mpaka sasa hazina mashiko zaidi tunaonekana tunalalama ila tukipelekwa Mahakamani hakuna ambaye atathibitisha chochote, kama kufungwa ni kupanga matokeo mara ya mwisho Simba kumfunga Yanga ndani ya dakika 90 ni lini? Kama kufungwa ni kupanga matokeo lini Singida kamfunga Simba? Kama kufungwa ni kupanga lini Namungo kamfunga Simba lini? Sisi WAANDISHI tuna homework tunapaswa kufanya, tutaharibu fikra za Watanzania! Wenzetu Ulaya walipoibua kashfa ya Casciopoli pale Italia walikuja na data, hata UEFA Heated Balls Scandal watu walikuwa na data! Yanga wakisema waende kisheria nani anaweza kuja na hoja za kueleweka? Kama hakuna taarifa sahihi, mifano hai basi tunaongelea hisia, TFF atareact endapo atajitokea Mtu akaattack matter not the subject" - Farhan JR, Mchambuzi.
    0 Commenti ·0 condivisioni ·969 Views
  • KUWA MAKINI UNAYEMSHIRIKISHA SIRI ZAKO...

    Nenda kwenye mitandao ya kijamii uone jinsi wanaume waliokomaa wenye ndevu na wanawake wakubwa wenye mawigi ya bei wanavyojidhalilisha. Unapoona jinsi watu wanavyoshiriki mambo ya faragha kwenye maeneo ya umma, utaelewa kwa nini mambo fulani yanakusudiwa kuwa siri. Kutoka kona moja hadi nyingine, kwa nia ya kumrudia aliyewaudhi, watu wanashuka sana, na hawajali jinsi chochote watakachofichua kitawaathiri katika siku zijazo, wanachojali ni kumpiga yule wanayehisi kukanyagwa kwenye vidole vyao. Kuanzia mazungumzo yaliyovuja, video kuvuja, hadi mazungumzo ya faragha, nilichojifunza ni kwamba sio kila mtu anayetabasamu na wewe ana uwezo wa kutunza siri zako. Mitandao ya kijamii imetufundisha somo hili kwa njia ya kikatili zaidi. Tumeona marafiki waliopendana mara moja, mahusiano ya mara moja-tamu, ushirikiano wa mara moja-imara ukiporomoka katika ushindani mkali, na siri zilizomwagika kama maji machafu mitaani. Tumeona maungamo ya kibinafsi yakigeuzwa kuwa fedheha hadharani, na uaminifu mkubwa ukivunjwa na chapisho moja, maoni moja, kufichuliwa mara moja. Watu wengine wana kuhara kwa mdomo. Hawajui jinsi ya kushikilia kile walichoambiwa kwa ujasiri. Hawaoni siri kuwa takatifu; wanaziona kama silaha, kimya kwa sasa, lakini tayari kuachiliwa wakati mawimbi yanabadilika. Na mawimbi hubadilika kila wakati.

    Hakuna kitu kibaya kwa kuwaamini watu, lakini kuna kitu hatari kwa kuamini kwa urahisi sana. Maisha yametufundisha kuwa sio kila anayekusikiliza anakusikiliza kwa mapenzi, wengine wanakusanya data. Wengine wanangojea, kwa subira, kwa wakati sahihi wa kutumia maneno yako dhidi yako. Rafiki leo anaweza kuwa mgeni kesho. Mpenzi leo anaweza kuwa adui wiki ijayo. Huyo mwenzako, huyo jamaa, huyo mtu unayemtajia wakati wote ni mtamu, wanaweza kuficha siri yako wakati mambo yanaharibika? Wengi hawawezi. Wengi hawataweza. Kwa hivyo, weka siri zako, siri. Ikiwa huwezi kuiweka mwenyewe, kwa nini unapaswa kutarajia mtu mwingine? Ikiwa kina kina sana kwako kubeba peke yako, kuwa mwangalifu unaiweka mikononi mwa nani. Baadhi ya watu ni wadogo. Hawaachi tu na kuondoka; lazima wachafue weupe wako kabla hawajaondoka. Ni lazima wakuvute kwenye matope, lazima wafichue kile kilichokusudiwa kuwa kitakatifu, lazima watumie wanachokijua kukuletea aibu. Na ndio maana lazima uwe na hekima. Zingatia kile unachoshiriki wakati jua linawaka katika urafiki wako. Kuwa mwangalifu kile unachosema wakati kila kitu ni cha kimapenzi na cha kupendeza. Kwa sababu upendo ni mtamu, lakini watu wengine wanapoanguka kutoka kwa upendo, hugeuka kuwa mbwa mwitu.

    Wapende watu, lakini usiwe mjinga. Sio kila anayekusikia atakulinda. Na misimu inapobadilika, uhusiano unapovunjika, urafiki unapoisha, utatamani ungejiwekea mambo fulani. Uwe mwenye busara. Uwe na hekima. Zuia nyeupe yako isichafuke.

    KUWA MAKINI UNAYEMSHIRIKISHA SIRI ZAKO... Nenda kwenye mitandao ya kijamii uone jinsi wanaume waliokomaa wenye ndevu na wanawake wakubwa wenye mawigi ya bei wanavyojidhalilisha. Unapoona jinsi watu wanavyoshiriki mambo ya faragha kwenye maeneo ya umma, utaelewa kwa nini mambo fulani yanakusudiwa kuwa siri. Kutoka kona moja hadi nyingine, kwa nia ya kumrudia aliyewaudhi, watu wanashuka sana, na hawajali jinsi chochote watakachofichua kitawaathiri katika siku zijazo, wanachojali ni kumpiga yule wanayehisi kukanyagwa kwenye vidole vyao. Kuanzia mazungumzo yaliyovuja, video kuvuja, hadi mazungumzo ya faragha, nilichojifunza ni kwamba sio kila mtu anayetabasamu na wewe ana uwezo wa kutunza siri zako. Mitandao ya kijamii imetufundisha somo hili kwa njia ya kikatili zaidi. Tumeona marafiki waliopendana mara moja, mahusiano ya mara moja-tamu, ushirikiano wa mara moja-imara ukiporomoka katika ushindani mkali, na siri zilizomwagika kama maji machafu mitaani. Tumeona maungamo ya kibinafsi yakigeuzwa kuwa fedheha hadharani, na uaminifu mkubwa ukivunjwa na chapisho moja, maoni moja, kufichuliwa mara moja. Watu wengine wana kuhara kwa mdomo. Hawajui jinsi ya kushikilia kile walichoambiwa kwa ujasiri. Hawaoni siri kuwa takatifu; wanaziona kama silaha, kimya kwa sasa, lakini tayari kuachiliwa wakati mawimbi yanabadilika. Na mawimbi hubadilika kila wakati. Hakuna kitu kibaya kwa kuwaamini watu, lakini kuna kitu hatari kwa kuamini kwa urahisi sana. Maisha yametufundisha kuwa sio kila anayekusikiliza anakusikiliza kwa mapenzi, wengine wanakusanya data. Wengine wanangojea, kwa subira, kwa wakati sahihi wa kutumia maneno yako dhidi yako. Rafiki leo anaweza kuwa mgeni kesho. Mpenzi leo anaweza kuwa adui wiki ijayo. Huyo mwenzako, huyo jamaa, huyo mtu unayemtajia wakati wote ni mtamu, wanaweza kuficha siri yako wakati mambo yanaharibika? Wengi hawawezi. Wengi hawataweza. Kwa hivyo, weka siri zako, siri. Ikiwa huwezi kuiweka mwenyewe, kwa nini unapaswa kutarajia mtu mwingine? Ikiwa kina kina sana kwako kubeba peke yako, kuwa mwangalifu unaiweka mikononi mwa nani. Baadhi ya watu ni wadogo. Hawaachi tu na kuondoka; lazima wachafue weupe wako kabla hawajaondoka. Ni lazima wakuvute kwenye matope, lazima wafichue kile kilichokusudiwa kuwa kitakatifu, lazima watumie wanachokijua kukuletea aibu. Na ndio maana lazima uwe na hekima. Zingatia kile unachoshiriki wakati jua linawaka katika urafiki wako. Kuwa mwangalifu kile unachosema wakati kila kitu ni cha kimapenzi na cha kupendeza. Kwa sababu upendo ni mtamu, lakini watu wengine wanapoanguka kutoka kwa upendo, hugeuka kuwa mbwa mwitu. Wapende watu, lakini usiwe mjinga. Sio kila anayekusikia atakulinda. Na misimu inapobadilika, uhusiano unapovunjika, urafiki unapoisha, utatamani ungejiwekea mambo fulani. Uwe mwenye busara. Uwe na hekima. Zuia nyeupe yako isichafuke.
    Love
    1
    · 0 Commenti ·0 condivisioni ·981 Views
  • Tarehe 24 Novemba 2009, ikiwa ni siku chache kabla ya Sikukuu ya Thanksgiving, John Jones aliamua kwenda kuchunguza mapango na ndugu zake.

    Alikuwa baba wa mtoto mmoja na mke wake alikuwa mjamzito wa mtoto wao wa pili.

    Alikuwa mchungaji wa kanisa, mwenye tabia nzuri, aliyependwa na familia yake.

    Alikuwa na uzoefu mdogo wa kuingia mapangoni, lakini aliamini hana cha kuhofia.

    Akiwa na kaka yake, Josh Jones, na marafiki wachache, waliamua kuchunguza sehemu mpya ya Nutty Putty Cave—pango maarufu lililokuwa na njia nyembamba na hatari.

    Walikuwa na matumaini ya kujifurahisha tu, lakini hakuna aliyejua kuwa hii ingekuwa safari ya kifo cha kutisha.
    Tarehe 24 Novemba 2009, ikiwa ni siku chache kabla ya Sikukuu ya Thanksgiving, John Jones aliamua kwenda kuchunguza mapango na ndugu zake. Alikuwa baba wa mtoto mmoja na mke wake alikuwa mjamzito wa mtoto wao wa pili. Alikuwa mchungaji wa kanisa, mwenye tabia nzuri, aliyependwa na familia yake. Alikuwa na uzoefu mdogo wa kuingia mapangoni, lakini aliamini hana cha kuhofia. Akiwa na kaka yake, Josh Jones, na marafiki wachache, waliamua kuchunguza sehemu mpya ya Nutty Putty Cave—pango maarufu lililokuwa na njia nyembamba na hatari. Walikuwa na matumaini ya kujifurahisha tu, lakini hakuna aliyejua kuwa hii ingekuwa safari ya kifo cha kutisha.
    Love
    1
    · 0 Commenti ·0 condivisioni ·607 Views
  • TBT ya Haji Manara

    "September 2007 nikiwa kijana Mdogo na nikiwa kiongozi wa Chama changu na hapo ni fresh from School kule Beijing China.
    Kipindi hicho nna madini ya hatari kuhusu taaluma ya Propaganda na Uenezi,enzi ambazo nilikuwa naweza kukuaminisha Jiwe ni Keki

    Enzi ambazo nilikuwa naweza kuwavusha hata kuku barabarani kwa maneno tu,
    Ni zile zile zama nilizowaaminisha Barcelona haichomoki kwa Mkapa, tena Barcelona kweli ya Xavi ,Iniesta na kina Messi.
    Taaluma iliyonipa ujasiri wa kusema na kuamini tutafuzu kwa AFCON ya 2019 kule Misri,wakati huo tukiwa chini kwenye msimamo wa kundi letu, na Nchi nzima ikiwa imejikatia tamaa ya kwenda Cairo.

    Bila kusahau one day kule Paris France niliposahau Passport hotelini na siku hiyo tulisimamishwa na Manjagu njiani nikiwa na wenzangu ambao walikuwa Kamil Gado,
    Nikazuga kama naitoa kwenye mfuko wa koti, Askari wakaniamini kabla ya kuwaonyesha ,wakaturuhusu kilaini kabisa,inaitwa Blue Propaganda

    Yes: Pembeni yangu katika hiyo picha ni Marehemu Captain Barongo aliyekuwa Katibu wa CCM Mkoa wa Dar es salaam,
    Na hii ilikuwa sherehe ya harusi ya DC wa Temeke hivi sasa Mh Sixtus Mapunda ambae wakati huo alikuwa Katibu wa Umoja wa Vijana ( UV CCM ) Mkoa huu.
    Hadi leo tumebaki marafiki wakubwa na hakosi mwaliko wowote kwangu

    Nb: Usicheke ukubwa wa koti,miaka ile ilikuwa ndio fashion na wenyewe tuliyaita Majumba "

    TBT ya Haji Manara "September 2007 nikiwa kijana Mdogo na nikiwa kiongozi wa Chama changu na hapo ni fresh from School kule Beijing China. Kipindi hicho nna madini ya hatari kuhusu taaluma ya Propaganda na Uenezi,enzi ambazo nilikuwa naweza kukuaminisha Jiwe ni Keki 😀😀😀 Enzi ambazo nilikuwa naweza kuwavusha hata kuku barabarani kwa maneno tu😀😀😀, Ni zile zile zama nilizowaaminisha Barcelona haichomoki kwa Mkapa, tena Barcelona kweli ya Xavi ,Iniesta na kina Messi. Taaluma iliyonipa ujasiri wa kusema na kuamini tutafuzu kwa AFCON ya 2019 kule Misri,wakati huo tukiwa chini kwenye msimamo wa kundi letu, na Nchi nzima ikiwa imejikatia tamaa ya kwenda Cairo. Bila kusahau one day kule Paris France niliposahau Passport hotelini na siku hiyo tulisimamishwa na Manjagu njiani nikiwa na wenzangu ambao walikuwa Kamil Gado, Nikazuga kama naitoa kwenye mfuko wa koti, Askari wakaniamini kabla ya kuwaonyesha ,wakaturuhusu kilaini kabisa,inaitwa Blue Propaganda 😀😀😀 Yes: Pembeni yangu katika hiyo picha ni Marehemu Captain Barongo aliyekuwa Katibu wa CCM Mkoa wa Dar es salaam, Na hii ilikuwa sherehe ya harusi ya DC wa Temeke hivi sasa Mh Sixtus Mapunda ambae wakati huo alikuwa Katibu wa Umoja wa Vijana ( UV CCM ) Mkoa huu. Hadi leo tumebaki marafiki wakubwa na hakosi mwaliko wowote kwangu 🙏🙏 Nb: Usicheke ukubwa wa koti,miaka ile ilikuwa ndio fashion na wenyewe tuliyaita Majumba 😀😀😀"
    0 Commenti ·0 condivisioni ·875 Views
  • Kwa mujibu wa wa kiongozi mkuu wa Korea Kaskazini Kim Jong Un , migogoro inayochochewa na Marekani katika sehemu mbalimbali za dunia, "inazidi kuongeza hatari ya kuzuka kwa vita vya dunia vipya vyenye athari kubwa sio tu kwa amani na usalama wa kimataifa bali pia nyanja nyingine zote za shughuli za binadamu."

    Pia Kim alitoa maoni kwamba mwaka 2025, mzozo wa Ukraine utasalia kuwa moja ya "mhimili mkuu wa hali ya wasiwasi ya kimataifa," nyingine ikiwa hali katika Ukanda wa Gaza na Syria "ambayo imekuwa uwanja wa migogoro ya kijiografia na makabiliano ya kimataifa mwaka jana."

    Katika hatua nyingine Kim alisema Marekani na nchi za Magharibi zinaelezea mzozo wa Ukraine kwa kushindwa kuishinda Urusi kimkakati, kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong Un alisema, kama ilivyonukuliwa na Shirika la Habari la Korea (KCNA).

    Katika mkutano katika Wizara ya Ulinzi, kuadhimisha kumbukumbu ya miaka 77 ya Jeshi la Wananchi wa Korea, alidai kwamba Marekani imepofushwa na tamaa mbaya huku akiionyesha wasiwasi mkubwa juu ya tabia ya kutojali ya Marekani na kundi la Magharibi kwa makusudi kuendeleza vita vya muda mrefu kwa ndoto isiyoweza kutekelezwa ili kukabiliana na kurudi kwa kimkakati kwa Urusi," shirika la habari lilibainisha.

    Kim alidokeza kuwa Pyongyang imekuwa ikipinga kila mara "kitendo chochote cha kunyima haki ya kimataifa na kuvuruga amani na usalama duniani." Aliongeza kuwa nchi yake "itaunga mkono kila wakati na kuhimiza sababu ya haki ya jeshi la Urusi na watu kutetea uhuru wao, usalama na uadilifu wa eneo kwa kuzingatia ari ya mkataba juu ya ushirikiano wa kimkakati wa kina kati ya DPRK na Urusi."
    (Zungu)

    Kwa mujibu wa wa kiongozi mkuu wa Korea Kaskazini Kim Jong Un , migogoro inayochochewa na Marekani katika sehemu mbalimbali za dunia, "inazidi kuongeza hatari ya kuzuka kwa vita vya dunia vipya vyenye athari kubwa sio tu kwa amani na usalama wa kimataifa bali pia nyanja nyingine zote za shughuli za binadamu." Pia Kim alitoa maoni kwamba mwaka 2025, mzozo wa Ukraine utasalia kuwa moja ya "mhimili mkuu wa hali ya wasiwasi ya kimataifa," nyingine ikiwa hali katika Ukanda wa Gaza na Syria "ambayo imekuwa uwanja wa migogoro ya kijiografia na makabiliano ya kimataifa mwaka jana." Katika hatua nyingine Kim alisema Marekani na nchi za Magharibi zinaelezea mzozo wa Ukraine kwa kushindwa kuishinda Urusi kimkakati, kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong Un alisema, kama ilivyonukuliwa na Shirika la Habari la Korea (KCNA). Katika mkutano katika Wizara ya Ulinzi, kuadhimisha kumbukumbu ya miaka 77 ya Jeshi la Wananchi wa Korea, alidai kwamba Marekani imepofushwa na tamaa mbaya huku akiionyesha wasiwasi mkubwa juu ya tabia ya kutojali ya Marekani na kundi la Magharibi kwa makusudi kuendeleza vita vya muda mrefu kwa ndoto isiyoweza kutekelezwa ili kukabiliana na kurudi kwa kimkakati kwa Urusi," shirika la habari lilibainisha. Kim alidokeza kuwa Pyongyang imekuwa ikipinga kila mara "kitendo chochote cha kunyima haki ya kimataifa na kuvuruga amani na usalama duniani." Aliongeza kuwa nchi yake "itaunga mkono kila wakati na kuhimiza sababu ya haki ya jeshi la Urusi na watu kutetea uhuru wao, usalama na uadilifu wa eneo kwa kuzingatia ari ya mkataba juu ya ushirikiano wa kimkakati wa kina kati ya DPRK na Urusi." (Zungu)
    0 Commenti ·0 condivisioni ·900 Views
  • Rwanda inalichukulia jeshi la Burundi kama tishio jingine la usalama katika eneo la mashariki mwa Jamhuri ya demokrasi ya Congo (DRC).

    Nchi inayopakana na Rwanda na DRC imekuwa na maelfu ya wanajeshi huko kwa miaka mingi.

    Walikwenda kuwafuatilia waasi wa Burundi lakini sasa wanasaidia jeshi la Kinshasa katika vita dhidi ya M23.

    Uhusiano kati ya Rwanda na Burundi ni mbaya.

    Nchi hizi mbili zina muundo wa kikabila unaofanana lakini kinyume na Rwanda, Hutu ndiyo wanaoshikilia madaraka nchini Burundi.

    Nchi zote mbili zimekashifiana kwa kudai kujaribu kuangusha serikali zao.

    Rais wa Burundi, Evariste Ndayishimiye, ametoa onyo kali kwenye mitandao ya kijamii.

    "Ikizidi, Rwanda itaendelea na mashambulizi," aliandika, "Najua vita vitafika Burundi… Siku moja atataka kuingia Burundi - hatutakubaliana na hilo. Vita vitapanuka."

    Tishio hili litakuwa kubwa zaidi ikiwa M23 itaendelea na mashambulizi kutoka Goma kuelekea mkoa wa Kivu kusini karibu na mpaka wa Burundi, ambapo vikosi vyake viko.

    "Kile kinachotafutwa na Burundi hapa ni kuokoa utawala wake," alisema Bw. Stearns.

    "Burundi inahofia kuwa kama vikosi vya Rwanda vitaimarisha ushawishi wao katika eneo la Kivu kusini, inaweza kuteteresha serikali ya Bujumbura. Kile kilicho hatarini hapa ni kuzima uasi huu kabla haujaingilia karibu zaidi."

    Wengine wanahofia kurudi kwa vita mbili zilizoshambulia eneo hilo mwishoni mwa miaka ya 1990, ambazo zilihusisha nchi tisa na kusababisha vifo vya mamilioni ya watu.

    Mara hii, mapigano ya moja kwa moja kati ya majeshi mawili yanaweza kupelekea mgogoro wa DRC kuvuka nje ya mipaka yake.
    (BBC Swahili)

    Rwanda inalichukulia jeshi la Burundi kama tishio jingine la usalama katika eneo la mashariki mwa Jamhuri ya demokrasi ya Congo (DRC). Nchi inayopakana na Rwanda na DRC imekuwa na maelfu ya wanajeshi huko kwa miaka mingi. Walikwenda kuwafuatilia waasi wa Burundi lakini sasa wanasaidia jeshi la Kinshasa katika vita dhidi ya M23. Uhusiano kati ya Rwanda na Burundi ni mbaya. Nchi hizi mbili zina muundo wa kikabila unaofanana lakini kinyume na Rwanda, Hutu ndiyo wanaoshikilia madaraka nchini Burundi. Nchi zote mbili zimekashifiana kwa kudai kujaribu kuangusha serikali zao. Rais wa Burundi, Evariste Ndayishimiye, ametoa onyo kali kwenye mitandao ya kijamii. "Ikizidi, Rwanda itaendelea na mashambulizi," aliandika, "Najua vita vitafika Burundi… Siku moja atataka kuingia Burundi - hatutakubaliana na hilo. Vita vitapanuka." Tishio hili litakuwa kubwa zaidi ikiwa M23 itaendelea na mashambulizi kutoka Goma kuelekea mkoa wa Kivu kusini karibu na mpaka wa Burundi, ambapo vikosi vyake viko. "Kile kinachotafutwa na Burundi hapa ni kuokoa utawala wake," alisema Bw. Stearns. "Burundi inahofia kuwa kama vikosi vya Rwanda vitaimarisha ushawishi wao katika eneo la Kivu kusini, inaweza kuteteresha serikali ya Bujumbura. Kile kilicho hatarini hapa ni kuzima uasi huu kabla haujaingilia karibu zaidi." Wengine wanahofia kurudi kwa vita mbili zilizoshambulia eneo hilo mwishoni mwa miaka ya 1990, ambazo zilihusisha nchi tisa na kusababisha vifo vya mamilioni ya watu. Mara hii, mapigano ya moja kwa moja kati ya majeshi mawili yanaweza kupelekea mgogoro wa DRC kuvuka nje ya mipaka yake. (BBC Swahili)
    Like
    1
    · 0 Commenti ·0 condivisioni ·632 Views
  • #PART5

    Baada ya M23 kukamata Goma walidai hawana mpango wa kuchukua miji mingine. Jeshi la Congo (FARDC) likarelax. Kumbe ilikua mbinu ya kivita. Ghafla M23 wakavamia na kuuteka mji wa Rutshuru wenye utajiri wa dhahabu, tin na Tungsten na mji wa Masisi wenye utajiri mkubwa wa dhahabu na cassiterite.

    Mpango wa M23 ni kufika Kinshasa na kuuangusha utawala wa Rais Felix Tshisekedi. Madai ya M23 ni yaleyale ya siku zote, ambayo ni kulinda maslahi ya Watutsi waishio mashariki mwa nchi hiyo, kupambana na wanamgambo wa Kihutu wa FDLR (Interahamwe), na kutaka Banyamulenge watambuliwe kama raia halali wa Congo.

    Mzozo wa mashariki mwa Congo umegharimu maisha ya mamilioni ya watu toka ulipoanza. Umoja wa Mataifa (UN) na Umoja wa Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) umepeleka askari wa kulinda amani. Ikumbukwe askari hao hawapigani upande wa serikali wala wa waasi. Kuna watu wanadhani askari wetu wa JWTZ walioko Congo wanapigana upande wa jeshi la serikali (FARDC). Hapana. Hawapigani upande wowote. Wanalinda amani. Lakini ikitokea kuna upande unahatarisha amani utapewa haki yake ya kikatiba.

    Kwa mfano, mwaka 2012 Umoja wa mataifa uliunda jeshi la kulinda amani Congo (MONUSCO). Ndani yake kulikua na brigedi maalumu ya kunyang'anya silaha makundi ya wapiganaji - Force Intervention Bregade (FIB). Brigedi hiyo iliundwa na askari kutoka Tanzania, Malawi, Afrika Kusini na Uruguay.

    April 2012, M23 wakashambulia kambi ya FIB iliyokua mji wa Rutshuru na kuua askari watatu. Baada ya shambulio hilo, aliyekua Mkuu FIB, Jenerali James Mwakibolwa alipanga vikosi vyake kujibu mapigo. M23 walichakazwa vibaya ambapo zaidi ya askari 600 wa M23 waliuawa na wengi kujeruhiwa. Walipigwa bila huruma na kuachia miji yote waliyokua wameishikilia ikiwemo Rubaya, Kitchanga na Rutshuru. Askari 16 wa FIB nao walipoteza maisha.

    March 2013, M23 walisalimu amri na Kiongozi wao Bosco Ntaganda akakimbilia Rwanda kujisalimisha kwenye ubalozi wa Marekani. Alipelekwa ICC akahukumiwa miaka 30 na sasa anatumikia adhabu yake gereza la Leuze-en-Hainaut lililopo Ubelgiji. Moja ya makosa ambayo Ntaganda anayajutia hadi leo ni kuingia kwenye 18 za FIB iliyokua inaongozwa na Jenerali James Aloizi Mwakibolwa.

    Kumekua na jitihada mbalimbali za kumaliza mgogoro wa DRC kwa njia za kidiplomasia ikiwemo mkutano wa viongozi wakuu wa SADC na EAC uliofanyika leo jijini Dar.

    #MyaTake:
    1. Congo imeponzwa na ukarimu wake. Wakati wa vita vya Rwanda, Congo ilipokea Watutsi wengi na kuwapa hifadhi, akiwemo Kagame. Baada ya utawala wa Habyarimana kuangushwa Wahutu nao wakakimbilia Congo na kupewa hifadhi. Sasa hicho kimekua kigezo cha Rwanda kuingiza majeshi Congo kila mara kwa madai ya kuwatafuta Wahutu wa FDLR. Kwa lugha rahisi vita ya ndugu wawili (Wahutu na Watutsi) iliyopaswa kupiganwa Rwanda sasa inapiganwa Congo.

    2. Congo inateswa na mipaka ya kikoloni. Laiti wakati wa kuchora mipaka jamii yote ya Watutsi ingewekwa Rwanda, leo kusingekuwa na Banyamulenge Congo, kwahiyo Watutsi wasingepata sababu ya kuishi Congo na kujifanya raia. Ni sawa na kukuta Wamasai 1,000 pale Longido, halafu uambiwe kati yao wapo wa Kenya. Utawajuaje? Utawatofautishaje?

    3. Congo inateswa na rasilimali zake. Kama eneo la Kivu lisingekuwa na utajiri, mgogoro usingekuwa mkubwa kama ulivyo. Rejea #Part1 kujua utajiri uliopo Kivu. Kumbuka bila Kivu dunia haina laptop wala smartphones kwa sababu 80% ya coltan yote duniani inatoka Kivu.

    4. Rwanda na Uganda ni Keyplayers kwenye mgogoro wa Congo. Kwa miaka mingi majeshi yao yameigeuza Congo shamba la bibi. Waondoe majeshi yao Congo.

    5. Viongozi wengi wa M23 ni Wanyarwanda. Huu ni udhibitisho kuwa Rwanda ni kinara kwenye mgogoro huu.

    6. Congo ni kubwa sana na hivyo inakosa jeshi imara la kutosha kulinda mipaka yake yote. Congo ni kubwa mara 90 ya Rwanda. Wapo wanaoshauri igawanywe kama njia ya kutatua mgogoro. Kama ambavyo Yugoslavia iligawanywa na kumaliza vita vya wenyewe kwa wenyewe.

    7. Kiongozi wa sasa wa M23 Corneille Nangaa alikua Mwenyekiti wa tume ya uchaguzi 2019 na ndiye aliyemtangaza Tshisekedi kuwa Rais kwa ushindi wa 38%. Lakini alilaumiwa kupunguza kura za Martin Fayulu aliyepata 34%. Huenda kuna ahadi alipewa haikutimizwa ndio maana akaungana na Waasi.

    Sababu hizo hapo juu zikifanyiwa kazi, mgogoro wa Congo unaweza kupungua kwa kiasi kikubwa. Mnaopenda kujifunza zaidi, naandika Kitabu. Get ready to have your copy. MWISHO.!

    (Malisa GJ )

    #PART5 Baada ya M23 kukamata Goma walidai hawana mpango wa kuchukua miji mingine. Jeshi la Congo (FARDC) likarelax. Kumbe ilikua mbinu ya kivita. Ghafla M23 wakavamia na kuuteka mji wa Rutshuru wenye utajiri wa dhahabu, tin na Tungsten na mji wa Masisi wenye utajiri mkubwa wa dhahabu na cassiterite. Mpango wa M23 ni kufika Kinshasa na kuuangusha utawala wa Rais Felix Tshisekedi. Madai ya M23 ni yaleyale ya siku zote, ambayo ni kulinda maslahi ya Watutsi waishio mashariki mwa nchi hiyo, kupambana na wanamgambo wa Kihutu wa FDLR (Interahamwe), na kutaka Banyamulenge watambuliwe kama raia halali wa Congo. Mzozo wa mashariki mwa Congo umegharimu maisha ya mamilioni ya watu toka ulipoanza. Umoja wa Mataifa (UN) na Umoja wa Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) umepeleka askari wa kulinda amani. Ikumbukwe askari hao hawapigani upande wa serikali wala wa waasi. Kuna watu wanadhani askari wetu wa JWTZ walioko Congo wanapigana upande wa jeshi la serikali (FARDC). Hapana. Hawapigani upande wowote. Wanalinda amani. Lakini ikitokea kuna upande unahatarisha amani utapewa haki yake ya kikatiba. Kwa mfano, mwaka 2012 Umoja wa mataifa uliunda jeshi la kulinda amani Congo (MONUSCO). Ndani yake kulikua na brigedi maalumu ya kunyang'anya silaha makundi ya wapiganaji - Force Intervention Bregade (FIB). Brigedi hiyo iliundwa na askari kutoka Tanzania, Malawi, Afrika Kusini na Uruguay. April 2012, M23 wakashambulia kambi ya FIB iliyokua mji wa Rutshuru na kuua askari watatu. Baada ya shambulio hilo, aliyekua Mkuu FIB, Jenerali James Mwakibolwa alipanga vikosi vyake kujibu mapigo. M23 walichakazwa vibaya ambapo zaidi ya askari 600 wa M23 waliuawa na wengi kujeruhiwa. Walipigwa bila huruma na kuachia miji yote waliyokua wameishikilia ikiwemo Rubaya, Kitchanga na Rutshuru. Askari 16 wa FIB nao walipoteza maisha. March 2013, M23 walisalimu amri na Kiongozi wao Bosco Ntaganda akakimbilia Rwanda kujisalimisha kwenye ubalozi wa Marekani. Alipelekwa ICC akahukumiwa miaka 30 na sasa anatumikia adhabu yake gereza la Leuze-en-Hainaut lililopo Ubelgiji. Moja ya makosa ambayo Ntaganda anayajutia hadi leo ni kuingia kwenye 18 za FIB iliyokua inaongozwa na Jenerali James Aloizi Mwakibolwa. Kumekua na jitihada mbalimbali za kumaliza mgogoro wa DRC kwa njia za kidiplomasia ikiwemo mkutano wa viongozi wakuu wa SADC na EAC uliofanyika leo jijini Dar. #MyaTake: 1. Congo imeponzwa na ukarimu wake. Wakati wa vita vya Rwanda, Congo ilipokea Watutsi wengi na kuwapa hifadhi, akiwemo Kagame. Baada ya utawala wa Habyarimana kuangushwa Wahutu nao wakakimbilia Congo na kupewa hifadhi. Sasa hicho kimekua kigezo cha Rwanda kuingiza majeshi Congo kila mara kwa madai ya kuwatafuta Wahutu wa FDLR. Kwa lugha rahisi vita ya ndugu wawili (Wahutu na Watutsi) iliyopaswa kupiganwa Rwanda sasa inapiganwa Congo. 2. Congo inateswa na mipaka ya kikoloni. Laiti wakati wa kuchora mipaka jamii yote ya Watutsi ingewekwa Rwanda, leo kusingekuwa na Banyamulenge Congo, kwahiyo Watutsi wasingepata sababu ya kuishi Congo na kujifanya raia. Ni sawa na kukuta Wamasai 1,000 pale Longido, halafu uambiwe kati yao wapo wa Kenya. Utawajuaje? Utawatofautishaje? 3. Congo inateswa na rasilimali zake. Kama eneo la Kivu lisingekuwa na utajiri, mgogoro usingekuwa mkubwa kama ulivyo. Rejea #Part1 kujua utajiri uliopo Kivu. Kumbuka bila Kivu dunia haina laptop wala smartphones kwa sababu 80% ya coltan yote duniani inatoka Kivu. 4. Rwanda na Uganda ni Keyplayers kwenye mgogoro wa Congo. Kwa miaka mingi majeshi yao yameigeuza Congo shamba la bibi. Waondoe majeshi yao Congo. 5. Viongozi wengi wa M23 ni Wanyarwanda. Huu ni udhibitisho kuwa Rwanda ni kinara kwenye mgogoro huu. 6. Congo ni kubwa sana na hivyo inakosa jeshi imara la kutosha kulinda mipaka yake yote. Congo ni kubwa mara 90 ya Rwanda. Wapo wanaoshauri igawanywe kama njia ya kutatua mgogoro. Kama ambavyo Yugoslavia iligawanywa na kumaliza vita vya wenyewe kwa wenyewe. 7. Kiongozi wa sasa wa M23 Corneille Nangaa alikua Mwenyekiti wa tume ya uchaguzi 2019 na ndiye aliyemtangaza Tshisekedi kuwa Rais kwa ushindi wa 38%. Lakini alilaumiwa kupunguza kura za Martin Fayulu aliyepata 34%. Huenda kuna ahadi alipewa haikutimizwa ndio maana akaungana na Waasi. Sababu hizo hapo juu zikifanyiwa kazi, mgogoro wa Congo unaweza kupungua kwa kiasi kikubwa. Mnaopenda kujifunza zaidi, naandika Kitabu. Get ready to have your copy. MWISHO.! (Malisa GJ ✍️)
    Like
    1
    · 0 Commenti ·0 condivisioni ·2K Views
  • #PART12

    Baada ya M23 kukamata Goma walidai hawana mpango wa kuchukua miji mingine. Jeshi la Congo (FARDC) likarelax. Kumbe ilikua mbinu ya kivita. Ghafla M23 wakavamia na kuuteka mji wa Rutshuru wenye utajiri wa dhahabu, tin na Tungsten na mji wa Masisi wenye utajiri mkubwa wa dhahabu na cassiterite.

    Mpango wa M23 ni kufika Kinshasa na kuuangusha utawala wa Rais Felix Tshisekedi. Madai ya M23 ni yaleyale ya siku zote, ambayo ni kulinda maslahi ya Watutsi waishio mashariki mwa nchi hiyo, kupambana na wanamgambo wa Kihutu wa FDLR (Interahamwe), na kutaka Banyamulenge watambuliwe kama raia halali wa Congo.

    Mzozo wa mashariki mwa Congo umegharimu maisha ya mamilioni ya watu toka ulipoanza. Umoja wa Mataifa (UN) na Umoja wa Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) umepeleka askari wa kulinda amani. Ikumbukwe askari hao hawapigani upande wa serikali wala wa waasi. Kuna watu wanadhani askari wetu wa JWTZ walioko Congo wanapigana upande wa jeshi la serikali (FARDC). Hapana. Hawapigani upande wowote. Wanalinda amani. Lakini ikitokea kuna upande unahatarisha amani utapewa haki yake ya kikatiba.

    Kwa mfano, mwaka 2012 Umoja wa mataifa uliunda jeshi la kulinda amani Congo (MONUSCO). Ndani yake kulikua na brigedi maalumu ya kunyang'anya silaha makundi ya wapiganaji - Force Intervention Bregade (FIB). Brigedi hiyo iliundwa na askari kutoka Tanzania, Malawi, Afrika Kusini na Uruguay.

    April 2012, M23 wakashambulia kambi ya FIB iliyokua mji wa Rutshuru na kuua askari watatu. Baada ya shambulio hilo, aliyekua Mkuu FIB, Jenerali James Mwakibolwa alipanga vikosi vyake kujibu mapigo. M23 walichakazwa vibaya ambapo zaidi ya askari 600 wa M23 waliuawa na wengi kujeruhiwa. Walipigwa bila huruma na kuachia miji yote waliyokua wameishikilia ikiwemo Rubaya, Kitchanga na Rutshuru. Askari 16 wa FIB nao walipoteza maisha.

    March 2013, M23 walisalimu amri na Kiongozi wao Bosco Ntaganda akakimbilia Rwanda kujisalimisha kwenye ubalozi wa Marekani. Alipelekwa ICC akahukumiwa miaka 30 na sasa anatumikia adhabu yake gereza la Leuze-en-Hainaut lililopo Ubelgiji. Moja ya makosa ambayo Ntaganda anayajutia hadi leo ni kuingia kwenye 18 za FIB iliyokua inaongozwa na Jenerali James Aloizi Mwakibolwa.!
    (Malisa GJ)

    #PART12 Baada ya M23 kukamata Goma walidai hawana mpango wa kuchukua miji mingine. Jeshi la Congo (FARDC) likarelax. Kumbe ilikua mbinu ya kivita. Ghafla M23 wakavamia na kuuteka mji wa Rutshuru wenye utajiri wa dhahabu, tin na Tungsten na mji wa Masisi wenye utajiri mkubwa wa dhahabu na cassiterite. Mpango wa M23 ni kufika Kinshasa na kuuangusha utawala wa Rais Felix Tshisekedi. Madai ya M23 ni yaleyale ya siku zote, ambayo ni kulinda maslahi ya Watutsi waishio mashariki mwa nchi hiyo, kupambana na wanamgambo wa Kihutu wa FDLR (Interahamwe), na kutaka Banyamulenge watambuliwe kama raia halali wa Congo. Mzozo wa mashariki mwa Congo umegharimu maisha ya mamilioni ya watu toka ulipoanza. Umoja wa Mataifa (UN) na Umoja wa Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) umepeleka askari wa kulinda amani. Ikumbukwe askari hao hawapigani upande wa serikali wala wa waasi. Kuna watu wanadhani askari wetu wa JWTZ walioko Congo wanapigana upande wa jeshi la serikali (FARDC). Hapana. Hawapigani upande wowote. Wanalinda amani. Lakini ikitokea kuna upande unahatarisha amani utapewa haki yake ya kikatiba. Kwa mfano, mwaka 2012 Umoja wa mataifa uliunda jeshi la kulinda amani Congo (MONUSCO). Ndani yake kulikua na brigedi maalumu ya kunyang'anya silaha makundi ya wapiganaji - Force Intervention Bregade (FIB). Brigedi hiyo iliundwa na askari kutoka Tanzania, Malawi, Afrika Kusini na Uruguay. April 2012, M23 wakashambulia kambi ya FIB iliyokua mji wa Rutshuru na kuua askari watatu. Baada ya shambulio hilo, aliyekua Mkuu FIB, Jenerali James Mwakibolwa alipanga vikosi vyake kujibu mapigo. M23 walichakazwa vibaya ambapo zaidi ya askari 600 wa M23 waliuawa na wengi kujeruhiwa. Walipigwa bila huruma na kuachia miji yote waliyokua wameishikilia ikiwemo Rubaya, Kitchanga na Rutshuru. Askari 16 wa FIB nao walipoteza maisha. March 2013, M23 walisalimu amri na Kiongozi wao Bosco Ntaganda akakimbilia Rwanda kujisalimisha kwenye ubalozi wa Marekani. Alipelekwa ICC akahukumiwa miaka 30 na sasa anatumikia adhabu yake gereza la Leuze-en-Hainaut lililopo Ubelgiji. Moja ya makosa ambayo Ntaganda anayajutia hadi leo ni kuingia kwenye 18 za FIB iliyokua inaongozwa na Jenerali James Aloizi Mwakibolwa.! (Malisa GJ)
    0 Commenti ·0 condivisioni ·1K Views
  • Katika siasa za Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), jina la Corneille Nangaa limepita katika nyanja tofauti.

    Kutoka kuwa msomi wa uchumi, mtumishi wa Umoja wa Mataifa (UNDP), msimamizi wa uchaguzi mkuu.

    Hadi sasa kuwa mmoja wa watu wanaoitikisa nchi hiyo kwa kiwango kikubwa.

    Mwanaume huyu ambaye aliwahi kuwa miongoni mwa watendaji wakubwa wa serikali, sasa anatajwa kuwa nyuma ya moja ya harakati hatari zaidi zinazoendelea katika ardhi ya Congo.

    Akiwa na historia ndefu ya kushika nafasi za juu serikalini, alifikia hatua ya kuanzisha chama chake cha kisiasa, Action for Change (AFC).

    Lakini hatua zake zilizoibua taharuki kubwa ni uhusiano wake wa karibu na kundi la waasi la M23, ambalo hivi sasa linatajwa kuwa jeshi lake binafsi.

    Lakini vipi msomi huyu wa uchumi alihamia kutoka kuongoza uchaguzi hadi kusimamia jeshi la waasi?

    Corneille Nangaa alianza kama msomi wa uchumi, akipata elimu yake kutoka Chuo Kikuu cha Kinshasa.
    Katika siasa za Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), jina la Corneille Nangaa limepita katika nyanja tofauti. Kutoka kuwa msomi wa uchumi, mtumishi wa Umoja wa Mataifa (UNDP), msimamizi wa uchaguzi mkuu. Hadi sasa kuwa mmoja wa watu wanaoitikisa nchi hiyo kwa kiwango kikubwa. Mwanaume huyu ambaye aliwahi kuwa miongoni mwa watendaji wakubwa wa serikali, sasa anatajwa kuwa nyuma ya moja ya harakati hatari zaidi zinazoendelea katika ardhi ya Congo. Akiwa na historia ndefu ya kushika nafasi za juu serikalini, alifikia hatua ya kuanzisha chama chake cha kisiasa, Action for Change (AFC). Lakini hatua zake zilizoibua taharuki kubwa ni uhusiano wake wa karibu na kundi la waasi la M23, ambalo hivi sasa linatajwa kuwa jeshi lake binafsi. Lakini vipi msomi huyu wa uchumi alihamia kutoka kuongoza uchaguzi hadi kusimamia jeshi la waasi? Corneille Nangaa alianza kama msomi wa uchumi, akipata elimu yake kutoka Chuo Kikuu cha Kinshasa.
    0 Commenti ·0 condivisioni ·695 Views
  • Jumuiya ya kimataifa inafuatilia kwa karibu hali inayoendelea katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), huku mashirika ya haki za binadamu yakilaani uhalifu wa kivita unaofanywa na pande zote dhidi ya raia.

    Ripoti za Umoja wa Mataifa zinaonyesha kuwa maelfu ya watu wamelazimika kuyakimbia makazi yao kutokana na mapigano yanayoendelea, huku ukatili dhidi ya wanawake na watoto ukiongezeka kwa kiwango cha kutisha.

    Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) imetangaza kuwa inafuatilia kwa karibu mzozo huu na imeonya kuwa yeyote anayehusika na uhalifu wa kivita, dhidi ya binadamu, au mauaji ya halaiki hatosazwa na mkono wa sheria.

    Mgogoro wa DRC ni wa muda mrefu na wenye mizizi mirefu. Tangu miaka ya 1990, taifa hili limepitia machafuko ya mara kwa mara, yakichochewa na rasilimali za madini,ukosefu wa utawala thabiti, na uhusiano tata wa kisiasa kati ya mataifa jirani, hususan Rwanda na Uganda.

    M23, kundi la waasi linalotajwa kupokea msaada kutoka nje, limeendelea kushikilia maeneo muhimu, hususan Goma, na hata kutishia kuuteka mji wa Kinshasa.

    Katika mazingira haya, kama ungekuwa Rais wa DRC, Félix Tshisekedi, ungefanya nini?

    Kwa mtazamo wangu, suluhisho pekee ni mazungumzo na diplomasia.

    Historia imeonyesha kuwa vita dhidi ya makundi ya waasi kama M23 si rahisi kushinda kwa nguvu za kijeshi pekee.

    Licha ya msaada wa kijeshi kutoka kwa MONUSCO (Ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini DRC) na majeshi ya kikanda kama vile EACRF (East African Community Regional Force), kundi hili limeendelea kuwa tishio kubwa kwa utawala wa Tshisekedi.

    Ikiwa Rais Tshisekedi ataendelea kulazimisha suluhisho la kijeshi bila mpango wa mazungumzo, hatari ipo kwamba mapigano yatapanuka zaidi, na hata kutishia utulivu wa taifa kwa ujumla.

    Hatua muhimu kwa sasa ni kuitisha mazungumzo ya dhati na kutafuta njia ya kidiplomasia ya kumaliza mgogoro huu kabla hali haijazidi kuwa mbaya.
    Jumuiya ya kimataifa inafuatilia kwa karibu hali inayoendelea katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), huku mashirika ya haki za binadamu yakilaani uhalifu wa kivita unaofanywa na pande zote dhidi ya raia. Ripoti za Umoja wa Mataifa zinaonyesha kuwa maelfu ya watu wamelazimika kuyakimbia makazi yao kutokana na mapigano yanayoendelea, huku ukatili dhidi ya wanawake na watoto ukiongezeka kwa kiwango cha kutisha. Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) imetangaza kuwa inafuatilia kwa karibu mzozo huu na imeonya kuwa yeyote anayehusika na uhalifu wa kivita, dhidi ya binadamu, au mauaji ya halaiki hatosazwa na mkono wa sheria. Mgogoro wa DRC ni wa muda mrefu na wenye mizizi mirefu. Tangu miaka ya 1990, taifa hili limepitia machafuko ya mara kwa mara, yakichochewa na rasilimali za madini,ukosefu wa utawala thabiti, na uhusiano tata wa kisiasa kati ya mataifa jirani, hususan Rwanda na Uganda. M23, kundi la waasi linalotajwa kupokea msaada kutoka nje, limeendelea kushikilia maeneo muhimu, hususan Goma, na hata kutishia kuuteka mji wa Kinshasa. Katika mazingira haya, kama ungekuwa Rais wa DRC, Félix Tshisekedi, ungefanya nini? Kwa mtazamo wangu, suluhisho pekee ni mazungumzo na diplomasia. Historia imeonyesha kuwa vita dhidi ya makundi ya waasi kama M23 si rahisi kushinda kwa nguvu za kijeshi pekee. Licha ya msaada wa kijeshi kutoka kwa MONUSCO (Ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini DRC) na majeshi ya kikanda kama vile EACRF (East African Community Regional Force), kundi hili limeendelea kuwa tishio kubwa kwa utawala wa Tshisekedi. Ikiwa Rais Tshisekedi ataendelea kulazimisha suluhisho la kijeshi bila mpango wa mazungumzo, hatari ipo kwamba mapigano yatapanuka zaidi, na hata kutishia utulivu wa taifa kwa ujumla. Hatua muhimu kwa sasa ni kuitisha mazungumzo ya dhati na kutafuta njia ya kidiplomasia ya kumaliza mgogoro huu kabla hali haijazidi kuwa mbaya.
    0 Commenti ·0 condivisioni ·918 Views
  • Mapigano yamezuka tena kati ya Kundi la Waasi wa M23 na Vikosi vya Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo kusini mwa Mkoa wa Kivu, licha ya tangazo la Waasi hao la kusitisha mapigano kwa sababu za kibinadamu.

    Ripoti kutoka eneo la Nyabibwe, Kalehe, zinasema kuwa mapigano yaliendelea mapema leo baada ya kundi la Waasi hao kushambulia maeneo yanayodhibitiwa na Serikali. Ikumbukwe kwamba siku ya Jumatatu, Waasi walitangaza kusitisha mapigano na kusema kuwa hawakuwa na nia ya kuchukua maeneo yoyote baada ya kuteka Mji wa Goma.

    Hata hivyo, mamlaka ya Nchi ya DR Congo inasema shambulio hilo linakiuka makubaliano ya kusitisha mapigano yaliyotolewa na Waasi siku mbili (3) zilizopita. Baada ya kuushikilia Mji wa Goma, Waasi wa M23 walikusudia kuteka Mji wa Bukavu ambao ni Mji Mkuu wa Mkoa wa Sud-Kivu, lakini walikumbana na upinzani mkali kutoka kwa Vikosi vya Serikali ya DR Congo na Burundi , ambao walirejesha Vijiji kadhaa vilivyokuwa vimetekwa na Waasi hao.

    Serikali ya DR Congo imeanzisha juhudi za kusajili Raia kujiunga na Vikosi vya Jeshi ili kuimarisha ulinzi wa Mji wa Bukavu na maeneo mengine yaliyo hatarini katika Jimboni Kivu Kusini.

    Mapigano yamezuka tena kati ya Kundi la Waasi wa M23 na Vikosi vya Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo 🇨🇩 kusini mwa Mkoa wa Kivu, licha ya tangazo la Waasi hao la kusitisha mapigano kwa sababu za kibinadamu. Ripoti kutoka eneo la Nyabibwe, Kalehe, zinasema kuwa mapigano yaliendelea mapema leo baada ya kundi la Waasi hao kushambulia maeneo yanayodhibitiwa na Serikali. Ikumbukwe kwamba siku ya Jumatatu, Waasi walitangaza kusitisha mapigano na kusema kuwa hawakuwa na nia ya kuchukua maeneo yoyote baada ya kuteka Mji wa Goma. Hata hivyo, mamlaka ya Nchi ya DR Congo inasema shambulio hilo linakiuka makubaliano ya kusitisha mapigano yaliyotolewa na Waasi siku mbili (3) zilizopita. Baada ya kuushikilia Mji wa Goma, Waasi wa M23 walikusudia kuteka Mji wa Bukavu ambao ni Mji Mkuu wa Mkoa wa Sud-Kivu, lakini walikumbana na upinzani mkali kutoka kwa Vikosi vya Serikali ya DR Congo na Burundi 🇧🇮, ambao walirejesha Vijiji kadhaa vilivyokuwa vimetekwa na Waasi hao. Serikali ya DR Congo imeanzisha juhudi za kusajili Raia kujiunga na Vikosi vya Jeshi ili kuimarisha ulinzi wa Mji wa Bukavu na maeneo mengine yaliyo hatarini katika Jimboni Kivu Kusini.
    Like
    1
    · 0 Commenti ·0 condivisioni ·517 Views
  • Rais wa Marekani , Donald Trump, ameshitua Watu Duniani baada ya kutangaza nia yake ya kuchukua udhibiti wa Ukanda wa Gaza ulioharibiwa na vita na kuufanyia maendeleo ya kiuchumi baada ya Wapalestina kuhamishiwa maeneo mengine. Hatua hiyo inaweza kubadili sera za Marekani za miongo kadhaa kuhusu mgogoro wa Israel na Palestina.

    Katika mkutano wa pamoja na Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, Rais huyo alitangaza mpango huu bila kutoa maelezo ya kina.

    Kabla ya tangazo hilo, Trump alipendekeza kuwa zaidi ya Wapalestina milioni mbili (2) wa Gaza wahamishiwe Nchi jirani. Alikitaja kisiwa hicho kidogo, ambacho kwa sasa kina makubaliano dhaifu ya kusitisha mapigano kati ya Israel na Hamas, kuwa “eneo la kubomolewa.”

    Pendekezo hili linakabiliwa na upinzani mkali kutoka kwa Washirika na Wapinzani wa Marekani. Pia linaibua maswali kuhusu ikiwa Saudi Arabia itashiriki katika juhudi mpya za Marekani za kuleta uhusiano wa kawaida kati ya Israel na mataifa ya Kiarabu.

    - Hatua ya Marekani kuchukua ushawishi wa moja kwa moja Gaza itapingana na msimamo wa muda mrefu wa Washington na Jumuiya ya kimataifa, ambao unaona Gaza kama sehemu ya Taifa la baadaye la Palestina pamoja na Ukingo wa Magharibi.

    "Marekani itachukua Ukanda wa Gaza, na tutafanya nao kazi nzuri sana. Tutakuwa na umiliki wake na kuhakikisha tunasafisha mabomu na silaha zote hatari zilizobaki."

    "Tutaendeleza Gaza, kuunda maelfu ya ajira, na kuifanya iwe sehemu ambayo Mashariki ya Kati yote itajivunia. Ninaona umiliki wa muda mrefu na ninaamini italeta utulivu mkubwa katika eneo hilo." amesema Donald Trump.

    “nyumbani kwa watu wa dunia.” Aliielezea Gaza kama eneo lenye uwezo wa kuwa “Riviera ya Mashariki ya Kati.” - Donald Trump baada ya kuulizwa nani ataishi Gaza baada ya kuitengeneza

    Trump hakujibu moja kwa moja kuhusu mamlaka au mchakato wa kuchukua eneo hilo la Gaza baada ya kuulizwa Marekani ina mamlaka gani ya kuichukua Gaza, ambalo lina urefu wa maili 25 (km 45) na upana wa hadi maili 6 (km 10) na historia ya vurugu. Serikali za awali za Marekani, ikiwemo ile ya Trump katika muhula wake wa kwanza, ziliepuka kutuma Wanajeshi Gaza.

    Rais wa Marekani 🇺🇸, Donald Trump, ameshitua Watu Duniani baada ya kutangaza nia yake ya kuchukua udhibiti wa Ukanda wa Gaza ulioharibiwa na vita na kuufanyia maendeleo ya kiuchumi baada ya Wapalestina kuhamishiwa maeneo mengine. Hatua hiyo inaweza kubadili sera za Marekani za miongo kadhaa kuhusu mgogoro wa Israel na Palestina. Katika mkutano wa pamoja na Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, Rais huyo alitangaza mpango huu bila kutoa maelezo ya kina. Kabla ya tangazo hilo, Trump alipendekeza kuwa zaidi ya Wapalestina milioni mbili (2) wa Gaza wahamishiwe Nchi jirani. Alikitaja kisiwa hicho kidogo, ambacho kwa sasa kina makubaliano dhaifu ya kusitisha mapigano kati ya Israel na Hamas, kuwa “eneo la kubomolewa.” Pendekezo hili linakabiliwa na upinzani mkali kutoka kwa Washirika na Wapinzani wa Marekani. Pia linaibua maswali kuhusu ikiwa Saudi Arabia itashiriki katika juhudi mpya za Marekani za kuleta uhusiano wa kawaida kati ya Israel na mataifa ya Kiarabu. - Hatua ya Marekani kuchukua ushawishi wa moja kwa moja Gaza itapingana na msimamo wa muda mrefu wa Washington na Jumuiya ya kimataifa, ambao unaona Gaza kama sehemu ya Taifa la baadaye la Palestina pamoja na Ukingo wa Magharibi. "Marekani itachukua Ukanda wa Gaza, na tutafanya nao kazi nzuri sana. Tutakuwa na umiliki wake na kuhakikisha tunasafisha mabomu na silaha zote hatari zilizobaki." "Tutaendeleza Gaza, kuunda maelfu ya ajira, na kuifanya iwe sehemu ambayo Mashariki ya Kati yote itajivunia. Ninaona umiliki wa muda mrefu na ninaamini italeta utulivu mkubwa katika eneo hilo." amesema Donald Trump. “nyumbani kwa watu wa dunia.” Aliielezea Gaza kama eneo lenye uwezo wa kuwa “Riviera ya Mashariki ya Kati.” - Donald Trump baada ya kuulizwa nani ataishi Gaza baada ya kuitengeneza Trump hakujibu moja kwa moja kuhusu mamlaka au mchakato wa kuchukua eneo hilo la Gaza baada ya kuulizwa Marekani ina mamlaka gani ya kuichukua Gaza, ambalo lina urefu wa maili 25 (km 45) na upana wa hadi maili 6 (km 10) na historia ya vurugu. Serikali za awali za Marekani, ikiwemo ile ya Trump katika muhula wake wa kwanza, ziliepuka kutuma Wanajeshi Gaza.
    Like
    1
    · 0 Commenti ·0 condivisioni ·699 Views
  • Hatari sana
    Hatari sana😂
    Haha
    1
    · 1 Commenti ·0 condivisioni ·416 Views
  • Shirika la habari la New York Post imeripoti kuwa Rais wa Marekani , Donald Trump amesitisha ufadhili wa kifedha kwenye mifuko inayopambana na virusi vya ukimwi Duniani kwa muda wa miezi mitatu. Zuio hilo litasababisha wasiwasi mkubwa wa upatikanaji wa dawa za kupambana na ugonjwa huo hatari kwa Wagonjwa takribani milioni (25) waliokuwa wanufaika na dawa hizo.

    Baadhi ya mifuko mikubwa iliyokuwa ikipokea fedha ikiwemo PEPFAR na Shirika la USAID yataathirika na zuio hilo. Zuio hilo ni moja ya mazuio ya Donald Trump ya utoaji fedha nje kwa ajili ya misaada ambao unafanyiwa mapitio na Serikali yake kuona tija yake ili kuona kama kuna haja ya kuendelea na ufadhili.

    Waathirika wakubwa katika zuio hilo ni bara la Afrika ambako idadi ya maambukizi na Wagonjwa bado ni kubwa huku hali ya umasikini kuweza kumudu gharama za dawa ikiwa sio nzuri. Trump anaendelea na sera ambazo zinatajwa kugusa makundi mbalimbali ulimwenguni kwa kila namna.

    Ikumbukwe kwamba Marekani ndio Nchi linaloongoza kwa kutoa misaada Duniani ikiwemo ya kugharamia udhibiti wa magonjwa mbalimbali ikiwemo ugonjwa hatari wa UKIMWI, malaria na kifua kikuu.

    Shirika la habari la New York Post imeripoti kuwa Rais wa Marekani 🇺🇸, Donald Trump amesitisha ufadhili wa kifedha kwenye mifuko inayopambana na virusi vya ukimwi Duniani kwa muda wa miezi mitatu. Zuio hilo litasababisha wasiwasi mkubwa wa upatikanaji wa dawa za kupambana na ugonjwa huo hatari kwa Wagonjwa takribani milioni (25) waliokuwa wanufaika na dawa hizo. Baadhi ya mifuko mikubwa iliyokuwa ikipokea fedha ikiwemo PEPFAR na Shirika la USAID yataathirika na zuio hilo. Zuio hilo ni moja ya mazuio ya Donald Trump ya utoaji fedha nje kwa ajili ya misaada ambao unafanyiwa mapitio na Serikali yake kuona tija yake ili kuona kama kuna haja ya kuendelea na ufadhili. Waathirika wakubwa katika zuio hilo ni bara la Afrika ambako idadi ya maambukizi na Wagonjwa bado ni kubwa huku hali ya umasikini kuweza kumudu gharama za dawa ikiwa sio nzuri. Trump anaendelea na sera ambazo zinatajwa kugusa makundi mbalimbali ulimwenguni kwa kila namna. Ikumbukwe kwamba Marekani ndio Nchi linaloongoza kwa kutoa misaada Duniani ikiwemo ya kugharamia udhibiti wa magonjwa mbalimbali ikiwemo ugonjwa hatari wa UKIMWI, malaria na kifua kikuu.
    0 Commenti ·0 condivisioni ·906 Views
  • Lisandro Martinez ni hatari kuliko mastraika wa pale United

    Amechangia kupatikana kwa alama 10 msimu huu za moja kwa moja

    Nimemwandika jana tu anavyoibeba United

    Na iwe kheri maana timu unatazama kama umebugizwa viazi vya moto mdomoni

    @ryno_perfume
    Lisandro Martinez ni hatari kuliko mastraika wa pale United😂🔥🙌 Amechangia kupatikana kwa alama 10 msimu huu za moja kwa moja✅ Nimemwandika jana tu anavyoibeba United✅🙌 Na iwe kheri maana timu unatazama kama umebugizwa viazi vya moto mdomoni🙌 @ryno_perfume
    Haha
    1
    · 1 Commenti ·0 condivisioni ·464 Views

  • ndugu zangu leo naomba nitoe taalifa y ndugu yetu YUSUPH MGWAB

    HUYU BABA ANATATIZO LA FIGO!! ZOTE MBILI ZIMEFAIL

    ANAISHI KWA MSAADA WA DIALYISIS! KIUKWELI KUNA CHANGAMOTO KUBWA IMEJITOKEZA KWENYE LINE YA KUFANYIA DIALYISIS

    NJIA IMEKUFA KWA MAANA AKIINGIZA KWENYE MASHINE DAMU ZINATOKA SI KAWAIDA INAPELEKEA DAMU KUMWAGIKA NA KWA SASA PANAPASWA MRIJA UWEKWE MKONONI AU MU
    MGUUNI !!!

    TUNAHITAJI 1,800,000TZSH ( MILLION MOJA NA LAKI NANE)

    WAKATI NAANDAA NAMNA YA KUMSAIDIA JANA IJUMAA ALIENDA KUFANYA TENA DIALYSIS LAKINI ALISHINDWA KABISA ALIPATA BARIDI KALI KAMA KIFAFA NA ILIBIDI AFANYIWE DIALYSIS ALIWA KWENYA MASHINE YA OXYGEN!

    HALI HII IMEKUWA HATARI NA IMEFANYA MADAKTARI WAMUANDIKIEEE

    NAOMBA NDUGU NIWAOMBE TUMSAIDIE HUYU BABA KWANI HATOWEZA KUFANYA DIALYSIS MPAKA APATE SINDANO HIZO 5 NA IKUMBUKE FIGO ZOTE MBILI ZIMEKUFA DIALYSIS NDIO UHAI WAKE





    0745787549
    Mpesa
    JABILI ALLY ISSA

    "KUTOA NI MOYO SI UTAJURI "
    ndugu zangu leo naomba nitoe taalifa y ndugu yetu YUSUPH MGWAB HUYU BABA ANATATIZO LA FIGO!! ZOTE MBILI ZIMEFAIL ANAISHI KWA MSAADA WA DIALYISIS! KIUKWELI KUNA CHANGAMOTO KUBWA IMEJITOKEZA KWENYE LINE YA KUFANYIA DIALYISIS NJIA IMEKUFA KWA MAANA AKIINGIZA KWENYE MASHINE DAMU ZINATOKA SI KAWAIDA INAPELEKEA DAMU KUMWAGIKA NA KWA SASA PANAPASWA MRIJA UWEKWE MKONONI AU MU MGUUNI !!! TUNAHITAJI 1,800,000TZSH ( MILLION MOJA NA LAKI NANE) WAKATI NAANDAA NAMNA YA KUMSAIDIA JANA IJUMAA ALIENDA KUFANYA TENA DIALYSIS LAKINI ALISHINDWA KABISA ALIPATA BARIDI KALI KAMA KIFAFA NA ILIBIDI AFANYIWE DIALYSIS ALIWA KWENYA MASHINE YA OXYGEN! HALI HII IMEKUWA HATARI NA IMEFANYA MADAKTARI WAMUANDIKIEEE NAOMBA NDUGU NIWAOMBE TUMSAIDIE HUYU BABA 😪😪😪 KWANI HATOWEZA KUFANYA DIALYSIS MPAKA APATE SINDANO HIZO 5 NA IKUMBUKE FIGO ZOTE MBILI ZIMEKUFA DIALYSIS NDIO UHAI WAKE 😣😣😥😥😥 0745787549 Mpesa JABILI ALLY ISSA "KUTOA NI MOYO SI UTAJURI " 🙏
    Sad
    1
    · 1 Commenti ·0 condivisioni ·699 Views
Pagine in Evidenza