Atualize para o Pro

  • Professional private property towing service in Port Tampa, Tampa provided by Ghost Towing & Recovery. We specialize in removing illegally parked, unauthorized, and abandoned vehicles from apartments, commercial properties, retail centers, and residential communities. Fast response, fully licensed, and reliable 24/7 towing solutions.

    https://ghoststowingandrecovery.com/service/private-property-towing/

    Professional private property towing service in Port Tampa, Tampa provided by Ghost Towing & Recovery. We specialize in removing illegally parked, unauthorized, and abandoned vehicles from apartments, commercial properties, retail centers, and residential communities. Fast response, fully licensed, and reliable 24/7 towing solutions. https://ghoststowingandrecovery.com/service/private-property-towing/
    ·472 Visualizações
  • Do you need a trusted disability attorney in St. Pete? Anderson Ackerman Disability provides compassionate legal help for people seeking benefits. We make sure your case is handled with care and attention.

    Visit Here:- https://www.andacklaw.com/

    #ClearwaterDisabilityAttorney
    #ClearwaterDisabilityLawyer
    #TampaSocialSecurityLawyer
    Do you need a trusted disability attorney in St. Pete? Anderson Ackerman Disability provides compassionate legal help for people seeking benefits. We make sure your case is handled with care and attention. Visit Here:- https://www.andacklaw.com/ #ClearwaterDisabilityAttorney #ClearwaterDisabilityLawyer #TampaSocialSecurityLawyer
    ·552 Visualizações
  • Solve the problem of patchy shade with Coastal Synthetic Turf Tampa. If your lawn struggles under large oaks or in narrow side yards, our premium artificial grass provides a flawless, evergreen solution. We turn those "impossible" growing zones into beautiful, usable spaces that stay green and lush regardless of sun exposure or root competition.
    https://www.google.com/maps?cid=15076508125629262161
    Solve the problem of patchy shade with Coastal Synthetic Turf Tampa. If your lawn struggles under large oaks or in narrow side yards, our premium artificial grass provides a flawless, evergreen solution. We turn those "impossible" growing zones into beautiful, usable spaces that stay green and lush regardless of sun exposure or root competition. https://www.google.com/maps?cid=15076508125629262161
    WWW.GOOGLE.COM
    Coastal Synthetic Turf Tampa · 1433 Massaro Blvd, Tampa, FL 33619
    ★★★★★ · Turf supplier
    ·562 Visualizações
  • Cristiano Ronaldo ni Ni moja ya Magwiji wakubwa Sana kwenye soccer Duniani hio Haina hata ubishi wowote... Lakini kwenye hao magwiji lazima utampata Gwiji namba moja, .... Na kama unaakili timamu lazima ulitaje jina la #LIONEL_MESSI ndiye mchezaji Bora Zaidi Duniani,.... Na kwenye huo Ubora unapimwa na vitu alivyo fanikiwa kubeba kwenye soccer ,... Sasa bwana huyu Mchawi mfupi hakuna kitu alicho kiacha kwenye Dunia ya Soka Kwa taarifa yenu

    Any way huyo Alie kua na Ronaldo ni nani
    🌀Cristiano Ronaldo ni Ni moja ya Magwiji wakubwa Sana kwenye soccer Duniani hio Haina hata ubishi wowote...✊ Lakini kwenye hao magwiji lazima utampata Gwiji namba moja, .... Na kama unaakili timamu lazima ulitaje jina la #LIONEL_MESSI ndiye mchezaji Bora Zaidi Duniani,.... Na kwenye huo Ubora unapimwa na vitu alivyo fanikiwa kubeba kwenye soccer ,... Sasa bwana huyu Mchawi mfupi hakuna kitu alicho kiacha kwenye Dunia ya Soka Kwa taarifa yenu😀 Any way huyo Alie kua na Ronaldo ni nani ❔❓😀
    ·1K Visualizações
  • BREAKING: Mmiliki wa West Ham David Sullivan atampa Graham Potter michezo mingine miwili ya kutetea kibarua chake kwenye kilabu.

    🏟 Michezo hiyo miwili ni dhid ya Wolves (away)
    🏟 Na dhid ya Nottm Forest (away)

    (Source : Graeme Bailey)

    #SportsElite
    🚨 BREAKING: Mmiliki wa West Ham David Sullivan atampa Graham Potter michezo mingine miwili ya kutetea kibarua chake kwenye kilabu. 🏟 Michezo hiyo miwili ni dhid ya Wolves (away) 🏟 Na dhid ya Nottm Forest (away) (Source : Graeme Bailey) #SportsElite
    ·854 Visualizações
  • VITU VINAVYO VUTA UTAJIRI SEHEMU YA PILI.

    #isaya 1:19
    Kama mkikubali na kutii mtakula mema ya nchi

    Kutokea kwenye andiko hili tunapata kanuni ya pili ambayo ikifuatwa inavuta utajiri .


    Kanuni hiyo ni UTII

    Maandiko yanasema ili mema ya nchi ya kufuate ni lazima *ukubali na kutiii*

    Utii ni kanuni katika ulimwengu wa roho ambayo mtu akiifuata lazima itampa matokeo tu.

    Kama unamcha Mungu na utaki kumtii Mungu bsi pia kanuni inakukataa .

    Uzuri wa kanuni hizi ni kuwa hata kama mtu asali lakini amezifuata zitampa matokeo tu ,serikari inapenda watu watii matajiri wanafanya biashara na kuwaaamini na kubebana na watu watii.

    Kuna kundi kubwa sana umaskini kwao siyo pepo bali ni kwa sababu wamekataa kutii tu na dunia ya mafanikio imewatapika kabisa.

    #Mungu alipo wavusha wana islaeri aliwapa kanuni ambazo kama wakifuata na kuzitii ndipo baraka zitatufuata na kama wakitoka nje laana zitawafuata.

    Kanuni ni lazima izingatiwe ikifuatwa inakupa baraka usipo ifuata inakupa laana .

    #Torati 28:1-14

    Kumbukumbu la Torati 28:1-2
    [1]Itakuwa utakaposikia sauti ya BWANA, Mungu wako, kwa bidii, kutunza kuyafanya maagizo yake yote nikuagizayo leo, ndipo BWANA, Mungu wako, atakapokutukuza juu ya mataifa yote ya duniani;

    [2]na baraka hizi zote zitakujilia na kukupata usikiapo sauti ya BWANA, Mungu wako.

    Baraka zinawafuata watu watii peke yake nje ya hapo baraka haziwezi kukufuata na matokeo yake utapata laana .

    Abrahamu sababu ya kutiii alistawi sana ,aliambiwa atoke kwenye nchi aliyo zaliwa aende nje ya kwao na sababu alitii mpaka leo anaitwa baba wa mataifa na baba wa imani.

    #Mwanzo 12:1-2
    [1]BWANA akamwambia Abramu, Toka wewe katika nchi yako, na jamaa zako, na nyumba ya baba yako, uende mpaka nchi nitakayokuonyesha;

    [2]nami nitakufanya wewe kuwa taifa kubwa, na kukubariki, na kulikuza jina lako; nawe uwe baraka;

    Napenda kuiutia moyo kuwa utiii ni kanuni na inapaswa kuwa tabia yako .

    Katika maisha ya kawaida mwanamke mwenye matokeo katika nyumba yake ni yule anaye kubali kuongozwana mume wake yaani anaye mtii mume wake .

    Ukishindwa kumtii mume wako umeshindwa kumtii Mungu uwezi pia kuvuta utajiri .

    Niwatakie jion njema na baraka tele .

    Kwa majina naitwa mwl sylvester Mwakabende kutoka (build new eden ministry).

    Karibu katika group letu la watsap .
    Tuma neno Add kwa namba .0622625340

    #restore men position
    #build new eden
    VITU VINAVYO VUTA UTAJIRI SEHEMU YA PILI. #isaya 1:19 Kama mkikubali na kutii mtakula mema ya nchi Kutokea kwenye andiko hili tunapata kanuni ya pili ambayo ikifuatwa inavuta utajiri . ▪️Kanuni hiyo ni UTII Maandiko yanasema ili mema ya nchi ya kufuate ni lazima *ukubali na kutiii* Utii ni kanuni katika ulimwengu wa roho ambayo mtu akiifuata lazima itampa matokeo tu. Kama unamcha Mungu na utaki kumtii Mungu bsi pia kanuni inakukataa . Uzuri wa kanuni hizi ni kuwa hata kama mtu asali lakini amezifuata zitampa matokeo tu ,serikari inapenda watu watii matajiri wanafanya biashara na kuwaaamini na kubebana na watu watii. Kuna kundi kubwa sana umaskini kwao siyo pepo bali ni kwa sababu wamekataa kutii tu na dunia ya mafanikio imewatapika kabisa. #Mungu alipo wavusha wana islaeri aliwapa kanuni ambazo kama wakifuata na kuzitii ndipo baraka zitatufuata na kama wakitoka nje laana zitawafuata. Kanuni ni lazima izingatiwe ikifuatwa inakupa baraka usipo ifuata inakupa laana . #Torati 28:1-14 Kumbukumbu la Torati 28:1-2 [1]Itakuwa utakaposikia sauti ya BWANA, Mungu wako, kwa bidii, kutunza kuyafanya maagizo yake yote nikuagizayo leo, ndipo BWANA, Mungu wako, atakapokutukuza juu ya mataifa yote ya duniani; [2]na baraka hizi zote zitakujilia na kukupata usikiapo sauti ya BWANA, Mungu wako. Baraka zinawafuata watu watii peke yake nje ya hapo baraka haziwezi kukufuata na matokeo yake utapata laana . Abrahamu sababu ya kutiii alistawi sana ,aliambiwa atoke kwenye nchi aliyo zaliwa aende nje ya kwao na sababu alitii mpaka leo anaitwa baba wa mataifa na baba wa imani. #Mwanzo 12:1-2 [1]BWANA akamwambia Abramu, Toka wewe katika nchi yako, na jamaa zako, na nyumba ya baba yako, uende mpaka nchi nitakayokuonyesha; [2]nami nitakufanya wewe kuwa taifa kubwa, na kukubariki, na kulikuza jina lako; nawe uwe baraka; Napenda kuiutia moyo kuwa utiii ni kanuni na inapaswa kuwa tabia yako . Katika maisha ya kawaida mwanamke mwenye matokeo katika nyumba yake ni yule anaye kubali kuongozwana mume wake yaani anaye mtii mume wake . Ukishindwa kumtii mume wako umeshindwa kumtii Mungu uwezi pia kuvuta utajiri . Niwatakie jion njema na baraka tele . Kwa majina naitwa mwl sylvester Mwakabende kutoka (build new eden ministry). Karibu katika group letu la watsap . Tuma neno Add kwa namba .0622625340 #restore men position #build new eden
    ·2K Visualizações
  • Mathayo 18:10- 12
    [10]Angalieni msidharau mmojawapo wadogo hawa; kwa maana nawaambia ya kwamba malaika wao mbinguni siku zote huutazama uso wa Baba yangu aliye mbinguni.

    *[11][Kwa maana Mwana wa Adamu alikuja kukiokoa kilichopotea.*

    Hili ndilo kusudi kubwa la Yesu lilikuwa ni kuja kukomboa kile kilicho ibiwa au kupotea na si kuja kukihukumu kile kilicho potea.

    Yesu alikuja ili amrejeze mwanadamu katika nafasi yake ambayo aliipoteza pale bustanini eden baada ya dhambi kuingia.

    Maandiko yanasema *"wote walio mpokea aliwapa uwezo wa kuwa wana"* na ukisha pata nafasi ya kuwa mwana unaanza kuwa na kazi sawa kabisa na Kristo Yesu ya kuwarudisha wanadamu wengine kwenye nafasi zao na ndio maana ya wokovu halisi.

    Badala ya kumtenga mpendwa aliye tenda dhambi kama mpendwa ambae umefanyika kuwa mwana unapaswa umuombee na kumrudisha kwenye nafasi yake ya kawaida.

    Yesu anatolea mfano huu
    Mathayo 18:12
    [12]Mwaonaje? Mtu akiwa na kondoo mia, mmoja akampotea, je! Hawaachi wale tisa na tisini, akaenda milimani, na kumtafuta yule aliyepotea?

    Sasa lazima tujue kama mfugaji anaweza kufanya hivyo ndivyo ata sisi watu tulio okoka tunapaswa kuishi na kutafuta kondoo wote kuwarudisha zizini kwani iko thawabu kubwa katika kufanya hivyo.

    Mfanye masihi wa Bwana ajivunie wewe katika huduma kama tu ukiweza kutokuwa na moyo wa choyo ubinsfsi na usengenyaji tunweza lete wengi Sana kwa Yesu na jina la yesu likatukuzwa sana.
    .Mathayo 7:1-2
    [1]Msihukumu, msije mkahukumiwa ninyi.
    Judge not, that ye be not judged.
    [2]Kwa kuwa hukumu ile mhukumuyo, ndiyo mtakayohukumiwa; na kipimo kile mpimiacho, ndicho mtakachopimiwa. .

    Kumbe ukiona ndugu yako anaanguka dhambini na wewe unamuona mwite mkanye ili kuutunza na kuhuheshimsha mwili wa Kristo Yesu.

    Ukisimamisha wengine na wewe itasimamishwa pia siku utakapo zimia moyo ,ukiwaacha wengine nawe utachwa siku utakapo zimia moyo .

    Tujifunze kuonyana kwa kila saa tunapo ona hatuendi tunavyo paswa kwenda wokovu ni kuonyana na kuchukuliana.

    Nikisema kuchukuliana simaanishi uingie dhambini hapana ila yakupasa kuchukuliana na wenzako ili uwarudishe watu kwenye nafasi ambayo Kristo anahiitaji .

    Kama ukifanya hivyo lazima taji upate sawa sawa na neno lake.

    Ufunuo wa Yohana 2:7
    [7]Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho ayaambia makanisa. Yeye ashindaye, nitampa kula matunda ya mti wa uzima, ulio katika bustani ya Mungu.

    Kukaa kwenye bustani ya Mungu siyo tu kwenda mbinguni unaanza ustawi wa maisha hapa duniani kisha uzima wa milele .

    Natumai tumejifunza kitu Mungu akubaliki sana tuwe na siku njema na asubui njema .

    Kwa mafundisho zaidi ya neno la Mungu karibu katika group
    https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4

    #build new eden
    #restore men position
    Mathayo 18:10- 12 [10]Angalieni msidharau mmojawapo wadogo hawa; kwa maana nawaambia ya kwamba malaika wao mbinguni siku zote huutazama uso wa Baba yangu aliye mbinguni. *[11][Kwa maana Mwana wa Adamu alikuja kukiokoa kilichopotea.* Hili ndilo kusudi kubwa la Yesu lilikuwa ni kuja kukomboa kile kilicho ibiwa au kupotea na si kuja kukihukumu kile kilicho potea. Yesu alikuja ili amrejeze mwanadamu katika nafasi yake ambayo aliipoteza pale bustanini eden baada ya dhambi kuingia. Maandiko yanasema *"wote walio mpokea aliwapa uwezo wa kuwa wana"* na ukisha pata nafasi ya kuwa mwana unaanza kuwa na kazi sawa kabisa na Kristo Yesu ya kuwarudisha wanadamu wengine kwenye nafasi zao na ndio maana ya wokovu halisi. Badala ya kumtenga mpendwa aliye tenda dhambi kama mpendwa ambae umefanyika kuwa mwana unapaswa umuombee na kumrudisha kwenye nafasi yake ya kawaida. Yesu anatolea mfano huu Mathayo 18:12 [12]Mwaonaje? Mtu akiwa na kondoo mia, mmoja akampotea, je! Hawaachi wale tisa na tisini, akaenda milimani, na kumtafuta yule aliyepotea? Sasa lazima tujue kama mfugaji anaweza kufanya hivyo ndivyo ata sisi watu tulio okoka tunapaswa kuishi na kutafuta kondoo wote kuwarudisha zizini kwani iko thawabu kubwa katika kufanya hivyo. Mfanye masihi wa Bwana ajivunie wewe katika huduma kama tu ukiweza kutokuwa na moyo wa choyo ubinsfsi na usengenyaji tunweza lete wengi Sana kwa Yesu na jina la yesu likatukuzwa sana. .Mathayo 7:1-2 [1]Msihukumu, msije mkahukumiwa ninyi. Judge not, that ye be not judged. [2]Kwa kuwa hukumu ile mhukumuyo, ndiyo mtakayohukumiwa; na kipimo kile mpimiacho, ndicho mtakachopimiwa. . Kumbe ukiona ndugu yako anaanguka dhambini na wewe unamuona mwite mkanye ili kuutunza na kuhuheshimsha mwili wa Kristo Yesu. Ukisimamisha wengine na wewe itasimamishwa pia siku utakapo zimia moyo ,ukiwaacha wengine nawe utachwa siku utakapo zimia moyo . Tujifunze kuonyana kwa kila saa tunapo ona hatuendi tunavyo paswa kwenda wokovu ni kuonyana na kuchukuliana. Nikisema kuchukuliana simaanishi uingie dhambini hapana ila yakupasa kuchukuliana na wenzako ili uwarudishe watu kwenye nafasi ambayo Kristo anahiitaji . Kama ukifanya hivyo lazima taji upate sawa sawa na neno lake. Ufunuo wa Yohana 2:7 [7]Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho ayaambia makanisa. Yeye ashindaye, nitampa kula matunda ya mti wa uzima, ulio katika bustani ya Mungu. Kukaa kwenye bustani ya Mungu siyo tu kwenda mbinguni unaanza ustawi wa maisha hapa duniani kisha uzima wa milele . Natumai tumejifunza kitu Mungu akubaliki sana tuwe na siku njema na asubui njema . Kwa mafundisho zaidi ya neno la Mungu karibu katika group https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4 #build new eden #restore men position
    ·2K Visualizações
  • Ukiomba maji kwa maskini kunywa yote itampa furaha kuwa amekusaidia,ukiomba maji kwa tajiri kunywa bakisha asikuone kuwa una shida sana✍
    Ukiomba maji kwa maskini kunywa yote itampa furaha kuwa amekusaidia,ukiomba maji kwa tajiri kunywa bakisha asikuone kuwa una shida sana✍
    Love
    1
    ·648 Visualizações
  • Naitwa calvin nina miaka 27, namshukuru Mungu kuniweka salama hadi leo na sina changamoto yoyote ya kiafya,Siishi nyumbani nimejitegemea(geto),

    Shida yangu ilianza nilipopata kazi mwaka jana Nikawa bize sana kuipambania future yangu kwani umasikini nilikuwa nisha onja radha yake,

    Nilipokuwa bize mpenzi wangu alianza kunihisi namcheat kwani sitengi muda mwingi kwaajili yake kama zamani,,(Nikumbushe kitu Wanaume wasio na kazi wanaharibu sana mahusiano ya watu na hii kwa sababu muda wowote wakihitajika wanapatikana),,tuendelee

    Baada ya muda kidogo Akaamua kuniacha kabisa sababu alitaka niwe nae muda mwingi kama ilivyokuwa kipindi sina kazi,,

    Tangu hapo nikawa single nikaamua kudiri na future yangu namshukuru Mungu katika hilo nimefanikiwa Asilimia fulani,,Shida yangu kubwa iliyo nileta hapa nikutafuta mchumba,,

    Nimekua bize sana na kazi hata ninaowapata nikidet nao,kutokana na ubize wangu wanahisi sina malengo nao kwani siwapi muda wanaotaka wao,,wanaamua kumove on,,lakini pia Kwa eneo ninaloishi Asilimia kubwa ya mabinti ninao wapata wamerekodiwa video za faragha na ma-x zao,

    Unaweza pata binti fresh mkadet vizuri tu shida itakuja utakapo watambulisha marafiki zako,Watakupa kila kitu kumhusu huyo binti hadi list ya wanaume aliolala nao na ukibisha wanakuonyesha video za faragha,

    Hii kitu imenikuta mara kibao sana na inavunja moyo kumuona unae mpenda kavuliwa nguo na mwanaume mwingne hili eneo nililopo natamani nitoke niende sehemu nyingine,Nikakae japo kwa muda kidogo labda nitabahatika kupata wa kuendana nae lakini kazi zimenibana,,nakosa huo muda

    Sina mtoto na wala sijawahi kuoa,Natamani nipate mwanamke ambae hana mtoto na hajawahi kuolewa,mwenye hofu ya Mungu na mwenye Akili timamu,,Umri asinizidi awe chini yangu,Asiwe mnene sana,awe msafi wa ndani na nje,asiwe na tatoo wala brich

    Akipatikana nikamuelewa nipo tayari kuanza nae ukurasa mpya,,Naahidi kama ataniheshimu na kunisikiliza nitampenda na kumthamini,,

    Naamin huenda kupitia page hii nitampata alie sahihi,,whatsp No;0748374716,,cha kwanza tuma picha isiyo na filter

    La mwisho kabisa mabinti mkiwa kwenye mahusiano msikubali kurekodiwa,siku mkiachana hiyo clip itatumika kama uthibitisho kama umeshaliwa,,Nakama umerekodiwa kaa ukijua mashemeji zako wamesha onyweshwa faragha yako,,,
    Naitwa calvin nina miaka 27, namshukuru Mungu kuniweka salama hadi leo na sina changamoto yoyote ya kiafya,Siishi nyumbani nimejitegemea(geto), Shida yangu ilianza nilipopata kazi mwaka jana Nikawa bize sana kuipambania future yangu kwani umasikini nilikuwa nisha onja radha yake, Nilipokuwa bize mpenzi wangu alianza kunihisi namcheat kwani sitengi muda mwingi kwaajili yake kama zamani,,(Nikumbushe kitu Wanaume wasio na kazi wanaharibu sana mahusiano ya watu na hii kwa sababu muda wowote wakihitajika wanapatikana),,tuendelee👇👇 Baada ya muda kidogo Akaamua kuniacha kabisa sababu alitaka niwe nae muda mwingi kama ilivyokuwa kipindi sina kazi,, Tangu hapo nikawa single nikaamua kudiri na future yangu namshukuru Mungu katika hilo nimefanikiwa Asilimia fulani,,Shida yangu kubwa iliyo nileta hapa nikutafuta mchumba,, Nimekua bize sana na kazi hata ninaowapata nikidet nao,kutokana na ubize wangu wanahisi sina malengo nao kwani siwapi muda wanaotaka wao,,wanaamua kumove on,,lakini pia Kwa eneo ninaloishi Asilimia kubwa ya mabinti ninao wapata wamerekodiwa video za faragha na ma-x zao, Unaweza pata binti fresh mkadet vizuri tu shida itakuja utakapo watambulisha marafiki zako,Watakupa kila kitu kumhusu huyo binti hadi list ya wanaume aliolala nao na ukibisha wanakuonyesha video za faragha, Hii kitu imenikuta mara kibao sana na inavunja moyo kumuona unae mpenda kavuliwa nguo na mwanaume mwingne hili eneo nililopo natamani nitoke niende sehemu nyingine,Nikakae japo kwa muda kidogo labda nitabahatika kupata wa kuendana nae lakini kazi zimenibana,,nakosa huo muda Sina mtoto na wala sijawahi kuoa,Natamani nipate mwanamke ambae hana mtoto na hajawahi kuolewa,mwenye hofu ya Mungu na mwenye Akili timamu,,Umri asinizidi awe chini yangu,Asiwe mnene sana,awe msafi wa ndani na nje,asiwe na tatoo wala brich Akipatikana nikamuelewa nipo tayari kuanza nae ukurasa mpya,,Naahidi kama ataniheshimu na kunisikiliza nitampenda na kumthamini,, Naamin huenda kupitia page hii nitampata alie sahihi,,whatsp No;0748374716,,cha kwanza tuma picha isiyo na filter La mwisho kabisa mabinti mkiwa kwenye mahusiano msikubali kurekodiwa,siku mkiachana hiyo clip itatumika kama uthibitisho kama umeshaliwa,,Nakama umerekodiwa kaa ukijua mashemeji zako wamesha onyweshwa faragha yako,,,
    Like
    2
    ·2K Visualizações
  • ....|| AFISA NISHATI NA MAWASILIANO KUTUA JANGWANI

    Anaitwa Micky Harvey Ossété,Raia wa Congo-Brazzavile,huyu ni kiungo Mkabaji tegemezi katika kikosi cha Saint Eloi Lupopo ya Kinshasa Congo ,huyu mwamba anakaba mpaka Mawimbi ya sauti za Mashabiki,anajua pia kufunga na kuanziasha Mashambulizi,ndiyo kiungo Shoka pale Congo Brazzaville Katika michuano yote ya kimataifa yaliyohusisha timu za Taifa kwa asilimia zaidi ya 85 ametumikakatika kikosi cha timu ya Taifa ya Congo Brazzaville ,pia Saint Eloi Lupopo imemtumia sana katika kusaka tiketi ya kufuzu hatua za Makundi CAF Confederation Cup
    hata hivyo vilabu kadhaa Africa kusini vipo kwenye vita Kali kupata Saini yake
    ikiwa Yanga tutampata huyu mwamba basi tatizo la Mawasiliano na miundombinu uwanjani basi litakuwa limetibika

    Ossété yupo tayari kujiunga na Yanga ,japo kwa upande wetu yanga bado halijawekwa wazi.

    Kama uhamisho wake ukikamilika basi defensive Midfielders watakuwa hawa
    1.Duke Abuya(on loan)
    2.Khalid Aucho
    3.Micky Harvey Ossété
    5.Aziz Andambwile

    Je wewe unampa nafasi nani hasa???
    .🚨...|| AFISA NISHATI NA MAWASILIANO KUTUA JANGWANI🔰 ➡️ Anaitwa Micky Harvey Ossété,Raia wa Congo-Brazzavile🇨🇬,huyu ni kiungo Mkabaji tegemezi katika kikosi cha Saint Eloi Lupopo ya Kinshasa Congo 🇨🇩,huyu mwamba anakaba mpaka Mawimbi ya sauti za Mashabiki,anajua pia kufunga na kuanziasha Mashambulizi,ndiyo kiungo Shoka pale Congo Brazzaville 🇨🇬 Katika michuano yote ya kimataifa yaliyohusisha timu za Taifa kwa asilimia zaidi ya 85 ametumikakatika kikosi cha timu ya Taifa ya Congo Brazzaville 🇨🇬,pia Saint Eloi Lupopo imemtumia sana katika kusaka tiketi ya kufuzu hatua za Makundi CAF Confederation Cup ✨ hata hivyo vilabu kadhaa Africa kusini 🇿🇦 vipo kwenye vita Kali kupata Saini yake ikiwa Yanga tutampata huyu mwamba basi tatizo la Mawasiliano na miundombinu uwanjani basi litakuwa limetibika ➡️ Ossété yupo tayari kujiunga na Yanga 🔰,japo kwa upande wetu yanga bado halijawekwa wazi. Kama uhamisho wake ukikamilika basi defensive Midfielders watakuwa hawa ⤵️ 1.Duke Abuya(on loan)🇰🇪 2.Khalid Aucho🇺🇬 3.Micky Harvey Ossété 🇨🇬 5.Aziz Andambwile 🇹🇿 Je wewe unampa nafasi nani hasa???
    Like
    Love
    4
    ·567 Visualizações
  • Taarifa kutoka Nchini Misri zinadai kuwa klabu ya Al Ahly SC ya Misri ina mpango kumsajili Cristiano Ronaldo kwa mkataba wa mkopo wa miezi sita (6) kwa ajili ya mashindano ya Kombe la Dunia la Vilabu pekee ambayo inatarajiwa kuchezwa Nchini Marekani.

    Khaled Mortagy ambaye ni Mweka hazina wa klabu ya Al Ahly akiwa katika Runinga ya klabu hiyo Al Ahly TV usiku wa kuamkia leo, amesema kuwa hakuna kikomo cha kifedha kwa kumsajili Mchezaji yeyote kwenye klabu yao ya Al Ahly.

    Mweka hazina huyo amesasema kuwa Mchezaji yeyote anatakiwa na Kocha wao Marcel Koller watampatia. Mortagy ana matumaini makubwa ya kumsajili Cristiano Ronaldo kabla ya michuano ya Kombe la Dunia la Vilabu huku akimalizia kwa kusema kuwa inaweza kuwa vigumu lakini uamuzi uko mikononi mwa Rais klabu yao Mahmoud El Khatib kwa kuwa lipo linashughulikiwa.

    Taarifa kutoka Nchini Misri zinadai kuwa klabu ya Al Ahly SC ya Misri ina mpango kumsajili Cristiano Ronaldo kwa mkataba wa mkopo wa miezi sita (6) kwa ajili ya mashindano ya Kombe la Dunia la Vilabu pekee ambayo inatarajiwa kuchezwa Nchini Marekani. Khaled Mortagy ambaye ni Mweka hazina wa klabu ya Al Ahly akiwa katika Runinga ya klabu hiyo Al Ahly TV usiku wa kuamkia leo, amesema kuwa hakuna kikomo cha kifedha kwa kumsajili Mchezaji yeyote kwenye klabu yao ya Al Ahly. Mweka hazina huyo amesasema kuwa Mchezaji yeyote anatakiwa na Kocha wao Marcel Koller watampatia. Mortagy ana matumaini makubwa ya kumsajili Cristiano Ronaldo kabla ya michuano ya Kombe la Dunia la Vilabu huku akimalizia kwa kusema kuwa inaweza kuwa vigumu lakini uamuzi uko mikononi mwa Rais klabu yao Mahmoud El Khatib kwa kuwa lipo linashughulikiwa.
    ·398 Visualizações
  • Mama John alienda kumuona daktari ambaye ni ***** yake na mazungumzo yao yalikuwa hivi:-

    Mama John: Best mume wangu haniridhishi kabisa kwenye tendo la ndoa kama una dawa yoyote nipatie kabla uzalendo haujanishinda.

    Daktari: Mh sawa kuna dawa hapa wacha nikupatie ukaijaribu (akafungua droo akatoa kikopo kidogo cha dawa) umuwekee shemeji kidonge kimoja kila siku kwenye kinywaji chochote kabla ya tendo.

    Basi Mama John akaondoka na kile kikopo, kweli mume wake aliporudi aliandaa juis akaweka na kidonge kimoja akampa mumewe akanywa. Siku ile walifanya tendo mpaka roho yake ikasuuzika.

    Siku ya pili akaona amuwekee vidonge viwili aone itakuaje, walifanya tendo mara mbili ya jana. Akazidi kufurahi.

    Siku ya tatu akafikiria hivi akimuwekea vidonge vyote vilivyobaki show yake itakuwaje? Mbona daktari ni ***** yake atampatia vingine hata kwa gharama yoyote atavinunua. Mumewe aliporudi akaandaa juisi kama kawaida akavimimina vyote.

    Siku ya nne yule daktari aliamua kumpigia simu baada ya kuona kimya ili apate mrejesho wa ile dawa

    Cha kustaajabisha simu yake ilipokelewa na mtoto wa kiume huku akitweta, ambaye bila shaka ndiye John. Alipouluzwa mama yake yupo wapi ndio akaanza kufunguka...

    "Mama yupo ICU muhimbili, shangazi naye kalazwa hukohuko, dada wa kazi katoroka, mimi mwenyewe hapa mk *** unaniuma vibaya mpaka damu zinatoka"

    Kengele ya hatari ikagonga kichwani kwa daktari akamuuliza baba je yupo wapi? Akajibu

    "Baba yupo huko nje kachanganyikwa yupo uchi uchi anakimbiza kila anayepita huku anaimba ...nataka k*. nataka... k*. mpaka kuku na mbwa wote wanamkimbia kunusuru maisha yao

    @highlight@highlightaPeter Joram
    Mama John alienda kumuona daktari ambaye ni shoga yake na mazungumzo yao yalikuwa hivi:- Mama John: Best mume wangu haniridhishi kabisa kwenye tendo la ndoa kama una dawa yoyote nipatie kabla uzalendo haujanishinda. Daktari: Mh sawa kuna dawa hapa wacha nikupatie ukaijaribu (akafungua droo akatoa kikopo kidogo cha dawa) umuwekee shemeji kidonge kimoja kila siku kwenye kinywaji chochote kabla ya tendo. Basi Mama John akaondoka na kile kikopo, kweli mume wake aliporudi aliandaa juis akaweka na kidonge kimoja akampa mumewe akanywa. Siku ile walifanya tendo mpaka roho yake ikasuuzika. Siku ya pili akaona amuwekee vidonge viwili aone itakuaje, walifanya tendo mara mbili ya jana. Akazidi kufurahi. Siku ya tatu akafikiria hivi akimuwekea vidonge vyote vilivyobaki show yake itakuwaje? Mbona daktari ni shoga yake atampatia vingine hata kwa gharama yoyote atavinunua. Mumewe aliporudi akaandaa juisi kama kawaida akavimimina vyote. Siku ya nne yule daktari aliamua kumpigia simu baada ya kuona kimya ili apate mrejesho wa ile dawa Cha kustaajabisha simu yake ilipokelewa na mtoto wa kiume huku akitweta, ambaye bila shaka ndiye John. Alipouluzwa mama yake yupo wapi ndio akaanza kufunguka... "Mama yupo ICU muhimbili, shangazi naye kalazwa hukohuko, dada wa kazi katoroka, mimi mwenyewe hapa mk *** unaniuma vibaya mpaka damu zinatoka" Kengele ya hatari ikagonga kichwani kwa daktari akamuuliza baba je yupo wapi? Akajibu "Baba yupo huko nje kachanganyikwa yupo uchi uchi anakimbiza kila anayepita huku anaimba ...nataka k*.😯 nataka... k*.😯 mpaka kuku na mbwa wote wanamkimbia kunusuru maisha yao😂😂😂😂😂😂😂😂 @highlight@highlightaPeter Joram
    Like
    Love
    Haha
    3
    ·1K Visualizações
  • Mama John alienda kumuona daktari ambaye ni ***** yake na mazungumzo yao yalikuwa hivi:-

    Mama John: Best mume wangu haniridhishi kabisa kwenye tendo la ndoa kama una dawa yoyote nipatie kabla uzalendo haujanishinda.

    Daktari: Mh sawa kuna dawa hapa wacha nikupatie ukaijaribu (akafungua droo akatoa kikopo kidogo cha dawa) umuwekee shemeji kidonge kimoja kila siku kwenye kinywaji chochote kabla ya tendo.

    Basi Mama John akaondoka na kile kikopo, kweli mume wake aliporudi aliandaa juis akaweka na kidonge kimoja akampa mumewe akanywa. Siku ile walifanya tendo mpaka roho yake ikasuuzika.

    Siku ya pili akaona amuwekee vidonge viwili aone itakuaje, walifanya tendo mara mbili ya jana. Akazidi kufurahi.

    Siku ya tatu akafikiria hivi akimuwekea vidonge vyote vilivyobaki show yake itakuwaje? Mbona daktari ni ***** yake atampatia vingine hata kwa gharama yoyote atavinunua. Mumewe aliporudi akaandaa juisi kama kawaida akavimimina vyote.

    Siku ya nne yule daktari aliamua kumpigia simu baada ya kuona kimya ili apate mrejesho wa ile dawa

    Cha kustaajabisha simu yake ilipokelewa na mtoto wa kiume huku akitweta, ambaye bila shaka ndiye John. Alipouluzwa mama yake yupo wapi ndio akaanza kufunguka...

    "Mama yupo ICU muhimbili, shangazi naye kalazwa hukohuko, dada wa kazi katoroka, mimi mwenyewe hapa mk*nd* unaniuma vibaya mpaka damu zinatoka"

    Kengele ya hatari ikagonga kichwani kwa daktari akamuuliza baba je yupo wapi? Akajibu

    "Baba yupo huko nje kachanganyikwa yupo uchi uchi anakimbiza kila anayepita huku anaimba ...nataka k*ma... nataka... k*ma... mpaka kuku na mbwa wote wanamkimbia kunusuru maisha yao

    Mama John alienda kumuona daktari ambaye ni shoga yake na mazungumzo yao yalikuwa hivi:- Mama John: Best mume wangu haniridhishi kabisa kwenye tendo la ndoa kama una dawa yoyote nipatie kabla uzalendo haujanishinda. Daktari: Mh sawa kuna dawa hapa wacha nikupatie ukaijaribu (akafungua droo akatoa kikopo kidogo cha dawa) umuwekee shemeji kidonge kimoja kila siku kwenye kinywaji chochote kabla ya tendo. Basi Mama John akaondoka na kile kikopo, kweli mume wake aliporudi aliandaa juis akaweka na kidonge kimoja akampa mumewe akanywa. Siku ile walifanya tendo mpaka roho yake ikasuuzika. Siku ya pili akaona amuwekee vidonge viwili aone itakuaje, walifanya tendo mara mbili ya jana. Akazidi kufurahi. Siku ya tatu akafikiria hivi akimuwekea vidonge vyote vilivyobaki show yake itakuwaje? Mbona daktari ni shoga yake atampatia vingine hata kwa gharama yoyote atavinunua. Mumewe aliporudi akaandaa juisi kama kawaida akavimimina vyote. Siku ya nne yule daktari aliamua kumpigia simu baada ya kuona kimya ili apate mrejesho wa ile dawa Cha kustaajabisha simu yake ilipokelewa na mtoto wa kiume huku akitweta, ambaye bila shaka ndiye John. Alipouluzwa mama yake yupo wapi ndio akaanza kufunguka... "Mama yupo ICU muhimbili, shangazi naye kalazwa hukohuko, dada wa kazi katoroka, mimi mwenyewe hapa mk*nd* unaniuma vibaya mpaka damu zinatoka" Kengele ya hatari ikagonga kichwani kwa daktari akamuuliza baba je yupo wapi? Akajibu "Baba yupo huko nje kachanganyikwa yupo uchi uchi anakimbiza kila anayepita huku anaimba ...nataka k*ma... nataka... k*ma... mpaka kuku na mbwa wote wanamkimbia kunusuru maisha yao😂😂😂😂😂😂😂😂
    Like
    Yay
    2
    1 Comentários ·714 Visualizações