Socialpop Socialpop
نتائج البحث
عرض كل النتائج
  • انضم إلينا
    تسجيل الدخول
    تسجيل
    البحث
    الوضع المظلم

البحث

إكتشاف أشخاص جدد وإنشاء اتصالات جديدة وصداقات جديدة

  • أخر الأخبار
  • استكشف
  • الصفحات
  • المجموعات
  • المناسبات
  • المدونات
  • سوق المنتجات
  • التمويل
  • مفاوضاتي
  • وظائف
  • Courses
  • المنتديات
  • الافلام
  • المطوريين
  • المنشورات
  • المدونات
  • المستخدمون
  • الصفحات
  • المجموعات
  • المناسبات
  • Soccer Sports
    أضاف صورة
    2025-10-02 22:49:49 -
    Jiunge na group la Whatsapp la {Tusaidiane Foundation } bure, weka namba zako za Whatsapp tukuunge uweze kuwahi nafasi na utaratibu utapewa mala baada ya kujiunga.
    Usidanyanywe na matapeli kujiunga ni Bure kabisa na ukihitaji maelekezo zaidi tupigie simu ama njoo Whatsapp 0625007469.
    #yangasc
    #simba
    #sindaboyproentertainment
    #sokachampions
    #diamondplatnumz
    #betpawatz #Betikatz #DigitalComedy #betpawa #mchome #Tusaidianefaundation #KAILASA #JUWA #AzamTVMAX
    Jiunge na group la Whatsapp la {Tusaidiane Foundation } bure, weka namba zako za Whatsapp tukuunge uweze kuwahi nafasi na utaratibu utapewa mala baada ya kujiunga. Usidanyanywe na matapeli kujiunga ni Bure kabisa na ukihitaji maelekezo zaidi tupigie simu ama njoo Whatsapp 0625007469. #yangasc #simba #sindaboyproentertainment #sokachampions #diamondplatnumz #betpawatz #Betikatz #DigitalComedy #betpawa #mchome #Tusaidianefaundation #KAILASA #JUWA #AzamTVMAX
    1 التعليقات 0 المشاركات 4كيلو بايت مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Sports Elite أضاف صورة
    2025-08-25 08:36:06 -
    SIKU YA MWANANCHI

    #EXCLUSIVE;Timu ya Wananchi Yanga inatarajiwa kucheza mchezo wa kimataifa wa kirafiki siku ya mwananchi tarehe 12.9.2025 dhidi ya timu ya BANDARI FC kutoka nchini Kenya.

    #BandariFc #SikuYaMwananchi #YangaSC

    #SportsElite
    SIKU YA MWANANCHI 🚨#EXCLUSIVE;Timu ya Wananchi Yanga inatarajiwa kucheza mchezo wa kimataifa wa kirafiki siku ya mwananchi tarehe 12.9.2025 dhidi ya timu ya BANDARI FC kutoka nchini Kenya. #BandariFc #SikuYaMwananchi #YangaSC #SportsElite
    0 التعليقات 0 المشاركات 1كيلو بايت مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Sports Elite أضاف 2 الصور
    2025-07-29 14:07:56 -
    ✍🏿RASMI :Klabu ya soka ya Young Africans imeendelea kuimarisha benchi lake la ufundi kwa kuongeza watu wawili ambao ni

    Manu Rodriguez - kocha msaidizi

    Tshephang Makaila - Kocha wa mazoezi ya viungo

    #BaseTvsportnews #NBCPremierLeague #sokalaAfrika #yangasc
    #SportsElite
    🚨📜✍🏿🔰RASMI :Klabu ya soka ya Young Africans imeendelea kuimarisha benchi lake la ufundi kwa kuongeza watu wawili ambao ni Manu Rodriguez - kocha msaidizi Tshephang Makaila - Kocha wa mazoezi ya viungo #BaseTvsportnews #NBCPremierLeague #sokalaAfrika #yangasc #SportsElite
    0 التعليقات 0 المشاركات 2كيلو بايت مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • David Atto
    أضاف صورة
    2025-07-10 18:42:59 -
    𝐓𝐎𝐅𝐀𝐋𝐈 𝐋𝐀 𝐔𝐁𝐈𝐍𝐆𝐖𝐀👊🏼 Hii ni Yetu wote WANANCHI.

    HIi ni Kampeni Kubwa itakayobeba Safari yetu ya MAFANIKIO Msimu wa 2025/26.

    Kila shabiki wa @yangasc Duniani atatakiwa kununua 𝐓𝐎𝐅𝐀𝐋𝐈 𝐋𝐀 𝐔𝐁𝐈𝐍𝐆𝐖𝐀 kwa Kulipa Ada ya Mwaka ya Uwanachama wa Klabu Yetu.

    MALENGO ni kupata MATOFALI MILIONI 1 kwa Wanayanga watakaolipia Ada zao kwa njia ya Kimtandao.

    Tukifanikisha hili, Tutakuwa tumefanikisha MAMBO MAKUBWA MAWILI Wanayanga wenzangu

    1: Tumepata HELA ya kufanya USAJILI MKUBWA utakaotupa Timu Bora zaidi ya ilivyokuwa Msimu huu.

    2: Tumepata Bajeti nzuri ya kuiwezesha @yangasc Yetu kushindana kikamilifu katika mashindano Yote [Ya ndani na Yale ya CAF].

    𝐓𝐎𝐅𝐀𝐋𝐈 𝐋𝐀 𝐔𝐁𝐈𝐍𝐆𝐖𝐀 Litauzwa Tsh 24,000

    Tuhakikishe kuanzia kesho Kila Mwanayanga awe Na 𝐓𝐎𝐅𝐀𝐋𝐈 𝐋𝐀 𝐔𝐁𝐈𝐍𝐆𝐖𝐀 ili Tuijenge kwa Pamoja YANGA BINGWA MSIMU UJAO👊🏼

    Daima Mbele Nyuma Mwiko.
    𝐓𝐎𝐅𝐀𝐋𝐈 𝐋𝐀 𝐔𝐁𝐈𝐍𝐆𝐖𝐀👊🏼 Hii ni Yetu wote WANANCHI. HIi ni Kampeni Kubwa itakayobeba Safari yetu ya MAFANIKIO Msimu wa 2025/26. Kila shabiki wa @yangasc Duniani atatakiwa kununua 𝐓𝐎𝐅𝐀𝐋𝐈 𝐋𝐀 𝐔𝐁𝐈𝐍𝐆𝐖𝐀 kwa Kulipa Ada ya Mwaka ya Uwanachama wa Klabu Yetu. MALENGO ni kupata MATOFALI MILIONI 1 kwa Wanayanga watakaolipia Ada zao kwa njia ya Kimtandao. Tukifanikisha hili, Tutakuwa tumefanikisha MAMBO MAKUBWA MAWILI Wanayanga wenzangu 1: Tumepata HELA ya kufanya USAJILI MKUBWA utakaotupa Timu Bora zaidi ya ilivyokuwa Msimu huu. 2: Tumepata Bajeti nzuri ya kuiwezesha @yangasc Yetu kushindana kikamilifu katika mashindano Yote [Ya ndani na Yale ya CAF]. 𝐓𝐎𝐅𝐀𝐋𝐈 𝐋𝐀 𝐔𝐁𝐈𝐍𝐆𝐖𝐀 Litauzwa Tsh 24,000 ✅ Tuhakikishe kuanzia kesho Kila Mwanayanga awe Na 𝐓𝐎𝐅𝐀𝐋𝐈 𝐋𝐀 𝐔𝐁𝐈𝐍𝐆𝐖𝐀 ili Tuijenge kwa Pamoja YANGA BINGWA MSIMU UJAO👊🏼 Daima Mbele Nyuma Mwiko🔰.
    Like
    1
    0 التعليقات 0 المشاركات 1كيلو بايت مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Kelvin John أضاف صورة
    2025-01-13 12:31:54 -
    Wakati kuna baadhi ya Wachezaji wanaenda kufanya maombi kwa viongozi wa dini ili kurudisha viwango vyao Mwamba wa uwagadugu anachage tuh nywele nyeusi kwenda nyeupe kiwango kimerudi

    Mechi 2 za mwisho CAF Champions magoli 2, Ki Aziz Kujiamini kumerudi, mashuti yamerudi namuona akiendelea na makali yake ya msimu uliopita

    #muslehelbarcaupdates

    #yangasc #CAFChampionsLeague
    Wakati kuna baadhi ya Wachezaji wanaenda kufanya maombi kwa viongozi wa dini ili kurudisha viwango vyao Mwamba wa uwagadugu anachage tuh nywele nyeusi kwenda nyeupe kiwango kimerudi 😂 Mechi 2 za mwisho CAF Champions magoli 2, Ki Aziz Kujiamini kumerudi, mashuti yamerudi namuona akiendelea na makali yake ya msimu uliopita 🔥 #muslehelbarcaupdates 👽 #yangasc #CAFChampionsLeague
    Like
    2
    1 التعليقات 0 المشاركات 2كيلو بايت مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Kelvin John أضاف صورة
    2025-01-12 10:02:08 -
    Kila la heri @yangasc kwenye mchezo wa leo wa Ligi ya Mabingwa Afrika.

    @CAF_Online @CAFCLCC @ligikuu @tanfootball
    Kila la heri @yangasc kwenye mchezo wa leo wa Ligi ya Mabingwa Afrika. @CAF_Online @CAFCLCC @ligikuu @tanfootball
    Like
    2
    2 التعليقات 0 المشاركات 2كيلو بايت مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • NELIUD COSIAH أضاف صورة
    2024-12-23 09:36:55 -
    Tumewasili Dodoma salama.
    #timuyawananchi
    #yangasc
    #neliudcosiah
    Tumewasili Dodoma salama. #timuyawananchi #yangasc #neliudcosiah
    Like
    2
    0 التعليقات 0 المشاركات 1كيلو بايت مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • NELIUD COSIAH أضاف صورة
    2024-12-20 07:24:09 -
    Habari za ahsubuh wananchi kutoka kwa mwana wa mfalme Prince Dube
    #timuyawananchi
    #yangasc
    #daimambelenyumamwiko
    Habari za ahsubuh wananchi kutoka kwa mwana wa mfalme Prince Dube 😂😀💪 #timuyawananchi #yangasc #daimambelenyumamwiko
    Like
    1
    0 التعليقات 0 المشاركات 1كيلو بايت مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • NELIUD COSIAH أضاف صورة
    2024-12-15 06:30:59 -
    Safari ya kurejea nyumbani imeanza
    #timuyawananchi
    #yangasc
    #neliudcosiah
    Safari ya kurejea nyumbani imeanza #timuyawananchi #yangasc #neliudcosiah
    Like
    3
    0 التعليقات 0 المشاركات 1كيلو بايت مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • NELIUD COSIAH أضاف صورة
    2024-12-12 10:29:12 -
    Kikosi cha @yangasc kinachosafiri Leo kuelea DRC CONGO kuvaana na TP MAZEMBE klabu bingwa Africa, mchezo utapigwa tarehe 14/12/2024

    Kikosi cha @yangasc kinachosafiri Leo kuelea DRC CONGO kuvaana na TP MAZEMBE klabu bingwa Africa, mchezo utapigwa tarehe 14/12/2024
    Like
    1
    0 التعليقات 0 المشاركات 967 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • David Atto
    2024-11-27 05:19:26 -
    NI KWELI YANGA IMEFUNGWA, LAKINI...

    Masaa yangu manne (4) mtandaoni nikipitia maoni ya wadau wa soka kuhusu matokeo ya @yangasc kufungwa mabao 2-0 na Al Hilal leo, yamenikumbusha Novemba 24, 2023 wakati Yanga hii hii ikifungwa mabao 3-0 na CR Belouizdad (ugenini).

    Maoni hayo ya wadau yakanipeleka Disemba 2, 2023 wakati Yanga ikilazimishwa sare ya 1-1 dhidi ya Al Ahly (nyumbani), yote hayo kwenye hatua ya makundi ya michuano hii hii ya Ligi ya Mabingwa Afrika.
    Mnakumbuka kilichofuata baada ya hapo?.

    Yanga walimaliza hatua ya makundi wakiwa nafasi ya pili na wakafuzu hatua ya robo fainali ambako waliondolewa tu kwa mambo yasiyofaa kuyaelezea sana.

    Leo wameanza tena hatua ya makundi kwa kupoteza, ni matokeo mabaya kwa klabu na watanzania kwa ujumla....ila nadhani kuna umuhimu wa kuhifadhi baadhi ya maneno yetu. Football ina mambo yake na inapenda sana kuheshimiwa na watu wa rika zote, tusijimalize.

    #Kumbukeni, 'wakali' kutoka @ligikuu ya @nbc_tanzania hawaanguki jumla, wanajikwaa wanainuka haraka, safari inaendelea

    #LadhaZaLigiKuu
    NI KWELI YANGA IMEFUNGWA, LAKINI... Masaa yangu manne (4) mtandaoni nikipitia maoni ya wadau wa soka kuhusu matokeo ya @yangasc kufungwa mabao 2-0 na Al Hilal leo, yamenikumbusha Novemba 24, 2023 wakati Yanga hii hii ikifungwa mabao 3-0 na CR Belouizdad (ugenini). Maoni hayo ya wadau yakanipeleka Disemba 2, 2023 wakati Yanga ikilazimishwa sare ya 1-1 dhidi ya Al Ahly (nyumbani), yote hayo kwenye hatua ya makundi ya michuano hii hii ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Mnakumbuka kilichofuata baada ya hapo?. Yanga walimaliza hatua ya makundi wakiwa nafasi ya pili na wakafuzu hatua ya robo fainali ambako waliondolewa tu kwa mambo yasiyofaa kuyaelezea sana. Leo wameanza tena hatua ya makundi kwa kupoteza, ni matokeo mabaya kwa klabu na watanzania kwa ujumla....ila nadhani kuna umuhimu wa kuhifadhi baadhi ya maneno yetu. Football ina mambo yake na inapenda sana kuheshimiwa na watu wa rika zote, tusijimalize. #Kumbukeni, 'wakali' kutoka @ligikuu ya @nbc_tanzania hawaanguki jumla, wanajikwaa wanainuka haraka, safari inaendelea 🔥 #LadhaZaLigiKuu
    Like
    Love
    4
    0 التعليقات 0 المشاركات 2كيلو بايت مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • David Atto
    أضاف صورة
    2024-11-08 02:20:50 -

    Huu ndio Mpira sasa na hii ndio maana ya Ligi kuu,
    Tukubali leo tumejaa kwenye mfumo na tuwape hongera Tabora United.
    Tumepoteza Points Sita mfululizo lakini hatujanyang’anywa bado Ubingwa wetu.

    Yes ::kuna Siku kila kitu hukataa ndani ya Uwanja hata mkiwa bora kiasi gani, Hiyo ndio football tunayoijua sisi,
    Muhimu turudi kujipanga na kujiuliza nini kinatusibu kwa sasa na pia kuacha kujiamini kupitiliza.

    @yangasc
    Huu ndio Mpira sasa na hii ndio maana ya Ligi kuu, Tukubali leo tumejaa kwenye mfumo na tuwape hongera Tabora United. Tumepoteza Points Sita mfululizo lakini hatujanyang’anywa bado Ubingwa wetu. Yes ::kuna Siku kila kitu hukataa ndani ya Uwanja hata mkiwa bora kiasi gani, Hiyo ndio football tunayoijua sisi, Muhimu turudi kujipanga na kujiuliza nini kinatusibu kwa sasa na pia kuacha kujiamini kupitiliza. @yangasc 🙏
    Like
    Love
    Sad
    Haha
    15
    4 التعليقات 0 المشاركات 1كيلو بايت مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Soccer Sports
    أضاف صورة
    2024-08-13 20:49:56 -
    Yanga imecheza mchezo wakirafiki leo 13/08/124 dhidi ya Green Warriors, yanga kaibuka na ushindi wa goli 4 Kwa 0. Vital'O' kazi wanayo.
    #sokachampions
    #yangasc
    #soccerSports
    Pia angalia marudio ya mechi zote NBC PREMIER LEAGUE
    https://youtu.be/3Rn1iT4bftE?si=UHVMU856_9CmAwIl
    Yanga imecheza mchezo wakirafiki leo 13/08/124 dhidi ya Green Warriors, yanga kaibuka na ushindi wa goli 4 Kwa 0. Vital'O' kazi wanayo🏆🏆🏆. #sokachampions #yangasc #soccerSports Pia angalia marudio ya mechi zote NBC PREMIER LEAGUE 👇 https://youtu.be/3Rn1iT4bftE?si=UHVMU856_9CmAwIl
    Like
    Love
    Yay
    4
    2 التعليقات 0 المشاركات 1كيلو بايت مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Soccer Sports
    أضاف صورة
    2024-08-10 20:46:12 -
    WILLIAN PACHO; Paris saint Germain ( PSG ) Imekamilisha usajili wa beki wa kati Willian Pacho raia wa Ecuador, akitokea Eintracht Frankfurt ya Ujerumani.
    #sokachampions
    #psg
    #NgaoYaJamii
    #simbasc
    #yangasc
    WILLIAN PACHO; Paris saint Germain ( PSG ) Imekamilisha usajili wa beki wa kati Willian Pacho raia wa Ecuador, akitokea Eintracht Frankfurt ya Ujerumani. #sokachampions #psg #NgaoYaJamii #simbasc #yangasc
    Like
    Love
    5
    1 التعليقات 0 المشاركات 2كيلو بايت مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Soccer Sports
    أضاف صورة
    2024-07-28 21:24:23 -
    AHMED ALLY; Yaani katika makombe Lile nalo nikombe!!?
    #sokachampions
    #KaizerChiefsFC
    #yangasc
    ##toyotacup
    #ubayaubwela
    #junvetus
    AHMED ALLY; Yaani katika makombe Lile nalo nikombe!!?🤔🤔🤔 #sokachampions #KaizerChiefsFC #yangasc ##toyotacup #ubayaubwela #junvetus
    Like
    3
    0 التعليقات 0 المشاركات 3كيلو بايت مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
© 2026 Socialpop Arabic
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
الشروط الخصوصية اتصل بنا الدليل