• "Nani alaumiwe? Anaweza kuwa Injinia Hersi Said mwenyewe. Yanga ilifika fainali za Shirikisho miaka ya karibuni. Yanga ilitolewa robo fainali. Yanga ilitolewa pia makundi. Hersi anajua ndoto za Wanayanga. Huwa wananyanyasika kwa mashabiki wa mtani zao kwa kutofanya vizuri katika michuano ya CAF. Ligi ya Mabingwa.
    .
    Wakati huu wakiwa wamesajili wachezaji wazuri huku akiendelea kumiliki wachezaji mafundi kama kina Pacome Zouzoua, Hersi akaitafutia Yanga kocha mwanafunzi.

    Ukitazama wasifu wa Folz, alikuwa amepita katika klabu kadhaa akiwa kama kocha msaidizi. Hersi na wenzake walikuwa wamecheza kamari kwa kumleta Folz. Hajawahi kuwa kocha mkuu wala kutwaa taji lolote muhimu katika maisha yake ya mpira.

    Unawezaje kutimiza ndoto zako ukiwa na kocha wa namna hii. Katika lugha ya mtaani ya Waingereza tunaweza kusema Hersi na wenzake walikuwa wamecheza kamari. ‘Gambling’. Haukuwa muda wa Yanga kucheza bahati nasibu.

    Ulikuwa muda wa wao kuwa na kocha ambaye ana uzoefu na anaweza kuishi katika falsafa zao. Matokeo yake Yanga wamejiweka katika hatari. Wameshafungwa ugenini na wageni wao wanaweza kuja na mbinu za ajabu. Injinia Hersi na wenzake ambao wanaongoza Yanga sasa hivi hawakufikiria kama wanaweza kuwa katika nafasi hii kwa sasa. Wakati wao wanaiwaza nusu fainali au fainali, tayari wapo hatarini kutofika hata makundi.

    - Edo Kumwembe, Mchambuzi.
    "Nani alaumiwe? Anaweza kuwa Injinia Hersi Said mwenyewe. Yanga ilifika fainali za Shirikisho miaka ya karibuni. Yanga ilitolewa robo fainali. Yanga ilitolewa pia makundi. Hersi anajua ndoto za Wanayanga. Huwa wananyanyasika kwa mashabiki wa mtani zao kwa kutofanya vizuri katika michuano ya CAF. Ligi ya Mabingwa. . Wakati huu wakiwa wamesajili wachezaji wazuri huku akiendelea kumiliki wachezaji mafundi kama kina Pacome Zouzoua, Hersi akaitafutia Yanga kocha mwanafunzi. 😀 Ukitazama wasifu wa Folz, alikuwa amepita katika klabu kadhaa akiwa kama kocha msaidizi. Hersi na wenzake walikuwa wamecheza kamari kwa kumleta Folz. Hajawahi kuwa kocha mkuu wala kutwaa taji lolote muhimu katika maisha yake ya mpira. Unawezaje kutimiza ndoto zako ukiwa na kocha wa namna hii. Katika lugha ya mtaani ya Waingereza tunaweza kusema Hersi na wenzake walikuwa wamecheza kamari. ‘Gambling’. Haukuwa muda wa Yanga kucheza bahati nasibu. Ulikuwa muda wa wao kuwa na kocha ambaye ana uzoefu na anaweza kuishi katika falsafa zao. Matokeo yake Yanga wamejiweka katika hatari. Wameshafungwa ugenini na wageni wao wanaweza kuja na mbinu za ajabu. Injinia Hersi na wenzake ambao wanaongoza Yanga sasa hivi hawakufikiria kama wanaweza kuwa katika nafasi hii kwa sasa. Wakati wao wanaiwaza nusu fainali au fainali, tayari wapo hatarini kutofika hata makundi. - Edo Kumwembe, Mchambuzi.
    0 Comments ·0 Shares ·82 Views
  • Burkina Faso yatangaza utaratibu mpya wa kusimamia fedha za mashirika yasiyo ya kiserikali (NGOs).

    Serikali ya Burkina Faso imechukua hatua mpya ya kuhakikisha uwazi na usimamizi madhubuti wa fedha zinazotumiwa na mashirika yasiyo ya kiserikali (NGOs) Nchini humo. Kuanzia sasa, mashirika yote yatahitajika kufungua akaunti katika Benki ya Kitaifa ya Amana ya Hazina (National Bank of Deposits of the Treasury).

    Uamuzi huo unalenga kufuatilia kwa karibu michakato ya kifedha ya mashirika hayo, na kuhakikisha kuwa fedha zinazotoka kwa wahisani zinatumika kwa madhumuni yaliyokusudiwa kwa uwazi na uwajibikaji wa hali ya juu.

    Hatua hii imezua mijadala kwenye majukwaa ya kijamii na ndani ya mashirika husika, ambapo baadhi wanaitazama kama njia ya kuimarisha nidhamu ya kifedha, huku wengine wakihofia kuingiliwa kwa uhuru wa mashirika ya kiraia.

    Serikali bado haijatoa taarifa ya kina kuhusu jinsi utekelezaji wa agizo hili utakavyofanyika, wala ikiwa kutakuwepo na muda maalum wa mpito kwa mashirika hayo kuhamia mfumo huo mpya wa kifedha.

    Toa maoni yako
    Burkina Faso yatangaza utaratibu mpya wa kusimamia fedha za mashirika yasiyo ya kiserikali (NGOs). Serikali ya Burkina Faso imechukua hatua mpya ya kuhakikisha uwazi na usimamizi madhubuti wa fedha zinazotumiwa na mashirika yasiyo ya kiserikali (NGOs) Nchini humo. Kuanzia sasa, mashirika yote yatahitajika kufungua akaunti katika Benki ya Kitaifa ya Amana ya Hazina (National Bank of Deposits of the Treasury). Uamuzi huo unalenga kufuatilia kwa karibu michakato ya kifedha ya mashirika hayo, na kuhakikisha kuwa fedha zinazotoka kwa wahisani zinatumika kwa madhumuni yaliyokusudiwa kwa uwazi na uwajibikaji wa hali ya juu. Hatua hii imezua mijadala kwenye majukwaa ya kijamii na ndani ya mashirika husika, ambapo baadhi wanaitazama kama njia ya kuimarisha nidhamu ya kifedha, huku wengine wakihofia kuingiliwa kwa uhuru wa mashirika ya kiraia. Serikali bado haijatoa taarifa ya kina kuhusu jinsi utekelezaji wa agizo hili utakavyofanyika, wala ikiwa kutakuwepo na muda maalum wa mpito kwa mashirika hayo kuhamia mfumo huo mpya wa kifedha. Toa maoni yako
    0 Comments ·0 Shares ·170 Views
  • AYRA STARR AANDIKA HISTORIA KWENYE YOUTUBE KUPITIA WIMBO WAKE “RUSH”.

    Nyota wa muziki kutoka Nigeria, Ayra Starr, ameweka rekodi ya kipekee na kuandika jina lake kwenye vitabu vya historia ya burudani barani Afrika. Kupitia wimbo wake maarufu Rush, Ayra Starr amekuwa Msanii wa kwanza wa kike barani Afrika kufikisha zaidi ya Watazamaji milioni 500 kwenye mtandao wa YouTube kwa wimbo mmoja wa solo.

    Kupitia ukurasa wake rasmi wa Instagram, Ayra alishiriki furaha yake kwa mafanikio hayo na kusema:

    “Sauti ya Gen-Z kutoka Afrika inasikika! Rush imefanya historia, na hii ni mwanzo tu.”

    Kwa mafanikio haya, Rush imejiunga na orodha ya video tano bora za muziki za Kiafrika zilizotazamwa zaidi kila wakati kwenye YouTube.

    - Calm Down : Rema
    - Jerusalema : Master KG ft. Nomcebo Zikode
    - Love Nwantiti : CKay
    - Magic In The Air : Magic System

    Kinachovutia zaidi ni kwamba, licha ya umaarufu wa Wasanii kama Burna Boy, Wizkid, Davido, pamoja na wakali wa kimataifa kama NBA YoungBoy, Polo G, Lil Tjay, NLE Choppa, na Lil Durk, hakuna hata mmoja wao ambaye amewahi kufikisha Watazamaji zaidi ya milioni 500 kwa wimbo mmoja wa solo kwenye jukwaa la YouTube tofauti na Ayra Starr.

    Rekodi hii inaendelea kuimarisha nafasi ya Ayra Starr kama sauti muhimu ya kizazi kipya cha muziki barani Afrika, hasa kwa kizazi cha Gen-Z, na kuonyesha ukuaji wa ushawishi wa Wanawake kwenye tasnia ya muziki wa kimataifa.

    “Rush is not just a song, it’s a movement.” - Ayra Starr

    Pongezi kwa Ayra kwa kuwakilisha Afrika kwa kishindo duniani!
    AYRA STARR AANDIKA HISTORIA KWENYE YOUTUBE KUPITIA WIMBO WAKE “RUSH”. Nyota wa muziki kutoka Nigeria, Ayra Starr, ameweka rekodi ya kipekee na kuandika jina lake kwenye vitabu vya historia ya burudani barani Afrika. Kupitia wimbo wake maarufu Rush, Ayra Starr amekuwa Msanii wa kwanza wa kike barani Afrika kufikisha zaidi ya Watazamaji milioni 500 kwenye mtandao wa YouTube kwa wimbo mmoja wa solo. Kupitia ukurasa wake rasmi wa Instagram, Ayra alishiriki furaha yake kwa mafanikio hayo na kusema: “Sauti ya Gen-Z kutoka Afrika inasikika! Rush imefanya historia, na hii ni mwanzo tu.” Kwa mafanikio haya, Rush imejiunga na orodha ya video tano bora za muziki za Kiafrika zilizotazamwa zaidi kila wakati kwenye YouTube. - Calm Down : Rema - Jerusalema : Master KG ft. Nomcebo Zikode - Love Nwantiti : CKay - Magic In The Air : Magic System Kinachovutia zaidi ni kwamba, licha ya umaarufu wa Wasanii kama Burna Boy, Wizkid, Davido, pamoja na wakali wa kimataifa kama NBA YoungBoy, Polo G, Lil Tjay, NLE Choppa, na Lil Durk, hakuna hata mmoja wao ambaye amewahi kufikisha Watazamaji zaidi ya milioni 500 kwa wimbo mmoja wa solo kwenye jukwaa la YouTube tofauti na Ayra Starr. Rekodi hii inaendelea kuimarisha nafasi ya Ayra Starr kama sauti muhimu ya kizazi kipya cha muziki barani Afrika, hasa kwa kizazi cha Gen-Z, na kuonyesha ukuaji wa ushawishi wa Wanawake kwenye tasnia ya muziki wa kimataifa. “Rush is not just a song, it’s a movement.” - Ayra Starr Pongezi kwa Ayra kwa kuwakilisha Afrika kwa kishindo duniani!
    0 Comments ·0 Shares ·210 Views
  • Jiunge na group la Whatsapp la {Tusaidiane Foundation } bure, weka namba zako za Whatsapp tukuunge uweze kuwahi nafasi na utaratibu utapewa mala baada ya kujiunga.
    Usidanyanywe na matapeli kujiunga ni Bure kabisa na ukihitaji maelekezo zaidi tupigie simu ama njoo Whatsapp 0625007469.
    #yangasc
    #simba
    #sindaboyproentertainment
    #sokachampions
    #diamondplatnumz
    #betpawatz #Betikatz #DigitalComedy #betpawa #mchome #Tusaidianefaundation #KAILASA #JUWA #AzamTVMAX
    Jiunge na group la Whatsapp la {Tusaidiane Foundation } bure, weka namba zako za Whatsapp tukuunge uweze kuwahi nafasi na utaratibu utapewa mala baada ya kujiunga. Usidanyanywe na matapeli kujiunga ni Bure kabisa na ukihitaji maelekezo zaidi tupigie simu ama njoo Whatsapp 0625007469. #yangasc #simba #sindaboyproentertainment #sokachampions #diamondplatnumz #betpawatz #Betikatz #DigitalComedy #betpawa #mchome #Tusaidianefaundation #KAILASA #JUWA #AzamTVMAX
    1 Comments ·0 Shares ·1K Views
  • 5.WATU WANAO WEZA KUKUTAMBULISHA.

    Zawadi kubwa mtu anayo pewa na Mungu ni watu .

    Ukipata watu wanao weza kukutambulisha au kutambulisha maono yako basi jua umepiga hatua.

    Kila aliye fanikiwa anao watu walimshikaga mkono na kuntambulisha kwebye jamii na jamii ikaanza kumuamini kama inavyo muamini aliye kutambulisha.

    Daudi pamoja na kupakwa mafuta lakini bado ili ufalme ukamilike alijitaji mtu anaye weza kutambulisha .

    1 Samweli 16:17-18
    [17]Basi Sauli akawaambia, Vema, nitafutieni mtu aliye stadi wa kupiga kinubi, mkaniletee.

    [18]Ndipo akajibu mmoja wa watumishi wake akasema, Tazama, nimemwona mwana mmoja wa Yese, Mbethlehemi, aliye stadi wa kupiga kinubi, tena ni mtu shujaa, hodari wa vita, anenaye kwa busara, mtu mzuri, ambaye BWANA yu pamoja naye.

    Ile Daudi kupakwa mafuta peke yake haikumfanya awe mfalme ni mpaka alipo patikana mtu anayeweza kuntambulisha na huyu akikutambulisha vyema umeiteka dunia.

    Mfano mwingine Yusuph aliota ndoto akiwa mdogo kuwa ndugu zake na baba yake wote wanamtumikia .

    Lakini ili itimie ndoto ile ilihitaji mtu anaye weza mtambulisha

    Mwanzo 41:9-14
    [9]Basi mkuu wa wanyweshaji akamwambia Farao akisema, Nayakumbuka makosa yangu leo.

    [10]Farao aliwakasirikia watumwa wake, akanitia nifungwe nyumbani mwa mkuu wa askari, mimi na mkuu wa waokaji.

    [11]Tukaota ndoto usiku mmoja, mimi na yeye; kila mtu kwa tafsiri ya ndoto yake tukaota.
    .
    [12]Na huko pamoja nasi palikuwa na kijana; Mwebrania, mtumishi wa mkuu wa askari, tukamhadithia, naye akatufasiria ndoto zetu; akamfasiria kila mtu kama ilivyokuwa ndoto yake.
    .
    [13]Ikawa, kama vile alivyotufasiria ndivyo ilivyotokea; mimi nalirudishwa katika kazi yangu, na yeye alitundikwa.
    .
    [14]Ndipo Farao akapeleka watu, akamwita Yusufu, wakamleta upesi kutoka gerezani. Akanyoa, akabadili nguo zake, na kuingia kwa Farao.

    Kukamilika kwa ndoto alizo ota akiwa mdogo Yusuph ni mpaka alipo patikana mtu anayeweza kuntambulisha tu.

    Jifunze kuwa na prayer point ya kumuomba Mungu akupe mtu anaye weza kukutambulisha na watu wakamkubali hakika

    Changamoto kubwa ya vijana wengi leo hawako tayari kuwa heshimu watu hivyo wanakosa watu wanao weza kuwapa mkono wa shirika na kuwatambulisha.

    Nikwambie ukweli akuna chochote duniani kinakuwa bila watu kukupa mkono wa shirika na kukutambulisha.

    Niwatakie asubui njema na siku njema. Usisahau kutufollow sikiliza mwanangu

    Sylvester Mwakabende
    Build new eden
    0622625340
    5.WATU WANAO WEZA KUKUTAMBULISHA. Zawadi kubwa mtu anayo pewa na Mungu ni watu . Ukipata watu wanao weza kukutambulisha au kutambulisha maono yako basi jua umepiga hatua. Kila aliye fanikiwa anao watu walimshikaga mkono na kuntambulisha kwebye jamii na jamii ikaanza kumuamini kama inavyo muamini aliye kutambulisha. Daudi pamoja na kupakwa mafuta lakini bado ili ufalme ukamilike alijitaji mtu anaye weza kutambulisha . 1 Samweli 16:17-18 [17]Basi Sauli akawaambia, Vema, nitafutieni mtu aliye stadi wa kupiga kinubi, mkaniletee. [18]Ndipo akajibu mmoja wa watumishi wake akasema, Tazama, nimemwona mwana mmoja wa Yese, Mbethlehemi, aliye stadi wa kupiga kinubi, tena ni mtu shujaa, hodari wa vita, anenaye kwa busara, mtu mzuri, ambaye BWANA yu pamoja naye. Ile Daudi kupakwa mafuta peke yake haikumfanya awe mfalme ni mpaka alipo patikana mtu anayeweza kuntambulisha na huyu akikutambulisha vyema umeiteka dunia. Mfano mwingine Yusuph aliota ndoto akiwa mdogo kuwa ndugu zake na baba yake wote wanamtumikia . Lakini ili itimie ndoto ile ilihitaji mtu anaye weza mtambulisha Mwanzo 41:9-14 [9]Basi mkuu wa wanyweshaji akamwambia Farao akisema, Nayakumbuka makosa yangu leo. [10]Farao aliwakasirikia watumwa wake, akanitia nifungwe nyumbani mwa mkuu wa askari, mimi na mkuu wa waokaji. [11]Tukaota ndoto usiku mmoja, mimi na yeye; kila mtu kwa tafsiri ya ndoto yake tukaota. . [12]Na huko pamoja nasi palikuwa na kijana; Mwebrania, mtumishi wa mkuu wa askari, tukamhadithia, naye akatufasiria ndoto zetu; akamfasiria kila mtu kama ilivyokuwa ndoto yake. . [13]Ikawa, kama vile alivyotufasiria ndivyo ilivyotokea; mimi nalirudishwa katika kazi yangu, na yeye alitundikwa. . [14]Ndipo Farao akapeleka watu, akamwita Yusufu, wakamleta upesi kutoka gerezani. Akanyoa, akabadili nguo zake, na kuingia kwa Farao. Kukamilika kwa ndoto alizo ota akiwa mdogo Yusuph ni mpaka alipo patikana mtu anayeweza kuntambulisha tu. Jifunze kuwa na prayer point ya kumuomba Mungu akupe mtu anaye weza kukutambulisha na watu wakamkubali hakika Changamoto kubwa ya vijana wengi leo hawako tayari kuwa heshimu watu hivyo wanakosa watu wanao weza kuwapa mkono wa shirika na kuwatambulisha. Nikwambie ukweli akuna chochote duniani kinakuwa bila watu kukupa mkono wa shirika na kukutambulisha. Niwatakie asubui njema na siku njema. Usisahau kutufollow sikiliza mwanangu Sylvester Mwakabende Build new eden 0622625340
    0 Comments ·0 Shares ·706 Views
  • Ameandika Mtangazaji wa kabumbu Nazareth Upete

    Sikutaka kuandika update yoyote ya Fadlu kwa Jana kwa sababu Simba walikuwa na mechi ngumu, muhimu na serious zaidi ambayo isingekuwa vyema kuandika chochote chenye mapelekeo yoyote hasi kwa mtu yoyote anayehusiana na Simba SC.

    THE SAGA…!
    Tarehe 07/09 siku 3 kabla ya Simba Day kuna mtu ninayemwamini sana kutoka Morocco alinipatia taarifa ya Fadlu kuridhiana na klabu ya Raja Casablanca kwenda kuhudumu hapo…!

    Pamoja na kutoachana vyema sana na Raja akiwa Kocha msaidizi haikuwarudisha nyuma huku inaelezwa Wydad pia waliulizia upatikanaji wake lakini mkataba wa Raja ulikuwa na sababu nyingi za kuridhiwa kuliko kukataliwa.

    Tarehe 11 baada ya Simba Day, Wydad walikuwa serious kuulizia taarifa za Fadlu kwa baadhi ya watu hususani mwenendo wake kwenye maeneo yote ya msingi…! Wakataka kuingilia kati deal.

    Bado Ofa ya Raja ikasimama kiume…! Fadlu yupo tayari kuibeba Ofa ya Raja na project yao ya #BringBackCasablanca⚽️

    Wakati hali ikiwa hivyo inaelezwa mmoja wa wasaidizi wake anataka kusalia Msimbazi akiamini project yao italipa punde!

    Inaelezwa Fadlu anahisi kuna vitu havipo sawa na zigo la lawama analitupa kwa uongozi wa timu huku yeye akitafuta mlango wa kutokea!

    Kwa sasa kuna urafiki wa mashaka baina ya pande mbili na Simba wamefanya kila kitu kumbakisha ila msimamo wa Fadlu umebebwa mazima na Ofa za waManga pale Morocco

    95% mechi ya Jana ilikuwa ya mwisho kwa Fadlu kama Kocha wa Simba na sasa kilichobaki ni yeye tu awalipe Simba SC kuvunja mkataba ingali analazimisha wamruhusu aende Free!

    MTAZAMO WANGU!?
    Simba hawatakuwa na Pengo kuondoka kwa Fadlu…! Amefanya kazi nzuri ila makocha ni wengi sana barani Afrika! Kikubwa ni kutuliza Kichwa wakati wa uchaguzi wa Kocha na kuachana na % za maslahi.

    Fadlu ni Kocha mzuri ila kwa mtazamo wangu pengo linazibika…! Bahati nzuri hajacheza mechi yoyote ya Ligi…! Yoyote atakayekuja ni rahisi tu kuendeleza kitu bora kwa sababu wachezaji Quality yao sio ya kubeza!

    Salaaam!
    Ameandika Mtangazaji wa kabumbu Nazareth Upete ✍️ Sikutaka kuandika update yoyote ya Fadlu kwa Jana kwa sababu Simba walikuwa na mechi ngumu, muhimu na serious zaidi ambayo isingekuwa vyema kuandika chochote chenye mapelekeo yoyote hasi kwa mtu yoyote anayehusiana na Simba SC. THE SAGA…! Tarehe 07/09 siku 3 kabla ya Simba Day kuna mtu ninayemwamini sana kutoka Morocco alinipatia taarifa ya Fadlu kuridhiana na klabu ya Raja Casablanca kwenda kuhudumu hapo…! Pamoja na kutoachana vyema sana na Raja akiwa Kocha msaidizi haikuwarudisha nyuma huku inaelezwa Wydad pia waliulizia upatikanaji wake lakini mkataba wa Raja ulikuwa na sababu nyingi za kuridhiwa kuliko kukataliwa. Tarehe 11 baada ya Simba Day, Wydad walikuwa serious kuulizia taarifa za Fadlu kwa baadhi ya watu hususani mwenendo wake kwenye maeneo yote ya msingi…! Wakataka kuingilia kati deal. Bado Ofa ya Raja ikasimama kiume…! Fadlu yupo tayari kuibeba Ofa ya Raja na project yao ya #BringBackCasablanca⚽️ Wakati hali ikiwa hivyo inaelezwa mmoja wa wasaidizi wake anataka kusalia Msimbazi akiamini project yao italipa punde! Inaelezwa Fadlu anahisi kuna vitu havipo sawa na zigo la lawama analitupa kwa uongozi wa timu huku yeye akitafuta mlango wa kutokea! Kwa sasa kuna urafiki wa mashaka baina ya pande mbili na Simba wamefanya kila kitu kumbakisha ila msimamo wa Fadlu umebebwa mazima na Ofa za waManga pale Morocco ✍️ 95% mechi ya Jana ilikuwa ya mwisho kwa Fadlu kama Kocha wa Simba na sasa kilichobaki ni yeye tu awalipe Simba SC kuvunja mkataba ingali analazimisha wamruhusu aende Free! MTAZAMO WANGU!? Simba hawatakuwa na Pengo kuondoka kwa Fadlu…! Amefanya kazi nzuri ila makocha ni wengi sana barani Afrika! Kikubwa ni kutuliza Kichwa wakati wa uchaguzi wa Kocha na kuachana na % za maslahi. Fadlu ni Kocha mzuri ila kwa mtazamo wangu pengo linazibika…! Bahati nzuri hajacheza mechi yoyote ya Ligi…! Yoyote atakayekuja ni rahisi tu kuendeleza kitu bora kwa sababu wachezaji Quality yao sio ya kubeza! Salaaam!
    Love
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·576 Views
  • Klabu ya soka ya Azam FC imeanza vyema michuano ya kombe la Shirikisho Afrika baada ya kuondoka na ushindi ugenini wa Magoli 2 Kwa Sifuri dhidi ya timu ya El-Mereikh kutoka Sudani Kusini.

    WAFUNGAJI :
    Feitoto
    Kitambala

    #SportsElite
    Klabu ya soka ya Azam FC imeanza vyema michuano ya kombe la Shirikisho Afrika baada ya kuondoka na ushindi ugenini wa Magoli 2 Kwa Sifuri dhidi ya timu ya El-Mereikh kutoka Sudani Kusini. WAFUNGAJI : ⚽ Feitoto ⚽ Kitambala #SportsElite
    Love
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·422 Views
  • IMANI KUBWA.

    Imani ni uhakika wa jambo bayana ya lile lisilo onekana.

    #Waebrania 11:1
    [1]Basi imani ni kuwa na hakika ya mambo yatarajiwayo, ni bayana ya mambo yasiyoonekana.

    Imani kubwa ni imani ya kulitazama neno na kutokea kwenye neno kila jawabu lako unaliona hapo.

    Mfano uhalisia madaktari wanasema huwezi kupona kisukari lakini neno linasema alichukua magonjwa yetu ,madhaifu yetu hivyo basi lwa kupigwa kwake sisi tumepona.

    Imani kubwa ni kuvuka mstari wa wanayo onekana na kisha kutazama neno na kuliishi.

    Akida alikuwa mfano wa jambo hili.

    #Luka 7:7
    [7]kwa hiyo nilijiona sistahili mwenyewe kuja kwako; lakini, sema neno tu, na mtumwa wangu atapona.

    Huyu akida akuhitaji kabisa hata Yesu aende eneo lile badala yake aliitaji alitume neno tu na yule mtumwa wake apone.

    Hii ndiyo imani kubwa ni wakati uhalisia unakataa lakini ndo kipindi ambacho unaona jibu hapo hapo.

    #Luka 7:7,9
    [7]kwa hiyo nilijiona sistahili mwenyewe kuja kwako; lakini, sema neno tu, na mtumwa wangu atapona.

    [9]Yesu aliposikia hayo alimstaajabia, akaugeukia mkutano uliokuwa ukimfuata, akasema, Nawaambia, hata katika Israeli sijaona imani kubwa namna hii.

    Wanao pokea wote kwa ukubwa lazima wawe na imani kubwa sana na chanzo cha imani kubwa ni kusikia neno la Mungu na kuligeuza kuwa lako la maisha.

    Kwa sababu Mungu huwa ana asili ya kulituma neno lake lake kisha likabadilisha yote.

    #Zaburi 107:20
    [20]Hulituma neno lake, huwaponya,
    Huwatoa katika maangamizo yao.

    Ko kama huamini neno Mungu hawezi kulituma neno ni lazima ufike kipindi uamue kulituma neno ili kutokea kwenye neno libadilishe yote.

    Mfano mwingine .

    Petro alipo kiuhalisia petro alikuwa mtaalamu wa uvuvi na kiasi cha kuwa amekesha kabisa kutafuta samaki .

    Na kanuni ya uvuvi samaki wanapatikana usiku , Yesu ameenda muda ambao hualisia wa kawaida haukubali kuvua.

    Na anamwambia Petro shusha nyavu kilindini,
    Petro sababu ya imani kubwa alimwambia kwa neno lako nashusha nyavu.

    #Luka 5:5
    [5]Simoni akajibu akamwambia, Bwana mkubwa, tumefanya kazi ya kuchosha usiku kucha, tusipate kitu; lakini kwa neno lako nitazishusha nyavu.

    Na kutokea kushusha nyavu walipata samaki wengi kiasi cha nyavu kukatika.

    #Luka 5:6-7
    [6]Basi, walipofanya hivyo walipata samaki wengi mno, nyavu zao zikaanza kukatika;
    .
    [7]wakawapungia mikono washirika wao waliokuwa katika chombo cha pili, kuwasaidia; wakaja, wakavijaza vyombo vyote viwili, hata vikataka kuzama.

    Kumbe hata wewe upati majibu sababu utaki kujenga imani kubwa katika jambo unalo lifanya.

    Mfano moyoni mwako kila ukiwaza unasikia kuwa na real estate na uhalisia uoni lakini una kakiwanja mahali au unapo ishi kumbe imani kubwa ni kuanza hata na vyumba viwili ndo vitabadilisha maisha yako.

    Ni neno la uzima peke yake ndilo Lina badilishaga yote .

    Jifunze kutii kile unacho kiona kwenye neno na kutokea hapo maisha yako yote yatabadilika.

    Jitahidi sana kuomba kwa Mungu neno la uzima linabdailishaga yote.

    Imani inabadilisha yote kabisa na ukiamua kumfuata Yesu na ukalipenda neno maisha yako yatabadilika kabisa.

    Kuwa na imani kubwa harafu uone matokeo makubwa

    NAKUOMBEA MUNGU WANGU AKUPE NEEMA YA KUWA NA IMANI KUBWA KTIKA NENO LAKE NA KUTOKEA HAPO JANA YAKO IBADILIKE KABISA NA KUWA KESHO NJEMA KWA JINA LA YESU.

    Nikutakie asubui njema na siku njema .

    Naitwa sylvester Mwakabende
    Build new eden ministry
    0622625340

    #build new eden
    #restore men position
    IMANI KUBWA. Imani ni uhakika wa jambo bayana ya lile lisilo onekana. #Waebrania 11:1 [1]Basi imani ni kuwa na hakika ya mambo yatarajiwayo, ni bayana ya mambo yasiyoonekana. Imani kubwa ni imani ya kulitazama neno na kutokea kwenye neno kila jawabu lako unaliona hapo. Mfano uhalisia madaktari wanasema huwezi kupona kisukari lakini neno linasema alichukua magonjwa yetu ,madhaifu yetu hivyo basi lwa kupigwa kwake sisi tumepona. Imani kubwa ni kuvuka mstari wa wanayo onekana na kisha kutazama neno na kuliishi. Akida alikuwa mfano wa jambo hili. #Luka 7:7 [7]kwa hiyo nilijiona sistahili mwenyewe kuja kwako; lakini, sema neno tu, na mtumwa wangu atapona. Huyu akida akuhitaji kabisa hata Yesu aende eneo lile badala yake aliitaji alitume neno tu na yule mtumwa wake apone. Hii ndiyo imani kubwa ni wakati uhalisia unakataa lakini ndo kipindi ambacho unaona jibu hapo hapo. #Luka 7:7,9 [7]kwa hiyo nilijiona sistahili mwenyewe kuja kwako; lakini, sema neno tu, na mtumwa wangu atapona. [9]Yesu aliposikia hayo alimstaajabia, akaugeukia mkutano uliokuwa ukimfuata, akasema, Nawaambia, hata katika Israeli sijaona imani kubwa namna hii. Wanao pokea wote kwa ukubwa lazima wawe na imani kubwa sana na chanzo cha imani kubwa ni kusikia neno la Mungu na kuligeuza kuwa lako la maisha. Kwa sababu Mungu huwa ana asili ya kulituma neno lake lake kisha likabadilisha yote. #Zaburi 107:20 [20]Hulituma neno lake, huwaponya, Huwatoa katika maangamizo yao. Ko kama huamini neno Mungu hawezi kulituma neno ni lazima ufike kipindi uamue kulituma neno ili kutokea kwenye neno libadilishe yote. Mfano mwingine . Petro alipo kiuhalisia petro alikuwa mtaalamu wa uvuvi na kiasi cha kuwa amekesha kabisa kutafuta samaki . Na kanuni ya uvuvi samaki wanapatikana usiku , Yesu ameenda muda ambao hualisia wa kawaida haukubali kuvua. Na anamwambia Petro shusha nyavu kilindini, Petro sababu ya imani kubwa alimwambia kwa neno lako nashusha nyavu. #Luka 5:5 [5]Simoni akajibu akamwambia, Bwana mkubwa, tumefanya kazi ya kuchosha usiku kucha, tusipate kitu; lakini kwa neno lako nitazishusha nyavu. Na kutokea kushusha nyavu walipata samaki wengi kiasi cha nyavu kukatika. #Luka 5:6-7 [6]Basi, walipofanya hivyo walipata samaki wengi mno, nyavu zao zikaanza kukatika; . [7]wakawapungia mikono washirika wao waliokuwa katika chombo cha pili, kuwasaidia; wakaja, wakavijaza vyombo vyote viwili, hata vikataka kuzama. Kumbe hata wewe upati majibu sababu utaki kujenga imani kubwa katika jambo unalo lifanya. Mfano moyoni mwako kila ukiwaza unasikia kuwa na real estate na uhalisia uoni lakini una kakiwanja mahali au unapo ishi kumbe imani kubwa ni kuanza hata na vyumba viwili ndo vitabadilisha maisha yako. Ni neno la uzima peke yake ndilo Lina badilishaga yote . Jifunze kutii kile unacho kiona kwenye neno na kutokea hapo maisha yako yote yatabadilika. Jitahidi sana kuomba kwa Mungu neno la uzima linabdailishaga yote. Imani inabadilisha yote kabisa na ukiamua kumfuata Yesu na ukalipenda neno maisha yako yatabadilika kabisa. Kuwa na imani kubwa harafu uone matokeo makubwa NAKUOMBEA MUNGU WANGU AKUPE NEEMA YA KUWA NA IMANI KUBWA KTIKA NENO LAKE NA KUTOKEA HAPO JANA YAKO IBADILIKE KABISA NA KUWA KESHO NJEMA KWA JINA LA YESU. Nikutakie asubui njema na siku njema . Naitwa sylvester Mwakabende Build new eden ministry 0622625340 #build new eden #restore men position
    0 Comments ·0 Shares ·876 Views
  • 𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Thomas Tuchel anatazamia kumuacha beki wa Madrid kwenye kikosi cha Timu ya Taifa ya Uingereza kitakachocheza na Serbia na Albania.❎️

    Source Football Tweets

    #SportsElite
    🚨🚨𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Thomas Tuchel anatazamia kumuacha beki wa Madrid kwenye kikosi cha Timu ya Taifa ya Uingereza kitakachocheza na Serbia na Albania.🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿❎️ Source Football Tweets #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·389 Views
  • Moja ya mafundi wa Kibrazil Walioyeyuka Ghafla

    Philippe Coutinho na Thiago Alcântara walitazamwa kama almasi za kisasa kwenye soka wenye vipaji vya kipekee, akili ya uwanjani na mguso wa hatari. Waliwahi kung'aa Ulaya kwa kiwango kikubwa, lakini ghafla moto wao ukapoa.

    Coutinho alizimika Barcelona, Thiago akaelemewa na majeraha Liverpool. Sasa, wanabaki kuwa kumbukumbu tamu za vipaji vilivyo kadiliwa makubwa lakini vikatoweka kabla ya wakati.

    Nadhani Coutinho mnalijua kosa lake

    #SportsElite
    🚨🚨Moja ya mafundi wa Kibrazil Walioyeyuka Ghafla ✊🇧🇷 🌀Philippe Coutinho na Thiago Alcântara walitazamwa kama almasi za kisasa kwenye soka wenye vipaji vya kipekee, akili ya uwanjani na mguso wa hatari. Waliwahi kung'aa Ulaya kwa kiwango kikubwa, lakini ghafla moto wao ukapoa. Coutinho alizimika Barcelona, Thiago akaelemewa na majeraha Liverpool. Sasa, wanabaki kuwa kumbukumbu tamu za vipaji vilivyo kadiliwa makubwa lakini vikatoweka kabla ya wakati. 💔✨ Nadhani Coutinho mnalijua kosa lake 😀 #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·562 Views
  • Azam FC wamepoteza mchezo wa kirafiki dhidi ya AS Kigali kwa bao 1-0 ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya msimu mpya

    #SportsElite
    🚨🚨Azam FC wamepoteza mchezo wa kirafiki dhidi ya AS Kigali kwa bao 1-0 ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya msimu mpya✍️ #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·265 Views
  • Gori Keeper Mpya wa Azam FC Issa Fofana na Beki wa Kati Zitoun Tayeb tayari wamejiunga na Kikosi cha Azam....

    Wachezaji hao wameanza mazoezi ya peke yao kabra ya kujumuika na wenzao huko Rwanda....

    Azam FC wenyewe wanakwambia msimu ujao 2025/2026 watakayekutananaye itakuwa ni mali yao kwa maana kikosi walichonacho si cha kutwaa ubingwa wa LIGI tu bali wanautaka hata ubingwa wa CAF...

    #SportsElite
    🚨🚨Gori Keeper Mpya wa Azam FC Issa Fofana na Beki wa Kati Zitoun Tayeb tayari wamejiunga na Kikosi cha Azam.... Wachezaji hao wameanza mazoezi ya peke yao kabra ya kujumuika na wenzao huko Rwanda.... Azam FC wenyewe wanakwambia msimu ujao 2025/2026 watakayekutananaye itakuwa ni mali yao🤣 kwa maana kikosi walichonacho si cha kutwaa ubingwa wa LIGI tu bali wanautaka hata ubingwa wa CAF... #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·376 Views
  • Jorgen Strand-Larsen ametajwa kuwa kwenye tageti ya klabu ya Newcastle United

    Mshambuliaji huyo raia wa Norway anatazamiwa kuwa mrithi wa Alexander Isac anayetarajiwa kutimka klabuni hapo

    #SportsElite
    🚨🚨Jorgen Strand-Larsen ametajwa kuwa kwenye tageti ya klabu ya Newcastle United 🙌 Mshambuliaji huyo raia wa Norway 🇳🇴 anatazamiwa kuwa mrithi wa Alexander Isac 🇸🇪 anayetarajiwa kutimka klabuni hapo 🙌 #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·132 Views
  • Sadio Mané: "Ilipofika zamu yangu ya kukaguliwa kulikuwa na mzee mmoja ambaye alinitazama kana kwamba nilikuwa mahali pabaya. Akaniuliza: "upo hapa kwa ajili ya majaribio?" nikasema ndio.
    "Kwa viatu hivyo? Viangalie, unawezaje kufikiria kucheza navyo?", aliniambia.
    Kwa kweli vilikuwa vichakavu, vyazamani na vimeharbiika.

    Kisha akaongeza, "Na hiyo kaptula? Je, huna kaptula yoyote ya soka?"
    Nilimwambia kwamba nilikuwa pale na vifaa bora zaidi nilivyokuwa navyo na kwamba nilitaka tu kucheza na kuonyesha uwezo wangu.

    Na nilipoenda uwanjani nikaona mshangao usoni mwake. Alikuja kwangu na kusema: "Nitakusaini mara moja, utacheza kwenye timu yangu."

    Niliishi maisha ya njaa, nilinusurika katika nyakati ngumu, nilicheza bila viatu na sikuenda shule.

    Sijui ni kitu gani cha kufurahisha, sijawahi kwenda kwenye sherehe kwa sababu najua siwezi kufanya vizuri uwanjani na sitafikia malengo yangu.

    Leo, kwa kile ninachopata, ninaweza kusaidia wengine.

    Nilijenga shule, uwanja wa michezo, tulitoa nguo, viatu na chakula kwa watu walio katika umaskini uliokithiri. Na kisha mimi huchangia euro 70 kwa mwezi kwa wakazi wote wa eneo maskini sana la Senegal, ili kukuza uchumi wa familia zao.

    Kwa nini nitake Ferrari kumi, saa ishirini za almasi na ndege mbili? Je, mambo haya yana faida gani kwa ulimwengu?

    Siwezi hata kucheza Playstation, ambayo ni hobi kubwa ya wachezaji wenzangu. Sijawahi kuitumia, nadhani ni njia tu ya kupoteza muda na sitaki kupoteza muda wangu bila sababu."

    Sadio Mané

    #SportsElite
    🗣️🎙️😢🇸🇳Sadio Mané: "Ilipofika zamu yangu ya kukaguliwa kulikuwa na mzee mmoja ambaye alinitazama kana kwamba nilikuwa mahali pabaya. Akaniuliza: "upo hapa kwa ajili ya majaribio?" nikasema ndio. "Kwa viatu hivyo? Viangalie, unawezaje kufikiria kucheza navyo?", aliniambia. Kwa kweli vilikuwa vichakavu, vyazamani na vimeharbiika. Kisha akaongeza, "Na hiyo kaptula? Je, huna kaptula yoyote ya soka?" Nilimwambia kwamba nilikuwa pale na vifaa bora zaidi nilivyokuwa navyo na kwamba nilitaka tu kucheza na kuonyesha uwezo wangu. Na nilipoenda uwanjani nikaona mshangao usoni mwake. Alikuja kwangu na kusema: "Nitakusaini mara moja, utacheza kwenye timu yangu." Niliishi maisha ya njaa, nilinusurika katika nyakati ngumu, nilicheza bila viatu na sikuenda shule. Sijui ni kitu gani cha kufurahisha, sijawahi kwenda kwenye sherehe kwa sababu najua siwezi kufanya vizuri uwanjani na sitafikia malengo yangu. Leo, kwa kile ninachopata, ninaweza kusaidia wengine. Nilijenga shule, uwanja wa michezo, tulitoa nguo, viatu na chakula kwa watu walio katika umaskini uliokithiri. Na kisha mimi huchangia euro 70 kwa mwezi kwa wakazi wote wa eneo maskini sana la Senegal, ili kukuza uchumi wa familia zao. Kwa nini nitake Ferrari kumi, saa ishirini za almasi na ndege mbili? Je, mambo haya yana faida gani kwa ulimwengu? Siwezi hata kucheza Playstation, ambayo ni hobi kubwa ya wachezaji wenzangu. Sijawahi kuitumia, nadhani ni njia tu ya kupoteza muda na sitaki kupoteza muda wangu bila sababu." Sadio Mané🇸🇳 #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·604 Views
  • NDOTO ni mlango wa kiroho ambao ulimwengu wa roho unapitisha taarifa zake zinaweza kuwa zinatoka kwa Mungu au shetani anatumia kama mlango wa kuingiza taarifa.

    #Habakuki 2:2-3
    [2]BWANA akanijibu, akasema, Iandike njozi ukaifanye iwe wazi sana katika vibao, ili aisomaye apate kuisoma kama maji.

    [3]Maana njozi hii bado ni kwa wakati ulioamriwa, inafanya haraka ili kuufikilia mwisho wake, wala haitasema uongo; ijapokawia, ingojee; kwa kuwa haina budi kuja, haitakawia.

    Kumbe taarifa ya habakuki ilimfikia kupitia mlango unao itwa ndoto .

    Ndoto pia hutokana na shughuli nyingi au ni revision wa matukio ya mchana.

    #Muhubiri 5:13
    *Kwa maana ndoto huja kwa sababu ya shughuli nyingi; na sauti ya mpumbavu kwa njia ya wingi wa maneno*

    Ila mimi nataka nieleze ndoto kama mlango wa fahamu ambao Mungu hutumia kupeleka taarifa.
    #Ebrania 1:11-14

    #Ayubu 33:14-16
    [14]Kwa kuwa Mungu hunena mara moja,
    Naam, hata mara ya pili, ajapokuwa mtu hajali.
    .
    [15]Katika ndoto, katika maono ya usiku,
    Usingizi mzito uwajiliapo watu,
    Katika usingizi kitandani;
    ;
    [16]Ndipo huyafunua masikio ya watu,
    Na kuyatia muhuri mafundisho yao,

    Kumbe ndoto sasa ni mlango ambao Mungu anatuonyessha picha ya matukio ya nyuma au ya mbele yanayo kuja.,

    Kumbe baada ya kupata taarifa ya iliyo tangulia u inayo kuja lazima ujifunze kumtafuta Mungu.

    #Yeremia 29:13
    [13]Nanyi mtanitafuta na kuniona, mtakaponitafuta kwa moyo wenu wote.

    Kwanini tunamtafuta Mungu ni kwa sababu wewe ni wa rohoni na ndoto ni mlango wa rohoni usipo shughulika nayo itqkushughulikia .

    #1 Kor 2:15 SUV
    Lakini mtu wa rohoni huyatambua yote, wala yeye hatambuliwi na mtu.

    Baada ya kile ulicho kiota mtu wa rohoni lazima uyatambue vizr na ujue namna ya kuomba .

    Kuna watu mafanikio yao yalianzia ndotoni na kuna watu umasikini wao ulianzia ndotoni .

    Kwenye kila ndoto kuna taarifa na ndoto yenye taarifa lazima ikusumbue na ijirusie ndani yako .

    Ndoto ndiyo level ya mwisho kwa Mungu kuzungumza na mtu ,namaanisha hivi Mungu akiona uelewi kupitia mawazo anakuja kwa njia ya njozi kama njia ya mwisho ya kufikisha taarifa.

    Shetani pia akitaka kukupiga wakati mwingine anaanzia ndotoni.

    Kuna mtu aliota anazini na mtu ndotoni kisha toka hapo hamu yq uzinzi inamtawala kila siku .

    Kuna mtu aliota amengatwa na nyoka ndotoni kisha toka hapo homa udhaifu ukaingia.

    Kuna dada aliota kama ananyonyesha mtoto wakati hana mtoto na amengatwa kwenye ziwa lake la kushoto na toka hapo ndipo saratani ya titi ilipo anzia .

    Usichukulie ndoto kama kitu kidoga sana katika level hiyo .

    Ndoto nyingi ni taarifa sema ni vile tu ujajifunza siri ya ufalme wa Mungu katika ulimwengu wa roho.

    Kwa leo naomba nikuache na tafakuri hii kisha kesho tutatazama watu walio ota ndoto kibiblia na jinsi zilivyo timia .

    Nikutakie asubui njema na siku njema .

    Mkaribishe pia mwezio kwa kushare na kumualika ajoin katika group letu hili ili nayeye ajifunze siri hizi.

    Namba :0622625340 Type neno add na jina lako nitakuad katika group .

    Nikutakie asubui njema na siku njema .

    Naitwa mwl Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden ministry)
    #ndoto ni taarifa acha kupuuzia
    #restore men position
    #build new eden
    NDOTO ni mlango wa kiroho ambao ulimwengu wa roho unapitisha taarifa zake zinaweza kuwa zinatoka kwa Mungu au shetani anatumia kama mlango wa kuingiza taarifa. #Habakuki 2:2-3 [2]BWANA akanijibu, akasema, Iandike njozi ukaifanye iwe wazi sana katika vibao, ili aisomaye apate kuisoma kama maji. [3]Maana njozi hii bado ni kwa wakati ulioamriwa, inafanya haraka ili kuufikilia mwisho wake, wala haitasema uongo; ijapokawia, ingojee; kwa kuwa haina budi kuja, haitakawia. Kumbe taarifa ya habakuki ilimfikia kupitia mlango unao itwa ndoto . Ndoto pia hutokana na shughuli nyingi au ni revision wa matukio ya mchana. #Muhubiri 5:13 *Kwa maana ndoto huja kwa sababu ya shughuli nyingi; na sauti ya mpumbavu kwa njia ya wingi wa maneno* Ila mimi nataka nieleze ndoto kama mlango wa fahamu ambao Mungu hutumia kupeleka taarifa. #Ebrania 1:11-14 #Ayubu 33:14-16 [14]Kwa kuwa Mungu hunena mara moja, Naam, hata mara ya pili, ajapokuwa mtu hajali. . [15]Katika ndoto, katika maono ya usiku, Usingizi mzito uwajiliapo watu, Katika usingizi kitandani; ; [16]Ndipo huyafunua masikio ya watu, Na kuyatia muhuri mafundisho yao, Kumbe ndoto sasa ni mlango ambao Mungu anatuonyessha picha ya matukio ya nyuma au ya mbele yanayo kuja., Kumbe baada ya kupata taarifa ya iliyo tangulia u inayo kuja lazima ujifunze kumtafuta Mungu. #Yeremia 29:13 [13]Nanyi mtanitafuta na kuniona, mtakaponitafuta kwa moyo wenu wote. Kwanini tunamtafuta Mungu ni kwa sababu wewe ni wa rohoni na ndoto ni mlango wa rohoni usipo shughulika nayo itqkushughulikia . #1 Kor 2:15 SUV Lakini mtu wa rohoni huyatambua yote, wala yeye hatambuliwi na mtu. Baada ya kile ulicho kiota mtu wa rohoni lazima uyatambue vizr na ujue namna ya kuomba . Kuna watu mafanikio yao yalianzia ndotoni na kuna watu umasikini wao ulianzia ndotoni . Kwenye kila ndoto kuna taarifa na ndoto yenye taarifa lazima ikusumbue na ijirusie ndani yako . Ndoto ndiyo level ya mwisho kwa Mungu kuzungumza na mtu ,namaanisha hivi Mungu akiona uelewi kupitia mawazo anakuja kwa njia ya njozi kama njia ya mwisho ya kufikisha taarifa. Shetani pia akitaka kukupiga wakati mwingine anaanzia ndotoni. Kuna mtu aliota anazini na mtu ndotoni kisha toka hapo hamu yq uzinzi inamtawala kila siku . Kuna mtu aliota amengatwa na nyoka ndotoni kisha toka hapo homa udhaifu ukaingia. Kuna dada aliota kama ananyonyesha mtoto wakati hana mtoto na amengatwa kwenye ziwa lake la kushoto na toka hapo ndipo saratani ya titi ilipo anzia . Usichukulie ndoto kama kitu kidoga sana katika level hiyo . Ndoto nyingi ni taarifa sema ni vile tu ujajifunza siri ya ufalme wa Mungu katika ulimwengu wa roho. Kwa leo naomba nikuache na tafakuri hii kisha kesho tutatazama watu walio ota ndoto kibiblia na jinsi zilivyo timia . Nikutakie asubui njema na siku njema . Mkaribishe pia mwezio kwa kushare na kumualika ajoin katika group letu hili ili nayeye ajifunze siri hizi. Namba :0622625340 Type neno add na jina lako nitakuad katika group . Nikutakie asubui njema na siku njema . Naitwa mwl Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden ministry) #ndoto ni taarifa acha kupuuzia #restore men position #build new eden
    0 Comments ·0 Shares ·2K Views
  • Rushine De Reuck Kitasa kipya cha Simba,jamaa yuko aggressive,muda wote ananusa hatari na kufika kwenye matukio ili kufanya interception,tackling,clearance n.k.

    Rushine De Reuck Ni dominant kwenye mipira ya juu na chini…jamaa akiwa kwenye siku zake ni ngumu kwa mshambuliaji kukabiliana nae.

    Yote kwa yote ukimtazama akiwa na mali mguuni uta-enjoy…jamaa ni ball-playing defender

    Wana simba hapa mmepata beki,jamaa ana uzoefu mkubwa pia ana uwezo wa kucheza maeneo yote ya nyuma

    Super Signing

    #SportsElite
    🚨🚨Rushine De Reuck Kitasa kipya cha Simba,jamaa yuko aggressive,muda wote ananusa hatari na kufika kwenye matukio ili kufanya interception,tackling,clearance n.k. Rushine De Reuck Ni dominant kwenye mipira ya juu na chini…jamaa akiwa kwenye siku zake ni ngumu kwa mshambuliaji kukabiliana nae. Yote kwa yote ukimtazama akiwa na mali mguuni uta-enjoy…jamaa ni ball-playing defender🙌 Wana simba hapa mmepata beki,jamaa ana uzoefu mkubwa pia ana uwezo wa kucheza maeneo yote ya nyuma🖐️ Super Signing🔥 #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·597 Views
  • RASMI:CAF YATANGAZA TANZANIA KUWA MWENYEJI WA DROO YA CAF 2025/26! ⚽️

    Droo ya CAF Champions League na Confederation Cup itafanyika katikati ya Agosti hapa hapa Tanzania!

    Je, Simba SC, Yanga SC, Azam FC kupangwa na nani hatua za awali?
    Hii ni nafasi ya kutangaza Tanzania kwenye ramani ya soka Afrika! ⚽️

    Source:- Micky Jnr African Football Journalist

    #SportsElite
    🚨🚨 RASMI:CAF YATANGAZA TANZANIA KUWA MWENYEJI WA DROO YA CAF 2025/26! 🇹🇿🔥⚽️ 🔸 Droo ya CAF Champions League na Confederation Cup itafanyika katikati ya Agosti hapa hapa Tanzania! 🤔 Je, Simba SC, Yanga SC, Azam FC kupangwa na nani hatua za awali? 🦁🟢🔵 Hii ni nafasi ya kutangaza Tanzania kwenye ramani ya soka Afrika! 🌍⚽️ Source:- Micky Jnr African Football Journalist #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·976 Views
  • Rasmi Yanga wamemtambulisha kiungo mkabaji wa Mlandege,Abdulnassir Mohammed Abdallah,maarufu Kama “Casemiro” kwa mkataba wa miaka mitatu.

    Yanga wameshinda vita ya kumnasa kiungo huyo mbele ya Azam Fc,JKT na Singida.

    #SportsElite
    🚨 Rasmi Yanga wamemtambulisha kiungo mkabaji wa Mlandege,Abdulnassir Mohammed Abdallah,maarufu Kama “Casemiro” kwa mkataba wa miaka mitatu. Yanga wameshinda vita ya kumnasa kiungo huyo mbele ya Azam Fc,JKT na Singida. #SportsElite
    Haha
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·609 Views
  • Man United inataka kusajili mshambuliaji mpya na Moja ya Majina ni Benjamin Sesko wa RB Leipzig Ollie Watkins wa Aston Villa na Jackson wa Chelsea.

    Man United inawatazama moja wao Haswa Benjamin Sesko ndio Chaguo lao la namba 9 msimu ujao.

    #SportsElite
    🚨 Man United inataka kusajili mshambuliaji mpya na Moja ya Majina ni Benjamin Sesko wa RB Leipzig Ollie Watkins wa Aston Villa na Jackson wa Chelsea.💰 Man United inawatazama moja wao Haswa Benjamin Sesko ndio Chaguo lao la namba 9 msimu ujao. #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·302 Views
  • Achana na Andre onana kule nyuma aliyepiga goti, achana na Bernado silva, ebu mtazame huyo namba 47 Phill Foden...

    Kwa nini dunia , kwa nini mpira, kwa nini iwe kwa Phill Foden ?

    Labda ni wapi alipoikosea dunia Foden ? Wapi alipoteleza kijana wa Malkia ?

    Binafsi naamini katika wachezaji watatu bora wa pembeni wa kiingereza Foden ni mmoja wao..

    Achana na yule Foden wa mashindano ya Euro kule Germany, ebu mtazame Foden wa Pep Guardiola akiwa pale City the dream...

    Mimi ukiniuliza unaona nini kwa Phill Foden, jibu langu litakuwa Foden atakuwa Ballond'ior winner siku moja...

    Utakataa labda kwa sababu hayupo Kwenye timu yako pendwa, hayupo Kwenye timu inayopigiwa promo Kwenye vyombo vya habari...

    Ila Phill Foden ni kipaji haswa cha mpira wa miguu, amekuja kuzibariki nyasi za mpira pale Uingereza...

    #SportsElite
    Achana na Andre onana kule nyuma aliyepiga goti, achana na Bernado silva, ebu mtazame huyo namba 47 Phill Foden... Kwa nini dunia , kwa nini mpira, kwa nini iwe kwa Phill Foden ? Labda ni wapi alipoikosea dunia Foden ? Wapi alipoteleza kijana wa Malkia ? Binafsi naamini katika wachezaji watatu bora wa pembeni wa kiingereza Foden ni mmoja wao.. Achana na yule Foden wa mashindano ya Euro kule Germany, ebu mtazame Foden wa Pep Guardiola akiwa pale City the dream... Mimi ukiniuliza unaona nini kwa Phill Foden, jibu langu litakuwa Foden atakuwa Ballond'ior winner siku moja... Utakataa labda kwa sababu hayupo Kwenye timu yako pendwa, hayupo Kwenye timu inayopigiwa promo Kwenye vyombo vya habari... Ila Phill Foden ni kipaji haswa cha mpira wa miguu, amekuja kuzibariki nyasi za mpira pale Uingereza... #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·711 Views
More Results