• Nguvu iliyoko kwenye neno part 3.

    #Baada ya kusikia neno na kuanza kulitenda kazi lazima mtizamo wako juu ya Mungu ubadilishwe.

    Ukifika kipindi ambacho katika maisha kabla ujatafakari chochote unamtafakari mungu kwanza jua tayari mtazamo wako kiakiri umelikubali neno la Mungu.

    Mtazamo wako katika neno ukibadilishwa unakusaidia sana kuyajua uzuri wa mungu,mapenzi ya Mungu , ukamilifu wa Mungu na jinsi Mungu anavyo kuwazia mema.

    #Warumi 12:2
    [2]Wala msiifuatishe namna ya dunia hii; bali mgeuzwe kwa kufanywa upya nia zenu, mpate kujua hakika mapenzi ya Mungu yaliyo mema, ya kumpendeza, na ukamilifu.

    Usipo jua mapenzi ya Mungu katika maisha yako utashindwa kujua kusudi la maisha yako .

    Neno la Mungu moja ya kazi yake ni kukujulisha mapenzi ya Mungu katika maisha yako ambapo inapelekea kujua kusudi .

    #Mithali 29:18
    [18] *Pasipo maono, watu huacha kujizuia; Bali ana heri mtu yule aishikaye sheria.*

    Neno lenyewe limejitosheleza kukujulisha kuwa Mungu anataka watu wanao jua kusudi lake.

    #Mtazamo ulio badilishwa inakupatia kusudi na mwelekeo wa maisha kulingana na kusudi la Mungu.

    Ukilijua neno kiasi cha kujua mapenzi ya mungu utakuwa unajua hakika Mungu anakuwazia mawazo ya amani na ustawi kila wakati.

    #Yeremia 29:11
    [11]Maana nayajua mawazo ninayowawazia ninyi, asema BWANA, ni mawazo ya amani wala si ya mabaya, kuwapa ninyi tumaini siku zenu za mwisho.

    Hayo ndiyo mapenzi ya Mungu kwako na katika neno ni wewe kuwa na amani na kufanikiwa katika kila jambo.

    Shida ni kuwa ufanikiwi sababu ujui neno .

    Ngoja nikusaidie neno lenye matokeo ni lile linalo weza badilisha maisha yako lazima ulitendee mema.

    Ukisikia neno na lisikupe cha kufanya neno hilo kwako halina matokeo kwako .

    Karibu katika group

    https://chat.whatsapp.com/HhjVJc0bcdY5i5LCZnjHZ6

    Ok naitwa Sylvester Mwakabende kutoka build new eden revival and restoration ministry

    #restore men position
    #build new eden
    Nguvu iliyoko kwenye neno part 3. #Baada ya kusikia neno na kuanza kulitenda kazi lazima mtizamo wako juu ya Mungu ubadilishwe. Ukifika kipindi ambacho katika maisha kabla ujatafakari chochote unamtafakari mungu kwanza jua tayari mtazamo wako kiakiri umelikubali neno la Mungu. Mtazamo wako katika neno ukibadilishwa unakusaidia sana kuyajua uzuri wa mungu,mapenzi ya Mungu , ukamilifu wa Mungu na jinsi Mungu anavyo kuwazia mema. #Warumi 12:2 [2]Wala msiifuatishe namna ya dunia hii; bali mgeuzwe kwa kufanywa upya nia zenu, mpate kujua hakika mapenzi ya Mungu yaliyo mema, ya kumpendeza, na ukamilifu. Usipo jua mapenzi ya Mungu katika maisha yako utashindwa kujua kusudi la maisha yako . Neno la Mungu moja ya kazi yake ni kukujulisha mapenzi ya Mungu katika maisha yako ambapo inapelekea kujua kusudi . #Mithali 29:18 [18] *Pasipo maono, watu huacha kujizuia; Bali ana heri mtu yule aishikaye sheria.* Neno lenyewe limejitosheleza kukujulisha kuwa Mungu anataka watu wanao jua kusudi lake. #Mtazamo ulio badilishwa inakupatia kusudi na mwelekeo wa maisha kulingana na kusudi la Mungu. Ukilijua neno kiasi cha kujua mapenzi ya mungu utakuwa unajua hakika Mungu anakuwazia mawazo ya amani na ustawi kila wakati. #Yeremia 29:11 [11]Maana nayajua mawazo ninayowawazia ninyi, asema BWANA, ni mawazo ya amani wala si ya mabaya, kuwapa ninyi tumaini siku zenu za mwisho. Hayo ndiyo mapenzi ya Mungu kwako na katika neno ni wewe kuwa na amani na kufanikiwa katika kila jambo. Shida ni kuwa ufanikiwi sababu ujui neno . Ngoja nikusaidie neno lenye matokeo ni lile linalo weza badilisha maisha yako lazima ulitendee mema. Ukisikia neno na lisikupe cha kufanya neno hilo kwako halina matokeo kwako . Karibu katika group https://chat.whatsapp.com/HhjVJc0bcdY5i5LCZnjHZ6 Ok naitwa Sylvester Mwakabende kutoka build new eden revival and restoration ministry #restore men position #build new eden
    0 Kommentare ·0 Anteile ·26 Ansichten
  • Nguvu inayo badilisha mtu .

    Warumi 12:2
    [2]*Wala msiifuatishe namna ya dunia hii;
    *bali mgeuzwe kwa kufanywa upya nia zenu, mpate kujua hakika mapenzi ya Mungu yaliyo mema, ya kumpendeza, na ukamilifu*

    Kama ukiwachukua watu wasili wanao waza sawa tunategemea matokeo yatakuwa sawa.

    Iko nguvu inaitwa neno la Mungu inayo weza badilisha mtu kama tu mtu akijua jinsi Mungu anavyo taka aenende .

    Kiwango chako cha kumjua Mungu katika neno lazima kiendane na matokeo kwani chochote apandacho mtu ndicho atakacho vuna.

    Wagalatia 6:7
    [7]Msidanganyike, Mungu hadhihakiwi; kwa kuwa cho chote apandacho mtu, ndicho atakachovuna.


    faida za kulijua neno kama nguvu inayo badilisha mtu .

    1.INATUHAKIKISHIA KUFNIKIWA.

    Mungu amehakikisha kila anaye mjua sawa sawa na neno anampa nguvu ya kufanikiwa.

    Zaburi 1:1-2
    [1]Heri mtu yule asiyekwenda
    Katika shauri la wasio haki;
    Wala hakusimama katika njia ya wakosaji;
    Wala hakuketi barazani pa wenye mizaha.

    [2]Bali sheria ya BWANA ndiyo impendezayo,
    Na sheria yake huitafakari mchana na usiku.

    Lazma uamue kuishi maisha yasiyo na mizaa kabisa na dhambi kwa kulifuata neno kama mwongozo wako hapo ndipo utampendeza Mungu na Mungu atajihakikishia kukuwazia mema na mafanikio.

    Isaya 55:8-9
    [8] *Maana mawazo yangu si mawazo yenu, wala njia zenu si njia zangu; asema BWANA.*
    .
    [9]Kwa maana kama vile mbingu zilivyo juu sana kuliko nchi, kadhalika njia zangu zi juu sana kuliko njia zenu, na mawazo yangu kuliko mawazo yenu.

    Mawazo ya mungu ni kuona ndoa yako inafanikiwa toka ujana wako mpaka uzee.

    Mawazo ya Mungu nikuona biashara yako inashine kuliko jana .

    Mawazo ya Mungu ni kukuona ukiishi maisha ya mafanikio na furaha siku zote za maisha yako .

    Yeremia 29:11
    [11] *Maana nayajua mawazo ninayowawazia ninyi, asema BWANA, ni mawazo ya amani wala si ya mabaya, kuwapa ninyi tumaini siku zenu za mwisho.*

    Tatizo lako ni moja umeichukulia mzaa dhambi na kufanya mawazo ya Mungu kwako yasitimie .

    Acha dhambi acha mzaa na zinaa kutoka kusema hii ndo zambi yetu vijana anza kuichukia totally maisha yako yatabadilika totally na Mungu atakuhakikishia mafanikio siku zote.

    Mafanikio ni hakika na kweli kabisa kwa mtu anaye kaa na neno, mtu ambaye katika kila jambo anajibu na kulitazama neno linasema nini lazima apokee mafanikio makubwa zaidi.

    2.inatusaidia kutoka katika mawazo na fikra hasi

    Mtu hawezi kufanikiwa zaidi ya vile anavyo amini .

    Mtu awezi kupokea uponyaji zaidi ya vile anavyo hitaji.

    Kiwango cha mafanikio yako kinaamuliwa na kiwango cha imani yako .

    Marko 9:23
    [23]Yesu akamwambia, Ukiweza! Yote yawezekana kwake aaminiye.

    Ukiweza kuwekeza katika neno neno litakupa matokeo ya mwilini kwani neno litakusaidia kujua jinsi gani watu walio tembea na mungu walifanikiwa .

    Utaacha kuona haiwezekani kila jambo utaanza kuona inawezekana kila jambo kwani utajua yeye anasemaji.

    Wafilolipi 4:13
    *Naweza kuyafanya mambo yote katika yeye anitiaye nguvu*

    Ko ni neno litabadilisha msimamo wako juu ya mawazo hasi juu ya mafanikio .

    Kwa maana mtu hawezi kuwa zaidi ya anavyo jiona.

    Mithali 23:7
    [7] *Maana aonavyo nafsini mwake, ndivyo alivyo*.
    Akuambia, Haya, kula, kunywa;
    Lakini moyo wake hauwi pamoja nawe.

    Neno pekee ndilo linaweza badilisha namna unavyo jiona na jinsi unavyo amini ili upokee mambo makubwa .

    Usidanganyikee mtu hawezi kupokea zaidi ya ufunuo alio upata katika neno husika .

    Nimatumaini yangu utaanza kuongeza imani katika neno ili upate nguvu ibadilishayo mtu .

    Take care, naitwa sylvester natokea kutoka (build new eden)

    Karubu tujifunze pamoja neno la Mungu .kupitia group la watsap

    https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4

    #restore men position
    #build new position
    Nguvu inayo badilisha mtu . Warumi 12:2 [2]*Wala msiifuatishe namna ya dunia hii; *bali mgeuzwe kwa kufanywa upya nia zenu, mpate kujua hakika mapenzi ya Mungu yaliyo mema, ya kumpendeza, na ukamilifu* Kama ukiwachukua watu wasili wanao waza sawa tunategemea matokeo yatakuwa sawa. Iko nguvu inaitwa neno la Mungu inayo weza badilisha mtu kama tu mtu akijua jinsi Mungu anavyo taka aenende . Kiwango chako cha kumjua Mungu katika neno lazima kiendane na matokeo kwani chochote apandacho mtu ndicho atakacho vuna. Wagalatia 6:7 [7]Msidanganyike, Mungu hadhihakiwi; kwa kuwa cho chote apandacho mtu, ndicho atakachovuna. faida za kulijua neno kama nguvu inayo badilisha mtu . 1.INATUHAKIKISHIA KUFNIKIWA. Mungu amehakikisha kila anaye mjua sawa sawa na neno anampa nguvu ya kufanikiwa. Zaburi 1:1-2 [1]Heri mtu yule asiyekwenda Katika shauri la wasio haki; Wala hakusimama katika njia ya wakosaji; Wala hakuketi barazani pa wenye mizaha. [2]Bali sheria ya BWANA ndiyo impendezayo, Na sheria yake huitafakari mchana na usiku. Lazma uamue kuishi maisha yasiyo na mizaa kabisa na dhambi kwa kulifuata neno kama mwongozo wako hapo ndipo utampendeza Mungu na Mungu atajihakikishia kukuwazia mema na mafanikio. Isaya 55:8-9 [8] *Maana mawazo yangu si mawazo yenu, wala njia zenu si njia zangu; asema BWANA.* . [9]Kwa maana kama vile mbingu zilivyo juu sana kuliko nchi, kadhalika njia zangu zi juu sana kuliko njia zenu, na mawazo yangu kuliko mawazo yenu. Mawazo ya mungu ni kuona ndoa yako inafanikiwa toka ujana wako mpaka uzee. Mawazo ya Mungu nikuona biashara yako inashine kuliko jana . Mawazo ya Mungu ni kukuona ukiishi maisha ya mafanikio na furaha siku zote za maisha yako . Yeremia 29:11 [11] *Maana nayajua mawazo ninayowawazia ninyi, asema BWANA, ni mawazo ya amani wala si ya mabaya, kuwapa ninyi tumaini siku zenu za mwisho.* Tatizo lako ni moja umeichukulia mzaa dhambi na kufanya mawazo ya Mungu kwako yasitimie . Acha dhambi acha mzaa na zinaa kutoka kusema hii ndo zambi yetu vijana anza kuichukia totally maisha yako yatabadilika totally na Mungu atakuhakikishia mafanikio siku zote. Mafanikio ni hakika na kweli kabisa kwa mtu anaye kaa na neno, mtu ambaye katika kila jambo anajibu na kulitazama neno linasema nini lazima apokee mafanikio makubwa zaidi. 2.inatusaidia kutoka katika mawazo na fikra hasi Mtu hawezi kufanikiwa zaidi ya vile anavyo amini . Mtu awezi kupokea uponyaji zaidi ya vile anavyo hitaji. Kiwango cha mafanikio yako kinaamuliwa na kiwango cha imani yako . Marko 9:23 [23]Yesu akamwambia, Ukiweza! Yote yawezekana kwake aaminiye. Ukiweza kuwekeza katika neno neno litakupa matokeo ya mwilini kwani neno litakusaidia kujua jinsi gani watu walio tembea na mungu walifanikiwa . Utaacha kuona haiwezekani kila jambo utaanza kuona inawezekana kila jambo kwani utajua yeye anasemaji. Wafilolipi 4:13 *Naweza kuyafanya mambo yote katika yeye anitiaye nguvu* Ko ni neno litabadilisha msimamo wako juu ya mawazo hasi juu ya mafanikio . Kwa maana mtu hawezi kuwa zaidi ya anavyo jiona. Mithali 23:7 [7] *Maana aonavyo nafsini mwake, ndivyo alivyo*. Akuambia, Haya, kula, kunywa; Lakini moyo wake hauwi pamoja nawe. Neno pekee ndilo linaweza badilisha namna unavyo jiona na jinsi unavyo amini ili upokee mambo makubwa . Usidanganyikee mtu hawezi kupokea zaidi ya ufunuo alio upata katika neno husika . Nimatumaini yangu utaanza kuongeza imani katika neno ili upate nguvu ibadilishayo mtu . Take care, naitwa sylvester natokea kutoka (build new eden) Karubu tujifunze pamoja neno la Mungu .kupitia group la watsap https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4 #restore men position #build new position
    Like
    1
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·393 Ansichten
  • 2 Mambo ya Nyakati 7:16
    [16]Maana sasa nimeichagua nyumba hii na kuitakasa, ili kwamba jina langu lipate kuwako huko milele; yatakuwako na macho yangu, na moyo wangu daima.

    Nyumba yako inaweza chaguliwa na Bwana n kutakaswa sababu cya wewe tu umemlingana Bwana.

    Wewe unweza kuwa mwema mbele ya mbingu kiasi ambacho Mungu akaona iko sababu kuichagua nyumba yako yote .

    Mungu alimwambia suleimani mambo hayo baada ya kufanya yaliyo adili machoni pako.

    Ndio maana maandiko yanasema *"mkikubali na kutii mtakula mema ya nchi"*

    Lazima uwe mtu uliye chagua kutembea na Mungu katika kila hatua siyo mtu wa kutembea na Mungu nusu nusu ,hapana lazma uwe unatembea na Mungu jumla jumla.

    Bwana akiichagua nyumba yako nakuitakasa inamaana kuna mambo mengi sana nyumba yako hawata itaji kutumia nguvu katika kuyafanya badala yake wanahitaji nguvu kidogo tu na matokeo makubwa sana.

    Kama mke ni mtii na wa kumtafuta Mungu nyumba yake itaiitwa nyumba ya sala na nyumba ya hekima sababu tu ni mwanamke muombaji ..

    Mithali 14:1-2
    [1]Kila mwanamke aliye na hekima hujenga nyumba yake;
    Bali aliye mpumbavu huibomoa kwa mikono yake mwenyewe.

    [2]Yeye aendaye kwa unyofu wake humcha BWANA;
    Bali aliye mkaidi katika njia zake humdharau.

    Wenye hekima ndiyo wanao chaguliwa na Bwana mke ambaye anaweza kusimama kuibeba ndoa yake katika kila hali .

    Mke ambaye anaweza kubeba nyumba yake kwa maombi kuna mambo mengi watoto zake wanaeushwa sababu tu ya maombi yake yanapelekea Mungu kuichagua nyumba yake nz kuitakasa.

    Mume mwenye hekima ni ulinzi tosha kwa familia sababu Mungu ndiye aliye mpa hekima na kuichagua nyumba yake lazima awe mtu wa matokeo tu.

    Nyumba iliyo amua kutembea na bwana katika kila hali ina muomba Mungu tu

    2 Mambo ya Nyakati 6:40
    [40]Na sasa, Ee Mungu wangu, macho yako yafumbuke, nakusihi, masikio yako yakasikilize maombi yaombwayo mahali hapa.

    Ni maombi yangu Bwana akufumbue macho ya hekima uenende na hekima yake na mwendelezo wa maarifa ya kiungu.

    MUNGU amekuchagua ila wewe tu ndo unaogopa kutii na kufuata anayo yataka Mungu.

    Naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden
    Karibu kujifunza neno lisilo goshiwa katika group letu la watsap.
    https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4
    #restore men position
    #build new eden
    2 Mambo ya Nyakati 7:16 [16]Maana sasa nimeichagua nyumba hii na kuitakasa, ili kwamba jina langu lipate kuwako huko milele; yatakuwako na macho yangu, na moyo wangu daima. Nyumba yako inaweza chaguliwa na Bwana n kutakaswa sababu cya wewe tu umemlingana Bwana. Wewe unweza kuwa mwema mbele ya mbingu kiasi ambacho Mungu akaona iko sababu kuichagua nyumba yako yote . Mungu alimwambia suleimani mambo hayo baada ya kufanya yaliyo adili machoni pako. Ndio maana maandiko yanasema *"mkikubali na kutii mtakula mema ya nchi"* Lazima uwe mtu uliye chagua kutembea na Mungu katika kila hatua siyo mtu wa kutembea na Mungu nusu nusu ,hapana lazma uwe unatembea na Mungu jumla jumla. Bwana akiichagua nyumba yako nakuitakasa inamaana kuna mambo mengi sana nyumba yako hawata itaji kutumia nguvu katika kuyafanya badala yake wanahitaji nguvu kidogo tu na matokeo makubwa sana. Kama mke ni mtii na wa kumtafuta Mungu nyumba yake itaiitwa nyumba ya sala na nyumba ya hekima sababu tu ni mwanamke muombaji .. Mithali 14:1-2 [1]Kila mwanamke aliye na hekima hujenga nyumba yake; Bali aliye mpumbavu huibomoa kwa mikono yake mwenyewe. [2]Yeye aendaye kwa unyofu wake humcha BWANA; Bali aliye mkaidi katika njia zake humdharau. Wenye hekima ndiyo wanao chaguliwa na Bwana mke ambaye anaweza kusimama kuibeba ndoa yake katika kila hali . Mke ambaye anaweza kubeba nyumba yake kwa maombi kuna mambo mengi watoto zake wanaeushwa sababu tu ya maombi yake yanapelekea Mungu kuichagua nyumba yake nz kuitakasa. Mume mwenye hekima ni ulinzi tosha kwa familia sababu Mungu ndiye aliye mpa hekima na kuichagua nyumba yake lazima awe mtu wa matokeo tu. Nyumba iliyo amua kutembea na bwana katika kila hali ina muomba Mungu tu 2 Mambo ya Nyakati 6:40 [40]Na sasa, Ee Mungu wangu, macho yako yafumbuke, nakusihi, masikio yako yakasikilize maombi yaombwayo mahali hapa. Ni maombi yangu Bwana akufumbue macho ya hekima uenende na hekima yake na mwendelezo wa maarifa ya kiungu. MUNGU amekuchagua ila wewe tu ndo unaogopa kutii na kufuata anayo yataka Mungu. Naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden Karibu kujifunza neno lisilo goshiwa katika group letu la watsap. https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4 #restore men position #build new eden
    0 Kommentare ·0 Anteile ·352 Ansichten
  • Sauti ya Mungu na maelekezo ya Mungu imeandaliwa specific kwa wanadamu.


    Mithali 8:4
    [4]Enyi watu, nawaita ninyi;
    Na sauti yangu ni kwa wanadamu.

    Mwanadamu anaye sikia sauti ya Mungu ndiye anayekuwa mtawala wa kila kitu.

    Mwanzo 1:26
    [26]Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; wakatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na wanyama, na nchi yote pia, na kila chenye kutambaa kitambaacho juu ya nchi.

    Kama ukiweza kuishi katika mapenzi ya Mungu basi yeye ni kila kitu .

    Mtu baada ya kuokoka anaznza kutembea katka kusudi la Mungu,kusikia sauti ya Mungu lazima la atapata zaidi ya vile aombavyo.

    Kanuni ya kupata katokeo unaposikia sauti ya Mungu.

    Mali ni zawadi ,nyumba ni zawadi lakini ili upate izo zawadi lazima ufuate kanuni ya kumcha MUNGU.

    Mithali 8:13
    [13]Kumcha BWANA ni kuchukia uovu;
    Kiburi na majivuno, na njia mbovu,
    Na kinywa cha ukaidi pia nakichukia.

    Kumbz ili ufike kusema unamcha Bwana lazima uwe mtu wa kuchukia uovu kwa moyo wote .

    Na mtu ili awe wake Mungu au afanyike kuwa mwana lazima achukie uovu seriously kabisa.

    Ok naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden)

    Kwa mafundisho zaidi unaweza kujiungaletu la watsap.
    https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4

    #Build new eden
    #Restoremenposition
    Sauti ya Mungu na maelekezo ya Mungu imeandaliwa specific kwa wanadamu. Mithali 8:4 [4]Enyi watu, nawaita ninyi; Na sauti yangu ni kwa wanadamu. Mwanadamu anaye sikia sauti ya Mungu ndiye anayekuwa mtawala wa kila kitu. Mwanzo 1:26 [26]Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; wakatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na wanyama, na nchi yote pia, na kila chenye kutambaa kitambaacho juu ya nchi. Kama ukiweza kuishi katika mapenzi ya Mungu basi yeye ni kila kitu . Mtu baada ya kuokoka anaznza kutembea katka kusudi la Mungu,kusikia sauti ya Mungu lazima la atapata zaidi ya vile aombavyo. Kanuni ya kupata katokeo unaposikia sauti ya Mungu. Mali ni zawadi ,nyumba ni zawadi lakini ili upate izo zawadi lazima ufuate kanuni ya kumcha MUNGU. Mithali 8:13 [13]Kumcha BWANA ni kuchukia uovu; Kiburi na majivuno, na njia mbovu, Na kinywa cha ukaidi pia nakichukia. Kumbz ili ufike kusema unamcha Bwana lazima uwe mtu wa kuchukia uovu kwa moyo wote . Na mtu ili awe wake Mungu au afanyike kuwa mwana lazima achukie uovu seriously kabisa. Ok naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden) Kwa mafundisho zaidi unaweza kujiungaletu la watsap. https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4 #Build new eden #Restoremenposition
    0 Kommentare ·0 Anteile ·524 Ansichten
  • 1.Kama ukijengwa katika dhana hii ya kujua kuwa sex ni ibada kamili yenye Madhabau kamili na maji maji mnayo yatoa ni sadaka kamili uwezi kubali kulala na kila binti unaye muona .

    My dear ukijua kuwa sex ni mlango unao weza ruhusu laana kuingia kwako uwezi kubali kulala na kila mwanaume anaye kuja mbele yako .

    Ukijua kuwa zinaa "KUZINI" Ni amri kama ilivyo USIUE huwezi kubali kusex na kila mwanamke anaye jichekesha mbele yako.

    Namaanisha hivi wewe uliye zini na anaye aliye ua wote kwa Mungu mko sawa acha kuichukilia zinaa kawaida.

    3.Ukijua kuwa zinaa inaangamiza nafsi yako uwezi kuwa unaruhusu kila kijana anaye kuja anakuvua nguo.

    4.Moja ya sifa ambayo inaweza kukutqmbulisha kama mpumbavu ni pamoja na kuwa mtu wa zinaa muda wote .

    Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake mithali 6:32

    5.Aina ya maisha yako yanaamua kiwango cha maisha yako uwezi kuwa na ndoto kubwa arafu ukawa unalala na kila mtu anaye kuja mbele yako .

    Yusuph kwa kuheshimu ndoto yake aliamua kumkimbia potifa.
    Hakuna mkuu katika nyumba hii kuliko mimi, wala hakunizuilia kitu chochote ila wewe, kwa kuwa wewe u mkewe.
    *Nifanyeje ubaya huu mkubwa nimkosee Mungu?* Akawa akizidi kusema na Yusufu siku baada ya siku, lakini hakumsikia alale naye, wala kuwa naye.Mwanzo 39:9-10.
    Ukubwa wa ndoto ya yusuph akubabaishwa na uzuri na ukuu wa malkia wa misri .
    Hiyo ndiyo maana sahihi ya ndoto.

    6.Zinaa inakuondolea kabisa uwepo wa Mungu kabisa .

    Zinaa inaharibu kusudi la Mungu kwako na unaweza kufa kabla ya wakati muulize sulemani anajua uhalisia kuwa sababu ya zinaa alipoteza nguvu zake .

    Sex ni tendo la agano kama agano lingine ndo mana intial day lazima wakike afunguliwe kwa damu kumwagika na anaye mwaga damu anatoa maji maji huitwa (shahawa) kama kamilisho la agano .

    Acha kuchukulia zinaa kama kitu cha kawaida ni tendo la agano kuna watu wengi mumefungwa na watu wenu wa ujanani mpaka leo mumeolewa au kuoa kimwili uko na mke wako lakini kiroho wewe una agano na mtu mwingine.

    Asante Kristo ni Bwana wa agano jipy anataka vijana waache zinaa kabisa na yeye anasamehe kila jambo baya kama tu ukimwamini na kumpa nafasi leo.


    Ok naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden)

    #build new eden
    #restore men position
    1.Kama ukijengwa katika dhana hii ya kujua kuwa sex ni ibada kamili yenye Madhabau kamili na maji maji mnayo yatoa ni sadaka kamili uwezi kubali kulala na kila binti unaye muona . My dear ukijua kuwa sex ni mlango unao weza ruhusu laana kuingia kwako uwezi kubali kulala na kila mwanaume anaye kuja mbele yako . Ukijua kuwa zinaa "KUZINI" Ni amri kama ilivyo USIUE huwezi kubali kusex na kila mwanamke anaye jichekesha mbele yako. Namaanisha hivi wewe uliye zini na anaye aliye ua wote kwa Mungu mko sawa acha kuichukilia zinaa kawaida. 3.Ukijua kuwa zinaa inaangamiza nafsi yako uwezi kuwa unaruhusu kila kijana anaye kuja anakuvua nguo. 4.Moja ya sifa ambayo inaweza kukutqmbulisha kama mpumbavu ni pamoja na kuwa mtu wa zinaa muda wote . Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake mithali 6:32 5.Aina ya maisha yako yanaamua kiwango cha maisha yako uwezi kuwa na ndoto kubwa arafu ukawa unalala na kila mtu anaye kuja mbele yako . Yusuph kwa kuheshimu ndoto yake aliamua kumkimbia potifa. Hakuna mkuu katika nyumba hii kuliko mimi, wala hakunizuilia kitu chochote ila wewe, kwa kuwa wewe u mkewe. *Nifanyeje ubaya huu mkubwa nimkosee Mungu?* Akawa akizidi kusema na Yusufu siku baada ya siku, lakini hakumsikia alale naye, wala kuwa naye.Mwanzo 39:9-10. Ukubwa wa ndoto ya yusuph akubabaishwa na uzuri na ukuu wa malkia wa misri . Hiyo ndiyo maana sahihi ya ndoto. 6.Zinaa inakuondolea kabisa uwepo wa Mungu kabisa . Zinaa inaharibu kusudi la Mungu kwako na unaweza kufa kabla ya wakati muulize sulemani anajua uhalisia kuwa sababu ya zinaa alipoteza nguvu zake . Sex ni tendo la agano kama agano lingine ndo mana intial day lazima wakike afunguliwe kwa damu kumwagika na anaye mwaga damu anatoa maji maji huitwa (shahawa) kama kamilisho la agano . Acha kuchukulia zinaa kama kitu cha kawaida ni tendo la agano kuna watu wengi mumefungwa na watu wenu wa ujanani mpaka leo mumeolewa au kuoa kimwili uko na mke wako lakini kiroho wewe una agano na mtu mwingine. Asante Kristo ni Bwana wa agano jipy anataka vijana waache zinaa kabisa na yeye anasamehe kila jambo baya kama tu ukimwamini na kumpa nafasi leo. Ok naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden) #build new eden #restore men position
    Wow
    1
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·636 Ansichten
  • Ufunuo wa Yohana 6:9-11
    [9]Na alipoifungua muhuri ya tano, nikaona chini ya madhabahu roho zao waliochinjwa kwa ajili ya neno la :
    [10]Wakalia kwa sauti kuu, wakisema, Ee Mola, Mtakatifu, Mwenye kweli, hata lini kutokuhukumu, wala kuipatia haki damu yetu kwa hao wakaao juu ya nchi?

    [11]Nao wakapewa kila mmoja nguo ndefu, nyeupe, wakaambiwa wastarehe bado muda mchache, hata itakapotimia hesabu ya wajoli wao na ndugu zao, watakaouawa vile vile kama wao.

    *Unaweza zani unaua Mungu amekuacha kube ni bado kitambo kidogo sana juu yako.*

    Na ukitaka kujua bado kitmbo kidogo ukiona imefika wakati kanisa linaanza kushambuliwa jua kumeshakucha tayari mwenye kusikia na asikie maneno ambayo roho ayaambia makanisa.

    Ogopa sana wewe kuwa sababu y kukatisha uhai wa mtu katika hii dunia asila ya mungu ikishuka amna namna unaweza kuwa salama.

    *Nazungumza na mtu ambaye wewe kuua nafsi za watu kwako ni kawaida ,Mungu anasema amesubiri kidogo tu kilio kama cha watu wale kiongezeke kidogo tu* .

    Kama kanisa likasema kuwa haki inaminywa matokeo yake ni kuumia kwa maisha yao basi jua kuwa anguko la pili ni kubwa kuliko la kwanza.

    Galatia 6:9-10
    *Tena tusichoke katika kutenda mema; maana tutavuna kwa wakati wake, tusipozimia roho. Kwa hiyo kadiri tupatavyo nafasi na tuwatendee watu wote mema; na hasa jamaa ya waaminio.*

    Sasa kwa namna yeyote ile kutenda mema kwa kanisa ni pamoja na kusema ukweli panapo hitajika kusema.

    *Haki huinua taifa; Bali dhambi ni aibu ya watu wo wote.* Mithali 14:34

    Sasa kama kuna damu inamwagika kwa ajiri ya haki jua kinacho fuatia ni aibu mauti (dhambi).

    Ole kwako dunia ambaye wewe unashiriki kuua masihi wa Bwana na wasema kweli wote kwani anguko lako ni baya sana kuliko hata asiye amini.

    51 *tangu damu ya Abeli mpaka damu ya Zakaria aliyeuawa kati ya madhabahu na mahali patakatifu. Nawaambia kweli, watu wa kizazi hiki wataadhibiwa kwa ajili yao wote* (luka 11:51)

    Kama kwa matoleo damu ya Abiri ililia vipi kuhusu haki damu ya watumishi itakayo lia .

    Misikilize mathayo alivyo andika maneno aliyo yasema masihi wa Bwana.
    Mathayo 23:35
    *Hivyo ile damu ya wenye haki wote iliyomwagwa hapa duniani, tangu damu ya Habili, aliyekuwa mwenye haki, hadi damu ya Zakaria mwana wa Barakia, mliyemuua kati ya patakatifu na madhabahu, itawajia juu yenu*

    Kanisa la Mungu damu ya wenye haki na watumishi wa mungu si damu za kuzishiriki kwani zinahatari sana .

    Cheki laana aliyo ipata kaini baada ya kumuua ndugu yake.
    Mwanzo 4:10-12
    *Umefanya nini? Damu ya ndugu yako yanililia kutoka udongoni. Sasa wewe umelaaniwa! Hutailima tena ardhi yenye rutuba ambayo kama kinywa imeipokea damu ya nduguyo uliyemuua. Ukiilima ardhi haitakupatia tena mazao yake. Utakuwa mtu wa kutangatanga, asiye na makao maalumu duniani.”*

    *Sasa kama taifa ni moja ya madhara yanaweza kukupata wewe ambaye damu ya wataua wa Mungu na wapenda haki unaichezea* .

    Unaweza ukamuua huyo mtumishi msema kweli lakini mara zote damu yake utumika kama wino wa kumkumbusha Mungu na matokeo yake unalaaniwa wewe na kizazi chako chote .

    *Kama askari wa mbinguni huu ni muda mwafaka wa kumlingana Mungu kuhusu maovu yetu kuliko kuendelea kumwaga damu ya wataua.*

    Lakini pia ole kwa kanisa ambalo linaona palipo haribika lakini halitaki kuongea kazi yake kusifiwa na nyinyi pia ole kwenu imefika .
    Yeremia 23:1
    *Ole wao wachungaji, wanaoharibu kondoo za malisho yangu na kuwatawanya! Asema BWANA*

    *Watumishi msidhani kuzini tu ndo ole iyo hata kukaa kimya wakati damu inamwagika pia ni kutawanya kondoo kwani amuwaekezi ukweli kondoo wenu .*

    Wako katika Kristo jasusi wa mbinguni SG Mwakabende kutoka build new eden
    Ufunuo wa Yohana 6:9-11 [9]Na alipoifungua muhuri ya tano, nikaona chini ya madhabahu roho zao waliochinjwa kwa ajili ya neno la : [10]Wakalia kwa sauti kuu, wakisema, Ee Mola, Mtakatifu, Mwenye kweli, hata lini kutokuhukumu, wala kuipatia haki damu yetu kwa hao wakaao juu ya nchi? [11]Nao wakapewa kila mmoja nguo ndefu, nyeupe, wakaambiwa wastarehe bado muda mchache, hata itakapotimia hesabu ya wajoli wao na ndugu zao, watakaouawa vile vile kama wao. *Unaweza zani unaua Mungu amekuacha kube ni bado kitambo kidogo sana juu yako.* Na ukitaka kujua bado kitmbo kidogo ukiona imefika wakati kanisa linaanza kushambuliwa jua kumeshakucha tayari mwenye kusikia na asikie maneno ambayo roho ayaambia makanisa. Ogopa sana wewe kuwa sababu y kukatisha uhai wa mtu katika hii dunia asila ya mungu ikishuka amna namna unaweza kuwa salama. *Nazungumza na mtu ambaye wewe kuua nafsi za watu kwako ni kawaida ,Mungu anasema amesubiri kidogo tu kilio kama cha watu wale kiongezeke kidogo tu* . Kama kanisa likasema kuwa haki inaminywa matokeo yake ni kuumia kwa maisha yao basi jua kuwa anguko la pili ni kubwa kuliko la kwanza. Galatia 6:9-10 *Tena tusichoke katika kutenda mema; maana tutavuna kwa wakati wake, tusipozimia roho. Kwa hiyo kadiri tupatavyo nafasi na tuwatendee watu wote mema; na hasa jamaa ya waaminio.* Sasa kwa namna yeyote ile kutenda mema kwa kanisa ni pamoja na kusema ukweli panapo hitajika kusema. *Haki huinua taifa; Bali dhambi ni aibu ya watu wo wote.* Mithali 14:34 Sasa kama kuna damu inamwagika kwa ajiri ya haki jua kinacho fuatia ni aibu mauti (dhambi). Ole kwako dunia ambaye wewe unashiriki kuua masihi wa Bwana na wasema kweli wote kwani anguko lako ni baya sana kuliko hata asiye amini. 51 *tangu damu ya Abeli mpaka damu ya Zakaria aliyeuawa kati ya madhabahu na mahali patakatifu. Nawaambia kweli, watu wa kizazi hiki wataadhibiwa kwa ajili yao wote* (luka 11:51) Kama kwa matoleo damu ya Abiri ililia vipi kuhusu haki damu ya watumishi itakayo lia . Misikilize mathayo alivyo andika maneno aliyo yasema masihi wa Bwana. Mathayo 23:35 *Hivyo ile damu ya wenye haki wote iliyomwagwa hapa duniani, tangu damu ya Habili, aliyekuwa mwenye haki, hadi damu ya Zakaria mwana wa Barakia, mliyemuua kati ya patakatifu na madhabahu, itawajia juu yenu* Kanisa la Mungu damu ya wenye haki na watumishi wa mungu si damu za kuzishiriki kwani zinahatari sana . Cheki laana aliyo ipata kaini baada ya kumuua ndugu yake. Mwanzo 4:10-12 *Umefanya nini? Damu ya ndugu yako yanililia kutoka udongoni. Sasa wewe umelaaniwa! Hutailima tena ardhi yenye rutuba ambayo kama kinywa imeipokea damu ya nduguyo uliyemuua. Ukiilima ardhi haitakupatia tena mazao yake. Utakuwa mtu wa kutangatanga, asiye na makao maalumu duniani.”* *Sasa kama taifa ni moja ya madhara yanaweza kukupata wewe ambaye damu ya wataua wa Mungu na wapenda haki unaichezea* . Unaweza ukamuua huyo mtumishi msema kweli lakini mara zote damu yake utumika kama wino wa kumkumbusha Mungu na matokeo yake unalaaniwa wewe na kizazi chako chote . *Kama askari wa mbinguni huu ni muda mwafaka wa kumlingana Mungu kuhusu maovu yetu kuliko kuendelea kumwaga damu ya wataua.* Lakini pia ole kwa kanisa ambalo linaona palipo haribika lakini halitaki kuongea kazi yake kusifiwa na nyinyi pia ole kwenu imefika . Yeremia 23:1 *Ole wao wachungaji, wanaoharibu kondoo za malisho yangu na kuwatawanya! Asema BWANA* *Watumishi msidhani kuzini tu ndo ole iyo hata kukaa kimya wakati damu inamwagika pia ni kutawanya kondoo kwani amuwaekezi ukweli kondoo wenu .* Wako katika Kristo jasusi wa mbinguni SG Mwakabende kutoka build new eden
    0 Kommentare ·0 Anteile ·875 Ansichten
  • 10/21 Nguvu za Mungu.

    Huwezi kumuona Mungu ikiwa tu hufanyi mapenzi yake .

    Moja ya mapenzi ya Mungu ni kuona kanisa linamju Mungu katika eneo la msamaha.

    Nguvu za Mungu zinatafutwa na muamini anaye zihitaji .

    Zaburi 105:4

    *Mtakeni BWANA na nguvu zake, Utafuteni uso wake sikuzote*

    Ukiona maandiko yameweka wazi kabisa kwamba nguvu za Mungu ili uzipate lazima uzitake kwa kuomba, kusoma neno na kulitafakari na kuzidi kutenda wema.

    *Watu wengi tunachanganya mambo tunazani ukiokoka tu nguvu za Mungu utakuwa nazo kitu ambacho si kweli .*

    Mitume walio fanya kazi na Yesu bdo yesu aliwapa maelekezo ya kupata nguvu zake kupitia msaada wa roho mtakatifu lakini pia walikutwa wanaomba .

    Walipokea nguvu wakati wakiendelea na maombi.

    Matendo 1:8 SUV
    *Lakini wakati Roho Mtakatifu atakapowashukieni nyinyi, mtapokea nguvu na mtakuwa mashahidi wangu katika Yerusalemu, katika nchi yote ya Yudea na Samaria, na hata miisho ya dunia.”*

    Kumbe maombi ndiyo siri ya kupata nguvu za kuweza kukusaidia hata kishinda majaribu.

    *Kadiri unavyo weza mtafuta Mungu katika kuongezeka nguvu zake ndivyo unavyo jisogeza mbali na majaribu na mitego ya majaribu.*

    Yesu alishinda jaribu kwa kuwa alikuwa mtu wa maombi muda wake wote aliokuwepo duniani.
    Luka 5
    *Na Yesu, hali amejaa Roho Mtakatifu, alirudi kutoka Yordani, akaongozwa na Roho muda wa siku arobaini nyikani*
    Kumbe alipata kumshinda shetani katika jaribu zote kwa sababu tu alipata nguvu kipitia zile siku arobaini.

    Sasa kumbe kuna watu sababu ya kukosa nguvu wnazimia kirahisi sana.

    Mithali 24:10
    *Ukizimia siku ya taabu, Nguvu zako ni chache.*

    *Wokovu ni zaidi ya hapo kwani lazima uamue kuto kuzimia kabisa .*

    Ukiokoka lazima ujifunze kuzitaka nguvu za Mungu kupitia roho takatifu ili usiweze zimia moyo.

    Ni matumaini yangu maombi yanaweza kuwa maisha yetu ili tupate kumuona Mungu.

    Bila maombi uwezi pokea kwani biblia inasema ili *upokee lazima tuombe*

    Na yesu pia anasema *tukeshe katika maombi*

    Nguvu za Mungu ni muhimu sana ili uufurahie wokovu na ahadi za Mungu.

    *Mtafute bwana naye awe shirika nawe ili upate kuishi mapenzi yake .*

    Ahsante sana naitwa mwl.Sylvester Mwakabende (kutoka build new eden )

    #build new eden
    #Restoremenposition
    10/21 Nguvu za Mungu. Huwezi kumuona Mungu ikiwa tu hufanyi mapenzi yake . Moja ya mapenzi ya Mungu ni kuona kanisa linamju Mungu katika eneo la msamaha. Nguvu za Mungu zinatafutwa na muamini anaye zihitaji . Zaburi 105:4 *Mtakeni BWANA na nguvu zake, Utafuteni uso wake sikuzote* Ukiona maandiko yameweka wazi kabisa kwamba nguvu za Mungu ili uzipate lazima uzitake kwa kuomba, kusoma neno na kulitafakari na kuzidi kutenda wema. *Watu wengi tunachanganya mambo tunazani ukiokoka tu nguvu za Mungu utakuwa nazo kitu ambacho si kweli .* Mitume walio fanya kazi na Yesu bdo yesu aliwapa maelekezo ya kupata nguvu zake kupitia msaada wa roho mtakatifu lakini pia walikutwa wanaomba . Walipokea nguvu wakati wakiendelea na maombi. Matendo 1:8 SUV *Lakini wakati Roho Mtakatifu atakapowashukieni nyinyi, mtapokea nguvu na mtakuwa mashahidi wangu katika Yerusalemu, katika nchi yote ya Yudea na Samaria, na hata miisho ya dunia.”* Kumbe maombi ndiyo siri ya kupata nguvu za kuweza kukusaidia hata kishinda majaribu. *Kadiri unavyo weza mtafuta Mungu katika kuongezeka nguvu zake ndivyo unavyo jisogeza mbali na majaribu na mitego ya majaribu.* Yesu alishinda jaribu kwa kuwa alikuwa mtu wa maombi muda wake wote aliokuwepo duniani. Luka 5 *Na Yesu, hali amejaa Roho Mtakatifu, alirudi kutoka Yordani, akaongozwa na Roho muda wa siku arobaini nyikani* Kumbe alipata kumshinda shetani katika jaribu zote kwa sababu tu alipata nguvu kipitia zile siku arobaini. Sasa kumbe kuna watu sababu ya kukosa nguvu wnazimia kirahisi sana. Mithali 24:10 *Ukizimia siku ya taabu, Nguvu zako ni chache.* *Wokovu ni zaidi ya hapo kwani lazima uamue kuto kuzimia kabisa .* Ukiokoka lazima ujifunze kuzitaka nguvu za Mungu kupitia roho takatifu ili usiweze zimia moyo. Ni matumaini yangu maombi yanaweza kuwa maisha yetu ili tupate kumuona Mungu. Bila maombi uwezi pokea kwani biblia inasema ili *upokee lazima tuombe* Na yesu pia anasema *tukeshe katika maombi* Nguvu za Mungu ni muhimu sana ili uufurahie wokovu na ahadi za Mungu. *Mtafute bwana naye awe shirika nawe ili upate kuishi mapenzi yake .* Ahsante sana naitwa mwl.Sylvester Mwakabende (kutoka build new eden ) #build new eden #Restoremenposition
    0 Kommentare ·0 Anteile ·757 Ansichten
  • 4/21.Tumia biblia kuomba ulinzi wa Mungu.

    *Maisha ya mwanadamu hayako mikononi mwa mwanadamu bali yako mikononi mwake mwokozi Mungu wetu.*

    *Ukijua kuwa uweponi mwa bwana jukumu la kujilinda linakuwa siyo lako.*

    Zaburi 127:1-2
    *BWANA asipoijenga nyumba Waijengao wafanya kazi bure. BWANA asipoulinda mji Yeye aulindaye akesha bure. Kazi yenu ni bure, mnaoamka mapema, Na kukawia kwenda kulala, Na kula chakula cha taabu; Yeye humpa mpenzi wake usingizi."*

    Kumbe lazima Bwana akulinde kwani kujilnda uwezi hata siku moja.

    1.Mfanye Bwana kuwa mlinzi wako

    Mithali18:10. *Jina la BWANA ni ngome imara; Mwenye haki huikimbilia, akawa salama*

    Zaburi 27:1.BHN *Mwenyezi-Mungu ni mwanga wangu na wokovu wangu, ni nani nitakayemwogopa? Mwenyezi-Mungu ni ngome ya maisha yangu, sitamwogopa mtu yeyote*

    Kumbe lazima ifike mahara bwana awe ngome yako na kimbilio lako na uo ndio wakovu mkuu.

    2.Bwana atakulinda dhidi ya mabaya

    Zaburi 91:4
    *Bwana atakufunika chini ya mbawa zake*
    Zaburi 121:1-4

    Zaburi 34:7
    *Malaika wa Mwenyezi-Mungu huwalinda wote wamchao, na kuwaokoa katika hatari.*

    Kumbe kama tu ukiamua kuokoka Bwana anaanza kuwa mtetezi wako .

    *Kiwango chako cha kumjua Mungu kinaamua kiwango gani Mungu awa mtetezi wako .*
    Ayubu 22:21

    *Mjue sana Mungu ili uwe na amani, ndipo mema yatakapokujia*

    Kumbe mema yako ni uwezo wako wa kumjua Mungu.

    Kutoka 14;14 SUV
    *BWANA atawapigania ninyi, nanyi mtanyamaza kimya.*

    Zaburi 23:4
    *Nijapopita katika bonde la giza kuu la kifo, sitaogopa hatari yoyote, maana wewe ee Mwenyezi-Mungu u pamoja nami; gongo lako na fimbo yako vyanilinda*

    *Wokovu ndio siri inayo kukutaniisha na Mungu na kuwa mlinzi wa karibu*

    *Mtafute sana Mungu ndipo atakuzidishia ulinzi kiasi cha kuweza kukuandalia meza katikati ya watesi wako.*

    *Mungu akiwa mlinzi wako ndivyo anavyo weza kuwa kimbilio lako na ngome yako na mtetezi wako.*

    #build new eden
    #restore men position
    4/21.Tumia biblia kuomba ulinzi wa Mungu. *Maisha ya mwanadamu hayako mikononi mwa mwanadamu bali yako mikononi mwake mwokozi Mungu wetu.* *Ukijua kuwa uweponi mwa bwana jukumu la kujilinda linakuwa siyo lako.* Zaburi 127:1-2 *BWANA asipoijenga nyumba Waijengao wafanya kazi bure. BWANA asipoulinda mji Yeye aulindaye akesha bure. Kazi yenu ni bure, mnaoamka mapema, Na kukawia kwenda kulala, Na kula chakula cha taabu; Yeye humpa mpenzi wake usingizi."* Kumbe lazima Bwana akulinde kwani kujilnda uwezi hata siku moja. 1.Mfanye Bwana kuwa mlinzi wako Mithali18:10. *Jina la BWANA ni ngome imara; Mwenye haki huikimbilia, akawa salama* Zaburi 27:1.BHN *Mwenyezi-Mungu ni mwanga wangu na wokovu wangu, ni nani nitakayemwogopa? Mwenyezi-Mungu ni ngome ya maisha yangu, sitamwogopa mtu yeyote* Kumbe lazima ifike mahara bwana awe ngome yako na kimbilio lako na uo ndio wakovu mkuu. 2.Bwana atakulinda dhidi ya mabaya Zaburi 91:4 *Bwana atakufunika chini ya mbawa zake* Zaburi 121:1-4 Zaburi 34:7 *Malaika wa Mwenyezi-Mungu huwalinda wote wamchao, na kuwaokoa katika hatari.* Kumbe kama tu ukiamua kuokoka Bwana anaanza kuwa mtetezi wako . *Kiwango chako cha kumjua Mungu kinaamua kiwango gani Mungu awa mtetezi wako .* Ayubu 22:21 *Mjue sana Mungu ili uwe na amani, ndipo mema yatakapokujia* Kumbe mema yako ni uwezo wako wa kumjua Mungu. Kutoka 14;14 SUV *BWANA atawapigania ninyi, nanyi mtanyamaza kimya.* Zaburi 23:4 *Nijapopita katika bonde la giza kuu la kifo, sitaogopa hatari yoyote, maana wewe ee Mwenyezi-Mungu u pamoja nami; gongo lako na fimbo yako vyanilinda* *Wokovu ndio siri inayo kukutaniisha na Mungu na kuwa mlinzi wa karibu* *Mtafute sana Mungu ndipo atakuzidishia ulinzi kiasi cha kuweza kukuandalia meza katikati ya watesi wako.* *Mungu akiwa mlinzi wako ndivyo anavyo weza kuwa kimbilio lako na ngome yako na mtetezi wako.* #build new eden #restore men position
    Love
    1
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·869 Ansichten
  • 3.Virtue (MKE MWEMA)

    Mke mwema ni gharama kumjua lakini mfalme suleiman alitusaidia kutupa quality za mke mwema .
    mithali 31:10 Mke mwema, ni nani awezaye kumwona? Maana kima chake chapita kima cha marijani. Moyo wa mumewe humwamini, Wala hatakosa kupata mapato

    Mke mwema lazima awe multitasking.

    Mke mwema ni yule ambaye anauliza kuhusu maono yako kabla ya kujua utajiri wako .kiufupi ababaishwi na ela yako anaangaika kujua maono yko ili ajue kama anaweza kukusaidia kuyatimiza au raha.

    Unapaswa kutafuta mke ambaye ni mwalimu wa wanao ,mama wa watoto wako, na msaidizi wako .

    Mke mwema anaweza pia akawa anafanya kazi na mume wake kapata economic crisis na familia ikaenda bila majirani kuona tofauti yeyote yaani mtoto anataka ela ya kiatu na yeye ndo anatoa lakini anampa mume wake ili awape watato ilo watoto waone baba bado ndo kichwa cha nyuma.

    *Mke mwema khatu awezi wachukia ndugu za mume wake badala yake uwapenda na kiwakumbatia.*

    Ok naitwa sylvester Mwakabende (kutoka Build new eden)

    Kwa mafundisho zaidi unaweza save namba yangu 0622625340

    #build new eden
    Restoremenposition
    3.Virtue (MKE MWEMA) Mke mwema ni gharama kumjua lakini mfalme suleiman alitusaidia kutupa quality za mke mwema . mithali 31:10 Mke mwema, ni nani awezaye kumwona? Maana kima chake chapita kima cha marijani. Moyo wa mumewe humwamini, Wala hatakosa kupata mapato Mke mwema lazima awe multitasking. Mke mwema ni yule ambaye anauliza kuhusu maono yako kabla ya kujua utajiri wako .kiufupi ababaishwi na ela yako anaangaika kujua maono yko ili ajue kama anaweza kukusaidia kuyatimiza au raha. Unapaswa kutafuta mke ambaye ni mwalimu wa wanao ,mama wa watoto wako, na msaidizi wako . Mke mwema anaweza pia akawa anafanya kazi na mume wake kapata economic crisis na familia ikaenda bila majirani kuona tofauti yeyote yaani mtoto anataka ela ya kiatu na yeye ndo anatoa lakini anampa mume wake ili awape watato ilo watoto waone baba bado ndo kichwa cha nyuma. *Mke mwema khatu awezi wachukia ndugu za mume wake badala yake uwapenda na kiwakumbatia.* Ok naitwa sylvester Mwakabende (kutoka Build new eden) Kwa mafundisho zaidi unaweza save namba yangu 0622625340 #build new eden Restoremenposition
    Love
    1
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·816 Ansichten
  • Je umewai ota uko juu ya paa na paa limefunguliwa ?nini maana yake

    1.Kuna roho ya uvivu inakufuatilia.
    Muhubiri 10:18
    Mithali 19:15

    2.Sababu ya uvivu unafungua roho ya umaskini kwako .

    3.Roho ya usingizi mzito ndani ya mtu unaweza kuwa ni kulaza biasharazako huduma yako au hata destiny yako.

    2.Usingizi ukizidi ni uzaifu ko roho ya udhaifu inataka kuingia.


    Usingizi mzito ni roho kamili ya mauti .1wathethalonike 4:14

    Naombaje .

    1.Omba toba kwa kumaanisha

    2.kataa roho ya uvivu wowote ule kwakuwauvivu ni umaskini kamili
    .
    3.Kataa roho ya usingizi mzito(mauti)

    4.jifumze kurudi magotini pa msalaba kuomba damu yake ikufunike.

    Ahsanteni sana kwa niaba ya build new eden naomba mtusamehe sana tulishimdwa kulipandisha somo hilo jana kutokana na sababu zilizo kuwa nje ya uwezo wetu.
    #build new eden
    #restore men position
    Je umewai ota uko juu ya paa na paa limefunguliwa ?nini maana yake 1.Kuna roho ya uvivu inakufuatilia. Muhubiri 10:18 Mithali 19:15 2.Sababu ya uvivu unafungua roho ya umaskini kwako . 3.Roho ya usingizi mzito ndani ya mtu unaweza kuwa ni kulaza biasharazako huduma yako au hata destiny yako. 2.Usingizi ukizidi ni uzaifu ko roho ya udhaifu inataka kuingia. Usingizi mzito ni roho kamili ya mauti .1wathethalonike 4:14 Naombaje . 1.Omba toba kwa kumaanisha 2.kataa roho ya uvivu wowote ule kwakuwauvivu ni umaskini kamili . 3.Kataa roho ya usingizi mzito(mauti) 4.jifumze kurudi magotini pa msalaba kuomba damu yake ikufunike. Ahsanteni sana kwa niaba ya build new eden naomba mtusamehe sana tulishimdwa kulipandisha somo hilo jana kutokana na sababu zilizo kuwa nje ya uwezo wetu. #build new eden #restore men position
    Love
    1
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·657 Ansichten
  • Habari ya usiku ndugu zangu ni siku ya nne leo japo kwa kuchelewe tunaendelea na mwendelezo wa fasiri za ndoto kiblia .

    *Ungana nami Sylvester Mwakabende kwa ufafanuzi zaidi kadiri roho wa Bwana Atakavyo niongoza*

    *Je umewai kuota unafukuzwa na mbwa ? nini maana yake*? .


    Zaburi 22:16
    *[16]Kwa maana mbwa wamenizunguka Kusanyiko la waovu wamenisonga;
    Wamenizua mikono na miguu*
    For dogs have compassed me: the assembly of the wicked have inclosed me: they pierced my hands and my feet.

    1.Kufuatiliwa na roho chafu kama zinaa na uasherati

    Mithali26:11 SUV

    *Kama vile mbwa arudiavyo matapiko yake; Kadhalika mpumbavu afanya upumbavu tena.*

    Kutoka 22:31 BHN
    *Nyinyi mtakuwa watu waliowekwa wakfu kwangu. Kwa hiyo hamtakula nyama ya mnyama aliyeuawa na mnyama wa porini. Nyama hiyo mtawatupia mbwa.*

    Chochote kile kilicho kichafu upaswi kukila .

    Torati 23:18 BHN
    *Usilete ujira wa kahaba, wala mshahara wa mbwa, katika nyumba ya BWANA, Mungu wako, kwa ajili ya nadhiri yoyote; kwani haya ni machukizo kwa BWANA, Mungu wako, yote mawili.*
    2wafalme 9;10

    Zaburi 22;20 BHN
    *Iokoe nafsi yangu mbali na upanga, yaokoe maisha yangu makuchani mwa mbwa hao!*

    *Mbwa ana nguvu maana yake mbwa anawakilisha roho chafu za zinaa, uasherati na machafu yote ya shetani .*
    .
    2.kuiacha njia ya bwana kama kuhani.

    Isaya 56:11 BHN
    *Hao ni kama mbwa wenye uchu sana, wala hawawezi kamwe kutoshelezwa. Wachungaji hao hawana akili yoyote; kila mmoja hutafuta faida yake mwenyewe.*

    Naombaje ?NAMNA YA KUOMBA

    1.Toba ya kweli kwa sababu ya kufungua mlango .

    2.kuhalibu kila njia ya uovu inayo kufuatilia

    3.Muone kuhani kwa ajiri ya ukombozi .

    4.kataa kabisa roho za uharibifu kwa kusimamisha madhabau ya Mungu kwa sadaka.

    Zingatia :Ndoto ni mlango Mungu anao utumia kupitisha ujumbe wake na shetani naye anatumia hivyo hivyo jifunze kuomba uongozi wa roho mtakatifu katika fasiri sahiii japo zingine uja kwa uchovu na shughuli nyingi.

    Ok naitwa Sylvester Mwakabende wa (Build new eden)
    Unaweza share somo hili kwa rafiki wengine.
    Simu no :0622625340
    Habari ya usiku ndugu zangu ni siku ya nne leo japo kwa kuchelewe tunaendelea na mwendelezo wa fasiri za ndoto kiblia . *Ungana nami Sylvester Mwakabende kwa ufafanuzi zaidi kadiri roho wa Bwana Atakavyo niongoza* *Je umewai kuota unafukuzwa na mbwa ? nini maana yake*? . Zaburi 22:16 *[16]Kwa maana mbwa wamenizunguka Kusanyiko la waovu wamenisonga; Wamenizua mikono na miguu* For dogs have compassed me: the assembly of the wicked have inclosed me: they pierced my hands and my feet. 1.Kufuatiliwa na roho chafu kama zinaa na uasherati Mithali26:11 SUV *Kama vile mbwa arudiavyo matapiko yake; Kadhalika mpumbavu afanya upumbavu tena.* Kutoka 22:31 BHN *Nyinyi mtakuwa watu waliowekwa wakfu kwangu. Kwa hiyo hamtakula nyama ya mnyama aliyeuawa na mnyama wa porini. Nyama hiyo mtawatupia mbwa.* Chochote kile kilicho kichafu upaswi kukila . Torati 23:18 BHN *Usilete ujira wa kahaba, wala mshahara wa mbwa, katika nyumba ya BWANA, Mungu wako, kwa ajili ya nadhiri yoyote; kwani haya ni machukizo kwa BWANA, Mungu wako, yote mawili.* 2wafalme 9;10 Zaburi 22;20 BHN *Iokoe nafsi yangu mbali na upanga, yaokoe maisha yangu makuchani mwa mbwa hao!* *Mbwa ana nguvu maana yake mbwa anawakilisha roho chafu za zinaa, uasherati na machafu yote ya shetani .* . 2.kuiacha njia ya bwana kama kuhani. Isaya 56:11 BHN *Hao ni kama mbwa wenye uchu sana, wala hawawezi kamwe kutoshelezwa. Wachungaji hao hawana akili yoyote; kila mmoja hutafuta faida yake mwenyewe.* Naombaje ?NAMNA YA KUOMBA 1.Toba ya kweli kwa sababu ya kufungua mlango . 2.kuhalibu kila njia ya uovu inayo kufuatilia 3.Muone kuhani kwa ajiri ya ukombozi . 4.kataa kabisa roho za uharibifu kwa kusimamisha madhabau ya Mungu kwa sadaka. Zingatia :Ndoto ni mlango Mungu anao utumia kupitisha ujumbe wake na shetani naye anatumia hivyo hivyo jifunze kuomba uongozi wa roho mtakatifu katika fasiri sahiii japo zingine uja kwa uchovu na shughuli nyingi. Ok naitwa Sylvester Mwakabende wa (Build new eden) Unaweza share somo hili kwa rafiki wengine. Simu no :0622625340
    Love
    1
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·873 Ansichten
  • Habari ya jion tena .leo tunaendelea tena na tafsiri ya ndoto kiroho kwa kutumia biblia .

    Ukiota ndoto umekaa na viongozi wakuu wanchi ,unawawakilisha au hata unashare nao majukumu au company ywko ndotoni nini maana yake.?

    Mithali 18:16

    1.Ndoto hii inaashiria karama au kibali kinacho kuja mbele yako au uwezo wako wa ndani rohoni jinsi unavyo tizamwa.

    2.Inawakilisha kuwa kuna msimu mpya unakuja na nafasi mpya njema katika maisha yako.

    3. Inaonyesha pia unaweza ukawa unashare naye destiny huyo kiongozi yaani rohoni mko level moja sasa inategemea huyo uongozi wake msingi wake ni upi?


    Mwanzo 40:9-23 wote waliota ndoto zinazo elekeana lakini hazikufanana

    4.Unaukuu ndani yako wa kiuongozi ni vile tu umejisahau sana .anza kuliishi kusudi lako ili uifikie hatma yako.
    Zaburi 113:7-8

    Maana ya jumla .
    Viongozi katika ndotocwanawakilisha roho yenye mamlaka ya kutawala na yenye nguvu wakutawala na kumiliki juu ya nchi.

    Unapo wakilisha wakuu au kuona nafasi ya ukuu ndani yako wanawakikisha kutiwa mafuta kwa nafsi yako ili upate kuwa mtu fulani katika nchi.

    Ndoto za ukuu mara nyingi zinakuwaga na vita sana zinataka kusimama sana na Mungu kwani ukitaka kuona msome yusuph katika mwanzo 37

    NB .Kuota swala moja na kutimia swala moja ili litimie lazima ujifunze namna ya kuomba Mungu.

    Namna ya kuomba .

    1.kuwa mtu wa imani amini anza kuomba rehema na shukrani.

    2.Omba Mungu aifanikishe isibaki kuwa ndoto tu (ndoto iliyo zuiwa rohoni)

    3.Chuchumilia mbele za Mungu mpaka itimie kwa mifungo mingi na maombi mengi sana.

    4.Kama kuna nafasi chuku hatua ya kuomba Mungu akusogezee watu sahii ambao wanaweza kuwa wakuu.

    Ok naitwa sylvester kutoka (build new eden.
    Habari ya jion tena .leo tunaendelea tena na tafsiri ya ndoto kiroho kwa kutumia biblia . Ukiota ndoto umekaa na viongozi wakuu wanchi ,unawawakilisha au hata unashare nao majukumu au company ywko ndotoni nini maana yake.? Mithali 18:16 1.Ndoto hii inaashiria karama au kibali kinacho kuja mbele yako au uwezo wako wa ndani rohoni jinsi unavyo tizamwa. 2.Inawakilisha kuwa kuna msimu mpya unakuja na nafasi mpya njema katika maisha yako. 3. Inaonyesha pia unaweza ukawa unashare naye destiny huyo kiongozi yaani rohoni mko level moja sasa inategemea huyo uongozi wake msingi wake ni upi? Mwanzo 40:9-23 wote waliota ndoto zinazo elekeana lakini hazikufanana 4.Unaukuu ndani yako wa kiuongozi ni vile tu umejisahau sana .anza kuliishi kusudi lako ili uifikie hatma yako. Zaburi 113:7-8 Maana ya jumla . Viongozi katika ndotocwanawakilisha roho yenye mamlaka ya kutawala na yenye nguvu wakutawala na kumiliki juu ya nchi. Unapo wakilisha wakuu au kuona nafasi ya ukuu ndani yako wanawakikisha kutiwa mafuta kwa nafsi yako ili upate kuwa mtu fulani katika nchi. Ndoto za ukuu mara nyingi zinakuwaga na vita sana zinataka kusimama sana na Mungu kwani ukitaka kuona msome yusuph katika mwanzo 37 NB .Kuota swala moja na kutimia swala moja ili litimie lazima ujifunze namna ya kuomba Mungu. Namna ya kuomba . 1.kuwa mtu wa imani amini anza kuomba rehema na shukrani. 2.Omba Mungu aifanikishe isibaki kuwa ndoto tu (ndoto iliyo zuiwa rohoni) 3.Chuchumilia mbele za Mungu mpaka itimie kwa mifungo mingi na maombi mengi sana. 4.Kama kuna nafasi chuku hatua ya kuomba Mungu akusogezee watu sahii ambao wanaweza kuwa wakuu. Ok naitwa sylvester kutoka (build new eden.
    Share on WhatsApp
    w.app
    WhatsApp Messenger: More than 2 billion people in over 180 countries use WhatsApp to stay in touch with friends and family, anytime and anywhere. WhatsApp is free and offers simple, secure, reliable messaging and calling, available on phones all over the world.
    Love
    1
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·893 Ansichten
  • CHAGUA KINACHO FAIDA, SI KILE KINACHOSISIMUA...

    Maisha ni safari iliyojaa chaguzi, njia panda, na maamuzi ambayo yanaunda hatima yetu. Hata hivyo, katikati ya haya yote, moja ya majaribu makubwa tunayokabiliana nayo ni chambo cha kile kinachoonekana "kuvutia." Lakini wacha nikukumbushe kwamba sio kila kitu kinachovutia ambacho kinafaa kufuata, na sio kila kitu kitamu kinaongoza kwenye uzima. Tunaishi katika ulimwengu unaotukuza kufuatia raha, mvuto wa burudani, na msisimuko wa muda mfupi tu. Lakini kumbuka hili: "Labda ni ya kuvutia, lakini inaua." Sio nyakati za msisimko za muda mfupi ambazo hufafanua ubora wa maisha yako; ni maamuzi ya muda mrefu unayofanya ambayo ni muhimu sana. Kuna meza ambapo raha hutolewa kwenye sahani za fedha, meza ambapo anasa hupongezwa, na mipaka imefichwa. Jedwali hizi zinaweza kuonekana kuwa za kuvutia, lakini mara nyingi huficha vikombe vyenye sumu. Maisha mengi yameharibiwa na ladha tamu ya anasa. Kinywaji hicho cha ziada, tabia hiyo ya kutojali, tukio hilo lisilo na madhara, yote ya kuvutia kwa sasa, lakini wengi wamelipa kwa afya zao, amani yao, na hata maisha yao. Je! ni watu wangapi wamelala kwenye vitanda vya hospitali leo kwa sababu walifuata kile "kinachovutia"? Ni ndoto ngapi zimekatishwa kwa sababu mtu alifuata kile "kinachosisimua" bila kuzingatia matokeo? Kama vile mithali ya kale inavyosema, “Iko njia ionekanayo kuwa sawa machoni pa mtu, lakini mwisho wake ni njia za mauti” (Mithali 14:12).

    Jedwali lingine la kuepukwa ni meza ya uvumi. Lo, ni jambo la kupendeza kama nini kuketi na kusikiliza mtu akipasuliwa, jina lake likikokotwa kwenye tope! Lakini wacha nikuambie kitu: porojo hazina marafiki wa kudumu. Vinywa vile vile vinavyowachana wengine mbele yako ndivyo vitakugeukia wewe usipokuwepo. Usidanganywe na maoni ya uwongo ya urafiki ambayo porojo hutoa. Uvumi ni kama vampire, unalisha damu ya mahusiano, uaminifu, na sifa. Inavutia, lakini inaua. Inaua urafiki, familia, na jamii. Kama msemo unavyosema, "Mtu anayeondoa kaa linalowaka kutoka kwa paa la jirani yake atalipata peke yake." Unaposhiriki katika uvumi, unafungua mlango wa uharibifu kuingia katika maisha yako mwenyewe. Maisha si msururu wa starehe za kupita muda; ni zawadi takatifu inayokusudiwa kuishi kwa makusudi. Usiishi maisha yako kwa kuzingatia kile kinachovutia. Badala yake, iishi kulingana na kile ambacho kinafaa kwako kwa muda mrefu. Mambo yanayotutegemeza, nidhamu, kazi ngumu, uadilifu, na upendo, si mara zote "yanavutia" kwa sasa, lakini yanajenga maisha yenye thamani. Epuka meza ambapo vitu vya kupendeza tu hutolewa. Jizungushe na watu wanaokupa changamoto, wanaokuhimiza kukua, wanaokuita kwa viwango vya juu zaidi. Kama vile Mtakatifu Paulo anavyoandika, “Vitu vyote ni halali kwangu, lakini si vyote vyenye faida” (1 Wakorintho 10:23). Chagua kile ambacho ni cha manufaa, sio tu kinachosisimua.

    Usiruhusu harakati zako za msisimko zikupoteze maisha ambayo Mungu alikusudia kwa ajili yako. Chagua maisha, chagua kusudi, na uchague njia inayoongoza kwa furaha ya kweli na amani ya kudumu.
    @Fr. Albert Nwosu'
    CHAGUA KINACHO FAIDA, SI KILE KINACHOSISIMUA... Maisha ni safari iliyojaa chaguzi, njia panda, na maamuzi ambayo yanaunda hatima yetu. Hata hivyo, katikati ya haya yote, moja ya majaribu makubwa tunayokabiliana nayo ni chambo cha kile kinachoonekana "kuvutia." Lakini wacha nikukumbushe kwamba sio kila kitu kinachovutia ambacho kinafaa kufuata, na sio kila kitu kitamu kinaongoza kwenye uzima. Tunaishi katika ulimwengu unaotukuza kufuatia raha, mvuto wa burudani, na msisimuko wa muda mfupi tu. Lakini kumbuka hili: "Labda ni ya kuvutia, lakini inaua." Sio nyakati za msisimko za muda mfupi ambazo hufafanua ubora wa maisha yako; ni maamuzi ya muda mrefu unayofanya ambayo ni muhimu sana. Kuna meza ambapo raha hutolewa kwenye sahani za fedha, meza ambapo anasa hupongezwa, na mipaka imefichwa. Jedwali hizi zinaweza kuonekana kuwa za kuvutia, lakini mara nyingi huficha vikombe vyenye sumu. Maisha mengi yameharibiwa na ladha tamu ya anasa. Kinywaji hicho cha ziada, tabia hiyo ya kutojali, tukio hilo lisilo na madhara, yote ya kuvutia kwa sasa, lakini wengi wamelipa kwa afya zao, amani yao, na hata maisha yao. Je! ni watu wangapi wamelala kwenye vitanda vya hospitali leo kwa sababu walifuata kile "kinachovutia"? Ni ndoto ngapi zimekatishwa kwa sababu mtu alifuata kile "kinachosisimua" bila kuzingatia matokeo? Kama vile mithali ya kale inavyosema, “Iko njia ionekanayo kuwa sawa machoni pa mtu, lakini mwisho wake ni njia za mauti” (Mithali 14:12). Jedwali lingine la kuepukwa ni meza ya uvumi. Lo, ni jambo la kupendeza kama nini kuketi na kusikiliza mtu akipasuliwa, jina lake likikokotwa kwenye tope! Lakini wacha nikuambie kitu: porojo hazina marafiki wa kudumu. Vinywa vile vile vinavyowachana wengine mbele yako ndivyo vitakugeukia wewe usipokuwepo. Usidanganywe na maoni ya uwongo ya urafiki ambayo porojo hutoa. Uvumi ni kama vampire, unalisha damu ya mahusiano, uaminifu, na sifa. Inavutia, lakini inaua. Inaua urafiki, familia, na jamii. Kama msemo unavyosema, "Mtu anayeondoa kaa linalowaka kutoka kwa paa la jirani yake atalipata peke yake." Unaposhiriki katika uvumi, unafungua mlango wa uharibifu kuingia katika maisha yako mwenyewe. Maisha si msururu wa starehe za kupita muda; ni zawadi takatifu inayokusudiwa kuishi kwa makusudi. Usiishi maisha yako kwa kuzingatia kile kinachovutia. Badala yake, iishi kulingana na kile ambacho kinafaa kwako kwa muda mrefu. Mambo yanayotutegemeza, nidhamu, kazi ngumu, uadilifu, na upendo, si mara zote "yanavutia" kwa sasa, lakini yanajenga maisha yenye thamani. Epuka meza ambapo vitu vya kupendeza tu hutolewa. Jizungushe na watu wanaokupa changamoto, wanaokuhimiza kukua, wanaokuita kwa viwango vya juu zaidi. Kama vile Mtakatifu Paulo anavyoandika, “Vitu vyote ni halali kwangu, lakini si vyote vyenye faida” (1 Wakorintho 10:23). Chagua kile ambacho ni cha manufaa, sio tu kinachosisimua. Usiruhusu harakati zako za msisimko zikupoteze maisha ambayo Mungu alikusudia kwa ajili yako. Chagua maisha, chagua kusudi, na uchague njia inayoongoza kwa furaha ya kweli na amani ya kudumu. @Fr. Albert Nwosu'
    Love
    1
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·1KB Ansichten
  • MADA: SAMSONI ALIMSHINDA SAMSONI, SIO WAFILISTI; JIFUNZE KUSEMA "HAPANA."

    Hadithi ya Samsoni si hadithi ya usaliti tu bali ni kioo kinachoakisi mapambano ya kila mwanamume na mwanamke. Samsoni alikuwa hodari, naam. Nguvu zake zingeweza kubomoa malango na simba, lakini mwili wake haungeweza kupinga minong’ono ya matamanio yake mwenyewe. Kwangu mimi, si Delila aliyemshinda Samsoni; Samsoni alishindwa na tamaa zake. Unaona, nguvu za makuri Mahibuli Mahriza, na nguvu za kiakili kusonga mbele. Nguvu ya mikono yako ina faida gani ikiwa matamanio ya moyo wako yataachwa bila kudhibitiwa? Nguvu ya kweli sio uwezo wa wengine, lakini uwezo wa kujishinda mwenyewe. Biblia inasema katika Mithali 25:28, “Mtu asiye na kujizuia kama mji uliobomolewa na kuachwa bila kuta. Kuanguka kwa Samsoni kulianza muda mrefu kabla ya kuwasili kwa Delila. Kushindwa kwake kulipandwa katika mashamba ya anasa, kumwagilia maji kwa kukosa kujizuia, na kuvunwa na adui. Tatizo halikuwepo Delila. Tukio hilo lilikuwa ni la Delila, lakini msukumo wa Samsoni ulikuwa sababu kuu. Ni mara ngapi tunalaumu wengine kwa zamani kwetu, tukikataa kukubali kwamba vita vili ndani yetu muda mrefu kabla ya kuonekana kwa ulimwengu? Ikiwa huwezi kusema "hapana" kwako mwenyewe, utakabidhi mkasi ambao utapunguza nywele za hatima yako.

    Nguvu ya akili ni ujasiri wa kutembea mbali na kile kinachojisikia lakini sio sawa. Ni uwezo wa kuketi kwenye meza ya majaribu na kuacha chakula bila kuguswa. Nguvu ya akili ni nguvu ya kupinga uhusiano huo unaojua utakupoteza. Ni nidhamu ya kukwepa njia za mkato, tukijua kuwa si kila kitu kinachometa katika dhahabu. Mwaka huu, jifunze kusema hapana. Sema hapana kwa mazoea ambayo yanakuchosha roho. Sema hapana kwa urafiki ambao unapunguza mwanga wako. Sema hapana kwa mahusiano ambayo yanakuvuta mbali na Mungu. Sema hapana kwa jambo lolote linalohatarisha maisha yako ya baadaye. Ni bora kuukatisha tamaa mwili wako kuliko kukatisha tamaa hatima yako. "Hapana" ndogo leo inaweza kukuokoa kutokana na maisha ya majuto. Yusufu aliposimama mbele ya mke wa Potifa, hakukaa ili kuliaana. Alikimbia! sababu wakati mwingine jambo la nguvu unaweza kukimbia kutoka kwa kile kinachotaka kukuangamiza. Samson alibaki. Na katika kukaa, alipoteza kila kitu. Hadithi yake inatufundisha kwamba maadui hatari zaidi sio nje lakini ndani. Ikiwa huwezi kuadhibu tamaa zako, tamaa zako zitakuadibu. Ikiwa huwezi kudhibiti hamu yako, hamu yako itadhibiti. Ushindi juu ya nafsi ni mkuu kuliko ushindi juu ya maadui elfu.

    Tunaposonga mbele mwaka huu, acha ukweli huu urudie moyoni mwako, vita vyako vikubwa zaidi havitapigana hadharani bali katika ukimya wa nafsi yako. Mungu akutie nguvu. Na jaribu linapokuja kubisha, acha jibu lako liwe wazi, "Hapana."


    @Fr. Albert Nwosu' (Nwachinemere)
    MADA: SAMSONI ALIMSHINDA SAMSONI, SIO WAFILISTI; JIFUNZE KUSEMA "HAPANA." Hadithi ya Samsoni si hadithi ya usaliti tu bali ni kioo kinachoakisi mapambano ya kila mwanamume na mwanamke. Samsoni alikuwa hodari, naam. Nguvu zake zingeweza kubomoa malango na simba, lakini mwili wake haungeweza kupinga minong’ono ya matamanio yake mwenyewe. Kwangu mimi, si Delila aliyemshinda Samsoni; Samsoni alishindwa na tamaa zake. Unaona, nguvu za makuri Mahibuli Mahriza, na nguvu za kiakili kusonga mbele. Nguvu ya mikono yako ina faida gani ikiwa matamanio ya moyo wako yataachwa bila kudhibitiwa? Nguvu ya kweli sio uwezo wa wengine, lakini uwezo wa kujishinda mwenyewe. Biblia inasema katika Mithali 25:28, “Mtu asiye na kujizuia kama mji uliobomolewa na kuachwa bila kuta. Kuanguka kwa Samsoni kulianza muda mrefu kabla ya kuwasili kwa Delila. Kushindwa kwake kulipandwa katika mashamba ya anasa, kumwagilia maji kwa kukosa kujizuia, na kuvunwa na adui. Tatizo halikuwepo Delila. Tukio hilo lilikuwa ni la Delila, lakini msukumo wa Samsoni ulikuwa sababu kuu. Ni mara ngapi tunalaumu wengine kwa zamani kwetu, tukikataa kukubali kwamba vita vili ndani yetu muda mrefu kabla ya kuonekana kwa ulimwengu? Ikiwa huwezi kusema "hapana" kwako mwenyewe, utakabidhi mkasi ambao utapunguza nywele za hatima yako. Nguvu ya akili ni ujasiri wa kutembea mbali na kile kinachojisikia lakini sio sawa. Ni uwezo wa kuketi kwenye meza ya majaribu na kuacha chakula bila kuguswa. Nguvu ya akili ni nguvu ya kupinga uhusiano huo unaojua utakupoteza. Ni nidhamu ya kukwepa njia za mkato, tukijua kuwa si kila kitu kinachometa katika dhahabu. Mwaka huu, jifunze kusema hapana. Sema hapana kwa mazoea ambayo yanakuchosha roho. Sema hapana kwa urafiki ambao unapunguza mwanga wako. Sema hapana kwa mahusiano ambayo yanakuvuta mbali na Mungu. Sema hapana kwa jambo lolote linalohatarisha maisha yako ya baadaye. Ni bora kuukatisha tamaa mwili wako kuliko kukatisha tamaa hatima yako. "Hapana" ndogo leo inaweza kukuokoa kutokana na maisha ya majuto. Yusufu aliposimama mbele ya mke wa Potifa, hakukaa ili kuliaana. Alikimbia! sababu wakati mwingine jambo la nguvu unaweza kukimbia kutoka kwa kile kinachotaka kukuangamiza. Samson alibaki. Na katika kukaa, alipoteza kila kitu. Hadithi yake inatufundisha kwamba maadui hatari zaidi sio nje lakini ndani. Ikiwa huwezi kuadhibu tamaa zako, tamaa zako zitakuadibu. Ikiwa huwezi kudhibiti hamu yako, hamu yako itadhibiti. Ushindi juu ya nafsi ni mkuu kuliko ushindi juu ya maadui elfu. Tunaposonga mbele mwaka huu, acha ukweli huu urudie moyoni mwako, vita vyako vikubwa zaidi havitapigana hadharani bali katika ukimya wa nafsi yako. Mungu akutie nguvu. Na jaribu linapokuja kubisha, acha jibu lako liwe wazi, "Hapana." @Fr. Albert Nwosu' (Nwachinemere)
    Love
    1
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·905 Ansichten
  • Nimeamka alfajiri leo nikafanye jogging kidogo. Nikakumbuka maandiko ya biblia

    Mithali 28:1
    Muovu Hukimbia Hata Asipokimbizwa.

    Nikaamua Kurudi Kulala Uvivu Utaniua Siku Moja.
    Nimeamka alfajiri leo nikafanye jogging kidogo. Nikakumbuka maandiko ya biblia 📔 Mithali 28:1 Muovu Hukimbia Hata Asipokimbizwa. 😬 Nikaamua Kurudi Kulala Uvivu Utaniua Siku Moja. 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
    Like
    Love
    2
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·132 Ansichten
  • ⒿⒶⓂⒶⒶ ⒶⓁⒾⓂⓅⒺⓃⒹⒶ ⒷⒾⓃⓉⒾ ⓌⒶ ⓀⒾⓁⓄⓀⓄⓁⒺ ⒿⒾⓃⓈⒾ ⓎⒶ ⓀⓊⓂⓌⒾⓃⒼⒾⒶ ⒾⓀⒶⓌⒶ ⓃⒼⓊⓂⓊ ⒶⓀⒶⒶⓂⓊⒶ ⒶⓈⓄⓂⒺ ⓋⒾⒻⓊⓃⒼⓊ ⓋⒾⓃⒼⒾ ⓋⓎⒶ ⒷⒾⒷⓁⒾⒶ ⒾⓁⒾ ⒶⓂⓀⒶⓂⒶⓉⒺ ⓀⒾⓇⒶⒽⒾⓈⒾ ⓂⒶⓏⓊⓃⒼⓊⓂⓏⓄ ⓎⒶⓄ ⓎⒶⓁⒾⓀⓊⓌⒶ ⒽⒾⓋⒾ
    Mwanaume: sister mambo
    Sister: mambo kwa yesu
    Mwanume: Sister samahani . . . unampenzi?
    Sister: hapana sihitaji mpenzi!
    Mwanaume: mwanzo 2:18 mungu akasema sio
    vema mwanaume akabaki peke yake nitamfanyia
    msaidizi.
    Sister: Lakini Mimi sikupendi . . . .. . nampenda yesu!
    Mwanaume :1yohana 4:20 MTU akisema
    anampenda mungu naye humchukia ndugu yake ni
    mwongo kwamaana asiyempenda ndugu yake
    amwonaye atampendaje mungu asiyemwona?
    Sister: Nitaaminije kwamba maneno yako uongeayo
    ni kweli
    Mwanaume: mathayo 12:34-36mtu mwema katka
    akiba njema ya moyo wake hutoa mema na MTU
    mbaya katika akiba mbaya hutoa mabaya
    Ila mimi Kinywa changu huongea maneno
    yaliyoujaza moyo wangu
    Sister:: nitaaminije hayo uongeayo ni kweli?
    Mwanaume:: Marko 13:41 mbingu na nchi zitapita
    lakini maneno yangu hayatapita kamwe
    Sister:: mbona wako wako wanawake wengi sana
    kwanini umeniambia Mimi tu??
    Mwanaume:: mithali 31:29 binti za watu wengi
    wamefanya mema lakini wewe umewapita wote!
    Sister:: ni nini kilichokufanya unipende mimi na si
    wengne nimekuvutia nini ?
    Mwanaume ::wimbo bora 4:7 uu mzuri sana ndani
    yako Hamna hila
    Sister::: ni kweli? Mimi sio mzur wa kupendwa na
    wewe !!
    Mwanaume::::mithali 31:30 upendeleo hudanganya
    na uzur ni ubatili Bali mwanamke amchae bwana
    ndiye atakaye sifiwa
    Sister ::: ni nini kitatokea nikikubali na kusema ndio!
    Mwanaume ::: mwanzo 2:4 mwanaume atawaacha
    wazazi baba na mama ataambatana na mkewe na
    hao wawili hawatakuwa wawili tens Bali mwili
    mmoja.
    Sister ::imekuwaje unajua sana maandiko utafikir
    mchungaji
    Mwanaume :: Joshua 1:8 kitabu hiki cha torati
    kisiondoke kinywani mwenu Bali yatafakali maneno
    yangu mchana na usiku ndipo utakapo zifanikisha
    njia zako
    Sister :: yaah!! Nakuona unampenda sana mungu
    Mwanaume:: zabur 34:8 onjeni mwone kuwa bwana
    ni mwema heri MTU yule anayemtumainia
    Sister. ::mmmh bas nipe muda nifiki
    ⒿⒶⓂⒶⒶ ⒶⓁⒾⓂⓅⒺⓃⒹⒶ ⒷⒾⓃⓉⒾ ⓌⒶ ⓀⒾⓁⓄⓀⓄⓁⒺ ⒿⒾⓃⓈⒾ ⓎⒶ ⓀⓊⓂⓌⒾⓃⒼⒾⒶ ⒾⓀⒶⓌⒶ ⓃⒼⓊⓂⓊ ⒶⓀⒶⒶⓂⓊⒶ ⒶⓈⓄⓂⒺ ⓋⒾⒻⓊⓃⒼⓊ ⓋⒾⓃⒼⒾ ⓋⓎⒶ ⒷⒾⒷⓁⒾⒶ ⒾⓁⒾ ⒶⓂⓀⒶⓂⒶⓉⒺ ⓀⒾⓇⒶⒽⒾⓈⒾ ⓂⒶⓏⓊⓃⒼⓊⓂⓏⓄ ⓎⒶⓄ ⓎⒶⓁⒾⓀⓊⓌⒶ ⒽⒾⓋⒾ Mwanaume: sister mambo Sister: mambo kwa yesu Mwanume: Sister samahani . . . unampenzi? Sister: hapana sihitaji mpenzi! Mwanaume: mwanzo 2:18 mungu akasema sio vema mwanaume akabaki peke yake nitamfanyia msaidizi. Sister: Lakini Mimi sikupendi . . . .. . nampenda yesu! Mwanaume :1yohana 4:20 MTU akisema anampenda mungu naye humchukia ndugu yake ni mwongo kwamaana asiyempenda ndugu yake amwonaye atampendaje mungu asiyemwona? Sister: Nitaaminije kwamba maneno yako uongeayo ni kweli Mwanaume: mathayo 12:34-36mtu mwema katka akiba njema ya moyo wake hutoa mema na MTU mbaya katika akiba mbaya hutoa mabaya Ila mimi Kinywa changu huongea maneno yaliyoujaza moyo wangu Sister:: nitaaminije hayo uongeayo ni kweli? Mwanaume:: Marko 13:41 mbingu na nchi zitapita lakini maneno yangu hayatapita kamwe Sister:: mbona wako wako wanawake wengi sana kwanini umeniambia Mimi tu?? Mwanaume:: mithali 31:29 binti za watu wengi wamefanya mema lakini wewe umewapita wote! Sister:: ni nini kilichokufanya unipende mimi na si wengne nimekuvutia nini ? Mwanaume ::wimbo bora 4:7 uu mzuri sana ndani yako Hamna hila Sister::: ni kweli? Mimi sio mzur wa kupendwa na wewe !! Mwanaume::::mithali 31:30 upendeleo hudanganya na uzur ni ubatili Bali mwanamke amchae bwana ndiye atakaye sifiwa Sister ::: ni nini kitatokea nikikubali na kusema ndio! Mwanaume ::: mwanzo 2:4 mwanaume atawaacha wazazi baba na mama ataambatana na mkewe na hao wawili hawatakuwa wawili tens Bali mwili mmoja. Sister ::imekuwaje unajua sana maandiko utafikir mchungaji Mwanaume :: Joshua 1:8 kitabu hiki cha torati kisiondoke kinywani mwenu Bali yatafakali maneno yangu mchana na usiku ndipo utakapo zifanikisha njia zako Sister :: yaah!! Nakuona unampenda sana mungu Mwanaume:: zabur 34:8 onjeni mwone kuwa bwana ni mwema heri MTU yule anayemtumainia Sister. ::mmmh bas nipe muda nifiki
    Like
    Love
    3
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·546 Ansichten
  • Usimnyang’anye maskini, kwa kuwa ni maskini; Wala usimdhulumu mtu mnyonge langoni; Kwa sababu BWANA atawatetea; Naye atawateka uhai wao waliowateka.~Mithali 22:22-23.”

    GOOD MORNING #socialpop family 23/5/2024
    Usimnyang’anye maskini, kwa kuwa ni maskini; Wala usimdhulumu mtu mnyonge langoni; Kwa sababu BWANA atawatetea; Naye atawateka uhai wao waliowateka.~Mithali 22:22-23.” GOOD MORNING #socialpop family 23/5/2024❣️
    Like
    Love
    6
    · 2 Kommentare ·0 Anteile ·238 Ansichten