• Maboresho yaliyofanyika, ikiwemo kubadili mwonekano ni mazuri sana. Yanavutia na yataongeza hamasa.
    Maboresho yaliyofanyika, ikiwemo kubadili mwonekano ni mazuri sana. Yanavutia na yataongeza hamasa.
    Like
    Love
    5
    · 3 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·196 Views
  • “Ushindi wa CCM katika uchaguzi mwaka huu hauna mjadala. Wagombea watakuwepo wa vyama vingine lakini sioni namna wanavyoweza kuishinda CCM. Lakini sio kwa ujanja ujanja ni kwa sababu yapo mambo mengi mazuri yaliyofanywa na serikali zetu mbili, lakini ni mambo ambayo yana manufaa kwa Watanzania.” – Jakaya Kikwete, Rais Mstaafu wa Tanzania
    “Ushindi wa CCM katika uchaguzi mwaka huu hauna mjadala. Wagombea watakuwepo wa vyama vingine lakini sioni namna wanavyoweza kuishinda CCM. Lakini sio kwa ujanja ujanja ni kwa sababu yapo mambo mengi mazuri yaliyofanywa na serikali zetu mbili, lakini ni mambo ambayo yana manufaa kwa Watanzania.” – Jakaya Kikwete, Rais Mstaafu wa Tanzania
    Like
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·156 Views
  • Siku ya Jana 18, January na leo 19, January 2025 nimefuatilia kwa ukaribu na Umakini Mkutano Mkuu Maalum wa CCM Mwaka 2025 uliofanyika Dodoma Hakika umekua wa kipekee na Uliovutia kwa Maandalizi mazuri, Hongera sana Kwa Waandaaji wakiongozwa na Dk @samia_suluhu_hassan Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamhuli ya muungano wa Tanzania.

    Pamoja na mambo mengine yaliyojadiliwa kwenye Mkutano huu nimeshuhudia Matukio Matatu Muhimu,

    Mosi, Uchaguzi wa Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara Dkt Steven Wasira
    Pili, Marekebisho ya Baadhi ya vipengele muhimu vya Katiba ya CCM ikiwemo kuongezeka kwa wajumbe wa Halmashauri kuu ya CCM kutoka nafasi 6 paka 10 yaani nafasi 5 Zanzibar na Nafasi 5 Bara,
    Tatu, Uteuzi na Uidhinishwaji wa Majina ya wagombea wa Nafasi ya Urais Tanzania na Zanzibar Uchaguzi Mkuu 2025 Yaani Dkt @samia_suluhu_hassan kwa Tanzania na Dkt @dr.hmwinyi Zanzibar

    Nne, kupendekeza na kupitisha Jina la Mgombea mwenza (Makamu wa Rais) Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt @nchimbie

    Matukio yote haya Manne yameendelea kuthibitisha kwamba CCM ni chama kilichokomaa Kidemocrasia na Ndio chama pekee kinachofaa kuiongoza nchi hii kwa Amani na Utulivu (Hasa ukizingatia yanayoendelea huko upande wa Pili Mmh)

    Lakini pia imendelea kuthibitisha kiasi Gani chama cha Mapinduzi @ccmtanzania kina hazina ya Watu wanaoweza kuiongoza chama na Serikali wakati wowote ule kuanzia Chama chenyewe na Jumuia zake zote @wazazi_ccm_tz @uwt_taifa , na @uvccm_tz , Hakika CCM idumu milele, Hongera Mwenyekiti @samia_suluhu_hassan kwa Uongozi na Malezi Bora kwa Chama

    Itoshe Kusema @ccmtanzania inatosha na ni kwa matakwa ya kikatiba tu lakini ingewezekana TUSIFANYE UCHAGUZI TUMUACHE MAMA NA SAFU YAKE WAENDELEE KUFANYA KAZI YA KUIJENGA TANZANIA, Kwa Hali inayoendelea na Mfarakano wa huko kwa Majirani naona kabisa ni kupoteza muda. Ni kwasababu ni Takwa la kikatiba tu na CCM tunaheshimu Katiba lakini isingekua Hilo Basi Mama @samia_suluhu_hassan Angeachwa na Safu yake aendelee kuchapa kazi, Aendeleze kazi ya kuijenga Tanzania iliyotukuka

    Hongera Mama @samia_suluhu_hassan, Hongera Dkt @dr.hmwinyi, Hongera Dkt @nchimbie kwa kuaminiwa Tena

    #kaziiendelee

    @ccmtanzania @uvccm_tz @uvccm_tanga
    Siku ya Jana 18, January na leo 19, January 2025 nimefuatilia kwa ukaribu na Umakini Mkutano Mkuu Maalum wa CCM Mwaka 2025 uliofanyika Dodoma Hakika umekua wa kipekee na Uliovutia kwa Maandalizi mazuri, Hongera sana Kwa Waandaaji wakiongozwa na Dk @samia_suluhu_hassan Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamhuli ya muungano wa Tanzania. Pamoja na mambo mengine yaliyojadiliwa kwenye Mkutano huu nimeshuhudia Matukio Matatu Muhimu, Mosi, Uchaguzi wa Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara Dkt Steven Wasira Pili, Marekebisho ya Baadhi ya vipengele muhimu vya Katiba ya CCM ikiwemo kuongezeka kwa wajumbe wa Halmashauri kuu ya CCM kutoka nafasi 6 paka 10 yaani nafasi 5 Zanzibar na Nafasi 5 Bara, Tatu, Uteuzi na Uidhinishwaji wa Majina ya wagombea wa Nafasi ya Urais Tanzania na Zanzibar Uchaguzi Mkuu 2025 Yaani Dkt @samia_suluhu_hassan kwa Tanzania na Dkt @dr.hmwinyi Zanzibar Nne, kupendekeza na kupitisha Jina la Mgombea mwenza (Makamu wa Rais) Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt @nchimbie Matukio yote haya Manne yameendelea kuthibitisha kwamba CCM ni chama kilichokomaa Kidemocrasia na Ndio chama pekee kinachofaa kuiongoza nchi hii kwa Amani na Utulivu (Hasa ukizingatia yanayoendelea huko upande wa Pili Mmh🙌😂) Lakini pia imendelea kuthibitisha kiasi Gani chama cha Mapinduzi @ccmtanzania kina hazina ya Watu wanaoweza kuiongoza chama na Serikali wakati wowote ule kuanzia Chama chenyewe na Jumuia zake zote @wazazi_ccm_tz @uwt_taifa , na @uvccm_tz , Hakika CCM idumu milele, Hongera Mwenyekiti @samia_suluhu_hassan kwa Uongozi na Malezi Bora kwa Chama Itoshe Kusema @ccmtanzania inatosha na ni kwa matakwa ya kikatiba tu lakini ingewezekana TUSIFANYE UCHAGUZI TUMUACHE MAMA NA SAFU YAKE WAENDELEE KUFANYA KAZI YA KUIJENGA TANZANIA, Kwa Hali inayoendelea na Mfarakano wa huko kwa Majirani naona kabisa ni kupoteza muda. Ni kwasababu ni Takwa la kikatiba tu na CCM tunaheshimu Katiba lakini isingekua Hilo Basi Mama @samia_suluhu_hassan Angeachwa na Safu yake aendelee kuchapa kazi, Aendeleze kazi ya kuijenga Tanzania iliyotukuka Hongera Mama @samia_suluhu_hassan, Hongera Dkt @dr.hmwinyi, Hongera Dkt @nchimbie kwa kuaminiwa Tena #kaziiendelee @ccmtanzania @uvccm_tz @uvccm_tanga
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·351 Views
  • Maisha ni mazuri unapokuwa na marafiki napenda kukutana na watu wengine kutoka pande zote za dunia. Ikiwa unataka kuzungumza nami, nitumie ujumbe!
    Maisha ni mazuri unapokuwa na marafiki napenda kukutana na watu wengine kutoka pande zote za dunia. Ikiwa unataka kuzungumza nami, nitumie ujumbe!
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·142 Views
  • “Maandalizi yapo vizuri tunamshukuru mwenyezi Mungu, sisi kama Yanga SC tupo vizuri kabisa kwa mchezo. Tumefanya maandalizi makubwa na yapo sawa tuwaachie tu mashabiki waje uwanjani”

    “Sisi tunataka kwenda robo fainali ya CAF champions League, tunataka tuingie kwenye Top 5 ya klabu bora barani Afrika, kwa mujibu wa taratibu wa renki za klabu kwa ubora barani Afrika tukishinda kesho tunapata point 39 tunataka nafasi ya tano na inakuwa mara ya kwanza klabu ya Tanzania na Afrika mashariki kufika nafasi ya tano, tuna vitu vingi vyakutusukuma kwenda kupambana kesho kupata maatokeo mazuri”

    “Malengo makubwa ambayo viongozi waliyatoa mapema ni kufika tulipofika msimu uliopita yaani tukifika robo fainali tutakuwa tumefikia malengo yetu ya michuano ya kimataifa baada ya hapo gari itakuwa imekata breki ila atakayekuja mbele yeyote yule tutamfokea na kuruka naye sababu itakuwa tayari presha imeshaondoka”

    “Kwanza tumalize mchezo wa kesho kwa wana Yanga njooni tukajaze uwanja,tukamchinje mwarabu, na kuhusu mauzo ya tiketi yanakwenda vizuri” - Ally Kamwe Msemaji wa Klabu ya Yanga SC.

    “Maandalizi yapo vizuri tunamshukuru mwenyezi Mungu, sisi kama Yanga SC tupo vizuri kabisa kwa mchezo. Tumefanya maandalizi makubwa na yapo sawa tuwaachie tu mashabiki waje uwanjani” “Sisi tunataka kwenda robo fainali ya CAF champions League, tunataka tuingie kwenye Top 5 ya klabu bora barani Afrika, kwa mujibu wa taratibu wa renki za klabu kwa ubora barani Afrika tukishinda kesho tunapata point 39 tunataka nafasi ya tano na inakuwa mara ya kwanza klabu ya Tanzania na Afrika mashariki kufika nafasi ya tano, tuna vitu vingi vyakutusukuma kwenda kupambana kesho kupata maatokeo mazuri” “Malengo makubwa ambayo viongozi waliyatoa mapema ni kufika tulipofika msimu uliopita yaani tukifika robo fainali tutakuwa tumefikia malengo yetu ya michuano ya kimataifa baada ya hapo gari itakuwa imekata breki ila atakayekuja mbele yeyote yule tutamfokea na kuruka naye sababu itakuwa tayari presha imeshaondoka” “Kwanza tumalize mchezo wa kesho kwa wana Yanga njooni tukajaze uwanja,tukamchinje mwarabu, na kuhusu mauzo ya tiketi yanakwenda vizuri” - Ally Kamwe Msemaji wa Klabu ya Yanga SC.
    Like
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·237 Views
  • Shirikisho la Soka la Afrika (CAF) leo limetangaza kuahirisha Mashindano ya Mataifa ya Afrika ya TotalEnergies (CHAN) yaliyokuwa yafanyike Kenya, Tanzania, na Uganda kuanzia Februari na sasa yatafanyika Agosti 2025.

    Taarifa ya CAF imekiri kwamba kumekuwa na maendeleo makubwa katika ujenzi na ukarabati wa viwanja vya michezo, maeneo ya mazoezi, hoteli, hospitali, na miundombinu mingine muhimu katika nchi hizo tatu kwa ajili ya mashindano hayo.

    Hata hivyo, wataalamu wa kiufundi na miundombinu wa CAF waliopo Kenya, Tanzania, na Uganda wameishauri CAF kwamba muda zaidi unahitajika ili kuhakikisha miundombinu inafikia viwango vinavyohitajika kwa ajili ya kuandaa mashindano yenye mafanikio.

    Rais wa CAF, Dkt. Patrice Motsepe, amesema: "Ninatoa shukrani za dhati kwa Rais William Ruto wa Kenya, Rais Samia Suluhu Hassan wa Tanzania, na Rais Yoweri Museveni wa Uganda kwa uongozi wao, kujitolea, na maendeleo mazuri yaliyopatikana katika ujenzi na ukarabati wa miundombinu ya soka. Nimevutiwa na kazi inayoendelea, na nina uhakika kwamba viwanja vya michezo, maeneo ya mazoezi, hoteli, hospitali, na miundombinu mingine itakidhi viwango vya CAF ifikapo Agosti 2025."

    CAF pia imetangaza kwamba droo ya CHAN Kenya, Tanzania, na Uganda 2024 itafanyika jijini Nairobi, Jumatano, Januari 15, 2025, saa mbili usiku kwa saa za Nairobi.

    Tarehe kamili ya kuanza kwa mashindano hayo mwezi Agosti 2025 itatangazwa na CAF katika siku zijazo.

    #neliudcosiah
    Shirikisho la Soka la Afrika (CAF) leo limetangaza kuahirisha Mashindano ya Mataifa ya Afrika ya TotalEnergies (CHAN) yaliyokuwa yafanyike Kenya, Tanzania, na Uganda kuanzia Februari na sasa yatafanyika Agosti 2025. Taarifa ya CAF imekiri kwamba kumekuwa na maendeleo makubwa katika ujenzi na ukarabati wa viwanja vya michezo, maeneo ya mazoezi, hoteli, hospitali, na miundombinu mingine muhimu katika nchi hizo tatu kwa ajili ya mashindano hayo. Hata hivyo, wataalamu wa kiufundi na miundombinu wa CAF waliopo Kenya, Tanzania, na Uganda wameishauri CAF kwamba muda zaidi unahitajika ili kuhakikisha miundombinu inafikia viwango vinavyohitajika kwa ajili ya kuandaa mashindano yenye mafanikio. Rais wa CAF, Dkt. Patrice Motsepe, amesema: "Ninatoa shukrani za dhati kwa Rais William Ruto wa Kenya, Rais Samia Suluhu Hassan wa Tanzania, na Rais Yoweri Museveni wa Uganda kwa uongozi wao, kujitolea, na maendeleo mazuri yaliyopatikana katika ujenzi na ukarabati wa miundombinu ya soka. Nimevutiwa na kazi inayoendelea, na nina uhakika kwamba viwanja vya michezo, maeneo ya mazoezi, hoteli, hospitali, na miundombinu mingine itakidhi viwango vya CAF ifikapo Agosti 2025." CAF pia imetangaza kwamba droo ya CHAN Kenya, Tanzania, na Uganda 2024 itafanyika jijini Nairobi, Jumatano, Januari 15, 2025, saa mbili usiku kwa saa za Nairobi. Tarehe kamili ya kuanza kwa mashindano hayo mwezi Agosti 2025 itatangazwa na CAF katika siku zijazo. #neliudcosiah
    Like
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·414 Views
  • Escobares, mji uliyo masikini nchini Marekani.
    Mji wa Escobares katika mpaka Mexico na Marekani haujawahi kuorodheshwa kama moja ya miji masikini zaidi nchini Marekani lakini wakaazi wake wanaishi chini ya dola moja kwa siku.

    Kwa mujibu wa shirika la kukadiria idadi ya watu, 62.4% ya wakaazi 2,512 wa mji huo wanaishi chini ya dola moja kwa siku.

    "Wakati mwingine nakosa chakula hadi nasaidiwa na jamaa zangu," anasema Debora Hernández, raia wa Marekani aliyezaliwa na kulelewa katika mji huo wa mpakani.

    Mji wa Escobares uko mbali na miji iliyo na shughuli nyingi za kiuchumi na wakaazi hawana njia nyingine ya kujikimu kimaisha.
    Watu wanaoishi maeneo ya kusini mwa Marekani wanakabiliwa na viwango vya juu vya umasikini,"Rakesh Kochhar, mtafiti katika kituo cha utafiti cha Pew mjini Washington, aliiambia BBC.

    Kituo hicho kinasema kiwango cha umasikini nchini Marekani kimefikia 12.3%, na takriban watu milioni 40 wameathiriwa.

    Watu masikini zaidi nchini Marekani wanaishi miji ya Mississippi, Louisiana na New Mexico, wengi wao ni watu wa asili ya "Uhispania na Waafrika ambao katika historia ya nchi hiyo wamekabiliwa na umasikini kwa muda mrefu,"anasema mtafiti, Rakesh Kochhar.
    watu wa Escobares wanaishi ndani ya mabogi ya treni au trela ambayo yameguzwa kuwa nyumba ambayo yanawezwa kuhamishwa kutoka sehemu moja hadi nyingine.
    Wapo watu wengi wanafikiria marekani maisha ni mazuri je ungependa kuishi marekani katika mji huu!?nakaribisha maoni.
    ®jbgw.
    Escobares, mji uliyo masikini nchini Marekani. Mji wa Escobares katika mpaka Mexico na Marekani haujawahi kuorodheshwa kama moja ya miji masikini zaidi nchini Marekani lakini wakaazi wake wanaishi chini ya dola moja kwa siku. Kwa mujibu wa shirika la kukadiria idadi ya watu, 62.4% ya wakaazi 2,512 wa mji huo wanaishi chini ya dola moja kwa siku. "Wakati mwingine nakosa chakula hadi nasaidiwa na jamaa zangu," anasema Debora Hernández, raia wa Marekani aliyezaliwa na kulelewa katika mji huo wa mpakani. Mji wa Escobares uko mbali na miji iliyo na shughuli nyingi za kiuchumi na wakaazi hawana njia nyingine ya kujikimu kimaisha. Watu wanaoishi maeneo ya kusini mwa Marekani wanakabiliwa na viwango vya juu vya umasikini,"Rakesh Kochhar, mtafiti katika kituo cha utafiti cha Pew mjini Washington, aliiambia BBC. Kituo hicho kinasema kiwango cha umasikini nchini Marekani kimefikia 12.3%, na takriban watu milioni 40 wameathiriwa. Watu masikini zaidi nchini Marekani wanaishi miji ya Mississippi, Louisiana na New Mexico, wengi wao ni watu wa asili ya "Uhispania na Waafrika ambao katika historia ya nchi hiyo wamekabiliwa na umasikini kwa muda mrefu,"anasema mtafiti, Rakesh Kochhar. watu wa Escobares wanaishi ndani ya mabogi ya treni au trela ambayo yameguzwa kuwa nyumba ambayo yanawezwa kuhamishwa kutoka sehemu moja hadi nyingine. Wapo watu wengi wanafikiria marekani maisha ni mazuri je ungependa kuishi marekani katika mji huu!?nakaribisha maoni. ®jbgw.
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·210 Views
  • GEREZA LA GITARAMA: Jehenamu duniani!

    Jiji la Gitarama hupatikana katikati ya nchi ya Rwanda, kwa makadirio kilomita arobaini na tano toka kwenye jiji kubwa nchini humo; jiji la Kigali, jiji pekee lililoitangulia Gitarama kwa ukubwa.

    Kama haitoshi ni hapahapa katika jiji hili ndipo kuna historia kubwa ya makutano yaliyofanyika mwezi wa kwanza; mwaka 1961, Rwanda ikatangazwa rasmi kama jamhuri. Vilevile jiji hili (kipindi hicho mji) likatoa raisi wa kwanza wa Rwanda, bwana Gregoire Kayibanda, ambaye kumbukumbuye mpaka sasa imesimamishwa katikati ya eneo hili.

    Mazuri hayo hayakomei hapo, hapana! Bali pia hili jiji likabarikiwa na kutunukiwa vivutio kadha wa kadha vya utalii na taasisi lukuki za elimu ambazo aidha zaweza jaza ukumbi nikizianisha hapa. Na kwa namna moja ama nyingine nachelea kusema taasisi hizo zilijengwa (zimejengwa) kwa lengo chanya la kuwafanya watu wapate elimu na hatimaye kujikomboa kifikra na kimwili.

    Lakini mbali na taasisi hizo, na aidha vivutio na uzuri wa jiji hili, upande wa pili wa sarafu ukisikia jina hili ‘Gitarama’, yakupasa uhofie na hata kushikwa na huruma kwa namna binadamu kama wewe wanavyotendwa, tena bado wakiwa hai kabisa. Binadamu hao wakiwa wanaishi ndani ya eneo ambalo hakuna binadamu yeyote juu ya uso wa dunia angelipenda kuwamo kwa gharama yoyote ile!

    GITARAMA; ‘JEHANAMU DUNIANI’:

    Sehemu nyingi duniani zimewahi kuitwa jehanamu. Na jina hili lilishamiri zaidi baada ya vita vya pili vya dunia ambapo maeneo kadhaa yalipewa jina hili kuwakilisha maeneo yasiyokalika, hatari na yasiyo na afya stahiki kwa wanadamu. Maeneo hayo mathalani ni Blood Falls (Maanguko ya damu) huko Antarktika, Danakil Depression (bonde la Danakil) huko Ethiopia, Door to Hell (mlango wa kuzimu) huko Turkmenistan, Kamchatka Peninsula huko Russia na kadhalika, na kadhalika.

    Japokuwa sehemu hizo zipo nyingi zikipatikana maeneo mbalimbali, ni dhahiri kuna sifa ambazo hushirikiana na hivyo basi ndio maana huwekwa chini ya mwamvuli mmoja wa ‘jehanamu’.

    Upande wa kusini magharibi mwa jiji la Kigali, ndipo ilipo jela hii Gitarama. Kwa sasa inaitwa jela ya Muhanga ikichukua jina la wilaya ambayo ndiyo makazi yake mpaka sasa. Majengo ya jela hiyo yalikuwa yanamilikiwa na waingereza British housing complex mnamo mwaka 1960 yakiwa yamejengwa kama makazi ya wafanyakazi wa kampuni hiyo.

    Pale kampuni ilipofungwa, eneo hilo likakodiwa na serikali ya kwanza ya Rwanda iliyokuwa imedhamiria kufanya majengo hayo kuwa jela ya kisiasa (political prison). Tangu hapo hakuna chochote kilichobadilika ndani ya jela hiyo isipokuwa tu serikali ya Rwanda ambapo kila serikali iliyoingia madarakani ilionekana kuipatia ama kuitafutia matumizi eneo hilo.

    Kwa mujibu wa gazeti la London Independent mwaka 1995, hii ndiyo jela mbaya zaidi kuwahi kutokea duniani. Pia wanda za tovuti nyingi za mitandao, zinakiri na kuiweka jela hii kwenye kumi, ama tano, ama tatu bora zaidi ya jela hatari mno kuwahi kutokea duniani.

    Gitarama ilijengwa kwa ajili ya kumudu wafungwa mia nne tu, lakini mpaka sasa inabebelea wafungwa elfu saba! Mara kumi na nane kwa makadirio. Hali hii inapelekea mahesabu ya wafungwa wanne kurundikana katika eneo la hatua tatu (three feet). Hili laweza likawa la kawaida sana ukilisoma hapa, lakini ukijaribu kutoka nje ya bandiko hili na kujikuta ukiwa umekaa na watu wengine watatu ndani ya eneo la hatua tatu tu, kidogo waweza kuelewa.

    Hakuna mahali pa kulala, kujilaza, wala pa kuketi. Wafungwa husimama wakikung’utwa na jua na wakipoozwa na mvua kwakuwa jela hii kwa kiasi kikubwa haina paa la kuwakinga wafungwa na jua, mvua wala baridi.

    Kutokana na kutapakaa kwa wafungwa hao kwenye eneo hilo dogo, inakuwa ngumu sana kwa mfungwa kutaka kwenda chooni akafanikiwa kwa muda, hali hii inapelekea wafungwa kujisaidia popote pale na hivyo basi kujaza vinyesi, mikojo na harufu kila eneo. Wafungwa huozeshwa na kumomonywa miili na bakteria mpaka kufa kwasababu ya kujiweka karibu, aidha kwa kulala ama kusimama kwenye vinyesi na uchafu wa kila aina (gangrene).

    Wafungwa wengi hawana vidole, nyayo na miguu kwasababu ya kuoza wakiwa hai. Miguu hubadilika rangi na hata kutoa madonda. Ni kawaida kuona mtu ana wadudu miguuni huku wakitembea.

    Kati ya wafungwa kumi ndani ya jela hii, nane hufa kwa kukosa hewa ama magonjwa mbalimbali. Lakini wanapotoka kwenda kuzikwa, basi huingizwa wafungwa wengine ndani ya mlango mkubwa wenye kutu wenye kutoa malalamiko ya ukuukuu.

    Lakini ajabu na kweli ni kwamba, wafungwa waliomo humo ndani hakuna hata mmoja ambaye amepitia mahakamani akathibitishwa ya kwamba ana makosa na anastahili kufungwa.
    Wengi wao, kama si wote, ni wa Hutu. Na walianza kujazwa humo miaka ya 1990's wakituhumiwa kwa mauaji ya Kimbari yaliyokwapua maisha ya wana Rwanda zaidi ya milioni moja. Na hii huonekana ni sababu kubwa inayofanya serikali kutokujali kabisa jela hiyo achilia mbali aliye madarakani ni mtutsi.

    "Watu wanafanyana vitoweo."

    Si tu kwamba hakuna mahali pa kupumzikia, bali ndani ya jela hii kuna rekodi kadha wa kadha mfungwa kumuua mwenzake kisha kumla kama chakula.

    Mgawo wa chakula ni finyu sana. chakula na maji hutolewa mara moja tu kwa juma, tena kikiwa kibovu na hakitoshelezi; mara nyingine chakula kinakosekana kabisa na hivyo basi kuwalazimu wafungwa kumaliza siku kadha wa kadha pasipo kutia kitu tumboni.

    Kwakuwa kila mtu anataka kuishi, wafungwa wengine huamua kuchukua hatua ya kulinda uhai wao kwa kuwanyonga wenzao, kuwabamiza ukutani mpaka mauti kisha kuwatafuna wakiwa wabichi na wakivuja damu moto.

    Wengine hucheza kamari kabisa, ambapo wahusika huchaguliwa kwa kukurupushwa. Mwisho wa siku wahanga wa Kamari hiyo hupotea isijulikane wameenda wapi ndani ya jela, bali matumboni.

    Kumbuka kwamba yote haya yanawezekana tena kwa urahisi kwa sababu ndani ya jela hii hakuna hata mlinzi anayediriki kuingia, ni wafungwa wenyewe tu ndio ambao hujihudumia wenyewe. Chakula na maji vikiletwa, huachwa mlangoni kabla ya wafungwa wenyewe kunyakuwa na kuanza kujigawia. Ndio maana mtu anaweza akafa mpaka akaoza ndani ya jela hii kabla hajaja tolewa na kwenda kuzikwa kwenye makaburi ya pamoja.

    Kulana wenyewe kwa wenyewe si jambo geni wala la kushhtukiza kwa walinzi wa jela hiyo wala tawala husika.

    Juhudi za kubadilisha hali ya Gitarama:

    Kwa namna moja ama nyingine kuna watu na mashirika yaliyoguswa na hali ya kusikitisha kuhusu Gitarama. Japokuwa kweli waliomo humo wanaweza wakawa ni watu waliofanya makosa mbalimbali, ikiwemo hata kuua, lakini halibadilishi dhana ya kwamba na wao wanahitaji haki za binadamu kama wengineo.

    Shirika la Global Giving, likisukumwa na kiongozi wa projekti hii Karen Tse, ni moja ya shirika lisilonuwia faida lililoguswa na hata kuanzisha kampeni ya kutafuta pesa kwa ajili ya kuwasaidia wafungwa hao. Mpaka sasa shirika hili li wazi na unaweza ukawachangia.

    Pesa waliyoichangisha mpaka sasa ni dola za kimarekani 325 huku wakifadhiliwa na mashirika mawili fadhili na huu ukiwa ni mwaka wa sita sasa wapo moto (active).

    Mbali na hapo wanajitutumua kuwasaidia wafungwa hao kisheria ili kesi zao zipatwe kusikilizwa mahakamani. Japokuwa swala hili linaonekana ndoto zaidi ya uhalisia tangu mkono wa serikali unakuwa mzito sana kutingisha kidole.

    “Hiyo ndiyo Gitarama; jehanamu juu ya uso wa dunia. Ama tuseme tawi dogo la jehanamu duniani.”
    GEREZA LA GITARAMA: Jehenamu duniani! Jiji la Gitarama hupatikana katikati ya nchi ya Rwanda, kwa makadirio kilomita arobaini na tano toka kwenye jiji kubwa nchini humo; jiji la Kigali, jiji pekee lililoitangulia Gitarama kwa ukubwa. Kama haitoshi ni hapahapa katika jiji hili ndipo kuna historia kubwa ya makutano yaliyofanyika mwezi wa kwanza; mwaka 1961, Rwanda ikatangazwa rasmi kama jamhuri. Vilevile jiji hili (kipindi hicho mji) likatoa raisi wa kwanza wa Rwanda, bwana Gregoire Kayibanda, ambaye kumbukumbuye mpaka sasa imesimamishwa katikati ya eneo hili. Mazuri hayo hayakomei hapo, hapana! Bali pia hili jiji likabarikiwa na kutunukiwa vivutio kadha wa kadha vya utalii na taasisi lukuki za elimu ambazo aidha zaweza jaza ukumbi nikizianisha hapa. Na kwa namna moja ama nyingine nachelea kusema taasisi hizo zilijengwa (zimejengwa) kwa lengo chanya la kuwafanya watu wapate elimu na hatimaye kujikomboa kifikra na kimwili. Lakini mbali na taasisi hizo, na aidha vivutio na uzuri wa jiji hili, upande wa pili wa sarafu ukisikia jina hili ‘Gitarama’, yakupasa uhofie na hata kushikwa na huruma kwa namna binadamu kama wewe wanavyotendwa, tena bado wakiwa hai kabisa. Binadamu hao wakiwa wanaishi ndani ya eneo ambalo hakuna binadamu yeyote juu ya uso wa dunia angelipenda kuwamo kwa gharama yoyote ile! GITARAMA; ‘JEHANAMU DUNIANI’: Sehemu nyingi duniani zimewahi kuitwa jehanamu. Na jina hili lilishamiri zaidi baada ya vita vya pili vya dunia ambapo maeneo kadhaa yalipewa jina hili kuwakilisha maeneo yasiyokalika, hatari na yasiyo na afya stahiki kwa wanadamu. Maeneo hayo mathalani ni Blood Falls (Maanguko ya damu) huko Antarktika, Danakil Depression (bonde la Danakil) huko Ethiopia, Door to Hell (mlango wa kuzimu) huko Turkmenistan, Kamchatka Peninsula huko Russia na kadhalika, na kadhalika. Japokuwa sehemu hizo zipo nyingi zikipatikana maeneo mbalimbali, ni dhahiri kuna sifa ambazo hushirikiana na hivyo basi ndio maana huwekwa chini ya mwamvuli mmoja wa ‘jehanamu’. Upande wa kusini magharibi mwa jiji la Kigali, ndipo ilipo jela hii Gitarama. Kwa sasa inaitwa jela ya Muhanga ikichukua jina la wilaya ambayo ndiyo makazi yake mpaka sasa. Majengo ya jela hiyo yalikuwa yanamilikiwa na waingereza British housing complex mnamo mwaka 1960 yakiwa yamejengwa kama makazi ya wafanyakazi wa kampuni hiyo. Pale kampuni ilipofungwa, eneo hilo likakodiwa na serikali ya kwanza ya Rwanda iliyokuwa imedhamiria kufanya majengo hayo kuwa jela ya kisiasa (political prison). Tangu hapo hakuna chochote kilichobadilika ndani ya jela hiyo isipokuwa tu serikali ya Rwanda ambapo kila serikali iliyoingia madarakani ilionekana kuipatia ama kuitafutia matumizi eneo hilo. Kwa mujibu wa gazeti la London Independent mwaka 1995, hii ndiyo jela mbaya zaidi kuwahi kutokea duniani. Pia wanda za tovuti nyingi za mitandao, zinakiri na kuiweka jela hii kwenye kumi, ama tano, ama tatu bora zaidi ya jela hatari mno kuwahi kutokea duniani. Gitarama ilijengwa kwa ajili ya kumudu wafungwa mia nne tu, lakini mpaka sasa inabebelea wafungwa elfu saba! Mara kumi na nane kwa makadirio. Hali hii inapelekea mahesabu ya wafungwa wanne kurundikana katika eneo la hatua tatu (three feet). Hili laweza likawa la kawaida sana ukilisoma hapa, lakini ukijaribu kutoka nje ya bandiko hili na kujikuta ukiwa umekaa na watu wengine watatu ndani ya eneo la hatua tatu tu, kidogo waweza kuelewa. Hakuna mahali pa kulala, kujilaza, wala pa kuketi. Wafungwa husimama wakikung’utwa na jua na wakipoozwa na mvua kwakuwa jela hii kwa kiasi kikubwa haina paa la kuwakinga wafungwa na jua, mvua wala baridi. Kutokana na kutapakaa kwa wafungwa hao kwenye eneo hilo dogo, inakuwa ngumu sana kwa mfungwa kutaka kwenda chooni akafanikiwa kwa muda, hali hii inapelekea wafungwa kujisaidia popote pale na hivyo basi kujaza vinyesi, mikojo na harufu kila eneo. Wafungwa huozeshwa na kumomonywa miili na bakteria mpaka kufa kwasababu ya kujiweka karibu, aidha kwa kulala ama kusimama kwenye vinyesi na uchafu wa kila aina (gangrene). Wafungwa wengi hawana vidole, nyayo na miguu kwasababu ya kuoza wakiwa hai. Miguu hubadilika rangi na hata kutoa madonda. Ni kawaida kuona mtu ana wadudu miguuni huku wakitembea. Kati ya wafungwa kumi ndani ya jela hii, nane hufa kwa kukosa hewa ama magonjwa mbalimbali. Lakini wanapotoka kwenda kuzikwa, basi huingizwa wafungwa wengine ndani ya mlango mkubwa wenye kutu wenye kutoa malalamiko ya ukuukuu. Lakini ajabu na kweli ni kwamba, wafungwa waliomo humo ndani hakuna hata mmoja ambaye amepitia mahakamani akathibitishwa ya kwamba ana makosa na anastahili kufungwa. Wengi wao, kama si wote, ni wa Hutu. Na walianza kujazwa humo miaka ya 1990's wakituhumiwa kwa mauaji ya Kimbari yaliyokwapua maisha ya wana Rwanda zaidi ya milioni moja. Na hii huonekana ni sababu kubwa inayofanya serikali kutokujali kabisa jela hiyo achilia mbali aliye madarakani ni mtutsi. "Watu wanafanyana vitoweo." Si tu kwamba hakuna mahali pa kupumzikia, bali ndani ya jela hii kuna rekodi kadha wa kadha mfungwa kumuua mwenzake kisha kumla kama chakula. Mgawo wa chakula ni finyu sana. chakula na maji hutolewa mara moja tu kwa juma, tena kikiwa kibovu na hakitoshelezi; mara nyingine chakula kinakosekana kabisa na hivyo basi kuwalazimu wafungwa kumaliza siku kadha wa kadha pasipo kutia kitu tumboni. Kwakuwa kila mtu anataka kuishi, wafungwa wengine huamua kuchukua hatua ya kulinda uhai wao kwa kuwanyonga wenzao, kuwabamiza ukutani mpaka mauti kisha kuwatafuna wakiwa wabichi na wakivuja damu moto. Wengine hucheza kamari kabisa, ambapo wahusika huchaguliwa kwa kukurupushwa. Mwisho wa siku wahanga wa Kamari hiyo hupotea isijulikane wameenda wapi ndani ya jela, bali matumboni. Kumbuka kwamba yote haya yanawezekana tena kwa urahisi kwa sababu ndani ya jela hii hakuna hata mlinzi anayediriki kuingia, ni wafungwa wenyewe tu ndio ambao hujihudumia wenyewe. Chakula na maji vikiletwa, huachwa mlangoni kabla ya wafungwa wenyewe kunyakuwa na kuanza kujigawia. Ndio maana mtu anaweza akafa mpaka akaoza ndani ya jela hii kabla hajaja tolewa na kwenda kuzikwa kwenye makaburi ya pamoja. Kulana wenyewe kwa wenyewe si jambo geni wala la kushhtukiza kwa walinzi wa jela hiyo wala tawala husika. Juhudi za kubadilisha hali ya Gitarama: Kwa namna moja ama nyingine kuna watu na mashirika yaliyoguswa na hali ya kusikitisha kuhusu Gitarama. Japokuwa kweli waliomo humo wanaweza wakawa ni watu waliofanya makosa mbalimbali, ikiwemo hata kuua, lakini halibadilishi dhana ya kwamba na wao wanahitaji haki za binadamu kama wengineo. Shirika la Global Giving, likisukumwa na kiongozi wa projekti hii Karen Tse, ni moja ya shirika lisilonuwia faida lililoguswa na hata kuanzisha kampeni ya kutafuta pesa kwa ajili ya kuwasaidia wafungwa hao. Mpaka sasa shirika hili li wazi na unaweza ukawachangia. Pesa waliyoichangisha mpaka sasa ni dola za kimarekani 325 huku wakifadhiliwa na mashirika mawili fadhili na huu ukiwa ni mwaka wa sita sasa wapo moto (active). Mbali na hapo wanajitutumua kuwasaidia wafungwa hao kisheria ili kesi zao zipatwe kusikilizwa mahakamani. Japokuwa swala hili linaonekana ndoto zaidi ya uhalisia tangu mkono wa serikali unakuwa mzito sana kutingisha kidole. “Hiyo ndiyo Gitarama; jehanamu juu ya uso wa dunia. Ama tuseme tawi dogo la jehanamu duniani.”
    Like
    2
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·474 Views
  • Wanaitwa ‘MANTIS SHRIMP’ mwenye pigo sawa na nguvu ya bunduki

    ❇Hawa ni moja kati ya viumbe hatari sana wanaopatikana baharini hasa bahari ya Hindi hapa Tanzania Kitalaam anaitwa “Stamatopoda”
    .
    ❇wana urefu wa cm 20 sawa na inchi 8 na uzitowao ni Gram 90 – 100 lakini mambo yao ni konki
    .Kwa umbo wanamagamba mazuri yenye kuvutia lakini ni moja ya viumbe hatari sana baharini
    .
    ❇wanauwezo wa kupiga sehemu na kuvunja na nguvu yake ni sawa na risasi wanauwezo wa kupasua vile vioo vya mabwawa ya kuhifadhia samaki (aquarims) kwa Single Hit)
    .
    ❇Mantis huwa hawachangani, ni wakali sana hasa kwenye mipaka yao yaani ukiingia bahati mbaya kwenye anga zao umeyatimba
    .
    ❇Huwa wanatoa sauti za chini sana ambazo huwasiliana kama ikitokea wakakutana na nadra sana kuona wanapigana
    .
    ❇Macho yao yako kwa juu kama antena na yana uwezo mkubwa wa kuona na kujua direction ya predators au prey
    .pia yana uwezo wa kwenda direction tofauti tofauti yaani moja kaskazini na moja kusini, Vile vile wanakucha ambazo hutumia kumkamata prey anapokua karibu
    .
    ❇Chakula chao kikuu ni ngadu, Samaki na baadhi ya viumbe vingine na wanakula samaki ambao huwa wakubwa kuliko hata umbo lao
    .
    ❇Huwa wanatumia mechanism tofauti sana pale wanapotaka kutafuta chakula wanauwezo wa kupiga maji yakatengeneza mawimbi makubwa tu kukelekea direction ya prey na kabla ya prey hajafanya maamuzi anapigwa round kick kali sana..
    .
    ❇Wanauwezo wa kugundua Mgonjwa wa cancer kwa macho yao na hii ni kwasabu macho yanauwezo mkubwa sana wakuona na kugundua movement nampangilio wa neurons (Hii ni kwa mujibu wa Chuo Kikuu cha Queensland)
    .
    ❇Kwa kawaida huwa na life partner yaani bebi mmoja tu kwenye maisha yao na muda wa kutaga jike na dume hulalia pamoja mayai mpaka muda wa kupata watoto
    .
    ❇Adui yao mkubwa ni binadamu maana nchi kama Japan na China huwa wanawala sana na wakati mwingine huwa wanaaminishwa na imani fulani kama moja ya viumbe vyenye kuongeza sana nguvu ya mwili kwa kuimarisha seli hai nyeupe (white blood cells).
    Wanaitwa ‘MANTIS SHRIMP’ mwenye pigo sawa na nguvu ya bunduki ❇Hawa ni moja kati ya viumbe hatari sana wanaopatikana baharini hasa bahari ya Hindi hapa Tanzania Kitalaam anaitwa “Stamatopoda” . ❇wana urefu wa cm 20 sawa na inchi 8 na uzitowao ni Gram 90 – 100 lakini mambo yao ni konki .Kwa umbo wanamagamba mazuri yenye kuvutia lakini ni moja ya viumbe hatari sana baharini . ❇wanauwezo wa kupiga sehemu na kuvunja na nguvu yake ni sawa na risasi wanauwezo wa kupasua vile vioo vya mabwawa ya kuhifadhia samaki (aquarims) kwa Single Hit) . ❇Mantis huwa hawachangani, ni wakali sana hasa kwenye mipaka yao yaani ukiingia bahati mbaya kwenye anga zao umeyatimba . ❇Huwa wanatoa sauti za chini sana ambazo huwasiliana kama ikitokea wakakutana na nadra sana kuona wanapigana . ❇Macho yao yako kwa juu kama antena na yana uwezo mkubwa wa kuona na kujua direction ya predators au prey .pia yana uwezo wa kwenda direction tofauti tofauti yaani moja kaskazini na moja kusini, Vile vile wanakucha ambazo hutumia kumkamata prey anapokua karibu . ❇Chakula chao kikuu ni ngadu, Samaki na baadhi ya viumbe vingine na wanakula samaki ambao huwa wakubwa kuliko hata umbo lao . ❇Huwa wanatumia mechanism tofauti sana pale wanapotaka kutafuta chakula wanauwezo wa kupiga maji yakatengeneza mawimbi makubwa tu kukelekea direction ya prey na kabla ya prey hajafanya maamuzi anapigwa round kick kali sana.. 😀 . ❇Wanauwezo wa kugundua Mgonjwa wa cancer kwa macho yao na hii ni kwasabu macho yanauwezo mkubwa sana wakuona na kugundua movement nampangilio wa neurons (Hii ni kwa mujibu wa Chuo Kikuu cha Queensland) . ❇Kwa kawaida huwa na life partner yaani bebi mmoja tu kwenye maisha yao na muda wa kutaga jike na dume hulalia pamoja mayai mpaka muda wa kupata watoto . ❇Adui yao mkubwa ni binadamu maana nchi kama Japan na China huwa wanawala sana na wakati mwingine huwa wanaaminishwa na imani fulani kama moja ya viumbe vyenye kuongeza sana nguvu ya mwili kwa kuimarisha seli hai nyeupe (white blood cells).
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·322 Views

  • MCHEZAJI MKUBWA KAONGEA KIKUBWA SANA HAPA

    NAPENDA SIMBA WANAVYOCHEZA NAWAOMBEA PIA WASHINDE!

    AUCHO AISIFIA SIMBA NA KUIOMBEA MAZURI KIMATAIFA!
    #paulswai
    MCHEZAJI MKUBWA KAONGEA KIKUBWA SANA HAPA NAPENDA SIMBA WANAVYOCHEZA NAWAOMBEA PIA WASHINDE! AUCHO AISIFIA SIMBA NA KUIOMBEA MAZURI KIMATAIFA! #paulswai
    Like
    2
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·378 Views
  • JINSI SHIRIKA LA KIJASUSI LA URUSI FSB {KGB} LILIVYO HATARI....

    Kama waswahili wasemavyo maisha ni safari ndefu na kifo ni Siri, pengine hili ni kweli kutokana na sintofahamu iliyochukua uhai wa Alexander Litvinenko, jasusi wa zamañi wa KGB na baadae FSB ya Urusi ya sasa.

    Tutarudi Sasa tuendelee mwishoni mwa wiki za mwezi wa kumi mwaka 2006 Alexander Litvinenko alipokuwa jijini London alipotorokea baada ya rabsha dhidi ya serikali mjini Moscow, siku hiyo Litvinenko alikuwa ametembelewa na marafiki zake wawili walikuwa wanausalama ndani ya FSB na iliyokuwa KGB Dmitri Kovtun na Andrei Lugovoi, asichokijua ni kwamba wale wawili walikuwa moja ya watu hatari na pia kama wasafirishaji mahiri wa msafiri kama Litvinenko kuliendelea kaburi

    Waliikutana hotelini jijini London wakinywa na kufurahi, siku hiyo Lugovoi na Kovtun wao waliagiza bia wakanywa wakifurahi, unajua nini Litvinenko ye aliagizwa chai ya rangi akanywa huku akiwachekea wasafirishaji wa ule msemo wa kiswahili " maisha ni safari"

    Maskinii Litvinenko alipojichanganya tu Lugovoi na Kovtun wakifanya kazi yao moja waliotumwa na FSB, kumnyamazisha " traitor of the mother Russia"

    Unajua walifanya Nini? Walichukua kemikali hatari sana duniani inayoua taratibu sana jina lake Polonium 210 wakatia katika chai ya Litvinenko. Inavyosemekana alivyorudi walimchekea na kufurahi zaidi kuona Litvinenko alikuwa amesahau mbinu muhimu kabisa ya wanaintelijensia kote duniani ! Kutomwamini mtu hata mama na baba yako.
    Litvinenko alikunywa chai ile

    **********
    Lugovoi na Kovtun walichukua ndege siku tatu baadae haoo Moscow, huko walifanyiwa sherehe ya uhakika wa kazi iliyofanyika isiyo na shaka, Kovtun aliamua kuwa mfanyabiashara mkubwa wakati Lugovoi alipandishwa cheo siku chache baadae.
    ******
    Maskini Litvinenko aliagana na wanyama wale wa kwenye barafu Kama wajiitavyo wao " "bear " lakini akiwapachika majina mazuri yaani marafiki, ndugu, wapenzi kutoka home Russia. Pia aliwauliza vipi watarudi lini kumuona, kimoyomoyo Kovtun na Lugovoi walikua wakicheka na kusikitika kiunafiki,wakijua huyu mtu hana mwezi duniani. Wiki tatu nyingi! atakufa kifo Cha mateso akiwa kitandani amelala.

    ***
    November 1 mwaka 2006 Litvinenko aliugua homa ya ghafla mwili ukiungua kwa namna ya kutisha sana, alipelekwa hospitali mjini London akaishi kwa wiki 3 akiwa hoi kitandani! Wakati akifa akitoa laana kwa Putin akamshutumu amemuua.

    Huo ukawa mwisho wa Litvinenko mtu aliyekuwa ameaminiwa kutunza siri za Russia yeye alizitoa hadharani kwa m16 . Pengine ni chafu sana zenye damu lakini bila shaka kulikuwa pigo kwa vitu hivyo kuwa hadharani. Putin alivuliwa nguo hata asiijifunike.

    Tuzungimzapo Leo ni miaka karibu 12 toka mnyama huyu atutoke.

    Mwaka fulani Putin aliulizwa na mwanahabari mmoja ni kitu gani asichoweza kuvumilia na kusamehe alisema hivi.. Ye ni ngumu sana kuwasamehe wasaliti wa mother Russia.

    Ohh ndo hivyo Litvinenko hakupata bahati ya kusamehewa na Putin hivyo alikwenda.

    Chanzo: na Google
    JINSI SHIRIKA LA KIJASUSI LA URUSI FSB {KGB} LILIVYO HATARI.... Kama waswahili wasemavyo maisha ni safari ndefu na kifo ni Siri, pengine hili ni kweli kutokana na sintofahamu iliyochukua uhai wa Alexander Litvinenko, jasusi wa zamañi wa KGB na baadae FSB ya Urusi ya sasa. Tutarudi Sasa tuendelee mwishoni mwa wiki za mwezi wa kumi mwaka 2006 Alexander Litvinenko alipokuwa jijini London alipotorokea baada ya rabsha dhidi ya serikali mjini Moscow, siku hiyo Litvinenko alikuwa ametembelewa na marafiki zake wawili walikuwa wanausalama ndani ya FSB na iliyokuwa KGB Dmitri Kovtun na Andrei Lugovoi, asichokijua ni kwamba wale wawili walikuwa moja ya watu hatari na pia kama wasafirishaji mahiri wa msafiri kama Litvinenko kuliendelea kaburi Waliikutana hotelini jijini London wakinywa na kufurahi, siku hiyo Lugovoi na Kovtun wao waliagiza bia wakanywa wakifurahi, unajua nini Litvinenko ye aliagizwa chai ya rangi akanywa huku akiwachekea wasafirishaji wa ule msemo wa kiswahili " maisha ni safari" Maskinii Litvinenko alipojichanganya tu Lugovoi na Kovtun wakifanya kazi yao moja waliotumwa na FSB, kumnyamazisha " traitor of the mother Russia" Unajua walifanya Nini? Walichukua kemikali hatari sana duniani inayoua taratibu sana jina lake Polonium 210 wakatia katika chai ya Litvinenko. Inavyosemekana alivyorudi walimchekea na kufurahi zaidi kuona Litvinenko alikuwa amesahau mbinu muhimu kabisa ya wanaintelijensia kote duniani ! Kutomwamini mtu hata mama na baba yako. Litvinenko alikunywa chai ile ********** Lugovoi na Kovtun walichukua ndege siku tatu baadae haoo Moscow, huko walifanyiwa sherehe ya uhakika wa kazi iliyofanyika isiyo na shaka, Kovtun aliamua kuwa mfanyabiashara mkubwa wakati Lugovoi alipandishwa cheo siku chache baadae. ****** Maskini Litvinenko aliagana na wanyama wale wa kwenye barafu Kama wajiitavyo wao " "bear " lakini akiwapachika majina mazuri yaani marafiki, ndugu, wapenzi kutoka home Russia. Pia aliwauliza vipi watarudi lini kumuona, kimoyomoyo Kovtun na Lugovoi walikua wakicheka na kusikitika kiunafiki,wakijua huyu mtu hana mwezi duniani. Wiki tatu nyingi! atakufa kifo Cha mateso akiwa kitandani amelala. *** November 1 mwaka 2006 Litvinenko aliugua homa ya ghafla mwili ukiungua kwa namna ya kutisha sana, alipelekwa hospitali mjini London akaishi kwa wiki 3 akiwa hoi kitandani! Wakati akifa akitoa laana kwa Putin akamshutumu amemuua. Huo ukawa mwisho wa Litvinenko mtu aliyekuwa ameaminiwa kutunza siri za Russia yeye alizitoa hadharani kwa m16 . Pengine ni chafu sana zenye damu lakini bila shaka kulikuwa pigo kwa vitu hivyo kuwa hadharani. Putin alivuliwa nguo hata asiijifunike. Tuzungimzapo Leo ni miaka karibu 12 toka mnyama huyu atutoke. Mwaka fulani Putin aliulizwa na mwanahabari mmoja ni kitu gani asichoweza kuvumilia na kusamehe alisema hivi.. Ye ni ngumu sana kuwasamehe wasaliti wa mother Russia. Ohh ndo hivyo Litvinenko hakupata bahati ya kusamehewa na Putin hivyo alikwenda. Chanzo: na Google
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·484 Views
  • PICHA NI MKE NA MAMA WATOTO WA MCHEZAJI POGBA

    Picha ni mwadada Mrembo Ambaye ni mke wa Kiungo Fundi Mwenye Asili ya Guinea Paul Labile Pogba ambaye kwa sasa amesimama kujihusisha na Soka kutokana na kutumia madawa yasiyofaa kwenye Michezo.

    Mrembo huyo kwa Majina anaitwa Maria Zulay Salaues amezaliwa kwenye Mji wa Robore, Nchini Bolivia.

    Pogba ni miongoni Mwa wachezaji ambao wanamiliki mwanamke Sahihi na mrembo.

    Zulay amezaliwa mwaka 1994 Pia Amezaa watoto Wawili na Pogba

    Licha ya Yote anayopitia mume wake lakini mwanadada huyo amekua Akiendelea kua Sahihi kwa Pogba.

    Kuna Kauli za Mitaani zinatukiwa Sana na Vijana ambao hawajajipata wakisema kwamba Tafuta Pesa Wanawake Wazuri wapo.

    NIWAAMBIE tu unaweza kua na Pesa na Mwanamke mzuri ulimmliki kwa Sababu Kumiliki Pisi sio kitu Cha Kawaida tangu enzi za manabi na manabi

    Kuna Watu hawana Ela lakini wanamiliki Wanawake Wazuri na waotokea maisha Mazuri kabisa ✍🏽

    Kwahiyo ni kuomba MUNGU akujalie kwenye Kila kitu

    SOMA KITABU CHA MHUBIRI12:1

    Mkumbuke Muumba (MUNGU )wako Siku za ujana wako, Kabla hazijaja siku Zilizo mbaya, Wala haijakaribia miaka Utakaposema, Mimi sina furaha katika hiyo.
    PICHA NI MKE NA MAMA WATOTO WA MCHEZAJI POGBA Picha ni mwadada Mrembo Ambaye ni mke wa Kiungo Fundi Mwenye Asili ya Guinea Paul Labile Pogba ambaye kwa sasa amesimama kujihusisha na Soka kutokana na kutumia madawa yasiyofaa kwenye Michezo. Mrembo huyo kwa Majina anaitwa Maria Zulay Salaues amezaliwa kwenye Mji wa Robore, Nchini 🇧🇴Bolivia. Pogba ni miongoni Mwa wachezaji ambao wanamiliki mwanamke Sahihi na mrembo. Zulay amezaliwa mwaka 1994 Pia Amezaa watoto Wawili na Pogba Licha ya Yote anayopitia mume wake lakini mwanadada huyo amekua Akiendelea kua Sahihi kwa Pogba. Kuna Kauli za Mitaani zinatukiwa Sana na Vijana ambao hawajajipata wakisema kwamba Tafuta Pesa Wanawake Wazuri wapo. NIWAAMBIE tu unaweza kua na Pesa na Mwanamke mzuri ulimmliki kwa Sababu Kumiliki Pisi sio kitu Cha Kawaida tangu enzi za manabi na manabi Kuna Watu hawana Ela lakini wanamiliki Wanawake Wazuri na waotokea maisha Mazuri kabisa ✍🏽 Kwahiyo ni kuomba MUNGU akujalie kwenye Kila kitu SOMA KITABU CHA 📖MHUBIRI12:1 Mkumbuke Muumba (MUNGU )wako Siku za ujana wako, Kabla hazijaja siku Zilizo mbaya, Wala haijakaribia miaka Utakaposema, Mimi sina furaha katika hiyo.
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·243 Views
  • IFAHAMU SHULE YA BEI KUBWA ZAIDI DUNIANI.

    Shule ya bei kubwa zaidi Duniani inaitwa Instut Le Rosey ambayo ipo Switzerland, ada ya Mwanafunzi mmoja kwa mwaka sio chini ya USD 117,434 ambayo kwa Tsh. ni kama Milioni 272 Unaambiwa ukiachia mazingira mazuri.

    Shule ipo karibu na Ziwa, ina madarasa 50, Maabara 8 za Sayansi, Theater na kila asubuhi Wanafunzi hupata breki ya kula chocolate

    Ukiacha masomo, Wanafunzi hufundishwa kucheza golf, kutumia farasi, wanacho chumba maalum kwa ajili ya muziki na studio kwa ajili ya sanaa nyingine Wanafunzi wanaweza kujifunza kwa lugha mbili ambazo ni Kiingereza na Kifaransa ambapo pamoja na kwamba ni Shule ya bei ghali lakini wanausambaza upendo mwingi kwa Afrika ambako wamejenga Shule kwenye nchi ya Mali
    IFAHAMU SHULE YA BEI KUBWA ZAIDI DUNIANI. Shule ya bei kubwa zaidi Duniani inaitwa Instut Le Rosey ambayo ipo Switzerland, ada ya Mwanafunzi mmoja kwa mwaka sio chini ya USD 117,434 ambayo kwa Tsh. ni kama Milioni 272 Unaambiwa ukiachia mazingira mazuri. Shule ipo karibu na Ziwa, ina madarasa 50, Maabara 8 za Sayansi, Theater na kila asubuhi Wanafunzi hupata breki ya kula chocolate Ukiacha masomo, Wanafunzi hufundishwa kucheza golf, kutumia farasi, wanacho chumba maalum kwa ajili ya muziki na studio kwa ajili ya sanaa nyingine Wanafunzi wanaweza kujifunza kwa lugha mbili ambazo ni Kiingereza na Kifaransa ambapo pamoja na kwamba ni Shule ya bei ghali lakini wanausambaza upendo mwingi kwa Afrika ambako wamejenga Shule kwenye nchi ya Mali
    Like
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·271 Views
  • HIVI NDIVYO UNAVYOMSAMEHE ALIYEKUUGUA MOYO.

    Unawasamehe kwa kujipa muda wa kupona. Hii haifanyiki mara moja. Hii haifanyiki mara moja. Ni mwendelezo wa polepole. Unapiga hatua mbili mbele na hatua nne nyuma. Wakati mwingine haitakuwa na maana. Lakini unakua na nguvu kidogo, na ustahimilivu zaidi, kila siku. Hata kama hauoni kila wakati.

    Unawasamehe kwa kuzingatia wewe mwenyewe. Acha kumwaga nishati yako kwenye sumu. Unachomoa. Unaacha kufuata. Fanya mazoezi ya kujitunza. Soma tena vitabu unavyovipenda na utoke pamoja na marafiki zako bora, mkicheka na kukumbuka jinsi mambo yanavyoweza kuwa mazuri wakati unajizunguka kwa chanya. Uambie moyo wako uliovunjika ni sawa kuchukua pumziko ili kukumbuka jinsi ya kutabasamu tena.
    Unawasamehe kwa kujiondoa kwenye hali hiyo. Kadiri unavyokaa ndani yake, katika maumivu ya moyo, ndivyo inavyozidi. Ni ngumu, lakini lazima uiache peke yako. Heshimu hisia zako. Heshimu hisia zako. Lakini usiendelee kuzunguka nyuma. Usiendelee kuhangaikia kilichotokea. Wazia kama puto. Wacha ielee. Mwambie kwaheri. Haiwezi kukuumiza sasa.
    Unawasamehe kwa kukubali walichofanya. Hiyo haimaanishi kuwa maumivu yamefutwa. Hiyo haimaanishi kuwa ghafla unafikiri ni sawa au umewaacha waachane na ndoano. Haimaanishi kwamba hawawajibiki kwa matendo yao au kwamba umesahau kilichotokea. Inamaanisha tu kukubali kile kilichofanywa kimefanywa. Inamaanisha kukubali kuwa hakuna kitufe cha kurejesha nyuma. Unaweza tu kusonga mbele.
    Unawasamehe kwa kurejesha maisha yako. Kwa sababu kuna mengi zaidi ya mtu mmoja tu ambaye alivunja moyo wako.

    ✍Sifa kwa Mwandishi halali
    👩🏻‍🎨Pinterest
    HIVI NDIVYO UNAVYOMSAMEHE ALIYEKUUGUA MOYO. Unawasamehe kwa kujipa muda wa kupona. Hii haifanyiki mara moja. Hii haifanyiki mara moja. Ni mwendelezo wa polepole. Unapiga hatua mbili mbele na hatua nne nyuma. Wakati mwingine haitakuwa na maana. Lakini unakua na nguvu kidogo, na ustahimilivu zaidi, kila siku. Hata kama hauoni kila wakati. Unawasamehe kwa kuzingatia wewe mwenyewe. Acha kumwaga nishati yako kwenye sumu. Unachomoa. Unaacha kufuata. Fanya mazoezi ya kujitunza. Soma tena vitabu unavyovipenda na utoke pamoja na marafiki zako bora, mkicheka na kukumbuka jinsi mambo yanavyoweza kuwa mazuri wakati unajizunguka kwa chanya. Uambie moyo wako uliovunjika ni sawa kuchukua pumziko ili kukumbuka jinsi ya kutabasamu tena. Unawasamehe kwa kujiondoa kwenye hali hiyo. Kadiri unavyokaa ndani yake, katika maumivu ya moyo, ndivyo inavyozidi. Ni ngumu, lakini lazima uiache peke yako. Heshimu hisia zako. Heshimu hisia zako. Lakini usiendelee kuzunguka nyuma. Usiendelee kuhangaikia kilichotokea. Wazia kama puto. Wacha ielee. Mwambie kwaheri. Haiwezi kukuumiza sasa. Unawasamehe kwa kukubali walichofanya. Hiyo haimaanishi kuwa maumivu yamefutwa. Hiyo haimaanishi kuwa ghafla unafikiri ni sawa au umewaacha waachane na ndoano. Haimaanishi kwamba hawawajibiki kwa matendo yao au kwamba umesahau kilichotokea. Inamaanisha tu kukubali kile kilichofanywa kimefanywa. Inamaanisha kukubali kuwa hakuna kitufe cha kurejesha nyuma. Unaweza tu kusonga mbele. Unawasamehe kwa kurejesha maisha yako. Kwa sababu kuna mengi zaidi ya mtu mmoja tu ambaye alivunja moyo wako. ✍Sifa kwa Mwandishi halali 👩🏻‍🎨Pinterest
    Like
    Love
    2
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·289 Views
  • Najua mpaka sasa umeisikia sana ile GUSA ACHIA TWENDE KWAO. Ningependa nikupe uhondo wake kidogo, msingi wake ni upi na ufanisi wake unatokana na nini?

    Ally Kamwe kama muasisi wa Gusa twende kwao alijaribu kuaminisha wanaYanga kuwa falsafa ya Ramovic ni pira matokeo, lenye speed, na ufanisi wa hali ya juu huku likiambatana na burudani isiyoisha hamu.

    Je unajua ili GUSA ACHIA TWENDE KWAO iwe na ufanisi kinahitajika nini?

    Kuna watu lazima wawepo nyuma ya hii falsafa. Mtu wa kwanza wa muhimu zaidi baada ya kocha mkuu Ramovic, ni kocha wa utimamu wa mwili (Fitness coach). Hapa namuongelea mtu ambae atawafanya wachezaji wa Yanga wakimbie kama vishada, wafukie mashimo uwanjani, na kuweza kuzimudu dakika 90 bila kuchoka. Mpaka hapa tumeelewana?

    Yanga haijapoteza mechi yoyote ya ligi kuu mpaka sasa tangu Ramovic atue nchini. Na alisema wazi ili falsafa ya soka lake lianze kutoa matunda anahitaji wachezaji wake wote wawe vizuri kwenye fitness. Yanga ikaingia sokoni, kusaka mtaalamu wa kutengeneza utamu wa Ramovic. Yanga ikamshusha mtaalamu ADNAN BEHLULOVIC - Fitness coach wa Yanga.

    Nyuma ya pazia la Ramovic na matokeo mazuri ya ligi kuu mpka sasa huwezi kuacha kumtaja Bwana Adnan.

    Pressing ambayo anasifiwa Yanga, inayofanya wapinzani wanafanya makosa, nyuma yake yupo ADNAN.

    Speed na ufanisi wa Yanga kwenye kushambulia bila kuchoka, nyuma ya hayo yote yupo ADNAN.

    Zinachezwa dakika 90 huioni Yanga kama imechoka, kila mchezaji unaona kuwa bado ana hamu ya kuendelea kutwanga dakika zingine 90. ADNAN hajamaliza hata mwezi tangu aanze operesheni rudisha ufiti ndani ya Yanga, huyu kocha wa Fitness siku akimaliza mwezi Yanga ikafikia asilimia 100 ya ufiti nina uhakika kuna timu zitapasuliwa vifua.

    Side wa kijerumani ataimbwa sana, kwa sababu silaha moja ya timu yoyote ni kuwa fiti. Speed ya Yanga imeniogopesha, Pressing yao imeniogopesha, ubora wa Adnan umeniogopesha.

    Ni follow
    #neliudcosiah
    Najua mpaka sasa umeisikia sana ile GUSA ACHIA TWENDE KWAO. Ningependa nikupe uhondo wake kidogo, msingi wake ni upi na ufanisi wake unatokana na nini? Ally Kamwe kama muasisi wa Gusa twende kwao alijaribu kuaminisha wanaYanga kuwa falsafa ya Ramovic ni pira matokeo, lenye speed, na ufanisi wa hali ya juu huku likiambatana na burudani isiyoisha hamu. Je unajua ili GUSA ACHIA TWENDE KWAO iwe na ufanisi kinahitajika nini? Kuna watu lazima wawepo nyuma ya hii falsafa. Mtu wa kwanza wa muhimu zaidi baada ya kocha mkuu Ramovic, ni kocha wa utimamu wa mwili (Fitness coach). Hapa namuongelea mtu ambae atawafanya wachezaji wa Yanga wakimbie kama vishada, wafukie mashimo uwanjani, na kuweza kuzimudu dakika 90 bila kuchoka. Mpaka hapa tumeelewana? Yanga haijapoteza mechi yoyote ya ligi kuu mpaka sasa tangu Ramovic atue nchini. Na alisema wazi ili falsafa ya soka lake lianze kutoa matunda anahitaji wachezaji wake wote wawe vizuri kwenye fitness. Yanga ikaingia sokoni, kusaka mtaalamu wa kutengeneza utamu wa Ramovic. Yanga ikamshusha mtaalamu ADNAN BEHLULOVIC - Fitness coach wa Yanga. Nyuma ya pazia la Ramovic na matokeo mazuri ya ligi kuu mpka sasa huwezi kuacha kumtaja Bwana Adnan. Pressing ambayo anasifiwa Yanga, inayofanya wapinzani wanafanya makosa, nyuma yake yupo ADNAN. Speed na ufanisi wa Yanga kwenye kushambulia bila kuchoka, nyuma ya hayo yote yupo ADNAN. Zinachezwa dakika 90 huioni Yanga kama imechoka, kila mchezaji unaona kuwa bado ana hamu ya kuendelea kutwanga dakika zingine 90. ADNAN hajamaliza hata mwezi tangu aanze operesheni rudisha ufiti ndani ya Yanga, huyu kocha wa Fitness siku akimaliza mwezi Yanga ikafikia asilimia 100 ya ufiti nina uhakika kuna timu zitapasuliwa vifua. Side wa kijerumani ataimbwa sana, kwa sababu silaha moja ya timu yoyote ni kuwa fiti. Speed ya Yanga imeniogopesha, Pressing yao imeniogopesha, ubora wa Adnan umeniogopesha. Ni follow 👇 #neliudcosiah
    Like
    Love
    2
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·430 Views


  • HII STORY INAKUFUNDISHA NINI

    MWANAUME mmoja alikuwa anampenda sana mkewe. Walikuwa wamejaaliwa watoto watatu waliokuwa wachangamfu na walifurahia sana maisha.

    Yule mwanaume alikuwa analipwa mshahara wa wastani ambao usingetosha kukidhi kumpendezesha mkewe na kutunza familia. Kutokana na changamoto za kipato kidogo alijiongeza na kununua kagari kadogo aina ya


    Mtanisamehe wale wenye ndoto ya kununua IST) ili akaendeshe kama taxi jioni baada ya kutoka ofisini ili kuongeza kipato chake.......!

    Kiukweli huu mpango ulienda vizuri na maisha yakawa bora na mazuri ijapokuwa alichoka sana na pia alikosa muda wa kutosha na familia yake. Hatahivyo, alijitia moyo kuwa haiwezekani mtu akala keki yake na bado ikawepo yaani..

    UKIWA na muda huna pesa na UKIWA na PESA huna Muda ~ hivyo kila mtu huchagua anachotaka kuwa nacho.

    Kila siku jioni jamaa alimpatia mkewe maokoto ya kwenye teksi kama shilingi 25,000 isipokuwa siku ya Jumapili aliyokuwa anaswali na


    Kila siku jioni jamaa alimpatia mkewe maokoto ya kwenye teksi kama shilingi 25,000 isipokuwa siku ya Jumapili aliyokuwa anaswali na kupumzika. Hii ilikuwa kwaajili ya gharama za chakula na matumizi ya nyumbani.

    PALE nyumbani palikuwa na amani furaha na utulivu. Kutokana na jinsi jamaa alivyompenda yule mkewe na watoto hakutaka kuuliza matumizi ya ile pesa. Kodi ya nyumba ada na matibabu alitoa kwenye mshahara wake wa ofisini.

    KWA ghafla siku moja mkewe akaugua na alihitajika kufanyiwa operesheni ya haraka. Na yule mwanaume hakuwa na tabia ya kujiwekea akiba. Alitaabika na kuhuzunika sana kwani dakitari alimweleza kuwa mkewe asipofanyiwa upasuaji kwa haraka ili kutatua tatizo linalomsibu atafariki dunia.

    Jamaa akajiongeza akamjulisha mkewe kuwa anaenda kuuza ile gari yake IST kwa haraka hata kama ni kwa hasara ili apate fedha za kumtibu mkewe. Basi mama watoto akamshukuru sana kwa jinsi anavyompenda na kumwambia hakika akipona atampenda zaidi na kuwajali watoto.

    Yule mwanaume akarudi nyumbani akihuzunika kuwa hatakuwa na gari ya kutengenezea pesa jioni baada ya kazi hivyo atakosa pesa na uchumi wa familia yake na ubora wa maisha utashuka. Hatahivyo, akapiga moyo konde kuwa ni heri mkewe atibiwe kuliko kuwa na hiyo gari.

    Wakati akitafuta madalali wanaoweza kuuza ile gari kwa haraka au wateja akawa anapiga magoti chumbani na kusali sana usiku kucha. Alikuwa anapiga magoti kwenye mfumbati wa kitanda na kuegemea godoro upande wa miguuni. Mara akagumdua kuwa ule upande wa miguuni mwa godoro kulikuwa kugumu kugumu na kuna uzito usiokuwa wa kawaida. Ndipo alipoamua kufunua shuka na kulitoa lile godoro.

    Alipolichunguza lile godoro kuu kuu akakuta limekatwa na ndani yake kuna fedha iliyofichwa inayofikia shilingi milioni nne na nusu (TZS 4,500,000). Yule mwanaume akashangilia kwa furaha kuu huku akiwa amepigwa na butwaa. Mbona mwenzangu anajua ana kitita kinachotosha matibabu na kuzidi na hasemi yuko tayari niuze gari inayotusaidia kutengeneza pesa? Kwakweli hakupata majibu wala hakumuuliza wala kumueleza yeyote.



    Akaichukua ile pesa akalipa matibabu ya mkewe yote, akanunua godoro kubwa jipya la Tanform 6×6 unene wa nchi sita na mashuka mapya. Akachukua lile godoro kuu kuu walilokuwa wanalilalia 'benki' ya mama watoto na kuwaita watoto wake wote watatu wakalilowanisha kwa mafuta ya taa na kisha wakalichoma moto kwa pamoja. Akawaambia nimenunua godoro jipya ili mama yenu akirudi alale mahali pasafi na pazuri.

    Kwa neema za Mungu mama akatibiwa akapona vizuri na kurusiwa kurudi nyumbani. Aliporudi nyumbani akakuta mumewe amenunua godoro jipya na mashuka mapya mazuri sana.

    Akauliza, "Mume wangu godoro la zamani liko wapi?". Mumewe akamjibu, "Aisee lilikuwa na kunguni na wadudu wa aina nyingi, sikuwa naweza kulala usiku wakati hukuwepo. Tulilimwagia mafuta ya taa mimi na watoto tukalichoma moto". Watoto wakamwambia mama yao, "ni kweli mama! Tulilichoma moto lile godoro tukiwa na baba, ule moto ulikuwa kama wa jehanamu." Stori ikaishia hapo.

    Japokuwa mama alipona kabisa, huu ni mwaka wa sita bado ule mshono wa oparesheni huwa unauma.

    Kumbuka hawezi kuuliza kuhusu Hela zilizokuwa Kwenye godoro.





    HII STORY INAKUFUNDISHA NINI MWANAUME mmoja alikuwa anampenda sana mkewe. Walikuwa wamejaaliwa watoto watatu waliokuwa wachangamfu na walifurahia sana maisha. Yule mwanaume alikuwa analipwa mshahara wa wastani ambao usingetosha kukidhi kumpendezesha mkewe na kutunza familia. Kutokana na changamoto za kipato kidogo alijiongeza na kununua kagari kadogo aina ya Mtanisamehe wale wenye ndoto ya kununua IST) ili akaendeshe kama taxi jioni baada ya kutoka ofisini ili kuongeza kipato chake.......! Kiukweli huu mpango ulienda vizuri na maisha yakawa bora na mazuri ijapokuwa alichoka sana na pia alikosa muda wa kutosha na familia yake. Hatahivyo, alijitia moyo kuwa haiwezekani mtu akala keki yake na bado ikawepo yaani.. UKIWA na muda huna pesa na UKIWA na PESA huna Muda ~ hivyo kila mtu huchagua anachotaka kuwa nacho. Kila siku jioni jamaa alimpatia mkewe maokoto ya kwenye teksi kama shilingi 25,000 isipokuwa siku ya Jumapili aliyokuwa anaswali na Kila siku jioni jamaa alimpatia mkewe maokoto ya kwenye teksi kama shilingi 25,000 isipokuwa siku ya Jumapili aliyokuwa anaswali na kupumzika. Hii ilikuwa kwaajili ya gharama za chakula na matumizi ya nyumbani. PALE nyumbani palikuwa na amani furaha na utulivu. Kutokana na jinsi jamaa alivyompenda yule mkewe na watoto hakutaka kuuliza matumizi ya ile pesa. Kodi ya nyumba ada na matibabu alitoa kwenye mshahara wake wa ofisini. KWA ghafla siku moja mkewe akaugua na alihitajika kufanyiwa operesheni ya haraka. Na yule mwanaume hakuwa na tabia ya kujiwekea akiba. Alitaabika na kuhuzunika sana kwani dakitari alimweleza kuwa mkewe asipofanyiwa upasuaji kwa haraka ili kutatua tatizo linalomsibu atafariki dunia. Jamaa akajiongeza akamjulisha mkewe kuwa anaenda kuuza ile gari yake IST kwa haraka hata kama ni kwa hasara ili apate fedha za kumtibu mkewe. Basi mama watoto akamshukuru sana kwa jinsi anavyompenda na kumwambia hakika akipona atampenda zaidi na kuwajali watoto. Yule mwanaume akarudi nyumbani akihuzunika kuwa hatakuwa na gari ya kutengenezea pesa jioni baada ya kazi hivyo atakosa pesa na uchumi wa familia yake na ubora wa maisha utashuka. Hatahivyo, akapiga moyo konde kuwa ni heri mkewe atibiwe kuliko kuwa na hiyo gari. Wakati akitafuta madalali wanaoweza kuuza ile gari kwa haraka au wateja akawa anapiga magoti chumbani na kusali sana usiku kucha. Alikuwa anapiga magoti kwenye mfumbati wa kitanda na kuegemea godoro upande wa miguuni. Mara akagumdua kuwa ule upande wa miguuni mwa godoro kulikuwa kugumu kugumu na kuna uzito usiokuwa wa kawaida. Ndipo alipoamua kufunua shuka na kulitoa lile godoro. Alipolichunguza lile godoro kuu kuu akakuta limekatwa na ndani yake kuna fedha iliyofichwa inayofikia shilingi milioni nne na nusu (TZS 4,500,000). Yule mwanaume akashangilia kwa furaha kuu huku akiwa amepigwa na butwaa. Mbona mwenzangu anajua ana kitita kinachotosha matibabu na kuzidi na hasemi yuko tayari niuze gari inayotusaidia kutengeneza pesa? Kwakweli hakupata majibu wala hakumuuliza wala kumueleza yeyote. Akaichukua ile pesa akalipa matibabu ya mkewe yote, akanunua godoro kubwa jipya la Tanform 6×6 unene wa nchi sita na mashuka mapya. Akachukua lile godoro kuu kuu walilokuwa wanalilalia 'benki' ya mama watoto na kuwaita watoto wake wote watatu wakalilowanisha kwa mafuta ya taa na kisha wakalichoma moto kwa pamoja. Akawaambia nimenunua godoro jipya ili mama yenu akirudi alale mahali pasafi na pazuri. Kwa neema za Mungu mama akatibiwa akapona vizuri na kurusiwa kurudi nyumbani. Aliporudi nyumbani akakuta mumewe amenunua godoro jipya na mashuka mapya mazuri sana. Akauliza, "Mume wangu godoro la zamani liko wapi?". Mumewe akamjibu, "Aisee lilikuwa na kunguni na wadudu wa aina nyingi, sikuwa naweza kulala usiku wakati hukuwepo. Tulilimwagia mafuta ya taa mimi na watoto tukalichoma moto". Watoto wakamwambia mama yao, "ni kweli mama! Tulilichoma moto lile godoro tukiwa na baba, ule moto ulikuwa kama wa jehanamu." Stori ikaishia hapo. Japokuwa mama alipona kabisa, huu ni mwaka wa sita bado ule mshono wa oparesheni huwa unauma. Kumbuka hawezi kuuliza kuhusu Hela zilizokuwa Kwenye godoro.
    Love
    Haha
    2
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·631 Views
  • MSIKIE KOCHA FADLU

    “Kwa kweli, kucheza nyumbani ni faida kubwa kwetu. Tutakuwa na programu za mazoezi kwa siku chache zilizopo mbele yetu ili kuwa tayari kwa mchezo huu. Nitahakikisha mpango wetu wa kimbinu ni tofauti na ule tulioutumia kule Algeria.”

    “Nidhamu ya kulinda itakuwa sehemu muhimu ya mchezo wetu, lakini tunahitaji kuwa na mashambulizi ya haraka na kuzuia makosa tuliyofanya kwenye mchezo wa awali, Lengo ni kuhakikisha kuwa tunapata matokeo mazuri na kuweka hesabu zetu sawa katika michuano hii ya CAF.”
    #paulswai
    MSIKIE KOCHA FADLU “Kwa kweli, kucheza nyumbani ni faida kubwa kwetu. Tutakuwa na programu za mazoezi kwa siku chache zilizopo mbele yetu ili kuwa tayari kwa mchezo huu. Nitahakikisha mpango wetu wa kimbinu ni tofauti na ule tulioutumia kule Algeria.” “Nidhamu ya kulinda itakuwa sehemu muhimu ya mchezo wetu, lakini tunahitaji kuwa na mashambulizi ya haraka na kuzuia makosa tuliyofanya kwenye mchezo wa awali, Lengo ni kuhakikisha kuwa tunapata matokeo mazuri na kuweka hesabu zetu sawa katika michuano hii ya CAF.” #paulswai
    Like
    Love
    3
    · 1 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·268 Views
  • .JEMEDARI SAID: MWENDA NI BONGE LA MCHEZAJI,YANGA WAMERAMBA DUME.
    .
    "Kumuona Israh kutoka Singida Black Stars kwenda Yanga sio kitu cha ajabu sana maana tumewaona wengi mfano Feisal kutoka Yanga kwenda Azam ni vitu vya kawaida, Yanga wamepata mchezaji mzuri sana sina shaka nae"

    "Nina imani kocha amehusika kwa asilimia 100% maana wapo viongozi walisemaga kuwa sio rahisi kocha kusajili mwenyewe lazima ashirikishe viongozi ila inawezekana alimuhitaji mchezaji akaonyeshwa video zake nae akaridhika naye"

    "Ni ushamba tu wa mashabiki kuwasema wachezaji wakitanzania, watu walitaka kuona Simba au Yanga wanasajili wachezaji kutoka nje tu...huu ni ushamba na niwapongeze Yanga kufanya usajili wa Mwenda hata Kelvin Nashon"

    "Yanga wamefanya kitu cha maana isipokuwa wanahitaji kuvumilia hadi watakapokuwa vizuri kwenye kikosi chao"
    .
    “ Israel Mwenda ni mchezaji mzuri. Namjua tangu 2016. Dogo ana kipaji kizuri maana amefanya vyema akiwa na timu za Simba SC, KMC hadi timu ya Taifa. Kilichomuondoa Simba SC ni nafasi ya kucheza. Nifichue siri leo, hakuwa na mahusiano mazuri na Shomary Kapombe. Hawa wote ni wanangu. Muda mwingine unaona bora uondoke tu kutafuta changamoto nyingine"
    .
    "Kutoka Singida Black Stars kwenda Yanga SC ni kitu cha kawaida kabisa. Lakini Yanga SC wamepata mchezaji mwenye uwezo, lakini arekebishwe mentality yake. Huyu ni mchezaji ambaye unaweza kumtumia katika mifumo mingi. Naamini kocha wa Yanga SC amehusika moja kwa moja na usajili huu “
    .
    JEMEDARI SAID,Mchambuzi CROWN FM.
    .JEMEDARI SAID: MWENDA NI BONGE LA MCHEZAJI,YANGA WAMERAMBA DUME. . "Kumuona Israh kutoka Singida Black Stars kwenda Yanga sio kitu cha ajabu sana maana tumewaona wengi mfano Feisal kutoka Yanga kwenda Azam ni vitu vya kawaida, Yanga wamepata mchezaji mzuri sana sina shaka nae" "Nina imani kocha amehusika kwa asilimia 100% maana wapo viongozi walisemaga kuwa sio rahisi kocha kusajili mwenyewe lazima ashirikishe viongozi ila inawezekana alimuhitaji mchezaji akaonyeshwa video zake nae akaridhika naye" "Ni ushamba tu wa mashabiki kuwasema wachezaji wakitanzania, watu walitaka kuona Simba au Yanga wanasajili wachezaji kutoka nje tu...huu ni ushamba na niwapongeze Yanga kufanya usajili wa Mwenda hata Kelvin Nashon" "Yanga wamefanya kitu cha maana isipokuwa wanahitaji kuvumilia hadi watakapokuwa vizuri kwenye kikosi chao" . “ Israel Mwenda ni mchezaji mzuri. Namjua tangu 2016. Dogo ana kipaji kizuri maana amefanya vyema akiwa na timu za Simba SC, KMC hadi timu ya Taifa. Kilichomuondoa Simba SC ni nafasi ya kucheza. Nifichue siri leo, hakuwa na mahusiano mazuri na Shomary Kapombe. Hawa wote ni wanangu. Muda mwingine unaona bora uondoke tu kutafuta changamoto nyingine" . "Kutoka Singida Black Stars kwenda Yanga SC ni kitu cha kawaida kabisa. Lakini Yanga SC wamepata mchezaji mwenye uwezo, lakini arekebishwe mentality yake. Huyu ni mchezaji ambaye unaweza kumtumia katika mifumo mingi. Naamini kocha wa Yanga SC amehusika moja kwa moja na usajili huu “ . JEMEDARI SAID,Mchambuzi CROWN FM.
    Like
    Love
    5
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·458 Views
  • .MAONI YA MDAU👇🏽

    NABI AILIACHA TIMU NZIMA IKIWA KATIKA KIWANGO BORA, KILA MCHEZAJI ALIKUWA ANA WEZA KUANZA KWENYE MECHI YEYOTE...

    Alipokuja GAMONDI akatengeneza KIKOSI chake Cha wachezaji 11 pekee hao ndio aliwatumia kumpatia matokeo , GAMONDI hakufanya rotation kama Nabi, GAMONDI hakuwa na mpango na wachezaji ambao sio first eleven yake, Dalili mbaya zilianza kuonekana mapema sema kwa kuwa Tayari alikuta wachezaji wapo katika ubora mkubwa hivyo hakupata shida kupata matokeo

    Gamondi aliwatumia wacheza mfululizo bila rotation na bila kuwapumzisha kina Yao, Aziz , Job, Bacca , Mudathir, Maxi matokeo yake hawa wachezaji wamechoka , kumbuka msimu uliopita namna tulivyokuwa na msimu mgumu wenye ratiba ngumu na mechi nyingi ngumu , Hawa wachezaji msimu huu ndio wamepungua energy matokeo yake mnaona hata yeye GAMONDI msimu ulipo anza alishindwa kuwa na Yanga ya msimu uliopita

    Nikisema GAMONDI ndio tatizo kubwa na kaua project nzima ambayo NABI ALIJENGA nasema kwa mlengo huo, GAMONDI anaweza akawa alishinda goli Tano Tano sawa lakini Ile Timu haikuwa ameandaa yeye aliikuta Timu ya Nabi

    Gamondi alishindwa kabisa kuwatumia wachezaji wapya kama Skudu, Okrah , Hafiz Konkoni , Gift Fred na akashindwa pia kuwatumia wachezaji kama Sure Boy, Farid Musa, Kibwana Shomari, as a coach naona GAMONDI alifeli kwenye development ya wachezaji

    KOCHA kama GAMONDI anahitaji already made player , lakini ni ukweli kwamba pamoja na mazuri mengi aliyofanya GAMONDI kwangu Mimi bado hajafika level ambayo NABI aliijenga Yanga Sc ikawa Timu ambayo hata mchezaji mmoja akosekane bado huwezi kuona gap

    Mara nyingine Huwa nawaza kama Nabi msimu uliopita angekuwepo Yanga pengine tungecheza FAINALI ya CAF Champions League

    So nikisema kosa lilikuwa kumpa GAMONDI timu ni kwa maeneo hayo ambayo GAMONDI alishindwa kuyaendeleza, Msimu huu wenyewe GAMONDI hakuwa na option zaidi ya kutumia wachezaji wale wale wa KIKOSI chake , nje na hapo GAMONDI amefeli
    .MAONI YA MDAU👇🏽 NABI AILIACHA TIMU NZIMA IKIWA KATIKA KIWANGO BORA, KILA MCHEZAJI ALIKUWA ANA WEZA KUANZA KWENYE MECHI YEYOTE... Alipokuja GAMONDI akatengeneza KIKOSI chake Cha wachezaji 11 pekee hao ndio aliwatumia kumpatia matokeo , GAMONDI hakufanya rotation kama Nabi, GAMONDI hakuwa na mpango na wachezaji ambao sio first eleven yake, Dalili mbaya zilianza kuonekana mapema sema kwa kuwa Tayari alikuta wachezaji wapo katika ubora mkubwa hivyo hakupata shida kupata matokeo Gamondi aliwatumia wacheza mfululizo bila rotation na bila kuwapumzisha kina Yao, Aziz , Job, Bacca , Mudathir, Maxi matokeo yake hawa wachezaji wamechoka , kumbuka msimu uliopita namna tulivyokuwa na msimu mgumu wenye ratiba ngumu na mechi nyingi ngumu , Hawa wachezaji msimu huu ndio wamepungua energy matokeo yake mnaona hata yeye GAMONDI msimu ulipo anza alishindwa kuwa na Yanga ya msimu uliopita Nikisema GAMONDI ndio tatizo kubwa na kaua project nzima ambayo NABI ALIJENGA nasema kwa mlengo huo, GAMONDI anaweza akawa alishinda goli Tano Tano sawa lakini Ile Timu haikuwa ameandaa yeye aliikuta Timu ya Nabi Gamondi alishindwa kabisa kuwatumia wachezaji wapya kama Skudu, Okrah , Hafiz Konkoni , Gift Fred na akashindwa pia kuwatumia wachezaji kama Sure Boy, Farid Musa, Kibwana Shomari, as a coach naona GAMONDI alifeli kwenye development ya wachezaji KOCHA kama GAMONDI anahitaji already made player , lakini ni ukweli kwamba pamoja na mazuri mengi aliyofanya GAMONDI kwangu Mimi bado hajafika level ambayo NABI aliijenga Yanga Sc ikawa Timu ambayo hata mchezaji mmoja akosekane bado huwezi kuona gap Mara nyingine Huwa nawaza kama Nabi msimu uliopita angekuwepo Yanga pengine tungecheza FAINALI ya CAF Champions League So nikisema kosa lilikuwa kumpa GAMONDI timu ni kwa maeneo hayo ambayo GAMONDI alishindwa kuyaendeleza, Msimu huu wenyewe GAMONDI hakuwa na option zaidi ya kutumia wachezaji wale wale wa KIKOSI chake , nje na hapo GAMONDI amefeli 🙏🙏🙏
    Love
    Like
    5
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·650 Views
  • Kila siku mpya uwanjani inatupa nafasi wachezaji ya kujifunza kitu kipya, mechi mbili zilizopita, ya Ligi ya Mabingwa na Ligi Kuu zimetupa funzo na kesho tutakwenda kupambana ili tupate matokeo mazuri - Aziz KI, Mchezaji wa klabu ya Yanga SC.

    Kila siku mpya uwanjani inatupa nafasi wachezaji ya kujifunza kitu kipya, mechi mbili zilizopita, ya Ligi ya Mabingwa na Ligi Kuu zimetupa funzo na kesho tutakwenda kupambana ili tupate matokeo mazuri - Aziz KI, Mchezaji wa klabu ya Yanga SC.
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·103 Views
Αναζήτηση αποτελεσμάτων